Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[053]

 

 

 

 

Takwimu ya Kihebrania na Kislamu Kushawashishwa


(Toleo la 3.0 20030526-20060216-20110507)

 

Kwa Karne nyingi Kalenda ya Kislamu Imetumika kwa ugumu na hasa sana si baada ya muda mrefu tangu nabii alipoaga. Majaribio yote ya kuirekebisha yaliyofanywa na watawala, na wenye daraja mbali mbali Kanisani yamezuiwa au kupingwa kufuatia tafsiri ya kutatanisha ya Surah iliyotokezwa na hadith. Tatizo ni lipi na jibu lake halisi ni lipi? Mbona dini ya Kiyaudi na Uislamu zinakosea sana na kuwa mbali mbali? Jawabu linapatikana katika kufahamu kupotoshwa kwa takwimu ya kweli ya Biblia na dini zote mbil. Suluihisho nia rahisi.



Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

Barua Pepe: secretary@ccg.org

 

 

(Hati miliki © 2003, 2006, 2011 Wade Cox)

(tr. 2012)

 

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakaotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


Takwimu ya Kihebrania na Kislamu Kushawashishwa



Kumbuka: Muhammad ni jina la Kanisa.

Ahmed ina maana ya Roho Mtakatifu.

Jina la nabii lilikuwa Kasim (linalotamkwa Muhammad)

 

Uyahudi, Uislamu na Ukristo

Biblia imeorodhesha miongozi dhahiri ya takwimu, ambayo haifuatwi na dini yoyote kubwa, si Uyahudi wala Uislamu wala Ukristo.

 

Katika masomo Kalenda ya Mungu [156] [God's Calendar (No. 156)] imeelezewa jinsi takwimu za Kipagani kule mashariki, zilivyotofuatiana pia na kalenda “Takatifu”, iliyofanyika takwimu ya Serikali, inayoanzia mwezi wa Abib au katikati ya mvua ya masika na kiangazi nayo inajulika kwa urefu wa mchana na usiku (Equinox). Uyahudi unafuata desturi za Kipagani(kishenzi) kwa kwanza kalenda katika mwezi wa saba, kinyume na maagizo ya Mungu na la kushangaza sana inakubaliana na mivuto asili ya Kipagani kwa Uislamu kabla ya kalenda ya Kislamu kutengwa mbali.

 

Takwimu ya Kislamu ilivunjwa kutoka kwa muundo asili wa utakatifu uliowekwa na Mungu kwake Musa na jinsi ilivyofanywa Hekaluni. Siku hizi, siku pamoja na miezi ya Kiislamu Mitakatifu na likizo au siku takatifu za Kibiblia zina maan kuu katika nyakati tofuati. Isitoshe, takwimu ya Kiislamu siku hizi ni ile ya siku 354 au 355 sawa na kuwa nyuma kwa siku 10 au 12 kila mwaka wa jua ulio na siku 365 ¼. Hata hivyo, mwanzoni mwa Uislamu, nabii aliyeitwa “Mohammed” pamoja na wafuasi wake walikuwa na miezi mitakatifu wakati uo huo kama sikukuu za Kibiblia, kufuatia kalenda ya asili ya Biblia,.

 

Kwenye ukurasa wa 83, Studies on the Jewish Background of the New Testament, M. De Jonge, J. Vah Goudoever, kitabu hiki kinaelezea:

“Ashura, mfungo wa hiari ndicho chanzo cha ulinganisho wa kalenda ya Kiislamu na ile ya Kiyahudi (Kikristo), siku ya 10 ya Muharam, ndiyo maendelezo ya Kiislamu ya siku ya upatanisho. (Chanzo Shorter Encyclopedia of Islam s.v. Ashura). Muharram ikilinganishwa na Tishri, basi mwezi wa Ramadhan unalinganishwa na mwezi wa Kiyahudi wa Sivani, ndio mwezi wa sikukuu za majuma kwa Wayahudi. Mila ya Kiislamu inahoji kwamba hiyo ilikuwa mikesha ya Ramadhan, inayoitwa Laitat alkadiri ambapo Muhammed alipokea ufunuo wa Koran………….kuna ulinganifu wa wazi kati ya hali ambazo kwazo Musa alipokea Torah na zile ambazo kwanzo Muhammed alipokea Kur’an (Reference in the footnote – G. Widengleh, The Ascension of the Apostle and the Heavenly Book, King and Savior III”, Upsala Unir).

 

Katika kalenda ya Kiislamu, Muharram ni mwezi wa kwanza ndivyo ilivyo Tishri mwezi wa kwanza wa kalenda ya kisiasa katika Uyahudi wa kale. Mwaka mpya ule wa Rosh Hashanah uliingia uyahudini katika karne ya tatu ya kipindi cha sasa. Hivyo basi, mvuto ambao matajiri wa Kiyahudi katika mashariki ya kati walikuwa nao dhidi ya Waharabu kabla ya Uislamu, pamoja na mivuto isiyoelezeka ya Kishenzi dhidi ya zote mbili, ilisababisha mwaka mpya wa kisiasa katika mwenzi wa saba kuwa mvuto kwa mataifa yote mawili. Muharram ni mwezi mtakatifu katika Uislamu haswa kwa sababu ulikuwa mwezi mtakatifu katika Biblia nao ni mwezi wa saba wa Mwaka Mtakatifu na wa takwimu ya Mungu.

 

Kielimu ina maana ya mwezi wa nyumba ya Mungu-Harram. Hivyo basi Uislamu ulisawazishwa na Biblia, walakini umepotoshwa na mazoea ya Kiyahudi, ya kutumia takwimu za Kisiasa. Kufikia wakati wa Islam ca 632 CE kalenda ya Kiyahudi ilitengwa mbali na taratibu za Biblia na kufuata taratibu za uongo zilioanzishwa kutoka Babeli chini ya Rabbi Hillel II mnamo 358 CE. Hivyo kalenda hii inayoanza mnamo mwezi wa Tishri, pia ilitokeza asili zake toke Babeli wa kale na taratibu za Kishenzi (Kipagani).

 

Ukweli ni kwamba kalenda inayotumika na Wakristo Waarabu pamoja na nabii ilikuwa tofauti mbali na zote mbili kama tutakavyoona hapo chini

 

Mwezi wa Ashura ulianzishwa katika Uislamu kwa kuwa Wayaudi wa kule Medina walitunza hile siku ya upatanisho (ambayo ni siku ya kumi ya mwezi wa Tishri). Kwa hivyo, siku ya kumi ya mwezi wa Muharram iliorodheshwa sawa na siku ya kumi ya mwezi wa Tishri au mwezi wa saba. Takuimu za Hijri na Uyaudi katika kipindi cha kwanza cha uislamu zimeratibiwa hapo chini.

 

Kalenda ya Kiyahudi

Zinaangukia wakati wa

Mwezi wa Kiislamu

Tishri      

 Sept/Okt 

  Muharram

(Mwanzo wa mwaka mpya wa jamii ya Kiyahudi

Heshvan 

Okt/Nov

Al Safar

Chislev             

Nov/Des

Rabi'ul Awwal

Tevet             

Des/Jan

Rabi'u-Thani

Shevat 

Jan/Feb 

Jamadi'ul Awwal

Adar 

Feb/Machi

Jamadi'u-Thani 

Nisan/A'bib

Machi/Aprili

Rajab

(Mwanzo wa mwaka wa Kidini /Mtakatifu wa Kihebrania)

Zif/I'yar

 Aprili/Mei

Sha'ban

Sivan           

Mei/Juni

Ramadhan

Tammuz

Juni/Julai

Shawwal

Av/Ab

Julai/Agosti 

Dhul-Qadah

Elul                  

Agosti/Sep

Dhul-Hijjah

 

Muharramu (Nyumba ya ibada) ni mwezi mtukufu ukisawazishwa na Tishri ambamo tunayo siku ya Baragumu, siku ya upatanisho (Yom Kippur) sikukuu za vibanda na siku kubwa ya mwisho.

 

Rajab pia ni mwezi mwingine mtukufu uliolinganiswa na Nisani tunapokuwa na skikuu za pasaka (Pesach), na mikate isiyotiwa chachu (Hag-ha Ma’Atos)

 

Ramadhan inalinganishwa na Iyar na Sirani ambapo Tora na Koran zilitolewa kwa wingi kama maandiko. Waislam hufunga na kuabudu katika kipindi hiki nao Wahayudi huwa na kuhesabu Omeri hadi Sharotti (Pentekoste), ambayo wameipotosha na kuifanya kuwa tarehe maalum ya Sirani 6. Makanisa ya kweli ya Mungu ya Kikristo yatatunza vipindi hivi na Pentekoste kwenye siku iliyo sawa tangu jadi ya taratibu za Hekalu, iliyokuwa siku ya kwanza ya juma sasa hivi iitwayo Jumapili.

 

Hesabu ya mwaka wa Kiyahudi imetatanishwa na sheria katika sehemu  nne, zinazoonyesha kuahirisha. Sheria hizi zinaelezewa katika Kalenda Na Mwezi Uhairishiau Sherehe? [195]

  [The Calendar and the Moon: Postponements or Festivals? (No. 195)]. Utaratibu wa kuahirisha ulianzishwa baada ya kipindi cha Hekalu na hizo sheria hazina chochote na kalenda ya Hekalu la kale.

 

Mbinu ya kuuhesabu mwezi wa upenyezi, unaoonekana mara saba kwa kila mwaka kumi na tisa, angalu ni wazi. Utaratibu umetumiwa pasipo matatizo kwa maelfu ya miaka, walakini kwa sababu nyinginezo Waarabu waliutupilia mbali kimakosa au kwa ujinga. Pengine ilikuwa kujitenga mbali na utaratibu wa desturi za Hillel ambao waliufahamu kuwa wa kizamani na wa uongo. Huenda utaratibu huu uliwasumbua Waarabu walioonekana kuuachilia tu mwezi huu wa upenyezi kwa uzuri miaka kadhaa baada ya uanzilishaji wa Uislamu. Katika hali hii hizi kalenda mbili ziliachana (ona pia chini).

 

Miezi kama Rabi-awal (musimu wa kwanza), na Rabi-thani (musimu wa pili) inaonyesha sababu haswa “Musimu”-kummanisha ukuaji wa nafaka katika mashariki ya kati (wakati wa Chislev na Tibeti kama (“Misimu ya kwanza na ya pili”), jinsi inavyohitilafiana na musimu mwafaka katika mwezi wa Rajab katika Uislamu na ule mwezi wa Abibu ulio mwenzi wa kwanza wa Biblia, na musimu wa mavuno ya shayiri katika Israeli. Miezi hii haiwezi kuzunguka kwa miaka  ikipunguza takribani siku 10 kila mwaka. Na huku Uislamu umeiruhusu kuachana na mwaka ikizunguka ovyo ovyo kwa miaka mingi hadi inapolingana tena na hivyo ni mara moja tu kwa miaka 33.

 

Kutokana na habari tuonayo hapo juu pamoja na jedwali hivyo ni kwamba watoto wa Israeli na wale wa Ishameli walitunza siku takatifu kwa siku zilizolingana, mwanzoni mwa Uislamu. Pia jinsi inanvyoonyeshwa katika maandishi ya makanisa ya Mungu ya Kikristo, Nabii wa Kiarabu na Makalifa wa kwanza waliishika sabato (Taz. pia Introduction to the Commentary on the Koran (No. Q1).

 

Hivyo Uislamu na Makanisa ya Mungu waliitunza “kalenda ya kweli” kama swala ya imani. Makosa yaliingia kanisani kupitia ushenzi na elimu isiyoelezeka ya Kiyahudi, yakilazimisha mwezi kuanzia mwandamo badala ya mwungano, na ndivyo ilivyohesabiwa wakati wa Biblia. Hivyo basi Uislamu na Uyahudi ulianguka kutoka kwa imani na kuabudu miungu ya kishenzi kupitia kwa taratibu zao za ibada na mafundisho.

 

Ingawaje Turuti za Kiislamu mara zote huhusisha Koran sura ya 9, inayoelekeza kwenye miezi kumi na miwili pekee. Hii hasa ushahidi wa na mkanusho wa “Utaratibu wa Uahirishaji” ulioingizwa ndani ya Uyahudi chini ya Helleli II mnamo 358 CE. Hili ni jaribio la kwanza la kuifanya kalenda ionekane tofauti na kalenda ya Kihebrania.  Kwa hakika ni pamoja na kuitoa hii Surah ndipo Hadithi inaanza utengaji wake wa kalenda ya Kiislamu kutoka kwa kalenda ya kweli ya Mungu kama ilivyozoelewa na Wahebrania, kanisa na Uislamu wa kwanza chini ya nabii.

 

Hakika, the Encyclopedia of Religion and Ethics (ERE) (Hastings ed), vol 3, Article “Calendar” (Muslim) uk. 126, inasema kwamba kalenda ya Kiislamu haikuwako hadi mwaka wa 10AH Nabii aliposafiri kwa mara ya mwisho kwenda meka (hijjat al wada 631 CE). Alitoa hutuba hii (hutba) ambayo maana yake imo katika surah hapo chini, inatoa miezi kumi na miwili kwa mwaka. Swala hili linafikiriwa kumaanisha hapana haja ya upenyezi, na hili ni upuzi. Haijapata kuwa hivyo tangu wakati wa Nuhu, Abrahamu, Musa na Manabii. Kwani manabii wangeagiza kalenda kama hiyo kasha kuitaja miezi miwili “Musimu wa kwanza” na “musimu wa pili” ikiwa kusudi lake lilikuwa kalenda hii izunguke ovyo ovyo ikiifanya tofauti kama hiyo isiwezekane. Hakuwa na kichaa wala hakuzungumza kinyume cha kalenda iliyokuwako kwa miaka elfu na ambayo mwenyewe alifuata. Huku Uislamu wa kisasa pamoja na hadith vingemfanya kuwa punguani hasa, na wao wenyewe wanahesabia miezi ya baridi, na ile ya kati ya baridi na kiangazi, na msimu wa hari, na ile ya wakati wa masika kama miezi ya msimu wa katika ya masika na kiangazi, kana kwamba neno hili halina maana.

 

Wayahudi wenyewe wanauhesabu mwezi penyezi kwa jina la mwezi wa kumi na mbili hao ni wa pili kwa mwezi wa kumi na miwili kama “We Adari” au “And Adari”. Hayo masharti ya kalenda yametelezwa na Uislamu halisi kwa miaka elfu, tokea kwa wazee wa imani nalo ni Agano walilofanya pamoja na Mungu.

 

Tarehe ya kweli ya uanzilishaji wa kalenda ya uongo ni ya nyuma, baada ya kifo cha nabii.

 

Tafsiri tofauti ya Surah at-Taubah 9:36,37 ambayo kwa upekee inaangazia kufanyiza kwa kalenda ya kweli kwa utaratibu wa Kiyahudi ule wa kuahirisha kulingana na maneno ya Surah zenyewe, zimelolewa hapo chini.

 

{at-Taubah 9:36} Tazama! Hesabu ya miezi kulingana na Alla ni miezi kumi na miwili kwa agizo la Alla katika siku akiyoumba mbingu na nchi. Mine kati yake ni mitukufu. Hiyo ndiyo dini ya haki. Kwa hivyo msijijoseshe ndani mwake. Fanyeni vita dhidi ya waabudu sanamu wote kama wao nao wanavyofanya dhidi yenu. Na mfahamu ya kwamba Alla yu pamoja na wale wanaomtumikia kama wajibu.

 

{at –Taubah 9:37} kuahirisha (kwa mwezi mtukufu) ni wingi tu wa utovu wa imani ambapo wale wasioamini wanapotoshwa; wanaruhusu hili kwa mwaka mmoja kasha mwaka mwingine wanaupiga  marufuku, ndipo waweze kuifanyiza idadi ya miezi ambayo Alla ameitukuza na kuiruhusu ile aliyoipiga marufuku. Uovu wa matendo yao unafanywa kuonekana mwema kwao. Alla haongozi kundi lisiloamini.

 

{at –Taubah 9:36} Hakika idadi ya miezi ya Mungu ni kumi na miwili katika agizo la Alla tangu siku alipoziumba mbingu na nchi; mine yake ikiwa mitukufu; hiyo ndiyo hesabu mwafuaka kwa hivyo msijikoseshe haki kwayo; nanyi mpiganeni na waiabudio miungu mingine wote sawa na wanavyopigana nanyi nyote, na mfahamuni kwamba Alla yu pamoja na wale walindao (dhidi ya uovu).

 

{at –Taubah 9:37} Kuahirisha (kwa mwezi mtukufu) ni nyongeza tu katika kutokuamini, ambapo wasioamini wanapotoshwa, kwa kuivunja mwaka mmoja na kuutunza mwaka mwingine, ili ipate kukubaliana katika hesabu (ya miezi) aliyoitukuza Alla na hivyo kuihalifu ile Alla alitakasa; uovu wa matendo yao unaonekana kama wema kwao; na wala Alla haongozi kundi la wasioamini.

 

Hapa maahirisho ndiyo yanayoshambuliwa, wala siyo ukweli wa umuhimu wa kutambua mwezi penyezi wa mwaka. Hapa ndipo Uislamu umepotoka na mapepo yamewezeshwa kuipotoa imani ya Uislamu kwa uzushi wao. Hata wasomi wa ERE hawaelewe kabisa kusudi la Surah, licha ya maneno yake, pengine kwa sababu wao wenyewe hawaelewe utangulizi wa maahirisho kwa Hekalu la kwanza la Kiyahudi na kalenda yake kwa ajili ya njama za Kirabbi. Miezi mine mitukufu ambapo vita haingefanywa ilipotolewa kitambo kabla ya Uislamu wa makabila ya kishenzi ya Waarabu mbali na miezi mitukufu ya Torah na hili limechunguzwa hapa chini.

 

Kupigwa marufuku  kwa Nasi

Kama ilivyoelezewa hapo juu, mwezi wa Muharram  unalingana na mwezi wa saba wa mwaka wa Kibiblia. Katika utaratibu wa kizamani wa shemu  mwezi wa mwaka mpya ulitegenezwa kwa sikukuu za mwaka mpya. Mwezi wa Tishri ulitumiwa na Wayahudi wafisadi wa mashariki ya kati chini ya nguvu za kibabeli katika karne ya tatu CE kama mwanzo wa mwaka mpya kutoka Rosh Hashanah. Sikukuu hii iligongana na siku ya Tarumbeta tarehe ya kwanza ya mwezi wa saba ila ni sikukuu tofauti. Upenyezi wa utaratibu wa Wakaldayo wa shemu pia ulitokeza mwezi penyezi wa kumi na tatu kutangazwa na Mfalme au Nasi. Hivyo ilikuja kuitwa Nasi ambalo ni jina la Kihebrania linalomaanisha “Mfalme” na katika Uhebrania wa kisasa lina maana ya Mkuu ye yote wa kitaifa aliyechaguliwa. Waarabu sawa na Marabbi wa Kiyahudi walianza mwaka wao wakati wa masika na mara zote walisherehekea sikukuu za msimu na masika (Encyclopedia of Religion and Ethics, (ERE) vol. 3 uk. 126, Article ‘Calendar’ (Muslim). Mwezi wa mwisho wa mwaka ni wakati wa kuhiji (Dhul-1-hijja).

 

Katika Israeli Nasi alitangaza mwezi penyezi na marazote ulitangazwa kama Adar II au We Adari wala haukuwa na jina maalum. Mara zote ulikuwa wakati wa usawa wa mchana na usiku hivyo basi mwezi wa kwanza wa mwaka ndio uliokuwa Nasi kulikoni ule wa upenyezi wa mwisho na wa pili ndio uliokuwa Muharram. Hata hivyo si sawa. Mwezi Rajab mara zote ulikuwa wa Pasaka nao ni sawa na Pesach nao ulitanguliza Uislamu miongoni mwa Waarabu (ERE ibid).

 

Majimbo ya kirumi katika mashariki ya kati yalifuata kalenda ya kibabeli ambayo ilianza katika mwaka mpya wa kijamii uliolingana na mwezi wa saba wa kibiblia. Utaratibu  huu ulienea sana kote mashariki ya kati. Zoezi hili lilitumiwa na Wayahudi katika karne ya tatu kwa sababu huo utaratibu ulichafuliwa na makabila ya kishenzi yaliyowazunguka. Sikukuu  hii iliitwa Rosh Hashanah sawa na ilivyofanyizwa na Uyahudi.

 

Upenyezi uliendelezwa na Waarabu  kwa muda kabla ya Uislamu nao ulikuwa wajibu  wa Fuqaim kabila la Qinana (au kinana) (ERE, ibid. p.127). Walitangaza kwa uvumi mwezi ambao ungepenyezwa na ndipo huenda utafauti fulani iliingilia hesabu zao. Wakati wa utangulizi wa upenyezi wao miongoni mwa Waarabu unatokana na utangulizi wa utaratibu wa maahirisho ya Wayahudi. Huenda ikawa Hekalu liliposimama na kalenda ikawa sawa wote walifuata utaratibu huo, lakini tangia 358 CE walijikuta katika hitilafu na Uyahudi na ndipo walilazimika kuanzisha upenyezi wao wenyewe kwani miaka ya kupenyezwa ilitofautiana sana kwa wakati.

 

Zoezi la kutangaza mwezi wa kumi na tatu kama Nasi lilikomeshwa katika Uislamu ikishuhudiwa na kalifu Omari wa pili aliyepiga marufuku upenyezi wa ujumla, hivyo akautupa mwaka mbali na uhusiano wake na misimu (nyakati) ambayo majina ya miezi yalionyesha. Tendo hili lilitokana na ujenzi mbaya wa tangazo katika Koran kwenye surah IX:36ff. Surah hiyo ilitokezwa kiushuhuda mnamo 631 CE ikitegemea haji ya mwisho kule meka ya Nabii wa Kiarabu. Hata hivyo kitabu pamoja na matendo ya kumsifia Omari yalikuwa hapo baadaye sana.

 

Bila shaka inaonekana Nabii huyu wa Kiarabu alitunza sikukuu za Kibiblia bali hakutangamana na utaratibu wa maahirisho ya Kiyahudi. Amenukuliwa katika vitabu vya Sunni kama aliyegundua mfungo wa Wayahudi siku ya kumi ya mwezi Muharram, uliokuwa Yom Kippur. Kwa ushuhuda alitumia zoezi hili toka kwao ila hiyo si sawa (cf. Sahih Bukhari Vol. 3, Bk 31, No. 222 Mishkatul-Masabhi, Delhi ed. 1307 A.H. p. 172). Nabii ananukuliwa na Hadith (Al Sahih of Al Bukhari) kama aliyeamuru mfungo kwenye siku ya 10 ya Muharram, ambayo Nabii aliitangaza mwanzo kama Ashura.

 

Imeandikwa kama zoezi alilotumia, bali kutoka kwa korani hiyo haiwezi kuwa kweli. Inaonekana hakuwapata watu wakifunga ndipo akawaamuru kufunga na wale waliokuwa wakifunga kuendelea kufunga. Bila shaka alitunza siku ya upatanisho.

 

Hakuyashika maahirisho naye ameandikwa kama aliyepuuza mfungo wa Wayahudi mnamo Muharram 10, lakini hakuwa akifunga. Mealezo ya pekee ni kwamba alitunza kalenda tofauti lakini yenye uhusiano na hiyo. Kwa kweli alikuwa amefunga siku moja kabla wao kufunga katika mwaka huo.

 

Hakutunza kalenda ya kisasa ya Kiislamu Kama Hadith inavyodhani. Angalifanya hivyo asingeliwasili mnamo siku ya kumi ya Muharram, kama mwaka wa 622 CE aliowasili kalenda ya kisasa ya Kiislamu ingeweka Tishri 10 mnamo Rabi-al-awal 10 (cf. Ibid). Hivyo ni vigumu kwake kuwa alikuwa akiitunza kalenda hiyo. Aliitunza kalenda ya mwaka wa kumi na tisa ya mwezi-jua kulingana na mwisho na kama tuonavyo juu hii haikuwa na kuahirisha kwa Wayahudi.

 

K. Vollers anafikiri kwamba sikukuu kwenye mwezi wa mwisho wa kalenda ya Kiarabu, iitwayo Eid-ul-Adha, inayo maana ya kijua yenye asili ya Kipagani (ERE op. cit). Ingawaje, pia yawezekana kwamba lilikuwa salio kutoka kwa makataa ya upenyezi nalo likafanyika msiba kwa kuwekwa tena katika mwezi wa kumi na mbili badala ya Muharram wa mwaka mpya wa kijamii/kiserikali. Huu ndio ulikuwa upatanisho na mfuatano wa madhabahu jinsi inavyoshuhudiwa kutoka kwa sehemu inayoifanya shaitani ndani yake. Kiasili shaitani maana yake ni “joto la suri” (kutoka shyt). Vollers alifikiria kuwa ushenzi mwanzoni ila hiyo katika Uislamu ilihusishwa na shetani (ERE, ibid) ukweli wa mambo ni kwamba katika Uyahudi, na kanisani, siku ya upatanisho (Yom Kippur) mara zote iliambatanishwa na kumtenga shetani na Wayahudi walimtupa beberu wa Azazeli jangwani. Kanisa la wakati huo lilishika sikukuu ila halikutoa dhabihu kuliko kula nyama kwenye sherehe. Mila ya kumpiga shetani mawe iliyofanyika kwenye Eid-Ul-Adha ni maendeleo ya Kiyahudi yaliyotambaa kwenye kumtupa beberu Azazeli jangwani. Mwanzoni huyo beberu hakupigwa mawe walakini baadaye Wayahudi walianza kumpiga mawe na huo mfano wa utendaji umeendelea hadi ukawa Uislamu uliopotoka. Watu wengi hufa katika hali ya kushikwa na pepo wa kutojizuia kulia au kucheka katika sherehe hii karibu kila mwaka huko Meka.

 

Sherehe hii inaendelea kuanzia siku ya kumi ya mwezi hadi mwanzo wa siku ya kumi na tano. Kipindi hicho ni ukumbusho wa kipindi cha kuanzia upatanisho hadi sikukuu za vibanda ambayo inapaswa kutunzwa katika Uislamu badala ya kisiki hiki kilichopotea cha sherehe ya kuchekesha ya amri za Kibiblia.

 

Uislamu unaendelea siku za juma zitokanazo na mashina yake ya ukristo wa Kibiblia. Ijumaa ni mkusanyiko wa kukutana na Jumamosi ni Sabato (kama sabt). Bila shaka Waarabu kabla ya Uislamu waliitunza kalenda ya juma, na kutokana na mashina yao ya Kijudea-Kikristo waliandama sikukuu  hizo. Nabii aliomba msaada mkuu  toka kwa wajulikanao ili apate kujenga huu utaratibu wa kidini na tayari ulikuwa katika mahali pake kazi hii ilipoanzishwa.

 

Kuilaumu Koran kuna maana ya matumizi mabaya ya maahirisho na mwezi wa Nasi katika masika au majira mengine badala ya utaratibu wa Biblia kuanzia mnamo Abib au Nisan kama mwezi wa kwanza. Waliomfuata walitoa tafsiri mbaya ya maagizo, (pengine kama kusudi) na matokeo mabaya. Baada ya wale makalifu wane walioongozwa vyema Waarabu waliongezea msiba mmoja baada ya mwingine ili waingize tena desturi na mila zao.

 

Historia ya Hijji Kalenda ya Kiislamu

Nabii hakubadili chochote kwenye kalenda naye alifuata kalenda ya Biblia iliyotumika wakati huo. Pia ilitumiwa na Wayahudi waliobadilisha mbinu za hesabu kwa kutumia mapendekezo ya Marabbi wa Kibabeli mnamo 344 CE. Kanisa kule Mashariki hata hivyo lilitumia miunano na kufuata  kalenda ya mwezi/jua sawa na walivyofanya kwa karne nyingi. Jamaa ya Nabii ilitumia takwimu hiyo ikiwa ya Wakristo watunza Sabato.

 

Kalenda ya Kiislamu, inayotegemea mizunguko ya mwezi bila dosari, kiushuhuda iliingizwa kwa mara ya kwanza mnamo 638 CE  kwa urafiki wa karibu wa Nabii na Kalifu wa pili ‘Umar ibr Al-Khattab (586-644 CE). Alifanya hivi katika jaribio la kuelezea kwa jinsi ya kibinadamu taratibu  mbali mbali za kitarehe zilizotumika katika wakati wake na ambazo ziligongana wakati mwingine. Mgongano ulionekana kati ya Wayahudi na Wakristo. ‘Umar alitamani kutenganisha vifungo vyovyote vilivyoeleweka pamoja Uyahudi na kama matokeo alifanya kosa mbaya. ‘Umar (Omari) alishauriana na washauri wake juu ya tarehe ya kuanzia ya orodha mpya ya Kiislamu. Mwishowe ilikubaliwa kwamba hoja mwafaka zaidi kwa kalenda ya Kiislamu ilikuwa Ihjra (Hijrah, Hegira). Tarehe  haswa ya kuanzia kwa kalenda hiyo “Epoch” ilichaguliwa (kwa msingi wa miaka ya kimwezi ikihesabiwa kinyume nyume), kuwa siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza “Tarehe 1 ya Muharram” ya mwaka wa Hijra. (Hijri) ya Kiislamu-Kalenda – na tarehe zinazoangukia kwenye kipindi cha Waislamu –kwa kawaida hufupishwa kama AH katika lugha za magharibi kutoka kwa Anno Hejirrae ya Kilatin “Katika mwaka wa Hijra” tarehe 1 ya Muharram AH  I kwa kutajika inalingana na ijumaa Julai 16, 622 CE katika kalenda ya  kijuliana. Hii hakika ndiyo siku takatifu ya Tarumbeta za kitabu cha Biblia, ikiwa siku ya kwanza ya mwenzi wa saba, bali quassi ya Kipagani na baadaye Rosh Hashanah ya Kiyahudi ilifanyika mwaka mpya, ambao kwa wazi uliuvutia Uislamu katika hali hii y kwanza.

 

Hijra, inayosimulia kwa taratibu za tarehe ukimbizi wa Nabii, kutoka Meka (Makkah) hadi Medina (Madinah) mnamo Septemba 622 CE ni tukio la kati la kihistoria la Uislamu wa kwanza.  Ilisabibisha mji wa kwanza wa taifa la Kiislamu, hoja ya kugeukia katika Uislamu pamoja na historia ya dunia.

 

Inahojiwa kwamba, kwa Waislamu  kalenda ya Hijri siyo tu utaratibu  wa kimawazo kwa wakati wa hesabu na kuweka tarehe kwa matukio ya muhimu ya kidini, K.v. Siyaam (kufunga) na Hajj (safari Kwenda Makka). Hii ina maana ya ndani zaidi ya kidini na kihistoria.

 

Muhammad    Ilyes (Ilyes 84) anamnukuu Nadri aliyeandika.

    “(Majilio ya karne ya 15) kwa hakika, ni tukio la kipekee kufikiri kwamba Era ya Kiislamu haikuanza na shinde za vita vya Kiislamu, wala si kwa kuzaliwa au kifo cha Nabii (PBUH), wala kwa ufunuo wenyewe. Ilianza na Hijra au kafara kwa ajili ya njia ya ukweli na kwa uhifadhi wa ufunuo. Ulikuwa uchaguzi wa kiroho uliovuviwa. Mungu alitaka kumfundisha mwanadamu kwamba pambano kati ya ukweli na uovu ni la milele. Mwaka wa Kiislamu huwakumbusha Waislamu kila mwaka juu ya kafara yake na kuwandaa kufanya vivyo hivyo na wala si juu ya kiburi na utukufu wa Uislamu.”

 

Kutokana na mtazamo wa kihistoria, Ilyes ananukuu Samiullah anayeandika:

  “Matukio yote ya historia ya Kiislamu, hasa mno yale yaliyofanyika wakati wa maisha ya Nabii mtakatifu na hapo baadaye yananukuliwa katika kipindi cha kalenda ya Hijra. Ila hesabu zetu katika kalenda ya Kigregori inatuweka mbali na matukio hayo pamoja na yaliyotendeka yanayobeba mafunzo yenye maonyo ya upole na maagizo yenye kuongoza.

  …Na uchunguzi huu wa kuorodhesha unawezekana tu kwa kutumia kalenda ya Hijra kuonyesha mwaka na mwenzi wa kimwezi ikilingana na mila zetu tulizotunza (sisitizo kuongezewa).”

 

(Hijri) ya mwaka wa Kiislamu inabeba miezi kumi na miwili (ya kimwezi bila kasoro). Nayo ni: (1) Muharram; (2) Safar; (3) Raby` al-awal; (4) Raby` al-Than; (5) Jumaada al-awal; (6) Jumaada al-Thaany; (7) Rajab; (8) Sha`baan; (9) Ramadhaan; (10) Shawwal; (11) Thw al-Qi`dah; and (12) Thw al-Hijjah.

 

Hivyo inayoitwa kalenda ya Kiislamu hapo baadaye ni kinyume cha mapenzi ya Mungu kama inavyoonekana katika sheria inafuata zoezi la Kiyahudi na Kipagani katika kuuanza mwaka katika mwezi wa saba na licha ya amri za Koran inakatanisha kalenda na kuiruhusu kuuzunguka mwaka kwa miaka 33, kinyume na sheria za Mungu.

 

Tarehe muhimu zaidi katika mwaka wa (Hijri) ya Kiislamu ni pamoja na: 1 Muharram (mwaka mpya wa Kiislamu); 27 Rajab (Isra na Miraji); 1 Ramadhan (siku ya kwanza ya mfungo); 17 Ramadhan (Nuzul Al-Qur’an); Siku 10 za Ramadhan zinozohusisha Laitutu al-Qadar; 1 Shawwal (`iyd (au Eid) al-fitr); 8-10 Thw al-Hijjah (Haji ya Makka); na 10 Thw al-Hijjah (`iyd al-'adhhaa').

Inafikiriwa visivyo kwamba ni amri takatifu kutumia kalenda ya (Hijra) yenye miezi 12 (mikamilifu) ya kimwezi bila upenyezi wa (Ilyes 84).fikira hii inategemea sitofahamu ya maandiko katika mafungu yafuatayo yak ORAN (Transi A Yusuf Ali):

Wakikuuliza miezi mipya

Sema: Hizo ni ishara tu

Kuashiria vipindi maalum vya wakati

Katika (maswala ya) wanadamu

Na kwa ajili ya Haji(II:189)

 

Idadi ya miezi

Machoni mwa Alla

Ni kumi na miwili (katika mwaka)

Alivyo amuru Mwenyewe

Siku ile alipoziumba

Mbingu na nchi;

Minne yake ni mitukufu

Hayo ndiyo matumizi mazuri

Msije mkajijosesha

Kwayo, na mpigane na washenzi

(IX:36)

 

Hakika uhamisho wa

(mwezi wa makataa)

Ni nyongeza kwa utovu wa imani;

Wasioamini wanapotoshwa

Kukusa juu yake, kwani waifanya

Sheria kwa mwaka mmoja,

Na kupiga marufuku  mwaka  mwingine,

Kwa miezi iliyokataliwa na Alla

Na kuihalalisha hiyo iliyoharamishwa

Uovu wa mwelekeo wao

Unaonekana kuwapendeza wenyewe

Ila Alla haongezi

Wenye kuikana imani (IX:37)

 

Jinsi tulivyochunguza, kalenda ya Kiislamu ya Hadith ni ya kimwezi hasa, ikilinganishwa na jua au mwezi-jua, (Hijri) mwaka wa Waislamu ni mfupi ukilinganishwa na ule mwaka wa Gregori kwa takribani siku II, nayo miezi katika mwaka (Hijri) wa Kiislamu haihusiani na majira ambayo kimsingi yanaamuliwa na mzunguko wa jua. Hi ina maana kwamba sikukuu  muhimu za Waislamu, zinazoangukia kwenye mwezi ule ule wa Hijri, zinaweza kufanyika katika nyakati tofauti. Kwa mfano Haji na Ramadhan  zinaweza kufanyika wakati wa hari sawasawa na wakati wa baridi. Ni baada tu ya mzunguko wa miaka 33 ndipo miezi ya kimwezi inachukua mzunguko mkamilifu na kuangukia majira yale yale.

 

Kwa ajili ya sababu za kidini katika Uislamu wa kisasa, mwanzo wa mwezi wa Hijri haukumbukwi kwa mwanzo wa mwezi mpya, bali ni kwa mwonekano wa kimacho (yaani kibinadamu haswa) wa mwezi kongo katika mahali maalum. Kwa maoni ya Fiqhi, mtu aweza kuuanza mfungo wa Ramadhan, kwak mfano, kutegema na “mahali” panapoonekaana katika ulimwengu wa Waislamu (ittehad al matele’). Ingawaje ni tofauti hali hizi zote mbili ni sawa kwa hali za Fiqhi.

 

Kulingana na elimu ya nyota, kweli zingine zinaeleweka na kukamilishwa (k.v wakati wa ule uitwao KUZALIWA kwa mwezi mpya). Ingawaje kuutambua MWONEKANO wa kongo haielezeki wala kukamilishwa; walakini inategemea maswala kadha wa kadha, san asana yale yaonekanayo kwa macho. Hili linagumisha uwezekano wa kutoa kalenda za Kiislamu (mapema) zinazoweza kutegemewa katika ile hale kwamba zaweza kuwa na ulinganifu na ule mwonekano wa kongo).

 

Juhudi za kupata taratibu za elimu ya nyota kwa ajili ya kutabiri wakati wa mwonekano wa kwanza wa mwezi zinarejelea kipindi cha Babeli, pamoja na marekebisho yenye maana na kazi iliyofanywa baadaye na Waislamu  pamoja na wana sayanzi wengine. Juhudi hizi zimetokeza maendeleo katika taratibu za kutabiri mwonekano uwezekanao wa kwanza wa mwenzi wa kongo. Hata hivyo kunabakia mashaka kuhusiana na taratibau zote zilizokuzwa. Isitoshe, kazi iliyofanywa ni ndogo sana katika eneo la kukadira mwonekano wa mwezi kongo kwa dunia (ikilinganishwa na mahali maalum) kwa kipimio. Hadi hili litakapofanyika, hakuna kalenda ya Hijiri iwezayo kutegemewa 100%, na mwonekano halisi wa mwezi kongo unasalia kuwa muhimu, hasa zaidi kwa kuweka tarehe muhimu, kama vile mwanzo wa Ramadhan pamoja na iyds mbili.

 

Sheria ya Vikramaditya’s Dhidi ya Peninsula ya Kiarabu

 

Kitabu cha maandiko ya Vikramadityaaaaaaa, yanapatikana kwenye ukrasa wa 315 ya sehemu ijulikanayo kama ‘Sayar-ul-okul’ iliyehifadhiwa kwenye maktab-e-Suttania library in Istanbul, Turkey

 

Katika kiingereza rahisi maandiko yanasema “wana bahati wale waliozaliwa (na kuishi) wakati wa utawala wa Mfalme Vikra. Alikuwa mfalme mzuri mwenye bidii katika ukarimu, aliyejitoa kwa masilahi ya raia wake. Walakini wakati huo sisi Waarabu, tuliosahaulika na Mungu, tulikuwa tumepotelea kwenye anasa za kimwili. Mashauri mabaya na mateso yalizidi kiasi. Giza la ujinga lilizunguka nchi yetu.  Kama mwanakondoo apiganavyo kwa ajili ya uhai wake katika mikono ya ukatili wa mbwa-mwitu sis Waarabu tulishikwa na ujinga. Nchi nzima ilizingirwa na giza totoro kama usiku kwa mwezi mpay. Bali pambazuko jipya na mwangaza wa jua la elimu ni matunda ya huruma ya mfalme mzuri Vikramaditya ambayo usimamizi wake mwema haukutufumbia jicho-wageni jinsi tulivyokuwa. Alieneza dini yake tukufu miongoni mwetu naye akawatuma wasomi ambao mwangaza wao uling’aa kama ule mwanga wa jua kutoka nchi yake kuja kwa nchi yetu. Wasomi hawa pamoja na wakufunzi ambao kupitia kwa wema wao tulitambuliwa tena na uwepo wa Mungu,; tukaingizwa kwenye uwepo wake mtakatifu na kuwekwa kwenye njia ya kweli, walikuja nchini mwetu kuihubiri dini yao na kugawa elimu kwa amri ya mfalme Vikramaditya”

http://bharatnirman.wordpress.com/2011/01/17/kaaba-a-hindu-temple/

 

Tofauti ndogo ndogo katika kalenda iliyochapishwa ya Kiislamu, kote ulimwenguni; inaweza basi kuonekana kwa hoja mbili za kimsingi; (1) Ukosefu wa utaratibu wa kidunia kwa ajili ya mwonekano wa kwanza; na (2) Matumizi ya mwonekano tofauti wa utaratibu (au njia ya kuhesabu). Hali za anga pamoja na tofauti katika maeneo ya mwenye kushika pia zinaelezea kwa nini mara nyingine pana tofauti ya kuzishika tarehe za Kiislamu, ulimwenguni kote.

 

Wasomaji wanaopendezwa na habari zaidi wasome kitabu cha Muhammad Ilyas, A Morder Guide to Astronomical Calculations of Islamic Calender, Times & Qibla, Berita Publishing, 1984 (ISBN; 967-969-009-1). Kitabu hiki kimebeba  maelezo mwafuaka ya taratibu za kalenda ya Kiislamu na maendeleo husika kihistoria na kisayanzi pia kinaonyesha pendekezo la kuvutia kwa ajili ya kalenda ya Kiislamu kwa dunia yote inayotegenezwa kwa mwonekano wa kidunia kwa utaratibu  na dhana ya siku ya mwezi (au msitari wa tarehe ya kimwezi ya kimataifa).

 

Walakini ndivyo alivyoamuru Mungu na Mungu ni mwanzilishi wa machafuko au kuchanganyikiwa? La Hasha!

 

Katika miaka iliyotangulia kalenda ilitabiriwa sawasawa; kwa miaka elfu, hadi hapo mwezi kongo ulipoingizwa kutoka kwa upagani na serikali ya kibabeli.

 

Mungu aliamuru mwezi wa Abib, au msimu kuwa mwanzo wa miezi kwetu. Katika Uislamu huu si mwezi wa katikati ya masika na kiangazi. Huu  ni mwezi wa Rajab. Mara zote ulihesabiwa kwa muungano wala is kwa mwezi kongo katika kipindi cha Hekalu tangi Musa na Haruni hadi Kristo na kanisa. Uislamu hauna budi kufuata mfano wao wala hauwezi kufuata mwezi kongo nao unalaumiwa kwa kufanya hivyo, mwezi kongo ukiwa ishara ya Mungu mke Ashirati, Ashtoreth au Ishtar.kanuni moja isiyoweza kugeuka ni kwamba msimu wa kwanza mara zote ni mwezi wa msimu jinsi inanvyohusiana na kupandwa kwa nafaka. Mwezi wa Abibu au “Msimu Mwafuaka”, kwa upande mwingine ni mwezi wa kwanza wa msimu wa mavuno ya shayiri na unatambuliwa na Equinox hao mara zote umekuwa hivyo tangu jadi. Mwezi huu unaainisha miezi mingine yote katika mfuatano. Uislamu umefanya upuzi kwa kalenda ya Mungu kwa kutumia vibaya maneno ya unabii na kuivuruga kalend kutoka kwa nyakati (majira) na misimu ya mavuno ya Biblia kimaandiko. Hivyo, mpango wa wokovu umefanywa kuwa fumbo kwa Waarabu wanadai kumfuata Mungu na imani ya Uislamu jinsi ilivyofunuliwa kwa Ibrahimu, Musa, Haruni, Manabii, Kristo na Kanisa ndiye Muhammad wa kweli wa mafungu.

 

Ni uongo kuamini kwamba tarehe 1 ya Muharram  mnamo 622CE ilikuwa Julai. Aikwa Medina Nabii aliwaona Wayahudi wakitunza Yom Kippur, ambayo ni siku ya kufunga kwa Wayahudi mnamo tarehe 10 mwezi wa Muharram. Siku hii mara zote iliangukia kwenye Septemba-Oktoba. Hivyo siku hiyo, kwenye Ashura, aliwaagiza Waislamu wafunge na kujitesa  nafsi. Ni amri ya milele katika Uislamu ambayo inategemezwa kwa kitabu cha Biblia. Sio mfungo wa hiari kama viongozi wa Waislamu wanavyofanya madai ya uongo nah u ndio mfungo wa pekee kwa mwaka wenye mamlaka kamili. Mfungo mwingine wa mwaka ni ule wa Abib tarehe 7( tazama pia Utakaso Kwa ajili ya Dhambi Zitokanazo na Ujinga na Kukoseshwa [291]  [Sanctification of the Simple and Erroneous (No. 291)]. Mifungo ya Ramadhan ni midogo kwa hii mifungo, inayoelekea matayarisho kwa ajili ya Pentekoste, sikukuu za majuma.

 

 

Nafasi ya Ramadhan

Mwanzo wa Mwezi mpya wa mwezi wa pili uendao sambamba na kalenda ya Biblia ni mwezi wa Iyar wa kalenda ya Kiyahudi (Kiyuda). Mwezi huu huanza mwezi wa kufunga. Ramadhan ni jina la mwezi wa tatu ila kiini hasa cha kufunga na kujitolea hakifai kupuuzwa katika mwezi huu. Zaidi sana inafaa kukamilishwa katika mwezi huu Iyar kwa kweli huunda wingi wa mwezi wa kufunga kwa ukweli, ilikuwa hesabu ya Omar na maandalio ya sheria na ushuhuda, iliyotolewa kwenye Pentekoste, iliyo mavuno ya ngano. Mavuno haya yalifungwa musimu wa Pentekoste katika mwezi wa tatu ambao ndio mwisho wa kipindi cha Ramadhan, katika Eid el fitri, au sikukuu za majuma na ambao kwao Ramadhan hutokeza jina lake.

 

Mwezi wa tatu au mwezi wa Ramadhan unaashiria mwisho wa mfungo kutoka kwa mwezi mpya na mwanzo wa mwezi ukiishia kwenye Pentekoste. Hiyo ndiyo Ramadhan ya kweli, kweli ambayo ulimwengu wote unapuuzia. Huu pia ni sehemu ya wakati ambapo kuhesabu kwa Omer kunaendelea tokea wakati wa sadaka ya miganda ya mawimbi (Omer) hadi Pentekoste ambapo Roho Mtakatifu anafanywa upya. Ni katika wakati huu Koran (surah 2:185) pamoja na Torah zilifunuliwa na hivyo unaonekana kama mojawapo ya vipindi muhimu katika kalenda ya Mungu. Siku za mwisho 7 hadi 10, zaidi sana usiku wake katika Uislamu, ni za muhimu sana nazo zinaitwa Lailatul Qaider.Yawezekana katika wakati huo, unaonekana kama siku za mwisho 10 jinsi inavyoelezewa katika Matendo 1, kwamba wnafunzi walikaa Yerusalemu ambapo walidumu katika maombi na kusali kabla ya kupokea Roho Mtakatifu siku ile ya Pentekoste katika matendo 2.

 

Mfungo wa Ramadhan unachukua kipindi cha mwezi wa kihebrania “lyar” (mwangaza) na kile cha sikukuu za majuma au Pentekoste. Ramadhan kwa kawaida humalizika kabla ya Pentekoste kuanza kwenye sabato. Eid El Fitr inachukua muda unaolingana na sikukuu za Pentekoste. Wayahudi waliweka kipindi hii kwenye tarehe 6 siran baada ya mtawanyiko kama matokeo ya mashauri. Ndiposa jaribio ni kuiangalia siran 6 kama Eid El Fitr. Ukweli ni kwamba Pentekoste hufanyika Jumapili katika nusu ya siran. Ni kipindi cha sikukuu ------- majuma kinacholingana na kipindi cha mwezi mpya wa siran; ambayo ni sikukuu katika haki yake. Inaanzisha sherehe za sikukuu ya pentekoste, iliyo siku ya kwanza ya juma au “jumapili” inayofuatia sabato. Sabato ni siku ya arobaini na tisa na sabato kamili ya saba iliyohesabiwa kutokea kwa sadaka ya miganda ya mawimbi siku ya kwanza ya juma kaikati mwa sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu. Pentekoste ni siku hamsini tangia jumapili ya miganda.   

 

Mfungo unaolekea utoaji wa ushuhuda katika Ramadhan unawakilisha mfungo wa Musa wa siku arobaini na pia Mfungo wa Masihi kwa siku arobaini kwenye hukumu ya shetani.

 

Ukweli ulikuwa kwamba Musa alikwea mlimani kwa siku zingine arobaini baada ya uasi, kwa ajili ya mpangilio mwingine wa sheria, walakini kipindi chote kimefungiwa katika hesabu ya Omeri kwa Pentekoste kiroho.

 

Siku hamsini za hesabu ya Omeri hadi Pentekoste zinasimamia uhuru wa Jubili na upokezi wa Roho Mtakatifu kwenye Pentekoste. Kutoa Zakhat wa maskini pia ina maana ya ile ile. Nabii amesema hivi juu ya somo hili:

 

“Enyi watu! Mtoao chakula kwa waaminio, wakati wa kufungua mfungo, mtapata thawabu ya kuwafungua au kuwaweka huru wanadamu waliofungwa”.

 

Wakati wa siku arobaini za hesabu ya Omer, baada ya kujiwakilisha kama mganda wa wimbi na kukubaliwa na Mungu, Yesu kristo aliyefufuka alifanya mionekano kumi kwa wanafunzi wake akiigeuza imani yao. Kipindi cha siku arobaini kinamaanisha mabadiliko. Musa na Yesu walifunga siku arobaini usiku na mchana. Naye mama ajifunguaye mwana wa kiume anasemekana kuwa najisi hadi siku zake arobaini za kujitakasa zinapokamilika. Mariamu, (Maryam) mama ya Yesu, alitunza siku hizi arobaini pia.  Tazama  masomo haya Usafishaji Na Unyangoni [251] [Purification and Circumcision (No. 251)].

 

Hapa kuna madondoo kuhusu  ushikaji wa Ramadhan pamoja na maana yake kiroho, yanayojulikana vizuri katika Uislamu.

 

Kuelezea uzuri wa kusudi na nafasi ya mwezi wa Ramadhan, unaohalalisha daraja yake ya juu kuliko miezi mingine, inafaa sana kujihusisha maneno ya Mwenyezi Mungu (Allah) na nabii wake wa mwisho.

Koran inanena:

Enyi waaminio! Kufunga mmeamuriwa ninyi, sawa na ilivyoagizwa kwa waliowatangulia, kusudi mpate kulinda(dhidi ya uovu).

 

Kwa muda wa siku Fulani, ila kwa yeyote kati yenu atakayekuwa mgonjwa au awe safarini, basi (kufunga ni lazima) muda wa siku nyinginezo (saw na hizo); na kwa wale wasiojiweza kufanya hivyo watatimiza ukombozi kwa kumlisha maskini; hivyo atendaye wema kwa ukarimu yuko afadhali; na ikiwa utafuga ni vyema zaidi ukijua.

 

Koran ilifunuliwa katika mwezi wa Ramadhan, ndio mwongozo kwa wanadamu na mathibitisho madhubuti ya uongozi pamoja na heshima; hivyo basi yeyote miongoni mwenu ajiwakilishaye katika mwezi huu, atafunga mtu huyo, na Yule atakayekuwa mgonjwa au safarini, baadaye (atafunga) muda wa siku (zizo hizo). Allah anawatakia utulivu wala hatamani mkumbane na matatizo, naye (atamani) kwamba mkamilishe muda huo ndiposa mweze kumtukuza ukuu wake Alla kwa kuwaongoza na ndipo mpate kumshukuru. (AL BAKARAH: 183 – 185)

Imehalalishwa kwenu kuwaingilia wake zenu usiku wa mfungo; wao ni mavazi yenu nanyi ni mavazi yao; Allah alijua kwamba mlijikosea uaminifu, na ndiyo maana amewageukia (kwa huruma) na kuwaondolea (mzigo huu); hivyo asa kutateni nao na kuja-tafuta maagizo ya Alla kwenu, kuleni na kunywa hadi mapambazuko kutoka kwa giza la usiku, kisha malizeni mfungo hadi usiku, wala msitukane nao huku mkitunza misikiti; hii ndiyo mipaka ya Alla, basi msiikaribie. Hivyo Alla anadhihirisha mawasiliano yake kwa wanadamu ili wajilinde (na uovu) (AL BAQARAH:187) Na wanaume pamoja na wanawake wanaofunga…. Allah amewaandalia msamaha na thawabu kubwa. (AL AH’ZAAB:35)

 

Hadithi yenyewe inashikilia kwamba;

 

Koran Takatifu ilifunuliwa kwa nabii Mtakatifu (S.A) katika mwezi wa Ramaz’aan (Ramadhan).

Kufunga mwezi mzima kumekuwa lazima.

Kufunga ni mojawapo ya “waajib” sheria za (lazima) za maadili zilizotungwa na Uislamu.

Shayk Suddoq (R.A) ……. Imamu Ali bin Moosa Ar Riza (A.S) kwamba alipokea mamlaka ya Imam Ali ibna Abi Taalib (A.S) kutoka kwa mababu zake watakatifu, kifungu cha maneno aliyoyatoa Nabii Mtakatifu  katika majilio ya mwezi uliobarikiwa wa Ramaz’aan:

 

Nabii mtakatifu (S.A) alisema:

“Enyi wanaume na wanawake! Mwezi uliobarikiwa wawajieni, unafurika na faida nao umejaa huruma, tayari kusimamisha dhambi zenu za kimakosa na zile za kutenda mbele ya Alla ili mpate msamaha wake. Siku zake, usiku na masaa kwa makadirio ya Alla ni teule mno, iliyotakaswa na muhimu  kuliko michana, usiku na masaa ya miezi mingine. Mwezi huu unapita miezi mingine kwa fadhili na mapendeleo (neema)”.

 

Ninyi ni wageni wa Allah katika mwezi huu, kufurahia ukarimu wake, mnatoka kwa wapendwa sana wake, pumzi yenu ni “sifa ya Alla”, usingizi wenu ni ibada yake, maombi yenu yanapokea idhini yake (yanakubalika), sala zenu zimepata kibali. Basi kwa uaminifu ukimbieni uovu na mawazo ya dhambi pamoja na matendo, kwa dhamiri sana, ombeni na kuuliza aweze kuwapa nyingi moyo wa ujasiri kuushika mfungo na kuikariri Koran tukufu pamoja na dua’ katika mwezi huu mzima.

 

Yeye asiyepokea rehema na msamaha katika mwezi huu kwa kweli ni mtu mwenye kisirani, aliyekwisha kuhukumiwa huzuni na sononeko.

Mnapitia kiu na njaa; na iwe tu hivyo kwa sasa, kumbukeni ukali wa kiangazi na kufa kwa njaa ambako ndio utaratibu wa siku kwenye siku ya hukumu.

Wapeni maskini sdaka pamoja na wahitaji.

Watendeeni wazazi wenu na wazee kwa heshima.

Iweni wema(wenye fadhili) kwa watoto na wadogo wenu.

Msipayukepayuke.

Yafungeni macho yenu msione machafu.

Myafunge masikio yenu msisikize fitina.

Iweni na huruma, wapole na mwanzie kwa mayatima ili nyumba yenu na watoto wenu ikihitajika, wapokee sawa na matendo hayo toka kwa wengine.

 

Tubuni kwa Allan a kutafuta ukaribu wake.

Baada ya kila ombi kariri dua ili kuomba huruma zake na msamaha kwani nyakati zifaazo sana za kutimizwa shauku ni mnapoomba salat, Mwenyezi huwapa majibu watumwa wake wanaomwita dakika hizi.

Enyi watu! Katika kweli na hakika miili pamoja na roho zenu zimewekwa sahani, pigeni bei kuiweka huru kwa kuomba Alla msamaha. Migongo yenu imelemelewa na mizigo mizito ya dhambi msiyoweza kustahimili, nyenyekeeni kwa kumsujudia Alla, kwa bidii ili kupanguza uzito, kwa kuwa Bwana wa mbingu ametoa neno lake katika jina la Nguvu na Utukufu wake, siyo kuwafanyiza kazi wanaomwomba na kumsujudia mwezi huu, miali ya moto haitawahofisha.

Enyi watu mwalishao waaminifu wakati wa kufungua kinywa, mtapata thawabu ya kuwafungulia wanadamu waliofungwa.

 

Enyi watu! Katika mwezi huu, mtu Yule atakayeboresha maadili yake atauruka “Daraja ya Siraat” kwa urahisi na wepesi, ambapo watu, huweza kujikwaa na kuanguka kwa kila hatua; mtu Yule awaburudishaye na kuwapa raha wafanyikazi wake katika siku ya malipo naye atapokea yayo hayo; Yeye awajalije na kuwatunza mayatima na jamaa zake atatendwa kwa rehema siku hiyo ya hukumu; Yeye ambaye salati za hiari atapata kinga kwa moto wa kuzimu, naye aswaliye salati za lazima, katika wakati wa alfajiri; anazalisha wema kuzidi na mipaka; yeye akaririye hata fungu/aya moja ya Koran hupokea thawabu ya kukariri kamili kwa kitabu chote kizima katika miezi mingine.

   

Enyi watu! Bila shaka katika mwezi huu milango ya furaha ya milele pamoja na raha itafunguliwa, basi mwombeni Alla asiifunge milele mbele ya uso wetu, na mitego ya laana ya milele inaondolewa mahali pake, basi mwulizeni Alla aiondoe njiani mwenu daima,mapepo yanafungwa kwa minyororo; basi mwombeni Alla asiiachilie huru isipate kuwapotosha.

 

Mwezi wa Ramaz’aan ni wenye thamani kubwa kwa Alla. Ndio adhimu kuu  kwa miezi yote, msafi, mkarimu na wenye rehema. Msiaachilie usiku wake kwenda bure kwa kulala usingizi; michana yake isichezewe kwa kukosa ovyo ovyo au kupoteza ukumbusho wa Alla.

 

Kalenda ya “kweli” inatunzwa kulingana na sheria za Mungu na kalenda ya Kiislamu inaposawazishwa, mfuatano uko wazi na kusudi pia ni dhahiri. Kipindi cha hesabu ya Omeri ni mfuatano wa maombi na maandilio ya kupokea Roho Mtakatifu wakati wa Pentekoste, ambayo ni sikukuu ya majuma Eid el Fitr. Utaratibu huu wa sikukuu unaanza na mwezi mpya wa mwezi wa Tatu, siran, ulio sikukuu ya Bwana. Miezi hii huanza na mwungano wala si mwezi kongo uliokwisha kuangaliwa.

 

Jina Ramadhan lenyewe linapendekeza joto na lina maana ya kuja kwa miezi ya kiangazi (hari) pamoja na Pentekoste katika Sivan.

 

Mnamo mwaka wa 30CE kristo alifufuliwa mwisho wa siku ya sabato naye akapaa mbinguni saa 9 a.m siku ya jumapili kama sadaka ya Miganda. Huu ulikuwa wakati wa huduma ya Hekalu kwa uyumbishaji wa Mganda ambao ulikuwa malimbuko ya mavuno kwa Israeli.

 

Ituku kupaa Jumapili kulianza hesabu ya Omer kwa Pentekoste. Kipindi cha hesabu kilikuwa kwa siku arobaini kilichomalizika Jumapili katika Sivan au mwezi wa tatu. Kutokana na hesabu za injili na matendo inadokezewa kwamba kristo alikaa siku arobaini duniani baada ya kurudi kwake kutoka kiti cha enzi cha Mungu na cha Neema, baada ya kukubalika kwake kama kafara yetu. Alitumia siku hizo arobaini kulitayarisha kanisa, ambalo ndiye kichwa chake, kwa kumpokea Roho Mtakatifu kwenye Pentekoste. Siku hizo arobaini zilianza jioni ya kurudi kwake mwishoni mwa siku ya kwanza ya juma.Mnamo mwaka huo wa 30CE ilikuwa tarehe 18 Abibu. Zilikuwa zimesalia siku ll katika Abibu na siku ishirini na tisa katika lyar. Hizi zilikuwa siku arobaini. Hivyo kufufuka kwake kulikuwa mwanzoni mwa mwezi mpya, wa mwezi wa tatu, ambao ulikuwa Sivan katika Yuda au Ramadhan katika Ismael. Hivyo mwanzo wa mwezi mpya wa mwezi wa tatu ulionyesha kupaa kwa mwisho kwa Yesu Kristo. Hili liliwaacha mitume wakiomba na kufunga kwa kipindi hiki mnamo mwezi wa tatu kwa minajili ya kupokea Roho Mtakatifu kwenye Pentekoste siku tisa baadaye Jumapili.

 

Kipindi hiki ndiyo msingi wa sherehe ya kanisa na mwishowe kinafanya sherehe ya kutoa sheria katika Pentekoste. Mfungo wa Musa ulikuwa wa siku arobaini mchana na usiku.

 

Ingawaje, mwisho wa kipindi cha kwanza cha masharti yake kilikuwa wakati wa hesabu ya Omeri naye hakuwa mlimani kwa wakati huo hadi wakati wa mwezi mpya wa Siran, mnamo mwezi wa tatu. Mwisho wa kipindi hiki cha shuruti zake, zilizochangamana na kufunga, ulikuwa pamoja na kurudi kwa Musa pamoja na mbao za amri ya Mungu. Kipindi chake cha siku arobaini za kwanza kilianza mwezi mpya wa lyar au Zif au Sha’aban, mwezi wa pili, nacho kiliendelea hadi siku ya Pentekote. Huu ndio msingi wa mfugo wa Ramadhaan katika Uislamu. Mfungo huu hutokeza jina lake kwa ukweli wa mfungo wa Musa pamoja na ushindani wa tabia/ mwenendo wa Kristo kabla ya kupaa kwake. Katika Uislamu huu sio mfungo kamili, kwani wao hula kila jioni baada ya giza na kabla ya pambazuko. Kanisa la Mungu linao watu wanaofunga kwa siku nzima nzima mchana na usiku kwa kipindi hiki wala hawafungi kabisa siku zingine. Matendo haya mawili ni  na marazote yamekuwa halali. Mifungo ya sehemu tu haikubaliki kwa minajili ya mifungo hii miwili ya siku ya upatanisho ama na tarehe 7 Abibu (upatanisho hasa unasemekana kuwa mfungo wa masaa ishirini na nne tangu jioni hadi jioni (Lawi 16:29, 23:32).

 

Kipindi cha maombi na kujiweka wakfu kiko kwenye hesabu ya Omeri tokea sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu. Kipindi hicho kinahesabiwa kutokea kwa miganda ya mawimbi, ila hakianzishwi hadi baada tarehe 21 Abibu au Nisan katika Yuda, au Rajab katika Ismaeli. Musa alianza hesabu ya Omeri tokea mikate isiyotiwa chachu mnamo Abibu, walakini siku zile arobaini zingeishia Pentekoste pamoja na sheria, na h ii lazima ihesabiwe tokea mwezi mpya wa lyar, siku ya kwanza ya mwezi wa pili. Hakuwa mlimani kwa Mungu. Alipaswa kuwachukua Israeli pamoja mchanganyiko wa umati, ambao ungeenea chini ya Kristo kuhusisha wateule wa Mataifa, kutoka Misri, kupitia jangwni hadi mlima wa Bwana na sheria.

 

Siku ya mwisho taifa hili lilisonga tu mwendo mfupi na kuwasili mahali pa sheria mnamo tarehe 1 ya Siran, wakiwa tayari katika maeneo ya mguu wa Mlima. Katika hatua kuelekea Pentekote (Tazama masomo  Pentekoste ya Sinai [115] [Pentecost at Sinai (No. 115)] mlinzi mtangulizi angewasili Sinai mapema sana kabla ya mlinzi wa nyuma na hata mwili wenyewe haswa, ungekuwa umeondoka kambini. Musa ni lazima angekuwapo tayari Sinai makundi hayo yakiendelea kusonga, naye angalifunga kwa muda mrefu kabla ya hayo na hata kuelekea kuiruka bahari shamu, ili apate yeye kufunga kwa kipindi kikamilifu. Kuchanganyikiwa kuko katika idadi ya mikweo aliyoifanya na wakati siku arobaini zilipotukia. Alikwea mlimani kwa siku zote arobaini kamili mwishoni mwa siran au Ramadhaan. Bila shaka kipindi hicho ni kutokea tarehe 20 ya Sivan pamoja na siku saba za moto na moshi baada ya wazee kula pamoja na elohim, aliyekuwa Yahoha, aliyenena kwa niaba ya Yehova wa majeshi. Sheria ilitolewa Pentekoste lakini mbao za mawe hazikupokelewa kwa mara ya kwanza hadi Mwezi mpy wa Ab zilipovunjwa Musa akirudi. Mwezi wa Tammuz imeitwa kwa minajili ya ibada ya Mungu Tammuz au Dumuzi, katika mwezi walipofanya ibada ya uongo na kutengeneza “Ndama”. Kwa muda mwingine tena Musa alikwea kupokea mbao nyinginezo. Matukio haya yanaelezewa katika masomo haya Daraja ya Musa [070] [The Ascents of Moses (No. 70)].

 

Zoezi hili lote lilitufundisha juu ya kafara na wakfu vihitajikavyo ili kufikia Ufalme wa Mungu kipindi cha hesabu ya Omeri kilitunzwa katika Israeli. Yesu Kristo na kanisa pia walitunza kipindi hiki. Kristo aliutoa uhai wake mwenyewe ili tupate uzima wa milele ndani ya Mungu. Kanisa lilijiandalia na kupokea Roho Mtakatifu kwenye Pentekoste.

 

Sasa, kwa hakika hatuwezi kufunga kwa siku arobain mchana na usiku bila chakula au maji, katika siku hii na kizazi hiki, katika hali ya unyonge wa mwili na roho tuliyomo. Wala kwa kweli watu wengi hawangeweza kufanya hivyo wakati wa Kristo na baadaye. Na ndiyo sababu wakati wa mifungo ya hesabu ya Omeri, watu hawakufunga kamwe kwa kipindi kizima. Lilifanywa swala la kila mtu kwa wakfu wa kiroho kwamba ni muda gani na mara ngapi wangeweza kufunga. Tendo hili pia lilikuwa katika Yuda na Ismaeli hilo la kufunga wakati wa mchana na kula wakati wa usiku. Huu ndio msingi wa maoni ya kufunga tena mara mbili kwa juma kulikotajwa katika injili (Lk 18:12). Tendo hili lilienea sana kanisani. Hesabu ya Omeri pamoja na mfungo wa Musa iliigwa na wapagani, zikafanywa mifugo ya siku arobaini ya Kikristo. Mifugo hii iliyofanywa mwezi mmoja mapema, mara nyingi ilikuwa ya sehemu tu iliyowekwa wakfu kwa miungu mingine nayo ilimalizikia katika pasaka ya wapagani (Tazama masomo haya Chanzo cha Siku ya Krismasi na Pasaka [235] [The Origins of Christmas and Easter (No. 235)].

 

Watu waliamua ni siku zipi wangeweza kufunga na kujitayarishia Pentekoste, iliyokuwa mavuno ya kanisa. Tendo hili lilienea kwa Ismaeli na kanisa katika Arabia. Hivyo watu wangeweza na waliamua ni sehemu ipi ya siku arobaini za pekee walikuwa katika kufunga au dhabihu. Koran inasema kwamba sehemu za siku zako ulizojiamulia kufunga zisizoweza kutimizwa ni sharti uzitimize baadaye.

 

Kumbuka kwamba kipindi cha sikukuu kilinializika baada ya hesabu ya Omeri kwa hivyo hakuna kufunga kulifanyika hata kwa mikate isiyotiwa chachu, mpaka tarehe 22 Abibu (22 Rajab katika Ismaeli) au wakati wa Pentekoste, iliyokuwa sikukuu ya majuma na kamwe hakukuwa mfungo kwa sheria ya Mungu (isipokuwa mkate yenye chachu). Wazo la jumla lilikuwa kujifananisha na Musa na kuendelea kutokea mwezi mpya wa lyar kumalizia Pentekoste, iliyokuwa sikukuu ya majuma katika Israeli au Id Fitr katika lsmaeli. Mifungo ya sabato, saba ya hesabu ya Omer zamani ilitangulia Hijra ya mwaka wa 622CE. Hijra ni ukimbizi wa kundi la Nabii kutoka meka hadi Medina.

 

Imani iliposhambuliwa na waamin katika utatu Mtakatifu pia na wayahudi katika Arabia, Nabii aliinuliwa kule Arabia kutoka kwa wakristo waaminio Mungu ni mmoja waliokuwako huko, kukabiliana na mafundisho ya uongo yaliyoshambulia umoja wa Mungu na matendo mabaya waamini wa Utatu Mtakatifu walikuwa wakiingiza kuhusu  ubatizo wa watoto wachanga.

 

Alitoa maelezo ya mafundisho ya Biblia akipeana uongozi kwa makabila ya jangwani. Mkazo kwa mwezi wa kufunga ulikuwa mwelekeo kwa utaratibu wa hesabu ya Omer. Ramadhaan haianzi maombi; inamalizia utaratibu katika Pentekoste iilwayo Eid el Fitr.

 

Ufahamu huu umepotezwa pamoja na kalenda katika Uislamu. Ufahamu wa kweli wa imani ya kiislamu umefichika kama vitu vya thamani ndani ya chimbo nao wapaswa kutafutwa kwa uangalifu mkubwa.

 

Hata majina yana maana zake, zilizopotea kwa mfano Muhammad si jina la Nabii. Jina la mtu mmoja anadhaniwa kuwa Nabii wa kiislamu laonekana kuwa Ahmed, nalo pia ni tatizo na huenda lina maana ya “mtetezi” au “Asifikaye mno” linamaanisha Roho Mtakatifu ambaye Yesu alimtuma “Muhammad” ina maana ya kanisa.

 

Pamoja na viongozi wake kama “aliyeangaziwa” au Muhammad” jina pamoja na kanisa na mahali pake katika Uislamu yanaelezewa katika hya maosomo  [Introduction to the Commentary on the Koran (No. Q1)].

 

Kalenda ilienda sambamba na imani hadi 638CE chini ya Kalif Omari. Viongozi walikuwa sawa na wote waliofuata, pasipo kuelewa. Waliamua (kwa msaada wa shetani au ibilisi) kwamba marejeleo ya miezi 12 ilimaanisha mpenyezo wa mwezi wa pili kwa ile kumi na miwili wa “We ADARI” au wa Adari” ungetupiliwa mbali. Neno kuahirisha, dehiyyot, halikueleweka. Hivyo kalenda ya kiislamu ilitengwa mbali na Biblia pamoja na mpango wa Mungu mnamo mwaka wa 638 na kuendelea. Hadith nadai kwamba ilikuwa mapema hiyo, bali hilo lapaswa kujaribiwa vyema. Jambo la hakika ni kwamba kalenda ilikatwa kwa Biblia na utaratibu wa mavuno kama ilivyopangwa na Mungu, ndiposa Uislamu usiweze kamwe kutunza sikukuu yoyote sawasawa na ile iliyotunzwa ilikuwa imepotoshwa.

 

Miezi mine mitukufu ya imani, iliyokuwa Abibu, lyar, na siran kama ya kwanza mitatu  na Tishri kama mwezi wa saba kulingana na Biblia, ilielezewa tena katika Koran, ila majina yake hayakutolewa kwa hivyo Hadith aidha ilivunja hiyo pia. Hadith iliufanyia Uislamu miezi Mitukufu minne ni Rajabu, sha’aban, Ramadhan na Muharram. Mwanzoni ilikuwa ni miezi minne ile ile kama inavyopatikana kwa uyahudi na katika Biblia pamoja na Israeli ya kale. Miezi mitukufu baadaye ilifungamanishwa kwa miezi iliyoonwa kuwa inayofaa zaidi kuachana na vita na baadaye ikatangulia kuzaliwa kwa Nabii wala si Koran peke yake. Miezi ya hari ilikuwa na joto jingi haikuruhusu shughuli na hivyo iliunganishwa kwa miezi minne badala ya kalenda ya kweli. Utengwaji wa kalenda ya Kiislamu mbali na biblia na kuiona ikizunguka ovyo ovyo kwa nyakati (misimu) ulifanya hata badiliko hili kukosa maana na hata kupoteza maana yote kwa waamini wa Biblia na imani kwa miezi minne ya kweli, au kwa wapagani (Waarabu washenzi) waliochochea badiliko hilo kutoka kwa miezi ile kwa makusudi ya vita.

 

Mfungo wa pili wa Musa, uliokuwa siku arobaini za Musa baada yake kurudi kwa Pentekoste, ulifanyika tangia siran kwenye pentekoste hadi mwezi wa nne wa mwaka. Kulingana na orodha ya wakati wa mwaka wa Kristo alitolewa kafara, kwa mfano, mwisho wa siku arobaini mlimani na utoaji wa mbao za sheria ungelifanyika mwishoni mwa mwezi wan ne uitwao kwa jina la Mungu Tammuz au Dumuzi wa wakaldayo.

 

Wakati wa makweo ya Musa ni muhimu katika kuona jinsi Mungu alivyoingilia katika maswala ya Israeli. Kwenye siku ya kumi na tano ya mwezi wa pili, Mungu aliingilian tena. Wana wa Israeli waliondoka.

 

Elimu nao waliingia jangwa la dhambi, lililoko kati ya Elimu ya Sinai katika siku ya kumi na tano ya mwezi wa pili. Katika siku hii kusanyiko lote la Israeli lilinung’unikia Musa na Haruni (kutoka 16:1-3). Kutokana na hili Mungu aliwapa manna wale na hiyo manna’ ilimaliza miaka arobaini tokea wakati ule.

 

Jioni, Mungu alimwaga kware wengi kiasi kwamba watu kwa tama yao walijivimbisha kwa nyama. Hata hivyo, kwa hasira Bwana aliwatumia tauni kubwa na wengi walikufa (of Hesabu 11:31-32). Asubuhi iliyofuatia, siku ya kumi na sita walianza kula manna, wakawa pia na mkate wa kula, ndipo wakajua kuwa Bwana wao Yehova, ndiye Mungu (Kutoka 16:13-16)

 

Siku ya 22 ya mwezi wa pili, uitwao Zif au lyar, katika mwaka wa kutoka, ilikuwa Sabato. Siku ya 21 ya mwezi wa pasaka ya pili manna ilikusanywa mara mbili zaidi ili kuitunza sabato kwa utakatifu na wala haikuharibika manna hiyo. Kware walianguka jioni ya baada ya Sabato nayo manna ikaanza Jumapili asubuhi. Hivyo pasaka ya pili pia ilikuwa kipindi cha matayarisho na kumtengea Bwana.

 

Kutokana na hoja hii, siku ya kwanza ya juma, ambayo ni siku ya 23 ya mwezi wa pili, walisonga Refidimu nao hawakuwa na maji, hapo pia wakamnung’unikia Musa. Musa akaambiwa asimame pale mbele ya mwamba huko Horebu kisha wakanyweshwa maji kutoka kwenye mwamba. Wote walishiriki chakula cha kiroho na kunywea mwamba uliokuwa Kristo.

 

Baada ya kupewa maji kule Rafidimu, walishambuliwa na waamaleki siku ya 23. Baada ya vita kali walishinda na kisha Musa akatengeneza Madhabahu ya Yehova – Nissi, kwani Yaho alikuwa ameapa kwamba vita kati yake na Ameleki vingeendelea kizazi hata kizazi (kutoka 17:15-16).

 

Pale Horebu, mbele ya Mlima wa Mungu, hukumu ilianzishwa katika Israeli na wazee wakatengwa mbali na mahali pa mwamba wa Horebu kwa waamuzi wa Israeli.Yethro, kuhani wa Midiani na Baba mkwe wa Musa aliwatolea kafara na kuwatenga ili wale mkate pamoja na Musa mbele za Mungu. (Kutoka 18:11-12)

 

Katika juma la mwisho la mwezi wa pili wakuu wa makumi, hamsini, mamia na maelfu ya jeshi walitengwa na kisha uongozi katika Israeli ukaanzishwa. Musa alisikiza kesi zilizokuwa ngumu kwao wote. Kisha Yethro akaondoka kwenda Midiani (kutoka 18:24-27).

 

Kisha mwezi wa Tatu, siku ile ile walikoondoka Misri, waliwasili Jangwani Sinai (Kutoka 19:1-2). Walikuwa wameondoka Refidimu wakawa wameingia jangwa la Sinai. Wakatua jangwani. Huko Israeli walitua mbele ya Mlima wa Mungu. Katika muda walitolewa Misri, kisha siku hamsini wakatolewa Ramesesi hadi Mlima wa Mungu ili wapokee sheria.

 

Musa alikuwa akijitayarisha kwa kipindi hiki kwa ajii ya hesabu ya Omeri. Nayo manna ilitolewa wakati huu kwa kipimo cha kichwa pishi kwa mtu kila siku. Hiki kilikuwa kipimo cha mkate wa mbinguni waliopewa waisraeli katika maandalizi kwa ajili ya kuirithi nci ahadi.

 

Mnamo mwaka wa kutoka, siku ya pentekoste iliangukia Jumapili ya tarehe 6 ya siran. Kipindi kati ya tarehe 1 na 6 siran kilitumika kuwandaa waisraeli kupokea sheria ya Mungu. Musa alikwea Mlima wa Bwana mara sita.

 

Mikweo na mishuko zilitoka katika kitabu cha Kutoka.

 

Mkweo            Mshuko           Nambari

19:3-6              Ya kwanza      19:7-8

19:8-13            Ya pili             19:14-19

19:20-24          Tatu                 19:25

24:9-32:14       Nne                 32:15-30

32:31-33          Tano                32:34-34:3

34:4-28            Sita                  34:29-35

 

Mipangilio miwili ya hiyo mikweo mitatu inakumbukwa kwa matukio mawili makuu, ambayo ni utoaji wa sheria na kujengwa kwa madhahabu. Bullinger anazo nyakara kuhusu maswala haya yaliyoodhoreshwa katika nyaraka zake kwa kutoka 19:3 (companion Bible). Mfuatano wa utoasji wa sheria pamoja na ujeuzi wa madhahabu ungalihubiri kutolewa kwa Roho Mtakatifu kupitia kwa shughuli za Kristo na ujenzi wa mwisho wa Hekalu la mungu kutokea Pentekoste ya mwaka wa 30CE, ambalo ndio sisi.

 

Katika utaratibu huu Mungu ajitengea Israeli kama urithi wa kujiwekea akiba. Hii ndio maana ya neno ‘hazina ya kipekee’, litumikalo katika kifungu cha kutoka 19:3. Taifa la Israeli lingekuwa la kwanza katika mataifa kuletwa kwenye mpango wa wokovu. Mwishowe, ulimwengu wote ungepata wokovu jinsi nabii zinavyotabiri na tangu Pentekoste 30CE hili linafanyika kwa msingi wa kuendelea.

 

Kwa siku sita kwanza za mwezi wa Tatu wa Musa alichukuwa muda wake kupanda na kushuka Mlima mara tatu. Mipando/ mikweo ya nne na sita iliyodhihirishwa kwa kutolewa kwa kwanza na kule kwa pili kwa mbao za sheria. Musa alimaliza zaidi ya siku arobaini mchana na usiku akifunga mlimani kwa Bwana, ila si kwa kipindi hicho kabla ya kutolewa kwa kwanza kwa mbao za sheria, wala Musa hakuwa mlimani isipokuwa mwezi wa Tatu uitwao Siran au Ramadhaan. Isitoshe mwezi wa Tatu haukutumiwa kabisa kabla haswa ya sheria kutolewa. Zaidi sana mbao za pili hazikutolewa katika mwezi wa Siran au Ramadhan. Hivyo mwisho wa mwezi mpya wa mwezi wanne.

 

Mkweo wan ne wazee wa Israeli waliwekwa mbele za Mungu. Sheria katika umbo lake ilitolewa katika matukio yaliyotangulia, bali mbao hazikuwa zimeundwa. Musa alipanda na hao wazee wa Israeli naye aliyekuwa malaika wa uwepo wa Mungu, akawaonekania wale wazee pamoja na Musa. Musa alikuwa na hao wazee kisha akawaacha chini ya uongozi wa Haruni na Huri naye Musa pamoja na Yoshua wakakwea mlimani. Kwa siku sita wingu lilifunika mlima wa Mungu kisha Mungu akamwita Musa kutoka winguni. Kisha Musa akasonga mbele naye akakaa mlimani kwa siku arobaini mchana na usiku. Hivyo twaweza kutokeza kwamba kipindi cha siku arobaini na sita zilitukia vyema baada ya Pentekoste.

 

Bullinger anazipatia siku hizo sita na ile ya saba tarehe za 20-25 na ya 26 ya mwezi wa Siran ikiwa sabato ya nne y Siran (cf kutoka 24:16-18). Hivyo siku arobaini mlimani zilianza mwisho wa Siran wala siyo mwanzoni. Hakika hazianza mapema kuliko siku ya 13 ya mwezi wa tatu. Siku hizo arobaini zilimalizika, mnamo tarehe 20 ya Siran, kwenye mwezi mpya wa mwei wa tano Ab baada ya mwezi wan ne uliopewa jina la Mungu Tammuzi kuambatanishwa na uabudu sanamu wa Israeli.                                                                    

 

Hivyo, kujaribiwa  kwa Israel  kuendelea hata baada ya kufunuliwa kwa kwanza kwa sheria, huku Musa akingojea kupokea  mbao za mawe  na uwezo wa kusimamisha madhabahu .  Alivunja mbao za   kwanza alipokuwa akishuka taratibu baada ya Pentekoste, bila shaka mwanzoni mwa mwezi mpya wa Abi.  Hivyo nasi tunajairbiwa marazote.  Musa alikwea tena naye akapokea mbao zingine za maagizo. Kila wakati Israel warijaribiwa katika kungojea na utiifu. Nasi kama kanisa la Mungu tunajaribiwa.

 

Mambo haya yote yalitendeka kuwa mifano kwetu. Madhabahu ilijegwa kwa mfano wa ile ya mbinguni ambayo itatujia na tutakayoungana nayo kama Mji wa Mungu.

 

Basi, moja haiwezi kuanza na kumalizika aidha au yo yote ya mifungo katika ramadhani.  Inatajwa kwa minajili ya mwisho wa mifungo katika Pentakoste na kutolewa kwa mafunuo ya Mungu kwa wateule kwenye Pentakoste au sikukuu za majuma.      

 

Juma

Uislamu wa kwanza chini ya Waarabu uliiga juma kutoka kwa Wayahudi na Wakristo (ERE, Ibid, p 127). Kando na majina ya kizamani ya siku za juma kwa ujumla wanatumia majina ambayo pia yako katika kanisa la sasa la kikristo (ibid) siku zinaanza jioni na kuisha jioni kwenye giza totoro. Hili halijapata kubadilika tangu jadi nalo linakubaliana na taratibu za zamani za Kihebrania.

 

Majina ya juma yalitokana na desturi za Wayahudi pamoja na wakristo wa kwanza kama vile al jumaah kumaanisha mkutano au mkusanyiko wa ibada, na ifuatayo au siku ya saba ya juma lilipewa jina la as-sabt, sabato, ambalo kwalo ibada iliamuriwa na Mungu kwa njia ya manabii na ambalo kwalo nabii Kassim mwenyewe alifanya maombi maradufu pale musikitini kisha akaachana na biashara.         

 

Kufikiria kwamba Ismaeli alikuwa na kalenda tofauti mbali na Israeli kisha baadaye Yuda na Ukristo wa kwanza ni upuuzi Juma limefungamanishwa kwa Sabato, na ilibakia hivyo na ni hivyo hivyo, ikiagizwa na nabii kutunzwa (Tazama masomo haya [The Sabbath in the Qur'an (No. 274)].

 

Kusudio la miezi

Mwaka wa Kiserikali ulianza katika utaratibu wa mwezi wa Muharram au mwezi mtukufu au wa mavuno ya Wahebrania pamoja na wengine wa mbari ya shemu.

 

Kuivunika miezi mitukufu ilikuwa marufuku kwa vita vikali. Ni wazi  tokana na utaratibu pamoja na elimu ya asili ya maneno moja moja, ambavyo watu wa Meka pekee na Waarabu kwa ujumla walikuwa na utaratibu kamili wa mwaka wa kimwezi na kijua. ERE inasema “Mwaka wa jua” bali hili si sawa (ibid, uk. 126)

 

Kiasili majina ya miezi yanaonyesha nyakati maalum (ERE ibid). Miezi miwili ya Jumada ni miezi hasa ya badiri kutoka kwa mwezi mpya mnamo Desemba/Januari hadi mwezi mpya mnamo Februari/Machi. Miezi miwili ya Rabi inaonyesha “Wakati wa kulisha Wanyama” baada ya mvua za masika nyasi za kulisha zinapochipuka. Kipindi hiki ni kuanzia mwisho wa Oktoba hadi mwisho wa Desemba. Ile miezi sita mara zote huhusishwa kwa vipindi vya miezi miwili.

 

Mwezi wa Safar (Ka Oktoba) ni mwezi wa kugeuka kutoka kimo cha hari hadi masika.

 

Mwezi unaotangulia ni ule wa Muharram, mwezi mtukufu wa sikukuu za mavuno ya mizabibu pamoja na mfungo wa upatanisho tangu nyakati za kutangulia Hadith.

 

Badala ya Muharram-Safar inasemeka kama “Safari mbili” (ERE, ibid). Mwezi wa Rajab ulikuwa kabla ya Uislamu nao umebakia kuwa mwezi mtukufu katika Uislamu wa Hadith.  Ulitajwa kwa wakati wa msimu na mzaliwa wa kwanza na kwa usawa unatambuliwa na Pasaka au Pesach (cf. ERE, ibid).

 

Rajabu na Sha’ban pia zinatambuliwa na kutajwa kama ar Rajabani

 

Miezi ya mwisho ya mwaka wa Kiserikali na Kiislamu Dhul-qu’da na Dhul-l-hijja inaonyesha wakati wa pumziko na haji kwa maneno mengine, mwezi wa mwisho wa mwaka wa Kiserikali ni mwezi wa kumi na sita wa mwaka mtukufu wa Biblia, ambapo haji zilifanywa kwenda Yerusalemu kuwasili kwa wakati wa ajili ya siku ya Tarumbeta kwenye mwezi mpya wa Muharram. Sherehe ya Kiislamu ya kafara inayofunganishwa na mwezi wa mwisho wa mwaka inatokezwa kwa taratibu za Kipagani zilizoingizwa katika utaratibu wa baadaye wa Hadith. Mwishowe imetambuliwa kama shaitani au shetani, ila mwanzoni sheitani ilimaanisha joto la jua (ERE, ibid.)

 

Majina ya miezi yenyewe yanaonyesha kiasili kwamba kalenda iliwekwa mwanzoni kwa nyakati/misimu na sherehe za Biblia. Koran inatangaza hili na licha ya kweli hizi zinazojulikana, maimamu wanapotosha utaratibu wa ibada.

 

Waarabu walifuata utaratibu wa kwanza hadi nyakati za nabii ni hapo baada ye tu ilipoharibiwa na Hadith. Fuqain, mbari ya kinana katika nyakati zilizotangulia Hadith walitekeleza upenyezi (ERE, ibid Uk. 127). Walikuwa na jukumu kwa ajili ya kalenda katika Ismaeli sawa na walivyokuwa Walawi na Waisakaru katika Israeli.

 

Hadith ilipovunjavunja kalenda ya Uislamu kufuatia tafsiri yake ya Surah, viongozi walianza kuingiza siku za upenyezi katika miaka ya mzunguko ili kusawazisha makosa bila mafanikio. Utaratibu ulikuwa kwamba katika mzunguko wa miaka 30 miaka 2,5,7,10,13,15,16,18,21,24,26 na 29 iwe ikiongeza siku moja kwa mwezi wa mwisho (ERE, ibid). Hili halikufaulu kuiratibisha kalenda ili iweze kuyakidhi mahitaji ya watu pamoja na majira na bado liliweza kuchukua sura ya kufuata tafsiri mbaya ya Hadith. Katika hali hii, viongozi walifanya matengenezo kama vile Fulimid Al Haziz. Matengenezo yake yalidumu tangu AH 366 hadi 501. Kalif Abbasid chini ya Ta’i’ (AH 363-381) alifanya matengenezo yaliyodumu chini ya Seljuks (hadi 471) naye Mongol II Khans. Kalenda ya zamani ya Kiajemi ilirekebeshwa, ili kalenda hiyo haikuweza kutumika kiasi kwamba mamlaka hadi ya sasa, yanatumia takwimu za jua za kimagharibu na ile ya Gregori, kisha hutumia kalenda ya Hadith kwa maazimio ya kidini pekee (ERE, ibid)

 

Kwa hivyo, kwa kosa lao, viongozi hawa wamemfanya Mungu mmoja na wa kweli kuonekana kama mwanzilishi wa ghasia, nao wayakufuru mamlaka na utaratibu wake.

 

Hallala, ahalla (Heb. Hillel) maana yake hasa ni kumsifu (Mungu) inatokezwa na kuelezewa na hilal kumaanisha mwezi mpya. Kwa kuwa pamoja na mwezi mpya ilikuweko miezi na taratibu zilizobainika katika sifa ya Mungu mmoja na wa kweli Eloah huyo Lah” au Nguvu.

 

Ni kwa kurejeza tu takwimu/kalenda ya “kweli’ ndipo Uislamu waweza kujifutia walimu wa uongo na kurudi kwenye imani ya kweli na ibada ya Mungu mmoja wa kweli.

 

      q