Makanisa ya Kikristo ya Mungu

[114]

 

 

 

 

Mithali 31

(Toleo La 2.0 19950520-20000211)

 

Andiko hili lisiloeleweka sana na linalohubiriwa au kufundishwa kimakosa limefafanuliwa kwa kina kwa malengo ya kiroho. Mara nyingi sana wanawake wamekuwa wakitiishwa kwa andiko hili kwa teolojia duni na isiyoeleweka. Maana halisi iliyoko nyuma ya maandiko haya yanayoa nguvu halisi na za kweli kwa wanawake na wajibu mkubwa zaidi kwa Kanisa.

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

Email: secretary@ccg.org

 

 

 

(Hatimiliki © 1994, 1995, 2000 Wade Cox)

(tr.  2016)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 


Mithali 31

 


Kuelewa Historia Yake Na Maana ya Kiroho ya Mithali 31

Jarida hili ni mlinganisho wa Kanisa la Mungu la karne ya ishirini na mwanamke anayetajwa kwenye Mithali 31. Tutaona jinsi lilivyokuwa limeandaliwa vizuri Kanisa katika karne ya ishirini ili kuwa ni sawa na mwanamke wa Mithali 31 na jinsi hata kila mmoja binafsi yake alivyokuwa ameandaliwa kwenye karne ya ishirini na moja ili kuwa ni mwanamke mchapa kazi aliyenenwa kwenye Mithali 31. Kwa kweli sio hadithi halisi ya mke wa mtu fulani, bali ni habari za Kanisa likilinganishwa na Yesu Kristo. Ni habari ya wateule.

 

Kristo alituambia wazi sana kwamba mabwana wa Umataifa huwa juu ya watu wao lakini haitakuwa hivyo kwetu sisi. Agizo kuu kuliko yote kwa Kanisa lilikua kwamba yatupasa sisi tuwe viongozi watumishi. Tulipaswa kuinua juu na kuwezesha, kuwatuliza na kuwafariji waliovunjika mioyo, kuwaponya wagonjwa na kuwasimamisha miguuni mwao, na tulipaswa kuwaandaa Israeli kwa ajili ya Ufalme wa Mungu. Tuliagizwa kuutangaza wokovu kwa Wamataifa kwa jina lake.

 

Kanisa kwa kipindi cha miaka efu mbili limekuwa likipinga utaratibu wa kicheo na madaraja ya madaraka Kanisani. Wakati wowote inapotokea hivyo, tulishambuliwa na tulishurutishwa kufarakana kutoka kwenye imani za ukengeufu na tulijikusanya na kujipanga tena na kuanzisha Kanisa Jipya.

 

Kwenye miaka ya 1930, kikundi kimoja cha Kanisa la Mungu kilijiunga tena na kikafanyika kuwa ni kikundi cha muhimu na maarufu sana miongoni mwa Waamerika. Kilianzisha mfumo wa madaraja wa kiuongozi uliotoholewa kutoka kwenye mfumo wa Kanisa la Kikatoliki. Kinaweza kuonekana kiuhalisia kabisa kuwa ni kama sehemu ya mafundisho ya Wanikolai. Mafundisho ya Wanikolai yanaaminika kabisa yalitokana na mtu aitwaye Nicolaus, lakini ilikuwa ni wazi sana yalitokana na maneno maili. Nikos: ambayo maana yake ni shinda au kutawala juu ya, na laitoons: ambalo maana yake ni watu na linalopelekea kuwepo neno laity kama ni tofauti na huduma. Kristo alisema kuwa anayachukia mafundisho ya Wanikolai. Jambo hili limefafanuliwa kama jambo mtambuka (sawa na ilivyo kwenye jarida la Wanikolai (Na. 202)). Sababu inayompelekea Kristo kuyachukia mafundisho haya kwa upande mmoja ni kwa kuwa yanawafarakanisha ndugu wapendwa. Hayalifanyi Kanisa kuwa mwanamke wa Mithali 31. Hayamfanyi wanawake walioolewa wachapa kazi wa Kanisani kuwa mabibi arusi wa Mithali 31. Inatupasa sisi sote kuwa ni wanawake wa Mithali 31. Mithali 31 haihusiani na wanawake wote kwa ujumla. Sisi sote tumeandaliwa kuwa mabibi arusi wa Kristo tukiwa tumetiwa nguvu au kuwezeshwa kiroho tukiwa bado ni wanadamu, na tuwe tumeandaliwa ili kuwa ni sehemu ya Ufalme wa Mungu.

 

Mambo haya hayakuwa ya kweli kwa ujumla wake kwa washiriki wote. Kilichotokea kilikuwa ni kwamba mfumo wote mzima usio wa kimadaraja ya kivyeo uliojaribu na kunuia kuwashaishi au kuwavutia watu ili kwamba vifanyike kuwa mambo haya. Watu ambao hakuwepo, walijulishwa, alitengwa, na waliondolewa Kanisani. Walilazimishwa. Kilichojitokeza ni kwamba kati ya asilimia sitini na sabini ya watu wote waliobatizwa wa Kanisa hilo katika nchi za Marekani, Australia na Uingereza waliitwa, wakabatizwa, na walitengwa na Kanisa, wakipokomywa ushirika au walifukuziliwa mbali Kanisani, kwa kuwa walienda kinyume au haakuendana na na maadili ya kijamii na kupenda au kutopendezwa na huduma.

 

Tuna kipindi kifupi cha wakati ili kuupata ujumbe kwa watu wetu ili kuwafanya watubu, na kuwalinda. Hii ni kwa kuwa maisha yetu na mfumo wetu umefungamanishwa na kwa kadiri ile tunavyowatendea watu wetu wenyewe kama taifa.

 

Dhana ya kuhusu mahali salama pa kukimbilia hanawatenda wateule na watu wengine wanaoishinao kwenye jamii zao. Inasababisha mgawanyiko wa kiakili na kifikra kati ya watu na Kanisa. Na ndiyo maana fundisho hilo ni la uwongo unaoendelea kuaminiwa kwa kizai kimoja hadi kingine na linakanganya na kenda kinyume kabisa na mafundisho ya Yesu Kristo aliyokuwa akiyafundisha kwa kupitia manabii na mitume (sawa na ilivyo kwenye jarida la Mahali pa Usalama (Na. 194)).

 

Kitakuja kipindi au wakati ambapo tutaacha kuwaombea watu wetu kwa kuwa watakwenda utumwani, kama walivyoambiwa manabii “Msiaombee watu hawa”. Lakini hilo silo tunaloambiwa kulifanya sasa. Itakuwa ni wazi sana wakati tutakapolazimika kuacha kuwaombea watu hawa.

 

Ndipo dhana yote ya kiutabaka ambayo imeendelezwa na mifumo ya kihuduma ya madaraja ya kivyeo imefanyika vyema sana kwa utiifu wa kijinsia kwenye taasisi kama shughuli au biashara. Inasimama kwenye kutoshikilia mambo ya kimsingi ambayo ilikuwa ndiyo msingi wa ubatizo. Mtu habatizwi tu Kanisani. Bali mtu anabatizwa kwenye mwili wa Kristo. Sisi sote tumebatizwa kwenye mwili wa Kristo, na kama kanisa linapotoka na kupoteza mwelekeo tunawajibu wa kujiunga tena na kuanza tena, kama tulivyofanya kwa kipindi chote cha miaka elfu mbili. Haijalishi ni kwa mara ngapi tunajipanga na kuanza tena, bali kinachotakiwa ni jambo moja tu, tumtii Yesu Kristo na kuiendeleza injili, na tunakusanyika pamoja tukia ni watu wenye nia na msimamo mmoja ili tuweze kuifanya kazi na Mungu atatuongezea.

 

Mchakato wa toba na wa uongofu na wa kuiosha miguu ya Yesu Kristo, na kuziwemba mbali dhambi kiasi cha kama umbali wa Mashariki ilivyo mbali na Magharibi, ni ukeli mtupu. Toba inayoendelea yapasa ieleweke na wote. Mchakato wenyewe ni kwamba mambo yote ya watu walioitwa na kujiunga kwenye Kanisa. Inawapasa waachane na dhambi zao na inawachukua muda mrefu. Kazi yetu ni kuwaunganisha pamoja kila mmoja wao, kumfanya kima mmoja ajisimamie mwenyewe, na kumfanya kila mmoja aimarike. Mchakato huo umepunguzwa na kuwa si kitu kwenye mfumo wa kingazi za vyeo au madaraka. Na hii ndiyo sababu iliyompelekea Kristo kuwasimanga kutokana na jinsi walivyokuwa wanatawala.

 

Mfumo na utaratibu wa Mungu siyo wa kingazi za vyeo kwa maana ya uongozi wa kiutumishi. Una mamlaka, lakini mamlaka hayasababishi kuwepo kwa aina ya matokeo ambayo yanafanya na watu wa dunia kupitia mamlaka zake hizi za kivyeo. Tuna tofauti za kingazi za madaraka kwa maana ya mtiririko wa kuanzia Mungu, Kristo na Kanisa, lakini hiyo haisababishi kuwepo kwa mahusiano ya dunia. Kwenye ngazi za vyeo vya kidunia, watu hudandia kwenye migongo ya ndugu zao ili wapate vyeo, na wanaviona vyeo kwa namna nyingi sana za kiujanja. Wanaweza kupewa kazi ndogo ndogo za kufanya sawasaa na uhusiano wao na huduma. Na iwapo kama hawana manufaa sana kwenye huduma, wanapewa upendeleo mdogo. Na kama watakuwa na sifa mbaya kwenye huduma, wanaweza kudhalilishwa kwa azi sana. Watu wanadhalilishwa kwenye mfumo kama huo kwa kuwa haaendani na mchakato uliowekezwa ndani yao. Watu wameandaliwa kifikra kwa kuwafanya wafikie kujisikia wapo kwenye mkandamizo hadi wakati kama ule ambao wanageuza na kurekebisha njia za mwenendo wao, ili kuenenda sawasawa na mwenendo ambao umeanzishwa Kanisani na kisha kusimamisha utendaji kazi wa hukumu yao. Utaratibu wa ngazi za kivyeo umebuniwa ili kuahirisha hukumu ya kila mmoja na kulazimisha ukiri au utiifu kwenye mfumo wa kimamlaka, ili kufanya kusiwe na hasira au uchungu wa kiroho au kisasi. Hii ndiyo sababu ambayo chama cha Manazi kiliweza kisitisha hukumu ya kile kilichoonekana kuwa ina mashiko kwa mwanadamu na kulazimisha kutokea kwa mauaji mabaya ya holocaust. Mauaji haya ya holocaust yalikuwa ni matokeo ya moja kwa moja ya usitishaji huu wa mfumo wa kiimla. Mfumo ule kwa jinsi ulivyo tu ulibuniwa na kuratibiwa vizuri na Makanisa Makongwe ya Kanisa la Roma na Kanisa la Kilutheri huko Ulaya hata kabla ya kuzuka kwa Vita Kuu ya II ya Dunia. Kama Kanisa la Mungu, chini ya mfumo ule, lingepewa utawala au mamlaka huko kusingekuwa na tofauti yoyote kati yake na chama cha Manazi, kwa vyovyote vile. Angeangamiza makabila na vikundi na watu.

 

Dhana hii yote na ile unabii ulioshindwa na ya jaribio muhimu la fundisho la Kanisa linafanya kuwe na mfungamano wa madaraja ya vyeo vya Kanisa ili kwamba wale watu wanaotathimini kwa kina mambo washambuliwe. Hii siyo sauti ya mchungaji. Ni nini walichukuwa wanakifanya watu wa Beroya? Walikuwa wakiyachunguza Maandiko Matakatifu kila siku na kuyapitia kwa kina kwa kulinganisha mambo yote, waone kama ndivyo yalivyo. Hebu thibitisha mambo kama yana ukweli au uwongo na utendee kazi uthibitisho ule. Mfano mmojawapo wa jambo hili ulionekana kwenye matokeo ya jarida la Mteule Kama Elohim (Na. 1). Liliwekwa kwenye mtandao wa kielektroniki na lilijadiliwa nchini kote Marekani. Mhubiri mmoja wa Kimarekani alitoa mahubiri yaliyosema (akimshambulia mwandishi) kwamba Waberoya walithibisha mambo yote, lakini hiyo ilimaanisha kuwa waliyachunguza Maandiko yote Matakatifu kila siku na wakathibitisha kuwa kila kitu ni kweli. Hawakuyacgunguza mambo yote na kuyaona kuwa ni uwongo, na kama walikuwa hawaelewi, basi hawakuwa anaandika vitisho au mambo kama hayo. Walingojea hadi Kanisa lilipowaelewesha, na kama iliwachukua miaka kumi na minne au zaidi halikuwa tatizo kwao. Walikaa tu na kuyachunguza mambo yote kuwa sahihi, na siyo uwongo. Aina ile ya tabia na mwenendo usio na ubaguzi unasababisha kuwa na upotofu wa kuridhia au kukubali na kuhiyari, na unapelekea kutokamilika maendeleo ya kiroho ya mtu. Mkabiliano unakomesha uezo wa kila mmoja wa kujiongeza kiuwezo kwa jina la Yesu Kristo. Inaifanya kazi ya adui badala yake.

 

Matokeo yake ya mwisho ya miaka ya chochote kilicho kwenye huduma kimepasa kumfanya mteule atoke nje ya dunia na wadumazwe kifiziolojia na kisaikolojia kwa kiwango cha vile walivyofanywa viwete. Ni kazi na wajibu wetu kulia na kuwajenga watu. Sasa, tutajionea kwenye Mithali 31 ikisema hivyo.

 

Andiko

Kuna mambo mengi ya kujifunza kutoka kwenye Mithali 31 wakati inapotazamwa kwa ukamilifu wake na kwenye uhusiano wake na lengo la kiroho. Kwa ujumla wake imechukuliwa kuwa ni kama mgawanyiko wa kwato mbili lakini haikupasa ipasuke kwenye kwato mbili. Mithali 31 ni somo la kiroho kwa uwezeshaji wa Kanisa pia. Hebu na tuiangalie hiyo Mithali 31:1-2

Mithali 31:1 Maneno ya mfalme Lemueli; mausia aliyofundishwa na mama yake.

 

Mithali 31:2 Ni nini, mwanangu? Tena ni nini, mwana wa tumbo langu? Tena, ni nini mwana wa nadhiri zangu?

Sasa aya hizi mbili za kusisimua zina matokeo ya wazi sana. Mfalme Lemueli hakuwepo. Hakuna kumbukumbu yoyote ya kuwepo kwa mtu yeyote yule aliyeitwa Mfalme Lemueli kwenye historia ya wafalme wote wa Israeli. Basi huyu Lemueli alikuwa ni nani? Je, neno Lemueli linamaana gani? Je, halimaanishi tu kuwa ni mfalme wa kimfano tu? Maneno yanalosababisha kuwepo kwa neno Lemueli mi mawili: Lemo (kuelekea) na El au Mungu, na linamaanisha kumwelekea Mungu au aliyewekwa wakfu kwa Mungu (kwa mujibu wa Isaiah da Trani, Mesudath David; tazama lwenye Soncino). Hii inahusiana na madhumuni na maana iliyo kwenye andiko la Yohana 1:1: Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye [elohim: Zaburi 45:6-7] alikuwa Neno (sawa na ilivyo kwenye kitabu cha A.E. Knoch, Concordant Interlinear NT)

 

Huu pia ni ujumbe kwa Wateule. Dhana hii imeendelezwa na marabi (kama kuhusu Aguri; Soncino) kwamba mama yake anasema kimsingi kabisa kabisa: Ni nini, mwanangu? Tena ni nini, mwana wa tumbo langu? na Tena, ni nini mwana wa nadhiri zangu Kama lawama. Mama huyu anadhaniwa kuwa ni Bathsheba, na kwamba huyu Lemueli alikuwa ni Sulemani. Kwa kulijaribu andiko la mama wa Sulemani, habari yake iliyopo kwenye Midrash inahusiana na kwamba Sulemani alimuoa binti wa Farao katika siku ya kuliweka wakfu Hekalu. Alimfanya awe macho bila kulala usiku wote mzima kwa sauti ya muziki na kumfanya achelewe kulala hadi asubuhi, na kakuwa alipokabidhiwa funguo za malango ya Hekalu wote na kuzitunza chini ya mto wake wa kulalia basi utoaji wa dhabihu za asubuhi ulichelewa, na ndipo mama yake alipokuja na kumpa nasaha zifuatazo. Maana yake yalieleweka kwa marabi. Walilihusianisha andiko lile la ufunguaji wa Hekalu na binti wa Farao ambaye alikuwa ni Mmisri. Dhana ya kuoa wanawake wa kigeni, au Wamisri (wakidunia) kipindi cha kabla ya kuikalia nchi ya ahadi, kinawafanya Wateule wasombe na kuwekwa mbali na majukumu yao ya kulifungua Hekalu kwa kuwa ni sehemu ya msingi na mawe ambayo kwayo Hekalu linajengwa juu yake. Ilikuwa ni siku ya kuliweka wakfu Hekalu ndipo inadhaniwa mambo haya yenye kukanganya yalitokea. Maana yake ni kwamba andiko hili linahusiana na suala la kutabarukiwa kwa Hekalu. Yatupasa tuwe makini na wala tusikepe au kuchepushwa na mambo mengine yasiyo na ulazima. Maneno yaliyotangulia yasemayo: Tena ni nini, mwana wa tumbo langu? Tena, ni nini mwana wa nadhiri zangu? huenda yamefupishwa kutoka kwenye maneno yasemayo ni kitu gani ninachotaka kusema kukuambia wewe? nk. ambalo ni karipio la kwanza kwa utelekezaji wa kazi au majukumu ya Hekaluni (soma pia kitabu cha Isaiah da Trani).

 

Kwenye aya ya tatu inasema:

Mithali 31:3  Usiwape wanawake nguvu zako; Wala moyo wako usiwape wale wawaharibuo wafalme.

 

Andiko hili linamaanisha kuuhudumia au kuutunza ulimengu. Maneno yasemayo: kwa yeye awaangamizaye wafalme, yanamaanisha moja kwa moja kwa anayesababisha wafalme wafutiliwe mbali – kwa maneno mengine, kupoteza kiroho chetu. Kwa hiyo lengo la wazi la kuwafanya wafalme waondolewe mbali ni kuwarekebisha tabia na mwenendo wao ambao unaweza kuwapelekea watu waasi kwa idadi yao kubwa na kuangamiza kizazi cha kifalme. Kuangamiza na kukomesha kabisa kwa  wafalme ni mfumo wa lugha ya Kiaramu, (Ibn Ezra) kwa hiyo hakuna shaka kabisa kuwa ni neno la uwingi kuhusu waflme. Jambo lililokuwa likijadiliwa hapa ni kuhusu Mteule na kitendo cha kuwafanya au kuwaezesha Wateule wawe wafalme na makuhani kwenye Ufalme wa Mungu. Aya ya nne inasema:

Mithali 31:4 Ee Lemueli, kunywa mvinyo hakuwafai wafalme, hakuwafai wafalme; Wala haifai wakuu waseme, Ki wapi kileo?  (Soncino))

 

Sasa dhana hii ni: Haionyeshi kabisa wafalme wakiwa wamelewa. Inawafanya wasiheshimike, na kuondokewa na heshima kwa wanaowaongoza pamoja na kupotosha hukumu na kutengea kazi mambo yao ya kimwili. Kwa hiyo hatuongelei kuhusu kitendo chenyewe cha kunywa mvinyo, bali tunaongelea kuhusu ulevi. Anachomwambia Lemueli hapa anasema kwenye tafsiri ya Soncino inasema:

Neno la Kiebrania la jina hili ni Lemoel, huenda ni mtabahinisho wa kutoka kwenye muundo na uandishi wake, ni kama kusema hii kwa hakika haitokani na mtu mwenye jina na maana yake “(ametengwa na kuwekwa wakfu) kwa Mungu” (Rabbi Rashi)

 

Rashi alijua kwamba ni kama iliwekwa wakfu kwa Mungu na kwamba haikuwa sahihi kwa hakika kwa wale waliowekwa wakfu kwa Mungu. Kwa maneno mengine ni kwamba inaalenga Wateule. Maneno ya kusema wanapugua kwenye maandiko lakini dhana inahitajika kwenye neno kere au iko wapi? (Ralbag, Isaiah da Trani; Soncino.)  Je, haiwafai Waflame (kusema) Kikowapi kileo? Wssije wakanywa na kusahau kile kilichoamriwa na kuipotosha haki kutokana na vile walivyo athirika. Dhana hii inamaanisha kwamba Mteule anaweza kuwa amelewa kutokana na kunywa kileo kingi na kwa sikukuu zao na kwa maisha yao wenyewe binafsi na kuisahau sharia na, pia, kwa kuisahau sharia au torati na hatimaye wanaipotosha haki kutokana na chochote kinachoonekana kuwasumbua au kuwatesa.

 

Mithali 31:5 Wasije wakanywa na kuisahau sheria, Na kuipotosha hukumu ya mtu aliye taabuni.

Kwa Kiebrania ni neno la umoja; na kila mmoja wao hunywa na kuisahau aya ya 5 (Daath Mikra), na kwamba kile kilichoamriwa kinaeleweka au kujulikana (na Meiri) kuwa ni sharia za kitaifa, na hivyo kuwa ni sharia isiyo ya kikatiba kabisa. Dhana ya kuzisahau sharia za kitaifa na kuyafanya mambo kinyume na sharia kabisa kulionekana au kulichukua taswira kwa Wateule kwa kipindi cha zaidi ya miaka arobaini. Tumeziona katiba za makanisa zikichanwa na kukiukwa sana; tumeyaona makabrasha yaliyovunja kiapo yakiwasilishwa au kupelekwa kwenye mamlaka za nchi. Tumejionea namna nyingi za udhalimu na uvunjifu wa heshima na ufujaji mkubwa kubwa za fedha, ambazo ni kama yalivyo mambo haya, kama kujinyima au kujitenga na starehe, yakifanyika kinyume na malengo au makusudi ya kanuni na miongozo ya kibiblia kama tutakavyoeza kujionea kutokana na malengo yaliyo kwenye aya ya 5 ya Mithali 31. Maafisa au viongozi walikiuka mambo ya haki. Watu walienda na wamefuatilia haki zao na hawakupata chochote. Kwa kweli, wengine wamefikia hata kutengwa au kupokonywa haki yao ya ushirika kwa kuwa walikuwa wamesema ukweli fulani. Watu wengine wamekuwa akilaghaiwa na kudanganywa na kuteswa na hawakujumuishwa, na kwa hiyo, walivunjwa moyo. Dhana hiyo hasahasa wameambiwa Wateule hapa, kwa hiyo haki na utakatifu ni neno hilihilo moja na lina maana hiyohiyo moja kwenye Kiebrania. Kama tutaipotosha haki, basi tutakuwa tunaupotosha utakatifu. Ni kitu hichohicho kimoja. Hatuwezi kuwa watakatifu pasipo kuwa watu wa haki.

 

Kanisa linao wajibu wa kuhukumu mambo yake lenyewe. Kama mtu ataleta kesi Kanisani, Kanisa linapaswa lihukumu kwa uangalifu mkubwa na kwa haki. Hatupaswi kuwampendelea watu, na hatupaswi kuipuuzia au kuidharau haki. Na wala hatupaswi kuichelewesha. Inapasa ichekechwe kwa kina na kumalizwa, na yapasa ifanywe kwa huruma na izingatie rehema. Kwa hiyo sehemu kubwa zilizopelekea Kanisa la karne ya ishirini kushindwa kwenye uingizaji au utiaji huu wote yaliyoko hapo hadi hapo chini kwenye aya ya 5. Sehemu kuu moja ambayo Kanisa limekuwa likikabiliana nayo ni kuabudu miungu ya uwongo. Mengi yameshindwa kwa kuwa hayakuwa yamevuviwa na kutiwa nguvu ya kujiendesha au ya kuendelea mbele. Yamefanyika viwete pamoja na waumini wake; yakijifungamanisha kwenye taratibu za masharti na mazingira yao. Watumishi wake wamejikuta wakiwa kwenye vilio na kutokwa machozi kwenye kipindi chote cha mchakato huu. Imetabiriwa kuwa itakuwa hivyo. Wote wataomboleza kutokana na mfumo huu wote mzima lakini wamenaswa kwenye imani ambayo imewakamata na kuizoea kiasi cha kana kwamba hakuwa ndugu wapendwa wowote walio na uwezo wa kutenda matendo ya kutoa hukumu ya haki na, bali pia na hata huduma zenyewe hazina uwezo wa kutoa hukumu ya haki mtu akatenda kwenye utoaji hukumu yenye mashiko kwa mtu. Ni lazima sentensi zitolewe kutoka kwenye hukumu yetu.

 

Sasa kama tukisema kuwa suala lenyewe ni ibada ya sanamu, basi yatupasa tuitendee kazi hukumu tunayoiweka. Mtu anaweza kusema, “hivyo si sahihi, bali mimi nitaendelea kufanya makosa, Kristo ndiye ajuaye; Kristo ataingilia kati”. Tumekuwa tukitiwa nguvu na Yesu Kristo kuhukumu na kutenda mambo kwa hukumu hiyo. Tunapouchukua mfumo wa kimilenia, tutahukumiwa kwa jina la Yesu Kristo. Kristo haendi kufanya kazi kwa niaba yetu. Bali Kristo anakwenda kuingilia kati kama tuko mahali fulani huko Asia, tukiyatenda mambo lutoka Yerusalemu, tukiyatazama mataifa. Tutapewa mamlaka ya kutenda hivyo. Tutaona hilo baadae kwenye kitabu hikihiki cha Mithali. Ni kupewa kwetu mamlaka ambako kunatufanya tufanye mambo na yatupasa tutiwe nguvu ya kutenda kazi chini ya uwakilishi huo. Kile kinavhotokea ni kwamba Kanisa limekuwa likijivuta vuta kwa mwendo wa kiwete. Uwezo wa watu kutenda kazi chini ya uwakala huu na kutenda mambo kwa hukumu ya haki unasuasua. Kwa hiyo, kimsingi haiwezekani kujisukuma yenyewe kwa matendo yaliyotuama kwenye maarifa ya kweli na ya uwongo. Hilo ni kosa kubwa sana linalomfanya mtu asistahili kuuingia Ufalme wa Mungu, na ndiyo maana Kanisa litatapikwa litoke kwenye kinywa cha Mungu.

 

Inasema kwenye aya za 6-7

Mithali 31:6 Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini. 7 Anywe akausahau umaskini wake; Asiikumbuke tena taabu yake.

 

Wazo la kuutoa kinywaji kikali au kilevi ingawa ni cha zaidi ya hali ya kujing’ima limekuwa likilaumiwa na ulevi umepinga vikali sana; ni kutokana na Mithali 23:29ff. Ilikubalika na kuungwa mkono kuwa ulevi ulikuwa ma matumizi yake sahihi. Mvinyo huleta furaha moyoni mwa mtu kwa mujibu wa Zaburi 114:15 na uliumbwa na Mungu kwa malengo hayo.

Kama mfalme atajifunza kujizuia kuto kunywa kileo, yeye pia alikuwa na jukumu la kugawa mvinyo kwa wale waliopenda kunufaika kutona nao, (kwa mujibu wa Saadia Gaon; Soncino).

 

Utoleaji huu wa mvinyo ni kutolewa kwa kiini, na utolewaji wa nguvu za kiroho. Viongozi wote walikuwa na wajibu wa kuwatia nguvu wasaidizi wao na waliokuwa wanawaongoza kwa maana ya kutenda na kuelewa kwa maarifa na haki. Hayo ni maandalizi ya watakatifu. Kwake yeye ambaye yu tayari kupotea inamaanisha ni kwa wale waliopondeka rohoni na waliopitia au kuitwa kwenye kundi la Wateule. Wametolewa kwa Wateule ili watiwe nguvu. Wanahitajika kufungamanishwa na kupewa msaada wa kimarejesho. Wazo la kunywa kileo ni wazo la kuweka wigo au uzio tu. Mara nyingi, watu wanaolaghaiwa kufanya hila wamepewa mbinyo wa kilevi cha aina ya brand kama kileo kikali kama ilivyorejeshwa upya, na hivyo ndivyo ilivyojulikana na marabi. Uchungu wa nafsini ulijulikana kuwa ulimaanisha kutaabika kwa maumivu makali ya kiakili, na kwa wale wanaoteseka kwa maumivu ya kiakili au kifikra (Rashi anaamini) ilitenda kazi kama kitia hamasa au kiamsha hisia. Dhana hapa ni kwamba kuna jambo na maana ya kiroho kwenye mvinyo huu. Inataja sadaka ya mvinyo na sadaka ya kinywaji, na kwamba tumemiminiwa sadaka ya kinywaji na Bwana kwa namna nyingi.

 

Maendeleo yetu ni kama hivyo kwamba tuna wajibu wa kushikamanisha pamoja madogo ya sisi sote, kumuinua juu kila mmoja, na kuwapa faraja na kuwatia moyo. Siyo suala tu la kusema, “Ooh, waone wale, ni wadhaifu kiroho”. Sisi sote tu wadhaifu kiroho kwa namna moja au nyingine. Uimara wa kiroho una wajibu wake wa kuwainua na kuwaleta walio dhaifu zaidi kiroho na kuwafikisha kwenye kiwango chao tarajiwa. Sisi sote tuna wajibu wa kujiandaa ili kuifanya kazi kubwa zaidi. Tunapaswa kuiinua juu idadi kubwa ya watu walio na uwete wa kiroho. Ndipo nadharia hii inaenda hadi kwenye kanuni ya haki. Aya za 8 na 9 vinasomeka hivi:

Mithali 31:8-9 Fumbua kinywa chako kwa ajili yake aliye bubu; Uwatetee watu wote walioachwa peke yao; 9 Fumbua kinywa chako, uhukumu kwa haki; Uwapatie maskini na wahitaji haki yao.

Dhana ya ububu imewekwa kwa lugha ya mfano. Ikiwa kwa sababu yoyote ile mtu hataweza kusihi mambo yake mwenyewe (kwa mujibu wa Metsudath David; Soncino), uwezo unahitajika wa kuwa wasemaji. Wanatakiwa kuhakikisha kwamba kila mmoja anaelewa mambo muhimu ya sharia nay a wokovu. Ateule wanahitajika kunasibu mambo yao kwenye maombi. Mtu hawezi kumtia nguvu mtu mwingine bila ya mtu mingine kuomba na kufunga kwa ajili yao. Daudi aliomba na kufunga kwa ajili ya adui zake. Kulitakiwa kuwe na dhana ya marejesho mema nay a kistaarabu. Badala yake, kile tunachokiona ni wazo la kwamba “Bwana, mshugulikie mtu yule, mvunje, mnyenyekeshe, mwangushe hadi chini”. Sisi sote, kwa hatua ileile, tumekua na hatia kwa viango vingi mbalimbali. Mchakato ule wa dhana ni urithi wa kujihesabia haki. Kujihesabia haki ndiyo dhambi pekee ambayo haiwezi kushughulikiwa na Mungu kwa kuwa inamfanya mtu ashuke chini na sisi tuinuke juu. Na ndiyo maana iliyomfanya Kristo kutoa mfano wa Farisayo na mtoza ushuru (mkusanyaji wa ushuru), ambapo mtoza ushuru alisema, nihumie mimi mwenye dhambi, na Farisayo alikuwa anasema, nakushukuru, ee Bwana, kwa kuwa mimi sipo kama watu wengine.

 

Wazo lenyewe yapasa liwe kwamba tunawaheshimu wengine vizuri zaidi kulio sisi wenyewe, na kwa kufanya hivyo tunawainua watu wengine. Hili ni moja ya sababu kwa nini mfumo wa uongozi wa kimadaraja kila mara unaanguka chini, kwa kuwa watu wanaopenda kupanda juu ndiyo wale wasiostahili kabisa kupanda juu. Hili ni suala la kuliangalia na kujihadhari nalo. Watu wakuu na walio kimbelembele na wajipendekezao ndio watapewa kipaumbele. Wenye mwenendo au tabia ya kujikomba na kujipendekeza watatunukiwa zawadi ili kwamba waweze kuwarudisha nyuma Wateule, kwa kuwa Wateule wanawachukulia wengine vizuri kuliko wao wenyewe. Watu walioongoka ambao wanafaa sana kuchukua nyadhifa wanasema, “oo hapana, yeye ni nzuri na anafaa kufanya hivyo, nadhani yatupasa tumpe fursa”. Haya ndiyo mawazo aliyonayo mwongofu, na ndiyo maana wakati wote Wateule wanaishia mwanzoni chini bila kupandishwa daraja lolote lile, kwa kuwa wao huwainua watu juu kuliko wao wenyewe, na watu hawa ambao wao wenyewe wanakuwa hawajaongoka wanakimbilia au kuvutiwalia na nafasi hizo kwa lengo la kujipatia madaraka. Wanapenda kujikweza juu hadi kileleni na wanaposhindwa kujipatia njia zao wenyewe ndipo wanajaribu kuyavuruga mashirika kwa kuyagawa na hata kuyavunjiliambali au kwa kufanya kitu kingine zaidi. Lakini mchakato wenyewe halisi ni kwamba tunapaswa kuwajenga n kuwainua watu juu. Na kama kuna kitu kiko vibaya basi tunahiyari ya kusema hivyo.

 

Wakati Musa aliposhuka chini kutoka kwenye mlima wa Sinai na kisha wao wakajitengenezea ndama wa dhahabu, Musa alifanya kitu kimoja. Wala hakusema, “Oo sawa, wenzangu nisikilizeni, Nadhani tupige kura”, au “tutamngojea Kristo afanye kitu fulani”. Musa alichukua hatua moja kwa moja. Alisimama upande na kuufuta upanga wake na akiwa pamoja na Walawi akawaua watu takriban elfu tatu (Kutoka 32:24-28). Sasa hii inatuambia jinsi Yesu Kristo alivyoshughulikia jambo hili. Na hivi ndivyo jinsi Kristo anavyoingilia kati, kwa kuwa anatutia nguvu sisi jinsi ya kutenda, na huo ndiyo mfano ambao unapasa utumike. Wakati Fineusi alipoona ibada ya sanamu alitembea ndani na kulirusha panga lake kwa watu hao wawili waliokuwa hemani. Hakungojea hadi kuambiwa.

 

Mchakato wa kuwatia nguvu watu na kuwaambia watu walio mabubu kuwaongoza waelekee kwenye hukumu ya haki ni kitu cha kama wale ambao hawawezi kupata hukumu ya haki ni lazima wahakikishiwe hukumu ya haki na Wateule. Yatupasa kuichunguza dunia, kuyashughulikia mahitaji ya watu wetu. Hivyo ndivyo tunavyoweza kufanya kwenye kipindi cha Milenia. Tunakwenda kuichunguza dunia na kuwainua watu na kuongea nao. Sauti itakuwa sikioni mwao ikisema, hii ndiyo njia, ifuateni. Hivyo ndivyo tunavyokwenda kuwa sisi. Tukiwa kama viumbe wa kiroho itatupasa tutiwe nguvu kuwachukua watu hawa wote. Kwanza kabisa itatupasa kujifunza kufanya hivyo hapa. Yatupasa kujifunza kuweza kunena masikioni mwa watu wanaohitaji mwongozo, na ndiyo maana yatupasa tujifunze kuongea.

 

Wazo lililo kwenye aya ya tisa ni, Fumbua kinywa chako, uhukumu kwa haki; Uwapatie maskini na wahitaji haki yao. Aliyepangiwa uharibifu maana yake ya moja kwa moja ni, wana wote wa kupita, na Rashi anafafanua hii kuwa ni kama mayatima waliopoteza walinzi wao, na Ibn Ezra, kama mtu aliyehukumiwa hukumu ya kifo; hicho ndicho linachomaanisha andiko hili. Wateule wote wa taifa la Israeli na ambao hawajaitwa bado wapo chini ya hukumu ya kifo. Sisi hatupo chini ya hukumu ya kifo. Bali tupo hukumuni sasa. Kwa hiyo tupo kwenye wajibu wa kuwaambia Israeli walio kwenye hukumu ya kifo. Yatupasa kuwainua juu watu hawa.

 

Meiri na Isaiah da Trani wanalifafanua andiko hili kuwa linamaanisha, wenyemili wote ambao hatimaye watapita kwa kufa hapa duniani. Kwahiyo tunaona, marabi walielewa mfano wa kina wa jambo hili. Ni Ufalme wa Israeli ndiyo uliokuwa na wajibu huo. Hawa ni wafalme (Wateule) walio na wajibu kwa wote wenye mwili, kwa kuwainua juu na kuongea na wao walio mabubu. Tuna wajibu wa kuomba dua kwa Mungu, kwa kupitia kwa wazee ishirini na wanne, kwa kuongea moja kwa moja na Mungu kwa jina la Yesu Kristo ili kwamba Malaika wa Mbinguni, chini ya muundo wake, Baraza lake, wawaombee moja kwa moja, na watatenda kazi kwa maombi yetu. Na ndiyo maana wazee ishirini na wanne mahala pao wana vikombe vilivyojaa maombi ya watakatifu; vikombe vya dhahabu. Ni maombi yetu ndiyo yanayowaombea mabubu; kwa wenye mwili waliokusudiwa kukumbwa na maangamizi. Hili si kuwa ni agizo tu kwa Mfalme Sulemani. Bali hili ni agizo la kiroho kwetu sisi. Sulemani hakuwatawala watu ote wenye mwili.

 

Kwa hiyo sisi tunapita kenye sehemu ya kwanza inayohusiana na Ufalme, na wafalme hawa kwa hakika ui mabibi arusi wake Kristo. Na ndiyo maana Mithali 31 ina sehemu mbili. Aflame wenyewe, Wateule, wapo kwenye haiba mbili kwa kweli, wafalme na wanawake. Kuna maana kuwili kwenye Mithali 31. Kila mmoja wetu ni bibi arusi wa Kristo.

 

Mithali 31:10-11 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani. 11 Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato.

 

Sasa hii inahusiana na mfano. Mume wake, Yesu Kristo analiamini Kanisa, na Wateule na hapungukiwi faida, kwa kuwa Wateule wanamfanyia kazi Kristo kwa kuwaleta watu hukumuni. Kwa mujibu wa vitabu vya ufafanuzi vya Soncino kuhusu dhana ya kuwa mke, utahwaji umefaywa mara nyingi kuhusu mwanamke asiye mwaminifu kwenye Mithali na kwamba yawezekana kuwa mtunzi alidhania ni busara kuhitimisha kitabu kwa kumsifia vya kutosha mke mwema. Hivi sivyo ilivyokuwa kabisa. Kitabu hiki cha Mithali kimeishia kwa kumsifia vya kutosha Mteule na wajibu wake uliopo kwenye kitabu chote cha Mithali, na busara iliyotolewa kwa njia ya Roho Mtakatifu ya kuwatia nguvu Wateule katika nyakati za mwisho ili waweze kuja hukumuni. Ndiyo maana sura hii inahitimisha kitabu cha Mithali.

 

Kazi yenyewe iko tofauti na ni utunzi unaojitosheleza kama inavyoonekana wazi kutokana na ukweli kwama imefanyizwa ndani ya utaratibu wa kichemshabongo ya kialfabeti.

Mwanamke mwenye busara na mwema ameelezewa kuwa ni msimamizi mahiri wa nyumba, nan i Baraka kwa familia yake. Mumewe anawezeshwa kuyamudu masuala ya umma, na mi mtu anayeheshimika kwenye jamii. Maisha yake hayana ubinafsi au mwenye kujijali na kujivuna; anawapenda na kuwahudumia maskini, na nimmwema kwa watu wote. Imekuwa ikisemwa kweli sana kwamba, ‘Hakuna kinacholinganisha maandiko ya zamakale na huu ni uthibitisho au ushuhuda wa muhimu na heshima na utu binafsi wa mwanamke’ (kwa mujibu wa Abrahams; Soncino). Inawezekana sana, shairi hili lilikuwa ni kazi ya mwalimu aliekua anaunga mkono na kushadidia maisha ya nyuma za waishio ndoa za mke mmoja kwa namna iwayoyote, konsonanti zenye mtazamo mzima wa kwenye kitabu chote cha Mithali, nyumba yote ilikuwa imetawaliwa na mwanamke mmoja. Kwa mujibu wa matumizi ya kimapokeo, shairi hili linatumiwa kuimbwa kwenye nyumba za Wayahudi kwenye mkesha wa Sabato (PB. p. 123). Inaeka kiwango kikubwa na cha hali yha juu sana cha umwanamke, ambayo ilitoholewa, na lilikuwa halisi kwenye nyumba nyingi za Wayahudi (Soncino).

 

Sababu iliyofanya liimbwe kwenye mkesha wa Sabato ni kwamba tulikuwa tunatumika ili kwamba dunia iingie kwenye Sabato, Mapumziko ya Milenia ya Yesu Kristo, na tunafanyika kuwa mabibi arusi wa Yesu Kristo ili kusaidia kuendelesha maongozi ya familia ya mwanadamu. Kwa hiyo ndipo tunatenda mambo kama wazazi pamoja na Yesu Kristo ili kuileta familia ya mwanadamu kwenye hukumu na kwenye wokovu. Tumepewa taswira ya kuwa kama mabibi arusi wa Kristo wa familia ya mwanadamu.

 

Wazo la imani ya dothi salama ni kwamba mume ana imani kubwa kwa mpangilio na uongozi wake wa uchumi wa nyumbani (kwa mujibu wa Metsudath David). Wateule hapa ndio wanaoendesha shughuli za kiuchumi wa nyumbani. Kinachojitokeza kwenye mifumo ya madaraja ya kiuongozi ya Kanisa kama walivyokuwa wamefundisha ilikuwa ni hivyo kwa kuwa mtindo wa kuhaulisha madaraka au mamlaka ulishinikizwa kwenye kwenye huduma hadi kwa mtu binafsi mmoja mmoja waliokusudia kutompa nguvu. Wanaume walitendea kazi kile kilichoachwa na mamlaka ndogo kwa kuwaambia wake zao jinsi ya kutumia majiko, jinsi ya kufanya majumbani, ni kiasi gani cha fedha kitumike, au na mengineyo. Uhaulishaji wa mamlaka kwa kweli uliiba mamlaka kutoka kwenye viwango ambavyo kwavyo vingeweza kutendea kazi. Kanisa la sasa la Mungu, kwa tabia mkabiliano wake wa kimamlaka, liliathiri uwezo wa watu kujaribu kupambanua hukumu kwa viwango vyake vyote. Hili ni kosa amalo linapasa kulishinda. Watu wanapaswa wafundishwe jinsi ya kutiwa nguvu kama Mithali inavyowahamasisha watu.

 

Siyo kushindania madaraka. Ni suala la kuitendea kazi hukumu isiyo ya ubaguzi kwenye kupenda uhusiano. Sasa hiyo inaendelea mbali zaidi ya familia ya kila mmoja kwenye Kanisa kwa ujumla. Mamlaka hayapasi kuchukuliwa; bali kwa kweli hukabidhiwa. Kadiri mamlaka yanavyotplres ndipo huepo na umahiri zaidi na uwajibikaji na ukomavu kwa watu ambao kwao mamlaka hayo yalitolewa vitakapokuwa. Yatupasa kuwatumikia watu ili kuwafanya wachukue nafasi zetu nia yetu ni kumfanya kila mmoja Kanisani amudu kuifanya kazi ya huduma, kila mmoja. Wakati tunapomfanya kila mmoja kufika kwenye kiwango kizuri cha uelewa pale walipowezeshwa wakiwa kama mabibi arusi wa Kristo, ndipo tutakuwa tumelifikia lengo letu na tunawaleta watu wengi zaidi na zaidi kanisani, kwa lengo la kuwainua juu kwenye kiwango cha pale walipowezeshwa na kutiwa nguvu kwa njia ya Roho Mtakatifu. Ni suala la kuandaa majeshi ya watumwa. Ni suala la kuandaa majeshi ya wana wa pekee wa Kiroho wa Mungu mwenye uweza. Sasa tunakwenda kwa kupitia andiko linalofuati.

 

Mithali 31:12 Humtendea mema wala si mabaya, Siku zote za maisha yake.

Hii inamaana kwamba uhalalishaji kamili wa kujiamini anapokuwa naye na anapomuweka mahali.

 

Mithali 31:13 Hutafuta sufu na kitani; Hufanya kazi yake ya mikono kwa moyo.

Maana yake ni kwamba anajiona au kujichukulia mwenyewe kuona kwamba kuna mgawanyo mkubwa wa mali au malighafi ambayo kwayo yanaweza kutumika katika kutengenezea nguo muhimu (hiyo ni kwa mujibu wa Rashi na Metsudath David). Dhana yenyewe ni kwamba Kanisa linaandaa mavazi kwa ajili ya watu wengine, kwa ajili ya watoto au familia. Tuna wajibu sio tu wa kuandaa mavazi yetu peke yake bali pia kuyaandaa mavazi kwa ajili ya watu wengine ili kuwasaidia kuingia hukumuni, na kuwahakikishia kuwa kuna mgawanyo mkubwa wa mavazi haya kwa ajili ya hukumu. Kwa maneno mengine, ni kusema kwamba tuna wajibu wa kuandaa taarifa na chakula cha kiroho kitakachowafanya watu kuvikwa kwenye mavazi ya haki na utakatifu, na tunafanya hivyo siyo tu kwa njia ya kuyachapisha neno la Mungu bali pia ni kwa kujichunga nafsi zetu wenyewe na kujaliana kila mmoja na mwenzake, na kwa ulimwengu, kwa kupitia maombi yetu na maendeleo yetu.

 

Wazo au dhana ya kwamba matendo ya hiyari pamoja na mikono yake vinaendana pamoja, anafanya kwa mujibu sawa na ipendavyo mikono yake.

Anatengeneza malighafi kuwa mavazi mazuri sana, kazi yake hufanyika kuwa ni moja ya mambo anayopendezwa nayo. Ni kana kwamba mikono yenyewe, inapenda sana kufanya kazi, (kwa mujibu wa Rashi; Soncino).

 

Hii ni amani na furaha inayotokana na Roho Mtakatifu. Mataifa yetu yote yanapaswa yawe na amani na furaha na upendo, na amani yetu inapita uelewa wetu wote.

 

Mithali 31:14 Afanana na merikebu za biashara; Huleta chakula chake kutoka mbali.   

Sasa usemi wa kama merikebu za biashara unachukuliwa kuwa unamaanisha ambayo inaingiza bidhaa kutoka nchi za mbali;

Ni sawasawa na kusema, yeye hategemei vitu anavyovitoa na kuvigawa kutoka kwenye vyanzo vilivyo karibu na mkono wake, bali anavitafuta kutoka nchi za mbali zaidi, ili kupata chaguo lake kubwa kuliko yote ili lipatikane (Daath Mikra; Soncino).

Ni kweli, mfano huu uko wazi sana. Wokovu wetu unatokea mbali zaidi kwa kupitia Roho Mtakatifu. Kwa hiyo chakula chetu kinatokea mbali sana na chakula chetu ni kuyatenda mapenzi yake yeye aliyetutuma (Yohana 4:34).

 

Mithali 31:15 Tena huamka, kabla haujaisha usiku; Huwapa watu wa nyumbani mwake chakula; Na wajakazi wake sehemu zao.

Kwa hiyo kabla ya hakujakuchwa huenda kuoka mkate, na kuandaa chakula kinachohitajika wakati wa mchana (kwa mujibu wa Malbim; Soncino). Kwa hiyo anatoa chakula na kuwapa watu wa nyumbani mwake, na sehemu kwa watumishi wake, ni kinyume kabisa na dhana ya uongozi wa kimadaraja ambapo kwamba Kanisa linatakiwa kutoa sehemu ya vitu lilivyonavyo kwa wahitaji walio ndani yake tu. Siyo suala la kuwaambia watumishi ni nini wanachokitaka na ambacho hawatakifikiria. Inawapa hamasa ili kwamba wawe wameandaliwa vyema kufanya kazi zao. Usemi wa watumishi wake unamaanisha watumishi wa kike walio kwenye nyumba yake. Wao nao ni walengwa wa huduma za kazi nzitobzito (kwa mujibu wa Malbim). Iwapo kama watumishi wa kike wa majumbani hawatunzwi na kuhudumiwa vizuri au kuelekezwa vyema bdipo hawataweza kutia mafuta taa zao kwa Roho Mtakatifu na watakuwa sehemu ya wanawali wapumbavu na sio wenye busara. Wamejita kutoka hapo ili kwamba waweze kuwafanya wtumishi wanawake kwenye daraja la wenye busara – kwenye ufufuo wa kwanza wa wafu – unaohitaji kuwaisha kwa bidii na kwa umakini mkubwa na Kanisa chini ya Roho Mtakatifu.

 

Mithali 31:16 Huangalia shamba, akalinunua; Kwa mapato ya mikono yake hupanda mizabibu.

 

Anatafakari thamani na umuhimu wa amani na kuilinganisha kama ardhi inayouzwa, na kutoshelezwa nayo, akiiongeza kwenye mashamba ya familia (kwa mujibu wa Metsudath David).

Dhana hii imechukuliwa kutoka kwenye usemi usemao: kila mmoja wetu anawajibu kwa wale walio walio majumbani mwetu, na wale walio kwenye uangalizi wetu, ili kuwapeleka kwenye shamba. Ndipo sisi tunatazama kwenye mashamba mengine na kuwaleta watu hao kwenye majukumu ya kulizalia matunda Kanisa.

 

Kwa matunda ya mikononi mwake, anapanda mizabibu: kristo mdiye mtunza mizabibu. Kwa hiyo Kristo huchukua kile tulichokipanda na huikatia miti. Kwa hiyo ndipo anakwenda kwa kupitia mchakato ulioelezewa kwenye mfano wakati wanapoingia hukumuni. Kwenye mfano wa mkulima au mtunza miti ya mizabibu (Luka 13:7-9) Kristo anawaleta kwenye mkururu wa miaka mitatu ya kuyaona matunda yake; mwaka wan ne, kuchimba au kuukata na kuuondolea mbali; meaka wa tano ni wa rehema; mwaka wa sita ni wa wateso na majaribu makubwa; mwaka wa saba ni wa mapumziko, na kadhalika ka kupitia mzunguko wa miaka saba wa Yubile. Mizabibu inaletwa au kuingizwa kwenye mifumo ya Kanisa ili kwamba Kristo awatunze na kuwafanya wazae matunda. Mizunguko ya miaka sab asana inatumika ili kufanya hivyo kwa kulinganisha na kiwango. Sharia zimewekwa zinazohusu utunzaji wa miti kwa kuwa kuna mambo ya kimwili, na kuna sababu za kiroho pia. Sababu za kimwili huziwakilisha zile za kiroho. Watu wanaokuja Kanisani wana miaka mitatu wakati mambo yanapoonekana ahvitokei popote pale, na wanasaidiwa, na wanakua, na ni furaha na shamra shamra. Katika mwaka wa tano wanapewa mwaka wa rehema na katika mwaka wa sita Roho Mtakatifu anashuka hadi kiwango cha chini sana, na wanakuwa wamechosha katikati ya macho yao kwa hiyo wanaona jinsi walivyodumu na kuvumilia na kile walichojifunza.

 

Walioitwa wanapewa majaribu. Wengine wanashindwa mitihani yao wanapojaribiwa na wanajikusanya na kujikongoja na kusimama tena/ katika mwaka was aba wanapea mapumziko, na mzunguko unakwenda na kuendelea kwenye viwango vya juu zaidi. Tunaona jinsi ilivyofanyika hivyo kutokana na mfano wa Samsoni (soma jarida la Samsoni na Waamuzi (Na. 73)).

 

Inaonekana ni kama limekuwa ni tatizo kubwa lakini hiyo ni dhana ya upandaji wa shamba la mizabibu ilivyo. Mungu ameotesha mimea na anatuambia sisi mizabibu ni nini na ni kina nani ni mizabibu lakini sisi ndiyo tunaopanda na kuyalima nahamba hayo ya mizabibu. Yesu Kristo naye aliliima na kuitunza mizabibu. Mungu ametupa sisi miti, na tunaipanda, Yesu Kristo anainyeshea, na Roho Mtakatifu anaihakikishia ukuaji wake. Unabii unatuambia kwenye Isaya 5:7 hili shamba la mizabibu ni kitu gani: Kwa maana shamba la mizabibu la Bwana wa majeshi ndilo nyumba ya Israeli.

Tutaitathimini dhana iliyo kwenye aya ya 16 – ya ulimaji au utunzaji wa shamba la mizabibu – kwa upana kidogo kutokana na ufafanuzi wa kitabu cha Soncino. Matunda ya mikono yake inaeleweka kuwa ni fedha zilizokusanywa au zilizopatikana kutoka kwenye kazi zake za ufundi wa kushona nguo (kwa mujibu wa Metsudath David). Ni matunda ya mikono ya Kanisa, ambayo kwa kweli ni wanaoongeka kwa Bwana.

 

Na anapanda ni usemi unaofanana na nyumba ambayo Mimi (Sulemani) nimeijenga kutokana na 1Wafalme 8:44. Hii haionyeshi kumaanisha kwamba kazi ya kupanda na kulima ilifanyika kwa mikono yake yeye mwenyewe (kwa mujibu wa Ibn Ezra). Sulemani anatajwa kuwa amelijenga Hekalu, na Sulemani aliyajenga matofali kwa ugumu sana. Ni Sulemani ndiye aliyelijenga hekalu hili, kwa kuelekezwa. Hii ndiyo dhana yenyewe: kwamba kila mtu anafanye au ahusike kwenye ujenzi na kila mmoja Kanisani aendeleze nadharia hii kama sehemu ya kazi hii. Kwa hiyo shamba la mizabibu lilikuwa ni ya kinyumbani iliyotenenezwa na kupangiliwa vizuri, chimbuko la dhana iliyo kwenye 1Wafalme 5:5, ya kila mtu kuwa chini ya mti ake wa nzabibu. Tunaona uelewa wa kiroho wa dhana hiyo kwenye Agano Jipya.

 

Mithali 31:17 Hujifunga nguvu viunoni kama mshipi; Hutia mikono yake nguvu.

Aya hii inaweka taswira ya yeye akiipangilia kazi yake kwa nguvu na msukumo mkubwa. Mkanda wa viunoni mwake uliokaza: Ibn Ezra na Metsudath David wanaelewa jambo hili kuwa ni uwezo wa kuongea, ulio na nguvu kama mkanda. Unatumiwa sana na Mungu kwenye Zaburi 93:1: Amejifunga mwenyewe kwa mkanda wenye nguvu (Soncino). Anafunga viuno vyake kwa nguvu kama Mungu alivyojifunga mwenyewe kwa nguvu. Kwa hiyo ndivyo tunaliongelea Kanisa kuwa linajifunga lenyewe kwa nguvu za Mungu. Inafanana na kama tukirudi hadi nyuma kwenye Zaburi na pia kwenye Zakaria 12:8 Nayo nyumba ya Daudi itakuwa kama Elphim, kama Malaika wa Bwana mbele yao.  

 

Na anaiimarisha mikono yake: Kuifanya mikono yake iwe imara kunamaanisha mkono wa kuume wa Mungu na mkono wa kuume ambao unamaanisha kabisa kuwa ni Yesu Kristo (Zaburi 44:3), nasi tu mikono ya Mungu kama tunapenda kuweka kwa namna hiyo.

 

Mithali 31:18 Huona kama bidhaa yake ina faida; Taa yake haizimiki usiku.

Hivyo ni kwamba, nchi anazofanyanazo biashara na anakuta kutokana na uzoefu (sawa na ilivyo kwenye Zaburi 34:9 ambapo vebu yake imetafsiriwa tafakari). Kwa hiyo analinganisha na kile kinachotokana na tunda lake, ambapo anafanya. Yatupasa kuhukumu kutokana na kile linachojitokeza kutoka kwenye matunda ya matendo yetu, na ambavyo kwamba tunavyozitafakari sheria za Mungu na kutafakari yale tunayoyatenda, au jinsi tunavyoshughulika au jinsi tunavyohudumiana kila mmoja na mwingine, na jinsi tunavyolitia nguvu Kanisa.

 

Taa yake haitoki nje kwa usiku. Hii ni dhana ya kimapokeo ya huko Mashariki ya Kati. Metsudath David anayatafsiri maneno haya kama anafanya kazi wakati wa sehemu ya mwanzoni ya usiku, na anaamka mapema (aya ya 15) ili kuongeza mapato yake ambapo ni kufanya biashara (Soncino).

 

Kuna utendaji kazi makini wa somo husika na (kwa mujibu wa Soncino), inawezekana kabisa, kinachotajwa ni kwa ukweli wa kwamba hapo mwanzoni walikuwa wanawasha taa wakati wote na kuicha ikiwaka nyumbani (sawa na ilivyo kwenye Yeremia 25:10; Ayubu 18:6). Kitendo chake cha kutoka nje kilichukuliwa kuwa ni uchuro na mkosi au bahati mbaya kubwa sana. Usemi wa siku hizi wa watu jamii ya Bedouin ni kwamba analala gizani ili kuonyesha mazingira ya hali ya umaskini (Soncino). Ni kweli, kwa sisi, taa haizimiki usiku na inaeleweka.

 

Kristo anaandaa taa au kinara cha Kanisa na Roho Mtakatifu anayafanya mafuta ya taa hiyo yawake. Taa hii hatimaye itakwenda na kutumika kwenye alo wa arusi ya Mwanakondoo. Taa hizo ni za watu wenye busara kuliko kuwa ni za wanawali wapumbavu, ambao taa zao hazikuzimika usiku. Mwana arusi alikuja usiku wa manane na walikuwa tayari kuingia hukumuni na kwenye karamu ya arusi ya Mwanakondoo kwa kuwa taa zao hazikuzimika. Wanawali wapumbavu waliziacha taa zao zizimike, kwa hiyo kwenye Mithali 31 tunaona kwamba ndipo mwanamke huyu alikuwa makini sana anayeifanya taa yake iwe inawaka wakati wote nyumbani mwake. Tutaona huko mwishoni kwamba Mungu na Kristo watakuwa ni taa za Hekalu la Mungu.

 

Mithali 31:19 Hutia mikono yake katika kusokota; Na mikono yake huishika pia.

Fafanuzi zinasema kuwa aya hii inapasa kuunganishwa na kile kinachofuatia; hakuna muda unaopotezwa kiuzembe. Kazi yake nyingine inayohitimishwa, anatumia muda wake wa kupumzika kwa kuandaa na kutengeneza au kushona mavazi na kuwapa maskini na watu wa nyumbani mwake (kwa mujibu wa Malbim). Kwa hiyo Kanisa halipaswi kuwa zembe na vivu. Wakati wanaposhughulika na majukumu ya kila siku wanatengeneza macazi kwa ajili ya maskini. Wanaandaa na kuwasaidia wapendwa waaminio walio hukumuni wawe wameinuliwa. Wanawasaidia watoto wao wasome na waelimike na wanawafanya watu wa nyumbani mwao wawe imara.

 

Mithali 31:20 Huwakunjulia maskini mikono yake; Naam, huwanyoshea wahitaji mikono yake. 

Ingawa ametingwa na shughuli nyingi za kazi zake, bado anakuwa hawasahau na kuwaacha maskini na wenye uhitaji wanaomjia bali anaukunjua mkono wake na kuwapatia mahitaji yao. Na kwa kufanya kwake hivyo, anajipatia faida kutokana na kazi zake anazozifanya na kila apatapo faida, hauzuilii mkono wake wala kusita kuwapa maskini (kwa mujibu Meiri) ili kwamba faida iliyopatikana kutoka kwenye kazi zake zote irudi kwake na itumike kwa mambo muhimu yanayoeleweka. Tunafanya kazi ili kuendeleza na kuwahudumia kwa moyo ndugu zetu Wateule. Tunaendeleza kwa kumuwezesha kila mmoja na kuwafanya waongezeke kiidadi.

 

Mithali 31:21 Hawahofii theluji watu wa nyumbani mwake; Maana wote wa nyumbani mwake huvikwa nguo nyekundu.

Ni majira ya baridi kali, lakini haogopi umande wala theluji. Vazi hili jekundu linawakilisha mavazi ya kifahari. Tunaweza kulilinganisha na 2Samweli 1:24 na Yeremia 4:30. Kwa kuwa familia kwa kawaida walivaa mavazi haya ya thamani nay a bei kubwa, ni wazi sana sasa kwamba walipewa na mavazi yenye kutia joto mwilini wakati wa majira ya baridi kali (yaani, kwa mujibu wa Isaiah da Trani). Dhana yenyewe ilikuwa ni kwamba: haijalishi kama walikuwa wamekabiliwa na adui yao. Mavazi ya Wateule yanatosha kuwafukuzilia mbali maadui, ili kuwalinda vijana na wadhaifu au wagonjwa na wadhaifu wasioweza kujisimamia wenyewe, na kuwapatia mavazi na leso au kilemba kinachoendana sawa na vyeo vyao, kwa kuwa wao ni wafalme na makuhani. 

 

Mithali 31:22 Hujifanyia mazulia ya urembo; Mavazi yake ni kitani safi na urujuani.

Mwenyewe alikuwa amechoshwa na mavazi yasiyo ba bei kubwa na yakikapuku (Metsudath David). Mavazi yake yalinunuliwa kwa sadaka ya Mwanakondoo na kufuliwa kwa damu.

 

Mithali 31:23 Mume wake hujulikana malangoni; Aketipo pamoja na wazee wa nchi.

Hii imechukuliwa na wafafanuzi kuwa inamaanisha kuwa alijulikana kuwa maarufu kwa uzuri na umaridadi wa mavazi yake (kwa mujibu wa Rashi), ambako kulimpaisha juu kwa makadirio ya wakazi wa mji aliokuwa akiishi. Kile inachokimaanisha hapa ni kwamba mume wa mwanamke huyu alifanywa ajulikane na kuwa maarufu kwa uenezaji wa mafundisho ya Wateule; na kwamba neno la injili ya Ufalme wa Mungu limetangazwa na kuhubiriwa na Kanisa ili kwamba mtu mume, Yesu Kristo, awe anajulikana ulimwenguni kote.

 

Huketi pamoja na wazee wa nchi ni dhana ya utoaji wa hukumu. Dhana hii inahusisha pia na uanzishwaji wa Ufalme wa Mungu ambao ni wa Kristo. Kwa hiyo umefanywa na Kanisa ambao ni Wateule kwenye kipindi cha milenia. Wateule wanalazimika kuchukua nafasi yao kwenye jukumu la kuhukumu, ambalo ni sehemu ya makemeo yanayoendelea pia pamoja na harakati za utoaji hukumu kwenye ufufuo wa pili wa wafu.

 

Mithali 31:24 Hufanya nguo za kitani na kuziuza; Huwapa wafanya biashara mishipi.

Andiko hili kwa kweli halipo sahihi sana. Mavazi ya nguo ya hariri: neno hili limetokea tena kwenye Waamuzi 14:12ff. na kwenye Isaya 3:23.

Kwenye kifungu kilichofuatia, kimejumuisha kwenye orodha ya wanawake vilemba vya wanawake. Kilikuwa ni cha mraba au cha pembe tatu cha hariri nzuri kilichovaliwa kama vazi la nje, au kama mtandio uliovaliwa mwilini anapokuwa analala kitandani (kwa mujibu wa Daath Mikra).

 

Mavazi ya hariri pia yalivaliwa na kuhani mkuu katika hatua za kwanzakwanza za huduma ya Upatanisho, alipokuwa ni kuhani wa kuwaombea na kuwafanyia watu upatanisho, kabla hajaanza kuhudumu (au hajaanza kazi) kitambaa kitakatifu na cha kifalme hakijaanza kutumika kama ni vazi la kuhani mkuu mwishoni mwa mkururu wa shughuli za Upatanisho (soma pia jarida la Upatanisho (Na. 138)). Dhana ya huafungulia mishipi kwa wafanya biashara tafsiri yake halisi ni anafanya biashara (kwa usemi rahisi na unaoeleweka ni aliwapa), kwa hiyo vebu yake siyo aliwapa. Tulifanya biashara sawasawa na ilivyoandikwa kwenye Ezekieli 27:12, na msukumo wake hapa umechukuliwa na wanaufafanuzi Daath Mikra kuwa inamaanisha alifanya biashara zaidi kuliko kusema alitoa. Alitoa au aliwapa mishipi, au mavazi ya hariri. Auni ya neno mishipi ni umoja wa pamoja, na mikanda imekuwa ikivaliwa kwa kawaida kwa kuzungushiwa viunoni, na kwa matajiri, ambazo zilikuja elezewa kuwa ni imedariziwa au kunakshiwa. Wafanyabiashara hawa kwa kawaida walikuwa ni Wakanaani au wafanyabiashara wa Kifoenike. Kwa hiyo, anachokifanya ni kuwapa mishipi, kusaidia kuwatia nguvu, wageni, Wamataifa. Mkururu wake ni kwamba kwa kweli Kanisa linasaidia na ni nuru kwa Wamataifa kwa kadiri linavyoendelea kutoa msaada wa aina hii na wa mavazi kwa mataifa yote ya Wamataifa.

 

Mithali 31:25 Nguvu na hadhi ndiyo mavazi yake; Anaucheka wakati ujao.

Fursa kuu na uwezo wa kifedha na wa kiheshima unaotokana nayo ndivyo vilidhaniwa kuwa ndiyo maana hasa ya andiko hili. Kwa kweli, nguvu na utukufu ni nguvu muhimu katika Roho Mtakatifu. Ukuu wa Roho Mtakatifu ni kwamba tumevikwa vazi la haki na silaha za Bwana kama anavyosema Mtume Paulo.

 

Anaucheka wakati ujao: Tabia zake na wokovu wake ndivyo vinavyomfunika. Tabia hizi zimezalishwa kwa vazi moja baada ya linguine (kwa mujibu wa Ibn Ezra). Hii inatokana na maandiko ya: Nawe uvikwe mavazi ya utukufu na ya kutukuka (kutokana na Zaburi 114:1) na pia, Makuhani wako na wavikwe haki (kutokana na Zaburi 132:9). Makuhani wamevikwa na vazi la haki na utakatifu na nguvu na utukufu vinatokana na nguvu za Roho Mtakatigu mwenye haki na utauwa. Andiko linalosema kwa wakati unaokuja maana yake ya moja kwa moja ni kwa siku ya baadae (Ibn Ezra, Meiri). Hili ni Kanisa katika siku za mwisho.

 

Mithali 31:26 Hufumbua kinywa chake kwa hekima, Na sheria ya wema i katika ulimi wake.

Tafsiri ya Soncino inasema, wakati anapoongea, maneno yake yanagubikwa na maana nzuri na umakini (kwa mujibu wa Meiri). Kwa hiyo mizania ya unenaji imepimwa. Kusudi la unenaji ni kuwainua juu watu, kuonyesha makosa kwa wema na upole, na kutumia unenaji kwa kipimo kama njia bora na ya kiupendo ya kuwarekebisha watu makosa yao na kuuweka wazi uovu.

 

Mithali 31:27 Huangalia sana njia za watu wa nyumbani mwake; Wala hali chakula cha uvivu.

Kwa kuongezea kwenye amri zilizotolewa, anaonekana kuwa wao wanaondolewa tu na kutolewa nje na kusimamia kila kipengele cha nyumbani kwamba kiwe kwa kuzingatia heshima na kicho au hofu ya Mungu (kwa mujibu wa Metsudath David). Kila kitu kimefanywa kwa utaratibu, kwa usahihi, na kwa kumhofu Mungu.

 

Wala hali chakula cha uvivu maana yake ni kwamba ana nguvu nyingi na kila wakati emetingwa kwa shughuli nyingi. Kusoma ni muhimu sana kwetu sisi sote, ili tujiandae sisi wenyewe kuzikamilisha kazi hizi na kuwasaidia wapendwa ndugu zetu.

 

Mithali 31:28 Wanawe huondoka na kumwita heri; Mumewe naye humsifu, na kusema,

Huamka mapema: Ibn Ezra anaelewa vebu hii kama ni kuamka asubuhi na, kukikuta kila kitu kikiwa kimeandaliwa vyema, watoto huonyesha shukurani zao kwake. Yaweza kuwa ilionyesha maana yake ni kusimama mbele yake kama mlengwa na anayestahili kuheshimiwa, mapokeo yanayotokana na andiko la Mambo ya Walawi 19:32.

 

Sasa mwisho wake, si kwamba watainuka tu mbele ya Kanisa la Wafiladelfia, bali pia watafanywa walale chini wakisujudu kwa vipaji vya nyuso zao ili kusujuidu. Wale wasemao kuwa wao ni Wayahudi na kumbe sio, watafanywa waje kuabudu, ambavyo ni kusujudu, mbele ya Wafiladelfia.

 

Sio suala la kuinuka tu na kusimama kwa heshima kwa maana ya Kanisa, na hayo ndiyo yawe maana yake. Bali inachukua hatua ya mbali zaidi ya kwamba ni kuamka tu peke yake mbele ya Kanisa, kwa ujumla hasa kwa Wafiladelfia. Wale walio kenye imani potofu za uwongo kwa kweli wamefanywa wajinyenyekeshe kwa kuwa Wafiladelfia walidhaniwa na kuonekana kwao kuwa wamepotoka, lakini watu waliosema kuwa wao ni Wayahudi na kumbe sio.

 

Tafsiri ya Talmud, kutoka Kiddushin 31(b) inamuonyesha Rabbi mmoja kwamba, wakati wowote alipoisia sauti ya nyayo za mama yake, alisikika akisema kwa heshima kuwa --’Nasimama mbele ya Shekina (Mahali Patakatifu)’ (Soncino).

Kwa hiyo mfafanuzi huyu wa maneno ya marabi kwenye tafsiri ya Talmud alijua kwamba Maskani Matakatifu tunayoiongelea hapa ni Shekina, ambayo kwamba Kanisa ni wakala au mfano hazina yake (1Wakorintho 3:16-17). Rabi anaitaja hapa akifanyia rejea kwa mama yake, lakini Shekina bado ipo Kanisani. Roho Mtakatifu, nguvu na uweza wa Mungu, ndicho kitu ambacho kinaliwezesha kwa kulipa nguvu Kanisa ili kwamba watoto wa watu wetu na kila mmoja peke yake, Wateule, wainuke na kuwaita wamebarikiwa, na Kristo atukiri mbeye ya Baraza la Wateule. Usemi wa kumwita amebarikiwa ni wa moja kwa moja zaidi, na kumsifu (inatokana na Zaburi 72:17 na Wimbo Uliobora 6:9 (Canticle 6:9)).

 

Mithali 31:29 "Binti za watu wengi wamefanya mema, Lakini wewe umewapita wote."

Aya hii inatoa maneno ya sifa ya mume wake (Daath Mikra). Hizi ndizo sifa za Kristo. Neno Mabinti ni usemi wa kishairi wa kimapokeo utumikaa kwa wanawake (kutokana na Mwanzo 30:13; 34:1; Canticles ii.2 and vi.9) (Wimbo Uliobora 2:2 and 6:9)),

 

Ni kama ilivyo wazi sana kutokana na nukuu za aya mbalimbali, hii haimaanishi wanawake wasioolewa peke yao, ambao bado wanaishi kwenye majumba na familia za baba zao, bali pia hata kwa wanawake walioolewa, ambao ni miongoni mwa watu wetu tuwajuao kwamba ni ‘wanawake wenye silaha’. Na hata itakuwa ni mjumuisho na kwamba hata kama baada ya ndoa, wakati wote mwanamke alibakia kuwa ni mwanachama wa familia ya baba yake, na kwa hiyo aliendelea kuitwa binti yake, kama ilivyokubalika na kuelekezwa kwenye Hesabu [36], kwamba miongoni mwa Waebrania, binti aliyeolewa, ambaye hajaondoka bado kwenye nyumba ya baba yake, bali pia atakuwa anahesabiwa yu bado kwenye kabila hilo (Soncino).

 

Tunapoolewa, tunaindizwa kwenye familia ya watu wake Mungu.

Mithali 31:30 Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili; Bali mwanamke amchaye Bwana, ndiye atakayesifiwa.

 

Aya zinayohitimisha ni za muono wa mtunga shairi kwenye taswira hapa iliyochorwa, na masomo au mafundisho anayotaka kuyawekeza kwa msomaji. Hausifii uzuri wa mwanamke, lakini sio muhimu na la maana sana, na sifa kuu zaidi ya zote kwa mwanamke; tabia na mwenendo ni kigezo halisi na cha kweli (Isaiah da Trani; Soncino)

 

Rehema inadanganya sana. Monekano wa nje wenye rehema zaidi haounyeshi hali halisi iliyoko ndani ya tabia na hulka za mwanamke. Uzuri ni mwonekano wa ngozi. Maandiko ya Marabi yanajumuisha ripoti au habari kwamba kwenye matukio mawili kwa mwaka, ‘mabinti wa Yerusalemu walikuwa wanatoka mitoko maalumu wakiwa wamevalia nguo nyeupe, ambazo zilikuwa zimeazimwa, ili kwamba wasimuaibishe mtu yeyote ambaye hakuwa nayo yake mwenyewe. Ndipo mabinti hao wa Yerusalemu walitoka nje na kucheza kwenye mashamba ya mizabibu. (Ndipo wanawake hawa wazuri au warembo walipiga kelele na kusema), ‘Ewe kijana wa kiumbe, hebu inua macho yako na umwone ni yupi unayeweza kumchagua ili awe mke wako.’ Ndipo wanaume kutoka familia mbalimbali tofauti walijibu, ‘msiutumainie uzuri na urembo, bali ni kwenye familia,’ na (walioko nyumbani kwake waweza wasiwe wala na uzuri wala uungwana), aliinukuu aya hii. Kigezo cha ‘familia’ kiliashiria kwamba yule binti alikuwa na tabia njema aliyorithishwa na kulelewanayo, na kwa hivyo yawezekana kabisa anaweza kuwa ni wa tabia nzuri (Soncino).

 

Mafundisho haya yote, wakati yalipotokea Yerusalemu, ni mafunzo mazuri kwetu. Dhana yenyewe ni kwamba tumepewa Neema sisi kwa njia ya wokovu wa Yesu Kristo. Hatuwezi kuwaambia wenye nguvu Kanisani na watu wake kwa miomekano. Tunawaambia kwa matunda yake ya kiroho. Kanisa la Walaodikia lilikuwa tajiri, lenye nguvu na imara kwa hiyo lilidhania, lakini bado machoni pa Mungu lilikuwa maskini, mnyonge, kipofu na uchi. Lilihitaji kununua dhahabu iliyosafishwa kwa moto na nguo nyeupe. Walitakiwa wajioshe kwa damu ya Yesu Kristo, kimsingi, kwakuwa hawakuwa wanafaa kuingia hukumuni na walitapikwa watoke kinywani mwa Mungu, lakini bado walionekana kama wazuri. Kwa wao, uzuri ulikuwa ukiwadanganya.

 

Bali mwanamke amchaye Bwana, ndiye atakayesifiwa. Hii ni tabia na mwenendo au tabia muhimu nay a msingi inayofaa awenayo mwanamke anayestahili sifa zilizotajwa hapo juu (kwa mujibu wa Isaiah da Trani) na kwamba ndizo tabia na mwenendo unaofaana na wa muhimu kwa Wateule. Kumcha Mungu ni chanzo cha hekima na ni muhimu kwa Wateule kwenye uelewa wao. Yohana 17:3 ni wazi sana kwamba kuna Mungu mmoja tu, wa pekee na wa kweli, na kwamba Yesu Kristo ni Mwana wake, na hicho ndicho kigezo muhimu sana kuaimini ili mtu aurithi uzima wa milele. Na kama hatumchi Mungu huyu wa Pekee na wa Kweli na tukadhani kuwa tunaweza kuiabudu miungu mingine na kuendelea kucheza na dhana au nadharia za pale tulipo na bwana wetu ni yupi na ni nani tunayejiandaa kwaye, ndipo ni hakika kwamba hatutakuwa hapo.

Mahali ambapo kanisa linaendeleza hisia za imani potofu mawazoni na uimla wa kiteolojia au madaraja ya kivyeo au ya kiuongozi, hawataweza wenyewe kuingia kwenye hukumu. Hatutaweza kuliwezesha Kanisa na kulipa nguvu chini ya mfumo huu wa kimadaraja ya uongozi. Na ndiyo maana wamekuwa wakikemewa au kushutumiwa na wamekuwa wakifanywa hivyo kwa kipindi cha takriban miaka elfu mbili sasa. Kanisa la Mungu limeweka msingi wake kwenye uongozi au huduma ya kitumishi, na limetuama kwenye uwezeshaji wa kila mmoja na mwingine kwa upendo na kujitoa sadaka.

Mithali 31:31 Mpe mapato ya mikono yake, Na matendo yake yamsifu malangoni  

Hebu na liwe na sifa njema kwa kila linachokifanya (kwa mujibu wa Metsudath David). Tutahukumiwa sawasawa na tunayoyafanya. Tutapewa sifa nyema kamili, kwa mujibu wa mfano wa talanta, kama tutapewa talanta kumi na tukazitumia na kurudisha faida mara kumi yake. Tutapewa thawabu au miamala ya kile tunachokifanya. Kama tutakuwa tumepewa talanta na kisha tukaifukia mchangani, ndipo tutakuwa tumeondolewa mbali. Inasema kuwa hebu na matendo yake na yamsifu malangoni mwake. Inamaana ya kwamba ingawa harakati zake zinathibitika nyumbani mwake, kutokana na kutambulika kwake angelipwa kwa wazi kabisa malangoni kwa mchango wake mkubwa na wa muhimu anaoutoa kwa manufaa na maendeleo ya jamii. Sasa haisemi kitu chochote kabisa kuhusu hilo, kama anavyoitafsiri Rashi. Haisemi kwamba harakati zake zimekubalika nyumbani kabisa. Haya ni mawazo yanayotokana na mapokeo na uelewa wa Kiyahudi kabisa. Yamelidandia pia Kanisa la Mungu katika karne ya ishirini. Harakati za wanawake hazikuwa zinahusiana au kutegemewa na masuala au mahitaji ya nyumbani. Na harakati za Kanisa hazihusiani na masuala ya nyumbani. Wanawake wanapaswa kuwezeshwa na waume zao na kuwezeshwa na Roho Mtakatifu na waliwezeshwa ili waxhukue nafasi yao kwenye Ufalme wa Mungu. Kanisa nalo ni hivyohivyo, na sisi sote tukiwa kama mabibi arusi wa Kristo, yatupasa kutiwa nguvu au kuwezeshwa na yeye. Tunawezeshwa na kutiwa nguvu kwa harakati za Yesu Kristo kwa njia ya Roho Mtakatifu na runachukua nafasi yetu kwenye Ufalme wa Mungu. Tunatoa mchngo mkubwa na wa muhimu sana kwenye jamii na tunajaribiwa kupenda kusifiwa au kupongezwa malangoni ingawaje Kristo amesema kwamba hakutakuwa na kitu kama hicho cha kusifiwa kitakachofanyika kwetu. Itakuwa hivyo wakati ule tu tutakapouchukua ufalme na ndipo tutasifiwa na kupongezwa malangoni kwa kuwa totakwenda kuwa waangalizi na warekebisha makosa kwenye zama yote ya utawala wa Milenia.

 

Wataona, tukiwa na Yesu Kristo, kile tunachoweza kukifanya. Hitler alisema akiwa amevuviwa na mapepo, maneno yaneno yaliyotafsiriwa kutoka lugha ya Kijerumani akisema: Baada ya vita kwisha, wataona kile tulichokifanya na kukisudia. Hivyo ndivyo hasahasa inafanana na itakavyokuwa kwa Wateule zaidi kuliko na hata ilivyojitokeza kwa watu wa Ujerumani. Kutakuwa na vita vingine, lakini ni baada ya vita vya mwisho ambayo itakwenda kushuhudia vile tulivyokuwa na kwa kuwa tunakwenda kuirejesha upya tena hii dunia. Israeli atakuja kutoka upande wa kaskazini wakiwa mkono kwa mkono na Waashuru. Tutafanya hivyo tukiwa ni Wateule kwa kuwezeshana kila mmoja kwa roho wa uweza na wa akili timamu katika Roho Mtakatifu. Tunaweza kudiriki kuhukumu na kushughulikia watu ambao hawaelewi au wasioweza kuyatendea kazi mafundisho ya Yesu Kristo. Kwa sasa sisi tuna timazi ya haki ya kupima na kurejea kile kilichofanyika kwa kipinsi chote cha miaka arobaini na kule tunakotakiwa tuende.

Licha ya ni kwa kipindi gani kilichopo, nan i vigumu kuitendea kazi, bali ni kwamba tuko kwenye nyakati za mwisho. Ni wachache tu ndiyo wangepinga au kubisha hoja hiyo. Ni suala tu la ni lini. Tunahitaji kutiwa nguvu na kutiana nguvu ili kupata kwa kupitia mchakato ule na kuwasaidia Wateule, na kulisaidia tgaifa letu. Hawatakwenda kupata hilo iwapo kama tukiwa kwenye usalama. Sisi tu sehemu yao. Sisi tu Wateule, na taifa hili ni kama mahali tulipopandwa mbegu ambapo tunaing’oa na kuitupa nje mizabibu, kwa mujibu sawa na maelekezo ya Mungu, na kuwapandikiza kwenye mashamba ya mizabibu.

 

Tutapewa watu hawa wote kwa wakati huohuo kati ya sasa na kwenye ufufuo wa pili wa wafu ili tushughulike nao. Tunachotakiwa kukifanya ni kwamba ni kuwasaidia kwa upendo na wema. Yatupasa kuishinda mifumo hii ya uongozi wa madaraja na kivyeo na tuelewe kwamba kile tunachokitenda kinawawezesha kuwatia nguvu kila mmoja yeyote yule na kwamba tunatenda mambo yetu tukiwa ni kama watumishi na kuwaongoza kwa kuwatumikia, ma siyo kwa kujifanya mabwana juu ya kila mmoja wao.

 

q