Makanisa Ya Kikristo ya Mungu

 [122]

 

 

 

Migawanyo Mikuu ya Makanisa Yanayoishika—Sabato

 

(Toleo la 2.1 19950624-19991205)

 

Jarida hli muhimu linaelezea kwa kufuatilia Makanisa Yanayoitunza—Sabato kuanzia kwenye karne ya kwanza katika Mashariki ya Kati, Ulaya na kwa bara Asia yote. Ikifunika mhimili wa kipindi cha Milenia mbili ni rekodi inayofahamika sio tu kwa Makanisa bali pia ni kwa marefu ambayo mfumo wa kuabudu siku ya Jumapili umefikilia kufuta mfumo wa ibada za Sabato kwa kutumia utesaji wanaoamini hivyo.

 

 

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

(Copyright © 1995, 1998, 1999 Wade Cox)

 

(Tr. 2005)

 

Masomo haya yanaruhusiwa kunukuliwa na kuwagawia watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kutufa maneno. Jina la mchapishaji na anuami yake pamoja na hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpewaji kutoa au kuchangia kwa ajili ya nakala yoyote atakayopewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya maelezo na kilugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org and http://www.ccg.org

 

 


Migawanyo Mikuu ya Makanisa Yanayoishika—Sabato

 


Historia yake

Kutokana na mahojiano ya historia ya Makanisa Yanayoishika—Sabato, tunaweza kupata maadhi ya hitimisho muhimu kuhusiana na wakati na pia kufuatilia mfumo au utaratibu wa utii, unaoonyesha jinsi utaratibu wa kibiblia kama ulivyoanzishwa na Kristo, kuwa kamwe haukukoma. Kuna idadi kubwa ya mifano inayoashiria konyesha kuwa mfuatano wa kihistoria wa kuwepo kwa mnyororo wa Makanisa yanayoitunza—Sabato kwa wakati wote wa kuanzia kipindi cha ulimwengu wa Wakristo wa Kwanza na huko Ulaya, kabla na baada ya kipindi kijulikanacho kama Zama za Kati. Haya yote yanaendelea mbele zaidi, na kupitia, Matengenezo. Makanisa yanayoishika—Sabato, pia yanaitwa Sabbatati, yameendelea kudumu kwa hatua au kipindi kimoja au nyjngine kubwa zaidi ya sehemu ya dunia. Makanisa haya pia yanaonekana kuwa katika kiini chake cha kati, kutoka kiini chao cha kati, kutoka kwenye hatua ya kati, zilitunza Siku Takatifu.

 

Maadhimisho ya Sabato yalienea kutekote na inaonekana kupingwa kutoka Roma. Sabato na hizi Siku Takatifu ziliadhimishwa huko Misri kama maandiko ya kwenye Magombo ya Oxyrhynchus (ya takriban miaka ya 200-250 BK) yanavyoonyesha kusema:

Iwapo kama hamtaifanya Sabato kuwa ni Sabato ya kweli [Yaani kuitakatifuza Sabato], hamtamuona Baba (kwa mujibu wa magombo yajulikanayo kama the Oxyrhynchus Papyri,. Pt. 1, p. 3, Logion 2, verso 4-11, London: offices of the Egyptian Exploration Fund 1898).

 

Origen pia aliwaunganisha washika—Sabato akisema:

Baada ya sikukuu ya ongezeko la dhabihu [kusulibiwa] zimefanywa maadhimisho ya pili ya Sabato, na inakubalika kwa ye yote aliye mwenye haki miongoni mwa watakatifu pia washike maadhimisho ya sikukuu ya Sabato. Inabaki pale kwahiyo sabbatismus, ambayo, utunzaji wa Sabato, kwa watu wa Mungu [Waebrania 4:9] (Hotuba ya Hesabu 23, kifungu cha 4, kwenye Migne, Patrlogia Graeca, Vol. 12, cols. 749, 750).

 

Sawa na kama ilivyo kwenye Katiba ya Mitume Watakatifu (Ante-Nicene Fathers, Vol. 7, p. 413; c. 3rd centuary) inavyosema:

Nanyi mtaitunza Sabato, kwa utukufu wa yeye aliyeacha kufanya kazi ya uumbaji, lakini lakini sio kwa kazi yake ya utoaji wa ridhiki: ni mapumziko ya kuzitafakari sheria, na sio kwa ajili ya uzembe au uvivu wa kuishi mikono mitupu.

 

Washika—Sabato, sehemu asilia ya Kanisa, lilienea maeneo ya magharibi hadi kufikia Ulaya na kutoka Palestina, likaenea hadi kufika Mashariki mwa India [kwa mujibu wa jarida la Mingana kuhusu Ueneaji wa Kwanza wa Ukristo, yaani (Early Spread of Christianity, Vol. 10, p. 460)] na kisha hadi Uchina. Utambulisho wa washika—Sabato nchini India kulisababisha utata kwenye imani ya Buddha kunako mwaka 220 BK. kwa mujibu wa Lloyd (kitabu chake cha Fundisho la Ukiri wa Imani wa Nusu ya Wajapani, yaani The Creed of Half Japan, p. 23), Kizazi cha Ufalme cha Kushan cha Kaskazini mwa India, kiliitisha baraza la makuhani wa Kibuddha huko vaisalia, ili kuleta usawa miongini mwa watawa wa Kibuddha kwa ajili ya maadhimisho yao ya Sabato ya kila juma. Baadhi yao walivutiwa sana na maandiko ya Agano la Kale na kuwa walikuwa wameanza tayari kuitunza Sabato.

 

Wasabbatati wa Ulaya walikuwa hawachukuliwi katika kulazimishwa. Kanisa lililoanzishwa huko Milani liliitunza Sabato.

Lilikuwa ni tendo la jumla kwa Makanisa ya Mashariki, na kwa baadhi ya Makanisa ya pande za Magharibi…. Kwa kuwa katika Kanisa la Millaine [Milani], ….inaonekana kuwa siku ya Jumamosi ilifanywa kuwa ni siku ya maadhimisho matakatifu yaani farre esteeme…. Sio kwamba Makanisa ya pande za Mashariki, au pande ye yote iliyobakia ambayo iliadhimisha siku ile kuwa walihusika na lundaisme [imani ya Kiyahudi]; lakini kwamba walifanyika kwa pamoja kwa siku ya Sabato, ili kumuabudu Iesus [Yesu] Kristo Bwana wa Sabato (jarida la Dkt. Peter heylyn kisemacho Historia ya Sabato, yaani History of Sabbath, London 1636, Part 2, para 5, pp. 73-74; speling ya asilia imeazimwa).

 

Makanisa ya magharibi yakiwa chini ya Wagothiki, wenyewe hawakuwa wakatoliki, lakini ni Waaminifu wa kile kilichokuwa kinaitwa mafundisho ya Waariani. Sidonius anasema kwamba chini ya theodoric mnamo kwenye miaka ya 454-526 kwamba:

Ni ukweli kwamba ilikuwa ni desturi ya watu wa Mashariki kuitunza Sabato kwa jinsi ile ile kama ni siku ya Bwana na kuitisha makusanyiko matakatifu wakati kwa upande mwingine, watu wa pande za Magharibi, wanaoishindania siku ya Bwana wakiacha kushika maadhimisho ya Sabato (soma jarida la Apollinaris Sidonii Epistolae, lib. 1.2; Migne, 57; yaani Waraka wa Apollinaris).

 

Hata hivyo, Wagothiki wa pande za Magharibi, walioondoka kwenda pande za Kusini ya Gaul na Hispania, walikuwa ni washika kasumba na waliitwa ni Wanosiani walioaminika kuwa walitokea Bonosus ya Sardica, waliofundisha kuwa Yusufu na Mariamu walikuwa na watoto. Aliwekwa kwenye hali moja na Marcellus na Photius, na hivyo kuashiria kwamba walikuwa na nia sawa wakiiona Sabato na sheria.

 

Hii inaonekana pia kusaidiwa na ukweli kwamba Marseilles ilikuwa ni makao makuu ya wale waliojulikana tangu mwanzo wa pande za Magharibi (massilians), ambao waliofika kwa vingi pale na hatimaye wakatuhumiwa kama wa imani ya Upelagiani (huenda kimakosa) huko mjini Orange mnamo mwaka 529 (tazama jarida la ERE, Sect, Vol. XI. P. 319).

 

Kutokana na kanuni ya 26 ya Baraza la Elvira (takriban mwaka 305), inaonekana kwamba Kanisa katika Uhispania liliitunza Sabato. Rumi walianzisha tendo la kufunga saumu siku ya Sabato ili kuzuia au kuharibu nguvu za wale wanaoitunza—Sabato. Papa Sylvester (miaka ya 314-335) alikuwa ni wa kwanza kuyaamuru Makanisa kufunga saumu siku ya Sabato ili kupingana nayo, na Papa Innocent (miaka ya 402-417) alilifanya jambo hili kuwa ni amri ya muhimu ifanyike Makanisani kwa kuheshimu yeye.

Innocent aliamuru kuwa siku za Jumamosi au siku za Sabato ziwe siku za kufunga saumu kila zinapofika (kwa kujibu wa Peter Heylyn, jarida la Historia ya Sabato yaani History of Sabbath, Part 2, Ch. 2, London, 1636, p. 44).

 

Kanuni ya 26 ya Baraza la Elvira linasema:

Kama kufunga kila siku ya Sabato: Kulikusudiwa, kwenye kosa lile lirekebishwe kwa kufunga kila siku ya Sabato.

 

Mji wa Sabadelli ulioko Kaskazini-Mashariki ya Hispania karibu na jiji la Barcelona ukiitwa jina lake kwa ajili ya Washika Sabato yaani Wasabbatati au Wavaldeases (au Wavallenses). Umri wa jina na zama zake kwa majina ya Sabbatati au insabbatati, yalionyesha kuwa kinyume na hali ya Waldo kuanzisha kwake imani ya Wavallense, lakini zaidi sana ni mgawanyo wao huonyesha kwamba alikuwa ni mwongofu na wao, na akachukua jina lake kutoka kwao kama wataona.

 

Makanisa ya watunza—Sabato katika pande za Umedi yaani Persia yaliendelea na miaka arobaini ya mateso chini ya Shapur II, kipindi cha miaka ya 335-375 rasmi, kwa sababu tu ya kwamba wao walikuwa ni watunza—Sabato.

Wanamdhalilisha na kumdharau mungu-jua wetu. Hakuwa Zoroaster, aliyefanyika kuwa mtakatifu mwanzilishi wa imani ya kimbinguni, akaanzisha Jumapili miaka elfu moja iliyopita kwa heshima ya jua na kuipandikiza Sabato ya Agano la Kale. Tena hawa Wakristo wana ibada ya kimungu ya Jumamosi (kwa mujibu wa jarida la O’Leary la Kanisa la Kisyria na Mababa, yaani, The Syriac Church and Fathers, pp. 83-84, ambalo limenukuu jarida la Kweli Ishindayo, yaani Truth Triumphant p. 170).

 

Maseso haya yalilenga pande za Magharibi na Baraza la Laodikia (takriban mwaka 366). Hefele anaandika kuwa:

Kanuni ya 16 inasema – Injili kwa pamoja na Maandiko Matakatifu mengine visomwe siku za Sabato (sawa na zisemavyo pia kanuni za 49 na 51, jarida la Bacchiocchi, fn. 15, p. 217).

Kanuni ya 29 inasema – Wakristo hawapaswi kujifananisha na Wayahudi kwa kufanya mapumziko siku ya Sabato, lakini lazima wafanye kazi siku ile ili kuipa heshima zaidi siku ya Bwana ya kwa kupumzika, kama ikiwezekana, kama Wakristo. Hata hivyo iwapo kama kuna mtu atakutwa akijitia kwenye kasumba ya kiyahudi, basi na walaaniwe na kuondolewa kwenye Ukristo (mansi, II, pp. 569-570, tazama Hefele Councils, Vol. 2, b.6).

 

Mwanahistoria aitwaye Socrates anasema:

Kwa kupitia karibu Makanisa yote dunia inaadhimisha fumbo takatifu [linalodhaniwa na Wakatoliki kuwa ni ekaristi au Ushirika wa Meza ya Bwana kama wanavyouita] siku ya Sabato ya kila wiki, ila Wakristo wa Alexandria na Rumi, wakiitunza kwenye siku ile ile iliyokuwepo kwa kufuata mapokeo ya zamani, walikataa kufanya hii (Socrates, Ecclesiastical History, yaani Historia ya Kanisa, Kitabu cha. 5, sura ya 22, ukurasa wa 289).

 

Sabato ilikuwa inatunza pia kwenye karne ya tano na Wakristo (Lyman Coleman jarida la Namna Ukristo wa Kale Ulivyokuwa yaani Ancient Christianity Exemplified, Sura ya 26, Kifungu cha 2, ukurasa wa 527). Kwa hakika, kama ilivyokuwa siku za Jerome (mwaka 420), Wakristo waliojitoa na kuwa waaminifu walifanya kazi za kawaida siku ya Jumapili (kwa mujibu wa Dkt. White, askofu wa Ely, kwenye jarida lake la Kuifanyia vitisho Siku ya Sabato, uk. 219).

 

Augustine wa Hippo, mshika Jumapili aliyejitoa sana kwa ibada hizi, alijaribu na kuona kuwa Sabato ilikuwa inaadhimishwa kwa sehemu kuu ya ulimwengu wa Wakristo [kwa mujibu wa jarida la Mababa wa Wakati wa Nikea na Baada ya—Nikea yaani Nicene and Post-Nicene Fathers (NPNF), Vol. 1, pp. 353-354)] na kuujutia ukweli kwamba kwenye Makanisa mawili jirani ya Afrika, moja lilikuwa linaadhimisha Sabato ya siku ya saba ya juma, wakati huo huo jingine likiwa linafunga saumu ili kuikomesha isiendelee (jarida la Peter Heylyn, op. cit, p. 416).

 

Makanisa katika ujumla wake yaliitunza Sabato kwa wakati fulani.

Wakristo wa zamani walikuwa makini sana katika kuiadhmisha siku ya Jumamosi, au siku ya saba ya juma…. Ni mpango kuwa makanisa ya pande Mashariki, na sehemu kubwa sana ya dunia, waliiadhimisha Sabato kama siku ya maadhimisho…. Athanasius vilevile aanatuambia waliitisha makutaniko ya kidini siku ya Sabato, sio ni kwa sababu walikuwa wameathirika na dini ya Kiyahudi, lakini kumuabudu Yesu, aliye Bwana wa Sabato, Epiphanius abasema vivo hivyo (kwa mujibu wa jarida la Zamani za Kanisa la Kikristo, yaani, Antiquities of Christian Church, Vol. II, Bk. xx, Ch. 3, Sehemu ya I, 66. 1137, 1136).

 

Katika kipindi cha nusu ya karne ya nne, askofu wa Kanisa linalotunza-Sabato la Waabyssia (Wahabeshi), Museus, alitembelea Uchina. Ambose wa alisema kwamba Museus alisafiri karibu kila mahali katika nchi ya Seres (Uchina), (kwa mujibu wa jarida la Ambrose, la De Moribus, brachman-orium Opera Omnia, 1132, lililokutwa huko Migne, Patriologia Latina, Vol. 17, kurasa za 1131-1132). Mingana anashikilia kuamini kwamba Waabyssinia Museus alisafiri hadi Uarabuni, Uajemi, India na Uchina mwaka 370 (tazama pia jarida la fn. 27 Kweli Ishindayo, yaani Truth Triumphant, p. 308).

 

Makanisa ya Kisabato yalianzishwa huko Uajemi na katikati ya ukingo wa mto Tigri na Frati. Waliitunza Sabato na kutoa zaka makanisani mwao (kwa mujibu wa kitabu cha maarifa kiitwacho Realencyclopaeie fur Protestantishe und Kirche, art. Nestorianer, tazama pia jarida la Yule liitwalo Kitabu cha Bwana Marco Polo, maarufu kama The Book of Ser Marco Polo, Vol. 2, p. 409). Wakristo wa Mtakatifu Thomasi wa India kamwe hawakuwa na mahusiano na Rumi.

 

Walikuwa ni watunza-Sabato, kama walivyokuwa hao waliovunja kabisa mahusiano na Rumi baada ya Baraza la Chalcedon (Kalkedoni), walioitwa Waabyssia au Wahabeshi, Wayakobo, Wamaroni, na Waarmenia na Wakurdi, waliozitunza sheria za vyakula na kukataa mafundisho ya kuungama na ya toharani (kwa mujibu wa kitabu cha maarifa kilicho andikwa na Schaff-Herzog kiitwacho Kitabu Kipya cha Maarifa ya Elimu ya Kidini, yaani The New Encyclopaedia of Religeous Knowledge, art. Nesorianer aliye andikwa hapo juu).

 

Mnamo mwaka 781 Mnara maarufu wa nchini Uchina uliandikwa michoro ya kuelezea jinsi ukuaji wa imani ya Kikristo ilivyo nchini Uchina ilivyokuwa kwa wakati ule. Uandishi huo wa orodha ya maneno takriban 763 uligunduliwa baada ya kuchimbua eneo la mji wa Changan mnamo mwaka 1625 na inaaminika kuwa sasa mnara huu umesimamishwa kwenye Pori la Maandiko ya kale la Changan. Nakili za maandiko hayo zinasema hivi:

Katika siku ya saba tunatoa dhabihu, baada ya kuitakasa mioyo yetu, na kupata utakaso kwa ajili ya dhambi zetu. Dini hii, ni kamilifu sana na ni njema sana, ni vigumu kuitaja, lakini huliondoa giza kwa nuru ya mafundisho yake (jarida la M. l’Abbe Hue la Ukristo katika Uchina au Christianity in China, Toleo la 1, Sura ya 2, kurasa za 48-49).

 

Wayakobo wanatajwa kuwa walikuwa ni washika-Sabato wa nchini India mwaka 1625 jarida la Mahujaji au Pilgrimmes, Pt. 2, p. 1269)

 

Kanisa la Waabyssinia lilibakia likiishika-Sabato na nchini Ethiopia (Uhabeshi) Wajesuiti walijaribu kuwashawishi Waabyssia (Wahabeshi) waingie na kuukubali Ukatoliki. Waabyssia au Wahabeshi walipopelekwa kwenye mahakama ya Lisboni, wakakana kuwa walikuwa hawaishiki Sabato sio kwa sababu ya kuiga kasumba ya Wayahudi, bali ilikuwa ni kwa ajili ya kumtii Kristo na Mitume wake (jarida la Geddes la Historia ya Kanisa la Uhabeshi au Ethiopia, au Church History of Ethiopia, kurasa za 87-88). Wajesuit walimshawishi mfalme Zedenghel aamue kujisalimisha kwa Papa mnamo mwaka 1604, na kupiga marufuku utunzaji wa ibada za Kisabato kwa kuweka adhabu kali sana (jarida la Geddes, kama lisemavyo hapo juu ukurasa wa 311 na pia jarida la Gibbons la Kudhoofika na Kuanguka kwa Dola ya Rumi, Sura ya 47).

 

Sabato katika Utaliano au Italia

Inaaminika sana kuwa wafuasi wa Ambose wa Milan waliitunza Sabato huko Milan na waliokuweko Roma waliabudu siku ya Jumapili, na hivyo ndivyo ikawa chanzo cha usemi huu usemao kuwa Unapokuwa uko Rumi fanya kama wanavyofanya Warumi wenyewe (jarida la Heylyn, op. cit, 1612). Heylyn analifananisha Kanisa la Milan kuwa kutoka karne ya nne, kama kitovu au mhimili wa utunzaji wa Sabato kwa upande wa Magharibi (jarida hilo hilo lililotajwa hapo juu, sehemu ya 2, kifungu cha 5, kurasa za 73-74). Kwa hiyo sio jambo la kushangaza Wasabato au Wasabbatati walikuwa na shule yao kule, kama ilivyonukuliwa na Wavallensi kwa wakati ule ambao Peter Waldo alijiunga nao. Sabato ilikuwa inaadhimishwa nchini Utaliano kwa kipindi cha karne kadhaa na Baraza la Friaul (takriban mwaka 791) ndipo ikaongelewa na walei kwenye mwongozo au kanuni ya 13.

Tunawaamuru Wakristo wote kuabudu katika siku ya Bwana na kukutanika na sio kuipa heshima siku iliyopita ya Sabato, lakini kuupa umuhimu usiku ule mtakatifu ya siku ya kwanza ya juma inayoitwa siku ya kwanza ya Bwana. Unapokuwa unaiongelea Sabato ambayo Wayahudi huiadhimisha, siku ya mwisho ya juma na ambayo walei wetu huitunza…(Mansi, 13,85).

 

Kwa hiyo kulikuwa na vikundi vilivyokuwa vinashikilia mapokeo ya kuishika-Sabato huko Ulaya kati ya miji ya Milan na Lyons, ambako kulikuwa ni kitovu cha Watu Masikini wa Lyons, ambalo ni tawi la Wasabbatati au Wainsabatati, kama walivyokuwa wakiitwa, ambao baadae waliitwa Wawalensia. Muunganiko wa Milan na Lyon ulipata nguvu na Pothinus na Irenaeus (takriban mwaka 125-203). Wote wawili walikuwa ni wafuasi wa Polycarp, mwanafunzi wa Yohana yaani John na wote walikuwa ni watunza-Sabato. Irenaeus alifanyika kuwa ni askofu wa Lyons baada ya kuuliwa kwa Ponthinus mwaka 177 chini ya amri ya mateso ya Marcus Aurelius. Kanisa katika Lyons na Vienne, lilitaarifu kuhusu mateso yao mnamo mwaka 177 na huenda kama matokeo ya mateso yale, walihojiwa uasili wa Waphrygia au Wapega Wamontana [lakini wao wenyewe walikuwa hodari kwenye mitazamo au maoni yao na sio Mmontana (kwa mujibu wa kitabu kiitwacho Kitabu cha Maarifa cha Kikatoliki yaani, The Catholic Encyclopedia, C.E), art. Montanists, Toleo la X. kurasa za 522-523)]. (Montanus na manabii wakike Maximilla na Prisca au Priscilla walitabiri kwa maneno ya faraja huenda ni kwa ushawishi wa dhehebu la mafundisho mapotovu ya Cybele katika mji wa Phrygia au Pega. Wao pamoja na wafuasi wao walishutumiwa)

 

Irenaeus alikuwa ni M-unitariani, kama alivyokuwa Justin Mfia-dini na kama walivyokuwa Watetea-dini wote wa Ante-Nicene au Maguso wa Nikea. Alisema kuwa Kanisa lilikuwa na imani moja ya kudumu, kama vile kuna Mungu mwingine ila mmoja tu ambaye ndiye Muumba wa Ulimwengu, Mungu Baba (kwa mujibu wa jarida la ANF, Toleo la 1, la Kupinga mafundisho ya Uzushi yaani Against Hereses, Kitabu cha II, Sura ya IX, ukurasa wa 369). Alisema kwamba sehemu ya Kanisa ilikuwa ni:

Utakatifu mkamilifu ulihitajika kwa ajili ya maadhimisho halali yawayo yote. Hata hivyo sheria ya amri kumi za Mungu hazikufutwa na Kristo, lakini ni kwamba zinawamuru watu kutoziacha kamwe amri hizi za Mungu (ANF, Kitabu cha IV, Sura ya XVI. Ukurasa wa 480)

 

Ananukuu vitabu vya manabii Ezekieli (Eze. 20:12) na Musa (Kut. 21:13) akitaja kuwa hizi Sabato kuwa ni ishara kati ya Mungu na watu wake. Sabato zilitolewa ili kuwa kama ishara, ambayo pia ilikuwa ni alama. Sabato zinatufundisha kuwa tunatakiwa tudumu kila siku kwenye huduma tukimtumikia Mungu. Mwanadamu alikuwa hahesabiwi haki kwa ajili ya hizo, lakini zilitolewa kama ishara kwa waty wa Mungu (kama lisemavyo jarida lililotajwa hapo juu, ukurasa wa 481).

 

Ignatius, askofu wa Antiokia wakati wa utawala wa Trajan (miaka ya 98-177 BK), alipinga dhidi ya mitizamo ya Kiyahudi waliokuwa kwenye milki yake. Kudumu kwa mshikamano na heshima ya mambo yaliyoanzishwa ya Kiyahudi kama vile Sabato, yametajwa sana na mwandishi (kwenye Waraka kwa Wamagnesia, pia tazama kitabu cha Bacchiocchi, ukurasa wa 213). Kwa hiyo ni vigumu sana kufikirika kuwa ki chanzo cha kuivunja au kuzuia kutoka kuitunza-Sabato kuwa tayari kumeanza kuchukua mkondo wake (kitabu hicho hicho ukurasa wa 214). Hii kwa kweli ndiyo Ignatius aliyokuwa anazua matendo yenye kasumba ya mapokeo ya Kiyahudi siku ya Sabato ambayo ilikuwa ikitunwa na pande zote mbili.

 

Justin Mfia-dini, mwenyewe ambaye ni M-unitariani, ndiye aliyependekeza wazo la kufanyika kwa ibada siku za Jumapili (jarida la ANF, Toleo la 1, Ombi la Kwanza la Msamaha, LXVII, kurasa za 185-186) na akajaribu kumshawishi rafiki yake Myahudi Trypho juu ya usahihi wa tendo hili (kwa mfano, tazama kwenye ANF, Toleo la 1, Mahojiano na Ttrypho, Sura ya XII, ukurasa wa 200). Bacchiocchi (huenda ni kwa mamlaka juu ya kipindi cha mpito Kutoka kwenye maadhimisho ya Sabato hadi Jumapili, Chapisho la Chuo Kikuu cha Kipapa cha Wagregoriani cha Roma, 1977) huelezea kushinwa kwa Justin kutoa mifano iwayo yote ya huko nyuma ili kumsaidia kuhalalisha kutendeka kwa tendo hilo, madai ya Justin yalikuwa na sababu fulani nyuma yake katika kusema kuwa kwa wakati huu, maadhimisho ya Jumapili ni muafaka kwa Wakristo watokao sehemu zote mbili yaani kwa wanaotoka kwenye upagani na wanaotoka kwenye jamii ya Wayahudi (ukurasa wa 156). Pia Wanazarayo, hawakuadhimisha ibada za Jumapili, kama ilivyopingwa na Epiphranius (kwenye kitabu na kurasa huo huo). Wanazarayo, walikuwepo katika karne ya nne wanaelezewa na Jerome, wanaonekana kuwa moja kwa moja ni uzao wa jamii ya Kikristo ya Yerusalemu ambao waliingia huko Pella (Bacchiocchi, jarida hilo hilo na ukurasa huo huo).

 

Kusudi la kuwepo kwa hizi Sabato kulieleweka na waandishi wa kwanza kuwa ilikuwa ni ya kiroho ambavyo kwamba Wayahudi waliichukulia kwenye hali ya kimwili na hii ndio ilikuwa ni chanzo cha mijadala. Uondoaji wa Sabato na kuingizwa kwa Jumapili kungeweza kuzuilika.

 

Kanisa katika Lyons chini ya Irenaeus liliingilia bashishano kuhusu utaratibu wa maadhimisho ya siku ya 14 ya mlo wa Pasaka (tazama kitabi cha Butler kiitwacho Maisha ya Watakatifu, kurasa za 196-197; na pia majarida yetu yanayohusu Pasaka). Aliugawanya Ukristo wa kale kwa kiasi kikubwa na Gaul na kushughulikia kama kifo cha kupwa kwa hewa hadi kufikia muundo wa imani ya Wagnostiki ikijichimbia kule Lyons wakati wa Pontinus na Irenaeus ilikuwa ni kitovu cha Kanisa katika Gaul na ilikuwa ni kitovu uongofu.

 

Kiwango cha mateso yaliyofanyika huko Lynos na Vienne kilitolewa kwa ndugu wapendwa katika Smirna katika barua, ambayo ilitunzwa na Eusebius (soma jarida lisemalo Historia ya Kanisa au Hist. Eccl, V, I-iv). Mji wa Vienne ulikuwa unategemewa na mji wa Lyon na huenda ulikuwa unaongozwa shemasi (kwa mujibu wa nakala zinazoelezea kuhusu Wakristo wa Gaul, maarufu kama C.E., atr. Gaul, Christian, Vol. VI, p. 395).

 

Maknisa katika mji wa Gaul, yanaonekana kuwa yalikuwa yanasaidiwa na ushawishi mkuu wa Wayahudi waliokuwa karibu na miji ya marceilles na Genoa, kwa kipindi chote cha miaka ya 100-300 (tazama kitabu cha ramani cha Historia ya Wayahudi, maarufu kama Gilbert Atlas of Jewish History, Dorset Press, 1984, map 17). Watu wa jumuia hizi walikuwa kwa hakika katika mawasiliano ya karibu na kuhusishwa kikamilifu na Wayahudi waliokuwa katika miji ya Efeso na Smirna. Vuguvugu hili lililoelekea huko Rhone kutoka Merseille hadi Lyons kwenye miji mikubwa yaani Metrpolis na kiini cha mawasiliano kwa nchi nzima, bilashaka ni matokeo ya ushiriki wa Wayahudi katika shughuli za biashara. Mahitaji ya jamii huenda ndiyo yalilazimisha Pothinus na Irenaeus wapelekwe huko Lyons, kutoka kwa Polycarp wa Smirna. Kwa hiyo basi tunaona kuwa lilikuwepo Kanisa la Washika-Sabato lililoanzishwa huko Lyons mapema kabla ya mateso ya zama za Marcus Aurelius mnamo mwaka 177. Mji wa Lyons ulikuwa ni makao makuu ya makanisa yote yaliyokuweko huko Gaul kipindi ambacho Irenaeus alikuwa askofu. Makanisa ya Gaul yaliandika waraka na kuupeleka huko Roma kuhusiana na utata iliojitokeza kuhusiana na utaratibu wa kushiriki ushirika wa meza ya Bwana mara moja tu kwa mwaka (Quartodeciman), (tazama machapisho ya Hisoria ya Kanisa, maarufu kama Eusebius Hist. Eccle., V, xxiii) yanayowasaidia maaskofu wa Waasia kufanikisha kuanzilishwa na kuingizwa kwa Easter makanisani mwao.

 

Kwa mujibu wa Gregory wa Tours (jarida lake lijulikanalo kama Historia Francorum, I, xxviii) anadai kuwa mnamo takriban mwaka wa 250 Roma iliwapeleka maaskofu saba ili waende wakaanzishe Makanisa huko Gaul. Gatianus akaanzisha kanisa la Tours: Trophimus lile la Arcles: Paul akaanzisha lile la Narbonne: Stremonius (au Austremonius) akaanzisha lile la Auvergne (Clemont): na Martialis akaanzisha lile la Limoges (tazama maandishi yajulikanayo kama Lejav C. E. art. Gaul ibid). Kama asemavyo Lejav, swali hili liliulizwa sana na wanahistoria wote waliokuwa makini.ilikuwa ni zaidi sana ya ulingiliaji kati wa Warumi katika maamuzi ya mambo ya ndani ya mataifa mengine. Bila kujali nia ya dhati ya moyoni, Cyprian ananukuu kwamba katika zama za kipindi cha kati cha karne ya tatu, kulikuwepo idadi kubwa ya Makanisa yaliyokuwa yameanzishwa huko Gaul. Inaonekana kwamba mtawala wa wakati huo Costantius Chlorus, baba yake Costantine, hakuwa na uadui au chuki yoyote ile na imani ya Kikristo. Huenda ikawa ni kwa ajili ya hali hii ya mtangamano ya utegemezi wa Lyons, ndiyo ilimfanya Costantine akatae kuwa mfuasi wa mafundisho ya Athanasi (ambayo yalikuwa kwa sehemu yanaamini Utatu, na hatimaye wakaitwa Wakatoliki) na kwa kweli walibatizwa kwa imami tegemezi ya Unitarian (au kama ilivyokuwa ikijulikana kwa jina la Waeusebian.au Waarian) katika zama za mapema kabla ya kifo chake (tazama jarila la C.E., lililotajwa hapo juu na maelezo yake yote, na pia la uandishi uitwao vars wenye kichwa cha somo re Costantine). Baraza la kidini la Arcles linanukuu kuwa kulikuweko idadi kubwa ya parokia kuu (diocese) zilizokuwa zimeanzishwa kwa wakati ule (mnamo takriban mwaka 314) yakianzia sambamba na tangazo la Sheria mpya ya Mtangamano na mavimiliano (ya mjini Milan). Sahihi zilizowekwa na maaskofu hawa zingali bado zinadumu kuonekana, zikileta uhakikisho wa mabo yanayoonekana huko: Vienne, Marceilles, Arles, Orange, Vaison, Apt, Nice, Lyons, Autun, Cologne, Trier, Reims, Rouen, Bordeauux, Gabali, na Eauze. Madondoo ya Toulouse, Narbonne, Clermont, Bourges na Paris pia lazima yapelekwe (tazama maandiko ya C.E kama yalivyoelezewa hapo juu, ukurasa wa 396).

 

Imani ya kuishi mtindo wa kimonaki haikuingia kwenye Makanisa ya Gaul hadi pale ilipofundishwa na kuanzishwa na Martin (takriban mwaka 397), aliyeandisha au kujenga Jumba la kuishi watawa yaani Marmoutier karibu na mji wa Tours na Cassian (takriban mwaka 415). Akiwa pamoja idadi kubwa ya Wakristo wakiambatana naye kwenye miji, miongoni mwao wakiwemo watu wenye elimu na huenda wengine walikuwa ni Wayahudi walioleta ushawishi kwenye makundi mbali mbali. Wakazi wa maeneo ya mashambani walikuwa ni wapagani, wanaoamini Imani-potofu za Gallo na ushirikina wa Warumi. Uongofu wa Goths, Vandals, Suervi, Alans, nk, na kuingia kwenye imani juu ya Mungu mmoja wa pekee na wa kweli au U-unitariani (kimakosa sana imani hii iliitwa Arianism, yaani Uariani) tokea mwanzoni mwa karne ya nne, ikakomesha nia ya Warumi waamini Utatu na maadhimisho ya ibada za Jumapili kwa kipindi fulani. Madondoo ya kiaskofu ya Gaul, yakafanyika kuwa ni kiini cha mtungo wa kanuni ya imani ya kiaristocrat ikisimamiwa na ushawishi wa Kirumi. Honoratus akaanzisha makazi ya wamonaki katika kisiwa cha Lerins (Lerinum). Tokea hapo mamlaka ya kiaskofu yalichukuliwa na wale waliokuwa wanajulikana kama wanazuoni wahitimu wenye misimamo mikali wa Lerins ambao waliwekwa kwenye parokia kuu (diocese) zote. Kina Honoratus, Hilary na Caesarius waliwekwa kuongoza huko Arles; Eucherius akawekwa huko Lynos, na wanawe wakiume Salonius na Veranius wakawekwa Geneva na Venice ulioheshimika sana; Lupus akawekwa Troyes; Maximus na Faustus wakawekwa Riez.

Lerins kwa kiasi kikubwa ikawa ni chuo cha kufundisha elimu ya dini potofu za ulimwengu wa wapagani na elimu juu ya Mungu wa kweli yaani theolojia na ikaeneza mawazo yake ya imani ya kidini hadi kufikia maeneo yaliyoko mbali na kwa kina kwa kazi yenye maana kwa njia ya kimapokeo na kuhubiri kusikochanganyisha au kukubaliana na tamaduni potofu za watu na imani za kipagani zinazohusisha uwepo wa uwezekano wa kusaidiwa na wafu.

 

Kwa hiyo, shule za kimonaki zilianzisha mafundisho potofu ya kimizimu na kuyaingiza kidogo kigodo kwa kutumia hila za kidini kwenye kanisa la kwanza huko Gaul. Kukawa na upinzani wa dhahiri kati ya mfumo kiroho wa kiimani wa kimonaki na makasisi wengi walioa. Huu ulikuwa ni uzao au kizazi cha Merovingian, ambao hatimaye walianzisha utaratibu wa mfumo wa Kirumi hadi kufikia kiasi cha kulazimisha kwa upamga.

 

Hadi kufikia mwaka 417, wakati Papa Zosiamus alipomteua Ptrocles, askofu wa Arles, kuwa mwakilishi wake maalum wa huko Gaul, mabishano yalipelekwa huko Milan ambako Baraza la Milan lilitoa maamuzi ya mambo au kukata mashauri yote (tazama tena kitabu cha C.E., uk. 397). Kwa hiyo basi, ni rahiei kuona uhusiano kati ya Milan na maeneo mengine ya mbali ya Wasabbatati au Washika-Sabato au pia walijulikana kama Wavallenses. Makanisa ya Gaul yalikuwa kwenye mashindano au utata wa kimafindisho juu ya tabia na asili ya Mungu kwa kiwango kikubwa. Makanisa kwa wakati wote yaliendelea kuwa katika hali ya Utegemezi.

Kanisa la Gaul lilipitia kwenye vipindi vitatu vikuu vya mtafaruku wa mapokeo ya kimafundisho. Maaskofu wake walionekana kuwa na ushawishi mkubwa wa kuamini kwa kiasi kikubwa sana na mafundisho ya imani ya Arian; na kwa ajili ya kutimiza wajibu wa sheria tu zilizokuwepo, walionekana kama wapo kwenye imani ya mafundisho maazimio ya Nikea, licha ya mapungufu kadhaa nusu nusu na ya kipindi kifupi kifupi.

 

Hii huenda ilikuwa katika matamko. Wasabatati waliegemea kwenye mrengo wa U-unitarian moja kwa moja, tangia kuanzishwa kwake na kina Ponthinius na Irenaeus takriban kipindi cha zaidi ya karne moja kabla kusikika kwa Arius. Washika-Sabato walizidi kuenea katika nchi mbali mbali za Ulaya yote. Hefele anasema kuhusiana na Halmashauri ya Baraza la Liftinae lililokutana Ubelgiji mnamo mwaka 745 kwamba:

Sehemu ya tatu ya dondoo za kikao cha baraza hili inatoa onyo kuhusu maadhimisho ya Sabato, inkiiukuu marejeo ya makatazo yaliyopitishwa kwenye maazimio ya Laodikia (yajulikanayo kama Conciliengeshicte, 33, 512, kifungu cha 362). 

 

Maadhimisho ya Sabato uliendelea kuwepo huko Roma hata zama za Gregory I (590-604). Gregory aliandika waraka akipiga marufuku maadhimisho haya [maarufu kama Ep. I, Nicene and Post-Nicene Fathers (NPNF), Second Series, Vol. XIII, p. 13, yaani matendo ya Makasisi wa zama za Mtaguso wa Nikea na baada ya Mtaguso wa Nikea], unsema hivi:

Askofu Gregory, aliyepewa wadhifa huu kwa neema ya Mungu, kwa ndugu zake wapendwa, wakazi mnaoishi Roma. Imetokea kwangu kugundua kwamba kumekuweko na watu fulani wenye roho zilizopotoka wamejiipenyeza miongoni mwenu na kuwafundisha na kueneza mafundisho na mambo mapotofu na kuwapoteza kupingana na Imani Takatifu, na kwamba wanafundisha na kuwakataza watu wasifanye kazi au kitu chochote kufanywa siku ya Sabto. Je, mimi nitawaita jina gani watu hawa kama sio Wapinga-Kristo (kwa mujibu wa waraka ujulikanao kama Epistles, b. 13:1).

 

Gregory alitangaza fatwa ya masusio dhidi ya mji wa Roma na wakazi wake, kwa sababu walishika Sabato. Alishikilia kuamini kuwa wakati mpinga-Kristo atakapokuja, basi atafanya maadhimisho ya ibada ya siku ya Jumamosi kama Sabato (ukisoma waraka huo huo).

 

Kanisa la Kisabato katika Asia

Kanisa lilianzishwa katika Asia Ndogo ambako lilijulikana kama la Wapaulician. Wapaulician walijiendeleza kule kwa kipindi cha miaka mamia kadhaa. C.A Scott aliwaelezea hivi hawa Wapaulicians kwamba walikuwa hivi:

Ni imani ya watu wanaopingana na Ukatoliki ambayo ilianzishwa kuanzia takriban kwenye karne ya 7 (na pengine mapema kidogo huko nyuma) waliopitia kwenye uzoefu wa nyakati mbali mbali za mabadiliko mengi yakiwemo upendeleo wa nguvu za dola na vipindi vya mateso makali sana na yasiyo na huruma wakibakia kuwa na ushawishi mkubwa hadi kufikia karne ya 12; na hawakosi kuwa wanao uzao na umoja na watu walioko Ulaya Mashariki hadi kufikia leo. Inaonekana ilitokea kwa mara ya kwanza upande wa mashariki ya ukingo wa mpaka wa dola, na kuwa imani hii inamakazi yake ya asilia katika Mesopotamia na Kaskazini mwa Syria, kasha ikaenea kidogo kidogo kwa njia ya propaganda kwa kidogo kidogo imejipandikiza na kuota mizizi, ikielekea pande za magharibi ikipitia Asia Ndogo, hatimaye pande za Mashariki mwa Ulaya ili kuanzisha karne mpya katika eneo la mkono wa bahari wa peninsula ya Balkani. matukio maalumu zinazoonekana kuhusishwa nayo ni yanajumuisha na mawazo mchanganyiko ya aina mbili ya kiutawala kama sio yahusuyo mwanzo au chanzo cha kuwepo kwa ulimwengu, mafundisho ya Wanaoamini juu ya mabadiliko ya kimaumbile Ubinadamu wa Yesu, wakorofi na wagumu wa mioyo wakataao kumtukuza Mariamu na kuomba watakatifu na kuabudu sanamu, pia kwa jinsi hiyo hiyo hukataa imani juu ya mfano wa sakramenti, na wanasisitiza kwa namna ya kipekee juu ya ubatizo wa watu wazima kuwa huu ndio pekee ulio halali katika utaratibu wa kimaandiko. Misingi ya uwezekano huu unapatikana katika tafakari za Maandiko Matakatifu kama ndio pekee na yanayojitosheleza katika kupinga na kuondoa taratibu zote za kimapokeo na kile kinachoitwa ‘mafundisho ya kanisa’ (tunasoma haya katika kitabu kiitwacho ERE, art. Paulicians, Vol. 9, p. 695)

 

Wapaulician waliongezeka kwa kasi kubwa sana idadi yao chini ya uongozi wa Sergius Tychicus na walipatikana kwa kiasi kikubwa kwenye watu wagumu wa milimani ya Taurus.

 

Scott anaendelea pia kusema kuwa: ni kama vile walivyo walinzi wa dola na kama kiini cha mateso yatokanayo na nguvu ya dola, walionekana kuwa na unyenyekevumu mkubwa na ujasiri (soma haya kwenye kitabu hicho hicho, uk. 697).

 

Walilindwa na Costantine Copronymous (741-775) na kualikwa kwenda kuweka makazi huko Trace. Nicephorus (802-811) aliwaajiri kwa ulinzi wa dola kwa upande wake wa mashariki. Michael na Leo V waliwatesa bila ya huruma kabisa.

Lakini Wapaulician walikuwa ni wengi sana, na wapenda vita sana na ni wenye uwezo mkubwa sana wa kupangilia mambo waliojipanga vizuri ili kumezwa kwenye imani kali. Walizuia, wakaasi na hata walijilipiza kisasi cha maovu kwa kuishambulia Asia Ndogo kwa kutumia milima iliyo mirefu na kwa kasi. Baada ya miaka ishirini ya mlinganisho wa utulivu walionekana kupitia kwenye mateso makubwa zaidi chini ya Theodora (mnamo mwaka 842-857), ambayo chini ya Basil iliendelea hadi kufikia kiwango cha vita isiyokoma (tazama Krumbacher, p. 1075). Wapaulician walifukuzwa kwa mikono ya Saracens, huku akiwepa msaada na wao, chini ya uongozi wa mtawala aliyekuwa mwenye uwezo Chrysocheir, si kwamba hawakuweza tu kuyazuia majeshi ya dola hii ya kifalme, bali waliyasukumilia mbali nyuma na kuifanya Asia Ndogo hadi kufikia ukingo wake wa fukwe za  Magharibi (kitabu hicho hicho cha Scott).

 

Hii inaonyesha mambo mawili kuhusu Wapaulician. La kwanza ni kwamba walitumia mikono na la pili ni kwamba Waislamu waliwachukulia kama ni kikundi kilicho tofauti na Wakristo wengine wanaoamini juu ya Utatu na kinachohitaji msaada wao wa kiulinzi. Ulinzi huu haukuhusishwa katika Asia ndogo, bali uliendelea hadi Uhispania. Tofauti kati ya makundi haya ilijulikana na kulindwa atika Koran.

 

Ushauri wa Kristo kwa Kanisa la Pergamo, ambao unapaswa ujulikane na kikundi hiki cha kiimani, ni kule kunakofanya iwe yenye kuingia maanani ni pale asemapo hivyo katika Ufunuo 2:16, kuwa atapigana vita na wale wote [wayashikayo ya uongo miongoni mwao] kwa kutumia upanga wa kinywa chake.

 

Scott anachukulia ule uhamisho wapili wa Wapaulician, katika mtazamo mpana sana kuanzia Armenia hadi Thrace, uliofanywa na John Tzimiskes (mnamo mwaka 970) (kama isemavyo hapo juu). Wapiganaji waliojulikana kama (Latin Cruseders) walianzisha kikundi cha kidini huko Syria katika karne ya kumi na moja na Mwanamke aliyejulikana kama Mariamu Montagu, aliwakuta kwenye ukingo jirani wa Philippoplis, mnamo kwenye karne ya kumi na nane (Scott, op. Cit).

 

Baani Ulaya waliendelea hadi kufikia au waliunganishwa na Wabogomi (q.v), na mtazamo wao mvuto wao ulitangazwa kuenezwa kwa kipindi chote cha Zama za Kati na vikundi mbali mbali vilivyosimama kinyume na imani ya Kikatoliki- kwa mfano, Wakathari, Waabilgene – ambao walikuwa na muunganiko tangamano na Wapaulician ni pengine ni vigumu sana kuwadhania. Majina yao kama ‘Manichaean’, walibadilika kwa maelekezo ya kiuzaliwa wa vikundi vyovyote kati ya hizi vilivyopinga maendelezo ya madaraka ya kiwadhifa ya Ukatoliki na mafundisho yake (tazama kitabu hicho hicho cha Scott).

 

Scott anasema kuwa ni vigumu sana kujua ni nani hasa kati ya Papa Licani, wa kabila la Piphles wa Flanders, au Publicani, aliyeshutumiwa na kutangazwa vibaya huko Oxford mwaka 1160, ambaye moja kwa moja alitokana na Wapaulician, au kuchukua jina lao kama kama alama ya mashutumu. Scott anasema kuwa Wapauliciani, ni waelewa wazuri mno kama watendaji, kwa jinsi hiyo ya mlolongo endelevu wa kupinga imani ya Kikatoliki na upingaji wa mawazo ya mgawanyo wa kimadaraka na kimaisha, ambao unaendana kwa wakati mmoja na mwenendo wa mafundisho ya ‘kihafidhina’ na mfumo wake, kimatendo kwa wakati wake wote wa historia ya Kanisa (tazama Crumbacher, p. 970,the Paulicians’ setzten einer verweltlichen Reichsorthodoxie ein echt apostolisches Biblechristentum entgegen).

 

F.C. Conybeare (katika jarida lake la The Key of Truth, yaani Mlango wakuelekea kwenye Ukweli. kilichochapishwa huko Oxford, 1898) anasema kwamba watu hawa walikuwa ni watu Waliojiingiza kwenye mafundisho ya Ukristo; wakiamini kuhusu sacrament tatu kuu yaa ni za toba, ubatizo na za Mwili na Damu ya Kristo (pia angalia ukurasa wa 124), wakatangaza kuwa ubatizo wa watoto wadogo haupo na kupiga marufuku, wakatangaza kusimama kinyume na imani juu ya uwepo wa daima wa ubikira wa Mariamu, na kuyakataa mafundisho ya uwepo wa wafu huko toharani na maombi ya kuwaomba watakatifu, na matumizi ya taswira za aina mbali mbali yaani michoro ya picha, misalaba na matumizi ya ubani.

 

Kwa hiyo basi, maendeleo ya Kanisa kutoka Asia Ndogo kuingia Ulaya, yaliendelea kwa kipindi cha karne mbali mbali kadhaa na kama inavyoonekana hapo juu, waliathirika na maneno ya kutoka midomoni mwao na utaratibu wa kimakazi wa watu wao. Upandaji wa mafundisho ya kimakundi ulifanywa na wahafidhina ambao kwa kiasi fulani, wameandika historia ya jambo lenyewe.

 

Washika-Sabato wa Ulaya ya Mashariki

Ni jambo lililo dhahiri kabisa kuwa, kazi kubwa sana ya Makanisa Yanayoishika-Sabato, haikuanza huko Ulaya hadi kazi za makanisa ilipoanzishwa kutokea Smirna (kama inavyojulikana kuwa ni zama za Wasmirna) na kwa wale walioingia wakitokea Upaulician katika Asia Ndogo (wakijulikana kama zama ya Wapergamo) waliendeleza shughuli zao. Kwa kweli ilikuwa kwamba kazi katika Gaul ilikuwa imeanza kutikea na mawaailiano Makanisa ya Smirna, hadi pale kufikia baada ya kifo cha  Irenaeus. Kazi ilikuwa haijawa katika muunganiko mzuri na utaratibu sawia, hadi kufikia uwekaji makazi wa Wapaulician katika Ulaya.

 

Ueneaji wa imani ya Wakristo Wanaoshika-Sabato (kama inavyoonekana hapo chini) ulionekana kuendelea kutoka Thrace kuelekea Albania na Bularia, na Wapaulician. Mnamo kwenye karne ya tisa mabishano haya yakafika Bulgaria. Inaaminika na kunukuliwa kama hivi kwamba:

Katika enzi ya kipindi chake cha siku za mwanzo wa Uinjilishaji, Bulgaria kulifundishwa kwamba hakuna kazi iliyokuwa inaruhusiwa kuanyika katika siku ya Sabato (haya tunasoma kwenye majarida yaitwayo Responsa Nicolai Papae I na Con-Consulta Bulgarorum, Responsum 10, yaliyokutwa huko Mansi, Sacrorum Cocrorum Concilorum Nova et Amplissima Cellectio, Vol. 15, p. 406, pia Hefele, Conciliengeshict, Vol. 4, sec. 478).

 

Bongari, mtawala wa kifalme wa Bulgaria, alimwandikia Papa Nicholas I orodha ya maswali kuhusiana na jambo hili. Jibu kwa swali la 6 kuhusiana na kuoga miili na kufanya kazi siku ya Sabato, lilikuwa ni kama ifuatavyo hapa chini:

Swali la 6 kuhusiana na suala la Kuoga miili kunaruhusiwa kufanyika siku ya Jumapili, lakini sio pia kwa siku za Sabato (Hefele, 4 346-352, sec. 478).

 

Nicholas aliyangazwa kuwa ametengwa na kanisa na sinodi ndogo ya Costantinople. Photius, aliyejulikana kama baba za kanisa la Costantinople alichongea kenye ofisi ya Papa akisema kuwa:

Jambo hilo ni kinyume na kanuni, waliwafanya Wabulgaria wafunge saumu siku ya Sabato (Photius, von Kard Hergenrother, 1.643).

 

Swali kuhusu ninini iwe siku ya Sabato lilikuwa ni mabishano makali kati ya Wayunani na Wataliano. Neale alitoa maoni yake yakuunga mkono jambo hili kukipelekea kugawanyika kati yao mnamo mwaka 1064 (kwa mujibu wa jarida lisemalo Historia ya Kanisa Takatifu la pande za Mashariki, au A History of the Holy Eastern Church, Vol I, p. 731).

 

Waathingian (au Athingani) wa karne ya tisa walishawishiwa na Cldinali Hergenrother, wasimame kwenye mahusiano ya karibu sana na Mfalme Michael II (miaka ya 821-829) na inasemekana kwamba walikuwa wakiishika Sabato (kwa mujibu wa jarida la Kirchengeschicte, 1, 527). Waathingani walikuwa ni kikundi cha kidini waliokuwa huko Phrygia, walioaminika kuwa walikuwa ni uzao wa Melkizedeki kwa mujibu wa jarida lililoandikwa na Timotheus wa Costantinople linaloelezea kuhusu Kupokelewa kwa Mafundisho ya Upotovu (tazama jarida la ERE, art. Sects, Vol. XI, p. 319b). Utaona jinsi Whitley anavyoelezea hapo kuwa:

Wale walioitunza siku ya Sabato, kwa kadiri ilivyokuwa kwamba hawakumhusisha mtu yeyote, walijulikana kwa jina maarufu kama Waathingani. Hii huonekana kana kwamba walizishika sheria za Kiyahudi zinazohusu mambo ya usafi, lakini maelekezo yake yameadimika sana kuweza kusaidia kupata kueleweka chanzo chao na misingi yao ya imani (Soma jarida hilo hilo lililoelekezwa hapo juu).

 

Baada ya kushindwa kwa Chrysocheir, kiongozi wa Wapaulician mnamo kwenye karne ya tisa, na kuangamia kwa mji wa Tephrike, uliokuwa ngome yao, walifanya mauaji makubwa na wakatawanyika. Walidumu kuwepo kwenye jumuia zilizotawanyika za huko Armenia, katika Asia ndogo na hasa hasa kwenye Ufukwe wa Peninsula ya nchi za Balkani. Katika siku za kati kati ya karne ya tisa, walijionea uamsho huko Armenia ukiletwa na Smbat, ambaye kwa mujibu wa Conybeare yaonekana huenda alikuwa ndiye aliyeandika kitabu au jarida lijulikanalo kama Chanzo cha kukuelekeza kwenye Ukweli kwa Kiingereza husomeka kama Key to Truth (soma jarida hili la ERE, art. Paulicians, Vol. IX, p. 697). Makao yake makuu yaliwekwa katika mji wa Thondrak, wakapewa jina wakaitwa Wathondrakia.

Tawi lingine kutokea kwenye chanzo hicho hicho huenda ni lile linalopatikana kwenye kikundi cha  imani ya kidini kinachojulikana kama ‘Anthingani’ kikihusisha na Theophanes (kwa mujibu wa jarida la Chronographiaofia, 413), na pia jingine katika ‘Selikians.’ Mchunguzi wa mambo ya mababa wa imani aitwaye Methodias anadai kustahili kwake kushukiwa kuwa miongoni mwa watu wenye msimamo mkali wa kihafidhina mmoja ni Felix na wafuasi wake, ambao walishikilia kuamini kuwa mawazo-tegemezi ya ‘Manichaean’ ambayo kwa inahusiana na mashutumu yaliyowakabili Wapaulicians katika jarida liitwalo Cod. Scor. (kwenye jarida hilo hilo).

 

Uhamisho wa pili wa kupelekwa utumwani chini ya John Tzimiskes (970) alivyoonekana baadae.

 

Kwa hiyo basi inaonekana kuwa vikundi hivi vya kidini vilikuwa na mahusiano fulani ya kimafungamano na yalishutumiwa kwa kuonekana kuwa yalikuwa na mafundisho potofu na kuonekana hivyo na waamini Utatu hivyo basi yakamomonyoka na kuwa vikundi mbali mbali kimajina na kuteswa kwa kadiri ilivyowezekana. Wapaulician pia walikuwa wavumilivu katika hali hii na waliendelea kudumu kwenye imani ijulikanayo leo kama Sabbatati na Cathari katika Ulaya.

Mara zote Wapauliciani walikuendeleza kushikilia imani yao ya kuabudu Msalaba (kwa mujibu wa ushuhuda wa Waarmenia na Chazus), kwa hiyo, neon Chazitzarii, Chazinzarians (Staurolatrae) yanaashiria kuonekana kuwa hakikuwa kikundi kigodo cha watu walioshikilia imani hii, bali lilikuwa ni Kanisa lililoanzishwa kwa mwelekeo mzuri huko Armenia kama lilivyoonekana na Wapaulician (kwa mujibu wa jarida la ERE, art. Sects, p. 319).

 

Troitsky kwenye jarida lake aliloandika kuelezea Kanisa la Wahafidhina la Kiyunani (jarida liitwalo ARE, Vol. VI, p. 427), anaonekana kuwaelezea Waathiangani kuwa walifanishwa na Wayahudi. Walifungamanishwa nao, lakini hawakuelezewa kwa uwazi kama ni Wapauliciani. Troitsky anaonekana kuwaunganisha Wapaulician kuwa ni kama watu waliokuwa na imani yenye tabia zenye mchanganiko wa mambo yakisirisiri, tunayoyashuku kuwa hayapo sahihi, kuanzia kwenye kazi zilizoanzia. Wakionekana kuwa na mashaka kidogo kuwa Wapauliciani na Wapauliciani na Waathingani, au vikundi vya kidini vilivyokuweko Asia Ndogo, waliitunza Sabato na sheria ya vyakula vipasavyo kula na waliyapeleka mafundisho haya hadi Ulaya.

 

Wabogomili

Mojawapo kati ya makundi yaliyotokea kwa Wapaulician moja kwa moja katika Ulaya, inaonekana kuwa walikuwa ni Wabogomili (kama inavyoonekana ukitazama hapo juu) waliotokana miongoni mwa Waslavs na hasa hasa Wabulgars (kwa mujibu wa Powicke ERE, Vol I, p. 784).

 

Jina la Wabogomili huenda lilitokana. Muungano wa maneno mawili yaani Bog Milui yenye maana kuwa Mungu na aturehemu, au huenda ni Bogomil au ndugu waliopendwa na Mungu. Wabulgaria wawili wa siku za mwanzo MSS, waliothibitishana, walisema kuwa ‘papa’ Mbogomil alikuwa ndiye wa kwanza kufundisha ‘mafundisho ya upotovu’ maarufu kama heresy akiwa chini ya M’bulgaria Tsar Peter (kwenye miaka ya 927-968). Kwa hivyo basi inawezekana kuwa jina hili limetokana ama kuchukuliwa kutoka kwa mmoja wapo wa viongozi maarufu wa siku za nyuma yao aliyekuwa kiongozi wa imani hizi za kidini, kwenye karne ya kumi.

 

Wabogomil walifahamika kama Wamanichaean waliokuwa kwenye imani yenye mtazamo wa kimamboleo, kwa mujibu wa maelezo ya N. A. Weber (jarida lake maarufu kama C. E. art. Bogomils, Vol. II. P. 612). Kikundi hiki cha kiimani kinaaminika kama kilianzishwa kwenye miaka iliyofuata baadae kwenye Zama za Kati huko Costantinople na kwenye maeneo ya majimbo ya Balkani. Wabogomil walishikilia kuamini kwamba wote wawili yaani Shetani na Kristo walikuwa na uweza sawa katika uumbaji, kwa mamlaka na mapenzi ya Mungu. Wabogomil waliamini kuwa Mungu Baba alikuwa na mwonekano wa umbo la kibinadamu lakini alikuwa hawezi kukamatika. Wana wa Mungu akiwemo Sataneli (au Azazeli), waketio kwenye mkono wa kuume wa Mungu, na Yesu au Michael. Shetani alikirimiwa uweza wa kuumba, lakini aliasi. Akiwa pamoja na malaika wote waliomfuata, alitupwa chini kutoka mbinguni. Iliaminika kwamba Shetani aliziumba mbingu ya pili na nchi ya pili na kumfanya mwanadamu kutoka katika mavumbi ya nchi na maji. Shetani akashindwa kumpa mwanadamu roho yenye kumpa uweza wa kuwa nafsi hai. Hivyo basi, Baba akampa huyo mwanadamu uweza wa kuwa ni nafsi hai baada ya wao kumuomba afanye hivyo. Kupitia na maelelezo ya Hawa, Shetani alipoteza majaliwa yake ya uweza wa uumbaji, lakini bado alifanya na kuendeleza mahusiano yake na wana wa sayari hii. Mungu akamtuma Mwana wake mwingine, Yesu, auchukue mwili wa kibinadamu kupitia njia ya kuzaliwa kwa tumbo la Mariamu. Kwa hiyo, Shetani akahukumiwa kwa njia matendo ya Kristo. Satanieli akapoteza jina la kimbinguni au uungu halali maarufu kama El hatimaye akageuka kuitwa jina baya la Shatani kama anavyojulikana.

 

Sasa basi, habari hii imeandikwa na “maadui” na kwa kiasi fulani kuhusianisha na mfumo wa kihistoria unaohitaji kufafanuliwa. Hatahivyo, wasomaji wa Biblia wataona utaratibu vifungu vya maandiko matakatifu ambayo yameenezwa. Fikra hii kwakweli ni zaidi sana katika uwiano, kwa vile tuonavyo sasa kwa elimu ya mambo ya ulimwengu ya zama za karne ya kwanza, lakini ikigubikwa na kama inavyoelezewa na Powicke (hapo chini) ni sawa sawa.

 

Dhana yengewe ni ile iliyoendana sambamba, kwa mtu wa pekee aishiye mbinguni, ambaye ni Mungu Baba, ambao kwa wote wawili yaani Kristo na Shetani wanahusishwa. Hii ndiyo maana ya kusema kuwa Mungu ni yote katika yote. Dhana hii pengine imefafanuliwa kwa namna iliyo rahisi sana na wahafidhina, kwa sababu haihusiani na fundisho la roho.

 

Madai ya Weber, ambayo Wabogomili waliolikataa Agano la Kale zaidi sana kuliko ilivyokuwa Wapsalter na vitabu vya kinabii, inaonekana kuegemea kwenye Euthymius (kwa mujibu wa PG, Vol. Cxxx) (tazama pia Powicke, op. cit) ambako kuna vichwa 52 vya kanuni za imani, nyingi kati ya hizo ziliorodheshwa na Powicke na kuainishwa kwa mintaarafu kama ifuatavyo:

1.Kukataliwa kwa vitabu viliyoandikwa na Musa.

2. Historia ya Kristo ni ishara ya ujuzi wa kiwango cha juu sana kuliko uwaowote.

3. Walifundisha mafundisho ya Wabellian kuhusu Uungu wakisema kwamba majina yote matatu ya Baba, Mwana na Roho Mtakatifu yanamhusu Baba yeye yule. Hatimaye huko mwishoni roho zote tatu zitafanya kazi zake zitakabidhiwa kwa Baba. (Wazo la kusema kwamba watawakilisha kwa Baba halikuwa na uhusiano na fundisho la Utatu kama ilivyo dhana ya Euthymius alivyodai kutokana na mafundisho yanayohusisha imani kuhusu ushirika kati ya watakatifu waliohai).

4. Uumbaji wa Kishetani uliendelea kwenye sheria ambazo zilizaa matendo ya dhambi. Mungu akaingilia kati hapa duniani na kumtuma Malaika Mkuu Michael kama neno ambalo lilifanyika kuwa ni Yesu Kristo.

5. Roho Mtakatifu aliaminika kukaa ndani ya wateule tu (ambao ilifananishwa na Wabogmili).

6. Walifundisha pia kuwa wateule hawawezi kufa.

7. Walishikilia kuamini na kufunsha kuwa mahekalu au majengo ya Kanisa yalikuwa ni mahekalu ya mapepo na mashetani lakini waliruhusu kufanyika kwa ibada sehemu ile kinyume na matarajio yao.

8. Waliaminika kufikirika kuamini kwamba Yohana Mbatizaji alikuwa ni mtumishi wa Mungu wa Wayahudi aliyeitwa Sataneli.

 

Ilidaiwa pia kuwa kundi hili la kiimani liliukataa ubatizo wa maji na kushikilia ubatizo wa kiroho pekeyake (uliofanywa kwa njia ya kuwekea watu mikono juu yao), ambao huenda ikawa ulichukuliwa kutokana na kuingizwa kwa nguvu kwa imani zilizoaminika katika mifumo ya vikundi vya watawa wamonaki. Kundi hili pia lilikataa mafundisho kuhusu hali yakujinyima au kuepukana na ulaji wa vitu vilivyoharamishwa. Weber alielezea kwamba kikundi hiki pia kiliharamisha mambo ya kuoa na kuolewa na walikataza ulaji wa nyama. Imani hii ya Wabogomili iliendelea kwa vipindi vya karne nyingine nyingi kadhaa, ikifuata mfumo wa kimonaki. Na kwa kadiri vile maandiko yao yalivyokuwa yakichomwa moto, kwa kile kilichokuwa sasa kinajulikana na kuonekana nao wenyewe kuwa ni kilichukuliwa kutoka kwa Euthymius Zigabenus (aliyefariki baada ya mwaka 1118) kwenye Sura ya xxvii ya jarida lijulikanalo kama Panoplia Dogmatike ambamo alikanusha mambo ishirini na manne miongoni mwa baadhi ya madai yao waliyoyaita kuwa ni mafundisho ya uzushi (chini ya vichwa 52 kama vile Powicke).

 

Weber alichukulia kuwa Wabogomili huenda walianzia kutoka kwenye imani ya Waeuchite (huenda ilitokana na tabia yao ya mabadiliko kuwili ya mafundisho yao). Pia waliitwa Wamessaliani ambako walichukua imani yao inayoshikilia misimamo mikali ya kujinyima na kujiepusha na mambo ya ulimwengu yaani uascetisism. Mabadiliko haya ya tarehe hii isiyojulikana, yanaonekana kuwatenga wao mbali na makundi mengine. Umaarufu wao ulizidi kujulikana mnamo katika karne ya kumi na mbili. Kwa mara ya kwanza walitajwa kwa jina huko Philippopolis (ikimaanisha Waturuki Wazungu) mwaka 1115 (walijulikana kuwa waliendelea kuweka makazi yao na Wapaulician hapa kama ilivyo hapo juu). Kiongozi wao Basil, aliyekuwa mtawa wakiume na tabibu, ambaye alichagua mitume kumi na wawili, alitiwa mbaroni kasha kufungwa jela (mwaka 1111) baada ya kufanyiwa hila) na Alexius I, Comnenus (mwaka 1081-1118) ambaye alidai upigaji marufuku wa makosa. Baadhi yao walikatazwa, baadhi yao walifia magerezani (kwa mujibu wa jarida la Weber hilo hilo). Basil alihukumiwa kifo mwaka (1118) na maiti yake kuchomwa moto mwaka (1119 asema Powicke). Synod au Parokia ya Costantinople katika mwaka 1143, maaskofu wawili wa Cappadocia waliondolewa madarakani kwa ajili ya kutatiza mafundisho ya imani. Synod za Costaninople katika mwaka wa 1316 na 1325 pia walishutumu makundi haya ya kiimani. Wabongomili walibakia hadi kutwaliwa kwa nchi za Balkan na Waturuki kwenye karne za kumi na nne na kumi na kumi na tano (kama asemavyo Weber hapo juu). Powicke anasema kwenye jarida lake maarufu la (op. cit., p.785) ushawishi wake unapenyeka, kwenye jumuia ndogo zaidi ambayo kwayo walitawanyikia, kwa nyakati za baadae sana. Kinachoonekana kuwa ni jambo ni kile ambacho mafundisho ya Wapauliciani kwamba sio kwamba yalikuwepo kwenye jamii ambako walipelekwa na katika jumuia ya Slavic, waliowazunguka lakini walichukuliwa na utaratibu wa wamonaki, ambao walibadilishwa na watawa wakiume, lakini hata hivyo, wapinga imani na mafundisho ya Ukatoliki. Mafundisho ya Wabogomili kama walivyopelekewa, wakiwakilisha michepuko kutoka kwenye imani nyingine za kidini, ikichukuliwa kutoka kwenye Upauliciani na kwa kweli kutoka kwenye mafundisho ya Wapauliciani wenyewe.

 

Kwa hiyo sasa ni makosa, kuwa imani hii ya kidini miongoni mwa utaratibu wa kimonaki, kama Wabogomili, ambako kwa kweli vikundi vya jumla vya majina yale, ambao yalisambaa na kuenea kati ya Waslavs na katika Ulaya yote. Mtazamo mkuu wa mafundisho yake unaweza kuwa mwanzo mzuri wa msingi na mfano wa kulinganishwa kati Wapauliciani na imani za kidini za watu wa Ulaya, ambao ulipata ushawishi na wao.

 

Waelekevu tegemezi ambao, au wapinga imani ya madhehebu yanayoamini Utatu, walioenea kuelekea Ulaya yote nzima. Imani hizi za kidini yalijulikana kwa majina mbali mbali tofauti.

 

Waaldensia au Waaldenses

Lentolo ni mwandishi wa zama za historia ya Waaldensia na mwenye mamlaka kwa ajili ya mateso ya wakati wake ule. Historia hii haikuwa dhahiri hadi kufikia mwaka 1897 Comba aliweka ushawishi mkubwa kwenye nakala yake kwenye Maktaba ya Berne (kwa mujibu wa W.F. Adeney, art. Waldenses, ERE, Vol. 12,p. 669).

 

Kwa hiyo, historia iliyoandikwa na Muston jarida liitwalo (L’Israel des Alpes, Paris, 1851, au Eng. Tr.and reprint Israel of the Alps NY 1978) ni lazima itazamwe kinyume chake. Kanisa Katoliki la Kirumi linadai kwamba Waaldensian walikuwa ni wafuasi wa Peter Waldo wa Lyons. Jina lililopewa kwa Kifaransa ni Valdes, kwa Kilatini ni Valdesius, Valdenius, Gualdensis na Kitaliano kama Waldo. Alidaiwa kuingia kwenye wongofu mwaka 1173. Waaldensia wenywe walikataa madai haya, ambayo kwa umuhimu waliwaweka alama ya Kiprotestant, na kuwaweka wazao wake nyuma ya Ukristo halisi uliokuweko huko nyuma.

 

Nukuu za madai ya kale sana yahusuyo madai ni ya mtawa wa kiume Mdominicana wa Passau mwaka 1316 (jarida la Contra Valdense katika sehemu isemayo Maxima Bibliotheca veterum Patrum, Lyons, 1677-1707, xxv, 262 ff), inanukuu kwamba wanaaminika kuwa walikuwepo kwa wakati wa mababa jarida liitwalo (duravit a tempore patrum). Wakati mwine ujao inanukuliwa, ni kutokana na waraka wa Barbe Morel akimwandikia Oecolampadius mnamo mwaka 1530 (kwa mujibu wa A. Scultetus Annalium Evangeli…decades duo, Geneva, 1618, pp.295,306). Maandiko haya yaliigwa na Robert Olivetan na kuchapishwa kwenye kurasa za mbele kwenye tafsiri zake za Biblia mnamo mwaka 1535. Kwa hiyo basi, Waprotestant walikuja kuwaheshimu Waaldeansi, kama Kanisa moja inalindwa na imani ya kanisa la Agano Jipya. Kikundi hiki kiliwaita viongozi wao Barbe au Uncle yaani Babe au Mjomba, kwa ajili ya agizo la Biblia linalokataza watu kumuita mwanadamu hapa duniani kumwita baba, mwalimu au kiongozi (Mat. 23:9-10). Jina au cheo cha kumuita mtu Baba kilikuwa ni cheo cha kiongozi katika utaratibu wa kikundi cha imani ya Mithra na ulikatazwa kabisa kutumiwa kwenye Ukristo (tazama mfano wake katika C.K. Barrett jarida lisemalo Asili ya Agano la Kale: Makabrasha yaliyochaguliwa; yaani The New Testament Background: Selected Documents, rev, ed, SPCK, London, 1987, p133). Bado hakujawa na ushahidi kuthibitisha kama kikundi hiki bado kilikuwa kinaendelea kuwepo, kisibadilike, huko kwenye mabonde la Alpine. Kwa kukubalika kwao kwa ajili ya ukweli huu, basi ufafanuzi wa dhana ya pili katika kufafanua kuhusu kikundi hiki cha kiimani kuliendelea. Dhana hii inaaminika kuwa ilianzia Roma, wakati ambapo hatamu ya madaraka ya kiaskofu ilishikiliwa na Sylvester. Inaaminika kuwa Sylvester, ambaye baada ya ubatizo wa Costantino [ambaye alidhaniwa kimakosa kuwa kama alivyokuwa Costantine kuwa alibatizwa kwenye imani ya Waunitariani (ambao kimakosa waliitwa Waeusabiani au Waariani) na Eusabius wa Nicomedia] aliyelitia Kanisa kwenye mamlaka ya mtawala. Ilidaiwa kuwa askofu alivunjilia mbali na kwenda na kwenda kwenye Bonde la Vaudos, kisha wakaanzisha kundi la Waaldensia. Kwa hiyo, hata hivyo, uwezekano wa Waariani Wagoths, waliokuwa na Biblia waliokaa Goths kutoka mwaka takribani kama 351, waliwavutia maeneo yale. Mwanzo wa Kanisa kwakweli, ilipingamizwa na Kanisa la Lyons, chini ya Irenaeus na warithi wake (kama isemavyo hapo juu). Mwanzo wa ushawishi bado unaonekana katika zama za Claude, askofu wa Turin katika karne ya nane, chini ya Charlemagne na Louis Mnyenyekevu. Claude alifufua mafundisho ya Waaugustinian ya kukusudiwa tangu mwanzo, lakini ilidharau mamlaka ya Juu ya Kanisa ya Mafundisho ya Augustine,

Kwa mujibu wa namna ile Kanisa lilivyokuwa ni kiunganisho cha kati kimawasiliano kati ya Mungu na mwanadamu, likipingamiza madai ya kipapa na kukataa mafundisho yasemayo kwamba mtakatifu Petro kuwa alipewa uweza wa kufunga jambo na kufungulila. Alikuwa na misalaba pamoja na sanamu za kuchonga zilizoondolewa kutoka makanisani, na mambo haya yote yanatarajiwa Mageuzi (tazama  jarida la Adency, kama lilivyo hapo juu).

 

Makanisa ya Wavaudos, waliaminika kuwa alijumlishwa na parokia au diocese za Claude. Kwa mujibu wa Leger, Muston na Waaldense, walishikilia kwamba kama haliyao ya kuchukulia mambo kutoka pahala pengine kusingeweza kufanyika hadi wakati wa mitume, basi kungeweza kujulikana kwake. Hata hivyo, hakuna ishara yeyote inayothibitisha kuwepo kwao, kaka Kanisa lililokuwa mfano, kwa kipindi cha karne kadhaa baada ya kipindi cha Claude. Usemi wa Muston (katika jarida liitwalo Paris, p.xxxii, n. 2) hiyo ilikuwa katika mwaka wa 1096, Urban II aliwaelezea Wavaudois kama ni watu walioathirika na hafundisho ya uzushi, Adeney anasema (katika ukurasa wa 665), kuwa ilikutwa hivyo kimakosa, kadiri ilivyoonekana kuwa hakuna kumbukumbu kwa watu hawa, iliyokutikana miongoni mwa makatazo yake yaitwayo Bulls (cf. Comba p.154). Kuenea kwa mafundisho haya, hatahivyo, kulivunjwa moyo na Waathanasia kwamujibu wa vile ushahidi unaovyoonekana. Ukweli ni kwamba Kanisa la Waamini Utatu liliendelea kuwepo kule kwa kipindi cha karne kadhaa.

 

Adeney alishikilia kuamini kuwa Waaldens waliyakataa mafundisho ya kujitenga na kujinyima, mafundisho kuhusu toharani na ibada za kuwaombea wafu, na kukataa tafsiri iliyokuwepo juu ya sakramenti ambayo pia ilikuwa ikihudumiwa na makasisi wasiostahili (sura ya 666). Lakini anadhani kuwa mafundisho makamilifu hayajapata kufundishwa bado na nikama yamefichika na hayajajulikana. Matendo ya kidhahiri kuhusu mafundisho ya Kristo, yamejumuishwa kwenye injili zilizoandikwa, na ilikuwa ndiyo kiini chake kikuu, kama ilivyokuwa kwa akina Peter Waldo, mtu ambaye ilidaiwa kuwa jina lake ndio ilikuwa ni chanzo cha wao kuitwa hivyo. Waldo alifariki huko Bohemia mnamo mwaka 1217. Adeney anasema kwamba Knisa la Waaldensia lilikua kwa kupitia mchanganyiko huu wa kazi ya Waldona wa Watu Maskini wa Lyons, na vuguvugu la Arnold wa Brescia, Peter wa Bruys, na ‘Henry wa Cluny’ (kama hapo juu). Kwa hiyo, Waldo aliwekeza utaratibu wake kwa kiasi kikubwa sana kwenye makundi yaliyokuwa yameanza kuwepo kwanza huko nyuma tayari katika Vaudois na mahali pengine popote na kuwapa ujasiri mpya. Vuguvugu la Peter wa Bruys lililojulikana kama Petrobrusians, ndilo linaloelezewa pekee kwenye maandiko yanayosema kinyume chake na Mheshimiwa Peter na nakala yake huko Abelard. Kwahiyo, taarifa hii inaonewa mashaka. Peter alianza kufundisha kwenye parokia au sharika za huko Embrum, Die, na Gap kati ya takriban miaka ya 1117-1120. Alikuwa ni mshambulizi wa imani zilizoota mizizi miongoni mwa watu, aliyefikia hatua ya kuchoma misalaba. Alichomwa moto kwa kushitakiwa kuwa ni muenezaji wa mafundisho ya uzushi miaka ishirini iliyofuatia baadae, huko St. Gilles karibu na Nimes. Alipata wafuasi walioandama mafundisho yake huko Narbonne, Toulouse na katika Gascony. Mtawa wakiume wa Kicluna, Henry wa Lausanne alidaiwa kuwa aliyachukua mafundisho ya Wapetrobrusia mnamo mwaka 1135 na kuyarudisha upya kwa kuyaboresha zaidi baada ya kuuawa kwa ajili ya imani kwa huyu Peter wa Bruys. Mafundisho haya yalihusiana na ubatizo wa watu wazima, na inadaiwa kuwa kikundi hiki kilifundisha kuhusu na kuweka mkazo kwenye umuhimu wenza vifungu vya maandiko matakatifu yaliyopo kwenye Agano Jipya, nk. Utegemezi shirikishi kati ya nyaraka na injili na kukataliwa kwa Agano la Kale. Ni vigumu kuwa ni mpingaji wa mafundisho haya kikamilifu na huku ukiwa unalikataa Agano la Kale. Maagano yote mawili yanategemeana ili kutumiwa na wafundishaji wa ukweli wa neno na kukanusha mafundisho ya uwongo.

 

Inadaiwa sana kuwa pia walikataa kushiriki Meza ya Bwana na mapokeo ya Ekaristi, kwa kuwa marudio ya dhabihu yalikuwa sio rahisi. Waliamini kuwa Kanisa lilikuwa ni ile jumuia na sio majengo na walidhani kuwa majengo ya Makanisa yalipaswa kuharibiwa au kubomolewa kabisa. Madai kuhusiana na watu hawa, yanabakia kwa maadui zao. Nukuu zilizoko kwenye kitabu cha maarifa cha Kikatoliki, maarufu kama Catholic Encyclopedia kilichoandikwa na N.A. Weber (usomapo art. Petrobrusians, Vol. II, p. 781) ni mwandishi yule yule aliyeandika makala ya Waaldensian. Mawazo yaliyokutikana katika maeneo haya yalidaiwa kuwa hewani. Hata hivyo, jarida la ERE (katika makala yake ya Wapaulician na Waaldense) inafanya ionekane kwamba kulikuwa na maendeleo ya jumla ya mawazo kwa Ulaya yote kutoka pande za Mashariki. Tumeona kwamba chanzo hiki ni cha Wapaulician, ambao waliweka makazi yao huko Thrace. Bila shaka Makanisa haya yalifungamana na wafadhili wa pande za magharibi.

 

Waaldensian Wasabato au Wasabatati

Waaldensian,au Wavallense, walidaiwa kuwa walikuwa wamepatiwa jina la Insabathas au Insabbatati, kwa sababu hawakufanya maadhimisho ya ibada siku nyingine iwayo yote, ila ni siku ya Sabato peke yake. Ndio maana waliitwa kuwa ni Wainsabathas, kana kwamba hawakuwa wanatunza maadhimisho ya Sabato (kwa kuwa hawakuwa wanaadhimisha siku ya Jumapili), [kwa mujibu wa jarida liitwalo Watangulizi wa Luther, au Luther’s Fore-Runners, pp. 7-8 (ambalo kwa makosa lilitaja na kuona pia Gui, yaani Manuel d’Inquisiteur)]. Waaldensian hawakulipata jina lao toka kwa Peter Waldo ila zaidi sana ni kwamba walirudishiwa kwa namna ya kumbukumbu. Wanahistoria wa Kikatoliki huandika kana kwamba wanataka kutoa mkazo kwamba Waaldensian walikuwa ni mageuzi na kujaribu kubuni kuonyesha msukumo waliokuwanao, Wakatoliki, walikuwa na mamlaka ya kitume juu ya Makanisa mengine yote mbayo hatimaye yalikatiliwa mbali.

 

Propaganda hii hatimaye ilichukuliwa pia na baadhi ya Waprotestant kwa sababu ya tabia asili ya Kihistoria ya Wavallense, ambao walikuwa Wahafidhina katika imani ya Washika-Sabato. Peter Allix anasema hivi kuhusiana na watu hawa:

Sio kweli kuamini kuwa Waldo alitoa jina hili kwa wakazi wa mabondeni; waliitwa Waaldense, au Wavaudes, siku kabla wakati wake toka mabondeni walimokuwa wanaishi (kwa mujibu wa jarida liitwalo Kanisa la kale la Pidmont, au kwa Ligha ntingine, Ancient Church of Pidmont, Oxford, 1821, p. 182).

 

Allix anaendelea kwa kusema kuwa:

Baadhi ya Waprotestant, kwa mazingira kama haya, wameangukia kwenye mtego ambao uliandaliwa kwa ajili yao…. Ni uongo kabisa, kusema kwamba makanisa haya kamwe hayakuanzishwa na Peter Waldo…. Ni kinyume kabisa na ni kughushi (yamo kwenye jarida hilo hilo, uk. 192).

 

William Jones (katika jarida lake la Historia ya Kanisa la Kikristo, kwa Kiingereza, History of the Christian Church, Vol. 2, p.2) anasema kwamba yeye:

Alikuwa anaitwa Mvaldu au Muwaldo, kwa sababu alipokea mawazo yake ya kidini, kutoka kwa wakazi wa mabondeni.

 

Wakati ambapo mtu anapotathimini ushahidi wa kimaandiko matakatifu na maandishi ya watetea dini wa Kikatiliki kama vile akina N. A. Weber, utakuta kuwa hakuna ushahidi unaotolewa zaidi ya ukweli wa kwamba, mabarbe wawili hawa (maana yake ni Wajimba au Wazee) wa Waaldensian waliitwa Wavallense kwa mara yake ya kwanza, na Raymond wa Daventry kwenye matamshi yake ya shutuma mnamo mwaka 1180 (kwa mujibu wa jarida la Adversus Vallenses et Arianos). Adney ananakili hii kwenye kazi yake lakini Weber hajaweka hili. Inaonekana kwamba neno Vallenses lilichukuliwa kutoka kwa Waldo katika siku zake. Hatahivyo, hii haina maana yeyote kwa kweli, kama jina lenyewe linavyoashiria kuhusu mabonde na sio kwa Waldo. Hivyo basi wakati madai yakifanywa na Weber, na inaonekana pia kuwa na Adeney, mstakabala wake waweza kukataliwa ukaonekana kama ni dhana tu isiyo sahihi.

 

Inaonekana kuwa kuwekwa kwa mpangilo upya katika mji wa Milan, kulisababishwa na kuingia kwa msimamo wa hawa Wasabato au Wasabbatati kama walivyojulikana waliotokea pande za Austria, na pande za kaskazini-mashariki, waliopewa kile tunachoweza kugawana pamoja na vuguvugu hili. Kwa hiyo, uanzishwaji wa Chuo huko Milan na kwa chanzo kikubwa huko Austria ili kutuliza ama kuzima jaribio lolote la kuanzilishwa kwa ufuasi wa Waldo. Kwa kweli, Blair katika kitabu chake kijulikanacho kama Historia ya waaldense ama History of Waldenses (Vol. 1, p. 220) anasema kama tunavyo mnukuu:

Miongoni mwa makabrasha, tuliyonayo ya watu walewale, matarajio kuhusu Amri Kumi za Mungu yaliwekewa siku zake na Boyer takriban mwaka 1120. maadhimisho ya Sabato kwa kuacha kufanya kazi za kidunia kulijumuishwa.

 

Kwa hiyo, Waaldensian walikuwa ni watunza-Sabato na Waunitariani Waliobobea kiimani ambao kwa siku kabla ya Waldo walikuwa kwenye ulengwa. Kwa mujibu wa Dugger na Dodd, kwenye jarida lao la Historia ya Dini ya Kweli ama A History of the True Religion, (3rd ed. Jerusalem, 1972, p. 224 ff) linasema kama hivi tunavyo nukuu:

Benedict katika historia yake ya Wabaptisti anawataja Waaldense kwamba: ‘Tayari tumeshajionea wenwe kutoka kwa Claudius Seyeseel, askofu mkuu wa mteule wa papa, ya kwamba kile ambacho Leo ameshutumu ni pamoja na uanzishaji wa mafundisho ya kizushi ya waaldensian kule mabondeni, katika zama za Costantine Mkuu. Wakati vipimo hivyo vikamilifu vikianzishwa na Mfalme Honorius akiwapinga wale wanaowabatiza watu upya [yaani Waanabaptisti], walikiacha kiti cha utajiri na uweza, na kutafuta mapumziko ndani ya nchi, na kwenye mabonde ya Piedmont (Italia) ambayo kwa hakika ni sehemu yake ya mwisho, yakifanyika kuwa ni makimbilio yao yaliyokinyume na shuruti za mfalme’.

 

Rainer Sacho, mwandishi wa vitabu na majarida au makala wa Kikatoliki, anawasimulia waadense kuwa: ‘Hakuna kikundi cha kidini kilicho cha hatari zaidi sana kama walivyo Waleonist, kwa sababu tatu zifuatazo: kwanza kabisa ni kwa sababu ni cha zamani zaidi kuliko kingine kiwacho chote, wengine hudiriki kusema kuwa ni cha zamani sana kupita hata umri wa Slyvester, wengine husema kuwa ni cha siku nyingi zaidi hata kuliko hata mitume wenyewe. Sababu ya pili ni kwamba, kimefanikiwa kuenea kimafundisho kwa ujumla, kiasi kwamba hakuna chi ambayo hawajafanikiwa kufikisha mafundisho yao. Na sababu ya tatu ni kwamba, wakati ambapo vikundi vingine vinaonekana kuwa vinavunja maagizo kutoka kwenye mandiko matakatifu au kukufuru, hawa wanaonekana kwa dhahiri kabisa kuwa ni wenye mioyo ya huruma, wakiishi maisha yasiyo na mashaka na yenyehaki mbele za macho ya watu waliacha kuamini kitu chochote kimhusucho Mungu jambo ambalo si jema.’

 

Sacho anakiri kuwa waliendelea kustawi wakifanikiwa kwa kipindi cha takriban miaka mia tano mapema sana kabla ya kipindi cha Peter Waldo. Masalio yake yaliruhusiwa pia na Gretzer, mjesuit, ambaye aliandika makala kuwapinga. Crantz katika jarida lake lisemalo: Historia ya “Ndugu zetu Wapendwa Waliounganika,” anaongelea migawanyiko ya Ukristo kwa maneno yafuatayo: ‘Wakristo hawa wa zama za kale huweka kumbukumbu za siku zao kuanzia mwanzoni mwa karne ya nne, kipindi ambacho Leo katika mageuzi makuu ya kidini chini ya Costantine Mkuu, alipinga mabadiliko yaliyotakiwa kufanywa na Sylvester, askofu wa Roma.

 

Kwa mujibu wa Allix tunaona anavyosema kuwa:

Wana Mageuzi wanaamini kuwa Kanisa la Waaldensian lilianzishwa mnamo mwaka 120 AD, tarehe ambayo walipita kutokea kwenye mafundisho ya baba hadj mwana mafundisho waliyopokea kutoka kwa mitume. Biblia ya kilatini ya Kiitalia ilitafsiriwa kutoka Lugha ya Kiyunani kwa mwaka usiozidi ule wa 157 AD. Tunawiwa na Beza, aliyejulikana kama ni mshiriki mwenza wa Calvin, kwa imani inayoendana na Matamko ya Kanuni ya Imani ambayo Kanisa la Kiitalia lilihesabu kuanzia mwaka 120 AD. (kwa mujibu wa jarida la Allix lisemalo Makanisa ya Piedmont, au Allix Churches of Piedmont, 1690, adn, p. 177 na la Wilkison lisemalo Biblia yetu Iliyothibishwa Yenye Mamlaka, au Our Our Authorized Bible Vindicated, p.35 na jarida la Utambulisho wa Scrivener, au Scrivener’s Introduction, Vol. II. P. 43, cf na lile la Dugger na Dodd lisemalo Historia ya Dini ya Kweli, au, A History of True Religion, pp. 224-225).

 

Mbinu tendaji katika mwaka 120, inauthabiti na upelekaji wa wanafunzi wa Polycarp kutoka Symirna (na Efeso) kama tilivyoshughulika kujifunza kuhusu mateso ya Kanisa la Lyons, chini ya marcus Aurelius katika mwaka 177, ambapo Phontinus, mwanafunzi wa Polycarp, aliuawa kwa ajili ya imani ya kidini, na sehemu ya taarifa yake kupelekwa kwao Symirna. Makanisa huko Gaul yalikuwa chini ya uangalizi wa Baraza la kikanisa la Milan kwa kipindi cha karne kadhaa, kama ilivyojijenga ndani yake hadi uingiliaji wa papa ulipotokea.

 

Dugger na Dodd pia wananukuliwa (katika ukurasa wa 226) wakisema kwamba:

Atto, askofu wa Vireulli, aliwalalamikia watu wa aina hii miaka themanini kabla [kabla ya mwaka 1026 AD].na kulikuwepo na wengine wengi kabla yake, na kuna sababu kubwa sana za kutupelekea kuamini kwamba wakati wote walikuwepo nchini Italia (twasoma haya kwenye jarida la Jones liitwalo Historia ya Kanisa au Church History, p. 218).

 

Kwa hiyo, uanzishwaji wa chuo cha Waaldensian huko Milan, ni mbinu za kueneza utambulisho wa mambo yao kwakutumia njia ya asili. Dugger na Dodd waliendelea kumnukuu Mosheim akisema kwamba:

Huko Lombard, mji uliokuwa ni makao makuu ya kimakazi ya wafundisha mafundisho ya uzushi wa Italia, walipanua kikundi kimoja cha kidini, ikijulikana kwa sababu ambayo sitaweza kuitaja, kwa kukomesha imani ya Wapassaginian… Kama ilivyo kwa vikundi vilivyotajwa tayari, walikuwa na ukwepaji wa kina kutoka wanafunzi na uweza wa kimamlaka wa Kanisa la Rumi, lakini walitofautiana na mafundisho ya misingi ya kanuni ya imani kimadhehebu mengine ambayo yalikuwa ni ya pekee ya aina yake kwa jinsi yalivyokuwa kwa jinsi yake yenyewe.

 

Suala la kwanza lilikuwa ni juu ya wazo la kwamba maadhimisho au kuzishika sharja za Musa kwa kila kitu isipokuwa kwa sheria za sadaka au dhabihu, kulikuwa ni jambo la lazima kwa Wakristo: kwa matokeo ambayo kwayo yatakuwa… Walijiepusha na ulaji wa nyama zilizo najisi, matumizi ya vitu vilivyokatazwa kwa mujibu wa matarajio ya ubanamatumizi wa mafundisho ya Musa, na waliadhimisha Sabato za Kiyahudi. Fundisho lingine la pili lililoweka tofauti kati ya vikundi hivi vya kidini liliendelea mbali kutoka kwenye upjnzani hadi kwenye mafundisho ya uwepo wa nafsi tatu kwenye asili ya uungu (jarida liitwalo Eccl. Hist., Cent 12, Part 2, ch. 5, Sec. 14, p. 127. kama lilivyonukuliwa na Dugger na Dodd, kulitiliwa mkazo).

 

Dugger na Dodd wanafika mbali kwa kusema kuwa:

Kwamba Cathari haikurudi na kushika maadhimisho ya Sabato ya kale, ilithibitishwa na maadui wa Kiroma. Dr. Allix alimnukuu mwandishi maarufu wa vitabu wa Kanisa la Kirumi wa karne ya kumi na moja kuhusiana na mambo matatu yanayoweza kusababisha mafundisho ya kiuzishi kwa Wacathari, kwa Wapassiginiani, na Waarnoldista, Allix anasema kwa ajili ya huyu mwandishi wa Kirumi kwamba:-

 

‘anaweka jambo hilo chini kama ni mojawapo ya maoni au mitazamo yao, ‘kwamba Sheria za Musa zinatakiwa ziadhimishwe kwa mujibu sawa na waraka usemavyo, na kwamba utunzaji wa Sabato… na maadhimisho mengine yaliyoruhusiwa, yalitakiwa yafanyike na kuchukua mkondo wake. Walishikilia pia kuamini kuwa Kristo, Mwana wa Mungu, hayuko sawa na Baba, na kwamba Baba, Mwana na Roho Mtakatifu, watatu hawa… sio Mungu mmoja na kiini kimoja na salio, kwenye makosa haya, walihukumu na kushutumu madaktari wote wa Kanisa…(jarida liitwalo Historia ya Kanisa, ya Kanisa Makanisa ya kale ya Piedmont, au Eccl. Hist. of the Ancient Churches of Piedmont, pp. 168-169, cf Dugger and Dodd, pp. 227-228).

 

Kwa hiyo, inaweza kuonekana kwamba Wacathari, Waaldensian na Wapassigiani, walikuwa ni matawi ya kundi hili hili. Wangeweza kutofautishwa, kwa sababu hawakuwa kamwe kwenye orodha ya Makanisa yenye mafundisho ya uzushi. Waliweka utaratibu wao kwa kufuata misingi na mlolongo wa Agano Jipya na hii ndio mojawapo ya sababu zilizowafanya wasiwezekane kufutilia mbali. Na zaidi sana wanaonekaaa hasa hasa kuwa ni Watu tegemezi katika imani na waliojitoa katika imani ya Unitarian. Kwahiyo, Makanisa ya kwanza yaliyokuwepo barani Ulaya yalikuwa hayakuwa ya ama ya Wale wenye kuamini uungu wa miungu miwili (Waditheist/Binitarian) au Wenye kuamini mafundisho ya Utatu (Watrinitarian), lakini walikuwa ni Wenyekuamini uungu wa Mungu mmoja, yaani Waunitarian.

 

Dugger na Dodd pia wananukuu (kwenye kurasa za 228-229) kwamba walikuwa na jina lingine ambalo ni Wapateriane, kama walivyojulikana na kuitwa huko Liman, ambako lilitumika kwa mara ya kwanza, ilijibiwa kwa lugha ya Kiingereza sawa na ushenzi au kitu cha kawaida na ilitumika katika utaratibu wa watu wa hali ya chini, ambao waliojipatia riziki zao kwa kufanya shughuli duni. Dugger na Dodd wanadai kuwa Gazari ilikuwa ni uchafuko wa Wacathari, au Wapuritan, hatahivyo kwa vyovyote vile, kuna mfano jinsi nyingine ya kufanyia matendo. Hawadiriki kwa vyovyote vile kuwakilisha maswali kuhoji ushawishi wa Wakazari au Wakhazari, kama ionekanavyo hapo chini.

 

Bilashaka tunaweza kusema kuwa Waaldensian walikuwa ni imani ya Walioegemea ambao walikuwepo mapema kabla yake na hadi kwenye takriban mwaka 1179 mapema tu kabla ya kuanzishwa kwa Baraza la Lateran (hili halikugusiwa hata na Weber). Mabarbe zao wawili yaani kina Oliver na Sicard, walijikuta wakiingia kwenye mgogoro na askofu Montperoux katikati ya miaka ya 1175-1176 na miaka miwili au mitatu baadae, Papa Alexander III alimtuma caldinari wa mt. Chriysogone, aliyeitwa Henry wa Citeaux na Reginald, askofu wa Bath, kasha wakati akiwa njiani kuelekea kwenye Baraza la Lateran akisindikizwa na mtawa mwanaume aliyeitwa Walter Mapes na kasisi Raymond wa Kibaimia, ili atahiniwe na John wa Bellesmains, askofu wa Poitiers. Kasha wakaelekea hadi Narbonne ili wakafahojiwe na Bernard wa Fontcaude, chini ya baraza la kirais la kasisi Mwingereza aitwaye Raymond wa Daventry. Alikuwa ni kasisi huyu, Raymond wa Daventry, aliyelitumia kwa mara ya kwanza jina la Vallences au Waldenses. Hivyo walipewa jina na washitaki au maadui zao, kwa jina la mmojawapo wa viongozi wao. Mabarbe wawili walishutumiwa kwa kutuhumiwa kuwa walikuwa ni wahusika wa kufundisha mafundisho ya uzushi na huyu Raymond wa Daventry katika mwaka wa 1179, ambaye aliendelea na Baraza la Lateran. Tendo la kukiita kikundi hiki kwa majina ya viongozi wao wakuu limekuwa ni tendo la kawaida kwa kipindi cha karne kadhaa na kupewa muonekano wa uongo kama mkondo wa mawazo na makusantiko ya wahudhuriaji.

 

Mnamo mwaka 1180, Bernard wa Fontcaude aliandika kitabu alichokipa jina la Adversus Vallenses et Arianos (tazama jarida liitwalo Gay. Hist. des Vaudois, p. 16, n. I na pia Adeney, hichohicho uk. 667). Hapa Adeney anasema hivi:

Inaonekana kwamba majadiliano haya yanatokana na umoja uliopo kati ya Wapetrobrusiani na Wahenriciani na Watu Masikini wa Jimboni Lyons. Kwa takriban muda huo huo wafuasi wa Waldo waliungana na Waarnauldist wa Lombardy. Kwa hiyo Waaldensiani wa Ufaransa na Italia waliunganika, na muungano wao ulipatanguvu kutokana na mateso. Nia ya kutengwa nje ya ushirika wa imani na Baraza la kidini la Verona iliwaweka sawa wafuasi waliobakia wa Waldo na kuwatoa nje ya Lyons na kuwapeleka kwenye Jimbo, kwenye Mabaraza ya kifalme, na kwenye mabonde ya Piedmont, Lombardy, na hata baadhi yao Ujerumani. Kwa hiyo wengi wao walifanya kama alivyokuwa Innocent III alituma watumishi wake ili waende kuwakomesha hawa mnamo kwenye miaka ya 1198, 1201 na 1203

 

Bilashaka kabisa kwa namna yoyote ile kuamini kuwa sisi tunashughulika na Watutegemezi wa imani na mafundisho Wanaoamini juu ya Mungu mmoja yaani Waunitarian, ambayo ililinganishwa na kama na imani ya Waariani. Katika kipindi cha ukandamizaji cha mwaka 1203, watesi hawa ikiwa ni pamoja na askofu wa Kihispania na Dominic (anayeitwa mtakatifu) mwanzilishi wa shirika la Wadominicani, ambaye hatimaye alipata nafasi kwenye Baraza la kidini la Hukumu pamoja na Wabenedictine. Waliandaa mafanikio ya jinsi ya kushinda kwenye malumbano ya yaliyoishia takriban mwaka 1207, wakati mjumbe Peter wa Chateauxneuf alipouawa. Miaka miwili baadae, Papa alitangaza vita ya kidini. Kwa wazi kabisa, Adeney anaonekana kuhusishwa kuwemo kwenye vita hii ya kidini kama ni vita, lakini kwa kweli Waaldensiani ndio walikuwa hasa ni shabaha au waliolengwa kwenye vita hivi kwa maana ile ile. Mnamo mwaka 1210, Mfalme Otho alimuamuru askofu mkuu wa Turin kufafukuza Waaldense watoke kwenye diocese yake, na mnamo mwaka 1220 Muadhama Statutes wa Pignerol aliwakataza wakazi wake wote kuwapokea au kuwapa hifadhi watu hawa. Baadhi yao walikimbilia huko Picardy, na Philip Augustus aliwafukuza wapotelee mbali hadi walifika Flanders. Baadhi yao walikuja Mayence na Bingen, ambako miongoni mwao 50 walichomwa moto mnamo mwaka 1232. (jarida la Adeney hilo hilo linasema).

Walikuweko kwenye siku za mapema sana katika Hispania, wakishutumiwa na kushitakiwa Mabaraza ya Makanisa na kuharakishwa na Wafalme watatu miongoni mwao. (inasemwa na jarida hilohilo).

 

Kipindi hiki kiliishia kwa kuundwa kwa Mabaraza ya Hukumu na vita ya kidini ya Waalbigensiani, ambayo ilienea Uhispania kote ikitokea Ufaransa (tazama hapo chini). Watu hawa walikuwa ni jumla ya makundi tofauti ya Wakristo. Na kwa kweli baadhi ya vikundi hivi sio tu kwamba vilionekana kuwa ni vya Watunza-Sabato kwa zama hizi za mwanzoni, lakini pia waliteswa kwa ajili ya kufanya maadhimisho ya Siku nyingine Takatifu zilizoamuriwa katika Biblia. Jambo hili ni lazima lihusishwe na kuwekwa kwa makatazo kuhusiana nayo, kukihusishwa na ukiri unaotokana na mateso makali. Ili kwamba wanayohitaji kuyachukulia kwenye mashitaka wafanikiwe kuwa na ushahidi nayo. Hata hivyo, kuna ushahidi wa moja kwa moja kwa baadhi ya Makanisa ya Wahungari (kwa mfano). Ni muhimu kujua vita vinavyoongelewa hapo juu kama vilivyokuwa vimeanzia mnamo mwaka 1209, kwa kweli ilikuwa ni ya Waalbigensian, ambayo iliishia hadi ulipofika mwaka 1244 na iliwalenga wale waliokuwa wanatuhumiwa na kwa kweli waliteswa kikatili kabisa pasipo kuwahurumia. Mamlaka tawala iliamuru kupigwa mijeledi bila ya huruma na kuchochea chuki kuu imwaangukie mtu awayeyote miongoni mwao wale walioitwa kuwa ni waenezaji wa mafundisho ya uzushi na kasha waletwe mbele ya Baraza la Kidini la Mahojiano na hukumu (tazama kitabu cha mwandishi C. Roth kijulikanacho kama Baraza la Kidini la Mahojiano na Hukumu, maarufu kama C. Roth, Spanish Inquisition, pp. 35-36 kwa ufafanuzi zaidi). Mwelekeo wa Waaldensia kwa kipindi hicho hicho, unaonyesha kuwa tulikuwa tunashughulika na vikundi hivi vyote vya watu kwa mgawanyo unaolingana kama wa Waalbigensia. Waaldensia walikuwa ni wahubiri walioitafsiri Biblia moja kwa moja yaani kama ilivyoandikwa, ambao walikuwa ni Wafuasi-tegemezi ambao walipewa jina (kimakosa) wakaitwa Waarian.

 

Waumini waliokataa kufuata mafundisho ya Utatu katika Uhispania, walitambulikana na kukubalika na Wayahudi kwa ajili ya tabia na mwenendo wao ulivyokuwa yaani kwa ajili ya kukataa kwao imani ya Utatu, ingawaje kwa sheria ya Kibaraza za mahojiano ya imani ya dini iliyoletwa baadae mwaka 1519 na Andreas de Palacio, ilisababisha Wakristo kwa kiasi kikubwa wagawanyike au kushindwa kabisa (angalia kitabu cha Roth. Uk. 77 kuhusu makato haya). Mahali popote walipokuishi Waaldensia katika nchi ya Utaliano, baada ya marejesho ya imani kwa upande mwingine wanaonekana kana kwamba walianza kuwa ni wafuasi wa mafundisho haya ya Utatu na historia yao kama ilivyoandikwa na Waprotestant na kwa kiasi fulani inaonekana kujitetea kama inavyoonekana kupingana na historia ya siku za mwanzo ya tafsiri ya moja kwa moja kutoka katika Biblia.

 

Mnamo mwaka 1237 Papa Gregory IX alifanya mambo yafuatayo:

Alipeleka tangazo la amri ya makatazo kwa askofu mkuu wa Tarragona lililosababisha watu kumi na tano miongoni mwa wale waliojulikana kama ni wafuasi wa mafundisho ya uzushi wachomwe moto, Mfalme Ferdinand kwa mikono yake mwenyewe alishiriki kukoka kuni ili kuongezea ukali wa moto. Kwa wakati wake uliopangwa, Waaldeansian hawa wa Kihispania walikomeshwa (soma kitabu hicho hicho hapo juu cha Adeney).

 

Waaldensia walizidi kuenea sehemu nyingi za Ujerumani, ambako Makanisa yao yalipeleka wawakilishi wao ili kugombea vyeo au nafasi za kuhudumia kwenye Chuo cha Waadensian kilichokuwa huko Milan. Mkuu wa chuo alikuwa ni John wa Ronco ambaye aliteuliwa kushika wadhifa huoa kama cheo cha maisha, pamoja na kukusekana kupata kibali na Waldo.

 

Ilikuwa ni kwa ajili ya ukweli huu ambao ulisababisha mgawanyiko kati ya kundi la Wafaransa na lile la Wataliano na Kundi jingine la Wajerumani. Upande wa Lombards walimweka mchungajii wao mkuu (proepositus). Yeye pamoja na watumishi wengine wakishikilia nyadhifa zao kwa vipindi vya maisha yao yote, wakati ambapo Waldo na Waaldense Wafaransa waliokuwa chini ya mamlaka yake, walichagua viongozi wao kwa kila mwaka ili wahudumu kwenye ibada ya Ushirika wa Meza ya Bwana wakitumika kama wachungaji. Kwa hiyo, tunaweza kuanzisha kile tunachoweza kukifanya kwenye makundi yaliyokuweko kwenye karne hii ya kumi na tatu ambacho ni kushiriki Ushirika wa Meza ya Bwana kwa mtindo wa kila mwaka mara moja. Dhana au wazo la kudhania kuwa huenda walikuwa watu hawa ni washika maadhimisho ya Jumapili halionekani kuwa na maana au kushawishi mawazo na kuaminika.

 

Tatizo kubwa lisilo la kawaida lililojitokeza kuhusiana na jambo hili, lilikuwa ni kuendelea kuwepo kwa Waalbigensia kwa upande wa kaskazini na huko Ufaransa upande wa Alps. Upande wa kusini na mabonde ya Italia kulikuwa kunakaliwa na Waaldensian. Kutokana na migawanyiko inayoonekana hapo juu inawezekana sana kusema kwamba majina yaliyotolewa na Wakatoliki kuwaita wale wanaoshughulika na mabaraza ya mahojiano inaonekana kuwa na ukweli kuhusu wao wenyewe. Makatazo yaliyokuwepo huko Hispania hata hivyo, yanatuashiria kuwa na sisi tunafanya kitu kile kile kama ilivyokuwa ikifanywa na kikundi hiki cha kidini. Mgawanyiko uliojitokeza baadae ungaloweza kudhaniwa kuwa ni wa tofauti na hali halisi, ni wakati kikundi hiki kilipoamua kuwa ni cha mrengo wa Kiprotestant unaoamini imani ya Utatu. Hatimaye Bohemia alifariki miaka 40 baada ya kufariki kwake Waldo kwa mujibu wa mahakimu waliokuwa wanasimamia mabaraza ya kidini ya Passau, alikuwa na vituo alivyoviita kuwa ni viota 42 vilivyoitwa kuwa ni vituo vya kufundishia mafundisho ya uzushi (kwa mujibu wa Adeney, op. cit). Mfalme Octakar aliamuru yawepo mateso ambayo yalikuwa ni mabaya sana chini ya Papa Benedict XII mnamo mwaka 1335. Kuinuka kwa vuguvugu la Wahussi kulisababisha mchangamano wa namna ileile kwa makundi mawili wakitumia jina la Watabora. Adeney anaamini kwamba aliyekuwa maarufu zaidi kuliko wote ni barbe Frederic Reiser. Baada ya miaka 25, miongoni mwa Waaldensia wa Bohemia na Austria, alikufa kifo cha kuchomwa moto huko Strassburg mnamo mwaka 1458.

 

Kwa hiyo, kuna angalau vikundi vine kwa zaidi ya nchi nane, ambavyo baadhi yake vilikunganishwa na Waprotestant. Walikuwepo Waaminitegemezi, au Waunitaria, katika Austria katika karne ya kumi na tatu na Mahakimu wa Krems waliitenga mitaa 36 katika mwaka 1315, na kuwaua kwa kuwachoma moto mashahidi wafia dini 130. Askofu wa Neumeister aliuawa kwa kuchomwa moto akichukuliwa kama ni miongoni mwa watu hawa wafundishaji wa mafundisho ya kiuzushi huko mjini Vienna. Alisemekana kuwa alisikika akitanga kwamba kulikuweko na takriban Waaldensian 80,000 kwenye mapambizoni mwa Austria mwishoni mwa karne ya kumi na nne kulitokea mauji makuu na ya kikatili sana huko Syria. Kulikuwa na na mikakati ya makusudi iliyoratibiwa vizuri iliyopangiliwa huko Italia yalitokea Austria ambako wamisionari walisafiri wakijifanya kama wafanya wachuuzi wa biashara ndogondogo (yameandikwa kwenye kitabu hiki hiki cha Adeney). Vuguvugu hili lilikuwa na chuo huko Milan kipindi ambaho Waldo akiwa hai, bado hajafariki. Kutokana na hatua hizi ni vigumu kudai, kuwa kama vile Adeney alivyokuwa, kwamba Waamini-tegemezi wa Austria walikuwa ni Waaldense, ambao kwamba wakipelekewa wahubiri au uinjilist toka Austria kwenda Italia. Askofu aliokekana kabisa kuwa ni wakundi moja hilohilo, aliyeitwa baadae Waldense. Kundi hili pia liliitwa ni Wasabbatati au Washika-Sabato na pengine waliitwa Insabbatati ikiwa na maana ile ile, ambao ilidaiwa kuwa walichukuliwa kutoka kwenye miti iliyoitwa sabots au kwenye viatu vya siku za kale zilizoitwa talawanda, ambavyo vilivaliwa. Ni vema sana kufikiri kwamba kuharibika kwa mitazamo yao kuhusu Sabato, kulibadilika na kuwa ni maneno matupu. Hii hasa ilikuwa ni maendelezo ya maneno au usemi usemao Sabotiers yaani Watunza Sabato na kisha waliitwa Wasandaliati ikimaanisha vilevile. Weber (katika jarida lake liitwalo C.E. art. Waldenses, Vol. XV, p. 528) ikishindwa kugundua tofauti ya mabadiliko ya Lugha kati ya maneno na kwa kweli kuyachanganya kwenye maagizo yao ili kuhakikisha nafasi yake. Pia anadai kwamba vikundi hivi vya imani vilichukuliwa kutoka kwa Waldo, vikidharau karibu kwa sehemu zote ushahidi uliotajwa na Adeney. Huenda taarifa zaidi ilipatikana kwa Adeney, lakini mtafaruku uliokuwa ndani ya kazi ya Weber inaonekana na inaeleweka kutolewa katika historia.

 

Waaldense walikatazwa kuhubiri na askofu mkuu na wanadaiwa kuwa walikata rufaa kwenye Baraza la tatu la Lateran, chini ya Alexander III, ingawa walishutumiwa, kutoka juu, mbele ya Baraza mnamo mwaka 1179. Walitathminiwa kwenye mitihani. Inapaswa ikumbukwe, kwa siku hizo kwamba katika utaratibu wa zama za kati ulitoa uhakikisho kuwa kasyi ilikuwa ni mali ya mabwana zao, chini ya maongozi yaliyotoka Roma na kwamba haikuwa rahisi kushikilia imani iwayo yote, sio kwa kufuata mujibu wa Roma. Kwa hiyo walitakiwa kujitokeza kama walivyoambiwa, ingawaje hawakuwa na makubaliano na madai ya Roma. Si kwa kufanya hivyo, walipaswa kuuawa kwa kuchomwa moto kwa namna iwayo yote.

 

Mgawanyiko mwingine uliokuwa muhimu sana kuwemo miongoni mwa Waaldensian, waliotokea toka kwenye mafundisho ya Waaldensian Wataliano, kwamba sacrament zilizohudumiwa na makasisi wasiostahili zilikuwa hazina madhara yoyote. Wafaransa hawakukubaliana na mtazamo huu. Wataliano wazilikataa sacrament zote zilizotolewa na makasisis wa Rumi na kwa wakati huo huo kusisiza mshikamano wa karibu na mafundisho ya Agano la Jipya. Migawanyiko hii ilijadiliwa katika halmashauri kuu iliyokutana mwezi wa tano au Mei 1217, mwaka aliofariki Waldo (kwa mujibu wa kitabu kilekile cha Adeney). Matawi mawili ya Waaldensian walianza mawasiliano kwa wakti wote, lakini kwa wazi kabisa walikuwa na migawanyiko mipana na kuwepo kwao Wafaransa wa upande mmoja wakiwa kwenye mtangamano wa kuwepo kwao na Waalbigensia.

 

Katika karne ya kumi na tano, baraza la mahojiano na hukumu la kidini lilinakiri na kufunua wazi kwamba kulikuwa na idadi kubwa na yenye ushawishi mkubwa wa Waaldensia katika Italia ya kati. Katika Calabria, Waaldean kutoka Piedmont, walishinda karibu kwenye wilaya zote. Waliendelea kustawi kwa zaidi ya miaka 250, ambayo kwamba karibu wote walinyamazishwa na mateso yakuangamiza jamii (kwa mujibu wa jarida hilo hilo la Adeney).

 

Mfumo wa Kifaransa wa vuguvugu la Kanisa, isipokuwa Waldo, ulikuwa ni maongozi wa maaskofu, wakati ambapo ule wa Utaliano ulikuwa ni wamaongozi ya wazee wa makanisa, ukiundwa na maongozi ya baraza la Kanisa, pamoja na maongozi ya wachungaji kiongozi na baraza la walei. Synod ya kila mwaka iliundwa na wazee na wasaidizi kwa idadi sawa (jarida hilo hilo la Adeney).

 

Waaldensia kwa taratibu sana waliwekwa kwenye mabonde ya Italia upande wa Cottian Alps. Hivyo basi, Vaudois ilidaiwa kuwa lilikuwa ni jina la kijiografia. Adeney anakanusha jambo hili na anakubaliana kwamba jina Waldo lilitokana na Watu Masikini wa Lyons na kwamba hatua za mwanzoni hazina mashaka, alikubalika kuwa ni katika ujumla wote kwa eneo zima la Alps na kwamba ilifunuliwa kwake na kushirikiana na Waalbigensia. Ni jambo lisilokuwa la hakika kwamba vikundi hivi vya Waumini tegemezi, viliitwa Wamanichaean na Wakatiliki, ambao walienea kutoka Balkani, kuendelea hadi ndani kabisa mwa Austria na kaika Ufaransa na Uhispania, na kwa namna fulani na kupitiwa na Alps na Waaldensia, waliokuwa wameishi kwenye majimbo yaliyokuwa sawa na hayo.

 

Ufumbuzi unaoonekana kuwa ni muafaka zaidi, ni uke wa kwamba Waaldensian walibadilika kwa ajili ya mateso yale na yakawa ni sababu ya kuendelea kuwepo kwa Waprotestant. Baada ya wao kuacha kuwa Watu wa imani tegemezi, ni jambo la kushangaza kigodo walishikilia kufanya ibada zao siku ya Jumapili. Kwa kweli, wanahistoria wao waliofuata baadae walidai kwamba walikuwa hivyo kila wakati. Mnamo kwenye karne ya waumini walioishi mabondeni walipitia kwenye kipindi cha mateso makali yaliyofanywa na Duke wa Savoy, pamoja na idadi kubwa ya watu waliolazimika kukimbilia mnamo mwaka wa 1434. Mnamo mwaka 1475 Hakimu wa Baraza la mahojiano aitwae Acquapendente, baada ya kutembelea kwenye bonde la Luserna, ililazimu bwana wao kukataza au kupiga marufuku utii wao kwenye mambo ya dini na kuwaasa watii mashauri yote yanayotokana na Baraza hili la kidini la Mahojiano na hukumu. Kasha kulikuwa na mfululizo wa maasi, yaliyopelekea uingiliaji kati wa Duke Charles I mnamo mwaka 1484. shambulio la kwanza na lililokuwa kubwa sana lililofayika kwa kutumia jeshi lenye silaha kali lililofanyika chini ya Philip II (liwali wa Savoy mwaka.1490 na Duke katika mwaka 1496). Mwaka 1494, wakati ambapo Philip alipoangamizwa vibaya sana, hata akapanya mapatano ya amani nao kwa muda wa miaka 40. Adeney anakubaliana kwamba sio jambo rahisi kuweka mambo yote sawa, kama mitazamo ya kitheolojia ya Waaldenses ilivyokuwa katika kipindi hiki.

Wakati tunapokutana na Matamko ya Ukiri wa Imani ya Waaldensian, hii ni maranyingi wakati wa Mageuzi ya mambo ya imani yatokanayo na mafundisho ya msingi wa imani na vifungu yanayoweza kutofautishwa na vuguvugu lile. Imani ya mwanzo kabisa ya Kiprotestant kwa sehemu Fulani ilikuwa kinyume, kwa ajili ya kuyakataa mafundisho ya Kanisa Katoliki la Roma na matendo ambayo isingeweza kuhesabiwa haki au kukubalika na Agano Jipya, ka kwa kadiri vile ilivyokuwa ikikubaliana yakafanyika kuwa ni kitu rahisi na ibada ya kiroho kinachokubalika ili kufanyika kuwa sawia na mtazamo wa Kanisa la kikale (kwa mujibu wa kitabu hiki hiki cha Adeney, uk. 668).

 

Wakati ule wimbi la vuguvugu la Mageuzi ya kiimani lililopata mlipuko wake, kikundi pekee kilichokuwa kimejipanga vizuri katika bara lile kilikuwa ni cha Waaldeansian na Wahusai au Ndugu wapendwa wa Kibohemia ambao kwa namna ya kote kuwili yaani Waprotestant na Wakatoliki walilijifanya kuwa ni Waaldensia (kinasema kitabu hiki hiki cha Adeney). Kwa hiyo, utumiaji wa majina haya yalifanyika kimakosa.hata kwa siku zile zilizofuatia zama za Mageuzi ya kiimani. Mafundisho ya kiimani ya siku za mwanzoni hayawezi kuanzilishwa na hali ya uyakini tu. Hata hivyo hakuna shaka kuamini kuwa walikuwa ni Waumini tegemezi wa mrengo wa imani ya Uunitaria, wakijulikana kama Waarian na waliadhimisha Ushirika wa meza ya Bwana. Kwa kawaida tendo hili la ushiriki meza ya Bwana lilihusiana na Watunza Sabato. Hatimaye likafanyika kuwa ni tendo la Waprotestant wanaoadhimisha ibada za Jumapili, wakati mwingine wakiiicxhukulia ekaristi kwa kuifanya iwe na maana sawa na Meza ya Bwana. Kwa kuona kwamba tendo hili lili lilitumika katika maelekezo yake ya kawaida, na hatimaye kwa mantiki iliyo sahihi sana, uelewa wa umuhimu wa Sabato uliutangulia ule wa adhimisho la Pasaka au Meza ya Bwana. Vifungu vya maandiko matakatifu vilivyoko hapo juu vinaashiria kuwa walikuwa ni watunza-Sabato. Huenda Adeney alikosea kuelewa maana halisi ya neno Ushirika wa Meza ya Bwana.

 

Waaldensia waliamini kuwa kikao cha baraza la sinodi kilichoketi huko Piedmont mwaka 1531, kwa lengo la kujadili taarifa ya mafundisho ya Waprotestant yaliyotolewa na George Morel. Waligawanyika kwa makundi kuona kama ama waikubali imani ya Kiprotestant, ama la. Makundi mawli haya yalijulikana kama ni ya Wahafidhina na wenye kutaka Mageuzi mapya (tazama kitabu cha Adeney, hasa kwenye ukurasa wa 668). Kwa hiyo ni kwamba, mafundisho ya kwanza ya asili yale ya kwanza hayakuwa ya Kiprotestant. Kutoka kipindi hiki na kuendelea mbele yaliunganishwa na ya Waprotestant. Kujitenga kwa Roma utaratibu wa kipindi kijulikanacho na wanazuoni kama zama za kati za historia, ambacho kilijulikana kama kipindi cha kushamiri kwake ibada za sanamu, kwenye ibada za kiroho, na matumizi ya Maandiko Matakatifu kwenye lugha zao za asili, ambapo mitazamo ya Waaldensia iliyokutikana ikikaribishwa kusaidia kutoka Wanaharakati wapenda Mageuzi wa Kiprotestant na waliokuwa na ushawishi mkubwa sana. Kuanzia mwaka 1532 na sinodi ya Chamforans ya Angrogna mabadiliko kadhaa yalifanyika kama ifuatavyo:

  1. walianzisha ibada za wazi na Makanisa ya Waaldensia badala ya mikutano ya kisirisiri.
  2. kulikuwepo na shutuma dhidi ya desturi ya baadhi ya Waaldensia walioshiriki ibada za Wakatoliki [kukatokea mashaka kidogo kwamba hii iliendeleza na kukuza hofu mateso (kama inavyosema Ufunuo wa Yohana 2:20-22)];
  3. kukubalika kwa mitazamo na misimamo ya wanaharakati wa Mageuzi katika imani ihusuyo fundisho la kukusudia tangu mwanzo, matendo mema, viapo, kuyapinginga mafundisho yanayoelezea ukiri wa lazima ili kutimiza uhakiki wa jambo, mifungo ya saumu ya siku za Jumapili, ufungaji wa ndoa kwa viongozi wao wa kidini yaaani makasisi, na sacrament mbili.

 

Masuala haya yalipigiwa kura na kutaniko na kukubaliwa na wingi mkubwa wa watu.

 

Waaldensia, waliokuwa katika upande wa Ufaransa wa Waalps, waliokuwa zaidi sana ni waongofu, walikimbilia kwenye Uprotestant wa Kifaransa. Mateso yaliyokuweko huko Bohemia na Kusini upande wa Kusini mwa Italia yalifikia kiwango cha kufikia karibu na kuyafutilia mbali Makanisa ya Waaldeansia kwa pande zile, wakiwaacha Wapiedmont pekeyao na Wataliano walioishi mabondeni wa Cotian Alps, walioitwa nchi ya Vaudois, wakiwa kama ni wakazi pekee (Adney, uk. 669) ingawaje wengi wao walitawanyikia katika Uswiss na Waprotestant wa Kijerumani.

 

Mnamo mwaka wa 1536, mji wa Piedmont ukawa chini ya mamlaka ya utawala wa mfalme Mfaransa aliyeitwa Francis I, ambaye aliishia utawala wake mnamo mwaka 1559. William wa Furstenburg, Mprotestant thabiti, alichaguliwa kuwa liwali na likuwa na urafiki wa dhati na Waaldensia. Alimwacha kaka wa Mwanamageuzi ya kidini Farel msimamizi wa Lusema na Waaldensia wakaishi maisha buheri, lakini hatahivyo, na wakati huu, Waprostanti wa kweli na waliokuwa sahihi. Kwa hiyo, ilikuwa ni kwaajili ya hali hii ya kupotosha, ilisemekana kuwa wakati wote ni Waadhimishaji wa ibada za Jumapili, lakini sio kwamba walikuwa ni Waamini Utatu hadi kufikia katika karne ya kumi na nne na bado walikuwa kwenye mateso. Kwa kweli, jambo hili halikutokea hadi kwenye zama za Matengenezo ya kidini. Tendo la kukutanika makutaniko ya ibada kwa siri bilashaka lilishinikizwa na mateso makali yaliyokuwepo kwa wakati ule. Hali iliyokuwa imerithiwa ya kwendana na mabadiliko ambayo waliiona maisha au uendelevu wa dini zao, wakati ambapo ushambulizi wenye mujibu wa kibiblia kwayo, bila shaka hili nalo lilidhihirika. Kwa hali iliyosawa na ile iliyoandikwa na wanahistoria wa Kiprotestant Washika ibada za Jumapili na imani ya Utatu, ambao walikuwa wanajaribu kuendeleza mlolongo endelevu wa Kiprotestant kurudi nyuma kwenye hali ya zama za Mitume. Hawakupenda Washirika Tegemezi wanaoadhimisha Ushirika wa Meza ya Bwana, jambo ambalo lilikuwa ni la muhimu. Lakini pia gombo za maandiko ya kale zilikuwa hazipatikani huko Muston, kwa mfano.

 

Waaldensia waliteswa kwa kipindi cha miaka mingi sana. Kipindi kibaya zaidi kilikuwa ni kile cha miaka ya 1540-1690. Mnamo mwaka 1534 mle Jimboni kulikuwa na maangamivu ya kirimba yaliyofanyiwa Makanisa ya Waaldensia yaliyokuwemo katika jimbo hilo. Eneo la Wataliano la upande wa Alps liliwekwa chini ya uangalizi wenye ushawishi la kijamii na Della Trinite mkuu wa majeshi wa milki ya Philbert, liwali wa Savoy. Waaldensia walishinda na walijaliwa kupata amani kuanzia tarehe 5 June 1561.

 

Waaldensia wa Calabrian walipata mateso na wanajeshi wa Hispania wakiwa chini ya uongozi wa mwamuzi wa Baraza la kidini la mahojiano na hukumu aliyeitwa Michele Ghislieri hatimaye Papa Pius V. Wana au uzao ule walioshindikana kufutiliwa mbali kwenye maangamivu haya ya mauaji ya kuangamiza halaiki ya watu yaliyofanyika katika karne ya kumi na tatu waliteswa. Watu takriban 2,000 waliuawa na wengine takriban 1,600 walitiwa vifungoni. Huko Piedmont, wakiwa chini ya mashirika ya kitawa ya Wajesuit na Wakapuchini, wakisaidiwa na maaskari, kulitokea mateso kadhaa ya chini kwa chini, wakiwa kwenye mazingira-zingiwa ya majengo ya Kanisa na kupelekea kwenye matokeo sawia ya vita vya umwagaji mkubwa wa damu vilivyotokea mwaka 1624, ambavyo kwa pande zote mbili walipata mateso. Peter Gilles alikuwa ndio kiongozi aliyekuwemo wakati huu.

 

Kulikuwa na mateso makubwa sana kufanyika siku za uongozi wa Luis XIV, wakati ambao kijana Charles Emmanuel II alipofanywa kuwa liwali wa Savoy. Mama yake Mary de Medici alikuwa dada yake mfalme Henry IV na mjuu wa kike wa Catherine de aliyeandika habari za mauaji ya kuangamiza halaiki ya Mtakatifu Batholomew. Baraza ambalo kwa ajili ya Utangazaji wa Imani lilianzishwa huko Turim. Miaka kama takriban mitano iliyofuata baadae tangazo la makatazo lijulikanalo kama Tangazo la Makatazo la Gastado lilitolewa, likiwataka familia zote za Waaldeansia zilizokuwa kwenye uwanda wa wazi, warudi kwenye milima katika kipindi kisichozidi siku 20, au vinginevyo watatakiwa wajitangaze kuwa wamekubali kuwa Waprotestant. Wakati wa kipindi cha baridi kali kabisa, walivumilia mateso makali sana wakiwa katika ujasiri mkubwa sana. Inaonekana kuwa hii ilikuwa ni mashambulizi ya ghafla na takriban kiasi cha wanajeshi 15,000 walipelekwa huko la Torre, licha ya ukweli kwamba Waaldensia walielekea milimani. Majeshi ya Wakatoliki walipenda washirikiane kutenda na walifungua milima ipite kwao. Walilengwa na mauaji haya ya kuangamiza halaiki ya kimbari na kulikuwa na watu takriban 1,712 wafia dini waliopatikana kwa mujibu wa hesabu iliyofanywa na Jean Leger, mwandishi wa kitabu cha historia ya Waaldensian (kichonukuliwa na Adeney, uk. 670). Mauaji haya ya halaiki yaliyofanyika kusikika Tangazo la upigaji marufuku la Nantes (mwaka 1685), yalilitikisa bara la Ulaya. Cromwell alitangaza kufanyika kwa ufungaji wa saumu. Alimpata Milton waliyekuja karibu yake siku za baadae aliyempelekea mfalme wa Ufaransa na kwa wana wa ufalme wa Waprotestant. Akampeleka Bwana Samweli Morland kwa liwali wa Savoy ili apinge. Uingiliaji kati wake Cromwell ulikuwa na madhara. Wamozaria walimwelekeza liwali ahitimishe kwa kuyakomesha mateso na kuwapa ahueni au msamaha Waprotestant.

 

Mnamo mwaka 1686, mwaka uliofuatia lile Tangazo la marufuku lililotolewa na Nantes, Luis XIV aliyepeleka waraka kwa binamu yake, Victor Amadeus II liwali wa Savoy, kwamba aliwatesa Waaldensia, sawa na vile alivyokuwa akiwatesa Wahuguenot, kipindi walipokuwa wanakimbilia kwa Waaldensia. Wakati mateso yalipokuwa yalianza, Waprotestant wa Uswiss waliokuwa katika Basle waliingilia kati, huku Waaldensia wakiwa wanajitoa mhanga kukimbilia huko nchini Switzerland. Wajumbe wa Kiswiss walimudu kwa hali ngumu sana, kuwashawishi Waaldensia kukubaliana na hali hii ya ukimbizi. Mnamo tarehe 9 Aprili 1686 liwali alitia sahihi tangazo la marufuku, wakiruhusu waende ukimbizini. Hata hivyo, licha ya jambo hili, baadhi ambao waliokubali kwenda ukimbizini walikamatwa na kutiwa mbaroni gerezani. Waaldensia walizuiliwa kwa ajili ya kizuizi hiki cha maneno. Vita vilianza na hadi kufikia mwishoni mwa mwaka, watu 9,000 waliuawa na 12,000 walifungwa magerezani, wengi waoi waliokufa kwenye tundu za wanyama huko Piedmont. Kulikuweko idadi ya watu takriban 200 walioachwa milimani na wafanya maandalizi aina kama ile ya vita vya msituni, ambayo hatimaye walijipatia nafuu ya wafunwa walioachiliwa huru na waliokuwa bado wanaendelea kuishi na maandalizi yao yaliyokuwa yako salama huko Switzeland. Wahanga takriban 3000 waliachiwa huru katika mwaka 1687. Walijiweka sawa wakikabili Alps iliyokuwa huko Geneva (iliyokuwa umbali wa takriban siku kumi na mbili), na wengi wao walifia kwenye theluji. Hii ilifanyika licha ya uasi wa Waswiss na watoto waliokuwa chini ya umri wa miaka kumi na mbili walizuiliwa, kujiunga na vitivyo vya elimu au kupata elimu kama walivyokuwa Wakatoliki Warumi. walitawanyika na kuenea hadi kufika huko Brabdenburg, Prussia, Wurtemberg na Palatinate, ili kulinda jaribio lao la kurudi.

 

Waaldensia walipata utawala katika nchi yao ya kuzaliwa kwa njia ya ushambulizi, wakitokea kwenye milima ya Switzerland wakiwa pamoja na takriban watu 1,000 wanaume mnamo tarehe 16 August 1689. Kwenye bonde la Jaillon, baada ya mwendo wa siku sita, walilishinda jeshi la watu 2,000, wanajeshi wa Kifaransa wakiwa chini ya Marquis de Larry. Wafaransa walipoteza wanajeshi 600 na Waaldensia walipoteza watu 15 na 12 walijeruhiwa, ingawaje walipoteza 116 wakiwa njiani. Waaldeansia walipigana kutoka La Basiglia na walichukua nje mapigano ya milimani kipindi cha baridi mwaka 1690.

 

Mnamo tarehe 23, May 1694 walipewa uhuru wa kidini, kwa tangazo la makatazo ya Victor. Papa Innocent XII alitangaza tangazo la makatazo, wakati ambapo baraza la senate la Turin walilipinga tangazo hili la Papa na kukataza uchapishwaji wake kwa wasiojiweza, katika tangazo la utolewaji wa hukumu ya kifo. Wangeweza kuwa katika hali ngumu sana isiyopimika ambayo isingeweza kusaidiwa na Uingereza na Uholanzi. William na Mary na hatimaye Malkia Anne, aliwasaidia kwa juhudi kubwa kama alivyofanya Cromwell kwenye miaka yake ya mwanzoni (tazama kitabu cha Adeney, uk. 671). Historia ya Waaldensia ni moja ya oparesheni za siku za kati zilizofanyika bila ya huruma kabisa kwa karne nyingine zilizobakia. Wapo kwenye uhusiano mdogo na Makanisa ya Mungu ambayo kwamba walikuwanayo siku nyingi tangia walipofanyiwa tathmini yao ya tofautisho la Ushirika tegemezi na tabia nyingine kadha wa kadha za Kanisa. Lakini wapo kwenye maslahi katika kuona jinsi ambavyo mamlaka ya upapa yalivyowashughulikia watu wasiokuwa-Wakatoliki, walipokuwa na uweza wa kulitendea kazi jambo. Kama wangeweza, basi wangeweza kuwauwa kila mtu atokanaye kwenye imani ya Waaldensia, hadi pale walipoweza kuwakomesha usoni pa uso wa nchi.

Vita ya Kidini ya Waalbigensia

Wacathar, Waalbigensia au Waaldensia walipata mateso baada ya kulindwa kwanza na Roymond VI, Jimboni Toulouse, huenda alikuwa ni Mwalbigensia mwenyewe. Raymond walikuwa ametengwa kwenye ushiriki wa imani na Pierre de Castelnau, mwakilishi wa kicheo wa Innocent III mnamo mwaka 1207. Hatimaye dai la Count lilimuua de Castelnau. Mara hiyo hiyo, Papa akamfuza Raymond na akamtisha na kumtiisha, akawafukuza Waaldensia watoke kwenye utawala wake, wakifanya kifungo cha mahala pa wazi mnamo tarehe 18 Juni 1209 mbele ya Kanisa la Mt. Gilles. Wakati wapiganaji wa vita vya kidini, waliokusanyika upande wa Kaskazini mwa Ufaransa, waliposhambulia Langeudoc, Raymond alisaidia vita hivi na alisaidia kuizingira Beziers na Carcassone mnamo mwaka 1209. Akiwa anarudi kwenda Toulouse, alikwepa wajibu wake na akatengwa mbali na Baraza la Avignon. Raymond akaenda Roma na alipokelewa na Innocent III, lakini majukumu yake yaliendeshwa na Simon de Montfort wakati alipokuwa hayupo. Mnamo mwaka 1212 alishikilia kuwa na Toulouse na Montauban. Shameji yake aliyeitwa Peter, mfalme wa Aragon, alikuja kumsaidia, lakini aliuawa vitani kwenye mapigano ya Murat mnamo mwaka 1213. Mnamo mwaka 1215, Simon de Montfort aliuzingira mji wa Toulouse na Narbonne. Raymond hakumzuia, lakini alikubali kunyenyekea usemi kutokana na ukuu wa mamlaka ya Kipapa. Alijichukulia mashamba yake na kujiuzulu na kwenda Uingereza, hatimaye kumfanya Innocent III alipende Baraza la Lateran la mwaka 1215. Kutoka kwenye ukimbizi huko Aragon, Raymond VI alilikusanya jeshi lake na kuuteka mji wa Toulouse mnamo tarehe 7 Novemba 1217, na kasha akiitetea dhidi ya Simon de Montfort, aliyeuawa tarehe 25 Juni 1218 (soma jarida la C.E, Vol. XII, art. Raymond VI, p.670).

 

Raymond VII alijaribu kuepusha kuanzishwa kwa vita vipya, kwa kuliweka kwenye kipaumbele kusanyiko la Bourges mwaka 1226, lakini vita vipya vilipangwa kufanyika badala yake. Louis VIII (aliyekubali kutoa haki upande wa kusini na Amaury de Montfort) aliuzingira mji wa Avignon na kutamalaki Langeudoc bila ya upinzani wowote, lakini alifariki wakati walipokuwa anarudi akitokea upande wa kaskazini mwa Montpensier tarehe 8 Novemba 1226. Blanche wa Castille hakupanga vita dhidi Raymond ambaye alichukua maeneo kadhaa mbali mbali kutoka kwa Imbert de Beaujeu, mshauri wa mfalme wa Ufaransa. Katika mwaka 1228 kundi jipya la wapiganaji wa vita hii ya kidini wakaanza akiuteka nyara mji wa Toulouse. Mara hiyo hiyo, Raymond alipoteza karibu ngome yake yote na ilimpasa aombe mapatano ya amani kwa Blanche wa Castille. Baada ya mkutano wa baraza la Meaux, Raymond alirudi mjini Paris na kufanya toba ya wazi mnamo tarehe 12 Aprili 1229 kwenye Kanisa la Notre Dame. Akaahidi kuvunja kuta za Toulouse na kumpa binti yake Jeanne aolewe na Alpfonse wa Poitiers, kaka yake na mfalme Louis IX. Akarudi Toulouse na kutunza ahadi zilizotolewa na yeye, aliruhusu uanzilishwaji wa Baraza la kidini la Mahojiano na Hukumu (soma kitabu cha Brehier cha C.E. Vol. XII, Raymond VII). Kwa hiyo, ulinzi uliopatikana kwa Waalbigensia Washika-Sabato au Waaldensia, walilazimika kwa njia kaa kushurutishwa vikali waondoke. Kila mtu miongoni mwa wale walioishi kihuni au maisha ya kutanga tanga aliyekuwa hodari na waliokuwa wanaweza kuzitumia vema fursa zao walioishi barani Ulaya, walitiwa moyo wafanyiwe mafunzo huko Toulouse na kusini mwa Ufaransa. Jimbo hili lilishambuliwa kwa pande zake zote na maadui zake waliposhindwa kuwavutia kiushawishi kufanya hivyo, basi wao wenyewe tu waliwasumbua. Lengo lote la kufanyika kwa vita ile lilikuwa ni kuliruhusu Baraza lile la kidini la Mahojiano na Hukumu kwa upande wa kusini mwa Ufaransa na uhispania, kuwakomesha Wasabbatati. Pamoja na kwa uondoshwaji wa lazima wa ujaziliaji wapekee uliopata upendeleo, imani ya Waunitaria na Washika-Sabato kwa kiasi kikubwa sana ukimya au cha ukengeufu. Watu hawa hawakufanya makosa yoyote. Walikuwa ni rasilimali ya mabwana zao na maadili kuelekea kwa Mungu wao. Kwa sababu hiyo pekeyake, waliweza kuwindwa na kuharibiwa au kuangamizwa. Baraza la Toulouse la mwaka 1229 lilitangaza sheria ya kanuni zilizokuwa ni kinyume na Wasabbatati. Tangazo lilikuwa kama hivi ifuatavyo:

Kanuni namba 1 ilisema, Mabwana zetu watokao kwenye majimbo yetu mbali mbali watapaswa wawe na vikasri vidogo vidogo, nyumba na mbao zilizotafutwa na kufanyiwa utafiti wa kina, ambavyo vitatengewa mahali watakapofichiwa wafuasi wa mafundisho ya uzushi waliouawa.

Kanuni namba 14 inasema, Wanachama wa kanisa wachanga wasiruhusiwe kushika au kumiliki vitabu vyovyote vile ama vya Agano la Kale ama vya Agano Jipya (kwamujibu wa Hefele 5, 931, 962).

 

Inaweza kuonekana, kwamba kulikuwepo na mapokeo endelevu ya Waumini wanyofu Washika-Sabato mahala pote katika maeneo ya kusini mwa Ulaya hadi kufikia kipindi cha karne ya kumi na tatu. Vuguvugu hili la waumini waliitwa Wapaulician, Wapetrobusian, Wapasaginian (Wapassaginian), Waaldensian, Wasabatati au Wainsabatati. Hakimu wa Baraza la Mahojiano na Hukumu la Kirumi aliyeitwa Reinerus Sacho aliandika mnamo mwaka 1230 akishikilia kuamini kwamba kikundi cha kidini cha Wavaudois kuwa kilikuwa ni cha muda mrefu sana. Na kwamba ni cha muda mrefu sana kikifuatiwa cha Wawaldo kwa karne kadhaa nyuma yake.

 

Wasabatati walijulikana pia kwa jina la Wapasigini. Kwa kufuatia kumbukumbu za Wapasigini Watunza Sabato, Hahn alisemekana kuwa alisema haya yafuatayo:

Ueneaji wa mafundisho ya uzushi kwa wakati huu kunaonekana kuongezeka sana. Toka Bulgaria hadi Ebro, kutoka Kaskazini mwa Ufaransa hadi Tiber, kila mahali tunapowakuta. Nchi hizi zote zimekumbwa, kama vile Hungary na pande za kusini mwa Ufaransa; wamejichimbia na katika nchi nyingine zote, katika Ujerumani, Italia, katika Uholanzi na hata katika Uingereza wanawekeza nguvu zao (jarida la Gesch. der Ketzer, 1,13,14).

 

Bonacursus ananukuliwa pia akisema akisema kinyume chao kama hivi:

Ni wengi na sio wachache wanaojua kuhusu makosa gani waliyoyafanya wale wanaoitwa Wapasigini,… Kwanza kabisa, wanafundisha kwamba tunapaswa kuitii Sabato. Na zaidi ya yote, ili kuongezea makosa yao, wanashutumu na kuwakataa Mababa wote wa kanisa, na taratibu zote wa Kanisa la Kirumi (kwa mujibu wa D’Archery, Spicilegium I. F. 211-214; Muratory Antiq.medaevi. 5,f, 152, Hahn 3,209).

 

Madai ya makasisi (Hahn) yalijibu mashitaka ya kwanini wanaitunza amri ya nne ya Mungu, kwa kutangaza kwamba Sabato ni ishara ya mapumziko ya milele watakayokuwanayo watakatifu.

 

Dalili za kuwepo kwa Watunza-Sabato zilipatikana siku za Gregory I, Gregory II, na na katika karne ya kumi na mbili huko Lombardy (kwa mujibu wa kitabu cha maarifa kiitwacho “Strong’s Cyclopaedia 1, 680). Majaribio haya kwa ujumla yalienea tangia Utaliano hadi Ulaya yote.

Robinson anatoa sababu ya baadhi ya Waaldensi wa Alps, waliokuwa wanawaita Wasabati, Wasabatati, Wainzabbatati, lakini kwa mara nyingine zote mfululizo Wainzabati. ‘Mmoja alisema kwamba waliitwa majina yao kutoka kwenye neno la Kiebrania ambalo ni Sabato kwa kuwa waliadhimisha siku ya Jumamosi kuwa ni siku ya Bwana’ (kwa mujibu wa jarida la Historia ya Jumla ya Dhehebu ya Wabaptist, yaani, General History of the Baptist Denomination Vol. II, p.413).

 

Kwa kweli, ilikuwa ni kwa sababu ya ukosefu wa uwezo wa kuwaondolea mbali Wasabatati Wanyofu, ambao walifanywa katika vile vita vya kidini vilivyokuwepo katika karne ya kumi na tatu. Huko Hispania mateso yalielekezwa moja kwa moja kwa Waaldensia Watunza-Sabato.

 

Mfalme Alphonce, wa Aragoni, nk., kwa maaskofu wote wakuu, maaskofu na kwa wengine muwao wote… Tunawaamuru ninyi nyote kwamba wafundishaji wa mafundisho ya uzushi, wenye kushawishi, Waaldense, na Wainsabbathi, wanapaswa wafukuziliwe mbali usoni pa Mungu na mbali na Wakatoliki na kuamuru kutoka kwenye ufalme wetu (Marianoe, Praefatio huko Lucam Tudenaem alikutwa huko Macima Bibliotheca Veterum Patrum, Vol. 25, p. 90).

 

Baada ya vita hivi vya kidini na licha ya kuwepo kwa Baraza la kidini la Mahojiano na Hukumu, utaratibu bado ulikuwepo na kudumu.

Mafalme Louis XII wa ufaransa (aliyetawala miaka ya 1498-1515), akiwa amejulishwa na maadui wa Waaldensie, kukaliwa kwa jimbo la Provence, ambalo makosa kadhaa ya kiuhalifu yalielekezwa upande wao, walimtuma bwana wa Maombi, na Daktari fulani wa Sorbonne, aombe kwa ajili ya jambo hili. Walipokuwa wanarudi walitoa taarifa kwamba walikuwa wametembelea parishi zote, lakini hawakugundua ushahidi wowote uliohusiana na uhalifu wao ambao kwao walikuwa wameshitakiwa. Kinyume chake, waliitunza siku ya Sabato, wakiadhimisha utaratibu wa ubatizo, wakifuata mujibu wa kanisa la kale, kadiri walivyowaelekeza watoto wao kwenye makala za imani ya Kikristo na amri za Mungu. Mfalme akiwa amesikia taarifa za wasimamizi wake, na pamoja na ahadi yenye viapo au nadhiri za ahadi alisema kuwa walikuwa ni watu wazuri zaidi sana kuliko yeye mwenyewe au watu wake (kwa mujibu wa kitabu kiitwacho, Historia ya Kanisa la Kikristo au History of the Christian Church, Vol. II, pp. 71-72, toleo la tatu, London, 1818).

 

Kuenea na migawanyiko ya vikundi hivi vya kidini vijulikanavyo kama Wacathar na Waalbigensia.

Vikundi hivi viliendelea kuenea kipindi cha Waaldensia, hasa hasa waliokuwa wanaishi pande za Kusini mwa Ufaransa na Uhispania waliokuwa wakijulikana kama tulivyoona hapo juu kuwa ni Wacathar na Waalbigensia. Jina Cathari kama walivyojulikana, linatokana na neno la Kiyunani katharos au waliotakata. Hivyo basi, kwa usemi wa moja kwa moja ni kusema kuwa walikuwa ni watakatifu. Hata hivyo tunaona kwamba, Waaldensia walikuwepo kwa wakati ule ule mmoja na kuwafanya wawe na mafundisho ya namna ile ile moja. Kwa hiyo basi, tunashughulika na matawi ya imani ile ile. Neno Cathari ni la kizamani. Wanovation wa karne ya tatu walijulikana kama Wacathari na jina hili pia lilitumika na Wamanichaean. Weber anasimulia akisema hivi:

Cathari lilikuwa ni mtindo wa jumla wa vikundi vya kiimani vyenye nia au mtazamo wa namna mbili vilivyokuwepo kwenye kipindi cha Zama za Kati kihistoria. Majina mengi ya namna mbali mbali yalikuwa katika mtindo au mazoea katika kuwaondoa wafundishaji wa mafundisho haya ya kizushi. Pasipo kusema kuhusu muundo ulioharibika wa ‘Cazzari’, ‘Gazzari’ katika Italia, na ‘Ketzer’ katika Ujerumani, tunakuta uitaji wa kivyeo ufuatao: ‘Piphli’ ‘Piphles’ kwa upande wa Kaskazini mwa Ufaransa na Flanders; ‘Arians’ ‘Manicheans’, na ‘Patareni’ wakidai ukweli au usawa wa kimafundisho ya kiimani; ‘Tesserants’ ‘Textores’(maana yake ni wafumaji), kutoka kwenye biashara ambayo wanachama wake wengi walifuata. Wakati mwingine waliwekwa kwenye mtindo uliokuweko kimakosa ‘Waldense’ kwa mlingano wao. Kutoka kwa mkuu wa kidini mwenye cheo sawa na askofu aitwaye Arnold wa Brescia na askofu mzushi Robert de Sperone, waliitwa ‘Waanordistae’ na ‘Wasperonistae’. Kwa migawanyo yao ya kijiografia walidaiwa kuitwa majina ya ‘Wacathari wa Descenzano’, au ‘Waalbanense’ kutoka Descenzano kati ya Brescia na Verona, au kutoka Alba iliyoko Piedmont, Albano au huenda kutoka kwenye jimbo la Albania, ‘Bajolense’ au ‘Bagnolenses’ (kutoka Bagnolo huko Italia), ‘Concorrezenses’ (huenda ni kutoka Toulouse), na hususan Waalbigenses kutoka Albi. Kuitwa kwao ‘Wapauliciani’, ambao ‘Publicani’, ‘Poplicani’, huenda walikuwa wanaharibu, na ‘Bulgari’, ‘Bugri’, ‘Bougres’, inaelekea kwenye hisia ya kwamba huenda wanaasili ya utamaduni wa Kimagharibi (kwa mujibu wa N.A. Weber C. E., art. Cathar, Vol. III, p. 435).

 

Weber anaonekana kujaribu kukamilisha utaratibu wake wa kuwataliki Waaldense kutoka vikundi hivi vya imani ya kidini kwa kutumia njia ya kimakosa sana. Anakiri kwa kusema kwamba:

Pande za mashariki mwa Ulaya kunaonekana kuwa katika hatua laimu, na kuifanya kuwa ni nchi ya kwanza ambayo kwayo imani ya Wacathari imejidhihirisha sana, na kwa kweli ilikuwa huru mbali nayo. Wabogomili, ambao walikuwa ni wawakilishi wa uzushi huu katika msimamo wake wa muundo wa kutanga tanga kushikilia kuwili, kuenda ilidumu kwa kadiri ile ilivyokuwa mapema ya karne ya kumi na kwa siku zilizofuatia baadae, walikutikana idadi kubwa ya wao huko Bulgaria. Bosnia ilikuwa ni kituo kingine cha Wacathari. Baadhi ya waandishi wa siku za hivi karibuni hawakuweka tofauti yoyote kati ya wasfundisha mafundisho ya uzushi waliokutikana kule na Wabogomili ambao wengine waliwapachika vyeo vya kama Wenye nia mbili wasiobadilika. Katika makabrasha yaliyosambamba ya pande za Magharibi kwa kawaida waliitwa ‘Wapatareni’, kwa hiyo mlingano ulifanyika kwa Wacathari wa Italia.

 

Kulikuwepo na orodha inayojulikana yenyekusomeka wazi sana wakati waliokuwepo watu hawa. Chanzo kilikuwa kilijulikana kirahisi sana kama Wapaulician, ambao waliishi huko Thrace. Makazi yao ya kwanza yalikuwa ni huko Albania na Bulgaria. Toka huko ilienea hadi kufika Bosnia. Wabulgaria waliishikilia na kuienzi imani ya Wacathari ambayo katika kutafsiri maana yake iliunganishwa na utakaso wa mambo ya ndoa na ilifanyika namna ile na vikundi vya waliotakaswa. Wabogomili wanaonekana kwamba waliendeleza utaratibu uliogeuzwa wa muundo, miongoni mwa taratibu za wamonaki na wazee walei wenye imani thabiti ya kihafidhina. Mfumo huu inaonekana kuwa ilisababisha malumbano makubwa miongoni mwa Wabulgaria na pia kwa Wabalkan. Hakunashaka kusema kwamba vikundi vyote viliolewa na kuzaa watoto kwa kipindi cha karne zote, kwa maeneo yake makuu yote walipofanya makazi yao na kuishi. Madai ya kusema kwamba walilazimisha maisha ya useja ni upuuzi kuyaweka akilini.

 

Sababu iliyopelekea Wacathari waitwe Wapauliciani (au Wapaulician) ilikuwa ni kwa vile tu walivyoyashikilia mafundisho haya. Madai ya kwamba nyaraka zilikuwa na mahusiano ni ya kuwazia tu.

 

Vikundi hivi vya kidini vilikuwa vimeelimika sana katika usomi wa Biblia, kama ukiri wa imani ya mafundisho yao yanavyosema. Sababu ya kwa nini waliitwa Wacazzari na Wasabatati ni pia sio vigumu kufuata. Wakhazari au Wacazzari walitoka kwenye uongofu wa imani ya Kiyahudi yapata takriban mwaka 740. Waliyamiliki maeneo ya ya kutoka Crimea, kuelekea pande za mashariki kupitia Caspian hadi Aral na kwenye Mto wa Oxus. Waliendelea kuenea upande wa kaskazini hadi kufikia Volga hadi kusini mwa Bulgar na walikuwepo mabwana wa pande zile za kaskazini mwa Bulgar na pande mbili zote yaani za mashariki na magharibi. Walitawala upande wa kaskazini-magharibi hadi Ukraine. Waliitunza Sabato na zile Siku Takatifu na kushika sheria za vyakula kama Wapaulician wanavyoonekana kuwa walifanya. Wakhazari walitoa msaada wa kijeshi katika kuivamia kwao nchi ya Hungary. Inaonekana kuwa Wamagyar walikuwa ni miongoni mwa makabila yaliyojikusanya, kwa ajili ya uanzilishi wa dola yao. Ufalme wa Wakhazari Wakiyahudi iliishia kutoka takriban mwaka 700-1016. Wakimbizi wa Kiyahudi walikimbilia huko Khazari kutokea Uyunani au Ugiriki mwaka 723. Ramani ya mgawanyo wao na ushawishi vinakutikana katika kitabu cha ramani cha Martin Gilbert kiitwacho Atlasi ya Historia ya Kiyahudi, toleo la 3, katika Shirika la Uchapishaji la Dorset la mwaka 1984, kurasa za 25-26. Wakhazari waliwaalika Marabi kwenye ufalme na walikuwa na mawasiliano na Wayahudi wenye asili ya Uhispania. Walitambulika na Koestler (kwa mujibu wa jarida liitwalo Kabila la Kumi na tatu lililochapishwa na shirika liitwalo Maktaba Maarufu, yaani Popular Library, la New York, la mwaka 1976) kama uzao wa Waashkenazi uzao wa Wagomeri (kama inavyoonekana kwenye kitabu cha Mwanzo 10:3). Neno Ashkenaz maana yake ni wana wa Ashkenaz. Jaribio la Zvi Ankori la kumkanusha Koestler katika Magonjwa ya Kurithi kutoka kwenye jadi ya Wayahudi wenye asili ya Kiashkenazi hazishawishiki.

 

Makao makuu ya Waashkenazi yalikuwa ni Mahali-tegemezi pa makazi, yaliyoenea toka huko Crimea, upande wa kaskazini magharibi mwa Batlic (tazama kitabu kisemacho Atlas ya Historia ya Kiyahudi, uk. 43). Eneo hili laweza kuonekana kama kiasi cha zaidi au pungufu cha ushawishi pendelevu na Wakhazaria. Jambo hili lilitokea baada ya shambulizi la Warusi, lililotangulia kuanzia mwaka 970. Mnamo mwaka 1016 muunganiko endelevu wa Warusi na Wabyzantine hatimaye waliuharibu utawala wa Khazari. Hii ilidhoofisha eneo lile, wakawaweka Wakhazari wenye asili ya Kiyahudi na kufungulia njia kwa mashambulizi ya Wamongoli ya mwaka 1215. Jambo hili liliwalazimisha Wakhazari hata kwa kiasi kikubwa upande wa magharibi. Lilikuwa ni vuguvugu la Wayahudi waliokuwa nje ya Crimea tangu mwaka 1016 (kusini mwa Costantinople, trebizond na Alexandria na kaskazini-magharibi mwa Kharkov na Chernigov) na katika mwaka 1350 (hadi Kiev) na 1445 (huko Lithuania). Mateso yaliyokuweko huko Hungary kati ya 1349 na 1360 waliwafukuzilia mbali Wayahudi kaskazini mwa Tarnapol (angalia jarida la Atlas ya Historia ya Wayahudi, kurasa za 45-46). Kwahiyo, siajabu kwamba baadhi wangeweza kuongoka kwenye utaratibu wa imani ya Ukristo, iliyoshikilia imani moja ya kijamii na imani ya Kiyahudi na pia walikuwa wanateswa pamoja nao, kwa zaidi ya uzani uliosawa. Baadhi yao walikwenda kwenye imani ya Kihafidhina ya Kirusi. Wengi wao walibakia kuwa ni Wayahudi wa Kiashkenazi na walijitoa kudumu katika Yuda. Ingawaje Waashkenazi bado wangali tofauti hadi kufikia siku hii ya leo, wakiwa na tofauti ya kifalsafa na Wayahudi Wakisephardi wa Uhispania, Uingereza, na kwa pande za mashariki. Mateso ya Wayahudi yalipanda kasi yake huko Ulaya kote, hususan katika Uhispania na pia huko Ureno. Jambo hili lilipata kujulikana na watu wengi, pamoja na mateso ya Wapuritani, wakiwa na majina yao kadhaa mbali mbali.

 

Wacathari wa Kibosnia

Katika karne ya kumi na mbili huko Kulin, tangazo la makatazo au mtawala wa kiraia wa Bosnia, aliukumbatia Ucatharia na watu 10,000 wa milki yake. Wakatoliki wakiwa chini ya Innocent III, Honorius III na Gregory IX, walijaribu kuwakomesha lakini hakufanikiwa. Papa Nicholas IV (aliyeishi kwenye miaka ya 1288-1292) aliwatuma Wafransiscana kwenda Bosnia. Wahungari walisemekana kuwa walijaribu kuwakomesha Wacathari waliokuwa wakiishi huko Bosnia, lakini Wacathari waliitambulisha dini na uhuru wao. Mfalme wa Bosnia Thomas aliingia kwenye uongofu wa Kikatoliki kwenye karne ya kumi na tano na alitoa tangazo kali la makatazo dhidi ya wanadini wenzake. idadi yao ilipata kama watu 40,000. Waliondoka Bosnia na kwenda Herzegovina mwaka 1446. Mafundisho ya uzushi yalitokomelea mbali baada ya ushindi wa uvamizi wa Waturuki kwenye eneo lile. Idadi kadhaa katika maelfu wakawa ni wahafidhina na wengine wengi wakawa Waisamu. Hali hii kwa yenyewe tu inaashiria vuguvugu hili lilikuwa ni la Waunitaria. Fafanuzi za Weber (kwenye kitabu kiitwacho C. E., uk. 437) ikizungumzia hali iliyowekwa ya kulazimisha watu kuishi maisha ya useja kwa Wacathari kuwa ilikuwa kwa uadimu sana kukubalika. Mtu mmoja hawezi kufanikiwa kuweka umaarufu kwa kipindi kizima cha karne yote pasipokuwa na kuzaliana, kama walivyokuwa hawako huru kuingia uongofu. Matendo yaliyokutikana miongini mwa mabruda wa Kibogomilibli, yanaashiria kwa mbali sana matendo ya umaarufu wa ujumla, usiowakilisha hali ya kuishi maisha ya kitawa na ambayo kwa kweli yanashutumu jambo hili. Masalio ya watu hawa zaidi sana wanaonekana kuwa walienda pande za kaskazini mwa Transylvania, mahali ambako Wasabatati walijichimbia. Kuongoka kwa washirika wa huko kwenye dola ya Khazari, kulienda sambamba pia na vuguvugu la vikundi vya Wapuritani kuingia Hungary na Kupitia huko Carpathia/Romania. Vikundi vilivyokuwako huko Hungary viliitwa, katika Ujerumani viliitwa Sabbatharier kwa sababu walikuwa ni Washika-Sabato.

 

Historia ya vikundi hivi vya kiimani ilibakia zaidi au kwa uchache katika uimara wake hadi kufikia kwenye karne ya kumi na tisa, wakati ilipoandikwa na Dk. Samuel Kohn, Rabi Mkuu wa Budapest Hungary. Kazi ni DIE SABBATHARIER IN SIEBENBURGEN lhre Geshichte, Literatur, und Dogmatik, Budapest, Verlag von Singer & Wolfer, 1894, Leipzig, Verlag von Franz Wagner. Nyongeza zilizofuatia ni kutoka kwenye jarida lililotungwa na mtafsiri aitwaye Gerhard O. Mars kuhusiana na Ukiri wa Imani na Matendo ya Kanisa la Mungu katika Transylvania wakati wa kipindi cha miaka ya 1588-1623. wakati ambao vikundi vya Kikristo katika Transylvania kwa kipindi hiki kulikuweko na hao ambao kwa mujibu wa Kohn inasemekana kuwa kama ifuatavyo:

Waljurejesha Ukristo wenyewe wa asili, kwa jinsi hiyo kwa kweli ni kwamba walizikubali na kuzitendea kazi desturi za kidini zilizotokana na imani ya kiyahudi na kawaida zake ambazo zilifanyika ama kuagizwa kwenye Agano la Kale na ambazo Ukristo ule wa asili ulihusisha kama kushikamanisha na hatimaye zilipotezwa (kwa mujibu wa kitabu cha Kohn, uk. 8)

 

Marx anasema kwamba, kwa mujibu wa Kohn, walikuwa wako sawasawa na Waebioni na Wakristo wengine wa Kiyahudi waliokuweko katika karne kadhaa za zilizokuja baada ya Kristo. Washika-Sabato wa Carpathians waliunda mfumo legevu uliosokota kabla ya mwaka 1588, wakati Andres Eossi alipofanyika kuwa kiongozi wao. Mambo mawili makuu yaliyohitaji kutafakariwa likuwa katika miji ya Szekely-Keresztur (ambao kwa siku hizi za leo imo miongoni mwa miji ya Warumi wa Cristuru-Secuiesc) na Korospatak (kwa leo inaitwa Bodoc). Vijiji vikuu vilikuwa Sabatharier au Watunza-Sabato waliweka makazi yao, kuelekea pande mwishoni mwa karne ya kumi na sita, walikuwa ni wakazi wa Kihangary wa Nagy Solymos, Kis Solymos, Uj-Szekely, Szent-Demeter, Ernye, Ikland, Bozod-Ujfalu, na makazi ya nyumbani ya Andreas Eossi. Mara baada ya kifu cha Eossi mwaka 1599, ukengeufu ulijitokeza kati yao.

…Waandishi wa baadhi ya majarida ya machapisho walikuwa ni kina Enok Alvinczi, Johannes Bokenyi, Thomas Pankotai, na Simon Pechi (rafiki wa karibu sana wa Eossi) (kwa mujibu wa jarida hilo hilo la Marx).

 

Kulitokea pia mgawanyiko wa Kanisa la Waunitariani kama inavyosemekana kwamba;

… ilikuwa ni mwaka 1579 wakati ambapo kanisa la Waunitariani lilipogawanyika makundi mawili ambayo ni Washika ibada za Jumapili na Watunza Sabato. Waunitariani…walihitilafiana kutoka kwenye vikundi vingine vya Waprotestant kwa ajili ya maeneo makuu matatu ya kimafundisho kama ifuatavyo:

1.        kutoamini mafundisho ya Utatu na waliitwa Wapinga-Utatu;

2.        kutokubaliana juu ya tendo la kubatiza ubatizo wa watoto.

3.        kutokubaliana kuhusu mafundisho ya uungu wa Kristo.

Bingwa kiongozi na mtetezi wa imani yao alikuwa ni Francis Davidis, ambaye pia alikuwa ni mwanzilishi wa Kanisa la Waunitariani huko Transylvania mnamo mwaka 1566. ilikuwa ni kutokana na kifo cha Davidi mwaka 1579 wakati ambapo kanisa hili la Waunitaria lilipogawanyika…ndipo Eossi alipokubali imani ya Uunitariani mnamo mwaka 1567. Haikutosheleza tu kuona kuwa Waunitariani walikuwa wakifundisha kweli yote ya Kibiblia, alikwenda na kujiunga na masomo ya kozi za Biblia kikamilifu… Akaunganisha mafundisho yafuatayo kwa wafuasi wake:

1.        Pasaka, Siku za Mikate Isiyotiwa Chachu, Pentekoste, [Baragumu iliachwa kimakosa?), Siku ya Upatanisho, Sikukuu ya Vibanda, Siku ya Mwisho Iliyokuu.

2.        Amri Kumi za Mungu.

3.        Sheria za Afya (ambazo ni pamoja na kutokula damu, nyama ya nguruwe na wanyama waliokufa kibudu wenyewe).

4.        Utawala wa Milenia unaoishia miaka 1000, & mwanzoni mwa kipindi ambacho Kristo atarudi kutaniko la Yuda na Israeli.

5.        Matumizi ya kalenda takatifu ya Mungu.

6.        Aina mbalimbali za ufufuo wa wafu: wa kwanza ni kwa ajili ya uzima wa milele wakati wa kuja kwake Kristo na ule mwingine ni kwa ajili ya kuwahukumu mataifa mwishini mwa ile miaka 1000.

7.        Tunaokolewa kwa neema, lakini sheria bado zinahitajika kushikwa.

8.        Ni Mungu tu anayewaita watu kwenye kweli yake. Ulimwengu kwa ujumla umepigwa upofu.

9.        Kristo alikuwa ni nabii mkuu sana miogoni mwa manabii wote wa Mwenyezi Mungu, ni mtakatifu zaidi wa pekee miongoni mwa watu wote, na ni “Bwana Msulibiwa au Aliyesulibiwa”, “ni Kichwa Kitukufu na Mfalme wa waamini wa kweli, aliyependeka na Mwana Mtakatifu wa Mungu” (kwa mujibu wa Marx yule yule).

 

Katika kurasa za 62-67 za kitabu cha Kohn kiitwacho Kitabu cha Nyimbo za Sabato ya Kale kinazungumzia jambo hili kama hivi ifuatavyo:

Vitabu hivi vya tenzi viliandikwa huko Hungary na kina Eossi, Enok Alvinczi, Johanness Bokenyi, Thomas Pankotai & Simon Pechi,… Ilikuwa na jumla ya nyombo 102; kati ya hizo, 44 zilikuwa ni za Sabato, 5 za Mwandamo wa Mwezi, 11 za Pasaka na Mikate isiyotiwa Chachu, 6 ni za Idi ya Majuma, 6 kwa ajili ya Sikukuu ya Vibanda, 3 za Mwaka Mpya, 1 wa Siku ya Upatanisho, 26 za mambo mengine yo yote.

 

Kwahiyo, ni jambo la ahakika kabisa kuamini kuwa walikuwa wanaziadhimisha Siku hizi Takatifu zilizoamriwa na Mungu ukiwemo pia Miandamo wa Mwezi.

 

Mnamo mwaka 1637 inaaminika kuwa walikuweko idadi ya waumini inayofikia takriban kati ya 15,000 na 20,000 Wanaoitunza Sabato katika Transylvania. Mnamo mwishoni mwa karne ya kumi na saba, Wasabato bado waliwakilishwa kwenye miji takriban kumi na moja na vijiji vilivyokuwako huko Transylvania.

Mnamo mwaka 1867 bunge au baraza la kutunga sheria la Wahungary lilitoa uhuru wote wakujiamuria mambo kwa ajili ya mambo ya kidini, wakiwemo Wayahudi. Wasabato waliowengi sasa waliyaacha makanisa yao ya Kikristo na kujidhihirisha kuwa kama ni Washika-Sabato. Kwa vile ilivyokuwa kwamba mafundisho yao jinsi yakufikirikwao vilifanana kwa kiasi kikubwa sana na vile walivyo Wayahudi, basi Waabato wengi waliwaendea Wayahudi. Wengiwao walichukua majina ya Kiyahudi (kwa mujibu wa kitabu cha Marx).

 

Mlinganisho wa wengi wao ulielekea haupo kama ule wa Kohn anavyokubaliana kwamba ilikuwa hivyo katika siku zake (ilikuwa ni takriban mwaka 1894).

Kundi kubwa sana la Watunza-Sabato huko Transylvania leo – na waliwahesabu na idadi yao ilikuwa ni maelfu – wakiishi katika maeneo ya Oluj na Sibiu. Askofu wa Cluj – mji wapili kwa ukubwa katika Romania - katika wale waliokuwa Wanaishika-Sabato.

 

Watu hawa walikuwepo katika Trans-Carpathia na Romania hadi kufikia karne ya hii, wakati walipokuwa chini ya mkandamizo wa utawala wa Kikomunist na wamedhihirika katika siku za hivi karibu kama ni vikundi viwili visivyohusiana vya Watunza-Sabato, kimoja kikiitunza na kuadhimisha maagizo yote, kama walivyokuwa wakifanya kwa karne kadhaa zilizokuwa nyuma yao kabla ya siku zao. Kwa hiyo, Makanisa ya Ulaya, ambayo pengine yaliitwa kuwa wapo katika zama za Wathiatira, wanaoishi bado kama kama Kristo alivyowaahidi latika kitabu cha Ufunuo wa Yohana 2:25-26.

 

Wasabato wa Uingereza

Watunza-Sabato walikuwepo huko Uingereza tangia malumbano ya mwanzo. Uingereza kwa hakika wakauanzisha Ukristo mapema sana na Tertullian wa Carthage (mwandishi wa vitabu mwenye mvuto) katika makala yake isemayo Mtazamo Kinyume na Wayahudi anasema hivi:

Kujidai kwamba ‘sehemu ya Waingereza hawafikiwi kwa Warumi walishindwa kwa kweli na Kristo’. Hilo limeandikwa yapata kama miaka mia mbili baada ya kuzaliwa kwa Kristo. (kwenye jarida liitwalo Edwards Mkristo Mwingereza yaani Edwards Christian England, Vol. I. Uk. 20).

 

Maeneo ya Glastonburg waliwekwa chini ya himaya ya Waingereza hadi Ine, Mfalme wa Saxons Magharibi (kwenye miaka ya 688-722), aliuchukua. Alilikuta Kanisa la mbao likiwa tayari likiheshimika kama la kale. Alitoa mikono mikunjufu kwa wazee walei wake na iliendelea hadi ilipochomwa na kuongolewa mwaka 1184. Wafiadini Wakristo wa mwanzoni walionukuliwa kuwepo wakati wa zama za Warumi katika Uingereza ni Alban. anaonekana kuwa huenda alikuwa ni askari wa Kirumi, aliyemhifadhi kasisi wa Kikristo aliyetorokea huko Gaul na alibatizwa nayeye (kwa mujibu wa jarida lilelile la Edwards).

 

Kulikuwa na Wakristo Waingereza watano, pamoja na maaskofu watatu kwenye Baraza la Arles mnamo mwaka 314. Eborius, askofu wa York, Restitutus, askofu wa London, Adelfius, askofu wa Lincoln (lakini hii haikujilikana tangia mwandishi alipoandika neno Colonia Londoninensium zaidi kuliko kuandika Colonia Lindensium), ikimaanisha kasisi au shemasi (kwa mujibu wa kitabu hiki cha Edwards).

 

Mfalme au Mtawala Costantine alitangazwa Augustus, au mfalme mtawala wa York mnamo tarehe 25 Julai 306 baada ya kifo cha Costantius, baba yake.

 

Costantius alikuwa mwenye kuwahurumia sana Wakristo wa Gaul, ambao walikuwa ni Waunitariani Wanyofu. Costantine aliitisha Baraza la Nikea mwaka 325 na Athanasius ananukuu kuwepo kwa maaskofu wa Kiingereza pale kama ilivyokubaliwa na sheria zake. Edwards anatilia maanani kwamba inawezekana, kwamba Kanisa katika Uingereza lilibakiwa na idadi ndogo likiendesha shughuli zake katika maeneo ya mijini (uk. 22). Inawezekana sana, sababu ya kuonyesha huruma mwenendo wa Waathanasia, ulikuwa umefikiriwa kwa kina sana na kuonekana kwao wachache. Wakumbushaji walikuwa nia Watunza-Sabato Wanyofu, waliotawanyika kutoka Ireland hadi Scotland. Ni jambo linaloonekana kusema kwamba Pelagius, mwanatheolojia maarufu na aliyejulikana sana, alizaliwa Uingereza yapata kama mwaka 380 na kuweka uwiano wa kimafundisho na Makanisa ya Gaul, haikuwa ni kama ajali au bahatisho. Alisisitiza uhuru na awezo wa mwanadamu wa kuwezekana kuendana na neema ya Mungu (kwa mujibu wa kitabu cha Edwards, uk. 23). Fundisho hili lilileta mchanganyo na fundisho la Augustine wa Hippo, kuhusiana na utimilifu wa dhambi za mwanadamu, ambaye anapaswa ategemee kwa kujitoa yote kabisa kwenye uweza wa msamaha na ukombozi, ukionekana kwa maombi ya Waaugustini yasemayo:

Utupe leo riziki yetu, na utupe kile unachopenda tufanyiwe (jarida hilo hilo).

 

Rumi ilianguka mwaka 410 na wale wanaoitwa wababarian. Wavandals, aliokuja kuikalia Roma, walikuwa kwa kweli ni watu waliowatendea vibaya Wakristo Waunitariani Watunza Sabato, walioitwa Waarian. Immani ya Kivandalism inatokana na ukweli kwamba Wavandali waliharibu kwa kuivunja vunja sanamu la kuchongwa la Warumi waabudu sanamu na kasha wakaliweka kwenye eneo baya na wanahistoria waliofuatia siku za baadae. Ni suala la nakili tu, kwamba kuishi kwao Roma ulikuwa ni mfano. Pelegius alienda kuishi Afrika, kwa namna inayoonekana kama ni yakijinga sana kuweka makao yake mahala karibu na adui wake Augustine. Hali hii hatimaye ilipelekea kutengwa kwake kutoka kwenye dini na hatimaye kufia huko Palestina. Uchaguzi wake wa kuishi kiholela huenda unaashiria kwamba Pelagjus hakuwa kwenye maafikiano mafundisho ya wazao waliotangulia, au huenda pengine hayakupenda kuwa na baridi. Madai yalifanyika kwamba mafundisho ya uzushi ya Wapelagiani yalitolewa na mwaandika taarifa aitwaye Prosper, na kwamba ilienezwa na kule na Agricola, mtoto wa askofu. Askofu Germanus alitajwa kutoka Auxerre huko Gaul mwaka 429, na kusindikizwa na askofu jirani yao Lupus wa Troyes. Yapasa ikumbukwe kwamba Lupus wa Troyes alikuwa ni mtawa wa kiume wa Lerins. Hapa palikuwa ni kitovu kutoka pale ambapo Gaul ilielekezwa tena kwenye mfumo wa Kirumi. Kwa hiyo, tunashughulika na mafundisho ya kimapokeo ya Waathanasia wanaotumia jeshi la Warumi ili kuushinda mfumo wa Kiingereza, unaolaumiwa na imani ya Upelagia. Walifanya madai haya sio kwa makanisani tu, bali pia kwenye njiapanda za barabarani na mashambani na mitaani (kwa mujibu wa jarida la Edwards, uk. 23). Tendo la kufanya mahubiri kwenye njia panda lilitumika kwa sababu njia panda zilionekana na Warumi na Wakazi wa Ulaya au Wazungu kama ni kitovu cha mungu mke aitwaye Hecate, ambaye kutokana na yeye au kwa ajili yake alama ya msalaba iliandishwa na kuendelezwa. Ilikuwa kwa ajili hii ndipo kwamba Waumini wanyofu, au Waunitarian, walikuwa ni wachukia sanamu kiasi cha kuzibomoa, hususan sanamu zile zinazoshabihiana au kufanana na msalaba. Maaskofu walioambatana na uendelezaji wa kazi za kijashi dhidi ya Picts na Saxons kwa upande wa kaskazini. Germanus alikuwa ni mwerevu au kamanda wa kijeshi, kabla ya kuwekwa kwake wakfu au kusimikwa kwake. Kanisa na maaskofu wa Gaul wakiwa chini ya mfumo wa Kirumi, walifanya sura mpya kama nguvu.

 

Waingereza walidhoofishwa na vuguvugu la kijeshi lililotokea nje ya Uingereza. Mnamo mwaka 383, Mkristo mwanajeshi mzaliwa wa Uhispania aliyejulikana kama jemadari Magnus Maximus, alimuoa mwanamke wa Kiingereza Helena, alichukua majeshi yake hadi maeneo ya bara na akajitangaza mwenyewe kuwa Mfalme. Tokea hapo katika utetezi ilikuwa haitoshelezi. Mnamo mwaka 407 Costantino mwingine aliongoza majeshi yake kuelekea maeneo ya bara ili kufanya jambo hilohilo. Hakuna sarafu ya Kirumi zaidi iliyotumika zaidi ya siku hii iliyokutikana nchini Uingereza. Kwa hiyo, mji wa Roma ulikatiliwa mbali na mashambulizi makubwa yaliyofanywa na Wabarbariani wa Gaul na Italia mwaka 410. Kisha Waingereza walialikwa Wasaxon wajiunge nao. Kanisa lililokuwa la waumini mchanganyiko akti ya Warumi na Waingereza lilikuwa ndilo pekee lililokuwa na sehemu ndogo sana ya Wakristo Waingereza na walihusika na kujifanya Warumi na walijenga miji upande wa kusini na kusini-mashariki kutoka eneo la Wash hadi Exeter, na eneo la pili ambalo ni kutoka York, kaskazini-magharibi hadi Carlisle na katika pwani ya Cumbrian au mwisho wa kijeshi wa upande wa ukanda wa magharibi (kwa mujibu wa Edwards, uk. 25). Kanisa la Wacelti kwa upande mwingine likubali kuwa ni kitovu cha imani ya Wakristo waliokuwa moto (Edwards, uk. 27). Wacelti walikubali kuhusu utakatifu wa Biblia, wakilichukulia jambo hili tafsiri ya moja kwa moja na kuitii kwa mioyo yao yote, hata sheria au kanuni za vyakula za Agano la Kale walizikubali na kuzichulia kuwa ni amri za Mungu. Wacelti walijipanga kama kabila, ambayo inaonekana kuwa na mchanganyiko wa chanzo chenye michanganyiko kama isemavyo hapa:

Kilichowaunganisha wao halikuwa jeshi au uongozi uliokuwa na makao yake maeneo ya mjini, kama ilivyokuwa kwenye hali ya ustaarabu wa Kirumi, lakini ni ile mila au desturi imara yakawaida iliyohusiana au kuegemea imani yao walioshirikishwa (Edwards, uk. 27).

 

Kwa hiyo basi ni kusema kwamba, ni rahisi kuiona sababu iliyopelekea maaskofu wa Kiroma waende nchini kote, ili kupingana au kuweka mijadala dhidi ya kile kilichoitwa mafundisho ya uzushi ya Wapelagiani, kama ni kweli jambo hili ndivyo hakika lilivyotokuwa. Ni vigumu kujaribu kufananisha jinsi mijadala hii migumu ilivyokuwa kwa ajili ya fundisho lihusulo neema na hali ya kujulikana au kuchaguliwa toka mwanzo ikichukua nafasi kubwa kwa wapagani. Kwa hiyo, tunashughulika na aina mbili za Ukristo uliokuwepo huko Uingereza, na ule wa Waingereza au Wacelti, waliokuwa bora na uliokuwa wa Kibiblia zaidi. Ulizimwa tu mahali pale ambapo Warumi waliweka makazi yao.

 

Imani ya kikatoliki ilikuwa haijaanzishwa bado Uingereza hadi kipindi cha kuongoka kwake Angles aliyepelekewa neno na Augustine wa Canterbury. Mfalme Ethelbert wa Kent, aliingia Ukatoliki kipindi cha Pentecoste ya mwaka 597 (kwa mujibu wa jarida la Butler lisemalo Maisha ya Watakatifu, au Lives of the Saints, ed. Walshi, concise edn., p. 158) na wengi (takriban 10,000) walioamini na kujitoa walibatiza katika kipindi cha sikukuu ya kipagani ya Christmas iliyokuwa inafanyika katikati ya majira ya baridi ya mwaka 597. Wakristo wa Uingereza, walikuwepo hadi wakatiiule, wakidumu kuwepo kama haikuwa kutengwa, Washika-Sabato Waunitariani Wanyofu, walioshika sheria za vyakula na kuzitunza au kuadhimisha Siku Takatifu zilizoamriwa na Mungu. Hwakuwa wakitawaliwa na himaya ya Warumi hadi wakati ambao Synod ya Whitby mwaka 663 kwenye Kasri au bweni la Hilda, ambako walijiweka chini ya haki ya uzawa. Columba    wa Iona aliitunza Sabato na inasemekana kuwa kifo chake kilitokea siku ya Sabato, Jumamosi tarehe 9 Juni 597 (kwa mujibu wa jarida la Butler la Maisha ya Watakatifu, Vol. I. Art. St. Columba, uk. 762). Butler anasema kwenye nukuu zinazoandikwa chini ya ukurasa kwamba, tendo la kuiita Sabato kuwa ni siku ya Bwana halikuwa likifanyika nyuma yake hadi ilipofika miaka elfu iliyofuatia (kwa mujibu wa jarida la Adaman la Maisha ya Columba, au Life of Columba, Dublin, 1857, p. 230. Jambo hili pia lilitiwa muhuri na W. T. Skene kwenye uandishi wake wa kitabu kinachoitwa Maisha Magumu ya Mt. Columba au Adamnam’s Life of St. Columba, 1874, p. 96).

 

Mwana historia wa kikatoliki aitwae Bellesheim (katika uandifhi wake usemao Historia ya Kanisa la Kikatoliki nchini Scotland, au History of the Catholic Church in Scotland, Vol. 1, p. 86) inafafanua kuhusiana na Sabato katika Scotland akisema:

 

Tunaonekana kuona hapa njozi za desturi iliyokua ikiadhimishwa na watawa wa Kanisa la kwanza la Ireland, ya kuitunza siku ya mapumziko ya Jumamosi, au Sabato.

 

Kwa mujibu uandishi wa jarida la James C. Moffatt (lisemalo Kanisa katika Scotland, au The Church in Scotland, p. 140) linasema kama hivi ifuatavyo:

Inaonekana kwamba kulikuweko na desturi kwenye makanisa ya Waceltiki ya siku za kale, katika Ireland na pia katika Scotland, kushika na kuitakasa siku ya Jumamosi iliyo pia ni siku ya Sabato ya Kiyahudi, kwa kuifanya kuwa ni siku ya mapumziko na kutofanya kazi iwayoyote ya utumishi. walionesha kuitii amri ya nne ya Mungu kwa njia ya matendo kwa kuitakasa siku ya saba ya juma.

 

Kwa mujibu wa uandishi wa Flick (jarida lake maarufu kama Kuinuka kwa Kanisa la wakati wa Zama za Kati za Kanisa, au The Rise of the Mediaeval Church, p. 237) linasema kwamba:

Waceltiki walitumia Biblia ya Kilatini kama vile tafsiri au toleo la Vulgate (R.C.) na kuitunza na kuitakasa siku ya jumamosi kwa kuifanya kuwa ni siku ya mapumziko, na ibada maalumu ya kidini siku ya Jumapili.

 

Katika nchi ya Scotland, hadi kufikia kwenye karne za kumi au kumi na moja ilidaiwa kuwa mambo yalisemekana kufantika hivi:

Walifanya kazi siku za Jumapili lakini waliitunza na kuitakasa siku ya Jumamosi kwa namna inayostahili kufanyiwa Sabato… Mambo haya Margaret aliyakomesha (kitabu cha Andrew Lang kinachosema Historia ya Scotland kuanzia wakati wa uvamizi wa Warumi, au A History of Scotland from the Roman Occupation, Vol. I. P.96; pia tazama kinachosema Scotland ya Kiceltiki au Celtic Scotland, Vol. 2, p. 350).

 

Wascotish walikuwa ni Watunza-Sabato hadi kufikia zama za utawala wa Malkia Margaret, kwa mujibu wa uandishi wa Turgot (jarida linalosema Maisha ya Mtakatifu Margaret, au Life of Saint Margaret, p. 49) ambalo linasema hivi:

Ilikuwa ni desturi nyingine kwao kukataa kuipaheshima kwa ajili ya siku ya Bwana, lakini walijitoa nafsi zao kwenye kila aina ya shughuli za kidunia juu yake, sawa na kama walivyofanya kwa siku nyingine zozote. Kwamba hii ilikuwa ikikiuka sheria, ambayo (Malkia Margaret) aliziidhinisha na kuwapa sawa sawa na ilivyofikirika na mamlaka. ‘Hebu na tuiheshimu siku ya Bwana’. Alisema, kwa sababu ya kufufuka kwake Bwana, kulikotokea siku ile, na hebu tusifanye kazi iwayo yote ya utumishi katika siku hii ukitilia maanani kwamba ni siku hii ndipo tulikombolewa kutoka kwenye utumwa wa shetani. Mbarikiwa Papa Gregory alilithibitisha na kulipitisha jina lake’.

 

Pia Skene anathibitisha kwa kupitia kazi yake ya uandishi pale anaposema kupitia makala yake isemayo (Scotland ya Kiceltiki, au Celtic Scotland, Vol. 2, p. 349) kuhusu Malkia Margaret na matendo yake aliyokuwa akiyafanya kinyume na Washika-Sabato wa nchini Scotland kwa kusema:

Hatua yake ya pili ilikuwa ni kwamba hawakuweza kwa kweli kuipa heshima yake stahiki Siku ya Bwana, lakini kwa mfano uliomo kwenye barua wanaonekana kuwa walikuwa wanaifuata desturi ambayo tunaikuta ikiingia kwenye Kanisa lile la kwanza la Ireland, ambalo kwalo waliitunza siku ya Jumamosi kuwa ni Sabato ambayo kwayo walifanya mapumziko ya kazi zao zote za utumishi.

 

Unadhishi wa makala au kitabu cha Lewis kisemacho (Wabaptist wa Kisabato katika Ulaya na America au Seventh Day Baptist in Europe and America, Vol. I, p. 29) inasema:

Kuna ushahidi mkubwa uoonyesha kwamba Sabato ilishinda katika mtazamo wa kilimwengu hadi kufikia mwaka 1115 AD, wakati ambapo askofu wa kwanza wa Kirumi aliwekwa huko St. Davidi’s. makanisa ya wa Welsh Watunza-Sabato wote kwa ujumla wao hawakupiga magoti kuitukuza Roma, lakini walikimbilia mafichoni.

 

Watunza-Sabato wakafurahia uamsho katika Uingereza ya Elizabeth wakisema:

Wakati wa utawala wa kumiliki kwake Elizabeth, ilitokea kwa wasikilizaji na wenye kutafakari wa kujitegemea (kama iolivyofanyika huko mwanzoni kwa baadhi ya Waprotestant waliokuwa wanaishi Bohemia) kwamba amrj ya nne inahusiana na wao waishike, sio kama ya kwanza, bali kama siku ya ‘saba’ ya Juma (kwa mujibu wa kitabu cha maarifa cha Chambers Cyclopaedia, makala inayohusu Sabato, Vol. 8, 1837, p. 498; nukuu zimefichika).

 

James I wa Uingereza, alimuondoa Mwanasheria Mkuu Coke mnamo mwaka 1616, akikomesha jaribio la kusimamisha uweza wa mfalme kwa kupitia njia ya mahakama. Kuna mafuatano ya mlolongo wa mateso ya Waprotestant kipindi hiki. Katika uchapishaji wa Kitabu cha Michezo mwaka 1618, mgongano wenye kutatiza ulijitokeza miongoni mwa Wanatheolojia wa Kiingereza, wakijadiliana kuona kama ama Sabato inayonenwa kwenye amri ya nne ni ya lazima, na pili, ki kwa kigezo kipi ambacho kinatumika kuutathmini uhalali uliopelekea kwamba siku ya kwanza ya Juma iweze kuadhimishwa, kama siku ya Sabato (kwa mujibu wa kamusi ya Haydn iitwayo Kamusi ya Siku au Dictionary of Dates, art. Sabbatarians, p. 602). Mama Traske, mwalimu alitiwa jela mwaka 1618, kutumikia kifungo cha miaka kumi na tano au kumi na sita, huko Maiden Lane, gereza ambalo walifungwa wale waliokuwa wakilipinga Kanisa la Uingereza. Kusa lake ni kwamba alikataa kufundisha siku ya Sabato na hivyo kumfanya afundishe kwa siku tano tu kwa juma (kwa mujibu wa jarida la Pagitt la Matokeo ya Mafundisho ya Uzushi au Heresiography, p. 196).

 

Wakati uo huo, Wazungu walioishi maeneo ya bara, mapigano kwa ajili ya ukazi wa Wakatoliki na umiliki wa bara ulikuwa ni walazima. Vita hii ilianza mwaka 1620, na ilipamba moto sana katika mapigano kati ya Wakatoliki na Waprotestant. Wahapsburgs walitafuta kuuingiza Ukatoliki na utawala wa kifalme wa Ulaya. Mnamo mwaka 1618, Wabohemia waliasi dhidi ya Ferdinand wa Hapsburg, kidogo tu afanyike kuwa Mfalme mtawala wa Ujerumani. Taji za Wabohemia zilitolewa kwa Mchaguzi wa Waprotestant aliyeitwa Palatine. Hii kwa maana sana ilipelekea kuanza kwa kipindi kingine cha Miaka Mitatu ya Vita. Mnamo mwaka 1620 Wahapsburg walichukua nguvu za utawala wa Wabohemia na mateso ya Wasabato yalianza tena upya.

 

Mnamo mwaka 1628, licha ya jaribio la Waingereza la kumsimamisha Kardinali Richelieu, waziri mkuu wa mfalme Louis XIII, aliitwaa ngome ya Waprotestant wa Ufaransa ambayo ilikuwa ikiitwa La Rochelle na kuharibu nguvu za Huguenots.

 

Mnamo mwaka 1639 Wanadhiri wa Uscot, bila kuchanganya na Waprotestant, walimuasi mfalme Charles I, aliyekuwa anajaribu kukiingiza kitabu kipya cha maombi kwao (kwa mujibu wa kitabu cha McEvedy cha Historia ya Ulimwengu wa Watafuta Kweli, au World History Factfinder, Century, London, 1984, p. 88).

 

Mnamo mwaka wa 1642, Vita vya Kiraia vilianza kati ya Mfalme na Bunge. Kuanzia muda huu na kuendelea, migawanyiko ya kidini iliona udharura wa theolojia ya Waunitarian kwa watu kama vile Milton, Isaac na wengine. Cromwell akafanyika kuwa ni ishara au alama ya wale waliopinga utawala wa Wakatoliki na mateso.

 

Mnamo mwaka 1647, mfalme Charles I aliwaitisha na kuwataka Wanakamati wa Bunge na kuwaambia kwamba ibada za Jumapili zinaendelea moja kwa moja kutoka kwenye mamlaka ya Kanisa akisema:

Kwa kuwa haijaonekana kwenye Maandiko Matakatifu mahali panapoonyesha kuwa Jumamosi haitakiwi iendelee kuadhimishwa, au palipoitaja siku ya Jumapili kwa hiyo ni mamlaka ya Kanisa ndiyo yaliyobadilisha kuitoa moja na kiingiza hii nyingine (na R. Cox jarida lisemalo Sheria za Sabato, uk. 333).

 

Jambo linalounda dhana hapa ni kwamba kukaini upapa kunahitaji kuhusishwa na mabadiliko ambayo yanategemea kwa ujumla wake yote kwenye Mabaraza ya Kanisa kwa mamlaka, kama vile adhimisho la ibada za Jumapili. Mahali pa msingi ni kwamba imani ya Kiprotestant kwa kufuata nyayo za hatari sana. Milton analielezea wazo hili akisema kuwa:

Kwa kweli itakuwa ni salama zaidi sana kama tutaadhimisha siku ya saba, kwa kufuata mujibu wa amri iliyotolewa mkazo na Mungu, kuliko kufuata yanayoamriwa na mamlaka zilizowekwa kibinadamu zinazotutaka kuiadhimisha ile siku ya kwanza (kwa mujibu wa Makala za Machapisho yahusuyo Sabato, 2, 46-54).

 

Mnamo mwaka 1648, mkataba wa muafaka wa Westfalia ulipelekea kuzuka kwa Vita ya Miaka Mitatu, chuki iliendelea kati ya Wafaransa na Wahispania. Vurumai au vurugu zilizotokea huko Ufaransa zilifungulia mwanzo kipindi kirefu cha mtafaruku wa kivita, uliojulikana kama Fronde. Pia, mnamo mwaka 1648, George Fox alianzisha jumuia ya Marafiki (iliyoitwa Waquakers kwa mara ya kwanza ilikuwa mwaka 1650).

 

Ni karibu kwa kipindi hiki, Dr. Peter Chamberlain, tabibu aliyekuwa akimtibia Mfalme Yakobo na Malkia Anne na Mfalme Charles I na Malkia Katherine, alibatizwa (habari hii ni kwa mujibu wa masalio ya habari zake: kama vile Mitambo ya uchapishaji ya Telegraph, nukuu zilizoandikwa na Napier kwa mujibu wa mtazamo wa wa SDA na kwenye makabrasha ya kumbukumbu za Kisabato za wachapishaji wasiojulikana, uk. 25).

 

Mnamo mwaka wa 1649, Ccharles I aliuawa, Uingereza Muungano wa Jumuia ya Madola na Cromwell akawatoa waasi wa Ki-Irish huko Drogheda.

 

Muafaka wa kuvumiliana kidini kwa Watunzaisabato wakati wa kipindi hiki ulikuwa mkubwa sana, hata hivyo kurejeshwa kwa utawala wa kifalme chini ya Charles II, mwaka 1660, baada ya kuahidi kutolewa kwa msamaha na uvumilivu wa imani za kidini (kama navyosema McEvedy hapo juu) ikaonekana kwa Watunza-Sabato tena wakiingia kwenye hali ya kukosa upendeleo. Thomas Bampfield, Spika wa mojawapo ya Mabunge ya Comwell, akaandika kwa niaba ya watunza Sabato ya siku ya saba na alitiwa gerezani kwenye jela ya Ilchester (soma jarida la Calamy 2, 260). Kwa mujibu wa barua ya Stenner, ya mwaka 1668 na 1670, kulikuwa na jumla ya takriban tisa au kumi yaliyokuwa wakiishika Sabato, miongoni mwa wanafunzi wengi walioishi katika hali ya mtawanyiko, waliohifadhiwa na kulindwa kwa kiasi kikubwa (kwa mujibu wa R.Cox, katika jarida lake hilo hilo la Sheria za Sabato, Vol. I, p. 268).

 

Kwa upana na ukubwa wa kipindi hiki, Watunza-Sabato walionekana kulazimika angalau kujipenyeza na kuingia Marekani. Kwa mujibu wa Jas Bailey, Stephen Mumford, wanasema kwamba Mtunza-Sabato wa kwanza nchini Marekani alikuja akitokea London mwaka 1664 (jarda la J. Baile lisemalo, Historia ya Mkutano wa Baraza la Halmashauri Kuu ya Wabaptist Wasabato, kurasa za 237-238). Katika mwaka wa 1671 Wabaptist Wasabato walimeguka kutoka kwenye kanisa la Kibaptist kwa nia ya kutaka waitunze Sabato (utayaona haya ukisoma jarida la Bailey lisemalo, Sabato, kurasa za 9-10). Hata hivyo, Mababa Waliotangulia kama mahujaji walikuwa na mapokeo ya watunza-Sabato (kwa mujibu wa jarida la Mababa Wasafiri).

 

Pande za Ulaya Kaskazini

Imani ya Kisabato na watu wake waliteswa huko Norway, kuanzia kipindi kile cha kukaliwa kwa Baraza la Kanisa huko Bergen tarehe 22 August 1435 na mkutano wa baraza la Olso mwaka 1436. Watu kutoka pande mbali mbali za ufalme, walianza kuitakasa siku ya Sabato na askofu mkuu alikataza kufanyika kwake akiweka hoja zake kwamba:

Imekatazwa kabisa – imeamriwa kwamba – kwa mujibu wa Sheria za Kanisa, kwamba kwa mtu awayeyote atakayeonekana akizitakasa ama kuziadhimisha siku takatifu, nyingine nje na zile zilizowekwa na kuamriwashariwa na papa, askofu mkuu, au walizoweka maaskofu (jarida la R. Keyser lisemalo Historia ya Kanisa la Wanorway chini ya imani ya Kikatoliki, Vol. II, Oslo, 1858, uk. 488).

 

Pia katika Baraza la Kijimbo la Kikatoliki la Bergen la mwaka 1435, ilisemekana kuwa:

Tumearifiwa kwamba wako watu kutoka katika wilaya mbalimbali za ufalme, wameshika na kuitakasa Sabato ya siku ya Jumamosi. Kumepigwa marufuku kuu sana – kwenye mwongozo wa kanisa – letu takatifu – (kwa) mtu mmoja au wote kuziadhimisha siku nyingine ziwazozote mbali ya zile ambazo Papa mtakatifu, askofu mkuu, au maaskofu wameziamuru kuadhimishwa.

Kuadhimisha siku ya Jumamosi bila ya mazingira yanayokubalika ama kuruhusiwa kwa kadiri mbali na ile ambayo mwongozo wa kanisa inaamuru. Kwa hiyo tunawashauri marafiki wote wa Mungu walioko Norway kote wanaotaka kuwa ni watii na wanyenyekevu kwa kanisa lao takatifu kujiepusha na uovu huu wa kuadhimisha ibada hizi za siku za Jumamosi, na zaidi sana ni kwamba tunatoa agizo la kukataza kwa kuweka adhabu kali itampata mtu awayeyote atakayeonekana akiadhimisha ibada za siku za Jumamosi na kuzitakasa (kwa mujibu wa Dip. Norveg, 7, 397).

 

Kikao cha Baraza la Kanisa la Norway kilisema yafuatayo:

Imakatazwa kwa kuambatanisha adhabu kama ile ile tendo la kuadhimisha kuitakasa siku ya Jumamosi kwa kujitenga kutofanya kazi iwayoyote ya utumishi (kwa mujibu wa jarida la Historia ya Kanisa la Wanorway, nk. Uk. 401).

 

Mnamo mwaka wa 1544 maonyo yalitolewa tena.

Baadhi yenu kinyume kabisa na maonyo, mnaishika na kuitakasa siku ya Jumamosi. Mlistahili kupata adhabu kali sana. Mtu awayeyote atakayekutwa akifanya ibada siku ya Jumamosi, atalazimika alipe faini ya kiasi kikubwa cha pesa (jarida la Historia ya Mfalme Christian wa Tatu, kilichoandikwa na Niels Krag na S. Stephanius).

 

Kwa hiyo ni dhahiri kwamba, utunzaji wa Sabato ulikuja kuingizwa tena nchini Norway, kwa kipindi kisichozidi zaidi ya miaka takriban miamoja iliyopita.

 

Imani ya Kisabato na hata kufahamu Sabato ya siku ya saba ya juma, pia kulikuwepo katika Norway tangia zama za matengenezo ya imani, kwa mujibu wa fafanuzi zilizofanywa katika nukuu kadhaa au tafsiri: kwa mfano, hebu tazama Makabrasha na Masomo Yahusuyo Historia ya Katekisimu ya Kilutheri kwa Makanisa ya Wanorway, jarida lisemalo Christiania, la mwaka wa 1893, na pia Vipindi vya Elimu ya Kitheolojia kwa Makanisa ya Kiinjili ya Kilutheri nchini Norway, Vol. 1, Oslo, uk. 184. Watunza-Sabato walitawanyika pia hadi huko Sweden na walikomeshwa moja kwa moka kwa wakati wote.

Moyo huu wa kuitunza-Sabato uliendelea kwa kipindi kirefu: hata vitu vidogo vidogo ambavyo vingeweza kuimarisha tendo la kuitunza siku ya Jumamosi waliadhibiwa (kwa mujibu wa Askofu Anjou, jarida lisemalo kwa Kiswissi Svenska Kirkans Historis, (baadaye) Motet I Upsala).

 

Tendo hili lilizidi kuenea hadi Finland na mfalme Gustavus Vasa I wa Sweden aliwaandikia watu wa Finland waraka uliosema yafuatayo:

Kipindi fulani kilichopita tulisikia kwamba watu walioko Finland wameangukia kwenye kosa kubwa na wameitunza kufanya takatifu siku ya saba ya juma, inayoitwa Jumamosi (kwa mujibu wa Maktaba kuu za Taifa zilizoko huko Helsingfors, Reinchsregister, Vom. J., 1554, Teil B. B. leaf 1120, pp. 175-180a).

 

Makanisa ya Watunza-Sabato, hata hivyo yalidumu na kuendelea kuwepo huko Sweden hadi kufikia siku za hivi karibuni na habari zake zinasema hivi:

Sasa na sisi tunabakia tukijaribu kuonyesha kwamba utakaso wa Sabato unamsingi wake na chanzo chake kutokana na sheria ambacho kuanzia uumbaji wake wenyewe, Mungu alianzisha kwa ulimwengu mzima, na kama kwa matokeo yake kwa hiyo imeendelea kudumu kwa watu wote na wa rika zote kwa kipindi cha zama zote [Evangelisten (Mwinjilist)], Stockholm, May 30 hadi Augusti 15, 1863; nguzo tegemezi kwa Kanisa la Wabaptisti wa Sweden).

 

Muundo wa watunza-Sabato katika upande wa kaskazini, hata hivyo ulipungua kuelekea kwenye muundo wa Kitrinitaria wa Kiprotestant, na ile hali ya Unyofu wa moyoni uliondoka wote kabisa. Waprotestant walianza kidogokidogo kuigiza kuitunza Sabato zaidi ya utakatifu utokanao na maelekezo ya Biblia. Mchungaji M. A. Sommer alianza kuitunza na kuitakasa siku ya saba ya juma na kuandika makala kuhusu Sabato ya kweli kwenye jarida lake la kanisa liitwalo Indovet Kristendom, Na. 5, 1875. Aliandika kwenye waraka wake kwa Mzee wa kanisa Waadventista, aitwaye John G. Matteson ukisema:

Miongoni mwa Wabaptist walioko hapa Denmark kuna mtikisiko mkubwa kuhusiana na adhimisho la amri ya Sabato …. Hata hivyo, huenda mimi ni mhubiri pekee hapa Denmark niliyesimama kwa ukaribu zaidi kwa Waadventista na ambaye kwa kipindi cha miaka mingi sana sasa nimekuwa niutangaza ujio wa pili wa Kristo (kwa mujibu wa jarida la Advent Tidente, la May, 1875).

 

Masalio ya Kanisa la kwanza walikuweko bado upande wa kusini-mashariki, hata hivyo. Luther pia aliweka nukuu (kwa mujibu wa jarida la Hotuba kutokana na kitabu cha Mwanzo, au Lecture on Genesis, 1523-27) kwamba Wasabato walikuwepo kwa wakati ule huko Austria. Hii inaonekana kuwa walikuwa ni masalio ya Waaldensia Wasabato. Kwa kweli anawatetea Watunza-Sabato kwa kusema:

Mungu na aibariki Sabato na kuitakasa kwa ajili ya utukufu wake mwenyewe. Mungu alipendezwa amri yake kuhusiana na Sabato inapaswa idumu na kubakia vivyohivyo. Alipendezwa kwamba siku ya saba neno lake linapaswa lihubiriwe (kwa mujibu wa jarida liitwalo Fafanuzi za Kitabu cha Mwanzo, au Commentary on Genesis, Vol. 1, pp. 133-140).

 

Watunza-Sabato katika Ujerumani na Uholanzi walikomeshwa kwa nguvu na shuruti isiyo na huruma kabisa na inawezekana huenda waliuawa kwa ajili ya imani yao. Barbara wa Thiers aliuawa mwaka 1529. Mfia dini mwingine Christina Tolingen, alipinga na kukataa kukubaliana juu ya uhalali wa siku takatifu za Kikatoliki na kushikilia imani yake kuhusu Sabato ya siku ya saba (kwa mujibu wa jarida linaloongelea kuhusu Elimu kuhusu Wafia dini wa Makanisa ya Kristo, maarufu kamaWabaptisti, wa zama za Matengenezo ya imani,  

 

Kutoka kwenye jarida la Dutch la T.J. Van Bracht, London, 1850, 1, pp. 113-114).

 

Utunzaji-Sabato katika Ujerumani haikuwezekana kuuondoa na ulishikiliwa na kile ambacho Tennhardt wa Nuremburg, ambaye alikuwa amewakamia mno Watunza-Sabato (kwa mujibu wa jarida la Bengel la Leben und Werken, Burk, p. 579). Anaonekana kushikilia kuamini kuwa siku ya Jumapili iliwekwa na Mpinga-Kristo (kwa mujibu wa K. I. Asemavyo kuwa Austrug aus Tennhardt’s “Schriften,” 1712, p. 49).

 

Tumejionea hapo juu ukomeshwaji wa Watunza-Sabato katika Ubeligiji, karne kadhaa kabla ya kipindi cha matengenezo ya imani. Watunza-Sabato walipata mahali pa kukimbilia huko Lichtenstein kutokea takriban mwaka 1520, katika himaya ya Bwana au Lord Leonhardt wa Lichtenstein.

Kadiri vile mfalme wa Lichtenstein alivyoshikilia adhimisho la Sabato ya kweli (jarida la J. N. Andrews la Historia ya Sabato, uk. 649).

 

Tendo hili katika Lichtenstein lilishambuliwa na Wolfgang Capito.

Wasabato hufundisha kwamba Sabato ya nje, yaani ya Jumamosi, yapaswa bado iadhimishwe. Wanasema kwamba Jumapili ni mwingiliano wa Papa (jarida la Wolfgang Capito lisemalo Upingaji wa Sabato, 1599).

 

Utunzaji wa Sabato ulijipenyeza hadi Urusi mapema kabla ya zama za Matengenezo ya imani na ulishutumiwa na Baraza la Moscow mwaka 1503.

Waliotuhumiwa [Watunza-Sabato] walisomewa mashitaka; waliikiri kwa wazi kabisa imani (sic) yao mpya, na waliitetea kwa namna moja. Wengi wao waliokuwa maarufu miongoni mwao, alikuwa ni Waziri wa mambo ya nchi za nje, Kuritzyn, Ivan Maximow, Kassian, mwanasheria mkuu wa [Bury?] Jumba la watawa la Novgorod, waliohukumiwa kifo, na kuchomwa mbele ya kadamnasi ya watu vizimbani, huko Moscow, Desemba 19, 1503 (kwa mujibu wa jarida la Sternburg la Geschichie der Juden [in Polen], Leipsing, 1873, pp. 117-122).

 

Sternberg ananukuu kwa kusema:

Lakini wengi wao walihamia kwenda Crimea na Caucasus, ambako walisalia kuishika imani yao ya mafundisho ya kweli. Licha ya mateso hadi kifikia wakati huu uliokuwepo. Watu waliwaita Wasabotniki, au Wasabatarian (jarida la Sternberg  la Geschicte der Juden in Polen, p. 124).

 

Kuna mashaka kidogo kwamba Wasabato au Waaldensia, walikuwa mfano kwa watu wa Bohemia kwa kipindi cha baada ya mwaka wa 1500.

Erasmus ametoa ushuhuda kwamba hata ikiwa ni ikichelewa kiasi cha takriban mwaka 1500, Wabohemia hawa sio tu kwamba waliitunza siku ya saba kwa hali ya kimahangaiko, bali pia waliitwa ni Wasabatarian (toka kwa R. Cox, Maandiko ya Swali la Wasabato, Vol. II, pp. 201-202, ikinukuliwa kwenye Ushindi wa Kweli, p. 264).

 

Nukuu za R. Cox zinaonekana kusomeka kama ifuatavyo:

Nilikuta kwenye eneo moja la maneno ya Erasmus panaposema kwamba kwenye siku hizo za kale za kipindi cha Matengenezo ya imani wakati alipoandika, walikuwepo Wasabato huko Bohemia, ambao si kwamba walikuwa wanaitunza na kuitakasa siku ya saba ya juma, bali walisemekana kuwa …walijishughulisha sana na mapumziko kwa siku hiyo (kwa mujibu wa Dr. R. Cox jarida la Maandoko kuhusu maswali yahusuyo Sabato, Vol. II, pp. 201-202).

 

Armitage na Cox (hapo juu) waligundua uwepo wa Wabohemia Wasabato, pia walianza kuwepo mwaka 1310.

Mnamo mwaka 1310, miaka miambili kabla ya tathmini ya Luther, ndugu wapendwa Wabohemia walifikia kiasi cha robo moja ya idadi ya wakazi wa Bohemia, na kwamba walikuwa wakiwasiliana na kwa karibu na Waaldensia waliokuwa wengi nchini Austria, Lombardy, Bohemia, kaskazini mwa Ujeruman, Thruringia, Brabdenburg, na Moravia. Erasmus walionyesha jinsi gani ambavyo Wabohemia wa Kiwaldensia walivyokuwa wamemaanisha kuitunza Sabato ya siku ya saba (jarida la Armitage lisemalo Historia ya Wabaptist, p. 318, na pia R. Cox hapo juu).

 

Huko Moravia baadhi ya Watunza Sabato waliongozwa na Count Zinzendorf mnamo mwaka 1738 wakati alipoandika kuhusiana na utunzaji wa Sabato.

Kwamba nimeiazima Sabato tayari kwa miaka mingi, na Jumapili yetu kwa ajjli ya kuitangazra Injili (Bundingache Samlung, Leipzing, 1742, Sec. 8, p. 224).

 

Wamoraviani wakiwa chini ya uongozi wa Zinzendorf waliondoka kutoka Ulaya na kuelekea America mwaka 1741, ambako Zinzendorf na ndugu Wamoravian waliungana na kanisa la Bethlehem la Marekani, kuifanya siku ya saba ya juma kuwa ni siku ya mapumziko (kwa mujibu wa kitabu hicho hicho hapo juu, kurasa za 5, 1421, 1422). Fundisho na imani yao juu ya uungu haiko wazi na haieleweki. Rupp anasema kwamba Zinzendorf na Wamoravian wa Bethlehem walianza kuitunza na kuitakasa Sabato na kupata heri ya maisha, alikuwepo kijana mdogo miongoni mwa watunza Sabato wa Ujeruman katika Pennsylvania (kwa mujibu wa Rupp, jarida lake la Historia ya Madhehebu ya Kidini katika nchi ya Marekani, kurasa za 109-123). Historia ya Wabohemia na Wamoravian tangu mwaka 1635 hadi 1867 inasimiliwa na Adolf Dux. Anasema:

Masharti ya Watunza Sabato ilikuwa ni yakutisha sana. Vitabu vyao na maandiko yao mbali mbali ilibidi yatolewe kwa Karlsburg Consistory ili yateketezwe kwenye moto (kwa mujibu wa Adolf Dux Aus ungarn, Leipzig, 1880, pp. 289-291).

 

Kukomeshwa kwa utunzaji wa Sabato kuliendelea katika maeneo ya Romania, Czecho-Slovakia na katika nchi za Balkan. Katika mwaka wa 1789 iliendelezwa na tangazo la mavumiliano liliyowekwa na Joseph II halikufua dafu kiasi cha kuwahusu Wasabato watu ambao kwa mara nyingine tena walipoteza mali zao zote (kwa mujibu wa Jahrgang 2, 254). Kasisi wa Kikatoliki aliwapa ruzuku wanajeshi waliowalazimisha Wasabato wakubaliane na imani ya Kikatoliki hata kwa kuiita tu, na kwamba wakubaliane kufanya kazi ya utumishi na kwamba wahudhurie na kufanya ibada zao siku ya Jumapili, kwa kipindi takriban chote cha miaka miambili na hamsini. Kutojumlishwa kwa kiwango cha Makanisa kwa Makanisa ya Kisabato kuhusiana na tangazo la mavumiliano, katika ujumla wake kulitokana na maamuzi ya Bunge la Wahungary la mwaka 1867, pia inajulikana na Samuel Kohn kama anavyosema: SABBATHARIER IN SIEBENBURGEN op. cit., na inanukuliwa katika nukuu za Gerhard O. Marx kwa kazi zake op. cit. (tazama hapo juu), (mfano Kohn Wasabato wa Transylvania, iliyotafsiriwa na T. McElwain na B. Rook, ikahaririwa na W. Cox, Kitengo cha Uchapaji cha CCG, nchini Marekani mwaka 1998).

 

Kanisa katika Romania na Hungary, likiwa chini ya Andreas Eossi, tangia mwaka 1588, lilikataa matumizi ya mitambo ya uchapishaji na lililazimika kuchapisha vitu vyake kwa mfumo wa uandishi wa mkono. Kanisa hili lilidumu kuwepo katika Trans-Carpathia na Romania (hasa katika Oluj na Sibiu) yapata.mwaka 1894 na walikuwa ni Wasabatati, waliojulikana kama Wasabbatharier (kidokezo cha neno  au sarufi arier hapa kinaashiria kuwa alikuwa ni Arian [pengine huenda kwasababu walikuwa Watunza-Sabato wasio Wayahudi, au ilikuwa ni sarufi iliyowekwa kimakosa iliyokuwa inakusudia kumtaja Arian {mtunza Sabato)]. Watu hawa bado wanaendelea kuwepo leo huko Ukraine na maeneo ya upande wa kaskazini kwenye maeneo ya mwaka 1894. walikuwa ni Waunitarian.

 

Mapokeo Mengine ya Kikristo

Nukuu zilizofanywa na Brady kwenye jarida lake la Clavis Calendaria (I-II, London, 1812, pp. 313-314) anashikilia kuamini kwamba uamuzi wa mwanzo wa kuzaliwa kwa Kristo, kuliamuliwa na Kanisa la kwanza kwamba kulifanyika wakati sambamba na Sikukuu ya Vibanda. wakristo wa kwanza waliokuwa wanajulikana kuwa walikuwa ni Waebrania, ingawaje kunahusiananishwa na mwaka wa Kirumi uzaliwa kuwa ni tarehe 1 Januari, wakati wa Sikukuu ya Vibanda waliyapamba makanisa yao na matawi ya kijani, kama ukumbusho wa kwamba Kristo ni hakika alizaliwa kwa wakati ule, na kwa wakati huo huo Wayahudi walijenga vijumba vya nyasi au mahema. Brady anaamini jambo hili kuwa ni mwanzo au chanzo cha upambaji wa shamrashamra za kuzaliwa kwa Yesu na miti au majani katika siku ya Christmas.

 

Dola au Utawala wa Siku 1260 tu

Inaweza kuonekana, kwamba kuna pingamizi endelevu kwa Waamini Wanyofu wa moyo au Waunitarian Washika-Sabato kwa vipindi vya karne zote katika ulimwengu wa Kikristo, unaopigana kikumbo hapa na pale na ukizongwazongwa na Kanisa la Kikatoliki na ambazo kwazo, Kanisa la Kikatoliki limekuwa likitumia miaka na miaka likijaribu kulikomesha. Kuna wakati fulani ilionekana kana kwamba lingefanikiwa kabisa kulikomesha. Kwa kweli katika kila mahali ambapo Makanisa ya Kiafidhina yalipoweza kuchukua hatamu za uongozi na kushika madaraka, kumetumika kila uwezekano uliopo kufanyika ili kuanzisha Baraza la kidini la mahojiano na Hukumu, kukitumika tekinolojia ya wakati wao kuukomesha mfumo huu.

 

Kipindi kile cha ustawi wa kile kilichoitwa kama cha Dola Takatifu ya Kirumi kuanzia mwaka 590 na azimio au tangazo la Papa Gregory I. Cheo cha Papa kilifanyika kuwa ndiye mtawala mkuu wa Roma pamoja na uozo au kuzorota kwa nguvu za Roma kwa upande wa Mashariki mwa Italia (tazama jarida lile lile la McEvedy, uk. 41). Mfumo huu ulikakia kama ishara au sanamu la mnyama wa Kirumi kwa kipindi cha miaka 1260. Mnamo mwaka 1846 Halmashauri ya mwisho ya Baraza la kidini la Mahojiano na Hukumu lilifikia kikomo na kuwa ndio mwisho wa mtindo huu. Iliishia kwa kipindi cha miaka 23, kuanzia mwaka 1823 hadi 1846, na jumla ya watu 200,000 walihukumiwa kifo, vifungo vya maisha, kufukuzwa na kwenda ukimbilizini au kupotea, kwenye kasri au mwa amri ya papa pekeyake. Watu wengine takriban millioni 1.5 waliwekwa chini ya rumande za polisi na kusumbuliwa mara kwa mara wakati wote.

Kulikuweko na viwanja vya kudumu vya kutesea watu vilivyotengwa katika kila mji au kwenye miji mikubwa na vijijini, kwenye stesheni za Reli, mikutaniko ya watu zaidi ya watatu na magazeti yote vilipigwa marufuku. Vitabu vyote vilikaguliwa. Mahakama maalumu yakudumu yalianzishwa kila mahali ili kujaribu kuwashitaki na kuwaua watuhumiwa. Mashitaka yote yalifantika kwa Lugha ya Kilatini. Asilimia tisini na tisa wa watuhumiwa walikuwa hawaelewi makosa yao wanayoshitakiwa kwayo. Kila papa aliondoa uwezekano wa utetezi ambao ulijitokeza mara kwa mara wakiomba kuheshimiwa kwa watuhumiwa au kutendwa kwa haki, kwa ajili ya kujitetea au kujieleza, kwa ajili ya matengenezo au marekebisho ufanyajikazi wa jeshi la polisi na mfumo wa magereza (tazama jarida la Malachi Martin lisemalo, Mafundisho na Kuanguka kwa Kanisa la Rumi, lililoandikwa na Secker na Warburg, la London 1981, uk. 254).

 

Waliokuwa wanaasi walikuwa wanakomeshwa kwa kuuawa katika mauaji ya halaiki, vifungo vya maisha na kazi ngumu, kufukuzwa na kupelekwa uhamishoni au kupata mateso mengine makali, kwa kuwatumia askarijeshi wa Kiaustria (kinaeleza kitabu hichohicho., uk. 254). Papa Gregory XVI alikomesha mojawapo ya maasi haya kwa kuandaa mauaji ya kuangamiza halaiki yaliyofanyika kwa njia ya kuwachinja watu hawa waliotuhumiwa kuwa ni waasi. Mwisho wa utawala huu wa siku 1260 ulianzia kwatika maasi yaliyojulikana kama ya kudai mabadiliko yaliyotokea huko Utaliano na Ulaya ya mwaka 1848 (tazama kitabu kilichoandikwa na McEvedy, uk. 151). Papa Pius IX, alirudishwa tena na majeshi ya Ufaransa akapelekwa Roma mnamo tarehe 12 Aprili 1850. Alikuwa amepoteza nguvu na mamlaka, hata hivyo, majeshi ya Garibaldi yaliuzunguka mji wa Roma tarehe 19 Aprili. Kulikuwa na kura iliyopigwa ili kudai uhuru kutoka kwenye utawala unaoongozwa na mamlaka ya Papa, kwa majimbo ya papa yaunde Jamhuri yao. Kura zilizopigwa katika Roma pekeyake zilikuwa 46,785 zilizounga mkono, na zilizo pinga jambo hilo zilikuwa 47 tu. Katika majimbo yote yaliyokuwa chini ya himaya ya papa matokeo yalikuwa ni kwamba kura 132,681 ziliunga mkono wazo hilo, na kura 1,505 zililipinga wazo hilo (kwa mujibu wa jarida la Martin, uk. 255). Ilikuwa ni kura ya kuukataa kabisa utawala wa papa. Miezi minane baadae bunge au baraza la kutunga sheria la Utaliano likapitisha sheria ya Hali ya Hatari, na hii ni sehemu ya nakala yake:

Papa sasa ana utawala unaojitegemea ulio huru, baraza la kutunga sheria limethibitisha na kujua hivyo, ana hali isiyochokozeka na isiyofikia kikomo na yuko huru katika kuingia na kutoka, kuwa na tume zake, mabaraza, fikra zake, kutenda kama aonavyo vema. Anamiliki eneo la Vatican, Mamlaka na ofisi ya Kipapa, na Kasri iliyokamilika yaani Castel Gandalfo. Atakuwa na analipia kodi ya lika mwaka ya pesa za zamani za Kitaliano yaani Lire 3,225,000.

Pius akaichana nakala ya sheria akisema “tutakuwa ni waanzilishi” (jarida la Martin, uk. 255).

 

Kwa hiyo basi, dola ikawa kwenye ikaja kwenye hitimisho lake la msingi. Kulikuweko na jaribio jingine tena kidogo ambayo liliishia mwaka 1871, wakati ambapo Papa alipopoteza tena ile mamlaka yake yote ya muda. Makanisa ya Kisabato yalikuwa salama kwa wakati ule lakini yote yalikuwa yamekufa. Ilikuwa ni zama za Wasardi (kama isemavyo Ufunuo 3:1 nk).

 

Nhini China ilitokea kwamba mwisho wa miaka 1260 ilisherehekewa kwa kufanyika Mapinduzi ya Taipeing ya mwaka 1850. Hung Hiu-Tsen alijitangaza kuwa ni mfalme na kuuchukua mji wa Nanjing na Shanghai (kama asemavyo McEvedy kwenye jarida lake uk. 151). Utunzaji wa Sabato lilikuwa ni jambo kuu na lenye kusisimua. Kwa mujibu wa mmoja wapo kati ya maafiwa wake (Lin-Le), chini ya kasumba yote ya Hung, tumbaku na vinywaji vyote vyenye kulevya wa vileo vyote vilikatazwa kwa kupigwa marufuku na dini ya Kisabato ilitiliwa maanani na kuadhimishwa (kwa mujibu wa jarida la Lin-Le liitwalo Mapinduzi ya Ti-Ping au The Ti-Ping Revolution, Vol. I, pp. 36-48,84). Walipoulizwa ni kwanini wanaiadhimisha Sabato ya siku ya saba ya juma, Wataiping walisema kwamba sababu ya kwanza, ni kwamba, Biblia ilifundisha jambo hili, na sababu ya pili ni kwamba, mababa zao waanzilishi wa imani waliiadhimisha hiku hii na kuifanya kuwa ni siku ya kufanya ibada zao (hii ni kwa mujibu wa jarida la Historia Muhimu ya Sabato na Jumapili lililonukuliwa pia katika machapisho ya kanisa la Waadiventista wa Kisabato yaani SDA, yaani A Critical History of the Sabbath and the Sunday, p. 27).

 

Dola au Utawala wa miaka 1260 umetokana na ubabii wa Ufunuo 12:15, mahali ambapo panasimulia kwamba yule mwanamke alipewa mabawa mawili ya tai yule mkubwa, (ikimaanisha Kristo kwa mujibu wa kitabu cha Kutoka), ili aruke aende zake nyikani hata mahali pake, hapo alishwapo kwa wakati na nyakati na nusu ya wakati. Kutoka siku za mfomo wa kinabii, hii imeangukia katika siku 360 za mwaka wa kinabii au miaka 360. Kwa hiyo, kuna sababu zenye maana mbili za kiunabii huu. Hata hivyo, maana kuu ni kwamba upana wake ni miaka 1260 (yaani 360x3.5). Kipindi cha kuanza kwa unabii huu ni kile cha mwaka 590 BK. Madai ya kwamba miaka 1260 ilianza kwa vita ya Warumi ya huko Busta Gallorum na kuishia na kuwekwa kwa Napoleon katika mwaka 1814, ulikuwa ni uongo wa wazi kabisa. Belisarius aliitwaa Sicily na Italia kuanzia mwaka 535 hadi 540 kutoka kwa Ostrogoths, lakini kwa pamoja walishambuliwa mwaka 540. Mnamo mwaka 568 Lombards aliongoza Italia. Walipelekwa kimakosa kutoka Hungary na Waavars. Hatima ya mfumo haikuwa mwaka 1814. Waterloo alipigwa au ulipigwa mwaka 1815 na sio mwaka 1814.

 

Napoleon kwa kweli aliuhusuru au aliukomesha utawla huu uiliojiita Dola Takatifu ya Rumi katika mwaka 1806. Mashamba yote ya Hapsburg yakafanyika kuwa ni sehemu mojawapo ya utawala wa Dola ya Austrian, na Kijerumani kikiwa ndio Lugha yake rasmi. Napoleon aliyaunganisha majimbo ya utawala wa papa kwenye mwaka wa 1808 (kwa mujibu wa jarida la McEvedy, uk. 135). Katika mwaka wa 1815 mkutano wa Baraza la Vienna likaandisha muundo uliopelekea kuandikwa tena ramani ya Ulaya. Baraza hili likaamua kurusisha tena mabeni ya wamonaki. Utawala uliojiita Dola Takatifu ya Roma ikapewa nguvu upya kama Muungano wa Ujerumani, chini ya Urais wa Austrian. Sweden ikaipata Norway kutoka Denmark, lakini ikapoteza mahali pa kutegemea au tegemeo lake katika Bara hili (kwa mujibu wa McEvedy, uk. 140). Kati ya miaka ya 1815 na 1848 kulikuwa ma badiliko moja tu la mpaka ndani ya eneo lililokuwa kwenye himaya ya baraza hili la utawala na jumla ya mawili tu katika Ulaya yote nzima. Badiliko la kwanza lilifanyika kwa sababu tu ya kuonyesha kuwa jaribio la Baraza hili la Utawala la kuziunganisha nchi za Ubelgiji na Uholanzi lilikuwa limeshndw (maana Wabelgiji waliwafukuzilia mbali Waholanzi au Wadutch mwaka wa 1830). Sababu ya pili ilikuwa ni kwa ajili ya kupata Uhuru kwa Waserb kutoka kwa utawala wa Ottoman mwaka 1817. Wayunani walifanya bidii ili wapewe uhuru kamii mwaka 1821.

 

Kwa hiyo, madai ya kwamba ile iliyojiita kuwa ni Dola Takatifu ya Rumi yaliishia mwaka 1814, ni ghliba ya kijanja yaliyoanza kwenye makanisa ya Marekani. Chanzo chake kinaonekana kililenga kuficha ukweli kwamba Wamarekani walikuwa hazijui siasa za Kimabara. Waadventista wa Marekani walijaribiwa kuitangaza ujio wa Masihi kuanzia mwaka 1842. Madai ya ujio wa huu wa Masihi wa miaka ya 1842-44 yangeweza kufanyika iwapo kama unabii wa kitabu cha Ufunuo uhusuo miaka 1260, ungekuwa baado uko kwenye mchakato. Kwa hiyo, Waadventista kwa makusudi kabisa waliyadhrau mabadiliko ya mwaka 1806 na mwanzo mpya wa mwaka 1815 wa utawala wa ile iliyojiita kuwa ni Dola Takatifu ya Rumi na hatimaye kipindi hiki kuishilia mwaka 1814. Uongo huu bado umezidi kupata nafasi na kukubalika na Waadvenitista Wamarekani na kwenye Kanisa lingine la Mungu linalochipukia hadi kufikia siku za leo. Matokeo ya mwisho ya kosa la siku hii ni kwamba madai ya Waadventista kuhusiana na miaka hii ya 1842-44 ni yauongo. Hakunakitu kingalichoweza kutokea cha namna iwayoyote ile, kama nabii zisingeweza kutimilika kwa wakati ule. Basi mwaka 1850 ungekuwa ni wa kwanza mapema zaidi ambao ungeweza kufanyika kuwa ndio mwisho wa miaka hii 1260 na kuna wengine miongoni mwa Waadventista-Waaminia wanaochipukia huko Marekani ambao hawakukubaliana na hawataweza kukubaliana nao. Matokeo yake ni kuharibiwa kukubwa kwa maana ya mafundisho ya Kibiblia ya Wasabato.

 

Siku nyingine ya maana ilikuwa ni mwaka 663, wakati ambapo Sinodi ya Whitby ilishkilia hatamu za mamlaka ya kuiongoza nchi ya Uingereza na Makanisa ya Uingereza kwa Waebrania wote walioishi pande za maghribi, walilazimishwa kuukubali utawala wa Warumi hadi kufikia kiasi cha kutumika kwa upanga. Hasahasa waliolengwa walikuwa ni Wakristo wa pande za Magharibi waliokuwa chini ya mfumo wa utawala wa Kanisa. Jambo hili lilipelekea kuanza kwa kipindi kingine kipya cha kiunabii, ambacho kitaelezewa habari zake kwa undani baadae kwa sehemu nyingine. Matokeo ya mwisho yalikuwa ni kwamba Wakristo watiifu walivumilia mateso na misukosuko kwa kipindi chote hiki. Lakini ni vema kujua kwamba bado kuna mtihani mwingine utakaotokea siku zijazo za mwisho (kama isemavyo Ufunuo 6:9-11) na Masihi atakuja.

 

(Kumbuka kwamba: zilikuwepo baadhi ya nukuu muhimu ammbazo zilipatikana toka kwenye jarida la Muadventista (SDA) mwenye msimamo wa kati ambazo zilikuwa na maelezo fulani ambayo yalikuwa hayajamaliziwa. Baadhi yake yalikuwa ni machakavu kwa kiasi kikubwa sana au mengine yalikuwa ni makuukuu na ya zamani sana au adimu. Mawili kati yake yalikuwa ni vigumu sana kuyafumbua au kuyatafsiri. Nukuu zilizopewa ridhaa zilikuwezekana. Moja wapo ilikuwa imesahihishwa na nyingine iliongezewa. Kimtazamo wa kisomi ilikuwa ni kitu cha kujilaumu ama kujutia lakini nukuu zake zilichukuliwa kuwa ni za muhimu).

 

 

 

 

 

 

q