Makanisa ya Kikristo ya Mungu

[081]

 

 

 

 Kuwa Wamoja na Baba

(Toleo La 2.0 19941210-19990523)

 

Jarida hili linaelezea kuhusu uelewa wa teolojia mamboleo kuhusu imani potofu ya Utatu au Utrinitarian na imani asilia ya Kiyunitarian ya ainisho na imani ya kibiblia ya Mungu mmoja, maarufu kama Utheism. Nia iliyoko nyuma ya fundisho la Kitrinitarian la Usawa wa hadhi ya kiuungu limefafanuliwa pia. Kitendo cha asili ya kimungu kimeelezwa, na mwingiliano wa Mungu na Malaika na mwanadamu kumeonyeshwa kutegemeana na usawa huu wa kihadhi. Uumbwaji wa Roho Mtakatifu umehojiwa pia, na kuna mgongano wa kifalsafa unaoinuka kutoka kwenye mafundisho ya Watrinitarian. Shema inenwayo kwenye Kumbukumbu la Torati 6:4 imejadiliwa, ikionyesha kuwa ni jinsi Mungu alivyo Mmoja.

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

Email: secretary@ccg.org

 

(Hatimiliki © 1994, 1999 Wade Cox)

(tr. 2015)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia.  Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


Kuwa Wamoja na Baba

 


Neno Consubstantial maana yake ni kuwa wamoja au kuambatana na Baba aliyeviumba vitu vyote. Wateule wanauhusiano na wamoja na Mungu kama Kristo alivyo mmoja na Mungu.

 

Fundisho hili la Yesu Kristo kuwa mmoja na Baba linafundishwa na Watrinitarian kimakosa na kiupotoshaji ili kupinga ushiriki wa wateule kwenye uasilia wa kimungu wakiwa kama warithi pamoja na Kristo. Ni kosa kubwa sana linaloendelea kufanywa na makanisa wadau wa Ukristo mkongwe. Ili kuelewa jambo hili kwa kina zaidi, jarida lifuatalo limeandikwa na kuchapishwa kutoka kwenye Kitabu cha 2 cha Mungu Amedhihika, yaani God Revealed Book 2. Hiki kimetokana na maandiko yaliyotumiwa kwenye jarida la Ubinitariani na Utrinitariani (Na. 76) kwa kiwango cha kimaandiko kwa habari za Utrinitariani.

 

Uelewa wa Kiteolojia Mamboleo Kuhusu Utrinitariani

Mgawanyo wa Kimajukumu wa Kibiblia na Imani ya Kitheism ni Uyunitarian

Kitabu cha Mwelekezo wa Maneno Magumu kijulikanacho kama The New Catholic Encyclopedia, art. ‘Trinity, Holy’, Vol. 14, p. 295 kinasema:

Kulikuwa na utambuzi wa sehemu ya utafsiri wa maana asilia na wanateolojia wa Biblia, pamoja na ukuaji wa idadi Wakatoliki wa Roma, kwamba kwa kipindi cha miaka elfu moja hakukuelezewa kuhusu imani hii ya Kitrinitarian kwenye Agano Jipya pasipo  Agano Jipya pasipo kigezo muhimu na cha maana sana

.

Wanateolojia kwa muda mrefu sana wamekuwa wakiielewa imani ya Utatu kuwa sio ya kibiblia kabisa. Ilianzishwa kutokana na msingi wa kimtazamo tu wa kwamba walikuwa wamepoteza weledi wa kiuelewa kuhusu utakatifu wa Kristo na uhusiano wake na Mungu. Brunner anachukulia kuwa Calvin kwenye kitabu chake cha Institutio I, 13,4, analichukulia fundisho la Utatu kwa mtazamo kwamba:

Kutokana na nadharia au dhana inayotofautiana na zile za Biblia, wapinzani au wanaopinga uungu wa Kristo – ambao ni maadui wa Imani ya Kikristo - inalazimisha kuondoleambali kujibadilisha kwake na kupambana kwa wazi, badala ya kubatilisha uadui wake kwa vazi la Ukristo. (imenukuliwa kutoka kwenye kitabu cha Emil Brunner cha Fundisho la Mungu la Mapokeo ya Kikristo [The Christian Doctrine of God Dogmatics], Vol. 1  tr. Olive Wyon, The Westminster Press, 1949, Cambridge, Ch. 16 The Triune God, pp. 205-206).

Brunner alisema kuhusu fundisho la Utatu ambalo ni kwamba:

hususan mazingira yenye utatanishi (ukurasa wa 205)

Kwa kweli hii inaonyekana kuwa hivyo. Malengo makuu linatuama kwenye umuhimu wa mlingano na muainisho na imani ya Kibiblia ya Utheism pamoja na Uislamu kuwa Uyunitarian. Brunner anasema hivi:

Imani za Kiyahudi na Uislamu na Utheism ni za mrengo wa Kiyunitarian. Kwa upande mwingine, yatupasa kukubaliana kwa moyo mmoja sana kwamba fundisho la Utatu halikuwa sehemu ya mafundisho ya Wakristo wa kwanza ujumbe wa – Agano Jipya, wala hakuwahi kuwa makala muhimu ya imani kwenye maisha ya kidini ya Kanisa la Kikristo kwa ujumla, kwa historia yoyote cha historia. Ndipo tunalazimika kuuliza: Je, kweli hii ni kiini cha teolojia ya Kikristo, bali sio kiini cha Imani ya Kikristo? Je, tofauti kama hii kati ya imani ya teolojia inawezekana? Au je, hii inatokana na mwendelezo wa uposhaji kwenye uundaji wa mafundisho ya Kanisa kwa ujumla? Hakika, haiwezi kupingwa au kukanushwa kwamba sio tu neno “Utatu”, bali hata wazo lenyewe la kuwepo kitu kinachoitwa Utatu halikuwepo kabisa kwene ushuhuda wa mitume kwenye imani; ni sawia kw namna yake na haipingiki kwamba mapokeo mazuri ya kiteolojia, kwa kauli moja, yanaonyesha wazi kabisa kwenye Utatu kuwa ni kama kiini au chimbuko (ibid., p. 206).

 

Brunner anauweka msimamo wake wa kiteolojia kutokana na muundo wa kimapokeo yanayojidai yenyewe, kwanza kabisa ni kwenye Baraza la Mtaguso wa Nicæa mwaka 325 BK na karibu yanaendelea kutoka kwenye baraza ma mtaguso wa Constantinople mwaka 381 BK. Brunner anadai kwenye maelezo ya msimamo wa kimapokeo yasiyo ya kawaida ya Calvin hapo juu kwamba:

Fundisho la kikanisa la Utatu, lililoanzishwa kwa mapokeo tu ya Kanisa la kwanza, halikuwa ni fundisho (kerygma) ya Kibiblia, na kwa hiyo halikuwa ni fundisho (kerygma) la Kanisa, bali ni fundisho tu lililotokana na mtazamo wa kiteolojia, ambalo linalinda kiini cha imani ya Biblia na Kanisa. Kwa hiyo halitokani na msimamo wa ujumbe wa Kanisa, bali linatokana na msimamo wa kiteolojia, kwenye jambo hili ni kazi ya Kanisa kuujaribu na kuutathimini ujumbe wake, kwa muono sawa na Neno la Mungu lililopewa Kanisa. Ni kweli kabisa kwene mchakato huu wa mwangwi wa kiteolojia, fundisho la Utatu limechukuliwa kama kiini chake (op. cit., p. 206).

Hitimisho hili ni wa muhimu sana kwa ajili ya fundisho la Utatu limekuwa limetajwa na kufundishwa na Waathanasian ili kuushinda msimamo wa Waarius wa kumfanya Kristo kuwa kiumbe aliyeumbwa na si Mungu, fundisho lenye mashiko na linalosaidiwa na maandiko mengi sana mbalimbali kama vile Waebrania 3:2, Mithali 8:22, Yohana 16:28; 20:17, Waefeso 4:4-6 na Ufunuo 3:14, 4:11. Sawasawa na Karl Barth aliyesimama na msimamo wa kwamba:

Biblia imekosa maelezo ya haraka au moja kwa moja yanayoonyesha kwamba Baba, Mwana na Roho Mtakatifu wana hali na hadhi sawa ya kiuungu na kwa hiyo kwa maana iliyo sawa, ni Mungu mwenyewe peke yake. Na maelezo mengine yanayotangaza, yanakosa pia kusema kuwa Mungu ni ni Mungu aliyepo na ataendelea kuwa hivyo, yaani kwamba ni Baba, Mwana na Roho Mtakatifu. Kuna sehemu mbili zinazoelezea mara moja kwamba panakwenda zidi ya ushahidi wa Biblia ambapo panaonekana kuwa na maana kuu mbli kwa tafsiri ya fundisho la Kanisa ya Utatu (kwa mujibu wa kitabu kiitwacho Doctrine of the Word of God [Fundisho la Neno la Mungu], p. 437. Imenukuliwa pia na George L. Johnson kwenye kitabu chake cha Is God a Trinity? [Je, Mungu ni wa Utatu?], kilichochapishwa na kanisa la WCG, USA, 1973, p. 32).

 

Kusudi na Lengo la Imani ya Utatu na la Kuwa Wamoja na Mungu

Calvin anasema kuwa kumtoa Arius mwenye “msimamo wake shupavu"

Kanisa la kale lilichukua hatua kubwa na lilitangaza kwamba Kristo ni Mwana wa milele yote wa Baba, na aliye pamoja kimshikamano wa kiwadhifa na Baba. Ukosefu wa uvumilifu ulijitokeza wakati Arius alipoanza kutangaza chuki yao na upotofu mkubwa unaofanywa kutokana na neno Ò:@@LF\ØH (homoousius). Kuwa lilikuwa linakiri kwa mara yaa kwanza – pamoja na kwamba Kristo alikuwa Mungu – kuwa ni hakika ukiri na uaminifu kutoka mioyoni, hawakuweza kupinga kwamba alikuwa na hadhi moja na Baba.

 

Calvin alieendelea kudai kwamba:

[akasema] kwamba jina hilo la kicheo lilifanya utofauti kati ya Wakristo wenye imani safi na wafuasi wenye kufuru wa Arians.

 

Msimamo huu unadhihirisha fikra kubwa za mchora duara la kutisha sio tu la Calvin bali na walio kwenye kambi au mrengo wa Waathanasian. Waathanasians walishindwa kukanusha, kutokana na Maandiko, msimamo wa Arius na maaskofu wa mashariki kwamba Kristo aliumbwa. Makundi haya hayakuwa ni ya Waarians bali yaliitwa ni kanakwamba ni kutoa maelekezo ya kwamba ujuzi wa kiteolojia wa Kiuungu walidhihirisha ilikuwa ni mpya au yalitokana na Arius, ambavyo si kweli na haikuwa hivyo. Arius alifundishwa na Lucian wa Anthiokia, mwanazuoni mashuhuri sana wa Kikristo katika karne ya nne na mfiadini wa mwisho aliyeuawa kwenye mateso ya Diocletian. Shule yake ilimjumuisha pia Eusebius wa Nicomedia, Menpophantus wa Efeso, Theognis wa Nicæa, Maris wa Chalcedon, Leontius wa Anthiokia, Athanasius wa Anarzabus na Asterius Msofist pamoja na Arius (kwa mujibu wa kitabu cha Harnack cha Hist. of Dogma [Historia ya Mapokeo], Vol iv, p. 3, Eng. tr.).

 

Wanazuoni hawa wa mashariki walifundishwa kwa mapokeo endelevu ya Kanisa yanayoonyesha kuwa msingi wake ulikuwa ni wa kimpangilio wa Maandiko Matakatifu. Hii iliwapelekea kuwa na mgongano na mwendelezo wa imani ya usyncretism upande wa magharibi. Walipokabiliwa na msimamo wa kimaandiko kwamba Kristo hakuwa sawa na Mungu na kwamba ni mtu aliyeumbwa na Mungu Baba, akiwa kama mzaliwa wa kwanza au msingi wa msingi wa kutokea kwake, Waathanasian walitunga kwa ustadi mkubwa fundisho ambalo halikuwa na msingi wowote wa kibiblia, ili kuwatangaza au kuwapakazia wapinzani wao kuwa ni wazushi. Wakati watu hawa walipokataa kukubaliana na msimamo huo usioendana na biblia ndipo hatimaye wakawazuia. 

 

Calvin anakiri na kukubali kuwa hatua ilikuwa ni zadi ya kuwa ya kibiblia na muhimu “kumdhihirisha” huyu (Arius mwenye kukufuru” (Kwa mujibu wa kitabu cha Institutes of The Christian Religion [Taasisi ya Dini ya Kikristo], Bk. I, 13,4, tr. Beveridge, James Clark & Co., London, 1953). Muundo na aina yoyote ya Ukristo wa ajabuajabu ulipewa jina la Uariani na au wafuasi wa Arius baada ya mwanateolojioa mmoja wa moja ya shule zao na anayeonekana kuwa ni mfano mkubwa alikuwa kwenye upeo wa kimataifa.

Kwa miaka mingi sana, mstari unaowatenganisha washambulizi wa Kirumi na wa kiteutoniki wa eneojimbo lao ulikuwa ni wa kidini zaidi kuliko ule wa kitabaka. Ni bahati yetu mbaya kuwa tuna habari kidogo au nyingi kuhusu kazi zilizofanywa na mitume wasiojulikana wa Kiarian wa maeneo ya Goths, Vandals, Lombards, na Burgundians. Ukweli ni kwamba Cyrila, askofu wa Vandal au papa wa Carthage, hakuwa anakijua kilatini vizuri sana ipasavyo (Victor Vitensis, lib. ii), na kuonekana kwa nalaka mashuhuri ya maandio matakatifu ya [mwaka 351], unaonyesha kuashiria kuwa wabarbarian walikuwa wanafunshindishwa mafundisho ya Kikristo kwa lugha zao wenyewe, kiasi kwamba, imani yao ya Kiarian ililazimu kuwa ni tofauti na ulaghai uliopambwa uliotozifautisha shule ay mirengo ya kidola, na ambazo huenda ilielezewa kwa kukataliwa kukubwa na Waburgundian wa Gundobald wa kuabudu miungu mitatu (Avitus, Ep. xli). Lakini kunaonekana kuwa na mashaka kidogo kwamba nguvu za mabaddiliko za Kikristo ambazo wabarbarian walizitohoa zilikuwa sahihi. Makabila yote mawili, yaani Wasalvian na Orosius wanasifu umuhimu wa washindi wa Kiarian kuishinda eneojimbo la Rumi, na Augustine (de Civitate Dei, i) kunahusiana na jinsi umahiri na weledi wa Waarian wa Kivisigothi walioitwaa Rumi kutokana na Alaric walivyowatendeawenyeji wa mji, na kwamba heshima ile waliyoionyesha kwa kuyatakasa makanisa ya Kikristo. Utawala mrefu, hata hivyo, kwa Theodore Marian huko Italia, na serikali yake yenye mamlaka nusunusu, yenye uwajihi, kama kujukana na Milman, 'kuwasifu Wakatoliki wenye juhudi kubwa' (Latin Christianity, bk. iii, Ch. iii) (ERE, art. ‘Arianism,’ p. 782).

 

Katika karne ya tano na sehemu ya karne ya sita, kwenye majimbo ya upande wa Magharibi mwa Ulaya, Uariani ulikuwa ndiyo dini ya washindi na Wakristo wa mrengo wa Athanasian walishindwa. Ilidumu kuwa hivyo hadi walipoongoka kina Clovis na Salien Franks hadi Warumi au Mkristo Muathanasian. Kwa hiyo migawanyiko ilikuwa ni ya kisiasa zaidi kuliko kuwa ya kiteolojia. Makanisa ya mrengo wa Kiarian yalikuwa ni ya kitaifa na si yaliyoegemea kwenye mrengo wa kisiasa.

Nguvu au uimara wa shirika la Kanisa la Ufalme au Dola iliyoanguka inajiri kwenye mkanganyo ulio kinyume kabisa na udhaifu wa Makanisa ya kitaifa yasiyoadibish wa vyema ya wanaoushambulia Uarian (ERE, ibid., p. 783).

 

Kile tunachokiona hapa ni uwepo wa malumbano au hoja za kiteolojia kwa kutmia mamlaka za dunia. Msimamo wa kweli wa kibiblia haukutenganishwa kabisa kuwa ni kama jambo muhimu na lenye mashiko na wanatelojia wa Kiathanisian. Msimamo unaoendelea na nguvu ilizokuwanazo Kanisa wakati wa mjadala zilipelekea kuingizwa kwa imani ya kisyncretise sana na kuondokana na utaratibu asilia wa kibiblia ambayo kwamba kila moja ifanye rejea kwenye Biblia peke yake katika kuamua, ilichukua mkondo kinyume na wazee wa kanisa na viongozi wa dini kongwe. Kushindwa kwa Wayunitarian (wanaoitwa sasa Waarian) kuanzishwa kwa iliyokuwa inajulikana kama Dola Takatifu ya Roma mwaka 590 BK chini ya Papa Gregory I kulizima au kukwamishwa au kuahirishwa kujadili wa jambo hili. Ukrsto ukafungizwa kwenye hali mbaya sana ya kuotoeleweka tangu hapo.

 

Historia ya kweli ya Uyunitariani na mijadala ya Uaarian vimeandikwa na Waathanasian na kytokana na asili matengenezo mapya yanatathiminiwa (sawa na jarida la Imani za Kibinitariani na Utrinitariani (Na. 76)). Hata hivyo, kuongoka kwa Wagothi kulikuwa ni matokeo ya ukimbizi wa Arius alipokimbilia huko Illyricum ni wa matatizo. Kwa mfano, Askofu wa Kigothiki Theophilus alikuwepo huko Nicæa (ERE, p. 782). Ni kwa bahati mbaya sana kwamba Arius alipokuwa kwenye ukimbizi aliwaongoa watu walikuwa tayari ni Maaskofu waliohudhuria mtaguso wa Nicæa kabla ya kukimbia kwake. Aina hii ya dosari kubwa imepelekea kuwe na mjadala wa kiteolojia kuhusu jambo hili. Tunautazama mtinzo au aina ya propaganda uliochukua maana kubwa ya eneo la falsafa ya Kikristo, ambapo ni kwamba Mungu ni Mmoja tu, na kulifungia kwenye dogma ya kiteolojia ambavyo kifalsafa ni upuuzi. Propaganda iliyofanyiwa imani ya Kiarian yaonekana kukusudiwa kuihalalisha imani ya Waathanasian wakati walipotafuta kuukana au kuupinga uhalali wa wale walioitwa kihalisia kuwa ni wenye imani ya moja kwa moja au Waarian. Asili ya zamani ya kimsimamo ilifundishwa na Arius imebadilishwa au kupotoshwa na tangazo la kulimambolezesha Kanisa lolote kwa kulifanya lipingane na msimamo wa Kibiblia na muundo wa Waathanasian kwa jina la wasemaji au majimbo ya wakati ule – ambao ni imani ya Waarian. Imani ya Waeusebiani au Waalbigensiani au Wawaldensiani. Ingawaje, kama ripoti au habari za msimamo wa Ariua uko sahihi sana, alifanya makosa makubwa sana kwa kuendeleza msimamo kuhusu nafasi ya Kristo. Makundi haya naonekana kuwa ni sehemu ya hadithi ndefu ya Ukristo unaoendelea wa kibiblia.

Kukomeshwa kwa imani ya Uarianism kama imani ni moja ya mambo muhimu sana kuliko kwenye mwanzo wa ustaarabu wa kisasa wa wazungu; ambayo kwamba washindi wa vita wa kibarbarian walidai kuwa ni aina moja ya Ukristo na wadhaifu waliwakimbiza wengine, hakuna maendeleo yangaliyowezekana (ERE, p. 783).

 

Nukuu zilizotolewa hapo juu kuhusu mwenendo wa wale wanaoitwa wabarbarian, mtu anaweza kujiuliza iwapo kama kwa kweli tuko bado waathirika wa propaganda hizi. Kwa mfano, neno Vandali limekuja kumaanisha kuangamizwa kwa kizazi tukutu, ambao Wavandali wanauwezesha kuibuka kwenye neo au jina ambalo Wakristo waliaminika kuwa waliongolewa na mfalme Muarian aliyeitwa Valens (miaka ya 364-378) (kwa mujibu wa Cath. Encyc., art. ‘Vandals’, Vol. XV, p. 268).

 

Vandals walizibomoa sanamu huko Roma, kwa sababu ya mtazamo wao wa kinadharia kuhusu umuhimu wa kuishika amri ya pili inayokataza kuziabudu sanamu za kuchonga. Mtazamo wao ulikuwa, ni kama yalivyo makabila yote ya kaskazini, sambamba na mtazamo wa watu wa kashariki uliofundishwa na kuanzishwa na Arius, ila haikufanana. Ni muhimu kuufanya upya msimamo wa Arius. Harnack (kwenye kitabu chake cha Historia ya Dogma, yaani, Hist. of Dogma, Vol. iv, p. 15) ameorodhesha vipengele nane vya mtazamo na viliongezwa na Arius:

(1) Tabia ya Mungu wa Pekee na wa Kweli ni ya kipekee na ya milele. Hawezi kuweka kitu chochote kwenye ukamilifu wake. Hakuwa Baba wakati wote, bali ni tangu pale tu alipoanza kuwa  na Mwana (yaani, alipomuumba).

(2) Hekima na Neno (8@(@H [logos]) ilikuwa ndani ya Mungu huyu, bali wao ni nguvu na siyo nafsi hai.

(3) Alipoiumba dunia, Mungu alifikiri kuwa anayejitegemea au  kuwa mwenyewe tu peke yake (@ÛF4" [ousia] au ßB`FJ"F4H [hupostasis]) kama chombo ambacho vitu vyote viliumbwa kwacho. Kiumbe huyu anaitwa Maandiko, Hekima, Mwana, Mwenye Mfano wa Sura, Neno, nk.

(4) Kwa kutilia maanani uwepo wake wa kipekee, Mwana ni ikumbe mwingine mbali na Baba, yu tofauti na yeye kwa hali yake ya kudumu kipekee na asili yake. Ni kama walivyo viumbe wote walioumbwa ka matabaka, Mwana amepewa uhuru wa kuchagua au kuamua mambo, na matokeo yake anauwezo wa kubadilika.

(5) Mwana sio na wala hawezi kuwa Mungu huyu wa Pekee, bali yeye ni Yule ajulikanaye kuwa ni Neno na Stadi au hekima. Hana utimilifu wote wa kiuungu, bali anauhusian tu na anamjua Baba.

(6) Mwana hayupo kwa namna yoyote ile kiumbe kama viumbe wengine. Bali yeye ni kiumbe mkamilifu (6J\F:" JX8,4@< [ktisma teleion]) na akafanyika Mungu, ili tumuite ‘mwana wa pekee wa Mungu’ nk..

(7) Kristo alichukua mwili halisi, bali alikuwa ni Fä:" ?RLP@<, [soma apsuchone] yaani Logos ilichukua mahali pa nafsi hai. Kutokana na rekodi za injili, tunaona kwamba huyu Logos hakuwa kiumbe mkamilifu kabisa, bali anaweza kupata mateso.

(8) Miongoni mwa viumbe wengine walioumbwa [Roho] Mtakatifu aliwekwa ndani yake Mwana awe kama nguvu nyingine saidizi ya pili, inayomwezesha kujitegemea. Kwa mujibu wa Arius, ni wazi sana kwamba Roho ndiye aliyehusika kumuumba Mwana.

 

Foakes-Jackson anaendelea kufafanua mawazo ya Harnack kwa kusema:

Ni kama ilivyokuwa pia imani ya Kiarianism – nadharia ya uhusiano asilia wa Watu kwenye Utatu iliyotuama kwenye hali ya kinomino ya maneno yaliyo kwenye maandiko, bali yamefika kutoka kwenye uhalisia kwa mitindo au namna ya falsafa ya kipagani. Ilipelekea kwenye ama ibada na imani ya miungu wengi kwa kumfanya huyu Logos awe kama Mungu wa pili, au, kwa kufuata mengo wa Kiyahudi wa kuamini Mungu mmoja au Uyunitarian kwa kuukataa Uungu wake kamili (ERE, art. ‘Arianism’, p. 777).

 

Udadisi huu unazua matatizo tuliyoyaainisha kwenye jarida hili. Kutokana na hapo juu, tunaweza sasa kuona kwamba madai imani ya Kiarianism inayoshikilia kuamini kwamba Kristo ndiye alimuumba Roho Mtakatifu yaliendelezwa na Harnack, yalitoholewa kutoka kwenye mafundisho ya zamani ya Waathanasian. Yaonekana kutuama kwenye mtazamo wa kimaandiko kwamba Kristo aliumba vitu vyote mbinguni na duniani (Waefeso 3:9; Wakolosai 1:16). Msimamo huu ulidaiwa na Waathanasian kuwa ni wa Arius. Inaweka mashaka sana kwamba ulichukuliwa kuwa ni msimamo uliokuwa ni upuuzi sana kifalsafa ambao kwamba ulipelekea kuondolewambali kwa ujumla kimsimamo. Inafanana sana na zaidi kwamba Harnack aliichukulia kimsingi, kama mwanateolojia, propaganda ambayo ilihojiwa na kujadiliwa na mwanafalsafa. La muhimu zaidi, ni kwamba Arius aliweka msingi wa mjadala au upinzani wake kwenye Maandiko Matakatifu akionyesha kwamba Roho Mtakatifu amewekwa na Baba pamoja na Mwana na Roho atokaye kwa Baba kupitia kwa Mwana. Kwa hiyo, Roho anatoka kwa Baba kupitia kwa Mwana na sio kutoka kwa wote wawili. Uainisho wa msimamo vinamuonyesha Arius kwa vipengele vinane kama hapo juu ikiwezesha ainisho rahisi. Makosa yanaweza kuonekana kwenye msimamo kwa kulinganisha na msimamo wa Kimaandiko. Msimamo umeainishwa kwa vipengele vifuatavyo:

(1) Hii ni sahihi isipokuwa kwamba maelezo ya kwamba Mungu anaweza kushurutisha kimsukumo kitu fulani kutokana na uwepo wake mwenyewe na ulio imara yanakosa au kupungua ainisho na dondoo zake zilikosekana. Ukweli wa kwamba Mungu aliviumba vitu vyote (ulimwengu J" BV<J" [ta panta]) kwa mapenzi yake (Ufunuo 4:11) inaonekana kuwa alipenda kuwa Baba kwa kudumu milele na hivyo ni kwa hiyo yeye yu peke yake. Kristo na Elohim walikuwepo wakati wote kama muda ulivyowekwa kwa wakati wote kama muda uliowekwa kutoka kwenye uzao wa Elohim. Viumbe hawa wote wawili walikuwa na asili ya kimbinguna au ya kimungu kwa njia ya Roho Mtakatifu kama wateule walivyo pia ni warithi wa Uungu au asili ya kimungu (2Petro 1:4).

(2) Stadi wa Kazs au Hekima na Neno aliye ndani ya Mungu kama nguvu tu na sio watu wanaotokana na dhana ya nguvu ya Kimungu inayofanyiza matendo na kwamba Logos akadhihirika kwa tabia za Mungu.

(3) Uumbaji wa dunia kwa uweza wa kipekee unatokana na msimamo wa kibiblia hapo juu. Kulikuwa na Wana wengi wa Mungu walioonekana kuwa walikuwepo (soma Ayubu 1:6; 2:8-47).

(4) Kuwatenganisha Baba na Mwana kama Viumbe walio kila mmoja peke yake ni sahihi Kibiblia, kwa hiyo Kiumbe huyu ndiye yule anayedumu kuishi na wawili wote wanaishi kama walivyoonyeshwa kwa haki yao, kwa hiyo, hawa ni Viumbe walio tofauti, yaani, kila mmoja peke yake. Madai ya kwamba hawakuwa Viumbe ni upotoe mkubwa sana wa kiitikadi ya Kinostiki ya Kibasilidean au imani ya Kibuddha. Usemi wa kwamba wao ni viumbe walio tofauti na kiasili ni maelezo yanayoeleweka kirahisi mno yanayopotosha msimamo na nafasi ya kibiblia. Malaika wanashiriki na uwepo na asili ya Mungu. Hata hivyo, kila mmoja auelewa sawasawa na mapenzi ya Baba ya kujifunua au kujidhihirisha mwenyewe ambayo ndiyo nafasi na msimamo wa Biblia. Kitabu chote kimekiita kitendo hiki kuwa Apokalipse au Ufunuo ni Ufunuo wa Mungu kwa Yesu Kristo. Umekosewa kuitwa kwa sababu ya nadharia na mtazamo huu huu (soma jarida la Ubinitariani na Utrinitariani (Na. 76)).

(5) Maarifa hayohayo ya kumjua Baba kwa njia ya Mwana yanajulikana kutokana na Roho Mtakatifu na haupingiki.

(6) Suala ya Kristo kufanyika kuwa Mungu linatokana na matengenezo ya tena Thalia ya Arius. Madai ya kwamba Kristo alifanyika kuwa Mungu baada ya kufufuka kwake ni uwongo mkubwa sana kibiblia. Alikuwa Mungu kwa nasaba ya kiuzao tu na si kiuhalisia (Zaburi 45:6-7); (sawa na Wakolosai 1:15 na kwenye jarida la Malaika wa YHVH (Na. 24)).

(7) Fundisho la kwamba Logos inachukua mahala pa nafsi hai ni kazi iliyofanywa na Waathanasian wenye fundisho la nafsi hai. Logos akafanyika mwili na kuchukua mfano wa sura ya Mungu wateule, kwa kuchukua hali na asili ya kimbinguni, wanakuwa pia wenye sura na mfano wa Kristo (Warumi 8:29), ambaye ni mfano wa sura ya Mungu, akiwa ni prõtotokos wa uumbaji wa Mungu (Wakolosai 1:15). Kwa hiyo, viumbe wanapewa uhuru wa kuamua bado na ni hali ya kuwa sawa na Baba kwa kupitia asili ya kimungu.

(8) Uumbaji wa Roho Mtakatifu unaweza ni udhihirisho wa tabia ya Mungu.

 

Kutoelewa kuwa Roho Mtakatifu kiasi cha kumfanya kuwa ni mtu hai unafanya madai kuhusu imani ya Uarian. Msimamo na itikadi ya Wayunitarian uko wazi sana kuliko msimamo wa au imani ya Arius huko Nicaea. Roho Mtakatifu aliumbwa na Mungu ili kuwezesha uumbaji ili kufanyika kuwa mmoja na yeye (tazama hapo chini). Kwa hiyo teolojia inashindwa kwendana na kukithi jambo hili. Imani ya Kiarian inapokuwa inatathiminiwa upya kwa kile ambacho Bibliia kwa hakika inakifundisha ikubalika kama imeandikwa vizuri na kiusahihi, ambavyo kutilia mashaka sana, ni makosa. Lakini ni kama ilivyoelezewa hapo mwanzoni, si jambo la kupotoka sana kama msimamo wa teolojia iliyotungwa na kupitishwa ya Nicæan ambayo ilikusudia kuipinga hii. Imani ya Kiyunitarian haina tatizo kama hilo. Tatizo linalofuatia la mashiko ya mtaguso wa Nicæan ndipo liliibuka.

 

Kuishinda Imani ya Kisabelian kwa Nadharia za Uwongo na Potofu

Dhana ya kwamba Kristo ana umilele sawa na ana usawa na Mungu Baba ni nadharia isiyo sahihi kabisa kuifanya kuwa ni muhimu kwa hali hii ya kuwa mmoja na Mungu. Fundisho hili kwa hiyo lilitumika ili kuishinda imani ya Kisabelian iliyodumu kuamini kuwa:

Majina ya Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, ambayo ni kama hakuna kitu; yanafanya au kuwezesha kwamba hayakutumika kuonyesha tofauti, bali hiyo ilikuwa ni tabia tofauti za Mungu, kama wengine wote wa aina hiyohiyo.

Kwa maneno mengine ni kwamba, Baba alikuwa ni Mwana na Mwana na Baba pasipo utaratibu au tofauti (ibid.). fikra za kwamba hali hii ya kuwa wamoja inahitaji tabia za Mungu kuwanayo Kristo, ijulikanayo kuwa na umilele sawa na usawa pamoja na tabia au hali ya kuwa na uweza wote na usioshindwa na uwezo wa kujua au kuelewa kila jambo, ni makosa makubwa sana yalilotokana mitaguso ya Nicæa/Constantinople na imani ya Utrinitarian.

 

Maana ya Dhana ya Kuwa Sawa Kibiblia

Roho Mtakatifu ni uweza wa Mungu uliotumika kumwezesha mteule kwenye wokovu. Ni moja ya mambo muhimu na ndipo wateule wanakuwa na:

·         Kuwa wamekusudiwa tangu mwanzo na kuitwa kwenye toba (Warumi 8:29);

·         Abatizwe kwa kuzamishwa kwenye maji mengi akiwa mtumzima aliyetubu dhambi zake (Mathayo 28:19 na kadhalika);

·         Kumpokea Roho Mtakatifu kwa kuwekewa mikono na watumishi wamtumikiao Yesu Kristo kama ilivyoeleweka siku ya Pentekoste; na

·         Asiyetenda dhambi, ambayo ni uvunjifu wa sheria na amri za Mungu (1Yohana 3:4,9);

·         Na kisha ndivyo kupigwa mhuri wa Mungu, kunakotambulikana kwa alama ya kuzishika Sabato na Pasaka (Kutoka 12:14; 13:9; 20:8 nk.).

Wamezaliwa na Mungu na ni sawa na kuwa wamoja na Baba kwa uweza wa Roho Mtakatifu. Dhana ya kuwa sawa kwenye utendaji au kazi za Roho Mtakatifu ipo kwenye mamlaka ya Kristo ikitoka kwa Baba ikibakia kwenye kutoyaelewa maandiko yaliyo kwenye 1Wakorintho 6:3:

Hamjui ya kuwa mtawahukumu malaika..?

Andiko hili linawahusu au kuwataja Malaika walioasi bali ilidhaniwa kwamba hukumu ya Malaika Walioasi ingewapata au kuwaangukia wateule pia. Msimamo huu hauelewi Tatizo la Uovu au Dhambi kuwa ni kuwa inatenda kazi nje na kinyume na mapenzi ya Mungu na kwamba nafasi bado ipo au iko sawa na uhusiano wa kiutii kwa Mungu.

 

Nafasi ya nadharia ya mrengo waamini Mungu mmoja na umajumui kwenye mapenzi ya Baba na hivyo, hali hii ya kuwa wamoja ilijumuishwa  na Malaika wote wa Mbinguni hadi walipoasi. Hivyo basi, Lusifa au Shetani, alikuwa na nia moja na Baba kwa namna hiyohiyo kwamba Kristo alikuwa ni mwenye nia moja; akiwa kwa ujumla kwa uweza wa Roho kama walivyokuwa wote Malaika wa Elohim. Kama hawakuwa wamewezeshwa na roho kwa nguvu zake za asili yao ya kuwa viumbe ndipo basi Mteule alikuwa kwa hakika wa mrengo wa kuamini miungu mingi na itikadi au imani mgawanyikio. Imani ya kuamini Mungu mmoja au Umonothetiki kwa hakika unahitaji kuongeza idadi ya Wateule wajikite zaidi kwa viumbe wote waliopo ili kwamba Mungu awe yote katika yote na ndani ya yote. Iliwapasa wanadamu wapewe Roho Mtakatifu ili waweze kuwa sawa na malaika. Hivi ndivyo inavyomaanisha Luka 20:36. Inayosomeka:

ÆFV((,8@4 (VD ,ÆF4< (isaggeloi gar eisin)

Kufanana na malaika walivyo.

Neno kuwa pamoja nayo dhana ya kuwa sawa kama mzee wa nah ii kwa hakika ni muhimu kwa imani ya Mungu mmoja au Umonotheism ili kwamba migawanyo ya waamini miungu wengi isianzishwe.

 

Malaika kama Wana wa Mungu

Fikra ya kwamba malaika hawajumuishwi na neno theoi au miungu na kwamba linatajwa kwenye maelezo ya kimtazamo ya Irenæus:

Hakuna mwingine yeyote aitwaye Mungu kwenye maandiko matakatifu isipokuwa Baba wa wote na Mwana, na wale wanafanywa wana.

Matumizi ya neno kufanywa mwana linachukuliwa kiutofauti na wateule bali nano lenyewe lililo sahihi zaidi ni kuasiliwa au kufanywa mwana. Kila mteule ni mwana wa Mungu aliyezaliwa katika roho kwa njia ya ubatizo.

 

Malaika wa Mbinguni walikuwa ni wana waliozaliwa na Mungu tayari. Kristo alikuwa ni Mwana wa pekee aliyezaliwa na Mungu. Jina au neno monogenes theos (ambayo kwenye Yohana 1:18, inasomeka Mwana pekee aliyezaliwa na Mungu, na sio mwana pekee aliyezaliwa) alikuwa Mungu ndiye aliyesema; Ni Ho Legon kwa Kiyunani.

Zaburi 82:6 Mimi nimesema, Ndinyi miungu [elohim], Na wana wa Aliye juu...

 

Kristo, Wanadamu, Malaika na Tabia ya Kimungu au ya Kimbinguni

Maelezo yaliyo kwenye 2Petro 1:4 ya wanadamu kuwa warithi wa asili na urithi wa tabia za kimbinguni haukueleweka na Waathanasian kwa maana halisi iliyokusudiwa. Tabia za kimungu ni zile zinazofanana na zenye kulazimu kuwa na sharti la utii na zinazokubali kupata faida na hasara. Yohana 1:12 inasema:

Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu,

 

Kwa hiyo, Waarian/Waeusebian, nk, walijua kuwa mwanadamu kwa ukamilifu na kushiriki kwake kwenye asili na tabia ya kimungu angefanyika Mungu na kutokana na maneno ya Mungu yasemayo: "Nimezaa na kuwakuza watoto", kuonyesha kuwa kulikuwa na wana wengi. Msisitizo wa Waathanasian wa anguko la watoto hao hauupunguzi wala kuondoa ukweli wa ukweli wa uwepo wao kuwili kote, yaani mbinguni na duniani. Kifungu cha maandiko cha Yohana 17:11 kisemacho: ili wawe na umoja kama sisi tulivyo. ilimaanisha kuwa na umoja alioshiriki Kristo na Mungu ulikuwa ni umoja ambao wateule walishirikishwa na Mungu. Waathanasian waliiona hii kuwa ni kama kitu cha kushangaza na chenye kuzua maswali kwa kuwa hawakuielewa dhana ya Wana wa Mungu. Ili kukomesha hali ya kumzima Roho, ni wazo la kipuuzi la kifalsafa kuhusu tabia ya kimungu linaloonyesha kutokuwa na faida wala hasara iliyojitokeza. Hali ya kimungu ya mwokozi ilichukuliwa kumhakikishia hali ya kujua au kuelewa na kuona.

Hakuna katika umbinguni wa Logos au Sophia ingaliyoweza kupotea kwenye mchakato huu wa Mwana kufanyika kuwa aliyezaliwa kutoka mbinguni, kwa kuwa hali na tabia ya kimungu kimaelezo inakubali kuwa hakuna kufaidika wala kupoteza (Gregg na Groh, p. 13).

 

Sasa msimamo huu uliwapelekea Waathanasian kwenye mhemko kamili wa madai yasiyo na mlingano wowote wa kibiblia ya ukamilifu halisi wa Kristo kuwa na uweza wa kujua kila jambo licha ya ukweli wa kwamba mwenyewe alisema wazi sana kwamba kuna vitu na mambo fulani ambayo alikuwa hayajui (ikiwemo siku ya kurudi kwake). Alisema pia alielekezwa na kutumwa na Baba hata kwa masuala ya kuwachagua wateule wake. Itaonyeshwa hatimaye kwamba ilikuwa hivyo hasa kwa sababu ya uweza wa Mungu Baba wa kujua kila jambo na kwamba ndiyo maana ilikuwa hivyo.

 

Uelewa waliokuwanao wanazuoni wa Kiathanasian kwenye fahamu zao haukutokana na Biblia peke yake bali ulitokana na Wairenæus ambao walikuwa: Wakitegemea mapenzi ya Mungu kuwa ni ujuzi au uelewa uliosawa au wa kulinganishia kwake, kuwa ni kiwango anachokihitaji. Hali hii ya mlinganisho na utegemezi, vimenenwa na Kristo. Kristo asingeweza kuweka msimamo kwa upande wake wa kuume wala wa kushoto, bali waliandaliwa na Baba (Mathayo 20:23). Kristo alikuwa moja kwa moja ni mtendaji na mtimilizaji wa mapenzi ya Baba kwa mujibu wa Yohana 4:34 na 3:68:

"Chakula changu ndicho hiki, niyatende mapenzi yake aliyenipeleka, nikaimalize kazi yake” na “."Kwa kuwa mimi sikushuka kutoka mbinguni ili niyafanye mapenzi yangu, bali mapenzi yake aliyenipeleka. "

 

Kristo alijinyenyekeza na kuyatoa mapenzi yake kama ilivyoandikwa kwenye Luka 22:42 na kwa hiyo inaruhusu hivyo kwa kuyaachia mapenzi yake kwa uchaguzi alioufanya kuwa ni wakala huru. Tukimnukuu Cox, kwenye jarida lake la Uumbaji: Kutoka Kwenye Teolojia ya Kianthropomorfiki Hadi Kwenye Teolojia ya AnthAnthropolojia ya Kitheomorfiki (Na. B5), ukurasa wa 39:

Lakini kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye yule, akimgawia kila mtu peke yake kama apendavyo yeye. (1Wakorintho 12:11). Gregg na Groh wanasema kuhu jambo hili (kwenye ukurasa wa 11):

Kile Arius alichonacho kwa hakika moyoni mwake kinaendelea kwa namna fulani sambamba na ustadi wa kianthropolojia ya Ukristo wa zamani wa kiumbe chini ya Roho wa Mungu (kwa kweli mtu anayeshiriki katika roho) ambaye hajapewa maarifa ya Mungu kama alivyo yeye mwenyewe (Irenæus anasema kuhusu 'ukuu wake’ na ‘uweza wake mtukufu usio na makosa') na ambaye uwezo wake wa kuona kwa undani mapenzi ya Baba na kujidhihirisha kwake mwenyewe (Arius anasema: kwa uweza anaouonea Mungu;' Irenæus anasema: 'Mungu anatoaga hata hii kwa watu wampendao, yaani kumuona Mungu').Hivyo, Mwana alikuwa na ukomo au uweza wa wastani mbali na alivyokuwa Baba na ndivyo alivyoelezea Arius kwamba Kristo, kama viumbe wote wengine, alipewa wajibu wa kutii na kuwa mumishi mwema na mtiifu aliyeishi kwa imani na Baba yake.

 

Ni kama ilivyoonekana baadae, nadharia au fikra za Kiplatoni ya kuungana na Yeye Mungu zilipingwa na mazingira ya kimafunuo ya Kimungu au Kitheofaniki utiifu. Ni kwa sababu hii, weledi wa Wakristo wa kwanza uliachwa, si kwa shuruti yoyote ya maelekezo au mashiko ya kibiblia. Maelekezo ya biblia yanasisitiza kwamba kitendo cha kutii na kuitendea kazi imani klichofanywa na Mwana kwa Baba ambacho kilikuwa mfano kilikuwa ni ukamilifu wa sheria usio na waa. Hii ilifanyika ili kwamba wateule wawe na mfano mkamilifu na usio na mawaa wa kuufuata.

 

Waathanasian walijaribu kuwaambatanisha pamoja Baba na Mwana kwa Roho Mtakatifu ambaye hakuhusiana kwenye utendaji wake, ambavyo ni bila kuwajumuisha Jeshi la malaika na kuwekea ukomo umuhimu wa wateule. Ilifanywa kwa kuwapinga maelekezo ya Biblia na dhidi ya ushahidi ulio wazi wa Kanisa la kwanza, kunakoonekana kujumuisha na upagani na ushawishi wa Uplatoni-Mamboleo na kwa kiasi kikubwa matendo ya dini potofu za siri. Shuruti nyinguine na zisitajwa zimetuama kwenye nguvu za migawanyiko ya mataifa yaliyokuwa yameongolewa na imani ya Wakristo wa kwanza wanaoitwa sasa Waarian kama vile Wavandali na Wagoths. Hivyo basi, mengi yaliyokuwa na hamasa na mijadala mikali kwenye historia ilianza, ikikosa mashiko wala isingi kabisa wa kibiblia, kwanza kabisa, kwa lengo la kuwakashurutisha watu na kuwadhihirisha au kuwajua wangaliokubaliana na wazo au pendekezo ambalo halitaonekana kuwa ni la kibiblia. Bali Waathanasin walionekana kwenye mabishano makubwa na kushikamana na Wasabelian, kwa kuukataa msimamo wa kibiblia. Fundisho la Utatu ndipo hatimaye likaendelezwa kabisa kama anavyosema Calvin.

Madaktari stahiki ambao hatimaye walipendezwa na unyofu wa mioyo, ili washinde uadilifu wake [Sabellius], wakatangaza kwamba watu hawa watu yafaa kwa hakika watambuliwe kuwa ni Mungu mmoja. Na ili wajilinde dhidi ya kamio kubwa ka mateso kwa kweli iliyowazi kidogo, waliithisha au kujifanyia hii imani ya Utatu au Watu walioshikamana pamoja na kuwa ni Mungu mmoja, au (ambavyo ni kitu kimoja hichohicho) kwenye umoja au mshikamano wa Mungu. (Calvin, op. cit., p. 112)

 

Maelezo yalyo hapo juu yameenezwa kimakosa; Utatu wa Watu au nafsi unaingia kwa Mungu mmoja ambaye anajumuika na hao watu watatu hawawezi kuwa kitu kilekile kimoja kama wako Wameungana na Mungu ambaye ndiye anawakumbatia hawa wengine watatu. Sababu zinazotumiwa kwenye mjadumiwa kwenye mjadala huu ni za kipuuzi na hazina maana wala hazistahili kutumiwa na Wakristo kwa kiwango chochote cha uelewa. Ndipo Kanisa liliutumia msimamo huu ulioanzishwa kuanzisha mfiko wa mbali sana na pasi mpango mpotovu na wa kikatili wa kuua na kuwaangamiza watu usiowahi kuonekana huko nyuma kwenye historian a kuwepo kwa mwanadamu duniani.

 

Jaribio Muhimu kwa Watrinitarian

Brunner na kwa kweli Calvin hawaelewi tatizo lililo kwenye suala la asili ya Mungu. Watrinitarian wote wanadhani kwamba fundisho la uungu wa Kristo ni mmoja na ule wa kuwa na umilelemilele na usawa. Usawa na Umilele ni jaribio muhimu ili kuujua msingi wa kwanza wa waamini utatu. Tafsiri ya utendaji kazi wa Roho Mtakatifu inaonyesha tu jambo lililopo kati ya Utrinitarian halisi na ulioretengenezwa upya. Kujua kuwa Roho Mtakatifu ni uweza au guvu tu na sio mtu hakuwapi haki ya kukubalika Watrinitarian. Tafsiri ya Calvin kuhusu uhusiano wa mwanadamu na Uungu unahuisha fikra potofu kwenye jaribio la kutofautisha kati ya madai ya kuwa Roho Mtakatifu ni nguvu, zaidi ya kuwa ni mtu. Au kwa sababu hiyo, kwa kudai viumbe wengine wapo au kama sio wanadamu. Calvin anaainisha maneno yaliyotumiwa na wanateolojia wa kitrinitarian ili kuainisha mashiko ya msimamo wao kwamba:

Mwa mtu, yaani, namaanisha mtu ambaye, anapohusiana na wawili wengine, anatofautiana na wao kwa raslimali au vitu visivyowasiliana. Kwa nguvu na uweza tunataka kitu kinginecho kieleweke au kujulikana kuliko nguvu peke yake. Kwa kuwa kama Neno alikuwa ni Mungu tu, na hakuwa na kitu kingine cha pekee chake mwenyewe, basi Yohana asingalisema kiusahihi sana kwamba basi alisema wakati wote kuwa alikuwa na Mungu. Wakati anapoongeza kwa haraka sana baadae, kwa Neno alikuwa Mungu, anaturudisha nyuma kwa mtu mmoja. Lakini kwa kuwa alikuwa pamoja na Mungu bila kuishi ndani ya Baba, ndipo kunaonekana kuinuka kwa msaidizi huyu, ambaye kwa kuunganishwa na mtu huyo kwa mkakati usiotanguka, kwa kushindwa nab ado kukawa na alama maalumu ambayo kwayo inatofautina nayo. Nasema kuwa kila mmoja wa watatu hawa wanapokuwa wanahusiana kila mmoja na mwingine, anatofautiana na amali zake mwenyewe. Hapa uhusiano unaelezewa kwa namna tofauti, kwa kuwa wakati Mungu anatajwa tu na ni dhahiri sana, jina alilonalo halinamapungufu na la Mwana na Roho Mtakatifu kuliko kuwa Baba. Lakini wakati Baba anapofananishwa na Mwana, amali ya kipekee ya kila moja humtofautisha mtu mmoja na mwingine. Na tena, kwa vyovyote vile ilivyo sawa kwa kila moja, nakubali kuwa haiwezekani, kwa kuwa hakuna kinachoweza kufanya kazi au kuweza kuhamishiwa kwa Mwana ambaye anajulikana na Baba kuwa ni alama ya utofautisho. Sina kizuizi cha kutohoa maana aliyoitafsiri  Tertullian, la msingi ni ieleweke tu, kwamba kuna Mungu aliyeko mahala fulani au uchumi usiobadilika kwenye umoja wa mshikamano' - Tertull. Lib. contra Praxeam. (Calvin, op. cit., pp. 114-115)

 

Kutokana na tafsiri ya maneno ya muumini wa utatu haiingii akilini kusema kwamba Roho Mtakatifu si mtu bali ni kwamba uweza ushukao toka kwa Mungu (isipokuwa kama nguvu zimeenezwa). Hata ikiwa ni Mungu Baba kama ulivyokuwa msimamo na imani ya watrinitarian wa kwanza au kutoka kwa wote wawili, Baba na Mwana, ni kiambishi semi cha maneno ya Mitaani au Filioque kama inavyojulikana.

 

Uhusiano wa Filioque  ya Watrinitarian wa Kimagharibi wa Roho Mtakatifu kwa Mungu na kwa Kristo

Msingi wa Madai

Wagalatia 4:6 inasema:

Mungu alimtuma Roho wa Mwanawe mioyoni mwetu, aliaye, Aba, yaani, Baba.

 

Warumi 8:9 inamtaja kama Roho wa Kristo, Wafilipi 1:19 inamtaja kama Roho wa Yesu Kristo. Mathayo 10:20 inasema:

Kwa kuwa si ninyi msemao, bali ni Roho wa Baba yenu asemaye ndani yenu.

 

Kwa kuwa 1Wakorintho inamtaja kama Roho wa Mungu ayajuaye mambo ya Mungu, na kutoka hapo juu inaaminika kuwa Kristo anamuunganiko wa karibu sana na Mungu na kwamba Roho Mtakatifu ana uhusiano wa aina hiyohiyo na Mwana kama alivyo Baba (kwa mujibu wa Maas CE, op. cit.) Mwendelezo wa Roho ni Filioque au na toka kwa Mwana. Maas anadai kuwa Mwana amemtuma Roho kama isemavyo Luka 24:49. Hata hivyo, kumbuka kwamba ayah ii inasema hii ni ahadi ya Baba ambavyo atolewapo anakuwa msaidizi tu. Hata hivyo, lengo lake kuu na lililo wazi, kwa hili ilipotoshwa kwamba Roho Mtakatifu alitoka kwa Mwana na hili lilikuja kuwa jambo kubwa la kutiliwa maanani kwenye Kanisa la Waathanasian tangu Toledo baada ya kuongoka kwa Wagoths kutoka Uarianism mwaka 586. Mwendelezo maradufu kimsingi ulienezwa na Petavius (Lib. VII, cc. iii sqq.). Inaotokea kwenye kile kinachoitwa Ukiri wa Imani wa Waathanasian ambao ulianzishwa vizuri baada ya mtaguso wa Constantinople (mwaka 381).

 

Kwenye mdahalo wa Uhispania ulioanzishwa na Leo I huko Turribius, Askofu wa Astorga (Ep. XV) mwaka 447; mapema kabla ya Mitaguso ya Mabaraza mbalimbali ya Toledo mwaka 447, 589 (III) (kipindi cha baada ya Uarian au baada ya Uyunitarian), 675 (XI), 693 (XVI). Mdahalo wa Filioque ulikuwa baada ya Arian huko Uhispainia. Ilikuwa muhimu kutetea bila kukoma usimamo huo kwenye maandiko kama ulivyo waraka wa Papa Hormisdas aliomwandikia Mfalme Justinus (Ep. LXXIX) 521. Mdihelian Martin I (649-655) alitohoa maelekezo kwenye maandiko yake dhidi ya Umonothelian wa Constantinople. Mtafaruku wa kwanza wa pande za Magharibi wa kupewa ijara mara mbili unadaiwa na Maas kuwa uliandaliwa na wajumbe wa Constantine Capronymus (741-775), (ambaye anaaminika kuwa ni Mpaulian: ERE, art. ‘Paulicians’, Vol. 9, p. 697) kwenye Sinodi ya Gentilly, karibu na Paris wakati wa Pepin (767) (Maas CE, art. ‘Filioque’, Vol. VI, p. 73). Na hivyo ilidhaniwa kwamba Wapaulician hawakukubali kipimo cha maradufu. Hata hivyo, sio Wapaulician peke yao na wa upande wa Mashariki wasiokubali kundi la Filioque ila na Wayunitarian, walioitwa Waarian, hawakukubali pia na Hispania walioitwa pia Waarian hadi mwaka 586. Kundi la Filioque pia lilipitia huko wakati wa kuongoka kwa Visi-Goths. Maandiko mengine kuhusu Filioque yalikuwa ni ya Papa Adrian I alipokuwa anajibu yaliyoandikwa kwenye Kitabu cha Caroline, mwaka 772-795; Sinod za Merida (666), Braga (675), na Hatfield (680); maandiko ya Papa Leo III (mwaka 816) kwa watawa wa Yerusalemu; waraka wa Papa Stephen V (mwaka 891) kwa Mfalme Moravian, Suentopolcus (Suatopluk), Ep. XIII; nembo ya Papa Leo IX (mwaka 1054). Kikundi hiki kilizimwa pia na Mabaraza yaliyotajwa hapa chini.

 

Kanisa la pande za Mashariki linakataa dhana hii ya ijara maradufu. Mwanzoni mwa karne ya tisa, John wa Seminari ya watawa ya Sabas aliwashitaki watawa wa Mlima wa Mizeituni kwa kufundisha uzushi kwa kuwa waliingiza Filioque kwenye ukiri wa imani. Hatimaye kwenye karne hiyo, Photius, Mzee wa Baraza la Constantinople alikana kumchanganya Roho Mtakatifu na Mwana na aliyapinga uingizaji wa Filioque kwenye Ikiri wa Imani ya Waconstantinople (Maas, op. cit.). hilo lilikuwa ni jina ambalo kwamba Ukiri wa Imani ya Nicene ilivyojulikana hapo mwanzoni kwenye Baraza la mtaguso wa Chalcedon. Kifungu hiki hakikuwa kwenye ukiri wa imani katika karne ya nne. Nje ya Kanisa la Kikatoliki:

Mashaka kama hayo kwenye Upako maradufu wa Roho Mtakatifu [Roho] yalizidi kuibika kwa kupinga waziwazi, ndani ya Kanisa fundisho la Filioque yalitangazwa kuwa ni dogma ya imani kwenye Baraza la Mtaguso wa Nne (1215), na Mtaguso wa Pili wa Lyons (1274), na Mtaguso wa Florence (1438-1445) (Maas, op. cit.)

 

Maas anashikilia kuamini kwamba Makanisa ya Wagirki na Warumi yalikuwa pamoja na kuwa kanisa moja hadi karne ya tisa (Maas, op. cit., p. 74).

Ni jambo lisilodhaniwa kabisa kwamba Makasisi wa pande za Mashariki walidiriki kuipinga dogma iliyoimarishwakimakusudi na watu wa Magharibi. Zaidi ya yote, kuna utiliaji maanani maalumu unaothibitisha moja kwa moja kwa imani ya Makasisi wa Kiyunani kwenye Nguvu maradufu za Roho [Mtakatifu].

 

Maas anashikilia kuamini kwamba Makasisi wa Kiyunani kimahesabu Watu wenye haiba ya Kimungu kwa utaratibu huohuo kama Makasisi wa Kilatini, (ingawa ni wazi kabisa kwamba hii imetoholewa kutoka kwenye rejea za Mathayo 28) na wanakiri kwamba Mwana na Roho Mtakatifu kimsingi wanashabihiana na kwenye hali timamu kwa namna moja hiyohiyo kama Mwana na Baba (kwa mujibu wa kitabu cha Basil Ep. cxxv; Ep. xxxviii (alias xliii) na Gregor. fratrem; Adv. Eunom. I, xx, III, sub init.). Maelezo ya wazi sana ni kwamba Roho Mtakatifu ni kiunganishi na mshauri ambaye wala haujui msimamo kikamilifu. Pili; Maas anaamini kuwa Makasisi wa Kiyunani au Kigiriki wanafanya uhusiano huohuo kati ya Mwana na Roho Mtakatifu kuwa ni kama kati ya Mwana, ni kama Baba alivyo chemichemi ya Mwana, ndivyo ilivyo, Mwana ni chemichemi ya Roho Mtakatifu (kwa mujibu wa Athan., Ep. ad. Serap., I, xix, sqq.; De Incarn., ix; Orat. iii, adv. Arian., 24; Basil, Adv. Eunom., v, in P.G., XXIX, 731; cf. Greg. Naz., Orat. xliii, 9). Tatu, ni kwamba Maas anatetea vifungu hivyo kunaonyesha kuwa Makasisi wa Kigiriki wanaitetea dhana ya mwendelezo wa Mwana: Greg. Thaumat., Expos. fidei sec., vers sæc. IV, kwenye kitabu cha Rufinus, Hist. Eccl., VII, xxv; Epiphan., Hær., c. lxii,4; Greg. Nyss., Hom. iii in orat. domin. (cf. Mai, Bibl. nova Patrum, IV, 40 sqq.) Cyril wa Alexandria, Thes. ass. xxxiv; kanoni ya pili ya sinodi ya arobaini, maaskofu walishikilia kuamini hivyo mwaka 410 huko Seleucia katika Mesopotamia (sawa na asemavyo Lamy, Concilium Seleuciæ et Ctesiphonte habitum a. 410, Louvain, 1869; Hefele, Conciliengeshichte, II, 102 sqq.; matoleo ya Kiarabu ya Kanoni ya Hyppolitus (Haneberg Canones Sti. Hyppoliti, Münster, 1870, 40, 76); maelezo ya Nestorian ya Nembo (sawa na kitabu cha Badger, cha The Nestorians London, 1852, II, 79; kitabu cha Cureton cha Ancient Syriac Documents Relative to the Earliest establishment of Christianity in Edessa [Makabrasha ya Kale ya Kisyria Yanayolingana na Uanzishaji wa Zamani sana wa Kanisa huko Edessa], London, 1864, 43; The Doctrine of Addai, the Apostle [Mafundisho ya Addai, Mtume], ed. Phillips, London, 1876.

 

Maas anaitafsiri Yohana 15:26 kwa kiasi kikubwa kisichotosheleza na andaendelea mbele zaidi kwa kusema kwamba upokeaji wa nguvu za Roho Mtakatifu kutoka kwa Mwana hakukutemwa kwenye Tangazo la Ukiri wa Imani wa Constantinople:

Kwa kuwa Ukiri huu wa Imani uliwekwa kinyume na upotoe wa Wamakedonia dhidi ya kile kilichotosheleza kutangaza upokeaji wa [Roho] Mtakatifu, kutoka kwa Baba.

 

Maas anakiri kwamba Filioque haikuwa Ukiri wa Imani wa Constantinople (kimakosa iliitwa Ukiri wa Imani wa Nicene; kanoni zilizoendanana na kikao hicho ziliusahihishwa kutokana na huu wa Constantinople (soma makala za CE, za Baraza, na mambo mengine yanayoendananayo)). Maas anakiri kwamba kifungu hiki kiliongezwa mara ya kwanza kwenye taratibu za kidini Uhispania baada ya wongofu wa Goths na Toledo. Ukweli ni kwamba Kanisa la Mashariki halikuwa na muunganiko na wala halikufanana kabisa likiamini Filioque hadi katika karne ya sita na kwa kweli halikuwa na \Utrinitarian unaofanana. Wagiriki papohapo walikataa fundisho hilo kwamba si la Kibiblia. Zaidi sana, Makasisi wa Ante-Nicene waliotajwa kuwa walisaidia kwa kweli walikuwa ni wasaidizi na wenye vyeo vya chini. Tangazo la ukiri wa Imani la Nicene ndilo limerekebishwa, kimsingi si la kweli na ni ukiri usio wa kibiblia. Mafunuo na maongozi ya Roho Mtakatifu hayana maana isipokuwa Roho ameainishwa kikamilifu kuwa ni nguvu ya Mungu inayotokana na Mwana na kutoka kwa Mwana hadi kwa wao wateule ambao ndio Wana wa Mungu kwa mintaarafu sawa na Kristo alivyo Mwana wa Mungu na kwamba wote wanafanyika kuwa theoi au elohim.

 

Kumpokea Roho Mtakatifu

Yohana 15:26 inaonyesha msingi mkuu wa tatizo hili kwa kusema:

Lakini ajapo huyo Msaidizi (parakletos), nitakayewapelekea kutoka kwa Baba, huyo Roho wa kweli atokaye kwa Baba, yeye atanishuhudia.

 

Kwa hiyo, Roho Mtakatifu anatoka kwa Baba lakini yu chini ya maelekezo ya Mwana ambaye ni kama chombo cha maongozi kinachowafungamanisha Wateule wote pamoja kwenye uhusiano saidizi kwa theos au elohim wao. Kwa pamoja, theos na Malaika ni wasaidizi wa Baba, (madai ya ton Theon au Eloah. Yohana 16:7 yanatoa dhana hiyohiyo na muungano wa umuhimu wa kurudi kwa Baba mapema kabla ya kuondoka au kuachwa na Roho Mtakatifu na kwa wakati huohuo huunganisha na mchakato wa kuelekea kwenye hukumu ya Shetani. Mwana kwa kitendo chake cha kumhukumu Shetani na kuwapatanisha wanadamu na Mungu. Roho Mtakatifu ndipo alitumwa au kutolewa na Kristo lakini ni kwa kuongozwa au kuelekezwa na Mungu Baba kwa wateule ambao Mungu Baba anawajua. Hili ndili linalojitokeza kwenye Yohana 20:22 (soma pia jarida la Malaika wa YHVH (Na. 24)).

 

Hivyo basi, maongozi ya Roho yanamasharti na yanasaidia. Baba anamtuma Mwana (Warumi 8:3) na Baba amemtuma Roho Mtakatifu (Yohana 14:26). Kwa hiyo Roho angeweza kusemwa kuwa anatoka kwa Baba kupitia Mwana. Kama alivyompokea Roho kutoka kwa Baba, ambaye aliahidiwa kuwa watampokea wateule (Matendo 2:33) na kwa kiasi kikubwa sana, wateule kuhesabiwa haki kwa neema ya Masihi (Tito 3:6-7). Huyu Roho hatolewi kwa kipimo (Yohana 3:34). Tafsiri ya KJV inajaribu kukizima kipawa hiki cha Roho kwa Kristo lakini hii haiungwi mkono na maandiko mengine. Tafsiri ya NIV inasema kwamba Mungu anamtoa Roho bila kikomo. Madhihriko ya Roho yametolewa kwa maana njema. 1Wakorintho 12:4-11 inaonyesha mambo tisa ya karama saba za Roho ni hekina/busara, imani, uponyaji, uweza/miujiza, unabii, kupambanua roho, na kunena na kutafsiri lugha. Karama za Roho zinaonyesha kama ilivyoonekana mahali pengine kwamba Roho amepewa pasipo kipimo sawa na mahitaji. Msimamo na imani ya Utrinitarian kwamba asili ya kimungu unakiri kutokuwa na faida na hakuna hasara yanapingana na jambo hili.

 

Kwenye Yohana 16:13-15 Kristo anasema kwamba Roho atawaongoza wateule kwenye kweli yote, na hatasema kama aonavyo yeye mwenyewe. Kwa hiyo, Roho ni msaidizi. Roho alikuwa ni wa kutangaza au kuyanena mambo yatakayokuja. Kwa hiyo basi, uwezo wa kujua yatakayotokea badaae wa Mungu uliingizwa au kutiwa na Roho; ila hakumfanya Roho mwenyewe kuwa na uweza wa kujua kila jambo kama wengine wanavyodai. Hiyo ilikuwa ni kama kuitumia modemu kwenye kuitumia kompyuta. Kristo alisema kwamba "chochote alichonacho Baba ni changu" na ni ujuzi au uelewa huu ndio uliowekwa au kuambukizwa, ikijulikana kuwa ndicho kilichowekwa ndani ya Kristo. Madai ya kwamba vyote alivyonavyo Baba ni vyangu yalipelekea wengine kudai kwamba Kristo kwahiyo akiwa na vyote alivyonavyo Baba ni vyake, kwa hiyo ni uweza wa kujua kila jambo. Hilo halitaweza kutokea. Kristo anategemea uweza wa kuelewa kila jambo alionao Baba peke yake ili aweze kupeleka yote aliyonayo na kwa hiyo hayupo kwenye umiliki wa tabia hizo bali atawapokea kwa njia ya maelekezo sawasawa na mapenzi ya Baba ufunuo wake. Kutokana na msimamo huu, Kristo hawezi kuwa na usawa na mwenye umilele sawa au mmoja kwa maneno yaliyotumiwa na Kanisa la kwanza na kunenwa tena na Calvin. Kwa kweli, madai ya kuwa na uwezekano wa kuwa mmoja kama kuwa sawa na kuwa na umilele sawa unakuondoa Kristo kiontolojia kutoka kwenye uhusiano wa Baba na Mwana hakuna kinachoweza kutabiriwa kwa madai kama hayo. Ni upuuzi kudhania kuwa viumbe kama hawa wanaweza kuwa usawa na uysawa wa kuishi milele na kutoa maana yoyote kwa majina ya Baba na Mwana.

 

Utetezi wa Kitrinitarian Dhidi ya Mashaka ya Kimsingi ya Usaidizi na Usabeliani

Watrinitarian wanatetea msimamo wa kinyuma cha itikadi mbili zote, ya kuwa ni msaidizi ya Wayunitarian (kimakosa iliitwa Uarianism) na Usabeliani wenye mashiko.

Sasa 'misheni' au 'kupelekwa kwa yeye mwenye Haiba ya Kimungu’ na mwingine haimaanishi bure tu kwamba Mtu aliyeahidiwa atatumwa atakuwa na tabia fulani kama alivyotaka mwenyewe kwa tabia na haiba ya Mtumaji, kama Wasabelian walivyoendekeza; na wala haiashirii uduni wowote wa Mtu aliyetumwa, kama walivyofundisha Waarian; bali inaonyesha sawasawa na mafundisho ya wanateolojia wazito na Makasisi, Mshabihiano wa Mtu aliyetumwa na ini Mtu anayemtuma. Maandiko Matakatifu hayammtaji Baba kuwa ndiye aliyetumwa na Mwana, wala Mwana kuwa ndiye aliyetumwa na Roho Mtakatifu. Wazo lenyewe la neno ‘misheni’ linaashiria kwamba ni mtu aliyetumwa na akaenda kuyatimiza makusudi maalumu kwa uweza na nguvu za aliyemtuma, uweza aliopewa mtu aliyetumwa kwa njia ya msukumo wa kimwili, au kwa kuamriwa, au kwa kuombwa, au hatimaye kwa kutolewa; sasa, Mfanano, mlingano wa uzalishaji, ni namna pekee inayokubalika na Mungu. (kitabu cha Maas, loc. cit., p. 73)

 

Madi kuhusu Makasisi yanaweza tu kuonekana yalifanyika kipindi cha makasisi wa baada ya mtaguso wa Nicene, kama karibia yasijumuishe kanisa la kwanza kuwa lililokuwa la wasabonisti au waamini Utatu na ambalo sasa ni la Waarian. Maana halisi ya hapo juu ni wabunifu wasioepingika pamoja na vitu vingine vinavyoendelea kutokana na mapenzi ya Baba au yamefanywa tu na Baba. Iwe kama imezaliwa au imetengenezwa, madha na maana yake ni sawa.

 

Kutokana na usonaji wa Augustine inaweza kuonekana kuwa tangia karne ya nne, kwenye imani ya Utatu, ubora na thamani ya kitu vilichukuliwa kuwa ni sawa (soma Kitabu cha City of God [Mji wa Mungu] Kitabu cha XI, Sura ya 10): ambapo kuwa mmoja na Mungu kunamaanisha kuwa Kristo alikuwa na hali sawa na Baba. Augustine aliamini kuwa Roho Mtakatifu anaitwa ‘Roho Mtakatifu’ wa Baba na Mwana na Roho naye anasifa sawa ya kutopingwa, na ana sifa sawa ya umilele (ibid.).

 

Chanzo cha tatizo la kiteolojia na kifalsafa kilikuwa ni kushindwa kwa wanateolojia wa karne ya nne ya kuchukuliana au kukubaliana na dhana halisi ya kuongeza kuumbatia uungu viumbe ambao ni malaika ambao wanawezesha uwepo wa theoi au elohim wengi ndani yake na kuzidisha kwa uwepo wa viumbe ammbao walikuwa waamini mungu mmoja na watiifu kwake. Kiumbe aliyeitwa kimakosa sana kuwa Uhenothi au Henotheism.

 

Brunner anasema kuhusu mafundisho ya Arian kwamba:

Logos ni kitu kilichokuwepo hata mwanzoni, ni kweli, lakini si kitu cha milele. Logos si kitu cha kihistoria cha Mungu na Mwanadamu – Mwana wa Mungu wa Milele ambaye hajafanyika Mwanadamu bado-bali ni wa mbinguni, ambaye kwa wakati huo huo ni kiumbe. Mtungo huu wa Logos wa imani ya Uariani uliyapekelea mafundisho ya kikristo kwenye jambo fumbo au mithiolojia ya waamini miungu wengi [msisitizo umewekwa].... Kosa hili la kimafundisho kwa hiyo lilipasa kukataliwa bado kwa kuamulwa zaidi kuliko mengine, na kutenganishwa kutoka kwenye fundisho la Kanisa na kuchukuliwa kuwa ni “uzushi " (op. cit., p. 222).

 

Brunner anaangukia kwenye makosa ya kutoelewa kazi ya Roho kwenye imani ya waamini Mungu mmoja au imani ya Kimonotheism. Brunner haijui hilo kifalsafa, ilikuwa ni kwa kuukataa mchakato wa kumpa mamlaka Roho ili kuwezesha uwepo wa theoi wengi (1Wakorintho 8:5) kwamba fundisho la Utatu lilikataa imani ya Mungu Mmoja au Umonotheism na ikafanyika kimsingi kutengana na fundisho la nafsi hai kama zilivyofanya dini potofu za Wamithraiki na wanaoamini kuwa kila kit uni mungu iliyozuka kabla yao. Kwa kukumbatia fundisho la kuishi kwa nafsi hai na kumkataa Uungu uliowekwa, ndipo Utrinitarian ukafanyika rasmi kuwa ni imani ya miungu mingi. Kwa hiyo shutuma za imani ya miungu mingi ikasawazishwa na Brunner kwamba Waarian ni msimamo ambao kwa hakika Waathanasian walijikwaa kwao. Inashangaza kuona kwamba wanateolojia waliobobea kwenye falsafa wa kaliba ya Brunner na Calvin walidanganyika na hoja za kipagani za kwenye midahalo. Hata kwa kuongeza zaidi ilikuwa ni ukweli kwamba, kutolewa kwa hoja ya kuwa wamoja na Mungu ziliendelezwa na Calvin, wafuasi wake walikataliwa kushiriki meza ya Bwana kwenye Kanisa na Makasisi wa imani hii ya kuwa sawa na wamoja na Mungu (kwa mujibu wa Dryden, sawa na  kamusi ya The Universal Oxford Dictionary, art. ‘Consubstantiate’, p. 378). Imani hii ya kuwafanya wote sawa au ya Mwana ni mmoja wa washiriki pamoja na Baba ilijumuishwa kwenye umilele sawa nay eye na ndugu J.H. Newman (ibid., Consubstantiality).

 

Dhana ya kuwa na usawa iliyotokana na mafundisho ya baadae ya watrinitarian, ni sawa bila msingi wa kibiblia. Waarian walikosea huko Nicæa lakini si kwa sababu iliyotolewa na Brunner. Waathanasian hata hivyo walikuwa wamekosea zaidi kwa msingi wa kifalsafa kuliko Waarian. Makosa yalikuwa ni kuhusu Uumbaji! nk, kwenye Sura za 4 na 4. Kilichojitokeza kwenye mdahalo ni kwamba hakuna upande uliopinga uthibitisho wa kulihakiki andiko la Waebrania 3:2 ambapo Kristo ananenwa wazi kuwa ni:

aliyekuwa mwaminifu kwake yeye aliyemweka, kama Musa naye alivyokuwa, katika nyumba yote ya Mungu.

 

Neno aliyemuumba linatafsiriwa kama aliyemchagua kwenye maandiko ya Kiingeeza ili kuepuka dhana ya kuwa aliumbwa, jambo ambalo kimsingi haliepukiki. Neno hili aliumbwa hata hivyo ukilitumia la Kiyunani B@4XT [poieo] ambalo lina shina linalomaanisha kufanya au fanya. Andiko hili linatumia mtindo wa B@4ZF"<J4 "ÛJ`< [poiesanti ahuton] au kumfanya au kumuumba yeye (pia soma tafsiri ya Marshall RSV Interlinear Greek-English New Testament, p. 858). Dhana hii haikujadiliwa wala kupingwa huko Nicæa ingawa andiko lenyewe lilitumiwa. Athanasius kwenye kitabu chake cha Discourse II [Mjadala] Sura ya XIV anaandaa dondoo nyingi za kukanusha kwa lengo la kukemea msimamo huo wa kwamba Mwana aonekane kuwa ni kiumbe aliyeumbwa. Anapinga na kukataa kwamba kwa kutafasiri kimakosa Mithali 8:22.

 

Athanasius anaendelea mbele kwa kuyanukuu maandiko ya Mithali 8:22; Yohana 1:1; 1:14; Matendo 2:36; Wafilipi 2:7; Waebrania 1:4; 3:1-2. Anaonekana kuangukia kwenye maelekezo ya kimakosa ya kudhania kwamba maneno ya mwana na matendo ni maneno yanayolingana au kwenda sambamba kwa kuyalinganisha na maana ya Wana wa Mungu watokao kwa Baba, ni makosa na upotoshaji mkubwa uliofanywa na Athanasius ni kwa kudhania kwamba Kristo alikuwa ni Mwana pekeyake wa Mungu aliyeko katika Jeshi lililoko huko mbinguni, fikra ambayo ni potofu sana kabisa kwa mujibu wa biblia (soma NPNF, pp. 348ff.). pia anaonekana kudhania kuwa neno mzaliwa wa kwanza (prõtotokos) wa viumbe wote, limetafsiriwa aliyezaliwa kwanza kabla ya viumbe wote (ibid., p. 383) ikilitaja tukio ambalo halijatokea bado, zaidi ya kuwa ni tendo la kwanza la Mungu ambavyo ni maana sahihi ya maandiko haya. Neno Prõtotokos limetumika kwa kumhusianisha na viumbe wa kiroho ili kuipa mashiko tafsiri ya mzaliwa wa kwanza na kuepuka fikra zinazohusiana na kuzaliwa kwenye maana ya gennao. Kwa hiyo, Kristo alikuwa ni prõtotokos wa Jeshi la Mbinguni akiwa ni sehemu ya idadi ya elohim au theoi. Kwa hiyo, alikuwa ni mmoja wa Wana wengi wa ungu mbunguni, na tena ni mzaliwa wa kwanza kabla yao. Kwa hiyo, alikuwa ni monogenes theos au mzaliwa wa pekee wa Mungu akiwa ni mmoja wao wa pekee na wa kwanza kuzaliwa. Tafsiri za Kiingereza zinaonekana kuyakanganya kwa makusudi kabisa maneno haya, huenda ni kwa ajili ya kuutetea Utrinitarian. Athanasius anaonekana kutoa kwa kemeo kubwa na kali lisilo na mashiko ya kibiblia akifundisha dhana hii potofu nay a uwongo ya kumfanya Kristo kuwa sawa na Mungu. 

 

Ni kama ilivyoonnyeshwa kwenye Uumbaji: nk. (kwenye ukurasa wa 77ff.), Gregg na Groh aligundua kwamba Arius alitumia neno uaminifu ili kuihalalisha vebu hii ya kuumbwa ambayo kwa maana ya moja kwa moja ni mwaminifu kwa yeye aliyemuumba (Kwa mujibu wa kitabu cha Early Arianism [Uarianism wa mwanzoni]- A View of Salvation, Fortress Press, Philadelphia, 1981, p. 11).

 

Athanasius anajulikana kuwa alisema juu ya andiko hili hivi:

"Usemi kwa kwamba 'yeye aliyemwaminifu kwake yeye aliyemuumba’ hauonyeshi kuashiria kuwa sawa (J0<@:@4@J0J" [tenomoioteta]) na watu wengine, wala kuamini hivyo, hakukumfanya apendezwe sana." Kwa hiyo mwana au mtoto aliyetika mbinguni alikuwa ni kiumbe ‘mwaminifu’  hivyo ni kusema kwamba aliitendea kazi (kuamini uadilifu) kwa muumba wake, ilikuwa ni machukizo kubwa sana kwa Athanasius (ibid.).

 

Kwa Waathanasian:

Kama andiko la Kiyunani lilieleweka kw namna yoyote, basi lisingechukuliwa kuwa linataja ‘umuhimu wa neno’ bali yapasa iwe rejea neno lenye maana ya imani ya mabadiliko ya kiuzaliwa wa kimbe. Hakuna kingalichoweza kuwa cha zaidi kutoka kwenye taswira ya Waarian kuhusu Kristo (ibid., p. 12)

 

Msimamo wa Waathanasian hausimami mwenye udadisi wa biblia ambako ugunduzi kamili wa uthibitisho wa maandiko unapatikana. Athanasius alidhihirisha kwamba uaminifu una mashiko yanayokubalika ya utii na wakati unapotumiwa na Mungu kwa mwanadamu kunakuja dhana au fikra ya kuwa mtu mwenye kuaminika. Lakini wakati Waarian walipopinga kuwa mkombozi aliishi kwa imani, Athanasius aliichukulia hii kuwa ni kama ni madai muhimu na kisichobadilika ya Mwana kwa kutumia ?<"88@4TJ@H [hanalloiotos] na vebu yake ili kutafsiri na kumiliki B4FJ`H [pistos] (au imani) isemwayo kwenye Waebrania 3:2.

Yesu Kristo ni yeye yule, jana na leo na hata milele. Msichukuliwe na mafundisho ya namna nyingine nyingine, na ya kigeni; maana ni vizuri moyo ufanywe imara kwa neema, wala si kwa vyakula, ambavyo wao waliokwenda navyo hawakupata faida. (Hebrews 13:8) haibadilishiki maana yake (?<"88@4TJ@H) [hanalloiotos] (op. cit., p. 13).

 

Kutobadilika kwa Mwana kwa wahafidhina, kulimuondoa kiontologia kutoka kwenye ulimwengu wa watu wenye kufanya maamuzi ya kinafsi na kimaadili:

Iwapo kama mkombozi aliruhusiwa kuchagua kati ya mambo mawili, walimfanya awe na haiba ya kimungu, ingewezekanaje basi kwa mtu yeyote kuwa na uhakika kuwa aliamua vizuri na sahihi machoni pa michezo michafu wa ibilisi na ukomo wa maisha ya mwanadamu. Kwa hiyo, tangu mwanzoni sana mwa mgungano wa Waarian, Maaskofu wa  wa Alexandria walikuchukulia kutobadilika kwa Mwana kama ubao uliokazwa kwa misumari kwenye jukwaa lao dhidi ya Arius (op. cit., p. 13).

 

Ni kusema kwamba, Waarian walisisitiza utashi wa Mwana wa kuchagua mambo, ambao ni msimamo uliotokana na durusu za kimaandiko. Ariua alisema hivi kuhusu Logos kwenye kitabu chake cha Thalia:

Asiye na mwisho ?<"DP@H [hanarchos] aliyeumbwa (±206,) [etheke] mwana kama mwanzo wa uumbaji (JT< (,<0Jä<) [ton geneton] (sawa na Mithali 8:22a). Na akiwa ameuumba huyu mmoja alimuongeza (±206,) [etheke] [yeye] kwa mwana (,4H L4@<) [eis uion] to himself (op. cit., p. 23).

 

Kifungu kilicho kwenye Mithali 8:22 kinachohusu Hekima hapa:

Bwana alikuwa nami katika mwanzo wa njia yake, Kabla ya matendo yake ya kale.

 

Kwenye aya ya 30 tunaona kwamba, kabla dunia haijaumbwa, hekima alikuwa ameumbwa na alikuwa sambamba pamoja na Mwenyezi:

Ndipo nilipokuwa pamoja naye, kama stadi wa kazi; Nikawa furaha yake kila siku; Nikifurahi daima mbele zake.

 

Fikra iliyokuwepo ni kwamba huyu aliyetajwa hapa kuwa ni Hekima na Arius anaamini kwamba kifungu hiki kinawataja Logos na yeye Asiye na mwanzo. Hili sio wazo au fikra aliyokuwanayo Arius na Waarian bali zaidi tu ilikuwa ni msimamo au imani ya kiteolojia iliyodumu muda mrefu sana ambayo inaonekana na rejea ya trias zaidi ya Theophilus wa Antioch (mwaka 180 BK) aliyetumi neno JD4"H [trias] (ambalo kwamba neno la Kilatini trinitas ni tafsiri), Neno lake na Hekima wake na pia Tertullian hapo juu. Kwa hiyo Theophilus alilitumia neno Hekima kama ni kiyu kilicho tofauti na Logos. Kwa hiyo kwenye trias kama hiyo, neno Hekima lilichukuliwa kumtaja Roho Mtakatifu. Uwezekano ni kwamba, Logos hapa alitumika kama jina la kiuzawa, yaani Lpgos kutokana na neno Logon, yaani ni Logon lililoitwa hivyo hapo mwanzoni, ili kwamba Neno awe ametengwa kipekeyake na Logon, yaani kutokana na Logon kwa kuzaliwa. Hii ingeifanya Yohana 1:1 iwe na maana zote mbili, yaani ya jumla na ya maalumu aina yake.

 

Msimamo wa kibiblia ni kwamba Baba alimzaa Mwana kwa Waarian ilimaanisha kwamba kuzaa huku kulikuwa na mwanzo wa uwepo wake (Socrates HE, 1-5). Hoja hii inamaana yenye mashiko.

 

Kuumbwa kwa Roho Mtakatifu

Roho Mtakatifu aliitwa Shekhina kwa mapokeo ya marabi wa Kiyahudi. Mapokeo ya mwanzoni ya marabi wa Kiyahudi yalimwuita Kabbalah. Mara ya kwanza Kabbalah:

Haikuweka hasa bayana fumbo hili au mapokeo ya kiesoteriki. Kwenye Talmud inatumka kwenye sehemu za nyongeza za torati ya Biblia, na kwenye sehemu kubwa ya maandiko ya kitalmud, Hsria za Torati pia zinaitwa 'kabbalah.' Kwenye mandiko ya Eleazeri ya Minyoo (mwanzoni mwa karne ya 13) mapokeo ya kiesoteriki (kuhusu majina ya malaika na Majina ya Miujiza au Maajabu ya Mungu) yameitwa 'kabbalah.' Kama ilivyo kwenye Hilkhot ha-Kisse yake (kwenye Merkabah Shelemah. 1921), na Sefer ha-Shem. Kwenye ufafanuzi wake kuhuiu Sefer Yezirah (mwaka 1130), wakati alipokuwa anajadili kuumbwa kwa Roho Mtakatifu, yaani Shekhinah, Judah b. Barzillai anasema kwamba wazee wa mabaraza au waungwana ‘walitumia ili kupitishia ujumbe wa aina hii na wanafunzi wao na kuwahekimisha kikimyakimya, tates that the sages 'used to transmit statements of this kind to kwa kunong’oneza, kwa kutumia 'kabbalah' ulikuwa haujatumika bado na mtu yeyote kwa kazi fulani maalumu. Matumizi yake mwapya ilitumiwa na ilianza kwenye mduara wa Isaka Kipofu (mwaka 1200) na ilichukuliwa na wanafunzi wake wote (Encyc. Judaica, Vol 10, art. ‘Kabbalah’, p. 494).

 

Nukuu imetumika hapa kwa lengo la kuonyesha kuwa mapokeo ya mwanzoni au ya mwanzoni ya Talmud yaliendana na uelewa wa jina kabbalah, wa mbinu za madhihirisho ya kiteolojia au kiteophani. Kuijua Shekhinah au Roho Mtakatifu ni kwamba aliumbwa (soma pia Ecclus., XXIV:1-9). Kwa hiyo, kudhihirika huku kwa Mungu kulifanywa, na Mungu na Kristo na Nyota wengine wa Asubuhi wa Baraza, na hii inaukamilisha au kuupa nguvu mcakato wa uumbaji (uundaji wa baadae wa kabbalah mwaka 1200 unapendeza ki namna yake kushughulikia tafsiri ya Kinostiki kuhusu Madhara au Tatizo la Uovu). Roho Mtakatifu si kitu kilicho mbali na tofauti kwa maana ya neno ambalo Kristo ni kitu kingine tofauti. Ni uweza wenye asili ya kigeugeu au mwonekano wa namna nyingi unatoka na kuruzukiwa na Mungu. Ametajwa kama Mshauri (RSV) au Mfariji (KJV) hakuruhusiwa kuingia kwa Wateule hadi Kristo alipokuwa amekamilisha misheni au kazi yake na kuwapatanisha watu na Mungu kwa dhabihu au sadaka yake (Yohana 16:7) (ingawa wengine wanahesabia idadi ya watu waliompokea Roho kipindi cha Agano la Kale – soma hapo chini).

 

Mkanganyo Zaidi wa Kifalsafa

Mkazo wa kwamba Mwana ana haiba ya kutobadilika ilikaziwa kwenye teolojia ya Waathanasian. Msimamo huu haukuwa na mashiko ya kibilia na kwa hiyo ilibidi kuwe na maelezo ya ziada ili kuelezea usaidizi wa mapenzi ya Kristo. Hakika ya kimgongano kwa mara ya kwanza iliwahusu Wamonofiti dhidi ya Wadifiti mkanganyo uliotokana na asili moja au mbili za Kristo. Fundisho la uhakika wa kutobadilika haiba ya kimungu wa mwana hatimaye uliwasababishia Waathanasian tatizo linguine lililowasababishia mgawanyiko au mpasuko mkubwa. Kuelezea udogo wa mapenzi au utashi wa Kristo hatimaye kulihojiwa sana na baadhi na kwamba yawezekana kulikuwa na utashi wa aina mbili, aina moja ni utashi wa kimungu na nyingine ni ya kibinadamu. Aina hizi mbili za utashi au msimamo wa Kidithelete ulipingana na utashi mmoja au matendo ya Kimonothelete. Malumbano haya hatimaye yalikuja kujulikana kama ya Mmonotheleti na ya Kiditheletist. Malumbano haya alikuja kukomeshwa kisiasa na kuingiliwa kwa nguvu za dola, lakini hayakufikia muafaka au suluhu kwene Baraza au Mkutano wa Kikumene wa 6. Baraza hili lilikuwa ni Sinodi ya Mfalme lililoitishwa na mfalme Constantine IV Poganatus (668-685) kwenye Ukumbi wa mikutano (JD@Ø88@H [troullos] ulioitwa Trullan) wa kasri au ikulu ya huko Constantinople mnamo Novemba 680.

 

Baraza la Mkutano huu liliwajumuisha Maaskofu wa Mashariki na wajumbe waliomuwakilisha Papa Agatho, uliodumu kwa kipindi kirfu sana na kwa mfululizo hadi Septemba 681. Wawakilishi au wajumbe Wakirumi:

Walishinda hoja yao ya kukubalika kwa fundisho la utashi wa aina mbili, na wakatangaza shutuma kwa au laana kwa wapinzani wao wa nama zote mbili, yaani waliohai na waliokufa wakiwa bado wanapinga na kulikataa fundisho hili pia, pamoja na ... Papa Honorius.(ERE, art. ‘Monotheletism’, Vol. 8, p. 824).

 

Kabrasha au waraka uliowekwa mbele ya mfalme ulikuja kuchukuliwa kuwa ni mshirika wa Tome wa Leo I kwenye mkanganyo au utata wa Wamonofiti.

Kwenye Nembo ya Baraza, jina ambalo utaratibu wa Wachalcedonian waliouelekeza kuhusu uhusiano wa asili mbili umeonekana kwenye aina mbili za utashi wa kiurithi (*b@ NLF46"4 2,8ZF,4H J@4 2,8Z:"J") [duo phusikai theleseis toi thelemata] kwa hiyo, aina hizi mbili za utashi zinaenda sambamba kiushirikiano sana na asili hizi mbili ambazo hazipingani (@ÛP ßB,<"<J\") [ouch hupenantia] ambapo kinyume chake ni utashi wa kibinmu unautii ule wa kimungu wenye uweza wa mkubwa na usioshindwa na kitu chochiote ambao unatii kwawo (©B`:,<@< •<2DfB4<@< "ÛJ@Ø [epomenon to anthropinon] (i.e. J@Ø 8`(@L [tou logou]) 2X80:" 6"4 •<J4B\BJ@< ´ •<J4B"8"Ã@<, :_88@< :¥< @Þ< 6"4 ßB@J"F-F`:,<@< 2,\å "ÛJ@Ø 6"4 B"<F2,<,4 2,8Z:"J4) [thelema kai mu antipipton e antipagaion, m’ollon men oun kai hupotas-somenon tõ theiõ autou kai pansthenai], kwa kuwa ilikuwa ni muhimu kwamba, wakati utashi au tamaa ya mwili kwa kweli ni lazima zitende kazi, yabidi zitii ule utashi wa kimungu. Ni sawa tu kama alivyo Mungu katika mwili-Logos (J@Ø 2,@Ø 8`(@L) [tou theou logou] inaitwa mwili, na ni mwili, ili mapenzi ya asili ya mwili yaitwe, ha papohapo yaitwe, mapenzi ya Mungu-Logos.

 

Na kwa huu mwili mtakatifu ulio mtakatifu na usio na waa lolote haukuchukuliwa kwa kufanywa wa kimungu (2,T2,ÃF" @Û6 •<®DX20) [theõtheisa ouk anerethe], bali ulibakia kwenye ukomo wake wenyewe na uhusiano ¦< 4*\å "åJ-H ÑDå 6"4 8`(å *4X:,4<,<) [en tõ idiõ aõtzs orõ kai logõ diemeinen], kwa hiyo mapenzi ya mwanadamu nayo hayakukomeihwa kwa hali hii ya kiutafsiri bali yalikuwa bado yakilindwa.

 

Agatho hakusalia kuishi hai akashuhudia ushindi wa hambo hili, na mchakato huu akaachiwa mrithi wake, Leo II., ili kulinda kukubalika kwa tangazo au amri ya Baraza hilo kwa upande wa Magharibi (ERE, art. ‘Monotheletism’, Vol. 8, p. 824).

 

Mpinzani mkubwa na aliyeuchukia Uditheleti wa Mashariki, Marcarius mzee wa baraza la Antiokia alinyamazishwa kuthibitika kwenye jumba la watawa. Mkutano Mkuu wa Baraza wa Trullan (mwaka 692) uliishia kwa kutoa tamko la kuilaani imani ya Kimonotheleti lakini mgogoro uliibuka kwenye mizozo ya kimahakama ya Wabyzantine (ERE, ibid.). Mfalme Philippicus Bardanes (711-713) alichukua daraka kwa kimashindano na mrithi wake Anastasius II (713-715) alirejesha mamlaka ya Baraza la miaka ya 680-681.

Lakini Umonotheleti ilikuwa bado inashikilia kikaminifu na Wamaronite wa Mlima Lebanon (ibid.).

 

Inaweza kuonekana kutoka kwenye malumbano haya kwamba fursa iliyochukuliwa na Waathanasian wa Nicæa ilisababisha kusababisha kuwepo kwa hali ya kimungu iliyomfanya Mwana achukue mwili au umbo la Roho ambalo halikufanana. Uchukuwaji wa tabia za Mungu Baba ya uweza wa kujua kila jambo ndio kwa hiyo ungeondolewa kwa Kristo kwa kupinga kuyaelezea maneno ya Kristo. Kwa hiyo, wakati Kristo aliposema mambo aliyoyatenda, ilichukuliwa kuwa ni mambo ya kibinadamu na asili yake na utashi na si ya kimungu. Hii ilimfanya kuwa na aina ya utu uliogawanyika. Ni nani aliye stahili au kuwajibika na ni nani asiyekuwa hivyo? Malumbano yote hayakuwa ya muhimu kabisa. Ilichukuliwa kuwa ni Waathanasian ndio waliojikuta wakishindwa kwenye hoja zao wenyewe za kibishi na  mwa ndugu wengi. Kristo alikuwa na Roho namna hiyiyohiyo bali ni kwa kiwango cha juu kuliko wengine wote miongoni mwa wateule. Mafaniko yake yalithibitishwa kwa uwezo wa kujua kila kitu alionao Baba, na sio kwakuwa alipewa asili ya kimungu kwa kuwa na umilele sawa na Mungu. Aliitendea kazi imani kama mfano kwa wanadamu kwenye torati kama ilivyotolewa mlimani Sinai. Hii ilifanyika ili kuonyesha kuwa uovu ungeweza kushindwa kwa uti kamilifu.

 

Tatizo lililopo kwa kukataa kuitendea kazi imani kwa sehemu ya Mwana lililetwa kwa sababu Waathanasian hawakuijua tofauti iliyopo kati ya kuuonyesha utashi wa hiyari na uweza wa kujua kila kitu alionao Mungu unaofanyika chini ya kivuli cha Kujua kila kitu kwenye Matatizo ya Dhambi na Uovu. Hawakujua hatima yake na kwamba uweza wa kujua yajayo wa Mungu ni ya muhimu kwa uweza wake wa kuelewa kila kitu uni haukuuondoa umuhimu wake wa kuwa na utashi wa hiyari wa Kristo. Kristo asingeweza kushindwa kwa kuwa Mungu, kwa kuitendea kazi yake ya kuyajua mambo yajayo ya kimungu, alijua kwamba asingeweza kufanya hivyo. Kwa hiyo, Kristo alionyesha utashi wake wa kibinadamu na wa kimaadili kama wateule wapasavyo kutenda. Mungu alijua kwamba Kristo asingeshindwa. Lakini hiyo haikumuondoa yeye kutoka kwenye ulimwengu wa kufanya utashi wa mambo ya kibinadamu na kimaadili ni sawa na kama isivyiweza kumuondoa mwanadamu kutoka kwenye ulimwengu huo. Kwa habari ya uweza wake wa kujua mambo yajayo, Mungu anaweza pia kuwasimika wateule mapema kabla hawajazaliwa ili kwamba wajulikane tangu mwanzo kuwa wameitwa na hivyo kuwafanya wahesabiwe haki na kutukuzwa (Warumi 8:29-30).

 

Imani ya Kitrinitariani inatia doa au kasoro tofauti hii ya kimsingi. Kwa jinsi hii, kwa uweza wa kujua mambo yajayo wa Mungu, ndipo Mwanakondoo alichinjwa tangu kuwekwa msingi wa dunia (Ufunuo 13:8). Neno msingi wa dunia hapa ni 6"J"$@8­H 6`F:@L, [kataboles kosmou] ni neno sawa tu na la Ufunuo 17:8; Mathayo 13:35; 25:34; Luka 11:50; Yohana 17:24; Waefeso 1:4; Waebrania 4:3; 9:26 na 1Petro 1:20. Dhana iliyopelekea kuitwa katabole inatokana na neno kataballo lenye maana ya kubwaga chini au kutupa chini. kwa hiyo inamaanisha kulitupa chini na kulipotezea neno, na ambalo ndilo utambulisho au linalomtambulisha Kristo kama sadaka, ingemaanisha ama kubwaga chini ya msingi wake au chini ya anguko lake kwenye uasi. ama ni njia ambayo uweza wote wa kujua mambo yajayo wa Mungu inatakiwa au kuhusika (soma jarida la Tatizo la Uovul). kwa jinsi hiyohiyo Mungu aliwaokoa wateule na kuwaita:

ambaye alituokoa akatuita kwa mwito mtakatifu, si kwa kadiri ya matendo yetu sisi, bali kwa kadiri ya makusudi yake yeye na neema yake. Neema hiyo tulipewa katika Kristo Yesu tangu milele, (2Timotheo 1:9, soma tafsiri ya RSV Interlinear Greek-English New Testament, au pia inasomeka kabla ya kuanza kwa dunia kwenye tafsiri ya KJV).

 

Aya hii ilipasa isomeke zama kadhaa zilizopita ili kuepuka madai au dhana ya kujulikana tangu mwanzo.  Lakini kusudi la aya hii ni kuitukuza uwezo wa kujua mambo yajayo wa Mungu ya wito uliofanikiwa wa kila mteule, sio kabla tu hawajatungwa mimba matumboni mwa mama zao kama isemavyo Yeremia 1:4 bali zaidi sana ni kwamba kabla ya nyakati za umilele. Msimamo kama huo ungejitokeza kutokana na dhana ya Mungu kusimama au kuwa nje ya nyakati kwa kuwepo kwake milele na kwa utendaji kazi wa uweza wake wa kujua kila kitu. Alichagua wateule kwa mujibu wa Mpango wa Wokovu kabla hakujawa na kitu chochote cha kukiokoa. Kwa hiyo, kuma uwezo wa kujua mambo yajayo sio wa dhambi tu bali na wa kukombolewa wake. Kwa kuwa ni Eloah tu husimama nje ya wakati na sio Kristo au Elohim mwingine kama wakati ulipoanza kwa kuumbwa na kuwepo kwao; ni yeye tu ndiye mwenye uweza wa kujua kila kitu na kwa nyakati zote. Kwa hiyo, ni yeye ndiye aliyewachagua wateule kwa neema ya kupewa uwezo wa kujua mambo yajayo na akamkabidhi Kristo watu hawa. Kwa hiyo ni upuuzi kudai kwamba Umoja na Upekee wa Mungu kuwa unaoyesha kuwepo kwa usawa wa kicheo, umilele sawa na usawa wa kiuweza wa kujua kila jambo na viumbe hawa wadogo na wasaidizi wake. Anguko la Adamu lilijulikana na Mungu Baba hata kabla halijatokea kwa kuwa ni hakika lilikuwa kwenye mpango wake wa wokovu. Dalili ya Matatizo ya Uovu ina maana sana. Je, ukweli wa kwamba Mungu anajua kwanza kabla ya kitu kutokea na kujua kila tendo litendekalo na wito kunafanya wewe utende dhambi au ushindwe kwenye kila tendo lihusulo kuamua kwa utashi wa kibinadamu? Kinyume chake, kile kiumbe ambaye hajui jambo lolote linalokuja hawezi kuwa Mungu (ni kama alivyosema Augustine kwenye kitabu chake cha Mji wa Mungu alivyoelezea kuhusu uumbaji nk.). Mungu anatendekea kazi au uwezo wa kujua mambo yajayo kwa kutokuwa na kizuizi cha wakati na eneo au umbali; hata hivyo, viumbe wengine wote wana ukomo au kizuizi hicho, kama wakati ulivyoanza kwa mwanzo wa kizazi. Kwa hakika, Mungu lazima ajue kuwa wateule watakuwa na kiwango au matabaka kwa kusimikwa au kutiwa mafuta kwao kulikofanywa kabla ya kuzaliwa kwao. Hoja ya kwamba basi angeweza kumuumiza moyo mtu kwa kufanya kwake hivyo pasipo na uwezo wa kujua mambo yajayo kikamilifu itatathiminiwa baadae kwa uweza wake wa Kujua kila kitu.

 

Waathanasian kwa kweli walikuwa na msingi wa uelewa na msimamo wa utashi wa namna mbili kwa kweli ulikuwa saihi lakini si kwa maana iliyochukuliwa. Mwanadamu kwa kweli ameumbwa kwa sura na mfano wa Mungu kama Kristo alivyoumbwa kwa namna hiyo. Huu si usemi wala tamko la kianthropomorfiki bali ni maelekezo ya kimuundo kama ilivyo kwa Roho Mtakatifu anavyoweza kuwa kutiliwa chumvi sana kwa mtu mmoja (soma kitabu cha Uumbaji: nk., Sura ya 3 na 4). Hoja nyingi za wanateolojia zimeainishwa kwenye maelezo haya yatokanayo na makosa ya kiuelewa. Kwa hiyo, mwanadamu wa usawa wa aina mbili ufuatao wa kuwajibika:

1.         Usawa wa kwanza au usawa wa moja kwa moja kuishika torati pasipo Roho Mtakatifu hadi wito wa kwa mteule; na

2.         Kwa kiwango cha juu cha usawa wa kuwajibika baada ya kubatizwa na akiwa amempokea Roho Mtakatifu.

Hivyo wateule wana kiwango cha juu cha kuzishika sheria kuliko mwanadamu mwingine yeyote kwa ujumla (Mathayo 5:27-28, 31-32; 19:9, Marko 10:11-12; Luk.a 16:18); kwa kuwa wamehusianishwa kiukaribu na sheria za kiroho ambazo zinauhusiano kamili wenye msaada wa kimaongozi na kimwenendo. (soma jarida la Uumbaji: nk., Sura ya 1 kwa theori nyepesi na pia hapo chini). Kristo alikuwa na uhusiano kama huohuo na kama waliokuwanao Waditheletist lakini si kama walivyosema na walivyoelewa Waathanasian kwenye karne ya nne, tano na sita kwa kuwa maazimio ya ukiri wa imani kimsingi yalikuwa yameandikwa kama msimamo wa ukiri wa Imani muhimu kuyatamka kwa kuyakiri wakati wa Ubatizo. kwa hiyo tunaona kwamba walikuwa na ubatizo wa watu wazima. Kusudi na lengo la ukiri huu wa imani kwa hiyo vilibadilishwa na kupotoshwa.

 

Mungu na Roho kwenye Maandiko ya Biblia

Mungu Anatenda Kazi Kwa Kupitia Roho Mtakatifu

Ni kutoelewa au kuelewa vibaya kuhusu uhusiano mtambuka wa Roho Mtakatifu kama umoja au muungano unaosababisha kuibuka kwa madai ya waamini Utatu au Watrinitarian. Uhusiano huu mtambuka wa Roho ni wa muhimu sana ili kumfanya Mungu awe ni yote katika yote na ndani ya yote (1Wakorintho 15:28 KJV). Ni kwa uhusiano huu mtambuka ndio unaowezesha mtu kuwa mwadilifu na mnyofu kwenye imani ya Mungu mmoja au Umonotheism kwenye utashi na mapenzi ya Baba na inawezesha kumfikia au kumuona Mungu kwenye Ufalme wake kati ya theoi wengi wakiwemo wateule wanadamu. Firsa ya wateule kufanyika theoi au miungu wadogo ita na inaweza kuenea kwa wanadamu wote kwenye ufufuo wa pili wa wafu (kwa mujibu wa Ufunuo 20).

 

Kuongezeka huku kwa uweza wa kuwa Mwana wa Mungu kutakamilika kwa kwa kumjumuisha Roho kwa wanadamu wote kwenye mwendelezo wa awamu ya uelimishaji ambao Biblia inauita Hukumu. Hukumu itatokea mara moja ikifuatiwa na tukio la ufufuko wa pili wa wafu. Kipindi chenyewe hakijulikani lakini kutokana na maandiko ya Isaya 65:20 kipindi kinachoaminika kuwa cha takriban miaka 100.

Hatakuwapo tena mtoto wa siku chache, wala mzee asiyetimia siku zake; kwa maana mtoto atakufa mwenye umri wa miaka mia; bali mtenda dhambi mwenye umri wa miaka mia atalaaniwa.

 

Wanadamu watafanyika kuwa Bene Elohim au Wana wa Mungu na kuwa wamoja na Baba mahali walipo ndani yake naye ndani yao kama Kristo alivyo wa namna zote mbili, yaani Mwana wa Mungu. Kristo yu wa aina zote mbili, yaani, Mwana na Elohim kwa maana ya umoja akiitwa mwana wa Mungu na YHVH. Kiumbe adumuye kuishi pamoja na Malaika akiwa kama Mungu ana haiba ya kitabaka. Imempasa Masihi awe na cheo na hivyo kuwa na mamlaka ya Mungu Baba (Isaya 9:6), kwa kuitwa “Mungu mwenye guvu, Baba wa Milele, Mfalme wa Amani”. Ni kama ilivyoelezwa huko nyuma, Utrinitarian hauna mashiko ya kuuamini kwa mtazamo huu wa huyu Baba wa milele ni tofauti na Mwana kwenye Uungu. Ufumbuzi unaweza kuonekana tu kwenye uhusiano saidizi au mdogo ulio pale ambapo mamlaka ya Mungu Mmoja yametolewa na kupewa Mwana kwa na kwa matumizi ya jina. Imani za Ki-Noetianism na Kisabelliani hazikujua kanuni na kwa hiyi ziliweka msingi wao kwenye hii. Viumbe wengi waliotajwa kuwa ni YHVH kwenye Agano Jipya, akiwemo Kristo, walikuwa jina lililoashiria mamlaka. Waliweza kuwa na jina na mamlaka kwa kuwa walikuwa na Roho kwa mamlaka na uwakilishi. Neno Mungu limetumika kwa maana ya uwakilishi ili kulitaja Jeshi lote zima linalotajwa kwenye 1Wakorintho 8:5 ambapo panasema kwamba Kwa maana ijapokuwa wako waitwao miungu (theoi), ama mbinguni ama duniani, kama vile walivyoko miungu (kurios) mingi na mabwana (Kurios) wengi kama ushuhuda wa Kristo ulivyothibitika kwenu Yesu Kristo tangu mwanzo wa uumbaji wa Mungu (kaka isemavyo hapo juu, na kwenye Ufunuo 3:14). Kristo ni Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa kuumba kwa Mungu.  (Wakolosai 1:15). Kama ilivyosemwa hapo juu kwamba kiumbe huyu alikuwa ni tendo la kwanza la uumbaji wa Mungu na alitumika kama chombo cha kukitumia kwenye mchakato huu wa uumbaji kama mtendaji au mtekelezaji wa Mapenzi ya Mungu (Ufunuo 4:11). Krist alitenda na kuumba sawasawa na mapenzi ya Mungu (Mathayo 26:39; Marko 14:36; Luka 22:42; Yohana 4:34; 5:30). Aliumba kama viumbe wakubwa na kiumbe mdogo wa kundi lile la viumbe walioitwa Elohim kwa Kiebrania au Theoi kwa Kiyunani ambao kwa Kiingereza wanaitwa kama miungu. Dhana hii haiwezi kuwa ni ya mrengo wa waabudu miungu mingi kama viumbe hawa hawapokei utukufu kwa kiwango cha kuwafanya kuwa kama Mungu kwa kuwa pamoja na Mungu na kushiriki uhusiano na nguvu inayoitwa Mungu ambayo ni Roho Mtakatifu. 

 

Wateule wote ni wasaidizi katika kuyatimiliza mapenzi ya Mungu (Mathayo 7:21). Wateule hawa wanadamu wamechaguliwa na Baba (Mathayo 11:27). Kristo anawajibika kutompoteza mteule yeyote sawasawa na mapenzi ya Mungu (Yohana 6:37-40). Wateule ni Wana waliozaliwa na Mungu wakiwa wamezaliwa mara ya pili kwa Ufalme wa Mungu. Inaeleweka vizuri sana kwamba neno kufanywa mwana limekosewa na usahihi wake kabisa ni “kuhesabiwa kuwa mwana”. Kuwawatu wengi waliohesabiwa kuwa Wana wa Mungu ila Kristo alikuwa ni mwana wake wa pekee (monogenes) (Mwana wa) Mungu. Maneno na dalili hizi vimeelezwa kikamilifu kwenye jarida la Uumbaji nk. na hapo juu. Wateule watakuwa kama Mungu (2,@4) [theoi] wakiwa kama mwendelezo wa viumbe. Ndipo Mungu atakuwa ufalme au familia. Irenæus alilielewa hili kwa sehemu wakati aliposema kuhusu kipindi nah atua hii, kuwa bila shaka imechukuliwa kutoka kwenye Zekaria 12:8:

Hakuna yeyote mwingine aliyeitwa Mungu kwenye maandiko matakatifu isipokuwa ni Baba wa wote na Mwana na wale waliofanyika kuwa wana. (ilinukuliwa na kina Gregg na Groh ukurasa wa 68 wa kitabu cha Irenaeus, Haer. 4, kifungu; ona pia kwenye 3.6.1-2; 4.1.1)

 

Lakini Paulo alisema kuwa kuna theoi wengi (1Wakorintho 8:5). Hawa ni Malaika wa Elohim.

Mwandishi pekee wa teolojia aliyewahi kuelewa dhana ya kwamba wateule watafanyika kuwa theoi na sio Mungu kwa maana ya uwingi, kwenye nyakati za sasa, yaonekana kuwa alikuwa ni Herbert W. Armstrong aliyeandika kwamba atakapokuja wa Kristo, mtu [ambao hawa waliobatizwa]:

ATAZALIWA na Mungu-kwenye UFALME WA MUNGU-na kuwa kama Mungu kwenye Ufalme huo! Hatakuwa na mwili wa kuharibika wa damu na nyama tena utokanao na udongo, bali atakuwa na mwili wa kiroho, ni kama Mungu alivyo roho (Yohana 4:24) (msisitizo halisi umewekwa).

 

Armstrong aliamini kwamba Shetani amewafumba macho wanadamu kwa kufikia kudhani kwamba Mungu NDIYE Ufalme huu alioutangaza Yesu (kwenye kitabu chake cha The Missing Dimension in Sex (Msisimko Uliopotea Kwenye Tendo la doa), toleo la 3., 1986, ukurasa wa 47). Hata hivyo, Armstrong alionekana kusimama/vacillate katikati ya Uyunitariani na Ubinitariani.

 

Mifano na Uelewa

Msimamo wa kibilia ni kwamba Mungu atajieneza mwenyewe kwa uendelezo na kiuhusiano kwa watu wote na wa tabaka zote ili afanyike kuwa yote katika yote. Kwa kufanya hivyo, uelewa wa mchakato wenyewe umemilikiwa na Mungu. Na ndiyo maana Kristo alinena kwa mifano ili kwamba wale wasiokusudiwa kuitwa tangu mwanzo wasielewe. Kristo aliwaambia Mitume:

Marko 4:11-12  Akawaambia, Ninyi mmejaliwa kuijua siri ya ufalme wa Mungu, bali kwa wale walio nje yote hufanywa kwa mifano, ili wakitazama watazame, wasione; Na wakisikia wasikie, wasielewe; Wasije wakaongoka, na kusamehewa. (pia Luka 8:9-10)

 

Mfano wa mpanzi ndipo ulitolewa kuonyesha kuwa uelewa ulitolewa kidogokidogo na kwa mpangilio ili kwamba watu wasiitwe bila mafanikio na hatimaye wakarudishwa nyuma na Shetani na wakayarudia matendo yao ya dhambi na uovu; au wakarudishwa nyuma kwa masumbufu ya dunia hii (Marko 4:15-19 na Luka 8:12-14). Hata wakati Kristo aiposema hayo kuwaambia mitume hawakuwa wamemuelewa bado. Kristo aliwatafsiria baadae ili waelewe.

Luka 24:45-47 Ndipo [Masihi] akawafunulia akili zao wapate kuelewa na maandiko. Akawaambia, Ndivyo ilivyoandikwa, kwamba Kristo atateswa na kufufuka siku ya tatu; na kwamba mataifa yote watahubiriwa kwa jina lake habari ya toba na ondoleo la dhambi, kuanza tangu Yerusalemu.

 

Kwa hiyo uwezo wa kuelewa walipewa mitume kwa mchanganuo nah atua kwa hatua na kwa wakati uliokusudiwa. Kwa hiyo, Injili ya Ufalme wa Mungu ilihubiriwa au kutolewa kwa wateule kimpangilio na kwa uelewa wa hatua kwa hatua na kwa kiwang kilichokusudiwa.

 

Paulo alisema:

Warumi 1:16 Kwa maana siionei haya Injili; kwa sababu ni uweza wa Mungu uuletao wokovu, kwa kila aaminiye, kwa Myahudi kwanza, na kwa Myunani pia.

 

Kwa hiyo Injili isiyo eleweka kwa vyovyote au kwamba ni ujumbe tu kuhusu Kristo au hata wa kile alichokisema Kristo. Injili au Habari Njema ya Ufalme wa Mungu ni elimu ambayo Mungu anaieneza kimmwendelezo na kimpangilio akijieneza mwenyewe kwenye jamii na tabaka zote za wanadamu ili kwamba afanyike kuwa yote katika wote. Kila mwanadamu atafanyika kuwa Mwana wa Mungu kama Kristo alivyo Mwana wa Mungu na kufanyika kuwa miungu wadogo (Theoi au Elohim na Bene Elohim). Mungu ndiye huu Ufalme wa Mungu. Yeye anaendelea kimpangilio wa aina yake kuwa ufalme na familia. Imani ya Utatu inanyima elimu kuhusu uelewa wa imani ya mwendelezo huu.

 

Makosa Kuhusu Umuhimu Wenye Mashiko wa Kuungana na Malaika

Malaika Waliojumuishwa

Mtu anaweza kupinga mafundisho ya Utatu na akawa bado yupo kwenye mtizamo na mrengo wa waabudu miungu mingi. hii inatokea kwa kushikilia kuamini kwamba malaika ni viumbe tofauti na hawana Uwana. Dhana hii sit u kwamba siyo ya kibiblia kama tulivyoona hapo juu, bali msimamo huu unamfanya anayeamini hivyo kuwa ni mwabudu miungu mingi. Na hata kama Biblia ingebakia kimwa kutosema chochote kuhusu suala la Uwana jambao ambalo sivyo ilivyo, ingekuwa ni sahihi kuwa na umuhimu kwa waamini Mungu mmoja kushikilia msimamo wa kwamba mzaliwa wa pekee na Mwana walikuwa kwenye ubatizo ili kuepuka ukweli wanaoamini wamonotheist. Kitendo cha kwamba viumbe hawa ni lazima wawe kwenye mapenzi ya Mungu, kwa kazi za Roho, waliompokea wakati walipobatizwa.

 

Madai Mapotovu

Kuliweka jambo kwenye matarajio kunaweza kusaidia kuyaona madai hayahaya ya waamini Utatu ambayo ni mabishano ysiyo na maana sana nay a upotoshaji yanayoaminika kisiasa au kiushabiki tu.

 

Jinsi Mbavyo Mungu Alivyo Mmoja

Jambo la kwanza ni kwamba Mungu ameelezewa kwenye Kumbukumbu la Torati 6:4 kuwa ni kiumbe mmoja na wa pekee au ni wapekee. Ambavyo ni kwenye Sura ya 4, Neno Monarchia linamaana kwamba ni Mmoja Tu ndiye aliyekuwepo na anayedumu kuishi kwa miimili mitatu ya utendaji kazi wake. Dhana hii ilipuuzwa na kuonekana kuwa ni mlolongo usina na maana kwa Wasabelliani ambapo viumbe hawa hawakuwa na tofauti. Ila Kimtizamo ni sawa na kuamini kuwa Baba, Neno na Roho hawawezi kutenganishwa, kwa kweli, au kuondolewa mbali na kila mmoja wao. Kuamini namna hiyo ni upuuzi mkubwa sana.

 (kwa mujibu wa Oxford Universal Dict.) na kufanya tofauti ni kuweka mgawanyiko, kiambaza au kitenganishi cha upande mmoja na mwingine kama ilivyo kwenye madarasa au makundi au matabaka (ibid.). Kutenganishwa kunamaana ya kuondilewambali au kugawanywa kutoka kwenye kitu fulani ambavyoo ni kuwa na uwepo wa kipekee usiotegemeana na kitu kingine na pia kukichukulia kuwa ni kitu cha tofauti au kukitenga kwa sababu maalumu (ibid.).

 

Swali kuhusu Shema ni kwamba: ni nini kinachotajwa kuwa ni mmoja na kwa nini ni mmoja na anawezaje kuwa mmoja? Hali halisi inaonekana kuwa imetengenezwa ili kupunguza ukubwa wa tatizo lakini inakuwa ni Usabelliani ule ule kabisa. Kiumbe anayetajwa kama Mungu inawezekana sana akawa: Elohim, Elohenu au hasa hasa Elohim na, kutokana na marabi wengine, ni Eloah aliye mmoja anakubali kutokuwa na uwingi. Madai ya kwamba Shema inamaana ya Eloah yanarahisisha jambo bali yanaonekana kwa hakika kuwa haimjumuishi Mwana kama Eloah ni Baba pekee (soma hasa kwenye Mithali 30:4-5 ili kutofautisha). Shema pia inachukuliwa kwa namna nyingi.

 

Toleo moja linasema Shemah Yisroel, Adonai Elohenu, Adonai Echad. Madai mengine ya tofauti kuhusu Eloah na nyingine bado inabadilika kusema: Ha Shem. Majaribio haya kwa kuepuka kutumia jina la Mungu yanakanganya zaidi jambo hili. Ni hakika kwamba lengo lake ni uwingi kutokana na tofauti yake. Shema au taaluma ya imani kwenye Kumbukumbu la Torati 6:4 imetafsiriwa kwa namna mbalimbali pia:

Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja.

 

Aryeh Kaplan kwenye tafsiri ya The Living Bible imetafsiri andiko hili hivi:

Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja.

Taaluma ni kwamba YHVH Elohim (kwenye kamusi ya Strong's Hebrew Dict. No. 430) [is] YHVH 'echad, kwa mujibu wa Strong, (SHD 259 $%! [’echad]). Tafsiri ya Jerusalem Bible Hebrew andiko hili lina tofauti mbalimbali fulani yaanayodai kabisa kuwa Elohim ({1*%-! [Elohinu]). Elohinu ni umoja na umoja uliochukuliwa kwa Elohim au Elohin (kwa Kikaldayo) ni Eloah au Elaha (kwa Kikaldayo). Hii pia ni sawa na andiko lilivyo kwenye Soncino Chumash (ed. A. Cohen). Maandiko ya Kumbukumbu la Torati 6:4 ynasema:

4.  BWANA, MUNGU WETU, BWANA NDIYE MMOJA. Bwana ambaye sasa ni Mungu wetu wa pekee mmoja na sio wa watu wengine atafikia kipindi cha kujulikana na ulimwengu wote kuwa ni wa pekee na ni Mungu wa pekee (R).  Neno Ni Mmoja linamaanisha ‘Yeye pekee’ ndiye BWANA (E). Andiko hili lina neno Mungu wetu, kwa kuwa alitenda miujiza yake na nabii Musa (N). Herufi za mwisho ayin na daleth kwa maneno ya Kiebrania ya sikia na Mmoja yanaandikwa kirefu ili kutafakari kuvuta usikivu kwenye wazo lililoko ndani yake (S).

 

Chumash huenda inaweza kutaja vitu au watu wawili. Aya ifuatayo inasema:

Kumbukumbu la Torati 6:5  Nawe mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote.

 

Kiumbe huhu ameandika kama YHVH Eloheik ikitumiwa kiambishi kionyeshacho ubinafsi kwa Mungu wako – kwa maneno mengine, kiumbe huyu anajulikana kama Eloah, Mungu Mtakatifu au Mungu Aliye Juu Sana aliyemtia mafuta Malaika aliyewaongoza Israeli ili wayajue mapenzi ya Mungu wao. Tukio hili limetajwa kwenye Zaburi 45:7 na kurudiwa kwenye Waebrania 1:9. Hii inamtaja wazi sana Mungu Baba au Eloah ambaye kwenye maandiko haya anatajwa kuwa alimtia mafuta Kristo ili amsaidie Mungu wa Israeli. Kumbukumbu la Torati 6:5 inamhusu au kumtaja kwa wazi sana Mungu, Baba, Mungu Aliye Juu Sana. Jinsi Kristo anavyolitumia andiko hili kwenye injili ya Marko inaonekana kuwa inathibitisha hatua hii. Ikitolewa kwamba Chumash inaonyesha nafasi ya Elohim kwenye aina tunayoweza kuilinganisha au kuifananisha na mahali pengine popote na Eloah, huenda ni Shema ni sehemu mbili. Kumbukumbu la Torati 6:4 inaonyesha umoja wa Elohim na Kumbukumbu la Torati 6:5 inataja upekee au utukufu wa kimungu wa YHVH Elohim au Eloah.

 

Neno la Kiebrania litajalo Moja limekuwa likitumika na mamlaka mbalimbali ya Watrinitarian ili kuifungua Shema kwenye mwonekano wa uwingi. Kwa mfano, kamusi ya Strong inaonyesha kuwa YHVH Elohim, ni neno la uwingi la Mungu, kama lilivyo la 'echad au moja linalosimama kwenye fikra au dhana ya muunganiko.

 

'Echad inatumika kwa maana ya muungano au kuambatana kwenye Mwanzo 2:24 ambapo Adamu na Hawa walifanyika kuwa mwili mmoja. Lakini hata hivyo hawakurudia kuwa na utambulisho wao wa kibinafsi wala ubinafsi wao wa Kimaumbile. Neno litumikalo kuelezea umoja kwenye Kumbukumbu la Torati 6:4 kwa kweli ni sio 'echad ambalo kwenye kamusi ya Strong inavyodai, hata kwa dhana ya mmoja inatokana na muunganiko. Tafsiri ya Companion Bible kwenye andiko lake la Kumbukumbu la Torati 6:4 linasema kuwa neno la Kiebrania lililotumika kueleza mmoja hapa kwa Kiebrania ni 'ehad, yaani.

muunganiko wa pamoja (Lat. unus), mmoja kufanyika kuwa wa wengine: Mwanzo 1:5, mmoja wa watu saba; 2:21, mmoja kati ya ishirini na wanne; 2:24, mmoja aliyefanywa kati ya wawili; 3:22, mmoja wa wanaounda Utatu (imeongezwa kwa kusisitiza) nk. Sio yahid, ambayo ipo (kwa Kilatini) unicus, pekeyake au ni moja tu peke yake, inatokea mara kumi na mbili ... kwa Kiebrania kwa maneno mengineyo yote kwa yeye mmoja ni 'echad.

 

Kwa hiyo, neno lililotumiwa kuelezea moja hapa ni umoja mjumuisho ambalo kamusi ya Strong haionyeshi kulielezea. Madai ya kwamba Mwanzo 3:22 inaonyesha uwezekano wa kuwepo kwa Utatu sio sahihi. Shema imetudiwa tena na Kristo kwenye Marko 12:29 ambalo baadhi ya maandiko yamenukuu kinyume chake. Kwenye tafsiri ya The New American Standard Bible imeinukuu Kumbumbuku la Torati 6:4 tofauti na ilivyo kwenye Marko 12:29. Tafsiri ya KJV inaishia kwenye Kumbukumbu la Torati 6:4 kwa lile neno lisemalo Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja, ambavyo ni namna ilivyoishia Marko 12:29. Tafsiri ya NIV inasema Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja na inasema  kwenye Marko 12:29 kama ilivyo. Dhana iliyoko kenye Marko 12:29 ni kwamba Mungu ni kurios mmoja au ni mwenye mamlaka, aliyetafsiriwa kama Bwana. Zwingli alitafsiri maandiko mawili tofauti. Kwa kweli, andiko hili linaonyesha kuunga mokono nadharia hii kwa namna tofauti. Kwa kuhitimisha wazo hili kwamba Mungu ni mmoja au kiumbe mmoja linaonekana kuwa ni tofauti tusipokuwa tukashughulika na Elohimu maalumu; ambaye ni kama tulivyoona hapo juu hoja muhimu. Dhana ya kwamba Mungu ni mmoja inaweza kutokana pia na jinsi isemavyo Malaki 2:15. Alipokuwa anaongelea kuhusu matendo ya hiana ya mwanaume kwa mke wake, ambavyo watu wetu wamekumbwa nayo kuyatenda matendo haya, nabii Malaki anasema kwamba walifanywa kuwa echad, au wamoja.

Au je! Kuna mtu mmoja atafutaye mzao mwenye kumcha Mungu? Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana.

 

Uzao wa Elohim utajwao hapa ni zera_. Uzao kama tunda ulitumiwa kama mtoto. Neno echad hapa lilikuwa ni kuwa mmoja kama umoja au shirika na Mungu. Hivyo basi, fikra ya kwamba Mungu ni mmoja inachukua maana mpya kabisa. Malaki 2:10 inasema Je! Sisi sote hatuna Baba mmoja? Mungu aliyetuumba. Neno echad linafuatia na El au Mungu kwenye sehemu kubwa ya maandiko ya tafsiri ya Interlinear. Tafsiri ya NIV ina neno lisemalo Hatuna Mungu mmoja aliyetuumba. Mungu anayetajwa hapa ni Mungu (El) Baba na ni mmoja. Neno Echad hapa lina maana ya umoja. Matumizi ya neno Echad linatumika kwa namna tofautitofauti. Biblia kwa mkazo mkubwa sana inakataa madai ya kwamba Elohim ni mmoja au kitu kimoja kwa maandiko yaliyoko ndani yake. Kwenye Kumbukumbu la Torati 6:5 kunaongelea kiumbe mmoja YHVH Eloheik. Zekaria 14:9 inasema kwamba YHVH atakuwa mmoja (e[c]had) na jina lake moja (echad). Ni Eloah tu, peke yake aliye mmoja na wa pekee, ila hawa Elohim wanajumuishwa na kuwa chini ya Eloah. Amri za Kristo kwenye Marko 12:29-30 zinasababis udadisi wa karibu kumpa mtu hamu ya kutaka kujua zaidi. Amenukuliwa akinasema:

Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja; nawe mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote.

 

Marko 12:29-30 inaonekana kwenda sambamba na tafsiri ya Septuagint kwa maneno yaliyonenwa kwenye Kumbukumbu la Torati 6:4-5. Kwa ujumla, neno Mungu ni mmoja aina ya usemi wa 6bD4@F ,ÉH ¨FJ4< [kurios eis estin] (tafsiri ya Septuagint haina kiambishi cha < [n]). Neno ,ÉH [eis] linameonekana kwenye kamusi ya Strong's Concordance (SHD 1520) kuwa na tarakimu za kwamzoni; mmoja: - a(n, -ny, fulani), nk. Kiambishi chake kinaonyesha kuongoza sababu ya lawama au shutuma pekee (Appendix 104, vi, of the Companion Bible). Kwenye kipengele cha vi tunamuona Eis huyu:

Inaongoza jambo moja tu (ni jambo Linaloshutumika). Euclid inatumia neno eis wakati mstari unapopigwa na kuunganishwa na mwingine mahali fulani. Kwa hiyo, inaonyesha fikra ya kutilia maanani jambo hili, ambapo dhumni la kuifikia au kuigusa (kama ilivyo kwenye Mathayo 2:11, 3:10. Luka 8:14. Matendo 16:10.) Kutokana na hii linajitokeza wazo la jambo hili linalopelekea kwenye fikra kama hiyo zikijitokeza (mfano ni Mathayo 18:20,30. 1 Wakorintho 12:13. Wagalatia 3:27.; na kwa kutilia maanani tendo hilo au mwenendo unafanywa. Kinyume chake kabisa na eis, pros wengi hufanya somo moja kwa maana ya kufikia somo la ndani zaidi ambalo linaonekana kwa kijineno cha eis (kwa mfano Yohana 6:35. Warumi 5:1. Waefeso 4:12. Ni kinyume cha ek...

 

Kwa hiyo, eis ni neno la Kiyunani linalotumika kuelezea maana ya 'ehad au muungano kwa Kiebrania kama mwonekano wa viumbe vitakatifu. Huenda inamaanisha Kumbukumbu la Torati 6:4 & 5 imepotea kwenye mchakato wa kutafsiri. YHVH Elohinu imewekwa na kinomino kuwa Kurios O Theos na andiko lililo kwenye aya ya 5 linaonyesha kutokubaliana na Kurion ton Theon. Huenda hii ndiyo maana tofauti kwenye Kiyunani ya mpangilio uliopendekezwa kuwa ulikuwa ndio uliomaanishwa na Yohana kwene Yohana 1:1. Suala lililopendekezwa linaonekana kutumika kwa neno eis linalosimamiwa na mazingira yasiyokubalika. Matumizi ya neno Theon yanaonekana kufuata kanuni zilizo kwenye Yohana 1 ambazo tumezipitia huko numa.

 

Muundo uliopata nguvu kwenye tafsiri ya Septuagint na Agano Jipya la Kiyunani inaonekana kuwa na utofauti ya mbali sana kutoka kwenye Kiyunani kizuri. Imani hii, hususan kwenye Kiebrania na Matendo ya Mitume na vitabu vinginevyo, vinatokea kwa mtindo wa Koine au Kiyunani cha mitaani kisichorasmi. Matumizi ya kila mara lazima yangeashiria kwamba mtindo na muundo uliotumiwa na mtume Yohana na mitume wengine ilikuwa ni kuanzisha na kueneza imani ya Uhelleni wa Kiyahudi kwa kushirikisha mtindo wa kiuandisho au kosmolojia ya Agano la Kale. Huenda mtindo huu ulianzia huko Alexandria kwa mtazamo wa jumla wa mapokeo ya Talmud (zaidi ya kuitwa tu Kabbalah kwa maana yake ya Kimythiolojia), na kupelekea kuwepo kwa tofauti na usaidizi kwene Elohim kutokana na Zaburi 45:7. Usomaji wa Zaburi 45:7 kwenye lugha ya Kiebrania vilevile kunafuatiwa na tafsiri ya Septuagint na Kristo anaonekana wazi sana kuwa alikuwa na washiriki (:,J`P@LH) [metoxous] waliowajibia na kufanana nay eye, waliotafsiriwa kama watenda kazi amoja naye au marafiki zake kwenye tafsiri ya RSV. Waebrania 1:3-4 inasema kuhusu Mwana kwamba:

Yeye kwa kuwa ni mng'ao wa utukufu wake na chapa ya nafsi yake, akivichukua vyote (ta panta) kwa amri ya uweza wake, akiisha kufanya utakaso wa dhambi, aliketi mkono wa kuume wa Ukuu huko juu; amefanyika bora kupita malaika, kwa kadiri jina alilolirithi lilivyo tukufu kuliko lao.

 

Waebrania inaonyesha wazi sana kwamba uwepo na kuketi kwake mkono wa kuume wa Mungu ni wa muhimu kwa ajili ya utilimizaji kikamilifu kwa huduma ya upatanisho wa dhambi zetu. Yeye yu siye Mungu na kama anavyoitwa hapo juu kuwa ni mshirika na rafiki tangu alipozaliwa hapa duniani. Ni Mungu tu peke yake asiyepatwa na madhara au kufa (kwa mujibu wa 1Timotheo 6:16). Uzima wa milele wa Kristo au aioonion (1Yohana 1:2) unatokana na Mungu sawa na unavyofanyika uzima wa milele wa wateule wote unaofanyika uwezekane kwa kutolewa kwake sadaka Kristo. Mungu hata hivyo, si Mungu na yuko tofauti naye kabisa pia na Malaika. Tatizo la tofauti ya Theon/Theos haliwezi kuelezewa kwa kanuni za kigrama na inastahili kwa ukaribu sana kutafitiwa. Kwa hakika, kuanzishwa kwa mafundisho yaliyouama kwenye miundo mbalimbali iliyo hapo juu si jambo la busara. Yapasa iandikwe kwa kulinganisha na mahudhui ya Biblia yote.

 

Roho Mtakatifu Kama Mungu

Roho Mtakatifu anadaiwa kuwa ni:

Mtakatifu, wa milele na anaumuhimu sawa kwa Mungu, lakini ni tofauti na Baba na Mwana.

 

Mtazamo wa Calvin wa kuutafsiri utrinitarian hapo juu, nafasi na msimamo huu ambao kimsingi ni mwamini Utatu kimsingi wake anashurutisha madai kwamba Roho Mtakatifu ni Mungu. Shekhinah iliyochukuliwa kuwa ilitengenezwa kwa mapokeo ya zamani sana ya Kiyahudi kama ilivyoonyeshwa hapo juu, hususan Sefer Yezirah (c. 1130) na Judah b. Barzillai. Roho Mtakatifu ni nguvu au uweza wa Mungu. Madai ya kwamba Roho Mtakatifu pia ni Mungu tuliyoyashuhudia hapo juu yanaonesha kutokuwa na mashiko. Sambamba na matumizi yasiyobadilika ya Kristo na Mungu kuwa ni maneno yaliyosawa si sahihi kama matumizi ya Wagalatia 2:20 yalivyoonekana. Kwa hiyo, Kristo aliishi ndani ya Paulo kama Mungu alivyoishi ndani ya Paulo inawezekana tu kwa kufanyika kama mshiriki wa tatu ambaye mara nyingi sana anaweza kuwa kama chombo au kifaa cha kuwezesha uwepo wa uweza mkubwa na wa muhimu wa Mungu Baba na ambavyo Kristo anashiriki. Madai ya kutolewa kwa Roho Mtakatifu kutoka kwa Baba na kutoka kwa Mwana lilikuwa ni fundisho lililotangazwa na kurasimishwa kwenye Baraza la Mutano Mkuu wa Toledo mwaka 589; kifungu Kisichorasmi. Msimamo huu wa waamini Utatu wa Makanisa ya Mashariki.

 

Ki msingi, inaonekana kuwa ni upuuzi kusema kwamba Roho Mtakatifu kwamba Roho Mtakatifu aliumbwa kama inavyodhaniwa kuwa ni kiumbe aliye tofauti. Roho Mtakatifu kama uweza wa Mungu ni lazima kila mara awe kama nguvu takatifu ya kimungu akiwa na tabia ya kuwa na uweza wa kutoshindwa na kuwa na nguvu zisizoshindwa, vinginevyo atakuwa hana nguvu au uweza wa kuumba au Hekima kama mwenye tabia za uweza mkubwa wa kuwa na nguvu zisizoshindwa (soma jarida la Uumbaji: nk., hususan kwenye Sura ya 2). Kuumbwa kwa Roho Mtakatifu kwa maana ningine kwa uwepo wa mapenzi ya Mungu. Roho alikuwepo tu kwa uwakala wake uliopo tangu mwanzo wa kutendwa kwa mapenzi ya Mungu. Kizazi au uzao huu uliopelekea uumbaji wa Roho Mtakatifu ni dhana ileile ya matumizi ya kizazi wa Waathanasian kuelezea kwa nini Kristo hakuumbwa. Wale wanaoitwa Waarian, na kwa kweli ni watenda mambo yao Kibiblia, waliona kwamba Kristo aliumbwa pia, iwe ni kwa njia ya kiuzawa au sivyo, hakupunguzi wala kuongeza ukweli kwa uumbaji wa Mungu bali ni uumbaji wa Ulimwengu. Mjadala uliochukua mkondo kwenye mtaguso wa Nicæa haukuweza kutenganisha jambo hili la msingi. Hatimaye, matokeo yake yalikuwa ya uwongo. Ilikuwa kwa mapenzi ya Mungu kwamba Roho Mtakatifu alikuwa kwanza amechkua haiba na tabia ya Mungu iliyowezesha kuwepo kwa umoja wa Roho na Baraza la Elohim ambalo linatenda kazi kwa uumbaji wao.

 

Roh Mtakatifu ni tabia na haiba endelevu za Mungu inayowawezesha wateule kutendea kazi nguvu za Mungu kwa mambo yanayoendananaye. Alianza kuwepo kwa umbo tunalolijua alipokuwa anaanza kuwepo hapo mwanzoni kwenye mapenzi ya Mungu. Kwa hiyo ni kwamba ni nadharia, na kwa hiyo, aliumbwa.

 

Kuwa Sawa Kinafsi

Neno ubinadamu limefanyiwa kazi kwenye mambo ya Uungu. Linakanganya kwenye maneno ya kusema, kama hapo juu, kwamba Mungu ni mmoja, kwamba Mungu ni mmoja au kitu kimoja na kisha kuendelea kwenye msimamo huu wenye mkanganyiko; isipokuwa imechukuliwa kwamba umahiri wenye weledi au ubinadamu havipo viumbe vilivyotofauti; kwa maana ya kumchukulia Mungu ni mtu mmoja na Kristo na Roho Mtakatifu ni facets za umoja wake. Msimamo wa kwamba Kristo na Mungu wako sawa na mambo sahihi kati ya imani za Kiutatu au Usabellanian. Kwa kiwango chochote, iwe kwamba msimamo hashikamani au kulingana na kwa kweli ni sawa na ilivyokuwa mwanzo. Lengo kuu kwenye mashiko na kumeguka kwa viumbe au viumbe wanaoitwa Mungu Baba, Kristo na Roho Mtakatifu kama ilivyokuwa habari ya Usabellanism ni kwamba sadaka ya mwanakondoo ilikuwa ni kitu cha upatanisho kwa Mungu wake. Kudai kwamba Mungu laikufa kama kitendo cha kujiabudu mwenyewe ni upuuzi wa hali ya Kujiona au kujijali mwenewe ya Kisaikolojia na imani ya Unarcissism. Inapelekea kwenye kitendo cha kukataa ukweli wa kifo cha Kristo na ufufuko wake. Kristo alikufa na kufufuka kwa uweza wa Mungu kama mwanadamu atakavyokuwa amefufuliwa pia. Mitazamo ya kuwa sawa na hitaji la kimashiko la kudai kwamba Kristo hakufa na, hivyo hakufufuka, sawa na kama: Alijiondoa mwenyewe kwenye Uungu mtini na kwamba ulikuwa ni mwili wake tu ndio uliokufa; alibakia kuwa Mungu na kama kiumbe au mtu mwenye fahamu. Iko wapi basi sadaka na iko wapi basi imani? Alikufa kama walivyokufa mtakatifu mwingine yeyote. Asili yake ya muhimu kama Roho ilivyobakia kwenye fikra au mawazo na mapenzi ya Mungu ikiutegemea kabisa uweza wan a mamlaka ya Mungu ili kuutwa uhai wake tena. Ilimlazimu kufufuka katika mwili na kubadilishwa katika Roho kama sadaka ya Mganda wa Kutikiswa. Ukristo wa leo hauwezi kuuelewa mchakato huu kwa kuwa hawaiadhimishi Pasaka kwa usahihi.

 

Agano Jipya linatumia neno takatifu kwa kumhusisha au kumaanisha Roho Mtakatifu kwenye 2Petro 1:3-4 ambapo inasema hivi:

Kwa kuwa uweza wake wa Uungu umetukirimia vitu vyote vipasavyo uzima na utauwa, kwa kumjua yeye aliyetuita kwa utukufu wake na wema wake mwenyewe. Tena kwa hayo ametukirimia ahadi kubwa mno, za thamani, ili kwamba kwa hizo mpate kuwa washirika wa tabia ya Uungu, mkiokolewa na uharibifu uliomo duniani kwa sababu ya tamaa.

 

Andiko hili halidai wala kusema kuwa Roho Mtakatifu ni Mungu bali linasema ni kuwa ni uweza mtakatifu wa Mungu. Kusoma hii kuwa kama inasema kuwa mitu kilicho mbali na cha tofauti au nafsi ya Mungu ni kupotosha wazi usomaji na maandiko haya. Matendo 5:3-4 inaonekana kumuita Roho Mtakatifu Mungu.

Petro akasema, Anania, kwa nini Shetani amekujaza moyo wako kumwambia uongo Roho Mtakatifu, na kuzuia kwa siri sehemu ya thamani ya kiwanja? Kilipokuwa kwako, hakikuwa mali yako? Na kilipokuwa kimekwisha kuuzwa, thamani yake haikuwa katika uwezo wako? Ilikuwaje hata ukaweka neno hili moyoni mwako? Hukumwambia uongo mwanadamu, bali Mungu.

 

Dhana ya kwamba kifungu hiki kinakusudia kumtaja Roho Mtakatifu kuwa ni Mungu linazua hila ya kiujanja ya kuunganisha kipande au sehemu ya kwanza, iitwe, kiuwongo Roho Mtakatifu kwa kumpa au kuwa na jina la kicheo na mitume, na sehemu ya pili kusema kwamba kuwa Anania hakumdanganya mwanadamu bali Mungu. Tathimini sahihi ya andiko hili inaonyesha kwamba wazo la kuwa ni Mungu lilianzia toka kwa mitume na kwa Anania mwenyewe. Anania alipowadanganya mitume, alikuwa pia amejaribiwa kumdanganya Roho Mtakatifu ambaye alikuwa pamoja nao wote akiwa kama wakala wa Mungu aliyemtumia kuwaongoza wateule. Petro alimkemea kwa kusema uwongo ambavyo kwamba hakuwa amewadanganya wanadamu bali Roho Mtakatifu (aliyekuwa amekaa katikati ya wateule). Hivyo, kutokana na umuhimu huu, wateule ni miungu, jambo ambalo ni upuuzi kusema hivyo asipokuwa na ushirikiano mwanana wa Kiuungu (soma Zekaria 12:8).

 

Kitendo cha kutotoa zaka hakiwachukizi wanadamu, bali ni cha kumuibia Mungu (Malaki 3:8) na kutotoa nadhiri ni sawasawa tu nayo na kumuibuia Mungu (Ni kutenda Korban hasa au kutenga mbali sadaka za Mungu kulifanywa vibaya na mapokeo, wakikusudia kuikanganya sheria au torati na ndicho kilichopelekea wao wakemewe namna hii na Kristo, mfano ni kwenye Marko. 7:11).

 

Kinachotakiwa kieleweke hapa ni kwamba Roho Mtakatifu alikuwa akiishi ndani ya wateule na ndipo nguvu za mbinguni zilikuwa katikati yao. Kumdanganya mtu ni tabia ya kawaida kama kwa mkusanaji wa zaka au mwiba zaka au sadaka alivyokuwa anamdanganya Mungu kwa mtazamo au jinsi ya kibinadamu, kitenco kilichotafsiriwa kama kumuibia Mungu ilivyoandikwa kwenye kitabu cha Malaki. Kulitumia andiko hili kudai kuwa Roho Mtakatifu ni kiti mbali na utendaji wake kwa wateule, ni sahihi.

 

Roho Mtakatifu kama nguvu utokayo juu ameelezewa tena na Mtume Petro kama anavyonukuliwa kwenye 2Petro 1:3-4.  Petro alisema kwamba Roho Mtakatifu ni nguvu ishukayo kutoka mbinguni. Kumbe yeyote anayeyatendea kazi mamlaka kutoka mbinguni, na hapa ni kama nguvu zenewe, iliyochukua cheo cha Mungu. Fikra na dhana ya Ukristo uliochanganyika na dini ya Kiyahudi ni kwamba viumbe hawa ama walikuwa wamoja na Mungu au walikuwa kwenye mkumbo wa uasi na uovu ndio msingi kwenye imani ya kimonotheism. Jambo hili limeainishwa kwenye kifungu cha majina kwenye jarida la Tatizo la Dhambi na Uovu na kuiainisha dhana ya Kiebrania. Wateule walitembea na Roho Mtakatifu na ndiyo uweza wenye maana moja ya kuwa alikuwa anaendeleza ukuu wa Mungu.

 

Uweza wa Kuelewa Kila Jambo pia ni kama tabia aliyonayo Roho Mtakatifu

Shekhinah ilijulikana kama Busara na, kwa kweli, Theophilus alilijumuisha wazo hili kwenye trias yake kama ilivyo hapo juu. Maana Roho huchunguza yote, hata mafumbo ya Mungu. (1Wakorintho 2:10) ambavyo ni kusudi la kuelewa makusudi ya kila mmoja sio suala au wajibu wa uweza huu wa kujua kila jambo. Inaweza kuwa kwamba Roho ni kifaa ambacho kwacho Mungu hutumia kukiambukiza au kukishirikisha uweza wake wa kujua kila kitu bali haifuatii kuwa Roho ana uweza wa kujua kila kitu (soma jarida la Tatizo la Dhambi na Uovu, “Uweza wa Kujua Kila Jambo”). Maelezo kuhusiana na uweza huu wa kuelewa kila kitu wa Roho Mtakatifu, upo kwa wateule hata leo kila mahali (kwa mujibu wa 1Wakorintho 6:19) badala ya kuunga mkono kila wazo la kumtenganisha mtu wa tatu na kumuona kama Mungu, inaashiria kuwepo kwa malumbano au hoja ya kuongeza Uungu. Roho Mtakatifu ni kitendea kazi anayejikusanya pamoja kwenye Hekalu la Mungu, ambalo ni kitu kiishicho cha viumbe wengi. Wateule ni mawe yaliyo hai au vitu vingi vinavyowezesha kuwepo Hekalu la Mungu (1Petro 2:5). 1Petro 2:5 pia anamtofautisha Kristo na Mungu. Kwa hiyo Roho anaweka vitu vingi pamoja kuliko kubisha kukitenganisha kitu cha tatu. Ni kwa kupitia huyo Roho na ni kwa njia ya Roho tu ndipo Kristo anakuwa mmoja na Mungu na ndipo anapoweza kuitwa Mungu.

 

Roho Mtakatifu Anakiri Kutokuwa na Faida wala Hasara

Mapokeo au dogma anayoyakubali Roho Mtakatifu yasiyo na faida wala hasara yalikuwa muhimu katika kumtenganisha Kristo na wateule na Malaika kwa msingi wa kitrinitarian. Tumeona (kwenye Uumbaji: nk. na hapa napo) jinsi ilivyojailiwa huko Nicæa na jinsi ilivyokuwa imepingwa. Uenezaji wenye mashiko wa falsafa hii potofu ilikuwa ni kupinga kwama Roho Mtakatifu anaweza kuenelezwa ndani ya wateule. Kwa hiyo kiwango cha Roho alichonacho Kristo kinatofauti ya milele na kikubwa na kile ambacho mteule anashirikishwa na Mungu Baba. Ni sa wa sana tu kwamba wateule hawawezi kuongeza kiwango cha Roho zaidi ya kile walichopewa kwenye ubatizo. Ndipo ujinga unaendelea kwenye hitimisho kwamba unaweza tu kuomba ulinzi kwa Roho kwamba uliyenaye tayari na sio kwa ajili ya kuongezewa kokote kwa nguvu za Roho. Jambo lolote la Mungu ni lazima liwe na Mungu kamili kwa uhusiano wa Kristo lakini lihusiane na liwe na ukomo kwa mteule. Hii ni sawa na kusema kuwa na pete ya mvuto kwenye kidole cha mtu ni mtu kamili, na sio sehemu ya mwili. Maana yako sahihi kwa hilo kuwa kila seli inakuwa na nasaba ya uzawa ya DNA sawa kama ni muhimu kwa kukufana wewe ukamilike; ila madai yenyewe ni ya kipuuzi. Lakini hata hivyo, ni kweli kumfananisha Roho Mtakatifu na DNA ya Mungu ni kama kwa mwendelezo wa ufidiaji wa utaratibu wa mwanaamu na Roho Mtakatifu unaweza kukamilika. Fikra kama hiyo ni sawa kama kuurudisha mchakato wa kutafunwa na saratani. Hili ndilo lililokusuiwa kwene mfano wa mbegu ya muharadari nay a chachu alioutumia Kristo kwenye 13:31,33; Marko 4:31; na Luka 13:19,21. Hatimaye, matokeo yake ni uweza au nguvu kamili za Mungu. Madai ya kwamba asili ya kimunga haipati faida na wala haina hasara, na madai ya kwamba ni utendaji tu wa mwanadamu mteule amejumuishwa au kuwekwa si sahihi kabisa. La muhimu sana, madai ya kwamba haiwezi kuongezwa yanapingana na mafundisho ya biblia.

 

Dhana kama hiyo ingefungia mshikamano na umuhimu kwenye mahala pa kutokuwa na uwezekano wa kukua katika Roho au kubailisha mwelekeo wa uweza unaohitajika na wa muhimu utolewao na Roho kwa wateule. Mshikamano wake kwa hiyo ungeweza kuwa ni mkwamo wa kiroho, kama sio kurudi nyuma. Msimamo wa kibiblia ni kwamba Roho amewekwa ndani ya mteule wakati wa ubatizo. kutokana na hapo juu, ni Roho Mtakatifu ndiye aliyemuwezesha Kristo kuwa mmoja na Mungu akimuunganisha yeye na Mungu. Wateule walipewa Roho sawasawa na mpango wa Mungu. Kristo na Malaika walifanya kazi zao kwa utiifu. Ilienezwa pia kwamba imani ya miungu mingi ya muelitist iliyoanzishwa na Watrinitarian na Mafundisho ya mwendelezo wa Nafsi hai ilisababisha kuwe na ulazima wa kudai kwamba Kristo alikuwa na tabia na uweza wote wa Mungu, ila hiyo ni viumbe wote wa jamii ya Malaika ndio hawakuwa na asili hii ya kimungu. Kwa hiyo, Malaika yuko tofauti na Kristo ambaye ni Malaika wa YHVH. Dhana hii ilipelekea kuanza kwa imani ya miungu mingi mioyoni mwa Malaika. Mchakato tata wa kuitwa au wito wa wateule ulipelekea kuanzishwa kwa fundisho hili na hata kwa kiupotoshaji zaidi. Ilifanyika kuwa lazima kuamini kwamba Roho hangeweza kuongezwa.

 

Matumizi ya Paulo yanayochukuliwa kuwepo kwa usemi unaopelekea kumtumia Roho na kuanzisha mlundikano wa deni la dhambi ambayo ilifanyika kuwa msingi wa mafundisho ya kizushi ya Wakolosai, yaliyoainishwa kwenye Kitabu cha 1, Sura ya 5 na 6, yaweza kuwa ilichangia tatizo. Lakini dhana ya kutoongezeka nguvu za Roho na ingesimama tu kiutofauti kwa kupuuzia maandiko mengi ambayo yanafanya kuwepo madai haya.

 

Paulo anasema kwamba Roho ni mwadilifu au malipo yakini kwenye 2Wakorintho 1:22; 5:5. Huu ulikuwa ni uadilifu wa urithi (Waefeso 1:14). Neno lililotafsiriwa kama uadilifu lilitokana na neno la Kiyunani "DD"$T< [arrhabon], ambalo kwa neno asili la Kiebrania na lililomaanisha kwa mujibu wa kamusi ya Kiyunani ya Strong's Greek Dictionary Na. 728:

Nadhiri, yaani, sehemu ya fedha za manunuzi au raslimali iliyotolewa kama malipo ya utangulizi kama poni ya kuonyesha uaminifu.

 

Ainisho lolote la neno halikuhitimika bali lilihitimisha kwamba Roho alikuwa anaweza kuongeza na kupunguza yamkini kwa kugawanya vipande. Dhana ya kutoa malipo ya awali bila kuepuka yanahitaji mgawanyiko kama huo. Kuna mpangilio wa kwanza wa Roho kwenye ubatizo. kwa hiyo kuna uhusiano shirikisho wa Roho. Tangu ubatizo Roho anaendelea kukua. Roho Mtakatifu ni mwezeshaji anayewafanya wanadamu kuwa Ufalme wa Mungu (Ufunuo 1:6). Ukuaji wa Ufalme unatokea kwa kupitia huyu Roho, kwa imani na kwa kumtumaini Mungu.

 

Ufalme huu ulifananishwa na punje ya haradali kwenye Marko 4:30-32 na kama ilivyo hapo juu. Mbegu imepandwa ndani ya wateule kama watoto wanaoikulia imani na maarifa na nguvu. Roho anakua kwa namna mbili, kwa kupitia ubinadamu kama donge la chachu ichachushayo onge zima (Mathayo 13:33) na ndani ya kila mmoja hadi inapomshachusha mtu huyo. Utoaji sadaka ya mikate siku ya Pentekoste unaashiria mchakato wa uchachushaji wa Roho Mtakatifu ndani ya mteule (soma ia majarida ya Kalenda ya Mungu na Pentekoste). Ndipo Mungu anafanyia kuwa yote katika yote (1Wakorintho 15:28 KJV). Neno au usemi wa yote katika yote ulibadilishwa kwenye maaniko mengine ili kulandanisha na madai kwamba Roho Mtakatifu hakukua. Neno yote katika yote ambalo limetafsiriwa kama kilakitu kwa kilamtu kwenye tafsiri ya RSV, limetoholewa kutoka kwenye Kiyunani: BV<J" ¦< BF4< [panta en pasin]

 

Marshall anatafsiri neno hili yote ndani ya yote kama kifungu kikuu cha tafsiri ya RSV ya Agano Jipya la Kiyunani na Kiingereza ijulikanayo kama the RSV Interlinear Greek-English New Testament. Maneno haya ni upunguzaji maana ya B"H (pas) inayomaanisha yote, chochote, kila, yote:- yote (ikimaanisha vitu au vifaa vyote), kilamara (-s), chochote (kile). Kwa hiyo maana yake kiusahihi sana ni yote katika yote. Kwa hiyo Roho anajieneza kwa kila mtu akiwakuza kwa kiwango cha wastani hadi wafike kwenye kimo cha Kristo (Warumi 8:29). Kimo kinachoendana na faida kwa kila mmoja. Mtume Paulo anasema kwamba Roho anaweza kuzuiwa au kuzimwa na mtu, kama isemavyo 2Timotheo 1:6. Paulo anasema:

Kwa sababu hiyo nakukumbusha, uichochee karama ya Mungu, iliyo ndani yako kwa kuwekewa mikono yangu.

Maana Mungu hakutupa roho ya woga, bali ya nguvu na ya upendo na ya moyo wa kiasi.

 

Kwa hiyo, Roho anaweza kuzimwa na kutwezwa au anaweza kuhuishwa kikamilifu kabisa kutoka kwene hali yake ya kuzimika.

 

Kwa hiyo, Roho anakubaliana kuhusu faida na hasara kwa mtu peke yake. Ni sawa tu na Roho huyohuyo anakubaliana kutofautisha karama kati ya watu (1Wakorintho 12:4). Kwa kuwa Kristo hakuwa na uweza wa Mungu wa kujua kila kitu na pia hakuwa na uweza kamili usioshindwa na kitu chochote alionao Mungu peke yake, na ndivyo pia wateule wanavyotofautiana karama zao kati ya mmoja na mwingine. Tena pana tofauti za huduma, na Bwana ni yeye yule (1Wakorintho 12:5). Ni Mungu huyuhuyu ndiye anayewavuvia wao na kuwapa kazi tofauti tofauti katika kumtumikia Kristo (1Wakorintho 12:6). Lakini kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa kufaidiana. Maana mtu mmoja kwa Roho apewa neno la hekima; na mwingine neno la maarifa, apendavyo Roho yeye yule; (1Wakorintho 12:7-8). mwingine imani katika Roho yeye yule; na mwingine karama za kuponya (1Wakorintho 12:9); wengine wamepewa uweza utendao kazi uliotafsiriwa kuwa miujiza. Na mwingine unabii; na mwingine kupambanua roho; mwingine aina za lugha; ((8TFFä<) [glõssõn] na mwingine tafsiri za lugha;  (1Wakorintho 12:10).

lakini kazi hizi zote huzitenda Roho huyo mmoja, yeye yule, akimgawia kila mtu peke yake kama apendavyo yeye.

 

Hivyo basi, Roho amempa kila mmoja wa Watakatifu karama watakazokuwanazo kwa msingi ulio sawa ili kutimiliza malengo na makusudi na Mpango wa Mungu. Kwa hiyo, wateule wanakunywa Roho mmoja huyohuyo (1Wakorintho 12:13). Kristo ni kichwa cha mwili wote, ila wote wanashiriki damu moja ya Kiroho. Kupokea kwa karama hizi ni kwa namna inayohitajika kimsingi na Roho. Roho anaweza kumjalia mtu hekima kama anavyoweza kumpa mtu karama nyingine yoyote kwa kuomba na hata bila kuomba. Kwa hiyo, Roho ni rafiki na yupo karibu na anaweza kubadilika sawa sawa na hitaji na mahali palivyo. Kwa hiyo, Roho anakubaliana na faida na hasara.

 

Uariani

Imani ya Kiariani inakosewa kidogo kutafsiriwa na waaminiUtatu wengi kama:

Mtazamo unaomuangalia Kristo kuwa ni kiumne wa daraja la juu sana la uumbaji kati ya viumbe wote walioumbwa na kwa hiyo wanatajwa kuwa kama Mungu, lakini sio Mungu.

 

Hata hivyo, tabia za Waathanasian kwa jinsi wanavyouona Uarian unaomfanya Roho kuwa ni kiumbe wa Mwana. Hiyo ni uwongo mkubwa sana. Inaweza pia kuwa ni jinsi ya kutazama jambo kimtazamo.

 

Msimamo wa kibiblia kwa uumbwaji wa Kristo ni kwamba alifanyiwa mtungo kutoka kwa Mungu Baba. Kinachoitwa au kujulikana na waamini Utatu kuwa ni kizazi kama ilivyo hapo juu, ukweli kuhusu ujio wake kama kizazi au ujio unamfanya yeye awe kiumbe wa Mungu Baba. Kuja kwake ni tendo la utendaji kazi wa hiyari wa Baba na ambao pasipo huo Mwana asingekuwapo kama kitu. Msimamo kama huohuo ndio uliaminiwa na Kanisa siku nyingi kabla ya Arius, kama inavyoonekana kwenye nukuu za hapo juu. Msimamo wa kwanza na halisia na kwa kweli ndio wa Biblia ni kwamba msimamo ulioonyeshwa kwenye tafsiri ya hapo juu na Arius. Tafsiri hiyo sio kuwa ni ya jumla tu na iliyolenga kutumika kama tafsiri rasmi na yakipekee mbali na msimamo wa Arius na wa Shule ya Lucian wa Antiokia. Hivyo, kutokana na tafsiri hii, mitume na watu wengi wakiwemo Makasisi wapinga maazimio ya Nicene ambao ni Waarian. Tafsiri kama hiyo inamuonea shaka Kristo na kumshutumu kwa midomo yake Muariu. Soma pia majarida ya Usociniani, Uariani na Uyunitariani (Na. 185)  na Uariani na Usemi-Ariani (Na. 167).

 

Inawezekana kabisa kuwa kwamba tunachokiona kutoka tangazo la imani la Nicæa/Constantinople ni uundwaji au uanzishwaji wa dini mpya ambayo ina machache ya kuyafanya kati ya yaliyofundishwa na mitume au Kanisa la kwanza na ndani ya dini hiyo, ushawishi wa Arian umefanyika kwa wote wa upande au sehemu zilizotangulia. Inafanana kabisa hata hivyo kwamba tafsiri iliyotumika ni mjumuisho suio na msingi kwa kweli bali unalitumikia kundi la hao wasiokubaliana kwa alama na kiasi cha kushutumiana. Mchakato kama huo una ujanja fulani kiakili au kiintelijensia lakini kwa ujumla unaashiria kiwango cha mdahalo wa jambo hili. Kusudi la kutangaza kwa hali sawa na umilele sawa linatokana na kile kinachoitwa malumbano ya Waathanasian na Waarian yaliyoelezewa ndani yake. Lengo kile kilichoitwa sasa sehemu za wahafidhina wenye msimamo mkali zilizokuwa chini ya Waarian kidogo.

 

q