Makanisa ya Kikristo ya Mungu
[183]
Imani ya Ulaji wa Mbogamboga Tupu na Biblia
(Toleo
La 2.0 19961116-19991023-20090620)
Dini nyingi hapa duniani zinahubiri imani hii ya
ulaji wa mbogamboga tupu maarufu kama uvijiteriani na kuchukulia kama kigezo cha
wao kueneza dini zao na kuziendeleza. Baadhi yao huiona imani hii kama ni njia ya
utakatifu. Wengine wanaina kwa mtazamo wa kimaadili zaidi, wakiona kama ni tendo
la ukatili kuwaua wanyama. Jarida hili linauelezea uvijiteriani huu wa kidini
uliodumu kwa kipindi kirefu sana ta ngu zama kale na jinsi ulivyoendelea hadi
kujipenyeza kwenye Ukristo wa leo. Imani au itikadi ya kutokunywa mvinyo pia
inafafanuliwa. Inahusiana na jarida lisemalo Mvinyo kwenye Biblia.
Christian Churches of God
PO Box 369,
WODEN ACT 2606, AUSTRALIA
Email: secretary@ccg.org
(Hati Miliki ©
1996, 1998, 1999, 2009 Wade Cox)
(tr 2013)
Masomo yaliyo kwenye jarida hili yanaruhusiwa kunukuliwa na
kuwapa watu bure bila kulipishwa kitu, ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu
bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la
haki miliki ni lazima viwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa
au kuchangia kununua jarida hili au nakala yoyote atakayopewa. Nukuu fupi
zilizolazima zaweza kuwekwa kutoka kokote iwapo zitaonekana zitakithi haja ya
lugha husika lakini pasipo kukuka maadili ya ya sheria ya haki miliki.
Jarida hili linapatikana
Ulimwenguni kote kwenye wavuti yetu ya:
http://www.logon.org au http://www.ccg.org
Imani ya Ulaji wa Mbogamboga Tupu
na Biblia
Dini nyingi hapa
duniani inaichukulia imani hii ya kula mbogamboga peke yake kama ki kigezo cha
kuenenea dini zao. Wengine huiona itikadi hii kuwa ni kama sheria muhimu katika
kuufikia utakatifu. Wengine wanaiona kuwa ni ya muhimu tu hasa kwa mambo ya
kimaadili, kwamba inasaidia kuepusha vitendo vya kikatili vya kuwaua wanyama.
Dini nyingine
kama vile za Wabudha na Wahindu wana makatazo kama hayo, na Wayunani wa kale wa
imani ya Kipythagorean pia walikuwa na miiko ya kiutakaso iliyokuwa inajumuisha
na kujizuia kula baadhi ya nyama. Imani ya Kibudha inaenda mbali zaidi kwenye
matatazo yao kutokula nyama na kushikilia kwao imani hii ya kivijiteriani na
wanaenda mbali zaidi kwenye itikadi kali zaidi ya kiveganism, ambayo ni utaratibu wa kutawadha na
utakaso wa wavijiteriani, ambao unafanyika kwa kutumia hata mazalisho ya
wanyama kama vile maziwa, jibini na mayai.
Dhana hii
iliendelezwa hatua kwa hatua, sio kwenye Wahindi walioishi zama za Kale tu bali
pia hadi huko Misri. Imani ya kibudha na fikra zao iliingia hadi Uyunani au
Ugirikina mhubiri aliyeitwa Pyrrho wa Elis (kwenye Karne ya 4 KK) (Sona kitabu
cha Burnet, article Sceptics, ERE, Vol. 11, p. 228). Pyrrho alikwenda
India wakati Anaxarchus, mwanafunzi wa Metrodorus wa Chios, wakati alipokwenda
huko kuchukua mafundizo na Iskanda Mkuu [Alexander the Great] (mnamo mwaka 326
KK). Watu wa familia ya kifalme walioitwa Kshatrian au Sakyamuni au Siddhartha
au Tathagata (mnamo mwaka 560 KK) walimpa sheria za Dharma huko Sarnath mnamo
takriban wa 527 KK, ili aweze kukubalika au kutambiliwa kwenye imano hii ya
Budha. Pyrrho alisikia habari za wa kimazimwi na Mamajusi wa India. Aliishi
maisha ya kujitenga jangwani (kwa mujibu wa Antigonius wa Carystus kama
ilivyoandikwa na Diogenes Laertius kwenye kitabu chake cha hapo juu) na hakuwa
amejikita sana kwenye useptiki bali kwenye
uasetiki na
unyamazifu. Anaweza kuchukuliwa kuwa ni mtu wa kwanza kuipa
uamsho dini hii
ya Kibudha, kwa kweli, lakini haikuwa na imani hii ya uvijiteriani hapo siku za
kale mwanzoni na ilikuwa tu na makatazo ya ulaji wa nyama za wanyama kadhaa tu
zitokanazo na baadhi ya aina za nyama ndizo zilikatazwa kuliwa; ambazo ni za
wanyaka kama tembo, chui aina ya dubu, nap aka mkubwa, nyoka na wanadamu, ndizo
zilizowekewa mkazo wa kwanza. Migawanyiko hii haikulengwa kwa wa asetiki bali
ilihusiana nayo tu. Kipindi kirefu kilichopita nyuma kabla yake, imani ya
Wapythagoras ilianzisha shule ya falsafa iliyolenga kuwaweka huru wanadamu
mbali na mafundisho yanayofundisha kuwepo kwa mzunguko wa kuzaliwa mtu tena na
tena, ambalo ni fundisho linalodai kuwepo kwa mzunguko wa mwandamu kuzaliwa
tena na tena. Mtazamo huu uliingia huko India kwa mashiko na nguvu zile zile
zilizoingia na kuteka watu huko Ugiriki, ikitokea pande za Kaskazini na Wacelti
wa Hyperborean, na iliitwa kwa jina la kutopendwa la Scythian (kwa mujibu wa
kitabu cha John Burnet Early Greek
Philosophy, fourth ed., Adam and Charles Black, 1958 reprint, p. 82 see fn.
2). Falsafa kama ilivyo tu ni utakaso tosha
na ni namna ya kuepuka kutoka kwenye mlolongo huu wa mzunguko (kitabu hichohicho cha Burnet (B), ibid., p. 83). Falsafa
ya kipindi na zama za mwanzoni ilikataa kuamini uwepo war oho inayoendelea
kuishi ya mtu aliyekufa na haikuipa mashiko na nafasi ya madai kama hayo ya
kimafundisho kwamba ni kitu kinachowezekana. Socrates ndiye alikuwa wa kwanza
kudai na kufundisha fundisho hili la roho kuishi na aliyatetea mafundisho haya
kwa kila namna aliyoweza (kitabu hichohicho cha Burnet, uk. 84 na pia kitabu
kingine cha Burnet cha “The Socratic Doctrine of the Soul” [Mafundisho ya
Socrate Kuhusu Roho], Proceedings of the
British Academy, 1915-16, uk. 235). Dini ya Kale haikuwa na utaratibu wa
kuwa na bodi ya kuhakiki mfundisho. Hakuna kilichokuwa kinahitajika zaidi ila
tu kwamba mapokeo ya dini ndiyo yaliyokuwa yanatakiwa yafuatwe kiusahihi na
yakae vizuri kwenye nia na mawazo ya watu; muumini aliruhusiwa kutoa ufafanuzi
wowote wa kile alichoona kinafaa au kuamini na kupenda (Kitabu hikihiki cha Burnet).
Kwa hiyo dini ya Waisraeli ikiwa na gombo lililoandikwa ilikuwa na namna fulani
ya kushabihiana nay a Wayunani na utaratibu wao uliojumuishwa. Ni rahisi pia
kuona kwamba jinsi uasetiki ulivyofanyika kuwa muhimu kwenye vuguvugu la
kidini, ambayo ilihusiswa na kujulikana kwa taratibu zake tu badala ya kuwa na
gombo la maandiko. Jambo hili au mtindo huu ndio ulimeendelea hadi kwenye
ulimwengu wa Warumi wenye asili ya Kiyunani ambao kwamba mapokeo ndiyo
yameshika hatamu zaidi kuaminiwa na kukaziwa mioyoni mwao, na sala za
kurudiarudia zikifanyika kuwa mafundisho yaliyowekwa kuyatumia.
Pythagoras mwana
wa Mnesarchos alitumia kipindi chake cha kwanza cha utuuzima huko Samos.
Alikuwa maarufu siku za utawala wa Polykrates (532 KK). Alikuwa na mengi ya
kujifunza na kutoka kwenye imani ya Orphic na Bacchic, ambao walikuwepo huko
Misri (ingawaje Wamisri hawakuamini imani hii ya uhamisho kwa wote) na ni kwa hiyo alishauriwa kuwa atembelee huko. Kwa
mujibu wa Timaios, inasema kwamba alifika Italia mwaka 529 KK na akabakia huko
Kroton kwa kipindi cha miaka ishirini (kitabu hikihiki cha Burnet, uk. 89),
akastaafu huko Metapontion (kitabu hichohicho uk. 91). Alikuwa ni mu Ionian na
amri iliwekwa kwanza kwenye majimbo ya Achaian. Apollo, na sio Dyonisius kama
huenda ilivyoweza kufundishwa kwenye jamii ya wa Orphic, alikuwa ndiye mungu
wao mkuu. Hii ilikuwa ni kwa
sababu ya mjumuiko wa taratibu zao na Delos. Alitambukishwa na Apollo
Hyperboreios (Burnet, uk. 90).
Tunajua kwamba
Pythagoras alikuwa amejulikana sana kipindi cha karne ya tano kwa kazi zake
zote mbili za mambo ya kisayansi ya ualimu wa mafundisho haya ya roho
isiyokufa. Alifundisha mafundisho ya mzunguko wa kuishi roho za viumbe na ndipo
fundisho hili liliiendelea na kupokelewa na dini ya Budha. Itikadi hii
ilitokana na wa Scythians sehemu zote mbili, yaani huko India na Ugiriki.
Ushawishi wa Scythian Salmoxis huenda unaweza kuwa ni chanzo cha mafundhisho
haya ya wa Pythagoras ingawaje Salmoxis walimtangulia miaka mingi ya nyuma
kabla yake. Hata hivyo, kuna myumbiko wa kiudadisi kwa wa uasetiki na utakaso
wa wa Pythagoras. Alianzisha mapokeo ya kujinyima ulaji wa nyama
kulikochukuliwa kama sehemu ya taratibu za utakaso. Kwa mujibu wa Aristoxenos,
yeye mwenyewe hakujitenga na ulaji wa ina zote za nyama kwa ujumla. Hata hivyo,
aina zilizokatazwa ni zile zilizokuwa kwenye kndi la wanyama safi za maksai na za kondoo (Burnet, uk. 93). Kwa
namna fulani, yeye mwenyewe alidaiwa kuwa alikuwa ananyonya maziwa ya nguruwe
na kufuga vitoto. Burnet anatoa mtazamo wake kwa Aristoxenos kuhusu katazo na
mwiko wa ulaji mboga za nafaka jamii ya maharage, alilo lilikuwa ni wazo la
Orphic na kwamba hii iliweza kujipenyeza kwenye imani ya Pythagoreans (Burnet,
uk. 93 kifunngu cha 5). Mtazamo huu huenda ulienda kutoka kwenye imani ya
Pythagoreanism kwenye kipindi zama cha ulimwengu wa kale kwa ujumla.
Mwingiliano wa matendo haya ya kujiepusha na ulaji wa nyama za wanyama
ulitokana na imani za Dini potofu za Sirisiri zilizotokana na dini ya Orphic,
Bacchic na Pythagorean na kutokana na hizi inaonekana kuwa ndipo uiliingia
Ugnosticism kutoka Alexandria na kwa kweli kutokana na mwonekano uliokuwa huko
Roma kwenye Ukristo. Tutaelezea mchakato huu baadaye.
Kitu halisi
kinachotakiwa kijulikane ni kwamba vyakula na wanyama safi vilikatazwa na
wanyama najisi akiwemo nguruwe na vyakula na milo mingine zilizoliwa na dini
siri za vijana wadogo (huenda mhemuko na maziwa ya mama ambazo hapa zinaelezewa
kwa mkanganyiko wa moja kwa moja kwenye Maandiko Matakatifu). Pythagoras
walifundisha uhusiano wa kidugu wa wanyama na wanadamu na Burnet anadhania
kwamba sheria na kanuni zake za kujijiepusha ulaji wa aina fulani za nyama
haukulenga kwenye mrengo wa kibinadamu au uasetiki bali ulikuwa ni mwiko au
katazo. Hii inathibitishwa na ungaji mkono wa kitabu kinachoitwa Porphyry’s Defence of Abstinence pale anaposema
kwamba ingawa walijizuia kutokana na ulaji wa nyama kama sheria au kanuni, bali
bado wao hata hivyo waliendelea kula pale
walipokuwa wanatoa kafara kwa miungu (Burnet, uk. 95 kifungu cha 2 akikitaja
kitabu cha Bernays cha Theophrastos’
Schrift über Frömmigkeit). Porphyry (V. Pyth. c15) aliyalinda mapokeo kwa
kiasi cha kwamba Pythagoras aliunga mkono afya ya mwili kwa jinsi ya kukimbia
mbio (Milo?). Burnet anaamini kuwa historia hii lazima iwe kwamba ilianzishwa
kipindi hichohicho na kile kilishohusiana na wa Aristoxenos, na kwa namna
hiyohiyo. Bernays anaonyesha kwamba inatokana na wa Herakleides wa huko Pontus
(kwa kujibu wa kitabu cha Theophr. Schr.
n. 8; sawa na Burnet, uk. 95, n. 3). Burnet anaamini kuwa imani ya Uplatonists
mamboleo ilijaribu kurudi nyuma kwenye
utaratibu asilia wa umashuhuri wa Pythagorean na kufafanulia mbali matengenezo
mapya ya karne ya nne (kitabu hichohicho).
Walikuwa na idadi
kubwa ya aina mbalimbali ya uzuiaji wa ulaji uliotokana na imani za kishirikina
na ruhusa na makatazo mbalimbali. Walijizuia na ulaji wa mboga aina ya
maharage, hawakuumega mkate, hawakula kitu chochote cha aina ya mkate na
hawakula moyo (wa nyama walizokuwa wanazitoa kafara). Mfano wa masharti ya kishirkina
ni ule wa wao kutoruhusiwa kumgusa jogoo mweupe, kutoruhusiwa kutembea juu ya
chuma chenye umbo la msalaba, wasiwashe moto au kuuchochea kwa kutumia chuma,
wasinyonyoe shada la maua nk, na kuna mengine ambayo ni vigumu kuyaandika hapa
lakini yanaweza kuonelkana kwenye kitabu hikihiki cha Burnet, (ukurasa wa 96).
Pasipo shaka
kabisa kusema kuwa imani hii ni ya kidini kabisa na kukubalika. Pia
walichukulia muziki na elimu ya nyota au elimu ya agia kama sayansi dada.
Waliutumia muziki kwa kutuliza na kuponya roho na dawa kwa kutuliza au kuponya
mwili. Aina kama hii ya kutakasa roho ilikuwa ilizoeleka kwenye Orgia ya wa Korybantes na kwa hiyo
kuelezea mapenzi ya wa Pythagorean huko Harmonics (Burnet, kurasa 97-98).
Ushawishi wa wa Pythagoras huko Aristotle uko wazi kutoka kwenye mjadala wa
“kuishi maramatatu” ya wa Wasemaji mashuhuri, Wathendaji na Watetezi
yaliyorudiwa tena na Aristotle kwenye kitabu chake kuhusu Maadili (soma pia kitabu cha Burnet, uk. 98). Wala hakuna kati ya
ushawishi huu kwa Plato kuondolewa kwa sababu ya utajwaji wake wa moja kwa moja
kwake na Plato (sawa na, kwa mfano ilivyoandikwa kwenye kitabu cha Burnet, uk.
188). Msukumo wa kidini wa imani hii ulikuwa pia ni wa kwanza kuchukua mahesabu
zaidi ya mahitaji ya kibiashara (maandiko ya Aristoxenos ya Usayansi wa Namba
au Arithmetic; sawa na Burnet, uk. 99). Pythagoras anaonekana kuwa alianzisha
masomo ya hesabu za mwandamano (Burnet, uk. 104) na pia alifikiliza vurugu ya
walinganishaji na watoa sauti nene. (kutokana na hesabu linganifu za 12:8:6
tunaona kwamba 12:6 ni tarakimu yenye sauti kubwa; 12:8 ya tano, na 8:6, ya
nne; sawa na kitabu hichohicho cha Burnet, uk. 106).
Pythagoras pia
anaonekana kugundua kuwa dunla ilikuwa ni uwanja (Burnet, uk. 111), ambao wa
Ionians alikataa kukubali. Kitu muhimu halisi hapa ni kwamba tunashughulika na
mfumo mkuu wa kimaneno na kidini unaojikita na kuhusiana na dini potofu ya
Kisiri na ambao kwamba uvijiteriani wa Magharibi uliaenea. Mpangilio wa miiko
yenyewe unaashiria kwenye uhusiano wa kikontra na dini ya Kiebrania.
Imani za kidini
za Mazuio na za Kutozuia kwenye dini ya wa Pythagoreanism, na upinzani wao wa kama
huo kama wa wa Parmenides inatatiza sana kwendana nayo, lakini kuna maana ya
kiilimwengu nzima kwenye muundo huu ambao unahitaji kutahinisha zaidi na
ufafanuzi. Kiini cha muundo wake kilihusu mungu mke ambayae Aetios anatuambia
kuwa alikuwa anaitwa Ananke na Mmiliki wa
vitu Vingi. Alidaiwa na kuaminika kuwa kuchochea chanzo cha vitu vyote na
kuweka chanzo chake kuwepo kwa nyota. Ni mwanzilishi wa mfumo wa maisha ya
wawiliwawili na uzazi na anaaminika kuwa ndiye aliyeumba Eros, kwanza na kabla
ya miungu yote kabisa (Burnet, kurasa za 190-191). Tunamzungumzia mungu Mke na
aliyejulikana kwa mkuu wake katika siku za kale huko mashariki ya karibu, na
ambayae aliingizwa hatimaye kwenye imani ya Kikristo siku zilizofuatia baadae
na kujulikana kama Mariamu na ambaye anayeabudiwa hadi leo. Burnet anakosa kuwa
na uhakika anatumika au kuchukua mahala gani kiheshima kwenye dini ya Urisi ya
Er lakini inachukuliwa kwamba Theophrastos alipoanza alichukua mahala pa kati
na nusunusu kati ya mbinguni na duniani. Mchakato huu wa kidunia ni chanzo cha
imani hii. Burnet anaamini kuwa dhana ya taswira ya mikono iliyoonekana kwenye
imani ya wanafalsafa wa kwanza wa ki Pythagoras nk., inahusiana na Njia ya
Unyonyshaji wa Maziwa na tunaikuta hiyo ikiwa ni imani ya msingi ya mafundisho
ya wa Gnostic kuhusu roho na mwendeleo wake wa kwenda mbinguni, ambayo
ilikujakuchukuliwa baadae kwenye umuhimu wa utakaso ikienda sambamba na imani
za Siri. Kile kinachofanya kuwa ni vigumu sana kushughulikanayo ni ukweli wa
mambo ni kwamba huu u Pythagoreanism, ni kama zilivyo dini nyingine za Siri,
ilikuwa na mafundisho yaliyoendelezwa ya kimapokeo tu ambayo yanap9ingana na sheria
zilizoandikwa kwenye biblia.
Kwa hiyo, tunaona
chuki ya moja kwa moja kutoka enzi
ya mwanzoni kwenye mabishano haya kwa ajili ya ukatazaji kula nyama yakiwa
ndiyo mapokeo ya kwanza kweny dini hii potofu ya Kisiri kwenye sheria inayohusu
ulaji wa vyakula, nay a pili, ilihusiana nayo ni ile inayopingana nay a Kiyudea
au inayopinga matokeo ya kuzishika sheria za Mungu. Mchakato huu wote wa fikara
ya kulaumiwa dhidi ya wanaomtii Mungu na wanaofuata maelekezo yake yote
yahusuyo ulaji kinyume na wanavyofanya hawa wavijiteriani walio kwenye dini na
madhehebu au vikundi hivi, na hata miongoni mwa wale wanaosema kuwa wanazishika
sheriia na amri za Mungu kama tutakavyokwenda kujionea hapo mbele.
Jinsi Biblia
Inavyosema
Mchanganuo wa
aina ya wanyama waliokatazwa umeonyeshwa na kurodheshwa wanyama wake kwenye
jarida la Sheria ya Vyakula (Na. 15) [The Food Laws (No. 15)]. Sheria hii ya ulaji wa vyakula
imeelekezwa moja kwa moja na kuhusianishwa na aina ya wanyama ambao wanafaa
kuliwa na wale ambo hawafai kuliwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za kibiblia.
Tangia takriban nyakati za nabii Musa sheria ziliwekwa kuhusiana na utoaji
dhabihu na ulaji wa wanyama, na waliotajwa kutumia ama kuruhusiwa walikuwa ni
wale walioko kwenye kundi la wanyama safi. Sheria hizi hazikuwa ni ushauri an
nasaha tu: bali ni amri na sheria za Mungu ambazo kwazo, undani wake na
udhibiti wake na kwa kweli unatakiwa kufanyiwa maadhimisho kwenye suala la mlo
wa Pasaka siku ya 15 Abibu, kwenye tendo la ulaji wa nyama. Utaratibu wake wote
ulituama kwenye tendo la kukubalika kwa mchakato wa kusamehewa na kufutiwa
dhambi kwa kupitia dhabihu iliyokuwa inamwagika ya damu, ambayo ilikuwa
inamlenga Yesu Kristo au Masihi.
Wote wawili,
yaani Wakristo na Wayahudi wanachukulia imani yao ya kutokula baadhi ya vyakula
kwa kutumia maandiko haya haya, ambayo yanatoa maeekezo juu ya ulaji wa nyama,
ulioelekezwa kwenye Agano la Kale. Na ni kwa mtaarafu huohuo Wakristo
wanayatumia kuthibitisha imani yao juu ya ulaji wa vyakula kwenye Agano Jipya.
Jambo hili limefanunuliwa kwenye jarida la Sheria ya Vyakula (Na. 15) [The Food Laws
(No. 15)] na inaonekana kuwa ni uwongo. Vikundi vingine vys
kidini kama vile Waadventista wa Sabato wanadai kwamba uvijiteriani ni imani
inayotokana na mwongozo sahihi wa kibiblia. Wanajihesabia haki kwa kufananisha
madai yao na maisha yalivyokuwa kwenye Bustani ya Edeni na zama iliyokuwa kabla
ya gharika kuu. Madai haya siyo mapya. Yametuama kutokana na muundo wa
kivyakula uliokuwepo kwenye Ukristo na ambao ulikuwepo tangu kwenye siku za
mwanzoni za Kanisa ambao uliwekwa ili kukabiliana na itikadi za Kinostiki.
Mtazamo buu uliendelea na kuenea hadi kwenye imani nyingine zilizojulikana kama
Wacathari au Wapuritaniani, ambao waliendelea kuyakumbatia mafundisho ya
Wanostiki kama vile imani ya kuamini miungu miwili au ya undumila kuwili ya
Manichean. Hawa wa Cathari waliotokana na wa Albigensiani walisababisha mateso
makubwa kwa washika Sabato wa jamii ya Vallenses ambao pia walijulikana kama
Wasabatati na mara nyingi wamekuwa wakichanganywa kiimani na wao kutokana na
hali ya mateso walyokumbana nayo wote wawili.
Ulaji wa nyama na matumizi ya wanyama kutoka kwa Adamu
Makosa mengi
kuhusu kipindi kinachohusika na kuanza kwa ruhusa ya wanadamu kuruhusiwa kula
nyama na kuanza kuwatumia manyana kwa matumizi mbali mbali tangu kipindi cha
Adamu.
Makosa mengi
yamefanywa kuhusu kipindi gani wanadamu waliruhusiwa ama walianza kula nyama
yanatokana na kuelewa vibaya kile kinachoelezwa kwenye Kitabu cha Mwanza.
Mwanzo 2:4-25 Hivyo
ndivyo vizazi vya mbingu na nchi zilipoumbwa. Siku ile Bwana Mungu alipoziumba
mbingu na nchi 5 hapakuwa na mche wa kondeni bado,
wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana Bwana Mungu hajainyeshea
nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi; 6 ukungu
ukapanda katika nchi, ukatia maji juu ya uso wote wa ardhi. 7
Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi
ya uhai; mtu akawa nafsi hai. 8 Bwana Mungu akapanda
bustani upande wa mashariki wa Edeni, akamweka ndani yake huyo mtu aliyemfanya.
9 Bwana Mungu akachipusha katika ardhi kila mti
unaotamanika kwa macho na kufaa kwa kuliwa; na mti wa uzima katikati ya
bustani, na mti wa ujuzi wa mema na mabaya. 10 Ukatoka
mto katika Edeni wa kuitilia bustani maji, na kutokea hapo ukagawanyika kuwa
vichwa vinne. 11 Jina la wa kwanza ni Pishoni; ndio
unaozunguka nchi yote ya Havila, ambako kuna dhahabu; 12 na
dhahabu ya nchi ile ni njema; huko kuna bedola, na vito shoham. 13 Na jina la mto wa pili ni Gihoni; ndio unaozunguka nchi
yote ya Kushi. 14 Na jina la mto wa tatu ni Hidekeli;
ndio unaopita mbele ya Ashuru. Na mto wa nne ni Frati. 15 Bwana
Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza. 16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila
mti wa bustani waweza kula, 17 walakini matunda ya mti
wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo
utakufa hakika. 18 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo
mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye. 19 Bwana
Mungu akafanyiza kutoka katika ardhi kila mnyama wa msituni, na kila ndege wa
angani, akamletea Adamu ili aone atawaitaje; kila kiumbe hai, jina alilokiita
Adamu likawa ndilo jina lake. 20 Adamu akawapa majina
yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama wa mwituni;
lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye. 21 Bwana
Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake
mmoja, akafunika nyama mahali pake, 22 na ule ubavu
alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu. 23 Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na
nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika
mwanamume. 24 Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake
na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja. 25 Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala
hawakuona haya.
Tunaona kwenye
maandiko haya kwamba kuna mchakato fulani kutokana na habari hii inayohusu
kuumbwa kwa Adamu, na vyakula alivyopewa ama kuruhusiwa kula. Yeye aliumbwa
kipindi ambacho kilikuwa hakinajawa na aina yoyote ya mboga au kulikuwa
hakujaoteshwa na chakula chochote kwenye Bustani ya Edeni (Mwanzo 2:7-8), kama
ilivyokuwa kwenye siku ya tatu ya uumbaji. Kwa hiyo inaonekana kwamba yeye
alilishwa kwa vitu visivyojulikana vilivyokuwa kwenye mazingira yaliyomzunguka,
na hali hii iliendelea kwa kitambo. Hili sio jambo la kushangaza, ulikuwa ni
mchakato tu wa kipindi cha mpito cha kuumbwa kwake cha kuelekea kwenye ulaji wa
chakula kigumu, na bila shaka kilitokea kwenye kwenye mlolongo wa matukio
tunayoyaona kumpata kikawaida tu mtoto mchanga. Aliumbwa akiwa mtu mzima
mwanaume, kanini hata hivyo mfumo wa mwili wake ulilazimika kupitia kwenye
mlolongo wake halisi kama mwanadamu.
Adamu alipewa
kula miti iliyokawa pale Bustanini na aliambiwa aitunze. Pia alipewa wanyama au
mifugo. Neno lililotumiwa kwenye kamusi ya SHD 929 ni behêmâh ambao maana yake ni kitu bora au uororo. Neno behemoth
linatokana na neno hili likimaanisha punda-mwororo. Neno behemah linaloonekana hapa kwa kawaida linakusudia kutaja mifugo.
Hii ni tofauti na kinyume kabisa mbali na wanyama wa porini ambao wanatajwa
kwenye kamusi ya SHD 2416 kuwa ni chay
ambayo pia inatumika hapa kwenye Mwanzo 1:30. Andiko lililo kwenye Mwanzo 2
linaelezea mlolongo wa matukio yaliyo kwenye Mwanzo 1:20-31.
Dhana imewekwa
kutokana na andiko hili la Mwanzo 1:30 kwamba wanyama wote walipewa kula
vyakula vya mbogamboga na kwamba viumbe wengine wote walioko ni wala mbogamboa.
Mwanzo 1:24-31 inasema akasema, Nchi na izae kiumbe hai kwa jinsi zake, mnyama wa kufugwa, nacho
kitambaacho, na wanyama wa mwitu kwa jinsi zake; ikawa hivyo. 25 Mungu akafanya mnyama wa mwitu kwa jinsi zake, na mnyama
wa kufugwa kwa jinsi zake, na kila kitu kitambaacho juu ya nchi kwa jinsi yake;
Mungu akaona ya kuwa ni vyema. 26 Mungu akasema, Na
tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na
ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa
kitambaacho juu ya nchi. 27 Mungu akaumba mtu kwa
mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba. 28 Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke,
mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani,
na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi. 29 Mungu
akasema, Tazama, nimewapa kila mche utoao mbegu, ulio juu ya uso wa nchi yote
pia, na kila mti, ambao matunda yake yana mbegu; vitakuwa ndivyo chakula chenu;
30 na chakula cha kila mnyama wa nchi, na cha kila
ndege wa angani, na cha kila kitu kitambaacho juu ya nchi, chenye uhai; majani
yote ya miche, ndiyo chakula chenu; ikawa hivyo. 31 Mungu
akaona kila kitu alichokifanya, na tazama, ni chema sana. Ikawa jioni ikawa
asubuhi, siku ya sita.
Kumbuka jinsi
inavyosema Mwanzo 1:25, kwamba Mungu aliumba wanyama wa kufuga na wa porini
tangu mwanzo. Tofauti hii ilifanywa na ilitiliwa umuhimu wake kwenye uumbaji
tangu mwanzo. Mchakato wa ulaji nyama ni mojawapo ya uwekaji sawa wa kemikali.
Wanyama wasio safi wana kemikali zenye madhara ambazo zinaharibu mfumo wa
mwenendo wa mmeng’enyo wa vyakula tumboni na mwilini. Mlinganiko wa kikemikali
hayatakiwi kwenye mwili wa mwanadamu. Jambo hili limeelezewa kwa kina kwenye
jarida la Sheria ya Vyakula (Na. 15) [The Food Laws (No. 15)]. Kile kisichoelezewa hapa, ni kwamba kuna
mchakato wa kimeng’enya ambao kwao vimeng’enya ya wanyang’anyi au ndege,
hauwezi kuliwa kwa ulafi wa wanadamu. Kuna mlingano usio na shaka kuamini kuwa
umewekwa tangu uumbaji na mnyororo wa unaohusianisha hadi kwenye ubongo. Mungu
hafanyi mambo yake kwa majaribio kwanza au ni kama alivyosema Einstein kwamba,
hachezi mchezo wa utupaji mishale kwa kubahatisha.
Wafafanuzi mahiri
kina Rashi na Ibn Ezra wanasema kwamba, kwenye aya ya 29, mwanadamu na mnyama
waliruhusiwa kula aina moja ya vyakula katika uumbaji. Wanasema kwamba
mwanadamu alirukatazwa kuua wanyama kwa ajili ya kuwala. Haikuruhusiwa hivyo
hadi kipindi cha gharika kuu. Tafsiri hii ni ya uwongo kwa sababu zilizotajwa
hapa chini. Fafanuzi kama vile za Moses Cassuto kutoka kwenye kitabu chake cha Tangu Adamu hadi Nuhu (From Adam to Noah)
kuhusu itikadi ya ulaji wa mbogamboga pekee na vyakula vyake maarufu kama
uvijiteriani anasema kuwa ni safi na halisi. Mapokeo haya yalianzishwa kutokana
na maandiko yaliyokataliwa ya yasiyo ya wataalamu wa elimu ya mambo ya kale na
uchimnaji. Taratibu au imani ya utakaso iliyofanyika na imani za Dini fumbo au
za Siri haziwezi kuachwa mbali kujumuishwa kuwa zinahusika kwa kuwa na
ushawishi mkubwa kwa kia mtu mmoja mmoja kwenye maeneo yote ya Kabbalah.
Assertions, sawa na kama Joseph Albo, anavyosema kwamba uuaji wa wanyama
unahitaji haiba ya ukatili, ubabe na unaeneza roho ya watu kupenda kumwaga damu
na kwamba ni kufuru au kinyume cha moja kwa moja dhidi ya asili na tabia yake
Yahova, elohim wetu aliyeweka mchakato huu (tazama hapo chini).
Tunaona pia
kwenye mlolongo huu wa mambo kuwa mchakato wa kukua kwa mwanadamu unakwenda
hatua kwa hatua tangia kuumbwa hadi kukua. Wa mwisho kuumbwa alikuwa Hawa.
Mchakato wa anguko kwenye Mwanzo sura ya 3. Mchakato wa habari hii unaifanya
ionekane kwamba nyoka alikuwa na miguu huko nyuma hadi kufikia kipindi hiki.
Mwanzo 3:13-24 inaonyesha jinsi hukumu na majadiliano vilivyofanyika. Hii siyo
habari rahisi.
Mwanzo 3:13-24 Bwana
Mungu akamwambia mwanamke, Nini hili ulilolifanya? Mwanamke akasema, Nyoka
alinidanganya, nikala. 14 Bwana Mungu akamwambia
nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote, na
kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula
siku zote za maisha yako; 15 nami nitaweka uadui kati
yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake; huo utakuponda kichwa,
na wewe utamponda kisigino. 16 Akamwambia mwanamke,
Hakika nitakuzidishia uchungu wako, na kuzaa kwako; kwa utungu utazaa watoto;
na tamaa yako itakuwa kwa mumeo, naye atakutawala. 17 Akamwambia
Adamu, Kwa kuwa umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala matunda ya mti ambao
nalikuagiza, nikisema, Usiyale; ardhi imelaaniwa kwa ajili yako; kwa uchungu
utakula mazao yake siku zote za maisha yako; 18 michongoma
na miiba itakuzalia, nawe utakula mboga za kondeni; 19 kwa
jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo
ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi. 20 Adamu akamwita mkewe jina lake Hawa; kwa kuwa yeye ndiye
aliye mama yao wote walio hai. 21 Bwana Mungu
akawafanyia Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika. 22 Bwana
Mungu akasema, Basi, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema na
mabaya; na sasa asije akanyosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima,
akala, akaishi milele; 23 kwa hiyo Bwana Mungu akamtoa
katika bustani ya Edeni, ailime ardhi ambayo katika hiyo alitwaliwa. 24 Basi akamfukuza huyo mtu, akaweka Makerubi, upande wa
mashariki wa bustani ya Edeni, na upanga wa moto uliogeuka huko na huko,
kuilinda njia ya mti wa uzima.
Mchakato na tukio
hili lilijulikana na Mungu tangu mwanzo kabisa hata kabla halijatokea.
Mwanakondoo alichinjwa na wateule waliandikwa kwenye kitabu cha uzima hata
kabla ya kuwekwa misingi ya dunia (Ufunuo 13:8). Kwa hiyo, tukio hili
lilionekana tangu mwanzo na liliandaliwa. Kumbuka kuwa nyoka hakuulizwa swali lolote.
Alionekana kuwa alikuwa na makosa. Kutokana na aya ya 14 tunajionea tofauti
iliyojitokeza kati ya wanyama wa kufugwa na wale wa porini. Hii inamaanisha tu
kwamba tangu mwanzo tofauti hii ilikusudiwa iwepo ikimaanisha kwamba kitendo
cha ulaji wa nyama lilikuwa limekusudiwa kuwepo. Mjadala uliokuwepo kuhusu
nyoka na uzao wa mwanamke ni habari muhimu sana kuhusiana na tendo la kufngwa
kwa Shetani.
Amri iliyotolewa
kwenye aya za 18-19 haipaswi kupotoshwa kwa kutafsiriwa kama kigezo cha ulaji
wa vyakula, bali zaidi sana kuwa ni ugumu wa ukusanyaji wa aina zake. Mti wa
uzima unawakilisha hali ya kuishi pasi kufa wala madhara ili kwamba waweze
waadibishwe na kisha warejeshwe kwenye uhusiano mwema na sahihi na Mungu na
Maila na watele wa kiroho. Maana zake inaweza kufafanuliwa hasa kwa namna ya
fumbo na kiroho
Jambo la muhimu
ni hatua inayofuatia ya Yahova elohim. Hatimaye alimuua mnyama kutoka kwenye
kundi la wanaofugwa ili awafanyie vazi la ngozi wote wawili, mwanaume na
mwanamke. Sforno anaelezea jambo kuhusu hali yao hii ya kuwa uchi akisema
kwamba matendo yao yalikuwa kwenye nia ya kumtumikia muumba wao, na sio kwenye
utoshelevu wa tama zao, matendo yao ya kuendelea kuishi bila kufa yalikuwa
hayana makosa yatokanayo na ulaji na unywaji wa vitu (Soncino). Rashi anaamini kwamba mawazo ya udanganyifu ya Shetani
yaliibuka wakati alipowaona wakiishi uchi pasipo kuvaa vazi lolote. Sforno
anaamini kwamba nyoka ni ishara ya mjaribu (Shetani).
Wataalamu wa
tafsiri na wanazuoni marabi hawaelewi pia sababu ya kuamini kuwa Adamu alikufa
vile ili kufanya pia imlazimu Masihi kufa akiwa ni sadaka pekee iliyohitajika
kwa ajili ya ondoleo la dhambi za ulimwengu, kwenye ulimwengu ulifuata uasi wa
Adamu.
Hapa tunaona
mwanzo endelevu aliouweka na kuukusudia Yahova elohim wa utoaji dhabihu ya
wanyama kwa kuanza kumchinja mnyama na kutengeneza vazi la kuwavisha wanadamu.
Kwa hiyo, uuaji huu wa mnyama ulikuwa ni kitendo cha maana sana kilichoanzishwa
na Yahova elohim aliyetajwa kwenye Zaburi 45:6-7. Kwa hiyo basi, Mungu na Yesu
Kristo walikataza matumizi ya nyumani ya wanyama tangu mwanzo wa historia ya
mwanadamu ambao walikuwa nao kama tunavyojionea kutoka kwa wataalamu wa mambo
ya kuchimbua mambo ya kihistoria.
Tendo hili la
kuwatumia wanyama au wanyama wa kufugwa majumbani lilionekana kutumiwa kwa mara
ya kwanza kwenye lile tukio la utoaji sadaka uliofanywa na kina Kaini na Abeli.
Wanyama walifugwa na Abeli alikuwa ni mfugaji au mwenye kupendelea kufuga
wanyama akiwafuga kondoo. Kaini alikuwa mkulima wa ardhi. Wote wawili, kaini na
Abeli walikwenda mbele za Mungu wakiwa na dhabihu zao mikononi mwao. Kisha
dhabihu ya mavuno ya nafaka ilitolewa na Kaini. Ndivyo kama sikukuu ya mavuno
ilivyoadhimishwa huko Sinai kwa mintaarafu sawa na inavyoadhimishwa Sabato.
Kisha Abeli
akaenda na kutoa dhabihu ya malimbuko ya wanyama wake pamoja na mafuta yake.
Hapa ndipo utoaji dhabihu wa wanyama pamoja na mafuta ulipoanza tangu mwanzoni
kabisa. Na pia ndipo utoaji wa dhabihu ya viumbe hai kuwa ni muhimu ulipoanzia.
Mtazamo wa kudhania kwamba huenda watu hawa walikuwa ni wa imani ya kula
mbogamboga tu au wavijiteriani haiwezekani kuonekana kupata mashiko. Mwanzo 4:7
inaionyesha dhambi aliyoifanya kaini kuwa ilikuwa ni kwa ajili ya kukataa kwake
kutoa dhabihu ya wanyama. Targum inaitafsiri ayah ii kwenye maandiko yake ya
ufafanuzi kwa kusema kuwa.
Iwapo kama
utarekebisha njia zako, dhambi zako zitafutwa, bali ikiwa kama hutazirekebisha
njia zako, dhambi zinakungojea hadi katika siku yako ya kuhukumiwa, kwa kuwa
utahukumiwa hakika iwapo kama hutafanya toba kuzitubia, lakini kama utatubu,
utasamehewa wewe (Soncino).
Kristo ni yeye
Yule, leo, kesho na hata milele. Ni jambo lisoloingia akilini wala kuwa na
mashiko kuamini siku hizo kuwa ulimwengu utakuja kuanzisha utaratibu mwingine
na kutoa dhabihu kwa haraka sana papo hapo, na wakikataza dhabihu zilizokuwa
zinatolewa za wanyama, bali wakachinja wanyama na kumuweka pembeni akiwa kama
ni masalio fulani nguoni mwake, iwapo kama haukuwa na maana kwenye utaratibu
uliopo na unaoendelea. Kwa kweli ulikuwa ni utaratibu endelevu ufugaji wa
wanyama na kuwaua na kuwala ikilikuwa ni kitendo cha kistaarabu na maendeleo
kwa nyakati mbili zote za kabla na baada ya gharika kuu.
Kaini akamuua
ndugu yake Abeli na nguvu au Baraka za uoto wa ardhi zikamkataa. Neno
linalotumika kuelezea damu hapa limeandikwa kwa lugha ya uwingi. Kwa hiyo
inamaanisha kwamba jito la damu ya Ebeli lilimlilia. Hii inaelezea kuhusu damu
ya Abeli pamoja na uzao wake wa muhimu sana (Rashi anadhani kuwa aliumizwa mara
nyingi sana na ndipo alivuja damu yake hadi kufa, kutokana na kuumizwa majeraha
mengi).
Mgogoro
uliojitokeza hatimaye kati ya uzao wa kabla ya kuumbwa kwake Adamu na wana wa
Kaini na wana wa Sethi (andilo lisemalo mwana wa Adamu) na uzao mwingine
uliotoka kiunoni mwa Adamu ulikuwa unaendelea. Walioendekeza ogomvi wa uovu
waliona kuwa ni heri wafutilie mbali dhana hii ya uumbaji. Haya hayakuwa ni
makosa ya Mungu; bali yalikuwa ni matokeo ya kuingiliwa mchakato wa uumbaji wa
Malaika katika kujaribu hila za kuharibu mipango ya Mungu. Viumbe wengi sana
miongoni mwa walioumbwa waliangamizwa na kupotea kwenye tukio hili (Mwanzo
6:7,13).
Mchakato
uliofuatia ni wa kulinda uao wa wanyama wasipotee, kazi iliyofanywa na Nuhu.
Nuhu aliambiwa au
kuamriwa awachukue aina mbili za wanyama na kuwahifadhi kwenye safina, yaani
waliokuwa hawaliwi au najisi na wale waliojulikana kuwa walikuwa safi na
wanafaa kwa kuliwa miongoni mwa wanyama awahifadhi wote kwenye safina. Hii
haimaanishi kwamba watu wote waliokuwa wanaishi kipindi cha kabla ya gharika
kuu walikuwa wanakula aina moja ya vyakula kama wanavyofanya wanyama na kwamba
walikuwa wanakula mbogamboga tu au waviniteriani. Bali kinachomaanishwa hapa ni
kwamba, walipokuwa safinani, chakula walichokuwa wanakula wote kilikuwa ni cha
namna moja na kulikuwa hakuna matendo ya kuwaua wanyama kutokana na mazingira
halisi waliyokuwa nayo.
Mwanzo 6:17-22 Na tazama, nitaleta gharika ya maji juu ya nchi,
niharibu kila kitu chenye mwili na pumzi ya uhai, kisiwepo chini ya mbingu;
kila kilichoko duniani kitakufa. 18 Lakini nitafanya
agano langu nawe kuwa thabiti; nawe utaingia katika safina, wewe, na wanao, na
mkeo, na wake za wanao, pamoja nawe. 19 Na katika kila
kilicho hai chenye mwili, wawili wa kila namna utawaleta ndani ya safina,
kuwahifadhi pamoja nawe; wawe mume na mke. 20 Katika
vyote virukavyo kwa jinsi yake, na kila namna ya mnyama kwa jinsi yake, kila
kitambaacho juu ya nchi kwa jinsi yake, wawili wa kila namna watakuja kwako ili
uwahifadhi.21 Ukajitwalie chakula cha kila namna
kinacholika, ukakusanye, nacho kitakuwa ni chakula chenu na chao. 22 Ndivyo alivyofanya Nuhu, sawasawa na vyote alivyomwamuru
Mungu, hivyo ndivyo alivyofanya.
Mwanzo 7:1
inaendelea kufafanua moja kwa moja kwamba wanyama waliosafi wachukuliwe pea
sabasaba na wale wasiosafi wachukuliwe pea mbilimbili au moja moja, jike na
dume.
Mwanzo 7:1-3 Bwana
akamwambia Nuhu, Ingia wewe na jamaa yako yote katika safina; kwa maana
nimekuona wewe u mwenye haki mbele zangu katika kizazi hiki. 2
Katika wanyama wote walio safi ujitwalie saba saba, mume na mke; na
katika wanyama wasio safi wawili wawili, mume na mke. 3 Tena
katika ndege wa angani saba saba, mume na mke; ili kuhifadhi hai mbegu juu ya
uso wa nchi yote.
Haionyeshi kabisa
wala dalili kuwa Nuhu alitakiwa ajifunze ili kuwajua hawa wanyama safi na wale
wasio safi au najisi au kuwa alihitaji mtu wa kumfundisha au kumuelekeza kujua
hilo. Wala hakuna dalili yoyote ya kwamba huenda hakuwa anajua utararibu mzima
wote kuhusu makundi haya yalivyogawanywa kwenye uumbaji ya waliosafi na walio
najisi. Dhana ya kwamba huenda aya hii inaonyesha kwamba ulaji wa wanyama
ulianza katika kipindi cha baada ya gharika kuu haina mashiko yoyote kwa kuwa
haiungwi mkono iwe na Biblia kwa maisha na asili ya ufugaji wanyama
waliyokuwanayo wana wa Adamu, wala kutokana na yale tunayoyajua kuwa
yalitendeka katika kipindi kilichokuwa kabla ya gharika kwa mujibu wa taarifa
walizonao wataalamu wa elimu ya mambo ya kale.
Tumekuta mabaki
ya wanadamu kwenye kipindi hiki muafaka na tumekuta rekodi ya kina ya aina
ya watu. Hakuna ushahidi unaoonyesha kuwa wanasayansi walikuwa ni wala
mbogamboga au wavijiteriani. Kwa kweli, ushahidi unaonyesha wazi kabisa kwamba
hawakuwa hivyo. Mabaki ya mtu wa kale zaidi ulimwenguni alipatikana kwenye
barafu (kwenye Alpu za Italia) tangu miaka takriban karne zaidi ya 3000+ KK
ambao walikuwa na mavazi ya ngozi, kichwa cha shoka la shaba la makutaniko ya
wawindaji.
Watetea imani ya
ulaji mbogamboga au wavijiteriani kwenye zama hizi wanapuuzia ushahidi huu wote
unaojulikana kwa wazi hivi kabisa. Madai yao yako kinyume kabisa na yote
mawili, yaani Biblia na wataalamu wa elimu kale ya uchimbaji na miamba.
Tunajua kutokana
na rekodi za kale za Wamisri kwamba nyama na ndege wa kufuga majumbani kama
vile njiwa, njiwa na goose walikuwa wakiliwa. Ndege aina ya Goose anaonekana
kwenye kaburi la Itet yapata mwaka 2560 KK kwenye Ufalme wa Kale. Kuku hawakuwa
wakijulikana hadi kipindi cha Ufalme Mpya na huenda walipata umaarufu na
kujulikana katika kipindi cha Warumi [kwa mujibu wa uanmdishi wa kina Baines na
Malek kwenye Jarida la Ramani ya Misri ya
Kale, Vitabu vya Kipindi cha Maisha (Baines and Malek Atlas of Ancient Egypt, Time-Life Books, 1994, pp. 8,19)]. Kipindi
hiki, kilimo cha umwagiliaji kilianza kwa kila kilichoelezewa kama ni kipindi
kilichofuatia cha Waneolithiki wa huko Mesopotamia, kulikuwa na jamii kubwa ya
watu waliokuwa wanakuja nyama na ambayo ilikuwa ya wafugaji wanaohamahama pia
kulikuwa na ushahidi wa kuwepo kwa kutaniko la wawindaji na ushahidi wa watu
waliokuwa wanakusanyika kwenye majani ya nafaka. Ukulima ulikuwa umeanza kwenye
kipndi cha kilichotangulia zama za kizazi cha ufalme zaidi sana kwenye pande za
magharibi kutoka nchini Misri na sambamba na upande wa Mediterranean, lakini
inaonekana kwamba mabadiliko makubwa kwenye mwenendo wa tabia ta nchi
yalilazimisha mtazamo wa kina kwa watu kwenye Bondo la Mto Nile kwa madhumuni
ya kiukulima (kitabu hichohicho, ukurasa wa 14).
Kipindi hicho,
Afrika Kasakazini ikiwa kwenye mchakato wa zama za kabla ya mwanzo wa kizazi
cha watawala wa Kimisri kulikuwepo tangu mwanzoni kabisa na makutaniko ya
wawindaji au wafugaji, ukulima ulikuwa umeanzishwa huko kipindi cha Ufalme wa
Kale. hakuna ushahidi wa namna yoyote ile unaoonyesha kuwa watu waliokuwa
wamestaarabika waliokuwa wanaishi maeneo yote ya tangia huko Mesopotamia hadi
Afrika Kaskazini walikuwa ni walaji mbogamboga. Kwa kweli, ushahidi ulioko
unaonyesha kutokuwepo dalili ya madai hayo. Kudhania kwamba wana wa Adamu, sawa
na kama walivyo wafugaji wa mifugo wengine wote, walikuwa kwenye daraja la watu
wafugaji mifugo waliokuwa wakifuga mifugo au wanyama lakini walikuwa hawawali,
ni mawazo au dhana iliyotiliwa chumvi tu na isiyo na mashiko yoyote. Biblia iko
wazi sana kwamba dhabihu ilitolewa na Adamu na alimuomba Abeli akaiwakilishe.
Kwa hiyo, kundi la wanyama walo safi ni lazima kuwa lilijulikana kwa kuwa
lilikuwepo. Mungu asingeweza kuruhusu au kupokea sadaka ya ya wanyama najisi,
kama tunavyojua kutokana na Torati au amri zake. Kudhania kwamba familia ya
Adamu walikuwa na kundi la wafugaji wa mifugo au wanyama, wakianzisha tabia ya
kutoa sadaka za wanyama na kisha wakiiacha au kuitupa dhabihu hiyo bila kuila
au kuwala wanyama hao ni ya kipuuzi kiasi ambacho yaiwezi kuchukuliwa kwa
umaanisho. Zaidi ya yote, maisha ya wafugaji hawa wenye kuhamahama hayakuwa ya
itikadi hii ya ulaji wa mbogamboga ya uvijiteriani kuwa huenda yalikuwa huenda
ndiyo ulikuwa mtindo wa maisha yao. Pia waya kizari na tundu la wavu
hakukuonekana. Dhabihu ya mazao aliyoitoa Kaini haikukubalika sana na Mungu.
Mjadala uliopelewa kipaumbele kuhusu imani hii ya ulaji mbogamboga au
uvijiteriani kipindi cha kabla ya gharika kuu ni kwamba ni watu wale waliokuwa
na uzoefu mdogo au wasionao kabisa kwenye mambo ya kilimo na ufugaji wa wanyama
au mifugo na wakiyapuuzia maneno yaliyo wazi nz dhahiri yaliyo kwenye aya za
biblia.
Nuhu na Gharika
Nuhu alimtii
Mungu na akajenga safina na kuwaingiza wanyama alioelekezwa kuwaingiza
safinani. Makundi ya wanyama wa kufugwa na wa porini pia yalitumika kwenye aya
zilizo kwenye Mwanzo 7:14ff.
Ndpi gharika kuu
ikafuatia na ambayo ilianza katika siku ya kumi na saba ya mwezi wa pili ya
mwaka wa 600 wa Nuhu. Gharika iliisha kwa siku arobaini au hadi ilipofikia siku
ya ishirini na saba ya mwezi wa tatu. Maji hayakuweza kupwa hadi ilipofikia
siku ya kwanza ya mwezi wa Abibu au Nisani ya mwaka uliofuatia. Siku ya
ishirini na saba ya mwezi wa Abibu ya mwaka uliofuatia, nchi yote ilikuwa
imekauka.
Tendo la kwanza
la Nuhu baada ya gharika kuu ilikuwa ni kuijenga madhabahu na kutoa dhabihu ya
wanyama waliosafi na wa ndege waliosafi. Tendo hili lilimpendeza Mungu. Kutoka
kipindi hiki, ahadi au agano liliwekwa la kwamba muda nchi idumupo kipindi cha
mavuno na kupanda, cha maridi na hari, cha wakati wa jua kali na upeo wa kusi, usiku
na mchana havitakoma.
Torati
Mungu aliweka
sheria na kanuni mbalimbali za malimbuko na Adamu na ilishikwa na Nuhu na uzao
wake. Uasi uliofanywa na Nimrodi kipindi cha baada ya gharika kuu pamoja na
imani ya dini za Babeli bado hayakuweza kubagua na kufanikiwa kukomesha
uadilifu wa amri na sheria hizi. Ibrahimu alipewa ahadi kwa kuwa alikuwa ni
rafiki wa Mungu. Watu wake wakaenda utumwani kwa ajili ya kitendo chao cha
kufanya matendo ya ya mababa waliokuwa wakiishi nchi ya Palestina. Walizidi
kuzaana na kuongezeka ijapokuwa walikuwa kwenye mateso na kazi za shokoa na
akawaokoa na kuwatoa huko utumwani kwa tukio linalojulikana kama la Kutoka
lililofanywa na nabii Musa ili kuwafanya wawe watu wake na pia wawe nuru kwa
mataifa.
Mungu akawakomboa
Israeli kutoka utumwani kwa kuwaamuru watoe dhabihu. Dhabihu ile ilimlenga
Masihi. Israeli hawakuonekana wakiwa na dalili zozote za kuwa wala mbogamboga
wavijiteriani na wala hawakuonekana kuwa na dalili yoyote ya kupenda kuwa
hivyo. Sheria na amri zote kuhusu vyakula na matunda zilitolewa na kufundishwa
tena na nabii Musa. Huko Sinai. Sheria ya ulaji wa vyakula kuhusu nyama
inapatikana kwenye kitabu cha Mambo ya Walawi sura ya 11 na Kumbukumbu la
Torati sura ya 14. Sababu zinazohusiana na makatazo haya na sheeria hizi
zimeandikwa na kufafanuliwa vizuri kwenye jarida la Sheria ya Kuhusu Ulaji wa Vyakula (Na. 15)
[The Food Laws (No. 15)].
Huduma ya
kikuhani ya Israeli ilihusiana na kwenda sambamba na utoaji wa dhabihu. Madai
kuhusiana na utoaji wa dhabihu ya wanafalsafa wa Kiyahudi na Wakabalisti
yanayoonekana kujumuisha na marabi wengine wenye itikadi kali, ni madai ambayo
ni lazima yaendane na yote mawili, yaani asili ya Mungu na taratibu za kazi za
makuhani.
Awamu ya pili ya
mchakato huu wa marabi wa kuhitimisha maelekezo ya Mungu ambayo ndiyo amri zake
kuondolewa kwa damu. Mabishano kuhusu imani hii ya ulaji mbogamboga tupu au
uvujitariani miongoni mwa mamlaka za marabi, yanapendeza sana, bali yanapuuzia kiu
cha unabii.
Marabi
wanaohusisha na mpango wa ulaji mbogamboga huu wa uvijitariani unaonekana
kupingana na ukweli ufuatao:
1. Mauti iliingia duniani kwa sababu ya kuasi
kwake Adamu na Hawa.
2. Ulaji wa nyama haukuwepo hadi kipindi cha
Nuhu.
3. Wanadamu waliongezeka sana katika kipindi
hiki.
4. Ruhusa ilitolewa ya kula nyama baada ya
gharika kuu.
Dhana yenye
mashiko inaonyesha kwamba ruhusa ya ulaji nyama ilikuwa ni ya muda mfupi tu.
Sababu zenye mashiko za kuamini hivi ni kwamba:
Haiingi akilini
kuamini kwamba Muumba ambaye aliyeiumba dunia kwa imahiri mkubwa na wenye
mlingano na kwa namna iliyo timilifu kwa mwanadamu kuiishi pasi matatizo kwa
kipindi cha takriban miaka maelfu baadae, aone kwamba mpango ulikuwa mbaya [kwa
mujibu wa R. Abraham Isaac Hacohen Kook kwenye kitabu chake alichoandika cha A Vision of Vegetarianism and Peace, (Mtazamo wa Wavijiteriani na Amani) ed. R. David Cohen].
Mtazamo ni
sahihi. Kipindi na mahali ilipowekwa dhana hii ndipo pasipo sahihi. Kama
tunavyojua kwamba Mungu hana kigeugeu na ndivyo alivyokuwa Masihi pia. Mungu
hana kigeugeu (Malaki 3:6). Kristo ni yeye yule hajabadilika, jana, leo na hata
kesho na milele (Waebrania 13:8). Mabadiliko ya Sheria yaliyotajwa kwenye
Waebrania 7:12 yanahusu mapokeo ya
sheria yaliyoanzishwa au kuingizwa na makuhani kwa mteule aliye mfano wa
Melkizedeki. Mabadiliko pia yalihusishwa kwa mambo ya utoaji dhabihu. Hakuna
kilichosemwa wala kuonyesha dalili yoyote kuhusu ulaji wa nyama kuwa kama
uliondolewa, kwa kweli, ni tofauti na suala hili.
Kook ana mtazamo
wenye makosa kwa kudhani kwake kwamba Adamu na wanawe hawakuwa wanakula nyama.
Kwa hiyo anaonekana kwamba anaona uwezekano unahusisha na utoaji na kuitendea
kazi sheria hii ya Mungu. Kimakosa kabisa anadhania kwamba imani hii ya kula
mbogamboga peke yake ilikuwa ni imani ya tangia mwanzo. Na kwa hiyo, itakuja
kuwa ni imani itakayobakia na kuwanayo watu wote katika siku za mwisho.
Anahitimisha kwa kusema kwamba ulaji wa nyama kwa hiyo, ni neno la kuelezea
mkengeuko au kumuasi Mungu. Kwa hiyo ana mtazamo juu ya Mungu kila mara kile
anachotaka kukiepuka.
Hali hii ya kuwa
kwenye mchakato wa kuzama kwenye mawazo kwenye imani ya Kiyahudi inaendelea
hadi kwenye fikra za R. Samuel Dressner.
Uondoaji wa damu
ambao Kashrut anafundisha ni moja ya mambo muhimu yanayotufanya sisi kuwa na
hadhari ya kujilinda na hali ya kuchukuliana au kujichanganya ambayo kwayo sisi
sote tunafanya tendo hili la kula nyama ambayo kwa hakika ndivyo ilivyo. Pia
inatufundisha juu ya kuuajali uhai au maisha ya mtu.
Ndipo Moses
Cassuto anachukulia jambo hili kuwa kama jambo kina la kipuuzi anapozema hivi
ifuatavyo:
Ni dhahiri sana
kabisa kwamba Torati ilikuwa kwenye mwelekeo wa kupinga ulaji wa nyama. Wakati
Nuhu na uzao wake waliporuhusiwa kula nyama hii ilikuwa ni sharti la lazima
katika kukataza ulaji wa damu.
Mawazo kama haya,
ambayo yanaashiria kupingana na sheria za Mungu, yanaondoa maeneo yanayohusika
na asili na kazi ya ufugaji ya wana wa Nuhu na inaonyesha kupuuzia misingi ya
kisayansi ya sheria ya ulaji wa vyakula. Tatizo lililopo hapa ni la kiwango cha
uelewa cha kina Cassuto, Dressner na Kook, na sio katika mashiko na msisitizo
wa Torati. Mapokeo haya ya kisiri yanatokana na imani za Kimapoke
iliyofundishwa na kuenezwa ambayo ilitokana na vyanzo vilivyokuwa nje na
maagizo ya sheria za Mungu na ambayo iliingia huko Kabbalah kutokana na imani
za dini za Kisirisiri. Watu hawa walikuwa ni walaji mbogamboga au wavijiteriani
waliokuwa wanatafuta kuhalalisha madai yao kupitia Torati licha ya maandiko ya
sheria za Mungu na kuwepo kwa ushahidi wa kutosha dhidi yake. Huenda walikuwa
na udhuru zaidi kidogo zaidi ya Wakristo kwa mtazamo kama huo wa kimadai,
lakini Roho Mtakatifu ametoa mwelekeo wa moja kwa moja kuhusiana na fundisho
hili potofu kupitia kwa Kristo na mitume wake wote.
Unabii Kuhusu Nyama
Ahueni imefanywa
na Isaya kwa kuunga mkono kwake anapofundisha kipindi cha uvijiteriani
kitakachodumu kwa miaka elfu cha utawala wa Masihi.
Isaya 11:6-9 Mbwa-mwitu atakaa
pamoja na mwana-kondoo, na chui atalala pamoja na mwana-mbuzi; ndama na
mwana-simba na kinono watakuwa pamoja, na mtoto mdogo atawaongoza. 7 Ng'ombe na dubu watalisha pamoja; watoto wao watalala
pamoja; na simba atakula majani kama ng'ombe. 8 Na
mtoto anyonyaye atacheza penye tundu la nyoka, na mtoto aliyeachishwa atatia
mkono wake katika pango la fira. 9 Hawatadhuru wala
hawataharibu katika mlima wangu wote mtakatifu; maana dunia itajawa na kumjua
Bwana, kama vile maji yanavyoifunika bahari.
Mkazo umewekwa
kwa ukweli kwamba samba atakula majani kama punda. Ndama na mtoto wa simba na kimono wanatajwa kwamba
wataishi na kuongozana na kulala pamoja. Hawatawadhuru wala kuwaangamiza kwenye
mlima mtakatifu. Mambo mawili yako dhahiri hapa. Mahala panapotajwa hapa ni
Sayuni na ndama na kimono na punda wametajwa. Punda ni mnyama asiye na haiba ya
kibeberu na kwa hiyo anafaa sana kwa kufugwa. Kimono ni mnyama mdogo anayependa
kula majani na huliwa na wanyama pori. Neno lililotumika kwenye kamusi ya SHD
4806 ni merîy’ ambalo maana yake ni
chakula cha ng’ombe. Ni sawa na neno linalopatikana kwenye Ezekieli 39:18.
Jambo hili kwenye unabii wa Ezekieli linahisika na kipindi zama cha Majilio na
hatimaye inaendelea mbele (kwenye Ezekieli 40) kuhusika na marejesho tena ya
utoaji dhabihu za wanyama katika kipindi cha Milenia (Ezekieli 40:38-43;
43:18-27; 44:6-8; 45:13-25; 46:1-8).
Dhabihu hizi
zitatolewa siku za Sabato na Mwandamo wa Mwezi (Ezekieli 46:3). Dhabihu hizi
watakazokuwa wanazitoa watu zitatokoswa jikoni na zitatengwa kwa kuwekwa kando
kwa madhumuni ya kutumiwa Hekaluni (Ezekieli 46:24).
Kwa kuongezea tu
suala ya nyama za dhabihu zinazotokoswa Hekaluni, kutakuwepo na mito
utakaotokea kwenye mlima wa hekalu, na samaki watavuliwa humo na wavuvi kando
ya bahari kutoka Engedi hadi Eneglaimu. Kinamuzi na mabwawa vitakuwa kwa ajili
ya kukusanyia chumvi. Kwa kuongezea kwenye nyama hizi kutakuweko na miti
kandokando ya kingo za mito. Miti hii itakuwa ya aina mbalimbali na ambayo
itaota matunda kila mwezi. Majani yake yatakuwa ni dawa ya kuwaponya mataifa
(Ezekieli 47:9-12).
Maandiko yaliyoko
kwenye Amosi 9:14 yanaweza kuonekana kwa mtazamo mpana wa kidini na sio kwa
namna ya kuonyesha uhusiano wa kinasaba wa aina ya vyakula vilivyothibitiwa.
Zaidi ya yote, Amosi 9:13 inaonyesha pia unywaji wa mvinyo ikiwa kuwa mojawapo
ya ahadi walizoahidiwa wateule kuruzukiwa kipindi cha Millennia.
Amosi 9:13 Angalieni,
siku zinakuja, asema Bwana, ambazo huyo alimaye atamfikilia avunaye, na yeye
akanyagaye zabibu atamfikilia apandaye mbegu; nayo milima itadondoza divai
tamu, na vilima vyote vitayeyuka. 14 Nami nitawarejeza
tena watu wangu Israeli waliohamishwa, nao wataijenga miji iliyoachwa maganjo,
na kukaa ndani yake; nao watapanda mizabibu katika mashamba, na kunywa divai
yake; nao watafanyiza bustani, na kula matunda yake.
Kazi ya ukulima
na ufugaji wa
kila mwaka inahusisha mazao yanayotokana na maziwa inaonekana pia kwenye Yoeli
3:18.
Yoeli 3:18 Tena itakuwa
siku ile, ya kwamba milima itadondoza divai tamu, na vilima vitatiririka
maziwa, na vijito vyote vya Yuda vitatoa maji tele; na chemchemi itatokea
katika nyumba ya Bwana, na kulinywesha bonde la Shitimu. Tena itakuwa siku ile,
ya kwamba milima itadondoza divai tamu, na vilima vitatiririka maziwa, na
vijito vyote vya Yuda vitatoa maji tele; na chemchemi itatokea katika nyumba ya
Bwana, na kulinywesha bonde la Shitimu.
Zekaria 14
inaonyesha wazi kabisa kwamba katika kipindi cha marejesho cha millennia
sikukuu zilizoamriwa zitakuwa zinaadhimishwa pia na mataifa watakuwa wanapeleka
wawakilishi wao huko Yerusalemu au vinginevyo wataadhibiwa kwa mapatilizo
(Zekaria 14:16-19). Andiko linaendelea mbele likionyesha wazi dhabihu na ulaji
wa nyama kwenye kipindi hiki cha Milenia cha utawala wa Masihi.
Zekaria 14:20-21 Siku
hiyo katika njuga za farasi yataandikwa maneno haya, WATAKATIFU KWA Bwana;
navyo vyombo vilivyomo ndani ya nyumba ya Bwana vitakuwa kama mabakuli yaliyoko
mbele ya madhabahu. 21 Naam, kila chombo katika
Yerusalemu, na katika Yuda, kitakuwa kitakatifu kwa Bwana wa majeshi; nao wote
watoao dhabihu watakuja kuvitwaa vile vyombo, na kutokosa nyama ndani yake;
wala siku hiyo hatakuwamo tena mfanya biashara ndani ya nyumba ya Bwana wa
majeshi.
Kwa hiyo amdiko lililoko kwenye Biblia linaujumbe wa kudumu na ulio dhahiri wa makatazo ya ulaji nyama za wanyama waliokatazwa kuwa kutaendelea hivyo tangu ilivyokuwa siku za Adamu hadi mwishoni mwa Milenia. Mungu hana kigeugeu na kanuni zake ziko wazi na za haki. Imani hii ya ulaji mbogamboga ya uvijiteriani haina kashiko mahala popote kwenye Agano la Kale. Marabi waliokuwa wanadai haya s thus constant and the system is sure and just. Vegetarianism has no sanction in any section of the Old Testament. The rabbis who make claim for it do so in the face of clear Scripture against it. Their arguments are imputations against the laws and nature of God. They are in fact accusations against the justice and the integrity of the Lord of Hosts and the Messiah.
Ujumbe
wa Agano Jipya
It is clear that Christ was not a vegetarian. He kept the Passover (Mat. 26:17-19; Mk. 14:12-16; Lk. 2:41; 22:8-15; Jn. 2:13,23; 6:4; 11:55; 18:28,39; 19:14) which of necessity involved the consumption of meat (Ex. 12:11-13) and was itself the Passover (Lk. 22:11).
The apostles kept the food laws and the eating of meats. Thus, there was no elimination of meats from Pentecost. Acts 10 has been used to attempt to show the extension of categories of permitted meats (see the paper The Food Laws (No. 15)) but could not in any way be construed as to allow vegetarianism. In fact, the explanation of that text is that it was to show that conversion had been extended to the Gentiles as Peter himself explains.
Nyama
Iliyotolewa Sadaka kwa Sanamu
The more involved passage involving meats concerns meat sacrificed to idols. The text in Romans 14:1-4 is held to allow the practice of vegetarianism within Christianity, but as a weaker form of Christianity. This is an incorrect meaning. The abstaining from meat here is not on the grounds given by vegetarians, which are imputations against God. The grounds here are based on the supposition that the meat may have been sacrificed to idols. Thus, the abstention here is so as not to transgress the law, regarding the consumption of food sacrificed to idols.
Warumi 14:1-4
Yeye aliye
dhaifu wa imani, mkaribisheni, walakini msimhukumu mawazo yake. 2 Mtu mmoja anayo imani, anakula vyote; lakini yeye aliye
dhaifu hula mboga. 3 Yeye alaye asimdharau huyo
asiyekula, wala yeye asiyekula asimhukumu huyo alaye; kwa maana Mungu
amemkubali. 4 Wewe u nani unayemhukumu mtumishi wa
mwingine? Kwa bwana wake mwenyewe yeye husimama au huanguka. Naam,
atasimamishwa, kwa kuwa Bwana aweza kumsimamisha.
Andiko lililo kwenye Warumi 14:6 limeanikizwa kujumuisha na sehemu ambayo haipo kwenye maandiko ya kale.
Warumi 14:6 Yeye aadhimishaye siku, huiadhimisha kwa Bwana; naye alaye, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; tena asiyekula,
hali kwa Bwana, naye pia amshukuru Mungu.
Andiko lisemalo na Yule asiyejali umuhimu wa siku, na Bwana hamtilii maanani huyo pia limerukwa ama kuachwa kutoka kwenye maandiko haya (tazama kitabu cha fasiri cha Companion Bible, n.hadi aya ya 6). Andiko linahusu utoaji dhabihu wa wanyama kwa sanamu na iwe kuwa ni wanyama waliosafi ama la. Hali iliyochukuliwa kwenye kanisa ilikuwa ni kwamba kama ilikuwa haijulikani, ilipaswa ichukuliwe kuwa ni kama haikutolea dhabihu. Aliyedhaifu wa imani alichagua kutokula nyama hizi kabisa ili kwamba dhamira yake isihukumiwe. Kwa hiyo, hali hii ya kujinyima haikuwa ikihusu itikadi hii ya uvijiteriani bali ilkuwa ni kwa ajili ya hali iliyoonekana kama ni ya kujitia unajisi na sanamu. Hii ilikusudiwa kuzibagua na kuziweka kando nyama zilizokuwa na unajisi. Mtazamo huu hatimaye unalifafanua andiko la mtume Paulo, ambayo ni miongoni mwa maandiko ambayo yamechukuliwa kutoka kwenye waraka wa 2Petro, ambao ulikuwa unaelezea ushindani wa maangamizo ya kila mmoja.
Warumi 14:14-23
Najua, tena nimehakikishwa sana katika Bwana Yesu, ya
kuwa hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake, lakini kwake yeye akionaye kitu
kuwa najisi, kwake huyo kitu kile ni najisi. 15 Na
ndugu yako akiingia huzuni kwa sababu ya chakula, umeacha kwenda katika upendo.
Kwa chakula chako usimharibu mtu yule ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake. 16 Basi, huo wema wenu usitajwe kwa ubaya. 17 Maana ufalme wa Mungu si kula wala kunywa, bali ni haki
na amani na furaha katika Roho Mtakatifu.18 Kwa kuwa
yeye amtumikiaye Kristo katika mambo hayo humpendeza Mungu, tena hukubaliwa na
wanadamu. 19
Basi kama ni hivyo, na
mfuate mambo ya amani na mambo yafaayo kwa kujengana. 20 Kwa
ajili ya chakula usiiharibu kazi ya Mungu. Kweli, vyote ni safi; bali ni vibaya
kwa mtu alaye na kujikwaza. 21 Ni vyema kutokula nyama
wala kunywa divai wala kutenda neno lo lote ambalo kwa hilo ndugu yako
hukwazwa. 22 Ile imani uliyo nayo uwe nayo nafsini
mwako mbele za Mungu. Heri mtu yule asiyejihukumu nafsi yake katika neno lile
analolikubali. 23 Lakini aliye na shaka, kama akila,
amehukumiwa kuwa ana hatia, kwa maana hakula kwa imani. Na kila tendo
lisilotoka katika imani ni dhambi.
Andiko hili
halielezei kuhusu makundi ya nyama safi za zile najisi yaliyotolewa kwenye
sheria. Kama ilikuwa hivyo, basi Paulo hawezi kuwa ni Mtume wa Kristo. Tunajua
kwa mujibu wa sayansi kuwa makundi ya vyakula na nyama ni cha msingi sana.
Zaidi ya yote, tunajua kwamba kanisa lilishika sheria hizi na kanuni za makundi
haya ya wanyama safi na najisi kwa kipindi cha karne nyingi. Hata baada ya
ukengeufu kuanza, kanisa likiwa kwenye mateso lililendelea kushika sheria hii
ha limeendelea kufanya hivyo hadi leo. Na ndiyo maana mtume Paulo alilazimika
kuwafundisha cha kufanya kwa ajili ya sadaka zilizotolewa dhabihu kwa sanamu,
vinginevyo basi asingekuwa anasema mambo yake kwa mujibu wa sheria na ushuhuda
(Isaya 8:20). Anaongelea mahala pengine kuhusu vyakula vilivyofanywa na
kutolewa ili vipokelewe kwa shukurani. Kwa hiyo andiko hili linaelezea aina ya
vyakula zilizotolewa sadaka kwa sanamu. elsewhere about foods made to be
received with thawaln walioacha kuzitumia walikuwa ni wale waliodhaifu wa imani.
Na kwa hiyo kulikuwa hakuna namna nyingine ya kufanya wala mashiko ya namna hii
ya kuacha kwao kuzitumia uliotolewa kwa nia ya kukomesha aina hii ya sadaka kwa
kipindi cha karne nyingi kadhaa.
Mtume Paulo
alipewa maelekezo ya wazi kwa masuala mawili na Roho Mtakatifu ili alindwe na
jambo hili. Alitangaza akielezea la kufanya mara moja kabla hayapewa maelekezo
na alirudiwa kwa ajili ya makosa yake. Namna nyingine ya kufanywa tatizo kubwa
kwenye Kanisa la Mungu katika siku za mwisho na ilihitajika maelekezo ya wazi
na Roho Mtakatifu.
Mafundisho ya
Mapepo ya Siku za Mwisho
Mafundisho ya mapepo ya siku za mwisho yameelezewa na kufafanuliwa kwa kina
kwenye jarida la Mafundisho ya Mapepo Katika Siku za Mwisho (Na. 48) [The Doctrines of
Demons of the Last Days (No. 48)]. Mafundisho
mawili yanayodaiwa kuwa ni ya mapepo kufundishwa katika siku za mwisho yanahusu
ndoa na hii imani ya ulaji mbogamboga tupu au uvujiteriani. Mtume Paulo
alifundisha kuhusu ndoa alifundisha kwa wazi akisema wazi kuwa hakuna na
maelekezo yoyote kuhusu jambo hili aliyopewa na Roho Mtakatifu. Mara ya pili
aliposhughulikia kufundisha jambo hili alikuwa na maelekezo maalumu. Hebu na
tutathmini maelezo haya.
Kwenye waraka wake kwa Wakorintho, Mtume Paulo anatoa fursa ya kuchagua kwa
alivyosema kuwa ilikuwa ni hivyo tu, na kwamba ulikuwa ni ushauri wake tu na
sio amri kutoka kwa Bwana.
1Wakorintho 7:25-40
Kwa habari za wanawali sina amri ya Bwana, lakini natoa shauri langu, mimi
niliyejaliwa kwa rehema za Bwana kuwa mwaminifu. 26 Basi,
naona hili kuwa jema, kwa ajili ya shida iliyopo, kwamba ni vema mtu akae kama
alivyo. 27 Je! Umefungwa kwa mke? Usitake kufunguliwa.
Umefunguliwa? Usitafute mke. 28 Lakini, kama ukioa,
huna hatia; wala mwanamwali akiolewa, hana hatia; lakini watu kama hao watakuwa
na dhiki katika mwili nami nataka kuwazuilia hayo. 29 Lakini,
ndugu, nasema hivi, muda ubakio si mwingi; basi tokea sasa wale walio na wake
na wawe kama hawana; 30 na wale waliao kama hawalii; na
wale wafurahio kama hawafurahi; na wale wanunuao, kama hawana kitu. 31 Na wale wautumiao ulimwengu huu, kama hawautumii sana;
kwa maana mambo ya ulimwengu huu yanapita. 32 Lakini
nataka msiwe na masumbufu. Yeye asiyeoa hujishughulisha na mambo ya Bwana, ampendezeje
Bwana;33 bali yeye aliyeoa hujishughulisha na mambo ya
dunia hii, jinsi atakavyompendeza mkewe. 34 Tena iko
tofauti hii kati ya mke na mwanamwali. Yeye asiyeolewa hujishughulisha na mambo
ya Bwana, apate kuwa mtakatifu mwili na roho. Lakini yeye aliyeolewa
hujishughulisha na mambo ya dunia hii, jinsi atakavyompendeza mumewe. 35 Nasema hayo niwafaidie, si kwamba niwategee tanzi, bali
kwa ajili ya vile vipendezavyo, tena mpate kumhudumia Bwana pasipo kuvutwa na
mambo mengine. 36 Lakini mtu awaye yote akiona ya kuwa
hamtendei mwanamwali wake vipendezavyo, na ikiwa huyo amepita uzuri wa ujana
wake, na ikiwapo haja, basi, afanye apendavyo, hatendi dhambi, na awaruhusu
waoane. 37 Lakini yeye aliyesimama kwa uthabiti wa
moyo wake, hana sharti, lakini aweza kuyatawala mapenzi yake, tena amekusudia
moyoni mwake kumlinda mwanamwali wake, atatenda vema. 38 Basi,
hivyo na amwozaye mwanamwali wake afanya vema; na yeye asiyemwoza atazidi
kufanya vema. 39 Mwanamke hufungwa maadamu mumewe yu
hai, lakini ikiwa mumewe amefariki, yu huru kuolewa na mtu ye yote amtakaye;
katika Bwana tu. 40 Lakini heri yeye zaidi akikaa kama
alivyo; ndivyo nionavyo mimi, nami nadhani ya kuwa mimi nami nina Roho wa
Mungu.
Ushauri huu wa
Paulo haukuwa mzuri, bali uliruhusiwa kwa kuwa ulisaidia kutimilika kwa malengo
mengine. Ulikuwa ni sahihi katika roho ambaye alipewa na kutumika kwenye ayah
ii kama onyo kwa wale wanaomtumikia Mungu. Zaidi ya yote lilikuwa ni fungu la
kuwatia moyo tu kwa wale wasio na watoto na kwamba walikuwa ni matoashi tu kwa
kuzaliwa au kwa kuamua kwa ajili ya imani. Watu wa aina hii walikuwepo kipindi
kile na idadi kubwa tu ya watu walikuwepo walioamua kuwa matowashi (soma canon
21 ya kitabu cha the Apostolic Canons, ANF,
Vol. VII, uk. 501 fungu linalosema kutiamoyo kuwekaji waa wakfu kuwa maaskofu).
Kwahiyo ushauri huu ulikuwa sahihi kwa maana kwamba ulisaidia kufikia
kuwatiamoyo wale waliokuwa kwenye hali ya kutokuwa na fursa kanisani. Watu aina
hii wapo hadi sasa kwenye imani na wanapitia vipindi vigumu sana na maumivu kwa
yale waliyoyapoteza na wanahitaji kutiwa moyo wanapokuwa kwenye huduma
kumtumikia Mungu. Hata hivyo haikuwa na maana au haimaanishi kuwe na msimamo wa
kuzuiqa watu kuoana kanisani. Roho Mtakatifu aliingilia kati kwa kuwa jambo
hili na linguine yangeweza kuasababisha matatizo makubwa ya kiimani kwa miaka
kadhaa iliyofuatia baadae.
1Timotheo 4:1-5 Basi Roho
anena waziwazi ya kwamba nyakati za mwisho wengine watajitenga na imani,
wakisikiliza roho zidanganyazo, na mafundisho ya mashetani; 2
kwa unafiki wa watu wasemao uongo, wakichomwa moto dhamiri zao wenyewe; 3 wakiwazuia watu wasioe, na kuwaamuru wajiepushe na
vyakula, ambavyo Mungu aliviumba vipokewe kwa shukrani na walio na imani wenye
kuijua hiyo kweli. 4 Kwa maana kila kiumbe cha Mungu
ni kizuri, wala hakuna cha kukataliwa, kama kikipokewa kwa shukrani; 5 kwa kuwa kimetakaswa kwa neno la Mungu na kwa kuomba.
Hapa Mtume Paulo
anaweka wazi kwamba Roho amesema kwa wazi sana kwamba mafundisho haya ya
mashetani yatatokea katika siku za mwisho. Tunajionea mafundisho hayo siku hizi
yakifundisha kwa kiasi kikubwa sana kuliko ilivyokuwa huko mwanzoni. Hadi
kufikia karne hii. Mafundisho ya mashetani kuhusu maisha ya useja au
yanayokataza watu kuoa, ambayo pia hufundishwa sio miongoni mwa Waorthodox na
kwenye Kanisa Katoliki la Rumi, bali yamo pia kwa Wanostiki, Wamontana,
Wanicheani na wale wanaoitwa Wapuritani au imani ya Wakathari kwa kipindi cha
karne kadhaa zilizopita. Imani za Kivijiteriani na wale wasiokunywa kileo kwa
upande mwingine zilianzishwa ama kutokea kwa Wanostiki, Wamontana, Wamanicheani
na Wakathari na warithi wao. Dini hizi za uwongo kwa kiasi kikubwa au kwa namna
moja au nyingine walianza kw kutumia kivuli cha kujiita kuwa ni Makanisa ya
Mungu kwa kipindi cha karne nyingi zilizopita, na maranyingi wakililetea mateso
kanisa.
Unostiki wa Kiasetiki
Fundisho la
Waasetiki asili yake lilikuwepo tangu mwanzo miongoni mwa imani za Usiri za
kale na hatimaye Wapythagoreans waliingiza fikra za Kimagharibi. Kupata
ushawishi mkubwa kwa dini za Mambosiri na ya kimafumbo kulikotokea huko Afrika
Kaskazini kuliiona na kuichukulia hii kuwa inafaa na inashawishi wengi na
inapendwa na makundi ya kiuchumi na kijamii yaliyojiengua huko Alexandria
yakiwa kama ni nguvu inayopingana na imani na sheria za Kiyahudi. Imani hiyo
iliitwa Unostiki iliyotokana na neno gnosis
au maarifa ambayo itikadi yake inatokana na imani za kale zilizokuwa
zinawaaminisha watu mambo yasiyofikirika akilini na kuyaamini kuwa kweli.
Ilikuwa ni uasetiki ambao walikuwa wanaaminishwa imani ya kujizuia ulaji wa
nyama. Kundi linguine la Wanostiki liliendelea na kushika kasi huko Syria na
waliendelea kufundisha mlilingo wa mafundisho ya kiasetiki na fikra za
wanaopinga sheria za Mungu. Mojawapo ya Chuo kilichikuwa maarufu zaidi ni kile
cha Simon Magus.
Vyuo vikuu viwili
vya Wanostiki vilikuwa ni kile cha Alexandria na kingine kilikuwa huko Syria.
Kile cha Alexandria ambacho kiliwajumuisha wa imani ya Basili, Valentine na
Ophites, na ndiko tunakutana na itikadi za Kiplatoni na theori ya mtokezao
inazidi kupata mashiko. Kwenye shule za Syria ambayo ilijumuisha imani za
Saturninus, Bardesanes na Tatian, tunaona kwamba kulikuwa na imani za Kiajemi
na Wenye kuamini miungu wawili ndizo zilishika kasi.
Licha ya
mafundisho yaliyokuwa wanaenezwa na shule mbili hizi, kuliibuka imani nyingine
ya Marcion iliyoibuka kutoka Asia Ndogo. Schaff anadai kwamba hii ilitokana na
umaarufu wa Mtume Paulo na nyaraka zake mahiri zenye ujumbe wa injili huru
zilizokuwa zinapinga itikadi kali za upande mmoja wa shilingi au uligalism
(soma kitabu cha Schaff, cha Historia ya
Kanisa la kikristo [The History of the Christian Church), Vol. 2, Eerdmans,
Michigan, 1987 reprint, p. 459)]. Schaff anaonekana kuwa alielewa vibaya ujumbe
uliokuwa kwenye nyaraka za Paulo kuhusiana na jambo hili (soma kwenye jarida la
Kazi za Maandiko ya Torati – au MMT (Na. 104) [The Works of the Law Text -
or MMT (No. 104)] na Mwanndamano
wa Torati (Na. 252-Na. 263) [Law series (No. 252-No. 263)].
Unostiki
unaonekana kwa namna tatu mbalimbali kutegemea mahala ulikojimegua. Imani hii
inatokana na mseto wa Kipagani uliojichanganya kati ya imani ya Kiyahudi na
Kikristo. Kwa hiyo haishangazi kuona waandishi wa Kiyahudi wakiyaunga mkoco
mawazo ya Unostiki huu ulio na mseto wa kiasetiki tangu zama za Agano la Kale
ambayo inakusudia kuondoleambali maana kusudiwa ya sheria na unabii
zilizotolewa kwenye Agano la Kale. Maelekezo haya yaliathiri kwa kiasi kikubwa
huko Kabbalah na yanakutikana miongoni mwa marabi wao waliokuwa maarufu sana.
Wale wanaoitwa na kujulikana kama waandishi wa Kiyahudi wale wanaoitwa kuwa ni
waandishi wa Kikristo wanaweza wote wawili kuunda imani hii ya kiasetiki kwa
mafindisho yao yanayoandikwa kwa kuyatumia vibaya Maandiko Matakatifu ya Biblia
nah ii haipaswi kutushangaza tukiona hivyo. Hawaendani na kwa mujibu wa
mafundisho ya kibiblia, bali wanaiunga mkono imani potofu ya Kinostiki ambayo
yamechanganywa na imani zote mbili ambayo wanaendelea kufundisha. Kujua hivyo
ni muhimu sana katika kuelewa asili potofu na uwongo wa mafundisho yao ilivyo.
Schaff anaendela
kuamini kwamba hawa wote, yaani Wasimoni, Wanikolai, Waofiti, Wakarpokratiani,
Waprodikia, Waantitakte, na Wamanikeani wapo kwenye mrengo wa daraja la
kipagani la Kinostiki. Anaamini kuwa waumini wa imani za Cerinthus, Basilides,
Valentine, na Justin wapo kwenye daraja na mrengo wa Kiyahudi na la Saturninus,
Marcion, Tatian, na Encratites mgawanyo wa mrengo wanaochanganya ya imani ya
Kikristo (ibid., p. 460). Lakini anaonyesha kwa usahihi kwamba tofauti iliyoko
inafanana sana. Imani yote ya Kinostiki ni ya kipagani katika mwelekeo na asili
yake na inapingwa na imani ya kiaseniki sawa na kuwa kwenye itikadi asilia ya
Kiyahudi ya Agano la Kale na na imani ya kikristo ya Agano Jipya. Anasema:
Imani ya Kiyahudi ya
kile kinachojulikana kama kuuingiza Unostiki kwenye imani ya Kiyahudi ni dhana
isiyo na maana ya kiuandishi, iwe ni kutoka shule ya Alexandria au ile ya
Cabalisti (ibid.).
Kwenye uandihi
wake, sehemu ya 1 hadi 460 anamtaja maandishi ya Gibbon kuwa yanatuama kwa
mbalia kutoka kwenye mtazamo wao wa kupinga imani ya Kiyahudi kunawafanya
waelezee msimamo wake ulio kinyume na Agano la Kale. Jambo la muhimu hapa ni
kwamba masuala ya Wakabbalist ambayo yamejiingiza kwenye falsafa za Kiyahudi,
yakitafuta kuwa na ushawishi mkubwa kwenye falsafa ya Agano la Kale ambayo
uasetiki nah ii ieenea kwa kiasi kikubwa sana kwenye imani ya Kiyahudi.
Schaff anawaweka Wanostiki kwenye makundi matatu, yaahi Wanostiki wadadisi
au wakereketwa wa imani yao kwa mungu ambapo anawaweka Wabasiliani na
Wavalentini kwenye kundi la wanamatendo na waasetiki (Marcion, Saturninus na
Tatian); na wapinga sheria kwenye kundi la kile alichokiita vikundi vya Simonians, Nicolaitans,
Ophites, Carpocratians, na Antitactes.
Simon Magus kuenda ndiyo imani iliyopata kupendwa sana kuliko nyingine zote miongoni mwa dini za imani-siri za Kikristo (Matendo 8:4-24). Simon Magus alibatizwa na Filipo huko s baptised by Philip in Samaria yapata mwaka 40 BK na alitamani sana na kutafuta jinsi ya kupata uweza wa Roho na wa kutenda miujiza kwa kununua kwa fedha na alifukuzwa na Petro. Justin Martyr, mwenyewe ambaye pia alikuwa ni mkazi wa Samaria, alisema kuwa Simon alikwa ni mwenyeji wa Gitthon huko Samaria (Kwa mujibu wa kitabu chake cha Watetea dini au Apol. 1, 26). Kulikuwa na mahali palipokuwa panaitwa Gittai, ambapo sasa panaitwa Kuryet Jit, karibu na Flavia Neapolis au Nablus, nyumbani kwa Justin Martyr (imeandikwa kwenye kitabu cha Schaff, ukurasa 461, fn. 2). Hata hivyo, Josephus aliandika kuwa alikuwa ni mwanamazingaombwe au mchawi wa Kiyahudi kwa kipindi kile ndivyo alivyojulikana na kwamba alikuwa ni mwenyeji wa Cyprus na ni rafiki wa Liwali Felix. Inaonekana kuwa alikuwa ameajiriwa na hasimu wa mume wake, Drusilla mke wa mfalme Azizus wa Emesa, huko Syria. Felix alitarajia kumuoa yeye (kwa mujibu wa kitabu cha Antiquities of the Jews XX, 7, 2). Kwa hiyo habari hii ni mojawapo kati ya jukumu lingalilo lazimika la kuhama kutoka Samaria hadi Syria ili kufikia malengo aliyoayakusudia mtawala au liwali. Ubatizo kanisani ulitangazwa mbali na ujuzi au uroho wa kujipatia fedha. Jina hili la simony lenye maana ya mpenda kujitajirisha bado lingali linatumika na kwa kiasi kikubwa kwa maafisa wa kanisa.
Simon lijionyesha mwenyewe kuwa kama mchomoko au alama ya miungu na aliwavuta wengi wamfuate huko Samaria kwa uchawi wake. Kwa hiyo anaonekana kuwa ni miongoni mwa Wayahudi waliokuwa kwenye imani za siri, na huenda alikuwa ni miongoni mwa wabashiri au wapigaramli wa Kabbalism aliyekuwa anafanya kazi zake nje ya kiwango kilichowekwa cha uweza wa kawaida wa Wayahudi. Irenaeus anamtaja yeye kuwa ni baba au mwanzilishi wa ainazote za mafundisho ya uwongo na wa Unostiki kwa ujumla. Hii kwa kweli haikuwa sahihi kama jinsi Unostiki ulivyoonekana na kukubalika huko Misri kipindi cha kale zaidi kabla ya kuanza kwa hii. Inaonekana kuwa aljkuwa anaamini Unostiki na alikuwa.wa muhimu sana kwenye mwenendo wa vuguvugu hili, lakini itikadi yake ya Kinostiki ilikuwa na dhana na mitindo ya zama kale. Alijitangaza mwenyewe kuwa ni tunda lililofanyika mwili tu katika kuzaliwa aliyetokana na roho iumbayo na sababisho la mwenendo wa ulimwengu wote. Mwenza wake kimahusiano ni mwanamke kahaba wa zamani aliyeitwa Hellena wa Tiro, alitangazwa kuwa ni kiumbe aliyefanyizwa mwili akitangazwa amepokea roho za ulimwengu. Wafuasi wake walimuabudu wakimpa heshima ya kuwa ni kiumbe kwenye akili nyingi na mwenye uwezo wa kuokoa kuwahi kuwako kwenye karne ya tatu. Dini hii potofu ilikuwa inavunja maadili kwa kufanya machafu mengi kwa misingi yao na matendo yao. Justin Martyr anaandika kwamba alifanya kama hivyo kwa kumuelezea Saneta wa Kirumi na watu waliompa heshima ya kimungu na wakamjengea sanamu na kuisimamisha kwa heshima yake, ambaye inasemekana kuwa ilikuwa ni kama kisiwa huko Tiberio (Apol. 1. 26, 56). Jambo hili sio sahihi na linachanganya na ile sanamu iliyogunduliwa mwaka 1574, ambayo imeandikwa maneno yasemayo Semoni Sanco Deo Fidio sacrum etc. This refers to Semo Sancus au Sangus a Sabine-Roman ambaye ni mungu aliyekuwa akimjua (sawa na inavyosema Schaff, p. 462, fn. 1). Kwa kweli haitendanishi utengenezaji na kusimamisha kumbukumbu nyingine huko Roma nah ii ngeweza kuwa ni sababu ya kurudiwa kwa makosa kwa mujlbu wa kitabu cha Irenaeus (Adv. Her. 1. 23, 1) na Tertullian (Apol. 13) na pia Eusebius. Schaff anamtaja Hippolytus aliyekuwa akiishi huko Roma ambaye hakutaja kabisa hilo (ibid.). Wafuasi wa Simonians bado wanatajwa katika kuwakilisha jina la Wanostiki kwa ujumla kwenye baadhi ya maandiko. Imani za waanti nomia au wapinga sheria zitaelezewa mahala pengine popote. Dini hizi zilifanya maovu na machafu makubwa sana na ilikuwa ni kanuni ya imani yao kufanya mambo haya machafu na hawakuwa wasetiki kwa namna hiyohiyo wakiwa kama vikundi vya Kinostiki vilivyoenea hadi mbali na hawakuweza kubakia kwa ajili ya mtindo wa kutoongezeaka katika maisha yao.
Mnostiki aliyekuwa anaitwa Cerinthus alidaiwa kuwa alikuwa Myahudi wa Kimisri aliyesoma huko Alexandria chini ya Philo kwa mujibu wa taarifa za kimapokeo zilizokusanywa na Epiphanius. Taarifa hizi za kimapokeo zinadai kwamba alikuwa ni mmojawapo wa mitume wa uwongo waliompinga Mtume Paulo na alitaka tohara ya mwili kanisani (Wagalatia 2:4; 2Wakorintho 11:13).
Anadhaniwa pia kuwa alipingana na Yohana aliyedaiwa kuwa aliiacha wazi bafu akidai kuwa itaanguka wakati Cerinthus alipokuwa huko. Alifundisha utofauti wa Yesu aliyekuwa hapa duniani na Kristo wa mbinguni aliyepaa mbinguni machoni pao. Mtazamo huu pia unaangukia na ule wa Mpingakristo. Alikuwa ni Myahudi mwenye kujulikana na maarufu. Schaff anajaribu kumfungamanisha na Waebioni (ibid., p. 465). Pia alikuwa ni mbashiri miaka au mtarajia millennia, imani iliyokuwa imejikita makao yake huko Yerusalemu. Hii imerukwa na Irenaeus ambaye yeye mwenyewe alikuwa ni mbashiri miaka lakini aliandikwa na Caius, Dyonisius (kwenye kitabu cha Eusebius), Theodoret, na Augustin (kitabu cha Schaff, ukurasa 466). Hizi zilikuwa ni aina za kale zilizohusianishwa na mambo ya theolojia ya kanisa lakini zilitangulia kupindisha tafsiri zake katika uparadigimu wa Kinistiki. Inawezekana kuwa Cerinthus alihesabiwa kuwa ni mhimili wa imani hii ya Kinostiki ambao walikuwa ni wapingaji wakubwa sana wa sheria za Agano la Kale. Inaonekana kuwa alijaribu kulipinga kwa kutumia mbinu za kwenda hatua kwa hatua, bali pia alikuwa na wadhulumaji miongoni mwa barua zilizoitwa za wenye itikadi kali au waorthodox. Hii ilikomesha mkengeuko uliofuatia baadae katika karne ya kwanza.
Waalimu wa kinostiki wa karine ya pili walianza kipindi cha utawala wa mfalme Hadrian (117-138 BK) pamoja na mfumo mzuri wa kimaendeleo wa zama karne ya kwanza, ambayo ni za Wabasiniani. Imani yao ilikuwa ni ya kuamini Mungu mmoja na sio ya miungu miwili lakini nyaraka za baadae zinajaribu kumjumuisha yeye kuwa alikuwa ni wa itikadi ya miungu wawili.
Wabasiliani walianzisha itikadi yenye mtazamo wa kimafundisho tu kuhusu Kristo, na ambao ndiyo uliendeleza imani ya Kristo wa nafsi tatu. Imani hii ilidai kwamba Kristo alikuwa mwana wa akoni wa kwanza, mwana wa akoni wa pili na mwana wa Mariamu. Upatanisho wa wana wa Mungu kwa viumbe wote ambaye alikuwa ni Mungu aliyewahi kuishi huko nyuma zaidi aliathirika kwa ajili ya kuzaliwa kwake Kristo kutokana na waakoni hawa ambao walikuwa wasaidizi wake. Wafuasi wake wanadhaniwa na kuaminika kwa namna fulani walikuwa wameachwa kimatendo na waliharibu mfumo au imani ya mwanzilishi wao. Kundi hili lilibakia huko Misri hadi karne ya nne, na kwa mujibu wa Sulpicius Severus, baadhi ya mafundisho yake yaliletwa hadi Uhispania na Marcus wa Memphis (sima kitabu cha Schaff, uk. 472).
Kundi hili pamoja na vingine kama vile vya Ophites, Perates na Valentinians vimetajwa kwenye Injili ya yohana maranyingi kabla ya katikati mwa karne ya pili.
Valentine anadhaniwa kuwa alikuwa na
umuhimu mkubwa sana kati ya wanatheori wa Kinostiki. Irenaeus alielekeza kazi
yake ya uandishi kinyume au dhidi yake. Hippolytus anadai kuwa alikuwa Mplatonisti
na Mpythagoreani (Schaff, uk. 472-3). Alikuwa pia na hazina kubwa ya masomo ya
Wamisri na Wayahudi aliyepata elimu yake huko Alexandria (soma kitabu cha Epiph. Her. XXXI. 2; sambamba na Schaff, uk. 473). Alijiondoa kutoka
kwenye kanisa la kiorthodox, kwa mujibu wa nakala za vitabu vya Tertullian, kutokana
na taadhima kuu. Alikwenda huko Roma akiwa ni mwalimu wa elimu ya kawaida ya
kidunia kipindi cha utawala wa kipapa wa Hyginus (137-142 BK), akabakia hivyo
hadi kipindi cha utawala wa Papa Anicetus (154 BK) (soma Iren. III, 4,3). Waumini wa imani ya Valentianiani walikuwa
wakizuiwa kabla ya mwaka 140 BK na wanatajwa na Justin Martyr (soma kitabu cha Syntagma dhidi ya aina zote za Mafundisho ya
Kizushi kilipotea lakini iliandikwa kwenye kitabu cha First Apology au Wateteadini
wa Kwanza). Roma ikiwa ni kitovu cha utawala ama dola, ilijikuta inakuwa ni
kitovu cha madhehebu yote na aina zote za uzushi wa kidini. Valentine au Valentinus alikuwa miongoni
mwa Wanostiki wa kwanza aliyefundisha huko Roma pamoja na Cerdo na Marcion. Hii
ilifanya kuwe na matokeo muhimu sana kwa matokeo mazuri kwa mambo fulani kwenye
teolojia ya Kikristo. Alitengwa kwenye dini yake na alifariki huko Cyprus mnamo
mwaka 160 BK (Schaff, uk. 473). Schaff anafikiri kwamba kanisa lilikuwa
limekuwa limezungushiwa boma ili waathirike, lakini anadai kutoka na mtazamo wa
uorthodox wa kisasa. Mabadiliko yaliyopitia kipindi chote cha kina Hyginus na
Anicetus yanamaana kubwa sana. Teolojia ya Valentine inajaribu kutambulisha
ujuzi wa kibiblia wa mtaguso wa tatu, ambao anaupangilia kama ni vipindi dahari
vitatu inayoelekea kuzimuni. Kjtisto na Sophia wa Roho Mtakatifu ni wa mwisho
miongoni mwa watatu.
Shule ya
Valentinus inagawanya kwenye matawi matatu; wakimagharibi na wa Kiitaliano.
Axionicos au Ardesanes (Bardesanes) alifundisha masomo yanayohusu mwili wa Yesu
Kristo wa kiroho na kimbinguni, kwa kuwa Sophia au Roho Mtakatifu alimjia
Mariamu. Shule ya Kiitaliani iliyokuwa chini ya Heraclion na Ptolemy
ilifundisha kwamba mwili wa Kristo ulikuwa sio kitu dhahiri bali ni wa hisia,
na kwa ajili hii ndiyo maana Roho alishuka juu yake alipokuwa anabatizwa. Dini
hii ilionekana kushabihiana kwa karibu na ile ya orthodox kwa wazao wake zaidi
kuliko ya mshika dau. Hapa tunaona mapingamizi ya imani hizi.
Maranyingi Origen
anawalaumu hawa kwa kukosakwao kuwa wenye kuyaona mambo kiroho zaidi wanapokuwa
wanaitafsiri Injili ya Yohana (kitabu cha Grabe Spicil. II. 83-117; cf. Schaff, p. 479 fn. 2). Ptolemy, kwenye Waraka wake kwa Flora, aliandika kuwa
uumbaji wa dunia na Agano la Kale lisingeweza kuendelea kutoka kwa Mungu
aliyejuu sana. Anaweka madai yake kutoka kwenye mapokeo ya kiinjili yaliyoko
kwenye Yohana 1:18 kuhusu jambo hili. Mungu tu ndiye aliye mwema (Mathayo
19:17) na kwa hiyo, hawezi kuwa muumbaji wa hii dunia huku akiwa ni muovu
mkubwa kiasi hicho. Mtazamo huu unaonyesha upungufu wa kutojua na ukosefu wa
maarifa ya kuyajua Maandiko,Matakatifu kwa upande wao na kwa wale wanaohubiri
imani ya Kikristo kwa ujumla hata kwenye kipindi na hatua hii.
Mwanafunzi
mwingine wa shule ya Valentine, Marcos, aliyefundisha huko Asia Ndogo na huko
Gaul katika nusu ya pili ya karne ya pili alitokea kwenye mfano wa kinumerali
wa Pythagorean na Kabbalist kwenye shule ya kitheori ya Kinostiki. Mbardesanes
wa Kisyria na Harmonius wote wawili na Edessa, aliyeaminika kuwa ni mababa wa
Wataalamu wa uimbaji tenzi wa Kisyria na hawajaonyesha dalili ya kuamini imani
ya miungu miwili kwenye elimu dunia yao.
Mafundisho ya
Kinostiki yametokana na mlipuko kamili kutoka kwenye imani yake ya kupinga
imani ya Kiyahudi na ukosoaji wa kibiblia wa Marcion. Alikuwa ni mtangulizi wa imani ya kitabaka ya
Agano la Kale na Nyaraka za Kichungaji. Hakuwa anafahamu uhusiano wa kiufunuo
wa Biblia na kumuweka Kristo kwenye mgongaro na ufunuo wote uliopita huko
nyuma. Mtazamo huu ulitangulia utangulizi wa Ukristo mamboleo wa Agano Jipya,
ambao unawezakuwa hauelewi sjeria za Mungu au kuona mashiko yoyote ya uhusiano
au heshima yake.
Schaff
anashikilia kuamini kwamba Marcion
anawakilisha mkakati
wa hali ya juu wa kupinga imani ya Kiyahudi na Upaulo bandia na ushirikina
unaofanyika kwa kutumia maajabu na ishara za kiroho ambayo kwa bidii za
kishabiki kwenye Ukristo kamili wa kizamani, kuondoa historia yate na kuibadili
injili kwa ghafla, visivyo asili yake na ionekane kuwa ni kama kituko tu (uk.
483).
Marcion, mtoto wa
askofu wa Sinope huko Pontus, alitengwa na ushirika wa kanisa na baba yake.
Alikwenda hadi Roma katikati ya karne ya pili (yapata mwaka 140-155 BK). Kwa
hiyo Roma ikawa ni kituo cha Unostiki ukiwa haukutokana na shule yoyote
miongoni mwao. Alichukuliwa na kutiliwa maanani na Irenaeus, Justin Martyr na
Polycarp, akiwa kama ni mfundisha uzushi zaidi kuliko wengine wote wa siku
hizo. Alidai kuwa na nguvu mizania mbili au tatu. Uzuri na wema wa Mungu,
ambaye alimfanya Kristo ajulikane kwanza, jambo baya linaloongozwa na ibilisi
ambaye kwamba upagani au umataifa (Schaff) vikiwa ni mali ya muumba dunia mwema
na mwenyehaki ambaye kwaye mwisho mbaya, Yahova mwenye hasira, Mungu wa
Wayahudi. Schaff anaamini kwamba waandishi hawahawa ndio wamepunguza kanuni za
Marcion na kuzigawanya kwa mbili. Marcion alikataa dhana ya kuibuka kwa imani
ya kipagani. Mapokeo ya kisiri na tafsiri za kuchukulia kila kilichoandikwa
kiroho ya Wanostiki. Hana imani ya kuwaamini kina Pleroma, Aeons, Dynamics,
Syzigies, au Sophia mteseka kwenye imani na mafundisho yake. Anatenga na kuondokana
na ukuaji wa taratibu na kila kitu
kisichoandaliwa kwa ghafla na kwa dharura. Imani yake ilikuwa ikikosolewa sana
na ycnyekuonysha ubaguzi zaidi kuliku kuwa ya kisiri na fumbo nay a kifalsafa (Schaff,
uk. 485). Alisema kwamba Ukristo hauna uhusiano na ya nyuma iwe ni kwenye imani
ya Kiyahudi wala kutoka kwenye imani za mataifa wapagani. Kristo hakuzaliwa
bali alishuka tu ghafla huko Kapernaumu, katika mwaka wa kumi na tano wa
Tiberio akiwa kama ni mtu aliyekuja kumdhihirisha Mungu aliye mwema aliyemtuma.
Anadaiwa kuwa hakuwa na mahusiano yoyote na Masihi wa Agano la Kale ingawa
alijiita mwenyewe kuwa ni Masihi kwa namna ya kujitambulisha tu (kitabu cha
Schaff, kurasa 486-486). Waliruhusu wanawake kubatiza na kufundisha ubatizo wa
kuwawakilisha wafu au kwa niaba ya waliokufa (Schaff, uk. 487).
Marcion alikuwa
ni mpenda ugomvi na machafuko na pia alikuwa mpinga sheria lakini pamoja na
kuwa hivyo anadhaniwa kuwa alikuwa kwenye daraja la juu la wafundishaji imani
ya Kinostiki ya kiasetiki.
Marcion alifundisha
na kutenda hali ya nidhamu ya kujithibiti mwenyewe ya kisetiki, ambayo sio
kwamba ilitokana na sikukuu zote za kipagani, bali hata kwenye ndoa, mwili na
mvinyo. (Aliruhusu samaki).
Angeweza kumpata Mungu wa kweli katika asilia na sio zaidi ya historia.
Aliwakubali kuwabatiza watu walioolewa peke yao na kula kiapo cha kuwa watadumu
kwenye imani ya wenye kujinyima au kujizuia kushiriki matendo ya ngono
(Tertullian I. 29; IV. 10 kama ilivyoandikwa na Schaff uk. 486).
Dini ya Marcion
ilienea katika nchi za Italia, Misri, Afrika Kaskazini, Cyprus na Syria.
Wanafunzi wake ambao waliwajumuisha kina Prepo, Lucanus (Waashuru), na Apelles,
walirahisisha mjongeo wa kiutatu wa kipagani na wa Kiyahudi huenda walifanya
hivyo kwa nia ya kuwavutia wao. Upokeaji wao wenye udhati na moyo na utayari
wao kuyapokea mateso uliwafanya wawe hatari kwa kanisa (soma kitabu cha Schaff,
uk. 487). Waliishia kwenye karne ya tano licha ya mfalme Constantine kupiga
marufuku uhuru wa kuabudu. Waliendelea kuwepo hadi karne ya saba wakati
ulipoitishwa mtaguso wa Trullan mwaka 692 ingawa ilionekana dalili kuwa
waliachilia fursa ya kufanya upatanisho na kuchangamana (Schaff, ibid.).
Hatimaye tunasikia kilichofuatia ni kuundwa kwa mshikamano wa kinidhamu baada
ya miaka mia mbili iliyofuatia, wakati ikiwa imejulikana na kuaminika kuwa
walikuwa wamekoma kwa kipindi cha miaka mingi iliyokuwa imepita (tazama habari
zake hapo chini). Kwa hiyo, imani hii ilidumu na kuendelea kwa kipindi cha
karne kadhaa baade.
Wamanikeani
Nyingine miongoni
mwa imani za Kikristo ambayo ilikuwa na warithi halisia na wa kweli ilikuwa ni
wa Manichean ingawa waorthodox walikuwa wamekwisharithi baadhi ya mambo kutoka
kwenye mafundisho yake.
Wanostiki
walifundisha kwamba mambo hayo yalikuwa ni maovu yaliyokuwako ndani mioyoni
mwao. Uwongo ulioendeshwa chini kwa chini uliokusudiwa na Wanostiki ulikusudia
kutimiliza lengo lao la kuondoa kabisa uwepo wa mafundisho ya sheria za Agano
la Kale. Ni Agano Jipya tu kwao ndio lilikuwa na umuhimu na maana pamoja na
vitabu walivyovitunga walivyoviita kanuni ambavyo vilijumuisha baadhi ya
maandiko na aya kadhaa nyingine, ambavyo havikuwa na mashiko yoyote na
havijulikani chanzo cha mafundisho yake.
Waamini miungu
miwili wa aina zote mbili za imani ya dini za Kinostiki na Ukristo wa
Kimanicheani na Cathari au Puritans ambao waliwafuata wapo kwenye makundi
mawili, wana wa nuru na wana wa giza. Shetani ambaye pia ni mfalme wa giza
alifanya mashambulizi kwenye ufalme wa nuru. Walifundisha na kuamini kwamba
Adamu ambaye alikuwa na nishati kubwa ya kutoa nuru na Hawa walikuwa ni viumbe
walioumbwa na Shetani. Kaini na Abeli walikuwa ni wana wa Shetani na Hawa
(wakidai kuwa Hawa alitenda dhambi na Shetani) lakini kwamba Sethi ndiye
alikuwa ndiye mtoto wa Adamu na Hawa, na ndiye aliyekuwa nuru kamili.
walilazimishwa hadi kwenye mazingira haya kwa sababu Abeli alikuwa mfugaji
wanyama na kwa hiyo alikuwa ni mla nyama na kwa hiyo asingeweza kuwa ni mwana
wa nuru.
Kwa kuwa kila
jambo lilikuwa ni uovu, walishikilia kuamini kwamba ni kwa kujikita kwenye
uasetiki tu ndipo mtu angeweza kumudu kuwa na mwili wa hali hii ya dhambi kwa
ndani. Walifundisha mafundisho ya kujinyima ulaji wa nyama za wanyama wote, na
kujinyima au kujizuia na unywaji wa vileo. Kwa kuwa Agano la Kale liliweka
kazingira ya vinavyokatazwa na kisha kuruhusu kutegemea aina na mazingira,
ndipo wao walifundisha na kuamini kuwa ilikuwa ni kazi mbaya ya Mungu muovu wa
Wayahudi. Mkakati uliokuwa unaendelea kwa siri ulikuwa ni kumpinga na
kumshambulia Mungu aliyeamuru kuandikwa kwa Agano la Kale na kuziweka kando
kabisa sheria zake.
Kanisa la kwanza
lilipingwa sana na mafundisho ya uwongo ya uvijiteriani na ya kuwazuia watu
wasioe na unywaji wa mvinyo. Kwenye kitabu cha kanuni ya mitume, ambayo
iliongezwa kwenye kitabu cha nane cha Katiba ya Mitume Watakatifu, muongozo
kuhusu uongozi wa kanisa ni mambo muhimu sana yametolewa, sio tu kwa ajili ya
huduma, bali pia ni kwa Wakristo walei. Kuhusu unywaji wa mvinyo umeelezewa na
kufafanuliwa kwenye Katiba kwenye Kitabu toleo la VIII, sura ya XLIV. Kwenye
mambo yanayokatazwa:
Kitabu
kinachoitwa Canon 51 (Ante-Nicene Fathers,
Vol. VII, p. 503) kinasema:
Iwapo askofu yeyote
au mzee wa kanisa, au shemasi, au hata kwa kweli aliye miongoni mwa walio
kwenye kundi la kikasisi, akijinyima kwenye masuala ya ndoa, yakimwili, na
kunywa mvinyo visivyo kwa hiyari yake, ila kwa sababu tu ya kwamba anavichukia
vitu hivyo, akisahau kuwa “vitu vyote viliumbwa vikiwa vizuri sana,” na kwamba
“Mungu alimuumba mtu mume na mwanamke” na anamkufuru kwa wazi kabisa muumbaji,
vinginevyo basi na avifanye yeye upya, au vinginevyo na aondolewe haki ya
ushirika na afukuzwe atoke Kanisani, na vivyohivyo kwa muumini wa kawaida.
Canon 53 (ibid.)
inasema:
Iwapo kama askofu
yeyote au mzee wa kanisa, au shemasi anakosekana kuhudhuria kwenye siku za
sikukuu na akikosa kushiriki kuula mwili au divai, basi na aondolewe ushirika,
kama “na ateswe kwa kuondolewa fahamu zake au ku anyaushwe”,: na kuwa ni mwenye
kusababisha tuhuma kwa wengi.
Canon 63 inasema:
Iwapo kama askofu au
shemasi au hata yeyote aliye kwenye wadhifa wa ukasisi, akiula mwili pamoja na
damu ya uhai wake, au chochote kilichoraruliwa na mnyama wa porini, au akila
kilichokufa chenyewe kibudu, basi na aondolewe hadhi ya ushirika: kwa kuwa ni
sheria yenyewe ndiyo iliyomkataza. Bali iwapo kama atakuwa yu miongoni mwa mwa
waumini wa kawaida walei, basi huyo na aadhibiwe kwa kutengwa na kanisa.
Canon 64 inasema:
Iwapo kama mmoja
kati ya wazee wa kanisa aikikutwa amefunga saumu siku ya Bwana, au siku ya
Sabato, mbali na ile siku moja tu iliyoamriwa [yaani Siku ya Upatanisho], basi
na apokonywe hadhi ya ushirika; bali ikiwa akifanya hivyo muumini wa kawaida
mlei tu basi na aadhibiwe kwa kutengwa na kanisa.
Fungu hili la
maandiko lilifanywa kwa lengo la kutumiwa kwenye kanisa siku za kale kabisa
kabla ya Mtaguso wa Nikea (325 BK) ingawaje Harnack na baadae Schaff
walishiriki kukamilisha uandishi wake (yaani waliunganisha kwenye vitabu vya
saba ba nane pamoja sita vingine vilivyotungwa mwanzoni zaidi) mwaka takriban
wa 340-360 BK. Inawakera Waamini Utatu au Watinitariani kwa kuwa inaelezea
kuhusu maadhimisho ya sikukuu zilizoamriwa na pia ina mambo yale yale
yaliyoafundishwa na Waarian au Waeusebiani waliokuwa kwenye madaraka huko Roma
miaka michache kadhaa baada ya mtaguso wa Nicea.
Ukweli ni kwamba
kanisa lilikuwa halijulikani sana kutokana na teolojia yake siku kabla ya
mtaguso huu wa Nicea na ule wa Constantinople na kwamba huenda hii ni ndiyo
ilikuwa sababu. Andiko hili lilijumuisha pia nukuu za vitabu vya Yudithi, Wamakabayo, Hekima ya Sulemani
na Sira, pamoja na nyaraka mbili
nyingine za Clement na Katiba. Hefele anasema kwamba Clement
huyu hakupaswa kuwa ni yule Clement wa Roma aliyeandika vitabu vya canons
(ibid., fn. 8 p. 505). Kwa makusudio yetu ni rahisi kuona ufutwaji kabisa wa
hili kanisa linalopinga imani hizi za kivijiteriani, useja na kuzuia watu
kunywa mvinyo wakiwa Wakristo. Lilikuwa ni jambo la kiimani na la lazima, na
ndivyo inakuwa ni muhimu pia kuandika mambo haya ili kukabiliana na mafundisho
ya kizushi yaliyokutikana kwenye imani hii ya Kinostiki na mafundisho yake ya
kiasetiki.
Tunajionea
kutokana na ufafanuzi huu hapa kuhusu chanzo asilia cha imani hii ya
uvijiteriani na jinsi ilivyojiingiza kwenye Ukristo. Imetokana na imani Fumbo
zikipitia kwenye imani ya Pythagoreani na Unostiki na ilikuwa unakataliwa
kwenye Ukristo wabandia. Sheria za itikadi ya useja na uvijiteriani ni uzushi
mkubwa ambao ulionywa na kukemewa kwa ukali sana na Roho Mtakatofi kupitia kwa
Mtume Paulo. Imani hii hatimaye ilikuja kuungana na mafundisho mengine za
kizushi ya kuzuia watu kunywa kileo au mvinyo, ambayo yalitajwa kuwa
yatakujakuwepo pia na yalikemewa.
Imani hii
ilikujakuwa ni msingi wa chanzo cha mafundisho haya ya kizushi kipindi cha Zama
za Kati za Wacathari na yamemudu kuendelea hadi siku hizi za leo. Ufafanuzi
kuhusu Uungu unatofautiana kama tulivyojionea na tutaendelea kuona lakini
fundisho la msingi kilamara litabakia kuwa ni lilelile moja. Wanadai kuwa Mungu
alibadilisha mawazo yake na ulaji wa nyama kamwe ni jambo lisilokubalika kwake.
Pia wanasema kwamba kanuni za Agano la Kale hazizingatii haki na atazikomesha
wakati atakapokuja Masihi (au mwisho) ukifika. Maisha baada ya kufa ni miongoni
mwa mafundisho yaliyoendelezwa na kuenezwa na kufanywa kuwa ni fundisho linalohusu
roho, wakiwafundisha watu kuwa inaondoka na kwenda mbinguni. Mafundisho haya ya
uwongo ya waasetiki yaliendelea zama moja hadi nyingine hadi kufikia kwenye
karne ya ishirini. Ni kutoka kwenye mfano mmoja tu ndipo tulipojionea kwamba
utawala wa millennia utakaotokea huko Yerusalemu ndio ulioonekana kuwa utakuwa
ni sahihi.
Wakathari wa Kiascetiki
Kipindi cha
vuguvugu la vita ya wakrusedi wa Kialbigensiani hawa wavijiteriani wasekiti
walikuwa ni wa Cathari ambao kwa kweli walikuwa ni wa uzao wa Montanist na wa
Manichean waamini miungu miwili. Walikuwa ni watu waliokuwa wa maeneo mamoja ua
zaid ya Vallenses au Wasabatati na walikumbwa na mateso kwa sababu ya msimamo
wao wa mwenyendo wa ukengeufu (soma jarida la ee the paper Jukumu la Amri ya Nne kwenye Historia ya Makanisa ya Mungu Yanayishika
Sabato (Na. 170) [The Role of the Fourth Commandment in the Historical
Sabbath-keeping Churches of God (No. 170)]. Makanisa ya Mungu yamekuwa yakiitunza
sheria za vyakula katika kipindi chake chote cha historia yake lakini kamwe
hawakuwa wavijiteriani. Huu ulikuwa ndiyo ukweli ulioaminika na kutuzwa na
matawi yote ya makanisa. Kanisa huko Uingereza na kwingineko hasa hadi kwenye
sinodi ya Whitby lilikuwa linatunza sheria hii ya ulaji wa vyakula, lakini
kamwe halikuwa la wavijiteriani (soma kitabu cha Edwards cha Christian England,
(Wakristo wa Uingereza) Vol. I, pp.
25-27 ff).
Hawa wa Cathari
waliitwa hivyo kutokana na utakaso wao na wakaitwa wapuritant kwenye dini ya
Kinostiki. Jina hili lilikuja kujulikana hivyo sana kwa kuwatofautisha na
inaonekana kuwa linachanganya pia na wa Chazzari, ambao imeelezewa vema kwenye
jarida la Mgawanyo Mkuu wa Makanisa Yanayishika Sabato (Na. 122) [General
Distribution of the Sabbath-keeping Churches (No. 122)]. Tofauti iliyopo kati ya hawa Cathars
wakiwa ni wavijiteriani waliobobea kwenye imani hoyo nay a miungu miwili, imani
ambayo sio sahihi kwa kweli ambayo imeletwa kule lakini imeelezwa kwa kina
kwenye jarida la Jukumu la Amri ya Nne kwenye Historia ya Makanisa ya Mungu Yanayishika
Sabato (Na. 170) [The Role of the Fourth Commandment in the Historical
Sabbath-keeping Churches of God (No. 170).
Hawa Cathari pia
waligawanyika kwenye makundi mawili, yaani kundi la Albi (la Ufaransa) au
Albanenses ambao walikuwa ni waamini miungu miwili mno, na linguine ni la
Concorricci (Concorrezzo la Italia) ambao walikuwa ni ndugu waamini miungu
miwili. Hawa wa Concorricci waliamini na kufundisha kwamba Shetani alikuwa ni
kiumbe msaidizi aliyeruhusiwa kuumba. Hii inaonekana kuwa ni kama tofauti
iliyoko kati yaw a Montanist na wa Manicheani. Kilichokuwa kinawafanya wafafane
sana kilikuwa mafundisho yao ya kiaesthetiki.
Hawa wa Cathari
walikuwa na amri mbili ya ukamilifu au ya utakatifu nay a watu wa daraja la
chini ambao walikuwa ni wa credentes.
Waliojikita sana kwenye imani ya kiasetiki walihitajika sana zamani.
Wanasemekana kuwa walikuwa wanawazuia watu kuoa, kula nyama za wanyama,
kushiriki shughukli zinazohitaji matumizi ya nguvu au shughuli za kijeshi. Nk.
Waliamini pia kwamba wafu wote hawatafufuka tena, bali kitakachofanyika ni
kubadilishwa kwa miili tu (kitabu cha ERE,
Vol. 6, makala yenye kichwa cha somo Mafundisho
ya Uzushi au Heresy (Christian), uk. 619).
Imani hii ilikuwa
ni tofauti kabisa na ile ya wa Vallenses ambao walikuwa hawamini kitu cha aina
hii. Lakini hata hivyo ,hawa wote waliitwa wa Albigensiani na wa Vallenses
watesekao, ingawaje wote walikuwa hawana hatia kwenye mwenendo wao. Hawa wa
Cathari walikuwepo kabisa huko Rheims kipindi cha mapema zaidi ya mwaka 991
tangu kipindi cha hotuba maarufu ya kusimikwa ya Gerbert kuwa askofu (soma
kitabu cha ERE, Vol. 1, makala
isemayo Albigenses, uk. 278; kumbuka
kuwa Baraza la Mtaguso wa Trullan la mwaka 692 kuhusu hawa wa Montanist hapo
juu). Matawi ya wa Cathari yanaonekana kuenea hadi huko Flanders ambao
ilianzishwa na kuweka makao mwaka 1025 kwa mahubiri yaliyofanywa na Mtaliano
aliyeitwa Gundulf. Hawa pia
walilikataa Agano la Kale na msalaba kuwa ni alama ya imani yao.
Wakati hawa wa
Vallenses wakiukataa msalaba, walishikilia kuliamini sana Agano la Kale. Kwa
hiyo, kuna mwanya au gepu isiyoweza kudarajika kati ya dini hizi mbili. Wa Cathari walifukuzwa kutoka pande za Kaskazini
mwa Ufaransa kwa kipindi cha takriban miaka sitini tangu mtaguso wa Rheims
mwaka 1049 (ibid., uk. 279). Patano la pamoja la huko Roma la wa Cathars na
Waldensians pamoja na wa Inquisitions na wa Albigensian Wakrusadi.
Mlinganisho wa Mwisho
Imani za
wakengeufu na uasetiki wa wavijiteriani wa Cathari ilikuwa ni tatizo kubwa kwa
Kanisa la Mungu kwa kipindi cha karne kadhaa. Mafundisho ya kizushi ya ya
Wakristo wavijiteriani yaliendelea kubakia hadi kufikia karne ya ishirini na
kuendelea na yanaendelea kupata umaarufu yakitumia mafundisho kadhaa ya kizushi
yasiyo na msingi wowote wa neno la Mungu. Ni imani inayoonekana kuwa ni
imejipanga kiulaghai zaidi kuliko ilivyokuwa ikionekana kwenye siku za karne za
huko nyuma na imechukua mambo yasiyo kuhimu wala yasiyo na mashiko ili
kuhakikisha kuwa inakubalika au huenda hata kuwapata waamini na kuingizwa
kwenye nfumo wa imani kali. Historia asilia na asilia imezuiwa au kupingwa na
mlolongo wa mafundisho yanayotokana na mitazamo na mawazo ya watu, ambayo ndiyo
yanayoendelezwa sana kwa kiasi kikubwa.
Teolojia ya Wanostiki na ya wa Manichean ilikuwa ni ya kidosetiki tupu, kwa jinsi yao ya mtazamo wao batili kuhusu mwili na mambo mengineyo, vinaachana kabisa na dhana ya kufanyika mwili kwa kuzaliwa kwa mpango wa kimbinguni. Schaff anatoa maelezo rahisi kuhusu mafundisho haya (kwenye kitabu chake cha History of the Christian Church, Vol. 2, pp 503-508). Mabishano yaliyoko kati ya kanisa na kile kinachojulikana kuwa ni itikadi ya Imani kali inahusu nafasi ya Kristo na uhusiano wake na Mungu wa Pekee wa Kweli na umuhimu wa sheria. Kwa imani ya wa Cathari, imekuwa ni idadi ya mawazo ya mafundisho ya kizushi, ambayo kwayo, kila moja wapo halipatani na asili ya Mungu na haiba yake ya kuwepo kila mahali kwa wakati mmoja. Hapa ndipo waamini miungu miwili au Wadualist wa Cathari waliisherehekea siku ya Jumapili na ambayo pia waliifungia saumu kama ishara ya Jua kuwa eti ni ishara inayowakilisha nuru ya Kristo. Mwendelezo wa kimaadili yamekutikana yakibadilishwa kama ilivyokuwa kwa Wanostiki na wa Manichean waliokuwa kabla yao. Hiii ilipelekea karibu kuwa na falsafa ya kuchekesha kuhusu asilia. Cathari hata hivyo walianza kusafisha kwa kusubu baadhi ya mawazo yao kutokana na tatizo lililoko kuhusu Kristo. Mateso ya Kristo msalabani kulifundishwa na na wa Manichean kwa mtazamo sawa na ule wa mateso ya roho duniani bado yaliunganishwa kwenye jambo hili. Hii ilifanyika hivyo uoto aliyehangaika sana kwa kwendambele kwenye nuru. Kwa hiyo upande wa waliosafi kama tulivyoona walionekana pia kwenye ushirika wa wa Cathari, wa kutomuua wala kumjeruhi mnyama, wala kuchuma maua wala kukata nyasi. Schaff alifundisha kuwa badala ya kujifanya kwa kuigiza kuiondoa nuru kutokana na giza, bali ni kwa kweli ni kuibadili nuru kuwa giza (ibid., uk. 505). Ni vigumu kutofautiana na sentensi kama hizo zinazotoa makufuru ya ukweli kuhusu uasetiki.
Maisha ya wafuasi
wa dini hii yalikuwa ni sawa kabisa ya ya waasetiki. Hii iliwazuia kutokana na
makosa yao kuhusiana na maovu yao ya ndani mioyoni mwao. Hii ilikuwa ni kinyume
kabisa na mtazamo wa wa Pelagian kuhusu umuhimu wa uzuri wa asili ya mwanadamu.
Kwa hiyo waliamini juu ya mtazamo wa Wabudha kuhusu fundisho lao la kuiachia
huru roho kutokana na vifungo vya jambo hili. Kwa jinsi hii walijaribu kwa
kiasi kikubwa sana cha ukamilifu utenganisho kutokana na utengano unaofanywa na
dunia kutoka kwenye ufalme wa jambo hadi kwenye ufalme wa nuru ambao umetuama
kwenye mpito wa Wabudha kutoka ulimwengu wa Sansara hadi Nirvana.
Tofauti iliyopo
kati ya Unostiki na Manichean waamini miungu miwili ilikuwa ni kwenye masuala
ya uongozi. Manichean waamini miungu miwili walikuwa na mpangilio mahiri wa
kiuongozi wakati Wanostiki walikuwa ni kundi lisilo na mpangilio. Ilikuwa ni
kwa ajili hii waasetiki walimudu kudumu kuendelea kwa kipindi kirefu sana.
Mpangilio wa
uongozi wao ulifuata sawa na utaratibu wa kibiblia kwa kiasi cha kushangaza
sana. Uongozi wao ulipangiliwa kwa kuweka mitume kumi na wawili waliokuwa
wanaongozwa na mtume mkuu. Chini yao kulifuatiwa maaskofu sabini na wawili
waliofuatiwa na wanafunzi sabini na wawili (waliofanya idadi ya sabini kwenye
Luka 10:1,17 na Baraza la Sanhedrin).
Chini yao kulikuwa na baraza la wazee, mashemasi na jopo la wainjilist (Schaff,
ibid., uk. 507). Walikuwa na mafungo ya kila juma, kila mwezi na katika mwaka.
Walizikataa sikukuu za waorthodox kama walivyofanya Kanisa la Mungu la wa
Waldensian lakini mnamo mapema ya mwezi Machi Manicheans walifanya maadhimisho
ya kipindi cha mauaji ya kufiadini ya Mani badala ya kuadhimisha Ushirika wa
Meza ya Bwana na Pasaka, siku ya 14-15 Nisan kama lilivyofanya kanisa.
Wanaonekana kama walikuwa wanabatizwa kwenye maji na kutiwa mafuta. Manicheans
waliadhimisha aina fulani ya Ushirika Mtakatifu mara nyingi wakiwa na
waliojifanya kuwa ni makanisa ya kiorthodox. Matabaka mawili ya washirika
waliojichanganya na imani ya kikatoliki. Daraja la chini au wasikilizaji waliokuwa sawa na waaminifu na wakamilifu, waesoriki au tabaka la makasisi waliokuwa sawa na wazee
wa kanisa. Itikadi ya useja kwa kweli ilikuwa imekwisha ingia kwenye makundi
yote mawili. Ukamilifu wa wateule ulichukuliwa kuwa unatambuliwa kwa alama kuu
tatu au uwakilishi (signaculum).
(a) Alama ya signaculum oris, ambayo ni utakatifu wa
maneno na vyakula, hata kwa vyakula, kujinyima na ulaji wa Aina zote za nyama
za wanyama na kujiepusha na vinywaji vya kulevya, hata kwenye adhimisho la
ushirika mtakatifu, na kuzuia kula mboga za majani, ambazo zilihitimishwa na na
ukamilifu wa “wasikilizaji” na hasa tukichukulia mafuta ya mzeituni kama
mzeituni kama chakula cha taa ya kandili.
(b) Alama ya signaculum manuum: ukanaji wa mali za
dunia, kukiwemo malighafi na vitu vinavyotengenezwa kutoka viwandani, hata
ukulima pamoja na kuvipa heshima ya kimungu vitu vinavyong’aa ama kutoa nuru
mawinguni vilivyotokana nay a asili yake tu.
(c) Alama ya signaculum sinus, au useja, na ukatazaji
wa aina zote za mahusiano ya kingono. Ndoa au zaidi ya uzaanaji unashirikishana
na tamaa ambayo ni uovu wa kingono.
Aina hii ya
utakatifu usio wa asili kwa wateule wakati huohuo aliuawa kwa kupigwa mawe kwa
sababu ya kutenda dhambi zisizozuilika kila siku ya wakatekumene waliowapa
heshima kubwa sana (Schaff, ibid., uk. 506).
Schaff anaona
kwamba kama walivyokuwa Wanostiki, watu hawa waliungwa mkono na majivuno
makubwaya maarifa. Lakini mtazamo wa jumla ni kwamba walikuwa wana mwenendo
mzuri, ingwaje Schaff anajaribu kuwaelezea wao kuwa kama aina ya watu manaibu
waliosafika. Kwa kweli, walipaswa kuwa pamoja wakiwa wanajihesabia haki na
walikuwa kwenye utata wa moja kwa moja kwenye sshria za Mungu.
Imani
waliyokuwanayo wa Cathari ilikuwa dhaifu sana kimaongozi ilipokuwa kwenye
mateso na walijikita sana kwenye kazi ya unjilishaji kutoka kwenye eneo hadi
eneo linguine. Inaonekana kwamba walikuwa ni mwiba wa kudumu kwa upande wa
kanisa kwa karne nyingi. Waliwasababishia mateso kwa ajili ya kutofautiana
mitazamo na sio wachahce ambao walikuwa wasetiki. Huduma ya kale ya makanisa
yanayofundisha imani hii ya kujizuia vyakula, inaonekana kuangukia kwenye
matabaka haya ya a na b hapo
juu, lakini ubadilishaji wa mafundisho umechukua mkondo wake kiasi cha kwamba
vimekaribiana sana na kile kinachoitwa uorthodox kwenye mafundisho yao kuhusu
Uungu na jambo kuu la kuiadhimisha Sabato na siyo siku ya Jumapili. Wengi wa wa
imani ya kiorthodox wanaelezea fundisho lililo kwenye kundi b na
c na wengine wanaamini yote matatu. Madai wa Wanostiki kwa sasa yameenea
kila mahali zaidi kuliko hata yalivyokuwa siku za nyuma au katika Zama za Giza.
Maadai
wanayojaribia kupata mashiko ya wasetiki wavijiteriani na kujinyima kunywa
mvinyo ni kupunguza dhidi ya asili ya Mungu na utakatifu wa Yesu Kristo. Kristo
alikunywa vinywaji vyenye kileo ndani au mvinyo. Aliitwa mlafi na mlevi au
mpenda kunywa mvinyo na Wayahudi wanaojihesabia haki na walimkosoa kwa kunywa
kwake hadharani, (Mathayo 11:19; Luka 7:34). Hakika hakuwa mvijiteriani kipindi
chake chote, kiwe kile cha kuishi kwake au hata kile cha baada ya kufa na
kufufuka kwake (soma hapo juu na pia Mathayo 17:27; Yohana 21:9-10,13). Krissto
asingeruhu ushirika wa waasetiki wa karne ya ya ishirini wa makanisa ya
kivijiteriani. Kwa kweli huenda Yesu Kristo angekataliwa kubatizwa na moja wapo
ya makanisa makubwa yanayofundisha itikadi hii ya kiasetiki na ya uvijiteriani
kwa mtazamo wao wa sasa kuhusu kileo. Wanayahesabia haki mafundisho yao kwa
kudai kwamba Kristo hakunywa mvinyo wenye kileo, madai ambayo ni sawa na upuuzi
na wala sio ya kibiblia (jarida la Mvinyo Kwenye Biblia (Na. 188) [Wine in the Bible
(No. 188)
litafafanua zaidi jambo hili).
Ni vigumu kuiweka
pamoja imani ya Kikristo pamoja na imani ya uvijiteriani (tazama hapo juu), au
vinginevyo basi kuondolewe mvinyo usiwepo kwenye maadhimisho ya Ushirika wa
Meza ya Bwana au ifundishwe kwamba imani hii ya kuzuia watu kula na kunywa
inatokana na Mungu. Mabishano yaliendelezwa na wavijiteriani na mafundisho haya
ya kuwazuia watu kunywa mvinyo ni yakizushi, ambayo yanapinga asili ya Mungu.
Mafundisho ya wavijiteriani nay a kuwazuia watu kula na kunywa hayawakilishi
uendelevu wa Maandiko Matakatifu na yanapinga mantiki ya maana ya unabii.
Wafuasi wake wanaondoka nje ya imani ya kweli kwa ajili ya mafundisho haya ya
mashetani.
Masihi atakapokuja
na kuanzisha ufalme wake huko Jerusalemu. Ataitawala hii dunia kwa kipindi cha
miaka elfu moja (Ufunuo 20:1-7). Masihi na wateule wataanzisha utawala
unaofuata maongozi ya Mungu hapa duniani. Wale ambao hawataadhimisha Sabato na
Miandamo ya Mwezi Mpya (Isaya 66:23) na wasiowapeleka wawakilishi kwenda
Yesusalemu ili kwenda kuiadhimisha Sikukuu ya Vibanda, mvua haitanyesha kwao
kwa majira muafaka. Ulaji wa nyama utakuwepo pia kwa mujibu wa torati au sheria
za Mungu hapa duniani katika kipindi hicho, (soma kwa mfano Zekaria 14:21).
Wateule hawawezikuwa wateule waliokamilika kiimani wasipokula mwili na damu ya
Kristo kwenye maadhimisho ya Ushirika wa Meza ya Bwana (Yohana 6:53-57). Wale
wanaofundisha mafundisho mengine kivyume na hivi hawatakuwa na sehemu kwenye
ufufuo wa kwanza wa wafu.
q