Makanisa ya Kikristo ya Mungu

[120]

 

 

 

Mavuno ya Mungu, Matoleo ya Mwezi Mpya na 144,000

 

(Edition 4.0 19951012-19990828-20071130)

 

Karatasi hii linaonyesha uhusiano kati ya wokovu na maana ya matoleo. Mtihani inayonyesa kwamba kuna uhusiano kati ya nambari iliyojuheshwa kwa mwaka {kutumika kwa mwaka wa unabii na mfano wa Jona}, na ujumuhesho wa sabini na 144,000. Agano jipiya inaonyesha kuketi kwa mwezi mpiya wa, sabato na siku takatifu kwa hali ilivyo wazi.

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

 

(Copyright ă 1995, 1996, 1999, 2007 Wade Cox)

 (Tr. 2008)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


 

Mavuno ya Mungu, Matoleo ya Mwezi Mpya na 144,000


 

Kutoka kwa mtihani ya sherehe tunaona kwamba yanahusu hali tatu ya mavuno katika kalenda wa Lanu na kazi zake robo wa kaskazini. Mavuno yanaanzia pasaka na inaendelea hadi pentekosti mpaka sherehe za hema. Pasaka na mkate usiochachwa yanaanzia kwa mavuno na, maranyingi inatoa hali ya mvua. Pentekosti hama shere za wiki, inaanzia mwanzo wa mwangaza na hema ni aktikati yao.

 

Mavuno ni ya toleo na dhambi yanafanyika katika sherehe za mkate usiochachwa na ililetwa mbele ya Bwana.Maana ni kuwa Kristo ndiye wa kwanza kwa mavuno ya kwanza. Haya yalifanyika kuanzia asubuhi baada ya ufufuo. Alifufuliwa Sabato jioni. Maria Magdalina alirauka mapema asubuhi ya jumapili kama bado giza ilikuwa na alimpata akisha fufuka tayari. Walirudi na Petro na Yohana na hawakumpata, alafu wali rudi makuawo. (Yohana 20:10) Maria alibaki na akamwona Kristo kabla ya kuenda kwake .Hii ndio sababu hangekubalia Maria kumguza, kwa sababu hakuwa amefika kwa Mungu.Alimwambia akarudi kwa watume na kuwambia kuwa anaenda kwa baba yao na baba yake na kwa Mungu wao na Mungu wake.

 

Yohana 20:1-2 Alfajiri na mapema jumapili kukiwa bado na giza, Maria Magdalina alikwend kaburini, akaliona lile jiwe limeondolewa mlangoni pa kaburi. 2 Basi akaenda mbio hadi kwa Petro na yule mwanafunzi mwingine ambaye Yesu alimpenda akawaambia `` Wamemuondoa Bwana Kaburini ,na wala hatujui walikomweka.’’ (RSV).

 

Hakuna shaka kwamba Kristo alienda kwa Mungu kwa wakati huu kama sihivyo hakungekuwa na haja yeye kuongea vile alivyoongea. Aliwaona wale wengine kabla ya kuenda kwake kwa jioni huo

 

Yohana 20:15-23 Yesi akamwuliza `` Mama kwa nini unalia? Unamtafuta nani?’’ Maria, kudhani huyo ni mtunza bustani, akamwambia ``Mheshimiwa, kama ni wewe umemwondoa, niambie ulikomweka, name nitamchukua.’’16 Yesu akamwambia, ``Maria’’ Naye Maria akageuka, akamwambia kwa Kiebrania ``Raboni’’ (yani ``Mwalimu‘’). 17 Yesu akamwambia,`` Usinishike; ijakwenda bado juu kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu na uwaambie: nakwend juu kwa Baba yangu na Baba yenu, Mungu wangu na Mungu wenu.’’ 18 Hivyo Maria Magdalina akaenda akawapasha habari wale wanafunzi kuwaamemuona Bwana, a kwamba alikuwa amemwambia hivyo. 9 Ilikuwa jioni ya siku hiyo Jumapili. anafunzi walikuwa wamekutana pamoja ndani ya nyumba, na milango ilikuwa imefungwa kwa sababu waliogopa viongozi wa Wayahudi .Basi Yesu akaja akashimama kati yao akawaambia ``Amani kwenu!’’ 20 Alipokwisha sema hayo, akawaonyesha mikono yake na ubavu wake. Basi hao wanafunzi wakafurahi mno kumwona Bwana. 21 Yesu akawaambia tena ``Amani kwenu’’Kama vile Baba alivyonituma mimi, name nawatuma ninyi.’’ 22 Alipokwisha sema hayo, akawapulizia na kuwambia `` Pokeeni Roho Mtakatifu. 23 Mkiwasamehe watu dhambi zao, wamesamehewa; msipowasmehe, hawasamehewi’’. (RSV)

 

Alikuwa kwa Baba na sasa alikuwa kwa hali ya kuwa na Roho Mtakatifu na kuwapa watume. Ni lazima kwao sasa, wamesamehewa kwa Mungu kutoka kwa dhoruba ya mabaki. Hii pia imehimiziza kwa hali kuwa kutoka kwa kurasa za kwanza alikuwa katika nafasi ya kutimiza shaka za Thoma kwa kukubalia siku zingine nane baadaye, na juma kadhaa kabla ya kuenda kwake wa mwisho.

 

Yohana 20:24-29 Thoma ,mmoja ya wale kumi na wawili(aitwaye pacha),hakuwa pamoja noa wakati Yesu alipojua. 25 Basi wale wanafunzi wengine wakamwambia,`` Tumemwona Bwana’’. Thoma akawammbia ``Nisipoona mikononi mwake alama za misumari na kutia kidole changu katika kuvu hizo,na kutia mkono wangu ubavuni mwake ,sitasadiki.’’ 26 Basi baada ya siku nane wanafunzi walikuwa tena pamoja mle ndani, na Thoma alikuwa pamoja nao. Milango ilikuwa imefungwa, lakini Yesu akaja akisimama kati yao,akasema ``Amani kwenu’’ 27 Kisha akamwambia Thoma,``Lete kidole chako hapa uitazame mikono yangu; lete mkono wako ukautie ubavuni mwangu. Usiwe na mashaka ila amini!’’ 28 Thoma akamjibu,`` Bwana wangu na Mungu wangu!’’ 29 Yesu akamwambia,`` Je umeamini kwa kuwa umeniona? Heri yao wale ambao hawajaona, lakini wameamini.’’(RSV)

 

Kutokea wakati huo Yesu alukubali mabaki ya Mavuno yatolewe. Mavuno yalifuatilia yaliambatana na Pentekosti. Mavuno huu ya matoleo ilikuwa ya mazao ya kwanza wa matunda ambao ilikuwa Mesia.Kila mavuno yanafuatiliwa na Bibilia.

 

Hili pia limeagaziwa kwenye Kutoka 23:19

Kutoka 23:14-19 Mara tatu kwa kila mwaka mtatengeza sherehe yangu. 15 Mtaliongoza sherehe ya Mkate usiochachwa; jinsi nimewamurisha, mtakula mkate usiochachwa kwa siku saba kwa saa hiliyo faa kwa mwezi wa Abibu, kwa kuwa wakatu huo mlitoka Misri. Hakuna atakawe kuja mbele zangu mkono mtupu. 16 Myatunza sherehe ya mavuno, ya mazao la kwanza ya matunda zenu, kwa yale mteweka ya shamba. Mtayatunza sherehe ya usanyiko kila mwaka, wakati mnayasanya mavuno kutoka shambani kama matunda ya kazi zenu. 17 Mara tatu kwa mwaka wanaume wenu watakuja mbele za Bwana Mungu. 18 `` Msitoe damu wa dhabihu na mkate uliochachwa au kuwacha mafuta ya sherehe kukaa mpaka asubuhi. 19 `` Sherehe ya matunda ya Kwana wa ardhi mtazileta katika Nyumba cha Bwana Mungu wenu.`` Msichome mtoto kwa maziwa ya mamaye (RSV).

 

Matunda ya kwanza yalihifadhiwa kwa Nyumba ya Bwana. Hili ilikuwa matoleo la kipekee na ililetwa kwa Nyumba ya Mungu. Toleo hilionyesha kuenda kwa Mesia Kwa Nyumba ya Bwana jumapili asubuhi baada ya kufufuka kwake kama matunda ya kwanza wa Israeli Hii ilifanyika katika sherehe ya mkate usiochachwa. Na matunda ya kwanza kwa ujumla yalifanyika katika Pentekosti ambayo inajulikana kama sherehe ya mavuno. Muda was here hii ilianza baada ya sabato wa mkate usiochachwa. Siku hamsini yalihesabiwa kuanzia siku hiyo iliawe siku saba kamili, nakala kwa kitabu ya sabato ya saba (Walawi 23:15-16). Hii ni jumapili pekee; Ndiposa mavuno mavuno ya kwanza yalisha siku hamsini kuanzia siku baada ya sabato hadi siku ya hamsini amabyo ilikuwa siku baada ya sabato ya saba, hiyo ni siku saba baada ya jumapili hadi sabato. Mavuno yanayo, fuatilia ya matunda ya kwanza yaliku way a wateule wa Pentekosti. Mavuno hii iliendelea zaidi ya jubilee arobaini ama miaka mengine elfu mbili. Ulimwengu haungenangmizura hadi miaka hizi zimalizika.

 

Ufunuo 7:3 Msiharibu nchi, wala bahari, wala m iti, mpaka tutakapokwisha wapiga mhuri watumishi wa Mungu wetu aktika paji la uso (RSV).

 

Maagizo haya pia yalifanyika katika Kutoka 34:18-26. Kutoka 34; 22 kuonyesha Pentekosti au juma la sherehe, ni matunda ya kwanza wa mavuno ya ngano.

 

Kotoka 34:18:26 `` Sherehe mkate usiochachwa lazima uyalinde. Siku saba mtakula mkate usiochachwa, jinsi nilivyo wangiza, kwa saa ifahayo kwa mwezi wa Abibu: kwa maana kwa mwezi wa Abibu mlitoka Misri. 19 Kifunguliwa wa minba ni wangu ng’ombe zenu zote za kiume, kizalizi wa kwanza wa ng’ombe na kondoo. 20 kizalizi wa kwanza zote mutaokoa na kondoo hao mzipoliokoa mtafunja zingo lake. Wazaliwa zote wa kwanza wa vijana mtaokoa .Na Hakuna atakaye kuja mbele zangu bure. 21 `` Siku saba mutafanya kazi, lakini siku ya saba mtapunzika; kwa muda ya kupanda na mavuno mutapumzika. 22 Na mutatunza sherehe ya wiki, matunda ya kwanza wa mavuno ya ngano, na sherehe ya kusanyiko kam miaka inaiza. 23 Mara tatu kwa mwaka wana wenu wakiume wata kuja mbele za Bwana Mungu, Mungu wa Isreali. 24 Kwa maana nitatoa mataifa mbele yenu, na kupanua nchi yenu; hakuna atakaye tamani ardhi ya mwenziwe, kama mtaend mbele za Bwana Mungu kila Miaka. 25 ``Hamta toa damu ya dhabihu na chachwa; ama sherehe ya pasaka kuwachwa hadi asubuhi.26 Mazao ya kwanza ya mavuno ya shamba mtaleta kwa nyumba la Bwana Mungu wako.`` Msichome mtoto kwa maziwa ya mamaye(RSV).

 

Mavuno mbili za kwanza yaliteuliwa .Hii inaonyesha kwamba kuna matumizi tofauti ya mavuno haya. Kristo ndiye wa kwanza kwa mavuno. Mavuno ya jumla mwishoni mwa mwaka ni ule wa kusanyiko wa kazi ya Bwana. Inafanyika mwanzoni mwa hema jioni ya kwanza (Ingathering (No. 139), kuonyesha kuwa mavuno ya mwisho sio kubwa, inayoonyeshwa na hema. Sherehe ya mwisho kwa laini ni mwishoni mwa hema na sherehe hii inaitwa siku ya mwisho kuu.Hii inaonyesha ufufuo wa pili na ndiyo mavuno ya mwisho wa ulimwengu. Watu wote watafufuliwa na kuhukumiwa vilivyo kwa miaka mia moja. Watakuwa hai tena kwa mwili na famu (Ezekieli 37:1-14). Watafindishwa ukweli, chini ya maagizo  na kuletwa kama watu wa Umoja. Muda huu unausishwa kwa Isaya 65:20.

 

Isaya 65:20 Hakuna tena maisha ya siku chache, au mzee ambao haujajaza sikku zake, kwa maana mtoto atakufa kwa miaka mia moja, na mfanya dhambi kwa miaka mia moja atalaaniwa (RSV).

 

Miaka mia moja na Ufufuo kimehelezwa kwa Ufunuo 20:1-15.

 

Ufunuo 20:1-15 Kisha nikamwona malaika mmoja anashuka kutoka mbinguni akiwa na ufunguo wa kuzimu na mnyororo mkubwa mkononi mwake. 2 Akalikamata lile joka –nyoka wa kale, yaani ibilishi au shetani –akalifunga kwa muda wa miaka elfu moja. 3 Malaika akalitupa kuzimu, akaufunga mlango ya kuingilia huko na kuutia mhuri ili lisiweze tena kuyapotosha mataifa mpaka hapo miaka elfu moja itakapotimia. Lakini baada ya miaka hiyo ni lazima lifunguliwe tena, lakini kwa muda mfupi tu. 4 Kisha nikaona viti vya enzi na watu walioketi juu yake; watu wao walipewa mamlaka ya hukumu. Niliona pia roho ya wale waliokuwa wamenyongwa kwa sababu ya kutangaza Yesu na kwa sababu ya neno la Mungu. Hawa hwakumwabudu yule mnyama na sanamu yake, wala hawakupigwa alama yake juu ya paji za nyuzo zao, au juu ya mikono yao. Walipata ten uhai waka tawala pamoja na Kristo kwa muda wa miaka elfu moja. 5 (Wale wengine waliokufa hawakupata uhai mpaka miaka elfu moja itimie.) Huu ndio ufufuo wa kwanza. 6 Wameneemeka sana, tena heri yao yote wanaoshiriki ufufuo huu wa kwanza. Kifo cha pili hakita kuwa na nguvu juu yao; watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, na watatawala pamoja naye  kwa miaka elfu moja. 7 Wakati miaka elfu moja itakapotimia, Shetani atafunguliwa kutoka gerezani mwake. 8 Basi, atatoka nje, ataanza kuyapotosha mataifa yote yaliyotawanyika kila mahali duniani, yaani Gogu na Magogu.Shetani atawakusanya apamoja kwa ajili ya vita; nao watakuwa wengi kama mchanga wa pwani. 9 Walitawanyika katika nchi yote, wakaizunguka kambi ya watu wa Mungu na mji wa Mungu aupendao. Lakini moto ulishuka kutoka mbinguni, ukawaangamiza. Ibilisi, aliyekuwa anawapotosha akatupwa ndani ya ziwa linalowaka moto na wa kiberiti, walimo yule mnyama na yule nabii wa uongo, nao watateswa mchanan na usiku, milele na milele. 11 Kisha nikaona kiti cha enzi kikubwa cheupe, na yule aketiye juu yake. Dunia na mbingu vikatoweka mbele ya macho yake, na havikuonekana tena. 12 Kisha nikaona watu wakubwa kwa wadogo, wamesimamama mbele ya kiti cha enzi, na vitabu vikafunguliwa. Halafu kitabu kingine, yaani kitabu cha uzima kikafunguliwa pia. Wafy wakahukumiwa kadiri na matendo yao, kama ilivyoandikwa ndani ya vitabu hivyo. 13 Bahari ikawatoa  waliokuwa ndani yake;kifo na kuzimu vikawatoa nje wafu waliokuwa ndani yao.Kila mmoja akahukumiwa kufuatana na matendo yake. 14 Kisha kifo na kuzima vikatupwa ndani ya ziwa la moto. Ziwa ili la moto ndicho kifo cha pili. 15 Mtu Ye yote ambaye jina lake halikupatikana limeandikwa katika kitabu cha uzima alitupwa katika ziwa la moto (RSV)

 

Juwa kwamba kuna ufufuo mbili hapa. Ufufuo wa kwanza hiko na Kristo mpaka miaka elfu moja Ufufuo wa pili inafanyika baada ya miaka elfu moja. Enzi kuu mweupe hukumu haupatikani hadi miaka elfu moja yamalizikeWatume watawala dhidi ya ulimwengu na Kristo na Shetani amefichwa mageresani. Mataifa bado yapo ulimwenguni na shetani bado atawalaghai tena mpaka mwisho wa miaka elfu moja. Kazi zote za ufufuo zimewekwa chini ya Ulimwengu. Mavuno ya kwanza ndiyo matunda ya kipeke yatakao pelekwa mbele za Mungu.

 

Matunda zote za mavuno ya kwanza wa ngano yatafutiliwa mwishoni mwa miaka elfu mbili wa kuridi kwa Mesia, vile tunavyoona katika 1 Wathesalonika 4:15-17

 

1 Wathesalonika 4:15-17 Hili tunalowambieni nifundisho a Bwana; sisi tulio Hai ambao tutakuwa tumeabki wakati Bwana atakapokuja hakika hatutawatangulia wale waliokwisha fariki duniani. 16 Maana patatolewa amri, sauti ya malaika mkuu, sauti ya tarumbeta ya Mungu, naye Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni. Ndipo wale waliokufa wakiwa wanamwamini Kristo watafufuliwa kwanza. 17 Kisha sisi tulio hai wakati huo tuta kusanywa pamoja nao katika mawingu kumlaki Bwana hewani. Na hivyo tutakuwa daima pamoja na Bwana (RSV).

 

Ndio sababu kuna sherehe mara tatu moja ni ya mavuno Kristo kuwa wa kwanza kama matoleo la muhimu. Wateule wana mfuwata. Wakija kwa nyumba ya Mungu (1 Wakorintho 3:16-17) kuanzia uteuzi wao na kupokea Roho Mtakatifu tangu batiso na sherehe ya Pentekosti wa 30 CE.

1 Wakorintho 3:16-17 Je, hamjui kwamba ninyi ni hekalu la Mungu, na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu? 17 Basi mtu akiliaribu hekalu ya Mungu, Mungu atamharibu; maana hekalu la Mungu ni takatifu, na hekalu hilo ni ninyi wenyewe. (RSV)

 

Mavuno ya Mungu yana jumuisha Ulimwengu nzima, pamoja na wanadamu wote na roho. Nafasi ya siku takatifu yana sheria mpango ya wokovu wa sayari hii. Mungu anaenda kuikomboa  ingawa kuna mapepo mbaya na tabia za watu . Hii itaweza hali ya masomo na ujuzi kuenezwa kwa kila mmoja.  

 

Magurudumu ndani ya Magurudumu

Itakumbushwa kutoka kwa maono ya Ezekieli kwamba kulikuwa na magurudumu ndani ya magurudumu wa Kerubim. Mtindo huu umefafuliwa kwa nakala The Meaning of Ezekiel’s Vision (No. 108). Tutaunganisha andiko katika Ezekieli 1:14-17. Tunajua kutoka Ezekiel 1:12 kwamba Kerubim alienda popote Roho alienda. Walienda pamoja na hawakudia mwenendo wao. Hili linahashiria nguzo la moto na mawingu yanaonyesha Kristo kule jangwani na Israeli (Kutoka 13:21-22; 14:19-24; 33:L9-10; Hesabu 12:5; 14:14; Kumbu 31:15; Nehemia 9:12,19; Zaburi). Tunajua kutoka andiko la Paulo 1Timotheo 3:15 kwamba kanisa ilikuwa nguzo na msingi wa ukweli.

 

1 Timotheo 3:15 Lakini kama nikicheleweshwa, basi, barua hii itakufahamisha mwenendo tunaopaswa kuwa nao katika nyumba ya Mungu, ambayo ni kanisa la Mungu aliye hai, na ambalo ni nguzo na msingi wa ukweli (RSV)

 

Sasa nguso na msingi wa ukweli ni ecclesia (Gk: ekklesia) au kungamano wa Mungu aliye hai. Kungamano au ecclesia unakuwa nyumba la Mungu, na oikoo, kumaanisha kudumu kwa familia; huu pia ni nyumba au chumba (chumba yake (RSV) au hekalu.

 

Karubim wenyewe ambao ni wasimamizi wa nyumba ya Mungu inayosimamia kwa hali ya kimwili wa umati wa Israeli kule Jangwani. Tunayaona kutoka Hesabu 9 na 10. Nguzo wa mawingu kwa siku ilizungusha hekalu na ilinunuliwa na hapo jioni nguzo ya moto (Hesabu 9:15-16) Mawingu ndio hali ambapo walijua walipoenda sehemu hiyo. Hivyo umati kule jangwani haukuwekwa katika pahala pamoja, na pahali pao palionyeshwa kwa uwepo wa Bwana kwa roho. Umati kila mara walipoenda na hawakubadili hali hiyo tunavyoona katika Kerubim. Kwa hiyo mpingilio wao wa hudumu ilionyesha utawala wa kitambo wa Ufungamano. Hema ya dunia ilikuwa sawa na ili hali ya mbinguni.

 

Waebrania 8:5 Huduma zao za kikuhani ni mfano tu na kivuli cha yale yaliyoko mbinguni. Ndivyo pia ilivyokuwa kwa Mose. Wakati alipokuwa karibu kuitengeza ile hema, Mungu alimwambia: ``Tengeneza kila kitu kufuatana na ule mfano ulioonyeshwa kule mlimani.’’(RSV).

 

Cheribum wangeonyesha utawala na hali hii.kulikuwa na hali nne na kundi walikuwa na tabia tofauti. Roho iliingia kwa umati na wale wakingawanya kwa vikundi vya nje na ndani kama umati wa mwalika. Kwa kimwili hii ilidhihirishwa katika ukuhani na umati. Lawi kabila ambalo kwao Ukuhani uliokwa waliishi katika ndani ya hekalu ambapo Roho au Shekinah kulikwa.

 

Kama wana wa Haruni walitakikana kuwa wa maana ya kuwaonya mataifa (Hesabu 10:8). Sherehe hii ilifanywa kanisani kulingana na agizo wa Melkizadek kwa wateule wao.

 

Waebrania 7:11-12 Kutoka na ukuhani wa Walawi, watu wa Israeli wlipewa sheria. Sasa kama huduma ya Walawi ingalikuwa kamilifu, hapangekuwa tena na haja ya kutokea ukuhani mwingine tofauti, ukuhani wa Melkisedeki, na si ule wa Haruni. 12 Maana ukuhani ukibadilika, ni lazima sheria naye ibadilike (RSV).

 

Sasa kulikuwa na hali ya kigafla ya kusanyiko wa umati nje na kuelekea hekalu, ambayo kwake ilikuwa na hema ya nje nay a ndani. Hema ya nje inatolewa ili kuweka njia kwa hema ya ndani. Hii ilikuwa mwisho wa hali na ilikuwa sawa na nzuri.

 

Waebrania 9:1-12 Agano alkwanza lilikuwa na taratibu zake za ibada na pia mahali patakatifu pa ibada palipojegwa na watu.. 2 Palitegeneswa hema ambayo sehemu yake ya nje iliitwa mahali Patakatifu. Humo mlikuwa na kinara cha taa, meza na mikateiliyotolewa kwa Mungu. 3 Nyuma ya pazia la pili, kulikuwa na hema iliyoitwa mahali patakatifu kupita pote. 4 HHumo mlikuwa na madhabahu ya dhahabu kwa ajili kufukizia ubani, na sanduku la Agano, ambalo lilikuwa limepakwa dhahabu pande zote, na ndani yake mlikuwa na chungu cha dhahabu kilichokuwa na mana, imbo la Haruni iliyokuwa imechanua majani, na vile vibao viwili vilivyoandikwa agano. 5 Juu ya ili sanduku kulikuwa na na viumbe vilivydhihirisha kuweko kwa Mungu, na mabawa yao yalitanda juu ya mahali ambapo dhambi huondolewa. Lakini sasa hatuwezi kusema kinaganaga juu ya mambo hayo. 6 Mipango hiyo ilitekeleswa kisha ikawa desturi kwa makuahani kuingia kila sikukatikahema ya nje kutoa huduma zao. 7 Lakini Kuhani mkuu peke yake ndiye anayeingia katika lile hema la pili; naye hufanya hivyo mara moja tu kwa mwaka. Anapoingia ndani huma amechukua damu ambayo anamtolea Mungu kwa ajili yake mwenyewe na kwa ajili ya dhambi ambazo watu wamezitenda bila wao wenyewe kujua. 8 Kutokana na taratibu hizo Roho Mtakatifu  anafundisha wazi kuwa wakati hile hema ya nje ingali ipo imesimama, njia ya kuingia Mahali Patakatifu haijafunguliwa. 9 Jambo hili ni mfano wa nyakati za sasa. Linaonyesha kwamba zawadi na dhabihu zinazoletwa Kwa Mungu haziwezi kuifanya mioyo ya wale wanaoabudu kwa mikamilifu, 10 kwani haya yote yanahusika na vyakula, vinywaji na taratibu mbalimbali za kutawadha. Yote hayo ni maagizo ya njenje tu; na nguvu yake hukoma wakati Mungu atakaporekebisha vitu vyote. 11 Lakini Kristo amekwisha fika, akiwa kuhani Mkuu wa mambo taliyo mema, ambayo sasa yamekwisha fika. Yeye anatoa huduma zake katika hema iliyo bora na kamilifu zaidi, isiyofanywa kwa mikono ya watu, yaani isiyo ya ulimwengu huu ulioumbwa. 12 Yeye aliingia mahali Ptatkatifu mara moja tuu, tena hakuwa amechukua damu ya mbuzi wala ng’ombe, bali aliingia kwa damu yake yeye mwenyewe, akatupatia ukombozi wa milele (RSV)

 

Andiko hili sanasana kutoka Waebrania 9:10 inaonyesha tunayashugilikia matoleo ya sheria peke kutolewa. Kristo alipozilia matoleo mara moja na kutukubalia kushirikiana katika hali huo.

 

Hali ya kizamani sasa ilipuziliwa na wakabila ya umati ambao ndani yao kulikuwa na kabila ya Lawi. Kwa Walawi Ukuhani wa Haruni iliingia kwa hema ya nje ilikuwa. Kuhani Mkuu peke ndiye aliingia kwa hema ya ndani au Patakatifu pa Patakatifu mara moja kwa kila Mwaka.

 

Kutoka kwa Pentekosti 30CE hali hii imebadilishwa. Kerubi inayafuata inahshiria kutolewa kwa hekalu ya nje na wateule wa ndani kuwa hekalu ambayo Mungu anaishi kama Patakatifu pa Patakatifu. Sanduku la Agano haikuhitajika sasa kwani sisi ndio sanduku ya Agano. Roho Mtakatifu inaweka torati ndani yetu na sheria itawekwa kwa sanduku (Tazama nakala The Ark of the Covenant (No. 196).

 

1 Wakorintho 3:16-17 Je, hamjui kwamba ninyi ni Hekalu la Mungu, na kwamba Roho wa Mungu anakaa ndani yenu? 17 Basi,mtu akiliharibu hekalu la Mungu, Mungu atamharibu ;maana hekalu la Mungu ni takatifu, na hekalu hilo ni ninyi wenyewe(RSV).

 

Magurudumu dhidi ya magurudumu kwa hali hii inahashiria hema la nje, iliyokuwa chini ya Israelikutoka kwao umati ulisanywa, na kwao wasio Wayahudi walifundishwa. Wateule wako kwatika hema ya ndani, gurudumu inayo tengenezwa hali ya utawala chini ya uhifadhi wa Mesia. Wako na kazi na huduma dhidi ya Wateule. Kazi yao umalizika lakini wako na sehemu. Watu hawa wanasimamia Ecclesia ama kuanguka kwa kanisa kwa vikundi viwili gurudumu  ya ndani ni ya 144,000 na ya nje ni makundi madogo waliohifadhi torati la Mungu. Hawa wote wana imani ya wateule na kubatiswa kwa mwili wa Kristo kuwa kwa mavuno ya pili ya matunda. Makundi mawili yamezungumuziwa katika Ufunuo 7 Kundi hili limefungwa dhidi ya muda. Ulimwengu umezingirwa hadi tukio hii-kuzingira kwa ukamilifu kwa wateule kufanya.

 

Ulimwengu sasa umekubaliwa kuharibiwa na waheshi waliotayari wa walioangashwa kwa tabia zao wenyewe.

 

Tuna tazama hali hii kutoka Ufunuo 7:1-17, ambapo, 144,000 wamepewa kwa hali ya Mesia.

 

Ufunuo 7:1-17 Baada ya hayo nikawaona Malaika wanne wamesimama katika pembe nne za dunia, wakishjika pepo nne za dunia ili upepo usivume hata kidogo: wala katika nchi ,wala baharini, wala kwenye miti. 2 Kishja nikawaona malaika mwingine akipanda juu kutoka mashariki akiwa na mhuri wa Mungu aliye hai. Akapaaza sauti na kuwaambia hao malaika wanne waliokabidhiwa jukumu la kuiharibu nchi na bahari, 3 ``Msiharibu nchi, wala bahari, wala miti, mpaka tutakapokwisha wapiga mhuri watumishi wa Mungu wetu katika paji la uso. ’’Kisha nikasikia idadi ya hao waliopigwa mhuri: Watu mia moja arobaini na nne elfu wa makabila yote ya watu wa Israeli. Kabila la Yuda walikuwa watu kumi na mbili elfu; Kabila la Reubeni, kumi na mbili elfu; kabila la Gadi, kumi na mbili elfu; 6 Kabila la Asheri, kumi na mbili elfu; kabila ya la Naftali, kumi na mbili elfu; kabila la manase, kumi na mbili elfu; 7 kabila la Simeoni, kumi na mbili elfu; kabila la Lawi, kumi na mbili elfu; kabila la Isakari, kumi na mbili elfu; 8 kabila la Zabuloni, kumi na mbili elfu; kabila la Yosefu, kumi na mbili elfu; na kabila la Benyamini, kumi na mbili elfu. 9  Kisha nikatazama, nikaona umati mkubwa wa watu wasiohesabika; watu wa kila taifa, ukoo jamaa na lugha. Nao walikuwa wamesimama mbele ya kiti cha enzi na mbele ya Mwanakondoo, Wakiwa wamevaa mavazi meupe na kushika matawi ya mitend mikononi mwao. 10 Wakapaaza sauti:`` Ukombizi wetu watoka kwa Mungu wetu aketiye katika kiti cha enzi ,na kutoka kwa Mwanakondoo’’.11 Malaika zote wakasimama kukizunguka kiti cha enzi, wazee na vile viumbe hai vine. Wakaanguka kifudifudi mbele za kiti cha enzi, wakamwabudu Mungu, 12 wakisema ``Amina! Sifa na utukufu, hekima, shukrani, heshima uwezo na nguvu view kwa Mungu wetu na milele! Amina!’’ 13 Mmoja wa hao wazee akaniuliza.`` Hawa waliovaa mavazi meupe ni wakina nani?Na wametoka wapi?’’ 14 Nami nikamjibu, ``Mheshimiwa wewew wajua’’ Naye akaniambia,`` Hawa ni wale waliopita salama katika ule udhalumu mkuu. Waliyaosha mavazi katika damu ya mwanakondoo, yakawa meupe kabisa. 15 Ndiyo maana wako mbele ya kiti cha enzi wa Mungu.Humtumikia Mungu mchana na usiku katika hekalu lake; naye aketiye juu ya kiti cha enzi atatandaza hema lake juu yao kuwalinda. 16 Hwataona tena njaa wala kiu; jua wala joto kali halitawachoma tena, 17 Kwa sababu Mwanakondoo aliye katikati ya kiti cha enzi atakuwa mchungaji wao, naye atawaongoza kwenye chemichemi za maji ya uzima. Naye Mungu atayafuta machozi yote machoni mwao.’’(RSV).

 

Kundi hili limeifadhi kama kabila shipezali ya ukuhani chini ya mahakimu kumi na mbili wa makabila kumi na mbili. Kabila zote yame jumuhishwa katika hali hii, Walawi wanachukua pahala pao kwa ukuhani na Dani kunganisha wa Efremu ili kutengeneza njia kwa Walawi. Sasa Yosefu alikuwa Dani an Efraimu badala ya Efraimu na Manase. Manase anachukua pahala pake kwa haki yake.

 

144,000 imefunikwa kutoka juu. Wanajua wao ni nani wakipewa vitu vya kuwatambulisha. Wamepewa mihuri na wimbo mpya.

 

Ufunuo 14:1-5 Kisha nikaona mlima Sioni, na Mwanakondoo amesimama juu yake; Pamoja nawe walikuwa watu mia moja arobaini na nne elfuambao juu ya paji za nyuzo zao walikuwa wameandikwa jina la Mwanakondoo na jina la Baba yake. 2 Basi nikasikia sauti kutoka mbinguni, sauti iliyokuwa kama sauti ya maji mengi na kama sauti ya nguruma kubwa .Sauti niliyosiia ailikuwa kama sauti ya wachezaji muziki wakipiga vinubi vyao. 3 Walikuwa wanaimba wimbo mpya mbele ya kiti cha enzi na mbele ya wale viumbe hai wanne na wale wazee. Hakuna mtu aliyeweza kujifunza wimbo huo isipokuwa hao watu mia moja arobaini na nne elfu waliokombolewa duniani. 4 Watu hao ndio wale waliojiweka safi kwa kutoonana kimwili na wanawake, nao ni mabikira. Wao humfuata Mwanakondoo kokote aendako. Wamekombolewa ktoka miogoni mwa binadamu wengine, wakawa wa kwanza kutolewa kwa Mungu na kwa Mwanakondoo. 5 Hwakupata kamwe kuwa waongo; hawana hatia yoyote. (RSV)

 

Wanawake walioaribu ulimwengu ndio madhehebu na Makania wa udanganyivu wanaonena kwa jina la Kristo. Udanganyivu huu unaonekana ukifuata Ufunuo 14:6 kama hali ya kuabudu wa udanganyivu wa Wababuloni. Walioteuliwa hawadanganywi na mitindo huo. Wao ndio matunda ya kwanza. Matunda haya ndiyo tunayaona yakiwa kutoka kwa mavuno ya Pentekosti au sherehe ya wiki. Matunda wa kwanza wa Mavuno ni Kristo.

 

Uchanguzi wa 144,000 umeunganishwa na hesabu iliyotolewa na Kristo. Wengi wamedhania kuwa 144,000 wame changuliwa kwa muda yoyote wa kanisa. Hakuan ushahidi wowote wa kukubalia hili, na kweli kueneza usawa katika waliotoka nje ya Israeli, muda mrefu unatakikana. Nambari iliyohusishwa ina maana. Nambari 144,000 imewekwa kwa jubili arobaini ni 3,600 kwa kila jubili. Muda wa jubili arobaini ni vizazi arobaini. Sasa watu 2,880 waliteuliwa kutoka kila kizazi.

 

Kwam wale waliofuata mtindo huo, hali hii lazima ingawanywe ka Makanisa saba. Kwa haya saba, mbili hayatakikani na Mungu na idadi ndogo yao inayafanya kuingia Ufalme wa Mungu. Makanisa hayo ni Sadris na Leodakia. Hayo mbili kati ya Makanisa nne ambayo bado yako hai hadi kurudi kwa Mesia (Tazama Ufunuo 2 na 3). Mengine wawili ni Filadelfia na Thyatira.Filadelfia bi ndogo na thatira karibu kazi zake zote zilifanywa karne mingi kabla kurudi kwa Mesia.Hivyo nambari ya wateule katika karne ya Ishirini ni ndogo mno. Kwa kila Kanisa ni 20,571(20,571×7+3=144,000). Tatu yalichukuliwa katika uchukuzi wa Yesu Kristo, Musa na Elia Ikihifadhi kwa Kanisa tano, idadi imeongezwa hadi 28,800.

 

Tukipewa idadi mzima ya Thatira na Filadelfia waliohai kwa siku za mwisho za karne ya ishirini ni hasili juu nambari 57,600 pekee waliokuwa hai kwa muda mwingine, Tukipewa muda wa kizazi mbili hurusu ya zaidi ya miaka mia moja, kama idadi ya 23,040 waliohai. Idadi hii imetungwa kuna idadi ndogo waliohusishwa.

 

144,00 ikigawanywa na miaka za Jubili ni sabini na mbili kwa kila mwaka. Tunaweza kuona maana kubwa katika hili nambari. Wanasanhedrin walikuwa sabini kwa nambari. Kongamano ili lilitengezwa kutoka Sinai kama wazee watawala. Baraza ya wazee ilihanziwa kwa mitindo wa Waebrania 8:5. Baraza la wazee sabini  lilijumuisha wan je na wa ndani kutoka zaburi. Magawanyiko yalikuwa ya thelathini na arobaini kwa kila mgawanyiko, kuongeza mbili (tazama Ufunuo 4 na 5 kwa baraza la ndani).

 

Kristo aliweka mtindo huu wa sabini kwa Luka 10:1. Sabini waliteuliwa na kugawanyiwa mbili kila pahali Kristoi alienda sasa Krsito alifuatiliwa na wanafunzi wa sabini kwa mbili mbili. Ilikuwa hivi ili ifanyike kwa miaka elfu moja. Kulikuwa na mataifa sabini kutoka ka magawanyiko ya watawala wa Mataifa kulingana na idadi ya wazee. Pia kulikuwa 2,000 kwa kila Taifa kwa 144,000 ama Utawala wa kati.

 

Kuna hali ingine ya andiko hili. Wasanhedrin hawakuwachwa kwa sabini kwa waamuzi.Kulikuwa na sabini na moja kwa ukombozi, kitu kilifanyika kwa ushirikiano na wakati, Kristo alipoteuwa sabini. Kwa Wagiriki unaonyesha neno hili hebdomekonta (au sabini) na [duo](au mbili) ka kipeke kwa vifungu. Neno inanakiriwa kama sabini na mbili kwa Marshall’s Interlinear kwa neno kuu. Bibilia mingi yameipa utafsiri nneno sabini kwa hali ya kusikika. Hali hii imejumuhishwa kwa miaka ya jubili hadi idadi yote ya 144,000 ulioteuliwa. Kwa kweli mtindo ni wa maana nakunaweza kuwa na mingi hao chache ulioteuliwa kwa Muda inayowekwa kama mambo inayo kuwa kwa muda. Ila yanahashiria hali ya matoleo wa mwaka mzima.

 

Kuwa kwa wateule na ugawanyaji kati ya 144,000 na umati haifai. Muhimu zaidi, itaenda kwa utukufu wa kibinafsi. Maana ya ufafanuzi huu wa idadi na mtindo ni kuhifadhi ujuzi wa utawala wa Wateule na Serikali ya Mungu katika uhifadhi. Kutoka kwa ukombozi wa 144,000 hadi kwa Mwanakondoo wa Sayoni ni Injili ya milele iliyohubiriwa Ulimwenguni.

 

Ufunuo 14:6 Kisha nikamwona malaika mwingine anaruka juuangani akiwa na habari njema ya milele ya Mungu, aitangaze kwa watu wote waishio duniani, kwa mataifa yote, makabila yote, watu wa lugha zote na rangi zote (KJV).

 

Baada ya mtind wa Babuloni kuanguka.

 

Ufunuo 14:8-10Malaika wa pili alimfuata huyo wa kwanza akisema, ``Ameanguka! Naam Babuloni mkuu ameanguka! Babuloni ambaye aliwapa mataifa yote wainywe divai yake –divai kali ya uzinzi wake!’’ 9 Na maika wa tatu aliwafuata hao wawili akisema kwa sauti kubwa `` Yeyote anayemwabudu yule mnyama na sanamu yake na kukubali kutiwa alama yake juu ya paji la uso wake au juu ya mkono wake (RSV).

(cf. nakala The Messages of Revelation 14 (No. 270).

 

KJV kulinganisha Babuloni kama nchi kuu. Ila neno hilo limetolewa maandiko mengine, kama Ufunuo 18:10,18,19,21-24.

 

Ufunuo 18:21-24 Kisha malaika mmoja mwenye nguvu sana akainua jiwe mfano wa jiwe kubwa la kusagia, akalitupa baharini akisema,`` Ndivyo Babuloni atakavyotupwa na kupotea kabisa. 22 Sauti za vinubi za muziki, sauti za wapiga filimbi na tarumbeta hazitasikia tena ndani yako. Hakuna fundi wa namna yoyote ile atakayepatikana tena ndani yako; wala sauti ya jiwe la kusagia haitasikika tena ndani yako. 23 Mwanga wa taa hautaonekana  tena ndani ndani yako; sauti za bwana arusi na bibi arusi hazitasikika tena ndani yako. Wafanyabiashara wako walikuwa wakuu duniani, na kwa uchawi wako mataifa yote yalipotoshwa!’’ 24 Mji huo uliadhibiwa kwani humo mlipatikakana damu ya manabii, damu ya watu wa Mungu na damu ya watu wote waliouawa duniani.(RSV)

 

Hali ya udanganyifu ilidanganya ulimwengu mzima kwa unganga. Neno ni pharmakeia au pharmacy i.e medicine, kulingana na ushawishi au unganga. Mtindo wa Babuloni ulilalia unganga na madhehebu jinsi inavyo faa. Ilisambaa, ulimwengu mzima kabla ya maangamizo ya mwisho. Ni Kahaba  kwenye Ufunuo 17:1. Kahaba mwanamke au kanisa katika hali ya unabii. Mtindo huu umehifadhiwa katika nchi wa Milima saba (Ufunuo 17:9). Mwanamke huyu ufanya usherati wa kiroho na wafalme wa Ulimwengu kwa muda mkefu. Na Wanyama watakao tawala ulimwengu watatokea kwa wafalme hawa waliodanganywa na msherati huyu (Ufunuo 17:14). Mtindo huu ulifanya vita na Mwanakondoo.Basi mtindo huu ni hai hadi kurudi kwa Mesia. Kahaba huyu amelewa kwa damu ya waamini na waliohuwawa kwa ajili ya Yesu.Kanisa hili sasa limewauwa wengi wa Wateule kwa msingi wa dini. Mtindo huu unanguvu na mamlaka kwa yale ya uongo (Ufunuo 17:3-6).

 

Umati wote umehesabiwa kama wale wanaotengeneza mavazi meupe kwa damu ya Mwanakondoo (Ufunuo 7:14). Sasa, wanabatisa kwa nehema kumpitia Yesu Kristo. Wanamtumikia, Mungu mbele ya Enzi na katika hekalu yake. Kuwa katika kundi hili ni utukufu. Wengi wake katika kundi hili kutoka dini za uongo. Wote wamehukumiwa kuipitia. Makundi yote yanahifadhi torati la Mungu.Wote ni mbegu ya mwanamke. Mbegu ya mwanamke ni Yesu Kristo (Mwanzo 3:15). Torati la Mungu na ushuhuda wa Kristo ni vitu viwili muhimu kuwachagua Wateule.

 

Ufunuo 12:17 Basi, joka hilo likamkasirikia huyo mama, likajiondokea, likaenda kupiganana wazawa wengine wa huyo mama,yaani wote wanaoti amri za Mungu na kuuzingatia ukweli wa Yesu (KJV).

 

Ufunuo 14:12 Kutokana na hayo, ni lazima watu wa Mungu, yaani watu wanaoti amri ya Mungu na kumwamini Yesu, wawe na uvumilivu. (KJV)

 

Hali haya zinajumuisha uvumilifu wa waliouwawa kwa Kristo kwa kuhifadhi torati wa Mungu na ushuhuda wa Yesu ni muhimukatika wokovu.

 

Ufunuo 22:14 Hari yao wale wanaoosha mavazi yao, kwani watakuwa na haki ya kula tunda la mti wa uzima, na haki ya kuingia mjini kwa kupitia milango yake (KJV).

 

Mti ya uzima haki ya kuingi kwa mlango wa mji inalingana na tarati na ushuhuda wa Yesu.

 

Niya ya 144,000 inaonekana kutoka kwa idadi nyingi ya maandiko za Bibilia, na kwa idadi ya mpango wa wokovu umevunjwa kwa sehemu tatu. Kila sehemu inaonyesha Jubili arobaini. Hii muda wa Jubili arobaini ni miaka elfu mbili. Mpango huu unaonyeshwa katika maisha ya mUsa aliyekuwa mfano wa Mesia (Kumbu 18:15;Mathayo 17:5;Watume 3:22-23). Musa aliishi kwa miaka mia moja na ishirini; arobaini kwa Misri, arobaini kwa Midiani na arobaini kwa jangwani. Alikufa na hakuingia kwa nchi iliyoahidiwa, iliyochukuliwa kama kipumziko. Magawanyiko haya yanahashiria Israeli kutoka Adamu hadi Ibrahimu hadi Mesia na kutoka tangazo la kwanza hadi la pili. Muda wa miaka arobaini inawesha kuchukuliwa kuwa Jubili arobaini, kila moja kuumanisha miaka elfu mbili. Muda mzima kumaanisha miaka elfu sita kwa jumla kuchukuliwa kwa mpango wa wokovukutoka Adamu mpaka mwaka wa kufadhiliwa chini ya Mesia.

 

Muda wa Mwisho jangwani kuanzia Pentekosti 30CE hadi Jubili la kumi na nne, ambayo itafanyika kuanzia 2027-28 (imeonyeshwa kwa Ezekieli 1:1), inaunganisha Jubili arobaini ambayo ni karibu miaka elfu, moja. Maana ni kwamba mkigawanya nambari 144,000 kwa 2000 tunatapa nambari 72.Kuna 3,600 kwa kila Jubili. Nambari 72 ni ya maana ya Bibilia kwenye Luka.

 

Magawanyiko tatu ya Jubili arobaini inaonekana kutoka utawala wa wafalme wa Israeli (cf.nakala Rule of the Kings Part I: Saul (No. 282A)).

 

Mwezi mpya na dhabihu kumahanisha nambari 144,000

 

Mwezi mpya ni kati ya kujua kwa baraza na 144,000.Nambari la walioteuliwa na Mesia kwa tangazo lake la kwanza kama 144,000 (Ufunuo 7:1-8; 14:1). Namabri hii niongezeko wa umati kwa Ufunuo 7:9-17 na kutokana na nambari la Baraza.Hawa watu ndio utawala wa kati wa Serikali wa Mungu.Ishara ya Yona inaendeleza dhidi ya mudakwa vifungu. Hali ya kwanza ilitokwa kwa usulubisho kwa 30CE Kwa uharibifu wa Yerusalemu na hekalu kwa 70CE (Tazama nakala The sign of Jonah and the History of the Reconstruction of the Temple (No. 13)). Vifungu lingine ilikuwa karibu Jubili arobaini (au miaka 2000). 1996 ilikuwa ukumbuzo wa 3000th wa Daudi kuingia Yerusalemu na 2000th wa kuzaliwa kwa Kristo.1996 ilikuwa tena saa wa mwisho wa Mataifa (tazama nakala The Fall of Egypt:the prophecy of Pharaoh’s Broken Arms (No. 36)). 2028 inasimamia 2000th waukumbuzo kwa huduma wa Yesu Kristo na mwaka wa kwanza wa Jubili mpya (cf. nakala Reading the Law with Ezra and Nehemiah (No. 250). 

 

Sabini na mbili yanahshiria  dhabihu ya siku ya utakatifu kulingana na mtindo. Haiwesekani kufahamu kinachofanyika katika mtindo wa Serikali wa Mungu au katika hatua yake ya kuabudu bila mwezi mpya. Kwa kweli haiwesekani kuwa kwa 144,000 isipokuwa wateule wahifadhi mwezi mpya kwa umoja na sabato na sherehe. Kristo ni yule leo ,jana na milele (Waebrania 13:8).Uhifadhiliwa ni torati sawa aliyeupewa Musa na sisi kama Kanisa.Kuna Kanisa mbili ambayo hayahifadhi torati wa Mungu lote na hayo yanatolewa katika ufufuo wa kwanza ,uitwayo Sadris (Ufunuo 3:1-4) na Laodicia (Ufunuo 3:14-22). Sadris alikufa na Laodicia vuguvugu. Watu kama hao pekee ndio wamekubalika katika Ufalme wa Mungu katika ufufuo wa kwanza. Mabaki ya Laodicia na Sadria wametolewa kuunganishwa na Filadelfia (cf. nakala The Pillars of Philadelphia (No. 283)). Historia inaonyesha kwamba hali hizi mbili hazihifadhi mwezi mpya. Wengine walifanya  na waliingia mapumzikoni mwa Mungu.

 

Sabini na Mbili yanadhihiriwa na hali ya kipekee wa dhabihu, inayoonyesha mpango wa Mungu. Idadi 72 sio nambari la ajali: ni nambari ya dhabihu inayotolewa kwa bwana katika mwaka yoyote moja wa Jubili.Mwaka wa Dhabihu unaonekana kwa Ezakieli 45. Andiko katika Ezekieli 45 inaonyesha wazi siku takatifu wa Mungu na inayo fadhiliwa.

 

Ezakieli 45:16-17 Watu wote wa nchi wata towa dahbihu huu kwa mwana wa Israeli.17 Na itakuwa sehemu ya mwana mfalme kutowa matolewo ya tuteketezwa na matoleo wa nyama, na kinywaji, katika sherehe, na katiuka mwezi mpya na katika sabato, kwa nyumba zote za utakatifu wa Isreali: hata tengeneza dhabihu ya dhambi, na dhabihu ya nyama, na dhabihu ya luteketezwa, a dhabihu ya amani, kuleta upatanisho kwa chumba cha Israeli. (KJV)

 

La kwanza ni sabato hadi mwezi mpya hadi sherehe, yakionyeshwa hapa kwa kinyume. Hesabu lazima ijumuhishe mwezi mpya. Mwezi mpya yakijumuisha mambo mazuri yatafanyika kwa idadi. Sabato za kila wiki hayabadilishwi. Ila mwezi mpya kuwa kumi na mbili kwa mwaka wa kawaida, ikiongezwa na sherehe ya siku 19 takatifu. Kwa jumla na wiki 52 za sabato idadi hii inakuwa sabini na moja. Idadi kamili ni, sabini kuongezea mbili tutakayoona.

 

Jumuhia ya sabini inasimamia matoleo ya hali ya utakaso. Matoleo ndiyo yanayozungumzwa kama yaliyokatazwa katika Malaki 1:12. Ni moja ya Korban iitwayo mwanakondoo wa Pasaka inayotowa ukuhani (Malaki 2:3). Dhabihu ni: Sabato hamsini na mbili, sherehe ya siku saba takatifu na mwezi mpya kumi na mbili, pamoja na dhabihu ya mavuno (Mambo ya Walawi 23:9-14). Parapanda ni dhabihu ya maongezeko, kuwa sherehe na mwezi mpya (Hesabu 29:1-6).

 

Mwana mfalme kutowa Dhabihu. Mwana mfalme ni Mesia haza. Ukweli wakipekee ni kuwa tunatolewa kwa Kristo na Mungu kama mwisho wa fungu la Kumi ambayo ni ya sherehe, mwezi Mpya na siku takatifu.

 

Mwezi mpya wa mwaka wa uhambatano hayawekwi pamoja kwa jambo. Miaka ya unabii ni siku 360, na siku zote ufanya nambari za siku kufanya m, iaka kuwa sabato 52  na miezi kumi na miwili pekee na sikuku saba Siku mtakatifu na mkate usiochachwa,kufanya kwa nambari ya dhabihu sabini na mbili. Kupataa kwa karibu miaka elfu mbili kuleta nambari 144,000 baada ya Makanisa saba ambao yamemwangika kama  kinywaji matoleo kwa Bwana. Hili 144,000 ni watakatifu au wenye shida kulingana na Krsito kwa kipeke. Wengi wa watakatifu hawa waliuwawa a uzaidishi wa kuwa msingi wa Ukristo kwa Historia. Hili kahaba wa Ufunuo kwa Kanisa ukunywa katika damu ya watakatifu na wenye shida.

 

Kristo ndiyo alikuwa mwenye shida wa kwanza au korban wa sikuku, ambayo iliumburu, alifanya bila Walawi kama Mkuhani.

Malaki 2:3 Tazama, nita vishadi mbegu zenu, na kuleta nungu katika uzo wako, hata nungu za sikuku takatifu; na moja atakuchukua nje naye. (KJV)

 

Hapa tunaona kuwa mmoja wa dhabihu wa sikuku atauchukua ukuhani nje naye. Huu Korban au mwenye shida ni Yesu Kristo, au Yehoshua au Joshua Mesia, kama kondoo ya pasaka. Aliondoa ukuhani ya Walawi na kuweka na Melchisedek kama Kuhani.

 

Hili 144,000 ni dhabihu wa Hekalu ambao wanakuwa watakatifu ya watakatifu na kati ya ufanyikazi wa Ufalme wa Mungu. Baadhi ya 144,000 tayari wame mwangwa kama toleo kwa mungu. Ni wachache walio baki kwa siku za Mwisho.Makutano wa watu na sheria ya ukumbsho wa Ufalme wa Mungu kwa Ufufuo wa kwanza.

 

Nambari 144,000 utowa nambari ya baraza 2,000 wa sabini na kuendelea. Kama Kristo aliwapwa orodini ya sabini, ilifanywa kuwa wa sabini na (mbili) kwa vungu (Luka 10:1,17). Hii ndio ilikuwa tamaduni ya  matoleo kwa Sanhedrin .Wa Septuagint nayo iliandikwa na sabini (LXX kwa kirumi ) kumaanisha sanini na mbili.Hesabu ni kuwa Mungu na Kristo ni sehemu ya baraza .Na wa Sanhedrin pia walishinda sabini na pamoja na Kuhani Mkuu  an Naibu wa Kuhani Mkuu.

 

Ujenzi wa Hekalu mpaka mwisho wa Ishara wa ashira ya Mungu

Mavuno umalizika na makutano ya kipekee ambao ukufa kwa Bwana wakati wa matesho.

Ufunuo 14:12-20 Hapa ni mwito wa walioyo komaa kama watakatifu, Waliolinda amri za Mungu na imani wa Yesu. 13 Na nilisikia sauti kutoka kwa mbingu ikisema ``Andika hivi: Heri waliokufa kwa Bwana kuendelea.’’ ``Heri wao’’asema Roho,``iliwambunshike kutokana na kazi yao, na matendo yao kuwafuata!’’ 14 Na kikaona, na lo, mawingu nyeupe, kutoka kwa mawingu kama mwana wa binadamu, na taji ya dhahabu katika kichwa chake, na kisu kali mkononi. 15 Na maliaka mwingine alitokeza kwa Hekalu, na kuiita wa sauti kubwa kwa yeye aliye kaa juu ya mawingu,`` weak kwa kisu, na vuna, kwa maana za ya mavuno imefika, kwa kuwa mavuno wa ulimwengu ulefika tayari.’’ 16   Sasa aliye keti juu ya mawingu alitowa kisu lake kwa ulimwengu na ulimwengu ulivunwa. 17 na maliaika mwingine alitokesha kutoka hekalu ya mbinguni, naye pia alikuwa na kisu kali. 18 Na mailaika mwingine alitokesha kutoka dhabahu, malaika aliye kuwa na nguvu la moto, na aliita kwa sauti kubwa kwa yeye aliye kuwa na kisu kali,`` weak kwa kisu ,na kusanya maganda ya mavuno wa ulimwengu ,kwa maana yamekuwa tayari.’’ 19 Sasa malaika alitowa kisu lake kwa ulimwengu na kusanya maganda za ulimwengu, na kuyatupa kwa wingi wa ashira ya Mungu; 20 na ashira hiyo ilikuwa nje ya jiji, na damu yalitiririka ka ashira, na kwa haraka ya miguu ya punda, kwa miaka elfu moja na mia sita. (RSV)

 

Hao watu waliokufa kwa Bwana ni walioifadhi amri wa Mungu. Huu, matesho kutokana na kufuata Krsito ulitokana hapo mpaka muda wa kuja kwa Kristo. 

 

Kutoka wakati Mesia atakuja, mavuno wa Ulimwengu utafungwa mpaka ashira ya Mungu kumaliza ulimwengu. Kuna malaika saba umetolewa kumaliza waliokuwa na alama ya Mnyama. Kwa walioshinda juu ya mnyama na mfano wake na alam yake au mtindo ni waliyopewa nyimbo za Musa na Nyimbo za mwana kondoo.

 

Sasa kuna uhusiano kati ya agano jipya nay a ya Kale. Yote yanahitajika kwa wokovu. Nehema kutoka kwa Bwana na uridhiano kwa Mungu chini ya Amri lake.

 

Ufunuo 15:1-8 Kisha nikaona ishara nyingine mbinguni, kubwa nay a kushangaza. Palikuwa hapo malaika saba wenye mabaa makubwa saba ya mwisho. Kwa mabaa hayo makubwa saba ,ghadhabu ya Mungu imekamilishwa. 2 Kisha nikaona kitu kama bahari ya kioo, imechanganywa na moto. Nikawaona pia wale watu waliomshinda yule mnyama na sanamu yake na ambaye jina lake lilitajwa kwa ile tarakimu. Watu hao walikuwa wamesimama kando ya hiyo bahari ya kioo, wakiwa na vinubi waliovyopewa wimbo wa Mose, mtumishi wa Mungu, na wimbo wa Mwanakondoo: ``Bwana Mungu mwenyewe Uwezo, matendo yako ni makuu mno! Ewe mfalme wa mataifa  njia zako ni za haki bna za kweli! 4 Bwana, ni nani asiyekucha wewew? Nani asiyelitukuza jina lako? Wewe pekee yako ni mtakatifu na kukuabudu  maana matendo yako ya haki yameonekana na wote’’. 5 Baada ya hayo niakaona Hekalu limefunguliwa mbinguni ,na ndani yake hema ionyeshayo kuwapo kwa Mungu. 6 Basi wale malaika saba wenye mabaa saba wakatoka humo Hekaluni, wakiwa wamevaa nguo za kitani safi zenye kung’a na kanda za dhahabu vifuani mwao.7 Kisha mmojawapo wa vile viumbe vine akawapa hao malaika saba mabakuli ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, aishiye milele na milele. 8 Hekalu likajaa moshi uliosababishwa na utukufu na nguvu ya Mungu, na hakuna mtu aliyeweza kuingia Hekaluni mpaka mwisho wa mabaa makubwa saba ya wale malaika saba (RSV).

 

Jua Kwamba Mmoja hangeigia Hekaluni hadi ishara saba kuishi. Hekalu tunavyoona, ni wateule ambao Mungu anawatumia kujaza kama Roho Mtakatifu. Hali hii ilisima, ishwa hadi ulimwengu ulipoletwa chini ya Ishara saba. Hii ilifanywa na viumbe waliozungusha enzi.

 

Mavuno sasa ilisimamishwa kwa kurudi kwa Mesia na kabla ya mwanzo wa miliniumu. Hiyo ndiyo sababu sanyiko ilichukuliwa usiku wa kwanza wa sherehe ya hema na haliwezi kuwachwa hadi asubuhi, kwa sheria (Kutoka 23:19). Mavuno yote ya matunda za kwanza inafanywa kwa hali kamili na ndiyo sababu sheria inahitaji malipo mazuri (Kutoka 22:29). Krista alianza mavuno kama wa mwanzo wa matunda wa kwanza kama la dharira. Iludumu kwa miaka elfu mbili na itaenda hadi maika mingine elfu moja na kuishi katika enzi kuu meupe ya hukumu.

 

Ufadhili wa Mwezi Mpya

Mungu alitoa ahadi kupitia nabii Malaki wa Agano la Kale. Ahadi hii inafunguliwa kwa ufunuo wa Mungu kupitia Wanabii kwa Kanisa.

 

Malaki 4:1-6 Naam siku sinakuja, kutatekeleswa: na kiburi zote, ndio, na tabia mbayo zote, zitaondolewa: na siku ambayo inakuja itawateketeza zote, asema Bwana wa Utukufu, kuwa hawataiacha misipa wala matawi. 2 Lakini kwa ninyi mnayo heshimu jina langu mtakuwa jua la ukweli iliyo jaa na tibabu kwa bawa lake; na mtaenda mbele na kukwa kama ngombe wakipekee. 3 Na mtakanyaga wapumbavu; kwa maana watakuwa kama vumbi chini ya miguu mwenu kwa siku nitakayo fanya hii, asema Bwana wa utukufu. 4 Kumbukeni Amri za Musa mtumishi wangu ambazo nili mamuri kw amilima ya Horebu kwa Waisreali wote, na sheria za Hukumu. 5 Sikia na tumja kwenu nabii Elia kabla ya siku kuu na siku ya hukumu wa Bwana: 6 na hata unganisha moya ya Baba kwa Mwana, na moya ya wana kwa Baba, ilinisije na kutekeleza Ulimwengu na laana yangu. (KJV)

 

Ahadi ni kwamba jua la utukufu litaagaza kwa uponyaji kwa bawa zake. Amri inafaa ilimbukwe na uhusiano wa Familia ihifadhiwe. Hukumu kwa kutochukua nafasi kwa Kristo, na basi Kanisa kwa hifadhi iwekwe kwa wasioamini. Kristo alisema kuwa Elia atatengeza kila kitu.

 

Mathayo 17:10-13 Kisha wanafunzi wakamuliza,`` mbona walimu wa sheria wanasema ati lizamina kwanza Eliya aje?’’ 11 Yesu akawajibu,`` Kweli Eliya atakuja kutayarisha mambo yote. 12 Lakini nawambieni , Eliya amekwisha kuja nao hawakumtambua, bali walimtendea jinsi walivyotaka. Mwana wa mtu atatteswa vivyo hivyo mikononi mwao’’. 13 Hapo hao wanafunzi wakafahamu kwamba alikuwa akiwaambia juu ya Yohane mbatizaji. (KJV)

 

Mpango hii ni kwamba  uhifadhi inaendeleza tangazo. Ni wazi sasa kwamba Kanisa inahitajika kuchukua uhifadhi kabla ya tangazo la Mesia. Haitajiki kwa mpole katika harakati za batizaji ila unabii huo haukukamiliswa kwa Yohana. Huku kwa kutofanya hatakati umelaaniwa pamoja na kutobalishwa.

 

Ufadhili wa Vitu vyote unamaanisha nini?

Tunajua kwamba Kristo alinrna kuhusu mtindo wa Serikali wa Mungu na ile hali yake ya ibada. Ufadhili ni kazi kubwa. Hapa tunajua swali la hali moja ya ufadhili, iitwayo: Mwezi mpya ni moja wa ufadhili na tunahitajika kuunganisha walipolitazama tunapopewa nguvu ,amam kuweza kufanya hivyo?.

 

Mwezi Mpya ni sehemu wazi ya ufadhili. Isaya alitabiri haya na kufadhiliwa kwao. Mungu ananena kupitia Isaya na anadhihirisha mpango wake na kuendelea kwa Israeli, Mungu anawatazama walionyenyekea kwa Roho na kuhofika mbele za Mungu (Isaya 66:2). Wanaohofia mbele za neno lake hawafakikani na wanafuatwa kwa jina mwenzao; na wengine watawekwa katika aibu (Isaya 66:5).

 

Isaya 66:22-23 Kwa vile Mbingu mpya na Ulimwengu mpya, ambao nitachukua, kitabaki mbele yangu, Asema Bwana, alafu mbengu lako na jina lako litabaki. 23 Na kitapita, kuwa kutoka mwezi mpya ya kwanza hadi mwingine, na kutoka sabato moja mpaka mwingine, viumbe vyote sitakuja kuabudu mbele zangu, Asema Bwana. (KJV)

 

Mwezi mpya yanaonekana kulinganishwa na sabato. Yana fuatilia juu ya mwenye sabato au sherehe na kuhitajika na ni lazima kufadhiliwa kama Isaya 1:13-14; angalia nakala The New moons (No. 125) na The New Moons of Israel (No. 132). Mwana mfalme atatakikana kwa kuwekwa kwa hivyo ni kile kinachoendelea.

 

Ezakieli 45:17 Na itakuwa sehemu ya Mwana mfalme kutowa dhabihu ya kuteketezwa, na toleo la nyama, na toleo la vinywaji, kwa sherehe, na mwezi mpya, na katika sabato, katika kila nyumba cha Misraeli asilli: ataandaa toleoe la kutubu dhambi, na toleo la nyama, na toleo la kuteketezwa, kuleta upatanishi kwa nyumba la Israeli. (KJV)

 

Kongamano lote-kiongozi na rahia –amepewa amri ya kumwabudu kwa sabato na mwezi mpya (Ezakieli 46:6,9-10).

 

Ezakieli 46:1-3 Asema Bwana Mungu; milango ya sehemu ya ndani kuelekea mashariki siku sita ya kufanya kazi; lakini siku ya sita itafunguliwa, na kwa siku ya mwezi mpya itafunguliwa. 2na mwana mfanfe ataingia ndani ya milango bila, na hata simama kwa nguzo la lango huo, na kuhani ataandaa dhabihu ya kuteketezwa na toleo na amani, na atahabudu hapo kando la lango na kuendelea mbele; lakini lango alitafunguliwa mpaka jioni. 3 Hivyo watu wa ardhi wata abudu kwa lango wa mlango mble za Bwana kwa sabato na kwa mwezi mpya. (KJV)

 

Matoleo ya mwezi mpya ni muhimu kuliko ya Sabato (Ezakieli 46:4,6). Hakuna tofauti iliyofanywa kati ya mwezi mpya na juma la sabato. Siku zote ni takatifu na hakuna biashara iliyokubaliwa kwa siku hiyo

 

Amosi 8:5 Asema, lini amabpo siku ya mwezi mpya itapita, alituuze maidi na sabato, ilituanda ngano, tutengeza epha kidongo, na shekeli kuu,na kufadhili tamatun na lile mbaya? (KJV)

 

Sabato ya mwenyewe kuandikwa kwenye Mambo ya Walawi 23. Siku ya Upanatisho ni Sabato wa Mwenyewe ambao imehimizwa utakatifu (tazama SHD 7677). Hakuna usanyiko utakaofanywa siku hiyo wa Upatanisho – wazi haikuwa ikitakikana (Kutoka 30:15; tazama nakala Atonement (No.138)), Ingathering (No. 139) na tena God’s Calendar (No. 156).

 

Sheria inayohusu hili iko kwa Walawi 23 (tazama nakala The Wave Sheaf Offering (No. 106b). Mwezi mpya yamehitajwa hapa; ila yanaopakana kwa Hesabu 10:10 ambapo yametajwa na sherehe. Matumizi ya idadi ni muhimu kwa andiko hili linahusia pa vita wa Wana wa Israeli. Mwezi mpya na sherehe yanatumika kama matengenezaji kwa Wateule katika uhusiano wao na Mungu na torati la nne. Kanisa la Mungu limehifadhi mwezi mpya na sherehe na sabato hadi karne ya kumi na tisa (Kolosai 2:16 angalia nakala The Role of the Fourth Commandment in the Historical Sabbath-keeping churches of God(No.170)).

 

Mwezi mpya na Kalenda ya Mungu

Maana wa dhabihu ukilinganishwa na mwezi mpya inalingana na Kanisa na baraza la Waisraeli. Isipokuwa mwezi mpya kuifadhiwa haiwezekani kujua kalenda ya Mungu (angalia nakala God’s Calendar (No. 156)). Kalenda ya kisasa la Wayahudi sio Kalenda sawa na inahangazia ufadhili. Hadi Kalenda ya Mungu kufadhiliwa, sherehe na mwezi mpya hayawezi kufadhiliwa vipasavyo, na sasa ufadhili unacheleweshwa. Ila kwa kuhifadhi mwezi mpya ndipo Kalenda na sherehe ya sasa inatunziwa na kujulishwa.

 

Kalenda ya Wayahudi limezingirwa na Uhusiano wa kipekee. Maana kwa ulinzi wa Kalenda la Hillel II wa 358 CE ni sulubisho wa Mesia umedhiriwa kwa mwaka uliojumuhisha wa unabii likihusu wiki sabini wa mwaka na alama ya Yona (Angalia nakala The timing of the Crucifixion and the Resurrection (No. 159) na. 

 

 

q