Makanisa ya Kikristo ya Mungu
[143A]
Mbingu,
Jehanamu au Ufufuo wa
(Toleo La 1.0
20120428-20120428)
Ufufuo wa
Email: secretary@ccg.org
(Haki Miliki ã 2012 Wade Cox)
(tr. 2012)
Masomo yaliyo kwenye jarida hili yanaruhusiwa kunukuliwa na kuwapa watu bure bila kulipishwa kitu, ikiwa tu
Jarida hili linapatikana Ulimwenguni
kote kwenye wavuti yetu ya:
http://www.logon.org au http://www.ccg.org
Mbingu, Jehanamu au Ufufuo wa
Utangulizi
Kile
kinachoendelea katika ulimwengu wa Kikristo wa zama
zetu hizi ni kutojua jinsi inavyosema Biblia kuhusu kule wanakokwenda au kinachotokea
au kuwapata wanadamu baada ya kufa na jambo muhimu
Kanisa zima
liliamini kwamba Kristo atarudi kwa awamu mbili, na
imani hii ya kurudi kwa Awamu ya Pili kulikuwa ni msingi wa tumaini la Ufufuo. Justin
Martyr anaandika kutoka Roma mwka 154 akilielezea jambo hili kwa
maneno machache tu kwenye Mdahalo wake aliofanya na Trypho. Kwenye Sura ya LII anaongelea
kuhusu ujio wa awamu mbili za Masihi.
SURA YA LII -- YAKOBO ALITABIRI AWAMU MBILI
ZA UJIO WA KRISTO.
"Na ilitabiriwa na
Baba yetu Yakobo kwamba kutakuwa na awamu mbili za kuja kwa Kristo, na kwamba
ile awamu ya kwanza atapata mateso, na kwamba baada ya kuja kwake atakuwa ni
nabii au mfalme kwenye nchi yenu (Niliendelea), na kwamba mataifa watakaomwamini
huyu Kristo mteseka ndio watakayemuona atakapokuja mara nyingine tena siku za
mwisho. Na kwa ajili hii ndipo Roho Mtakatifu ameutoa
ukweli huu kwa njia ya mifano, na kuagiza kwamba” Niliongeza “imesemwa kwamba
‘wewe “Yuda, ndugu zako
watakusifu, Mkono wako utakuwa shingoni mwa adui zako. Wana wa baba yako
watakuinamia. Yuda ni mwana-simba, Kutoka katika mawindo, mwanangu, umepanda;
Aliinama akajilaza kama simba, Na kama simba mke; ni nani atakaye mwamsha?
Fimbo ya enzi haitaondoka katika Yuda, Wala mfanya sheria kati ya miguu yake,
Hata atakapokuja Yeye, mwenye milki, Ambaye mataifa watamtii. Atafunga punda wake
katika mzabibu, Na mwana-punda wake katika mzabibu mzuri. Amefua nguo zake kwa
mvinyo, Na mavazi yake kwa damu ya zabibu. Macho yake yatakuwa mekundu kwa
mvinyo, Na meno yake yatakuwa meupe kwa maziwa. Zaidi ya yote ni kwamba. Kile kilichokwenye nchi yako hakitashindwa kamwe, iwe ni nabii au mtawala, tangu kipindi
walipoanza hadi wakati huyu Yesu Kristo alipokuja kwa
mara ya kwanza na kupata mateso, hutaweza kuhatirika na kuaibika na kudai wala
kuthibitisha
(Mwanzo 49:5, 8-12, 18, 24)
Sehemu ya fafanuzi
ya somo hili ilitajwa kwa kifupi
SURA YA LXXX – MTAZAMO NA MAONI YA JUSTIN KUHUSU
UTAWALA WA MIAKA ELFU MOJA. NA AMBAO WAKATOLIKI WENGI WANAUKATAA. [Kumbuka
kwamba jaribio la kutetea kile kilichojulikana baadae
“Na kuhusu hili, Trypho alijibu, "Nadiriki
kukuambia bwana, kwamba unapenda
Kisha nilijibu, "Mimi sijakata tamaa
Kila aliyesema na kuanza kufundisha kwamba watu
wanapokufa wanakwenda mbinguni alikuwa sio macha-Mungu na alifundisha
mafundisho mapotofu na yakufuru na hakukubalika na kanisa au alikuwa ni muasi
wa imani ya kweli. Na kwa maneno mengine ni kusema
kwamba mafundisho
SURA YA LXXXI – ANAJARIBU KUTHIBITISHA HOJA ZAKE
NA MANENO YA NABII ISAIYA NA MAANDIKO YA KINABII. [Kumbuka
kwamba Watafsiri hawa wa Kitrinitaria wa siku hizi
wanadai kwamba hoja zao zinapata mashiko kutokana na muono wa Justin zaidi
kuliko kulinganisha na mafundisho ya Kanisa la Mungu (aonavyo Cox)]
"Kwa kuwa nabii Isaya
alilisema
(Isaya 65:17; Zaburi 90:4; 2Petro 3:8; Ufunuo
20:4-5; Luka 20:35).
Kumbuka: Ni
kwenye sura hii ndipo dhana ya “siku za Mti wa Uzima”
imejengewa hoja yake na kuanzia kufananisha na kudhani kwamba kipindi cha
kuishi watati wa Milenia utakuwa ni miaka elfu. Inaonekana kwamba dhana hii imetokana
na mapokeo ya Warumi kwa jinsi wanavyoyatafsiri
maandiko, na ndipo walipoliingiza jambo hili, na hawana chanzo kingine chochote.
Tutaliona jambo hili tunapoendelea kulichambua hapo mbeleni.
Ufufuo wa Wafu kilikuwa ni imani isiyoelezeka kirahisi na ni imani
tatanishi kwenye makanisa yaliyojiita ya wana Matengenezo kama tunavyoona
kwenye ukiri wa imani
Mlolongo wa
Mambo ya Siku za Mwisho na Ufufuo wa Kwanza
Kwa mujibu wa jarida la Ufufuo wa Wafu (Na. 143) [Resurrection of the Dead (No.
143)] tunaelezea ukweli kwamba sio watu wote watakaofufuliwa
Kutoka
kwenye jarida la Ufufuo wa Wafu (Na. 143) tunajionea mambo yafuatyo:
Ufufuko
“Mungu hafanyi miujiza kwa ajili ya wafu hadi wafu waweze kumhimidi kutoka kuzimuni
waliko (Zaburi 88:10a), na Wafu hawawezi kuinuka pia. Na fadhili
zake kuzisimulia wakiwa makaburini (Zaburi 88:11) wakati wafu watakapofufuka.
Ayubu alijua
Kristo aliwafufua wafu ili sisi tujue kuwa yeye nndiye Masihi (Mathayo 11:4-5).
Lazaro alikuwa ni kielelezo cha uweza wake (Yohana
11:11). Maelezomeingine ni kwamba alipokuwa anasulibiwa
pale, walikuwako wengine waliofufuka kutoka makaburini alipokuwa anakata roho. Mapokeo
na imani ya Wayahudi kipindi kile ilikuwa ni kwamba
watu hawa waliofufuka walikuja kuuawa tena baadae. Fundisho la ufufuo kama
lilivyoelezewa na Msihi lilijulikana
Ilieleweka kwamba hatutalala wote, bali ni kwamba tutakuja badilishwa wote katika siku ile ya
mwisho wakati wa itakapopigwa baragumu ya mwisho (1Wakorintho 15:51). Kwa hiyo,
wapendwa waumini waliolala kwa vipindi kadhaa vya
vizazi na vizazi vya zama ya dunia, katika Siku ile ya Mwisho Masihi atakaporudi
watafufuliwa wakati ambapo watakatifu wengine wakiwa wanaishi na wangali hai
bado. Na kwa hiyo, wote watabadilishwa kutoka kwenye
mwili wa kufa na kuwa na mwili usiokufa (1Wakorintho 15:44). Wale
wote waliolala wataamka. Na wale wote watakaokutwa wakiwa hai
na waliosalia hadi kuja kwake Bwana hawatawatangulia
wale waliokwisha kulala (1Wathesalonike 4:13-15). Kwa sababu
Bwana mwenyewe atashuka kutoka mbinguni pamoja na mwaliko, na sauti ya malaika
mkuu, na parapanda ya Mungu; nao waliokufa katika Kristo watafufuliwa kwanza.
Kisha sisi tulio hai, tuliosalia, tutanyakuliwa pamoja nao katika mawingu, ili
tumlaki Bwana hewani; na hivyo tutakuwa pamoja na Bwana milele. (1Wathesalonike 4:16-17).
Tangu kipindi hiki cha ufufuo
ndipo utawala wa milenia wa watakatifu utaanza.
Watakatifu watayachunga na kutawala mataifa kwa fimbo
ya chuma (Ufunuo 2:26-27). Kuna idadi kadhaa ya alama ashirio
kuhusu fimbo. Fimbo inauweza wa kuwaswaga
mataifa ikiwa kama kitendea kazi cha udongo na isipinde wala kuvunjika
Kwenye ufufuo hakutakuwa na kuoa wala kuolewa (Mathayo 22:30). Watakatifu watafufuka wakiwa ni viumbe wakio kwenye ulimwengu wa roho. Na hii ndiyo siku ambayo sisi sote tutakuja achika. Wale wote walioolewa watakuja achika tu. Hii ni talaka iliyo yalazima kabisa na isiyopingika. Tunaenda kuachika wote na kuolewa na Kristo, kila mmoja wetu. Hakutakuwa na tofauti ya kijinsia, hakutakuwa na wa jinsia ya kiume wala ya kike, na watakuwa na miili ya kiroho ambao watakuwa ni wana wa Mungu waliozaliwa kiroho, na ambao watafanya kazi na Kristo atakapokuwa kwenye utawala wake. Kristo alikufa kwa ajili yetu ili tutakapoamka kutoka kwa waliolala tuishi na yeye (1Wathesalonike 5:10).
Ni muhimu
Mlolongo wa
Mambo
Kuna mambo ambayo yanapaswa yatangulie kabla hajarudi Masihi. Mambo hayo yote yatakuwa kwenye mtiririko
uliopangiliwa tangia zama za uumbaji. Kanisa limekuwa kilamara
linajua kwamba kipindi hiki ni cha miaka efu sita ambacho
kinawakilishwa na amri ya kufanya kazi kwa siku sita za juma la Uumbaji. Kwa
hiyo, kipindi hiki kilikuwa ni cha siku sita za kwanza
za juma na Sabato iliwakilisha Mapumziko ya Sabato na Kristo ambayo yanapaswa
yawe kwa kipindi cha miaka elfu ya milenia kwenye Utawala wa Kristo. Kwa hiyo, ni lazima Kristo arudi kwanza ili kuanzisha utawala wake wa
Milenia. Ataweka Kiti chake cha Enzi huko Yerusalemu na
mamlaka itakayoenea ulimwenguni kote.
Kwenye
mlolongo huu wa mambo tutajionea dunia ikionywa kwa kuwa Mungu hafanyi jambo
lolote ila ni lazima awaonye watu kwanza kupitia watumishi wake manabii..
Mwishoni
mwa Zama hizi tutashuhudia Vipindi vya Mwisha wa Wamataifa
ambacho kimeelezewa
Kwa mujibu wa jarida la Kalenda ya Mungu (Na.156) [God’s Calendar (No. 156)], mfuatano wa matukio ya kinabii umekamilika kwa mujibu wa jinsi Kalenda inavyoonyesha ukilinganisha na mfumo wa mzunguko wa yubile. Mfumo huu unachukuliwa kutoka kipindi cha kufungwa kwa Bustani ya Edeni hadi kuifikia Yubile ya 120 ambayo inaishia kwenye mwaka wa Yubile wa mwaka 2027 ambayo ni jumla ya miaka 6000 tangu kipindi Mungu alipoilaani hii dunia.
Kizazi cha Mwisho cha miaka 40 kilianza
kwenye kipindi cha Upimaji wa Hekalu kilichanza mwaka 1987,
na inaenda sawa na kinavyosema kitabu cha Ufunuo 11:1. Awamu ya mwisho ya kabla
ya kurudi kwa Masihi ni ile ya Kuonywa kwa Mataifa,
kazi itakayofanywa na Mashahidi Wawili walioandikwa kwenye Ufunuo 11:2, na
Ufunuo 20:1-4 inasema: Kisha nikaona malaika akishuka kutoka
mbinguni, mwenye ufunguo wa kuzimu, na mnyororo mkubwa
mkononi mwake. Akamshika yule joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ni Ibilisi na
Shetani, akamfunga miaka elfu; akamtupa katika kuzimu, akamfunga, akatia muhuri
juu yake, asipate kuwadanganya mataifa tena, hata ile miaka elfu itimie; na
baada ya hayo yapasa afunguliwe muda mchache. Kisha nikaona viti vya enzi,
wakaketi juu yake, nao wakapewa hukumu; nami nikaona roho zao waliokatwa vichwa
kwa ajili ya ushuhuda wa Yesu, na kwa ajili ya neno la Mungu, na hao
wasiomsujudia yule mnyama, wala sanamu yake, wala hawakuipokea ile chapa katika
vipaji vya nyuso zao, wala katika mikono yao; nao wakawa hai, wakatawala pamoja
na Kristo miaka elfu
Watu hawa wote wanawezakuwa ni wale waliouawa au walioteswa na kuwekwa kwenye mazingira
yaliyoapelekea kushundana nayo na kuyapinga. Hakuna uweaekano wa kuyaepuka mateso. Tunapokuwa kwenye Ufufuo wa
Ufunuo 20:5-10 inasema: Hao wafu
waliosalia hawakuwa hai, hata itimie ile miaka elfu. Huo ndio ufufuo wa kwanza.
Heri, na mtakatifu, ni yeye aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; juu ya hao
mauti ya pili haina nguvu; bali watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, nao
watatawala pamoja naye hiyo miaka elfu. Na hiyo miaka elfu itakapokwisha,
Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake; naye atatoka kuwadanganya mataifa
walio katika pembe nne za nchi, Gogu na Magogu, kuwakusanya kwa vita, ambao
hesabu yao ni kama mchanga wa bahari. Wakapanda juu ya upana wa nchi,
wakaizingira kambi ya watakatifu, na mji huo uliopendwa. Moto ukashuka kutoka
mbinguni, ukawala. Na yule Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa
la moto na kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa
mchana na usiku hata milele na milele.
Watu hawa hawatakufa kwa maana ya kuwa wanateseka sasa. Wengi miongoni mwa walioko
duniani leo wawapiti kwenye hukumu sasa. Kwa hiyo, wale
watakaoamshwa kwenye Ufufu wa
Ufufo huu wa Pili
unaotajwa hapa imeongelewa kwenye jarida la UUfufuo wa Pili na Kiti Kikubwa Cheupe cha Hukumu (Na. 143B)
[The Second Resurrection and The
Great White Throne Judgment (No. 143B)].
Ufufuo Wenyewe na Halisi
Kwenye
ufufuo wa Mashahidi wale Wawili tunajionea kwamba
watachukuliwa kwa sauti kuu ya malaika mkuu ili wakutane na Bwana. Ni katika
kipindi ndipo Masihi atakuja wenye Mlima wa Mizeituni,
ambao utagawanyika sehemu mbili.
Mlima wa Mizeitumi utagawanyika sehemu mbili, mlima mmoja utakuwa
upande wa Kaskazini na mwingine Kusini jambo litakalofanya kuwepo bonde kuu
Mara tu
baada ya mabadiliko haya ya kimazingira yatakapowathiri wateule wake waaminifu,
ndipo mababa waliotutangulia katika imani, na manabii
na wale walioshikilia mafundisho sahihi ya kanisa na waliobatizwa ubatizo wa
watu wazima na kumpokea Roho Mtakatifu na kuishi maisha ya mateso, watafufuliwa
kutoka kwa wafu kutoka kwenye maeneo watakakokuwa na wale waliohai watawangojea
(1Wathesalonike 4:15). Mara tu baada ya tukio hili la kufufuliwa ndipo mwili
wote wa wateule wa Mungu ambao ni Makanisa ya Mungu,
watabadilishwa kwenye kipindi hiki cha Milenia, na kumlaki Bwana mawinguni na
kupekekwa mjini Yerusalemu ambako watakuwa na Masihi na kutawala naye.
Hapo ndipo
Karamu Kuu ya Arusi ya Mwana-kondoo itafanyika (soma jarida la Baragumu (Na.
136) [Trumpets (No. 136)].
Haitoshi tu
kule kumwita Yesu au kuomba kwa jina
Kusudi la
kushiriki Ushirika wa Meza ya Bwana ni kujiosha na
kujitakasa tena kwa tathmini nafsi ya kila mtu kwa kila mwaka na kuwafanya
wajiandae kwa tukio kuu la Ufufuo wa
Na ikiwa
mambo haya hayafanyiki kwa uaminifu na ukamilifu sana na kwa kumaanisha, basi mtu
hataweza kupewa vazi lile la arusi kwa kuwa atakuwa hajazitii badi amri za
Mungu na maelekezo ya Kristo na ndipo watakapoondolewa kwenye adhimisho kuu la
karamu hii ya arusi kwa mojawapo ya njia zifuatazo.
Kwa namna nyingine
twaweza kusema kwamba kutakuwa na kilio kikubwa na
maombolezo na kusaga meno kwa wale watakaokataliwa kuwa na sehemu kwenye Ufufuo
wa
Hawa wote
wanaoamini imani ya Utatu ya Kiantinomia na Kinostiki
wataondolewa kutoka Yerusalemu na kupelekwa kwenye maeneo
Wale watakaoikubali
na kupigwa Alama ya Mnyama wataangamizwa kwa vitasa
vya ghadhabu ya Mungu. Hii ni Dhiki Kuu itakayoupata ulimwengu wote na ambayo
kwa wateule watakwenda kutunzwa au kuepushwa kama watakavyokuwa wamefufuliwa na
wazao wao wataweza kulindwa na wao kama walivyo sasa Wateule walio Watiifu hapa
duniani wakiwa chini ya Masihi wakihudumu ukuhani kama wa Melkizedeki. (soma jarida la Melkizedeki (Na. 128) [Melchisedek (No. 128)].
Msisitizo
na mkazo wa Torati utafanywa upya na Mashahidi kina Eliya na mvua haitanyesha kabisa
kwa majira yake kwa watu wote, ila itanyesha kwa kufuata majira yake kwenye
yale mataifa tu yatakayokuwa yanazitunza Sabato, Miandamo ya Mwezi na Sikukuu
Zilizoamriwa na Mungu.
Mambo Yatakavyokuwa Kipindi cha Milenia
Kitu
kitakachofuatia itakuwa ni kusimika kanuni za utawala
wa Masihi huko Yerusalemu.
Wale watu
144,000 wataunda kundi la watakaotumika kwenye Ukuhani na
kusimamia mambo ya uongozi katika Yerusalemu. Kundi Kubwa Sana la watu
litagawanywa kufuatia Makabila na mataifa na watakuwa ndio viongozi na walinzi
wao wa kiroho badala ya mapepo ambao watakuwa wameishaondolewa katika kipindi
hiki na kutupwa shimoni, kuzimuni na kufungwa humo kwa kipindi cha miaka 1000
ya utawala wa Milenia (kama inavyosema Ufunuo sura ya 7 ambayo ni nukuu kutoka
kitabu cha Zekaria)
Wale
watakaoikataa Chapa ya Mnyama na huku wakiwa
hawazishiki sawasawa amri za Mungu na Ushuhuda wa Imani ya Kristo na ambao pia
hawajafikia viwango vya kuwafanya kuwa na sehemu kwenye Ufufuo wa
Kundi la
kwanza ni lile la watoto wa wateule ambao walikuwa ni
wadogo
Kundi
linalofuatia litakuwa ni la Waisraeli Asilia ambao
watakuwa ni Wanadamu wa Kawaida ambao watakuwa ni sehemu ya wale walio kwenye Wokovu
Mkuu na Waliotolewa kama inavyoonekana kwenye kitabu cha nabii Isaya 66: 18-24.
Wengine
waliobakia wote watakuwa ni wale wa mataifa yote na ambao hawakuwa ni sehemu ya
mfumo wa yule Mnyama na waliobakishwa wakiwa ni wanadamu wa kawaida na ambao
wanakwenda kuwa ni sehemu ya mataifa ambao watafundishwa neno la Mungu na Taratibu
au Kanuni ya Torati yake.
Dhana mojawapo
iliyokuwepo na iliyofundishwa kwenye makanisa ya Mungu
lakini haipo kwenye maandiko ni ile ya kudhania kwamba wateule wataishi miaka
1000 ya kipindi hiki cha Milenia na hawatakufa. Fundisho hili halina msingi
wake kutoka kwenye Biblia bali ni dhana fikirika tu na ambayo walioitunga wamejenga
hoja zao kwa kulinganisha tu na kipindi cha kudumu kwa zama za Milenia na
matukio yaliyoandikwa, hasa andiko lile linalosema dunia itadhurika na ndipo miti
itachipuswwa kandoni mwa mto kutoka Yerusalemu ambayo itawaponya mataifa, kama
tunavyoona kwenye kitabu cha Zekria 14:8 nk. Dunia yote itaelimishwa tena kwa maana ya kufanya vyema mifumo ya maisha na utaratibu wa
vyakula na muundo wa Torati na Amri za Mungu. Hiyo haitatokea kwa maramoja na umri wa mwanadamu hautarejeshwa ama
kurekebishwa upya hadi kuwa
Vita
vitakavyopiganwa na kuonyeshwa
Kwahiyo,
mji wa Yerusalemu utajengwa upya na Hekalu litajengwa na mfumo wake kurudishwa
tena kwa kipindi hiki chote cha miaka 1000 hadi kwenye kipindi kile ambacho kwa
sasa kinajulikana kama ni cha miaka kati ya 3015-3027 wakati mapepo yatakapofunguliwa
tena kutoka kuzimuni yalikokuwa yemefungiwa pamoja na Shetani, ili waende tena huku
na huko kuwadanganya mataifa na kuielekea kambi ya Watakatifu walioko Yerusalemu
ili kupigavita na kuuharibu au kuupindua utawala wa Mungu hapa duniani. Jambo hili
litatokea kwenye kipindi cha miaka ishirini ya mwisho ya yubile ya 140 ya mfumo
wa kuwepo kwa zama yote ya dunia.
Mchakato wa kuiengeneza na kuufanya upya mji wa Yerusalemu kutachukua
muda wake kwa kipindi chote cha kuanzia mwanzo wa Milenia hii mpya hadi
mwishoni mwa Hukumu itakayofanyika kwenye Kiti cha Enzi Kikubwa Cheupe kama
tunavyoona kwenye Isaya 65:17-25. Kwa mujibu wa aya hizi, tunafikia kudhani
kwamba kipindi hiki cha Hukumu kitachukua miaka 100, ambayo ni kuanzia mwaka 3027
hadi 3127 ambao pia ni mwaka wa Yubile. Hapa ndipo tutakapojionea Nji wa Mungu ukishuka kutoka kwa Mungu na kuja hapa duniani (soma
jarida la Mji
wa Mungu (Na. 180) [The
City of God (No. 180)].
Iwapo kama
kipindi kinachotajwa kwenye Isaya 65 cha miaka 100 ni cha kwenye milenia na
kitaendelea hadi kwenye kipindi kile cha Kiti cha Enzi Kikubwa Cheupe, na
kwamba mtenda dhambi atakufa akiwa na umri wa miaka 100 na kwamba hiki ni kima
cha chini cha umri wa mtu na kufanya kipindi kizima kiwe ni cha jumla ya miaka 1100,
hivyo basi Hukumu itaishia kwenye miaka 100 na ndipo watenda dhambi watakufa na
miili yao itateketezwa kwa moto. Ongezeko la kipindi cha kuishi
wateule litaendelea kadiri kipindi hiki cha Milenia kitakavyokuwa kinaendelea.
Kazi ya
wateule itakuwa ni kuwahukumu mapepo hawa kwa kipindi
chote cha milenia.
Baada ya
kukomesha kwa uasi, mapepo watauawa na kisha viumbe wote waliowahi kuishi
watafufuliwa na kuwepo kwenye kile Kiti Cha Enzi Kikubwa Cheupe cha Hukumu au
kwenye Ufufuo wa pili wa Wafu au Kiyama ya Wafu, ambako kwamba viumbe wote,
wawe Wana wa wanadamu waliozaliwa na Adamu au waliotokana na Malaika Waasi
walio wa Shetani, wote watafufuliwa na kupewa fursa ya wokovu kama ulivyotolewa
na Kristo kwa mpango wake na dhabihu yake.
Mafundish
ya uwongo ya Ufufuo wa Tatu wanayofundisha na kuamini
wafuasi wa Herbert Armstrong hayana mashiko yoyote na wala hayana mahali pa
kujengea hoja na hayana sehemu kabisa kwenye Makanisa ya Mungu. Na yameelezewa kwa kina
Jinsi
mlolongo wa mambo utakavyokuwa kipindi hiki cha Kiti
cha Enzi Kikubwa Cheupe cha Hukumu umeelezewa kwa kina zaidi kwenye jarida letu
la Ufufuo wa
Pili na Kiti cha Enzi Kikubwa Cheupe cha Hukumu (Na. 143B) [The Second
Resurrection and The Great White Throne Judgment (No. 143B)].
q