Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[CB24]

 

 

 

Sababu Za Kutufanya Tusisherekee Krisamasi

 

 (Toleo 3.0 20021124 – 20061221-20140223)

 

Wakristo wameshurutishwa kukubali krismasi ni sehemu maridhawa ya tamaduni za Kikristo. Ukweli ni kuwa krismasi katu haihusiani na Ukristo. Dhana potovu za kisasa zimenukuliwa kutoka mifumo ya kidumia ya kipagani.

 

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

 

 

(Copyright © 2002, 2006, 2014 Erica L. Cox and Wade Cox)

(Tr. 2009)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


Sababu Za Kutufanya Tusisherekee Krisamasi

 

 


Karatasi hii imegawanywa katika vitengo vinavyoshughulikia machimbako ya tamaduni za Kikristo zinafahamika, ziliufuatwa na siku takatifu ambazo Mungu anakata tuzingatie:-

 

1)      Msimu wa sikukuu

2)      Ni kwa nini Desemba 25?

3)      Sherehe za Kuzaliwa

4)      Wafalme watatu

5)      Wafalme wa Krismasi (Kmrismasi)

6)      Nuru na mishumaa ya krismasi

7)      Santa klausia

8)      Santa Elve’s

9)      Keki (mkate) ya krismasi

10)  Ivyi Takatifu

11)  Kigongo cha Kusimamishia Mshumaa

12)  Nyongeza za kisasa kwenye dhana potuvu ya krismasi

13)  Inachosema Bibilia kuhusu muda wa uzazu wa Kristo

14)  Ni sikuu zipi tunazopaswa kuzingatia?

 

1)      Msimu wa sikukuu

 

Ikiwa sikukuu katika siku za kale iliyosherehekewa Roma katika mwezi wa Disemba. Sherehe hii ilijengeka juu ya msingi wa kipindi cha baridi. Sherehe hii iliitwa ‘Saturnalia’, Mungu wa upanzi wa mbegu na mringo.

 

‘Siltice’ ni kitu gani?

 

Hii hutendeka mara mbili katika mwaka baina ya vipindi viwili ambapo jua huruka istiwai. Wakati huu, jua huwa mbali zaidi na istiwai.

 

Ikwinoks ni kitu gani?

 

Hii hutendeka mara mbili katika mwaka. Hiki ni kipindi urefu wa uskiku huwa sawa na wa mchana. Jua huivuka istiwai wakati huu.

 

Warwami walisherehekea ‘Winter Soltice’ tarehe 25 Desemva katika nuru ya dunia ya kaskazini, huwa ni msimu wa baridi wakti wa ufalme wa Kirwi, sherehe hii ilifanywa kwa kipindi cha siku saba, kutoka Desemba 17 hadi Disemba 23.

 

Sherehe hii iligawanya katika sehemu tatu

1)      Saturnalia Kamilifu: ilisherehekewa kutoka Disemba 17 kwa ajili ya Mungu Saturu

2)      Opali: ilisherehekewa kuanzia Disemba 19 kwa ajili ya Opis, kwa ajili ya ardhi na mkewe Saturu

3)      Sigillaria: ilisherehekewa kuanzia Disemba 22 hadi 23 (siku za 6 na 7 za Saturnalia). Katika sikukuu ya sigillaria, mianasesere ya udongo ilifinyangwa na kuuzwa. Mianasesere hii ilipeanwa kwa watoto kama zawadi. Hapa ndipo utawaduni wa kuwazawadia watoto wa kati wa krismasi uliachimbaka

 

Sikukuu ya saturnalia ilikuwa ni sherehe ya kitaifa. Biashara yoyote haikuruhusiwa na shule zilifungwa. Wafungwa waliachiliwa huru. Kila mmoja alihusika katika kusherehekea na kuburudika.

 

Saturnalia ilisherehekewa na Warumi kwa kipindi kirefu. Hatimaye ikawa sehemu ya kile kiitwacho krismasi leo hii.

 

Matamshi ‘kipindi cha sikukuu’ yalichimbuka kutoka katika sikukuu ya saturnalia.

 

2)      Ni kwa nini Disemba 25?

 

Kalenda ya kijulia iliweka Disemba 25 kuwa mapumzik katika msimu wa baridi.

 

Kalenda ya Julian Ni nini?

 

Kalenda ya kijulia ilitengenezwa na Julias Caesar – kiongozi wa utawala wa Kirumi – miaka 46 kabla ya tarehe iliyotengwa kuwa ya uzawa wa Kristo.

Disemba 25 ilichukuliwa kama ‘Nativity’ (uzawa wa jua) iliyozaliwa na mama wa angani ‘goddess’ mchana likawa mredu ba usiku kuwa mfupi. Iliminika kuwa mchana na ulikuwa mrefu kwa sababu nguvu za jua zilimarishwa tangu siku hiyo.

 

3) Sherehe ya Kuzaliwa

Sherehe zilianguka uzawa wa jua zilikuwa na mfanano za zile za krismasi. Katika utawala wa Kirwui, ibada ya mama wa angani na mwanwe ilifahamika

 

Ibada ilivumilia ubinifu wa ukristo uliofanywa na konstantino (utawala wa Kirumi).

 

Alama ya mama wa angani na mwana si ya chimbako la Kikristo. Katika enzi za Agostino makuhani waliponga kwata hapa kama katika kihima ya kadri.

 

Mama wa angani akamilikiwa kwenye ukristo kama Bikira Maria.

 

Jina la mamake kristo ilikuwa Mariamu na si Mary.

 

Mariamu aliendelea kupata watoto zaidi, kinyume cha Mary wa angani, aliyemzaa mwana mmoja tu anayeabudiwa na wadhhebu ya kikatoliki.

 

4)      Wafalme watatu

 

Wafalme watatu wanaohusishwa sikukuu ya ibada ya jua si wale mamajusi waliongelewa katika Bibilia. Hawa wafalme wanaonekana kushabihiana na zile siku 12 za krismasi.

 

Siku hizi kumi na mbili zinaoanishwa na Disemba 25 kipind cha muda tangu Disemba 25 hadi Januari 5 kilijulikana kama siku kumi na mbli za Krismasi. Usiku wa kumi na mbli ndio usiku wa Januari 6.

 

Bible haizungumzii ibada ya wafu waliotoka mashariki. Hata hivyo, inazungumzia juu ya zawadi tatu. Bibilia pia haiwaiti wafalme bali ‘magi’ kumaanisha watu wenye busara.

 

Mathayo 2:1-12

 

Ysu alipozaliwa katika Bethlehemu ya Uyahudi, zamani za mfalme Herode, tazama, mamajusi kutoka mashariki walifika Yerusalemu, wakisema, yuko wapi yule aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake mashariki nasi tumekuja kushuhudia. Basi mfalme herode aliposikia hayo, alifadhaika, na Yesu haki wote na waandishi wa watu akatafuta habari kwao, Kristo alizaliwa wapi? Nao wakamwambia katika Bethlehemu ya Uyahudi kwa maana ndivyo ilivyoandikwa na nabii. “Nawe Bethlehemu katika nchi ya Yuda, hu mdogo kamwe katika majumbe ya Yuda; kwa kuwa kwako atatoka mtawala atakaye wachunga watu wangu Israeli.” Kisha Herode akawaita mamajusi faraghani akapata kwao hakika ya muda tangu iliponekana ile nyota. Akawapeleka Bethlehemu, akasema, shikeni njia, kaulize sana mambo ya mtot, na mkiisha kumwona, niliteeni habari ili mimi nizude kumshujudia. Nao walipiosikia maneno ya mfalme, walishika njia, na tazama, ile nyota waliyoiona mashariki ikawatangulia hata ikaenda kusimama juu ya mahali alipokuwa mtoto. Nao walipoiona ile nyota walifurahi furaha kubwa mno. Wakaingia nyumbani mtoto pamoja na Mariamu mama yake, wakaanguka wakamsujudia, nao walipokwihsa kufungua hazima zao, wakamtolea tunu, dhahabu na uvumba wa manane. Nao wakiisha kounywa na Mungu kutoka ndoto wasimrudia Herode.

 

5)      Mti  Ya Krismasi

 

Mapambo ya mti huu yanatokana na Mungu Attis

 

Attis ni nani?

 

Attis, Mungu wa kipogoni, alisulubiwa mtini. Tamaduni hizi ina mfano na ile ya zama, ya roho wa mti. Mtu hukatwa na kutiwa na kisha kwa fedha na dhahabu na nembo ya mauti na kuzaliwa upya kwa Attis. Pamoja na nyota yenye ncha sita ta tambiko lake. Wagiriki walimwabudu Mungu Adonis  ambaye alifanana na Attis.

 

Attis alialamishwa na ule mrismosi uliobudiwa, na ambao kwake ulikuwa mtakatifu. Sababu zilizowafanya watu kudhania kuwa mrismasi ulikuwa mti mtakatifu ni kuwa, katika wakati wa baridi, mti huu ulibakia kuwa kijani ilhali mingine ilipukutisha matawi yao.

 

Nembo Attis zilizo juu ya mkrismasi huo umebadilika na kuwa nembo za jua na kisha malaika marembo ya mti wa krismasi ni rahisi kutambulika kwani kuna nembo za mwezi na jua. Katika mashariki ya kati, Atis alijulikana kama ‘Baal consort’ wa ‘Astarhe Istar’. Bibilia inapinga zazi hili. Katika Yeremia, tunaona maelezo ya mti wa krismasi na tunaonywa tusifuate la watu waliozunguka kando kando.

 

Yeremia 10:2-5

 

Bwana asema hivi

Msijifunze njia ya mataifa

Wala msishangae kwa ishara ya mbinguni

Maana mataifa hungungua kwa sababu ya ishara hizo

Maana desturi za watu hua ni ubatili,

Maana mtu mmjoa hukata mti mwituni

Kazi ya mikoni ya fundi na shoka

Huupamba kwa fedha na dhahabu

Huukoza kwa msumari na nyundo, wakatike

Mfano wao ni mfano wa mtende, kazi ya cherehani, hawasemi; wahana budi kuchukuliwa

Kwa sababu hawawezi kuenda

Usiwaogope kwa maana hawawezi kutenda uovu

Wala hawa uweo wa kutenda mema.

 

6) Nuru na mishumaa ya krismasi

 

Wanaokinga usega walinyenyekeshwa na watawala wao wakati wa saturnalia. Usega pia ulitumika kufukuzia mbali miungu ya radi, ngurumo, mambo ya kichasi na roho ovu. Mishamaa iliwashwa kishaye na kutandikwa mtini

 

7) Santa klaosia

 

Kama tumfahamavyo sanata kiansia siku hizi, alitokea katika ufanyibiashara wa marekani. Wamerekani walipata kutoka ujerumani na Uduchi, Folklove

 

Mtu aliyejulikana kama mtakatifu Nicholas ni Nichokas wa ‘myra’. Alikuwa askofu wa Lycia huko Asia Minos na aliaga dunia mnamo 352CE.

 

Hadithi yake inaendelea kusema kuwa aliuchukua ujira wake kwa miaka mitatu na kisha kufanya mshahara wa kila mwezi kuwa kipira kubwa alilolibingisha katika aila zilizokuwa masikini. Hili ndilo chimbuko la kupokea zawadi za krismasi.

 

Mfano wa Nicholas wa myra wa kuwatunuku masikini mlingwa na wakufunzi wa ubikira wa Kifaraza. Zawadi zilisambszwa kutoka kwenye kisanduku cha ‘almas’ tarehe 26 Disemba, hivyo siku baada ya krismasi huitwa siku ya visanduku (Boxing day).

 

Huko Nehetherlands, sawta claus anajulikana kama Sinter Klaas Sinterklaas alikuwa askofu aliyekuwa jitabu la matendo mama na maovu. Ana wachungi wengi na yeye alikuwa na mtumwa aliyeitwa “Black Peter”. Huko Netherlands, watoto huimba nyimbo wakuzunguka madohani. Black Peter hutenga masikio kutoka juu ya dohan ikiwa kweli watoto wanaimba wimbo iffao na kutoa sadaka zifaazo kwa furaha wa sinterklass, abao ni karoti na nyasi kavu. Baada ya hayo, watoto hupokea zawadi zao kupitia kwenye dohani.

 

Chimbuko la kyerwamani la sinterklaas limeengemezwa kwa Mungu, Woden (ambaye kwake tunapata neno ‘wodenesday’ linalomaanisha woden’s day – le twasema Wednesday).

 

Woden alikuwa muhimu sana kwa wajerumani wa sasa, wa – Tenton na waingereza. Woden, ambaye ametajwa kuendesha farasi wake mweupe angani alikuwa na kanzu iliyonyiririka. Pia ana ndevu ndevu nyeupe na kofia kubwa inasemekana pia kuwa na kusara mno. Yeye hubeba kitabu mkononi

 

8) Utowaji wa Santa

 

Wakzi wa shetland waliita sherehe hii ‘Yutes’ siku saba kabla ya krismasi ‘elves’ zilioitwa ‘trows’ waliachiliwa huru kutoka manyumbani mwao na kuruhusiwa kuishi juu ya udongo wakipenda. Katika siku ya mwisho ya sherehe, washetlandi waliwatimua trows’ kurudi chini ya ardhi, kwenye makao yao. Huku kuliitwa ‘saining’ – saining’ alifanywa bila hitilafu ili kuiondohsa shehemu ya ‘torws’ ambayo pia aitwa ‘grey folds’. Kutokana ka dhana hii potovu, dnipo ‘allien grey’ alipochimbuka.

 

9) Mkate (keki) wa krismasi

 

Baada ya saturdalia, ilikuwapo sikuu iliyoitwa, sikukuu ya wajinga. Hii ilikuwa kuanzia Disemba 25 hadi Januari 6. Katika kipindi hiki, mfalme wa malkia aliteuliwa. Waliteuliwa katika suku wa 12 wa siku 12 za Krismasi. Waliteuliwa na halaiki.

 

Hapo mwanzo maharangwa yaliokuwa kufanya mkate ili kumtena mfalme na malkia. Mara nyingine yalikuwepo mahahargwe mengi na yaliyokuwa na rangi yaliwakilisha mfalme ay malkia. Huku uingereza, mfalme angeteuliwa kwa haragwe na malkia kwa mbaazi. Baadaye, sarafu zingeje kwa badala ya maharagwe.

 

10) Ivyi Takatifu na Maslletoe

 

Nyekundu na kijani ni rangi kale za kipagani. Zabibu na mwatwi yanayoonekana kwenye mapambo ya krismasi, yamaanisha holly ivy, na mashtoe iliyona rangi za kijani na nyekundu. Ivy alikuwa mti mtakatifu kwa Attis na katauhani wake Attis wakachorwa. Miilini kwao. Msitletoe inayootwa kwenye mti ‘oak’ ilikuwa takatifu kwa drius na aryans wazo hili lilitokana na ukweli kuwa Mistletoe ilisambaa na kuja kama mti kutoka mbinguni na wala huikudaka ardhi.

 

11) Kigogo cha Kuwekea Mshumaa

 

Wajerumani walichoma gogo la Yace. Hii ilikuwa ni tamaduni ya kale hadi 1184. Ilirekodiwa kuwa parokia ya kuhani wa Lahen hoko mansterland alirekodi kalenda.

 

Mti ili kuwasha moto wa sikukuu ya Bwana. Kuwashwa huku kwa mioto kulimaanisha kulisaidia jua kii,arisha nuru yake.

 

12) Nyongeza za kisasa katika dhana potovu za kikristo

 

Kris kringle: Hii ililetwa na Waropa waliokuwa wakihamia Marekani.

 

The knickerbocker tales: Washingtone irvine anamtwaa sauti klawia kuwa ndiye aletewa zawadi nemi.

 

The reinder: Clemet clack moore katika sairi “A visit from saint Nicholas ambalo lilipewa jina “twas the night before Chrismas” alivumbua “reinderr” ya nane ikiwa na ishara la kitamaduni za Mungu wa ngurumo na radi katika majina kama donner na blitzeri.

 

Uso wa santa klausia: mwaka wa 1931 Haddon sundblom wa Skandinevia aliidhinishwa kuendehsa kampuni ya Coca Cola, na kuwa kutumia uso wake mwenyewe, akamtambulisha santa Klansia kwa miaka 25 baadaye.

 

Mnamo 1941, Rudolph the noseal reindeer ulitiimbwa wa toleo ya mwisho kufanywa.

 

Rangi na dhana otovu zinaisunguka picha ya kile kwa sasa kijulikanacho kama sauto klansia ni matokeo ya mwisho ya miaka 3,000 ya ibada ya miungu na ufanyi biashara.

 

13) Inachosema bibilia kuhusu wakti na uzawa wa kristo kuna uwezekano kuwa

 

Kristo alizalwa katika kipindi cha sherehe za namanda (septemba / Octoba) katika  muda wa kati ya 8 – 5 BCE. Bibilia inasema kulikuwapo wachungi wakiwatazama kondoo wao usiku wakati Kristo alipozaliwa (Luka 2:8). Hili halingeweza kutendeka Disemba, kwani hamlaiwa na kondoo wakti huo. Ilikuwa takriban mwezi wa tisa wa kalenda ya mwezi wa Bibilia inasema pia kuwa ilikuwapo baridi na mvua katka kipindi hiki cha mwaka, katika sehemu hiyo ya ulimwengu (Ezra 10:9).

 

Disemba 25 si siku ya kuzaliwa kwake Yesu Kristo mitume na wakristo wa kanisa la kale hawakusherekea sikukuu ya kuzaliwa kwa Kristo wakti wowote Bibilia hayaweka wazi wakati Kristo alipozaliwa na huamua sharti kusherehekea uzawa wake, hata hivyo.

 

14) Tuzingatie Sikukuu zipi?

 

Hakuna sehemu yoyote katika bibilia tunapoambiwa tusherehekee krismasi. Hata hivyo bibilia inatupa orodha ya siku takatifu za mwaka ambazo ni sharti tuzingatie. Siku hizi takatifu ni msarura wa sikuu ambzo zinaonyesha lengo la Mungu la wokovu

 

Siku takatifu mwaka ni:-

 

 

q