Makanisa ya Kikristo ya Mungu
[118]
Tatizo la Uovu
(Toleo La 1.0 20131109-20131109)
Jarida hili linashughulika kuelezea kuhusu tatizo la uovu, na uweza wa
Mungu wa kuelewa kila kitu na nadharia au dhana ya makatazo.
Christian Churches of God
PO Box 369,
WODEN ACT 2606, AUSTRALIA
Email: secretary@ccg.org
(Hatimiliki © 2013 Wade Cox)
(tr. 2016)
Masomo
haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa
kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani
yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe Hakuna malipo
atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu
fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila
kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya
pia yanapatikana Ulimwenguni katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Tatizo
la Uovu
Tatizo la Uovu
Jarida hili linashughulika kuelezea kuhusu tatizo la uovu, na uweza wa
Mungu wa kuelewa kila kitu na nadharia au dhana ya makatazo. Tutaona kwanza
kabisa kwenye Mathayo 25:34. [34] Kisha Mfalme atawaambia wale walioko mkono wake wa kuume,
Njoni, mliobarikiwa na Baba yangu, urithini ufalme mliowekewa tayari tangu
kuumbwa ulimwengu;
Inaendelea:
[35] kwa maana nalikuwa na njaa, mkanipa chakula; nalikuwa na
kiu, mkaninywesha; nalikuwa mgeni, mkanikaribisha;
36 nalikuwa uchi, mkanivika nalikuwa mgonjwa, mkaja
kunitazama; nalikuwa kifungoni, mkanijia.
Pointi ya muhimu
ni kwamba Ufalme uliandaliwa kwa ajili ya wateule tangu kuwekwa kwa misingi ya
dunia. Msingi wa dunia ulikuwa [katabole SGD 2602]; uwekaji wa msingi wa dunia. Kwa hiyo, ufalme wa Mungu uliandaliwa
kabla hata ya dunia haijaumbwa.
Hiyo iliibua
mkururu wote wa matatizo lakini tutakwenda na kuendelea mbele kwenye nukuu
nyingine nyingi zaidi kwanza.
Luka 11:50 inatupa wazo
tena la kuhusu msingi wa dunia:
[50] ili kwa kizazi hiki itakwe damu ya manabii wote,
iliyomwagika tangu kupigwa msingi wa ulimwengu;
Na aya ya 51 inaendelea mbele kwa kusema:
[51] tangu damu ya Habili hata damu ya Zakaria, aliyeuawa kati
ya madhabahu na hekalu. Naam, nawaambieni ya kwamba itatakwa kwa kizazi hiki.
Inaelezea kuhusu
“kizazi hiki”. Kuna mambo mengi sana yamehusishwa. Kwanza kabisa ni kizazi cha
mwisho cha zama za Hekalu tangia kifo cha Kristo na kuendelea hadi mwaka wa 70 BK. Kisha ni cha mwisho ambacho kinahusiana na
utimilifu wa dahari baada ya Nyakati za Mwisho. Lakini dhana ni kwamba damu ya
manabii ilimwagwa tangu kuwekwa kwa misingi ya dunia. Itakuwaje basi kwamba
damu ya manabii imwagike tangu kuwekwa kwa misingi ya dunia wakati tukiwa kwa
kweli hatutafuti kujitenga na dunia bali ni kwa vifo vya manabii tu? Nabii wa
kwanza alikuwa ni Adamu na alikufa kwa sababu ya dhambi. Kwa hiyo, mkururu wa
wateule ulianzia kwa Adamu na mauti iliingia ulimwenguni kote kwa njia ya
dhambi kupitia kwa Adamu.
Yohana 17:24
natuchukua hadi kwenye awamu nyingine ifuatayo:
[24] Baba, hao ulionipa nataka wawe pamoja nami po pote
nilipo, wapate na kuutazama utukufu wangu ulionipa; kwa maana ulinipenda kabla
ya kuwekwa msingi ulimwengu.
Dhana hapa ni
kwamba Kristo alipendwa na Baba hata kabla ya kuwekwa kwa misingi ya dunia. Aya
za 25-26 zinaendelea mbele kwa kusema:
[25] Baba mwenye haki, ulimwengu
haukukujua; lakini mimi nalikujua, na hao wamejua ya kuwa ndiwe uliyenituma. 26 Nami naliwajulisha jina lako, tena nitawajulisha hilo;
ili pendo lile ulilonipenda mimi liwe ndani yao, nami niwe ndani yao.
Kwa dhana hii, ni
kwamba Kristo anaashiria kuwa alikuwepo huko nyuma kipindi cha kabla ya
kuzaliwa kake hapa duniani kutokana na maneno anayoyasema ya kwamba kwenye huu
uhusiano wake na Mungu ulikuwa ni wa ulimwengu war oho tu kabla ya kuwekwa kwa
misingi ya dunia hii. Kuna mikururu ya kimaelezo kwenye maandiko haya.
Sura ya kwanza ya
waraka kwa Waebrania inamuongelea Kristo. Waebrania 1:10-11 inasomeka hivi:
[10] Na tena, Wewe,Bwana,hapo mwanzo
uliitia misingi ya nchi, Na mbingu ni kazi za mikono yako; 11
Hizo zitaharibika, bali wewe unadumu; Nazo zote zitachakaa kama nguo, (sawa na Zaburi 45).
Hii inamwongelea
Kristo, lakini ilikuwa ni Mungu aliyeweka misingi ya dunia. Waandishi wa
Kibinitariani na Kitrinitariani wanajaribu sasa kumtofautisha Kristo na Malaika
wengine, na wanasema kwamba hili ni andiko la Melkizedeki wakati anaposema kwenye
aya za 13-14:
[13] Je! Yuko malaika aliyemwambia wakati wo wote, Uketi mkono
wangu wa kuume Hata nitakapoweka adui zako chini ya nyayo zako? 14 Je! Hao wote si roho watumikao, wakitumwa kuwahudumu wale
watakaourithi wokovu?
Andiko hili limetumiwa
vibaya kwa kusema kwamba kwa namna fulani Kristo anatofautiana na wana wengine
wa Mungu na kwamba roho wahudumuo ni viumbe wa daraja la chini kuliko wale
wawahudumiao wateule. Tena walikuwa ni viumbe hawa ambao walikuwa pamoja na
Mungu tangu kuwekwa kwa misingi ya dunia. Tunajua kutokana na maandiko ya Ayubu
38:4-7:
[4] Ulikuwa wapi nilipoiweka misingi ya nchi? Haya! Sema,
kama ukiwa na ufahamu. [5] Ni nani aliyeamrisha vipimo
vyake, kama ukijua? Au ni nani aliyenyosha kamba juu yake? [6]
Misingi yake ilikazwa juu ya kitu gani? Au ni nani aliyeliweka jiwe lake
la pembeni, [7] Hapo nyota za asubuhi zilipoimba
pamoja, Na wana wote wa Mungu walipopiga kelele kwa furaha?
Kwa hiyo, kwenye
uwekaji wa msingi wa hii dunia, nyota wote wa asubuhi, siyo ni mmoja tu au
wawili, bali nyota wote wa asubuhi walikuwepo na wana wote wa Mungu walifurahia
na kusherehekea tukio hili la kuwekwa kwa msingi wa dunia. Hii haiezekani kuwa
iongelee kuhusu wanadamu kwa wanadamu. Kabla hii dunia haijaumbwa, hapo kabla
yake kulikuwa na wanadamu wengi sana ndani yake, wana wa Mungu walialikwa na
Mungu Baba, ili waweze kuona uumbaji wa hii dunia. Hii ni pointi ya muhimu
sana, na andiko la muhimu sana. Waamini Utatu hawalisomi wala kulijadili andiko
hili kwa kuwa hawawezi kulifafanua hili.
Andiko
linalofuatia la kuliangalia ni la Waebrania 9:26 linalosomeka hivi:
[26] kama ni hivyo, ingalimpasa
kuteswa mara nyingi tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu; lakini sasa, mara moja
tu, katika utimilifu wa nyakati, amefunuliwa, azitangue dhambi kwa dhabihu ya
nafsi yake.
Ili
kuzishughulikia dhambi ilimpasa Kristo ajitoe mwenyewe sadaka mara nyingi akiwa
kama Kuhani Mkuu kwa kuwa andiko hili linasema:
[26] kama ni hivyo, ingalimpasa
kuteswa mara nyingi tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu; lakini sasa, mara moja
tu, katika utimilifu wa nyakati, amefunuliwa, azitangue dhambi kwa dhabihu ya
nafsi yake. 27 Na kama vile watu wanavyowekewa kufa
mara moja, na baada ya kufa hukumu; 28 kadhalika
Kristo naye, akiisha kutolewa sadaka mara moja azichukue dhambi za watu wengi;
atatokea mara ya pili, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu.
Au kama
inavyoelezwa kwenye tafsiri ya KJV:
[26] kama ni hivyo, ingalimpasa
kuteswa mara nyingi tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu; lakini sasa, mara moja
tu, katika utimilifu wa nyakati, amefunuliwa, azitangue dhambi kwa dhabihu ya
nafsi yake. [27] Na kama vile watu wanavyowekewa kufa
mara moja, na baada ya kufa hukumu; [28] kadhalika
Kristo naye, akiisha kutolewa sadaka mara moja azichukue dhambi za watu wengi;
atatokea mara ya pili, pasipo dhambi, kwa hao wamtazamiao kwa wokovu.
Kristo alikuja mara moja ili kuzishughulikia dhambi na kisha atakuja
kuwaokoa wale wanaomgojea kwa hamu kubwa. Kwa hiyo, dhambi ilikuepo tangu
kuwekwa kwa msingi wa dunia, hususan tangu Adamu wakati alivyoingizwa mtegoni
na kutenda dhambi na manabii wamekuwa wakiuliwa tangu kipindi cha Adamu, lakini
alikuwa ni Kristo ndiye aliyekuja kuishughulikia dhambi. Yeye ndiye hatimaye
aliyelitatua tatizo la dhambi kama tunavyoona kwenye 1Petro 1:20:
[20] Naye
amejulikana kweli tangu zamani, kabla haijawekwa misingi ya dunia; lakini
alifunuliwa mwisho wa zamani kwa ajili yenu;
Ukisoma tangia aya ya 18:
[18] Nanyi mfahamu kwamba mlikombolewa si kwa vitu
viharibikavyo, kwa fedha au dhahabu; mpate kutoka katika mwenendo wenu usiofaa
mlioupokea kwa baba zenu; 19 bali kwa damu ya thamani,
kama ya mwana-kondoo asiye na ila, asiye na waa, yaani, ya Kristo. 20 Naye amejulikana kweli tangu zamani, kabla haijawekwa
misingi ya dunia; lakini alifunuliwa mwisho wa zamani kwa ajili yenu; 21 ambao kwa yeye mmekuwa wenye kumwamini Mungu, aliyemfufua
katika wafu akampa utukufu; hata imani yenu na tumaini lenu liwe kwa Mungu.
Hii inaibua vipengele kadhaa na vya muhimu katika kuushughulikia mfumo
huu. Inajulikana kwa kupitia vifungu vinane vya maandiko kwamba mpango huu wa
Mungu ulikuwepo kabla ya kuumbwa kwa dunia na ulihusika na dhambi na jinsi ya
kuziondoa dhambi tangu Adamu na kuendelea hadi kwa Kristo na kuendelea hadi
kwenye kipindi cha kukombolewa kwao wateule. Ufunuo 13:8 inaonyesha kwamba
mchakato huu ni endelevu.
Ufunuo 13:8 Na watu wote wakaao juu ya nchi watamsujudu, kila ambaye
jina lake halikuandikwa katika kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo, aliyechinjwa
tangu kuwekwa misingi ya dunia
au
Ufunuo 13:8 Na watu
wote wakaao juu ya nchi watamsujudu, kila ambaye jina lake halikuandikwa katika
kitabu cha uzima cha Mwana-Kondoo, aliyechinjwa tangu kuwekwa misingi ya dunia
Andiko hili
linaelezea kuhusu kipindi cha Joka na kipindi cha Mnyama na kipindi cha maasi makuu
na kufuru za wadanamu kinyume chake Mungu. Aya ya 7:
Tena akapewa kufanya vita na watakatifu na kuwashinda,
akapewa uwezo juu ya kila kabila na jamaa na lugha na taifa.
Ni mwanakondoo
ndiye aliyechinjwa tangu kuwekwa kwa msingi wa dunia nah ii inatuchukua sisi
hadi kwenye mwisho wa wateule wote ili kwamba tujue wote kwa kipindi chote cha
zaidi ya miaka elfu mbili tangu kifo cha Kristo kutoka hapo hadi mwishoni mwa
kipindi na cha zaidi ya miaka 1000 kwenye Milenia na miaka 100 ya Hukumu.
Mchakato huu ulipangiliwa na kukusudia uwepo na Mungu, yote ikiwa chini ya
uthibiti wa Mungu na wote ukiwa umejulikana na Mungu. Kwa hiyo Mungu ni mwenye
uweza wa kujua kila kitu na kwa mambo yote. Uweza huu wa Kiomnishenti
unaonyesha kuwa Mungu anajua yote na kila kitu kwa kiasi kwamba zama zote
zijazo anazijua na kuzielewa. Kiumbe ambaye hajui mambo yajayo siku zijazo kwa
kweli hawezi kuwa Mungu aliyetangaza mwisho tangu mwanzo kama tunavyoambiwa
sasa.
Kisha dhana hii
inaendelea kwenye Ufunuo 17:8, ambayo inaendelea hadi mwishoni wa wakati wa
kuanzishwa kwa utawala wa Shetani na nguvu za upotevu kwa ajili ya kuuthibiti
na kuutawala ulimwengu.
[8] Yule mnyama uliyemwona
alikuwako, naye hayuko, naye yu tayari kupanda kutoka kuzimu na kwenda kwenye
uharibifu. Na hao wakaao juu ya nchi, wasioandikwa majina yao katika kitabu cha
uzima tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu, watastaajabu wamwonapo yule mnyama,
ya kwamba alikuwako, naye hayuko, naye atakuwako
Mpango huu wa
Mungu unawatilia maanani wanadamu wote walioumbwa na kisha unahusika na imani
na mfumo wa milenia tunapokwenda kwenye Ufunuo 20 panapoelezea uanzishwaji wa
kipindi cha milenia baada ya Shetani pamoja na malaika zake waasi kutupwa kuzimuni
au huko tartaros. Ndipo watahukumiwa
baada ya kipindi hiki cha milenia, baada ya kujitoa na kufanya kazi na miwajibiko
wetu kutoka kipindi cha Ufufuo wa Kwanza wa Wafu hadi kwenye Ufufuo wa Pili wa
Wafu. Na ndipo hatimaye watafunguliwa ili wafanye kazi zao za mwisho ambayo ni
uasi mkubwa wa mwisho na kushawishi vita ya mwisho ya mwishoni mwa Milenia
mapema kabla ya tukio la Ufufuo wa Pili wa Wafu. Haya ni maandiko
yanayotuonyesha sisi kwamba mpango wa Mungu umeandikwa kwa wazi sana, na
umepangiliwa, na kuainishwa kwa kina na Mungu anaongoza tangu kabla hayaweka
kitu chochote cha kwanza kwenye ujenzi wa hii sayari. Kwa hiyo hii
inashughulikia kuonyesha uweza wa Mungu wa kuelewa kila kitu na Tatizo la Uovu.
Iwapo kama Mungu alikuwa na mpango tangu kuwekwa kwa msingi wa dunia, ni kwa
nini basi aliiumba dunia na ili ikabiliwe na tatizo hili lingejitokeza na kwa
hiyo yeye hawajibiki? Kwa kuwa alijua kwamba mambo haya yangetokea, je,
anawajibika kwa kutokea kwake? Hili ndilo lile tatizo lijulikanalo kama Uhuru
na Kujiamulia mambo. Kama Mungu alijua kuwa kuna kitu kinachoweza kutokea, basi
kuna ukweli wa kwamba alijua kinachokwenda kutokea kunaweza kuhusishwa na uhuru
wetu na kunaweza kufanya iamuliwe kwamba ingeweza kutokea? Kama inajulikana
kuwa inatokea hapo mbeleni basi uweza huu wa Mungu wa kujua kila jambo utakuwa
na maana gani?
Omnishensi maana
yake maarifa ya kujua mambo yote yanayokusudiwa. Mtumishi aliwahi kusema mara
moja: “je, Mungu anajua kila kitu? Je, Mungu anajua kuwa mimi naenda kuivuta hali
hii ya ushwari kutoka mfukoni mwangu?” Jibu lake ni kwamba, ndiyo, ni kweli alijua.
Anajua jinsi tunavyowaza. Anasema: “Nayajua mawazo yenu na wala siyo mawazo
yangu.” Pointi ya kweli ilikuwa ni kwamba ni lazima Mungu ayajue mawazo yote ya
kweli, vinginevyo hawezi kuwa ni mwenye uweza huu wa kujua kila jambo na kama
hatakua na uweza huu wa kujua kila kitu, basi hawezi kuwa Mungu. Ni rahisi sana
kiasi hicho. Ni budi pia awe ni mtawala wa viumbe wake ni kwa kuwa yeye ana
uweza wa naomna zote au mwenye nguvu zote na anayeweza kuwaongoza viumbe wake
na kuleta kile anachokipenda kifanyike. Alimpa mamlaka Shetani ya kushughulika
na wanadamu. Hawajibiki na uchaguzi alioufanya Shetani na Malaika zake lakini
uweza wake wa kujua kila jambo unahitaji kile anachokijua na kwamba anafungua
milango ya kuleta mema kutoka kwenye uovu ule. Jinsi afanyavyo ndivyo ilivyoelekezwa
kwenye Mpango wa Wokovu ulioainishwa hapo chini na imefafanuliwa kwa kina
kwenye kitabu au jarida la Sheria ya
Mungu Toleo La 3: Kalenda ya Mungu na Mpango wa Wokovu.
Uhuru umewezeshwa
kwa kiumbe kwa kuturuhusu kuutenda kazi utashi, kwa sisi tuweze kufanya uamuzi
wa kama ama tutafuata na kuzitii sheria za Mungu au kama hatutazifuata sheria
za Mungu. Kwa hiyo, kama hakuna sheria hakuwezi kuwa na dhambi kwa kuwa bila ya
sharia hakuwezi kua na dhambi. Akini sheria yaonekana kuwa ilikuwepo tangu
mwanzo kwa kua inakuja kutoka kwenye asili na tabia halisi za Mungu. Kwa hiyo,
sheria ni budi kwamba zilikuwepo wakati wa kuwekwa kwa msingi wa hii dunia, kwa
kuwa Mungu ni mambo yote ambayo torati ndiye asili na maana yake: mkamilifu na
wa kweli, mwema, mpenda haki na mtakatifu.
vitu ambavyo tunafanyiwa
sisi ili kuturuhusu tuwe na uhuru na kuhukumu vinawezeshwa na vinaulazima ni
budi vitupe sisi uwezo wa kuweza kuingamiza hii sayari na tunaweza karibu sana
tufanye hivyo. Kristo atapelekwa ka wale walio na hamu kubwa ya kumngojea.
Atatumwa arudi kutuzuia na hali mbaya ya uharibifu mkubwa wa mwisho wa
kuiharibu na kuiangamiza hii sayari kipindi cha hukumu na uongozi wa mapepo.
Mungu anajua haya
mambo yote haya. Anajua kuwa anakwenda kufanya na aliamua kuturuhusu sisi tuwe
na uhuru wa kufanya hivyo. Ni pekeyake huyu Mungu mwenye uweza wa kujua kila
jambo na mwenye nguvu zote, omnipotenti maana yake ni uweza wote, omnishenti
naana yake ni kujua vyote, omni maana yake ni yote, kukiwemo kilakitu, ni uweza
na jumla ya hii. Hakuna sababu ya kuyajua mambo ambayo siyo nadharia ya kweli
kana kwamba yapo kwenye mfumo mbovu wa kifikra ambao Mungu angeweza kuchoshwa
nao bali ni vyema kuyajua mambo yote yaliyo ya kweli. Mungu alijua kila kitu
tulichokifanya maishani mwetu na kila kitu tulichokuwa tunakwenda kukifanya. Sisi
sote tuliochaguliwa kanisani, matendo yetu yaliwekezwa tumboni na kuamuliwa
kabla hata hatujazaliwa. Tunajuaje hilo? Mungu anasema kwa kupitia Roho moyoni
mwa Yeremia.
Yeremia 1:4-5 inasema:
[4] Neno la Bwana lilinijia, kusema, [5] Kabla sijakuumba katika tumbo nalikujua, na kabla
hujatoka tumboni, nalikutakasa; nimekuweka kuwa nabii wa mataifa.
Kabla Yeremia hajatoka tumboni alitiwa mafuta au
kuchaguliwa kuwa nabii. Ndivyo ilivyo kila mmoja wetu kanisani aliyechaguliwa
kuifanya kazi ya Mungu katika nyakati hizi za mwisho tumechaguliwa hata kabla
ya kutoka matumboni ili tuifanye kazi hii. Kwa hiyo basi Mungu alijua mambo
yote mabaya tuliyokuwa tunayafanya katika maisha yetu yote. Alijua yale
tutakayoyashindwa lakini bado alitutenga rasmi ili tuweze kuifanya kazi hii. Ni
kwa nini alifanya hivyo? Iwapo kama ilikuwa inakwend kuwa hivyo kwa mteule, ni
kwa nini asingebeba majukumu ya kimaadili ili kuhakikisha kwamba ni alio wema
na wazuri tu ndio achaguliwe? Hicho sicho anachosema, au sivyo? Ni kwa nini
tuliitwa? Ni ili kumshangaza Mwenyezi na kuimarisha udhaifu wetu na kushinda
kwa kupitia uweza wake wa kujua kila kitu kilicho kidhaifu kwetu.
Warumi 8:26 Kadhalika Roho naye
hutusaidia udhaifu wetu, kwa maana hatujui kuomba jinsi itupasavyo, lakini Roho
mwenyewe hutuombea kwa kuugua kusikoweza kutamkwa.
Kwa hiyo hata maombi yetu yanatafsiriwa tena.
[27] Na yeye aichunguzaye mioyo aijua nia ya Roho
ilivyo, kwa kuwa huwaombea watakatifu kama apendavyo Mungu.
Kwa hiyo, mapenzi ya Mungu huongoza na
kutuelekeza kwa wateule na yamefanywa kutoka wakati tulipotungwa mimba tukiwa
kama kitoto kichanga kilichotungwa mimba tumboni mwa mama zetu. Je, hii
inamaanisha kwamba Mungu, ajuaye kila kitu tunachokifanya angetoa kwa ajili ya
dhambi hizo na kwamba sisi tunasamehewa kutokana na kuzitenda dhambi hizo?
Hapana!
Tunapoendelea kwenye aya ya 28:
[28] Nasi twajua
ya kuwa katika mambo yote Mungu hufanya kazi pamoja na wale wampendao katika
kuwapatia mema, yaani, wale walioitwa kwa kusudi lake.
Kilakitu kinafanya pamoja kwa nia njema hata
dhambi tunazozitenda lakini hiyo haimaanishi kwamba tuendelee kutenda dhambi, vinginevyo
tutakua tunamsulibisha Kristo kwa mara nyingine tena. Na ndiyo maana walioitwa
ni wengi lakini wateule ni wachache ili kwamba wale walioitwa na akaendelea
kutenda dhambi na kushindwa kwenda kwenye Ufufuo wa Pili wa wafu hawajachaguliwa
na Mungu hapo mwanzoni. Tunajua kwamba kwa sababu ya andiko hili. Kwa hiyo
tunajua kwamba kila jambo linafanya kazi kwa pamoja kwa nia njema na kwa uzuri kwa
wao wanaompenda Mungu na kwa wao walioitwa sawasawa na makusudio yake. Kumbuka
kwamba ni kwa mujibu wa makusudio yake. Hili ndilo andiko la muhimu na la
msingi. Aya ya 29 inafafanua ka kina mkururu huu:
[29] Maana wale
aliowajua tangu asili, aliwachagua tangu asili wafananishwe na mfano wa Mwana
wake, ili yeye awe mzaliwa wa kwanza miongoni mwa ndugu wengi.
Ni kwa njia ya uweza huu wa Mungu wa kueIewa kila jambo ambao ndipo
anajua sisi ni kina nani, kile tunachotakiwa kukifanya na kile tunachoweza
kukifikilia. Kwa mfano, alijua kwamba Daudi atakuja kutenda dhambi ya uzinzi na
Bathsheba na kwamba atamuua Uria Mhiti kwa kumpeleka kwenye mstari wa mbele na
kwenye mapigano makali ili akafie huko na aliwaamuru majenerali wake wafany hivyo.
Mungu alijua kuwa atafanya hivyo tangu kuwekwa kwa msingi wa dunia. Alizijua
dhambo zote za Daudi na ndipo Nathani alitumwa kwa Daudi akamhukumu Daudi kwa
kuchagua mwenyewe aina ya hukumu kwa midomo yake mwenyewe. Nathani akampa
hadithi ya mwanakondoo mdogo ambaye alikuwa amechukuliwa na mchungaji tajiri
aliyekuwa na kondoo wengi sana aliowamiliki wakati menzake maskini alikuwa na
mmoja tu. Daudi alishangazwa sana kama kitu kama hicho kinaweza kufanyika na
akakasirika sana na akasema kuwa huyo tajiri anapaswa alipe mara nne ya kile
alichodhulumiwa yule mtu maskini. Kwa hiyo hukumu yake ilimgharimu afiwe na watoto
wake wanne. Hiyo ndiyo ilikuwa hukumu. Tendo la wizi linahukumia kwa kulipa
fidia mara nne ya kile kilichoibiwa kwa mujibu wa torati. Daudi alimuiba mke wa
Uria na kisha akamuua Uria kwa hiyo watoto wake anne walikufa kama matokeo ya
dhmbi ile. Hiyo inamfanya wana wote wa Daudi na matendo yao kwenye mashaka,
kitendo cha kumpoteza mtoto, na kumpoteza Absalomu na hivyo inaendelea. Yote
yay ale yaliyotoka kenye kinywa chake Daudi mwenyewe yalitokana kwa kuamuliwa
na mtu mwenyewe, na siyo na Mungu. Mungu alimtuma nabii ili akampe utata wa
jambo ili kwamba Daudi ajihukumu mwenyewe. Kwa jinsi hiyohiyo wakati Musa
alipokwenda kwa Farao, alijihukumu mwenyewe kwa kinywa chake mwenyewe. Wakati
aliposema kuhusu kuwaua wazaliwa wa kwanza wa Israeli ndipo alitangaza kifo cha
wazaliwa wa kwanza wan chi yote ya Misri. Mungu hakupanga hapo kwanza hambo
hili. Na ndiyo maana Musa alisema: “Bwana, amejihukumu mwenyewe kwa kinywa
chake menyewe.”
Ingawaje Mungu anajua kile tunachokifanya, anaujua moyo na anajua
tunachokwenda kukifanya. Hatuwezeshi sisi kukitenda hicho na hili ndilo Tatizo
la Uovu. Mambo hayapangwi. Maamuzi ni kiti kisichokuwepo, mchakato wenye maana
kwenye harakati za mwanadamu.
Kwa kuirudiaaya ya 29 na hadi aya ya 31 tunasoma hivi:
[29] Maana wale
aliowajua tangu asili, aliwachagua tangu asili wafananishwe na mfano wa Mwana
wake, ili yeye awe mzaliwa wa kwanza miongoni mwa ndugu wengi..
Roho Mtakatifu yampasa atupondeponde na kutupa
umbo zuri ili kutufanya tuwe na tabia za Kristo.
[30] Na wale aliowachagua tangu asili, hao
akawaita; na wale aliowaita, hao akawahesabia haki; na wale aliowahesabia haki,
hao akawatukuza.
Kwa kupitia uweza wake Mungu wa kujua kila
jambo, anajua kile tunachokwenda kukifanya; anajua nani wa kumtumia. Anawaita
watu wale wakati unapokuwa ni muda kwa wao kuongoka, kubatizwa, ili awezeshwe
kuwa na tabia za Kristo. Kisha wakati anapowaita, anawahesabia haki.
Uhesabiwaji haki kama tulivyozoea kwa lugha ya uchapishaji ni kuzipangilia
kurasa na kuruhusu kuchapishwa ili ukurasa huo uwe umelingana, kukiwa
kumepangiliwa vizuri na bila kasoro. Hiyo ndiyo haki au utakatifu unaoenenda na
Roho Mtakatifu katika kumuandaa mteule ili aweze kuwa na tabia za Kristo kwa
kupitia mapenzi ya Mungu.
Aya za 31-32:
[31] Basi, tuseme
nini juu ya hayo? Mungu akiwapo upande wetu, ni nani aliye juu yetu? 32 Yeye asiyemwachilia Mwana wake mwenyewe, bali
alimtoa kwa ajili yetu sisi sote, atakosaje kutukirimia na mambo yote pamoja
naye?
Dhana hii ya
kuitwa lakini sio kuchaguliwa inaendana kinyume na hali ya kukusudiwa tangu
mwanzo na uweza wa Mungu wa kujua kila kitu ambao kwamba watu wengi wameitwa
kwenye mwili wa Kristo wakiwa hawajakusudiwa tangu mwanzo na Mungu kuwa waitwe.
Hiki ndicho kilichotokea kwenye nyakati za mwisho kwenye kipindi chote cha zama
za Wasardi na Walaodikia. Tumeona wote hii na watu wengi walio kwenye kanisa la
zama ya Wasardi ya Makanisa ya Mungu nay a Walaodikia walikuwa wameitwa lakini
hawakuchaguliwa na walikuwa ama wamekufa au walikuwa wametapikwa kutoka kwenye
kinywa cha Mungu kwa kuwa walikuwa vuguvugu. Mungu hakuwaacha washinde; bali
hawakuwa wamechaguliwa tu kwenye kwenye mahali pa kwanza. Hawakuitwa kwa uweza
huu wa kujua kila kitu wa Mungu; waliitwa kwa kuwa waliusikia ujumbe bali
hawakumudu kuufuata ujumbe huo wote.
Dubia imefanywa
kuwa adui wa sheria za Mungu na kalenda za wapagani zinajaribu kufanya
isiezekane kuishika Kalenda ya Mungu kama tutakapo kwenda kujadili kwa kina
kwenye Toleo la 3.
Wengi wanajua
kile kinachohitajika kwenye imani lakini bado hawaishiki kwa kuwa ni vigumu
sana kwao; kwa kawaida sasa kwa sababu ya Miandamo ya Mwezi Mpya. Katika nchi ya
Marekani ni vigumu sana kuzishika Siku Takatifu kwa kuwa likizo yao siyo ndefu
sana kwa hiyo ni vigumu sana. Sabato siyo kwamba ni jaribio la wateule peke yao
na haijadumu kwa kipindi cha miongo mingi sana nchini humo. Kipimo au jaribio
la wateule ni maadhimisho ya siku za Miandamo ya Mwezi Mpya na Sikukuu kamili
za maadhimisho ya Pasaka na Idi ya Mikate Isiyotiwa Chachu kwa siku nane,
kuiadhimisha sikukuu hii sawasawa na ilivyoagizwa kwenye Kumbukumbu la Torati 16
inayoelekeza jinsi inavyotakiwa kuzishika sikukuu hizi, hasahasa sikukuu ya
Pasaka. Tusipoiadhimisha sikukuu hii basi tunakuwa tumeshindwa na ni jaribu la
siku za mwisho.
Na zaidi sana, Mungu
amewaacha wanadamu na mapepo watende dhambi kwenye kipindi cha mpango wake kwa
kuwa ameruhusu utaratibu wote urejeshwe upya na hakuna uhai wowote itakaoweza
kupotea licha ya maumivu na iwewe vilivyojitokeza kwa makosa na dhambi za
wanadamu na kushindwa kwao kuzishika Sheria au Torati ya Mungu. Mpango huo wa
Wokovu utaelezewa pia kwenye Toleo la 3.
Kwa hiyo uweza wa
kuelewa kila kitu wa Mungu hauamui kile tunachokifanya, zaidi ya kile ambacho
Mungu anakijua tu kile tutakachokifanya na anajua kwamba ni nini malengo yetu
na maamuzi yetu. Biblia inasema;
“na Daudi hakutenda dhambi tena” na Mungu Mungu alijua kuwa Daudi hatatenda
dhambi tena na Nathani alisema hivyo. Mungu alimshughulikia Daudi na alimtumia.
Kwa sababu ya ukweli kwamba Sulemani alitenda dhambi, ufalme ulikunguwaa au
kutatizwa kuendelezwa salama na mtoto wa Sulemani lakini siyo katika siyo
kwenye mstari wa uzao wake hadi Sulemani alipokufa (soma 1Wafalme sura ya 11).
Mungu anatujua
jinsi tulivyo na kile tunachokifanya na anajua kuwa tunajaribu na kujitahidi. Anatupa
njia kutoka kwenye majaribu haya yote nan i suala la kuwa tuhakikishe kwamba
tunaweza kujiinua juu na kuendelea mbele na kufanya Mungu anachotutaka
tukifanye kwa kadiri tunavyoweza. Huu kwa kweli ndiyo utaratibu wa muhimu wa
wito wetu na wa uweza huu wa Mungu wa kujua kila kitu na wokovu wetu ndipo unahesabiwa
haki na unalingana na kimo cha kuwa sawa na Kristo akiwa ni kama mzaliwa wa
kwanza wa ndugu wengi. Sisi tu wale walio watakatifu, wateule wake Mungu
wanaozishika amri za Mungu na imani na ushuhuda wa Yesu Kristo kama tunavyosoma
kwenye Ufunuo 12:17 na 14:12.
Wana wa dunia hii hawajaitwa kwenye mwito wa
wateule wanaohesabiwa kuwa na sehemu kwenye Ufufuo wa Kwanza wa wafu, na
wameachwa tu kwenye mambo yao hadi utakapofika wakati wa kuwashughulikia. Kwa wengi
wao, na kwa kweli wengi wao, hawatashughulikiwa hadi watakaposhughulikiwa kwa
kuhumu kwenye Ufufuo wa Pili wa wafu. Mungu hasababishi maovu. Bali huwa
anaruhusu tu yatokee na anaitimiliza mipango yake licha ya kile kinachofanyika
ulimwenguni.
Sehemu ya 2: Dhana ya Makatazo
Makatazo kwa Kiumbe
Tutaona sasa
utaratibu na mfumo wa Sheria au Torati nan i dhana ipi ya usawa na haki
tunayoweza kuiainisha kutoka kwenye tabia za Mungu na sharia zake. Zinakuwepo
kutoka kwa muumba, mwajibiko wa kihisia na kimaudili kwa matumizi sahihi ya
kile alichokiumba. Kama kuna uumbaji wa hisia au wazo, kiasi cha kwamba, kuna
kitu cha uumbaji na uumbaji umefanywa kama uumbaji fikra au wazo na muumbaji,
ndipo kuna makatazo yaleyale kwa muumbaji ya kuanzisha utaratibu wa usawa wa
kijamii na wa haki, yaani, sababu na lengo la uumbaji inayohusiana nayo na
matendo yaliyo sawasawa na tabia ya kiumbe aliyeipangilia na kuianzisha.
Mtu angeweza
kusema kwmba kiumbe asiye na maadili angeweza kuanzisha kitu chochote kwa sababu
yoyote, lakini ikiwa kama mtu fulani anajaribu kuzalisha kiumbe kitendacho kazi
ndipo hicho kinapaswa kitende kazi kwa mujibu uliosawa na tabia au asili ya
kiumbe kilichokiumba.
Mungu na Sheria
hawatofautiani, ambayo ni kamilifu, ya kweli, ya haki na ni njema. Sharia
inatokana na tabia asilia ya Mungu.
Tutamuona Mungu
kuwa ni chimbuko la uumbaji usiofananoshwa na chimbuko la usawa wa kijamii na
haki au utakatifu.
Falsafa
zimejaribu kuanzisha na kuendeleza nadharia ya ulinganishaji wa wastani wa uezeshaji
ya kijamii na wafikiriaji wamehusishwa kwa miaka mingi kwa kuendeleza kitendo
hiki asilia cha mfumo wa kijamii na mpamgilio wake. Siasa zimeendelea zikiwa
kama vitu muhimu vya kuweka mpangilio mifumo hiyo ya kijamii. Nyingi zake zilishindwa,
kwa kuwa wanasiasa ni watu wasiozingatia maadili au wapotofu na muda mrefu uliopita
waliziondolea mbali jamii hizo zisizoweza kuainisha uwezeshaji kwa muda mrefu
na kwamba mifumo ya kijamii inaweza kuhongwa kwa maslahi binafsi na kujipigia
kura wao wenyewe ili kujipatia fedha na raslimali kutoka kwenye mfumo wa
kijamii. Kwa umuhimu unaomaanisha kwamba umeangukiliambali. Ilionekana kwa Wababeloni,
Wayunani, Warumi na kisha kuendelea hivyo hadi huko Ulaya, China pamoja na
mifumo yake mbalimbali ya kijamii na huko Misri. Imeanguka chini tu kwa njia ya
kutofanana na maslahi yake binafsi.
Moja ya tatizo
kubwa kwenye sharia na utaratibu wa jamii ni kwamba kuna mgongano usio sawa.
Uwekaji ainisho wa uwezeshaji ndani ya mfumo kwa maneno machache na ukituama
kenye usawa wa kijamii kwa haki ya kila mmoja imeshindwa kuainisha uwezeshaji
kwa muda mrefu.
Kuna tatizo la
kiuelewa la kifalsafa kwenye muainisho wa uwezeshaji kwa ugawaji wa bidhaa na
huduma na kanuni za kijamii zinashindwa kwenye mkanganyo huu usio wa kawaida.
Nadharia pekee inayosimama hadi kenye muainisho huu wa uezeshaji kwa kiwango
kikubwa unatuama kwenye muainisho wa nadharia ya makatazo.
Nadharia ya
makatazo ndiyo njia pekee ambayo jamii inaweza kudumu kwa muda mrefu.
Tunapozitazama sheria za Mungu, zinaweka tasira kwenye sheria hizo za Mungu
kwenye nadharia hii ya makatazo au miiko.
Amri Kuu mbili ni
amri zinazomlenga kila mtu binafsi yake kwa pande mbili. Amri Kuu ya Kwanza ni
kwamba mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote na kwa akili zako zote na kwa
roho yako yote. Amri Kuu ya Pili ni kwamba mpende jirani yako kama nafsi yako.
Yapili inafanana
na ile ya Kwanza lakini moja inamhusu Muumbaji akiwa kama chimbuko na kusudi au
lengo na mlengwa anayeshikamanisha viumbe pamoja. Kwa hiyo, usiwe na miungu
wengine ila mimi, niliyo Mungu wa Pekee na wa Kweli. Kiumbe huyo anakuwa ni
kiini cha familia ya ulimwengu, kiroho na kibinadamu. Ulimwengu wote mzima
unaendeshwa au kupewa msukumo na ile ya Kwanza, kisha ya Pili kwa maana ya
kujifanyia sanamu za kuchonga au kujiwekea sanamu au vitu kwenye madai au
mbadala wa Mungu na halafu kulitaja au kulitumia Jina la Mungu pasipo sababu.
Amri hii ya Tatu inaenda kwenye mamlaka ya kuutumia uweza au nguvu za Mungu.
Wakati unapochukua kitu fulani, jina, pasipo sababu, basi unalitumia vibaya kwa
malengo mapotofu mamlaka yaliyowekwa kwenye uumbaji wa Mungu. Unapotosha na
kukengeusha mfumo aliouweka Mungu.
Kwa kawaida inabidi
kuwe na mfumo wa utaratibu ulioekwa kwenye mfumo ule na utaratibu huu unapasa
uonyeshe maana mwelekeo na utaratibu wa kijamii. Muda umekisha tengwa kwa ajili
ya utaratibu mzima ili kwamba iendane kwa mujibu sawa na mapenzi ya Mungu kwa
kupitia sheria yake, ilitenda kazi kwa lengo hili kama alivyouelekeza ulimwengu
kuwepo na kutenda kazi.
Amri hizi nne
zote zinahusiana na Amri Kuu ya Kwanza na inatenda na kuruhusu harakati za
wanadamu pamoja na harakati za kilimwengu kwa mujibu sawa na mapenzi ya Mungu.
Kuna mielekeo mine rahisi iliyokusudiwa kwenye uwekaji mambo yote katikati ya
kimahusiano na kuhakikisha kwamba hakuna harakati zozote zingine zinazoingilia
kati na uhusiano ule na utaratibu ule.
Hakuna atendaye
mambo vibaya au kwa upotofu kwenye mfumo unaochukua mamlaka yale bure na inatenda
kazi kwa mujibu sawa na mfumo au utaratibu wa kalenda iliyowekwa kwenye sharia
za Mungu. Huo ndio mfumo wa makatazo ambao Muumba ameuweka kwa mahali pa
kushughulikia na mawazo ya wanadamu, ili kwamba viumbe wale wote awajibike sawasawa
na mapenzi yake na maelekezo yake.
Sheria au Torati
ni kigezo ambacho kinaelekea kutoka kwenye tabia zake kwa kuwa huwezi kuweka sheria
ambayo ni kinyume na tabia na asili na malengo ya Muumbaji wa ule mfumo na utaratibu
wake. Kwa hiyo hakuwezi kuwa na mfumo unaoruhusu uumbaji ambao haundi sawa na
tabia inayoendana na Kiumbe ambaye ameiweka iwepo. Vinginevyo, mfumo wa
kifalsafa utaivunjilia mbali na Muumbaji akatabilwa na kitu fulani ambacho
kitakuwa kinatenda kazi yake kinyume kabisa asili yake. Na hiyo ingeathiri
uweza wake wa ajabu wa kujua kila kitu na uweza wake wa kuwa wa nguvu zote,
Uweza na mamlaka yake juu ya uumbaji na uweza wake wa kupanga na kuona mbali
utaratibu na mfumo ambao ameuumba. Kiumbe huyu hawezi kuwa Mungu kama kuna
mfumo uliowekwa ambao ni kinyume kabisa na tabia na asili yake.
Kenye Amri Kuu ya
Pili tunaanzisha familia kwenye Amri ya Tano. Familia hii inachukua ponti ya
kati kuelekea kwenye Amri ya Pili kama ya Kwanza ambapo Amri Kuu ya Kwanza imeweka
pointi ya kati na kusudi la uumbaji. Na hii ndiyo sababu ya kwamba familia hii inashambuliwa wakati wote na
wapinga mifumo na taratibu za kijamii. Na ndiyo maana Shetani amejaribu kuuanzisha,
na imani ya Kibabeloni imeanzisha mfumo na imani ambayo ni mkakati au jaribio
la mwisho kwa ajili ya maslahi ya familia na mfumo wa kijamii, ambayo kwayo
kila mara inavunjika na kuanguka na hauwezi kudumu au kuendelea.
Kwa hiyo, ndivyo
tunakuwa na miongozo kwenye amri ya Sita, ya Saba, ya Nane, ya Tisa na ya Kumi
zinazotoa mwongozo kwa harakati za mwanadamu zikihusiana na yeye mwenyewe.
Kuna maagizo ya
kulinda uhai ili kwamba familia iwe na wajibu wa kwanza wa kuanzisha uhai na
kuendeleza uwepo na mpangilio wa familia ili kwamba uhai uendelee kwenye utaratibu
wa kisheria wa Mungu ulio sawasawa na sheria zilizowekwa na Muumbaji. Na ndiyo
maana kwamba matendo ya ufiraji na usagaji yanapingana na tabi na asili halisi ya
familia. Na ndiyo maana kijamii hayakubaliki na ndiyo sababu ya kwamba
ytahukumiwa na hayatakuwepo wakati atakapokuja tena Masihi mara ya pili. Na hii
ndiyo sababu ya kwamba jamii inaparaganyika wakati huu na itaendelea kuwa mbaya
zaidi na zaidi hadi wakati huu wa dhamira ya jamii itakapofikia kiwango cha
kuharibika kabisa.
Kanuni hii ya
kuwezesha iishi inachukuliwa kwa maana kinyume kwa kuua akati agizo linasema
“usiue”, lakini wajibu ulio kwenye dhana ya agizo ni kwamba “ulinde uhai.”
Hutaweza kuua
watu walio kwenye jamii isipokuwa ipo kwenye amri na maamrisho ya Mungu. Kwa
mfano, huwezi kufutilia mbali ongezeko la wanyama; huwezi kuondolea mbali kwa
viungo vha mnyama. Yakupasa ujue kama unachukua vifaa vinavyolika au vilivyoruhusiwa
kuliwa vilivyotengwa kwenye sharia ya vyakula ili viliwe kwamba uviache hai
vitu vizalishwavyo vya viungo hivyo na kwamba usimchukue mama na uzao wake;
usiwachukue na kuwaua na usiwaachie uwezekano wa kuendelea kuzaana. Uhakikishe
kwamba kuna maeneo yaliyotengwa ya kulinda viungo hivyo. Hayo yote yamejumuishwa
kwenye Amri ya Sita isemayo; Usiue, kwenye ile isemayo ukiache hai.
Kwa jinsi hiyohiyo
isemayo “Usizini” inautendaji wake maalumu kwenye kuilinda familia ili kwamba harakati
zote za jamii zinasukumwa kwa kuilinda kila familia na kwamba haijavunjiliwa
mbali. Jambo hili kwa hiyo linarudisha nyuma kwenye dhana ya maagizo. Kuna
maagizo kwa familia na kwa kila mmoja, kwa kuwa kila mmoja anatoka kwenye
familia, na inaanzishwa kwa njia ya mwanaume na mwanamke. Haitokani na wanaume
wawili au wanawake wawili na kunaagizo pia la kuhakikisha kuwa watu hawa wawili
wakae pamoja.
Inayofuatia ni
ile isemayo “usiibe” inaelekea kuishirikisha familia na mifumo ya kijamii
kutenda kazi kwa weledi mkubwa. Kwa utaratibu wa utoaji wa zaka, ambayo ni
sheria na agizo la Mungu, kanuni ya kijamii imewekwa na kuandaliwa kwa misingi
endelevu. Zaka ya Kwanza inahakikishia kwamba mtaratibu au mfumo wa kimaagizo
na kisheria uwe umelindwa. Kwa hiyo utaratibu wote mzima wa mfumo wa haki
unapangiliwa na kulindwa na viongozi wa mifumo iliyopangiliwa. Ndiyo maana zaka
imetakiwa kanisani na kanisa limeagizwa kuweka utaratibu na mfumo wa usawa wa
kijamii na wa haki. Na hii ndiyo sababu kitendo cha kumpendelea mtu kanisani kwa
kiasi fulani ama ya kutisha kama kitendo cha ufisadi wa kupokea rushwa mahakamani.
Hii ndiyo sababu Makanisa ya Mungu yaliangamizwa kwa kuwa mengi yake yalikuwa
yanawapendelea watu. Mifumo ya kijamii na mifumo ya kidini hadi siku hii ni ya
kuwapendelea watu na haitendi haki, ikitenda kazi kinyume kabisa na sheria
zilizowekwa na Mungu kwenye Amri Kuu ya Kwanza na ya Pili.
Kwa hiyo zaka moja
inawezesha mfumo wa kiserikali na kufanya msukumo kwingine zaidi kwa fedha,
zaidi kuliko utoaji sadaka wa hiyari mara tatu kila mwaka kama ilivyoagizwa
kwenye torati, kutofanya hivyo ni wizi na ni kuyatumia vibaya mamlaka ya kimahama.
Kwa hiyo ingeikanganya Amri ya Nane isemayo “usiibe.”
Haki ya kijamii
ya familia kwayo yenyewe na kwa watu wengine imejumuishwa kwenye zaka ya pili.
Zaka ya pili imetengwa kando kwa hiyo familia inaweza kutenda kazi za Amri ya
Nne iliyoweka na Mungu. Majukumu yote ya Amri Kuu ya Pili kwa maana ya haki ya
kijamii na usawa kwa fedha ya ziada ambayo imetolewa kwa lengo la kuzisaidia
familia zingine ndani ya utaratibu wa kijamii ulioanzishwa. Ndiyo maana ndipo
sheria inatenda kazi kwenye makundi enezi tangu kumi hadi la hamsini, mamia na
maelfu. Wakuu wa makumi wako pale ili kuhakikisha usawa wa kijamii kwenye utaratibu
wa kijamii kwenye utaratibu wa kijamii ili kwamba kila fedha za ziada
zinazohitajika, zisizoweza kupatikana kwa kupitia Zaka ya Pili kwa maana ya
usawa wa kijamii. Hii inafikiwa kwa Mwaka wa Tatu. Mwaka wa Tatu unaendeleza
mvuto au msukumo wa kufunikiza katika mwaka wa hamsini wa Yubile.
Muundo huu
umetuama kwenye kipimo cha mrithi wa hukumu isemapo “usiibe” ambapo pana mambo
fulani ya muhimu; marejesho ya mara nne kwa kila kitu kilichoibiwa. Mara tu
unapomrudishia mtu mara nne kutokana na utajiri wako wote, na kama itawezekana
basi tumika kwenye miaka iliyobakia kweny mzunguko wa Sabato kama mtumwa kwa
mtu mwingine kwa kuwa ulikitumia vibaya kitu ambayo mtu alikwishaanza kudhania
kabla hawapata fedha kwenye jamii. Hii ni lazima ishurutishwe na viongozi wa mfumo
huu wanatenda mambo kama waamuzi au mahakama kwenye ukuhani hawawezi kushikilia
ofisi iwapo kama wanayatumia vibaya mamlaka waliyopewa kwenye Amri ya Tatu na
kama wamekengeuka.
Amri ya Nane
inasema “Usimshuhudie jirani yako uwongo.” Kwa hiyo rekodi sahihi katia jamii ni
ya muhim sana. Yapasa kuwe na rekodi nzuri ili kuhakikisha kunakuwa na hukumu
ya haki na mashahidi wa uwongo ni budi wahukumiwe pasipo huruma kwa mujibu wa
mfumo huu. Shahidi wa uwongo anayeshuhudia uwongo ili kupotosha haki ili
kuwezesha matendo yasiyo ya haki chini ya sheria ile iliyochukuliwa kama ni
hukumu kwa mtenda maovu aliyepewa shahidi wa uwongo imetumika au kutolewa.
Mashiko ya
mkururu huu yanafuatia moja baada ya jingine na inalazimisha kutazamwa kwa
mfumo wote wa sheria na wa familia. Haiwezi kuruhusiwa kupotoshwa. Zinakuwepo
kwa kila mmoja wajibu wa kuulinda mfumo huu wa sheria. Torati inajionyesha kama
taswira ya Amri Kuu Mbili na yote hii inatokana na Tabia na asili ya Mungu kwa dhumuni
la Uumbaji. Kimsingi inatakiwa iwepo na idumu kwa maana ya uumbaji, utaratibu
wake na lrngo lake. Kwa hiyo
wote ni lazima afuate mmojaa baada ya mwingine. Na ndiyo maana Amri ya Kumi inasimama
katikati maka mhimili wa sheria yote kwa maana ya kwamba kusudi la nia na moyo.
Na ndiyo maana imeandikwa yote mioyoni mwetu na mawazoni mwetu na ndiyo maana
Roho Mtaakatifu ni wa muhimu kwetu ili kutuwezesha kuichukulia hii hadi kwenye
Amri ya Kumi na kuielewa tabia na kanuni ya sheria.
Mfumo huu
utauhakikishia kuwa na usawa wa kijamii na haki ulimwenguni kote. Utahakikishia
ulinzi wa kimazingira wa kila kiungo kwa kiumbe, na itahakikishia kwa njia ya sheria
za vyakula pamoja na zaka zilizotolewa vizuri.
Pia, kama
mizunguko ya Sabato inaagizwa na kuanikizwa na sheria kwenye Amri ya Kumi,
mazingira yamewekwa, ardhi ina Sabato zake na kila mmoja anaweza kukusanjika kwenye
mwaka wa Sabato. Mwaka wa Tatu wa mzunguko wa Sabato unatoa raslimali, za aina
mbili zote, za nafaka na za fedha kutokana na mwelekeo wa raslimali ha
hakuwezekani kuwa na kitu kama hicho cha wizi kwa riba. Mataifa watakopa lakini
watatakiwa tu kulipa. Hukumu yake ni iwapo kama taifa linapaswa kulipa ndipo
litalipa kutokana na raslimali au mali zao na zaka ili kuondokana na matatizo
linayokabiliana nayo kwakuwa limeshindwa kujichukulia ama Amri Kuu ya Kwanza au
Amri Kuu ya Pili. Limeshindwa kutoka kwenye wajibu wake kwenye usawa wa kijamii
na uwezeshaji wake kwa kupitia nadharia hii au Sheria ya Makatazo ambayo ni
Sheria au Torati ya Mungu.
Ushindwaji wowote
wa muundo wa kijamii utashushwa kwenye kushindwa kwa nadharia ya muongozo wa
kuendesha kwa kila mmoja, kwa kuwa hawaoni kuwa kuna muongozo wa kuufanya mfumo
huu ufanye kazi. Mungu ameweka juu yao amri hizi, ambayo ni miongozo ya kila
mmoja na familia zilizo kwenye muundo huo, na koo na makabila, na wanatenda
kazi kama amri kamili na mifumo ya miongozo na kama hutazitunza utaangushiliwa
mbali kwa kushindwa, au kwa kujitenga na kushikilia kwenye dunia hii
iliyolaaniwa. Wakati Shetani alipovunja kanuni ya umuhimu na ulazima wa
kuzishika sheria, ndipo dunia ilipolaaniwa, kwa kuwa umuhimu wa kuzishika
sheria ulishuka kwa kupitia nadharia za usawa wa kijamii kwa sheria inayotokana
na tabia ya \mungu hadi kwenye nadharia ya mwongozo inayofanana na Amri Kuu ya
Kwanza na ya Pili kama ilivyoainishwa kwa kina kwenye Amri ya Kumi na kanuni
zake elekezi zinazofuatia kutoka hapo.
Dunia ililaaniwa
kwa kuwa agizo la kuzishika sheria lilikuwa limevunjwa. Wakati Mashahidi
wanapokuja na wanaporudisha tena agizo la sheria ya mfumo wa kijamii watarudi
nyuma kwenye mfumo sahihi wa muongozo kwenye kila mzunguko kwenye Mzunguko wa
Mwaka wa Sita mavuno makubwa ya ziada ili kuiwezesha miaka ya Sabato na Yubile
iweze kuadhimishwa bila shida. Mwaka 2025 haijalishi ni kwa kiasi gani dunia
imeharibika kutakuwa na mavuno makubwa mara dufu kwa ajili ya maadhimisho ya
miaka ya Sabato na Yubile. Hii ni kwa lengo la kuuwezesha mfumo wa Sabato na
Yubile ili kwamba ulimwengu wote uweze kuelimishwa vizuri kwenye mwaka ule wa
Sabato na kisha uwe tayari kuchukua pahala pake kama ulivyowekwa tangu mwishoni
mwa Sikukuu ya Vibanda ya mwaka 2027. Tangu siku ya Kwanza ya mwezi wa Nane
ambao ni mwaka wa Tisa unajitokeza na kuchukua mahala pake wakati ardhi yote
itakapofanywa upya. Kilimo na maandalizi vinafanywa ili kwamba mavuno ya kwenye
mwaka wa Kwanza wa mzunguko unaofuatia, Yubile ya 121 inapoanza. Ndipo kwa hiyo
dunia itaanza kufanywa upya.
Kile tutakachokwenda
kukifanya ni kuisaidia dunia irejee upya kwa kufuata na kuzitumia sheria hizi
na kwenye nadharia ya mwongozo wa kijamii kwa kutumia Amri kumi za Mungu na
mifumo yote midogomidogo ya sheria. Hakuna atakayepotea.
Yerusalemu
utafanywa upya na Hekalu litajengwa huko Yerusalemu kwenye nusu ya kwanza ya
Yubile ya 121. Kila mwaka kila taifa hapa duniani watapeleka
wawakilishi wao huko Yerusalemu ili kupewa maelekezo kwa ajili ya mwaka
unaofuatia. Kutakuwa na utaratibu wa kisheria utakaoanzishwa na kisha
kurekebishwa kwa mfumo au kanuni ya mafundisho ya kila mmoja yakitokea huko Yerusalemu
kila mwaka.
Kwa kuwa taifa
lolote lisilopeleka wawakilishi wake kwenda kuishika sikukuu ya Vibanda,
Zekaria 14:16-19 imeweka wazi sana kitakachowapata. Hawatapata mvua kwa wakati
muafaka na watateseka kwa mapigo ya tauni ya Misri, ambavyo kwamba, kama kutakuwa
na mfumo wa kilimo cha umwagiliaji pahala pake kwenye taifa ambapo wanadhani
kwamba watajiondoa kuwa ni sehemu ya mfumo huo kwa ajili ya umwagiliaji
watapigwa kwa tauni na hawataepuka kukumbwa na ukame. Ulimwengu mzima wote
utafanya kama ulivyoambiwa.
Mfumo huu kwenye
Torati, unatuama kwenye nadharia hii ya maelekezo kumwelekea Mungu kwenye Amri
ya Kumi hadi kwenye Amri zote. Kutakuwa na utaratibu au utawala utakaoiongoza
au kutawala kipindi hiki cha Milenia, kwa Tabia au Asili ya Mungu hadi mwishoni
mwa Ufufuo wa Pili wa Wafu na hukumu ya watu wote na kisha tutaendelea mbele
kuiongoza dunia.
Mfumo huu utakuwa
ungaliko bado kuwa kuwa unatokana na Tabia na Asili ya Mungu na tutafanana sote
kuwa sawa na Kristo na kwamba Tabia hiyo itajiweka ndani yetu na itatawala
jinsi tunavyofanya kazi kwenye utawala huo.
Kwa hiyo muundo
rahisi, Amri hizi Kumi, ambayo kwayo sheria au torati yote imetuama kwayo ni
msingi wa sheria za kijamii. Kitendo cha kuziweka pamoja amri zote wakati wa
Usomaji wa Torati, katika kila mwaka wa Sabato, kinaonyesha jinsi Amri hizi Kuu
zinavyoiongoza jamii na kanuni zake.
Kwa hiyo mchakato
huu unatoa uhakikisho wa kwamba Taatizo la Uovu limepungua. Utashi wa mwanadamu
bado unabaki lakini kuna adhabu na imeekwa wazi lakini mfumo wa kijamii
unaoongoza jamii. Hukumu iliyoorodheshwa hapa zimekatazwa kabisa kwa hukumu ya
kifo, kwa kuwa kwenye kila moja yao, mwendelezo wa uvunjaji wa amri unaendana
nayo ni hukumu ya kifo. Tumepewa fursa ya kutubu, kurudiwa na kurejeshwa upya,
lakini hakuna mwingine yeyote hapa duniani anayeweza kujitokeza kwa ukmilifu na
kwa utashi akazivunja sheria hizi. Mara nyingi sana jamii huzivunja na dunia huzivunjiliambali na Mungu huingilia
kati.
Kwenye utawala wa
Milenia kutakuwa na uingiliaji kati wa moja kwa moja mwaka wa hadi mwingine na mataifa
yatakuwa yametiishwa kwa kuhukumiwa kwa kushindwa kwao kuzishika sheria. Kwa
hiyo hawataweza kuipuuza na ulimwengu wote mzima watazishika maagizo ya sheria
kama zilivyoamriwa na kuelekezwa kwenye kalenda ya Mungu na kwa kupitia sheria,
ili kwamba kusiwe na kutofautiana na kuna haki ya kijamii na mpangilio katika
ulimwengu wote mzima. Malaika wa mbinguni na Ufufuo wa Kwanza wa wafu vipo pale
ili vitokee. Wakati Ufufu wa Kwanza wa waf utakapotokea, yeyote miongoni mwetu
atakayeachwa akiwa hai na huku akingojea waliokufa wafufuke na sisi sote kwenda
Yerusalemu tukiwa kama viumbe wa kiroho. Kwa hiyo tunawajibika kwa kufanya kazi
pamoja na malaika wa mbinguni kwa kuiongoza na kuitawala dunia.
Muundo wa sayari
umepangiliwa na unaendeshwa kwa maongozi au uthibiti wetu, na siyo na malaika
toka mbinguni, kwa kuwa wajibu wa kuwahukumu mapepo na hukumu ya mapepo kwenye
Ufufuo wa Pili wa wafu tumepewa sisi. Na kama tunavyofanya hivyo kwa niaka elfu
ya Milenia ndipo mapepo wanachukizwa au wanakasirishwa sana kwa mwenendo wetu.
Sheria hizi zote
na jinsi tunavyozilazimisha na jinsi muundo wa sayari unavyoendeshwa kwenye
utawala wa millennia kunaamua kile kinachotokea na kuwapata mapepo na inatumika
kama jambo la kuamsha hisia kwenye hukumu yetu.
Wa mfano,
tunapowahukumu wao kwa shuruti na bila kuwahurumia, mapepo wangekuwa na sababu
kubwa sana wa kuonyesha makosa ya utendaji kazi wetu wa majukumu yetu na hukumu
yetu ya uwezeshaji wao wa majukumu yao. Ndiyo maana hukumu imewekwa kwetu
iliwekwa pia kwa Kristo.
Matendo ya Kristo
yaliyohukumiwa na Shetani kwenye vita pale jangwani. Shetani alishindwa na
akahukumiwa na Kristo. Kristo hakushindwa, bali Shetani ndiye alishindwa.
Kila nnoja wa
Malaika waasi atahukumiwa na wale waliopewa vyeo au nyadhifa kubwa za kufanya
hivyo kwenye utawala wa millennia. Viongozi wa mataifa kwa maana ya uongozi wa
kiroho watahukumiwa na viongozi wa mataifa walio na nyadhifa zinazolingana,
kama wale Sabini. Hao viongozi muhimu wa kiroho wa watakatifu wateule watawahukumu
viongozi muhimu na wakuu wa kiroho wa malaika walioasi na kwa hiyo watakwenda.
Utawala huo utadumu
kwa kipindi cha miaka elfu na kisha kwa miaka mia kitakuwa cha upangiliaji wake
na cha merejesho mapya. Hiyo itendelea hivyo kiasi cha kwamba hatimaye sisi
sote tutaielewa dhana hii yote ya usawa wa kijamii na jinsi ulimwengu wote
unavyohitaji sheria za Mungu ili kutenda kazi sawasawa.
Na ndiyo maana
kalenda hii takatifu yapasa iendane sawasawa na majira. Na ndiyo mwaka mrefu wa
Kibabeloni kwenye kalenda inayojulikama kama ya Kiyahudi au ya Hilleli inaweka kichekesho
au kituko, mzaha, wa kuudhihaki mfumo uliwekwa hapa duniani na Mungu ambayo
kwayo inaonyesha hilo kwa kuwa wanaweka mwaka mrefu kwenye miaka tofauti na kwa
hiyo vipindi na majira yanakuwa nje na utaratibu au mfumo aliouweka Mungu kwa
maelekezo sahihi kwenye Amri ya Nne ambayo imepotoshwa kabisa na watu hawa hawa
wanaojifanya na kudai kuwa wanaenenda sawasawa na maagizo ya torati au sheria
za Mungu. Kibaya zaidi ni kwamba Makanisa ya Mungu wamejilimbikizia dhambi kwa
kumfuata Hilleli kwenye makanisa mengi katika karne ya ishirini.
Wayahudi wamejisimamishia
mfumo ambao hautaweza kufanya kazi na wanajua kuwa haufani kazi. Walifanya
hivyo kwa makusudi kabisa na Kanisa la Mungu likiwa chini ya uongozi wa Herbert
Armstrong lilitohoa kalenda ile. Wanajua kuwa haiwezi kufanya kazi na walijua
pia kwamba ilikuwa sio imani halisi ya mwanzoni iliyoaminiwa na kutumia
Hekaluni wakati wowote tangu hapo na kuendelea hadi kuangamizwa kwa Hekalu
mnamo mwaka wa 70 BK. Wanalijua hilo, lakini bado kwa makusudi kabisa
wanasisitiza kuishika kalenda hiyo, hata kwenye Makanisa ya Mungu, na wanafanya
hivyo kwakuwa huduma zao hazina ujasiri wa kuwaambia ukweli na kuyakubali matokeo
ya kushindwa kwao.
Hiyo haitaendelea
kwa kipindi kirefu sana. Itafikia mwisho kwenye kipindi kifupi sana. Mipindi
cha miaka elfu sita alichopewa Shetani karibu kinafikia mwisho wake.
Sayari hii karibu
inakwenda kuangamizwa kwa hiyo yampasa Kristo aje mapema kwa kuwa sayari ipo
kwenye hali mbaya sana.
Mataifa
yamejiwekea mfumo ambao hauwezi kushikika au kuonekana na wao kabisa. Japani imetengeneza
mitambo kadhaa ya nyukilia kama inavyojulika kuwa ni ukanda wa matetemeko ya ardhi;
matukio ya volcano yanalikumaa sana maeneo haya. Wataifutilia mbali pia ile
hali ya hewa ya ubarafu iliyoko kwenye ncha ya kaskazini mwa dunia, hususan
kwenye maeneo ya Pacific. Ni kama vile mapepo wamewaharibu akili zao kwa kiasi
cha kuwafanya wafikie hatua ya kuto jail chochote kile kama na wao hawataweza
kuishi. Hapo ndipo mahali hata sisi tunaonekana kuwa.
Viongozi wa
mataifa wanazituia silaha kali na za maangamizi zinazotumia hata kemikali
kuwaua watu wao wenyewe. Haya yanaweza tu kuwa ni mawazo ya kimapepo. Mapepo
watakuwa wamechukua utawala na kuongoza uongozi wa mataifa yaliyo ukanda wa
Mashariki ya Kati na viongozi wa Kimagharibi. Hakuna cha kuwianisha kuhusu kile
kinachotokea. Hakuna kitu wanachokifanya ambacho kinaendana sawasawa na amri hizi,
iwe ya Kwanza wala Amri Kuu ya Pili au Amri nyingine yoyote inayotokana kwenye
Amri hizo Kuu Mbili, na kwenye Amri Kumi. Hawaishiki yoyote kati ya hizo zote na
kwa hiyo ulimwengu hauwezi kumudu kuwepo. Mfumo huu unashindwa kidogo kidogo na
watu watakuwa masikini zaidi kwa kuwa wanaziweka fedha mifukoni wao wenyewe kwa
zaidi na kwa ziada ya ulazima wa wa jamii iendelee kushi au kuwepo.
Mbinu mpya
zinazokuja ni hazistahimiliki na zinasaidia utajiri zaidi kuliko kuwa kwenye familia,
familia zenye kipato kidogo kwenye jamii. Vitu hivyo haviwezi kubakia vikitenda
kazi kwa kuwa haviko imara. Mifumo hatari wa kimatibabu ya Wamarekani na ni
kile kinachoitwa wa kidini ambao unapuuzia majukumu yake kwa dhana ya miongozo
ya sheria ya biblia. Uwezo wetu wa kuthibiti madawa ya antibayotiki unapungua
kutokana na kuzuiwa na ngome imara za mihadarati zimeweka makazi yake Marekani
na Ulaya ambako faida zake zimeondolewa na wasifanye utafiti mpya. Hawataweza
waachiliwe tu waendelee kuishi.
Na ndiyo maana
Dola ya Kirumi, wakati walipoona kuwa wangeweza kuipatia fedha tu kutoka kwenye
utajiri wa dola yao, walianguka kiuchumi kwa kuwa hawakuwa wakilipa Ankara zao.
Marekani hailipi Ankara zake. Itafilisika kwa kuwa deni lake linakadiriwa kuwa
ni la dola tirioni 19 katika mwaka 2013. Ni wazi kabisa kwamba haiwezi kulipa
kiasi hicho pasipo kuipangilia tena jamii yake. Wanaanza kuligundua hilo na
Ulaya inagundua pia kwamba Marekani haiwezi kulipa madeni yake. Mfumo wake
unashurutishika; hautengamai. Inakwenda kuendelea zaidi sasa kwa kiwango
kinachoongezeka hadi mfumo wetu kamili wa kiuchumi uangamie na tuende kwenye
vita kamili vya dunia, kwa muda mfupi sana ujao.
Sababu
iliyowaplekea Wajerumani wamchague tena kiongoi wao mkuu wan chi ni kwa sababu
ya maamuzi magumu wanayotaka kuyachukua kwa Ulaya nzima, lakini Wahafidhina
wanataka kuifana Ujerumani iwe kiongozi wa Shirikisho la Ulaya nzima.
Wataufanya ulimwengu ulipe na hiyo haitawezekana kwa kuwa yote hii inaangamiza
kinyume na nadharia hii ya muongozo, ambayo ndiyo njia ya pekee ambayo shria za
Mungu ndiyo inayoweza kuifanya iwe ni jamii inayotenda kazi, kwa kuwa inatokana
na tabia au asili halisi ya Mungu.
Kwa hiyo utaratibu
huu ni nguvu kubwa iliyohusiana kwa mwingiliano, iliyoshikamana, kanuni ya
utaratibu wa kisheria na intokana na tabia ya Mungu. Hadi tunapoilazimisha tena
kanuni hii ya kisheria, jamii itaendelea kupungua na hatutaweza kuiingiza
kimbadala na kitu kinginechochote ambacho kinafanya kazi kwa kuelekezwa au kwa
kusukumwa kwa kuwa Mungu hukiongoza kwa njia ya asili na tabia yake aliyonayo.
Na mfumo usipoendana na tabia ya Mungu hauwezi kufanya kazi.
Hapo ndipo tulip
oleo, ambapo uovu unatiririka kutoka kwenye kushindwa hadi kwenye kuzitendea
kazi sharia za Mungu kama zilivyowekwa na kuelekezwa kwenye taratibu na
maamrisho ya torati ya Mungu na maovu yote yanatokana na kushindwa kuzifanya
amri na sheria za Mungu zifanye kazi na kuifanya familia kuwa ni kama muundo wa
kijumuia ya jamii zetu.
Kwenye kila moja ya taratibu hizi na mifumo yake, Mungu ndiye kiini na hakuna
mfumo mwingine unaoweza kuwekwa kwenye kituko kwenye mfumo ule. Wengi walio
kwenye mfumo ule hawafai wachukuliwe kimzaha au kudharauliwa. Yapasa ifanywe
kwa mujibu uliosawa na utaratibu wa kijamii na kanuni ya utakatifu iliyowekwa kutoka
kwenye kalenda ya Mungu. Hiyo hatimaye inatoa uhakika kwamba utaratibu wa
mwanadamu unaweza kuendelea kwa uangalizi wa familia na kwa kupitia familia hadi
koo, hadi makabila, hadi mataifa.
Taratibu na imani
hizo zinategemeana na Amri ya Sita ya kufanya iishi; ya Saba katika kuifanya
familia iwe kama taasisi itendayo kazi; ya Nane inakihakikishia kila kitu kimezalishwa
kwa umiliki sahihi na wajibu.
Utaratibu huu unaendana
kwa utoaji wa zaka; Zaka ya Kwanza inathibitisha utaratibu wa kawaida wa zaka
na utaratibu wa kimahakama, utaratibu wa haki na usaa; kisha kwa kupitia Zaka ya
Pili ni kwa ajili ya kupata ustawi mwema kwenye jamii. Sheria au kanuni ya
ulaji wa Vyakula iliyotolewa na kupewa wakazi wa dunia hii inaelekeza kile tu
kinachostahili kuliwa na kwamba taratibu nyinginezozote zinaunda misingi ya
kanuni za vyakula kwenye aina zingine zote za vyakula vilivyoagizwa kwenye
kanuni hii.
Sababu
inayokufanya usile krili na dagaa kamba na pweza ni kwa kuwa wanafanya misingi ya
muundo mdogo wa samaki wote walioruhusiwa kuliwa. Mara tu unapowala unaharibu
lishe yako kwa kuwa uzito wa madini chuma yao kwenye mfumo wa milolongo ya
chakula kwenye bahari inapita kwenye maeneo mengi tofauti ya miili ya samaki
hao.
Mazingira ya Kibenthiki
Usile viumbe
wenye magome walioko baharini, chaza, kome na vitu kama hivyo kwa kuwa hawa ni
mawakala wa kazi ya kuchuja na kuondoa uchafu na kuifanya bahari ibakie kuwa
safi. Kwa kuwala viumbe hawa unajilisha pia virusi aina ya gastroentero na kuviingiza
mwilini mwako na kuudhuru au kuuharibu mfumo wako wa kiafya.
Sheria ya Vyakula
ya Biblia inakinga au kuzuia magonjwa mengi yanayopitia kwenye nyama za wanyama
na vyakula najisi. Soma jarida la Sheria za Vyakula (Na. 15) CCG).
Usiwaue viumbe wote
walio hai kwenye maeneo yako. Kwa mfano, kumekosekana ndege mruko wa wa
kinadharia tu au wala mizoga huko Italia kwa knwa Wataliano huua na kula kila
kitu kinyume kabisa na maagizo ya sharia au torati ya Mungu. Kumekuwa hakuna
idadi kubwa ya ndege wakubwa katika Italia kwa kipindi cha mamia ya miaka sasa
kwa kuwa wanaua na kula kila kitu. Wachina nao wako hivyohivyo. Samaki maarufu
wakubwa wamemalizika. Watamkamata papa kwa nia ya kumkata mikiwa yake tu ili
wamtengeneze supu. Haya ni maazo mapotofu. Hali hii haipaswi iruhusiwe kuendelea
au vinginevyo watakuja kuhukumiwa. Jambo hili linafanya hivyohivyo na Wajapani
na wengine wengi.
Elimu inatakiwa
ili kwamba watu wajue sharia za Mungu ni zipi na sababu ya kwanini wanatakiwa
kuzishika na kunapaswa kuwe na hukumu na hukumu yenyewe yapasa iwe kali na
itokane na maagizo ya torati. Biblia inaeleea aina zote za hukumu na zinapasa
ziweje..
Jarida hili linashughulikia
kuelezea Tatizo la Uovu, na uovu ni nini, na unatoka wapi nan i kwa nini dunia
ipo kwenye mwonekano uliyonayo sasa. Kwa nini imekuwa mbaya sana? Imekuwa mbaya
sana kwa kuwa hatuzishiki sheria za Mungu.
Hatutaweza
kufanyika kuwa Mungu; hatutaweza kuwa elohim hadi tutakapofikia kwenye kiwango
cha kwamba Roho Mtakatifu yuko ndani yetu ili kwamba tuweze kuenenda kama
Mungu. Hili ndilo lengo letu kuu.
Mimi nimesema, Ndinyi miungu? (na
maandiko hayawezi kutanguka); (Yohana 10:34-36)
q