Makanisa ya Kikristo ya Mungu
[081]
Kuwa Wamoja na Baba
(Toleo La 2.0 19941210-19990523)
Jarida hili linaelezea kuhusu uelewa wa
teolojia mamboleo kuhusu imani potofu ya Utatu au Utrinitarian na imani asilia
ya Kiyunitarian ya ainisho na imani ya kibiblia ya Mungu mmoja, maarufu kama
Utheism. Nia iliyoko nyuma ya
fundisho la Kitrinitarian la Usawa wa hadhi ya kiuungu limefafanuliwa pia.
Kitendo cha asili ya kimungu kimeelezwa, na mwingiliano wa Mungu na Malaika na
mwanadamu kumeonyeshwa kutegemeana na usawa huu wa kihadhi. Uumbwaji wa Roho
Mtakatifu umehojiwa pia, na kuna mgongano wa kifalsafa unaoinuka kutoka kwenye
mafundisho ya Watrinitarian. Shema inenwayo
kwenye Kumbukumbu la Torati 6:4 imejadiliwa, ikionyesha kuwa ni jinsi Mungu
alivyo Mmoja.
Christian Churches of God
(Hatimiliki © 1994, 1999 Wade Cox)
(tr. 2015)
Masomo
haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa
kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na
tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia.
Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala
yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa
kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni katika
tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Kuwa Wamoja na Baba
Neno Consubstantial maana yake ni kuwa
wamoja au kuambatana na Baba aliyeviumba vitu vyote. Wateule wanauhusiano na wamoja na Mungu kama
Kristo alivyo mmoja na Mungu.
Fundisho hili la
Yesu Kristo kuwa mmoja na Baba linafundishwa na Watrinitarian kimakosa na
kiupotoshaji ili kupinga ushiriki wa wateule kwenye uasilia wa kimungu wakiwa
kama warithi pamoja na Kristo. Ni kosa kubwa sana linaloendelea kufanywa na
makanisa wadau wa Ukristo mkongwe. Ili kuelewa jambo hili kwa kina zaidi,
jarida lifuatalo limeandikwa na kuchapishwa kutoka kwenye Kitabu cha 2 cha Mungu Amedhihika, yaani God Revealed Book 2. Hiki kimetokana na
maandiko yaliyotumiwa kwenye jarida la Ubinitariani na Utrinitariani (Na. 76) kwa kiwango cha kimaandiko kwa habari za Utrinitariani.
Uelewa wa Kiteolojia Mamboleo Kuhusu Utrinitariani
Mgawanyo
wa Kimajukumu wa Kibiblia na Imani ya Kitheism ni Uyunitarian
Kitabu cha Mwelekezo wa Maneno Magumu kijulikanacho kama The New Catholic Encyclopedia, art. ‘Trinity, Holy’, Vol. 14, p. 295 kinasema:
Kulikuwa na utambuzi wa sehemu ya utafsiri wa maana asilia na wanateolojia wa Biblia, pamoja na ukuaji wa idadi Wakatoliki wa Roma, kwamba kwa kipindi cha miaka elfu moja hakukuelezewa kuhusu imani hii ya Kitrinitarian kwenye Agano Jipya pasipo Agano Jipya pasipo kigezo muhimu na cha maana sana
.
Wanateolojia kwa muda mrefu sana wamekuwa wakiielewa imani ya Utatu kuwa sio ya kibiblia kabisa. Ilianzishwa kutokana na msingi wa kimtazamo tu wa kwamba walikuwa wamepoteza weledi wa kiuelewa kuhusu utakatifu wa Kristo na uhusiano wake na Mungu. Brunner anachukulia kuwa Calvin kwenye kitabu chake cha Institutio I, 13,4, analichukulia fundisho la Utatu kwa mtazamo kwamba:
Kutokana na nadharia au dhana inayotofautiana na zile za Biblia, wapinzani au wanaopinga uungu wa Kristo – ambao ni maadui wa Imani ya Kikristo - inalazimisha kuondoleambali kujibadilisha kwake na kupambana kwa wazi, badala ya kubatilisha uadui wake kwa vazi la Ukristo. (imenukuliwa kutoka kwenye kitabu cha Emil Brunner cha Fundisho la Mungu la Mapokeo ya Kikristo [The Christian Doctrine of God Dogmatics], Vol. 1 tr. Olive Wyon, The Westminster Press, 1949, Cambridge, Ch. 16 The Triune God, pp. 205-206).
Brunner alisema kuhusu fundisho la Utatu ambalo ni kwamba:
hususan mazingira
yenye utatanishi (ukurasa wa 205)
Kwa kweli hii inaonyekana kuwa hivyo. Malengo makuu linatuama kwenye
umuhimu wa mlingano na muainisho na imani ya Kibiblia ya Utheism pamoja na
Uislamu kuwa Uyunitarian. Brunner anasema hivi:
Imani za Kiyahudi na
Uislamu na Utheism ni za mrengo wa Kiyunitarian. Kwa upande mwingine, yatupasa
kukubaliana kwa moyo mmoja sana kwamba fundisho la Utatu halikuwa sehemu ya
mafundisho ya Wakristo wa kwanza ujumbe wa – Agano Jipya, wala hakuwahi kuwa
makala muhimu ya imani kwenye maisha ya kidini ya Kanisa la Kikristo kwa ujumla,
kwa historia yoyote cha historia. Ndipo tunalazimika kuuliza: Je, kweli hii ni
kiini cha teolojia ya Kikristo, bali sio kiini cha Imani ya Kikristo? Je,
tofauti kama hii kati ya imani ya teolojia inawezekana? Au je, hii inatokana na
mwendelezo wa uposhaji kwenye uundaji wa mafundisho ya Kanisa kwa ujumla?
Hakika, haiwezi kupingwa au kukanushwa kwamba sio tu neno “Utatu”, bali hata
wazo lenyewe la kuwepo kitu kinachoitwa Utatu halikuwepo kabisa kwene ushuhuda
wa mitume kwenye imani; ni sawia kw namna yake na haipingiki kwamba mapokeo
mazuri ya kiteolojia, kwa kauli moja, yanaonyesha wazi kabisa kwenye Utatu kuwa
ni kama kiini au chimbuko (ibid., p. 206).
Brunner anauweka msimamo wake wa kiteolojia kutokana na muundo wa kimapokeo
yanayojidai yenyewe, kwanza kabisa ni kwenye Baraza la Mtaguso wa Nicæa mwaka
325 BK na karibu yanaendelea kutoka kwenye baraza ma mtaguso wa Constantinople mwaka
381 BK. Brunner anadai kwenye maelezo ya msimamo wa kimapokeo yasiyo ya kawaida
ya Calvin hapo juu kwamba:
Fundisho la kikanisa
la Utatu, lililoanzishwa kwa mapokeo tu ya Kanisa la kwanza, halikuwa ni
fundisho (kerygma) ya
Kibiblia, na kwa hiyo halikuwa ni fundisho
(kerygma) la Kanisa, bali ni fundisho tu lililotokana na mtazamo wa
kiteolojia, ambalo linalinda kiini cha imani ya Biblia na Kanisa. Kwa hiyo
halitokani na msimamo wa ujumbe wa Kanisa, bali linatokana na msimamo wa
kiteolojia, kwenye jambo hili ni kazi ya Kanisa kuujaribu na kuutathimini ujumbe
wake, kwa muono sawa na Neno la Mungu lililopewa Kanisa. Ni kweli kabisa kwene
mchakato huu wa mwangwi wa kiteolojia, fundisho la Utatu limechukuliwa kama
kiini chake (op. cit., p. 206).
Hitimisho hili ni wa muhimu sana kwa ajili ya fundisho la Utatu limekuwa
limetajwa na kufundishwa na Waathanasian ili kuushinda msimamo wa Waarius wa
kumfanya Kristo kuwa kiumbe aliyeumbwa na si Mungu, fundisho lenye mashiko na
linalosaidiwa na maandiko mengi sana mbalimbali kama vile Waebrania 3:2, Mithali
8:22, Yohana 16:28; 20:17, Waefeso 4:4-6 na Ufunuo 3:14, 4:11. Sawasawa na Karl
Barth aliyesimama na msimamo wa kwamba:
Biblia imekosa maelezo ya haraka au moja kwa moja yanayoonyesha kwamba Baba, Mwana na Roho Mtakatifu wana hali na hadhi sawa ya kiuungu na kwa hiyo kwa maana iliyo sawa, ni Mungu mwenyewe peke yake. Na maelezo mengine yanayotangaza, yanakosa pia kusema kuwa Mungu ni ni Mungu aliyepo na ataendelea kuwa hivyo, yaani kwamba ni Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Kuna sehemu mbili zinazoelezea mara moja kwamba panakwenda zidi ya ushahidi wa Biblia ambapo panaonekana kuwa na maana kuu mbli kwa tafsiri ya fundisho la Kanisa ya Utatu (kwa mujibu wa kitabu kiitwacho Doctrine of the Word of God [Fundisho la Neno la Mungu], p. 437. Imenukuliwa pia na George L. Johnson kwenye kitabu chake cha Is God a Trinity? [Je, Mungu ni wa Utatu?], kilichochapishwa na kanisa la WCG, USA, 1973, p. 32).
Kusudi na Lengo
la Imani ya Utatu na la Kuwa Wamoja na Mungu
Calvin anasema kuwa kumtoa Arius mwenye “msimamo wake shupavu"
Kanisa la kale lilichukua hatua kubwa na lilitangaza kwamba Kristo ni Mwana wa milele yote wa Baba, na aliye pamoja kimshikamano wa kiwadhifa na Baba. Ukosefu wa uvumilifu ulijitokeza wakati Arius alipoanza kutangaza chuki yao na upotofu mkubwa unaofanywa kutokana na neno Ò:@@LF\ØH (homoousius). Kuwa lilikuwa linakiri kwa mara yaa kwanza – pamoja na kwamba Kristo alikuwa Mungu – kuwa ni hakika ukiri na uaminifu kutoka mioyoni, hawakuweza kupinga kwamba alikuwa na hadhi moja na Baba.
Calvin alieendelea kudai kwamba:
[akasema] kwamba jina hilo la kicheo lilifanya utofauti kati ya Wakristo wenye imani safi na wafuasi wenye kufuru wa Arians.
Msimamo huu unadhihirisha fikra kubwa za mchora duara la kutisha sio tu la Calvin bali na walio kwenye kambi au mrengo wa Waathanasian. Waathanasians walishindwa kukanusha, kutokana na Maandiko, msimamo wa Arius na maaskofu wa mashariki kwamba Kristo aliumbwa. Makundi haya hayakuwa ni ya Waarians bali yaliitwa ni kanakwamba ni kutoa maelekezo ya kwamba ujuzi wa kiteolojia wa Kiuungu walidhihirisha ilikuwa ni mpya au yalitokana na Arius, ambavyo si kweli na haikuwa hivyo. Arius alifundishwa na Lucian wa Anthiokia, mwanazuoni mashuhuri sana wa Kikristo katika karne ya nne na mfiadini wa mwisho aliyeuawa kwenye mateso ya Diocletian. Shule yake ilimjumuisha pia Eusebius wa Nicomedia, Menpophantus wa Efeso, Theognis wa Nicæa, Maris wa Chalcedon, Leontius wa Anthiokia, Athanasius wa Anarzabus na Asterius Msofist pamoja na Arius (kwa mujibu wa kitabu cha Harnack cha Hist. of Dogma [Historia ya Mapokeo], Vol iv, p. 3, Eng. tr.).
Wanazuoni hawa wa mashariki walifundishwa kwa mapokeo endelevu ya Kanisa yanayoonyesha kuwa msingi wake ulikuwa ni wa kimpangilio wa Maandiko Matakatifu. Hii iliwapelekea kuwa na mgongano na mwendelezo wa imani ya usyncretism upande wa magharibi. Walipokabiliwa na msimamo wa kimaandiko kwamba Kristo hakuwa sawa na Mungu na kwamba ni mtu aliyeumbwa na Mungu Baba, akiwa kama mzaliwa wa kwanza au msingi wa msingi wa kutokea kwake, Waathanasian walitunga kwa ustadi mkubwa fundisho ambalo halikuwa na msingi wowote wa kibiblia, ili kuwatangaza au kuwapakazia wapinzani wao kuwa ni wazushi. Wakati watu hawa walipokataa kukubaliana na msimamo huo usioendana na biblia ndipo hatimaye wakawazuia.
Calvin anakiri
na kukubali kuwa hatua ilikuwa ni zadi ya kuwa ya kibiblia na muhimu “kumdhihirisha”
huyu (Arius mwenye kukufuru” (Kwa mujibu wa kitabu cha Institutes of The Christian Religion [Taasisi ya Dini ya Kikristo],
Bk. I, 13,4, tr. Beveridge, James Clark & Co., London, 1953). Muundo na
aina yoyote ya Ukristo wa ajabuajabu ulipewa jina la Uariani na au wafuasi wa
Arius baada ya mwanateolojioa mmoja wa moja ya shule zao na anayeonekana kuwa
ni mfano mkubwa alikuwa kwenye upeo wa kimataifa.
Kwa miaka mingi sana, mstari unaowatenganisha washambulizi wa Kirumi na wa kiteutoniki wa eneojimbo lao ulikuwa ni wa kidini zaidi kuliko ule wa kitabaka. Ni bahati yetu mbaya kuwa tuna habari kidogo au nyingi kuhusu kazi zilizofanywa na mitume wasiojulikana wa Kiarian wa maeneo ya Goths, Vandals, Lombards, na Burgundians. Ukweli ni kwamba Cyrila, askofu wa Vandal au papa wa Carthage, hakuwa anakijua kilatini vizuri sana ipasavyo (Victor Vitensis, lib. ii), na kuonekana kwa nalaka mashuhuri ya maandio matakatifu ya [mwaka 351], unaonyesha kuashiria kuwa wabarbarian walikuwa wanafunshindishwa mafundisho ya Kikristo kwa lugha zao wenyewe, kiasi kwamba, imani yao ya Kiarian ililazimu kuwa ni tofauti na ulaghai uliopambwa uliotozifautisha shule ay mirengo ya kidola, na ambazo huenda ilielezewa kwa kukataliwa kukubwa na Waburgundian wa Gundobald wa kuabudu miungu mitatu (Avitus, Ep. xli). Lakini kunaonekana kuwa na mashaka kidogo kwamba nguvu za mabaddiliko za Kikristo ambazo wabarbarian walizitohoa zilikuwa sahihi. Makabila yote mawili, yaani Wasalvian na Orosius wanasifu umuhimu wa washindi wa Kiarian kuishinda eneojimbo la Rumi, na Augustine (de Civitate Dei, i) kunahusiana na jinsi umahiri na weledi wa Waarian wa Kivisigothi walioitwaa Rumi kutokana na Alaric walivyowatendeawenyeji wa mji, na kwamba heshima ile waliyoionyesha kwa kuyatakasa makanisa ya Kikristo. Utawala mrefu, hata hivyo, kwa Theodore Marian huko Italia, na serikali yake yenye mamlaka nusunusu, yenye uwajihi, kama kujukana na Milman, 'kuwasifu Wakatoliki wenye juhudi kubwa' (Latin Christianity, bk. iii, Ch. iii) (ERE, art. ‘Arianism,’ p. 782).
Katika karne ya tano na sehemu ya karne ya sita, kwenye majimbo ya upande wa Magharibi mwa Ulaya, Uariani ulikuwa ndiyo dini ya washindi na Wakristo wa mrengo wa Athanasian walishindwa. Ilidumu kuwa hivyo hadi walipoongoka kina Clovis na Salien Franks hadi Warumi au Mkristo Muathanasian. Kwa hiyo migawanyiko ilikuwa ni ya kisiasa zaidi kuliko kuwa ya kiteolojia. Makanisa ya mrengo wa Kiarian yalikuwa ni ya kitaifa na si yaliyoegemea kwenye mrengo wa kisiasa.
Nguvu au uimara wa shirika la Kanisa la Ufalme au Dola iliyoanguka inajiri kwenye mkanganyo ulio kinyume kabisa na udhaifu wa Makanisa ya kitaifa yasiyoadibish wa vyema ya wanaoushambulia Uarian (ERE, ibid., p. 783).
Kile tunachokiona hapa ni uwepo wa malumbano au hoja za kiteolojia kwa kutmia mamlaka za dunia. Msimamo wa kweli wa kibiblia haukutenganishwa kabisa kuwa ni kama jambo muhimu na lenye mashiko na wanatelojia wa Kiathanisian. Msimamo unaoendelea na nguvu ilizokuwanazo Kanisa wakati wa mjadala zilipelekea kuingizwa kwa imani ya kisyncretise sana na kuondokana na utaratibu asilia wa kibiblia ambayo kwamba kila moja ifanye rejea kwenye Biblia peke yake katika kuamua, ilichukua mkondo kinyume na wazee wa kanisa na viongozi wa dini kongwe. Kushindwa kwa Wayunitarian (wanaoitwa sasa Waarian) kuanzishwa kwa iliyokuwa inajulikana kama Dola Takatifu ya Roma mwaka 590 BK chini ya Papa Gregory I kulizima au kukwamishwa au kuahirishwa kujadili wa jambo hili. Ukrsto ukafungizwa kwenye hali mbaya sana ya kuotoeleweka tangu hapo.
Historia ya kweli ya Uyunitariani na mijadala ya Uaarian vimeandikwa na Waathanasian na kytokana na asili matengenezo mapya yanatathiminiwa (sawa na jarida la Imani za Kibinitariani na Utrinitariani (Na. 76)). Hata hivyo, kuongoka kwa Wagothi kulikuwa ni matokeo ya ukimbizi wa Arius alipokimbilia huko Illyricum ni wa matatizo. Kwa mfano, Askofu wa Kigothiki Theophilus alikuwepo huko Nicæa (ERE, p. 782). Ni kwa bahati mbaya sana kwamba Arius alipokuwa kwenye ukimbizi aliwaongoa watu walikuwa tayari ni Maaskofu waliohudhuria mtaguso wa Nicæa kabla ya kukimbia kwake. Aina hii ya dosari kubwa imepelekea kuwe na mjadala wa kiteolojia kuhusu jambo hili. Tunautazama mtinzo au aina ya propaganda uliochukua maana kubwa ya eneo la falsafa ya Kikristo, ambapo ni kwamba Mungu ni Mmoja tu, na kulifungia kwenye dogma ya kiteolojia ambavyo kifalsafa ni upuuzi. Propaganda iliyofanyiwa imani ya Kiarian yaonekana kukusudiwa kuihalalisha imani ya Waathanasian wakati walipotafuta kuukana au kuupinga uhalali wa wale walioitwa kihalisia kuwa ni wenye imani ya moja kwa moja au Waarian. Asili ya zamani ya kimsimamo ilifundishwa na Arius imebadilishwa au kupotoshwa na tangazo la kulimambolezesha Kanisa lolote kwa kulifanya lipingane na msimamo wa Kibiblia na muundo wa Waathanasian kwa jina la wasemaji au majimbo ya wakati ule – ambao ni imani ya Waarian. Imani ya Waeusebiani au Waalbigensiani au Wawaldensiani. Ingawaje, kama ripoti au habari za msimamo wa Ariua uko sahihi sana, alifanya makosa makubwa sana kwa kuendeleza msimamo kuhusu nafasi ya Kristo. Makundi haya naonekana kuwa ni sehemu ya hadithi ndefu ya Ukristo unaoendelea wa kibiblia.
Kukomeshwa kwa imani ya Uarianism kama imani ni moja ya mambo muhimu sana kuliko kwenye mwanzo wa ustaarabu wa kisasa wa wazungu; ambayo kwamba washindi wa vita wa kibarbarian walidai kuwa ni aina moja ya Ukristo na wadhaifu waliwakimbiza wengine, hakuna maendeleo yangaliyowezekana (ERE, p. 783).
Nukuu zilizotolewa hapo juu kuhusu mwenendo wa wale wanaoitwa wabarbarian, mtu anaweza kujiuliza iwapo kama kwa kweli tuko bado waathirika wa propaganda hizi. Kwa mfano, neno Vandali limekuja kumaanisha kuangamizwa kwa kizazi tukutu, ambao Wavandali wanauwezesha kuibuka kwenye neo au jina ambalo Wakristo waliaminika kuwa waliongolewa na mfalme Muarian aliyeitwa Valens (miaka ya 364-378) (kwa mujibu wa Cath. Encyc., art. ‘Vandals’, Vol. XV, p. 268).
Vandals walizibomoa sanamu huko Roma, kwa sababu ya mtazamo wao wa kinadharia kuhusu umuhimu wa kuishika amri ya pili inayokataza kuziabudu sanamu za kuchonga. Mtazamo wao ulikuwa, ni kama yalivyo makabila yote ya kaskazini, sambamba na mtazamo wa watu wa kashariki uliofundishwa na kuanzishwa na Arius, ila haikufanana. Ni muhimu kuufanya upya msimamo wa Arius. Harnack (kwenye kitabu chake cha Historia ya Dogma, yaani, Hist. of Dogma, Vol. iv, p. 15) ameorodhesha vipengele nane vya mtazamo na viliongezwa na Arius:
(1) Tabia ya Mungu
wa Pekee na wa Kweli ni ya kipekee na ya milele. Hawezi kuweka kitu chochote
kwenye ukamilifu wake. Hakuwa Baba wakati wote, bali ni tangu pale tu alipoanza
kuwa na Mwana (yaani, alipomuumba).
(2) Hekima na Neno (8@(@H [logos])
ilikuwa ndani ya Mungu huyu, bali wao ni nguvu na siyo nafsi hai.
(3) Alipoiumba dunia,
Mungu alifikiri kuwa anayejitegemea au
kuwa mwenyewe tu peke yake (@ÛF4" [ousia]
au ßB`FJ"F4H [hupostasis]) kama chombo ambacho vitu
vyote viliumbwa kwacho. Kiumbe huyu anaitwa Maandiko, Hekima, Mwana, Mwenye
Mfano wa Sura, Neno, nk.
(4) Kwa kutilia
maanani uwepo wake wa kipekee, Mwana ni ikumbe mwingine mbali na Baba, yu
tofauti na yeye kwa hali yake ya kudumu kipekee na asili yake. Ni kama walivyo
viumbe wote walioumbwa ka matabaka, Mwana amepewa uhuru wa kuchagua au kuamua
mambo, na matokeo yake anauwezo wa kubadilika.
(5) Mwana sio na
wala hawezi kuwa Mungu huyu wa Pekee, bali yeye ni Yule ajulikanaye kuwa ni
Neno na Stadi au hekima. Hana utimilifu wote wa kiuungu, bali anauhusian tu na
anamjua Baba.
(6) Mwana hayupo kwa
namna yoyote ile kiumbe kama viumbe wengine. Bali yeye ni kiumbe mkamilifu (6J\F:" JX8,4@< [ktisma
teleion]) na akafanyika Mungu, ili
tumuite ‘mwana wa pekee wa Mungu’ nk..
(7) Kristo alichukua
mwili halisi, bali alikuwa ni Fä:" ?RLP@<, [soma
apsuchone] yaani Logos ilichukua mahali pa nafsi hai. Kutokana na rekodi za
injili, tunaona kwamba huyu Logos hakuwa kiumbe mkamilifu kabisa, bali anaweza
kupata mateso.
(8) Miongoni mwa
viumbe wengine walioumbwa [Roho] Mtakatifu aliwekwa ndani yake Mwana awe kama
nguvu nyingine saidizi ya pili, inayomwezesha kujitegemea. Kwa mujibu wa Arius,
ni wazi sana kwamba Roho ndiye aliyehusika kumuumba Mwana.
Foakes-Jackson anaendelea kufafanua mawazo ya Harnack kwa kusema:
Ni kama ilivyokuwa
pia imani ya Kiarianism – nadharia ya uhusiano asilia wa Watu kwenye Utatu
iliyotuama kwenye hali ya kinomino ya maneno yaliyo kwenye maandiko, bali
yamefika kutoka kwenye uhalisia kwa mitindo au namna ya falsafa ya kipagani.
Ilipelekea kwenye ama ibada na imani ya miungu wengi kwa kumfanya huyu Logos awe
kama Mungu wa pili, au, kwa kufuata mengo wa Kiyahudi wa kuamini Mungu mmoja au
Uyunitarian kwa kuukataa Uungu wake kamili (ERE,
art. ‘Arianism’, p. 777).
Udadisi huu unazua matatizo tuliyoyaainisha kwenye jarida hili. Kutokana na
hapo juu, tunaweza sasa kuona kwamba madai imani ya Kiarianism inayoshikilia
kuamini kwamba Kristo ndiye alimuumba Roho Mtakatifu yaliendelezwa na Harnack, yalitoholewa
kutoka kwenye mafundisho ya zamani ya Waathanasian. Yaonekana kutuama kwenye
mtazamo wa kimaandiko kwamba Kristo aliumba vitu vyote mbinguni na duniani (Waefeso
3:9; Wakolosai 1:16). Msimamo huu ulidaiwa na Waathanasian kuwa ni wa Arius.
Inaweka mashaka sana kwamba ulichukuliwa kuwa ni msimamo uliokuwa ni upuuzi
sana kifalsafa ambao kwamba ulipelekea kuondolewambali kwa ujumla kimsimamo.
Inafanana sana na zaidi kwamba Harnack aliichukulia kimsingi, kama mwanateolojia,
propaganda ambayo ilihojiwa na kujadiliwa na mwanafalsafa. La muhimu zaidi, ni kwamba
Arius aliweka msingi wa mjadala au upinzani wake kwenye Maandiko Matakatifu
akionyesha kwamba Roho Mtakatifu amewekwa na
Baba pamoja na Mwana na Roho atokaye
kwa Baba kupitia kwa Mwana. Kwa hiyo, Roho anatoka kwa Baba kupitia kwa
Mwana na sio kutoka kwa wote wawili. Uainisho wa msimamo vinamuonyesha Arius
kwa vipengele vinane kama hapo juu ikiwezesha ainisho rahisi. Makosa yanaweza
kuonekana kwenye msimamo kwa kulinganisha na msimamo wa Kimaandiko. Msimamo
umeainishwa kwa vipengele vifuatavyo:
(1) Hii ni sahihi isipokuwa kwamba maelezo ya kwamba Mungu anaweza kushurutisha kimsukumo kitu fulani kutokana
na uwepo wake mwenyewe na ulio imara yanakosa au kupungua ainisho na dondoo
zake zilikosekana. Ukweli wa kwamba Mungu aliviumba vitu vyote (ulimwengu J" BV<J" [ta panta]) kwa mapenzi yake (Ufunuo
4:11) inaonekana kuwa alipenda kuwa Baba kwa kudumu milele na hivyo ni kwa hiyo
yeye yu peke yake. Kristo na Elohim walikuwepo wakati wote kama muda
ulivyowekwa kwa wakati wote kama muda uliowekwa kutoka kwenye uzao wa Elohim.
Viumbe hawa wote wawili walikuwa na asili ya kimbinguna au ya kimungu kwa njia
ya Roho Mtakatifu kama wateule walivyo pia ni warithi wa Uungu au asili ya
kimungu (2Petro 1:4).
(2) Stadi wa Kazs au Hekima na Neno aliye ndani ya Mungu kama nguvu tu na
sio watu wanaotokana na dhana ya nguvu ya Kimungu inayofanyiza matendo na
kwamba Logos akadhihirika kwa tabia za Mungu.
(3) Uumbaji wa dunia kwa uweza wa kipekee unatokana na msimamo wa kibiblia
hapo juu. Kulikuwa na Wana wengi wa Mungu walioonekana kuwa walikuwepo (soma
Ayubu 1:6; 2:8-47).
(4) Kuwatenganisha
Baba na Mwana kama Viumbe walio kila mmoja peke yake ni sahihi Kibiblia, kwa
hiyo Kiumbe huyu ndiye yule anayedumu kuishi na wawili wote wanaishi kama
walivyoonyeshwa kwa haki yao, kwa hiyo, hawa ni Viumbe walio tofauti, yaani,
kila mmoja peke yake. Madai ya kwamba hawakuwa Viumbe ni upotoe mkubwa sana wa
kiitikadi ya Kinostiki ya Kibasilidean au imani ya Kibuddha. Usemi wa kwamba wao
ni viumbe walio tofauti na kiasili ni maelezo yanayoeleweka kirahisi mno
yanayopotosha msimamo na nafasi ya kibiblia. Malaika wanashiriki na uwepo na
asili ya Mungu. Hata hivyo, kila mmoja auelewa sawasawa na mapenzi ya Baba ya
kujifunua au kujidhihirisha mwenyewe ambayo ndiyo nafasi na msimamo wa Biblia.
Kitabu chote kimekiita kitendo hiki kuwa Apokalipse
au Ufunuo ni Ufunuo wa Mungu kwa Yesu Kristo. Umekosewa
kuitwa kwa sababu ya nadharia na mtazamo huu huu (soma
jarida la Ubinitariani na Utrinitariani (Na. 76)).
(5) Maarifa hayohayo ya kumjua Baba kwa njia ya Mwana yanajulikana kutokana
na Roho Mtakatifu na haupingiki.
(6) Suala ya Kristo
kufanyika kuwa Mungu linatokana na matengenezo ya tena Thalia ya Arius. Madai ya kwamba Kristo alifanyika kuwa Mungu baada
ya kufufuka kwake ni uwongo mkubwa sana kibiblia. Alikuwa Mungu kwa nasaba ya kiuzao tu na si kiuhalisia (Zaburi 45:6-7); (sawa na Wakolosai 1:15 na kwenye jarida la Malaika wa YHVH (Na. 24)).
(7) Fundisho la kwamba Logos inachukua mahala pa nafsi hai ni kazi
iliyofanywa na Waathanasian wenye fundisho la nafsi hai. Logos akafanyika mwili
na kuchukua mfano wa sura ya Mungu wateule, kwa kuchukua hali na asili ya kimbinguni,
wanakuwa pia wenye sura na mfano wa Kristo (Warumi 8:29), ambaye ni mfano wa
sura ya Mungu, akiwa ni prõtotokos wa
uumbaji wa Mungu (Wakolosai 1:15). Kwa hiyo, viumbe wanapewa uhuru wa kuamua
bado na ni hali ya kuwa sawa na Baba kwa kupitia asili ya kimungu.
(8) Uumbaji wa Roho Mtakatifu unaweza ni udhihirisho wa tabia ya Mungu.
Kutoelewa kuwa Roho Mtakatifu kiasi cha kumfanya kuwa ni mtu hai unafanya
madai kuhusu imani ya Uarian. Msimamo na itikadi ya Wayunitarian uko wazi sana
kuliko msimamo wa au imani ya Arius huko Nicaea. Roho Mtakatifu aliumbwa na
Mungu ili kuwezesha uumbaji ili kufanyika kuwa mmoja na yeye (tazama hapo
chini). Kwa hiyo teolojia inashindwa kwendana na kukithi jambo hili. Imani ya
Kiarian inapokuwa inatathiminiwa upya kwa kile ambacho Bibliia kwa hakika
inakifundisha ikubalika kama imeandikwa vizuri na kiusahihi, ambavyo kutilia
mashaka sana, ni makosa. Lakini ni kama ilivyoelezewa hapo mwanzoni, si jambo
la kupotoka sana kama msimamo wa teolojia iliyotungwa na kupitishwa ya Nicæan ambayo
ilikusudia kuipinga hii. Imani ya Kiyunitarian haina tatizo kama hilo. Tatizo
linalofuatia la mashiko ya mtaguso wa Nicæan ndipo liliibuka.
Kuishinda Imani ya Kisabelian kwa Nadharia za Uwongo na Potofu
Dhana ya kwamba Kristo ana umilele
sawa na ana usawa na Mungu Baba
ni nadharia isiyo sahihi kabisa kuifanya kuwa ni muhimu kwa hali hii ya kuwa mmoja na Mungu. Fundisho hili kwa
hiyo lilitumika ili kuishinda imani ya Kisabelian iliyodumu kuamini kuwa:
Majina ya Baba,
Mwana na Roho Mtakatifu, ambayo ni kama hakuna kitu; yanafanya au kuwezesha
kwamba hayakutumika kuonyesha tofauti, bali hiyo ilikuwa ni tabia tofauti za
Mungu, kama wengine wote wa aina hiyohiyo.
Kwa maneno mengine ni kwamba, Baba
alikuwa ni Mwana na Mwana na Baba pasipo utaratibu au tofauti (ibid.). fikra
za kwamba hali hii ya kuwa wamoja inahitaji tabia za Mungu kuwanayo Kristo,
ijulikanayo kuwa na umilele sawa na usawa pamoja na tabia au hali ya kuwa na
uweza wote na usioshindwa na uwezo wa kujua au kuelewa kila jambo, ni makosa
makubwa sana yalilotokana mitaguso ya Nicæa/Constantinople na imani ya Utrinitarian.
Maana ya Dhana ya Kuwa Sawa Kibiblia
Roho Mtakatifu ni uweza wa Mungu uliotumika kumwezesha mteule kwenye wokovu.
Ni moja ya mambo muhimu na ndipo wateule wanakuwa na:
·
Kuwa wamekusudiwa tangu mwanzo na kuitwa kwenye
toba (Warumi 8:29);
·
Abatizwe kwa kuzamishwa kwenye maji mengi akiwa
mtumzima aliyetubu dhambi zake (Mathayo 28:19 na kadhalika);
·
Kumpokea Roho Mtakatifu kwa kuwekewa mikono na
watumishi wamtumikiao Yesu Kristo kama ilivyoeleweka siku ya Pentekoste; na
·
Asiyetenda dhambi, ambayo ni uvunjifu wa sheria na
amri za Mungu (1Yohana 3:4,9);
·
Na kisha ndivyo kupigwa mhuri wa Mungu, kunakotambulikana
kwa alama ya kuzishika Sabato na Pasaka (Kutoka 12:14; 13:9; 20:8 nk.).
Wamezaliwa na Mungu na ni sawa na kuwa wamoja na Baba kwa uweza
wa Roho Mtakatifu. Dhana ya kuwa sawa kwenye utendaji au kazi za Roho Mtakatifu
ipo kwenye mamlaka ya Kristo ikitoka kwa Baba ikibakia kwenye kutoyaelewa
maandiko yaliyo kwenye 1Wakorintho 6:3:
Hamjui
ya kuwa mtawahukumu malaika..?
Andiko hili linawahusu au kuwataja Malaika walioasi bali ilidhaniwa kwamba
hukumu ya Malaika Walioasi ingewapata au kuwaangukia wateule pia. Msimamo huu
hauelewi Tatizo la Uovu au Dhambi kuwa ni kuwa inatenda kazi nje na kinyume na
mapenzi ya Mungu na kwamba nafasi bado ipo au iko sawa na uhusiano wa kiutii kwa
Mungu.
Nafasi ya nadharia ya mrengo waamini Mungu mmoja na umajumui kwenye mapenzi
ya Baba na hivyo, hali hii ya kuwa wamoja ilijumuishwa na Malaika wote wa Mbinguni hadi walipoasi.
Hivyo basi, Lusifa au Shetani, alikuwa na
nia moja na Baba kwa namna hiyohiyo
kwamba Kristo alikuwa ni mwenye nia moja;
akiwa kwa ujumla kwa uweza wa
Roho kama walivyokuwa wote Malaika wa Elohim. Kama hawakuwa wamewezeshwa na roho
kwa nguvu zake za asili yao ya kuwa
viumbe ndipo basi Mteule alikuwa kwa hakika
wa mrengo wa kuamini miungu mingi na itikadi au imani mgawanyikio. Imani ya
kuamini Mungu mmoja au Umonothetiki kwa hakika unahitaji kuongeza idadi ya
Wateule wajikite zaidi kwa viumbe wote waliopo ili kwamba Mungu awe yote katika yote na ndani ya yote. Iliwapasa
wanadamu wapewe Roho Mtakatifu ili waweze kuwa sawa na malaika. Hivi ndivyo inavyomaanisha Luka 20:36. Inayosomeka:
ÆFV((,8@4 (VD ,ÆF4< (isaggeloi
gar eisin)
Kufanana na malaika
walivyo.
Neno kuwa pamoja nayo dhana ya kuwa
sawa kama mzee wa nah ii kwa hakika ni muhimu kwa imani ya Mungu mmoja au Umonotheism
ili kwamba migawanyo ya waamini miungu wengi isianzishwe.
Malaika kama Wana wa Mungu
Fikra ya kwamba malaika hawajumuishwi na neno theoi au miungu na kwamba
linatajwa kwenye maelezo ya kimtazamo ya Irenæus:
Hakuna mwingine
yeyote aitwaye Mungu kwenye maandiko matakatifu isipokuwa Baba wa wote na
Mwana, na wale wanafanywa wana.
Matumizi ya neno kufanywa mwana linachukuliwa
kiutofauti na wateule bali nano lenyewe lililo sahihi zaidi ni kuasiliwa au kufanywa mwana. Kila mteule ni mwana
wa Mungu aliyezaliwa katika roho kwa njia
ya ubatizo.
Malaika wa Mbinguni walikuwa ni wana
waliozaliwa na Mungu tayari. Kristo alikuwa ni Mwana wa pekee aliyezaliwa na Mungu. Jina au neno monogenes theos (ambayo kwenye Yohana
1:18, inasomeka Mwana pekee aliyezaliwa
na Mungu, na sio mwana pekee
aliyezaliwa) alikuwa Mungu ndiye
aliyesema; Ni Ho Legon kwa
Kiyunani.
Zaburi 82:6 Mimi
nimesema, Ndinyi miungu [elohim], Na
wana wa Aliye juu...
Kristo, Wanadamu, Malaika na Tabia ya Kimungu au ya Kimbinguni
Maelezo yaliyo kwenye 2Petro 1:4 ya wanadamu kuwa warithi wa asili na urithi
wa tabia za kimbinguni haukueleweka na Waathanasian kwa maana halisi iliyokusudiwa.
Tabia za kimungu ni zile zinazofanana na zenye kulazimu kuwa na sharti la utii
na zinazokubali kupata faida na hasara. Yohana 1:12 inasema:
Bali wote waliompokea
aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu,
Kwa hiyo, Waarian/Waeusebian, nk, walijua kuwa mwanadamu kwa ukamilifu na
kushiriki kwake kwenye asili na tabia ya kimungu angefanyika Mungu na kutokana
na maneno ya Mungu yasemayo: "Nimezaa na kuwakuza watoto", kuonyesha
kuwa kulikuwa na wana wengi. Msisitizo wa Waathanasian wa anguko la watoto hao
hauupunguzi wala kuondoa ukweli wa ukweli wa uwepo wao kuwili kote, yaani
mbinguni na duniani. Kifungu cha maandiko cha Yohana 17:11 kisemacho: ili wawe na umoja kama sisi tulivyo. ilimaanisha kuwa na umoja alioshiriki
Kristo na Mungu ulikuwa ni umoja ambao wateule walishirikishwa na Mungu. Waathanasian
waliiona hii kuwa ni kama kitu cha kushangaza na chenye kuzua maswali kwa kuwa
hawakuielewa dhana ya Wana wa Mungu. Ili
kukomesha hali ya kumzima Roho, ni wazo la kipuuzi la kifalsafa kuhusu tabia ya
kimungu linaloonyesha kutokuwa na faida wala hasara iliyojitokeza. Hali ya
kimungu ya mwokozi ilichukuliwa kumhakikishia hali ya kujua au kuelewa na kuona.
Hakuna katika
umbinguni wa Logos au Sophia ingaliyoweza kupotea kwenye mchakato huu wa Mwana
kufanyika kuwa aliyezaliwa kutoka mbinguni, kwa kuwa hali na tabia ya kimungu
kimaelezo inakubali kuwa hakuna kufaidika wala kupoteza (Gregg na Groh, p. 13).
Sasa msimamo huu uliwapelekea Waathanasian kwenye mhemko kamili wa madai
yasiyo na mlingano wowote wa kibiblia ya ukamilifu halisi wa Kristo kuwa na
uweza wa kujua kila jambo licha ya ukweli wa kwamba mwenyewe alisema wazi sana
kwamba kuna vitu na mambo fulani ambayo alikuwa hayajui (ikiwemo siku ya kurudi
kwake). Alisema pia alielekezwa na kutumwa na Baba hata kwa masuala ya
kuwachagua wateule wake. Itaonyeshwa hatimaye kwamba ilikuwa hivyo hasa kwa
sababu ya uweza wa Mungu Baba wa kujua kila jambo na kwamba ndiyo maana ilikuwa
hivyo.
Uelewa waliokuwanao wanazuoni wa Kiathanasian kwenye fahamu zao haukutokana
na Biblia peke yake bali ulitokana na Wairenæus ambao walikuwa: Wakitegemea mapenzi ya Mungu kuwa ni ujuzi
au uelewa uliosawa au wa kulinganishia kwake, kuwa ni kiwango anachokihitaji. Hali
hii ya mlinganisho na utegemezi, vimenenwa na Kristo. Kristo asingeweza kuweka
msimamo kwa upande wake wa kuume wala wa kushoto, bali waliandaliwa na Baba (Mathayo
20:23). Kristo alikuwa moja kwa moja ni mtendaji na mtimilizaji wa mapenzi ya
Baba kwa mujibu wa Yohana 4:34 na 3:68:
"Chakula changu ndicho hiki,
niyatende mapenzi yake aliyenipeleka, nikaimalize kazi yake” na “."Kwa kuwa mimi sikushuka kutoka mbinguni ili
niyafanye mapenzi yangu, bali mapenzi yake aliyenipeleka. "
Kristo
alijinyenyekeza na kuyatoa mapenzi yake kama ilivyoandikwa kwenye Luka 22:42 na
kwa hiyo inaruhusu hivyo kwa kuyaachia mapenzi yake kwa uchaguzi alioufanya
kuwa ni wakala huru. Tukimnukuu Cox, kwenye jarida lake la Uumbaji: Kutoka Kwenye Teolojia ya Kianthropomorfiki
Hadi Kwenye Teolojia ya AnthAnthropolojia ya Kitheomorfiki (Na. B5), ukurasa wa 39:
Lakini kazi hizi
zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye yule, akimgawia kila mtu peke yake kama apendavyo
yeye. (1Wakorintho 12:11). Gregg na Groh wanasema kuhu jambo hili (kwenye ukurasa
wa 11):
Kile Arius alichonacho
kwa hakika moyoni mwake kinaendelea kwa namna fulani sambamba na ustadi wa
kianthropolojia ya Ukristo wa zamani wa kiumbe chini ya Roho wa Mungu (kwa kweli
mtu anayeshiriki katika roho) ambaye hajapewa maarifa ya Mungu kama alivyo yeye
mwenyewe (Irenæus anasema kuhusu 'ukuu wake’ na ‘uweza wake mtukufu usio na
makosa') na ambaye uwezo wake wa kuona kwa undani mapenzi ya Baba na kujidhihirisha
kwake mwenyewe (Arius anasema: kwa uweza anaouonea Mungu;' Irenæus anasema: 'Mungu
anatoaga hata hii kwa watu wampendao, yaani kumuona Mungu').Hivyo, Mwana
alikuwa na ukomo au uweza wa wastani mbali na alivyokuwa Baba na ndivyo
alivyoelezea Arius kwamba Kristo, kama viumbe wote wengine, alipewa wajibu wa
kutii na kuwa mumishi mwema na mtiifu aliyeishi kwa imani na Baba yake.
Ni kama ilivyoonekana baadae, nadharia au fikra za Kiplatoni ya kuungana na Yeye Mungu zilipingwa na mazingira ya kimafunuo ya Kimungu au
Kitheofaniki utiifu. Ni kwa sababu hii, weledi wa Wakristo wa kwanza uliachwa,
si kwa shuruti yoyote ya maelekezo au mashiko ya kibiblia. Maelekezo ya biblia
yanasisitiza kwamba kitendo cha kutii na
kuitendea kazi imani klichofanywa na Mwana kwa Baba ambacho kilikuwa mfano
kilikuwa ni ukamilifu wa sheria usio na
waa. Hii ilifanyika ili kwamba wateule wawe na mfano mkamilifu na usio na
mawaa wa kuufuata.
Waathanasian walijaribu kuwaambatanisha pamoja Baba na Mwana kwa Roho Mtakatifu
ambaye hakuhusiana kwenye utendaji wake, ambavyo ni bila kuwajumuisha Jeshi la
malaika na kuwekea ukomo umuhimu wa wateule. Ilifanywa kwa kuwapinga maelekezo
ya Biblia na dhidi ya ushahidi ulio wazi wa Kanisa la kwanza, kunakoonekana
kujumuisha na upagani na ushawishi wa Uplatoni-Mamboleo na kwa kiasi kikubwa
matendo ya dini potofu za siri. Shuruti nyinguine na zisitajwa zimetuama kwenye
nguvu za migawanyiko ya mataifa yaliyokuwa yameongolewa na imani ya Wakristo wa
kwanza wanaoitwa sasa Waarian kama vile Wavandali na Wagoths. Hivyo basi, mengi
yaliyokuwa na hamasa na mijadala mikali kwenye historia ilianza, ikikosa
mashiko wala isingi kabisa wa kibiblia, kwanza kabisa, kwa lengo la
kuwakashurutisha watu na kuwadhihirisha au kuwajua wangaliokubaliana na wazo au
pendekezo ambalo halitaonekana kuwa ni la kibiblia. Bali Waathanasin
walionekana kwenye mabishano makubwa na kushikamana na Wasabelian, kwa kuukataa
msimamo wa kibiblia. Fundisho la Utatu ndipo hatimaye likaendelezwa kabisa kama
anavyosema Calvin.
Madaktari stahiki ambao
hatimaye walipendezwa na unyofu wa mioyo, ili washinde uadilifu wake
[Sabellius], wakatangaza kwamba watu hawa watu yafaa kwa hakika watambuliwe kuwa
ni Mungu mmoja. Na ili wajilinde dhidi ya kamio kubwa ka mateso kwa kweli
iliyowazi kidogo, waliithisha au kujifanyia hii imani ya Utatu au Watu
walioshikamana pamoja na kuwa ni Mungu mmoja, au (ambavyo ni kitu kimoja
hichohicho) kwenye umoja au mshikamano wa Mungu. (Calvin, op. cit., p. 112)
Maelezo yalyo hapo juu yameenezwa kimakosa; Utatu wa Watu au nafsi unaingia
kwa Mungu mmoja ambaye anajumuika na hao watu watatu hawawezi kuwa kitu
kilekile kimoja kama wako Wameungana na Mungu ambaye ndiye anawakumbatia hawa
wengine watatu. Sababu zinazotumiwa kwenye mjadumiwa kwenye mjadala huu ni za
kipuuzi na hazina maana wala hazistahili kutumiwa na Wakristo kwa kiwango
chochote cha uelewa. Ndipo Kanisa liliutumia msimamo huu ulioanzishwa kuanzisha
mfiko wa mbali sana na pasi mpango mpotovu na wa kikatili wa kuua na
kuwaangamiza watu usiowahi kuonekana huko nyuma kwenye historian a kuwepo kwa
mwanadamu duniani.
Jaribio Muhimu kwa Watrinitarian
Brunner na kwa kweli Calvin hawaelewi tatizo lililo kwenye suala la asili
ya Mungu. Watrinitarian wote wanadhani kwamba fundisho la uungu wa Kristo ni
mmoja na ule wa kuwa na umilelemilele na usawa. Usawa na Umilele ni jaribio
muhimu ili kuujua msingi wa kwanza wa waamini utatu. Tafsiri ya utendaji kazi
wa Roho Mtakatifu inaonyesha tu jambo lililopo kati ya Utrinitarian halisi na
ulioretengenezwa upya. Kujua kuwa Roho Mtakatifu ni uweza au guvu tu na sio mtu
hakuwapi haki ya kukubalika Watrinitarian.
Tafsiri ya Calvin kuhusu uhusiano wa mwanadamu na Uungu unahuisha fikra potofu
kwenye jaribio la kutofautisha kati ya madai ya kuwa Roho Mtakatifu ni nguvu, zaidi
ya kuwa ni mtu. Au kwa sababu hiyo, kwa kudai viumbe wengine wapo au kama sio
wanadamu. Calvin anaainisha maneno yaliyotumiwa na wanateolojia wa
kitrinitarian ili kuainisha mashiko ya msimamo wao kwamba:
Mwa mtu, yaani, namaanisha mtu ambaye,
anapohusiana na wawili wengine, anatofautiana na wao kwa raslimali au vitu
visivyowasiliana. Kwa nguvu na uweza
tunataka kitu kinginecho kieleweke au kujulikana kuliko nguvu peke yake. Kwa
kuwa kama Neno alikuwa ni Mungu tu, na hakuwa na kitu kingine cha pekee chake
mwenyewe, basi Yohana asingalisema kiusahihi sana kwamba basi alisema wakati
wote kuwa alikuwa na Mungu. Wakati anapoongeza kwa haraka sana baadae, kwa Neno
alikuwa Mungu, anaturudisha nyuma kwa mtu mmoja. Lakini kwa kuwa alikuwa pamoja
na Mungu bila kuishi ndani ya Baba, ndipo kunaonekana kuinuka kwa msaidizi
huyu, ambaye kwa kuunganishwa na mtu huyo kwa mkakati usiotanguka, kwa kushindwa
nab ado kukawa na alama maalumu ambayo kwayo inatofautina nayo. Nasema kuwa
kila mmoja wa watatu hawa wanapokuwa wanahusiana kila mmoja na mwingine,
anatofautiana na amali zake mwenyewe. Hapa uhusiano unaelezewa kwa namna
tofauti, kwa kuwa wakati Mungu anatajwa tu na ni dhahiri sana, jina alilonalo
halinamapungufu na la Mwana na Roho Mtakatifu kuliko kuwa Baba. Lakini wakati
Baba anapofananishwa na Mwana, amali ya kipekee ya kila moja humtofautisha mtu
mmoja na mwingine. Na tena, kwa vyovyote vile ilivyo sawa kwa kila moja,
nakubali kuwa haiwezekani, kwa kuwa hakuna kinachoweza kufanya kazi au kuweza
kuhamishiwa kwa Mwana ambaye anajulikana na Baba kuwa ni alama ya utofautisho. Sina
kizuizi cha kutohoa maana aliyoitafsiri Tertullian,
la msingi ni ieleweke tu, kwamba kuna Mungu aliyeko mahala fulani au uchumi
usiobadilika kwenye umoja wa mshikamano' - Tertull. Lib. contra Praxeam.
(Calvin, op. cit., pp. 114-115)
Kutokana na tafsiri ya maneno ya muumini wa utatu haiingii akilini kusema
kwamba Roho Mtakatifu si mtu bali ni kwamba
uweza ushukao toka kwa Mungu (isipokuwa
kama nguvu zimeenezwa). Hata ikiwa ni Mungu Baba kama ulivyokuwa msimamo na
imani ya watrinitarian wa kwanza au kutoka kwa wote wawili, Baba na Mwana, ni
kiambishi semi cha maneno ya Mitaani au Filioque
kama inavyojulikana.
Uhusiano wa Filioque ya Watrinitarian wa Kimagharibi wa Roho
Mtakatifu kwa Mungu na kwa Kristo
Msingi wa
Madai
Wagalatia 4:6 inasema:
Mungu alimtuma Roho
wa Mwanawe mioyoni mwetu, aliaye, Aba, yaani, Baba.
Warumi 8:9 inamtaja kama Roho wa Kristo, Wafilipi 1:19 inamtaja kama Roho
wa Yesu Kristo. Mathayo 10:20 inasema:
Kwa kuwa si ninyi
msemao, bali ni Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu.
Kwa kuwa 1Wakorintho inamtaja kama Roho wa Mungu ayajuaye mambo ya Mungu, na kutoka hapo juu inaaminika kuwa Kristo
anamuunganiko wa karibu sana na Mungu na kwamba Roho Mtakatifu ana uhusiano wa
aina hiyohiyo na Mwana kama alivyo Baba (kwa mujibu wa Maas CE, op. cit.) Mwendelezo wa Roho ni Filioque au na toka kwa Mwana. Maas anadai kuwa Mwana amemtuma Roho kama isemavyo
Luka 24:49. Hata hivyo, kumbuka kwamba ayah ii inasema hii ni ahadi ya Baba
ambavyo atolewapo anakuwa msaidizi tu. Hata hivyo, lengo lake kuu na lililo
wazi, kwa hili ilipotoshwa kwamba Roho Mtakatifu alitoka kwa Mwana na hili
lilikuja kuwa jambo kubwa la kutiliwa maanani kwenye Kanisa la Waathanasian
tangu Toledo baada ya kuongoka kwa
Wagoths kutoka Uarianism mwaka 586. Mwendelezo maradufu kimsingi ulienezwa na
Petavius (Lib. VII, cc. iii sqq.). Inaotokea kwenye kile kinachoitwa Ukiri wa
Imani wa Waathanasian ambao ulianzishwa vizuri baada ya mtaguso wa Constantinople
(mwaka 381).
Kwenye mdahalo wa Uhispania ulioanzishwa na Leo I huko Turribius, Askofu wa
Astorga (Ep. XV) mwaka 447; mapema
kabla ya Mitaguso ya Mabaraza mbalimbali ya Toledo mwaka 447, 589 (III) (kipindi
cha baada ya Uarian au baada ya Uyunitarian), 675 (XI), 693 (XVI). Mdahalo wa Filioque ulikuwa baada ya Arian huko
Uhispainia. Ilikuwa muhimu kutetea bila kukoma usimamo huo kwenye maandiko kama
ulivyo waraka wa Papa Hormisdas aliomwandikia Mfalme Justinus (Ep. LXXIX) 521. Mdihelian Martin I (649-655) alitohoa maelekezo
kwenye maandiko yake dhidi ya Umonothelian
wa Constantinople. Mtafaruku wa kwanza wa pande za Magharibi wa kupewa ijara
mara mbili unadaiwa na Maas kuwa uliandaliwa na wajumbe wa Constantine
Capronymus (741-775), (ambaye anaaminika kuwa ni Mpaulian: ERE, art. ‘Paulicians’,
Vol. 9, p. 697) kwenye Sinodi ya Gentilly, karibu na Paris wakati wa Pepin
(767) (Maas CE, art. ‘Filioque’, Vol. VI, p. 73). Na hivyo ilidhaniwa
kwamba Wapaulician hawakukubali kipimo cha maradufu. Hata hivyo, sio
Wapaulician peke yao na wa upande wa Mashariki wasiokubali kundi la Filioque ila na Wayunitarian, walioitwa
Waarian, hawakukubali pia na Hispania walioitwa pia Waarian hadi mwaka 586. Kundi
la Filioque pia lilipitia huko wakati
wa kuongoka kwa Visi-Goths. Maandiko mengine kuhusu Filioque yalikuwa ni ya Papa Adrian I alipokuwa anajibu
yaliyoandikwa kwenye Kitabu cha Caroline, mwaka 772-795; Sinod za Merida (666),
Braga (675), na Hatfield (680); maandiko ya Papa Leo III (mwaka 816) kwa watawa
wa Yerusalemu; waraka wa Papa Stephen V (mwaka 891) kwa Mfalme Moravian,
Suentopolcus (Suatopluk), Ep. XIII; nembo ya Papa Leo IX (mwaka 1054). Kikundi hiki
kilizimwa pia na Mabaraza yaliyotajwa hapa chini.
Kanisa la pande za Mashariki linakataa dhana hii ya ijara maradufu.
Mwanzoni mwa karne ya tisa, John wa Seminari ya watawa ya Sabas aliwashitaki
watawa wa Mlima wa Mizeituni kwa kufundisha uzushi kwa kuwa waliingiza Filioque kwenye ukiri wa imani. Hatimaye
kwenye karne hiyo, Photius, Mzee wa Baraza la Constantinople alikana
kumchanganya Roho Mtakatifu na Mwana na aliyapinga uingizaji wa Filioque kwenye Ikiri wa Imani ya Waconstantinople (Maas, op. cit.). hilo lilikuwa
ni jina ambalo kwamba Ukiri wa Imani ya Nicene ilivyojulikana hapo mwanzoni
kwenye Baraza la mtaguso wa Chalcedon. Kifungu hiki hakikuwa kwenye ukiri wa
imani katika karne ya nne. Nje ya Kanisa la Kikatoliki:
Mashaka kama hayo
kwenye Upako maradufu wa Roho Mtakatifu [Roho] yalizidi kuibika kwa kupinga
waziwazi, ndani ya Kanisa fundisho la Filioque yalitangazwa kuwa ni dogma ya
imani kwenye Baraza la Mtaguso wa Nne (1215), na Mtaguso wa Pili wa Lyons
(1274), na Mtaguso wa Florence (1438-1445) (Maas, op. cit.)
Maas anashikilia kuamini kwamba Makanisa ya Wagirki na Warumi yalikuwa pamoja
na kuwa kanisa moja hadi karne ya tisa (Maas, op. cit., p. 74).
Ni jambo lisilodhaniwa
kabisa kwamba Makasisi wa pande za Mashariki walidiriki kuipinga dogma iliyoimarishwakimakusudi
na watu wa Magharibi. Zaidi ya yote, kuna utiliaji maanani maalumu
unaothibitisha moja kwa moja kwa imani ya Makasisi wa Kiyunani kwenye Nguvu
maradufu za Roho [Mtakatifu].
Maas anashikilia kuamini kwamba Makasisi wa Kiyunani kimahesabu Watu wenye haiba ya Kimungu kwa utaratibu huohuo kama Makasisi wa Kilatini, (ingawa ni wazi kabisa kwamba hii imetoholewa kutoka kwenye rejea za Mathayo 28) na wanakiri kwamba Mwana na Roho Mtakatifu kimsingi wanashabihiana na kwenye hali timamu kwa namna moja hiyohiyo kama Mwana na Baba (kwa mujibu wa kitabu cha Basil Ep. cxxv; Ep. xxxviii (alias xliii) na Gregor. fratrem; Adv. Eunom. I, xx, III, sub init.). Maelezo ya wazi sana ni kwamba Roho Mtakatifu ni kiunganishi na mshauri ambaye wala haujui msimamo kikamilifu. Pili; Maas anaamini kuwa Makasisi wa Kiyunani au Kigiriki wanafanya uhusiano huohuo kati ya Mwana na Roho Mtakatifu kuwa ni kama kati ya Mwana, ni kama Baba alivyo chemichemi ya Mwana, ndivyo ilivyo, Mwana ni chemichemi ya Roho Mtakatifu (kwa mujibu wa Athan., Ep. ad. Serap., I, xix, sqq.; De Incarn., ix; Orat. iii, adv. Arian., 24; Basil, Adv. Eunom., v, in P.G., XXIX, 731; cf. Greg. Naz., Orat. xliii, 9). Tatu, ni kwamba Maas anatetea vifungu hivyo kunaonyesha kuwa Makasisi wa Kigiriki wanaitetea dhana ya mwendelezo wa Mwana: Greg. Thaumat., Expos. fidei sec., vers sæc. IV, kwenye kitabu cha Rufinus, Hist. Eccl., VII, xxv; Epiphan., Hær., c. lxii,4; Greg. Nyss., Hom. iii in orat. domin. (cf. Mai, Bibl. nova Patrum, IV, 40 sqq.) Cyril wa Alexandria, Thes. ass. xxxiv; kanoni ya pili ya sinodi ya arobaini, maaskofu walishikilia kuamini hivyo mwaka 410 huko Seleucia katika Mesopotamia (sawa na asemavyo Lamy, Concilium Seleuciæ et Ctesiphonte habitum a. 410, Louvain, 1869; Hefele, Conciliengeshichte, II, 102 sqq.; matoleo ya Kiarabu ya Kanoni ya Hyppolitus (Haneberg Canones Sti. Hyppoliti, Münster, 1870, 40, 76); maelezo ya Nestorian ya Nembo (sawa na kitabu cha Badger, cha The Nestorians London, 1852, II, 79; kitabu cha Cureton cha Ancient Syriac Documents Relative to the Earliest establishment of Christianity in Edessa [Makabrasha ya Kale ya Kisyria Yanayolingana na Uanzishaji wa Zamani sana wa Kanisa huko Edessa], London, 1864, 43; The Doctrine of Addai, the Apostle [Mafundisho ya Addai, Mtume], ed. Phillips, London, 1876.
Maas anaitafsiri Yohana 15:26 kwa kiasi kikubwa kisichotosheleza na andaendelea mbele zaidi kwa kusema kwamba upokeaji wa nguvu za Roho Mtakatifu kutoka kwa Mwana hakukutemwa kwenye Tangazo la Ukiri wa Imani wa Constantinople:
Kwa kuwa Ukiri huu wa Imani uliwekwa kinyume na upotoe wa Wamakedonia dhidi ya kile kilichotosheleza kutangaza upokeaji wa [Roho] Mtakatifu, kutoka kwa Baba.
Maas anakiri
kwamba Filioque haikuwa Ukiri wa
Imani wa Constantinople (kimakosa iliitwa Ukiri wa Imani wa Nicene; kanoni
zilizoendanana na kikao hicho ziliusahihishwa kutokana na huu wa Constantinople
(soma makala za CE, za Baraza, na
mambo mengine yanayoendananayo)). Maas anakiri kwamba kifungu hiki kiliongezwa
mara ya kwanza kwenye taratibu za kidini Uhispania baada ya wongofu wa Goths na
Toledo. Ukweli ni kwamba Kanisa la Mashariki halikuwa na muunganiko na wala
halikufanana kabisa likiamini Filioque
hadi katika karne ya sita na kwa kweli halikuwa na \Utrinitarian unaofanana.
Wagiriki papohapo walikataa fundisho hilo kwamba si la Kibiblia. Zaidi sana,
Makasisi wa Ante-Nicene waliotajwa kuwa walisaidia kwa kweli walikuwa ni
wasaidizi na wenye vyeo vya chini. Tangazo la ukiri wa Imani la Nicene ndilo limerekebishwa, kimsingi si la
kweli na ni ukiri usio wa kibiblia. Mafunuo na maongozi ya Roho Mtakatifu
hayana maana isipokuwa Roho ameainishwa kikamilifu kuwa ni nguvu ya Mungu
inayotokana na Mwana na kutoka kwa Mwana hadi kwa wao wateule ambao ndio Wana
wa Mungu kwa mintaarafu sawa na Kristo alivyo Mwana wa Mungu na kwamba wote
wanafanyika kuwa theoi au elohim.
Kumpokea Roho Mtakatifu
Yohana 15:26 inaonyesha msingi mkuu wa tatizo hili kwa kusema:
Lakini ajapo huyo
Msaidizi (parakletos), nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli
atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia.
Kwa hiyo, Roho
Mtakatifu anatoka kwa Baba lakini yu chini ya maelekezo ya Mwana ambaye ni kama
chombo cha maongozi kinachowafungamanisha Wateule wote pamoja kwenye uhusiano
saidizi kwa theos au elohim wao. Kwa pamoja, theos na Malaika ni wasaidizi wa Baba, (madai
ya ton Theon au Eloah. Yohana 16:7 yanatoa dhana hiyohiyo na muungano wa umuhimu
wa kurudi kwa Baba mapema kabla ya kuondoka au kuachwa na Roho Mtakatifu na kwa
wakati huohuo huunganisha na mchakato wa kuelekea kwenye hukumu ya Shetani.
Mwana kwa kitendo chake cha kumhukumu Shetani na kuwapatanisha wanadamu na
Mungu. Roho Mtakatifu ndipo alitumwa au kutolewa na Kristo lakini ni kwa
kuongozwa au kuelekezwa na Mungu Baba kwa wateule ambao Mungu Baba anawajua.
Hili ndili linalojitokeza kwenye Yohana 20:22 (soma pia jarida la Malaika wa YHVH (Na. 24)).
Hivyo basi, maongozi ya Roho yanamasharti na yanasaidia. Baba anamtuma
Mwana (Warumi 8:3) na Baba amemtuma Roho Mtakatifu (Yohana 14:26). Kwa hiyo Roho
angeweza kusemwa kuwa anatoka kwa Baba kupitia
Mwana. Kama alivyompokea Roho kutoka kwa Baba, ambaye aliahidiwa kuwa
watampokea wateule (Matendo 2:33) na kwa kiasi kikubwa sana, wateule kuhesabiwa
haki kwa neema ya Masihi (Tito 3:6-7). Huyu Roho hatolewi kwa kipimo (Yohana
3:34). Tafsiri ya KJV inajaribu kukizima kipawa hiki cha Roho kwa Kristo lakini
hii haiungwi mkono na maandiko mengine. Tafsiri ya NIV inasema kwamba Mungu anamtoa Roho bila kikomo. Madhihriko
ya Roho yametolewa kwa maana njema. 1Wakorintho 12:4-11 inaonyesha mambo tisa
ya karama saba za Roho ni hekina/busara, imani, uponyaji, uweza/miujiza,
unabii, kupambanua roho, na kunena na kutafsiri lugha. Karama za Roho
zinaonyesha kama ilivyoonekana mahali pengine kwamba Roho amepewa pasipo kipimo
sawa na mahitaji. Msimamo na imani ya Utrinitarian kwamba asili ya kimungu
unakiri kutokuwa na faida na hakuna hasara yanapingana na jambo hili.
Kwenye Yohana 16:13-15 Kristo anasema kwamba Roho atawaongoza wateule kwenye
kweli yote, na hatasema kama aonavyo yeye mwenyewe. Kwa hiyo, Roho ni msaidizi.
Roho alikuwa ni wa kutangaza au kuyanena mambo yatakayokuja. Kwa hiyo basi, uwezo
wa kujua yatakayotokea badaae wa Mungu uliingizwa au kutiwa na Roho; ila
hakumfanya Roho mwenyewe kuwa na uweza wa kujua kila jambo kama wengine
wanavyodai. Hiyo ilikuwa ni kama kuitumia modemu kwenye kuitumia kompyuta.
Kristo alisema kwamba "chochote alichonacho Baba ni changu" na ni
ujuzi au uelewa huu ndio uliowekwa au kuambukizwa, ikijulikana kuwa ndicho
kilichowekwa ndani ya Kristo. Madai ya kwamba vyote alivyonavyo Baba ni vyangu yalipelekea wengine kudai kwamba
Kristo kwahiyo akiwa na vyote alivyonavyo Baba ni vyake, kwa hiyo ni uweza wa
kujua kila jambo. Hilo halitaweza kutokea. Kristo anategemea uweza wa kuelewa
kila jambo alionao Baba peke yake ili aweze kupeleka yote aliyonayo na kwa hiyo
hayupo kwenye umiliki wa tabia hizo bali atawapokea kwa njia ya maelekezo
sawasawa na mapenzi ya Baba ufunuo wake. Kutokana na msimamo huu, Kristo hawezi
kuwa na usawa na mwenye umilele sawa au mmoja kwa maneno yaliyotumiwa na Kanisa la kwanza na kunenwa tena
na Calvin. Kwa kweli, madai ya kuwa na uwezekano wa kuwa mmoja kama kuwa sawa
na kuwa na umilele sawa unakuondoa Kristo kiontolojia kutoka kwenye uhusiano wa
Baba na Mwana hakuna kinachoweza kutabiriwa kwa madai kama hayo. Ni upuuzi kudhania
kuwa viumbe kama hawa wanaweza kuwa usawa na uysawa wa kuishi milele na kutoa
maana yoyote kwa majina ya Baba na Mwana.
Utetezi wa Kitrinitarian Dhidi ya Mashaka ya Kimsingi ya Usaidizi na Usabeliani
Watrinitarian wanatetea msimamo wa kinyuma cha itikadi mbili zote, ya kuwa
ni msaidizi ya Wayunitarian (kimakosa iliitwa Uarianism) na Usabeliani wenye mashiko.
Sasa 'misheni' au 'kupelekwa
kwa yeye mwenye Haiba ya Kimungu’ na mwingine haimaanishi bure tu kwamba Mtu
aliyeahidiwa atatumwa atakuwa na tabia fulani kama alivyotaka mwenyewe kwa
tabia na haiba ya Mtumaji, kama Wasabelian walivyoendekeza; na wala haiashirii
uduni wowote wa Mtu aliyetumwa, kama walivyofundisha Waarian; bali inaonyesha
sawasawa na mafundisho ya wanateolojia wazito na Makasisi, Mshabihiano wa Mtu
aliyetumwa na ini Mtu anayemtuma. Maandiko Matakatifu hayammtaji Baba kuwa
ndiye aliyetumwa na Mwana, wala Mwana kuwa ndiye aliyetumwa na Roho Mtakatifu.
Wazo lenyewe la neno ‘misheni’ linaashiria kwamba ni mtu aliyetumwa na akaenda
kuyatimiza makusudi maalumu kwa uweza na nguvu za aliyemtuma, uweza aliopewa mtu
aliyetumwa kwa njia ya msukumo wa kimwili, au kwa kuamriwa, au kwa kuombwa, au
hatimaye kwa kutolewa; sasa, Mfanano, mlingano wa uzalishaji, ni namna pekee
inayokubalika na Mungu. (kitabu cha Maas, loc. cit., p. 73)
Madi kuhusu Makasisi yanaweza tu kuonekana
yalifanyika kipindi cha makasisi wa baada ya mtaguso wa Nicene, kama karibia
yasijumuishe kanisa la kwanza kuwa lililokuwa la wasabonisti au waamini Utatu
na ambalo sasa ni la Waarian. Maana halisi ya hapo juu ni wabunifu
wasioepingika pamoja na vitu vingine vinavyoendelea kutokana na mapenzi ya Baba
au yamefanywa tu na Baba. Iwe kama imezaliwa au imetengenezwa, madha na maana yake ni sawa.
Kutokana na usonaji wa Augustine inaweza kuonekana kuwa tangia karne ya
nne, kwenye imani ya Utatu, ubora na thamani
ya kitu vilichukuliwa kuwa ni sawa (soma Kitabu cha City of God [Mji wa Mungu] Kitabu cha XI, Sura ya 10): ambapo kuwa
mmoja na Mungu kunamaanisha kuwa Kristo alikuwa na hali sawa na Baba. Augustine
aliamini kuwa Roho Mtakatifu anaitwa ‘Roho Mtakatifu’ wa Baba na Mwana na
Roho naye anasifa sawa ya kutopingwa, na
ana sifa sawa ya umilele (ibid.).
Chanzo cha tatizo la kiteolojia na kifalsafa kilikuwa ni kushindwa kwa
wanateolojia wa karne ya nne ya kuchukuliana au kukubaliana na dhana halisi ya
kuongeza kuumbatia uungu viumbe ambao ni malaika ambao wanawezesha uwepo wa theoi au elohim wengi ndani yake na kuzidisha kwa uwepo wa viumbe ammbao
walikuwa waamini mungu mmoja na watiifu kwake. Kiumbe aliyeitwa kimakosa sana
kuwa Uhenothi au Henotheism.
Brunner anasema kuhusu mafundisho ya Arian kwamba:
Logos ni kitu
kilichokuwepo hata mwanzoni, ni kweli, lakini si kitu cha milele. Logos si kitu
cha kihistoria cha Mungu na Mwanadamu – Mwana wa Mungu wa Milele ambaye
hajafanyika Mwanadamu bado-bali ni wa mbinguni, ambaye kwa wakati huo huo ni
kiumbe. Mtungo huu wa Logos wa imani ya Uariani uliyapekelea mafundisho ya kikristo kwenye jambo fumbo au mithiolojia
ya waamini miungu wengi [msisitizo umewekwa].... Kosa hili la kimafundisho
kwa hiyo lilipasa kukataliwa bado kwa kuamulwa zaidi kuliko mengine, na
kutenganishwa kutoka kwenye fundisho la Kanisa na kuchukuliwa kuwa ni “uzushi "
(op. cit., p. 222).
Brunner anaangukia kwenye makosa ya kutoelewa kazi ya Roho kwenye imani ya
waamini Mungu mmoja au imani ya Kimonotheism. Brunner haijui hilo kifalsafa,
ilikuwa ni kwa kuukataa mchakato wa kumpa mamlaka Roho ili kuwezesha uwepo wa theoi wengi (1Wakorintho 8:5) kwamba
fundisho la Utatu lilikataa imani ya Mungu Mmoja au Umonotheism na ikafanyika
kimsingi kutengana na fundisho la nafsi hai kama zilivyofanya dini potofu za
Wamithraiki na wanaoamini kuwa kila kit uni mungu iliyozuka kabla yao. Kwa
kukumbatia fundisho la kuishi kwa nafsi hai na kumkataa Uungu uliowekwa, ndipo Utrinitarian ukafanyika rasmi kuwa ni imani
ya miungu mingi. Kwa hiyo shutuma za imani ya miungu mingi ikasawazishwa na
Brunner kwamba Waarian ni msimamo ambao kwa hakika Waathanasian walijikwaa
kwao. Inashangaza kuona kwamba wanateolojia waliobobea kwenye falsafa wa kaliba
ya Brunner na Calvin walidanganyika na hoja za kipagani za kwenye midahalo.
Hata kwa kuongeza zaidi ilikuwa ni ukweli kwamba, kutolewa kwa hoja ya kuwa
wamoja na Mungu ziliendelezwa na Calvin, wafuasi wake walikataliwa kushiriki meza ya Bwana kwenye Kanisa na Makasisi wa imani
hii ya kuwa sawa na wamoja na Mungu (kwa mujibu wa Dryden, sawa na kamusi ya The
Universal Oxford Dictionary, art. ‘Consubstantiate’, p. 378). Imani hii ya kuwafanya wote sawa au ya Mwana ni mmoja wa
washiriki pamoja na Baba ilijumuishwa kwenye umilele sawa nay eye na ndugu J.H.
Newman (ibid., Consubstantiality).
Dhana ya kuwa na usawa iliyotokana na mafundisho ya baadae ya
watrinitarian, ni sawa bila msingi wa kibiblia. Waarian walikosea huko Nicæa lakini
si kwa sababu iliyotolewa na Brunner. Waathanasian hata hivyo walikuwa
wamekosea zaidi kwa msingi wa kifalsafa kuliko Waarian. Makosa yalikuwa ni
kuhusu Uumbaji! nk, kwenye Sura za 4
na 4. Kilichojitokeza kwenye mdahalo ni kwamba hakuna upande uliopinga uthibitisho
wa kulihakiki andiko la Waebrania 3:2 ambapo Kristo ananenwa wazi kuwa ni:
aliyekuwa mwaminifu
kwake yeye aliyemweka, kama Musa naye alivyokuwa, katika nyumba yote ya Mungu.
Neno aliyemuumba linatafsiriwa
kama aliyemchagua kwenye maandiko ya
Kiingeeza ili kuepuka dhana ya kuwa aliumbwa, jambo ambalo kimsingi
haliepukiki. Neno hili aliumbwa hata
hivyo ukilitumia la Kiyunani B@4XT [poieo] ambalo lina shina linalomaanisha kufanya au fanya. Andiko hili linatumia mtindo wa B@4ZF"<J4 "ÛJ`< [poiesanti ahuton] au kumfanya au kumuumba yeye (pia soma tafsiri ya
Marshall RSV Interlinear Greek-English
New Testament, p. 858). Dhana hii haikujadiliwa wala kupingwa huko Nicæa ingawa
andiko lenyewe lilitumiwa. Athanasius kwenye kitabu chake cha Discourse II [Mjadala]
Sura ya XIV anaandaa dondoo nyingi za kukanusha kwa lengo la kukemea msimamo
huo wa kwamba Mwana aonekane kuwa ni kiumbe aliyeumbwa. Anapinga na kukataa
kwamba kwa kutafasiri kimakosa Mithali 8:22.
Athanasius anaendelea mbele kwa kuyanukuu maandiko ya Mithali 8:22; Yohana
1:1; 1:14; Matendo 2:36; Wafilipi 2:7; Waebrania 1:4; 3:1-2. Anaonekana
kuangukia kwenye maelekezo ya kimakosa ya kudhania kwamba maneno ya mwana na matendo ni maneno yanayolingana au kwenda sambamba kwa
kuyalinganisha na maana ya Wana wa Mungu watokao kwa Baba, ni makosa na
upotoshaji mkubwa uliofanywa na Athanasius ni kwa kudhania kwamba Kristo alikuwa
ni Mwana pekeyake wa Mungu aliyeko katika Jeshi lililoko huko mbinguni, fikra
ambayo ni potofu sana kabisa kwa mujibu wa biblia (soma NPNF, pp. 348ff.). pia anaonekana kudhania kuwa neno mzaliwa wa kwanza (prõtotokos) wa viumbe wote,
limetafsiriwa aliyezaliwa kwanza kabla ya
viumbe wote (ibid., p. 383) ikilitaja tukio ambalo halijatokea bado, zaidi
ya kuwa ni tendo la kwanza la Mungu ambavyo ni maana sahihi ya maandiko haya.
Neno Prõtotokos limetumika kwa kumhusianisha
na viumbe wa kiroho ili kuipa mashiko tafsiri ya mzaliwa wa kwanza na kuepuka fikra zinazohusiana na kuzaliwa kwenye
maana ya gennao. Kwa hiyo, Kristo
alikuwa ni prõtotokos wa Jeshi la
Mbinguni akiwa ni sehemu ya idadi ya elohim
au theoi. Kwa hiyo, alikuwa ni mmoja
wa Wana wengi wa ungu mbunguni, na tena ni mzaliwa wa kwanza kabla yao. Kwa hiyo,
alikuwa ni monogenes theos au mzaliwa
wa pekee wa Mungu akiwa ni mmoja wao wa pekee na wa kwanza kuzaliwa. Tafsiri za
Kiingereza zinaonekana kuyakanganya kwa makusudi kabisa maneno haya, huenda ni
kwa ajili ya kuutetea Utrinitarian. Athanasius anaonekana kutoa kwa kemeo kubwa
na kali lisilo na mashiko ya kibiblia akifundisha dhana hii potofu nay a uwongo
ya kumfanya Kristo kuwa sawa na Mungu.
Ni kama ilivyoonnyeshwa kwenye Uumbaji:
nk. (kwenye ukurasa wa 77ff.), Gregg na Groh aligundua kwamba Arius alitumia
neno uaminifu ili kuihalalisha vebu
hii ya kuumbwa ambayo kwa maana ya
moja kwa moja ni mwaminifu kwa yeye
aliyemuumba (Kwa mujibu wa kitabu cha
Early Arianism [Uarianism wa mwanzoni]- A View of Salvation, Fortress
Press, Philadelphia, 1981, p. 11).
Athanasius anajulikana kuwa alisema juu ya andiko hili hivi:
"Usemi kwa
kwamba 'yeye aliyemwaminifu kwake yeye aliyemuumba’ hauonyeshi kuashiria kuwa sawa
(J0<@:@4@J0J" [tenomoioteta]) na watu wengine, wala kuamini
hivyo, hakukumfanya apendezwe sana." Kwa hiyo mwana au mtoto aliyetika
mbinguni alikuwa ni kiumbe ‘mwaminifu’
hivyo ni kusema kwamba aliitendea kazi (kuamini uadilifu) kwa muumba
wake, ilikuwa ni machukizo kubwa sana kwa Athanasius (ibid.).
Kwa Waathanasian:
Kama andiko la
Kiyunani lilieleweka kw namna yoyote, basi lisingechukuliwa kuwa linataja
‘umuhimu wa neno’ bali yapasa iwe rejea neno lenye maana ya imani ya mabadiliko
ya kiuzaliwa wa kimbe. Hakuna kingalichoweza kuwa cha zaidi kutoka kwenye
taswira ya Waarian kuhusu Kristo (ibid., p. 12)
Msimamo wa Waathanasian hausimami mwenye udadisi wa biblia ambako ugunduzi
kamili wa uthibitisho wa maandiko unapatikana. Athanasius alidhihirisha kwamba uaminifu una mashiko yanayokubalika ya
utii na wakati unapotumiwa na Mungu kwa mwanadamu kunakuja dhana au fikra ya
kuwa mtu mwenye kuaminika. Lakini
wakati Waarian walipopinga kuwa mkombozi aliishi kwa imani, Athanasius aliichukulia
hii kuwa ni kama ni madai muhimu na kisichobadilika ya Mwana kwa kutumia ?<"88@4TJ@H [hanalloiotos] na vebu yake ili kutafsiri
na kumiliki B4FJ`H
[pistos] (au imani) isemwayo kwenye
Waebrania 3:2.
Yesu
Kristo ni yeye yule, jana na leo na hata milele. Msichukuliwe na mafundisho ya
namna nyingine nyingine, na ya kigeni; maana ni vizuri moyo ufanywe imara kwa
neema, wala si kwa vyakula, ambavyo wao waliokwenda navyo hawakupata faida. (Hebrews 13:8) haibadilishiki maana yake (?<"88@4TJ@H) [hanalloiotos]
(op. cit., p. 13).
Kutobadilika kwa Mwana kwa wahafidhina, kulimuondoa kiontologia kutoka
kwenye ulimwengu wa watu wenye kufanya maamuzi ya kinafsi na kimaadili:
Iwapo kama mkombozi
aliruhusiwa kuchagua kati ya mambo mawili, walimfanya awe na haiba ya kimungu,
ingewezekanaje basi kwa mtu yeyote kuwa na uhakika kuwa aliamua vizuri na
sahihi machoni pa michezo michafu wa ibilisi na ukomo wa maisha ya mwanadamu.
Kwa hiyo, tangu mwanzoni sana mwa mgungano wa Waarian, Maaskofu wa wa Alexandria walikuchukulia kutobadilika kwa
Mwana kama ubao uliokazwa kwa misumari kwenye jukwaa lao dhidi ya Arius (op.
cit., p. 13).
Ni kusema kwamba, Waarian walisisitiza utashi wa Mwana wa kuchagua mambo,
ambao ni msimamo uliotokana na durusu za kimaandiko. Ariua alisema hivi kuhusu Logos
kwenye kitabu chake cha Thalia:
Asiye na mwisho ?<"DP@H [hanarchos] aliyeumbwa (±206,) [etheke]
mwana kama mwanzo wa uumbaji (JT< (,<0Jä<) [ton
geneton] (sawa na Mithali 8:22a). Na akiwa ameuumba huyu mmoja alimuongeza
(±206,) [etheke] [yeye] kwa mwana (,4H L4@<) [eis uion] to himself (op. cit., p. 23).
Kifungu kilicho kwenye Mithali 8:22 kinachohusu Hekima hapa:
Bwana alikuwa nami
katika mwanzo wa njia yake, Kabla ya matendo yake ya kale.
Kwenye aya ya 30 tunaona kwamba, kabla dunia haijaumbwa, hekima alikuwa
ameumbwa na alikuwa sambamba pamoja na Mwenyezi:
Ndipo nilipokuwa
pamoja naye, kama stadi wa kazi; Nikawa furaha yake kila siku; Nikifurahi daima
mbele zake.
Fikra iliyokuwepo ni kwamba huyu aliyetajwa hapa kuwa ni Hekima na Arius anaamini kwamba kifungu
hiki kinawataja Logos na yeye Asiye na mwanzo. Hili sio wazo au fikra
aliyokuwanayo Arius na Waarian bali zaidi tu ilikuwa ni msimamo au imani ya
kiteolojia iliyodumu muda mrefu sana ambayo inaonekana na rejea ya trias zaidi ya Theophilus wa Antioch (mwaka
180 BK) aliyetumi neno JD4"H [trias] (ambalo kwamba neno la
Kilatini trinitas ni tafsiri), Neno lake
na Hekima wake na pia Tertullian hapo juu. Kwa hiyo Theophilus alilitumia neno Hekima kama ni kiyu kilicho tofauti na Logos. Kwa hiyo kwenye trias kama hiyo, neno Hekima lilichukuliwa kumtaja Roho
Mtakatifu. Uwezekano ni kwamba, Logos hapa
alitumika kama jina la kiuzawa, yaani Lpgos
kutokana na neno Logon, yaani ni Logon lililoitwa hivyo hapo mwanzoni,
ili kwamba Neno awe ametengwa
kipekeyake na Logon, yaani kutokana
na Logon kwa kuzaliwa. Hii ingeifanya
Yohana 1:1 iwe na maana zote mbili, yaani ya jumla na ya maalumu aina yake.
Msimamo wa kibiblia ni kwamba Baba alimzaa Mwana kwa Waarian ilimaanisha
kwamba kuzaa huku kulikuwa na mwanzo wa uwepo wake (Socrates HE, 1-5). Hoja hii inamaana yenye mashiko.
Kuumbwa kwa Roho Mtakatifu
Roho Mtakatifu aliitwa Shekhina kwa
mapokeo ya marabi wa Kiyahudi. Mapokeo ya mwanzoni ya marabi wa Kiyahudi
yalimwuita Kabbalah. Mara ya kwanza Kabbalah:
Haikuweka hasa bayana
fumbo hili au mapokeo ya kiesoteriki. Kwenye Talmud inatumka kwenye sehemu za nyongeza
za torati ya Biblia, na kwenye sehemu kubwa ya maandiko ya kitalmud, Hsria za
Torati pia zinaitwa 'kabbalah.' Kwenye mandiko ya Eleazeri ya Minyoo (mwanzoni
mwa karne ya 13) mapokeo ya kiesoteriki (kuhusu majina ya malaika na Majina ya
Miujiza au Maajabu ya Mungu) yameitwa 'kabbalah.' Kama ilivyo kwenye Hilkhot ha-Kisse yake (kwenye Merkabah Shelemah. 1921), na Sefer ha-Shem. Kwenye ufafanuzi wake
kuhuiu Sefer Yezirah (mwaka 1130), wakati
alipokuwa anajadili kuumbwa kwa Roho Mtakatifu, yaani Shekhinah, Judah b. Barzillai anasema kwamba wazee wa mabaraza au
waungwana ‘walitumia ili kupitishia ujumbe wa aina hii na wanafunzi wao na
kuwahekimisha kikimyakimya, tates that the sages 'used to transmit statements
of this kind to kwa kunong’oneza, kwa kutumia 'kabbalah' ulikuwa haujatumika
bado na mtu yeyote kwa kazi fulani maalumu. Matumizi yake mwapya ilitumiwa na
ilianza kwenye mduara wa Isaka Kipofu (mwaka 1200) na ilichukuliwa na wanafunzi
wake wote (Encyc. Judaica, Vol 10,
art. ‘Kabbalah’, p. 494).
Nukuu imetumika hapa kwa lengo la kuonyesha kuwa mapokeo ya mwanzoni au ya
mwanzoni ya Talmud yaliendana na uelewa wa jina kabbalah, wa mbinu za madhihirisho ya kiteolojia au kiteophani. Kuijua
Shekhinah au Roho Mtakatifu ni kwamba
aliumbwa (soma pia Ecclus.,
XXIV:1-9). Kwa hiyo, kudhihirika huku kwa Mungu kulifanywa, na Mungu na Kristo na Nyota wengine wa Asubuhi wa Baraza,
na hii inaukamilisha au kuupa nguvu mcakato wa uumbaji (uundaji wa baadae wa kabbalah mwaka 1200 unapendeza ki namna
yake kushughulikia tafsiri ya Kinostiki kuhusu Madhara au Tatizo la Uovu). Roho
Mtakatifu si kitu kilicho mbali na tofauti kwa maana ya neno ambalo Kristo ni
kitu kingine tofauti. Ni uweza wenye asili ya kigeugeu au mwonekano wa namna
nyingi unatoka na kuruzukiwa na Mungu. Ametajwa kama Mshauri (RSV) au Mfariji (KJV)
hakuruhusiwa kuingia kwa Wateule hadi Kristo alipokuwa amekamilisha misheni au
kazi yake na kuwapatanisha watu na Mungu kwa dhabihu au sadaka yake (Yohana 16:7)
(ingawa wengine wanahesabia idadi ya watu waliompokea Roho kipindi cha Agano la
Kale – soma hapo chini).
Mkanganyo Zaidi wa Kifalsafa
Mkazo wa kwamba Mwana ana haiba ya kutobadilika ilikaziwa kwenye teolojia
ya Waathanasian. Msimamo huu haukuwa na mashiko ya kibilia na kwa hiyo ilibidi
kuwe na maelezo ya ziada ili kuelezea usaidizi wa mapenzi ya Kristo. Hakika ya
kimgongano kwa mara ya kwanza iliwahusu Wamonofiti
dhidi ya Wadifiti mkanganyo
uliotokana na asili moja au mbili za Kristo. Fundisho la uhakika wa
kutobadilika haiba ya kimungu wa mwana hatimaye uliwasababishia Waathanasian
tatizo linguine lililowasababishia mgawanyiko au mpasuko mkubwa. Kuelezea udogo
wa mapenzi au utashi wa Kristo hatimaye kulihojiwa sana na baadhi na kwamba
yawezekana kulikuwa na utashi wa aina mbili, aina moja ni utashi wa kimungu na
nyingine ni ya kibinadamu. Aina hizi mbili za utashi au msimamo wa Kidithelete ulipingana na utashi mmoja
au matendo ya Kimonothelete.
Malumbano haya hatimaye yalikuja kujulikana kama ya Mmonotheleti na ya Kiditheletist.
Malumbano haya alikuja kukomeshwa kisiasa na kuingiliwa kwa nguvu za dola,
lakini hayakufikia muafaka au suluhu kwene Baraza au Mkutano wa Kikumene wa 6.
Baraza hili lilikuwa ni Sinodi ya Mfalme lililoitishwa na mfalme Constantine IV
Poganatus (668-685) kwenye Ukumbi wa mikutano (JD@Ø88@H [troullos]
ulioitwa Trullan) wa kasri au ikulu
ya huko Constantinople mnamo Novemba 680.
Baraza la Mkutano huu liliwajumuisha Maaskofu wa Mashariki na wajumbe waliomuwakilisha
Papa Agatho, uliodumu kwa kipindi kirfu sana na kwa mfululizo hadi Septemba
681. Wawakilishi au wajumbe Wakirumi:
Walishinda hoja yao
ya kukubalika kwa fundisho la utashi wa aina mbili, na wakatangaza shutuma kwa
au laana kwa wapinzani wao wa nama zote mbili, yaani waliohai na waliokufa
wakiwa bado wanapinga na kulikataa fundisho hili pia, pamoja na ... Papa
Honorius.(ERE, art. ‘Monotheletism’, Vol.
8, p. 824).
Kabrasha au waraka uliowekwa mbele ya mfalme ulikuja kuchukuliwa kuwa ni
mshirika wa Tome wa Leo I kwenye mkanganyo au utata wa Wamonofiti.
Kwenye Nembo ya
Baraza, jina ambalo utaratibu wa Wachalcedonian waliouelekeza kuhusu uhusiano
wa asili mbili umeonekana kwenye aina mbili za utashi wa kiurithi (*b@ NLF46"4 2,8ZF,4H J@4 2,8Z:"J") [duo
phusikai theleseis toi thelemata] kwa hiyo, aina hizi mbili za utashi zinaenda
sambamba kiushirikiano sana na asili hizi mbili ambazo hazipingani (@ÛP ßB,<"<J\") [ouch
hupenantia] ambapo kinyume chake ni utashi wa kibinmu unautii ule wa
kimungu wenye uweza wa mkubwa na usioshindwa na kitu chochiote ambao unatii
kwawo (©B`:,<@< JÎ •<2DfB4<@< "ÛJ@Ø [epomenon to anthropinon] (i.e. J@Ø 8`(@L [tou logou])
2X80:" 6"4 :Ø •<J4B\BJ@< ´ •<J4B"8"Ã@<, :_88@< :¥< @Þ< 6"4 ßB@J"F-F`:,<@< Jè 2,\å "ÛJ@Ø 6"4 B"<F2,<,4 2,8Z:"J4) [thelema
kai mu antipipton e antipagaion, m’ollon men oun kai hupotas-somenon tõ theiõ
autou kai pansthenai], kwa kuwa ilikuwa ni muhimu kwamba, wakati utashi au
tamaa ya mwili kwa kweli ni lazima zitende kazi, yabidi zitii ule utashi wa
kimungu. Ni sawa tu kama alivyo Mungu katika mwili-Logos (J@Ø 2,@Ø 8`(@L)
[tou theou logou] inaitwa mwili, na
ni mwili, ili mapenzi ya asili ya mwili yaitwe, ha papohapo yaitwe, mapenzi ya
Mungu-Logos.
Na kwa huu mwili
mtakatifu ulio mtakatifu na usio na waa lolote haukuchukuliwa kwa kufanywa wa
kimungu (2,T2,ÃF" @Û6 •<®DX20) [theõtheisa
ouk anerethe], bali ulibakia kwenye ukomo wake wenyewe na uhusiano ¦< Jè 4*\å "åJ-H ÑDå 6"4 8`(å *4X:,4<,<) [en
tõ idiõ aõtzs orõ kai logõ diemeinen], kwa hiyo mapenzi ya mwanadamu nayo
hayakukomeihwa kwa hali hii ya kiutafsiri bali yalikuwa bado yakilindwa.
Agatho hakusalia
kuishi hai akashuhudia ushindi wa hambo hili, na mchakato huu akaachiwa mrithi
wake, Leo II., ili kulinda kukubalika kwa tangazo au amri ya Baraza hilo kwa upande
wa Magharibi (ERE, art. ‘Monotheletism’, Vol. 8, p. 824).
Mpinzani mkubwa na aliyeuchukia Uditheleti wa Mashariki, Marcarius mzee wa
baraza la Antiokia alinyamazishwa kuthibitika kwenye jumba la watawa. Mkutano
Mkuu wa Baraza wa Trullan (mwaka 692) uliishia kwa kutoa tamko la kuilaani
imani ya Kimonotheleti lakini mgogoro uliibuka kwenye mizozo ya kimahakama ya Wabyzantine (ERE, ibid.). Mfalme Philippicus Bardanes (711-713) alichukua daraka
kwa kimashindano na mrithi wake Anastasius II (713-715) alirejesha mamlaka ya
Baraza la miaka ya 680-681.
Lakini Umonotheleti ilikuwa
bado inashikilia kikaminifu na Wamaronite wa Mlima Lebanon (ibid.).
Inaweza kuonekana kutoka kwenye malumbano haya kwamba fursa iliyochukuliwa
na Waathanasian wa Nicæa ilisababisha kusababisha kuwepo kwa hali ya kimungu
iliyomfanya Mwana achukue mwili au umbo la Roho ambalo halikufanana. Uchukuwaji
wa tabia za Mungu Baba ya uweza wa kujua kila jambo ndio kwa hiyo ungeondolewa kwa
Kristo kwa kupinga kuyaelezea maneno ya Kristo. Kwa hiyo, wakati Kristo
aliposema mambo aliyoyatenda, ilichukuliwa kuwa ni mambo ya kibinadamu na asili
yake na utashi na si ya kimungu. Hii ilimfanya kuwa na aina ya utu
uliogawanyika. Ni nani aliye stahili au kuwajibika na ni nani asiyekuwa hivyo? Malumbano
yote hayakuwa ya muhimu kabisa. Ilichukuliwa kuwa ni Waathanasian ndio
waliojikuta wakishindwa kwenye hoja zao wenyewe za kibishi na mwa ndugu wengi. Kristo alikuwa na Roho namna
hiyiyohiyo bali ni kwa kiwango cha juu kuliko wengine wote miongoni mwa wateule.
Mafaniko yake yalithibitishwa kwa uwezo wa kujua kila kitu alionao Baba, na sio kwakuwa alipewa asili ya kimungu
kwa kuwa na umilele sawa na Mungu. Aliitendea kazi imani kama mfano kwa
wanadamu kwenye torati kama ilivyotolewa mlimani Sinai. Hii ilifanyika ili
kuonyesha kuwa uovu ungeweza kushindwa kwa uti kamilifu.
Tatizo lililopo kwa kukataa kuitendea kazi imani kwa sehemu ya Mwana
lililetwa kwa sababu Waathanasian hawakuijua tofauti iliyopo kati ya kuuonyesha
utashi wa hiyari na uweza wa kujua kila kitu alionao Mungu unaofanyika chini ya
kivuli cha Kujua kila kitu kwenye Matatizo ya Dhambi na Uovu. Hawakujua
hatima yake na kwamba uweza wa kujua yajayo wa Mungu ni ya muhimu kwa uweza
wake wa kuelewa kila kitu uni haukuuondoa umuhimu wake wa kuwa na utashi wa
hiyari wa Kristo. Kristo asingeweza kushindwa kwa kuwa Mungu, kwa kuitendea kazi
yake ya kuyajua mambo yajayo ya kimungu, alijua kwamba asingeweza kufanya hivyo.
Kwa hiyo, Kristo alionyesha utashi wake wa kibinadamu na wa kimaadili kama
wateule wapasavyo kutenda. Mungu alijua kwamba Kristo asingeshindwa. Lakini
hiyo haikumuondoa yeye kutoka kwenye ulimwengu wa kufanya utashi wa mambo ya
kibinadamu na kimaadili ni sawa na kama isivyiweza kumuondoa mwanadamu kutoka
kwenye ulimwengu huo. Kwa habari ya uweza wake wa kujua mambo yajayo, Mungu
anaweza pia kuwasimika wateule mapema kabla hawajazaliwa ili kwamba wajulikane tangu
mwanzo kuwa wameitwa na hivyo kuwafanya wahesabiwe haki na kutukuzwa (Warumi
8:29-30).
Imani ya Kitrinitariani inatia doa au kasoro tofauti hii ya kimsingi. Kwa
jinsi hii, kwa uweza wa kujua mambo yajayo wa Mungu, ndipo Mwanakondoo
alichinjwa tangu kuwekwa msingi wa dunia (Ufunuo 13:8). Neno msingi wa dunia hapa ni 6"J"$@8H 6`F:@L, [kataboles
kosmou] ni neno sawa tu na la Ufunuo 17:8; Mathayo 13:35; 25:34; Luka
11:50; Yohana 17:24; Waefeso 1:4; Waebrania 4:3; 9:26 na 1Petro 1:20. Dhana
iliyopelekea kuitwa katabole inatokana
na neno kataballo lenye maana ya
kubwaga chini au kutupa chini. kwa hiyo inamaanisha kulitupa chini na kulipotezea
neno, na ambalo ndilo utambulisho au linalomtambulisha Kristo kama sadaka,
ingemaanisha ama kubwaga chini ya msingi wake au chini ya anguko lake kwenye
uasi. ama ni njia ambayo uweza wote wa kujua mambo yajayo wa Mungu inatakiwa au
kuhusika (soma jarida la Tatizo la Uovul). kwa jinsi hiyohiyo Mungu aliwaokoa
wateule na kuwaita:
ambaye alituokoa
akatuita kwa mwito mtakatifu, si kwa kadiri ya matendo yetu sisi, bali kwa
kadiri ya makusudi yake yeye na neema yake. Neema hiyo tulipewa katika Kristo
Yesu tangu milele, (2Timotheo 1:9, soma tafsiri ya RSV Interlinear Greek-English New Testament, au pia inasomeka kabla
ya kuanza kwa dunia kwenye tafsiri ya KJV).
Aya hii ilipasa isomeke zama kadhaa
zilizopita ili kuepuka madai au dhana ya kujulikana tangu mwanzo. Lakini kusudi la aya hii ni kuitukuza uwezo wa
kujua mambo yajayo wa Mungu ya wito uliofanikiwa wa kila mteule, sio kabla tu hawajatungwa
mimba matumboni mwa mama zao kama isemavyo Yeremia 1:4 bali zaidi sana ni
kwamba kabla ya nyakati za umilele. Msimamo
kama huo ungejitokeza kutokana na dhana ya Mungu kusimama au kuwa nje ya
nyakati kwa kuwepo kwake milele na kwa utendaji kazi wa uweza wake wa kujua
kila kitu. Alichagua wateule kwa mujibu wa Mpango wa Wokovu kabla hakujawa na
kitu chochote cha kukiokoa. Kwa hiyo, kuma uwezo wa kujua mambo yajayo sio wa
dhambi tu bali na wa kukombolewa wake. Kwa kuwa ni Eloah tu husimama nje ya wakati na sio Kristo au Elohim mwingine kama wakati ulipoanza
kwa kuumbwa na kuwepo kwao; ni yeye
tu ndiye mwenye uweza wa kujua kila kitu na kwa nyakati zote. Kwa hiyo, ni yeye
ndiye aliyewachagua wateule kwa neema ya kupewa uwezo wa kujua mambo yajayo na
akamkabidhi Kristo watu hawa. Kwa hiyo ni upuuzi kudai kwamba Umoja na Upekee wa Mungu kuwa unaoyesha
kuwepo kwa usawa wa kicheo, umilele
sawa na usawa wa kiuweza wa kujua kila jambo na viumbe hawa wadogo na wasaidizi
wake. Anguko la Adamu lilijulikana na Mungu Baba hata kabla halijatokea kwa
kuwa ni hakika lilikuwa kwenye mpango wake wa wokovu. Dalili ya Matatizo ya
Uovu ina maana sana. Je, ukweli wa kwamba Mungu anajua kwanza kabla ya kitu
kutokea na kujua kila tendo litendekalo na wito kunafanya wewe utende dhambi au
ushindwe kwenye kila tendo lihusulo kuamua kwa utashi wa kibinadamu? Kinyume
chake, kile kiumbe ambaye hajui jambo lolote linalokuja hawezi kuwa Mungu (ni
kama alivyosema Augustine kwenye kitabu chake cha Mji wa Mungu alivyoelezea kuhusu uumbaji nk.). Mungu anatendekea kazi au uwezo wa kujua mambo yajayo
kwa kutokuwa na kizuizi cha wakati na eneo au umbali; hata hivyo, viumbe
wengine wote wana ukomo au kizuizi hicho, kama wakati ulivyoanza kwa mwanzo wa kizazi. Kwa hakika, Mungu
lazima ajue kuwa wateule watakuwa na kiwango au matabaka kwa kusimikwa au
kutiwa mafuta kwao kulikofanywa kabla ya kuzaliwa kwao. Hoja ya kwamba basi angeweza
kumuumiza moyo mtu kwa kufanya kwake hivyo pasipo na uwezo wa kujua mambo
yajayo kikamilifu itatathiminiwa baadae kwa uweza wake wa Kujua kila kitu.
Waathanasian kwa kweli walikuwa na msingi wa uelewa na msimamo wa utashi wa
namna mbili kwa kweli ulikuwa saihi lakini si kwa maana iliyochukuliwa.
Mwanadamu kwa kweli ameumbwa kwa sura na
mfano wa Mungu kama Kristo alivyoumbwa kwa namna hiyo. Huu si usemi wala
tamko la kianthropomorfiki bali ni maelekezo ya kimuundo kama ilivyo kwa Roho
Mtakatifu anavyoweza kuwa kutiliwa chumvi sana kwa mtu mmoja (soma kitabu cha Uumbaji: nk., Sura ya 3 na 4). Hoja
nyingi za wanateolojia zimeainishwa kwenye maelezo haya yatokanayo na makosa ya
kiuelewa. Kwa hiyo, mwanadamu wa usawa wa aina mbili ufuatao wa kuwajibika:
1.
Usawa wa kwanza au usawa wa moja kwa moja kuishika
torati pasipo Roho Mtakatifu hadi wito wa kwa mteule; na
2.
Kwa kiwango cha juu cha usawa wa kuwajibika baada
ya kubatizwa na akiwa amempokea Roho Mtakatifu.
Hivyo wateule wana kiwango cha juu cha kuzishika sheria kuliko mwanadamu
mwingine yeyote kwa ujumla (Mathayo 5:27-28, 31-32; 19:9, Marko 10:11-12; Luk.a
16:18); kwa kuwa wamehusianishwa kiukaribu na sheria za kiroho ambazo zinauhusiano kamili wenye msaada wa kimaongozi
na kimwenendo. (soma jarida la Uumbaji:
nk., Sura ya 1 kwa theori nyepesi na pia hapo chini). Kristo alikuwa na
uhusiano kama huohuo na kama waliokuwanao Waditheletist lakini si kama
walivyosema na walivyoelewa Waathanasian kwenye karne ya nne, tano na sita kwa
kuwa maazimio ya ukiri wa imani kimsingi yalikuwa yameandikwa kama msimamo wa
ukiri wa Imani muhimu kuyatamka kwa kuyakiri wakati wa Ubatizo. kwa hiyo
tunaona kwamba walikuwa na ubatizo wa watu wazima. Kusudi na lengo la ukiri huu
wa imani kwa hiyo vilibadilishwa na kupotoshwa.
Mungu na Roho kwenye Maandiko ya Biblia
Mungu
Anatenda Kazi Kwa Kupitia Roho Mtakatifu
Ni kutoelewa au kuelewa vibaya kuhusu uhusiano mtambuka wa Roho Mtakatifu
kama umoja au muungano unaosababisha kuibuka kwa madai ya waamini Utatu au
Watrinitarian. Uhusiano huu mtambuka wa Roho ni wa muhimu sana ili kumfanya
Mungu awe ni yote katika yote na ndani ya yote (1Wakorintho 15:28 KJV). Ni kwa
uhusiano huu mtambuka ndio unaowezesha mtu kuwa mwadilifu na mnyofu kwenye
imani ya Mungu mmoja au Umonotheism kwenye utashi na mapenzi ya Baba na
inawezesha kumfikia au kumuona Mungu kwenye Ufalme wake kati ya theoi wengi wakiwemo wateule wanadamu.
Firsa ya wateule kufanyika theoi au miungu wadogo ita na inaweza kuenea kwa
wanadamu wote kwenye ufufuo wa pili wa wafu (kwa mujibu wa Ufunuo 20).
Kuongezeka huku kwa uweza wa kuwa Mwana wa Mungu kutakamilika kwa kwa
kumjumuisha Roho kwa wanadamu wote kwenye mwendelezo wa awamu ya uelimishaji ambao
Biblia inauita Hukumu. Hukumu itatokea mara moja ikifuatiwa na tukio la ufufuko
wa pili wa wafu. Kipindi chenyewe hakijulikani lakini kutokana na maandiko ya
Isaya 65:20 kipindi kinachoaminika kuwa cha takriban miaka 100.
Hatakuwapo tena
mtoto wa siku chache, wala mzee asiyetimia siku zake; kwa maana mtoto atakufa
mwenye umri wa miaka mia; bali mtenda dhambi mwenye umri wa miaka mia
atalaaniwa.
Wanadamu watafanyika kuwa Bene Elohim
au Wana wa Mungu na kuwa wamoja na
Baba mahali walipo ndani yake naye ndani yao kama Kristo alivyo wa namna zote
mbili, yaani Mwana wa Mungu. Kristo yu wa aina zote mbili, yaani, Mwana na Elohim
kwa maana ya umoja akiitwa mwana wa Mungu na YHVH. Kiumbe adumuye kuishi pamoja
na Malaika akiwa kama Mungu ana haiba ya kitabaka. Imempasa Masihi awe na cheo na
hivyo kuwa na mamlaka ya Mungu Baba (Isaya 9:6), kwa kuitwa “Mungu mwenye guvu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani”. Ni
kama ilivyoelezwa huko nyuma, Utrinitarian hauna mashiko ya kuuamini kwa
mtazamo huu wa huyu Baba wa milele ni tofauti na Mwana kwenye Uungu. Ufumbuzi
unaweza kuonekana tu kwenye uhusiano saidizi au mdogo ulio pale ambapo mamlaka
ya Mungu Mmoja yametolewa na kupewa Mwana kwa na kwa matumizi ya jina. Imani za
Ki-Noetianism na Kisabelliani hazikujua kanuni na kwa hiyi ziliweka msingi wao
kwenye hii. Viumbe wengi waliotajwa kuwa ni YHVH kwenye Agano Jipya, akiwemo
Kristo, walikuwa jina lililoashiria mamlaka. Waliweza kuwa na jina na mamlaka
kwa kuwa walikuwa na Roho kwa mamlaka na uwakilishi. Neno Mungu limetumika kwa maana ya uwakilishi ili kulitaja Jeshi lote
zima linalotajwa kwenye 1Wakorintho 8:5 ambapo panasema kwamba Kwa maana ijapokuwa wako waitwao miungu (theoi), ama mbinguni ama duniani, kama
vile walivyoko miungu (kurios) mingi
na mabwana (Kurios) wengi kama
ushuhuda wa Kristo ulivyothibitika kwenu Yesu Kristo tangu mwanzo wa uumbaji wa
Mungu (kaka isemavyo hapo juu, na kwenye Ufunuo 3:14). Kristo ni Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli,
mwanzo wa kuumba kwa Mungu. (Wakolosai 1:15). Kama ilivyosemwa
hapo juu kwamba kiumbe huyu alikuwa ni tendo
la kwanza la uumbaji wa Mungu na alitumika
kama chombo cha kukitumia kwenye mchakato huu wa uumbaji kama mtendaji au mtekelezaji wa Mapenzi ya
Mungu (Ufunuo 4:11). Krist alitenda na
kuumba sawasawa na mapenzi ya Mungu (Mathayo 26:39; Marko 14:36; Luka
22:42; Yohana 4:34; 5:30). Aliumba kama viumbe wakubwa na kiumbe mdogo wa kundi
lile la viumbe walioitwa Elohim kwa
Kiebrania au Theoi kwa Kiyunani ambao
kwa Kiingereza wanaitwa kama miungu. Dhana hii haiwezi kuwa ni ya mrengo wa waabudu miungu mingi kama viumbe hawa
hawapokei utukufu kwa kiwango cha kuwafanya kuwa kama Mungu kwa kuwa pamoja na Mungu na kushiriki uhusiano na nguvu inayoitwa Mungu ambayo ni Roho Mtakatifu.
Wateule wote ni wasaidizi katika kuyatimiliza mapenzi ya Mungu (Mathayo
7:21). Wateule hawa wanadamu wamechaguliwa na Baba (Mathayo 11:27). Kristo
anawajibika kutompoteza mteule yeyote sawasawa na mapenzi ya Mungu (Yohana
6:37-40). Wateule ni Wana waliozaliwa na Mungu wakiwa wamezaliwa mara ya pili
kwa Ufalme wa Mungu. Inaeleweka vizuri sana kwamba neno kufanywa mwana
limekosewa na usahihi wake kabisa ni “kuhesabiwa kuwa mwana”. Kuwawatu wengi waliohesabiwa
kuwa Wana wa Mungu ila Kristo alikuwa ni mwana
wake wa pekee (monogenes) (Mwana wa) Mungu. Maneno na dalili hizi vimeelezwa
kikamilifu kwenye jarida la Uumbaji nk. na
hapo juu. Wateule watakuwa kama Mungu (2,@4) [theoi]
wakiwa kama mwendelezo wa viumbe. Ndipo Mungu atakuwa ufalme au familia. Irenæus
alilielewa hili kwa sehemu wakati aliposema kuhusu kipindi nah atua hii, kuwa
bila shaka imechukuliwa kutoka kwenye Zekaria 12:8:
Hakuna yeyote
mwingine aliyeitwa Mungu kwenye maandiko matakatifu isipokuwa ni Baba wa wote
na Mwana na wale waliofanyika kuwa wana. (ilinukuliwa na kina Gregg na Groh ukurasa
wa 68 wa kitabu cha Irenaeus, Haer.
4, kifungu; ona pia kwenye 3.6.1-2; 4.1.1)
Lakini Paulo alisema kuwa kuna theoi
wengi (1Wakorintho 8:5). Hawa ni Malaika wa Elohim.
Mwandishi pekee wa teolojia aliyewahi kuelewa dhana ya kwamba wateule
watafanyika kuwa theoi na sio Mungu kwa maana ya uwingi, kwenye nyakati
za sasa, yaonekana kuwa alikuwa ni Herbert W. Armstrong aliyeandika kwamba atakapokuja
wa Kristo, mtu [ambao hawa waliobatizwa]:
ATAZALIWA na
Mungu-kwenye UFALME WA MUNGU-na kuwa kama Mungu kwenye Ufalme huo! Hatakuwa na
mwili wa kuharibika wa damu na nyama tena utokanao na udongo, bali atakuwa na
mwili wa kiroho, ni kama Mungu alivyo roho (Yohana 4:24) (msisitizo halisi
umewekwa).
Armstrong aliamini kwamba Shetani amewafumba macho wanadamu kwa kufikia
kudhani kwamba Mungu NDIYE Ufalme huu alioutangaza Yesu (kwenye kitabu chake
cha The Missing Dimension in Sex
(Msisimko Uliopotea Kwenye Tendo la doa), toleo la 3., 1986, ukurasa wa
47). Hata hivyo, Armstrong alionekana kusimama/vacillate katikati ya Uyunitariani
na Ubinitariani.
Mifano na Uelewa
Msimamo wa kibilia ni kwamba Mungu atajieneza mwenyewe kwa uendelezo na kiuhusiano
kwa watu wote na wa tabaka zote ili afanyike kuwa yote katika yote. Kwa kufanya hivyo, uelewa wa mchakato wenyewe
umemilikiwa na Mungu. Na ndiyo maana Kristo alinena kwa mifano ili kwamba wale
wasiokusudiwa kuitwa tangu mwanzo wasielewe.
Kristo aliwaambia Mitume:
Marko 4:11-12 Akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya
ufalme wa Mungu, bali kwa wale walio nje yote hufanywa kwa mifano, ili
wakitazama watazame, wasione; Na wakisikia wasikie, wasielewe; Wasije wakaongoka,
na kusamehewa. (pia Luka 8:9-10)
Mfano wa mpanzi ndipo ulitolewa kuonyesha kuwa uelewa ulitolewa
kidogokidogo na kwa mpangilio ili kwamba watu wasiitwe bila mafanikio na
hatimaye wakarudishwa nyuma na Shetani na wakayarudia matendo yao ya dhambi na
uovu; au wakarudishwa nyuma kwa masumbufu ya dunia hii (Marko 4:15-19 na Luka
8:12-14). Hata wakati Kristo aiposema hayo kuwaambia mitume hawakuwa
wamemuelewa bado. Kristo aliwatafsiria baadae ili waelewe.
Luka 24:45-47 Ndipo [Masihi]
akawafunulia akili zao wapate kuelewa na maandiko. Akawaambia, Ndivyo
ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; na kwamba
mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi,
kuanza tangu Yerusalemu.
Kwa hiyo uwezo wa kuelewa walipewa mitume kwa mchanganuo nah atua kwa hatua
na kwa wakati uliokusudiwa. Kwa hiyo, Injili
ya Ufalme wa Mungu ilihubiriwa au kutolewa kwa wateule kimpangilio na kwa
uelewa wa hatua kwa hatua na kwa kiwang kilichokusudiwa.
Paulo alisema:
Warumi 1:16 Kwa maana siionei haya Injili; kwa sababu
ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye, kwa Myahudi kwanza, na kwa
Myunani pia.
Kwa hiyo Injili isiyo eleweka kwa vyovyote au kwamba ni ujumbe tu kuhusu Kristo au hata wa kile alichokisema Kristo. Injili au Habari Njema ya Ufalme wa Mungu ni elimu ambayo Mungu anaieneza
kimmwendelezo na kimpangilio akijieneza mwenyewe kwenye jamii na tabaka zote za
wanadamu ili kwamba afanyike kuwa yote
katika wote. Kila mwanadamu atafanyika kuwa Mwana wa Mungu kama Kristo
alivyo Mwana wa Mungu na kufanyika kuwa miungu wadogo (Theoi au Elohim na Bene
Elohim). Mungu ndiye huu Ufalme wa
Mungu. Yeye anaendelea kimpangilio wa aina yake kuwa ufalme na familia. Imani
ya Utatu inanyima elimu kuhusu uelewa wa imani ya mwendelezo huu.
Makosa Kuhusu Umuhimu Wenye Mashiko wa Kuungana na Malaika
Malaika
Waliojumuishwa
Mtu anaweza kupinga mafundisho ya Utatu na akawa bado yupo kwenye mtizamo
na mrengo wa waabudu miungu mingi. hii inatokea kwa kushikilia kuamini kwamba
malaika ni viumbe tofauti na hawana Uwana. Dhana hii sit u kwamba siyo ya
kibiblia kama tulivyoona hapo juu, bali msimamo huu unamfanya anayeamini hivyo
kuwa ni mwabudu miungu mingi. Na hata kama Biblia ingebakia kimwa kutosema chochote
kuhusu suala la Uwana jambao ambalo sivyo ilivyo, ingekuwa ni sahihi kuwa na
umuhimu kwa waamini Mungu mmoja kushikilia msimamo wa kwamba mzaliwa wa pekee na Mwana walikuwa kwenye
ubatizo ili kuepuka ukweli wanaoamini wamonotheist. Kitendo cha kwamba
viumbe hawa ni lazima wawe kwenye mapenzi ya Mungu, kwa kazi za Roho,
waliompokea wakati walipobatizwa.
Madai Mapotovu
Kuliweka jambo kwenye matarajio kunaweza kusaidia kuyaona madai hayahaya ya
waamini Utatu ambayo ni mabishano ysiyo na maana sana nay a upotoshaji
yanayoaminika kisiasa au kiushabiki tu.
Jinsi
Mbavyo Mungu Alivyo Mmoja
Jambo la kwanza ni kwamba Mungu
ameelezewa kwenye Kumbukumbu la Torati 6:4 kuwa ni kiumbe mmoja na wa pekee au ni wapekee.
Ambavyo ni kwenye Sura ya 4, Neno Monarchia linamaana kwamba ni Mmoja
Tu ndiye aliyekuwepo na anayedumu kuishi kwa miimili mitatu ya utendaji kazi
wake. Dhana hii ilipuuzwa na kuonekana kuwa ni mlolongo usina na maana kwa Wasabelliani
ambapo viumbe hawa hawakuwa na tofauti. Ila Kimtizamo
ni sawa na kuamini kuwa Baba, Neno na Roho hawawezi
kutenganishwa, kwa kweli, au kuondolewa
mbali na kila mmoja wao. Kuamini namna hiyo ni upuuzi mkubwa sana.
(kwa mujibu wa Oxford Universal Dict.) na
kufanya tofauti ni kuweka mgawanyiko,
kiambaza au kitenganishi cha upande mmoja na mwingine kama ilivyo kwenye
madarasa au makundi au matabaka (ibid.). Kutenganishwa kunamaana ya kuondilewambali au kugawanywa kutoka kwenye kitu fulani ambavyoo ni kuwa na uwepo wa kipekee usiotegemeana na kitu kingine na
pia kukichukulia kuwa ni kitu cha tofauti
au kukitenga kwa sababu maalumu (ibid.).
Swali kuhusu Shema ni kwamba: ni
nini kinachotajwa kuwa ni mmoja na kwa nini ni mmoja na anawezaje kuwa mmoja? Hali halisi inaonekana kuwa
imetengenezwa ili kupunguza ukubwa wa tatizo lakini inakuwa ni Usabelliani ule
ule kabisa. Kiumbe anayetajwa kama Mungu inawezekana sana akawa: Elohim, Elohenu au hasa hasa Elohim
na, kutokana na marabi wengine, ni Eloah
aliye mmoja anakubali kutokuwa na uwingi. Madai ya kwamba Shema inamaana ya Eloah yanarahisisha jambo bali
yanaonekana kwa hakika kuwa haimjumuishi Mwana kama Eloah ni Baba pekee (soma hasa kwenye Mithali 30:4-5 ili kutofautisha).
Shema pia inachukuliwa kwa namna nyingi.
Toleo moja linasema Shemah Yisroel,
Adonai Elohenu, Adonai Echad. Madai mengine ya tofauti kuhusu Eloah na nyingine
bado inabadilika kusema: Ha Shem. Majaribio
haya kwa kuepuka kutumia jina la Mungu yanakanganya zaidi jambo hili. Ni hakika
kwamba lengo lake ni uwingi kutokana na tofauti yake. Shema au taaluma ya imani kwenye Kumbukumbu la Torati 6:4 imetafsiriwa
kwa namna mbalimbali pia:
Sikia,
Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja.
Aryeh Kaplan kwenye tafsiri ya The Living Bible imetafsiri andiko hili hivi:
Sikia,
Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja.
Taaluma ni kwamba YHVH Elohim (kwenye
kamusi ya Strong's Hebrew Dict. No.
430) [is] YHVH 'echad, kwa mujibu wa Strong,
(SHD 259 $%! [’echad]).
Tafsiri ya Jerusalem Bible Hebrew andiko
hili lina tofauti mbalimbali fulani yaanayodai kabisa kuwa Elohim ({1*%-! [Elohinu]).
Elohinu ni umoja na umoja uliochukuliwa kwa Elohim au Elohin (kwa Kikaldayo) ni
Eloah au Elaha (kwa Kikaldayo). Hii pia ni sawa na andiko lilivyo kwenye Soncino
Chumash (ed. A. Cohen). Maandiko ya Kumbukumbu la Torati 6:4 ynasema:
4. BWANA, MUNGU WETU, BWANA NDIYE MMOJA. Bwana
ambaye sasa ni Mungu wetu wa pekee
mmoja na sio wa watu wengine atafikia kipindi cha kujulikana na ulimwengu wote
kuwa ni wa pekee na ni Mungu wa pekee (R).
Neno Ni Mmoja linamaanisha
‘Yeye pekee’ ndiye BWANA (E). Andiko hili lina neno Mungu wetu, kwa kuwa alitenda miujiza yake na nabii Musa (N). Herufi
za mwisho ayin na daleth kwa maneno ya Kiebrania ya sikia na Mmoja yanaandikwa kirefu ili kutafakari kuvuta usikivu kwenye wazo
lililoko ndani yake (S).
Chumash huenda inaweza kutaja vitu au watu wawili. Aya ifuatayo inasema:
Kumbukumbu la Torati
6:5 Nawe mpende Bwana Mungu wako kwa moyo
wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako
zote.
Kiumbe huhu ameandika kama YHVH Eloheik ikitumiwa kiambishi kionyeshacho
ubinafsi kwa Mungu wako – kwa maneno mengine, kiumbe huyu anajulikana kama Eloah,
Mungu Mtakatifu au Mungu Aliye Juu Sana aliyemtia mafuta Malaika aliyewaongoza
Israeli ili wayajue mapenzi ya Mungu wao. Tukio hili limetajwa kwenye Zaburi 45:7
na kurudiwa kwenye Waebrania 1:9. Hii inamtaja wazi sana Mungu Baba au Eloah ambaye
kwenye maandiko haya anatajwa kuwa alimtia mafuta Kristo ili amsaidie Mungu wa
Israeli. Kumbukumbu la Torati 6:5 inamhusu au kumtaja kwa wazi sana Mungu,
Baba, Mungu Aliye Juu Sana. Jinsi Kristo anavyolitumia andiko hili kwenye
injili ya Marko inaonekana kuwa inathibitisha hatua hii. Ikitolewa kwamba Chumash
inaonyesha nafasi ya Elohim kwenye
aina tunayoweza kuilinganisha au kuifananisha na mahali pengine popote na Eloah, huenda ni Shema ni sehemu mbili. Kumbukumbu la Torati 6:4 inaonyesha umoja wa
Elohim na Kumbukumbu la Torati 6:5 inataja
upekee au utukufu wa kimungu wa YHVH
Elohim au Eloah.
Neno la Kiebrania litajalo Moja limekuwa likitumika na mamlaka mbalimbali
ya Watrinitarian ili kuifungua Shema
kwenye mwonekano wa uwingi. Kwa mfano, kamusi ya Strong inaonyesha kuwa YHVH
Elohim, ni neno la uwingi la Mungu, kama lilivyo la 'echad au moja linalosimama
kwenye fikra au dhana ya muunganiko.
'Echad inatumika kwa maana ya muungano au
kuambatana kwenye Mwanzo 2:24 ambapo Adamu na Hawa walifanyika kuwa mwili mmoja. Lakini hata hivyo
hawakurudia kuwa na utambulisho wao wa kibinafsi wala ubinafsi wao wa
Kimaumbile. Neno litumikalo kuelezea umoja kwenye Kumbukumbu la Torati 6:4 kwa
kweli ni sio 'echad ambalo kwenye kamusi
ya Strong inavyodai, hata kwa dhana ya mmoja inatokana na muunganiko. Tafsiri
ya Companion Bible kwenye andiko lake
la Kumbukumbu la Torati 6:4 linasema kuwa neno la Kiebrania lililotumika
kueleza mmoja hapa kwa Kiebrania ni 'ehad,
yaani.
muunganiko wa pamoja
(Lat. unus), mmoja kufanyika kuwa wa
wengine: Mwanzo 1:5, mmoja wa watu saba; 2:21, mmoja kati ya ishirini na wanne;
2:24, mmoja aliyefanywa kati ya wawili; 3:22, mmoja wa wanaounda Utatu
(imeongezwa kwa kusisitiza) nk. Sio yahid,
ambayo ipo (kwa Kilatini) unicus, pekeyake
au ni moja tu peke yake, inatokea mara kumi na mbili ... kwa Kiebrania kwa
maneno mengineyo yote kwa yeye mmoja ni 'echad.
Kwa hiyo, neno lililotumiwa kuelezea moja
hapa ni umoja mjumuisho ambalo
kamusi ya Strong haionyeshi kulielezea. Madai ya kwamba Mwanzo 3:22 inaonyesha
uwezekano wa kuwepo kwa Utatu sio sahihi. Shema
imetudiwa tena na Kristo kwenye Marko 12:29 ambalo baadhi ya maandiko yamenukuu
kinyume chake. Kwenye tafsiri ya The New
American Standard Bible imeinukuu Kumbumbuku la Torati 6:4 tofauti na
ilivyo kwenye Marko 12:29. Tafsiri ya KJV inaishia kwenye Kumbukumbu la Torati
6:4 kwa lile neno lisemalo Bwana
Mungu wetu ni Bwana mmoja, ambavyo ni namna ilivyoishia Marko 12:29. Tafsiri ya NIV inasema Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja na inasema kwenye Marko 12:29 kama ilivyo. Dhana iliyoko
kenye Marko 12:29 ni kwamba Mungu ni kurios
mmoja au ni mwenye mamlaka, aliyetafsiriwa kama Bwana. Zwingli alitafsiri maandiko mawili tofauti. Kwa kweli,
andiko hili linaonyesha kuunga mokono nadharia hii kwa namna tofauti. Kwa
kuhitimisha wazo hili kwamba Mungu ni mmoja au kiumbe mmoja linaonekana kuwa ni
tofauti tusipokuwa tukashughulika na Elohimu maalumu; ambaye ni kama tulivyoona
hapo juu hoja muhimu. Dhana ya kwamba Mungu ni mmoja inaweza kutokana pia na
jinsi isemavyo Malaki 2:15. Alipokuwa anaongelea kuhusu matendo ya hiana ya
mwanaume kwa mke wake, ambavyo watu wetu wamekumbwa nayo kuyatenda matendo
haya, nabii Malaki anasema kwamba walifanywa kuwa echad, au wamoja.
Au je! Kuna mtu mmoja
atafutaye mzao mwenye kumcha Mungu? Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye
yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana.
Uzao wa Elohim utajwao hapa ni zera_. Uzao kama tunda ulitumiwa kama
mtoto. Neno echad hapa lilikuwa ni
kuwa mmoja kama umoja au shirika na Mungu. Hivyo basi, fikra ya kwamba Mungu ni mmoja inachukua maana mpya
kabisa. Malaki 2:10 inasema Je! Sisi sote hatuna Baba
mmoja? Mungu aliyetuumba.
Neno echad linafuatia na El au Mungu kwenye sehemu kubwa ya
maandiko ya tafsiri ya Interlinear. Tafsiri
ya NIV ina neno lisemalo Hatuna Mungu
mmoja aliyetuumba. Mungu anayetajwa hapa ni Mungu (El) Baba na ni mmoja.
Neno Echad hapa lina maana ya umoja.
Matumizi ya neno Echad linatumika kwa
namna tofautitofauti. Biblia kwa mkazo mkubwa sana inakataa madai ya kwamba Elohim ni mmoja au kitu kimoja kwa
maandiko yaliyoko ndani yake. Kwenye Kumbukumbu la Torati 6:5 kunaongelea
kiumbe mmoja YHVH Eloheik. Zekaria
14:9 inasema kwamba YHVH atakuwa mmoja (e[c]had)
na jina lake moja (echad). Ni Eloah tu, peke yake aliye mmoja na wa pekee, ila hawa Elohim wanajumuishwa na kuwa chini ya Eloah. Amri za Kristo kwenye Marko 12:29-30 zinasababis udadisi wa
karibu kumpa mtu hamu ya kutaka kujua zaidi. Amenukuliwa akinasema:
Sikia,
Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja; nawe mpende Bwana Mungu wako kwa moyo
wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako
zote.
Marko 12:29-30 inaonekana kwenda sambamba na tafsiri ya Septuagint kwa maneno yaliyonenwa kwenye
Kumbukumbu la Torati 6:4-5. Kwa ujumla, neno Mungu ni mmoja aina ya usemi wa 6bD4@F ,ÉH ¨FJ4< [kurios eis estin] (tafsiri ya Septuagint haina kiambishi cha < [n]).
Neno ,ÉH [eis] linameonekana kwenye kamusi ya Strong's Concordance (SHD 1520)
kuwa na tarakimu za kwamzoni; mmoja: - a(n, -ny, fulani), nk. Kiambishi chake
kinaonyesha kuongoza sababu ya lawama au shutuma pekee (Appendix 104, vi, of
the Companion Bible). Kwenye kipengele cha vi tunamuona Eis huyu:
Inaongoza jambo moja
tu (ni jambo Linaloshutumika). Euclid inatumia neno eis wakati mstari unapopigwa na kuunganishwa na mwingine mahali
fulani. Kwa hiyo, inaonyesha fikra ya kutilia maanani jambo hili, ambapo dhumni
la kuifikia au kuigusa (kama ilivyo kwenye Mathayo 2:11, 3:10. Luka 8:14. Matendo
16:10.) Kutokana na hii linajitokeza wazo la jambo hili linalopelekea kwenye
fikra kama hiyo zikijitokeza (mfano ni Mathayo 18:20,30. 1 Wakorintho 12:13. Wagalatia 3:27.; na kwa kutilia maanani tendo hilo au mwenendo
unafanywa. Kinyume chake kabisa na eis,
pros wengi hufanya somo moja kwa
maana ya kufikia somo la ndani zaidi ambalo linaonekana kwa kijineno cha eis (kwa mfano Yohana 6:35. Warumi 5:1. Waefeso
4:12. Ni kinyume cha ek...
Kwa hiyo, eis ni neno la Kiyunani
linalotumika kuelezea maana ya 'ehad au
muungano kwa Kiebrania kama mwonekano
wa viumbe vitakatifu. Huenda inamaanisha Kumbukumbu la Torati 6:4 & 5 imepotea
kwenye mchakato wa kutafsiri. YHVH
Elohinu imewekwa na kinomino kuwa Kurios
O Theos na andiko lililo kwenye aya ya 5 linaonyesha kutokubaliana na Kurion ton Theon. Huenda hii ndiyo maana
tofauti kwenye Kiyunani ya mpangilio uliopendekezwa kuwa ulikuwa ndio
uliomaanishwa na Yohana kwene Yohana 1:1. Suala lililopendekezwa linaonekana
kutumika kwa neno eis linalosimamiwa
na mazingira yasiyokubalika. Matumizi ya neno Theon yanaonekana kufuata kanuni zilizo kwenye Yohana 1 ambazo
tumezipitia huko numa.
Muundo uliopata nguvu kwenye tafsiri ya Septuagint
na Agano Jipya la Kiyunani inaonekana kuwa na utofauti ya mbali sana kutoka
kwenye Kiyunani kizuri. Imani hii, hususan kwenye Kiebrania na Matendo ya
Mitume na vitabu vinginevyo, vinatokea kwa mtindo wa Koine au Kiyunani cha
mitaani kisichorasmi. Matumizi ya kila mara lazima yangeashiria kwamba mtindo
na muundo uliotumiwa na mtume Yohana na mitume wengine ilikuwa ni kuanzisha na kueneza
imani ya Uhelleni wa Kiyahudi kwa kushirikisha mtindo wa kiuandisho au
kosmolojia ya Agano la Kale. Huenda mtindo huu ulianzia huko Alexandria kwa
mtazamo wa jumla wa mapokeo ya Talmud
(zaidi ya kuitwa tu Kabbalah kwa
maana yake ya Kimythiolojia), na kupelekea kuwepo kwa tofauti na usaidizi kwene
Elohim kutokana na Zaburi 45:7. Usomaji
wa Zaburi 45:7 kwenye lugha ya Kiebrania vilevile kunafuatiwa na tafsiri ya Septuagint na Kristo anaonekana wazi
sana kuwa alikuwa na washiriki (:,J`P@LH) [metoxous]
waliowajibia na kufanana nay eye, waliotafsiriwa kama watenda kazi amoja naye au marafiki zake kwenye tafsiri ya RSV. Waebrania
1:3-4 inasema kuhusu Mwana kwamba:
Yeye kwa kuwa ni
mng'ao wa utukufu wake na chapa ya nafsi yake, akivichukua vyote (ta panta) kwa
amri ya uweza wake, akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi mkono wa kuume
wa Ukuu huko juu; amefanyika bora kupita malaika, kwa kadiri jina alilolirithi
lilivyo tukufu kuliko lao.
Waebrania inaonyesha wazi sana kwamba uwepo na kuketi kwake mkono wa kuume
wa Mungu ni wa muhimu kwa ajili ya utilimizaji kikamilifu kwa huduma ya
upatanisho wa dhambi zetu. Yeye yu siye Mungu na kama anavyoitwa hapo juu kuwa ni
mshirika na rafiki tangu alipozaliwa hapa duniani. Ni Mungu tu peke yake
asiyepatwa na madhara au kufa (kwa mujibu wa 1Timotheo 6:16). Uzima wa milele
wa Kristo au aioonion (1Yohana 1:2) unatokana
na Mungu sawa na unavyofanyika uzima wa milele wa wateule wote unaofanyika
uwezekane kwa kutolewa kwake sadaka Kristo. Mungu hata hivyo, si Mungu na yuko
tofauti naye kabisa pia na Malaika. Tatizo la tofauti ya Theon/Theos haliwezi kuelezewa kwa kanuni za kigrama na inastahili
kwa ukaribu sana kutafitiwa. Kwa hakika, kuanzishwa kwa mafundisho yaliyouama
kwenye miundo mbalimbali iliyo hapo juu si jambo la busara. Yapasa iandikwe kwa
kulinganisha na mahudhui ya Biblia yote.
Roho Mtakatifu Kama Mungu
Roho Mtakatifu anadaiwa kuwa ni:
Mtakatifu, wa milele
na anaumuhimu sawa kwa Mungu, lakini ni tofauti na Baba na Mwana.
Mtazamo wa Calvin wa kuutafsiri utrinitarian hapo juu, nafasi na msimamo
huu ambao kimsingi ni mwamini Utatu kimsingi wake anashurutisha madai kwamba
Roho Mtakatifu ni Mungu. Shekhinah iliyochukuliwa
kuwa ilitengenezwa kwa mapokeo ya zamani sana ya Kiyahudi kama ilivyoonyeshwa
hapo juu, hususan Sefer Yezirah (c.
1130) na Judah b. Barzillai. Roho Mtakatifu ni nguvu au uweza wa Mungu. Madai
ya kwamba Roho Mtakatifu pia ni Mungu tuliyoyashuhudia hapo juu yanaonesha
kutokuwa na mashiko. Sambamba na matumizi yasiyobadilika ya Kristo na Mungu
kuwa ni maneno yaliyosawa si sahihi kama matumizi ya Wagalatia 2:20 yalivyoonekana.
Kwa hiyo, Kristo aliishi ndani ya Paulo kama Mungu alivyoishi ndani ya Paulo
inawezekana tu kwa kufanyika kama mshiriki wa tatu ambaye mara nyingi sana
anaweza kuwa kama chombo au kifaa cha kuwezesha uwepo wa uweza mkubwa na wa
muhimu wa Mungu Baba na ambavyo Kristo anashiriki. Madai ya kutolewa kwa Roho
Mtakatifu kutoka kwa Baba na kutoka kwa
Mwana lilikuwa ni fundisho lililotangazwa na kurasimishwa kwenye Baraza la
Mutano Mkuu wa Toledo mwaka 589; kifungu Kisichorasmi.
Msimamo huu wa waamini Utatu wa
Makanisa ya Mashariki.
Ki msingi, inaonekana kuwa ni upuuzi kusema kwamba Roho Mtakatifu kwamba
Roho Mtakatifu aliumbwa kama inavyodhaniwa kuwa ni kiumbe aliye tofauti. Roho Mtakatifu
kama uweza wa Mungu ni lazima kila mara awe kama nguvu takatifu ya kimungu
akiwa na tabia ya kuwa na uweza wa kutoshindwa na kuwa na nguvu zisizoshindwa,
vinginevyo atakuwa hana nguvu au uweza wa kuumba au Hekima kama mwenye tabia za
uweza mkubwa wa kuwa na nguvu zisizoshindwa (soma jarida la Uumbaji: nk., hususan kwenye Sura ya 2).
Kuumbwa kwa Roho Mtakatifu kwa maana ningine kwa uwepo wa mapenzi ya Mungu.
Roho alikuwepo tu kwa uwakala wake uliopo tangu mwanzo wa kutendwa kwa mapenzi
ya Mungu. Kizazi au uzao huu uliopelekea uumbaji wa Roho
Mtakatifu ni dhana ileile ya matumizi ya kizazi
wa Waathanasian kuelezea kwa nini Kristo hakuumbwa. Wale wanaoitwa Waarian,
na kwa kweli ni watenda mambo yao Kibiblia,
waliona kwamba Kristo aliumbwa pia, iwe ni kwa njia ya kiuzawa au sivyo, hakupunguzi wala kuongeza ukweli kwa uumbaji wa
Mungu bali ni uumbaji wa Ulimwengu. Mjadala uliochukua mkondo kwenye mtaguso wa
Nicæa haukuweza kutenganisha jambo hili la msingi. Hatimaye, matokeo yake
yalikuwa ya uwongo. Ilikuwa kwa mapenzi ya Mungu kwamba Roho Mtakatifu alikuwa
kwanza amechkua haiba na tabia ya Mungu iliyowezesha kuwepo kwa umoja wa Roho
na Baraza la Elohim ambalo linatenda kazi kwa uumbaji wao.
Roh Mtakatifu ni tabia na haiba endelevu za Mungu inayowawezesha wateule
kutendea kazi nguvu za Mungu kwa mambo yanayoendananaye. Alianza kuwepo kwa
umbo tunalolijua alipokuwa anaanza kuwepo hapo mwanzoni kwenye mapenzi ya Mungu.
Kwa hiyo ni kwamba ni nadharia, na kwa hiyo, aliumbwa.
Kuwa Sawa Kinafsi
Neno ubinadamu limefanyiwa kazi
kwenye mambo ya Uungu. Linakanganya kwenye maneno ya kusema, kama hapo juu,
kwamba Mungu ni mmoja, kwamba Mungu ni
mmoja au kitu kimoja na kisha kuendelea
kwenye msimamo huu wenye mkanganyiko; isipokuwa imechukuliwa kwamba umahiri wenye weledi au ubinadamu havipo viumbe vilivyotofauti;
kwa maana ya kumchukulia Mungu ni mtu mmoja na Kristo na Roho Mtakatifu ni facets za umoja wake. Msimamo wa kwamba
Kristo na Mungu wako sawa na mambo sahihi kati ya imani za Kiutatu au Usabellanian.
Kwa kiwango chochote, iwe kwamba msimamo hashikamani au kulingana na kwa kweli ni
sawa na ilivyokuwa mwanzo. Lengo kuu kwenye mashiko na kumeguka kwa viumbe au
viumbe wanaoitwa Mungu Baba, Kristo na Roho Mtakatifu kama ilivyokuwa habari ya
Usabellanism ni kwamba sadaka ya mwanakondoo ilikuwa ni kitu cha upatanisho kwa
Mungu wake. Kudai kwamba Mungu laikufa kama kitendo cha kujiabudu mwenyewe ni
upuuzi wa hali ya Kujiona au kujijali mwenewe ya Kisaikolojia na imani ya Unarcissism.
Inapelekea kwenye kitendo cha kukataa ukweli wa kifo cha Kristo na ufufuko wake.
Kristo alikufa na kufufuka kwa uweza wa Mungu kama mwanadamu atakavyokuwa
amefufuliwa pia. Mitazamo ya kuwa sawa na hitaji la kimashiko la kudai kwamba
Kristo hakufa na, hivyo hakufufuka, sawa na kama: Alijiondoa mwenyewe kwenye
Uungu mtini na kwamba ulikuwa ni mwili wake tu ndio uliokufa; alibakia kuwa
Mungu na kama kiumbe au mtu mwenye fahamu. Iko wapi basi sadaka na iko wapi
basi imani? Alikufa kama walivyokufa mtakatifu mwingine yeyote. Asili yake ya
muhimu kama Roho ilivyobakia kwenye fikra au mawazo na mapenzi ya Mungu
ikiutegemea kabisa uweza wan a mamlaka ya Mungu ili kuutwa uhai wake tena.
Ilimlazimu kufufuka katika mwili na kubadilishwa katika Roho kama sadaka ya
Mganda wa Kutikiswa. Ukristo wa leo hauwezi kuuelewa mchakato huu kwa kuwa hawaiadhimishi
Pasaka kwa usahihi.
Agano Jipya linatumia neno takatifu kwa
kumhusisha au kumaanisha Roho Mtakatifu kwenye 2Petro 1:3-4 ambapo inasema hivi:
Kwa kuwa uweza wake
wa Uungu umetukirimia vitu vyote vipasavyo uzima na utauwa, kwa kumjua yeye
aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe. Tena kwa hayo ametukirimia
ahadi kubwa mno, za thamani, ili kwamba kwa hizo mpate kuwa washirika wa tabia
ya Uungu, mkiokolewa na uharibifu uliomo duniani kwa sababu ya tamaa.
Andiko hili halidai wala kusema kuwa Roho Mtakatifu ni Mungu bali linasema
ni kuwa ni uweza mtakatifu wa Mungu. Kusoma hii kuwa kama inasema kuwa mitu
kilicho mbali na cha tofauti au nafsi ya Mungu ni kupotosha wazi usomaji na
maandiko haya. Matendo 5:3-4 inaonekana kumuita Roho Mtakatifu Mungu.
Petro akasema,
Anania, kwa nini Shetani amekujaza moyo wako kumwambia uongo Roho Mtakatifu, na
kuzuia kwa siri sehemu ya thamani ya kiwanja? Kilipokuwa kwako, hakikuwa mali
yako? Na kilipokuwa kimekwisha kuuzwa, thamani yake haikuwa katika uwezo wako?
Ilikuwaje hata ukaweka neno hili moyoni mwako? Hukumwambia uongo mwanadamu,
bali Mungu.
Dhana ya kwamba kifungu hiki kinakusudia kumtaja Roho Mtakatifu kuwa ni
Mungu linazua hila ya kiujanja ya kuunganisha kipande au sehemu ya kwanza, iitwe,
kiuwongo Roho Mtakatifu kwa kumpa au
kuwa na jina la kicheo na mitume, na sehemu ya pili kusema kwamba kuwa Anania
hakumdanganya mwanadamu bali Mungu. Tathimini sahihi ya andiko hili inaonyesha
kwamba wazo la kuwa ni Mungu lilianzia
toka kwa mitume na kwa Anania mwenyewe. Anania alipowadanganya mitume,
alikuwa pia amejaribiwa kumdanganya Roho Mtakatifu ambaye alikuwa pamoja nao wote akiwa kama wakala wa Mungu aliyemtumia
kuwaongoza wateule. Petro alimkemea kwa kusema uwongo ambavyo kwamba hakuwa
amewadanganya wanadamu bali Roho Mtakatifu (aliyekuwa amekaa katikati ya
wateule). Hivyo, kutokana na umuhimu huu, wateule ni miungu, jambo ambalo ni
upuuzi kusema hivyo asipokuwa na ushirikiano mwanana wa Kiuungu (soma Zekaria
12:8).
Kitendo cha kutotoa zaka hakiwachukizi wanadamu, bali ni cha kumuibia Mungu
(Malaki 3:8) na kutotoa nadhiri ni sawasawa tu nayo na kumuibuia Mungu (Ni kutenda
Korban hasa au kutenga mbali sadaka
za Mungu kulifanywa vibaya na mapokeo, wakikusudia kuikanganya sheria au torati
na ndicho kilichopelekea wao wakemewe namna hii na Kristo, mfano ni kwenye
Marko. 7:11).
Kinachotakiwa kieleweke hapa ni kwamba Roho Mtakatifu alikuwa akiishi ndani
ya wateule na ndipo nguvu za mbinguni zilikuwa katikati yao. Kumdanganya mtu ni
tabia ya kawaida kama kwa mkusanaji wa zaka au mwiba zaka au sadaka alivyokuwa
anamdanganya Mungu kwa mtazamo au jinsi ya kibinadamu, kitenco kilichotafsiriwa
kama kumuibia Mungu ilivyoandikwa kwenye kitabu cha Malaki. Kulitumia andiko
hili kudai kuwa Roho Mtakatifu ni kiti mbali na utendaji wake kwa wateule, ni
sahihi.
Roho Mtakatifu kama nguvu utokayo juu ameelezewa tena na Mtume Petro kama
anavyonukuliwa kwenye 2Petro 1:3-4. Petro
alisema kwamba Roho Mtakatifu ni nguvu ishukayo kutoka mbinguni. Kumbe yeyote
anayeyatendea kazi mamlaka kutoka mbinguni, na hapa ni kama nguvu zenewe,
iliyochukua cheo cha Mungu. Fikra na
dhana ya Ukristo uliochanganyika na dini ya Kiyahudi ni kwamba viumbe hawa ama
walikuwa wamoja na Mungu au walikuwa kwenye mkumbo wa uasi na uovu ndio msingi
kwenye imani ya kimonotheism. Jambo hili limeainishwa kwenye kifungu cha majina kwenye jarida la Tatizo la Dhambi na Uovu na kuiainisha
dhana ya Kiebrania. Wateule walitembea na Roho Mtakatifu na ndiyo uweza wenye
maana moja ya kuwa alikuwa anaendeleza ukuu wa Mungu.
Uweza wa Kuelewa Kila Jambo pia ni kama tabia aliyonayo Roho Mtakatifu
Shekhinah ilijulikana kama Busara na, kwa kweli,
Theophilus alilijumuisha wazo hili kwenye trias yake kama ilivyo hapo juu. Maana
Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu. (1Wakorintho 2:10) ambavyo ni kusudi
la kuelewa makusudi ya kila mmoja sio
suala au wajibu wa uweza huu wa kujua kila jambo. Inaweza kuwa kwamba Roho ni kifaa
ambacho kwacho Mungu hutumia kukiambukiza au kukishirikisha uweza wake wa kujua
kila kitu bali haifuatii kuwa Roho ana uweza wa kujua kila kitu (soma jarida la
Tatizo la Dhambi na Uovu, “Uweza wa
Kujua Kila Jambo”). Maelezo kuhusiana na uweza
huu wa kuelewa kila kitu wa Roho Mtakatifu, upo kwa wateule hata leo kila
mahali (kwa mujibu wa 1Wakorintho 6:19) badala ya kuunga mkono kila wazo la
kumtenganisha mtu wa tatu na kumuona kama Mungu, inaashiria kuwepo kwa
malumbano au hoja ya kuongeza Uungu. Roho Mtakatifu ni kitendea kazi
anayejikusanya pamoja kwenye Hekalu la Mungu, ambalo ni kitu kiishicho cha
viumbe wengi. Wateule ni mawe yaliyo hai au vitu vingi vinavyowezesha kuwepo
Hekalu la Mungu (1Petro 2:5). 1Petro 2:5 pia anamtofautisha Kristo na Mungu.
Kwa hiyo Roho anaweka vitu vingi pamoja kuliko kubisha kukitenganisha kitu cha
tatu. Ni kwa kupitia huyo Roho na ni
kwa njia ya Roho tu ndipo Kristo anakuwa mmoja na Mungu na ndipo anapoweza kuitwa Mungu.
Roho Mtakatifu Anakiri Kutokuwa na Faida wala Hasara
Mapokeo au dogma anayoyakubali Roho Mtakatifu yasiyo na faida wala hasara
yalikuwa muhimu katika kumtenganisha Kristo na wateule na Malaika kwa msingi wa
kitrinitarian. Tumeona (kwenye Uumbaji:
nk. na hapa napo) jinsi ilivyojailiwa huko Nicæa na jinsi ilivyokuwa
imepingwa. Uenezaji wenye mashiko wa falsafa hii potofu ilikuwa ni kupinga kwama
Roho Mtakatifu anaweza kuenelezwa ndani ya wateule. Kwa hiyo kiwango cha Roho
alichonacho Kristo kinatofauti ya milele na kikubwa na kile ambacho mteule
anashirikishwa na Mungu Baba. Ni sa wa sana tu kwamba wateule hawawezi kuongeza
kiwango cha Roho zaidi ya kile walichopewa kwenye ubatizo. Ndipo ujinga
unaendelea kwenye hitimisho kwamba unaweza tu kuomba ulinzi kwa Roho kwamba uliyenaye
tayari na sio kwa ajili ya kuongezewa kokote kwa nguvu za Roho. Jambo lolote la
Mungu ni lazima liwe na Mungu kamili kwa uhusiano wa Kristo lakini lihusiane na
liwe na ukomo kwa mteule. Hii ni sawa na kusema kuwa na pete ya mvuto kwenye kidole
cha mtu ni mtu kamili, na sio sehemu ya mwili. Maana yako sahihi kwa hilo kuwa
kila seli inakuwa na nasaba ya uzawa ya DNA sawa kama ni muhimu kwa kukufana wewe ukamilike; ila madai yenyewe ni ya
kipuuzi. Lakini hata hivyo, ni kweli kumfananisha Roho Mtakatifu na DNA ya
Mungu ni kama kwa mwendelezo wa ufidiaji wa utaratibu wa mwanaamu na Roho
Mtakatifu unaweza kukamilika. Fikra kama hiyo ni sawa kama kuurudisha mchakato
wa kutafunwa na saratani. Hili ndilo lililokusuiwa kwene mfano wa mbegu ya muharadari
nay a chachu alioutumia Kristo kwenye 13:31,33; Marko 4:31; na Luka 13:19,21. Hatimaye, matokeo yake ni uweza au nguvu
kamili za Mungu. Madai ya kwamba asili ya kimunga haipati faida na wala haina
hasara, na madai ya kwamba ni utendaji tu wa mwanadamu mteule amejumuishwa au
kuwekwa si sahihi kabisa. La muhimu sana, madai ya kwamba haiwezi kuongezwa
yanapingana na mafundisho ya biblia.
Dhana kama hiyo ingefungia mshikamano na umuhimu kwenye mahala pa kutokuwa
na uwezekano wa kukua katika Roho au kubailisha mwelekeo wa uweza unaohitajika
na wa muhimu utolewao na Roho kwa wateule. Mshikamano wake kwa hiyo ungeweza
kuwa ni mkwamo wa kiroho, kama sio kurudi nyuma. Msimamo wa kibiblia ni kwamba
Roho amewekwa ndani ya mteule wakati wa ubatizo. kutokana na hapo juu, ni Roho
Mtakatifu ndiye aliyemuwezesha Kristo kuwa mmoja na Mungu akimuunganisha yeye
na Mungu. Wateule walipewa Roho sawasawa na mpango wa Mungu. Kristo na Malaika
walifanya kazi zao kwa utiifu. Ilienezwa pia kwamba imani ya miungu mingi ya muelitist
iliyoanzishwa na Watrinitarian na Mafundisho ya mwendelezo wa Nafsi hai
ilisababisha kuwe na ulazima wa kudai kwamba Kristo alikuwa na tabia na uweza
wote wa Mungu, ila hiyo ni viumbe wote wa jamii ya Malaika ndio hawakuwa na
asili hii ya kimungu. Kwa hiyo, Malaika yuko tofauti na Kristo ambaye ni
Malaika wa YHVH. Dhana hii ilipelekea kuanza kwa imani ya miungu mingi mioyoni
mwa Malaika. Mchakato tata wa kuitwa au wito wa wateule ulipelekea kuanzishwa
kwa fundisho hili na hata kwa kiupotoshaji zaidi. Ilifanyika kuwa lazima
kuamini kwamba Roho hangeweza kuongezwa.
Matumizi ya Paulo yanayochukuliwa kuwepo kwa usemi unaopelekea kumtumia
Roho na kuanzisha mlundikano wa deni la dhambi ambayo ilifanyika kuwa msingi wa
mafundisho ya kizushi ya Wakolosai, yaliyoainishwa kwenye Kitabu cha 1, Sura ya
5 na 6, yaweza kuwa ilichangia tatizo. Lakini dhana ya kutoongezeka nguvu za
Roho na ingesimama tu kiutofauti kwa kupuuzia maandiko mengi ambayo yanafanya kuwepo
madai haya.
Paulo anasema kwamba Roho ni mwadilifu
au malipo yakini kwenye 2Wakorintho 1:22; 5:5. Huu ulikuwa ni uadilifu wa urithi (Waefeso 1:14). Neno
lililotafsiriwa kama uadilifu lilitokana
na neno la Kiyunani "DD"$T< [arrhabon],
ambalo kwa neno asili la Kiebrania na lililomaanisha kwa mujibu wa kamusi ya
Kiyunani ya Strong's Greek Dictionary
Na. 728:
Nadhiri, yaani, sehemu
ya fedha za manunuzi au raslimali iliyotolewa kama malipo ya utangulizi kama
poni ya kuonyesha uaminifu.
Ainisho lolote la neno halikuhitimika bali lilihitimisha kwamba Roho
alikuwa anaweza kuongeza na kupunguza yamkini kwa kugawanya vipande. Dhana ya
kutoa malipo ya awali bila kuepuka yanahitaji mgawanyiko kama huo. Kuna
mpangilio wa kwanza wa Roho kwenye ubatizo. kwa hiyo kuna uhusiano shirikisho
wa Roho. Tangu ubatizo Roho anaendelea kukua. Roho Mtakatifu ni mwezeshaji
anayewafanya wanadamu kuwa Ufalme wa Mungu (Ufunuo 1:6). Ukuaji wa Ufalme
unatokea kwa kupitia huyu Roho, kwa imani na kwa kumtumaini Mungu.
Ufalme huu ulifananishwa na punje ya haradali kwenye Marko 4:30-32 na kama
ilivyo hapo juu. Mbegu imepandwa ndani ya wateule kama watoto wanaoikulia imani
na maarifa na nguvu. Roho anakua kwa namna mbili, kwa kupitia ubinadamu kama
donge la chachu ichachushayo onge zima (Mathayo 13:33) na ndani ya kila mmoja
hadi inapomshachusha mtu huyo. Utoaji sadaka ya mikate siku ya Pentekoste
unaashiria mchakato wa uchachushaji wa Roho Mtakatifu ndani ya mteule (soma ia
majarida ya Kalenda ya Mungu na Pentekoste). Ndipo Mungu anafanyia kuwa yote katika yote (1Wakorintho 15:28
KJV). Neno au usemi wa yote katika yote ulibadilishwa
kwenye maaniko mengine ili kulandanisha na madai kwamba Roho Mtakatifu hakukua.
Neno yote katika yote ambalo
limetafsiriwa kama kilakitu kwa kilamtu kwenye
tafsiri ya RSV, limetoholewa kutoka kwenye Kiyunani: BV<J" ¦< BF4<
[panta en pasin]
Marshall anatafsiri neno hili yote ndani
ya yote kama kifungu kikuu cha tafsiri ya RSV ya Agano Jipya la Kiyunani na Kiingereza ijulikanayo kama the RSV Interlinear Greek-English New Testament.
Maneno haya ni upunguzaji maana ya B"H (pas) inayomaanisha
yote, chochote, kila, yote:- yote (ikimaanisha
vitu au vifaa vyote), kilamara (-s), chochote (kile). Kwa hiyo maana yake kiusahihi
sana ni yote katika yote. Kwa hiyo
Roho anajieneza kwa kila mtu akiwakuza kwa kiwango cha wastani hadi wafike
kwenye kimo cha Kristo (Warumi 8:29). Kimo kinachoendana na faida kwa kila mmoja.
Mtume Paulo anasema kwamba Roho anaweza kuzuiwa au kuzimwa na mtu, kama
isemavyo 2Timotheo 1:6. Paulo anasema:
Kwa sababu hiyo
nakukumbusha, uichochee karama ya Mungu, iliyo ndani yako kwa kuwekewa mikono
yangu.
Maana Mungu hakutupa
roho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi.
Kwa hiyo, Roho anaweza kuzimwa na kutwezwa au anaweza kuhuishwa kikamilifu
kabisa kutoka kwene hali yake ya kuzimika.
Kwa hiyo, Roho anakubaliana kuhusu faida na hasara kwa mtu peke yake. Ni
sawa tu na Roho huyohuyo anakubaliana kutofautisha karama kati ya watu (1Wakorintho
12:4). Kwa kuwa Kristo hakuwa na uweza wa Mungu wa kujua kila kitu na pia
hakuwa na uweza kamili usioshindwa na kitu chochote alionao Mungu peke yake, na
ndivyo pia wateule wanavyotofautiana karama zao kati ya mmoja na mwingine. Tena
pana tofauti za huduma, na Bwana ni yeye yule (1Wakorintho 12:5). Ni Mungu
huyuhuyu ndiye anayewavuvia wao na kuwapa kazi tofauti tofauti katika
kumtumikia Kristo (1Wakorintho 12:6). Lakini kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho
kwa kufaidiana. Maana mtu mmoja kwa Roho apewa neno la hekima; na mwingine neno
la maarifa, apendavyo Roho yeye yule; (1Wakorintho 12:7-8). mwingine imani
katika Roho yeye yule; na mwingine karama za kuponya (1Wakorintho 12:9); wengine
wamepewa uweza utendao kazi uliotafsiriwa kuwa miujiza. Na mwingine unabii; na mwingine kupambanua roho; mwingine
aina za lugha; ((8TFFä<) [glõssõn] na mwingine tafsiri
za lugha; (1Wakorintho 12:10).
lakini kazi hizi
zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye yule, akimgawia kila mtu peke yake kama
apendavyo yeye.
Hivyo basi, Roho amempa kila mmoja wa Watakatifu karama watakazokuwanazo
kwa msingi ulio sawa ili kutimiliza malengo na makusudi na Mpango wa Mungu. Kwa
hiyo, wateule wanakunywa Roho mmoja huyohuyo (1Wakorintho 12:13). Kristo ni
kichwa cha mwili wote, ila wote wanashiriki damu moja ya Kiroho. Kupokea kwa
karama hizi ni kwa namna inayohitajika kimsingi na Roho. Roho anaweza kumjalia
mtu hekima kama anavyoweza kumpa mtu karama nyingine yoyote kwa kuomba na hata
bila kuomba. Kwa hiyo, Roho ni rafiki na yupo karibu na anaweza kubadilika sawa
sawa na hitaji na mahali palivyo. Kwa hiyo, Roho anakubaliana na faida na
hasara.
Uariani
Imani ya Kiariani inakosewa kidogo kutafsiriwa na waaminiUtatu wengi kama:
Mtazamo
unaomuangalia Kristo kuwa ni kiumne wa daraja la juu sana la uumbaji kati ya viumbe
wote walioumbwa na kwa hiyo wanatajwa kuwa kama Mungu, lakini sio Mungu.
Hata hivyo, tabia za Waathanasian kwa jinsi wanavyouona Uarian unaomfanya
Roho kuwa ni kiumbe wa Mwana. Hiyo ni uwongo mkubwa sana. Inaweza pia kuwa ni
jinsi ya kutazama jambo kimtazamo.
Msimamo wa
kibiblia kwa uumbwaji wa Kristo ni kwamba alifanyiwa mtungo kutoka kwa Mungu
Baba. Kinachoitwa au kujulikana na waamini Utatu kuwa ni kizazi kama ilivyo hapo juu, ukweli kuhusu ujio wake kama kizazi au ujio unamfanya yeye awe kiumbe
wa Mungu Baba. Kuja kwake ni tendo la utendaji kazi wa hiyari wa Baba na
ambao pasipo huo Mwana asingekuwapo kama kitu. Msimamo kama huohuo ndio
uliaminiwa na Kanisa siku nyingi kabla ya Arius, kama inavyoonekana kwenye
nukuu za hapo juu. Msimamo wa kwanza
na halisia na kwa kweli ndio wa Biblia ni kwamba msimamo ulioonyeshwa kwenye
tafsiri ya hapo juu na Arius. Tafsiri hiyo sio kuwa ni ya jumla tu na iliyolenga
kutumika kama tafsiri rasmi na yakipekee mbali na msimamo wa Arius na wa Shule
ya Lucian wa Antiokia. Hivyo, kutokana na tafsiri hii, mitume na watu wengi
wakiwemo Makasisi wapinga maazimio ya Nicene ambao ni Waarian. Tafsiri kama hiyo
inamuonea shaka Kristo na kumshutumu kwa midomo yake Muariu. Soma pia majarida ya Usociniani, Uariani na Uyunitariani (Na. 185) na Uariani na Usemi-Ariani (Na. 167).
Inawezekana kabisa kuwa kwamba tunachokiona kutoka tangazo la imani la Nicæa/Constantinople
ni uundwaji au uanzishwaji wa dini mpya ambayo ina machache ya kuyafanya kati
ya yaliyofundishwa na mitume au Kanisa la kwanza na ndani ya dini hiyo, ushawishi
wa Arian umefanyika kwa wote wa upande au sehemu zilizotangulia. Inafanana
kabisa hata hivyo kwamba tafsiri iliyotumika ni mjumuisho suio na msingi kwa
kweli bali unalitumikia kundi la hao wasiokubaliana kwa alama na kiasi cha
kushutumiana. Mchakato kama huo una ujanja fulani kiakili au kiintelijensia
lakini kwa ujumla unaashiria kiwango cha mdahalo wa jambo hili. Kusudi la
kutangaza kwa hali sawa na umilele sawa linatokana na kile kinachoitwa
malumbano ya Waathanasian na Waarian yaliyoelezewa ndani yake. Lengo kile
kilichoitwa sasa sehemu za wahafidhina wenye msimamo mkali zilizokuwa chini ya
Waarian kidogo.
q