Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[098]

 

 

 

Pasaka

 

(Toleo 3.0 19950401-19990130-20080128)

 

Hiki karatasi inajumukia wakati na vitendo wa pasaka na tofauti kutoka Sherehe ya Esti. Tofauti wa msemo wa paska imeshahisa hiki zime vunjwa kwa siku ya Mulo wa Bwana.usiku wa pasaka au usiku wa kutazama na usiku wa mkate usouchachwa.

 

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

 

 

(Copyright ã 1995, 1999, 2008 Wade Cox)

 (Tr. 2009)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


Pasaka



Pasaka ni siku takatifu ya kwanza ya kalenda ambayo huwa na miezi na miwili nap engine kumi na tatu ambayo hufanyika mara saba kila baada ya miaka kumi na tisa. Mwaka muhimu hii huanza Mechi na humalizia miezi wa kumi na mbili ama wa mwezi wa kumi na tatu.

 

Pasaka hufuatiwa na kutakaswa kwa hekalu ambayo huanzia siku ya kwanza wa mwezi wa kwanza na kuendelea mpaka siku ya saba ya mwezi wa kwanza wa kutaswa. Sanctification of the Temple of God (No. 241).

 

Pasaka ni sherehe kubwa ambayo huonyesha kumbukumbu vile ukombozi ulikuja. Kutazama siku ya pasaka na mkate usiotiwa wishwa ni dalili kuwa kuwa sisi ni watu wa Mungu (Ex. 13:3-13). Bibilia hutuonyesha sherehe na hadithi ya pasaka huonyesha ukombozi ya wanaisraeli na maashino huonysha ukombozi wa kiroho sayari mzima. Sayari ni chini ya Elohim ambayo hutawaliwa na Cherub ambapo ni Shetani. Haya yamelezwa kwa kina katika karatasi ya cosmology. The Elect of Elohim (No. 1) na The God We Worship (No. 2). Masihi huashiria kondoo iliyochinjwa wakati wa pasaka na kumbukumbu ya sherehe. Kristo alikuwa mavuno ya kwanza wa ulimwengu. Hii ndio maana sherehe tatu zinatilia maanani Yerusalemu ambayo ilitengwa kama makao makuu ya utawala wa Mungu.

 

Kristo alikuwa alitia maanani sheria ya pasaka wakati aliopasuliwa. Kwa sababu ukristo wa sasa wanatazama sherehe ya ista hawa ufafanuzi wa pana kuhusu last supper ama kamili kuonyesha mwanzo na mwisho wa sherehe. Maashirio yamepotelewa katika ukristo wa sasa.

 

Tofautisha Pasaka Kutoka Kwa Ista Wa Pagan

 

Bibilia hutoa pasaka maandiko haya

 

Pasaka hupatikana Exodus 12:3-49; 23:15-18; 34:18, Leviticus 23:4-8, Numbers 9:2-5, 13-14; 28:16-25, Deut 16:1-8,16; Psa 81:3,5 na Ezekiel 45:2ff.

 

Sherehe ya pasaka huashiria kutolewa au kukombolewa watu kuotka Misri ambayo hutamka kuashiria ukombozi wa ulimwengu kwa dhambi. Ni wa umuhimu sana kwa mtu kutra ukombozi kwa akili ili aweze kuelezwa yanaashiriwa.

 

Exodus wa kumi na mbili huanzia kwa kufafanua mwezi wa pasaka ama Nisan ilikuwa inafaa yawe mwanzo wa mwezi wa kwaka, atayarisho huanzia siku ya kwanza ya mwaka na pia siku ya saba ambapo kasisi ameachiwa kazi zinginezo Ezek 45:18-20. wale ambao huwajatayarishwa kwa psaka au wale wanaosafiri wanatakiwa kushereke pasaka mwezi wa pili (Num 9:6-12; 2Wakori 30:2-4).

 

Wale ambao hawana asili ya israleli walitakiwa kusherekea pasaka (Ex 12:48,49; Num. 9:14) kama ukombozi wao.waokuvu wa jentali au watu wote –iko katika kikundi.

 

Sherehe ilifanyika mahali ambapo ilitengwa na Mungu kupitia kasisi au mhubiri (Deut 16:5-7) na ilisherekewa na mkate usiotiwa wishwa (Ex. 12:8; 15-20; 12:3,6; 23:15, Lev 23:6, Num 9:11; 28:17; Deut 16:3,4, Mk 14:12, Lk 22:7, Acts 12:3, 1 Cor 5:8. Hukumu kwa wale ambao hawakushiriki kwa sherehe ni kwa kuwatenga na waumini (Num 9:13) ispokuwa ana dhambi au anasafiri kama ilivyonenwa hapo awali (Num.9:14).

 

Waumini walikuwa wanajitayarisha kwa pasaka na kutenga kondoo ya kuchinjwa katika siku ya kumi wa mwezi na kulinda mpaka siku ya 14 ambapo huchinjwa. Maashirio ya kondoo kuonyehsa kuteswa kwa mashihi siku ya 14 ya Nisan saa za adhuhuri kuanzia 3 p.m (ambayo ni mwaka wa kusulubiwa 30 CE kuanguka siku ya fuma tano tarehe tano Aprili. Watu wengine hutazama 31CE ambayo sasa si ya kweli tazama karatasi Timing of the Crucifixion and the Resurrection (No. 159).

 

Sherehe ilikuwa na tofauti kulingana na kalenda ya luna. Kusulubiwa kaukuwa siku ya ijumaa na kufufuka haukuwa siku ya Jumapili (Tazama the companion Bible appendix 42) pasaka husherekewa na familia kulingana idadi yao watakaoilia kondoo (Ex. 12:4).

 

Umuhimu Wa Mlo Wa Mwisho

 

Wakristo wengi wamechanganyikiwa kulingana na umuhimu wa mlo wa mwisho, ambayo Kristo aliwapa kabla ya kusulubiwa. Hii ilikuwa mlo wa usiku wa siku ya juma nne 14 Nisan. Wengine wanalazimishwa kuamini kuwa Kristo alikuwa na mpango ya kuandaa pasaka nao ingawa wayahudi hawakuzingatia tarehe ya kweli na tarehe ya kweli ni usiku kabla ya kwa kweli wakristo wanaotazama pasaka na mlo wa msiwho wanaamini kuwa mlo huo wa 14 Nisan ndio mlo wa pasala. Hii si ya kweli.

 

Kristo alitazama pasaka na sjeria (Mat. 26:17-20, Lk 22:15; Jn 2:13, 23; 13:1ff hakubalisha yoyote (Mat. 5:18).

 

Pasaka ilikuwa ni kama kukombolewa shahada ya ujeshi ulitakikana kwa kutoa watu milioni mbili. Watu walisanyika kwa Rames siku kabla ya malaika wa Mungu wa maafa kupita Israeli na kwa Misri. Hii ilikuwa ni kuonyesha kuvunjwa kwa ulimwengu na ulinzi ulipewa watu na kondoo yalitolewa Mungu ambapo watu wote bila kuzingatia kabila yako watakuwa katika ulimwengu mmoja na uongozi mmjoa. Kuzingatia nguvu matayarisho yam lo, ambayo ilijulikana kama chagiga au chagigo ulipofanyika (Tazama The Companion Bible).  Wa chagigoh katika kwa exilic wa pasaka kwa ktazama na kuweleka na wayaudi kwa matezo,

 

Ya kuzingatia

 

… hujumuisho nyama ambayo yamekaangwa kwa mfuma wa yai yaliyokaangwa (Hayyim Schauss, The Jewish Festivals History and Observance, Schocken Books, New York, vii, "Pesach = Unusual Observances" p. 56).

 

Kuelewa kwa chagigoh kama ilivyotolewa kwa bibilia ya Deut 16 na kutazamwa yerusalemu wakatu wa Kristo, imepotelewa au kutasfiriwa vibaya na Yuda. Mayai imetumika kuashiria Babiloni ilivyotawaliwa. Yuda na Kristo ziliungana na kuleta Yuda – Ukristo walikuwa wanatazama sheria  (see also Schauss, ibid., pp. 57ff. for some of the actions and ignorant libels of the Middle Ages).

 

Matayarisho Yaliyotakikana Wakati Wa Pasaka

 

Wanaotazama pasaka wanatakiwa kuitazama nje ya kazi zao za kuwaida ambayo huanzia na matayarisho ya siku ya 14 Nisan.

 

Deut 16:5-7 Hakuna aliyekubaliwa kutoa pasaka kwa nyumba yao bila kuambiwa na Mungu na mahali ambapo pasaka yatatendeka yatateuliwa na Mungu.Ilimchinje pasaka ndani ya mlango yako akupayo Bwana Mungu wako, ila mahali atakapochagua Mungu wako apakalishe jina lake ndipo mtakapochunja pasaka jioni katika machweo ya jua kama wakati uliotoka Misri. Naw umwokoe na kumla mahali atapochagua Bwana.

 

Sheria ya Deut 16 ndio maana Kristo alituma wafuazi wake kutengeneza nyumba ya kusherekea pasaka kama ilivyolezwa katika Mathayo 26:17-19.

 

(Mat. 26:17-19) Hata siku ya kwaza ya mikate ya wishwa wanafunzi wake wakamwendea Yesu wakamwambia. Ni wapo utakapu tukaandile uile pasaka? Akasema nendeni kwa mji wa mtu Fulani mkamwambie mwalimu amesema majina yangu ni karibu, kwako nitafanya pasaka pamoja na wanafunzi wangu.

 

Siku hii haikukuwa siku ya kwanza wa makate usiotiwa wishwa kama wengine wanavyotafsiriwa na yanafau kusomwa abla ya unleaven bread (from the word prote used also at jn 1:150; 30 meaning he existed before me). KJV una msimani wa maana kwa kutaja siku hiyo kama siku ya kwanza ya sherehe ya mkate usiotiwa wishwa. Tunafahamu kuwa hii haiwezekani hata kidogo

 

 Mat. 26:17-19 Wanafunzi wakafanya kama yesu alivyowaagiza wakaindua pasaka. Basi kulipokuwa jioni aliketi chakulani pamoja na wale thenashara.

 

Jina pasaka na mkate wa wishwa zimetumika kwa maana mpangilio maalum. Pasaka hukumuisha kiwango zote kutoka kwa kabla ya pasaka, pasaka mpaka kwa makate wa wishwa vilevile mkate wa wishwa haishiwa hayo matukio yote. Haikuwa siku kabla ya mkate wa wishwa lakini siku mbili kabla. Sheria hutoka kuwa watu wote waacha nyumba zao na kuenda kuishi mahali kwa muda mfupi kwa 14 Nisan ambapo huanzia kwa giza wa Nisan 13. hii ilikuwa inaonekana kuashiria mwisho wa matayarisho na usiku wa pasaka ambayo ilikuwa jioni wa Nisan 15 ama jioni wa siku takatifu ambayo hukulikana kama the night to be much observed (Ex. 12:42). Kondoo ilichinjwa siku ya matayarisho ya Nisan 14 kama jua ilikuwa inatua kuanzia hapi 3 p.m kama vile masihi yalitendewa (Deut 16:6) Kristo alikuwa ameuwawa wakati huu na kuda kwa wakai ulitazamiwa hapo jioni ya pasaka. Yusu haingekuwa masihi kwa kutokuda wakati ambapo yule kondoo alikufana kukosa kutimiza sheria.

 

Jinsi Ya Kujitayarisha Mlo Wa Pasaka

 

Kulingana na Exodus 12:9 inatakikana kuwa kondoo ilikuwa inakaangwa na kuliwa na mboga chungu pia kwingineko kutazama sherehe kwa mahali ma kuishi kwa muda mfupi walikubali kondoo kupikwa kama ilivyotafsiriwa. Kulingana na sheria za bibilia kulikubaliwa kwa kuleta yale yasiyokuwa muhimu au kubadilisha mahitaji kutafsiriwa kwa “Boil” (kupika) imetumika kuonyesha chakula alichoila Kristo jioni kabla ya kuishikwa na Yudas. Kristo alikuwa chakula na sop (Jn. 13:26) na hata pengine usiotiwa wishwa (ili itumike kama “sop”).

 

Mlo huu haukuwa wa siku taktifu ya kwanza ambapo pasaka ilikuwa kama ilivyoandikwa kwa Bibilia (Kutoka 12) lakini ilikuwa ni ya jioni kabla. Mlo ungekuwa nyama yoyote. Sheria hutaka kuwa nyama huungwa na kukuliwa na mboga chungu. Kwa hivyo chakula kwa jina mlo wa mwisho imefafanuliwa vizuri kulingana na sheria za Bibilia.

 

Siku saba ya mkate usiotiwa wishwa huanza jioni unaofuata siku siku ya kwanza takatifu kwa sherehe. Kama vile 15 Nisan ambayo ni 30 CE ni jumatano usiku / alhamisi.

 

Mwana – kondoo wenu atakuwa hana ila, mume wa mkaka mmjoa mtamtwaa katika kondoo au katika mbuzi. Nanyi mtaweka hata siku ya kumi na nne wa mwaka ule ule.

 

Exodus 13:6-7 Mtakula chakula isiyochachwa muda wa siku saba nayo siku ya saba iatakuwa sikukuu ya Bwana. Mikate isiyochachwa italiwa katika siku saba hizo na makate wa chachu usionekane kwako.

 

Exodus 23:15 Utaweka sikukuu ya mikate isyochachwa na mtakula kwa muda wa siku saba kama mvyakuagiza kwa wakati uliwekwa.

 

Ni dhahiri ilikuwa kwa au wakati wa sherehe wa mkate usiotiwa washwa ambapo walitoka huko Misri.

 

Sehemu Na Wakati Mkate Wa Wishwa

 

Zamani yuda walikula mkate wa wishwa kwa siku nane.siku ya nane ilifuata sherehe na si kabla ya mkate wa ulianza usiku wa kutoka iliyofulikana kama usiku wa pasaka na huenda kuanzia siku takatifu mpaka siku ya saba  ambayo ilikuwa siku takatifu.kwa hivyo siku ya saba ambayo ilikuwa siku takatifu. Kwa hivyo siku saba haikuanzia 14 Nisan 15th au siku ya mwisho haziwezi kuwa siku takatifu za mwisho wa mkate wa wishwa. Kwa hivyo mlo wa Bwana ni tofauti sana na pasaka iliyofulikana kama usiku wa kukumbukwa (Kutika 12:42;13:3).

 

Kutika 12:42-43 Ni siku  wa kunyaliwa sana mbele za bwana kwa sababu ya kuwatua katika nchi ya msri, huu ndio usiku wa Bwana ambao walipasa kuangaliwa sana na wana wa Israeli wote katika vizazi vyao. Bwana akawambia Musa na Haruni amri ya pasaka ni hii mtu mgeni asimule.

 

Hii usiku wa kuzamiwa ulikuwa wakati uliotengwa kwa malaika wa msiba na kutazamiwa kama siku ya kukumbuliwa. Hii ndio nikuwa mlo pasaka ambayo iliashiria ulinzi wa watu walioteuliwa na Mungu kutoangamizwa na malika wa maafa.Damu ya mnyama iliyochinjwa ilipakwa kwa paa la mlango kuashiria ukombozi wa masihi. Kwa hivyo si halali kutoa maoni kuwa pasaka ilaweza kuliwa kwa mkahawa kwa mfano ni sawa na kuila huko Misri na ile maashiria yake itapotea. Wakati wa mlo wa Bwana na pasaka wa usiku yafaa yatazamiwe na mawezo kuzamiwa vya kulingana na hiari ya mtu.

 

Watu waliduri kwa boma zao siku ya kwanza takatifu wa 15 asubuhi na kuchukua muda wa siku kwa hekalu kulingana na (Leviticus 23). Kuna waumini takatifu wa 15 Nisan na siku ya mwisho wa mkat wa wishwa siku ya 21 wa mwezi.

 

Paul hufafanua kuwa sherehe yafaa kutazamwa na mkate wa wishwa kuashiria ukweli na kuaminiwa the old leaven of malice and evil (1Cor. 5:8) ni aina ya dhambi ambayo haifai kuondolewa kwa Boma kwa siku saba ya sherehe. Wayahudi walitazama au walikuwa na jinsi ya kujitayarisha siku ya kuchoma mkate na “sourdough” inayojulikana kama ”Chometi”. Yaliyotokea huko Yerusalemu kwa matayarisho huonyesha kuwa nchi ilisahau kuheshimu sheria vile inavyopatikana kwa (Deut 16) na watu hawakuwa wanaenda kuishi mahali kwa muda wa sherehe. Kristo ndiye alikuwa sheria na tayari amebandulia.

 

Sherehe kwa sasa ni sehemu mbili sehemu ya kwanza ya matayarisho huwa na maudhuri au dhamira mbili ya matayarisho.

 

 

Sehemu ya tatu kuonyesha kuwa siku saba za mkate wa wishwa na siku takatifu wa 15 na 21 Nisan kwa sehemu ya tatu kuna matoleo inayojulikana kama Wave Sheaf Offering ambayo ilikuwa maashirio ya kukubali kwa Kristo kutolewa kuokoa watu vile alivyoambiwa na Mungu. Yafaa yatazamiwe (Tazama karatasi. The Wave-Sheaf Offering No. 106b)).

 

Chakula cha usiku wa pasala mo wa kondoo na mboga chungu ambayo huashiriwa na meza ya seda ya zamani wa Yahudi kwa hivyo mayai honyeza venye Babilini walinyakua Israeli. Kutoka Misri ni pia hufafanua zaidi kuhusu kutoka na kurusi kwa masihi ambapo atayawanya wanaowamini kwa wale wasioamini na kuwapa kibali kitakachohusiana na Mungu na huwa ni Waisreali. Watarudi kwa farasi na hata karioti. Sherehe itachukua maashirio nyingine.

 

Tatizo Kwa Kufahamu (Au Kuelewa) Pasaka

 

Kuna fafanuzi mingi ambayo si ya kweli kuhusu pasaka ambayo itanyuliwa baadaye. Majadiliano kuhusu pasaka kutegemea

i)                    Tarehe na wakati wa kuchinjwa kwa kondoo wa pasaka

ii)                   Tarehe na wakati wa kuila kondoo wa pasaka

iii)                 Tarehe na wakati wa kutoka na jinsi ya mlo wa mwisho Kristo alikula na wafuazi wake.

 

Majadiliano kujitokeza kwa sababu fafanuzi wa mlo wa mwisho ilivyoandikwa kwa injili na Mathayo, Luka na Mariko lakini ya Yohana ni tofauti sana na fafanuzi ya hayo tatu.

 

Mathayo, Mariko na Luka zimerekodi yafuatayo

 

Mathayo 26:18-19 Akasema endeni mjini kwa mtu Fulani mkawambie mwalimu asema, majira yangu ni karibu, kwako nitafanya pasaka pamoja na wanafunzi wangu.

 

Mariko 14:16 Wanafunzi wakatoka wakaenda mjini wakaona kama alivyowaambia, wakaiandaa pasaka.

 

Mariko 14:12 Hata siku ya kwanza ya mikate isyochachwa walipochinja pasaka. Wanafunzi wakamuuliza ni wapo anahitaji tuandae pasaka.

 

Luka 22:8 Akawatuma Petro na Yohana, akisema nendeni mkatuandalie pasaka tupate kuila

 

Luka 22:15 Akawaambia, nimetamani sana kuila pasaka hii nanyi kabla ya kuteswa kwangu.

 

Kwa haya kunafahamu kuwa Kristo alichukuwa nafasi na alikula pasaka kabla ya kusulubiwa na kuda msabalani. Tena hii ilikuwa na maushirio na mkate na divai wakati wa jioni wa mlo wa pasaka

 

Yohana ingawa amerekodi kwa Yohana 13:1

 

Yphana 13:27-29 Na baada ya hilo tange, akalitwaa akampa Yuda. Basi Yesu akamwambia uyatendayo yatende upesi. Wale hakuna mtu katika wale walioketi chakulani aliyejua sababu ya kumwambia hivyo.

 

Hapa tuonaona wasiwasi kuwa hii haikuwa jioni wa 15 Nisan. Hakuna chochote kilichonunuliwa usiku huo. Yohana 13:1 huonyesha kuwa kunawa kwa miguu ya wanafuzi na zinginezo zilitendeka kabla ya sherehe ya pasaka na wakati wa mlo. (Yohana 13:2) mkate ulivunjwa wakati wa mlo (Mathayo 26:26) baada ya divai kupeana. Divai hata hivyo haikubarikiwa na walikunywa hata mpaka baada yam lo. (Luka 22:20) yuda iskaridi hakutoka mpaka baada ya kuchukuwa mkate na divai ndipo alipomsaliti (Lk. 22:21).

 

Pia Yohana 18:28 huonyesha kuwa ilikuwa kabla ya pasaka.

 

Yohana 18:29 Na wale watumwa na watumishi walikuwa wakisimama wamefanya moto wa makaa maana ilikuwa baridi wakawa wakitoka moto.

 

Hii huonyesha kuwa ilikuwa kabla ya pasaka wakati wa matayarisho kama kuwazura kula chakula cha pasaka. Haya yamedhibitishwa na (Yonaha 19:14).

 

Nayo ilikuwa maandalio ya pasaka, yapato saa sita. Akawaambia Wayahudi Tazama mfalem.

 

Pia Yohana 19:31 huhakikisha Basi Wayahudi kwa sababu ya maandilio, miili isikae juu ya msalaba siku ya sabato. (Maaana sabato ile ilikuwa siku kubwa) walimwomba pilato miguu yao ivunjwe wakaondolewe.

 

Yohana kuweka mlo wa mwisho wa Kristo jioni ya kufuata pasaka Kristo alikufa msalabani saa za adhuhuri kama mlo wa pasaka, siku ya matayarisho ya 14 Nisan baada ya siku ya kwanza takatifu wa mkate wa wishwa, ambayo ni sabato yameftwa hapo na sio kila juma ya sabato. Kutolewa kati ya Yohana na agano jipya zingine ni wazi sana. Wao pia wamekubali yesu alikufa siku ya matayarisho ya pasaka.

 

Mathayo 27:62 Hata siku ya pili ndiyo iliyo baada ya maandalio wakuu wa makuhani na mafarisayo9 wakamkusanyikia pilato.

 

Mariko 15:42 Hata ukisha kuwa jinni kwa sababu ni maandalio ndiyo siku iliyo kabla ya sabato

 

Luka 23:54 Na siku ile ilikuwa siku ya maandalio na sabato ikaanza kuingia.

 

Kwa nini Kristo alitambulisha mlo huo kama pasaka? Imetumika kwa sababu ni neno la kawaida kwa Yahudi na haya Wkaristo na hata pengine kwa sababu ilikuwa na katakuwa itafeuzwa. Sasa sherehe ya mkate wa washwa ilingojea karibu ambayo huitwa sherehe ya mkate wa wishwa ilingokea karibu ambayo huitwa pasaka. Katika Luka 22:7 tunaona kuwa siku ya matayarisho yamelitiwa maanani.

 

Luka 22:7 Ikafika siku ya mikate isiyotiwa chachu ambayo ilipasa kuchinja pasaka.

 

Katika karne ya ishirini kunaona kuwa Wamerikani walitoa maoni yao kuwa Luka, Mathayo na Mariko kuwa Kristo alikula mlo wa pasaka wakati wa usiku wa 14 Nisan. Kristo alikuwa naheshimu masharti ya kutoka 13 ambayo si ya kweli, hutufundisha kuwa kondoo wa pasaka yafaa yatolewe kwa Mungu mwanzo wa 14 Nisan na hakuna umuhimu wowote wa mlo wa pasaka siku ya 15 Nisana ya 15 Nisan ni hasa ya ukoo wa Yahudi.

 

Nafasi hii hujitokeza kulingana matamshi ya Kristo kuhusu pasaka na kwa kuitumia tu kwa usiku wa 14 Nisan na sio kwa wakati wa majaribio ya Kristo na kusulubiwa na kufufuka kwa Kristo. Maadui haya huyadhibitishwa na maandiko ya hapo juu. Hakuna kutoamini kuwa Kristo alikuda kabla ya pasaka kulingana na Agano ya hale na Agano Jipya. Kwa hakika ilikuwa afe ili matahiri yakamilike. Kondoo wa pasaka ikichinjwa siku moja baada ya kuwaidi basi si kondoo wa pasaka. Pasaka wa mwezi wa pili ni tofauti sana.

 

Hali kadhalika hakuna ishara kuwa katika maandiko ya wafuazi wa Kristo kuwa kulikuwa na shida au tatizo kwa tarehe au ukweli wa kakati wa pasaka au siku takatifu kutazamiwa na Yahudi na hata Wakristo pamoja kwa karne ya kwanza na zingine zinazofuara. Kesi ya pasaka na mlo wa Bwana kama vile usiku wa 14 Nisan imeshughulikuwa kwa maandiko yafuatayo.

 

Watu walionena kwa pasaka ya 14 hakika walimaanisha yafuatayo:-

 

i)                    Wameamini kondoo ya pasaka ya kwanza katika Kutoka 12 iliyochinjwa na watoto wa Israeli mwanzo wa 14 Nisan na kuliwa wakati wa usiku wa 14

ii)                   Yahudi kwa siku ya Kristo ulikuwa wakati walipochinja kondoo wakati wa adhuhuri wa 14 Nisan na kuila saa za jioni ya 15

iii)                 Chakula cha Kristo alichokula kabla ya kufa kwake ilikuwa mlo wa pasaka ambayo ilitazamwa mwanzo wa wakati wa usiku wa 14 Nisan wa wakati wa mlo huu Yesu alitumia maashirio ya mkate na Divai ya kondoo na mboga chungu.

iv)                 Kutokubaliana kuwa 14 Nisan ilikuwa ni ikiwa Wakristo walikuwa wanafaa kupokea mkate na divai wakati wa jioni wa 14 Nisan au jioni wa 15 Nisan.

 

Ukweli wa mambo ni kuwa hutujakuwa na makadiliano yoyote kuhusu usiku Wayahudi walikula pasaka. Wakristo tayari wamekubali na kuelewa tarehe husika. Kumeelewa kuwa kondoo zilichunjwa hapo mwisho mwa 14 na kuliwa wakati wa usiku wa 15. Majadiliano ya Wakristo ni kuhusu ikiwa mlo wa Bwana, kupewa kunawa kwa mguu na mkate na divai yafaa kutazamiwa jioni wa 14 Nisan (siku moja kabla ya pasaka). Hii ilitokea katika karne ya pili waliokuwa mbele zaidi ni waskofu kutoka Roma na polycarp na mwenzake polycrates.

 

Ingawa kutazamiwa kwa ista ilikuwa wa kwanza, mazoezi ya kanisa ya Ukristo, tofauti kulijotokea kati ya wakristo na wayahudi eit ni siku gain itakuwa ya Ista. Swala kuu ni wakati pasaka kilitia kokomo. Wayahudi Wakristo walielewa na fikra kuwa Kristo ndiye aliyekuwa kondoo wa pasaka na wakati wa kuaresma ulimalizika sawa na ule wa Wayahudi wakati wakati wa jioni 14 Nisan.

 

Hii ilikuja kujulikana kama Quartodecimana Controvercy na kihistoria hi ndio ilikuwa kutokubali kubwa sana wakati ambapo mlo wa Bwana ingefaa kuchukulia. (Tazama karatasi The Origins of Christmas and Easter (No. 235) and The Quartodeciman Disputes (No. 277)).

 

Kutoka makanisani mengine ya Mungu ya karne ya ishirini kulikuwa na magombano ya ujinga ya wasomi ikiwa Kristo alikula “the”mlo wa pasaka au alikula “a” mlo wa pasaka. Kwanzia hapo kulikuwa na majadiliano kuhusu wakati ambapo kondoo wa pasaka ulichinjwa na kula kwa mlo wa pasaka na ni usiku gain ambayo inafaa tuzame mlo wa Bwana. Swala hili ni tofauti sana na “Quartodeaman controversy”na haya maswala mawili yasichanganye watu.

 

Kuchanganyikiwa kwa maswala haya yanatokana na maandiko ya vitabu vya injili kama vile Mariko 14:12-26. swala kuu la wafuasi wakristo walitaka kujua ikiwa Kristo atasherekea pasaka. Hawakuwa wanfahamu kuwa Kristo atatolewa kama kondoo wa pasaka.

 

Siku ya kwanza wa mkate wa wishwa ambapo walitowa kondoo wa pasaka wafuasi wake walimwambia, “ungependa twende wapi tukatengeneze pasaka”

 

Inafaa ifamike wazi wazi wa mwana Bibilia kuwa tunazungumza yale yaliyotokea. Yakwanza siku ya mkate wawishwa si pasaka kulingana na Kutoka 12:3-10 kondoo wa pasaka ilitengwa wakati wa Nisani ya kumi na kuchunwa wakati wa 14 Nisani saa za jioni. Kwa hivyo pasaka ilikuliwa usiku huo ambayo huamukia 15 Nisani na sherehe ya mkate ya wishwa. Ingawa neno “jioni” limetimika katika 14 Nisani kuho kwa mwisho ni wazi kulingana na Hesabu ya sherehe ya mkate wa wishwa.

 

Kutoka 12:18-20   Mwezi wa kwanza siku ya mwezi 14 wakati wa jioni mta kula mkate isiyo chachwa hata siku siku ya mwezi ishirini na moja joini. Muda wa siku saba isionekane chachu katika nyumba zenu kabisa, kwa kuwa mtu yeyote atakaye kula hiyo iliyotiwa chachu, nafsi hiyo atakatiliwa mbali na mkutano wa Israeli akiwa mwenye kukaa hali ya ugeni au akiwa mtu aliyezaliwa katika nchi. Msile kitu chochote kilicho chachwa mtakula mkate isiyo chachwa katika kamako yenu yote.

 

Hesabu ya siku saba huanzia siku ya jioni ya 14 Nisan ambayo ni mwisho wa 14 Nisan na sio mwanzo wake kama imeandikwa kwa 14 Nisan ni siku ya pasaka wa Bwana na pia maandiko hunena kuwa sherehe ya mkate wawishwa kuanzia siku 15 wa mwezi wa Nisani. Siku saba zinaendelea kutoka 15 mpaka jioni wa 21 Nisani. Sasa 21 ndio siku ya mwisho takatifu wa mkate wa wishwa. Kwa hivyo siku ya mwisho takatifu ni siku ya saba ambayo huishia saa za jioni. Jioni wa 14 Nisan ambayo imetajwa katika Kutoka 12 ndio mwisho wa 14 Nisana na huanzia 15 Nisan la sivyo kutakuwa na kutoelewana kwa haya mambo mawili makuu.

 

Malumbani kuwa Kristo alisulubiwa kwa siku sii wa kweli Wayahudi hawakuelewa kwa hii waliitazama kwa matukio mawili makuu. Kwanza, kutolewa kwa Kristo kusulubiwa kulikuwa ni makamiliko ya maandiko ambayo kuwezi kuvunjika. Ya pili ni mwisho na makamiliko ya sheria ambayo ilikuwa madhumuni mkuu wa masihi. Aliandika sheria ambayo imeandikwa kwa Agano ya kale wakati alipopatia Musa kama malaika wa makubaliano

 

Matoleo Ya Wave Sheaf

 

Matendo ya Yohan yalikuwa ya faa yakamilke kwa kila usiku tatu hakuna ya kuongeza na kutoa, Kristo pia alikuwa lazima afufuke saa za asubuhi wa siku ya kwanza wa wiki ambayo ufuata sabato ya wiki kwa sababu alikuwa wave-sheaf offering ambayo ilikuwa matunda ya kwanza ya mavuno. Kutoka 29:24-27; angali pai Lev 7:30,34; 8:27,29; 9:21; 10:14,15; 14:12,24; 23:11-20; Num 5:25; 6:20; 18:11,18).

 

…na kida Shekeli mia tano kwa kuandama shekeli ya mahali patakatifu na mafuta ya Zatuni kiasi cha vibaba vitano nawe utayafanya mafuta ya kutiwa matakatifu marhamu iliyochanganywa kwa kazi ya ustadi ya mtengenezaji manukato yatakuwa ni mafuta matakatifu ya kutiwa. Nawe utaipaka hema ya kukutamia kwa mafuta hayo na hilo sanduku la ushuhuda.

 

Zamani hii ilikuwa inatolewa saa tatu asubuhi. Hii ndio jivu ambayo Kristo alipeana Maria wakati Maria alipomtembelea karurini.

Jon. 20:1,15-17 Hata siku ya kwanza ya juma Maria Magdalene alikwenda kaburini alfajiri, kungali ngiza bado, akaliona lile jiwe limeondolewa kaburini. Yesu akamwambia, mama unalia nini? Unamtafuta nani? Naye huku akidhania ya kuwa ni mtunza bustani akamwambia “Bwana ikiwa umechukuwa wewe uniambie ulipomweka nami nita mwondoa”, Yesu akawaambia Mariamu. Yeye akageuka akamwambia kwa Kiebrania Raboni (Yaani mwalimu wangu. Yesu akamwambia usinishike kwa maana sija paa kwenda kwa Baba yangunaye ni Baba yenu kwa Mungu wangu ni Mungu wenu.

 

Kwa hivyo kusulubiwa ilikuwa ni lazima itendeke siku ya 14 Nisan ya juma tano. Kusulubiwa siku ya jumaa haikukamilika utabiri kuhusu Masihi. Kristo alikuwa anakamilika sheria zote za kele na tabiri zote. Yafaa tuzingatie na tuelewe sheria ili tuweze kufahamu yanayotendeka katika pasaka ya 30CE.

 

Mlo Wa Pasaka

 

Pasaka ilitayarishwa kulingana na mandiko ya Kutoka 12:8-12.

 

Wakakula nyama yake usiku ule ule imeokwa motoni, kichwa chake pamoja na usiotiwa chachu tena pamoja na mboga zenye ochungu. Msiile mbichi wala ya kutokoswa majini bali imeokwa motoni, kichwa chake pamoja na miguu yake na nyama zake ndani.

 

“Kupika” imetumika katika maandiko mengine ya bibilia kumaanisha kuwa ilikubalika na “Interlinear Bible” na kuchemsha kwa Annotated RSV ni jina la Bashal (SHD 1310) ambayo ni ukoo wa kuchemsha na kupika kumekubalika. Pia kunamaanisha kuiva kwa hivyo ni bake boil bring forth is ripe roast seethe sod (or be sodden). Maana ya matumishi yake ichukuliwe katika maandiko na hapa maana yake kuu ni roast. Kristo alichagua siku hii ili iwe kama makumbusho kwa Israeli ambayo umaanisha mteule.

 

Siku hii itakuwa itakuwa siku ya makumbusho kwenu na mtazame kama sherehe kwa Mungu na kila jamii yako lazima watazame siku hii milele (SHD 5769 'olam or to the vanishing point or practical eternity).

 

Wakati Na Mahali Pa Pasaka

 

Mambo yanayo faa kueleweka hakuweza kukaa katika pasaka yake. Kwani yeye ndiye aliyekuwa kondoo wa pasaka na atakuwa amekufa. Lakini alitoa kumbukumbu ya matendo yake alipokuwa malaika wa Yehovah alipatia Musa yaliyotakikana awe nayo na ni sawa tu nay ale aliyoyapatia wafuasi wake kufanya katika Mariko 14:12-26. Mahitaji haya yameandikwa katika Kumbukumbu la Totari 16:2,5,6.

 

Tazama mwezi wa Ahib na utazame pasaka kwa Mungu wenu. Mwezi wa Ahib Mungu wenu aliwatoa huko Misri usiku. Lazima mtakula matoleo ya pasaka kwa Mungu wenu kwa mifugo kwa mahali ambapo Mungu atachagua kufanya jina lake lienee. (The Interlinear Bible continues the text as) haukubalika kutoa matoleo kwa Mungu wa pasaka katika nyumbani wenu mambayo Mungu mwenywe hawajawapa lakini mahali ambapo atachagua ili jina laka lienee, basi hapo ndipo mtatoa matoleo na mavuno ya pasaka wakati wa jioni ambayo jua huenda chini kuonyesha wakati mlitolewa huko Misri. Mtapika na kula kwa mahali yalichaguliwa na Mungu. Na asubihi ikiwadia mtarudi kwa nyumba yenu. Mtakula mkate wa wishwa kwa siku sita na siku saba mta omba Mungu na pia siku hiyo haifai hufanye kazi.

 

Wakati ambayo imeandikwa hapa hupitisha maandiko katika Kutoka. Ni wazi kuwa siku saba pia huhusika siku ya mwisho takatifu wa 21 Nisan . kwa hivyo jioni wa 14 Nisan lazima iwe mwisho wa siku kama vile mwanzo wa 15 Nisan. Kwa hivyo maandiko haya matatu hufafanua na kudhibitisha kila aina. Siku za jioni wakati mlipotoka misri haikuweza kuchukuliwa kuwa siku itakayofuata ni paska. Ya kutiliwa maanani ni matoleo ya pasaka, ni siku ambayo malaika wa maafa alipofanya madhambi huko misri. Malaika wa kifo kulingana na maandiko ni Kristo kwani yeye ndiye ana haki ya kuhukumu. Swala kuu ni kutazama kwa makini kutoka chini ya Musa na pasaka ya kwanza.

 

Kutoka Kama Kujiondoa Ya Majeshi

 

Kutoka

Kutoka huku misri ni kama kujiondoa kwa majeshi Israeli walikuwa tayari kutoka kwa boma yao kwa amri ya Musa. Mungu alinena kuwa siku hii kwa jina 15 Nisan (Kutoka 12:17) siku ya kwanza takatifu wa mkate wa wishwa, alitoa waisraeli huko Misri. Kwahivyo Mungu alileta matumaini kwa Israeli usiku wa 15 Nisan na kuanza tembezi kwa amri ya Musa siku iliyofuata.

 

Ilikuelewa maana ya kujiondoa kuna nambari ambayo lazima yakubaliwe. Waisraeli walikuwa 600000wanaume bila kuhesabu wanawake na watoto. Umati huu ulikuwa na mifugo mingi sana waliotoka nao. Ex 12:37-39. Nambari ilikuwa kama ni kidogo sana ni 1000000 na kuzidi 1500000 na karibu na 2000000. wanaume  100 walikuwa kati kati ya watu karibu mita kumu au 50 ili kuhakikisha kuwa bmatembezi ilikuwa 1000km15 Nisan, and commenced their movement from the order of Moses during that next daytimeMfano wa colamu imefikwa kama mtu ametilia maanani kuwa colamu ingekuwa imara kwa mwisho wake wa Ramesis na nyingine kwa Succoth na kusimama imara mikono kwa mikono na mpatko watu 50 kuwekwa katika kikundi. Wangeelekea 50 “abreast”na hata hivyo bado wataacha Ramesi kwa siku ikuwa bado wataacha Ramesia kwa siku ikiwa bado watakuwa Succoth waliweza kutembea 30km kwa siku na ilikuwa ngumu sana ili wakamilike matembezi yao kwa siku tatu.

 

Mfano wa colamu imefikwa kama mtu ametilia maanani kuwa colamu ingekuwa imara kwa mwisho wake wa Ramesis na nyingine kwa Succoth na kusimama imara mikono kwa mikono na mpatko watu 50 kuwekwa katika kikundi. Wangeelekea 50 “abreast”na hata hivyo bado wataacha Ramesi kwa siku ikuwa bado wataacha Ramesia kwa siku ikiwa bado watakuwa Succoth waliweza kutembea 30km kwa siku na ilikuwa ngumu sana ili wakamilike matembezi yao kwa siku tatu.

 

Kama colamu yalikuwa yasanyikwe kwa kila Goshem, stesheni ya kawaida ya wanajeshi.

Kujiondoa wangeajiriwa. Walinzi wangetoka Rameses wakati Musa atakapo rudi na amri kuwa watoke Musa alikubaliwa bna Fero usiku wa 15 Nisan baada ya watoto wa kiume wa kwanza kuuwawa (Ex 12:31).

 

Musa angeamri bwalinzi waanze kutoka usiku huo huom. Kufika asubuhi colamu au kundi cha kwanza kilishatoka Ramesi. Hata hivyo wananchi wote bado walikuwa wanaelekea mahali pa msanyiko iliyokuwa na ulinzi bora huko Gosheni. Musa alifundishwa hayo mambo yote. Angetuma wanambio kwa kila mahali ya Gosheni ili waanze tembezi. Watu na mifugo walikuwa katika ulinzi bora na hata mifugo walipewa na shida kubwa mno.

 

Watu wangeelekea kutoka Ramsi kuchukea Succoth kwa siku nne waliotangulia wangefika Succoth ni “65km”kwa umbali kabla yaw a mwisho kutoka Ramesi. Hata kama wangeshaenda maili 100 kikundi cha kwanza bado wangekuwa na matembezi ambayo umbali wake ni 150 -300km.

 

Umbali wa kawaida huweza kuchukuu maili 20-30 kama wana tembelea kwa siku mmoja.kwa hivyo ingechukua tu sikub mmmoja. Kwa hivyo ingechukua tu siku moja ili wafike walipokuwa wakielekea. Kulingana na mizigo, waliozeza, wagonjwa na wasioweza kutembea kwa urahisi, mwelekeo wa Succoth ingekuwa kwa kikundi. Wangetumia mtindo huo huo katika mwelekeo kutoka walipokuwa.

 

Kutoka ulikuwa ni mpango wa kujiondoa kwa wanajeshi ili mtu awe na mawazo kuhusu tembezi Mamesi ambayo hukitatisha pasaka ni kulingana na yule ambaye hajielewi. Usiku wa kutazama Mungu wa 15 Nisan ambapo ulianza na huu ndio usiku uliotazamiwa wa wanajamwii wote kwa kila nchi ya Israeli (Kutoka 12:42)

 

Siku Ya Mwisho Takatifu Wa Mkate Wa Wishwa

 

Ni wazi kulingana na mienendo ya vikundi kwamba siku ya mwisho takatifu wa mkate wa wishwa ilikuwa wakati kikundi walikuwa wakipumzika katika Succoth. Kuna makundi waliotembea si kwa rahisi kwa siku sita na kuenda karibu maili 200 na zaidi. Hata hivyo haikuwa rahisi kwa kikundi hicho kuenda umbali huo wakati huo kwa hivyo Succoth ndiyo ilikuwa mahali pa kupumzika kama vile imeandikwa.

 

Unabii Kuhusu Pasaka

 

Pasaka ulianshwa kuonyesha venye Kristo atakuja kukomboa watu kwa dhambi zao kwa kusulubishwa na kufa (Rev. 13:10).

 

Kumbukumbu vile ukombozi uliwatii kupitia masihi ulikuwa kwa mpango sambamba (Jn 12:1) huonyesha venye Kristo aliingia Bethani siku sita kabla ya pasaka ili atenge siku ya kumi. Mwaka huo 30CE siku ya kumi ulikuwa sabato. Alifika siku ya tisa na kula mlowa sabato ambayo iliandaliwa na Matitha (J. 12:2) siku yake (Jn. 12:12) Kristo aliingia Yerusalemu ili atolewe kwa Mungu ilivyoandikwa kwa Kutoka 12. Umati ulitandika matawi njiani wakati Kristo alikuwa juu ya punda ili kukamilika unabii katika Yohana 12:15.

 

Kutoka Zacharia 9:9 imeandikwa

Furahia Dada wa Zioni; pigeni kelele wadada wa Yerusalemu, muone mfalme yenu anakuja kwa ukombozi, mpole na hawa juuya punda mtoto wa punda.

 

Kristo alikuwa na kumbukumbu ya unabii ambayo alitaka yakamilishwe na maandiko kayawezi kujunjikwa. Kwa hivyo Kristo alikuwa auwawe wakati huo huo kwa pasaka au maandiko yangevunkwa. Unabii zingine kuhusu unabii wa Masihi yamo hapa chini

 

Isaya 53:5

“Waliowatazama wakimtukana kwa macheche za matusi wakitingiza vichwa vyao.

 

Hii ndio maana Kristo alinyamaza wakati wa hukumu (mariko 14:60-61) ili akamilishe unabii huu. Imekamilika maandiko ya Zaburi 22:17.

 

“Waliowatazama wakimtukana kwa macheche za matusi wakitingiza vichwa vyao.

 

Katika Luka 23:35… Krito alichozwa kwa kijiti.

“Alikomboa watu wengine na kwa nini huwezi kujikomboa kutoka msalabani akiwa mwana wa Mungu mteule.”

 

Imekamilika maandiko ya Zaburi 22:17.

“Naweza kuhesabu mifupa yangu yote, wananitazama tu kwa umbali.”

 

Kristo alidungwa kwa mkuki baadala ya kuvunjwa kwa miguu yake msalabani kukamilisha unabii (Jn. 19:36).

“Haya yote yametendeka ili maandiko yakamilishwe “Hakuna mifupa yake yatakayovunjwa.”

 

Kutoka 12:46

“Msivunje mfupa yake yeyote.”

 

Hesabu / Nambari 9:12

Hawataachu mwili wake mpaka asubuhi au kutovunju mifupa yake.

 

Kufuat maandiko katika Zaburi 34:20 kuhusu mweny hana dhambi.

 

Zaburi 34:20 Alilinda mifupa yake na hakuna hata moja aliyovunjwa.

 

Kusulubiwa ndio matoleo ya pasaka kulingana na Kutoka 12 na Hesabu 9, ambayo ilisherekewa siku ya 14 Nisan wakati wa jioni. Hiyo ndio wakati Kristo aliwawa. Kutazama kwa makini wakati Kristo alikufa ni unabii kuhusu masihi Kristo alidungwa kukamilisha unabii wa (Acharia 12:10-13).

 

Nyumba ya Daudi kupitia Nathan ilikamilishwa katika Luka 3, kwingineko nyumba ya Maria ulikuwa na uhusiano na wa Levi, kwani Elizabeth aliolewa na kasisi mkuu wa Abijahi.

 

Kulingana na kuolewa kwa Elizabeth na kasisi kwa kutozingatia ukabila, Elizabeth kwa hivyo alikuwa mwana Levi na Maria akiwa na Nusu yake ya Levi. Masihi ya Aaron na pia wa Israeli walikuwa wa ukoo mbili tofauti ya kuja kuwa moja vile tunavyopata katika mabaki ya ziwa.

 

Kristo aliongea kimasihi katika Mariko 15:34 (Kutoka Zaburi 22:1)

“Mungu wangu Mungu wangu mbona unaniacha.

 

Kristo hakuachwa na Mungu na hapa anaongea kama yule anayekaribia kufa ili kukamilishea utahiri wa Zaburi 22:15.

“Nguvu zangu zimeisha na ulimi wangu kuwa katika meno yangu kama umeniweka vumbi ya kifo.

 

Kutokana na Zaburi 22:24, Mungu hakuacha mwanawe.

“Kwa kuwa hakamwacha kama mwanawe na hajafunika macho yake kwake ingawa amemsikia alipomlilia.

 

Maandiko hio ilikuwa ni kuleta tamamu akili za watu Zaburi ya masihi na mawamilisho yake ambayo ni kuwa familia yote ya nchi wataomba mbele ya Mungu. Kristo aliongea na Mungu.

 

Kristo hakuongea na Mungu na haya ni kukamilisha unabii, na ukweli ni kuwa Kristo aliongea mambo yasiyo ya kweli nay a kupotosha watu kulingana na maandiko ilitoyanena kabla ya kufa kwake na kwa hivyo alitenda dhambi na matoleo yake kuwa si ya maana.

 

Kudungwa kwa Kristo pia yamo katika Zaburi 22:16-17.

“Mbwa yenu karibu nami, kikundi ya watu wabaya, wamedunga mikono yangu na hata miguu yangu. Naweza kuhesabu mifupa yangu yote – na wao wanamtazama tu.

 

Walingawa nguo za Kristo Zaburi 22:18 “Waligawa nguo zangu kati yao.

 

Katika Yohana 19:28 alisema “Nina kui” katika Zaburi 62:21

walitia “gali” katika chakula changu na kumpa divai nikate kui.

 

“Gali” ilikuwa ni sumu kwa hivyo kujiua na divai itaongeza kui na kujinasa “gali”

 

Kristo alinena “imekamilika” Yohana 19:30 kumaanisha unabii yamekamilika. Alinena kwa Luka 23:46 Mungu kwa mikono ninaunga roho yangu”

 

Zaburi 31:5

Mikononi mwako ninaunga roho yangu. Unilinde Mungu wa kweli.

 

Kristo alilindwa na Mungu, Mungu wa kweli, Mungu wake na Mungu wetu, ambaye ni baba wa wote.

 

Katika maafa yake, Luka 23:45 kulikuwa na giza kuanza saa sita hadi saa tisa. Alikufa.

 

“Kulingana na giza tororo na kitambaa cha hekalu kikagawanyika kwa pande mbili.”

 

Kitambaa kilipasuka kuwili ili kuacha njia kwa watu kufikia takatifu ya utakatifu (Heb 9:8).

“Kulingana nah ii roho mtakatifu inaashiria njia ya santuri imefunguliwa bora tu ile tenti ya nje bado imesimama.

 

Isaye 53:9 hunena

Walitengeza kuhani lake kwa ujinga na mkwasi katika maafa yake ingawa kukufanya mambo yoyote ua fujo na kukuwa ba udanganyifu katika mdomo yake.

 

Pasaka ilitazamiwa kwa wakati ufaao na Kristo alikamilisha kayo yote. Wakati na kumbumbu hayakuwa ya kiajali na haikutendeka kwa siku yasiyo ya kweli. Kama Kristo hangekuwa pasaka, kuuwawa ilivyoandikwa basi hatungekuwa na masihi kama pasaka. Ilikuwa siku moja kabla basi angewawa siku moja kabla na sio vile.

 

Ugawanyiko Wa Matoleo Ya Pasaka

 

Kwa historia ni wazi kuwa pasaka ilitazamiwa nje ya Israeli na matoleo yalifanywa katika hekalu za Yahudi. Wanaakeolojia kuanzia Aramaic Letters translated by H.L. Ginsberg (see J.B. Pritchard, The Ancient Near East, Vol. 1, pp. 278ff.).

 

Passover paprous ni amri kwa yahudi Garrison ya tarehe kutok 419 13CE. Ilikubali kwa makte wa wishwa kushetekewa na kutazamiwa. Ilizingatia pasaka kutazamiwa siku ya 14 Nisan na siku nyingine takatifu za mkate wa wishwa wa 15 na 21 Nisan. Usio wa wishwa hayakuwa yanakuliwa wakati wa giza wa 14 Nisan kwa siku saba hadi 21 Nisan kwa hivyo wakati wa siku ya 14 Nisan. Maandiko yananena:

 

(To) kwa (bretheren Yedojniah1na wenzake, Wayahudi Garrism na ndugu yako Hananiah2. Hii ni mwaka wa tano wa mfalme Darius, neno lilitoka kwa mfalme kwa Arsa (Mes3 usemao mruhusu sherehe ya mkate wa wishwa kwa Jewish (Garrison, kwa hivyo, je mnahesabu siku 14 wa mwezi na kutazama pasaka. Na kutoka siku ya 15 hadi 21 mtazame siku ya mkate wa wishwa. Kuwa msafi. Msifanye siku ya 15 Nisani hadi 21 Nisan au usikunywe au kula chochote. Amri ya mfalme Darius kwa wandugu Yedoniah na Jewish Garrison ndugu yako Hananiah.

 

1.        Kasisi na mkuu wa Yahudi (Military Colony) of elephantine

2.        Kitabu wa Yahudi “affars” kwa Arsames

3.        Satrap wa Misri kutoka 45514 BC kwa 407BC

4.        Neno “Psh” kwa mbili ostraca kutoka elephantine kumaanisha pasaka (offering)

5.        Ukombozi huu ni kweli ikiwa Hanaaniah au uraibu wake ni kama sheria ya rabiniki ambayo yamo chini ya “wishwa”

 

Uraibu wa kutokunywa divai kali ni usaibu wa Rabihinikali. Unywaji wa nguvu haukubaliki kwa sherehe. Deut 14:26 huonyesha hakuna tofauti kati ya fermented na fortified corn spirit.

 

Swala lingine linalojitokea jina la Mungu yalifaa liwe YAHO, ambayo huonyesha matamshi na kuwepo kwa Vikali na hivyo jina Yahovah na Yahovin.

 

Majadiliano haya yamenyamazishwa kulingana na maandiko ni kuwa matoleo yaliofanywa ya pasaka nje ya Israeli ya Yerusalemu na maofisa ya kasisi ya Wayahudi wote wa Israeli na walio katika nchi za mbali na pia wafalme wa pasaka. Ni wazi kuwa kulikuwa na Hekalu za zamani kabla ya Combysis (ibid., Advice of the Governors of Judah and Samaria to the Jews at Elephantine (i.e. Bagoas and Delaiah), p. 281). hekalu hizo zilivunjwa kwa miaka ya 14 wa mfalme Darius. Baada ya kujengwa upya hekalu katika Elephani, Mazdean alilazimishwa kuwa matoleo yafanywe pale pale ili vyakula vinywaji na matoleo vingine view vingi kuchoma kwa wanadamu walioaga dunia ilikatishwa naye pia (Tazama (see also Ginsberg, n.1, p. 281).

 

Mlo Wa “Essene”

 

Mambo yasiyoyakawaida siku hizi ni kutafuta na kulinganisha Dead Sea Scrolls (DSS). Kutoka DSS tutaweza kufahamu kuwa kulingana na maandiko ya Bibilia kuhusu yaliyofanywa katika agano jipya yapata ufafanuzi katika Yuda wa karne ya kwanza. Yale aliyoyafanya Kristo na wanafunzi wake inakopiwa na “Essene”. Hii huonyesha kuwa wafuazi wake pia walikuwa Essene na pia tunaona kuwa chakula hiki hililinganishwa na mlo wa Bwana ilivyoanzishwa huko Juda. Mengi zaidi yapatikana katika The Temple Scroll (Y. Yadin Vol. I, p. 140). Wakati wa mlo wa essene inasemekana kuwa kasisi atabariki mkate na divai.

 

Ananua mkono wake kuchukua mkate. Baadaye aliteuliwa wa Israeli atainua mkono wake na waumini wote wa Yahad watatoa maombi yao. Hii pia inafanyika kila tu wanaume wakumi wamekuwa pamoja.

 

Yadini alinena kuwa

 

Umuhimu ya ufafanuzi haya ni kuonyesha maisha na muungano wa sekta na uhusiano wao wa karibu usaliti wao wa mlo wa “Essene” katika maandiko ya Josephus War 2:130-131, Hali kadhalika matendo yalikuwa sawa nay ale yam lo wa Bwana katika sherehe za agape ya Wakristo Tazama (see D. Flusser, The Last Supper of the Essenes, Immanuel Spring, 1973, p. 23).

 

Essenes walikuwa wanahariki mkate kwanza halafu divai baadaye kutoka The Temple Scroll, Column 17:6-9, kunafahamisha kuwa pasaka yalifaa kuwa na matoleo siku ya 14 wa mwezi wakati wa jioni, katikati ya kuenda kwa jua na giza unaoanza 15 Nisan (The Temple Scroll, Vol. 1, p. 96; see p. 118 for calendar).

 

Hakuna tashwishi wowote kuwa paska ulifanyika siku ya 15 Nisan. Hakuna kutokubaliana kuhusu hii na maandiko ya Bibilia. Kwa kweli kuna maelewano wa kweli kuhusu hii nay ale wanaokeologia wananena. Haya yamedhibitishwa na makanisa wanaotazama mlo wa Bwana kabla ya kuanza kwa karne ya ishirini.

 

Matatizo ya pasaka yalifanyikaje? Jibu ni kuwa makanisa ya Mungu wameelewa kuwa usiku wa 14 Nisan ulikuwa mlo wa Bwana mpaka hivi karibuni. Hakuna sababu kwa kutoelewa pasaka ikiwa maandiko wa uhusiano vile ilivyoteuliwa na Mungu.

 

Appendix A

 

Maadai kuwa kulikuwa na majadilianokuhusu wakati wa pasaka  ni madai yasiyo  ya kweli.Magombano hii ulianza kulingana na kutofautiana kwa makini kulingana na maandiko.

 

Yaliyocheleka Na 14 Nisan Pasaka ni.

 

Magombano yalitokana na yafuatayo

 

1)      Kihistoria kulikuwa na majadiliano ikiwa au la pasaka ya Agano jipya yafaa kutazamiwa 14 au 15 Nisan

2)      Neno la Hibrania Ba ereb ("93 /) humaanisha sunset na kuwa wakati mfupi sana (Dakika 3-4) ambayo huanza wakati jua linapojitokeza na kuisha tu wakati jua linarudi chini

3)      Siku huanza na kuishia wakati wa Sunset au ba ereb

4)      Neno la Hibrania Ben Ha Arbayin (.*"93 % 0*") au kati za jioni kama vile wakati wa sunset na giza.

5)      Kulingana na premise 2, 3 na 4 kwani kuna ba ereb na ben ha arbayin kwa hivyo ben  ha arbayin huanzia kwa kukicha kwa siku sio kwa mwisho wa siku.

6)      Neno la Hibrania boqer (98") humaanisha asubuhi ambapo kuna nuru

7)      Neno la Hibrania laila (%-*-) au usiku hawendi sambamba na asubuhi.

8)      Kondoo wa pasaka ilifaa kuchinjwa wakati wa ben ha arbayin wa 14 Nisan

9)      Kulingana na premises 5 na 88 kondoo wa pasaka ulichinjwa mwanzoni mwa 14 Nisan na sio mwisho 14 Nisan

10)  Neno la Hibrania ad ($3) au mpaka katika kutoka kumaanisha kuwa kondoo ilitazamwa mpaka mwanzo wa 14 na si baadaye.

11)  Hakuna mabaki ya kondoo wa pasaka hadi ifakupo asubuhi (boque) na watoto wa Israeli hawakuruhusiwa kutoka kwenda kwao hadi keshowe asubuhi (boque)

12)  Jinsi wakati Kristo alipofufuka asubuhi kuwa sasa ya mchana (Mariko 1:35) haimanishi kuwa saa za giza ya asubuhi mapema lakini mapema wakati wa usiku

13)  Kuchunywa kwa kondoo kuchimwa na kuliwa yote wakati wa usiku humaanisha kuwa malaika wa maafa alipitia Misri wakati wa usiku wa 14 Nisan.

14)  Maandiko ya 9,10, 11, 12 na 13 watoto wa Israeli walibaki kwa nyumba mpaka asubuhi wakati kuna nuru wa 14 Nusan

15)  Kwanzia maandiko ya 14, watoto hawakuenda mahali walipoanza kuondoka Misri

16)  Wakati wa wasiwasi ulianza katika wana Misri ulianza baada ya Malaika wa maafa kupitia Misri.

17)  Katika Kutoka 12:6-14 huongea sana kuhusu 14 Nisan wakati ambapo kutoka 12:15-20 huongea sana kuhusu 15 Nisan na mbeleni.

18)  Watoto wa Israeli hawakutoka nyumbani mwao masaa kabla ya kufuata malaika wa maafa kupita sababu

a)      Wangelazimishwa kuenda Rameses wakati wa giza wa usiku

b)      Mifano ya moto haikutoka mpaka walipotoka rameses

19)  Watoto wa Israeli karibu 1,5000,00 mpaka 2,000,000 walisanyika huko Rameses kabla ya kutoka Misri

20)  Maandiko hunena kuwa “Mungu wenu amewaelewa na kuwalinda kutoka Misri wakati wa usiku wakati wa kutoka kwa jua

21)  Kwa hakika kutoka ulifanyika usiku kwa kusema watoto wa mwisho walitoka usiku na usiku wa kutoka ulikuwa tu saa chache kabla ya asubuhi wa Nisan

22)  Wana Misri walikuwa wanazika wanao wakati wa usiku na usiku wa manane walipotoka wana Israeli.

 

Haya maandiko yametahimiwa kwa makini magombabo kuhusu 14/15 Nisan wa pasaka sasa yamekubaliwa kuwa ni kweli.

 

PREMISE 1

 

Kulingana na maandiko hakuna majadiliano sana kuhusu ni usiku gain Wayahudi walisherekea pasaka. Ni wazi kuwa kondoo ilichinwa kuelekea mwisho wa 14 Nisan na kuliwa usiku wa 15 Nisan. Majadiliano ya wa Kristo ilikuwa kati tu ikiwa au la mlo wa Bwana inahusushiwa na kunawa kwa mguu, mkate na divai yafaa kutazamiwa jioni mwa 14 Nisan au siku ya ijumaa takatifu au jumapili ya Ista.

 

Ingawa mtazamo wa Ista ulikuwa uraibu wa wakristo wa kanisa kulizuka tofauti kubwa ni siku gain ambayo yafaa kutazamiwa kati ya wakristo Wayahudi na hata wajentili ambayo ulileta kutokubaliana chungu. Kulingana na mawazo ya Wakristo Wayahudi ni kuwa Kristo ndiye alikuwa kondoo wa pasaka kuaresma uliisha tu wakati sawa na Wayahudi siku ya 14 wa mwezi saa za jioni na sherehe ya Ista ilifuata tu kwa karibu bila kuzingatia siku juma/wiki. Kwingineko Wajentili Wayahudi wanafahamu kuwa siku ya kwanza ya wiki ni kufufuka kwa Kristo na kutazama ijumaa kbla yake kama wakati wa kusubuliwa bila kuzingatia siku ya mwezi (Encyclopedia Britannica, 11th edition, article ‘Easter’).

 

Hii ilikuja kujulikana kama Quartodeciman controversy ambayo ni magombano kuhusu ni wakati upi unafaa kupokelewa kwa mlo wa Bwana. Katika makanisa mengine ya Mungu ya karne ya ishirini kuna kutolewana ikiwa Kristo alikula mlo wa pasaka. Kutoka hapo kuna majadiliano ni wakati upi kondoo wa pasaka ulitolewa na kuliwa kwa mlo wa Bwana. Haya ni tofauti sana na quartodeciman controversy na haya majadiliano mawili hayafai kuchanganyikiwa.

 

PREMISE 2

 

Maandiko ya be ereb humaanisha kutua kwa jua – kwa muda mfupi sana kati ya dakika 3-4-5 sawa. Mhibrania lexicon na Brown, Briggs, Genenius (BDBG), hakuna kuwa ba ereb humaanisha jioni, usiku au kutwa kwa jua. Strongs Hebrew Dictionary (SHD) hutupatia matumizi ya dusk even (-ing – tide). Ereb hujitokeza kwa neno Arab kupitia mawazo ya Covering with rexture. Arab humemsha kuwa jioni au kukua kwa giza, kulingana na appendix 12 kila matukio ya Ereb katika agano ya kale imeandikwa. Haya yamepatikana katika maandiko haya

 

Genesis 1:5 mungu alitaja nuru kuwa usiku na giza usiku na kulikuwa na jioni na asubuhi.

 

Genesis 24:11 alifanya ngamia kupiga magoti wakati wa jioni kando ya kisima wakati wanawake walienda kuchota maji.

 

Leviticus 6:20 matoleo ya Aaron na wanawe kwa Mungu wakati aliteuliwa, moja juu ya kumi ya unga na hata nyama ulitolewa nusu yake asubuhi na nusu nyingine usiku.

 

Deut 23:11 Jionu ukikaribia ataenda kuoga kwa maji na kama kua limeenda chini atarudi kuishi na watu.

 

Joshua 8:29 mfalme wa Ai alijinyonga kwa miti mpaka jioni na Joshua alitoa amri ili maiti yake yatolewe kwa mti na kuiweka katika mlango iliyoingia kwa jiji.

 

2 Samwel 11:2 Ni wakati wa jioni wakati daudi alipamka na kutembea katika paa la nyumba alipoona mwanamke mrembo sana akioga.

 

2 Samwel 11:13 Daudi alimwalika kwa nyumba yake, walikula na kunywa mpka daudi akalewa sana na jioni alipowadia alienda kulala na watumizi wake na si kwa nyumba yake.

 

Job 7:4 Nikilala mnajiuliza kuwa nitaamka lini na usiku ulikuwa umeenda.

 

Zaburi 30:5 kulingana na hasira anatokwa na machozi wakati wa jioni na kuwa na duraha wakati wa asubuhi.

 

Proverbs 7:9 kama nuru wakati wa jioni na hata usiku au wakati wa giza

 

Zacharia 14:7 kutakuwa na siku si mchana na si usiku na ukifika jioni kutakuwa na nuru.

 

Kulingana na matumizi ereb haimanishi dakika 3-4. Humaanisha muda mrefu sana kuanzia adhuhuri hadi giza wa usiku. Imetumika san asana kumaanisha giza.

 

PREMISE 3

 

Siku huisha na nyingine huanza (ereb). Kulingana na maandiko tulivyopewa hapo juu ni wazi kuwa ereb huja kabla ya kutua kwa jua au baadaye. Wayahudi wanafahamu kuwa siku huanza na huishia wakati wa giza. Sabato na siku takatifu utazamiwa dakika chache kabla jioni na giza.

 

Katika Leviticus 23:32 haifafanui ereb kama sunset kulingana na maandiko ya hapo awali, hufafanuliwa na giza baada ya jua kuenda chini. Katika Kutoka 16:6-13 haifafanui areb jua kama sunset. Hapa ereb imetumika kuonyesha muda kati ya sunset na giza. Kutoka 16 huonyesha kuwa kuchukuwa mana yalitoka mbinguni huvunja mtazamo wa sabato.

 

PREMISE 4

 

Ben ha arbayin imefafanuliwa kuonyesha wakati kati ya kutua kwa jua na giza.

 

BDBG hunena kuwa yaweza kumaanisha “between sunset and dark. The New Century Bible Commentary. Katika kutoka huonyesha kuwa kati ya between evenings ulikuwa maonyesho ngumu sana. Baadaye imefafanuliwa kama yafuatayo:

 

 

Wafaridai walichukua fafanuzi ya mwisho kama ya kweli. Wakati wa Musa fafanuzi wa kwanza ndio ya kweli. Kitu cha kushangaza ni kuwa katika fafanuzi zote tunaelewa kuwa between the evenings huja mwishoni mwa siku na si mwanzo wake.

 

Swala hilo lilitokeza kwa sababu kulikuwa evening ambayo ilionekana ilianza baada ya adhuhuri na huashiria na sunset na kuna evening ya pili ambayo huaza na giza. Hali kadhalika neno between the evenings imeeleweka huka kwa mwisho wa siku. Hii pia huonekana katika Passover paprus kutoka elephantine.

 

PREMISE 5

 

Hapa ben ha arbayim huja mwanzoni mwa siku na si mwisho wa siku. Hii ni kwa sababu ba ereb humanisha sunset na ni mwanzo wa siku mpya nab en ben ha arbayim ni wakati huo between sunset and dark.

 

Hii si halali kulingana na maoni ereb hawezi kumaanisha sunset na huweza kumaanisha chochote kutoka adhuhuri kupitia giza ya usiku.

 

Tunapoelewa mwanza wa Ben ha arbayin kama maonyesho ngunu, ni wazi kuwa huja mwishoni mwa siku sio mwanzoni. Haya yaweza kupatikana katika maandiko yafuatayo.

 

Exodus 29:38-41 Hii ndiyo yafaa mtoe kwa Mungu katika hekalu kila siku, kondoo mbili wa mwaka moja, hutoa moja asubuhi na nyingine saa za jioni.

 

Numbers 28:3-4 Waambie “Hii ndio matoleo ya moto ambayo hupelekwa kwa Mungu na kondoo mbili ya mwaka moja bila kasoro.

 

Hapa tunaona kuwa matoleo yalihusu kondoo mbili mmoja asubuhi na nyingine saa za jioni (Ben ha arbayin). Wazi ni between the evenings hiyo mwishoni mwa siku na si mwanzo.

 

PREMISE 6

 

Boqer humaanisha asubuhi wakati kuna nuru; na hawezi kumaanisha wakati wowote kati ya usiku wa manane na asubuhi wakati ambapo kuna giza

 

Pia hii si kweli BDBG hufafanuwa kuwa Boqur humeunganisha: morning of end of night; of coming daylight; of coming of sunrise; of beginning of day; of bright; after night of distress (fig); morrow, next day, next morning kama ereb, Boqur huweza kuwa na maana nyingi sana. Kuna maandiko ambayo hulinganisha boqer na asubuhi wakati wa usiku wa manane na hukutokeza kwa jua wakati ambapo kuna giza.

 

Ruth 3:14 alilala kwa miguu yake mpaka asubuhi. Aliamka mbele ya watu wote na hakuna aliyejua kuwa kulikuwa na mwanamke katika nyumba.

 

Madhibitisho kuwa Ruth hangeweza kuampka wakati bado kulikuwa na giza kwani hangeweza kufuata njia ya kurudi nyumbani.

 

Exodus 14:24; 27 Wakati wa Asubuhi kulikuwa na moto na wawingu kutanda dhidi ya wana Misri. Kwa hivyo musa aliinua mkono wake kwa ziwa na ziwa ikarejea katika mienendo yake ya kawaida asubuhi ulipowadia.

 

Usiku uligawanyika kwa 3 x 4 – saa. Saa jioni huanzia kwa giza na kuenda mpka saa nne usiku, mpaka saa nane asubuhi. Mwisho au asubuhi wa mapema ulianza saa nane mpaka sunrise. Morning watch ulipewa jina hilo kwani lilitendeka masaa ya asubuhi na mapema.

 

Genesis 44:3 Asubuhi ilipowadia kulikuwa na nuru na wanaume walitumwa mbali.

 

1 Samwel 29:10 Amka asubuhi (boqur) na watumizi wa Mungu ambao walikuja nawe na muanze kutoka tu mnapoona tu nuru.

 

Haya maandiko huonyesha kuwa ulikuwa rahisi kwa mtu kuamka asubuhi na mapema wakati tu wanapoona nuru na si rahisi kuamka wakati wa giza au usiku.

 

1 King 3:21 nilipoamka asubuhi kumpatia mtoto kunyonya lo, alikufa na nilipotazama kwa karibu niligundua kuwa hakuwa mtoto niliyimzaa.

 

Hapa tunaona kuwa kulisha ulifanyika wakati ambapo kulikuwa na giza kabla ya nuru. Ni wazi kuwa neno boqer laweza kutumika kuonyesha wakati baada ya usiku wa manane kupitia nuru ya siku katika lugha nyingi ikiwemo kiingereza. Neno asubihi hutumika baada ya usiku wa manane hadi saa za adhuhuri.

 

PREMISE 7

 

Neno lailah au usiku hauwezi kuenda sambamba na asubuhi. Neno Lailah limefafanuliwa na BDBG kama usiku. Hakuna chochote kinachozuia Lailah kutimika sambamba na giza za asubuhi.

 

PREMISE 8

 

Kondoo wa pasala ilifaa kuchinjwa katika ben ha arbayim wakati wa 14 Nisan

 

PREMISE 9

 

Kondoo wa pasaka ulichinjwa mwanzoni na si mwisho mwa 14 Nisan

 

Kweli kondoo wa pasaka ilichinjwa katika ben ha arbayin ama katikati ya jioni ya 14 Nisan. Hatua hivyo tuonaona wazi kuwa kulingana na maandiko hata ya Passover paprus, ben ha arbayim huja mwishoni mwa siku na si mwanzoni. Kondoo wa pasaka ulichinjwa kuelekea au katibu na 14 Nisan na kuchomwa na kuliwa jioni wa 14 Nisan.

 

PREMISE 10

 

Neno ad au mpaka katika Kutoka 12:6 humaanisha kondoo ilifaa kutazamiwa mpaka mwanzoni mwa na si kuchelewa mwanzoni.

 

Neno ud huwa na matumizi mingi sana. BDBG hufafanua ad kama even tp, until, unto, till during, end. Pia katika Kutoka 12:15;18 tunaona kuwa:

 

Exodus 12:15 watu watakuwa mkate wa wishwa na yule atakayeharibu sheria hii ataondolewa katika jamii ya Israeli.

 

Exodus 12:8 mwezi wa kwanza wa 14 Nisan wa mwezi wakati wa jioni utakula mkate wa wishwa mpaka 12 Nisan wa mwezi wakati wa jioni.

 

Ni wazi sana kulingana na maandiko haya kuwa watu waliruhusiwa tu kula mkate wa wishwa kwa siku saba. Haya maandiko kuhusu ad humanisha kuwa up to the beginning but no further.

 

PREMISE 11

 

Kondoo wa pasaka haikutakikana kubaki hadi keshowe asubuhi na watoto wa Israeli hawakuruhusiwa kuacha nyumbani mwao hadi asubuhi.

 

Hii ni kweli, kama ilivyoandikwa tunaona kuwa neno boqur limetumika kumaanisha vitu vingi kwani huanzia baada ya usiku wa manane. Kama kondoo ilichinjwa wakati wa nuru na kuchukua muda mingi kuchomwa kwa hicyo ilikuliwa usiku lakini si usiku wa manane. Zilizobaki yalifaa kuliwa kwa haraka au kuchomwa. Hii ingechukuwa muda zingine zaidi. Wakati wa giza ingawa kulikuwa na giza Israeli walikubaliwa kuacha nyumbani mwao kwa mari ya Musa, katika Kutoka 12:29-42.

 

Exodus 12:29-42 wakati wa usiku wa manane Mungu aliua wazaliwa wote wa kwanza wa kuime huko Misri, yakweno hata yule wa Farao alitaka mamlaka na hata mifugo za kwanza. Fero alipamka usiku hakuna nyumba ya wana Misri ambayo hakuwa na maafa. Usiku huo aliita Musa na Aaron na kuwambia waendele na safari yao waende waombe Mungu wao kwani alichoshwa na mateso ya Mungu. Chukua mifugo yako venye umesema na uende na hata pia unibariki. Watu Israeli walifanya vile walivyoamrishwa na Musa kuchukuwa mapambo shada na hata dhahabu kutoka kwa wana Misri na Mungu aliwahurumia kwa kuwafanya wanamisri kutowanyima chochote walichotaka walianza safari yao kutoka Rameses kuelekea Succoth karibu watu 600,00 wanaume walikuwa kwa miguu bila ya kuhesabu wamawake na watoto. Kulikuwa na watu wengi ikiwemo wanamisri wengine na hata mifugo mingi na hata mkate wa wishwa walibeba kutoka nao Misri. Israeli walikuwa Misri kwa karibu miaka 430, ulikuwa na usiku ambapo Mungu alikuwa na mpango wa kuwatoa Misri.

 

PREMISE 12

 

Maana ya Kristo kufufuka asubuhi kulingana na Mariko 1:35 haimanishi kuwa ni saa za giza ya asubuhi bali ni mapema wakati wa usiku.

 

Kulikuwa na magombano huko Ugiriki kulingana na maana ya boqur yaliyotumika kuonyesha asubuhi na mapema wakati wa giza. Maandiko ya Ugiriki wa mwanzo hayo husema (from Marshall’s Interlinear):

 

6"Â BDTÅ «<<LP"         8/"<  •<"FJH   ¦>­82,<

And early   in the night      very     rising up      he went out

 

Wakati wa mapema ya usiku aliamka na kwenda nje.

 

Magombano yametekelzwa kuwa BDTÅ au prõi humaanisha Early na si Morning na pia «<<LP" au ennucha humaanisha night (usiku) kwa hivyo haiwezi kusemekana kwa usiku huenda sambamba na asubuhi. Prõi kulingana na Thayer's Greek-English Lexicon humaanisha asubuhi na mapema. Ennuchu humaanisha Nightly, nocturnal. 7/"< au lian humaanisha very. Kwa hivyo proi ennucha lian humaanisha asubuhi na mapema wakati bado kulikuwa giza. Kila tafsiri kama vile (RSV, KJV, NRSV, Barclay, Moffat, TEV, Amplified, NIV) hutambulisha hii. Ni wazi kuwa asubuhi imetamka kuonyesha kuwa ni wakati baada ya usiku wa manane.

 

PREMISE 13

 

Malaika wa maafa alipitia Misri wakati wa usiku wa 14 Nisan. Hii si ya kweli kwani kondoo wa pasaka ulichinjwa mwishoni mwa 14 Nisan kulikuwa usiku wa 15 Nisan na kwa hicyo malaika alipita usiku wa 15 Nisan.

 

PREMISE 14

 

Watoto wa Israeli walibaki nyumbani mwao na hawakutoka nje usiku wote wa 14 Nisan na walitoka tu mchana wa 14 Nisan.

 

Kulingana na maandiko ya hapo juu si ya kweli. Baada ya usiku wa manane 15 Nisan., Fero alituma neno kwa Musa ili watoke Misri. Kutoka kwa Musa na watoto wa Israeli ulianza masaa ya mapema ya asubuhi wa 15 Nisan wakati ambapo kulikuwa na giza.

 

PREMISE 15

 

Watoto wa Israeli walichukua tu siku moka wa 14 Nisan kwa nyumba bila kutoka nje huko Misri na walitoka tu mwanzoni mwa 15 Nisan wakati wa usiku.

 

PREMISE 16

 

Wasiwasi haikutanda huko Misri na ilifanyika tu baada ya malaika wa maafa kupita.

 

PREMISE 17

 

Kutoka 12:6-14 husungumza tu kuhusu 14 Nisan na Kutoka 12:15-20 huzungumza zaidi kuhusu 15 kuendelea hadi mstari wa 6-14.

 

Haya maadai yote si ya kweli. Israeli walianza safari kuelekea Rameses wakati wa asubuhi wa 15 Nisan wakati wa giza. Tafsiri wa RSV na zingine zilizotajwa hapo juu hulinganishwa kulingana na Kutoka Ex. 12:35-36.

 

Exodus 12:35-36 Musa aliwambia Israeli kuchukuia shuda, dhahabu, mapambo mavazi. Kwa huruma ya Mungu Israeli walipata chochote walichotaka kwa wanamisri

 

The taking of spoil ulitendeka wakati wa mchana na usiku kwa hivyo ulitendeka wakati wote wa 15 Nisan ili kudhibitisha haya, matukio katika 6-14 huendi sambamba na 15-20 haya yote si ya kweli.

 

PREMISE 18

 

Watoto wa Israeli hawakuacha nyumbani mwao baada tu kwa yule malaika wa maafa kupitia kwa sababu

 

a)      Wangelazimishwa kusafili kuenda Rameses wakati wa usiku wa giza.

b)      Mfano wa moto haukutoka baada ya kutoka Rameses

 

Kwanza kabisa Misri walikuwa macho usiku huo (Kutoka 12:29-30) Fero aliamini Musa na Aaron wakati wa usiku ili watoke. Misri aliunga mkono kutoka kwa hawa wote. Katika barabara kulikuwa na tochi wakati ambapo walikuwa na ziara tofauti tofauti. Pili hii ilikuwa 15 Nisan wa mwezi na mwezi ulikuwa full safari ya Israeli kuelekea Rameses ulifanyika kwa stesheni mbalimbali na iloyoanza usiku wa masaa mapema ya asubuhi ulienda hadi wakati wa mchana na zaidi.

 

PREMISE 19

 

Watoto wa idadi 1,500,000- 2,000,000 walidanyika huko Rameses kabla ya kutoka Misri. Hakuna dhihitisho lolote kutoka bibilia kuhusu swala hili.

 

PREMISE 20

 

Maandiko hunena kuwa “Mungu wenu amewalea na kuwalinda kutoka Misri wakati wa usiku wakati wa kuenda chini kwa jua… wakati wa kunzia 15th mpaka kuendelea chini ya jua  hadi saa Misiri” (Deut 16:1;6)

 

Haya yametokana na msemo wa Fred R. Coulter, The Christian Passover (York Publishing Co., USA, 1993, p. 86). Ni tofauti sana na nay ale yanayoandikwa kwa Bibilia Coulter hunena kuwa Exodus alianza wakati jua ulikuwa unaenda chini wa 15 Nisan. Kulingana na Exidus 6 tunaona kuwa hakuzingatia wakati wa kutoka.

 

Deut 16:5-6 Haukubaliwi kutoa matoleo ya pasaka katika jiji ambayo umepewa na Mungu lakini kwa mahali ambaoi itatueliwa na Mungu ili kufanya jina laka lienee hapo wakati wa jioni ambapo jua huenda chini wakati walipotoka Misri.

 

Deut 16:6 haina uhusiano wa wakati ambapo Israeli walitoka Misri. Majadiliano kuhusu pasaka kati ya wasomi na walio na taribu ya pasaka.

 

PREMISE 21

 

Kutoka wote ulitendeka wakati wa usiku hii ni kwa kusema watoto wa mwisho walitoka usiku na haikuwa saa chachi kabla ya asubuhi na mapema wa 15 Nisan.

 

PREMISE 22

 

Wanamisri walikuwa wanazika wanao wakati wa usiku kati ya usiku wa manane na asubihi ikiwa kutoka asubuhi kutoka Misri ulikuwa wa kweli.

 

Hakuna shahidi kutoka Bibilia kudhibitisha “premisizi” hii na kuwa watoto wote wa Israeli walitoka Misri masaa ya kwanza ya asubihi wa 15 Nisan. Kutoka ulianza saa za mapema, ya asubuhi na kuenda wakati wote wa mchana wa 15 Nisan.

 

Hii maandiko ya 22 ni kuhusu tu premise yasiyo ya kweli. Wanaamini kuwa watu wote wa Israeli watoka Misri saa za asubuhi wa 15 Nisan. (Premise 21) ambapo hapa haikuwa swala la kuzingatiwa. Zaidi tunaona ujinga ya wanamisri. Kulingana na sheria zao za kuzika (see Wallis Budge, The Book of the Dead).

 

Maandiko ya 1 hadi ya 22 zimetumiwa na kutupiliwa mbali, kumbukumbu kuhusu kuchinjwa kwa kondoo wa pasaka yamo katika machoro ya hapo chini.

 

Premise kubwa ambazo zimetumika kudhibitisha magombano kuwa kondoo wa pasaka ulichinjwa mwanzoni mwa 14 Nisan na kuliwa usiku huohuo si ya kweli. Kumbukumbu sahihi kuhusu pasaka hupatikana katika maandiko. Magombano mengine kuhusu kuchinjwa kwa kondoo wa pasaka mwanzoni mwa 14 Nisan ni bandia. Magombano mengine yametaliniwa kama yafuatayo.

 

PREMISE 23

 

Pasaka mara kwa mara hutazamiwa tu kwa kawaida kama vile pasaka ya kutoka.

 

Hii si kweli pasaka ya kwanza talifaa kutazamiwa kwa sababu mpango aliyokuwa nayo Mungu kupokea. Mabadiliko kubwa ualiyotekelezwa na Musa ni wakati alipowaamri Israeli baada ya kukaa kwa amani ni kutazama pasaka katika mahali palipoteuliwa na Mungu na kuweka jina la Mungu kueneza mahali humu.

 

Deut 16:2-7 mtatoa pasaka kwa Mungu wenu, mifugo kwa mahali palipoteuliwa na Mungu. Hamtakula mkate usio wa wishwa, mtakuwa mkate wa mishwa kwa siku saba. Mtakumbuka siku ambayo mlilolwa kwa nchi ya Misri. Mtachoma na kula kwa mahali Mungu atateua na mtarudi kwa mahali penu pa kukaa.

 

Israeli waliamrishwa kutoka nyumbani mwao kwa muda wa masaa 36. Wakati wa Kristo tunaelewa kuwa kuttoka kwao haukuwa wa milele wakati wa 14 Nisan na kula na wengine hawakuenda. Bullinger alirekodi katika Luka 22:8,15 katika bibilia yake ya Companion Bible kuwa chakula hiki kilitiwa chagigah. Matayarisho ya chakula cha pasaka kilitengenezwa kushowe. Kondoo ilichinjwa adhuhuri na kuliwa usiku wa 15 Nisan. Keshowe kutakuwa na sherehe katika hekalu na watu watarudi nyumbani mwao. Pasaka ilikuliwa na mkate wa wishwa kwa siku saba za kwanza. Haya yangekuwa tu siku ya 15 Nisan.

 

PREMISE 24

 

Hakuna shahidi kuwa pasaka ilisherekewa kwa mahali moja hadi Hezekieli na Josiah mia na ziadi ya kutoka.

 

Hii si kweli. Wakati wa mfalme Solomon pasaka ilikuwa inasherekewa na kutazamwa pamoja na siku za mkate wa wishwa huko Yerusalemu na hekalu. Sherehe ya kuunganisha watu ulikuwa katika siku za Daudi na Solomon. Maandiko mengine pia hunena kuwa pasaka ya watu kuja pamoja ulianza hapo katika siku za Samweli.

 

PREMISE 25

 

Wakati w Kristo kulikuwa na pasaka ya domestic iliyonea sana Israeli

 

Shahihi yoyote kuhusu kondoo wa pasaka yaliyokuwa yanachinjwa katika Israeli na hata hekalu wakati wa Kristo ukweli ni kuwa pasaka ya domestic ulikuwa hapo awali au ulianza wakati wa 14 Nisan na pasaka ya hekalu ilikuwa saa za adhuhuri wa 14 Nisan. Kwa kweli hakukuwa na magombano yoyote kuhusu ni siku gain ya 14 Nisan ambayo kondoo wa pasaka ulichinjwa.

 

PREMISE 26

 

Eti mwanzoni kulikuwa na sherehe mbili, moja ya pasaka na nyingine ni siku za mkate wa wishwa ambayo baadaye yalikuwa sherehe moja.

 

Shahidi yanayotolewa kuhusu swalas hii haieleweki na wale wanao amini kwa pasaka na mwanzo wa 14Nisan. Wanahistoria waligombana kuhusu sherehe mbili huwa moja, hawakuwa wanagombana kuhusu mwanzo wa 14Nisan ya pasaka na chakula. Lakini walikuwa wanagombana kuhusu waumini waliokuwa wanakua na hawakuwa wanataka kukosana na kanisa. Walinena kuwa Israeli walikuwa na uamini alikua kwa haraka na kulikuwa na vikundi waliokuwa wanatazama 14Nisan na wengine walikuwa na vikundi waliokuwa watnatazama 14Nisan na wengine walikuwa wanatazama sherehe ya 15Nisan.

 

PREMISE 27

 

Israeli waligeuza wakati wa kuchinjwa kwa kondoo ya pasaka kutoka mwanzoni mwa 14Nisan kwa mwishoni mwa Nisan

 

Hii si kweli. Hakuna shahudi ya kihistoria yanayounga mabadiliko huo. Hakuaje kuwa kumbukumbu ya kutoka 12makataa kuchijwa kwa kondoo wa pasaka mwanzo ni mwa 14Nisan kwingineko, Passover papyrus huonyesha matendo ya zamani.   

 

PREMISE 28

 

Pasaka haikuwa inatazamiwa kwa Hekalu mpaka Hezekiali alipoanza mpango huo, na kuanzia hapo pasaka iulitazamiwa katika Hekalu kulingana na masharti ya Hezekiali na si sheria za Mungu.

 

Maandiko hunena kuwa sheria kwa msanyiko wa watu ulikuwa tu ule wakati wa Daudi na Solomon. Hezekiali alimuheshimu Mungu kama tunavyoelewa, kutoheshimu kwa sheria za Mungu ulileta balaa kwa Israeli na Hezikieah alikuwa makini kwa mtazamo wa pasaka kama yaliyo kwa sheria.

 

PREMISE 29

 

Pasaka ya Josia hakuzingatia sheria za Mungu na kuzingatia tu sheria za Josia.

 

Pia tunafahamu kuwa Josia alimuheshimu Mungu maandiko mengine ya Bibilia hunena kuwa pasaka ya Josia ilitazamiwa kulingana na masharti ya Josia na si ya Mungu. Hii yote si ya kweli. Sheria za Yosia ilikuwa waisraeli watazame pasaka kulingana na sheria za Mungu.

 

PREMISE 30

 

Sababu kubwa kwa Hezekiah na Josia kuanzisha pasaka ya Hekalu kwani watu kuwakuwa wa kuaminiwa kutazama pasaka ya mifugo. Hii si kweli kwani pasaka ya Hekalu ilikuwako katika sheria ya Musa.

 

PREMISE 31

 

Deut 16:1-8 hazingitii pasaka

 

a)      Masharti haya ni ya pasaka lakini kwa kweli ni masharti ya sherehe ya mkate wa wishwa

b)      Pasaka uhusiana tu na kupata kwa malaika wa maafa lakini si kwa kutoka

c)      Mstari wa 6 hunena matoleo ya pasaka kama ba ereb na si ben ha orbayin na hivyo haishi kondoo wa pasaka

d)      Maneno, bought you forth by night katika mstari ya 1 magomano na sheria ya pasaka none of you shall go out of the door of his house until the morning

e)      Mstari ya pili yaruhusu matoleo ya pasaka kuwa mifugo na huenda kinyume cha sheria kuwa kondoo yafaa kutolewa. Matoleo ya pasaka hapa yanahusu siku za mkate wa wishwa na si pasaka

f)        Mstari ya 5-6 hutuashiria kuwa matoleo ya pasaka yalikuwa yatendeke mahali palipoteuliwa na Mungu na si nyumabni

g)      Mstari ya 3 hunena kuwa matoleo ya pasaka yalifaa kuliwa na mkate wa wishwa kwa siku saba na kwa hivyo hauwezi kuwa kondoo wa pasaka uliochinjwa wakati wa 14 Nisan

h)      Mstari wa saba hunena kuwa matoleo ya pasaka yalifaa kuchumiwa ambayo haikutafsiriwa visivyo na walinena kuwa ni boiled

i)        Neno siku ya kwanza katika mstati wa 4 yanahusus siku ya kwanza ya sherehe wa mkate wa wishwa na si pasaka

j)        Mstari wa 4 hainihusu kuchomwa kwa mabaki ya chakula cha pasaka, not let it remain till morning

k)      Mstari ya 2, 5 na 6 ndio mahali pekee ambapo sherehe za mkate wa wishwa ulitiwa Passover offering laking Musa hakuandikwa hii

l)        Mstari wa 8 hunena kuwa mkate wa wishwa yalikuwa kuliwa kwa siku sita na iliandikwa na Ezra

 

Haya maadui yote yanatokana na premise yasiyo ya kweli kuwa kondoo wa pasaka ulichinjwa mwanzoni mwa 14 Nisan na kuliwa jioni huo hu ambayo katika maandiko ya Deut 16:1-8 hayajanena hayo. Hakuna wazo lolote la wsomi linalodhibitisha ya kuwa Deut 16 haina uhusiano na pasaka ingawa yuko nayo. Maadui kuwa tafsiri wa neno roasted yaliyo kuwa boiled yametumiwa katika maandiko hayo. Neno la swala ni la Hibrainia la Bashal kulingana na BDBG humaanisha boil, cook, bake, roast, ripen, grow ripe

 

Katika karatasi hii tunakubali kuwa pasaka ilitumika neno bashul mara pili moja ya kuchomwa na nyingine kuchomeshwa.

 

Ni kweli kutafsiri neno bashal kama roast kulingana na Deut 16:7 na hii ilikuwa imeleweka kitambo sana na Wayahudi. Exodus 12:9 haikubalika kwa pasaka kuchomeshwa au kuliwa vile ilivyo, yaliyokubaliwa ni choma.

 

PREMISE 32

 

Ezra alitazama pasaka mwanzoni mwa 14 Nisan. Hakuna ushahidi kulingana na maadui hii. Kulingana na maandiko ya Ezra 6:19-22 tunafahamu kuwa Ezra alikuwa anaelewa sana sheria ambayo ilionyeha wazi kuwa pasaka ilikuwa inatolewa mwishoni mwa 14 Nisan na si mwanzoni mwa Passover Paprus ni sawa nay ale ya Ezra.

 

PREMISE 33

 

Ezra aliandika Deut 16 na Joshua 5:10 ili kuzingatia maneno ya kisasa kama ilivyo katika 2 Chronicles 35 (Coulter, pp. 156ff.).

 

Ingawa Ezra alisaidia kuandika agano la kale, aliandika sheria kuzingatia mazoezi bila idhini. Unabii wa Ezekiel 45:21 ulinena kuwa:

 

“Siku ya kwanza ya mwezi, siku ya 14 ya mwezi mtasherekea pasaka na kwa siku saba mtakula mkate wa wishwa.

 

PREMISE 34

 

Ezra aliamua kuweka Yerusalemu kama mahali pa kusherekea pasaka hata hivyo kuna wengine waliooendelea na mienendo yao ya kizamani kutoa pasaka ya mifugo siku ya 14 katika kila mahali pa Yerusalemu.

 

Hakuna shahidi yoyote ya kihistoria kushibitisha maadui kuwa kulikuwa na pasaka ya mifugo mwanzoni mwa 14 na toleo la Hekalu mwishoni mwa 14 huku Yerusalemu au kwingineko.

 

PREMISE 35

 

Pasaka ya mifugo mwanzoni mwa 14 Nisan na pasaka ya Hekalu mwishoni mwa 14 Nisan uliendelea mpaka wakati wa agano jipya. Maandiko ya wanafilosofia walitoa ushahidi kuhusu swala hili.

 

Maandiko ya Filo haidhihitishi mwala hili. Wanaonyesha tu kuwa toleo la pasaka ilikuwa juu ya mkuu wa nyumba kutoka kondoo la kuchinjwa. Hii ilikuwa kweli ikiwa au la kondoo ilitolewa Hekaluni (Tazama ISBE, Vol. 3, article ‘Passover’, p. 677). Schürer (The History of the Jewish People in the Age of Jesus Christ, Vol. II, p. 14) Huonyesha kuwa kulikuwa na aina mbalimbali ya kutazama pasaka huko Yuda na Galilee. Katika Yuda watu walifanya kazi siku ya 14 Nisan mpaka saa za adhuhuri. Huko Galilee hawakufanya hata kidogo. Huko Yerusalemu kulikuwa tu na kondoo moja iliyokuwa inatolewa na kupelekwa kasisi mkuu lakini idadi ya mfugo iliyotolewa kwingineko ilikuwa kubwa sana. Wengine walibaki nyumbani na kusali hapo (Schurer, ibid., Vol. II, pp. 292–293). Wakati wa kufanya huonyesha kuwa jioni wa 14 Nisan ulikuwa ni wakati wa kutayarisha na pasaka ilitolewa kutoka Yerusalemu.

 

PREMISE 36

 

Kristo alitazama pasaka mwanzoni mwa 14 Nisan.

 

Hii si kweli. Yesu na wafuazi wake walitazama matayarisho ya chakula ya pasaka ambayo mwanzoni mwa 14 Nisan.

 

PREMISE 37

 

Yohana alizingatia pasaka kama pasaka ya Wayahudi kwa sababu Wayahudi hawakuwa wanatazama sherehe ya mkate wa wishwa.

 

Hii pia si kweli. Yohana aliandika mwishoni mwa karne ya kwanza Yohana aligundua sherehe hizi katika maandiko yake ili yaeleweke kwa urahisi na Wajentili, ambayo wengi wao hawakuwa wameokolewa wa hawakuelewa masharti yaliyokwemo. Pia huonyesha kuwa Yesu alikuwa Myahudi kwa sababu alitazama sherehe za Yahudi kulingana na sheria za Mungu. Yohana alitumia feast ya Wayahudi mara nyingi wakati wa Yesu. Hakuna shahidi kutoka kwa injili kuwa Yesu na viongizi wa Wayahudi hawakuzingatia sherehe za Mungu. Katika Agano Jipya ya matendo huonyesha kuwa wafuazi na kanisa walitazama sherehe. (Tazama karatasi The Holy days of God (No. 97)).

 

Yesu pia alikiri kuwa viongozi wa hekalu na wafarisai walikaa kwa kiti cha Musa (Mathayo 23:2).

 

PREMISE 38

 

Matayarisho ya pasaka yaliyotazamiwa na Yahudi siku ya 14 Nisan inayonguliwa kuchinjwa kwa kondoo ya pasaka kwa hekalu wakati wa adhuhuri wa 14 Nisan, ilikuwa inatazamwa siku ya 13 na Wayahudi waliotazama domestic pasaka mwanzoni mwa 14 Nisan.

 

Maadui hii ya Coulter ni swala lingine ambalo halina shahidi ya kihistoria. Maadui ni kuwa hakukuwa na mwanzoni wa pasaka wa 14 Nisan na hata hakukuwa na matayarisho ya pasaka ya 13 Nisan.

 

PREMISE 39

 

Ugiriki wa mwanzo wa Mariko 14:2 yafaa kutufsiriwa walipokuwa wanachanga pasaka kuonyesha kuchungwa kwa mifugo ya kondoo wa pasaka mwanzoni mwa 14 Nisan ulikuwa unafanyika wakati wafuazi wa Yesu walimuuliwa ni wapi watakyotayarisho pasaka.

 

Haya maadui si ya kweli kwani huashiria kukosa kuelewa maneno ya Ugiriki. Marshall’s interlinear hunena “Ni siku ya kwanza ya mkate wa wishwa wakati pasaka ilitolwa,” kuashiria kuwa walitoa pasaka ya mkate wa wishwa. Siku ya 14 Nisan ulikuwa siku ya matayarisho ya pasaka ya toleo la pasaka na chakula.

 

Wafuazi wa Yesu waliulizxwa ni wapi watayatayarisha pasaka kumaanisha walitaka mahali pa kukaa kwa muida mfupi kulingana na Deut 16. Kondoo za pasaka zilichinjwa wakati wa adhuhuri wa 14 Nisan na si mwanzoni.

 

PREMISE 40

 

Chakula cha Yesu na wafuazi wake ulikuwa chakula cha pasaka kilichotazamiwa mwanzoni mwa Nisan.

 

Haya yanaenda kinyume na rekodi ya Yohana 19:14

“ulikuwa ni siku ya kutayarisha pasaka, ulikuwa ni saa ya sita. Na aliwaambnia Wayahudi “Huyu ndiye mfalme wenu (RSV).

 

PREMISE 41

 

Yohana alirekodi kula kwa Yesu kama beginning of 14th Passover meal lakini humpa neno “Preparation of the Passover.”

 

Maandiko ya wafuazi wa Kristo wangezingatia haya. Kama Kristo anatamani kurekebisha hili, kwa nini Yohana hukurekodi ukweli huu?

 

PREMISE 42

 

Tetemeko la ardhi baada ya kufa kwa Kristo ilizuia kuchinjwa kwa kondoo wa pasaka katika hekalu mwaka huo. Kwa hivyo Mungu hakufurahishwa na kuchunjwa kwa kondoo wa pasaka wakati wa ashuhuri wa 14 Nisan.

 

Maandiko ya injili hurekodi wakati Kristo aliaga kama ninth hour au saa tisa kulingana na makumbusho yetu (Mat. 27:46; Mk 15:35-37; Lk 23:44). Kulingana na Pasahim vl (ISBE, Vol. 3, article “Passover” p. 677). Toleo la pasaka la hekalu ulianza saa tisa za adhuhuri. Yesu alikufa tu wakati sawa na ule kondoo wa pasaka kukamilisha unabii.

 

PREMISE 43

 

Ni kubaya kutaja sherehe ya kuosha au kunawa miguu na mkate na divai kama chakula cha Bwana. Inafaa kupewa jina pasaka ya Wakristo

 

Maadui hii yanapotosha. Kulingana na Wakorintho waligeuza kuwa chakula au mlo. Paulo alinena kuwa jioni hiyo ya sherehe yalikuwa Scarcely kuitwa The Lord’s Supper Wakorinto walipoteza hata maana yake. Pia Paulo haneni kuwa hawafai kutiwa Lord’s Supper na ilimlazimisha kunena hivyo kulinga na tabia yao.

 

 Kristo alitumia neno “Passover”ili kufafanua zaidi kuhusu mahitaji ambayo hayagunduliwa. Yohana 19:1 anakiri kuwa siku hiyo ilikuwa siku ya kutayarisha pasaka wakati alipouwawa.

 

Luka 22:15 huonyesha kuwa alitamani sana kula pasaka nao hata hicyo Luka 22:16 hunena wazi kuwa hatakula nao hadi watakapokutana tena mbinguni kusherekea pasaka. Kulingana nah ii tunaona kuwa hakula pasaka lakini waliyopokea ni chakula cha matayarisho nah ii huonyesha pasaka itakuliwa tu huko mbinguni kwa Mungu. Hii ni kulinga na Zacharia 14:16-19.

 

Kumbukumbu na nyakati ya pasaka yamo hapa chini katika “Appendix C

 

Appendix C

 

Maandiko ya Bibilia yafuatayo huonyesha matukio yote ya ereb ilipotafsiriwa kama evening night, even eventide na kadhalika.

 

Mwanzo 1:5 Mungu akaita nuru mchana na giza akaliita usiku. Ikiwa jinni ikawa asubuhi, siku moja.

 

Mwanzo 1:8 mungu akaliita ili anga mbinguni. Ikawa jioni ikawa asubuhi siku ya pili

 

Mwanzo 1:13 Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tatu

 

Mwanzo 1:19 ikawa jioni ikawa asubuhi siku nne

 

Mwanzo 1:23 ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya tano

 

Mwanzo 1:31 mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama ni chema sana ikawa jioni ikawa asubuhi siku ya sita

 

Mwanzo 8:11 Njiwa akamjia jioni, na tazama alikuwa na jani bichi la mzaitini kunywani mwake ambalo amelitunda basi nuhu akajua ya kwamba maji yamepunyuka usoni pa nchi

 

Mwanzo 19:1 Basi wale malaika wawili wakaja Sodoma jioni na Lutu alikuwa amekaa mlangoni pa Sodoma

 

Mwanzo 24:11 Akawapigisha magoti ngmia nje ya maji karibu na kisima cha maji wakati wa jioni, wakati ambapo wanawake walikwenda kuteka maji.

 

Mwanzo 24:63 Isaka akatoka ili kutafakari kondeni wakati wa jioni, akainua macho yake akaona kuna ngamia wanakuja

 

Mwanzo 29:32 Wakati wa jioni akamtwaa Lea binti yake akamletea Yakobo, naye akaingia kwake.

 

Mwanzo 30:16 Yakobo akaja kutoka kondeni jioni, leo akatoka kumlaki akisema, Lazima uje kwangu kwa sababu nimekuajiri kwa tunyuja za mwanagnu akalala kwake usiku ule

 

Mwanzo 49:27 Benjamini ni mbwa – mwitu kurarua rarua

 

Kutoka 12:18 Mwezi wa kwanza ya miezi kumi na nne wakati wa jioni mtakula mkate wishwa hata ya siku ya ishirini na moja jioni.

 

Kutoka 16:6 Musa na Haruni akawaambia wana wote wa Israeli, jioni ndipo mtakapojua ya kuwa Bwana amewaleta kutoka nchi ya Misri.

 

Kutoka 16:8 musa akasema, ndilo litakalokuwa hapo bwana atakapokuwapa nyama wakati wa jioni mle na asubuhi mikate hata mkakinai kwa kuwa /bwana asikia man ung’uniko yenu si juu yetu bali kwa Bwana yenu.

 

Kutoka 16:12 Nimeyasikia manung’uniko ya wana Israeli Waabia wakati wa jioni wakule nyama na asubuhi watashibu mkate  mkake halafu mtajua kuwa mimi ni Bwana Mungu wenu.

 

Kutoka 16:13 ikawa wakati wa jioni kwani wakakaribia wakakifunikiza  na wakati wa asubuhi,umande ulikuwa juu ya nchii.

 

Kutoka 18:13 Kesho yake Musa alikaa kuwahukumu na watu walisimama karibu naye  kuanzia asubuhi hadi jioni.

 

Kutoka 18:4   Mkewe musa alipoyaona aliyowafanyia watu alisema,”Ni nini hiki nawafanyia watu ?Mbona mmekaa peke na watu wote hakuna karibu nawe, kutoka asubuhi hadi jioni.

 

Kutoka 27:21 Ndani ya na nehema ya kukutumia nye ya hilo puzia lilombele ya ushuhuda. Hanini na wanawe wataitengeneza tangu jioni hata asubuhi mbele ya Bwana itakuwa ni amri ya milele katika vizazi vyote kwa ajali ya wana wa Israeli.

 

Mambo ya walawi 6:20 Matoleo ya hanini na wanawe watakayomtolea Bwana Katika Siku ata kayotiwa mafuta ni huyu sehemu ya kumi ya efa ya unga mwembani kuwa sudaka ya unga daima nusu yake asubuhi na nusu yake jioni.

 

Mambo ya walawi11:24  Na haya yote mtakuwa chafu.Watakaoguza mzoga atakuwa chafu hadi jioni.

 

Mambo ya walawi 11:25 Na yeyote atakayobeba sehemu ya mzoga atafua nguo na kuwanajisi mpaka jioni.

 

Mambo ya walawi 11:27 Na mtu awaye yote atakayechukua chochote cha mizoga yao atafua nguo zake naye atakuwa najisi hata jioni.

 

Mamboya walawi 11:40 Na atayokula nyama ya mzoga wake atafua nguo zake nayo atakuwa najisi hata jioni na atakayechukua mzoga wake atafua nguo zake na kuwa najisi hata jioni.

 

Mambo ya Malawi 11:46 Hii ndio sheria kutokahao wanyama na ndege na kila kiumbe kilicho hai kiendacho ndani ya maji na kila kiumbe kitaambaacho juu ya nchii.

 

Mambo ya Malawi 15.:5 Mtu yoyote atayegusa kitanda chake huyo atazivua nguo zake na kuoga mwili wake majini naye atakuwa najisi hata jioni.

 

Mambo ya Malawi 15:8 Tana kama mwenye kisonosono akimtemea mate mtu aliye safi ndipo atazifua nguo zake na kuoga majini naye atakuwa najisi mpaaka jioni.

 

Mambo ya Malawi 15:10. Mtu awuaye yeyote Atayegusa kitu chochote kilichokuwa juu ya huyo atakuwa najisi hata jioni na mtu atakayevichukua vitu vile atazifua nguo zake na kuoga majini nayo atakuwa najisi hata jioni

 

Mambo ya Walawi 15:11 na atakayoguswa na mwenye kisonono asipokuwa amenawa mikono yake majani nayo atakuwa  najisi hata jioni.

 

Mambo Ya Walawi 15:16 Na mtu yeyote akitokwa na shahawa yake ndipo ataoga mwili wake wote majini naye atakuwa najisi hata jioni.

 

Mambo Ya Walawi 15:17 Na kila nguo na kilangozi ambbavyo ina shahawa itafuliwa kwa maji nayo itakuwa najisi hata jioni

 

Mambo Ya Walawi 15:18  Huyo mwanamke naye ambaye mtu mume amelala naye kwa shahawa wote wawili wataogopa majini nao watakuwa najisi hata jioni.

 

Mamboo Ya Walawi 15:19 Mwanamke yeyote kama anatokuwa na kitu na kitu chake alichokuwa nacho  mwil;ini mwake ni damu ataketi kutengwa muda wa siku saba na mtu yeyote atayemgusa atakuwa najisi hata jioni.

 

Mambo Ya Walawi 15:21-23:Mtu yeyote atakayekigusa kitunda chake huyu mwanamke a atazifua nguo zake na kuoga naye majini naye atakuwa najisi hata jioni. Mtu atakayekigusa chochote ambacho mwanamke huyo amekiketia atazifua nguo zake na kuoga naye majani naye atakuwanajisi huta jioni. Kwamba ni kutika kitanda au chochote alichokikalia huyo mwanamke atakapokigusa kitu hicho atakuwanajisi hata jioni

 

Mambo Ya Walawi 15:27 Atakayegusa haya atakuwa najisi atafua nguo zake na kuoga majini na atakuwa na kuwanajisi hata jioni.

 

Mambo ya Walawi 17:15.Tena ateyekula nyamafuu au nyamaaliyeraruliwa na mnyama kama ni mzaliwa kama ni mgeni atafua nguo zake na kuoga majini na atakuwa hata najisi hata jioni ndipo atakapokuwa safi.

 

Mambo ya Walawi 23:32 Hakuna kuona sabato ya Kistarehe kabisa nanyi mtazitesa nafasi zenu siku ya kenda ya mwezi wakati wa jioni tangu jioni hata jioni mtaishika hiyo sabato yenu.

 

Mambo ya Walawi 24:3.Hapo nje ya pazia la uhsahidi ndani ya hema ya kuk

Utania, Hanini ataitengeneza tangu jioni hata asubuhi

 

Hesabu 19:22 Kitu Chochote atakachokigusa mtu aliye najisi kitakuwa najisi,;na mtu atayekigusa kitu hicho atakuwa najisi hata jioni.(RSV)

 

Kumbukumbu ya Torati 16:4.Wala usionekane kwa chachu mudu wa siku  saba katika mipaka yako yote;wala katika hiyo nyama uchinjayo siku ya kwanza jioni,kisilale chochote usiku kucha hata asubuhi.(RSM)

 

Kumbukumbu ya torati 16:6.Ila mahali atakapochagua Bwana Mungu wako apakalishe jina lake, ndipo mtakapochinjwa pasaka jioni,katika machweo ya jua kwa wakati kama  uliotoka Misri

 

Kumbukumbu Ya Torati 23:11.Lakini na iwe  ikaribiapo jioni kama yeye ataoga maji,na jua likishakuchwa ataingia ndani ya kituo.(RSV)

 

Kumbukumbu la torati 28.67.Asubuhi utasema laiti ingekuwa jioni! n jioni utasema laiti ingekuwa asubuhi!Kwa kichwa cha moyo wako utakavyokucha na kuona kwa macho yako utakavyoona.(RSV)

 

Yoshwa 5:10 Basi wana wa Israeli wakapanga hema zao huko Gilgali, nao wakala sikuku ya pasaka, siku ya kumi na mne ya mwezi jioni,katika nchii tambaraRE YA YERICHO(rsv)

 

Yoshua 7:6 Yoshua akararua mavazi yake, akanguka kifudifudi mbele ya sanduku ya bwana hata jioni, yeye na wazee wa Israeli;wakati mavumbi vichuani mwao(RSV)

 

Yoshua 8:29.Na huyo falme wa Ai akamtundika katika mti hata wakati wa jioni ;kisha hapo jua lilipokuchwa Yoshua akaagiza ,nao wakauondoa mzoga wake katika huo mti,na kuutupa hapo penye maingilio ya lango la mji,kisha wakaweka juu yake chungu kubwa yam awe,hata hivyo leo.(RSV)

 

Yoshua 10:26 Baadaye Yoshua akawapiga na kuwauwa, akawatundika katika miti mitano; nao wakawa wakitundikwa katika miti hiyo hata jioni (RSV)

 

Uamuzi1 9:16 Kisha,tazama,akatoka mtu mme mzee,atoka kazini kwake shambani,wakati wa jioni,mtu huyo alikuwa ni wa ile nchii ya vilima vilima ya Ifrahim,naye alikuwa anakaa katika Gibeha hali ya Ugeni lakini wenyeji walikuwa Wabegamini.(RSV)

 

Uamuzi 20:23 Wana wa Israeli Wakakwea juu na kulia mbele za Bwana Hata jioni; wakamuliza Bwana wakisema, ”Niende nikaribie tena kupiga vita juu na wana wa Benjamini ndugu yangu? Bwana akasema haya kueni,mwende kuipigana naye (RS)

 

Uamuzi 2026 Ndipo wana wa Israeli wote na hawa watu wote wakaenda Betheli na kulia wakaketi hapo mbele za Bwana,wakafunga siku hiyo hata jioni;nao wakasongeza sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele za Bwana(RSV)

 

Uamuzi 21:2.Basi hao watu wakafikiria Betheli wakaketi huko mbele ya Mungu hata jioni;na wakainua sauti zao na kulia sana.(RSV)

 

Ruthu 2:17 Basi Ruthu akaokota masazo kondeni hata jioni; kisha akazikula zile nafakaalizookota zikawa yapata  heka moja Shayiri.(RSV)

 

Mwanzo Samweli 14.24.Nao watu wa Israeli walisumbuka sana sikum ile, lakini sauli alikuwa amewaapisha watu akisema ,na alaaniwe mte awuaye yeyote,yote alaye chakula chochote hata jioni,nipate kujilipiza kisasijuu ya adui zangu.Basi hakuna mtu miongoni mwa watu aliyeonja chakula(RSV)

 

Mwanzo Samweli 20.5.Naye Daudi akamwambia Jonath,kesho ni mwandamo ya mwezi,nami hainipasi kukosa kuketi chakulani,pamoja na Mfalme,lakini niache nijifiche bondeni hata siku ya tatu jioni(RSV)

 

Mwanzo Samweli 30:17 naye Daudi akawapiga tangu ukungu wa jioni hata jioni siku ya pili; hakuna aliyeokoka ila vijana mia nne waliopanda ngamia na kukimbia (RSV)

 

2Samweli 1:12 wakaomboleza wakalia wakafunga hata jioni kwa ajili ya Sauli, na kwa ajili ya Yonathani mwanawe na kwa ajili ya watu wa Bwana na kwa ajili ya nyumba ya Israeli; kwasababu wangeanguka kwa upanga (RSV)

 

2 Saweli 11:2 ikawa wakati wa jioni Daudi akaondoka kitandani akatembea juu ya dari ya nyumba ya mfalme, na alipo kuwa juu ya dari aliona mwanamke anaoga naye mwanamke alikuwa mzuri sana wakupendeza macho.

 

2 Samwel 11:13 naye Daudi akamwalika akala, akanywa mbele yake; naye akamlevia hata wakati wa jioni akatoka kwenda kulala kitandani mwake pamoja na watumishi wa Bwana wake, lakini hakushuka nyumbani kwake (RSV)

 

1Wafalme 17:6 kunguru wakamletea mkate na yama asubuhi, na mkate na yama jioni, akanywa maji ya kile kijito (RSV)

 

1Wafalme 22:35 gano likazidi siku ile mfalme akategemezwa garini mwake kinyume cha washami hata jioni akafa, damu ikatoka kwenye jiraha yake ndani ya gari.

 

2Wafalme 16:15 mfalme Ahazi akamuamurub uria kuhani akisema juu ya madhabau hiyo kubwa mtekeleze sadaka ya kuteketezwa ya asubuhi na sadaka ya unga jioni na sadaka ya mfalme ya kuteketezwa na sadaka yake ya unga pamoja na sadaka ya kuteketezwa na watu wote wa nchi na sadaka yao unga, na sadaka yao za vinywaji ukanyunyuzie juu yake damu yote ya sadaka ya kuteketezwa na damu yote ya dhabibu bali madhabau ya shaba itakuwa kwangu mimi ili niulizie.

 

Mambo ya nyakati 16:40 ili kumtolea Bwana sadaka za kuteketezwa juu ya madhabahu ya sadaka za  kuteketezwa daima asubuhi na jioni naam sawasawa na yote yahyoandika katika torati ya Bwana aliyowaamuru waisraeli.

 

1 mambo ya nyakati 23:30 hao wazime kila asubuhi kumshukuru na kumsifu Bwana najioni vivyo hivyo.    

 

2 Mambo ya Nyakati 2:4 najenga nyumba kwa jina la bwana Mungu wangu ili kumfanyika wakfu ya kufukizia mbele zake fukizo la mwanukato nay a mkate wa maonyesho wa daima nay a sadaka ya kuteketezwa za asubuhi na jioni siku ya ibada na mwezi mpya na sherehe iliyochaguliwa na Mungu Baba ilivyopatikana milele kwa waisraeli.

 

2 Mambo ya Nyakati 13:11 Walinatolea Bwana kila asubuhi na kila jioni sadaka za kutekeltezwa na fukizo la manukato, waliweka maonyesho ya mkate katika meza ya dhahab kamili, na kuitunza miguu ya kudhahabu ambayo kondoo wake wangeteketea kila jioni, kwa sababu tunamuabudu Bwana Mungu wetu, lakini mmemsahau yeye. (RSV).

 

2 Mambo ya Nyakati 18:34 Na pigano liliendelea kupamba moto siku hiyo, na mfalme wa Israeli alijitokeza mwenyewe katika majeshi wakipambana na wasayaria hata jioni, baadaye jua lilipotwa alifariki.

 

2 Mambo ya Nyakati 31:3 ushiriki wa mfalme kwa vile anavyovimiliki ilikuwa kwa sadaka za kuteketezwa. Sadaka za kuteketezwa za sabato, mwezi mpya, na kutajwa kwa viongozi, jinsi ilivyo andikwa kwa mari za Mungu.

 

Ezra 3:3 Wakaiweka madhahabu juu ya msingi wake maana hofu imewashika kwa sababu watu wan chi wakamtolea Bwana sadaka za kuteketezwa yake sadaka za kuteketezwa za asubuhi na jioni.

 

Ezra 9:4 Ndipo wakanikusanyika watu wote walioyatetemekea maneno ya Mungu wa Israeli kwa sababu ya ile kosa la watu wa uhamisho nami nikaketi kwa mshangao hata wakati wa sadaka ya jioni

 

Ezra 9:5 Na wakati wa sadaka ya jioni nikanuka baada ya kunyenyekea kwangu nguo yangu na joho yangu zimeraruliwa nikaanguka magotini nikakujua mikoni yangu mbele ya bwana Mungu wangu.

 

Esta 2:14 Huenda na asubuhi hurudi nyumba ya pili ya wanawake mikononi mwa shaashgazi msimamizi wake mfalme mwenye kuwalinda masuria. Wala haingiii tena kwa mfalme isipokuwa amempendeza mfalme naya akaitwa kwa jina.

 

Ayubu 4:20 Kati ya asubuhi na jioni huvunjwa – vunjwa waangamia milele wala hapana atoaye moyoni

 

Ayubu 7:4 Hapo milalapo chini nasema, itaondoka lini lakini usiku huwa mrefu

 

Zaburi 30:5 Maana ghadhabu zake ni za kitambo kidogo katika radhi yake mna uhai. Huenda kilio huja kukaa usiku lakini asubuhi ni furaha.

 

Zaburi 55:17 Jioni, asubuhi na asubui na adhuhiru nitalala na kuugua naye ataisikia sauti yangu.

 

Zaburi 59:6 Wakati wa jioni hurudi kulia kama mbwa na kuzunguka zunguka mjini.

 

Zaburi 59:14 Wakati wa jioni hurudi hulia kama mbwa na kuzunguka zunguka mjini

 

Zaburi 65:8 Kwa hiyo wakaoa mbali kabisa huogopa ishara zako milango aya asubuhi na jioni waifurahisha.

 

Zaburi 90:6 Asubuhi yachipika na kumea, jioni yakatika na kukauka.

 

Zaburi 141:2 Sala yangu ipae mbele zako kama uvumba, kuinuliwa mikono yangu kama dhabihu ya jioni

 

Methali 7:9 Wakati wa magharibi, wakati wa jioni usiku wa manane gizani

 

Mhubiri 11:6 Asubuhi mbegu zako wala jioni usuzuie mkono wako. Kwa maana wewe hujui ni zipi zitakazofanikiwa, kama ni hii au hii au kama zote zitafaa sawasawa

 

Isaya 17:14 Wakati wa jioni tazama hofu na kabla ya mapambazuko hawako. Hilo ndilo fungu lao watutekao na ajali yao wanaotunganganyu mali zetu

 

Yeremia 6:4 Takaseni vita juu yake mukeni na tupande juu wakati wa adhuhuri. Ole wetu, kwa kuwa mchana umeanza kupungwa, vivuli vya jioni vinazidi virefu.

 

Ezekieli 12:4 Nawe utatoa vyombo wakati wa mchana mbele ya macho yao kana kwamba ni vyombo vya kuhamishwa, anwe mwenyewe utatoka wakati wa jioni mbele ya macho yao kama watu watakavyo kuhamishwa.

 

Ezekieli 12:7 Nikafanya vile vile kama nilivyoamriwa, nilitoa vyombo vyangu wakati wa mchana kana kwamba ni vyombo vya kuhamishwa na wakati wa jioni nikautoboa ukuta kwa mkono wangu nikavitoa gizani nikavichukua begani mbele ya macho yao.

 

Ezekieli 24:18 Basi nalisema na watu asubuhi na jioni mke wangu akafa nami nilifanya asubuhi kama nilivyoagizwa.

 

Ezekieli 33:32 Basi mkono wa Bwana umekuwa juu yangu wakati wa jioni, kabla hajafika yeye aliyetorokea naye alikuwa amenifumbua kinyasa changu hata alipomjia wakati wa asubuhi na kunywa chungu kilikuwa wazi wala si kuwa bubu tena

 

Ezekieli 46:2 Naye mkuu ataingia kwa njia ya ukumbi wa lango lile, upande wa nje, naye atasimama karibu na mwino wa lango nao makuhani wataitengeneza sadaka yake ya kuteketezwa, na sadaka zake za amani, naye ataabudu penye kuzingiti cha lango kisha atatoka lakini lango liele halitafungwa hata wakati wa jioni

 

Danieli 9:14 Akamwambia, hata nyakati za jioni na asubuhi, elfu mbli na mia tatu, ndipo patakatifu parakapotakaswa.

 

Danieli 8:26 Na baada ya yale majuma sitini na mawili, amasihi atakatiliwa mbali naye hatakuwa hana kitu na watu wa mkuu atakayekuja wataungamiza mji.

 

Danieli 9:21 Naam mlipokuwa mkinena katika kuomba mtu yule, Gabrieli niliyemwaona katika njozi hapo kwanza akarushwa upesi alinigusa wakati wa dhabihu ya jioni

 

Habakuki 1:8 Farasi zao ni wepesi kuliko chui, ni wakali kuliko mbwa – mwitu wa jioni, na wapanda farasi wao hujitapa naama waopanda farasi wao watoka mbali sana, huruka kama tati afanyaye haraka ale.

 

Safinia 2:7 Na hiyo nchi ya pwani itakuwa nchi ya watu wa nyumba ya Yuda waliosalia, watalisha makundi yao huko, watalala katika nyumba za Ashkeloni wakati wa jioni, kwa maana Bwana Mungu wao atawajalia na kuwarudisha wafungwa wao.

 

Safania 14:7 Wakuu wake walio ndani yake ni samba wangurumao makadhi wake ni mbwa – mwitu wa jioni hawasazi kitu chochote hata siku ya pili

 

Zekaria 14:7 Lakini itakuwa siku moja iliyejulikana na Bwana, si mchana wala si usiku lakini itakuwa ya kwamba wakati wa jioni kutakuwako nuru.

 

 

 

q