Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[164]
Biblia
(Toleo 2.0 19960518-19990920)
Je, Biblia ya Kristo ni neno lililo barikiwa na Mungu mkuu mwenye upendo, kama vile watu wengi wanavyodai? Ama ni maandiko tu ya uchanganyiko ya watu wenye hekima? Makala hii ni jibu la swali kutoka baraza la kanisa la ki katoliki la kiroma ambayo ina fundisha kwamba, bilia siyo sharti pekee ya imani.
Christian Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Copyright ã 1996, 1999 Wade Cox)
(Tr. 2009)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia
yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Biblia
Tuli wasiliana na wana chama cha baraza la kanisa la kikatoliki la Roma.Walionekana kufikiri kwamba wale ambao wana kubali kuwa Bilia ni neno la Mungu wame potoka. Msemaji wao aliandika
Je, mnayo habari kwamba, biblia ni neno lililotoka kwa Mungu? (msimamo wetu kwa jambohilo, bila shaka litakuwa tofauti). Pia twataka kupewa ushahidi kwamba biblia ni kielelezo cha pekee cha imani, kwa nini dhana hili halikukubaliwa na yeyote hadi Martin Luther alipoidhinisha miaka 1500 baada ya Kristo. Kwani kila mtu alipotoshwa miaka 1500 iliopita? ikiwa biblia ndio katiba pekee ya imani, wa Kristo wa zamani , kabla ya Agano jipia walijuaje mafunzoya Kristo?. Tuna sisitiza kwamba dhana hii siyo ya ki biblia bali ni ya Martin Luther mwenyewe.
Barua hio pia lilibeba maoni ya kushangaza kwamba:
Kanisa ya katoliki, katika mafunzo yake, hasisitizi uwezo wa kubadiliza mafunzo ya biblia, wala haijafanya hivyo. Katika swala ya kubadilisha siku ya sabato, tunaamini kuwa hakuna sheria ya Mungu inayosisitiza kwamba ibaki siku ya jumapili. Kama wa katoliki tunashikilia hiyo kwasababu siyo jambo la lazima, kanisa lina nguvu la kubadiliza na nguvu hilo limepewa na kristo kufufuka kwa Kristo,na mambo yote yanayo ambatana nayo ndiyo sababu kuu ya kubadilika.
Huu ndiyo msimamo wa kale kulingana na nabii danieli, aliponena kuhusu nduli wa nne ambalo lilikuwa ni kanisa la kirumi ambalo lilichukua pahali pa kanisa wa Ugiriki, ambalo lilikuwa nduli wa tatu. Nduli wa nne ilinuiwa kubadilisha nyakati na sheria.
Danieli 7:19-28 Basi nitajua ukweli wa nduli wa nne, ambaye alijitokeza kushinda wale wote, ambaye meno yake yalikuwa ya shaba, makucha yake kuwa ya brass, ambaye alirarua, kukunja vipande vipande na ku kanyaga mabaki miguu zake, na kwa pembe kumi ambazo zilikuwa kichwani mwake, na kingine ambayo ilijitokeza juu, ua zingine tatu zikaanguka hata kwa lile pembe pembe ambalo lilikuwa na macho na mdomo ambayo lilitema vitu vikuu vikuu. Ambaye sura yake ilikuwa bora kuliko wengine. Nikashikilia na pembe hilo hilo likazua vita na watakatifu wa Mungu mkuu. mpaka siku za kale ziliwadia, na hukumu kutolewa kwa watakatifu wa Mungu , na wakati ikafika ambayo watakatifu walirithi ufalme. Kwa hivyo akasema, Nduli wa nne ndiye atakuwa ufalme wa tatu katika dunia ambayo itajumuisha ufalme zote na itaangamiza dunia yote ataiangusha na ingine itazuka baada yao; na ata kuwa za aina nyingi kwa mwanzo na ita angamiza wafalme watatu. na ata nena mambo makubwa dhidi ya Mungu mkuu na atawaangamiza watakatifu wa Mungu aliyemkuu na kudhani kugeuza nyakati na sheria; na watawekwa mikononi mwake hadi wakati na nyakati za kutawanyika. Lakini hukumu utaketi na atachukulia uzito wake kuharibu na kuiangamiza hadi mwisho. Na ufalme na nguvu na ukuu wa ufalme chini ya mbingu yote, yatapewa watu wote watakatifu wa Mungu mkuu, ambaye ufalme wake unadumu miele, na watu wote watamtumikia na kumtii, kwa hivyo huu ndio mwisho wa mambo. Na kwangu Danieli, matendo yangu yaliniudhi, na utu wangu ukanibadilisha: Lakini niliweka mambo hayo moyoni. (KJV)
Kunayo katika muktadha huu wa Danieli vielelezo viwili ya kazi ya nduli. Wananuia kwanza kubadilisha nyakati na pili sheria. Kazi hiyo liliwekwa mikononi wao ili kushambaratisha watakatifu wa Mungu aliye mkuu kwa nyakati na nusu nyakati, ambayo ilikuwa miaka 1,260 ya kinabii. Nyakati hizo zilifika kilele chake kuanzia muaka 590 CE ambayo lilikuwa sheria ya ufalme wa kirumi na ulikaa hadi mwaka 1850 wakati ufalme huo ulisambaratika kutokana na vita vya Italia. Uongozi huo ulikuwa usambaratishwe na kuharibiwa hadi nyakati za mwisho. Hii inazidi sasa.
Tumeshikwa sana na kuhushishwa kwa biblia kwa hayo mambo. Mafunzo kuhusiana na maandishi haya yanajirudia lakini chanzo chao ni kutokuwa na uwezo wa kufahamu matendo ya Mungu kupitia masini wake na watumishi wake, maaahii. Dhana kwamba amri ya nne ya Mungu unaweza kuchukuliwa kama siyo ya kibibilia uliletwa na fikra za katoliki ambayo ni kama uvumi tu.
Matamshi hayo pia yaonyesha kutofahamu nafasi ya kanisa ya kirumi kulingana na nguvu yake ya kubadiliza sheria za Mungu kupitia uwezo wanaodai kupata kwa Kristo. Hii inatokana na sheria ya nafasi ya utatu ambayo inanuia kubadilisha Kristo na Mungu, na ndio sababu kuu wa sheria ya utatu kubuniwa huko kappadosia. vile tunavyo fahamu na vile Bacchiochi alivyosema, kubadilishwa kwa sabato hadi jumapili uko juu ya uwezo wa baraza la kanisa la katoliki kubadilisha siku ya kuomba kama vile ilivyoelezwa na amri za Mungu kwa kweli wa protestanti watakuwa na wakati Mgumu kwa madai ya katoliki ya kuwepo na ushahidi kwa kubadili siku ya sabato ambayo haiko kwenye biblia. Kujiegeza katika uwezo wa baraza la kanisa la katoliki katika matawi yake kama Orthodox, Roman na anglikana ni kizingiti kuu kwa wa protestanti wengi.
Martin Luther alikuwa mprotestanti kutoka ukatoliki wa Athanasia na kwa hivyo hakuwa mmoja wapo wa kanisa la Mungu. Kanisa lime shikilia sheria ya upako katika kuandikwa kwa biblia tangu ilipopewa na Kristo. Kanisa katika nyakati hizo hawakumchukulia Luther kama mmojawapo kwa kweli yeye na wapiganiaji wa protestanti walijitokeza kuwa shida kubwa katika kanisa la Mungu kwasababu mafunzo yake dhidi ya katoliki, haukufua dafu kupita mafunzo ya Agustino.
Mafunzo kwamba uchunguzi wa maandiko umebuniwa; ni uchunguzi wa kisasa yenye mizizi yake katika lile somo la kubuniwa kwa dini. Malumbano kwamba biblia ni kazi iliyo buniwa, unatoka kwenye maandiko ya kisasa ya kushtumu: The Interpreter’s Dictionary of the Bible (Abingdom, Nashville, 1962, vol. 1, art. Canon of the Old Testament, pp. 498f) inasema kwamba, hakuna kitabu ambayo ilichukuliwa kama neno la bwana kabla ya mwaka 621 BC kulingana na maandishi ya 2 wafalme mlango 22 na 23, maoni hayo ni kama inalingana na mafunzo katika kitabu cha sheria katika kanisa na Hilkia, mhubiri ambaye aliipa mfalme wao, ambayo pia, lilisababisha kubadilishwa kwa Josia. Kitabu hicho pia inaonyesha kwamba kitabu vya sheria havikufuatwa. Huu ni upumbavu mkubwa. Biblia inaeleza katika wafalme 22, 23 kiwango cha uabudu wa sanamu katika taifa hilo wahubiri walikuwa wanatolea sadaka Baal na Asherah na kanisa lika jaa miungu na sanamu. Na waume washerati walikuwa wameisha katika kanisa, na wanawake hapo wakashonea Ashera na phalluses (2 wafalme 23:7). Dhambi hizo ziliendelea katika katika nchi yote ya Yoda na watoto walikuwa wanatolewa kama sadaka kwa Mungu Molech katika eneo la Tofeth ilioko kwenye bonde la Ben hinnom (2 Wafalme 23:10) Maelezo haya yanaonekana wazi kana kwamba, sheria na maandiko haya tayari yalikuwa ni ya zamani na ziliwekwa ndani ya kanisa kwa usalama.
Umarufu wa kijumla ulitumbuika ndani ya uabudu wa sanamu isiyo kuwa ya kawaida. Mhubiri Hilkia alikuwa mtumishi mwaminifu ambaye alitaka kuhifadhi maandiko na kuzileta mikononi mwa yakobo.babadiliko ya Josia inajumuisha nyenzo mbalimbali za sheria ikiwemo kumbukumbu la torati, na kwa hivyo tunajua kwamba, wakati wa Josia, vitabu vya sheria vilikuwa vimekamilika.
Matokeo ya kisasa ambayo inakanusha kukamilishwa kwa mapema, vitabu vya sheria, pengine imeelezwa vizuri kwa maoni ya kitabu cha (intepreter’s dictionary of the bible p 500).
Maandiko za kale za waisraeli, kutoka nyakati za musa ama mbele yake, inajumuisha mashairi (mwanzo 4:22-24, kutoka 15:21, Num 21:17-18) na za sheria za janga (kutoka 21:12, 15-17; 22:19, lawi 20:10-13) ama kanani (kodi ya torati, kutoka 21:2 -11,18-22; 21:26-22:17; na tamaduni, za mazungumzo kutoka 23:12, 15-17; 22:29-30, 18-19)
Kati ya musa na Solomon, nyimbo za Dibora na mashairi mengine kama yale ya Daudi (Sam 1:12 -27; 3:33-34) yalitungwa, na hadithi za Adam na zile za wanasheria zilienezwa kwa mdomo. Uandishi wa insha ulianza nyakati za Solomon (975-935 BC) na zilitokea kwa zile hadithi za kubuniwa hadi uandishi wa historia yenye hekima (Hadithi za Daudi, yaliyoandikwa pengine na Anamaaza mwanawe Zadok) mashairi mazuri za nyakati hizo ni: (Mwanzo 49; Znuri 24:7-10).
Maandiko bora ya ufalme wa kaskazini (935–722) umehidadhiwa kwa udoni katika kashairi zingine (Num. 23:7-10; 18-24 Kumbukumbu 33, Zab 45) katika mabaki ya historia ya wafalme wa Israeli, hadithi za Elija na Elisha, katika stakabadhi za vitabu vya sheria, pia katika chanzo cha mwisho wa Joshua na wahukumu na unabii wa Hosea. Nyakati hizo tunakiachna na stakabadhi za “J” na matendo mengine za kiunabii (Amos, Isaya, Mika) hadithi ya ufalme wa kaskazini haikuwa jambo la busara. Nyakati hizo ulifikia kikono katika nyakati za Juda ikifuatana na kusambaratika kwa Yerusalemu 586BC hata hivyo ingali inajumuisha ushairi (Nah 1:10 ft) na mafumbo za kale kabisa.
Baada ya Yeremia, unabii ukaanza kupungua (afanin, Habakuk) lakini akaipa upako vitabu vya sheria (Kumbukumbu la Orati 5-25; 28) ambayo ilipatikana madhahahuni 621 BC. upande zingine za vitabu vya sheia na za hadithi zilizoandikwa kwa wakati huu ni za kiwango cha chini ikilinganishwa nay a zamani.
Kando na Ayubu na Isaye wa pili (Isa 40-55) karne ya sita unakosa kazi bora, Zaburi zingine, maumbo, na vitanu vya kuomboleza unaonyesha ushairi wengi ni mbaya wa nyakati hizo, Ezekieli, Hagai na Zakaria unadhichirisha upungufu wa unabii, kodi ya utakatifu (Lawi 17-26) pia unadhihitisha sheria za nyakati hizo.
Karne mawili yanatofuata, yana ukosefu wa ushahidi, nakala bora zaidi unapatikana, Nehemia, Ruth na Jona; kodi ya uhabiri (ca 450) na makala ya mwisho wa vitabu vya sheria (ca 400) ulichania sana ubanii (Isa 56-66; Obadia, Malaki, Joeli na maongezo katika vitabu vya unabii) ambayo katika mwisho wa nyakati hizo zilikuwa nyingi. Ushairi (Kumbukumbu 32, Kutoka 15:1-8, Nah 1:1-9, Hab 3:1, Sam 2:1-10, Zaburi na Mafumbo) ni za uwazi sana.
Katika karne za pili nay a tatu, ushairi bora katika nyimbo za Solomon, Ecclesiatis na Zaburi, insha nzuri katika Esta, Danieli ndiye anajitokeza kwa ubora zaidi kando na (Isa 24-27, Zech 9-14) na makala ya mwisho ya vitabu vya unabii (Isaye, Jeremia, Ezekieli na manabii wadogo) ca-200 15c BC unafikisha kifo cha unabii.
Sisitizo kwamba Jeremia aliupa upako kitabu cha sheria ni uongo mtupu. Inapaswa kuchukuliwa kwa uwazi kwamba, kazi ya Josia ya kutengeneza kanisa ulijumuisha nyenzo za sheria ambazo zilibebwa katika nakala zote ikiwewo Kumbukumbu la Torati.
Msimamo wa Bibilia ni upi? Ni nini Mungu anasema kupitia watumishi wake manabii.
Bibilia ni hewa ya Mungu (SGD 2315).
Maandko yote yalipewa upako na Mungu (2 Tim 3:16), Ayubu 32:8 unaonyesha na
upako wa Mungu. Uelewaji umepewa binadamu na Upako wa Mungu. Hawezi kuelewa
Bibilia ikiwa akili yako haijatunguliwa na maajibu za Mungu. Kwa viongozi
uelewaji wa maajabu za ufalme wa Mungu na mbingu (Mat 13:11, Lk 8:10) viongozi
kutoka batizo yao na wazee wao wamefanywa watumishi wa Mungu (1 Cor 4:1; 13:2)
soma karatasi The Mysteries of God
(No. 131).
Kristo alifundishwa kwmba mandiko hayawezi kuvunjwa (Johana 10:35). Lazima itimilishwe (Matendo 1:16) Kristo mwenywe alikuwa timilisho (Johana 13:18, 17:12, 28, 36-37; 20:9). Kristo alisema kwamba, hata nukata ya agano jipya utapitia kwenye sheria hadi yote yatahitimishwa (Mathayo 5:18; Lk 16:17). Sheria ya kifalme ni kulingana na maandiko (Jos 2:8, 23) na maandiko siyo kazi ya bure (Jos 4:5) Petero alisema kuhusu mandiko (1 Petero 2:6) na akashikilia unabii ama maandiko hayo ya kisiri hata kidogo (2 Petero 1:20).
Je, jambo hili linashiria kwamba bibilia iliandikwa na watu wengine? Ni lini kafunzo kwamba bibilia haukuandikwa na upako wa Mungu ulianza?
Tunafahamu kwamba kanuni katika agano la kale ulichukuliwa kana neno la Mungu hapo awali. Kuwekwa kwa mawe za sheria katika jahazi la agano la kuandikwa kwa shria, kando kando ya janazi, ilikuwa na maagizo yaliyofuatwa na Israeli na tayari zilikuwa na kale nyakati za Josia.
Watu wa kale walichukulia kama ukweli kwamba vitu vya mbingu, niliweza kujidhirikia mwanadamu (Kutoka 33:11, Illiad 1:93-218; Allgamesh Epic bk 6) Mungu pia lijishirishwa kupitia maono (1 Wafalme 22:19; 19-22, Isa 6, Ayubu 4:12-17) na ndoto kupitia (Mwanzo 28:12-15). Nafasi hii pia ilipewa wenyeji na watu wa zamani (Illiad 1:63; 11:5-15; Gudea Cylinder A, Cors i-vii). Tena zaidi sanamu iliongea kupitia watumishi wake, manabii wake. Juhudi hii pia ilifahamika kutoka Vergil. Kusali, kupitia njia ya kawaida ku[itia upako wa kiroho, ama wa kisasa ya kutumia uchawi pia ulitumiwa kujuwa anayotaka Mungu (1 Sam 26:6) na pia ya mwenyeji (Soma Cicero on Divination 11:26).
Kwa hivyo upako ulichukuliwa kwa mzaha na watu wa zamani lakini upako wa kiroho wa Jehova ama wa malaika wake ulitofautishwa (Kutoka 31:8). Jehova pia alitofautishwa na matabiri za mganga (1 Samuel 9:9) na pia utumiaji wa uchawi, uliokashifiwa katika, Kumbmbuku La Torati 18:9-12.
Katika aandiko la Canonica kutokana na asili ya wanabii na kulingana na ufalme, kuhani na waamini. Neno Unabii ulimaaniasha Aliyeingia kulingana na habari usio wa kawaida (Yeremia 20:7-9). Mtu wa kwanza katika Mimi ni Jeyovah (Amos 4:6-11; 5:21-24 etc). Katika Interpreter Dictionary of the Bible (p.501) inaonyesha kuwa nabii Amosi (c.750 BC) hakuwa na neon kutoka kwa Mungu mpaka karne tano na baadaye. Jukumu tofauti kulitokea na kuchukua kazi iliyo kuwa na upako kwa wakati huo, Mambo kama hayo hayana maana ya kuandikiwa katika kundi wa Mungu au katika mambo yake.
Walio pakiwa walijitokea kutoka canon wa Musa na kufikia Ezra na Nehemia (Jos. Apion I:viii; 2Esdras 14:44-46; cf.Ps 74:9; 1 Macc. 4:46; 9:27; 14:41; cf. Interp. Dict., p.501). Maandiko ya Apocrypal haykuwa na sehemu wa canon mpaka mwisho wa Rumi kuwazanya pamoja. Wayahudi ambao walikuwa canon walijulikana na kufungiwa kwa muda kutoka 90 CE (tazam Interp.Dict., p.514).
Agano la kale ulianza na historia ya nchi katika mwanzo na ukajipata kama kitabu cha sheria kutoka ndani (Kumbukumbu 10:5) hadi nje wa jahazi (Kumb 31:26).
Kanuni wa Hebrania yamejumuisha mipango
1) Sheria au Torah
(Mwanzo, Kutoka, Wa Lawi, Hesabu, Kumbukumb)
2) Manabii au Nebhiim
Joshua, Samueli, Wafalme (Manabii wa Zamani
Isaya, Yeremia, Ezekieli, Manabii kumi na wawili wadogo.
3) Maandishi au Ketubbhim
Ishairi, Zaburi, Fumbo, Ayubu
Maandiko tano: Nyimbo za Solomoni, Ruth, kuomboleza, Eklestiates, Esta
Unabii: Danieli
Hadithi: Ezra – Nehemia, 1-2Chr.
Katika Talmud (Baraita B.B 144) taratibu ni kama ifuatayo, vitabu vya sheria, manabii (Joshua, Hukumu, Samueli, Wafalme, Yeremia, Ezekieli, Isaye na manabii wadogo). Maandishi (Ruth, Zaburi, Ayub, Fumbo, Ekeleastes, Nyimbo za Solomon, Maombolezo, Danieli, Estha, Ezra [na nehemia] Chronicles.
Kwa taratibu zingine za undani soma, S. Singer, ed. The Jewish Encyclopedia III, 144. Kwa taratibu kwa LXX soma H.B Swete, Introduction to the Old Testament in Greek (1914), pp. 201–214 (cf. Interp.Dict., p.514).
Hizi vitabu za Agano za kale ziliitwa na
wayauudi Oracles wa Mungu (Theou Logia)(Aristeas 177). Philo maana hao
Divinely kuonyeshwa oracles (Legation to Caius 31 [II, 577, Mangey]). Alisema Musa
aliandika Pentateuch chini ya uongozi wa chaguliwa (Maisha ya Musa II.2 [II, 136, Mangey] III.23 [II, 163 Mangey]). Josephus calls
them decrees of God (Apion I, viii).
Hii inafuatia msimamo katika bibilia, kwamba ni neno la Mungu (Kutoka 20:1; 22; 21:1, Lawi 1:1; 4:1; 6:1; 8:1; Jere 1:1-2; Ezek 1:3).
Kitabu cha interpreters Dictionary of the bible, unashikilia kwamba makala ya mabadiliko ya Josia, kwamba ma abii waliamua ikiwa bibilia iliandikwa kw upako au la (2Wafalme 22:14-16) na waliindinishwa kuwa kanoni na wafalme na watu wao (Wafalme 23:2-3) ama kwa wachungaji na watu (Neh 10:28-29). Hii si ukweli Josia na watu wake walitubu dhambi zao walipoona nchi yao kitumbukia dhambi kuu. Walirudisha agano ambalo mababu za walitengeneza na Mungu chini ya kitabu cha kale cha sheria. Huu inafanya upumbavu dhana kwamba ulibuniwa na kwa hivyo, lazima waje na ushaidi zingine kando na maneno yake makavu ambayo ni ya ushaidi zingine kando na maneno yake makavu ambayo ni ya Kupotosha. Hakuna shaka kwamba ukanoni wa makala hayo ulikubaliwa ama kunishinishwa na wafalme wa watu lakini hiyo kaikuundaha dhana ya zamani (Zaburi 11). Majaribu ya ukanoni ulibebwa katika Isaya 8:20, kwamba lazima lambatane na shsria na ushuhudsa. Kwa hivyo hakuna kitu ambacho kinaweza kupewa upako ambayo haimbatani na sheria.
Wakuu na Ki-Rabii walishikilia kwamba sheria au Torah, pamoja na Toba, paradise (den) genanamu, ufalme wa utukufu kanisa la mbingu, na jina masini uliumbwa kabla ya dunia kitabu cha ushahidi ni Fumbo 8:22. Ujasiri unashikilia kuwa ni sawa na Torah Distinction in the Law (No. 96). Hii ni kuwezesha sheria iendelee kutoka uwepo wa Mungu. Sheria kwa hivyo inashikiliwa kutanguliwa uumbaji. Imeunganishwa na shida ambazo tunaona pamoja na mwenyeji aliyepotoka, na uhusiano wake na kanisa la mbinguni. Edeni ama paradise ni kitu cha kiroho ama kinachoonekana jinsi tulivyo tazama Adam.
Kwa Ki- Yuda, Torah (sheria) ndio mwili wa ndani wa kanoni. Hakuna kunachijirishwa kupitia manabii ambayo haiku kwenye Torah. Hii ndiye msimano iliyoelezwa na Kristo katika Matayo 22:40.
Mat 22:38-40 Hii ndio umri kwanza tena kuu zaidi. Na wa pili ni kama hiyo tu, utapenda jirani wako jinsi unavyojipenda kwa hizi amri mbili weka sheria zote na manabii.
Kwa Hivyo amri kumi kuu, yana jumuisha amri zote kumi. Znakuwa ngome kuu ya imani. Amri kumi zilikuwa kama ratili ambayo sheria inapewa na kuendelezwa. Sheria zote na ushuhuda ni kulingana na hizi msimano na hakuwezi kuwa na kutoelewana. Hakuna nabii anayeweza kunena kinyume nao (Isa 8:20). Mfalme alikuwa akitenda juhudi ya korti kuu (2 Sam 15:2-6), lakini yeye mwenyewe hakuna katika sheria iliyokuwa ikilinda (2 Sam Chs 11-12).
Utamaduni (B.B 14b-14a) unaashiria majukumu
makuu katika ukanoni kwa Hezekia na wanafunzi wake katika kutayarishwa kwa
Isaya, fumbo, nyimbo za Solomon na Ekelesiastes wazee wa madhahabu makuu
wamepongenzwa kwa kutayarisha, Ezekile, manabii kumi na mawili, Danieli, na
Esta. Nehemia amechangia kuandika agano la kale ambayo pia imeshiriwa kwa Judas
Maccbeus (2 Macc 2:14) na pia kwa Ezra (2 Esdr 14). Inasingiziwa kwamba, agano
jipya yote nehemia katika utawala wa Artaxerzes (Jos.Apion I. viii)
(incorrectly held as Artaxerxes I, e.g. by Interp.
Dict. – The Sign of Jonah and the History of the Reconstruction of the
Temple (No. 13). Pia anachukuliwa katika nyakati za Alexandria the
Great (Seder Olam Rabba 30). Ambapo
manabii wa mwisho, walikuwa Haggal, Zakaria na Malaki. Ezra na Nehemia walikuwa
wasimamizi wa Mungu. Nehemia alikuw wa kwanza kuchaguliwa na Danieli 9:25
(tazam nakala The Sign of Jonah and
the history of the Reconstruction of the Temple (No. 13).
Kwa Nehemia na ezra,
maandiko kwa mwisho na kwa usawa kuwekwa kwakiwango na wakati ikaendelea hadi
wiki wa saba wa mwaka inkaisha kwa maharibio wa hekalu na kuachiliwa wa yuda na
uongozi wake. Kimila inasema kuwa Roho mtakatifu ilitoka kwa Yuda wakati huo wa
Ezra/ Nehemia na unabii ikaisha. Kwa hivyo hili mjaribio kupunguza uwezo wa
Yohana ubatizaji na Mesaya na Wanafunzi. Lakini kwa kufikiria kuwa Yuda haikuwa
na Mungu bali lupitia Ubatisaji, na kanisa kuota kwa Kristo, hii ni ukweli.
Hakuamuliwa kufunga
kanoni kwa wakati wote ilitengenezwa 90 CE (Interp. Dict., ibid., p. 514),
mwaka ishirini baada ya kuvunjwa wa Hwkalu kwa wachuliwa wa Yuda na kazi yake
wa orakoli wa Mungu na Mungu akamuonyesha Unabii kupitia kanisa ambayo yeys
amekuwa akifanya na wanafunzi na kufanya na Yohan wakati wa 9 5CE.
Agano za kale
iluchukuliwa vitubu yenye dhahabu na watu wa Yuda (Philo On Flight na Finding
I. 4[546]; Kwa Sheria Muhimu 39, ss 214 [243]; I Clem. 45.2; 53:1) na wanafunzi
na Kanisa hakika kuwa juu hadi wakati wa Origen (Jn 2:22; Wa 8:32; 2Tim 3:16
etc. Interp. Dict., p 499). Paulo aliwambia kuwa Takatifu na binaa
(Warum 1:2; 2Tim.3:15). Hizi pia zilikuwa andiko (Yn. 5:47). Hiki ni kilicho
kubaliwa na wana Israeli wote na Kanisa hadi kushabaratika wa Wanafunzi wakati
wa Origen (angalia pai Philo Maisha ya Musa 2.51 ss 290,292 [179]; Josephus
Antiq. I. iii. 13; X iv.210, etc.). Ni Ngumu kidogo na kubaliwa na Kanisa kama
kitabu ilikuwa (Mk.12:26; Lk 3:4; 4:17; 20:42; Wa 7:24; Waga 3:10 etc, angalia
pia I Clem 43:1; M. Yadaim 3.2,5; 4:6; Shab 16:1; Er. 10:3; etc,).
Wayaudi badaye
waliwaita ndiko hilo ambaye ina somwa kuwa (cf. Koran) pia iliye andikwa Kitabu
pi vitabu ishirini na wannee. Bibilia wa Hibrania inaesabu Vitu ishirini na
wane na kuweka kiwango tatu. Amri, WanaBii. Na andiko, kama tulivyo ona. Hizi
viwango tatu ilikubaliwa na iliandikwa kwa Ugiriki katika kazi ya Ecclesiatiki
(c. 132 CE) kam Amri na WanaBii na vitabu vingine za Baba zetu.
Bibilia ya wakristo
inafuata Ugriki na Latini kuwekwa vitabu 39 (kuesabu Samueli, wafalme,
kronikali na Ezra-Nehemia kama vitu mbili na vidogo wa Nabii kama vitabu kumi
na mbili. Kazi ya Apocryphs hsikujumuhishwa au kubaliwa na Kanis ya zamani hadi
uongozi ambaye walikubali Athanasians.
Kanoni ya Agano Mpya
Maandiko la Agano jipya ziliwekwa pamoja na Kanisa kama msanyiko wa maneno wa wanafunzi kuhusu kilichowekwa na kujabika na Mungu. Hiki kiliongezwa kwa Agano la kale kuwekwa kitu tuna jua kama Bibilia. Hiki kili kuwa kwa maaoni wa Agano la kale na Amri ya Mungu hili ni kusema kuwa ni jukumu la Mungu kama vile ilitazamwa na watunishi wake Wanabii.
Davis alisema kwa amoni yake wa swali wa Amri kwa Agano jipya (Interp. Dict., Vol.3, p. 102) kuwa:
Wote wansisitiza kwamba sheria, jinsi invyodhehirishwa utakatifu wa Mungu, unabakia sawa, kubadilishwa na kwa wakazi huo huo umekabiliwa na madai ya upendo.
Historia ya kanoni ya Bibilia kupatikana katika kazi ya Askofu Wastcoh, katika historia ya kanoni. Madai kwamba kanisa iliweza kutazama agano jipya kama kielezo cha maandiko na ufunuo wa Mungu. ulishikiliwa uwezo pamoja na agano la kale, lakini, hawakupotosha wala kutoa chochote. Makanisa mengine ya Ki- Orthodox walikuja kushikilia msimamo hayo, lakini hakuazika wala kupewa usaidizi wowote na kanisa ya zamani.
Madai yametolwa na na baadhi ya wakatoliki wa sasa, kwamba baraza la konstantinople ulizindua bibilia kutoka na juhudi zao na kwamba, kabla ya wakati huo, haukuweko maandiko ya bibilia. Huu ni uongo mtupu. Baraza la uongo konstantinople la watu 642 umeangaziwa chini kwa muktadha.
Makanisa za siku hizi wamekubaliwa kwa kauli moja kuhusu ni nini kinachouonda kanoni ya Agano jipya, katika vitabu vyake vyoke ishirini, na kwamba imechukulia mara kwa mara kupitia njama Fulani ambayo yamekumba kanisa la Ki-orthodox tangu karne ya tano, na kuingia katika karne ya tida na pia katika mabadiliklo ya protestant. Makanisa ya Mungu pia yamekubaliwa kuhusu yaiono katika agano jipya yapatayo miaka elfu mbili.
Nakala ya the Interpreters Dictionary of the Bible kuhusu ukanoni Uk 520 inasema: ina sema:
Hii uelewano ulifikiwa kikamilifu katika mwisho wa karne ya pili, kwani kwa nyakati hiyo, vitabu vine vya inili, na matendo, vitabu vya barua za Paulo, na mawili kati ya mabarua za Katiliki (Yohana 1 Petero) yalichukuliwa ka,a maandiko takatifu katika kila upande wa kanisa. Pia ilibaki katika ukindo idadi ya vitabu ambavy ukanoni yao bado ilikuwa na shaka. Wa-Hibrania, James 2,3 Yohana, 2 Petero, Yuda na Ufunuoa, yalielekea kukubaliwa, nap engine idadi kubwa ya maandihi mengine ya Ki-Kristo, ulijivunia ukanono lakini ikashindwa kuendeleza maimamo yao. Katika mwisho wa karne ya nne, kiwango cha makusanyiko hayo yali lazimishwa katika Ugiriki na Latini na pia makanisa za Roma.
Makanon wa Kisiria, bado wameshikilia misimano tofauti tofauti, lakini haya yaliegemea kwa ukubwa katika Peshitta, na kwa ujumla Philoxenia (508) na Harkleiana (616) pia marudia ya sira NT (Soma versons anccent 4). Lazima isemwe kwamba haya matudi, hayakusambaratisha Peshiha katika sehemu kubwa ya kanisa ya Siria ambayo pia inakithiri kiwango cha Ukanon wa NT kwa vitabu ishirini na mbili, kukataa ufunuo, ka vitabu vine vya Ki-Katoliki (2, 3 Yohana, 2 Petero na Yuda).Kanon wa Ethiopia, katika upande mwingine ulirevushwa na kujumuisha vitabu vingine vinane; na Gothic NT, haikujumisha ufunuo. Lakini makanisa haya matatu, yalitenganishwa na mwili wa kanisa katoliki na tofauti ambazo zilikuwa tu kuhusu, kiwango cha Kanon.
Changuzo, Peshita hajawekwa mbele ya karne ya tano, na amechukuliwa, ya kipkee, kutokea makabila za mwanzo za Siria ambayo ilitolea. Tofauti kati ya vikundi hivi viwili za barua za mitume, ni kidini na kisiasa na tutatazama ni kwa nini.
Hebu sasa tungunguze taratibu ya kuendeleza kanoni ya agano jipya. Kwa kufanya hivyo, tutafuata, njia ya zamani ya utengano huo kwa kufanya majadiliano zingine zitititike hakuacha mandishi yoyote. Maneno yake yalitayasishwa na wanafunzi wake. Taratibu huu, ulichukua miaka mingi, lakini pengine siyo mengi kama wasomi wa kisasa watachukuliwa kanoni ilingawanywa katika makundi matatu
1) Miaka za Ki-Apostoliki (70CE)
a) Maandiko kabla ya kunguka kwa kanisa
b) Maandiko baada ya kuanguka kwa kanisa
2) Mkusanyiko wa kanoni (70CE – 150CE).
a) Mkusanyiko wa barua za Paulo
b) maandiko ya injili
i) Chanzo cha vitabu vya na mengine
ii) Chanzo cha vitabu vya injili vinne
iii) Injili kinyume na ukanoni
c) Maandishi mengine za Ki-Kiikristo wakati huo
i) Maandiko yaliyogeuka kuwa Ki-Kinoni
ii) maandiko ambayo hatimaye yalikataliwa
3) Chanzo cha kanoni wa agano jipya (150 – 200CE)
a) Ukuaji wa umaafuru wa wanafunzi
b) Washahidi wa kwanza wa injili
c) Kanoni wa Ki-Marcion
d) Athari ya mgogoro na Gnosticism na shida zingine
e) Uombaji msamaha na wanakondoo wa Kristo waliowawa (165 – 180CE)
f) Kanoni wa zamani wa katoliki
g) Athari ya kulewa kwa Codex
h) Kuidhinishwa kwa Kanon C 200 – 400CE).
4. Kuwekwa wa
kanuni (c.200-400 CE)
a) Chanzo
b) Dionysius ya Ki-Alexandia
c) Hukumu chini ya sheria ya Diocletian
d) Matendo ya kaesaria
e) Makala mengine za Ki-Giriki za karne ya nne
f) Wandishi wa hatini wa karne ya tatu na nne
g) Ukuaji wa kanon katika Siria mwaka (161 CE)
Hii wakati ulikuwa wa utoto katika kanisa. Judea bado ilikuwa chini ya hukumu kutokea wiki sabini Danieli 9:25-27.
Daniel 9:25-27 Fahamu kwamba, kuendelea mbele kwa habari ya kurudhisha na jenga Jerusalemu kwa kukuja kwa aliyapewa upako mwakwa wa mfalme, yatakuwepo wiki saba. Nayo kwa wiki sitini na nne, aliyepewa upako atakatwa nje, na hata kuwa na chochote, na watu wa mwanwe mfalme atakayekuja, taharibu jiji na vitu vyake mwisho wake utakuja na mafuriko, na pia kutakuweko na vita, taabu na dhiki. Na atatengeneza agano na watu wengi kwa wiki mmoja na kwa nusu ya wiki atakomesha sadaka, na matokeo, na kwa mahawa ya utakatifu atakujia mmoja ambaye atazikomesha hadi ukumu itolewe kwa maovu.
Huku ya Judea, haikuwa kamilifu na uaribifu wa kanisa haikuwa imefanyika. Nehemia alikuw wa kwanza kupewa upako baada ya wiki saba za mwaka. Marudiano chini ya Alexandria II, uliona kanoni kumaliziwa na kurusiwa na ukuta wa Jerusalemu kujengwa upya. Wa pili kupewa upako ulikuwa kutokea mwisho wa 63 CE na wakati wa mwisho ulikuwa uishe na kanisa kutokea 70 CE. Huu ulianza kanoni wa agano jipya.
Kanisa ya mwanzoni, kama tulivyo tazama, vitabu vya Mungu ambavyo vilikuwa takatifu (Rom 3:2). Hizi kazi ziliachiwa hadi kukataliwa kwao na kutawanywa 70CE. Hii ilkuwa wake wa kulinfa maneno ya Mungu ambaye mwanzoni ilichiwa Judea (Rom 3:2) na pili kwa kupanuliwa kwa kanisa, tumeona maandishi za mwisho, zilikuwa tofauti na haya makala za mwanzo mwanzo kwa sababu ya juhudi ya heresiese, ambayo iliingia kanisa kama vile Ki-Madali na Gnostiasis. Kwa hivyo nyakati za mwanzo kabla ya 70 CE haikushugulika na maswali sawa ambayo yameshughulikiwa mwisho. Hii sababu ilipelekea uasi kwa maandiko za Ki-Hereti, kuhusu sheria ya wapinga Kristo kabla ingekubaliwa na ma kanon za Ki- Orthodox.
Msingi wa kanisa ya mwanzo ilikuwa agano la kale. Yesu alishilikilia kwamba agano la kale na maandiko yake hayawezi kuvunjiliwa na kwamba yalisistiza matakwa ya Mungu.
Agano la kale limegawanywa kama chanzo cha mamlka pia. Makala ya Hibrania ndio chanzo cha historia ya Kristo na wanafunzi wake. Hii pia inashikilia kwamba makanisa ya mwanzo za wanafunzi, yangehusisha Aramaic. Agano jipya lingine lilioanfikwa na Paulo, Barnabas, Filipo na wengine wanmukuu LXX, na kazi hii kwa ujumla ingalingana tu na maandishi ya agano jipya. Pengine hii ilitumiwa Ku-rahisisha tafsiri, na kitabu cha the Interpreter’s Dictionary of the Bible (p. 521) unachukuliwa bila umuhimu wowote. Maoni haya ni muniani kwa sababu inaonyesha kwamba uelewaji wa maswala yanayotolewa na kanisa ya mwanzo hayakuwa na msimano, na vile vile juhudi za waandishi wa karne ya kumi na mbili, na kwa hivyo hawakuweza kuelewa maneno ya uongozi wa makanisa za nje. Ma kanoni wa agano la kale ndio msingi wa imani. Msimamo huu umekuwa katika kanisa la mwanzo kwa kweli, ikiwa mtu hakushikilia jambo hilo, hakuweza kukubaliwa kama Mkristo.
Pia kwa kuongeza kwa maandishi hayo, tunayo ushahidi wa kazi ya Apocryphal na preudepigaphical, yakiashirikiwa na waandishi wa kanisa la zamani kunga mkono msimano wao. Hii ni jambo tutakalo angazia hapa chini.
Twaweza kumalizia kwa msimano huu kwamba kanisa asili ilikuwa ni kanisa ambalo mzizi yake ilikuwa ni kanoni abali lilishikilia ilikuwa mehidhinishwa na kuonyesha matakwa ya Mungu, iliyoelezwa kwenye unabii, ushairi na sheria.
Kanisa hata hivyo ina dhana tofauti ambayo ilimfanya kukataa dini ya Juda na pia kukataliwa nayo. Dhana ya kwanza ni kwamba, ilimwekwa roho mtakatifu na mambo za kiroho juu ya sababu za wazi ambazo zilisambaratisha dini ya Yuda. Pili, ilikataa tamaduni ya kupinga ambalo lilikuwa nyenzo kuu katika kulemaza mambo za wazi juu ya mpango rahisi wa uovu wa Mungu, ambayo aliidhinishwa kutpia sheria zake na sabato pamoja na siku zake takatifu. Alianzisha mpango hii ili kudhirihisha mpango wake kwa wanadamu ambayo ilifanya kupita aliyowachagua. Na kama vile Elohim wa Israeli, ambeye alikuwa malaika mkuu wa agano la kale Mesia wa agano jipya, walivhukuliwa kupewa upako kwa njia tofauti na mmoja tena Roho mtakatifu ambaye alipewa kupitia uwezo wa Bwana (wa Korintho 12:4-11).
Hawa wazee, hawukwa watumwa na maneno
yaliyoandikwa, waliinuliwa na sheria takatifu wa kuinuliwa (Jas 1:25, soma
karatasi Distintion in the Law (No.
96). Walikataa, tamadnuni ambazo zilipotosha neno la Mungu (Mariko
7:13). Kristo alipiga marufuku kupitia mwili wake, sheria za amri na kurithi
ambayo ilitenga wakafiki na Wa-Israeli kupita kifo chake. Aliwafanya wote
watakafifu wake na watoto wa Mungu, ili wote waweze kuwa nyumba ya Mungu kwa
roho yao (Efeso 2:14-122). Hiyo kwa kweli nidyo ilikuwa kanisa la agano Jipya –
makaazi, ya Mungu katika roho na chini ya amani (Rom 6:14). Tazama kwamba,
kutokana na sheria za agano la kale ni tazamo potovu wa kanisa, ma maandiko ya
Paulo (soma karatasi The Works of the Law Text- or MMT (No. 104). Kanisa
lilijitazama kama kuwa huru kutokana na tamaduni ya kutoa sadaka nab ado
lilishikilia mpango wa wokovu na ikaweka sheria za chakula, sabato, mwezi mpya
na sherehe na siku kuu, ilikuwa hata hivyo huru kutoka na vikwazo na paulo
akawaunga mkono kwamba binadamu yeyote asiwahukumu, kufuatana na maswali za
chakula au kinywaji, sabato, miezi mapya na sherehe (Kolosai 2:16) kuwa ndio
kivuli ya mamba nayokuja. Kanoni kwa hivyo ailitazamwa kama alama ya mpango
iliyokuwa mkuu kuliko vitu vya wazi vilivyo jidhirihisha. Mgawanyiko katika
kanisa na kukataliwa kwa agano la kale na kanisa la Orthodox, inaonyesha wazi
vile kanisa imeshindwa kuelewa jukumu aliopewa na maandiko na jinsi Mungu
anavyotenda kazi. Jukumu kuu la kanisa ilikuwa ufunuo wa maandiko kama vile
ilivyodhihirishwa kwa kuteswa kwa Kristo na ufalme wake ulofuata (1 Petero
1:11, Lk 15:24; 25:27). Hii ilikuwa
chanzo cha taabu ambayo kanon alipata kwa sehemu zingine katika kitabu chake
cha Wa-Hibrania. Makala haya yalibeba habari za agano la kale kuhusu Kristo
kama Elohim na Mesia kutoka kwa zaburi (Zab 45:6-7; Heb 1:8-9; Zach 12:7-8).
Misemo ya Yesu Kristo yalikuwa kielelezo katika kanisa ya kale (Matendo 20:35). Haya maelezoyalikuwa tu tauti sana na kilicho katika ukristo wa kisasa. Wana tangamana na kutafsiri agalo la kale.
Lakini hakuna pahali ambapo wazi puuza. Misemo ya Masia yalichukuliwa takatifu. Vitabu vya injili vilikuwa misemo matakatifu. Yaliandikwa na wale ambao walijihusisha na Kristo ama warithi wake wa karibu, mfano luka. Maandiko za mitume kabla ya kusambaratika kwa kanisa ni barua za Paulo kwa mitume, wa Rumi, Korintho, Galatia, Efeso, Kolosai, Thesalonika, Timotheo, tito, Filemon, Hibrania, Jakobo, 1 Perto, 1 Yohana.
Barua mbili za timotheo na moja ya Tito, imesuikiliwa kuwa ni marudio ya maandiko ya asili. Hii ni kwa sababu Paulo hatumii matumishi yake kama awali (kuhusu uhuru kutoka kwa sheria, umoja wa Kristo, nguvu na washahidi wa Kristo). Matumishi wa neno imani ina maana ingine tofauti nay a hivyo. Hii inaasuria mahadiliko ya mazingata yake na kwa hivyo; maneno na jinsi anavyo fikiri. Inawezekana pia kwamba ujumbe katika wa Galatia na Wa-Kolosai, haikueleweka vizuri na wasomi wa kisasa kama inavyo ji dhirihisha (The Works of the Law Text-or MMT No.104). Kwa vile hawaku fahamu Paulo katika hizo makala walichukuliwa kwamba ujumbe katika timotheo, ni tofauti na makala mengine yaliyokuwa hayajachapishwa na imeitumia kupambana na mambo yanayo dhuru kanisa baada ya kifo cha Paulo.
Yananuiwa kwamba yametolewa chini ya jina ya Paulo, kukumbana na changamoto ya upinzani kwa wa kati huo. Wa 150 CE. Makusanyiko ya barua za Paulo ilianza mnamo mwisho wa karne ya kwanzo na kukubaliwa. Kwao uliandamana na kujumuishwa kwao kwa mabarua. Kanuni za Marcion, haikuzibeba na pia haziko kwenye maandoko za kwanza za barua za Paulo (p 46) (c200).
Hali hii pia umeangaziwa kwa 2 petro. Ukweli ni kwamba wasomi wa kisasa bado wameambatana na dhana ya zamani kama walivyokuwa nayo wafuazi wa Gnostic. Na ufahamu wa kitabu cha Misgat ha-torah au Mmt ulipotezwa mpaka ilichimbuliwa katika vitabu vya dead sea.
Wa Hibrania inachukuliwa na wasomi wa leo kuwa ni kazi Paulo. Baraza lao imehidunisha Paulo ndiye alikuwa mwandishi wake, ingawa hakumaliza.
Katika mashule ya alexzandria, ilipewa nafasi katika barua za Paulo kabla ya mwisho wa karne ya pili na kwa Beatty papyrus (p46) inachulikuwa nafasi ya pili punde baada ya Wa-Rumi, lakini kwa magharibi, ingawa imetumiwa kwa urefu katika 1 Clement (c 95) na sheria ngumu ya Tertullian, ambayo aliishariria Barnabas, haikupewa uzito mkubwa hadi mwisho wa karne ya nne (Interpreter’s Dic. ibid.).
Shida ambazo zilibuka na Wa-Hibrania na kwamba Paulo, hakuimaliza kitabu cha Wa-Hibrania. Sababu kuu ni kama imedadiliwa hapo awali. Ilitumiwa kwa mapana kutokea 95 CE na inajitokeza kando ya Wa-Rumi katika taratibu ya mandishi ya zamani. Ni vipi sasa iliweza kupewa uzito mkubwa hivyo kasha baadaye kukataliwa? Sababu ni kwamba ujumbe huo haikufahamisha Wa-Modalisti na Wa-Gnosti. Haikuwa mpaka nafasi ya Kristo ilitolewa kwenye baraza la Nicaea na Constantipole haingekuwa salama kikidhinisha kuwa kanoni. Ni makala yenye ugumu kwa Wa – Modalisti, Gnostiki na warimi wao, Wa-Trinitaro. Njama kuu yaw a Gnostiki, ilikuwa ni kuangamiza sheria za agalo la kale na njama hili likaathiriwa na maandishi katika Wa-Hibrania, Yakobo, Yuda na maandishi ya Yohana na Petero.Kwa sababu hii, waliwekewa vikwazo kwa sehemun zote ambazo wa Madalisti / Gnostia walitawala. Shida na Ma kanoni wa agano jipya ni kielelezo mashaka za wakristo wa zamani
Barua ya James imeashiriwa na wasomi wa sasa kwamba imeandikwa na Mkristo wa ki Yuda ambaye aliiandika kulingana na filosufia na maandiko ya Ki-Heleniati. Madai kwa mtu kama huyu, mzizi wake ni kwamba, barua hiyo imo kwenye mfano ya makabila nyingi ifuatana na ule mfano hakahusishwa kwani hakuwa Mhibrania na wala hakufahamu tamaduni za Wa-Stoiki. Kwa kiwango chochote, ilikuwa imekosekana na, ma Kanon wa kale. Njama hiyo aliambatana kwa ukubwa kwa mteteo wa sheria ambayo wa Gnostiki walikuwa wanataka itolewe katika maandishi ya Paulo kwa hivyo James kwa usawa. Kwa hivyo inavamiwa kama kitu cha kupotosha. Haija angaziwa kwenye maandiko za Ki – Kristo hali karne ya tatu (Interp. Dict., ibid).
Maoni hayo yanaweza kuonekana kwenye maandishi haya katika kitabu cha Interpreter’s Dictionary of the Bible:
1Petro ni kazi ndefu iliochapishwa bara Asia, ingawa imechukuliwa kutoka Roma, mwanzo wa karne ya pili. Imetumiwa na Polycarp na wana kanisa mengine ya washariki na haikupata unaarufu huko Roma na magaribi mpaka hapo baadaye. Yohana I una uhusiano wa karibu na injili nne na inaweza kuwa na mwandishi mmoja, ikilingana na vile ilikubaliwa na watu wa zamani. Barua zingine madogo kama (Jude, II perto, II, II Yohana) hayakutumiwa kwa ukubwa na ukanoni yao ilibakia na shaka katika makanisa ya Ugiriki mwisho wa karne ya nne (ibid.).
Sababu ya msimamo kuu kuwa hivyo na wezi. Wafuasi walikuwa wamekufa wakati polcarp alikuwa anaandika. Polycarp alikuwa mfuasi wa yohana. Alikuwa mfuasi mwenye nguvu sana kwa nyakati hizo. Aliwafundisha misheni ya Lyon ambayo irenaeus alikuwa mmoja wao. Irenaeus alikuwa mmoja wao. Irenaeus alituma ripoti kwa smyrne na wala sio kwa Roma.
Jambo hili lilikuwa kitendawili. Baina ya Roma na upande wa mashariki kwa ujumla. Kutokea kuanguka kwa kanisa. Makanuni yalianza kukusanywa kutoka kwa barua za kanisa lakini pia matatizo mapya katika kanisa yalitaji maandishi mapya. Yohana alikumbwa na changamoto kuu kuhusiana na kichwa cha Bwana. Wa dhene za Trinity, wamodalisti, walikuwa manengia kanisa na kusambulisha mabadiliko makubwa ambayo Yohana anaeleza kama sheria ya wapinga – Kristo. Mwanzo tofauti hiyo ilithiri maandishi ya Johana 1 katika 4:1-2 maandiko asili yanaeleza hiyo kama ifuatayo.
Sasa fahamu roho wa Mungu, kila roho naye kti Yesu Kristo aliyekuja na mwili ni Mungu, na kila roho ambayo atatenganisha Yesu siyo wa Mungu bali ni ya wapinga Kristo (imetolewa kwenye Irenaeus ch 16:8) (ANF, Vol. 1, p. 443).
Mwana – historia Socrates anasema (VII, 32,
p 381) kwamba, mapito hayo yalikorofwa na wale walionuia kulenga ubinadamu wa Yesu Kristo na uroho wake.
Tunakumbwa sasa na changamoto ya imani ya zamani, kusisitiza kwamba Kristo hakufariki na kwamba alikuwa kichwa cha Mungu ambayo haiwezi kufa. Hii ilishilikiwa na wa – modalisti ambao waliandika kwamba Baba, mwana na Roho Mtakatifu walikuwa kitu komoja lakini iadhirihika kwa utatu. Hii tena ilikuja kukatabalika kuwa vitu vitatu tofauti katika kichwa cha Mungu ambayo kulingana na Constantinople ulizidishwa na jukumu la roho mtakatifu haikuwa imekubaliwa jinsi athanasius alivyotajia. Hata hivyo kwa kiwango hii ya wapema, majadiliano bado yalikuwa mbichi.
Kitabu cha Yohana lazima kilikuwa ki kataliwe kama vitabu zinginee. Maandishi katika Yohana 1 ni sawa na injili ya Yohana na ingawa Yohana hatumii jina lake kamili, mbinu yake katika injili. Kitabu cha Yohana 1 imaamnika kwamba iliandikwa mwisho mwisho wa karne la kwanza ambayo kwa kweli ni wakati Yohana alienda ukumbini huko patmos. Yohana 1 inaonekana kama maandamano katika injili na inakubaliwa kuelekezwa wa Gnostiki ambao walikuwa wanapinga injili.
Yohana 2 unadaliwa kutoka kwa kalamu sama na ya mwandishi wa injili na Yohana 1. Tofauti na Yohana ambayo ilikuwa ni barua ya wazi, nakala hii iliandikwa kanisa mmja ambayo pengine ni Asia.
Iliandikwa pia kuelekea mwisho wa karne ya kwanza yaani mwisho wa maisha ya Yohana. Yohana 3 ineanlikiwa mtu mmoja. Kikundi hafifu cha kanisa hapa inaonyesha kwamba inaweza kuwa imefanyika kwanzo katika historian na nafasi yake kama Yohana 3 bila shaka inatitririka kutoka umuhimu wabarua tangulizi.2
Kitabu cha Jude, inanuiwa kuandikwa na Jude nduguye James na wa Kristo mnamo mwaka wa 80 CE. James aliuwawa mwaka wa 62/63 CE huko Yerusalemu na Jude akachukua mahali pake. Hii inaonekana kuzalishwa na jukumu la familia ya Kristo katika makanisa ya Judea kwa mda Fulani. Uhuru wa Petero 2 juu ya Jude inapewa kama sababu ya uandishi wa 2 Petero katika wanafunzi wake. Uhusiano baina ya 2 Petero 2:1-8 na Jude 4-16 ina usawa wa kuashiria matendo ya Mungu, kuna shaka kidogo kwamba ujumbe huu ungebuniwa na kutemwa na wafuasi katika upande zote. Hii ina okosefu wa kipekee kuashria waandishi wengine. Hata ikuwe kwamba upako haujasambaratishwa kupitia wanafunzi wa Kristo Polycarp alikuwa mwanafunzi wa Yohana na msimamo wake kuhusu shaka la pasaka ilikuwa sawa.
Kitabu cha Interpreter’s Dictionary of the Bible, unaashiria kazi ya Edgar J. goodspread ambaye anajaribu kuonyesha kwamba mwandishi wa Efeso hakuwa Paulo lakini alikuwa tena mkusanyaji wa mchapishaji wa barua za Paulo, akitumia Efeso kama kiegezo cha kazi yake (soma p. 522) inasemekana kuwa ni onesimus ambaye ilikuwa mtumwa kwa wakati moja. Hiyo Onesimus anatambuliwa na wengine kama askofu wa Antioch miaka hamsini baadaye.
Petero 2 imeashiriwa kuogomea upande mwingine kwa sababu ya ujumbe wake. Ina jukumu mbili:
1. Kusisitiza imani katika kurudi kwa Kristo na
2. Kuonya dhidi ya waalimu wa uongo
Katika makala haya, anasisitiza ushahidi ya wafuasi kama mzizi ya imani ya kanisa. Anafanya hii kwa kuashiria unabii wa agano la kale. Anaeleza kwa nini kurudi kwa Yesu siyo uongo bali umechelewesha na upande wa Mungu. Hii ilishatahili kwa vile walime wauongo walikuwa wanapotosha kanisa mwa kuingiza wafunzo yao wenyewe (1 Petero 2:2, 10:13-14). Hapa dhana la tunia kuingia dhiki na viongozi kupona kama vile Lut, inakuwa na ukingo wa uaribifu ambayo haikukunakiliwa na kijiji kama vile inavyokubaliwa sasa.
Barua hilo lilishikiwa katika nyakati za kale na kwa sasa inakunaliwa na wengine (mfano Oxford Annotated RSV) kama vile siyo kazi ya Petero. Wasomi wameshikila kwamba:
Inalingana na barua ya Jude (inganisha 2:1-8 na Joel 4-16) na mwandishi anaashiria barua zote za Paulo (3:15) kwa njia kwamba hazikusanywa tu kwenye makundi bali kwamba zimechukuliwa sawa na ‘maandiko mengine’ – hali ambayo haiku kuwepo kwenye maisha ya Petero. Wasomi wengi wanachukulia barua hiyo kama kazi ya mmoja ambaye alihusika kindani na Petero na aliyechapisha chini ya jina la kiongozi wake katika karne ya pili. Katika kiwango hichi, maoni yafuatayo lazima yatiliwe mkazo Kwa kiwango Fulani uandishi wa kubuni ulikuwa umekubaliwa sana. Kwa hivyo matumishi ya jina la mwandishi katika kusisitiza mafunzo yake, haikuchukuliwa kama uongo, lakini kwa njia tu ya kukumbusha kanisa kuhusualilochopokea kutoka kwa Mungu kupitia mitumeUwezo wa agano jipya haijashikana na uandishi wa binadamy, lakini kwa umuhimu wao, ambayo kanisa, chini ya uchunguzi war oho mtakatifu, imekubali kama barua ya Petero, ilijumuisha katika kanuni ya mandiko ya kale (idib).
Makala ya Oxford Annotated RSV (p.1170) inaongea juu ya kanuni kwamba:-
Bibilia ya kanisa la kale ilikuwa ni agano la kale (2 Tim 3:15-17) kwa umuhimu sawa na maandiko haya yalikuwa ni maneno ya Yesu (matendo 20:35 1 Korinth 7, 10, 12, 14; tim 5:18). Kinyume na mafunzo ya Yesu, ilikuwa ni mafunzo ya Apostoliko kuhusu umuhimu wake wa kibinafsi ya kanisa.
Katika karne ya pili, kanisa mengi yalikuja kukubali, mapnagilio ambaye ilihusisha vitabu vine vya injili, Matendo, Paulo, 1 Petero na Johana vitabu vine bado zilikosa kukubaliwa. Hibrania, James, 2 Petero, 2,3 Jonaha, Jude na Ufunuo.
Tumeangazia sababu za shaka kuhusu vitabu hizi. Kutoelewa ilikuwa imechangiwa na siasa ya kidini.
Hata Jude alikuwa mwakilishi wa mpangilia wa ki Jude ambayo wa anastiki walinuia kuondoka.
Kitabu cha Ufunuo pengine ilitengenezwa katika mwisho wa karne ya kwanza, ikapewa uzito mkubwa, lakini uandishi wake ulitiwa Dhaka na wapingamizi wa Alexandria, ililemazwa kwa muda mrefu na huo upingamizi, na tena upako wake ulishikiwa katika mataifa za mashariki katika karne ya nne (Interpreter’s Dictionary).
Sababu ambayo ilimalizika katika mwisho wa karne ya kwanza ni kwamba, ilipewa Yohana alipokuwa ukimbizi kuho Patmas na ukaenea sana nyakati hizo kupitia kanisa sambamba na njili wa nne wa barua zake. Alexandria ilikuwa nyumbani kwa wa Gnostiki, na walikuwa waivamie ufunua kwa sababu ilikuwa inaipa uzito kazi ya Masia wa Mungu na ikakuza amri za Mungu kama mzizi wa ushuhuda wa Yesu (Ufunuo 12:17; 14:12; 22:14 (KJV).
Kutolewa kwa kitabu cha Ufundo kutoka kwa mpangilio ulichangiwa na maswala mawili. Swala la kwanza ilikuwa ni kuogopa kushtakiwa na Wa-Rumi wakati imani hiyo ilikuwa ikenezwa. Huo matisha ulibadilika kuwa kulinda uhuru wakati wa wafalme walipinga imani. Kitabu cha Wa-Gothik (c 350) haikuwa na ufunuo kwa sababu ilikuwa mpangilio Ki-Roma na ilikuwa na wa vandali wa Alan. Ingawa walikuwa wa – unitary wafalme hao hawange thubutu upingaji wa uongozi yao. Kwa hivyo wale ambao walibadilishwa baadaye walileta shaka kwa watu wao.
Mwisho wa mwaka 135 au 140 ushahidi wa Papius, askofu wa Hietapolis, anaeleza wazi kwamba katika makala mengine, ushahidi wa hadithi chini ya watoa ushuhuda, ilikuwa na uzito mkubwa kushinda kitabu chochote. Tunajua kutokea wakati huo kwamba makala ya Papius ilikuwa na Mariko Mathayo na Yohana, lakinisiyo Luka (Interpreter’s Dict., p. 523). Lakini yeye mwenyewe alikuwa na shaka juu ya wazee wake wakati alikutana na watume wake anasema:
Ikiwa nilikutana na watume ya wazee, nilimhoji kuhusu maneno ya wazee. Kile ambacho andoea au Petero alisema, ama kilichosemwa na Filipi au Thoma au James ama mtume yeyote wa bwana, na vitu vigani, Artisan na Yohana wa wa tume wa bwana alisema, kwani sikudhani kwamba kile ambacho kilikuwa ipatikane kutoka kwa vitabu, utanifaidi kama kilichotoka kwenye sauti ya uzima (Fuseb Hist III.xxxix 4).
Maoni haya yanatoka kwenye kibanda ambacho roho mtakatifu anaongelea watu wake. Maandiko kwa hivyo yame barikiwa, lakini maneno yam domo ya watume yaweza kuelewa pia maana ya maandiko. Raha hii ilipotewa walipofika Papius alikuwa mmoja wapo wa mashahidi wa mitume wa mwisho. Hii ni muhimu kwamba twaweza kwa njia hii kuhakikisha kwamba yaliyandikwa kuhusu injili zinazoelekezwa kwa Papias ni kweli na inadhirihisha neno la Mesia na kwa hivyo, tunaweza kuendeleza mazingara nzuri ya maandiko ya Mungu ambayo yana ambatana na roho mtakatifu wa Mungu.
Mbini hii ilibadilisha katika miaka michache. Makala ya Interpreter’s dDctionary, ikitoa maoni kuhusu mabadiliko haya, kulingana na maoni ya Paius inasema:
Ushahidi wa wananga wa Ki-Justin, yaonyesha kwamba vipengele katika “matendo ya mitume”, yalikuwa yakisomwa kanisani, pamoja na zile za manabii wengine, nah ii itaonyesha kwamba injili ilikuwa ikichukuliwa kama maandiko tofauti. Lakini bado kulikuweko na dhana mingi tofauti na kufanya vitu vinavyoambatana nao, tena haikajulikana na vitabu vingapi vya injili vilivyokuwa vikitumika wakati huo (uk 523).
Maoni haya siyo kweli kama tunavyo soma 2 Petero kwamba matendo za Paulo yalikuwa pia yanasomwa kanisani na kwamba zilichukuliwa kama maandiko sawa na za manabii. Zilikuwa zime idinishwa kw upumbavu wao wenyewe. Sasa hata kama hayo kupitia matamshi za papius mwenyewe kwamba ilikuwa na uzito sawa na maandiko na kwa sababu zote haingeweza kuwa mzee kushinda nyakati hizo ukoona nap aha zaidi na imeandikwa kwa uwazi sana hushinda imani za wasomi wengi.
Vitabu vine vya injili ni kazi za wakristo wa kizazi cha pili (70-100 CE) (Interpreter’s Dict., ibid). kitabu cha kwanza cha injili kilikuwa ni Mariko ambayo yaonekana kwamba ilitolewa uko Roma chini ya Nero (c 64 CE). Hii injili inaweza kuchukuliwa kuashiria hadithi za kunena za kanisa za Ki-Roma katika mwaka 64 CE.
Ni mnamo mwaka 80 CE ambayo ilikuwa msingi wa injili ya Mathayo, ambayo inashikilia kubuniwa Palestina kwa wakati hizo, Mariko pia imeshilikiwa kuwa msingi wa injili wa Luka ambayo, pamoja na Matendo ya Mitume, ilichapishwa katika mashariki mwa Mediterenia katika mwisho wa karne ya kwanza. Luka 1:1-2 inaonyesha kwamba kazi hiyo ilifanywa na watu wengi. Maandiko ya kale za injili (P45) pia imeandama na vitabu vya matendo ya mitume.
Luka 1:1-2 Kwa mara nyingi watu wamechukuliwa mikononi kuwasilisha kwamba kukiri yale vitu ambavyo vinaminika miongini mwetu. Hata walivyoviwasilisha kwetu, ambayo mwanzoni walikuwa ni washahidi wa macho na watumishi wa neno. (KJV)
Kwa hivyo injili iukamilishe kutoka kwa washahidi wa macho na kwa hivyo imo chini ya ushuhuda wa kanisa Luka anadai uwezo wa kipekee (Lk 1:3). Uwezo wa injili chini ya maneno ya Mesia na wala sio ukanoni yoyote. Hii ndio ushahidi wa upako ya manabii kama ilivyoeleweka na watume na kanisa. Hakuna shaka kwamba walichukuliwa kama neno la Mungu kama neno la uzima ilivyobuniwa na agano la kale. Vitabu za barua kasha zikajumuishwa katika makanisa chini ya Ephesona s,yrma. Mipango katika Alexandria na Roma ilianzishwa kutoa barua kutoka kwa taratibu za kaiz zilizopewa upako kwani viliathiri sheria ambao zilijaribu kutekeleza. Baada ya kuengeza msimamo yao kazi hizo zilipelekwa kwa Kanon. Taratibu hili litaangaziwa baadaye.
Injili ambayo ipo kutokea wakati kabla kuingia kwa ukanoni, kwa kweli chanzo chao ni U-Gnosti na Udoset ambazo zinanuia kupunguza maisha ya Kristo na kudunisha wakitenganisha uwepo wake wa bingini na mwili wake ka ki-binadamu. (Soma Inter. Dict., p 524). Utakumbuka kwamba hili ni wazo la mpinga Kristo, na kwamba wazo hili lili buniwa kwa mpango inayoeleweka kama utatu, ambayo yashikilia kwamba mpango huo sio wa kipekee bali tofauti na baba yake (81). Kutoka sehemu ya utukufu wa Kristo, kama mmoja wa utatu, hakukufa na hakufufuliwa kulingana na amri wa Mungu moja wa Kweli, ambo ni Baba (tazama Yohana 10:18; 17:3; 1Yohana 5:20. Maandiko za agano jipya wakati zingine inaongea mambo za kweli na zingine siyo za kawaida.
Kunayo maandishi mengine kinyume na ukanon ambayo ni ya kweli, na ni za umuhimu sana kwa wahistoria wa zamani. Kiement 1 na maandiko yanayochikika kuandikwa kutoka Roma kwa Krintho katika mwaka 90 CE. Maandiko kutoka Roma kwa Korintho katika mwaka 95 CE. Maandiko haya hayakuashiriwa kama maandiko lakini inadaiwa kwamba ilisomwa katika kikutano za korintho c. 170 CE. Imejumuishwa katika kitabu cha Codec Alexandria (karne ya 5). Kazi zingine za haazaye 2 Kiemet (an anonymous homily c. 150 CE, also in the Codex Alexandrinus) na kitabu cha Clementine Recognitions inaonyesha kwmba kazi hii lazima imekuwa na kibali Fulani.
Barua za Barnabas ni kamusi kubwa cha karne ya pili ambayo pengine ilitokezea Alexandria. Inapatikana katika Codex Sianaticus wa karne ya nne. Kiement wa Alexandria na origin wote pamoja na watithi wao wanachukuwa kazi zao kama maandiko. Hata hivyo haikudhinishwa popote na pia sio kwa watu wa Alexandria kiemet wa Alexandria na wa-Gnostiki na wa origin.
Makala ya “mafunzo za Yesu kupitia watume wake kumi na mbili” ni mpangilia ndogo ambayo, ingawa miaka zake hazijulikani, unachukuliwa kutoka kwa karne ya pili. Ilitumiwa na wa Alexandria wa zamani kama maandiko na ikatumika katika makanisa za Misri katika karne ya tatu. Inaonekana ilitumiwa nchini Siria katika mwaka wa C400Ce, na inajitokeza katika taratibu zingine za ugiriki wa karne ya nne. Ilitafsiriwa kwa ki-Latini na ki-Georgia ambayo inadhihisha utumishi wa pana. Wachongaji wa Hermas ‘ulitumiwa sana katika kanisa la zamani kwa karne au zaidi.” ilitambuliwa na wa -Iranic na baadaye wa Tertu kama maandiko. Origin pia aliitambulisha kama apostoliki na imeingizwa katika kamusi ya Sinai. Kulingana na ma Kanon za Moratoria ilitengenezwa mwaka C150 na Hermas, nduguye maskofu wa Roma kwa nyakati hizo (tazama Interp. Dict., pp. 524-525).
Mabarua za ingatius ba barua kwa Diognetus hazikuchukuliwa kama maandiko.
Yapatayo vitabu vitano viliashiriwa kwa Petero katika miaka za kwanza. Hata hivyo barua mbili pekee iliidhiniswa. Tunafahamu kutoka makubaliano haya na Polycarp na Smyrua kwamba ilivhukuliwa kama maandiko kutoka nyakati za mwanzo na watume wa Yohana.Injili ya Petero, mahubiri ya Petero na matendo ya Petero zote zilitumiwa zamani matendo ya Petero ilihidunishwa na kiement wa Alexandria na unajitokeza katika ukanon wa Moratoria ambayo ina maanisha kwamba ilihdaniwa na wa Roma wa nyakati hizo na Methodias (c. 300). Hizi zilikuwa nyakati ambao wa Modalisti (Gnostiki walikuwa wanauasi uhuniri kupitia na Makon, na wakaungwa mikono na Alexandria na Roma.
Matendo ya Petero na matendo ya Yohana ni kazi za wafuasi yaw a Gnositiki (ibid., p. 525).
Matendo ya Paulo ilitungwa na mbomi wa ki-Asia mnamo katikati ya karne ya pili. Kutokana na vitabu zingine za matendo ni hiyo tu iliyopata wafuasi. Mwandishi alishtakiwa Kwa kosa la uandishi mbaya lakini hata hivyo bado ilipata wafuasi Alexandria (Inter. Dict., p. 525).
Mwili ya uandishi juu mpaka kati kati ya karne ya pili inaonekana ilichukuliwa kwa shingo upande na wa Efeso na wa Smyrne kwa namna ya utaratibu. Agano la kale, ndio ilikuwa mwili wa ukanoni iliokuwa na injili na mabarua zilizokuwa zimekuhaliwa. Mpango za Alexandria na Roma iliathiria na tofauti za maoni mpaka mwisho baadaye kwa sababu zilizoelezwa hapo juu.Wa siri, walikuwa na msimamo mkali kwa sababu zilizoelezwa hapo juu. Kwa hivyo mpangilio huu ilikuwa na vitabuze na kanoni ingine ikitumiwa baadaye huko Asia, ingawa zilikuwa zikitambuliwa kama maandiko na makanisa za Asia kutoka Efeso na Smynna.
Kanisa kwa hivyo ilijengwa juu ya msingi wa watume wa ma nabii (Ef 2:20) kanisa la Efeso ilichukulia manabii wote kama msingi wa imani. Kitabu cha (interp. Dictionary of the bible) inaongoza kwa kupotisha jina la Ukristo mbele ya jina la unabii kaka kwamba wa Efeso 2:20 ilikuwa inathibitisha msingi ya imani kw agano jipya. Hii ndio uongo mkuu ambayo inapumbaza wakristo wa kisasa. Ufunuo hauonekani kama ufunuo wa Mungu kwa Yesu Kristo lakini kwa mtabiri (ibid p 525). Kuidhinishwa kwa wafuasi 12 katika Ufunuo 21:9-14 inaonekana kama maendeleo ya mwisho katika kanisa kwa hivyo inakuwa tatizo kuu la imani.
Kitabu cha interpreters Dict of the bible kwa kweli inazua msisimuko kwenywe ushuhuda na mafunzo ambayo ililekezwa kwa kanisa na mitume (mfano Tim 6:20, 2 Tim 1:13, 2 Tim 2:2) kutoka utotoni (2 Tim 3:15).
Wazo la kawaida ni kwamba maendeleo hayo yalitokea kwenye nusu ya karne ya pili. Ukanoni kasha ukaingia kwanza, injili zikaashiriwa katika maandishi za Eklesiastes na Liturgu; na kasha maandiko za Paulo.
Katika mwisho wa karne ya pili, vitu vingine vikatambuliwa. Shria lika kuwa rahisi sana – kwamba kilichokuwa ki-apostiliki; kisichokuwa apostoliki si ki Kanoni. Hii ilikuwa imefanywa katika Efeso na Smryna chini ya amri ya Yohana na Polycarp. Kanuni hakuwa na shaka katika kanisa kwa vile ilihuniwa watume. Agano la kale hata hivyo ndio ilikuwa maandiko takatifu inayoeleza mafunzo za Kristo na wafuasi wake.
Utumishi wa kwanza wa injili iliyokodiwa na kama maandiko takatifu ni mwaka wa c.150 katika 2 Klemet na Mathayo 9:13 wahaga wa Justin (in Apology, I. 67) (c.150) pia anasema katika kueleza kazi za ukristo kwamba matendo ya mitume au maandishiz zinazosomwa kama kibali. Neno la memoiris inaashiria kupengele cha Apomnemonevata ambaye imetumiwa na wa –Giriki kumaanishi kuelewa. Tena baadaye anasema watume ndiyo wameandika vitabu zote kuhusu vitu vinavyohusu mokozi wetu Yesu Kristo na pia zile zinazohusu wafuasi wake (Apol., I.33,66).
Kwa hivyo Justin mshahidi ambaye yuko kwenye karne ya pili. Utumiaji wa zamani wa injili kama ilivyo rekodiwa ni yapatayo karne c150 katika Clement 2 IV ikimnkuu Mathayo 9:13.
Hii ilingaliwa kujumuisha pia barua za mitume kama tunavyoona kwenye makanoni za Marcion. Mwanawe askofu wa sinope, alitoka Roma kupitia Pontus katika mwaka 150. Marcoin alikuja chini ya kile kinachoitwa umaarudu wa Sinope. Alifundisha kwamba Mungu wa Hibrania, anayejulikana kama muumbaji tena Mungu wa usawa, alikuwa ni sanamu duni tu, na kwamba Yesu alidhihirishwa Mungu mkuu, Mungu wa upendo ambaye hapo awali hakuwa anajulikana. Maoni hii pengine sawa na maoni ya siku hizi kwamba Mungu hakudhiririshwa kwa agano la kale na kwamba ilikuwa Kristo ambaye alikuwa Mungu wa agano la kale. Kilindi cha maneno ni kwamba zote zilikuwa na ushahidi kutoka kwa agano la kale na Mesia alikuwa Elohim na aliwekwa juu yaw engine (Zab 45:6-7 Heb 1:8-9). Kwa hivyo marcion na makanisa mengine katika karne ya ishirini yote yako na maoni potovu. Yanayo chukuliwa kwamba Marcion imerekodiwa kwa ukweli. Wazo hili lilielekeza marcion kukataa maandiko ya agano la kale na kutenfa mpangilio inayojumisha zile za Kristo.Anadhani kwamba wanafunzi kumi na mbili wa Yesu walipotosha mafunzo ya Kristo. Anashikilia kwamba Paulo pekee ndiye alisimamia injili ya kweli ya Kristo. Kwa hivyo alidhinisha mabarua manne za Paulo pamoja na injili za Luka ambayo anashikilia kwamba ilikuwa kazi ya ushiriakiani wa Paulo. Alitumia pande zingine ilikuwa kazi ya ushirikiano wa Paulo. Alitumia pande zingine wa wa-Galatia na wa Roma na akaaribu vitabu vya injili ili kwamba imbatane na maoni yake. pia inashtakiwa kimakosa kwa kupotosha vitanu vya barua za Paulo, ingawa tunajua kwamba hizi zilikuwa tofauti ndogo katika maandko za agno jipya zote ulihifadhiwa na kuelekezwa na kanisa kutokea nyakati ziliandikwa chini na mitume, wakisaidiwa pengine na makanisa yao.
Ni pengine kwamba Marcoin alilazimisha viungo vingine vya kanisa kutazama kanoni tofauti ya agano jipya. Juu mpaka nyakati hizo maandiko haya yalikuwa tu nyongeza katika agano la kale. Kukataa kwake kwa agano la kale, ukanoni ndio kifunguo katika mafunzo ya Ki-Gnostiuki na ilinua kutoa Mungu pamoja na amri zake kutoka kwenye imani ya kanisa. Mafunzo ya ki Gnostiki ndio ilikuwa na unaarufu sana katika karne ya ishirini. Kwa kweli ikiw kanisa la kale iliulizwa kutazama karne ya ishirini, watasema ya wengi. Pia watabanwa kupata kitambulisho chao cha asili cha apostoliki, na tazama lake la maandiko na tamaduni lake kwenye dunia hii.
Marciona anadaiwa kuheshimu Paulo sawa na watume wengine na kwamba wasio wake inaonekana kama wako (Interp. Dict., p. 526). Paulo alikuwa amepewa heshima kutoka Petero 2 na kwa hivyo tawajua kwamba ilikuwa tazamo la kanisa la kale pia.
Makala ya interpreter’s Dictionery of the bible inashikilia kwamba barua za kiinjili yangekuwa yamehishishwa, ili kukumbana na fununu za Marcion na kwamba, kwa nnia hii makanon zilibuniwa, kimsingi kukabiliana wa pengamizi za Ki-Marcionate. Maoni hii inashiria msimamo wazi wa kutoliki ambayo ilikuwa kwa wakati huo na kwamba ni kuu zaidi makengo yawekwe juu ya jambo hilo. Kikatoliki kwa nyakati hizo, kwa kweli nafasi hiyo haikufikiwa hasi Constantinople kwa mwaka 381 wakati mrengo wa Athanasia hatimaye walipata kiongozi wao wa kwanza kubatizwa na kwa hiyo kupata ushirikiano wa kudumu. Ilikuwa mpinga. Kitoliki, Polycarp ambaye alimpinga marcion katika wazo la “kifunua micha cha shetani”. Maccioni alikuwa mkristo bandia mkuu wa kiroma, ambaye alikuwa na makanisa mengi kote mashariki na magharibi na mkusanyiko wa askofu ambayo ilianzishwa nae. Wa Gnostiki hawakuwa na mbinu bora na wakawa katika makanisa za wakristo na na hatimae wakawa na wafuasi wengi. Sheria zao zilikata kuepuka sheria za Mungu. Walikuwa wapinga ki-nomian na warithi wao ni huruma wala sio ujasiri wa nyakati za kisasa.
Malumbano yalizuka baina yaw a Gnostiki na wa madalisti katika mashule zao, na ikazidi katika hilo shule hadi karne ya nne. Kila kikundi hizi ziliadhiria maandishi ambayo kwa kweli iliandikwa kuunga mikono kale. Waliandika injili ya Petero, Thomas, Filipo na kwa kweli pia matendo ya Petero, Thomas na Yohana. Hawakuwa na uzito wowote wakati huo, kando na sarakasi za agano la kale sanasana katika haya zake ngumu (2 Petero 3:16). Kukataliwa kwa kazi hizi za uongo iliongezwa kwenye maandiko na sarapoin, askofu wa Antionch katika barua yake kwa kanisa huko Phossus, aliposema, akikataa injili ya Petero kwamba. Tunapokea Petero na watume wengine wa Kristo, lakini tunakataa maandiko ambayo aliekelea kwa uongo, kwani tunakataa maandiko ambayo ilielekezwa kwa uongo, kwani tunajuwa kwamba hayo hayakukabidhiwa kwetu. (Euseb. Hist., VI 12:3).
Kwa hivyo ni wazi kwamba kuna kilichokabiliwa kanisa la Asia na kanisa la kale na watume; ni mpangilio ya maandiko ambayo Serapion aliweza kujielekeza katika mwanzo wa karne ya pili. Hii imeambatana na maandiko ambayo tuneona kutoma kwa Justin, Polycarp na Inrenaeus. Kwa hivyo Apostolic au unitariani na makanisa za sabatataria wote walikuwa na wazo Fulani. Wanaojiita kanisa la Orthodox, ambayo kwa wakati huo ilikuwa unakataa pasaka na kukubali kufufuka, na pia waliabudu siku ya juma pili, na wakawa na maoni mengine.
Katika makundi ya Orthodox, kutolewa kwa barua za Paulo ulitendeka polepole na kwa uwazi mdogo. Mwaka Ca 180 melito wa sardia alitengeneza taratibu la vitabu vya zamao ambazo aliziita vitabu vya agano la kale au vitabu vya agano jipya, lakini yeye mwenyewe hakubuni, setensi hiyo, wala haiku. Idhinisha kamwe vitabu ambavyo Angejumuisha kwa mpango wake. Theofilas wa Antioch, katika nukuu zake kutoka Mathayo na Yohana na kutambua mambo hayo.Lakini anapo tumia nyaraka za Paulo bure, vitabu vya injili, Hibrania na Petero 1, haonekani kufichuliwa kama vitabu takatifu. Athanagoras, ambayo alikuwa mbubiri wa atheris kwa wakati huo, anachangia vitabu hizo za injili chini ya taratibu sawa kama vile manabii na kutumia hayo ya mitume yamebeba ile njia ya kunuia kwamba maneno hayo ya mitume, yamebeba uwezo wa kidini kama vile vya Hibrania. Tatilian wakati anatayarisha vitabu vya injili Diatessaron anajitokeza kana kwamba ametumia vitabu vile vine vya injili na sio ingine. Hii inaonyesha kuwa tangu nyakati za Justine, vitabu vyote vine vilikuwa bila shauku yoyote (Interp Dict., p. 527).
Wazo kwamba vitabu vya injili vilipata msingi yao katika nyakati za Justin, haipo kwenye msingi wowote. Kutoka kwa maoni ya Justin, inaonekana bila shaka, umaafuru wa vitabu vya injili kwa kweli hakuna shaka kwenye hizo makanisa za apostolic kuhusu yaliomo kwenye maandiko kutokea nyakati za kuandikwa. Jambo la muhimu ni kwamba agano la kale ilikuwa kielezo cha agano jipya. Agano la kale haikupotezwa katika agano jipya kama maandiko pekee, ilikuwepo nab ado ipo na ni ukristo bandia.
Waandishi wanakataa zingine mara tu mwanapokubaliana na mafunzo ya ki Gnostiki, na rekodi za Roman / Alexandaria. Rekodi za Jerome (C 390) kwamba tatia alikataa vitabu viwili za Paulo (Tim 1 na 2) lakini kakubali Tito.
F.W. Beare katika kazi yake ya Interpreter’s Dictionary of the bible anarekodi kwamba mananga wa scilla kaskazini ya Afrika aliambia hakuna kwamba wanaziweka kwenye kabati zao (p. 527).
“Vitabu vyeta na nyaraka za mtakatifu Paulo” vitabu hivi vitajitokeza kujumuisha maandiko za zamani na injili ambazo zimejumuishwa pamoja; nyakara kazihezabiwi kama mmoja ya vitabu lakini imepewa katika kabati hizo.
Kinachotiwa
Kikatoliki Au Kanoni Ya Ujumla Ya Zamani
Tumejihushwa hap asana na vipengee tofauti tofauti mathawanyiko ya ki kutatria, kiement wa Alexandria, irenaeus na Tertullian.
Katika mwisho wa karne ya pili tunaona kwamba mpangilio ulikuwa sawa, na tofauti chache ambazo zilikubaliwa na vikundi vyote vya makanisa. Hii ilizalisha taratibu la Roma ambayo inajulikana kama mpangilia wa Muratoria. Ni muhimu kutambua kwamba Irenaeus aliingia Roma kutoka kwa Polycarp huko Symryna kabla ya kuwa askofu wa Lyons (General Distribution of the Sabbath-keeping Churches (No. 122). Tukitazama maandishi yake na zile za Kiement wa Alexandria na za vyuo, mawakili na wahubiri, ziliibuka kama kiwakilishi cha kwanza cha ukristo katika Latini ambaye alibadilisha baadaye katika maisha yake, tunapewa maoni kwamba kulikuwa na usawa funali. Maandishi hawa wote pamoja na mipangilia za moratoria yanashikiliwa kuwa katika makala ya remarkable accord na inaonyesha uendelezo wa kushangaza wa mbinu tofauti kwa nyakati hizo. Maoni hayo hata hivyo hayawezi kuelezwa kana Kikatholiki kwani mbinu wanazotumia ni tofauti na kilichofahamu kama ki – katoliki kutoka kwa baraza la Nicaea, constantionople na chaldedon (soma karatasi Early Theology of the Gohead (No. 127); cf Interp. Dict., p. 527).
Mpangilio wa moratoria ni taratibu ya vitabu vya agano jipya na maoni mafupi kuhusu chanzo chao na ukweli. Ilizinduliwa kwenye maandiko Bobblo katika karne ya nane na ukuhifadhiwa katika maktasha ya ambarosian huko Milan. Ilichapishwa na Ludovico Antonio Muratore mkaka 1740. Ni tafsiri ya barbarous Latin wa kutoka ugiriki ambayo ulibuniwa nchini Roma miaka zingine kabla ya mwisho wa karne ya pili (Interp. Dict., p.527).
Ingawa mwanzo wake umepotezwa hakuna shaka kwamba inafuatana na injili ya Mathayo na Mariko kama vile Luka na Yohana imewekwa kama watatu na wa nne miongoni mwa vitabu vya injili. Ina jambo hii ya kusema juu ya injili ambayo inaonyesha kwamba ilikuwa tazamo katika karne ya pili ambayo injili ya kazi ya roho mtakatifu ulipewa unako.
Ingawa mambo mengi tofauti yana fundishwa katika vitabu tofauti za injili, hata hivyo hii inaleta tofauti ndogo kwa imani ya waumini, kwa ndani yao vitu vyote vimekiriwa na roho mwelekezi inayohusu uenyeji, raha na ufufuo kunena na wafuasi wake na kurudi kwake (cf. Interp. Dict., p 527).
Beare anashikilia kwamba upako wa kidini na umoja katika vitabu za injili haiwezi kusisitizwa tena (ibid.).
Taratibu hio kasha inaendelea kwa matendo ya mitume na kisha yatatibu ya waraka kumi na tatu na za injilki matatu pamoja na filemon. Ilikiri kwamba hizi ziliandikwa kutokana na upendo na matakwa za mtu. Ilishikiliwa katika uwezo wa kanisa katoliki katika kutoa maagizo wa watume wa ekelesiastes (Inter. Dict., ibid.).
Mpangilia hapa inatumia neno katoliki katika maana yake ya kawaida wala sio katoliki ya ki Roma kama inavyoeleweka leo.
Baare anasema kwamba, taratibu hiyo inashiria waraka – Fulani ambayo ziliforofishwa kwa jina la Paulo na wa marcionate na zingine ambazo haziwezi kupokelewa katika kanisa la katoliki kwa vile havistahili kuchanganywa na zingine (ibid., quoting the canon).
Kasha inasisitiza kwamba nyaraka za Jude na nyaraka zingine za Yohana. Inasisitiza tena injili ya Yohana na pia Petero lakini kusema kwamba wacuongaji wa Hermas haziwezi kusomwa kwa sauti kwa waumini wa manabii au watume wengine, kuhusu hermas ameadika.
Juzi katika nyakati zetu, katika jiji la Roma katika kuidhinishwa kwa nduguye pius (idid.).
Mpangilia hili linatambua ishirini na mbili za mpangilio ikiwemo za injili, waraka kumi na tatu za Paulo tatu za nyaraka za katoliki (1 na 2 Yohana na Jude) na ufunuo. Imejumuisha kazi mbili za ujasiri wa solomoni na matendo ya Petero ambayo inakiri kwamba askfofu wengine hawatakubali imsomwe makanisani.
Kukubaliwa kwa ajasiri hata ilitambuliwa kama makataba iliitengenewa kwa nyakati za maandiko (Beare Inter, Dict., ibid.).
Kiement wa Alexandira, inaonyesha makubaliano ya vitabu vine vya injili ya Misri (storm II 93; ef Ibid) kumi na mine za kazi za Paulo ambayo imejumuisha Wa-Hibrania, ikifuatia mkubwa wake pantaenus. Anamnukuu Paulo kama sio maandiko lakini ikiambatana na mafunzo ya Kristo kama tafsiri ya agano la kale. Pia ametumia Petero I na Yohana 2, na Jude, na ufunuu pia ametumia kazi ya Petero mchungaji na mahubiri ya Petero, Barnabus na Kiement 1 lakini hizi sio kile anachotazama kama kielezo cha ukanoni.
Mkusanyika w kikwli na pana zaidi ya maandiko, ilikamilishwa katika karne ya pili na uliandikwa na Irenaes. Katika kuchunguza kazi yake, tunaweza kugundua vipengee kutoka kwa vitabu zote nne za injili, kutoka kwa nyaraka za Paulo, na bila shaka Filemon imeondolewa kwa bahati. Ananukuu kutoka Petero 1,2 na Yohana 2. kuachikiwa kwa Yohana 3 tena sio muhimu, bila shaka iliondolewa kwa yale masharti sawa na Filemoni. Pia ananukuu kutoka ufunuo. Ananukuu kutoka Wa-Hibrania lakini Beare anaonekana kudhani kwamba nukuu zake inazua hisia ndogo. Tunaweza kubaliana kwamba mpango wa kijumia ya karne ya pili ukiririka kutoka mtume Yohana, ilikuwa na mpango kamilifu kama tunavyojua leo. Pia walikubali wachungaji wa Hermas kama mafunzo. Uhasirifu katika shria ya wapinga Kristo inaweza kusahihishwa na kueleweka kutoka irenaeus kama vile tumeona hapo juu.
Irenaeus ameshikilia kwamba, vitabu za injili ndio nguzo nne za Mungu.
Kwa vile kuna vikundi vine vya dunia ambavyo ni pepo nne za ulimwengu na vile kanisa inetawanyika kote duniani, na injili ndio nguzo na msingi wa kanisa na pumzi la uzima, inanuiwa kwamba iwe na nguzo nne, ikitoa pumzi la dhambi kutoka kwa pande zote za watu wote kwa uzima mpya. Kutokana nah ii, ni wazi kwamba neno, ambayo iliakezwa mwanadamu, ilitupa injili kwa kikundi cha vitabu vinne vilivyosharanishwa na roho mmoja (Iren. Her. III.11.8).
Irenaes, anasema kwa uwazi kwamba, maandiko ni sawa bora tu zilinenwa na mungu
na roho wake. (Iren. Her. II.
28.2)
Kwa hivyo dhana ya upako wa roho mtakatifu inaonekana kuwa ni dhana ya kanisa la kale. Waliopakwa na maandiko sawa ilikuwa ni agano la kale, ambayo haiwezekani kutenfanishwa kutoka kwa tafsiri ya agano jipya.
Irenaeus pia anachunguza kielelezo cha cherubim kwa watume, kama ndio ni uwepo wa pekee wa Mathayo, ndana wa Luka, kunguru wa Mariko na samba wa Yohana. (see also the paper The Meaning of Ezekiel’s Vision (No. 108).
Mpangilio huo kwa hivyo ni kazi ya kanisa ya apostoliki ambayo ilielekezwa Roma.
Kutokea hapa mfano wa kwanza kabisa ya ukristo wa Latin, na ngeli zake inabuka kwa mfano wa Tertulian alinfuata Irenaeus na kwa miaka ishirini, alikubali ukristo wa Latini, kabla ya kugeukia Montanism na kupinga mienendo za uzembe katika kanisa ya Ki-Latini kwani ilikuwa ikitokezea kutoka Roma. Alichukulia injili kama kifaa cha theologian a tena kitu cha muhimu na kuwa kigezo wa karibu. Ziliandikwa na mitume au wanafunzi wao wa karibu. Ziliandikwa na mutme hayo yamesimama juu ya wakubwa wao. Ambo inamaanisha ile ya Kristo, kwani likuwa inetunfa mitume za waka wao. Alishikilia kitabu kimoja cha injili kama kisichokuwa kirasmi na sio injili ya Luka iliyochaguliwa na Marcion.
“Luka hakuwa mtume lakini mtu wa apostoliki, sio mkubwa, lakini mtume na mdogo sana wa kiongozi ….. kwa kweli iwapo Marcion alichapisha vitabu zake kwa jina la Paulo mwenyewe, uwezo wa maandiko hayo yalikuwa yamekosa uungwaji mkono kutoka kwa mamlaka, tena haiwezi kuwa msingi thabiti wa imani yetu” (ibid., cf. Beare, p. 528).
Kwa hivyo injili haiwezi kusimama peke yake na lazima iungwe mkono na agano la kale ambayo inatafsiri. Hio ilikuwa tazamo la makundi yote ya kanisa. Tazama la mamlaka ya kanisa ilikuwa chini ya urithi na imetolewa kwenye dhana hii ambayo imewasilishwa katika upande wa kwanza lakini imetupilia mbali maoni ya Tertullia iloelezwa hapo juu. Kwa hivyo kanisa inaweza tu kuongea kuchanga na sheria na ushahidi (Isa 8:20) na haiwezi kubadilisha msimamo hiyo hata kidogo.
Tertullian ilishikilia mpangilio hiyo kuwa vitabu vinne vya injili, matendo na waraka nne za Paulo. Ufufnuo, Yohana, Petero na Jude. Hibrania ameshiria Barnabas na ni wa mamiaka muhimu. Kwa hivyo anayovitabu ishirini na mbili wa mpangilio wa kati na Hibrania kungonezwa na wachungaji wa Hermas pia ikaongezewa kama kielezo lakini Latin ikaikatalia mbali.
Tertullian katika tumaini lake la mwanzo, alikuwa na maoni kwamba Roma alishikilia mahali muhimu sana katika imani Roma.
Jumuisha sheria na manabii katika kitabu kimoja na maandiko ya wahubiri na mitume kwa maana ameshikilia imani yake (Tert. Presc. Her xxxvi).
Aliandika
nikishindwa kumaliza maandiko haya ya imani yetu kutoka kwa agano la kale,
nitatoa agano jipya, thibitisho ya tazamo letu….. tazama sasa, kwamba nipate
katika injili na katika mitume Mungu anayeonekana na asiyeonekana (Adv Prax
xv).
Hapa tunaona usaliti kwamba alikuwa nakihishisha kitaratibu katika taratibu ya utatu. Ingawa hapa aliinua ukuu wa agano la kale na miungu miwili. Inayoonekana na isiyoonekana kwa hivyo kwa wakati huu tunaoona bibilia kama andiko moja iliyokuwa chini ya sheria ya manabii. Tertulian alikuwa ameingiliwa na uovu katika Roma ba kukosa kwao kushikilia imani iliyo kwenye shria ukawafanya wapotovu.
Katika karne ya pili, wandishi walianza kutumia Kodex balala ya kutumia maganda ya payrus, ambayo ilihitaji kwamba vipande viunganishwe pamoja na kwa hivyo hazikuweza kuwa zaidi ya mita ishirini kwa urefu. Hii ilikuwa kwa ajili ya kubeba kitabu kimoja, au kazi zingine kubwa kama ufufuo. Pamoja na Kodex, makaratasi hayo yalifungwa pamoja kwa makundi matatu au nne na kasha ikashonwa pamoja. Kwa hivyo vitabu vyote vinne pengine vilindikwa na kitabu kimoja. Hii kwa kweli ndio mpango mmpja ya uandishi ambayo tumeguzia. Hii ndio chanzo cha fikra kwamba bibilia ni kitabu kimoja pia ilichukua usukani, kutoka karne ya pili, na kwa hivyo ikasisitiza umoja wa maandiko, vibunda hivyo vingeweza kutupwa lakini Kodex hangewezekana. Zilishikanishwa pamoja hadi ikazeeka.
Mbinu Za Wagiriki Na Makanisa Za Kilatini
Katika karne ya tatu mpangilio wa ki kanon ilikuwa imeanza. Kulikuweka tu na tofauti ndogo ndogo. Wakuu wa kanisa la apostoliki walikuwa wamekubaliana kwa mpango yao kutoka Smyrna na Lyon. Wa Hibrania pia ilikuwa salama katika Alexandria. Yohana 2 na 3 hayakuwa na wale Petero 2, na kwa hivyo hayakutambulika.
Kanisa ya Syria ilikuwa imeshikilia vitabu ishirini na mbili za mpangilia wa kati na kazi zingine kama za bure. Jambo hili hatimaye halikutatuliwa kappa hadi karne za tano na sita.
Origin alimrithi Kiement kama mkuu wa shule ya Alexandria na akachagulia katika shaka ilioshika ongezi katika makanisa ya Alexandira na Latin. Alimaliza kazi yake huko (Aeserea, Paletina, baada ye kutafautiana na askofu wa Alexandria. Alishikilia kwamba kulikuweko na maana za kiroho katika maandiko ambayo twaweza kuthibitsha “Maana ya Mungu katika hizo maandiko ambayo tuna amani yeye ndiye alizipa upapo” (On First Principles, IV. 15-16).
Kwa hivyo upaka ya maandiko ulishikiliwa katika shule za Alexandria pamoja na Smyrna na mashule za apostiloki zilizoko magharibi. Origin alitayarisha taratibu za maandiko ambayo alipendekeza kukubaliwa na shule zote na zile ambazo zilikuwa na shaka. Kwa zilizinazokuhaliwa na vitabu vinne vya injili na nyraka za Paulo, ikiwemo Wa Hibrania, Matendo, Yohana, 1 Petero na Ufunuo katika zilizotiwa shaka ni nazi za, James, 2 Petero, 2, 3 Yohana. Pia ameongeza makala ya Shepherd of hermas kenye yale maandiko yasiyokubaliwa. Mpangilio ¿huo kwa hivyo inajulikana ilibuniwa katika kanisa ya apostoliki kama vile tulitazame katika karne ya pili, lakini hapa alexandria na ikilinganishwa juu ya maandiko machache. Anatambua barua ya James na hana shaka kwamba Judae iliandikwa na ndugu yake Bwana. Anakubgali ufnuo lakini matamshi ya Yohana mwana wa Zedekdee, “aliandika matukio hayo, ingawa alipewa amri kunyamaza na kutoandika matamshi ya ngurumo sasa za radi” (Beare, ibid.).
Pendekezo hili ilimarika wakati wa kukataliwa uyfunua huko Alexandria baadaye kidogo. Hii inatiririka kutika kwa umaarufu wa anostiki katika maswala za vikundi vilivyokuwa vikitengenezwa Alexandria na Roma hazikubali kama sawa.
Tulielekea kuwa kwa Dionysius wa Alexandria kuhusu maswala za ufunuo.
Dionysius alikuwa kiongozi wa shule ya Alexandria katika c2zke na baadaye akafanyishwa Askofu.aliita kwenye swali kwamba iliandikwa na Yohana kwamba ilikuwa na mwandishi mwingine.
Pendekezo hizo ni kweli kwa sababu ufunuo wa Mungu kwa yesu Kristo na tunaweza kumbana na mbinu tofauti iliyowekwa chini ya matamshi ya mtu wa tatu. Wengi wa wanafunzi wa origea walikataa kabisa. Wenye ya hawa watu wakawa askofu wenye umarufu kwa nyakati hizo. Sababu kuu kwa kukataliwa kwa ufunuo, ilkuwa ni kwamba mbinu hiyo ilikuwa kinyume cha mafunzo yaw a anostiki iliokuwa Alexandria.
Wshule hii pia iliungana na shule ya Lucia wa Antioca kwa kukata ufunuo wa Lucia walikuwa Arius na Eusebius wa Nicomedia miongoni mwa wengine nap engine kukataa kwao ufunuo, ulichngia wao0 kutofahamu vyema sheria za unitary na pia kuipinga sana huko Nicaea mwake (325 CE)
Ufunuo ulishikiliwa na wa Methodist wa Olympus na kwa magharibi, kitabu ilibaki bila changamoto kwa wa Roma na wategemezi wao pia kwenye wale ambao hawakufuata sheria ya kotoliki, makanisa ya The General Distribution of Sabbath-keeping Churches (No. 122) ugiriki imekubali kwamba chanzo chake ilikuwa na sheria yao ambayto lakini inakodekana kwenye maandiko ya agano jipya. Katika makanisa ya Syria haikukubalika kamwe lakini tu kwenye wa. Monophysires (Beare, ibid)
Kutokea 303, kiongozi Diocietia alichukua msimamo kali zaidi kwa kanisa. Ilkuwa miaka mitatu kwa makanisa za magharibi lakini miaka zingine kumi huko mashariki kanisa ilikumba na shida ya uharibifu wa majengo yao na makt6aba zao. Kwa hivyo walikuwa waamue ki8le kilichoweza kutolewa na kile kilichokuwa kazi hizo kama kitu ambacho hakifai. Hii ikachangia tofauti za ki Donatisti. Kwa hivyo mashtaka hayo yakasaidia kutambua hivyo vitabu ambayo viliheshimiwa sana. Zingine pia zikaondolewa kwa utaratibu, kiasi kwamvba, zingeweza kupatikana na wasomi.
Lazima ikumbukwe kwamba, tofauti hizo, zilitekelezwa miongoni mwa kile tunavyochukulia kuwa ni wapinga apostoliki. Lakini hata huko, mashauriano hayakuwezekana. Historia ya Ekiesiastas ambayo Eusebius wa Caesaria, bado iliashiria msimamo wa Origen. Anatambua nyaraka saba za kakatoliki, lakini anafahamu kwamba James na Juda, 2Petero na 3,3 yohana ni miongoni mwa vitabu ambavyo vina shka. Anakubali ufunuo kwa kusema kwamba, “pengine ni ya ukweli”na kasha kusema kwamba ni miongoni mwa vitabu ambavyo vina shaka. Anakubali ufufua kwa kusema ksamba, “Pengine ni ya ukweli na kasha kusema kwamba ni miongoni kwa vitabu ambavyo vipapotosha. Msimamo huu pengine umetolewa kwa ugumu wa kutolewa maandoko. Leo kwa faida ya historia bado tunapata ngumu na kanisa katholiki, inapuuza na kuichaia karaza kwa tafsiri.
Maoni ya Eusebius, kwa mpangilio wa umuhimu mkubwa ambayo vonstantine alimwachia ya kutayarisha vitabu 50 vya maandiko ya villeum, itumwe kwake huko Constantinoplle. Kwa bahati mbaya, makala haya yote ilipotea.
Maandiko mengine ya Ugiriki kuhusu mpangilia yalikuwa yanapatikana mnamo karne ya nne. Cyril wa Jerusalemu pia anatoa taratibu ya 6R Kaal ya vitabu 27. Nanapuzilia mbali ufunuo. Hii kupuzilia kwa ufunuo, kwa kweli ni sawa na bibilia ya Ki-Gothic. Epiphanies wa constanople wa Cyprus anaijumuisha vitabu vingine kukataliwa kwa ufunuo, inaonekana kukwekwa kwenye msingi wa kisiasa kama tulivyoona, sio kulingana na amri ya neno kutoka Jerusalemu na mpangilio huo ukaangaziwa na baraza la Afrika kaskazini, iliyojulikna kama Hippo (393) na Carthage (397) Augustine aliongoza baraza hizo zote. Kanon 39 wa baraza wa Carthego inasema kwamba:
Kando na maandiko ya Ki-kanon, hakuna kitakachosomwa kwenye kanisa chini ya neno la maandiko ya kidini.
Baraza hilo inatoa taratibu ya vitabu vya agano la kale na kasha inaendelea kusema
Kwa agano jipya kwa vitabu vya injili, kwa matendo ya mitume, kitabu kimoja, waraka wa Paulo kumi na tatu, sawa na hio, kwa Wa Hibrania, mmoja wa Petero mtume, mbili; wa Yohana, tatu wa James, moja wa Jude; moja watendo ya Yohana, kitu kimoja.
Kanoni katika kanisa ya Syria, inashikiliwa kama bure, mpaka kubuniwa kwa Peshitha katika karne ya tano. Ingawa walishikiliwa mbinu za zamani ya kisiria ya vitabu vinne vya injili, ambavyp vimekuwa kwa maandiko mawli, inaonekkana imechagiwa na Distessaron wa Titian. Katika ukingo wa karne ya pili au mwanzo wa karne ya tau. Kitabu cha Matendo na Nyaraka za Paulo, ilitafsiriwa kwa kisyria ta Tatian. Hii ilichangia hali kwamba katika karne ya nne kwamba kanoni za ki – Syria ilijumuisha. Diatessaron matendo na nyaraka za Paulo. Kulikuweko na unyaraka 15 na ongezeko wa waraka wa tatu kwa wa Korintho, ambayo ilikuwa inapatikana tu huko armenic, Koptik na Latin. Taratibu ya vitabu 17 imetimiwa na Ephraim wa edesa (C320-372) na araate, na imeandikwa kwa umaarufu wa sheria ya Addal, iliyobuniwa C370 huko Edesa. Katika taratibu ya (C 400), injili ilichukuwa pahali pa diatessaroh na Wa – Korintho ikaondolewa. Hii inachukuliwa ba Beare kuonyesha kwamba walikuwa karibu kukubaliana na Wa-Giriki na shule zao. Mbinu ya mwisho ambayoyailishikiliwa kuwa Peshita, ulitengenezwa chini ya uwezo wa askofu Rahula wa Edesa katika robo wa karne ya tano. Andiko hili, ilijumuisha, vitabu vinne vya injili, Matendo, Nyaraka 14 za Paulo, na tatu za katoliki, James, Petero 1 na Yohana 2. Kutokana na msimamo huu, Wahubiri wa Syria walitangeneza juhudi ya pamoja kuangamiza kafunzo ya Diatessaron. Mauhiri wa Cyrus, alingamiza, zaidi ya makala mia mbili, na hakuna makala yeyote inayohaki ijapokuwa tu karatasi moja ya vellum ya Kigiriki.
Kutoka karne ya tano, matafauti kati ya monophysite/ diphsite ulisambaralisha kanisa ya Syria. Kwa mashariki zilikuwa zimetambulika kama nestrian na magharibi, ikawa monophysite au Jacobites kama vile wanavyojulikana. Wa Nestorian walizidi kushikilia msimamo ya peshita ambayo ilikuwa msimamo za zamani ya Ki-Persia na Arabic. Hii ndio msingi wa msimamo inayopatikana kwa Wa-Arabia. Hii ndio msingi wa msimamo inayopatikana kwa Wa –Arab kwa hivyo ni Ya islamu, marudio ya pesuitta, ulitengenezwa mwaka 508, kwa askofu wa Philoxenus. Kazi hii ikiwa Caini ya maandiko mazuri ya Ki Giriki ambayo ilijumuisha nyaraka sasa ya katoliki na ufunuo.
Marudio zaidi ulifanywa na Thomas wa Harcel mwaka wa 616, lakini msimamo hii haikuzua hisia ya mamlaka yaw a Pesuita. Kwa hicyo kanisa ya Syria, ilikuwa na mtiririko wa vitabu ishirini na mbili, ambayo yaliondoa nyaraka nne za katoliki na ufunuo.
Uongozi wa makanisa, hata hivyo ilindelea jinsi tunavyo sasa na mabadiliko madogo. Kanisa ya Ethiopia pia iliongeza vitabu vinane mpaka 27 katika makusanyiko inayojulikana kama Synodus, na ikaongeza tena za Klement. Yohana wa Damascus (c. 730) aliongeza kitabu ya apostoliki, ambayo iliashiriwa klemet kwa vitabu vyake vya agano jipya.
Katika matayarisho katika karne ya kumi na sita, Erasmus, Luther, Carldtadt, Zwingili na Calvin na Wa-Roma wengine pia walijadili vitabu hivyo vyenye shaka lakini hawaki zikataa.
Baraza la constatinople uliletwa na wa athanasia au wakuu wa katoliki, mzalwa wa Uhispania; Theodosius aliteuliwa na Gnatian, lakini yeye mwenyewe alikuwa M-Unilaric. Constantine, alibatizwa akiwa M-Unitaria, jina wakuu wengine walifanywa, akiwemo valens, Vandals, Alans, Suevi, Heruli na Goth wote walibadilishwa kuwa wa Unaric. Baraza hilo la contantiple 381, na uwepo wa mrengo wa Trinitari na nguvu zake ndio, chanzo cha kanisa ya Roman Catholic.Nicea alikuwa ishindi mdogo kwa Wa – Unitari kama vile constatine alisisitiza askofu wa unitari katika mamiaka na kuachana na Wa-Trinitari baada ya miaka mengine miwili.
Baraza la constantiple wa watu 381, haikutishwa kujadili mpangilio/ lakini baraza hilo ikadhinisha mamlaka ya Athanasia, inayojulikana sasa kama utholiki. Athanasio aliijumuisha tena ufunua katika tatatibu lake la U Kanoni ambayo ilikuwa imetiliwa shaka baina yaw a Cappadocic.
Maandiko inayotambulishwa na Kristo na watume wake katika agano jipya, ndio agano la kale. Watume walishikilia kwamba maandiko yote, zilikuwa zimetuma kama kidini, ushahidi, sahihisho na maagizo kwamba mtu wa Mungu atakuwa takatifu, akiambatana na matendo yote mazuri (2 Tim 3:16).
Bibilia ilikuwa kwa mfumo ya Ki-Gothic kutoka C 350 na Wa-Gothic wa unitary na Wa – vandali hawakuwa katika constatinople, kwa wakati huo, origin pia alitafsiri kitabu chake kwa – Ki Hibrania (Aramia kile cha ki Syria tayari kilikuwa imezeeka tayari mfumo wa ki – Syria kiliimarika hadi karne ya saba CE. Katika karne ya nane na tisa, ilitekwa na Ki-Arabu na kwa karne ya 13m ilikuwa imepotea. Makala ya ki Aramaic, ni ya mifumo tatu, Jerusalem, Samaria na Galilean na pia kuna mifano 41 zingine za maneo ya Ki – Aramiac zilizohifadhiwa katika mifumo hizo ya K- Giriki wa agano jipya. Agano la kale kwa kweli likuwatayari kwa Ki-Giriki (LXX) na Hibrania.
Taratibu yetu ya maandiko ya agano jipya kwa kizungu imetolewa kutoka kwa mpango wa Jerome. Ametumia neno ya restament kwa mfumo wake X 382 – 405 ambayo imeshirikiwa baraza la constatiple – pengine ikazalisha Hippo (C393) na Carthage (C397). Vuigate ni mfumo tu ya vetu itala (karne ya pili) ambayo ilitangulia carthage (see Companion Bible, ibid.).
Kwa makala za Ki-Misri, Wa- Memphitic au wa – Misri wa chini ni kazi ya jarne ya nne au pengine ya tato lakini Thebaic au Misri ya juu ni ya karne ya tatu. Kile ki Armenia ni ya karne ya tano, lakini cha Ethiopia ni ya 4-7 kisha Ki-Georgic ni ya karne ya sita.
Katika Ulatini pia, hizi mbinu za kale, ilijumuisha, haya 12 za mwisho wa Mariko, ambayo baadaye zilijumisha. Andiko hii imechunguzwa kwa karatasi ya The Tongues Question (No 109).
Matamshi ya Jerome, pengine ni ya kupotosha kama vile wasomi wengine wa Latini wa kanisa walipendelea katika hali ya kawaida. Tertullian (150–200 CE) ni mfano mzuri (soma Adv. Mara 4:1 na 4:2 anatumia kwa kitabu kimoja cha Luka). Rufinua anatumia neno; novus et mawili kufuatana na Jeroma na waandishi wengin wa zamani. Kutoka vulgate, neno testament, ilipitia katika bibilia za kingereza na Ungerumani. Neno la Ki-Giriki, diatheke inamaanisha agano, na kwa muktadha huu ni agano la Mungu.
Jerome’s terminology is perhaps unfortunate
as some of the Latin scholars of the church preferred instrumentum which was used similarly to our use of the word in a
legal sense. Tertullian (150-200 CE) is an example (see Adv. Marc. 4:1. In 4:2 he uses it of the single Gospel of Luke).
Sehemu yote ya Bibilia, ambayo inatengeneza vitabu vya agano la Mungu litwayo, bibilia, inaonekana kama kutengeneza neno la Mungu, na ni maneno ya Mungu (Jer 15:16; Jn 17:8, 14, 17). Mungu amenenea elimu yetu, na kwa imani yetu na sii kwa shtumu letu, ambayo inanuia na wahakimu wetu (Jn. 12:48, Kumb 18:19-20; Heb 4:12). Mpangilia hii ni takatifu Bibilia hio katika sehemu ya yaliomo katika Agano na mpangilio yake inasema. The Companion Bible in its Appendix 95 on The New Testament and Order of its Books, says:
Wengi wa wakorofi siku hizi wameamini na kudundishwa kwamba baraza la Nice, manmo mwaka 325 AD, ilitenganisha maandiko potovu kutoka kwa yale mazuri kupitia kwa, au njama wakati vitabu vitakatifu viliwekwa chini ya meza mmoja na baada ya maombi, vitabu takatifu vika ruka juu ya meza wakati zile za kupotosha vika baki chini.
Hadithi hii iliazishwa na “Jehu Pappus” na wakora hao wamefanya kosa kubwa, kumuambatanisha na “papias” mmoja wao wa mababu wa kwanza, iliyoitwa na Esusebius (iii, 30) askofu wa Hirapolis ambaye aliandika kitabu hicho mnamo 115 A.D kitabu cha The Encycl. Brit., 11th (Camb.) ed., vol. xx, p. 737, ina shikilia kwamba umri wake ulikuwa ni 60–35 AD.
Lakini John Pappus ambaye aliendeleza hadithi hii, ilikuwa mzaliwa wa Ujerumani mwaka wa 1549. Katika mwaka 1601, alichapisha makala yaliyohusisha mgiriki kwa jina MS inafikiriwa kwamba MS pengine alizaliwa 870 AD kwa sababu anaongea kuhusu matukio ya 869. kwa hivyo baraza la Nice, ilishikiliwa miaka 544, kabla na wanachama wake wote waliokuwa wamefariki na kuzikwa miaka zingine tano. Baraza la Nice haikuitwa kuamua mpangilioa wa Kanon. Hakuna jambo lolote linatoashiria Ukanoni, inaweza patikana katika matendo hizo. Na hata kama ingekuwa kinyume kura za baraza hilo, haikuweza kulainisha makanoni za agano jipya, bora kuliko vile baraza la mji inaweza kulainisha sheria za nchi.
Jambo kuu linajitokeza ni kwamba
“JEHOVA AMENENA”
Na bibilia kujumla inadai kupata neno lake…
Wazo hilo pia inaweza kutolewa kutokana na umaarufu na mrengo wa Athanasius iliyotolewa kwenye baraza la Carthaje. Kanisa ya katoliki haingeweza kuambatanisha maandiko. Hio yafanywa na roho wa Mungu. Baraza inaweza tu kutambua tu kile ambacho kiirekodiwa zamani (soma Companion Bible Appendix 168 for history) na kanisa za kale tayari zilikuwa zimeijumuisha kama nyakaraka ya 15 iliyojulikana kama waraka kwa wa Laodicea, ambayo ilijitokeza mara kwaza katika karne ya sita.
Roho mtakatifu, haikuchukuliwa kama mwanachama wa tatu katika familia ya utatu, mpaka constantiple na hata kwa nyakati hizo, haikuchukuliwa kama mmoja wapo ya uwepo wa Mungu kama vile athanasia alipotarajia. Hata hivyo ni roho mtakatifu anaye tambua maandiko. Mrengo wa athanasia kama vile warithi wao; wa medalist na wa Gothick, wamewekelwa mafundisho ya Paulo chini ya uharibifu wao. Petero alijumuisha maandiko za Paulo katika karatibu ya maandiko katika kashifu yake juu ya walionua kupotosha mafundisho ya Paulo (2 Pet 3:16). Mfano nzuri ni utumishi mbaya w neno matumishi ya sheria (ergon namou) na wapinga Kristo toka kwa maandiko ya Paulo katika Wa-Galatia na wa Kolosai (soma karatasi The Works of the Law Text or MMT (No. 104).
Mungu alinena kupitia watumishi wake, manabii na kwamba maneno haya yalirekodiwa katika sheria na ushuhuda litwayo Bibilia (Soma Isa 8:5, 11, 20 Mk 12:26, Lk 1:70, Jn 9:29, Matendo 4:31). Maelewano hii ni kielezo nzuri ya imani, watu wanekuwa wakirajibu kupotosha na kukorofisha maandiko ya Bibilia. Watu kama hao wanaonekena kukataa nguvu ya Mungu, juu ya bibilia yake au kuelewa kwamba Kristo, kama alivyosema kupitia maandiko, alikuja kufanya kazi ya Mungu na wala sio kazi yake kmwenyewe au neno lake (Sri 4:34; 5; 25-29, 30, 31-44).
q