Makanisa ya Kikristo ya Mungu
[143B]
Ufufuo wa Pili na Kiti Kikubwa Cheupe cha Enzi cha Hukumu
(Toleo La 1.0
20120505-20120505)
Ufufuo wa Pili wa Wafu na Kiti Kikubwa Cheupe Cha Enzi Cha Hukumu ndiyo mwisho wa mambo yote tunayoyanona na kuyajua leo. Hii inachendana na tangia kipindi cha mwisho wa mfumo wa Milenia hadi kipindi cha kufuliwa kwa Shetani na Ufufuo Mkuu na wa watu wote waliowahi Kufa huko nyuma na kuhukumiwa na kuwaelekeza wale wote ambao hawajawahi kuishi huko nyuma bado.
Email: secretary@ccg.org
(Haki Miliki ã 2012 Wade Cox)
(tr. 2012)
Masomo yaliyo kwenye jarida hili yanaruhusiwa kunukuliwa na kuwapa watu bure bila kulipishwa kitu, ikiwa tu
Jarida
hili linapatikana Ulimwenguni kote kwenye wavuti yetu ya:
http://www.logon.org au http://www.ccg.org
Ufufuo wa Pili na
Kiti Kikubwa Cheupe cha Enzi cha Hukumu
Mfumo wa Milenia
Siku ya kumi ya mwezi
wa Tishri ambao pia ni Mwezi wa Saba wa Mwaka wa 49 wa Yubile ya 120, ambao kwa
mfumo wa leo ni sawa na mwaka 2026 ambao Yubile itatangazwa. Vita
zitakazopiganwa siku za
mwisho zimekuwa zikipiganwa na Masihi ametumwa ili kuja kuiokoa
dunia kutokana na jinsi inavyojiharibu yenyewe. Shetani na malaika wengine
walioasi watakuwa wamekwishatupwa katika Ziwa la Moto kwa kipindi cha miaka
saba za mwanzo ambayo ni mzunguko wa miaka wa Sabato Saba unaoanzia mwaka
2013-2019 na dunia itajisalimisha kwa kristo na wateule wake baada ya kipindi
cha Ufufuo wa Kwaza wa Wafu (tazama jarida la Mbinguni, Jehanamu au Ufufuo wa Wafu Na.
143A) [Heaven,
Hell or the First Resurrection of the Dead (No. 143A)].
Ufunuo
20: 1 Kisha nikaona malaika akishuka
kutoka mbinguni, mwenye ufunguo wa kuzimu, na mnyororo
mkubwa mkononi mwake. 2 Akamshika yule joka, yule
nyoka wa zamani, ambaye ni Ibilisi na Shetani, akamfunga miaka elfu; 3 akamtupa katika kuzimu,
akamfunga, akatia muhuri juu yake, asipate kuwadanganya mataifa tena, hata ile
miaka elfu itimie; na baada ya hayo yapasa afunguliwe muda mchache.
Kisha, Ufufuo wa Kwanza utakluwa umeshatokea tayari
4 Kisha nikaona viti vya
enzi, wakaketi juu yake, nao wakapewa hukumu; nami nikaona roho zao waliokatwa
vichwa kwa ajili ya ushuhuda wa Yesu, na kwa ajili ya neno la Mungu, na hao
wasiomsujudia yule mnyama, wala sanamu yake, wala hawakuipokea ile chapa katika
vipaji vya nyuso zao, wala katika mikono yao; nao wakawa hai, wakatawala pamoja
na Kristo miaka elfu. 5 Hao wafu waliosalia hawakuwa hai, hata itimie ile
miaka elfu. 6 Huo ndio ufufuo wa
kwanza. Heri, na mtakatifu, ni yeye aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza;
juu ya hao mauti ya pili haina nguvu; bali watakuwa makuhani wa Mungu na wa
Kristo, nao watatawala pamoja naye hiyo miaka elfu.
Mfumo wa Imani
potofu za miungu Juan a imani za Utatu na ibada za Jumapili na sikukuu za Krismas
na Easter vitakuwa vimeondelewa na havipo tena hapa duniani pamoja na ukengeufu
wake potofu wa kubadilisha mambo, ikiwepo ni pamoja mfumo na imani
iliyowaharibu wengi ya Uislamu wenye imani kali, pamoja na mafundisho mapotofu
yote ya masheikhe maarufu yajulikanayo kama Hadithi za Kiislamu. Na Uislamu
pamoja na chuki zake utakuwa umetokomezwa kabisa. Hali
ya iliyoko ya kuipotosha na kuigeuza dunia isifuate
ukweli itakuwa imekoma pamoja na vifaa vyake kupigania, vyote vitakuwa vimekoma
kabiusa.
Vita vya mataifa
vitakuwa vimeletwa kwenye uwanda wa Megido na
vitakomeshwa kwenye mpango mkuu ambao kwa sasa unaonekana kuwa ni eneo la
uwanda wenye upana wa kilomita 66, n ani mahali ambapo kitovu cha Mlima wa
Mizeituni ndipo kilipo.
Kipindi kihi, mataifa yote ya dunia yatakuwa yamefanywa yawe kwenye hali ya unyenyekevu na kuondokana na uasi uliosababisha kumwagwa kwa vile Vitasa vya Ghadhabu ya Mungu na kutakuwa kumefanyika marejesho mapya ya ukuhani wa Melkizedeki (soma majarida ya Baragumu Saba (Na. 141), Vita ya Hamoni-Gogu (Na. 294); Kurudi kwa Masihi: Sehemu ya I (Na. 210A) na Kurudi kwa Masihi: Sehemu ya II: Vitasa vya Ghadhabu ya Mungu (Na. 210B0 [The Seven Trumpets (No. 141); War of Hamon-Gog (No. 294); Advent of the Messiah: Part I (No. 210A) and Advent of the Messiah Part II: Vials of the Wrath of God (No. 210B)].
Hekalu lililotabiriwa na nabii Ezekieli litakuwa mimeishajengwa na Masihi na mfumo mpya utakuwa umeshawekwa na kukamilika kabisa kwenye kipindi cha Yubile la Dhahabu ya mwaka 2077, ambayo ni Yubile ya hamsini ya Materejesho mapya kama uliofanuwa na Ezra na Nehemia (soma jarida la Yubile ya Dhahabu na Milenia (Na. 300) [The Golden Jubilee and the Millennium (No. 300)].
Kalenda kamilifu ya Mungu itakuwa imeisharejeshwa upya na kutumika, kama ilivyokuwa kwenye utaratibu wa Hekalu na Sabato, Mwandamo wa Miezi na Sikukuu zilizoamriwa na Mungu zitakuwa zimerejeshwa upya kwenye kila taifa na kwa kila mtu mmoja mmoja, na mtu au taifa litakalokataa kuitii wanapatilizwa kwa baa la njaa na tauni ya Misri (soma jarida la Kalenda ya Mungu (Na. 156) [God’s Calendar (No. 156)].
Marejesho yanayoelezwa kwenye kitabu cha nabii Isaya 65 na 66 na Zekaria 14 yatakuwa yameshafanyika pia kipindi hiki.
Katika kipindi hiki, taifa la Israeli litakuwa limehafanyika
upya na utaratibu au mfumo wa Kitaifa wa Mikunjo Mitatu au wa Tarakimu ya Sitini
ambao umeenea kutoka Ashuru na pande za Kaskazini kutoka kwenye Milima ya Medes
na Kurds inayoelekea hadi huko Frati na Israeli, utashikisha nchi ya Syria na
Lebanon, hadi kwenye nchi za Jordan, Israeli, Gaza, Edom una Moab una kuelekea
hadi Ghuba ya Aqaba na kwenye Mito ya Misri ambayo yalisukumiwa pande za kusini
na kufunga kingo za Bahari ya Shamu kama ilivyotabiriwa. Nchi ya Misri ilikuwa
imeshirikishwa na mfumo wa kiutagu wa kitaifa ambao
uliwekwa kwenye mipangilio ya barabara zao za ndani na utaratibu wao wa
kusafirishaji,
Nchi ya Israeli ilitawaliwa na
utawala wa pamoja wa makundi ya kikabila uliotoka kwenye makabila yaliyoikalia
ardhi kutoka mto Frati hadi
Kristo na wateule,
Kitakapoanza kipindi hiki cha Milenia ambacho kitajumuisha makabila yote na mataifa nchini mwao watakuwa na idadi ya takriban watu milioni 500 watakaokuwa wanaishi hai.
Ni pale inapokuwa jambo la dhahiri ndipo mataifa watakubwa
na baa la njaa jadi kufa, na watakufa hakika wasipoyatubia matendo yao maovu na
kuamua kuzitii na kuzishika Amri na Torati ya Mungu watakayopewa na
kuziadhimisha na kuzishika Sabato zake, Miandamo ya Mwezi na Sikukuu zilizoamriwa
na Mungu. Kwa ajili hiyo inaonekana kwa dhahiri kabisa
kwamba watakapotaka kunywa maji na kumwagilia mimea
Baada ya Yubile ya 121 (ambayo wakati mwingine itakuwa
kwenye mwaka unaojulikana
Yubile moja hadi nyingine dunia itakuwa na uzao zaidi na wanadamu wote watakuwa kwenye zama ya amani. Hakuna atakayeweza kuiona vita tena, na watakaoijua ni wale watakaokuwa wazee tu na ndio ambao wataikumbuka jinsi ilivyokuwa.
Watu watakaokuwa kwenye ulimwengu wa Kiroho na ambao watakuwa na sehemu kwenye Ufufuo wa Kwanza wataitawala dunia kama mapepo walivyokuwa wanatawala siku zilizokuwa kabla yao walipokuwa na Shetani ambaye pia alijulikana kama ni Nyota ya Alfajiri hapa duniani kipindi cha kabla ya Kurudi kwa Masihi ambaye kwa kipindi hiki atakuwa ni Nyota Mpoya ya Alfajiri.
Watu watakuwa wameanza kuishi kwa
miaka mingi na watakufa wakiwa umri Yubile nah ii itakuwa hivyo
Mungu ambaye ni Elohim akawatokea, bali waliendelea kuwatweza na kuwadharau wateule na wakatenda dhambi na dhambi zao hizo ndizo ziliwapelekea kuingia hukumuni na kupatwa na maafa na vifo vya watu wanaokataa kutubu.
Wateule hawa na watakaotukuzwa na kuitwa elohim watakuwa ni wale waliotubu dhambi zao kipindi kile walichojitokeza na kuwaongoza wakazi wa dunia hii kwenye kipindi cha Milenia.
Mwishoni mwa kipindi hiki cha miaka elfu ya Milenia, dunia
itakuwa na mwonekano wa kupendeza
Sasa kilikuwa ni kipindi cha Mungu kuwajaribu. Katika mzunguko wa Sabato ya Sita utakaokuwa kwenye kipindi cha mwisho wa Milenia kwenye Yubile ya 140 (yaani mwaka 3013-3019) ndipo Mungu wetu ambaye ni wa Pekee na wa Kweli ambaye pia ni Eloa, atamwambia Kristo na wateule waliofufuliwa kwenye Ufufuo wa Kwanza na Wateule wengine wasimame nyuma na ataijaribu hii dunia kwa mara nyingine tena.
Hatimaye, ndipo kitafika kile kipindi cha kuachiliwa kwa Shetani na Makaika wake wengine Waovu watoke kifungoni kwao kwenye Ziwa la Moto ili wawadanganye tena mataifa walioko ulimwenguni kote.
Vita ya Mwisho
Kipindi cha Shetani kitakuwa kimeisha kwa kipind hiki cha miaka saba tui li kwamba dunia iweze kuokolewa. Atakuwa amepewa kipindi hiki tena na Mungu ambaye amekiweka kipindi chake cha miaka elfu sita, na zawadi na wito wa Mungu ni mambo yasiyotenguka.
Ndipo Shetani atakuwa kipindi cha miaka saba tu cha kuwajaribu watu wote wakaao juu ya uso wa dunia.
Kuanzia mwaka wa 3018-3027 Shetani
na malaika zake waovu watakuwa wameishaondolewa mbali na kupelekwa duniani na
watakuwa wanaenda huku na huko ili wakayadanganye mataifa. Ataruhusiwa kuifanya
kazi ya kuvuruga na kuwafanya watu wadharau Umuhimu wa
kuitunza Torati tena. Kipindi hiki kifupi kitakuwa ni
cha kazi za Shetani na kuukosesha ulimwengu wote na kuuasisha. Watakaoonekana
kuwa ni tofauti kwenye kipindi hiki ni wale
watakaokuwa ni wateule na waaminifu waliochaguliwa kutumika kwenye kazi ya
kutoa dhabihu za Asubuhi wa Hekalu lililotajwa na nabii Ezekieli. Kundi hili
linawawakilisha wateule walio kwenye Makanisa ya Mungu yatakayokuwa kwenye
utaratibu huu wa kipindi hiki cha Milenia, na kwa kwa
jinsi hiyohiyo ndipo Dhabihu ya Asubuhi iliyokuwa inatolewa siku za Agano la
Kale ilikuwa inawakilisha Umati Mkubwa wa wale watakaokuwa kwenye Ufufuo wa
Idadi wa wale waliojiunga kuasi iliongezeka na kisha walienda mbele wakimwelekea Masihi na hiyo Kambi ya Watakatifu itakayokuwa mjini Yerusalemu. Mlolongo huu wa mfuatano wa mambo umeandikwa kwenye kitabu cha Ufunuo 20:7-9.
Ufunuo 20: 7 Na hiyo miaka elfu
itakapokwisha, Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake; 8 naye atatoka kuwadanganya mataifa
walio katika pembe nne za nchi, Gogu na Magogu, kuwakusanya kwa vita, ambao
hesabu yao ni kama mchanga wa bahari. 9 Wakapanda juu ya upana wa nchi,
wakaizingira kambi ya watakatifu, na mji huo uliopendwa. Moto ukashuka kutoka
mbinguni, ukawala.
Kisha
vifungu vigumu vya maandiko haya vinatokea kwa kuwa jina linalohusishwa
lilisababisha mchanganyo kwa watu wengi ambao hawakuweza kuelewa Uzuri na
Upendo wa Mungu na mpango wake alionao kwa Wateule na Wokovu mkuu wa viumbe
wake wote, kwa nyanja zote mbili, yaani Kimwili na Kimbinguni.
Andiko hili linafanya ionekane kana kwamba Shetani atatupwa kwenye Ziwa la Moto. Ufafanuzi na ukweli ni kwamba huyu Diabolos au ibilisi atatupwa katika Ziwa la Moto. Hii inaashiria kwamba Mungu atafanya kisasi kikubwa na ataawadhibu Shetani kwa hukumu ya milele na milele, lakini hivyo sivyo isemavyo Biblia kwenye maandiko yake ya Agano la Kale kuwili kote, yaani katika Isaya 14 na Ezekieli 28. Katika Isaya 14: 6-20 tunasoma unabii uliotolewa dhidi ya Shetani, alitajwa kwa lugha fumbo ya Mfalme wa Babeli, ambaye alitaka kujifanya yeye mwenyewe kuwa ni Mungu Mwenyezi au Aliye Juu ya Yote.
Kwenye maandiko haya, Shetani anawekwa kwenye kundi la
Mfalme wa Babeli, Mtawala wa Ashuru na pia nchi ya
Ufilisti inatabiriwa itaangamizwa na kuteketezwa na moshi huu utakaotokea pande
za Kaskazini. Sayuni inafanywa mataifa yote yanayozunguka na
kuitegemea, nah ii inahusisha malaika anayetafuta uwezi wa kujifanya yeye
mwenyewe kuwa ni Mungu Mwenyezi aliyeletupwa chini kuzimuni. Kwa maneno mengine
ni kusema kwamba aliuawa lakini hakuzikwa. Na ambaye
hatimaye alifanywa mwanadamu na alifanika kuwa ni kama
dhaifu
Isaya 14: 1 Maana Bwana atamhurumia
Yakobo, atamchagua Israeli tena, naye atawaweka katika nchi yao
wenyewe; na mgeni atajiunga nao, nao wataambatana na nyumba ya Yakobo. 2 Na hao mataifa watawatwaa na kuwaleta
mpaka mahali pao wenyewe, na nyumba ya Israeli watawamiliki, na kuwafanya
watumishi na wajakazi katika nchi ya Bwana; nao watawachukua hali ya kufungwa
watu wale waliowafunga wao, nao watawamiliki watu wale waliowaonea. 3 Tena itakuwa katika siku ile,
ambayo Bwana atakupa raha baada ya huzuni yako, na baada ya taabu yako, na
baada ya utumishi ule mgumu uliotumikishwa; 4 utatunga
mithali hii juu ya mfalme wa Babeli, na kusema, Jinsi alivyokoma mwenye kuonea;
Jinsi ulivyokoma mji ule wenye jeuri! 5 Bwana amelivunja gongo la
wabaya, Fimbo ya enzi yao wenye kutawala. 6 Yeye aliyewapiga mataifa kwa ghadhabu, Kwa mapigo
yasiyokoma; Aliyewatawala mataifa kwa hasira, Ameadhibiwa asizuie mtu.
Kumbuka kuwa mara tu
baada ya Mfalme wa Babeli kutwezwa chini na mfumo wake
kuharibiwa, ndipo ulimwengu wote utabakia kwenye amani.
7 Dunia yote inastarehe na
kutulia; Hata huanzilisha kuimba. 8 Naam, misunobari
inakufurahia, Na mierezi ya Lebanoni, ikisema, Tokea wakati ulipolazwa chini
wewe, Hapana mkata miti aliyetujia.
Kwa
hiyo, hii inaonyehs jinsi atakavyotwezwa. Viongozi wa
9 Kuzimu chini kumetaharuki
kwa ajili yako, Ili kukulaki utakapokuja; Huwaamsha waliokufa kwa ajili yako,
Naam, walio wakuu wote wa dunia; Huwainua wafalme wote wa mataifa, Watoke
katika viti vyao vya enzi.
Ndipo viongozi
wanadamu watamwambia Shetani maandiko yafuatayo hapo atakapokuwa ameshushwa
kuzimuni kaburini na mautini. Watajua kwamba amekuwa ni dhaifu
10 Hao wote watajibu na kukuambia, Je! Wewe nawe
umekuwa dhaifu kama sisi! Wewe nawe umekuwa kama sisi! 11 Fahari yako
imeshushwa hata kuzimu, Na sauti ya vinanda vyako; Funza wametandazwa chini
yako, Na vidudu vinakufunika. 12 Jinsi ulivyoanguka
kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Jinsi ulivyokatwa
kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa!
Huyu hawezi kuwa ni kiumbe
mwingine bali ni Shetani ambaye pia alijulikana kuwa ni Nyota ya Mchana au
Nyota ya Asubuhi wa hapa Duniani. Kiumbe huyu hakosi atakuwa ni
miongoni mwa Malaika waasi na waovu
13 Nawe ulisema moyoni
mwako, Nitapanda mpaka mbinguni, Nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za
Mungu; Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho za
kaskazini. 14 Nitapaa kupita vimo vya
mawingu, Nitafanana na yeye Aliye juu. 15 Lakini utashushwa mpaka
kuzimu; Mpaka pande za mwisho za shimo.
Kumbuka pia kwamba
kiumbe huyu atakufa na atalala na funza wakimfunika chini
na juu yake. Kwa hiyo anaonekana kuwa na haiba ya
mwili wa kibinadamu. Pia kumbuka lile swali liulizalo: “Je, huyu sio yule mtu,
nk.” Yeye ni mwanadamu, ila hatazikwa
16 Wao wakuonao watakukazia macho, Watakuangalia sana, wakisema, Je! Huyu ndiye aliyeitetemesha dunia, Huyu ndiye aliyetikisa falme; 17 Aliyeufanya ulimwengu ukiwa, akaipindua miji yake; Asiyewafungua wafungwa wake waende kwao? 18 Wafalme wote wa mataifa wamezikwa wote kwa heshima, Kila mmoja ndani ya nyumba yake mwenyewe; 19 Bali wewe umetupwa mbali na kaburi lako, Kama chipukizi lililochukiza kabisa; Kama vazi la wale waliouawa, Wale waliochomwa kwa upanga, Wale washukao mpaka misingi ya shimo; Kama mzoga uliokanyagwa chini ya miguu. 20 Hutaungamanishwa pamoja nao katika mazishi, Kwa maana umeiharibu nchi yako, Umewaua watu wako; Kizazi chao watendao uovu hakitatajwa milele
Kisha Bwana
atatangaza hukumu kwa mfumo ule na kwa malaika wengine
wote.
21 Fanyeni tayari machinjo
kwa watoto wake. Kwa sababu ya uovu wa baba zao; Wasije wakainuka na
kuitamalaki nchi, Na kuujaza miji uso wa ulimwengu. 22 Nami nitainuka, nishindane nao; asema Bwana wa majeshi;
na katika Babeli nitang'oa jina na mabaki, mwana na mjukuu; asema Bwana. 23 Tena nitaifanya hiyo nchi kuwa
makao ya nungu, na maziwa ya maji; nami nitaifagilia mbali kwa ufagio wa
uharibifu; asema Bwana wa majeshi
Kumbuka
kwamba mabaki yote ya Babeli yatakatiliwa mbali. Mfumo wake wa imani
ya kuabudu Jua na Dini zake za Siri na Fumbo na mfumo wake wote wa imani ya
kidini vitakuwa vimekomeshwa pamoja nay eye mwenyewe Shetani au Lusifeli.
Pia mfumo na taratibu za Kiashuru zitakuwa zimeharibiwa zote, lakini
tunajua kwamba nchi ya Ashuru imetokana na mkono wa kaskazini na Israeli kwenye
kipindi cha mwanzoni mwa Milenia, na ndio uliounda mfumo wa imani ya dini ya
Babeli ambao umetangazwa kuwa “umeanguka” kwenye ufunuo sura ya 18.
24 Bwana wa majeshi ameapa, akisema, Hakika yangu
kama vile vilivyoazimia, ndivyo itakavyokuwa; na kama nilivyokusudia, ndivyo
itakavyotokea; 25 kwamba nitamvunja huyo Mwashuri vipande
vipande katika nchi yangu, na juu ya mlima wangu nitamkanyaga chini ya miguu
yangu; ndipo nira yake iliyo juu yao itakapoondoka, na mzigo wake utatoka
mabegani mwao. 26 Hilo ndilo kusudi lililokusudiwa duniani
mwote, na huo ndio mkono ulionyoshwa juu ya mataifa yote. 27 Maana Bwana
wa majeshi amekusudia, naye ni nani atakayelibatili? Na mkono wake ulionyoshwa,
ni nani atakayeugeuza nyuma?
Kumbukakwamba
utaratibu huo ni kwa mataifa yote na ni Mungu ndiye
anayeukomesha. Hii ni dini ya waabudu Jua na na walio
kwenye vuguvugu la Ibada za miungu mingine ya kipagani ambazo zomejiingiza
kwenye mataifa kwa kupitia imani ya Utatu na Dini nyine zilizoko kwenye mataifa
hayo, yakiwemo mafundisho ya Hadithi ya Waislamu.
Wakati unabii kuhusu
nchi ya Ufilisti na Palestina ulipofuatia kutolewa.
Walikuwa wamepunguzwa na kuwa
28 Ufunuo huu ulikuja mwaka
ule alipokufa mfalme Ahazi. 29 Usifurahi, Ee Ufilisti,
pia wote, Kwa sababu fimbo ile iliyokupiga imevunjika; Maana katika shina la
nyoka atatoka fira, Na uzao wake ni joka la moto arukaye 30 Nao walio maskini kabisa
watakula, Na wahitaji watajilaza salama; Nami nitatia shina lako kwa njaa, Na
mabaki yako watauawa. 31 Piga yowe, Ee lango; lia,
Ee mji; Ee Ufilisti, pia wote, umeyeyuka kabisa; Maana moshi unakuja toka
kaskazini, Wala hakuna atakayechelewa katika majeshi yake. 32 Wajumbe wa taifa hilo waletewe
jibu gani? Ya kuwa Bwana ameiweka misingi ya Sayuni, na ndani yake wale
walioonewa katika watu wake wataona kimbilio.
Hatimaye tunajionea kwenye kitabu cha nabii Ezekieli ile
sura ya 28 ikisema kwamba Lusifeli anajifanya kuwa
Ezekieli 28 1 Neno la Bwana likanijia
tena, kusema, 2 Mwanadamu, mwambie mkuu wa Tiro, Bwana MUNGU asema hivi; Kwa kuwa moyo wako
umeinuka, nawe umesema, Mimi ni Mungu, nami nimeketi katika kiti cha Mungu,
kati ya bahari; lakini u mwanadamu wala si Mungu, ujapokuwa umeweka moyo wako
Kumbuka pia kwamba inaposemwa kwamba yeye ni mungu na ambaye ameletwa hapa chini na kuuuawa kwa
kuchinjwa kwa ajili ya wanadamu. “Mfalme wa Tiro” ni
jina lingine la Shetani. Mungu amamtweza kwenye unabii na
kumuuliza: “Je, utaweza bado kusema kuwa mimi ni mungu mbele ya hao waliokuua?”
9 Je! Utazidi kusema mbele
yake huyo akuuaye, Mimi ni Mungu? Lakini u mwanadamu, wala si Mungu, mkononi
mwake akutiaye jeraha.
10 Utakufa kifo cha hao
wasiotahiriwa, kwa mikono ya wageni; kwa maana mimi nimenena neno hili, asema
Bwana MUNGU.
Tena kwa hali hii Mfalme
wa Tiro anajulikana
11 Tena neno la Bwana
likanijia, kusema, 12 Mwanadamu, umfanyie
maombolezo mfalme wa Tiro, umwambie, Bwana MUNGU asema hivi; Wewe wakitia
muhuri kipimo, umejaa hekima, na ukamilifu wa uzuri. 13 Ulikuwa ndani ya Adeni, bustani ya Mungu; kila jiwe la
thamani lilikuwa kifuniko chako, akiki, na yakuti manjano, na almasi, na
zabarajadi, na shohamu, na yaspi, na yakuti samawi, na zumaridi, na baharamani,
na dhahabu; kazi ya matari yako na filimbi zako ilikuwa ndani yako; katika siku
ya kuumbwa kwako zilitengenezwa tayari. 14 Wewe ulikuwa kerubi mwenye kutiwa mafuta afunikaye; nami
nalikuweka hata ukawa juu ya mlima mtakatifu wa Mungu, umetembea huko na huko
kati ya mawe ya moto. 15 Ulikuwa mkamilifu katika
njia zako tangu siku ile ulipoumbwa, hata uovu ulipoonekana ndani yako. 16 Kwa wingi wa uchuuzi wako watu
walikujaza udhalimu ndani yako, nawe umetenda dhambi; kwa sababu hiyo nimekutoa
kwa nguvu katika mlima wa Mungu, kama kitu kilicho najisi; nami nimekuangamiza,
Ewe kerubi ufunikaye, utoke katika mawe hayo ya moto. 17 Moyo wako uliinuka kwa sababu ya
uzuri wako; umeiharibu hekima yako kwa sababu ya mwangaza wako; nimekutupa chini,
nimekulaza mbele ya wafalme, wapate kukutazama.
Kumbuka kwamba Mungu yeye, Shetani, amepatia unajisi patakatifu pake kwa maovu na dhambi zake nyingi. Kisha tazama jinsi Mungu alivyomfichua.
18 Kwa wingi wa maovu yako,
katika uovu wa uchuuzi wako, umepatia unajisi patakatifu pako; basi nimetokeza
moto kutoka ndani yako, nao umekuteketeza, nami nimekufanya kuwa majivu juu ya
nchi, machoni pa watu wote wakutazamao
Kumbuka kwamba hatimaye Mungu alikichukua kiumbe hiki kwenye
mwisho mbaya
19 Wote wakujuao kati ya
kabila za watu watakustaajabia; umekuwa kitu cha kutisha, wala hutakuwapo tena
hata milele.
Kwa hiyo tunaona kwamba kiumbe hiki hatimaye kimefikwa na msiba mkuu
20 Neno la Bwana likanijia,
kusema, 21 Mwanadamu, uuelekezee
Sidoni uso wako, ukatabiri juu yake, 22 useme, Bwana MUNGU asema
hivi; Tazama, mimi ni juu yako, Ee Sidoni, nami natukuzwa kati yako; nao
watajua ya kuwa mimi ndimi Bwana, nitakapokuwa nimetekeleza hukumu zangu ndani
yake, na kutakasika ndani yake. 23 Maana nitampelekea tauni,
na damu, katika njia kuu zake, na hao waliotiwa jeraha wataanguka kati yake,
kwa upanga juu yake pande zote; nao watajua ya kuwa mimi ndimi Bwana.
Kisha kwenye maandiko haya ya unabii, Mungu
anawarudia Israeli pale anaposema kwamba wajirani wote wa
Israeli hawataweza kuwaumiza na kwamba ndipo watajua kwamba yeye ndiye BWANA
Mungu.
24 Wala hautakuwapo
mchongoma uchomao kwa nyumba ya Israeli; wala mwiba uumizao miongoni mwa wote
wamzungukao, waliowatenda mambo ya jeuri; nao watajua ya kuwa mimi ndimi Bwana
MUNGU.
Kwa hiyo, mataifa watajua kwa jinsi Mungu atakavyoingilia kati na Ufufuo wa Israeli ambao mfumo wa kidini utawekwa na Masihi na ambao utabidi kufuatwa, na ndpo mafundisho ua uwongo ya Hadithi za Kiislamu na Utatu wa Wakristo vitakavyodhihirika kuwa ni ya uwongo, sawa na mafundisho mengine ya Talmudi yaliyo kwenye imani ya Kiyahudi, haya yote yataondolewa mbali.
25 Bwana MUNGU asema hivi; Nitakapokuwa
nimewakusanya nyumba ya Israeli, na kuwatoa katika watu ambao wametawanyika
kati yao, na kutakasika kati yao machoni pa mataifa, ndipo watakapokaa katika
nchi yao wenyewe, niliyompa mtumishi wangu, Yakobo. 26 Nao watakaa
humo salama; naam, watajenga nyumba, na kupanda mashamba ya mizabibu, na kukaa
salama; nitakapokuwa nimetekeleza hukumu zangu juu ya watu wote, wanaowatenda
mambo ya jeuri pande zote; nao watajua ya kuwa mimi ndimi Bwana, Mungu wao.
Kwa hiyo inaonekana wazi kutoka kwa
mashahdi hawa wawili walio kwenye Biblia kuamini kwamba Shetani atapelekwa
kaburini na kuuawa
Mwisho wa Kipindi cha Milenia
Hapa
ndipo vita ile ya mwisho iliyopelekea kipindi hiki cha Milenia itakomeshwa. Nasi tutabakia na wafu wote walioasi hapo
kabla na ambao watakuwa wa namna zote
mbili, yaani walio wakimwili na wakiroho ambao ni Wateule Hai ambao hawakuasi,
tutakaokuwa na Masihi na Wateule waliotokana na Ufufuo wa Kwanza. Wale Wateule
walio sehemu ya Ufalme wa Mungu lakini walikufa kabla
ya mwisho wa Milenia, katika mazingira ya au kwa hali iliyokuwa mwanzoni mwa
Milenia, watakuwa kwenye kundi moja na wafu wengine wote waliobakia.
Kwenye kipindi cha mwishoni mwa Milenia, dini potofu ya upotevu nay a siri itakuwa imerejeshwa upya tena na Shetani na dini kuu inayoamini mzunguko wa kimaumbile wa viumbe vyote na uzawa w amara nyingi wenye mabadiliko tu ya kimaumbile na kiviumbe (reincarnation) itakuwa imeandaliwa kwa ajill ya Ufufuo wa Pili.
Ni katika kipindi hiki ndipo utamaliziwa ule mlolongo wa mambo ya ufufuo.
Ufufuo wa Pili
Kila mtu aliyewahi kuishi hapa duniani atakuja kufufuliwa ili awe na mwili unaoishi, kama ilivyotokea kwenye tukio la
Ufufuo wa
Ufunuo
20 inasema. 11 Kisha nikaona kiti
cha enzi, kikubwa, cheupe, na yeye aketiye juu yake; ambaye nchi na mbingu
zikakimbia uso wake, na mahali pao hapakuonekana. 12 Nikawaona
wafu, wakubwa kwa wadogo, wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi; na vitabu
vikafunguliwa; na kitabu kingine kikafunguliwa, ambacho ni cha uzima; na hao
wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliyoandikwa katika vile vitabu, sawasawa
na matendo yao. 13 Bahari ikawatoa wafu
waliokuwamo ndani yake; na Mauti na Kuzimu zikawatoa wafu waliokuwamo ndani
yake. Wakahukumiwa kila mtu kwa kadiri ya matendo yake. 14 Mauti na
Kuzimu zikatupwa katika lile ziwa la moto. Hii ndiyo mauti ya pili, yaani, hilo
ziwa la moto. 15 Na iwapo mtu
ye yote hakuonekana ameandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika lile
ziwa la moto.
Kundi la kwanza ni la wale waliostahili kuitwa wana wa Mungu. Hawa ni wale waliobadilishwa na kuwa ni viumbe katika ulimwengu wa roho na kushiriki kwenye hukumu ya wana wa Mungu.
Kundi lingine ni la wale waliowahi kuishi hapa duniani na walikuwa ni wa uzao wa Adam una ambao walifufuliwa wakiwa ni viumbe wenye uhai na wanaoishi, wakiwemo wale malaika wote Waasi ambao hawakutubu.
Kwenye kundi hili walikuwepo pia waumini kutoka kwenye
Makanisa ya Mungu ambao walionekana kutokuwa na sehemu
kwenye ufufuo wa
Kiti Kikubwa cha Enzi Cheupe cha Hukumu
Walioitwa ni wengi bali Wateule ni wachache na wale ambao hawajachaguliwa ndipo watakapo ufufuliwa na hatimaye watapewa fursa ya pili ya wokovu. Hiki ndicho kipindi chao mwafaka cha kuitwa kwao na kuhukumiwa kwao na kuokolewa pia.
Ulimwengu mzima wa wale wote ambao hawakuwa na fursa ya kuokolewa na ambao wameenea kwenye vikundi mbali mbali vya makabila na kwenye familia kubwa kubwa na ambao wamefundishwa tena sawasawa na inavyosema sheria na ushuhuda.
Watapaswa kufundishwa upotofu ulio kwenyey mafundisho mapotofu ya imani za kuamini Uzaliwa mwingine (Reincarnation) na mafundisho ya kizushi ya Waanimism, Washamanism, Wabuda, Wahindu na Hadithi za Kiislamu na Ukristo wa Kiantinomian unaoamini kuwa Maarifa yanaweza kumwokoa mtu na Dini nyingine za Siri za waabudu Jua.
Wadante walikuwa na mapapa wa
daraza za chini
Kusudi la Hukumu hii inalenga hasa kuwaelimisha na kuwarekebisha wanadamu na kizazi cha malaika, kwa ajili ya makosa yao na kuwatayarisha kwa ajili ya uzima wa milele wakiwa ni wana wa Mungu wakiwa kama elohim. Ni kwa sababu hii ndiyo Mungu alimtuleta Kristo, kwanza kabisaa ili ashughulike na kuziondoa zambi zetu na pili ni kuwaokoa wale wote watakaokuwa wanamngojea kwa hamu.
Kwa mwisho huu, malaika hawa waasi na
wanadamu watawekwa kwenye kiwango kimoja tu cha hukumu. Lakini sio mpango wa Mungu kuona mwenye mwili yeyote akipotea na kwa hiyo
tunakabiliwa na kazi ya kuuelimisha tena umma wote wa watakaokuwa kwenye Ufufuo
wa Pili. Wote haw ani wale walio kwenye umbo la mwili la kibinadamu;
Wote watakaokuwa kwenye Ufufuo wa
Pili watakutana na mambo wanayostahili kuwanayo wale walio kwenye kundi la
walio kwenye Mauti ya Pili
Kila mmoja miongoni mwa wtu hawa atapewa kipindi cha miaka
100 cha hukumu ya Mateso au Kurudiwa kwa wale
watakaokuwa wamefufuliwa wakiwa na umri wa miaka 20. Na kila ambaye hakuwahi
kuishi, pasipo kujali umri waliokuwa nao wakati wanakufa, hata watoto wadogo
Tendo hili litawajumuisha Malaika Waasi ambao hapo mwanzoni
walikuwa na Shetani. Hata Shetani
atapewa fursa ya kutubu. Ni kwa ajili hii ndipo Kristo alitoa mfano wa
mwana mpotevu (soma majarida ya Kondoo Aliyepotea na Mwana Mpotevu (Na. 199) [Lost Sheep and
the Prodigal Son (No. 199)] na Hukumu ya Mapepo (Na. 80) [The Judgment of
the Demons (No. 80)].
Ndiyo maana mwishoni Kristo alikwenda Kuzimuni (Tartaros) baada ya kufufuka kwake na kuwahubiri mapepo waliokuwa wanashikiliwa kule Kifungoni.
Kila mtu ataweza kuishi. Mungu
aliyajua maasi ya hawa malaika na alipanga kuwa Watu
wote wapate kuokoka na Kristo alisulibiwa
Sisi sote tulichaguliwa na kutengwa
kwa makusudi mazima ya Mungu na tuliitwa kwa kipindi muafaka. Kila mmoja wetu
aliwekwa wakfu na kutengwa na kazi zetu zilijulikana
na kubarikiwa kipindi tukiwa hatujawahi hata kutungwa kwa mamba zetu tumboni
mwa mama zetu (
Na ndiyo maana wengine wameachea na
hawajaitwa na watakuwemo kwenye Ufufuo wa Pili. Watu wengi wamekuwa hawana Roho
Mtakatifu na kujua kwamba wateule wanapaswa kujikana
na kujitoa kwa ajili ya wokovu wa wale waliokuwa hawajaishi bado, akiwemo Shetani
na Malaika wake Waovu. Usipojitoa ili kulifanikisha jambo hilo, hautakuwa
tayari kwa ajili ya Ufufuo wa Kwanza na kuwa na sehemu yetu kama wateule na wana wa Mungu. Hata hivyo, Mungu hakusema
kwenye kitabu cha Zaburi, na Kristo akatuambia imeandikwa kwenye Torati yetu
kwamba “Mimi
nimesema, Ndinyi miungu (elohim), Wana wa Aliye Juu na maandiko
hayawezi kutanguka” (Yohana 10:34-35;
sawa na Kutoka 22:9,28 na Zaburi 82:6). Andiko hili la
kwenye Zaburi linahusisha na Malaika Waasi watakao
“kufa kama wanadamu na kuanguka
Ni Shetani ndiye aliyewafundisha wanadamu kwamba Malaika
Waasi hawatakufa kwa kuwa wao ni roho. Hii ni propaganda tu ya kuwafanya mapepo wasitubu. Hakuna fundisho popote lililokazana kukataza au kuzuia kimaandiko kuwa
mapepo wanaweza kutubu. Mapepo wanaishambulia kila
inapoonekana. Kuwa hiyo kuna makundi mawili ya mwisho wa
Kiti Kikuu cha Enzi Cheupe cha Hukumu. Wale waliokwisha kupita kwanza na wakiwa wameukubali na kuupokea wokovu na kubadilishwa
miili
Na ndiyo maana fudisho la kuzaliwa tena lilifundishwa na mapepo wakikususia kuwadanganya wale walio kwenye Ufufuo huu wa Pili. Wale wote walio kwenye kipindi hiki cha Milenia na Ufufuo wa Pili watazitunza Sabato, Miandamo ya Mwezi, na Sikukuu Zilizoamriwa kwa kuifuata Kalenda ya Mungu. Na wale wasiozitunza hawataishi.
Mji na Makao ya Mungu
Mara baada yah ii dunia kusafishwa na wacahmungu wote kubadilishwa miili yao na kuwa wana wa kiroho wa Mungu, ndipo sasa itakuwa tayari kwa kurudi na kuja kwa Mungu hapa duniani kwenye Mji na Makao ya Mungu (soma marida la Mji na Makao ya Mungu (Na. 180) [The City of God (No. 180)]
Mara tu baada ya kutokea hili ndipo atakwenda kuutawala ulimwengu huu na dunia ikiwa ni kituo chake kikuu cha uumbaji wake wote na akiutawala ulimwengu wote kutoka katika Mji au Makao yake Mungu..
q