Makanisa ya Kikristo ya Mungu

[183]

 

 

Imani ya Ulaji wa Mbogamboga Tupu na Biblia

(Toleo La 2.0 19961116-19991023-20090620)

 

Dini nyingi hapa duniani zinahubiri imani hii ya ulaji wa mbogamboga tupu maarufu kama uvijiteriani na kuchukulia kama kigezo cha wao kueneza dini zao na kuziendeleza. Baadhi yao huiona imani hii kama ni njia ya utakatifu. Wengine wanaina kwa mtazamo wa kimaadili zaidi, wakiona kama ni tendo la ukatili kuwaua wanyama. Jarida hili linauelezea uvijiteriani huu wa kidini uliodumu kwa kipindi kirefu sana ta ngu zama kale na jinsi ulivyoendelea hadi kujipenyeza kwenye Ukristo wa leo. Imani au itikadi ya kutokunywa mvinyo pia inafafanuliwa. Inahusiana na jarida lisemalo Mvinyo kwenye Biblia.

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

Email: secretary@ccg.org

(Hati Miliki © 1996, 1998, 1999, 2009 Wade Cox)

(tr 2013) 

Masomo yaliyo kwenye jarida hili yanaruhusiwa kunukuliwa na kuwapa watu bure bila kulipishwa kitu, ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la haki miliki ni lazima viwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kununua jarida hili au nakala yoyote atakayopewa. Nukuu fupi zilizolazima zaweza kuwekwa kutoka kokote iwapo zitaonekana zitakithi haja ya lugha husika lakini pasipo kukuka maadili ya ya sheria ya haki miliki.

 

Jarida hili linapatikana Ulimwenguni kote kwenye wavuti yetu ya:
http://www.logon.org au http://www.ccg.org


 

Imani ya Ulaji wa Mbogamboga Tupu na Biblia


 

Dini nyingi hapa duniani inaichukulia imani hii ya kula mbogamboga peke yake kama ki kigezo cha kuenenea dini zao. Wengine huiona itikadi hii kuwa ni kama sheria muhimu katika kuufikia utakatifu. Wengine wanaiona kuwa ni ya muhimu tu hasa kwa mambo ya kimaadili, kwamba inasaidia kuepusha vitendo vya kikatili vya kuwaua wanyama.

 

Dini nyingine kama vile za Wabudha na Wahindu wana makatazo kama hayo, na Wayunani wa kale wa imani ya Kipythagorean pia walikuwa na miiko ya kiutakaso iliyokuwa inajumuisha na kujizuia kula baadhi ya nyama. Imani ya Kibudha inaenda mbali zaidi kwenye matatazo yao kutokula nyama na kushikilia kwao imani hii ya kivijiteriani na wanaenda mbali zaidi kwenye itikadi kali zaidi ya kiveganism, ambayo ni utaratibu wa kutawadha na utakaso wa wavijiteriani, ambao unafanyika kwa kutumia hata mazalisho ya wanyama kama vile maziwa, jibini na mayai.

 

Dhana hii iliendelezwa hatua kwa hatua, sio kwenye Wahindi walioishi zama za Kale tu bali pia hadi huko Misri. Imani ya kibudha na fikra zao iliingia hadi Uyunani au Ugirikina mhubiri aliyeitwa Pyrrho wa Elis (kwenye Karne ya 4 KK) (Sona kitabu cha Burnet, article Sceptics, ERE, Vol. 11, p. 228). Pyrrho alikwenda India wakati Anaxarchus, mwanafunzi wa Metrodorus wa Chios, wakati alipokwenda huko kuchukua mafundizo na Iskanda Mkuu [Alexander the Great] (mnamo mwaka 326 KK). Watu wa familia ya kifalme walioitwa Kshatrian au Sakyamuni au Siddhartha au Tathagata (mnamo mwaka 560 KK) walimpa sheria za Dharma huko Sarnath mnamo takriban wa 527 KK, ili aweze kukubalika au kutambiliwa kwenye imano hii ya Budha. Pyrrho alisikia habari za wa kimazimwi na Mamajusi wa India. Aliishi maisha ya kujitenga jangwani (kwa mujibu wa Antigonius wa Carystus kama ilivyoandikwa na Diogenes Laertius kwenye kitabu chake cha hapo juu) na hakuwa amejikita sana kwenye useptiki bali kwenye

 

uasetiki na unyamazifu. Anaweza kuchukuliwa kuwa ni mtu wa kwanza kuipa

 

uamsho dini hii ya Kibudha, kwa kweli, lakini haikuwa na imani hii ya uvijiteriani hapo siku za kale mwanzoni na ilikuwa tu na makatazo ya ulaji wa nyama za wanyama kadhaa tu zitokanazo na baadhi ya aina za nyama ndizo zilikatazwa kuliwa; ambazo ni za wanyaka kama tembo, chui aina ya dubu, nap aka mkubwa, nyoka na wanadamu, ndizo zilizowekewa mkazo wa kwanza. Migawanyiko hii haikulengwa kwa wa asetiki bali ilihusiana nayo tu. Kipindi kirefu kilichopita nyuma kabla yake, imani ya Wapythagoras ilianzisha shule ya falsafa iliyolenga kuwaweka huru wanadamu mbali na mafundisho yanayofundisha kuwepo kwa mzunguko wa kuzaliwa mtu tena na tena, ambalo ni fundisho linalodai kuwepo kwa mzunguko wa mwandamu kuzaliwa tena na tena. Mtazamo huu uliingia huko India kwa mashiko na nguvu zile zile zilizoingia na kuteka watu huko Ugiriki, ikitokea pande za Kaskazini na Wacelti wa Hyperborean, na iliitwa kwa jina la kutopendwa la Scythian (kwa mujibu wa kitabu cha John Burnet Early Greek Philosophy, fourth ed., Adam and Charles Black, 1958 reprint, p. 82 see fn. 2). Falsafa kama ilivyo tu ni utakaso tosha na ni namna ya kuepuka kutoka kwenye mlolongo huu wa mzunguko (kitabu hichohicho cha Burnet (B), ibid., p. 83). Falsafa ya kipindi na zama za mwanzoni ilikataa kuamini uwepo war oho inayoendelea kuishi ya mtu aliyekufa na haikuipa mashiko na nafasi ya madai kama hayo ya kimafundisho kwamba ni kitu kinachowezekana. Socrates ndiye alikuwa wa kwanza kudai na kufundisha fundisho hili la roho kuishi na aliyatetea mafundisho haya kwa kila namna aliyoweza (kitabu hichohicho cha Burnet, uk. 84 na pia kitabu kingine cha Burnet cha “The Socratic Doctrine of the Soul” [Mafundisho ya Socrate Kuhusu Roho], Proceedings of the British Academy, 1915-16, uk. 235). Dini ya Kale haikuwa na utaratibu wa kuwa na bodi ya kuhakiki mfundisho. Hakuna kilichokuwa kinahitajika zaidi ila tu kwamba mapokeo ya dini ndiyo yaliyokuwa yanatakiwa yafuatwe kiusahihi na yakae vizuri kwenye nia na mawazo ya watu; muumini aliruhusiwa kutoa ufafanuzi wowote wa kile alichoona kinafaa au kuamini na kupenda (Kitabu hikihiki cha Burnet). Kwa hiyo dini ya Waisraeli ikiwa na gombo lililoandikwa ilikuwa na namna fulani ya kushabihiana nay a Wayunani na utaratibu wao uliojumuishwa. Ni rahisi pia kuona kwamba jinsi uasetiki ulivyofanyika kuwa muhimu kwenye vuguvugu la kidini, ambayo ilihusiswa na kujulikana kwa taratibu zake tu badala ya kuwa na gombo la maandiko. Jambo hili au mtindo huu ndio ulimeendelea hadi kwenye ulimwengu wa Warumi wenye asili ya Kiyunani ambao kwamba mapokeo ndiyo yameshika hatamu zaidi kuaminiwa na kukaziwa mioyoni mwao, na sala za kurudiarudia zikifanyika kuwa mafundisho yaliyowekwa kuyatumia.

 

Pythagoras mwana wa Mnesarchos alitumia kipindi chake cha kwanza cha utuuzima huko Samos. Alikuwa maarufu siku za utawala wa Polykrates (532 KK). Alikuwa na mengi ya kujifunza na kutoka kwenye imani ya Orphic na Bacchic, ambao walikuwepo huko Misri (ingawaje Wamisri hawakuamini imani hii ya uhamisho kwa wote) na ni kwa hiyo alishauriwa kuwa atembelee huko. Kwa mujibu wa Timaios, inasema kwamba alifika Italia mwaka 529 KK na akabakia huko Kroton kwa kipindi cha miaka ishirini (kitabu hikihiki cha Burnet, uk. 89), akastaafu huko Metapontion (kitabu hichohicho uk. 91). Alikuwa ni mu Ionian na amri iliwekwa kwanza kwenye majimbo ya Achaian. Apollo, na sio Dyonisius kama huenda ilivyoweza kufundishwa kwenye jamii ya wa Orphic, alikuwa ndiye mungu wao mkuu. Hii ilikuwa ni kwa sababu ya mjumuiko wa taratibu zao na Delos. Alitambukishwa na Apollo Hyperboreios (Burnet, uk. 90).

 

Tunajua kwamba Pythagoras alikuwa amejulikana sana kipindi cha karne ya tano kwa kazi zake zote mbili za mambo ya kisayansi ya ualimu wa mafundisho haya ya roho isiyokufa. Alifundisha mafundisho ya mzunguko wa kuishi roho za viumbe na ndipo fundisho hili liliiendelea na kupokelewa na dini ya Budha. Itikadi hii ilitokana na wa Scythians sehemu zote mbili, yaani huko India na Ugiriki. Ushawishi wa Scythian Salmoxis huenda unaweza kuwa ni chanzo cha mafundhisho haya ya wa Pythagoras ingawaje Salmoxis walimtangulia miaka mingi ya nyuma kabla yake. Hata hivyo, kuna myumbiko wa kiudadisi kwa wa uasetiki na utakaso wa wa Pythagoras. Alianzisha mapokeo ya kujinyima ulaji wa nyama kulikochukuliwa kama sehemu ya taratibu za utakaso. Kwa mujibu wa Aristoxenos, yeye mwenyewe hakujitenga na ulaji wa ina zote za nyama kwa ujumla. Hata hivyo, aina zilizokatazwa ni zile zilizokuwa kwenye kndi la wanyama safi za maksai na za kondoo (Burnet, uk. 93). Kwa namna fulani, yeye mwenyewe alidaiwa kuwa alikuwa ananyonya maziwa ya nguruwe na kufuga vitoto. Burnet anatoa mtazamo wake kwa Aristoxenos kuhusu katazo na mwiko wa ulaji mboga za nafaka jamii ya maharage, alilo lilikuwa ni wazo la Orphic na kwamba hii iliweza kujipenyeza kwenye imani ya Pythagoreans (Burnet, uk. 93 kifunngu cha 5). Mtazamo huu huenda ulienda kutoka kwenye imani ya Pythagoreanism kwenye kipindi zama cha ulimwengu wa kale kwa ujumla. Mwingiliano wa matendo haya ya kujiepusha na ulaji wa nyama za wanyama ulitokana na imani za Dini potofu za Sirisiri zilizotokana na dini ya Orphic, Bacchic na Pythagorean na kutokana na hizi inaonekana kuwa ndipo uiliingia Ugnosticism kutoka Alexandria na kwa kweli kutokana na mwonekano uliokuwa huko Roma kwenye Ukristo. Tutaelezea mchakato huu baadaye.

 

Kitu halisi kinachotakiwa kijulikane ni kwamba vyakula na wanyama safi vilikatazwa na wanyama najisi akiwemo nguruwe na vyakula na milo mingine zilizoliwa na dini siri za vijana wadogo (huenda mhemuko na maziwa ya mama ambazo hapa zinaelezewa kwa mkanganyiko wa moja kwa moja kwenye Maandiko Matakatifu). Pythagoras walifundisha uhusiano wa kidugu wa wanyama na wanadamu na Burnet anadhania kwamba sheria na kanuni zake za kujijiepusha ulaji wa aina fulani za nyama haukulenga kwenye mrengo wa kibinadamu au uasetiki bali ulikuwa ni mwiko au katazo. Hii inathibitishwa na ungaji mkono wa kitabu kinachoitwa Porphyry’s Defence of Abstinence pale anaposema kwamba ingawa walijizuia kutokana na ulaji wa nyama kama sheria au kanuni, bali bado wao hata hivyo waliendelea kula pale walipokuwa wanatoa kafara kwa miungu (Burnet, uk. 95 kifungu cha 2 akikitaja kitabu cha Bernays cha Theophrastos’ Schrift über Frömmigkeit). Porphyry (V. Pyth. c15) aliyalinda mapokeo kwa kiasi cha kwamba Pythagoras aliunga mkono afya ya mwili kwa jinsi ya kukimbia mbio (Milo?). Burnet anaamini kuwa historia hii lazima iwe kwamba ilianzishwa kipindi hichohicho na kile kilishohusiana na wa Aristoxenos, na kwa namna hiyohiyo. Bernays anaonyesha kwamba inatokana na wa Herakleides wa huko Pontus (kwa kujibu wa kitabu cha Theophr. Schr. n. 8; sawa na Burnet, uk. 95, n. 3). Burnet anaamini kuwa imani ya Uplatonists mamboleo ilijaribu kurudi nyuma kwenye utaratibu asilia wa umashuhuri wa Pythagorean na kufafanulia mbali matengenezo mapya ya karne ya nne (kitabu hichohicho).

 

Walikuwa na idadi kubwa ya aina mbalimbali ya uzuiaji wa ulaji uliotokana na imani za kishirikina na ruhusa na makatazo mbalimbali. Walijizuia na ulaji wa mboga aina ya maharage, hawakuumega mkate, hawakula kitu chochote cha aina ya mkate na hawakula moyo (wa nyama walizokuwa wanazitoa kafara). Mfano wa masharti ya kishirkina ni ule wa wao kutoruhusiwa kumgusa jogoo mweupe, kutoruhusiwa kutembea juu ya chuma chenye umbo la msalaba, wasiwashe moto au kuuchochea kwa kutumia chuma, wasinyonyoe shada la maua nk, na kuna mengine ambayo ni vigumu kuyaandika hapa lakini yanaweza kuonelkana kwenye kitabu hikihiki cha Burnet, (ukurasa wa 96).

 

Pasipo shaka kabisa kusema kuwa imani hii ni ya kidini kabisa na kukubalika. Pia walichukulia muziki na elimu ya nyota au elimu ya agia kama sayansi dada. Waliutumia muziki kwa kutuliza na kuponya roho na dawa kwa kutuliza au kuponya mwili. Aina kama hii ya kutakasa roho ilikuwa ilizoeleka kwenye Orgia ya wa Korybantes na kwa hiyo kuelezea mapenzi ya wa Pythagorean huko Harmonics (Burnet, kurasa 97-98). Ushawishi wa wa Pythagoras huko Aristotle uko wazi kutoka kwenye mjadala wa “kuishi maramatatu” ya wa Wasemaji mashuhuri, Wathendaji na Watetezi yaliyorudiwa tena na Aristotle kwenye kitabu chake kuhusu Maadili (soma pia kitabu cha Burnet, uk. 98). Wala hakuna kati ya ushawishi huu kwa Plato kuondolewa kwa sababu ya utajwaji wake wa moja kwa moja kwake na Plato (sawa na, kwa mfano ilivyoandikwa kwenye kitabu cha Burnet, uk. 188). Msukumo wa kidini wa imani hii ulikuwa pia ni wa kwanza kuchukua mahesabu zaidi ya mahitaji ya kibiashara (maandiko ya Aristoxenos ya Usayansi wa Namba au Arithmetic; sawa na Burnet, uk. 99). Pythagoras anaonekana kuwa alianzisha masomo ya hesabu za mwandamano (Burnet, uk. 104) na pia alifikiliza vurugu ya walinganishaji na watoa sauti nene. (kutokana na hesabu linganifu za 12:8:6 tunaona kwamba 12:6 ni tarakimu yenye sauti kubwa; 12:8 ya tano, na 8:6, ya nne; sawa na kitabu hichohicho cha Burnet, uk. 106).

 

Pythagoras pia anaonekana kugundua kuwa dunla ilikuwa ni uwanja (Burnet, uk. 111), ambao wa Ionians alikataa kukubali. Kitu muhimu halisi hapa ni kwamba tunashughulika na mfumo mkuu wa kimaneno na kidini unaojikita na kuhusiana na dini potofu ya Kisiri na ambao kwamba uvijiteriani wa Magharibi uliaenea. Mpangilio wa miiko yenyewe unaashiria kwenye uhusiano wa kikontra na dini ya Kiebrania.

 

Imani za kidini za Mazuio na za Kutozuia kwenye dini ya wa Pythagoreanism, na upinzani wao wa kama huo kama wa wa Parmenides inatatiza sana kwendana nayo, lakini kuna maana ya kiilimwengu nzima kwenye muundo huu ambao unahitaji kutahinisha zaidi na ufafanuzi. Kiini cha muundo wake kilihusu mungu mke ambayae Aetios anatuambia kuwa alikuwa anaitwa Ananke na Mmiliki wa vitu Vingi. Alidaiwa na kuaminika kuwa kuchochea chanzo cha vitu vyote na kuweka chanzo chake kuwepo kwa nyota. Ni mwanzilishi wa mfumo wa maisha ya wawiliwawili na uzazi na anaaminika kuwa ndiye aliyeumba Eros, kwanza na kabla ya miungu yote kabisa (Burnet, kurasa za 190-191). Tunamzungumzia mungu Mke na aliyejulikana kwa mkuu wake katika siku za kale huko mashariki ya karibu, na ambayae aliingizwa hatimaye kwenye imani ya Kikristo siku zilizofuatia baadae na kujulikana kama Mariamu na ambaye anayeabudiwa hadi leo. Burnet anakosa kuwa na uhakika anatumika au kuchukua mahala gani kiheshima kwenye dini ya Urisi ya Er lakini inachukuliwa kwamba Theophrastos alipoanza alichukua mahala pa kati na nusunusu kati ya mbinguni na duniani. Mchakato huu wa kidunia ni chanzo cha imani hii. Burnet anaamini kuwa dhana ya taswira ya mikono iliyoonekana kwenye imani ya wanafalsafa wa kwanza wa ki Pythagoras nk., inahusiana na Njia ya Unyonyshaji wa Maziwa na tunaikuta hiyo ikiwa ni imani ya msingi ya mafundisho ya wa Gnostic kuhusu roho na mwendeleo wake wa kwenda mbinguni, ambayo ilikujakuchukuliwa baadae kwenye umuhimu wa utakaso ikienda sambamba na imani za Siri. Kile kinachofanya kuwa ni vigumu sana kushughulikanayo ni ukweli wa mambo ni kwamba huu u Pythagoreanism, ni kama zilivyo dini nyingine za Siri, ilikuwa na mafundisho yaliyoendelezwa ya kimapokeo tu ambayo yanap9ingana na sheria zilizoandikwa kwenye biblia.

 

Kwa hiyo, tunaona chuki ya moja kwa moja kutoka enzi ya mwanzoni kwenye mabishano haya kwa ajili ya ukatazaji kula nyama yakiwa ndiyo mapokeo ya kwanza kweny dini hii potofu ya Kisiri kwenye sheria inayohusu ulaji wa vyakula, nay a pili, ilihusiana nayo ni ile inayopingana nay a Kiyudea au inayopinga matokeo ya kuzishika sheria za Mungu. Mchakato huu wote wa fikara ya kulaumiwa dhidi ya wanaomtii Mungu na wanaofuata maelekezo yake yote yahusuyo ulaji kinyume na wanavyofanya hawa wavijiteriani walio kwenye dini na madhehebu au vikundi hivi, na hata miongoni mwa wale wanaosema kuwa wanazishika sheriia na amri za Mungu kama tutakavyokwenda kujionea hapo mbele.

 

Jinsi Biblia Inavyosema

Mchanganuo wa aina ya wanyama waliokatazwa umeonyeshwa na kurodheshwa wanyama wake kwenye jarida la Sheria ya Vyakula (Na. 15) [The Food Laws (No. 15)]. Sheria hii ya ulaji wa vyakula imeelekezwa moja kwa moja na kuhusianishwa na aina ya wanyama ambao wanafaa kuliwa na wale ambo hawafai kuliwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za kibiblia. Tangia takriban nyakati za nabii Musa sheria ziliwekwa kuhusiana na utoaji dhabihu na ulaji wa wanyama, na waliotajwa kutumia ama kuruhusiwa walikuwa ni wale walioko kwenye kundi la wanyama safi. Sheria hizi hazikuwa ni ushauri an nasaha tu: bali ni amri na sheria za Mungu ambazo kwazo, undani wake na udhibiti wake na kwa kweli unatakiwa kufanyiwa maadhimisho kwenye suala la mlo wa Pasaka siku ya 15 Abibu, kwenye tendo la ulaji wa nyama. Utaratibu wake wote ulituama kwenye tendo la kukubalika kwa mchakato wa kusamehewa na kufutiwa dhambi kwa kupitia dhabihu iliyokuwa inamwagika ya damu, ambayo ilikuwa inamlenga Yesu Kristo au Masihi.

 

Wote wawili, yaani Wakristo na Wayahudi wanachukulia imani yao ya kutokula baadhi ya vyakula kwa kutumia maandiko haya haya, ambayo yanatoa maeekezo juu ya ulaji wa nyama, ulioelekezwa kwenye Agano la Kale. Na ni kwa mtaarafu huohuo Wakristo wanayatumia kuthibitisha imani yao juu ya ulaji wa vyakula kwenye Agano Jipya. Jambo hili limefanunuliwa kwenye jarida la Sheria ya Vyakula (Na. 15) [The Food Laws (No. 15)] na inaonekana kuwa ni uwongo. Vikundi vingine vys kidini kama vile Waadventista wa Sabato wanadai kwamba uvijiteriani ni imani inayotokana na mwongozo sahihi wa kibiblia. Wanajihesabia haki kwa kufananisha madai yao na maisha yalivyokuwa kwenye Bustani ya Edeni na zama iliyokuwa kabla ya gharika kuu. Madai haya siyo mapya. Yametuama kutokana na muundo wa kivyakula uliokuwepo kwenye Ukristo na ambao ulikuwepo tangu kwenye siku za mwanzoni za Kanisa ambao uliwekwa ili kukabiliana na itikadi za Kinostiki. Mtazamo buu uliendelea na kuenea hadi kwenye imani nyingine zilizojulikana kama Wacathari au Wapuritaniani, ambao waliendelea kuyakumbatia mafundisho ya Wanostiki kama vile imani ya kuamini miungu miwili au ya undumila kuwili ya Manichean. Hawa wa Cathari waliotokana na wa Albigensiani walisababisha mateso makubwa kwa washika Sabato wa jamii ya Vallenses ambao pia walijulikana kama Wasabatati na mara nyingi wamekuwa wakichanganywa kiimani na wao kutokana na hali ya mateso walyokumbana nayo wote wawili.

 

Ulaji wa nyama na matumizi ya wanyama kutoka kwa Adamu

Makosa mengi kuhusu kipindi kinachohusika na kuanza kwa ruhusa ya wanadamu kuruhusiwa kula nyama na kuanza kuwatumia manyana kwa matumizi mbali mbali tangu kipindi cha Adamu.

 

Makosa mengi yamefanywa kuhusu kipindi gani wanadamu waliruhusiwa ama walianza kula nyama yanatokana na kuelewa vibaya kile kinachoelezwa kwenye Kitabu cha Mwanza.

Mwanzo 2:4-25 Hivyo ndivyo vizazi vya mbingu na nchi zilipoumbwa. Siku ile Bwana Mungu alipoziumba mbingu na nchi 5 hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana Bwana Mungu hajainyeshea nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi; 6 ukungu ukapanda katika nchi, ukatia maji juu ya uso wote wa ardhi. 7 Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai. 8 Bwana Mungu akapanda bustani upande wa mashariki wa Edeni, akamweka ndani yake huyo mtu aliyemfanya. 9 Bwana Mungu akachipusha katika ardhi kila mti unaotamanika kwa macho na kufaa kwa kuliwa; na mti wa uzima katikati ya bustani, na mti wa ujuzi wa mema na mabaya. 10 Ukatoka mto katika Edeni wa kuitilia bustani maji, na kutokea hapo ukagawanyika kuwa vichwa vinne. 11 Jina la wa kwanza ni Pishoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Havila, ambako kuna dhahabu; 12 na dhahabu ya nchi ile ni njema; huko kuna bedola, na vito shoham. 13 Na jina la mto wa pili ni Gihoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Kushi. 14 Na jina la mto wa tatu ni Hidekeli; ndio unaopita mbele ya Ashuru. Na mto wa nne ni Frati. 15 Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza. 16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula, 17 walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika. 18 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye. 19 Bwana Mungu akafanyiza kutoka katika ardhi kila mnyama wa msituni, na kila ndege wa angani, akamletea Adamu ili aone atawaitaje; kila kiumbe hai, jina alilokiita Adamu likawa ndilo jina lake. 20 Adamu akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama wa mwituni; lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye. 21 Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake, 22 na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu. 23 Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume. 24 Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja. 25 Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya.

 

Tunaona kwenye maandiko haya kwamba kuna mchakato fulani kutokana na habari hii inayohusu kuumbwa kwa Adamu, na vyakula alivyopewa ama kuruhusiwa kula. Yeye aliumbwa kipindi ambacho kilikuwa hakinajawa na aina yoyote ya mboga au kulikuwa hakujaoteshwa na chakula chochote kwenye Bustani ya Edeni (Mwanzo 2:7-8), kama ilivyokuwa kwenye siku ya tatu ya uumbaji. Kwa hiyo inaonekana kwamba yeye alilishwa kwa vitu visivyojulikana vilivyokuwa kwenye mazingira yaliyomzunguka, na hali hii iliendelea kwa kitambo. Hili sio jambo la kushangaza, ulikuwa ni mchakato tu wa kipindi cha mpito cha kuumbwa kwake cha kuelekea kwenye ulaji wa chakula kigumu, na bila shaka kilitokea kwenye kwenye mlolongo wa matukio tunayoyaona kumpata kikawaida tu mtoto mchanga. Aliumbwa akiwa mtu mzima mwanaume, kanini hata hivyo mfumo wa mwili wake ulilazimika kupitia kwenye mlolongo wake halisi kama mwanadamu.

 

Adamu alipewa kula miti iliyokawa pale Bustanini na aliambiwa aitunze. Pia alipewa wanyama au mifugo. Neno lililotumiwa kwenye kamusi ya SHD 929 ni behêmâh ambao maana yake ni kitu bora au uororo. Neno behemoth linatokana na neno hili likimaanisha punda-mwororo. Neno behemah linaloonekana hapa kwa kawaida linakusudia kutaja mifugo. Hii ni tofauti na kinyume kabisa mbali na wanyama wa porini ambao wanatajwa kwenye kamusi ya SHD 2416 kuwa ni chay ambayo pia inatumika hapa kwenye Mwanzo 1:30. Andiko lililo kwenye Mwanzo 2 linaelezea mlolongo wa matukio yaliyo kwenye Mwanzo 1:20-31.

 

Dhana imewekwa kutokana na andiko hili la Mwanzo 1:30 kwamba wanyama wote walipewa kula vyakula vya mbogamboga na kwamba viumbe wengine wote walioko ni wala mbogamboa.

 

Mwanzo 1:24-31 inasema  akasema, Nchi na izae kiumbe hai kwa jinsi zake, mnyama wa kufugwa, nacho kitambaacho, na wanyama wa mwitu kwa jinsi zake; ikawa hivyo. 25 Mungu akafanya mnyama wa mwitu kwa jinsi zake, na mnyama wa kufugwa kwa jinsi zake, na kila kitu kitambaacho juu ya nchi kwa jinsi yake; Mungu akaona ya kuwa ni vyema. 26 Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. 27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. 28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi. 29 Mungu akasema, Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote pia, na kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu; 30 na chakula cha kila mnyama wa nchi, na cha kila ndege wa angani, na cha kila kitu kitambaacho juu ya nchi, chenye uhai; majani yote ya miche, ndiyo chakula chenu; ikawa hivyo. 31 Mungu akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya sita.

 

Kumbuka jinsi inavyosema Mwanzo 1:25, kwamba Mungu aliumba wanyama wa kufuga na wa porini tangu mwanzo. Tofauti hii ilifanywa na ilitiliwa umuhimu wake kwenye uumbaji tangu mwanzo. Mchakato wa ulaji nyama ni mojawapo ya uwekaji sawa wa kemikali. Wanyama wasio safi wana kemikali zenye madhara ambazo zinaharibu mfumo wa mwenendo wa mmeng’enyo wa vyakula tumboni na mwilini. Mlinganiko wa kikemikali hayatakiwi kwenye mwili wa mwanadamu. Jambo hili limeelezewa kwa kina kwenye jarida la Sheria ya Vyakula (Na. 15) [The Food Laws (No. 15)]. Kile kisichoelezewa hapa, ni kwamba kuna mchakato wa kimeng’enya ambao kwao vimeng’enya ya wanyang’anyi au ndege, hauwezi kuliwa kwa ulafi wa wanadamu. Kuna mlingano usio na shaka kuamini kuwa umewekwa tangu uumbaji na mnyororo wa unaohusianisha hadi kwenye ubongo. Mungu hafanyi mambo yake kwa majaribio kwanza au ni kama alivyosema Einstein kwamba, hachezi mchezo wa utupaji mishale kwa kubahatisha.

 

Wafafanuzi mahiri kina Rashi na Ibn Ezra wanasema kwamba, kwenye aya ya 29, mwanadamu na mnyama waliruhusiwa kula aina moja ya vyakula katika uumbaji. Wanasema kwamba mwanadamu alirukatazwa kuua wanyama kwa ajili ya kuwala. Haikuruhusiwa hivyo hadi kipindi cha gharika kuu. Tafsiri hii ni ya uwongo kwa sababu zilizotajwa hapa chini. Fafanuzi kama vile za Moses Cassuto kutoka kwenye kitabu chake cha Tangu Adamu hadi Nuhu (From Adam to Noah) kuhusu itikadi ya ulaji wa mbogamboga pekee na vyakula vyake maarufu kama uvijiteriani anasema kuwa ni safi na halisi. Mapokeo haya yalianzishwa kutokana na maandiko yaliyokataliwa ya yasiyo ya wataalamu wa elimu ya mambo ya kale na uchimnaji. Taratibu au imani ya utakaso iliyofanyika na imani za Dini fumbo au za Siri haziwezi kuachwa mbali kujumuishwa kuwa zinahusika kwa kuwa na ushawishi mkubwa kwa kia mtu mmoja mmoja kwenye maeneo yote ya Kabbalah. Assertions, sawa na kama Joseph Albo, anavyosema kwamba uuaji wa wanyama unahitaji haiba ya ukatili, ubabe na unaeneza roho ya watu kupenda kumwaga damu na kwamba ni kufuru au kinyume cha moja kwa moja dhidi ya asili na tabia yake Yahova, elohim wetu aliyeweka mchakato huu (tazama hapo chini).

 

Tunaona pia kwenye mlolongo huu wa mambo kuwa mchakato wa kukua kwa mwanadamu unakwenda hatua kwa hatua tangia kuumbwa hadi kukua. Wa mwisho kuumbwa alikuwa Hawa. Mchakato wa anguko kwenye Mwanzo sura ya 3. Mchakato wa habari hii unaifanya ionekane kwamba nyoka alikuwa na miguu huko nyuma hadi kufikia kipindi hiki. Mwanzo 3:13-24 inaonyesha jinsi hukumu na majadiliano vilivyofanyika. Hii siyo habari rahisi.

Mwanzo 3:13-24 Bwana Mungu akamwambia mwanamke, Nini hili ulilolifanya? Mwanamke akasema, Nyoka alinidanganya, nikala. 14 Bwana Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako; 15 nami nitaweka uadui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa, na wewe utamponda kisigino. 16 Akamwambia mwanamke, Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto; na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala. 17 Akamwambia Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako; 18 michongoma na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni; 19 kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi. 20 Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye aliye mama yao wote walio hai. 21 Bwana Mungu akawafanyia Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika. 22 Bwana Mungu akasema, Basi, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema na mabaya; na sasa asije akanyosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima, akala, akaishi milele; 23 kwa hiyo Bwana Mungu akamtoa katika bustani ya Edeni, ailime ardhi ambayo katika hiyo alitwaliwa. 24 Basi akamfukuza huyo mtu, akaweka Makerubi, upande wa mashariki wa bustani ya Edeni, na upanga wa moto uliogeuka huko na huko, kuilinda njia ya mti wa uzima.  

 

Mchakato na tukio hili lilijulikana na Mungu tangu mwanzo kabisa hata kabla halijatokea. Mwanakondoo alichinjwa na wateule waliandikwa kwenye kitabu cha uzima hata kabla ya kuwekwa misingi ya dunia (Ufunuo 13:8). Kwa hiyo, tukio hili lilionekana tangu mwanzo na liliandaliwa. Kumbuka kuwa nyoka hakuulizwa swali lolote. Alionekana kuwa alikuwa na makosa. Kutokana na aya ya 14 tunajionea tofauti iliyojitokeza kati ya wanyama wa kufugwa na wale wa porini. Hii inamaanisha tu kwamba tangu mwanzo tofauti hii ilikusudiwa iwepo ikimaanisha kwamba kitendo cha ulaji wa nyama lilikuwa limekusudiwa kuwepo. Mjadala uliokuwepo kuhusu nyoka na uzao wa mwanamke ni habari muhimu sana kuhusiana na tendo la kufngwa kwa Shetani.

 

Amri iliyotolewa kwenye aya za 18-19 haipaswi kupotoshwa kwa kutafsiriwa kama kigezo cha ulaji wa vyakula, bali zaidi sana kuwa ni ugumu wa ukusanyaji wa aina zake. Mti wa uzima unawakilisha hali ya kuishi pasi kufa wala madhara ili kwamba waweze waadibishwe na kisha warejeshwe kwenye uhusiano mwema na sahihi na Mungu na Maila na watele wa kiroho. Maana zake inaweza kufafanuliwa hasa kwa namna ya fumbo na kiroho

 

Jambo la muhimu ni hatua inayofuatia ya Yahova elohim. Hatimaye alimuua mnyama kutoka kwenye kundi la wanaofugwa ili awafanyie vazi la ngozi wote wawili, mwanaume na mwanamke. Sforno anaelezea jambo kuhusu hali yao hii ya kuwa uchi akisema kwamba matendo yao yalikuwa kwenye nia ya kumtumikia muumba wao, na sio kwenye utoshelevu wa tama zao, matendo yao ya kuendelea kuishi bila kufa yalikuwa hayana makosa yatokanayo na ulaji na unywaji wa vitu (Soncino). Rashi anaamini kwamba mawazo ya udanganyifu ya Shetani yaliibuka wakati alipowaona wakiishi uchi pasipo kuvaa vazi lolote. Sforno anaamini kwamba nyoka ni ishara ya mjaribu (Shetani).

 

Wataalamu wa tafsiri na wanazuoni marabi hawaelewi pia sababu ya kuamini kuwa Adamu alikufa vile ili kufanya pia imlazimu Masihi kufa akiwa ni sadaka pekee iliyohitajika kwa ajili ya ondoleo la dhambi za ulimwengu, kwenye ulimwengu ulifuata uasi wa Adamu.

 

Hapa tunaona mwanzo endelevu aliouweka na kuukusudia Yahova elohim wa utoaji dhabihu ya wanyama kwa kuanza kumchinja mnyama na kutengeneza vazi la kuwavisha wanadamu. Kwa hiyo, uuaji huu wa mnyama ulikuwa ni kitendo cha maana sana kilichoanzishwa na Yahova elohim aliyetajwa kwenye Zaburi 45:6-7. Kwa hiyo basi, Mungu na Yesu Kristo walikataza matumizi ya nyumani ya wanyama tangu mwanzo wa historia ya mwanadamu ambao walikuwa nao kama tunavyojionea kutoka kwa wataalamu wa mambo ya kuchimbua mambo ya kihistoria.

 

Tendo hili la kuwatumia wanyama au wanyama wa kufugwa majumbani lilionekana kutumiwa kwa mara ya kwanza kwenye lile tukio la utoaji sadaka uliofanywa na kina Kaini na Abeli. Wanyama walifugwa na Abeli alikuwa ni mfugaji au mwenye kupendelea kufuga wanyama akiwafuga kondoo. Kaini alikuwa mkulima wa ardhi. Wote wawili, kaini na Abeli walikwenda mbele za Mungu wakiwa na dhabihu zao mikononi mwao. Kisha dhabihu ya mavuno ya nafaka ilitolewa na Kaini. Ndivyo kama sikukuu ya mavuno ilivyoadhimishwa huko Sinai kwa mintaarafu sawa na inavyoadhimishwa Sabato.

 

Kisha Abeli akaenda na kutoa dhabihu ya malimbuko ya wanyama wake pamoja na mafuta yake. Hapa ndipo utoaji dhabihu wa wanyama pamoja na mafuta ulipoanza tangu mwanzoni kabisa. Na pia ndipo utoaji wa dhabihu ya viumbe hai kuwa ni muhimu ulipoanzia. Mtazamo wa kudhania kwamba huenda watu hawa walikuwa ni wa imani ya kula mbogamboga tu au wavijiteriani haiwezekani kuonekana kupata mashiko. Mwanzo 4:7 inaionyesha dhambi aliyoifanya kaini kuwa ilikuwa ni kwa ajili ya kukataa kwake kutoa dhabihu ya wanyama. Targum inaitafsiri ayah ii kwenye maandiko yake ya ufafanuzi kwa kusema kuwa.

Iwapo kama utarekebisha njia zako, dhambi zako zitafutwa, bali ikiwa kama hutazirekebisha njia zako, dhambi zinakungojea hadi katika siku yako ya kuhukumiwa, kwa kuwa utahukumiwa hakika iwapo kama hutafanya toba kuzitubia, lakini kama utatubu, utasamehewa wewe (Soncino).

 

Kristo ni yeye Yule, leo, kesho na hata milele. Ni jambo lisoloingia akilini wala kuwa na mashiko kuamini siku hizo kuwa ulimwengu utakuja kuanzisha utaratibu mwingine na kutoa dhabihu kwa haraka sana papo hapo, na wakikataza dhabihu zilizokuwa zinatolewa za wanyama, bali wakachinja wanyama na kumuweka pembeni akiwa kama ni masalio fulani nguoni mwake, iwapo kama haukuwa na maana kwenye utaratibu uliopo na unaoendelea. Kwa kweli ulikuwa ni utaratibu endelevu ufugaji wa wanyama na kuwaua na kuwala ikilikuwa ni kitendo cha kistaarabu na maendeleo kwa nyakati mbili zote za kabla na baada ya gharika kuu.

 

Kaini akamuua ndugu yake Abeli na nguvu au Baraka za uoto wa ardhi zikamkataa. Neno linalotumika kuelezea damu hapa limeandikwa kwa lugha ya uwingi. Kwa hiyo inamaanisha kwamba jito la damu ya Ebeli lilimlilia. Hii inaelezea kuhusu damu ya Abeli pamoja na uzao wake wa muhimu sana (Rashi anadhani kuwa aliumizwa mara nyingi sana na ndipo alivuja damu yake hadi kufa, kutokana na kuumizwa majeraha mengi).

 

Mgogoro uliojitokeza hatimaye kati ya uzao wa kabla ya kuumbwa kwake Adamu na wana wa Kaini na wana wa Sethi (andilo lisemalo mwana wa Adamu) na uzao mwingine uliotoka kiunoni mwa Adamu ulikuwa unaendelea. Walioendekeza ogomvi wa uovu waliona kuwa ni heri wafutilie mbali dhana hii ya uumbaji. Haya hayakuwa ni makosa ya Mungu; bali yalikuwa ni matokeo ya kuingiliwa mchakato wa uumbaji wa Malaika katika kujaribu hila za kuharibu mipango ya Mungu. Viumbe wengi sana miongoni mwa walioumbwa waliangamizwa na kupotea kwenye tukio hili (Mwanzo 6:7,13).

 

Mchakato uliofuatia ni wa kulinda uao wa wanyama wasipotee, kazi iliyofanywa na Nuhu.

 

Nuhu aliambiwa au kuamriwa awachukue aina mbili za wanyama na kuwahifadhi kwenye safina, yaani waliokuwa hawaliwi au najisi na wale waliojulikana kuwa walikuwa safi na wanafaa kwa kuliwa miongoni mwa wanyama awahifadhi wote kwenye safina. Hii haimaanishi kwamba watu wote waliokuwa wanaishi kipindi cha kabla ya gharika kuu walikuwa wanakula aina moja ya vyakula kama wanavyofanya wanyama na kwamba walikuwa wanakula mbogamboga tu au waviniteriani. Bali kinachomaanishwa hapa ni kwamba, walipokuwa safinani, chakula walichokuwa wanakula wote kilikuwa ni cha namna moja na kulikuwa hakuna matendo ya kuwaua wanyama kutokana na mazingira halisi waliyokuwa nayo.

Mwanzo 6:17-22  Na tazama, nitaleta gharika ya maji juu ya nchi, niharibu kila kitu chenye mwili na pumzi ya uhai, kisiwepo chini ya mbingu; kila kilichoko duniani kitakufa. 18 Lakini nitafanya agano langu nawe kuwa thabiti; nawe utaingia katika safina, wewe, na wanao, na mkeo, na wake za wanao, pamoja nawe. 19 Na katika kila kilicho hai chenye mwili, wawili wa kila namna utawaleta ndani ya safina, kuwahifadhi pamoja nawe; wawe mume na mke. 20 Katika vyote virukavyo kwa jinsi yake, na kila namna ya mnyama kwa jinsi yake, kila kitambaacho juu ya nchi kwa jinsi yake, wawili wa kila namna watakuja kwako ili uwahifadhi.21 Ukajitwalie chakula cha kila namna kinacholika, ukakusanye, nacho kitakuwa ni chakula chenu na chao. 22 Ndivyo alivyofanya Nuhu, sawasawa na vyote alivyomwamuru Mungu, hivyo ndivyo alivyofanya.

 

Mwanzo 7:1 inaendelea kufafanua moja kwa moja kwamba wanyama waliosafi wachukuliwe pea sabasaba na wale wasiosafi wachukuliwe pea mbilimbili au moja moja, jike na dume.

Mwanzo 7:1-3 Bwana akamwambia Nuhu, Ingia wewe na jamaa yako yote katika safina; kwa maana nimekuona wewe u mwenye haki mbele zangu katika kizazi hiki. 2 Katika wanyama wote walio safi ujitwalie saba saba, mume na mke; na katika wanyama wasio safi wawili wawili, mume na mke. 3 Tena katika ndege wa angani saba saba, mume na mke; ili kuhifadhi hai mbegu juu ya uso wa nchi yote.

 

Haionyeshi kabisa wala dalili kuwa Nuhu alitakiwa ajifunze ili kuwajua hawa wanyama safi na wale wasio safi au najisi au kuwa alihitaji mtu wa kumfundisha au kumuelekeza kujua hilo. Wala hakuna dalili yoyote ya kwamba huenda hakuwa anajua utararibu mzima wote kuhusu makundi haya yalivyogawanywa kwenye uumbaji ya waliosafi na walio najisi. Dhana ya kwamba huenda aya hii inaonyesha kwamba ulaji wa wanyama ulianza katika kipindi cha baada ya gharika kuu haina mashiko yoyote kwa kuwa haiungwi mkono iwe na Biblia kwa maisha na asili ya ufugaji wanyama waliyokuwanayo wana wa Adamu, wala kutokana na yale tunayoyajua kuwa yalitendeka katika kipindi kilichokuwa kabla ya gharika kwa mujibu wa taarifa walizonao wataalamu wa elimu ya mambo ya kale.                

 

Tumekuta mabaki ya wanadamu kwenye kipindi hiki muafaka na tumekuta rekodi ya kina ya aina ya watu. Hakuna ushahidi unaoonyesha kuwa wanasayansi walikuwa ni wala mbogamboga au wavijiteriani. Kwa kweli, ushahidi unaonyesha wazi kabisa kwamba hawakuwa hivyo. Mabaki ya mtu wa kale zaidi ulimwenguni alipatikana kwenye barafu (kwenye Alpu za Italia) tangu miaka takriban karne zaidi ya 3000+ KK ambao walikuwa na mavazi ya ngozi, kichwa cha shoka la shaba la makutaniko ya wawindaji.

 

Watetea imani ya ulaji mbogamboga au wavijiteriani kwenye zama hizi wanapuuzia ushahidi huu wote unaojulikana kwa wazi hivi kabisa. Madai yao yako kinyume kabisa na yote mawili, yaani Biblia na wataalamu wa elimu kale ya uchimbaji na miamba.

 

Tunajua kutokana na rekodi za kale za Wamisri kwamba nyama na ndege wa kufuga majumbani kama vile njiwa, njiwa na goose walikuwa wakiliwa. Ndege aina ya Goose anaonekana kwenye kaburi la Itet yapata mwaka 2560 KK kwenye Ufalme wa Kale. Kuku hawakuwa wakijulikana hadi kipindi cha Ufalme Mpya na huenda walipata umaarufu na kujulikana katika kipindi cha Warumi [kwa mujibu wa uanmdishi wa kina Baines na Malek kwenye Jarida la Ramani ya Misri ya Kale, Vitabu vya Kipindi cha Maisha (Baines and Malek Atlas of Ancient Egypt, Time-Life Books, 1994, pp. 8,19)]. Kipindi hiki, kilimo cha umwagiliaji kilianza kwa kila kilichoelezewa kama ni kipindi kilichofuatia cha Waneolithiki wa huko Mesopotamia, kulikuwa na jamii kubwa ya watu waliokuwa wanakuja nyama na ambayo ilikuwa ya wafugaji wanaohamahama pia kulikuwa na ushahidi wa kuwepo kwa kutaniko la wawindaji na ushahidi wa watu waliokuwa wanakusanyika kwenye majani ya nafaka. Ukulima ulikuwa umeanza kwenye kipndi cha kilichotangulia zama za kizazi cha ufalme zaidi sana kwenye pande za magharibi kutoka nchini Misri na sambamba na upande wa Mediterranean, lakini inaonekana kwamba mabadiliko makubwa kwenye mwenendo wa tabia ta nchi yalilazimisha mtazamo wa kina kwa watu kwenye Bondo la Mto Nile kwa madhumuni ya kiukulima (kitabu hichohicho, ukurasa wa 14).

 

Kipindi hicho, Afrika Kasakazini ikiwa kwenye mchakato wa zama za kabla ya mwanzo wa kizazi cha watawala wa Kimisri kulikuwepo tangu mwanzoni kabisa na makutaniko ya wawindaji au wafugaji, ukulima ulikuwa umeanzishwa huko kipindi cha Ufalme wa Kale. hakuna ushahidi wa namna yoyote ile unaoonyesha kuwa watu waliokuwa wamestaarabika waliokuwa wanaishi maeneo yote ya tangia huko Mesopotamia hadi Afrika Kaskazini walikuwa ni walaji mbogamboga. Kwa kweli, ushahidi ulioko unaonyesha kutokuwepo dalili ya madai hayo. Kudhania kwamba wana wa Adamu, sawa na kama walivyo wafugaji wa mifugo wengine wote, walikuwa kwenye daraja la watu wafugaji mifugo waliokuwa wakifuga mifugo au wanyama lakini walikuwa hawawali, ni mawazo au dhana iliyotiliwa chumvi tu na isiyo na mashiko yoyote. Biblia iko wazi sana kwamba dhabihu ilitolewa na Adamu na alimuomba Abeli akaiwakilishe. Kwa hiyo, kundi la wanyama walo safi ni lazima kuwa lilijulikana kwa kuwa lilikuwepo. Mungu asingeweza kuruhusu au kupokea sadaka ya ya wanyama najisi, kama tunavyojua kutokana na Torati au amri zake. Kudhania kwamba familia ya Adamu walikuwa na kundi la wafugaji wa mifugo au wanyama, wakianzisha tabia ya kutoa sadaka za wanyama na kisha wakiiacha au kuitupa dhabihu hiyo bila kuila au kuwala wanyama hao ni ya kipuuzi kiasi ambacho yaiwezi kuchukuliwa kwa umaanisho. Zaidi ya yote, maisha ya wafugaji hawa wenye kuhamahama hayakuwa ya itikadi hii ya ulaji wa mbogamboga ya uvijiteriani kuwa huenda yalikuwa huenda ndiyo ulikuwa mtindo wa maisha yao. Pia waya kizari na tundu la wavu hakukuonekana. Dhabihu ya mazao aliyoitoa Kaini haikukubalika sana na Mungu. Mjadala uliopelewa kipaumbele kuhusu imani hii ya ulaji mbogamboga au uvijiteriani kipindi cha kabla ya gharika kuu ni kwamba ni watu wale waliokuwa na uzoefu mdogo au wasionao kabisa kwenye mambo ya kilimo na ufugaji wa wanyama au mifugo na wakiyapuuzia maneno yaliyo wazi nz dhahiri yaliyo kwenye aya za biblia.

 

Nuhu na Gharika

Nuhu alimtii Mungu na akajenga safina na kuwaingiza wanyama alioelekezwa kuwaingiza safinani. Makundi ya wanyama wa kufugwa na wa porini pia yalitumika kwenye aya zilizo kwenye Mwanzo 7:14ff.

 

Ndpi gharika kuu ikafuatia na ambayo ilianza katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa pili ya mwaka wa 600 wa Nuhu. Gharika iliisha kwa siku arobaini au hadi ilipofikia siku ya ishirini na saba ya mwezi wa tatu. Maji hayakuweza kupwa hadi ilipofikia siku ya kwanza ya mwezi wa Abibu au Nisani ya mwaka uliofuatia. Siku ya ishirini na saba ya mwezi wa Abibu ya mwaka uliofuatia, nchi yote ilikuwa imekauka.

 

Tendo la kwanza la Nuhu baada ya gharika kuu ilikuwa ni kuijenga madhabahu na kutoa dhabihu ya wanyama waliosafi na wa ndege waliosafi. Tendo hili lilimpendeza Mungu. Kutoka kipindi hiki, ahadi au agano liliwekwa la kwamba muda nchi idumupo kipindi cha mavuno na kupanda, cha maridi na hari, cha wakati wa jua kali na upeo wa kusi, usiku na mchana havitakoma.

 

Torati

Mungu aliweka sheria na kanuni mbalimbali za malimbuko na Adamu na ilishikwa na Nuhu na uzao wake. Uasi uliofanywa na Nimrodi kipindi cha baada ya gharika kuu pamoja na imani ya dini za Babeli bado hayakuweza kubagua na kufanikiwa kukomesha uadilifu wa amri na sheria hizi. Ibrahimu alipewa ahadi kwa kuwa alikuwa ni rafiki wa Mungu. Watu wake wakaenda utumwani kwa ajili ya kitendo chao cha kufanya matendo ya ya mababa waliokuwa wakiishi nchi ya Palestina. Walizidi kuzaana na kuongezeka ijapokuwa walikuwa kwenye mateso na kazi za shokoa na akawaokoa na kuwatoa huko utumwani kwa tukio linalojulikana kama la Kutoka lililofanywa na nabii Musa ili kuwafanya wawe watu wake na pia wawe nuru kwa mataifa.

 

Mungu akawakomboa Israeli kutoka utumwani kwa kuwaamuru watoe dhabihu. Dhabihu ile ilimlenga Masihi. Israeli hawakuonekana wakiwa na dalili zozote za kuwa wala mbogamboga wavijiteriani na wala hawakuonekana kuwa na dalili yoyote ya kupenda kuwa hivyo. Sheria na amri zote kuhusu vyakula na matunda zilitolewa na kufundishwa tena na nabii Musa. Huko Sinai. Sheria ya ulaji wa vyakula kuhusu nyama inapatikana kwenye kitabu cha Mambo ya Walawi sura ya 11 na Kumbukumbu la Torati sura ya 14. Sababu zinazohusiana na makatazo haya na sheeria hizi zimeandikwa na kufafanuliwa vizuri kwenye jarida la Sheria ya Kuhusu Ulaji wa Vyakula (Na. 15) [The Food Laws (No. 15)].   

 

Huduma ya kikuhani ya Israeli ilihusiana na kwenda sambamba na utoaji wa dhabihu. Madai kuhusiana na utoaji wa dhabihu ya wanafalsafa wa Kiyahudi na Wakabalisti yanayoonekana kujumuisha na marabi wengine wenye itikadi kali, ni madai ambayo ni lazima yaendane na yote mawili, yaani asili ya Mungu na taratibu za kazi za makuhani.

 

Awamu ya pili ya mchakato huu wa marabi wa kuhitimisha maelekezo ya Mungu ambayo ndiyo amri zake kuondolewa kwa damu. Mabishano kuhusu imani hii ya ulaji mbogamboga tupu au uvujitariani miongoni mwa mamlaka za marabi, yanapendeza sana, bali yanapuuzia kiu cha unabii.

 

Marabi wanaohusisha na mpango wa ulaji mbogamboga huu wa uvijitariani unaonekana kupingana na ukweli ufuatao:

1.   Mauti iliingia duniani kwa sababu ya kuasi kwake Adamu na Hawa.

2.   Ulaji wa nyama haukuwepo hadi kipindi cha Nuhu.

3.    Wanadamu waliongezeka sana katika kipindi hiki.

4.    Ruhusa ilitolewa ya kula nyama baada ya gharika kuu.

 

Dhana yenye mashiko inaonyesha kwamba ruhusa ya ulaji nyama ilikuwa ni ya muda mfupi tu. Sababu zenye mashiko za kuamini hivi ni kwamba:

Haiingi akilini kuamini kwamba Muumba ambaye aliyeiumba dunia kwa imahiri mkubwa na wenye mlingano na kwa namna iliyo timilifu kwa mwanadamu kuiishi pasi matatizo kwa kipindi cha takriban miaka maelfu baadae, aone kwamba mpango ulikuwa mbaya [kwa mujibu wa R. Abraham Isaac Hacohen Kook kwenye kitabu chake alichoandika cha A Vision of Vegetarianism and Peace, (Mtazamo wa Wavijiteriani na Amani) ed. R. David Cohen].

 

Mtazamo ni sahihi. Kipindi na mahali ilipowekwa dhana hii ndipo pasipo sahihi. Kama tunavyojua kwamba Mungu hana kigeugeu na ndivyo alivyokuwa Masihi pia. Mungu hana kigeugeu (Malaki 3:6). Kristo ni yeye yule hajabadilika, jana, leo na hata kesho na milele (Waebrania 13:8). Mabadiliko ya Sheria yaliyotajwa kwenye Waebrania 7:12 yanahusu mapokeo ya sheria yaliyoanzishwa au kuingizwa na makuhani kwa mteule aliye mfano wa Melkizedeki. Mabadiliko pia yalihusishwa kwa mambo ya utoaji dhabihu. Hakuna kilichosemwa wala kuonyesha dalili yoyote kuhusu ulaji wa nyama kuwa kama uliondolewa, kwa kweli, ni tofauti na suala hili.

 

Kook ana mtazamo wenye makosa kwa kudhani kwake kwamba Adamu na wanawe hawakuwa wanakula nyama. Kwa hiyo anaonekana kwamba anaona uwezekano unahusisha na utoaji na kuitendea kazi sheria hii ya Mungu. Kimakosa kabisa anadhania kwamba imani hii ya kula mbogamboga peke yake ilikuwa ni imani ya tangia mwanzo. Na kwa hiyo, itakuja kuwa ni imani itakayobakia na kuwanayo watu wote katika siku za mwisho. Anahitimisha kwa kusema kwamba ulaji wa nyama kwa hiyo, ni neno la kuelezea mkengeuko au kumuasi Mungu. Kwa hiyo ana mtazamo juu ya Mungu kila mara kile anachotaka kukiepuka.

 

Hali hii ya kuwa kwenye mchakato wa kuzama kwenye mawazo kwenye imani ya Kiyahudi inaendelea hadi kwenye fikra za R. Samuel Dressner.

Uondoaji wa damu ambao Kashrut anafundisha ni moja ya mambo muhimu yanayotufanya sisi kuwa na hadhari ya kujilinda na hali ya kuchukuliana au kujichanganya ambayo kwayo sisi sote tunafanya tendo hili la kula nyama ambayo kwa hakika ndivyo ilivyo. Pia inatufundisha juu ya kuuajali uhai au maisha ya mtu.

 

Ndipo Moses Cassuto anachukulia jambo hili kuwa kama jambo kina la kipuuzi anapozema hivi ifuatavyo:

Ni dhahiri sana kabisa kwamba Torati ilikuwa kwenye mwelekeo wa kupinga ulaji wa nyama. Wakati Nuhu na uzao wake waliporuhusiwa kula nyama hii ilikuwa ni sharti la lazima katika kukataza ulaji wa damu.

 

Mawazo kama haya, ambayo yanaashiria kupingana na sheria za Mungu, yanaondoa maeneo yanayohusika na asili na kazi ya ufugaji ya wana wa Nuhu na inaonyesha kupuuzia misingi ya kisayansi ya sheria ya ulaji wa vyakula. Tatizo lililopo hapa ni la kiwango cha uelewa cha kina Cassuto, Dressner na Kook, na sio katika mashiko na msisitizo wa Torati. Mapokeo haya ya kisiri yanatokana na imani za Kimapoke iliyofundishwa na kuenezwa ambayo ilitokana na vyanzo vilivyokuwa nje na maagizo ya sheria za Mungu na ambayo iliingia huko Kabbalah kutokana na imani za dini za Kisirisiri. Watu hawa walikuwa ni walaji mbogamboga au wavijiteriani waliokuwa wanatafuta kuhalalisha madai yao kupitia Torati licha ya maandiko ya sheria za Mungu na kuwepo kwa ushahidi wa kutosha dhidi yake. Huenda walikuwa na udhuru zaidi kidogo zaidi ya Wakristo kwa mtazamo kama huo wa kimadai, lakini Roho Mtakatifu ametoa mwelekeo wa moja kwa moja kuhusiana na fundisho hili potofu kupitia kwa Kristo na mitume wake wote.

 

Unabii Kuhusu Nyama

Ahueni imefanywa na Isaya kwa kuunga mkono kwake anapofundisha kipindi cha uvijiteriani kitakachodumu kwa miaka elfu cha utawala wa Masihi.

Isaya 11:6-9 Mbwa-mwitu atakaa pamoja na mwana-kondoo, na chui atalala pamoja na mwana-mbuzi; ndama na mwana-simba na kinono watakuwa pamoja, na mtoto mdogo atawaongoza. 7 Ng'ombe na dubu watalisha pamoja; watoto wao watalala pamoja; na simba atakula majani kama ng'ombe. 8 Na mtoto anyonyaye atacheza penye tundu la nyoka, na mtoto aliyeachishwa atatia mkono wake katika pango la fira. 9 Hawatadhuru wala hawataharibu katika mlima wangu wote mtakatifu; maana dunia itajawa na kumjua Bwana, kama vile maji yanavyoifunika bahari. 

 

Mkazo umewekwa kwa ukweli kwamba samba atakula majani kama punda. Ndama na mtoto wa simba na kimono wanatajwa kwamba wataishi na kuongozana na kulala pamoja. Hawatawadhuru wala kuwaangamiza kwenye mlima mtakatifu. Mambo mawili yako dhahiri hapa. Mahala panapotajwa hapa ni Sayuni na ndama na kimono na punda wametajwa. Punda ni mnyama asiye na haiba ya kibeberu na kwa hiyo anafaa sana kwa kufugwa. Kimono ni mnyama mdogo anayependa kula majani na huliwa na wanyama pori. Neno lililotumika kwenye kamusi ya SHD 4806 ni merîy’ ambalo maana yake ni chakula cha ng’ombe. Ni sawa na neno linalopatikana kwenye Ezekieli 39:18. Jambo hili kwenye unabii wa Ezekieli linahisika na kipindi zama cha Majilio na hatimaye inaendelea mbele (kwenye Ezekieli 40) kuhusika na marejesho tena ya utoaji dhabihu za wanyama katika kipindi cha Milenia (Ezekieli 40:38-43; 43:18-27; 44:6-8; 45:13-25; 46:1-8).

 

Dhabihu hizi zitatolewa siku za Sabato na Mwandamo wa Mwezi (Ezekieli 46:3). Dhabihu hizi watakazokuwa wanazitoa watu zitatokoswa jikoni na zitatengwa kwa kuwekwa kando kwa madhumuni ya kutumiwa Hekaluni (Ezekieli 46:24).

 

Kwa kuongezea tu suala ya nyama za dhabihu zinazotokoswa Hekaluni, kutakuwepo na mito utakaotokea kwenye mlima wa hekalu, na samaki watavuliwa humo na wavuvi kando ya bahari kutoka Engedi hadi Eneglaimu. Kinamuzi na mabwawa vitakuwa kwa ajili ya kukusanyia chumvi. Kwa kuongezea kwenye nyama hizi kutakuweko na miti kandokando ya kingo za mito. Miti hii itakuwa ya aina mbalimbali na ambayo itaota matunda kila mwezi. Majani yake yatakuwa ni dawa ya kuwaponya mataifa (Ezekieli 47:9-12).

 

Maandiko yaliyoko kwenye Amosi 9:14 yanaweza kuonekana kwa mtazamo mpana wa kidini na sio kwa namna ya kuonyesha uhusiano wa kinasaba wa aina ya vyakula vilivyothibitiwa. Zaidi ya yote, Amosi 9:13 inaonyesha pia unywaji wa mvinyo ikiwa kuwa mojawapo ya ahadi walizoahidiwa wateule kuruzukiwa kipindi cha Millennia.

Amosi 9:13 Angalieni, siku zinakuja, asema Bwana, ambazo huyo alimaye atamfikilia avunaye, na yeye akanyagaye zabibu atamfikilia apandaye mbegu; nayo milima itadondoza divai tamu, na vilima vyote vitayeyuka. 14 Nami nitawarejeza tena watu wangu Israeli waliohamishwa, nao wataijenga miji iliyoachwa maganjo, na kukaa ndani yake; nao watapanda mizabibu katika mashamba, na kunywa divai yake; nao watafanyiza bustani, na kula matunda yake.  

 

Kazi ya ukulima na ufugaji wa kila mwaka inahusisha mazao yanayotokana na maziwa inaonekana pia kwenye Yoeli 3:18.

Yoeli 3:18 Tena itakuwa siku ile, ya kwamba milima itadondoza divai tamu, na vilima vitatiririka maziwa, na vijito vyote vya Yuda vitatoa maji tele; na chemchemi itatokea katika nyumba ya Bwana, na kulinywesha bonde la Shitimu. Tena itakuwa siku ile, ya kwamba milima itadondoza divai tamu, na vilima vitatiririka maziwa, na vijito vyote vya Yuda vitatoa maji tele; na chemchemi itatokea katika nyumba ya Bwana, na kulinywesha bonde la Shitimu.

 

Zekaria 14 inaonyesha wazi kabisa kwamba katika kipindi cha marejesho cha millennia sikukuu zilizoamriwa zitakuwa zinaadhimishwa pia na mataifa watakuwa wanapeleka wawakilishi wao huko Yerusalemu au vinginevyo wataadhibiwa kwa mapatilizo (Zekaria 14:16-19). Andiko linaendelea mbele likionyesha wazi dhabihu na ulaji wa nyama kwenye kipindi hiki cha Milenia cha utawala wa Masihi.

Zekaria 14:20-21 Siku hiyo katika njuga za farasi yataandikwa maneno haya, WATAKATIFU KWA Bwana; navyo vyombo vilivyomo ndani ya nyumba ya Bwana vitakuwa kama mabakuli yaliyoko mbele ya madhabahu. 21 Naam, kila chombo katika Yerusalemu, na katika Yuda, kitakuwa kitakatifu kwa Bwana wa majeshi; nao wote watoao dhabihu watakuja kuvitwaa vile vyombo, na kutokosa nyama ndani yake; wala siku hiyo hatakuwamo tena mfanya biashara ndani ya nyumba ya Bwana wa majeshi.

 

Kwa hiyo amdiko lililoko kwenye Biblia linaujumbe wa kudumu na ulio dhahiri wa makatazo ya ulaji nyama za wanyama waliokatazwa kuwa kutaendelea hivyo tangu ilivyokuwa siku za Adamu hadi mwishoni mwa Milenia. Mungu hana kigeugeu na kanuni zake ziko wazi na za haki. Imani hii ya ulaji mbogamboga ya uvijiteriani haina kashiko mahala popote kwenye Agano la Kale. Marabi waliokuwa wanadai haya s thus constant and the system is sure and just. Vegetarianism has no sanction in any section of the Old Testament. The rabbis who make claim for it do so in the face of clear Scripture against it. Their arguments are imputations against the laws and nature of God. They are in fact accusations against the justice and the integrity of the Lord of Hosts and the Messiah.

 

Ujumbe wa Agano Jipya

It is clear that Christ was not a vegetarian. He kept the Passover (Mat. 26:17-19; Mk. 14:12-16; Lk. 2:41; 22:8-15; Jn. 2:13,23; 6:4; 11:55; 18:28,39; 19:14) which of necessity involved the consumption of meat (Ex. 12:11-13) and was itself the Passover (Lk. 22:11).

 

The apostles kept the food laws and the eating of meats. Thus, there was no elimination of meats from Pentecost. Acts 10 has been used to attempt to show the extension of categories of permitted meats (see the paper The Food Laws (No. 15)) but could not in any way be construed as to allow vegetarianism. In fact, the explanation of that text is that it was to show that conversion had been extended to the Gentiles as Peter himself explains.

 

Nyama Iliyotolewa Sadaka kwa Sanamu

The more involved passage involving meats concerns meat sacrificed to idols. The text in Romans 14:1-4 is held to allow the practice of vegetarianism within Christianity, but as a weaker form of Christianity. This is an incorrect meaning. The abstaining from meat here is not on the grounds given by vegetarians, which are imputations against God. The grounds here are based on the supposition that the meat may have been sacrificed to idols. Thus, the abstention here is so as not to transgress the law, regarding the consumption of food sacrificed to idols.

Warumi 14:1-4  Yeye aliye dhaifu wa imani, mkaribisheni, walakini msimhukumu mawazo yake. 2 Mtu mmoja anayo imani, anakula vyote; lakini yeye aliye dhaifu hula mboga. 3 Yeye alaye asimdharau huyo asiyekula, wala yeye asiyekula asimhukumu huyo alaye; kwa maana Mungu amemkubali. 4 Wewe u nani unayemhukumu mtumishi wa mwingine? Kwa bwana wake mwenyewe yeye husimama au huanguka. Naam, atasimamishwa, kwa kuwa Bwana aweza kumsimamisha.  

 

Andiko lililo kwenye Warumi 14:6 limeanikizwa kujumuisha na sehemu ambayo haipo kwenye maandiko ya kale.

Warumi 14:6 Yeye aadhimishaye siku, huiadhimisha kwa Bwana; naye alaye, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; tena asiyekula, hali kwa Bwana, naye pia amshukuru Mungu.

Andiko lisemalo na Yule asiyejali umuhimu wa siku, na Bwana hamtilii maanani huyo pia limerukwa ama kuachwa kutoka kwenye maandiko haya (tazama kitabu cha fasiri cha Companion Bible, n.hadi aya ya 6). Andiko linahusu utoaji dhabihu wa wanyama kwa sanamu na iwe kuwa ni wanyama waliosafi ama la. Hali iliyochukuliwa kwenye kanisa ilikuwa ni kwamba kama ilikuwa haijulikani, ilipaswa ichukuliwe kuwa ni kama haikutolea dhabihu. Aliyedhaifu wa imani alichagua kutokula nyama hizi kabisa ili kwamba dhamira yake isihukumiwe. Kwa hiyo, hali hii ya kujinyima haikuwa ikihusu itikadi hii ya uvijiteriani bali ilkuwa ni kwa ajili ya hali iliyoonekana kama ni ya kujitia unajisi na sanamu. Hii ilikusudiwa kuzibagua na kuziweka kando nyama zilizokuwa na unajisi. Mtazamo huu hatimaye unalifafanua andiko la mtume Paulo, ambayo ni miongoni mwa maandiko ambayo yamechukuliwa kutoka kwenye waraka wa 2Petro, ambao ulikuwa unaelezea ushindani wa maangamizo ya kila mmoja. 

Warumi 14:14-23 Najua, tena nimehakikishwa sana katika Bwana Yesu, ya kuwa hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake, lakini kwake yeye akionaye kitu kuwa najisi, kwake huyo kitu kile ni najisi. 15 Na ndugu yako akiingia huzuni kwa sababu ya chakula, umeacha kwenda katika upendo. Kwa chakula chako usimharibu mtu yule ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake. 16 Basi, huo wema wenu usitajwe kwa ubaya. 17 Maana ufalme wa Mungu si kula wala kunywa, bali ni haki na amani na furaha katika Roho Mtakatifu.18 Kwa kuwa yeye amtumikiaye Kristo katika mambo hayo humpendeza Mungu, tena hukubaliwa na wanadamu. 19 Basi kama ni hivyo, na mfuate mambo ya amani na mambo yafaayo kwa kujengana. 20 Kwa ajili ya chakula usiiharibu kazi ya Mungu. Kweli, vyote ni safi; bali ni vibaya kwa mtu alaye na kujikwaza. 21 Ni vyema kutokula nyama wala kunywa divai wala kutenda neno lo lote ambalo kwa hilo ndugu yako hukwazwa. 22 Ile imani uliyo nayo uwe nayo nafsini mwako mbele za Mungu. Heri mtu yule asiyejihukumu nafsi yake katika neno lile analolikubali. 23 Lakini aliye na shaka, kama akila, amehukumiwa kuwa ana hatia, kwa maana hakula kwa imani. Na kila tendo lisilotoka katika imani ni dhambi.

Andiko hili halielezei kuhusu makundi ya nyama safi za zile najisi yaliyotolewa kwenye sheria. Kama ilikuwa hivyo, basi Paulo hawezi kuwa ni Mtume wa Kristo. Tunajua kwa mujibu wa sayansi kuwa makundi ya vyakula na nyama ni cha msingi sana. Zaidi ya yote, tunajua kwamba kanisa lilishika sheria hizi na kanuni za makundi haya ya wanyama safi na najisi kwa kipindi cha karne nyingi. Hata baada ya ukengeufu kuanza, kanisa likiwa kwenye mateso lililendelea kushika sheria hii ha limeendelea kufanya hivyo hadi leo. Na ndiyo maana mtume Paulo alilazimika kuwafundisha cha kufanya kwa ajili ya sadaka zilizotolewa dhabihu kwa sanamu, vinginevyo basi asingekuwa anasema mambo yake kwa mujibu wa sheria na ushuhuda (Isaya 8:20). Anaongelea mahala pengine kuhusu vyakula vilivyofanywa na kutolewa ili vipokelewe kwa shukurani. Kwa hiyo andiko hili linaelezea aina ya vyakula zilizotolewa sadaka kwa sanamu. elsewhere about foods made to be received with thawaln walioacha kuzitumia walikuwa ni wale waliodhaifu wa imani. Na kwa hiyo kulikuwa hakuna namna nyingine ya kufanya wala mashiko ya namna hii ya kuacha kwao kuzitumia uliotolewa kwa nia ya kukomesha aina hii ya sadaka kwa kipindi cha karne nyingi kadhaa.

Mtume Paulo alipewa maelekezo ya wazi kwa masuala mawili na Roho Mtakatifu ili alindwe na jambo hili. Alitangaza akielezea la kufanya mara moja kabla hayapewa maelekezo na alirudiwa kwa ajili ya makosa yake. Namna nyingine ya kufanywa tatizo kubwa kwenye Kanisa la Mungu katika siku za mwisho na ilihitajika maelekezo ya wazi na Roho Mtakatifu.

Mafundisho ya Mapepo ya Siku za Mwisho

Mafundisho ya mapepo ya siku za mwisho yameelezewa na kufafanuliwa kwa kina kwenye jarida la Mafundisho ya Mapepo Katika Siku za Mwisho (Na. 48) [The Doctrines of Demons of the Last Days (No. 48)]. Mafundisho mawili yanayodaiwa kuwa ni ya mapepo kufundishwa katika siku za mwisho yanahusu ndoa na hii imani ya ulaji mbogamboga tupu au uvujiteriani. Mtume Paulo alifundisha kuhusu ndoa alifundisha kwa wazi akisema wazi kuwa hakuna na maelekezo yoyote kuhusu jambo hili aliyopewa na Roho Mtakatifu. Mara ya pili aliposhughulikia kufundisha jambo hili alikuwa na maelekezo maalumu. Hebu na tutathmini maelezo haya.

 

Kwenye waraka wake kwa Wakorintho, Mtume Paulo anatoa fursa ya kuchagua kwa alivyosema kuwa ilikuwa ni hivyo tu, na kwamba ulikuwa ni ushauri wake tu na sio amri kutoka kwa Bwana.

1Wakorintho 7:25-40 Kwa habari za wanawali sina amri ya Bwana, lakini natoa shauri langu, mimi niliyejaliwa kwa rehema za Bwana kuwa mwaminifu. 26 Basi, naona hili kuwa jema, kwa ajili ya shida iliyopo, kwamba ni vema mtu akae kama alivyo. 27 Je! Umefungwa kwa mke? Usitake kufunguliwa. Umefunguliwa? Usitafute mke. 28 Lakini, kama ukioa, huna hatia; wala mwanamwali akiolewa, hana hatia; lakini watu kama hao watakuwa na dhiki katika mwili nami nataka kuwazuilia hayo. 29 Lakini, ndugu, nasema hivi, muda ubakio si mwingi; basi tokea sasa wale walio na wake na wawe kama hawana; 30 na wale waliao kama hawalii; na wale wafurahio kama hawafurahi; na wale wanunuao, kama hawana kitu. 31 Na wale wautumiao ulimwengu huu, kama hawautumii sana; kwa maana mambo ya ulimwengu huu yanapita. 32 Lakini nataka msiwe na masumbufu. Yeye asiyeoa hujishughulisha na mambo ya Bwana, ampendezeje Bwana;33 bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe. 34 Tena iko tofauti hii kati ya mke na mwanamwali. Yeye asiyeolewa hujishughulisha na mambo ya Bwana, apate kuwa mtakatifu mwili na roho. Lakini yeye aliyeolewa hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mumewe. 35 Nasema hayo niwafaidie, si kwamba niwategee tanzi, bali kwa ajili ya vile vipendezavyo, tena mpate kumhudumia Bwana pasipo kuvutwa na mambo mengine. 36 Lakini mtu awaye yote akiona ya kuwa hamtendei mwanamwali wake vipendezavyo, na ikiwa huyo amepita uzuri wa ujana wake, na ikiwapo haja, basi, afanye apendavyo, hatendi dhambi, na awaruhusu waoane. 37 Lakini yeye aliyesimama kwa uthabiti wa moyo wake, hana sharti, lakini aweza kuyatawala mapenzi yake, tena amekusudia moyoni mwake kumlinda mwanamwali wake, atatenda vema. 38 Basi, hivyo na amwozaye mwanamwali wake afanya vema; na yeye asiyemwoza atazidi kufanya vema. 39 Mwanamke hufungwa maadamu mumewe yu hai, lakini ikiwa mumewe amefariki, yu huru kuolewa na mtu ye yote amtakaye; katika Bwana tu. 40 Lakini heri yeye zaidi akikaa kama alivyo; ndivyo nionavyo mimi, nami nadhani ya kuwa mimi nami nina Roho wa Mungu.

Ushauri huu wa Paulo haukuwa mzuri, bali uliruhusiwa kwa kuwa ulisaidia kutimilika kwa malengo mengine. Ulikuwa ni sahihi katika roho ambaye alipewa na kutumika kwenye ayah ii kama onyo kwa wale wanaomtumikia Mungu. Zaidi ya yote lilikuwa ni fungu la kuwatia moyo tu kwa wale wasio na watoto na kwamba walikuwa ni matoashi tu kwa kuzaliwa au kwa kuamua kwa ajili ya imani. Watu wa aina hii walikuwepo kipindi kile na idadi kubwa tu ya watu walikuwepo walioamua kuwa matowashi (soma canon 21 ya kitabu cha the Apostolic Canons, ANF, Vol. VII, uk. 501 fungu linalosema kutiamoyo kuwekaji waa wakfu kuwa maaskofu). Kwahiyo ushauri huu ulikuwa sahihi kwa maana kwamba ulisaidia kufikia kuwatiamoyo wale waliokuwa kwenye hali ya kutokuwa na fursa kanisani. Watu aina hii wapo hadi sasa kwenye imani na wanapitia vipindi vigumu sana na maumivu kwa yale waliyoyapoteza na wanahitaji kutiwa moyo wanapokuwa kwenye huduma kumtumikia Mungu. Hata hivyo haikuwa na maana au haimaanishi kuwe na msimamo wa kuzuiqa watu kuoana kanisani. Roho Mtakatifu aliingilia kati kwa kuwa jambo hili na linguine yangeweza kuasababisha matatizo makubwa ya kiimani kwa miaka kadhaa iliyofuatia baadae. 

1Timotheo 4:1-5 Basi Roho anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani, wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani; 2 kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe; 3 wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru wajiepushe na vyakula, ambavyo Mungu aliviumba vipokewe kwa shukrani na walio na imani wenye kuijua hiyo kweli. 4 Kwa maana kila kiumbe cha Mungu ni kizuri, wala hakuna cha kukataliwa, kama kikipokewa kwa shukrani; 5 kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.   

 

Hapa Mtume Paulo anaweka wazi kwamba Roho amesema kwa wazi sana kwamba mafundisho haya ya mashetani yatatokea katika siku za mwisho. Tunajionea mafundisho hayo siku hizi yakifundisha kwa kiasi kikubwa sana kuliko ilivyokuwa huko mwanzoni. Hadi kufikia karne hii. Mafundisho ya mashetani kuhusu maisha ya useja au yanayokataza watu kuoa, ambayo pia hufundishwa sio miongoni mwa Waorthodox na kwenye Kanisa Katoliki la Rumi, bali yamo pia kwa Wanostiki, Wamontana, Wanicheani na wale wanaoitwa Wapuritani au imani ya Wakathari kwa kipindi cha karne kadhaa zilizopita. Imani za Kivijiteriani na wale wasiokunywa kileo kwa upande mwingine zilianzishwa ama kutokea kwa Wanostiki, Wamontana, Wamanicheani na Wakathari na warithi wao. Dini hizi za uwongo kwa kiasi kikubwa au kwa namna moja au nyingine walianza kw kutumia kivuli cha kujiita kuwa ni Makanisa ya Mungu kwa kipindi cha karne nyingi zilizopita, na maranyingi wakililetea mateso kanisa.

 

Unostiki wa Kiasetiki

Fundisho la Waasetiki asili yake lilikuwepo tangu mwanzo miongoni mwa imani za Usiri za kale na hatimaye Wapythagoreans waliingiza fikra za Kimagharibi. Kupata ushawishi mkubwa kwa dini za Mambosiri na ya kimafumbo kulikotokea huko Afrika Kaskazini kuliiona na kuichukulia hii kuwa inafaa na inashawishi wengi na inapendwa na makundi ya kiuchumi na kijamii yaliyojiengua huko Alexandria yakiwa kama ni nguvu inayopingana na imani na sheria za Kiyahudi. Imani hiyo iliitwa Unostiki iliyotokana na neno gnosis au maarifa ambayo itikadi yake inatokana na imani za kale zilizokuwa zinawaaminisha watu mambo yasiyofikirika akilini na kuyaamini kuwa kweli. Ilikuwa ni uasetiki ambao walikuwa wanaaminishwa imani ya kujizuia ulaji wa nyama. Kundi linguine la Wanostiki liliendelea na kushika kasi huko Syria na waliendelea kufundisha mlilingo wa mafundisho ya kiasetiki na fikra za wanaopinga sheria za Mungu. Mojawapo ya Chuo kilichikuwa maarufu zaidi ni kile cha Simon Magus.

 

Vyuo vikuu viwili vya Wanostiki vilikuwa ni kile cha Alexandria na kingine kilikuwa huko Syria. Kile cha Alexandria ambacho kiliwajumuisha wa imani ya Basili, Valentine na Ophites, na ndiko tunakutana na itikadi za Kiplatoni na theori ya mtokezao inazidi kupata mashiko. Kwenye shule za Syria ambayo ilijumuisha imani za Saturninus, Bardesanes na Tatian, tunaona kwamba kulikuwa na imani za Kiajemi na Wenye kuamini miungu wawili ndizo zilishika kasi.

 

Licha ya mafundisho yaliyokuwa wanaenezwa na shule mbili hizi, kuliibuka imani nyingine ya Marcion iliyoibuka kutoka Asia Ndogo. Schaff anadai kwamba hii ilitokana na umaarufu wa Mtume Paulo na nyaraka zake mahiri zenye ujumbe wa injili huru zilizokuwa zinapinga itikadi kali za upande mmoja wa shilingi au uligalism (soma kitabu cha Schaff, cha Historia ya Kanisa la kikristo [The History of the Christian Church), Vol. 2, Eerdmans, Michigan, 1987 reprint, p. 459)]. Schaff anaonekana kuwa alielewa vibaya ujumbe uliokuwa kwenye nyaraka za Paulo kuhusiana na jambo hili (soma kwenye jarida la Kazi za Maandiko ya Torati – au MMT (Na. 104) [The Works of the Law Text - or MMT (No. 104)] na Mwanndamano wa Torati (Na. 252-Na. 263) [Law series (No. 252-No. 263)].

 

Unostiki unaonekana kwa namna tatu mbalimbali kutegemea mahala ulikojimegua. Imani hii inatokana na mseto wa Kipagani uliojichanganya kati ya imani ya Kiyahudi na Kikristo. Kwa hiyo haishangazi kuona waandishi wa Kiyahudi wakiyaunga mkoco mawazo ya Unostiki huu ulio na mseto wa kiasetiki tangu zama za Agano la Kale ambayo inakusudia kuondoleambali maana kusudiwa ya sheria na unabii zilizotolewa kwenye Agano la Kale. Maelekezo haya yaliathiri kwa kiasi kikubwa huko Kabbalah na yanakutikana miongoni mwa marabi wao waliokuwa maarufu sana. Wale wanaoitwa na kujulikana kama waandishi wa Kiyahudi wale wanaoitwa kuwa ni waandishi wa Kikristo wanaweza wote wawili kuunda imani hii ya kiasetiki kwa mafindisho yao yanayoandikwa kwa kuyatumia vibaya Maandiko Matakatifu ya Biblia nah ii haipaswi kutushangaza tukiona hivyo. Hawaendani na kwa mujibu wa mafundisho ya kibiblia, bali wanaiunga mkono imani potofu ya Kinostiki ambayo yamechanganywa na imani zote mbili ambayo wanaendelea kufundisha. Kujua hivyo ni muhimu sana katika kuelewa asili potofu na uwongo wa mafundisho yao ilivyo.

 

Schaff anaendela kuamini kwamba hawa wote, yaani Wasimoni, Wanikolai, Waofiti, Wakarpokratiani, Waprodikia, Waantitakte, na Wamanikeani wapo kwenye mrengo wa daraja la kipagani la Kinostiki. Anaamini kuwa waumini wa imani za Cerinthus, Basilides, Valentine, na Justin wapo kwenye daraja na mrengo wa Kiyahudi na la Saturninus, Marcion, Tatian, na Encratites mgawanyo wa mrengo wanaochanganya ya imani ya Kikristo (ibid., p. 460). Lakini anaonyesha kwa usahihi kwamba tofauti iliyoko inafanana sana. Imani yote ya Kinostiki ni ya kipagani katika mwelekeo na asili yake na inapingwa na imani ya kiaseniki sawa na kuwa kwenye itikadi asilia ya Kiyahudi ya Agano la Kale na na imani ya kikristo ya Agano Jipya. Anasema:

Imani ya Kiyahudi ya kile kinachojulikana kama kuuingiza Unostiki kwenye imani ya Kiyahudi ni dhana isiyo na maana ya kiuandishi, iwe ni kutoka shule ya Alexandria au ile ya Cabalisti (ibid.).

 

Kwenye uandihi wake, sehemu ya 1 hadi 460 anamtaja maandishi ya Gibbon kuwa yanatuama kwa mbalia kutoka kwenye mtazamo wao wa kupinga imani ya Kiyahudi kunawafanya waelezee msimamo wake ulio kinyume na Agano la Kale. Jambo la muhimu hapa ni kwamba masuala ya Wakabbalist ambayo yamejiingiza kwenye falsafa za Kiyahudi, yakitafuta kuwa na ushawishi mkubwa kwenye falsafa ya Agano la Kale ambayo uasetiki nah ii ieenea kwa kiasi kikubwa sana kwenye imani ya Kiyahudi.

 

Schaff anawaweka Wanostiki kwenye makundi matatu, yaahi Wanostiki wadadisi au wakereketwa wa imani yao kwa mungu ambapo anawaweka Wabasiliani na Wavalentini kwenye kundi la wanamatendo na waasetiki (Marcion, Saturninus na Tatian); na wapinga sheria kwenye kundi la kile alichokiita vikundi vya Simonians, Nicolaitans, Ophites, Carpocratians, na Antitactes.

 

Simon Magus kuenda ndiyo imani iliyopata kupendwa sana kuliko nyingine zote miongoni mwa dini za imani-siri za Kikristo (Matendo 8:4-24). Simon Magus alibatizwa na Filipo huko s baptised by Philip in Samaria yapata mwaka 40 BK na alitamani sana na kutafuta jinsi ya kupata uweza wa Roho na wa kutenda miujiza kwa kununua kwa fedha na alifukuzwa na Petro. Justin Martyr, mwenyewe ambaye pia alikuwa ni mkazi wa Samaria, alisema kuwa Simon alikwa ni mwenyeji wa Gitthon huko Samaria (Kwa mujibu wa kitabu chake cha Watetea dini au Apol. 1, 26). Kulikuwa na mahali palipokuwa panaitwa Gittai, ambapo sasa panaitwa Kuryet Jit, karibu na Flavia Neapolis au Nablus, nyumbani kwa Justin Martyr (imeandikwa kwenye kitabu cha Schaff, ukurasa 461, fn. 2). Hata hivyo, Josephus aliandika kuwa alikuwa ni mwanamazingaombwe au mchawi wa Kiyahudi kwa kipindi kile ndivyo alivyojulikana na kwamba alikuwa ni mwenyeji wa Cyprus na ni rafiki wa Liwali Felix. Inaonekana kuwa alikuwa ameajiriwa na hasimu wa mume wake, Drusilla mke wa mfalme Azizus wa Emesa, huko Syria. Felix alitarajia kumuoa yeye (kwa mujibu wa kitabu cha Antiquities of the Jews XX, 7, 2). Kwa hiyo habari hii ni mojawapo kati ya jukumu lingalilo lazimika la kuhama kutoka Samaria hadi Syria ili kufikia malengo aliyoayakusudia mtawala au liwali. Ubatizo kanisani ulitangazwa mbali na ujuzi au uroho wa kujipatia fedha. Jina hili la simony lenye maana ya mpenda kujitajirisha bado lingali linatumika na kwa kiasi kikubwa kwa maafisa wa kanisa.

 

Simon lijionyesha mwenyewe kuwa kama mchomoko au alama ya miungu na aliwavuta wengi wamfuate huko Samaria kwa uchawi wake. Kwa hiyo anaonekana kuwa ni miongoni mwa Wayahudi waliokuwa kwenye imani za siri, na huenda alikuwa ni miongoni mwa wabashiri au wapigaramli wa Kabbalism aliyekuwa anafanya kazi zake nje ya kiwango kilichowekwa cha uweza wa kawaida wa Wayahudi. Irenaeus anamtaja yeye kuwa ni baba au mwanzilishi wa ainazote za mafundisho ya uwongo na wa Unostiki kwa ujumla. Hii kwa kweli haikuwa sahihi kama jinsi Unostiki ulivyoonekana na kukubalika huko Misri kipindi cha kale zaidi kabla ya kuanza kwa hii. Inaonekana kuwa aljkuwa anaamini Unostiki na alikuwa.wa muhimu sana kwenye mwenendo wa vuguvugu hili, lakini itikadi yake ya Kinostiki ilikuwa na dhana na mitindo ya zama kale. Alijitangaza mwenyewe kuwa ni tunda lililofanyika mwili tu katika kuzaliwa aliyetokana na roho iumbayo na sababisho la mwenendo wa ulimwengu wote. Mwenza wake kimahusiano ni mwanamke kahaba wa zamani aliyeitwa Hellena wa Tiro, alitangazwa kuwa ni kiumbe aliyefanyizwa mwili akitangazwa amepokea roho za ulimwengu. Wafuasi wake walimuabudu wakimpa heshima ya kuwa ni kiumbe kwenye akili nyingi na mwenye uwezo wa kuokoa kuwahi kuwako kwenye karne ya tatu. Dini hii potofu ilikuwa inavunja maadili kwa kufanya machafu mengi kwa misingi yao na matendo yao. Justin Martyr anaandika kwamba alifanya kama hivyo kwa kumuelezea Saneta wa Kirumi na watu waliompa heshima ya kimungu na wakamjengea sanamu na kuisimamisha kwa heshima yake, ambaye inasemekana kuwa ilikuwa ni kama kisiwa huko Tiberio (Apol. 1. 26, 56). Jambo hili sio sahihi na linachanganya na ile sanamu iliyogunduliwa mwaka 1574, ambayo imeandikwa maneno yasemayo Semoni Sanco Deo Fidio sacrum etc. This refers to Semo Sancus au Sangus a Sabine-Roman ambaye ni mungu aliyekuwa akimjua (sawa na inavyosema Schaff, p. 462, fn. 1). Kwa kweli haitendanishi utengenezaji na kusimamisha kumbukumbu nyingine huko Roma nah ii ngeweza kuwa ni sababu ya kurudiwa kwa makosa kwa mujlbu wa kitabu cha Irenaeus (Adv. Her. 1. 23, 1) na Tertullian (Apol. 13) na pia Eusebius. Schaff anamtaja Hippolytus aliyekuwa akiishi huko Roma ambaye hakutaja kabisa hilo (ibid.). Wafuasi wa Simonians bado wanatajwa katika kuwakilisha jina la Wanostiki kwa ujumla kwenye baadhi ya maandiko. Imani za waanti nomia au wapinga sheria zitaelezewa mahala pengine popote. Dini hizi zilifanya maovu na machafu makubwa sana na ilikuwa ni kanuni ya imani yao kufanya mambo haya machafu na hawakuwa wasetiki kwa namna hiyohiyo wakiwa kama vikundi vya Kinostiki vilivyoenea hadi mbali na hawakuweza kubakia kwa ajili ya mtindo wa kutoongezeaka katika maisha yao.

 

Mnostiki aliyekuwa anaitwa Cerinthus alidaiwa kuwa alikuwa Myahudi wa Kimisri aliyesoma huko Alexandria chini ya Philo kwa mujibu wa taarifa za kimapokeo zilizokusanywa na Epiphanius. Taarifa hizi za kimapokeo zinadai kwamba alikuwa ni mmojawapo wa mitume wa uwongo waliompinga Mtume Paulo na alitaka tohara ya mwili kanisani (Wagalatia 2:4; 2Wakorintho 11:13).

 

Anadhaniwa pia kuwa alipingana na Yohana aliyedaiwa kuwa aliiacha wazi bafu akidai kuwa itaanguka wakati Cerinthus alipokuwa huko. Alifundisha utofauti wa Yesu aliyekuwa hapa duniani na Kristo wa mbinguni aliyepaa mbinguni machoni pao. Mtazamo huu pia unaangukia na ule wa Mpingakristo. Alikuwa ni Myahudi mwenye kujulikana na maarufu. Schaff anajaribu kumfungamanisha na Waebioni (ibid., p. 465). Pia alikuwa ni mbashiri miaka au mtarajia millennia, imani iliyokuwa imejikita makao yake huko Yerusalemu. Hii imerukwa na Irenaeus ambaye yeye mwenyewe alikuwa ni mbashiri miaka lakini aliandikwa na Caius, Dyonisius (kwenye kitabu cha Eusebius), Theodoret, na Augustin (kitabu cha Schaff, ukurasa 466). Hizi zilikuwa ni aina za kale zilizohusianishwa na mambo ya theolojia ya kanisa lakini zilitangulia kupindisha tafsiri zake katika uparadigimu wa Kinistiki. Inawezekana kuwa Cerinthus alihesabiwa kuwa ni mhimili wa imani hii ya Kinostiki ambao walikuwa ni wapingaji wakubwa sana wa sheria za Agano la Kale. Inaonekana kuwa alijaribu kulipinga kwa kutumia mbinu za kwenda hatua kwa hatua, bali pia alikuwa na wadhulumaji miongoni mwa barua zilizoitwa za wenye itikadi kali au waorthodox. Hii ilikomesha mkengeuko uliofuatia baadae katika karne ya kwanza.

 

Waalimu wa kinostiki wa karine ya pili walianza kipindi cha utawala wa mfalme Hadrian (117-138 BK) pamoja na mfumo mzuri wa kimaendeleo wa zama karne ya kwanza, ambayo ni za Wabasiniani. Imani yao ilikuwa ni ya kuamini Mungu mmoja na sio ya miungu miwili lakini nyaraka za baadae zinajaribu kumjumuisha yeye kuwa alikuwa ni wa itikadi ya miungu wawili.

 

Wabasiliani walianzisha itikadi yenye mtazamo wa kimafundisho tu kuhusu Kristo, na ambao ndiyo uliendeleza imani ya Kristo wa nafsi tatu. Imani hii ilidai kwamba Kristo alikuwa mwana wa akoni wa kwanza, mwana wa akoni wa pili na mwana wa Mariamu. Upatanisho wa wana wa Mungu kwa viumbe wote ambaye alikuwa ni Mungu aliyewahi kuishi huko nyuma zaidi aliathirika kwa ajili ya kuzaliwa kwake Kristo kutokana na waakoni hawa ambao walikuwa wasaidizi wake. Wafuasi wake wanadhaniwa na kuaminika kwa namna fulani walikuwa wameachwa kimatendo na waliharibu mfumo au imani ya mwanzilishi wao. Kundi hili lilibakia huko Misri hadi karne ya nne, na kwa mujibu wa Sulpicius Severus, baadhi ya mafundisho yake yaliletwa hadi Uhispania na Marcus wa Memphis (sima kitabu cha Schaff, uk. 472).

 

Kundi hili pamoja na vingine kama vile vya Ophites, Perates na Valentinians vimetajwa kwenye Injili ya yohana maranyingi kabla ya katikati mwa karne ya pili.

 

Valentine anadhaniwa kuwa alikuwa na umuhimu mkubwa sana kati ya wanatheori wa Kinostiki. Irenaeus alielekeza kazi yake ya uandishi kinyume au dhidi yake. Hippolytus anadai kuwa alikuwa Mplatonisti na Mpythagoreani (Schaff, uk. 472-3). Alikuwa pia na hazina kubwa ya masomo ya Wamisri na Wayahudi aliyepata elimu yake huko Alexandria (soma kitabu cha Epiph. Her. XXXI. 2; sambamba na Schaff, uk. 473). Alijiondoa kutoka kwenye kanisa la kiorthodox, kwa mujibu wa nakala za vitabu vya Tertullian, kutokana na taadhima kuu. Alikwenda huko Roma akiwa ni mwalimu wa elimu ya kawaida ya kidunia kipindi cha utawala wa kipapa wa Hyginus (137-142 BK), akabakia hivyo hadi kipindi cha utawala wa Papa Anicetus (154 BK) (soma Iren. III, 4,3). Waumini wa imani ya Valentianiani walikuwa wakizuiwa kabla ya mwaka 140 BK na wanatajwa na Justin Martyr (soma kitabu cha Syntagma dhidi ya aina zote za Mafundisho ya Kizushi kilipotea lakini iliandikwa kwenye kitabu cha First Apology au Wateteadini wa Kwanza). Roma ikiwa ni kitovu cha utawala ama dola, ilijikuta inakuwa ni kitovu cha madhehebu yote na aina zote za uzushi wa kidini. Valentine au Valentinus alikuwa miongoni mwa Wanostiki wa kwanza aliyefundisha huko Roma pamoja na Cerdo na Marcion. Hii ilifanya kuwe na matokeo muhimu sana kwa matokeo mazuri kwa mambo fulani kwenye teolojia ya Kikristo. Alitengwa kwenye dini yake na alifariki huko Cyprus mnamo mwaka 160 BK (Schaff, uk. 473). Schaff anafikiri kwamba kanisa lilikuwa limekuwa limezungushiwa boma ili waathirike, lakini anadai kutoka na mtazamo wa uorthodox wa kisasa. Mabadiliko yaliyopitia kipindi chote cha kina Hyginus na Anicetus yanamaana kubwa sana. Teolojia ya Valentine inajaribu kutambulisha ujuzi wa kibiblia wa mtaguso wa tatu, ambao anaupangilia kama ni vipindi dahari vitatu inayoelekea kuzimuni. Kjtisto na Sophia wa Roho Mtakatifu ni wa mwisho miongoni mwa watatu.

 

Shule ya Valentinus inagawanya kwenye matawi matatu; wakimagharibi na wa Kiitaliano. Axionicos au Ardesanes (Bardesanes) alifundisha masomo yanayohusu mwili wa Yesu Kristo wa kiroho na kimbinguni, kwa kuwa Sophia au Roho Mtakatifu alimjia Mariamu. Shule ya Kiitaliani iliyokuwa chini ya Heraclion na Ptolemy ilifundisha kwamba mwili wa Kristo ulikuwa sio kitu dhahiri bali ni wa hisia, na kwa ajili hii ndiyo maana Roho alishuka juu yake alipokuwa anabatizwa. Dini hii ilionekana kushabihiana kwa karibu na ile ya orthodox kwa wazao wake zaidi kuliko ya mshika dau. Hapa tunaona mapingamizi ya imani hizi.

 

Maranyingi Origen anawalaumu hawa kwa kukosakwao kuwa wenye kuyaona mambo kiroho zaidi wanapokuwa wanaitafsiri Injili ya Yohana (kitabu cha Grabe Spicil. II. 83-117; cf. Schaff, p. 479 fn. 2). Ptolemy, kwenye Waraka wake kwa Flora, aliandika kuwa uumbaji wa dunia na Agano la Kale lisingeweza kuendelea kutoka kwa Mungu aliyejuu sana. Anaweka madai yake kutoka kwenye mapokeo ya kiinjili yaliyoko kwenye Yohana 1:18 kuhusu jambo hili. Mungu tu ndiye aliye mwema (Mathayo 19:17) na kwa hiyo, hawezi kuwa muumbaji wa hii dunia huku akiwa ni muovu mkubwa kiasi hicho. Mtazamo huu unaonyesha upungufu wa kutojua na ukosefu wa maarifa ya kuyajua Maandiko,Matakatifu kwa upande wao na kwa wale wanaohubiri imani ya Kikristo kwa ujumla hata kwenye kipindi na hatua hii.

 

Mwanafunzi mwingine wa shule ya Valentine, Marcos, aliyefundisha huko Asia Ndogo na huko Gaul katika nusu ya pili ya karne ya pili alitokea kwenye mfano wa kinumerali wa Pythagorean na Kabbalist kwenye shule ya kitheori ya Kinostiki. Mbardesanes wa Kisyria na Harmonius wote wawili na Edessa, aliyeaminika kuwa ni mababa wa Wataalamu wa uimbaji tenzi wa Kisyria na hawajaonyesha dalili ya kuamini imani ya miungu miwili kwenye elimu dunia yao.

 

Mafundisho ya Kinostiki yametokana na mlipuko kamili kutoka kwenye imani yake ya kupinga imani ya Kiyahudi na ukosoaji wa kibiblia wa Marcion. Alikuwa ni mtangulizi wa imani ya kitabaka ya Agano la Kale na Nyaraka za Kichungaji. Hakuwa anafahamu uhusiano wa kiufunuo wa Biblia na kumuweka Kristo kwenye mgongaro na ufunuo wote uliopita huko nyuma. Mtazamo huu ulitangulia utangulizi wa Ukristo mamboleo wa Agano Jipya, ambao unawezakuwa hauelewi sjeria za Mungu au kuona mashiko yoyote ya uhusiano au heshima yake.

 

Schaff anashikilia kuamini kwamba Marcion

anawakilisha mkakati wa hali ya juu wa kupinga imani ya Kiyahudi na Upaulo bandia na ushirikina unaofanyika kwa kutumia maajabu na ishara za kiroho ambayo kwa bidii za kishabiki kwenye Ukristo kamili wa kizamani, kuondoa historia yate na kuibadili injili kwa ghafla, visivyo asili yake na ionekane kuwa ni kama kituko tu (uk. 483).

 

Marcion, mtoto wa askofu wa Sinope huko Pontus, alitengwa na ushirika wa kanisa na baba yake. Alikwenda hadi Roma katikati ya karne ya pili (yapata mwaka 140-155 BK). Kwa hiyo Roma ikawa ni kituo cha Unostiki ukiwa haukutokana na shule yoyote miongoni mwao. Alichukuliwa na kutiliwa maanani na Irenaeus, Justin Martyr na Polycarp, akiwa kama ni mfundisha uzushi zaidi kuliko wengine wote wa siku hizo. Alidai kuwa na nguvu mizania mbili au tatu. Uzuri na wema wa Mungu, ambaye alimfanya Kristo ajulikane kwanza, jambo baya linaloongozwa na ibilisi ambaye kwamba upagani au umataifa (Schaff) vikiwa ni mali ya muumba dunia mwema na mwenyehaki ambaye kwaye mwisho mbaya, Yahova mwenye hasira, Mungu wa Wayahudi. Schaff anaamini kwamba waandishi hawahawa ndio wamepunguza kanuni za Marcion na kuzigawanya kwa mbili. Marcion alikataa dhana ya kuibuka kwa imani ya kipagani. Mapokeo ya kisiri na tafsiri za kuchukulia kila kilichoandikwa kiroho ya Wanostiki. Hana imani ya kuwaamini kina Pleroma, Aeons, Dynamics, Syzigies, au Sophia mteseka kwenye imani na mafundisho yake. Anatenga na kuondokana na ukuaji wa taratibu na kila kitu kisichoandaliwa kwa ghafla na kwa dharura. Imani yake ilikuwa ikikosolewa sana na ycnyekuonysha ubaguzi zaidi kuliku kuwa ya kisiri na fumbo nay a kifalsafa (Schaff, uk. 485). Alisema kwamba Ukristo hauna uhusiano na ya nyuma iwe ni kwenye imani ya Kiyahudi wala kutoka kwenye imani za mataifa wapagani. Kristo hakuzaliwa bali alishuka tu ghafla huko Kapernaumu, katika mwaka wa kumi na tano wa Tiberio akiwa kama ni mtu aliyekuja kumdhihirisha Mungu aliye mwema aliyemtuma. Anadaiwa kuwa hakuwa na mahusiano yoyote na Masihi wa Agano la Kale ingawa alijiita mwenyewe kuwa ni Masihi kwa namna ya kujitambulisha tu (kitabu cha Schaff, kurasa 486-486). Waliruhusu wanawake kubatiza na kufundisha ubatizo wa kuwawakilisha wafu au kwa niaba ya waliokufa (Schaff, uk. 487).

 

Marcion alikuwa ni mpenda ugomvi na machafuko na pia alikuwa mpinga sheria lakini pamoja na kuwa hivyo anadhaniwa kuwa alikuwa kwenye daraja la juu la wafundishaji imani ya Kinostiki ya kiasetiki.

Marcion alifundisha na kutenda hali ya nidhamu ya kujithibiti mwenyewe ya kisetiki, ambayo sio kwamba ilitokana na sikukuu zote za kipagani, bali hata kwenye ndoa, mwili na mvinyo. (Aliruhusu samaki). Angeweza kumpata Mungu wa kweli katika asilia na sio zaidi ya historia. Aliwakubali kuwabatiza watu walioolewa peke yao na kula kiapo cha kuwa watadumu kwenye imani ya wenye kujinyima au kujizuia kushiriki matendo ya ngono (Tertullian I. 29; IV. 10 kama ilivyoandikwa na Schaff uk. 486).

 

Dini ya Marcion ilienea katika nchi za Italia, Misri, Afrika Kaskazini, Cyprus na Syria. Wanafunzi wake ambao waliwajumuisha kina Prepo, Lucanus (Waashuru), na Apelles, walirahisisha mjongeo wa kiutatu wa kipagani na wa Kiyahudi huenda walifanya hivyo kwa nia ya kuwavutia wao. Upokeaji wao wenye udhati na moyo na utayari wao kuyapokea mateso uliwafanya wawe hatari kwa kanisa (soma kitabu cha Schaff, uk. 487). Waliishia kwenye karne ya tano licha ya mfalme Constantine kupiga marufuku uhuru wa kuabudu. Waliendelea kuwepo hadi karne ya saba wakati ulipoitishwa mtaguso wa Trullan mwaka 692 ingawa ilionekana dalili kuwa waliachilia fursa ya kufanya upatanisho na kuchangamana (Schaff, ibid.). Hatimaye tunasikia kilichofuatia ni kuundwa kwa mshikamano wa kinidhamu baada ya miaka mia mbili iliyofuatia, wakati ikiwa imejulikana na kuaminika kuwa walikuwa wamekoma kwa kipindi cha miaka mingi iliyokuwa imepita (tazama habari zake hapo chini). Kwa hiyo, imani hii ilidumu na kuendelea kwa kipindi cha karne kadhaa baade.

 

Wamanikeani

Nyingine miongoni mwa imani za Kikristo ambayo ilikuwa na warithi halisia na wa kweli ilikuwa ni wa Manichean ingawa waorthodox walikuwa wamekwisharithi baadhi ya mambo kutoka kwenye mafundisho yake.

 

Wanostiki walifundisha kwamba mambo hayo yalikuwa ni maovu yaliyokuwako ndani mioyoni mwao. Uwongo ulioendeshwa chini kwa chini uliokusudiwa na Wanostiki ulikusudia kutimiliza lengo lao la kuondoa kabisa uwepo wa mafundisho ya sheria za Agano la Kale. Ni Agano Jipya tu kwao ndio lilikuwa na umuhimu na maana pamoja na vitabu walivyovitunga walivyoviita kanuni ambavyo vilijumuisha baadhi ya maandiko na aya kadhaa nyingine, ambavyo havikuwa na mashiko yoyote na havijulikani chanzo cha mafundisho yake.

 

Waamini miungu miwili wa aina zote mbili za imani ya dini za Kinostiki na Ukristo wa Kimanicheani na Cathari au Puritans ambao waliwafuata wapo kwenye makundi mawili, wana wa nuru na wana wa giza. Shetani ambaye pia ni mfalme wa giza alifanya mashambulizi kwenye ufalme wa nuru. Walifundisha na kuamini kwamba Adamu ambaye alikuwa na nishati kubwa ya kutoa nuru na Hawa walikuwa ni viumbe walioumbwa na Shetani. Kaini na Abeli walikuwa ni wana wa Shetani na Hawa (wakidai kuwa Hawa alitenda dhambi na Shetani) lakini kwamba Sethi ndiye alikuwa ndiye mtoto wa Adamu na Hawa, na ndiye aliyekuwa nuru kamili. walilazimishwa hadi kwenye mazingira haya kwa sababu Abeli alikuwa mfugaji wanyama na kwa hiyo alikuwa ni mla nyama na kwa hiyo asingeweza kuwa ni mwana wa nuru.

 

Kwa kuwa kila jambo lilikuwa ni uovu, walishikilia kuamini kwamba ni kwa kujikita kwenye uasetiki tu ndipo mtu angeweza kumudu kuwa na mwili wa hali hii ya dhambi kwa ndani. Walifundisha mafundisho ya kujinyima ulaji wa nyama za wanyama wote, na kujinyima au kujizuia na unywaji wa vileo. Kwa kuwa Agano la Kale liliweka kazingira ya vinavyokatazwa na kisha kuruhusu kutegemea aina na mazingira, ndipo wao walifundisha na kuamini kuwa ilikuwa ni kazi mbaya ya Mungu muovu wa Wayahudi. Mkakati uliokuwa unaendelea kwa siri ulikuwa ni kumpinga na kumshambulia Mungu aliyeamuru kuandikwa kwa Agano la Kale na kuziweka kando kabisa sheria zake.

 

Kanisa la kwanza lilipingwa sana na mafundisho ya uwongo ya uvijiteriani na ya kuwazuia watu wasioe na unywaji wa mvinyo. Kwenye kitabu cha kanuni ya mitume, ambayo iliongezwa kwenye kitabu cha nane cha Katiba ya Mitume Watakatifu, muongozo kuhusu uongozi wa kanisa ni mambo muhimu sana yametolewa, sio tu kwa ajili ya huduma, bali pia ni kwa Wakristo walei. Kuhusu unywaji wa mvinyo umeelezewa na kufafanuliwa kwenye Katiba kwenye Kitabu toleo la VIII, sura ya XLIV. Kwenye mambo yanayokatazwa:

Kitabu kinachoitwa Canon 51 (Ante-Nicene Fathers, Vol. VII, p. 503) kinasema:

Iwapo askofu yeyote au mzee wa kanisa, au shemasi, au hata kwa kweli aliye miongoni mwa walio kwenye kundi la kikasisi, akijinyima kwenye masuala ya ndoa, yakimwili, na kunywa mvinyo visivyo kwa hiyari yake, ila kwa sababu tu ya kwamba anavichukia vitu hivyo, akisahau kuwa “vitu vyote viliumbwa vikiwa vizuri sana,” na kwamba “Mungu alimuumba mtu mume na mwanamke” na anamkufuru kwa wazi kabisa muumbaji, vinginevyo basi na avifanye yeye upya, au vinginevyo na aondolewe haki ya ushirika na afukuzwe atoke Kanisani, na vivyohivyo kwa muumini wa kawaida.

 

Canon 53 (ibid.) inasema:

Iwapo kama askofu yeyote au mzee wa kanisa, au shemasi anakosekana kuhudhuria kwenye siku za sikukuu na akikosa kushiriki kuula mwili au divai, basi na aondolewe ushirika, kama “na ateswe kwa kuondolewa fahamu zake au ku anyaushwe”,: na kuwa ni mwenye kusababisha tuhuma kwa wengi.

 

Canon 63 inasema:

Iwapo kama askofu au shemasi au hata yeyote aliye kwenye wadhifa wa ukasisi, akiula mwili pamoja na damu ya uhai wake, au chochote kilichoraruliwa na mnyama wa porini, au akila kilichokufa chenyewe kibudu, basi na aondolewe hadhi ya ushirika: kwa kuwa ni sheria yenyewe ndiyo iliyomkataza. Bali iwapo kama atakuwa yu miongoni mwa mwa waumini wa kawaida walei, basi huyo na aadhibiwe kwa kutengwa na kanisa.

 

Canon 64 inasema:

Iwapo kama mmoja kati ya wazee wa kanisa aikikutwa amefunga saumu siku ya Bwana, au siku ya Sabato, mbali na ile siku moja tu iliyoamriwa [yaani Siku ya Upatanisho], basi na apokonywe hadhi ya ushirika; bali ikiwa akifanya hivyo muumini wa kawaida mlei tu basi na aadhibiwe kwa kutengwa na kanisa.

 

Fungu hili la maandiko lilifanywa kwa lengo la kutumiwa kwenye kanisa siku za kale kabisa kabla ya Mtaguso wa Nikea (325 BK) ingawaje Harnack na baadae Schaff walishiriki kukamilisha uandishi wake (yaani waliunganisha kwenye vitabu vya saba ba nane pamoja sita vingine vilivyotungwa mwanzoni zaidi) mwaka takriban wa 340-360 BK. Inawakera Waamini Utatu au Watinitariani kwa kuwa inaelezea kuhusu maadhimisho ya sikukuu zilizoamriwa na pia ina mambo yale yale yaliyoafundishwa na Waarian au Waeusebiani waliokuwa kwenye madaraka huko Roma miaka michache kadhaa baada ya mtaguso wa Nicea.

 

Ukweli ni kwamba kanisa lilikuwa halijulikani sana kutokana na teolojia yake siku kabla ya mtaguso huu wa Nicea na ule wa Constantinople na kwamba huenda hii ni ndiyo ilikuwa sababu. Andiko hili lilijumuisha pia nukuu za vitabu vya Yudithi, Wamakabayo, Hekima ya Sulemani na Sira, pamoja na nyaraka mbili nyingine za Clement na Katiba. Hefele anasema kwamba Clement huyu hakupaswa kuwa ni yule Clement wa Roma aliyeandika vitabu vya canons (ibid., fn. 8 p. 505). Kwa makusudio yetu ni rahisi kuona ufutwaji kabisa wa hili kanisa linalopinga imani hizi za kivijiteriani, useja na kuzuia watu kunywa mvinyo wakiwa Wakristo. Lilikuwa ni jambo la kiimani na la lazima, na ndivyo inakuwa ni muhimu pia kuandika mambo haya ili kukabiliana na mafundisho ya kizushi yaliyokutikana kwenye imani hii ya Kinostiki na mafundisho yake ya kiasetiki.

 

Tunajionea kutokana na ufafanuzi huu hapa kuhusu chanzo asilia cha imani hii ya uvijiteriani na jinsi ilivyojiingiza kwenye Ukristo. Imetokana na imani Fumbo zikipitia kwenye imani ya Pythagoreani na Unostiki na ilikuwa unakataliwa kwenye Ukristo wabandia. Sheria za itikadi ya useja na uvijiteriani ni uzushi mkubwa ambao ulionywa na kukemewa kwa ukali sana na Roho Mtakatofi kupitia kwa Mtume Paulo. Imani hii hatimaye ilikuja kuungana na mafundisho mengine za kizushi ya kuzuia watu kunywa kileo au mvinyo, ambayo yalitajwa kuwa yatakujakuwepo pia na yalikemewa.

 

Imani hii ilikujakuwa ni msingi wa chanzo cha mafundisho haya ya kizushi kipindi cha Zama za Kati za Wacathari na yamemudu kuendelea hadi siku hizi za leo. Ufafanuzi kuhusu Uungu unatofautiana kama tulivyojionea na tutaendelea kuona lakini fundisho la msingi kilamara litabakia kuwa ni lilelile moja. Wanadai kuwa Mungu alibadilisha mawazo yake na ulaji wa nyama kamwe ni jambo lisilokubalika kwake. Pia wanasema kwamba kanuni za Agano la Kale hazizingatii haki na atazikomesha wakati atakapokuja Masihi (au mwisho) ukifika. Maisha baada ya kufa ni miongoni mwa mafundisho yaliyoendelezwa na kuenezwa na kufanywa kuwa ni fundisho linalohusu roho, wakiwafundisha watu kuwa inaondoka na kwenda mbinguni. Mafundisho haya ya uwongo ya waasetiki yaliendelea zama moja hadi nyingine hadi kufikia kwenye karne ya ishirini. Ni kutoka kwenye mfano mmoja tu ndipo tulipojionea kwamba utawala wa millennia utakaotokea huko Yerusalemu ndio ulioonekana kuwa utakuwa ni sahihi.

 

Wakathari wa Kiascetiki

Kipindi cha vuguvugu la vita ya wakrusedi wa Kialbigensiani hawa wavijiteriani wasekiti walikuwa ni wa Cathari ambao kwa kweli walikuwa ni wa uzao wa Montanist na wa Manichean waamini miungu miwili. Walikuwa ni watu waliokuwa wa maeneo mamoja ua zaid ya Vallenses au Wasabatati na walikumbwa na mateso kwa sababu ya msimamo wao wa mwenyendo wa ukengeufu (soma jarida la ee the paper Jukumu la Amri ya Nne kwenye Historia ya Makanisa ya Mungu Yanayishika Sabato (Na. 170) [The Role of the Fourth Commandment in the Historical Sabbath-keeping Churches of God (No. 170)]. Makanisa ya Mungu yamekuwa yakiitunza sheria za vyakula katika kipindi chake chote cha historia yake lakini kamwe hawakuwa wavijiteriani. Huu ulikuwa ndiyo ukweli ulioaminika na kutuzwa na matawi yote ya makanisa. Kanisa huko Uingereza na kwingineko hasa hadi kwenye sinodi ya Whitby lilikuwa linatunza sheria hii ya ulaji wa vyakula, lakini kamwe halikuwa la wavijiteriani (soma kitabu cha Edwards cha Christian England, (Wakristo wa Uingereza) Vol. I, pp. 25-27 ff).

 

Hawa wa Cathari waliitwa hivyo kutokana na utakaso wao na wakaitwa wapuritant kwenye dini ya Kinostiki. Jina hili lilikuja kujulikana hivyo sana kwa kuwatofautisha na inaonekana kuwa linachanganya pia na wa Chazzari, ambao imeelezewa vema kwenye jarida la Mgawanyo Mkuu wa Makanisa Yanayishika Sabato (Na. 122) [General Distribution of the Sabbath-keeping Churches (No. 122)]. Tofauti iliyopo kati ya hawa Cathars wakiwa ni wavijiteriani waliobobea kwenye imani hoyo nay a miungu miwili, imani ambayo sio sahihi kwa kweli ambayo imeletwa kule lakini imeelezwa kwa kina kwenye jarida la Jukumu la Amri ya Nne kwenye Historia ya Makanisa ya Mungu Yanayishika Sabato (Na. 170) [The Role of the Fourth Commandment in the Historical Sabbath-keeping Churches of God (No. 170).

 

Hawa Cathari pia waligawanyika kwenye makundi mawili, yaani kundi la Albi (la Ufaransa) au Albanenses ambao walikuwa ni waamini miungu miwili mno, na linguine ni la Concorricci (Concorrezzo la Italia) ambao walikuwa ni ndugu waamini miungu miwili. Hawa wa Concorricci waliamini na kufundisha kwamba Shetani alikuwa ni kiumbe msaidizi aliyeruhusiwa kuumba. Hii inaonekana kuwa ni kama tofauti iliyoko kati yaw a Montanist na wa Manicheani. Kilichokuwa kinawafanya wafafane sana kilikuwa mafundisho yao ya kiaesthetiki.

 

Hawa wa Cathari walikuwa na amri mbili ya ukamilifu au ya utakatifu nay a watu wa daraja la chini ambao walikuwa ni wa credentes. Waliojikita sana kwenye imani ya kiasetiki walihitajika sana zamani. Wanasemekana kuwa walikuwa wanawazuia watu kuoa, kula nyama za wanyama, kushiriki shughukli zinazohitaji matumizi ya nguvu au shughuli za kijeshi. Nk. Waliamini pia kwamba wafu wote hawatafufuka tena, bali kitakachofanyika ni kubadilishwa kwa miili tu (kitabu cha ERE, Vol. 6, makala yenye kichwa cha somo Mafundisho ya Uzushi  au Heresy (Christian), uk. 619).

 

Imani hii ilikuwa ni tofauti kabisa na ile ya wa Vallenses ambao walikuwa hawamini kitu cha aina hii. Lakini hata hivyo ,hawa wote waliitwa wa Albigensiani na wa Vallenses watesekao, ingawaje wote walikuwa hawana hatia kwenye mwenendo wao. Hawa wa Cathari walikuwepo kabisa huko Rheims kipindi cha mapema zaidi ya mwaka 991 tangu kipindi cha hotuba maarufu ya kusimikwa ya Gerbert kuwa askofu (soma kitabu cha ERE, Vol. 1, makala isemayo Albigenses, uk. 278; kumbuka kuwa Baraza la Mtaguso wa Trullan la mwaka 692 kuhusu hawa wa Montanist hapo juu). Matawi ya wa Cathari yanaonekana kuenea hadi huko Flanders ambao ilianzishwa na kuweka makao mwaka 1025 kwa mahubiri yaliyofanywa na Mtaliano aliyeitwa Gundulf. Hawa pia walilikataa Agano la Kale na msalaba kuwa ni alama ya imani yao.

 

Wakati hawa wa Vallenses wakiukataa msalaba, walishikilia kuliamini sana Agano la Kale. Kwa hiyo, kuna mwanya au gepu isiyoweza kudarajika kati ya dini hizi mbili. Wa  Cathari walifukuzwa kutoka pande za Kaskazini mwa Ufaransa kwa kipindi cha takriban miaka sitini tangu mtaguso wa Rheims mwaka 1049 (ibid., uk. 279). Patano la pamoja la huko Roma la wa Cathars na Waldensians pamoja na wa Inquisitions na wa Albigensian Wakrusadi.

 

Mlinganisho wa Mwisho

Imani za wakengeufu na uasetiki wa wavijiteriani wa Cathari ilikuwa ni tatizo kubwa kwa Kanisa la Mungu kwa kipindi cha karne kadhaa. Mafundisho ya kizushi ya ya Wakristo wavijiteriani yaliendelea kubakia hadi kufikia karne ya ishirini na kuendelea na yanaendelea kupata umaarufu yakitumia mafundisho kadhaa ya kizushi yasiyo na msingi wowote wa neno la Mungu. Ni imani inayoonekana kuwa ni imejipanga kiulaghai zaidi kuliko ilivyokuwa ikionekana kwenye siku za karne za huko nyuma na imechukua mambo yasiyo kuhimu wala yasiyo na mashiko ili kuhakikisha kuwa inakubalika au huenda hata kuwapata waamini na kuingizwa kwenye nfumo wa imani kali. Historia asilia na asilia imezuiwa au kupingwa na mlolongo wa mafundisho yanayotokana na mitazamo na mawazo ya watu, ambayo ndiyo yanayoendelezwa sana kwa kiasi kikubwa.

 

Teolojia ya Wanostiki na ya wa Manichean ilikuwa ni ya kidosetiki tupu, kwa jinsi yao ya mtazamo wao batili kuhusu mwili na mambo mengineyo, vinaachana kabisa na dhana ya kufanyika mwili kwa kuzaliwa kwa mpango wa kimbinguni. Schaff anatoa maelezo rahisi kuhusu mafundisho haya (kwenye kitabu chake cha History of the Christian Church, Vol. 2, pp 503-508). Mabishano yaliyoko kati ya kanisa na kile kinachojulikana kuwa ni itikadi ya Imani kali inahusu nafasi ya Kristo na uhusiano wake na Mungu wa Pekee wa Kweli na umuhimu wa sheria. Kwa imani ya wa Cathari, imekuwa ni idadi ya mawazo ya mafundisho ya kizushi, ambayo kwayo, kila moja wapo halipatani na asili ya Mungu na haiba yake ya kuwepo kila mahali kwa wakati mmoja. Hapa ndipo waamini miungu miwili au Wadualist wa Cathari  waliisherehekea siku ya Jumapili na ambayo pia waliifungia saumu kama ishara ya Jua kuwa eti ni ishara inayowakilisha nuru ya Kristo. Mwendelezo wa kimaadili yamekutikana yakibadilishwa kama ilivyokuwa kwa Wanostiki na wa Manichean waliokuwa kabla yao. Hiii ilipelekea karibu kuwa na falsafa ya kuchekesha kuhusu asilia. Cathari hata hivyo walianza kusafisha kwa kusubu baadhi ya mawazo yao kutokana na tatizo lililoko kuhusu Kristo. Mateso ya Kristo msalabani kulifundishwa na na wa Manichean kwa mtazamo sawa na ule wa mateso ya roho duniani bado yaliunganishwa kwenye jambo hili. Hii ilifanyika hivyo uoto aliyehangaika sana kwa kwendambele kwenye nuru. Kwa hiyo upande wa waliosafi kama tulivyoona walionekana pia kwenye ushirika wa wa Cathari, wa kutomuua wala kumjeruhi mnyama, wala kuchuma maua wala kukata nyasi. Schaff alifundisha kuwa badala ya kujifanya kwa kuigiza kuiondoa nuru kutokana na giza, bali ni kwa kweli ni kuibadili nuru kuwa giza (ibid., uk. 505). Ni vigumu kutofautiana na sentensi kama hizo zinazotoa makufuru ya ukweli kuhusu uasetiki.

 

Maisha ya wafuasi wa dini hii yalikuwa ni sawa kabisa ya ya waasetiki. Hii iliwazuia kutokana na makosa yao kuhusiana na maovu yao ya ndani mioyoni mwao. Hii ilikuwa ni kinyume kabisa na mtazamo wa wa Pelagian kuhusu umuhimu wa uzuri wa asili ya mwanadamu. Kwa hiyo waliamini juu ya mtazamo wa Wabudha kuhusu fundisho lao la kuiachia huru roho kutokana na vifungo vya jambo hili. Kwa jinsi hii walijaribu kwa kiasi kikubwa sana cha ukamilifu utenganisho kutokana na utengano unaofanywa na dunia kutoka kwenye ufalme wa jambo hadi kwenye ufalme wa nuru ambao umetuama kwenye mpito wa Wabudha kutoka ulimwengu wa Sansara hadi Nirvana.

 

Tofauti iliyopo kati ya Unostiki na Manichean waamini miungu miwili ilikuwa ni kwenye masuala ya uongozi. Manichean waamini miungu miwili walikuwa na mpangilio mahiri wa kiuongozi wakati Wanostiki walikuwa ni kundi lisilo na mpangilio. Ilikuwa ni kwa ajili hii waasetiki walimudu kudumu kuendelea kwa kipindi kirefu sana.

 

Mpangilio wa uongozi wao ulifuata sawa na utaratibu wa kibiblia kwa kiasi cha kushangaza sana. Uongozi wao ulipangiliwa kwa kuweka mitume kumi na wawili waliokuwa wanaongozwa na mtume mkuu. Chini yao kulifuatiwa maaskofu sabini na wawili waliofuatiwa na wanafunzi sabini na wawili (waliofanya idadi ya sabini kwenye Luka 10:1,17 na Baraza la  Sanhedrin). Chini yao kulikuwa na baraza la wazee, mashemasi na jopo la wainjilist (Schaff, ibid., uk. 507). Walikuwa na mafungo ya kila juma, kila mwezi na katika mwaka. Walizikataa sikukuu za waorthodox kama walivyofanya Kanisa la Mungu la wa Waldensian lakini mnamo mapema ya mwezi Machi Manicheans walifanya maadhimisho ya kipindi cha mauaji ya kufiadini ya Mani badala ya kuadhimisha Ushirika wa Meza ya Bwana na Pasaka, siku ya 14-15 Nisan kama lilivyofanya kanisa. Wanaonekana kama walikuwa wanabatizwa kwenye maji na kutiwa mafuta. Manicheans waliadhimisha aina fulani ya Ushirika Mtakatifu mara nyingi wakiwa na waliojifanya kuwa ni makanisa ya kiorthodox. Matabaka mawili ya washirika waliojichanganya na imani ya kikatoliki. Daraja la chini au wasikilizaji waliokuwa sawa na waaminifu na wakamilifu, waesoriki au tabaka la makasisi waliokuwa sawa na wazee wa kanisa. Itikadi ya useja kwa kweli ilikuwa imekwisha ingia kwenye makundi yote mawili. Ukamilifu wa wateule ulichukuliwa kuwa unatambuliwa kwa alama kuu tatu au uwakilishi (signaculum).

(a) Alama ya signaculum oris, ambayo ni utakatifu wa maneno na vyakula, hata kwa vyakula, kujinyima na ulaji wa Aina zote za nyama za wanyama na kujiepusha na vinywaji vya kulevya, hata kwenye adhimisho la ushirika mtakatifu, na kuzuia kula mboga za majani, ambazo zilihitimishwa na na ukamilifu wa “wasikilizaji” na hasa tukichukulia mafuta ya mzeituni kama mzeituni kama chakula cha taa ya kandili.

(b) Alama ya signaculum manuum: ukanaji wa mali za dunia, kukiwemo malighafi na vitu vinavyotengenezwa kutoka viwandani, hata ukulima pamoja na kuvipa heshima ya kimungu vitu vinavyong’aa ama kutoa nuru mawinguni vilivyotokana nay a asili yake tu.

(c) Alama ya signaculum sinus, au useja, na ukatazaji wa aina zote za mahusiano ya kingono. Ndoa au zaidi ya uzaanaji unashirikishana na tamaa ambayo ni uovu wa kingono.

Aina hii ya utakatifu usio wa asili kwa wateule wakati huohuo aliuawa kwa kupigwa mawe kwa sababu ya kutenda dhambi zisizozuilika kila siku ya wakatekumene waliowapa heshima kubwa sana (Schaff, ibid., uk. 506).

 

Schaff anaona kwamba kama walivyokuwa Wanostiki, watu hawa waliungwa mkono na majivuno makubwaya maarifa. Lakini mtazamo wa jumla ni kwamba walikuwa wana mwenendo mzuri, ingwaje Schaff anajaribu kuwaelezea wao kuwa kama aina ya watu manaibu waliosafika. Kwa kweli, walipaswa kuwa pamoja wakiwa wanajihesabia haki na walikuwa kwenye utata wa moja kwa moja kwenye sshria za Mungu.

 

Imani waliyokuwanayo wa Cathari ilikuwa dhaifu sana kimaongozi ilipokuwa kwenye mateso na walijikita sana kwenye kazi ya unjilishaji kutoka kwenye eneo hadi eneo linguine. Inaonekana kwamba walikuwa ni mwiba wa kudumu kwa upande wa kanisa kwa karne nyingi. Waliwasababishia mateso kwa ajili ya kutofautiana mitazamo na sio wachahce ambao walikuwa wasetiki. Huduma ya kale ya makanisa yanayofundisha imani hii ya kujizuia vyakula, inaonekana kuangukia kwenye matabaka haya ya a  na b hapo juu, lakini ubadilishaji wa mafundisho umechukua mkondo wake kiasi cha kwamba vimekaribiana sana na kile kinachoitwa uorthodox kwenye mafundisho yao kuhusu Uungu na jambo kuu la kuiadhimisha Sabato na siyo siku ya Jumapili. Wengi wa wa imani ya kiorthodox wanaelezea fundisho lililo kwenye kundi b na c na wengine wanaamini yote matatu. Madai wa Wanostiki kwa sasa yameenea kila mahali zaidi kuliko hata yalivyokuwa siku za nyuma au katika Zama za Giza.

 

Maadai wanayojaribia kupata mashiko ya wasetiki wavijiteriani na kujinyima kunywa mvinyo ni kupunguza dhidi ya asili ya Mungu na utakatifu wa Yesu Kristo. Kristo alikunywa vinywaji vyenye kileo ndani au mvinyo. Aliitwa mlafi na mlevi au mpenda kunywa mvinyo na Wayahudi wanaojihesabia haki na walimkosoa kwa kunywa kwake hadharani, (Mathayo 11:19; Luka 7:34). Hakika hakuwa mvijiteriani kipindi chake chote, kiwe kile cha kuishi kwake au hata kile cha baada ya kufa na kufufuka kwake (soma hapo juu na pia Mathayo 17:27; Yohana 21:9-10,13). Krissto asingeruhu ushirika wa waasetiki wa karne ya ya ishirini wa makanisa ya kivijiteriani. Kwa kweli huenda Yesu Kristo angekataliwa kubatizwa na moja wapo ya makanisa makubwa yanayofundisha itikadi hii ya kiasetiki na ya uvijiteriani kwa mtazamo wao wa sasa kuhusu kileo. Wanayahesabia haki mafundisho yao kwa kudai kwamba Kristo hakunywa mvinyo wenye kileo, madai ambayo ni sawa na upuuzi na wala sio ya kibiblia (jarida la Mvinyo Kwenye Biblia (Na. 188) [Wine in the Bible (No. 188) litafafanua zaidi jambo hili).

 

Ni vigumu kuiweka pamoja imani ya Kikristo pamoja na imani ya uvijiteriani (tazama hapo juu), au vinginevyo basi kuondolewe mvinyo usiwepo kwenye maadhimisho ya Ushirika wa Meza ya Bwana au ifundishwe kwamba imani hii ya kuzuia watu kula na kunywa inatokana na Mungu. Mabishano yaliendelezwa na wavijiteriani na mafundisho haya ya kuwazuia watu kunywa mvinyo ni yakizushi, ambayo yanapinga asili ya Mungu. Mafundisho ya wavijiteriani nay a kuwazuia watu kula na kunywa hayawakilishi uendelevu wa Maandiko Matakatifu na yanapinga mantiki ya maana ya unabii. Wafuasi wake wanaondoka nje ya imani ya kweli kwa ajili ya mafundisho haya ya mashetani.

 

Masihi atakapokuja na kuanzisha ufalme wake huko Jerusalemu. Ataitawala hii dunia kwa kipindi cha miaka elfu moja (Ufunuo 20:1-7). Masihi na wateule wataanzisha utawala unaofuata maongozi ya Mungu hapa duniani. Wale ambao hawataadhimisha Sabato na Miandamo ya Mwezi Mpya (Isaya 66:23) na wasiowapeleka wawakilishi kwenda Yesusalemu ili kwenda kuiadhimisha Sikukuu ya Vibanda, mvua haitanyesha kwao kwa majira muafaka. Ulaji wa nyama utakuwepo pia kwa mujibu wa torati au sheria za Mungu hapa duniani katika kipindi hicho, (soma kwa mfano Zekaria 14:21). Wateule hawawezikuwa wateule waliokamilika kiimani wasipokula mwili na damu ya Kristo kwenye maadhimisho ya Ushirika wa Meza ya Bwana (Yohana 6:53-57). Wale wanaofundisha mafundisho mengine kivyume na hivi hawatakuwa na sehemu kwenye ufufuo wa kwanza wa wafu.

q