Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[184]

 

 

 

Maabadi / Vipaumbele Ya Mungu

 

(Toleo 1.4 19961214-20000624)

 

Baadhi ya vikundi hufuata kalenda ya Kiyahudi na tarehe zao kwa siku takatifu za bwana. Hii ni kwa sababu Herbert Armstrong aliamua kuwa Wayahudi ndio wanaojukumu la kuamua siku hizo. Uamuzi huu ulitokana na kutokuwa na uwezo wa kupata msingi vya kalenda katika Bibilia na andiko la Paulo katika kitabu cha Warumi kuwa Wayahudi ndio walifadhi wa vipaumbele vya Mungu.

 

 

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

 

 

(Copyright © 1996, 1998 Wade Cox)

 (Tr. 2009)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


Vipaumbele Vya Mungu

 

 


Mungu alichagua kuongea na binadamu kupitia kwa watumishi wake. Uanzilishi wa msururu wa ufunalo umetoka kwa Adamu na kupitia kwa wahubiri wakuu. Noa, Abrahamu, Isaka na Yakobo. Mungu alichagua watu ambao angetumia kuhalalisha na tehemiza sheria zake na kufichua mpango wake wa uokovu.

 

Mpangilio huu ulifichuliwa na kufuatwa kwa imani (Heb 11:1-40) viongozi wakalipokea neno la Bwana kwa imani (Heb 11:2) kwa imani kafara za Abeli zilikubaliwa na kuonekana zenye dhamana kuliko za kaini. (Heb 11:5). Mungu aliasiliana na wahubiri wakuu kupitia imani na aanzisha sheria zake kupitia kwa Musa ambaye aliokolewa kwa sababu wazaziwe hawakuogopa amri ya mfalme. (Heb 11:23) Musa kupitia kwa imani aliamua asiitwe mwana wa msichana wa Farao na badala yake akaamua kuteseka pamoja na watu wa Mungu. Alisaliti Misri na kuvumilia kuonana na mtume dhania ya Bwana.

 

Kwa imani watu pamoja na wakimbizi waliokuwa pamoja nao walivuka bahari la Red Sea na wengine wakafiwa na maji. Kwa imani waliingia katika nchi waliohidiwa. Kwa imani walisaidiwa na Rahabu, hawara ambaye hakuangamia pamoja na wasiotii matakwa ya Mungu. (Heb 11:29-30) kwa imani maamuzi na manabi walishinda ufalme mbalimbali na kulazimisha haki, wakapokea ahadi, wakamamisha vinywa vya samba, wakaangamiza mioto, wakahepa mikuki wakapata nguvu kutokana na ulegevu, wakawa mabingwa wa vita mpaka hata wanajeshi waadui wakawakimbia. Wanawake wapokea wafu kwa ufufuko na wengine waliteseka bila kukubali kuachiliwa ili siku moja wafufuke maisha bora. Wengine walipitia madharau na kejeli. Minyororo na hukumu. Wengine walipigwa kwa mawe. Wakapitishwa kwa mikuki, wengine wakavatia ngozi za wanyama, wakawa wafukara, wakatengwa na kuteswa. Walipitia magonjwa na milima huku wakiisha kwenye mapango ya wanyama. Dunia haikuwadhamani.

 

Watu wote hawa ingawa imani yao ilidhihiriska bayana wakupokea ahadi zao. Kwani Mungu alishaona kile kilichokuwa bora zaidi kwa wanadamu (Heb. 11:39-40).

 

Mungu aliasiliana kupitia kwa maaskofu wakuu na mitume na kutoa sheria na amri na mpango wake kupitia wao, ingawa wakapokea ahadi. Ni muhali kutaja kuwa ni kupitia na kuwa nasi pekee ndiko wangekuwa dhabiti.

 

Udhabiti wa askofu mkuu na mitume ulipokezwa. Kupitia kwa kanisa kwani kanisa ilipatiwa roho takatifu na uongozi wa kanisa na watu wake. Maandiko hasa sheria ndio vipaumbele za Mungu. Vipaumbele vilipokezwa watu wa Mungu kupitia mnabii na manabii wa Israeli mwisho wa vipaumbele vya Mungu katika raundi ya kwanza ulitendeka kupitia kwa rasuli Ezra na Nehemia. Agalo la kale ilimalizimika na watu hawa Mungu alikuwa kimya alipoongoza kupitia kwa pepo zake kwa Zekaria babake Yohana mbaptizaji (Luka 1:5-30).

 

Mungu ailikuwa ameongea kupitia kwa mtumishi wake Danieli mojawapo vya wale wapakwa Hekalu ya bwana. Urasuli katika kitabu cha Danieli 9:25amekalimiwa vibaya katika KJV kumaanisha kuwa Mesaya ndiye mpakwa na maandiko yenyeweni tubu. Waama maandiko hayo hueleza kuhusu wapakwa wawili, mmoja baada ya wiki saba za mwaka na mwingine baada ya wiki sitini na mbili za miaka.  Wakati unaotajwa huzungumza kuhusu ujenzi wa Hekalu na uazilishi wake kama chombo cha Mungu (Danieli 9:25-27).

 

Danieli 9:25-27 Nawe ujue na ufahamu kwamba tangu kutulewa kwa lile neno la kurudisha na kujenga upya Yerusalemu mpaka masihi aliye kiongozi kutakuwa na majuma 7, pia majuma 62 atarudi na kujenga hakika, pamoja na kiwango cha wote na handaki katika dhiki ya nyakati, baada ya yale majuma 62 masihi atakatiliwa mbali bila kuwa na chochote kwa ajili yake. Na watu wa kiongozi anayekuja wataharibu jiji na mahali patakatifu. Mwisho wake atakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho kutakuwa na vita, kilichoomuliwa ni ukiwa. Naye ataendelea kuliiendesha agano kwa ajili ya wengi kwa juma moja na kati nusu ya juma bilo atakomesha dhabihu na toleo la zawadi. Na juu ya bawa la machukizo kutakuwa nay ale anayesababisha akiwa na mpaka maangamizi, kitu kile kilichomuliwa kitamwagika pia juu ya yule anayekaa ukiwa.

 

Ni muhali kutaja hapa kuwa maandiko haya huashiria wiki saba miaka kutoka amri ya kujengwa kwa Hekalu ya Bwana kwa mpakwa mwenyewe. Huyu mpakwa ambaye ndio maana haswa ya neno Mesaya na ndio maana unatumiwa kuashiria Yesu Kristo (Kristo ni neno la kigiriki kumaanisha mpakwa), kwa kweli ni Nehemia katika Kumbukumbu ya Kiyahudi Nehemia huonekana kama Musa wa pili. Alifufua sheria za bwana maaskofu kwake. Alimaliza mfufulizo wa maaskofu na kazi yake mwisho katika Agano la kale.

 

Wakati ambapo ujenzi wa Hekalu ulianza haikuwa kutoka utawala wa Danieli wa kwanza wala si kutoka Darusi. Hystaspesi bali ni kutoka Darusi wa pili. Artaxerxes wa kwanza alisimamisha ujenzi wa Hekalu (Ezra 4:23-24). Mjengo iliendelea kwa mwaka wa pili wa utawala wa Darius II (Ezra 4:24 hadi 6:12). Hekalu ilimalizwa kwa mwaka wa sita wa utawala wake (Ezra 6:13-15)

 

Wiki saba za miaka kutoka amri ya mfalme huyu mpaka mwaka wa ukabidisho kwa Nehemia kutoka Artaxerxes ya pili (wala Artaxerxes wa kwanza kama inavyodhaniwa).

 

Wakati huo ulishuhudia mwisho wa agano la kale usanjari wa kujengwa kwa Hekalu. Hii ilikuwa ni ufufuluzi wa sheria chini nabi wa mwisho katika agano la kale. Alikuwa mpakwa wa mwisho mpangilio wa agano la kale.

 

Mshururu huo wa ujenzi na histroria umeshughulikiwa katika kijitabu Ishara ya Jonan na histroria ya ukarabati wa Hekalu. (The Sign of Jonah and the History of the Reconstruction of the Temple (No. 13)).

 

Mpakwa wa pili anayeshughulikuwa katika Danieli 9:25-27 inaashiria mpakwa baada ya wiki sitini na mbili za miaka. Hivyo basi wiki saba za miaka ikijumulishwa na wiki sitini na mbili za miaka ni sawa na wiki sitini na tisa za miaka. Kipindi hiki unatamatika 63CE. Mpakwa ambayo amekatizwa lakini si kibinafsi ni Yakobo ambaye ilikuwa askofu ni Yerusalemu na dunguye Yesu Kristo. Aliuwawa kinyama kwa sababu ya imani yake na kutoka mwaka huu wiki wa mwisho wa miaka, huanzia na kuongoza kwa ubomoaji wa jingo la Hekalu.

 

Mwisho wa wiki sabini za miaka unalingana na miaka arobaini iliyowekewa Yuda ili watubu. Taifa halikutubu na waama katika hiiwiki ya mwisho wa miaka. Maaskofu wakuu alipigana katika vikiviya vya kumitaa ili kubakia na nguvu na uongozi ulijaa ufisadi. Kutoka 63 CE, kanisa lilianza kutoka Yerusalemu kwenda Pella na kwengineko. Uaskofu na taifa lilizagwa na ufisadi. Huyu basi Mungu aliazisha kuangamiza taifa na kabila la Yuda na kutuma kwa utumwa. Kutoka 1 Nisan 70 CE Yerusalemu ulikuwa mkononi mwa maadui wake. Kutoka 1 Nisani 71 CE. Hekalu na mji uliharibiwa. Uharibifu huu ulianza punde tu miaka arobaini ulitimia baada ya kifo cha Kristo katika 30 CE. Kipindi hiki ni sawia na mwaka moja kwa mpangilio siku pamoja na onyo la Nineva. Nineva alitubu lakini Yuda haikutubu. Kristo alisema kuwa watu wa Nineva wangifufuka siku ya ufufuko na kukanya Yuda kwa sababu kitu kikubwa kuliko Yona lilitumia na hawakutubu. (Mathayo 12:38-41). Uhusiano wa ishara ya Yona kwa utumishi kwa Kristo ni kwa miaka kwa msingi wa siku. Uhusiano huu umedunishwa na mafundisho ya uongo ya miaka mitatu na nusu ya Mesaya.

 

Utumishi unaokitwa katika upotovu wa kuteulewa maandiko ya Danieli 9:25-27. masomo kuhusu mgawo wa wiki za miaka pia ni urasuli bandia ambayo laana msingi katika historia au ukweli. Wiki sabini za miaka uhanzia amri ya Darusi wa pili mpaka ubomoaji wa Hekalu mnamo 70 CE. Inahusika kwa mpakwa, Nehemia na ndio hitimisho la kipindi cha wema wa Hekalu na vile vile nchi ya Yuda katika mwisho wa kipindi 63-70 CE. Yuda ulitolewa na kupelekwa kwenye utumwa na mamlaka yao ikatolewa.

 

Kipindi cha wiki wa miaka kutoka 63 CE mpaka 70 CE imeangazwa pia katika  kuanguka kwa utawala wa mataifa katika siku za mwisho. Pengele hiki kimetolewa katika kuanguka kwa Yeriko (angalia Kuanguka Kwa Jeriko (No. 142) na itaelezwa katika vijikitabu fuata. Madhara haya pia yanapatikana katika ishara ya Yona na wiki sabini za miaka. Hizi ishara au urasuli zinaelezwa kwa mapana. Zinaathiri uweza wa mamlaka kama inavyotumika kwa utumishi kwa Mungu na taifa la pamoja la Yuda na Israeli. Uamisho mamlaka ulikamilika na kama tutakavyo ona iliathiri Israeli kama taifa na hata taifa na hata kanisa. Ndiposa mamlaka ya Kiyahudi iliunga mkono funzo bandia ya wiki sabini za miaka kutoka ukalmani mbovu ya Danieli 9:25-27, hata wakarithi funzo bandia wao wenyewe katika harakati za ujenzi wa Hekalu ingawa Ezra anaeleza mambo haya kinaganaga. Kwanza Esdras anaonekana kama anayeunga mkono ukalimani bandia katika maandiko yake ingawa yakuzingatia katika utumishi. Yuda lilifahamu fika kuwa mafunzo bandia yalificha ishara ya kweli yake Yona. Waama, walitumiwa mtume wa Mungu; mtume mkuu zaidi ambaye Mungu angemtuma. Walimuua na wakaangamizwa kwa sababu hilo. Kama Yuda lilikubali au lilikataa Kristo kama Mesaya haina umuhimu wowote au uhusiano naye mtume wa Mungu. Fursa ya utumishi wa Yohana mbatizaji na Kristo ambao walifanywa kama washuhuda dhidi ya Yuda, ulikuwa ni mwaka, ukizingatia msingi wa siku kwa lile la Yona. Kipindi cha kutubu kilichopatiwa Yuda kilikuwa sawia na muda wa Nineva kwa msingi wa mwaka kwa siku. Historia ya kweli ya ukarabati na wiki sabini za miaka inadhihirisha ukweli huu bila hati yoyote. Hii inatosha ujuda na ukristo wa Trinitari kuziba ukweli wa mambo katika madhara haya ya uongo.

 

Kanisa la bwana miaka chache yaliyopita imeunga mkono, urasuli huu bandia ingawa kuna maandiko bayana. Halikadhalika kanisa limetesa ukweli na vile vile uwezekano wa kubadilishwa kwa Yuda na Israeli.

 

Mamlaka Ya Israeli

 

Yesu Kristo alimpa Musa shera za Mungu katika mlima wa Sinai (angalia Pentekosti Katika Sinai (No. 115)). Kutoka kukabidhiwa kwa sheria, alianzisha utawala katika taifa la Israeli. Hii ilitumizwa kupitia kwa baraza la watu sabini lililojulikana kama baraza la wazee ama Sanhedrini. Kabla ya hapo palikuwa na wazee wa Israeli kule Misri (Kutoka 3:16-18, Kutoka 4:29, Kutoka 12:21; 17:5-6).

 

Israeli ilianzisha maamuzi ya haki lilipoundwa baada ya kutoka Yethro ambayo alikuwa ni askofu ni askofu wa michani na Musa baavya wake Musa walijitolea mhanga. Wazee na Musa aliketa kutoa uamuzi wa haki siku iliyofuatia. Ndipo Yethro alimshauri Musa kuwa maamuzi ya haki inafaa ikabithiwe kima yahe. Hili lilifanyika kupitia kwa wazee kutoka siku hiyo, baraza la wazee ndilo lililotoa uamuzi wa haki Israeli na likajulikana kama sanhedrini. Wazee haya waliwekwa kwenye vikundi au baraza la sabini (Kutoka 24:1-9). Sabini haya waliandamana na Mathani na abihu na hivyo kuwa sabini na wawili. Idadi hii ilibakia hivyo Israeli waliitwa sabini ingawa idadi yao ilizidi hiyo. Nambari ya kitamaduni umeshikiliwa kama sabinina moja ingawa kitabu cha kutoka na Luka 10:1,17 inaonyesha dhahiri kuwa idadi kamili ilikuwa ni sabini na mbili au Hebdomekonta (hebdomekonta [duo]) (neno la Kigiriki).

 

Kutoka 24:1-18 Naye akamwambia Musa, “Panda uende kwa Yehova, wewe na Haruni, Mdabu na Abibu na wanaume wazee 70 wa Israeli, nanyi mtainama mbali. 2 Naye Musa peke yake atamkaribia Yehova lakini wao wasikambie wale watu wasipande kwenda pamoja naye”. 3 Kisha Musa akaja kuwasimulia watu maneno yote ya Yehova na maamuzi yote ya hukumu nao watu wote wakajibu kwa suati moja na kusema “Maneno yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya”. 4 Basi Musa akaandika manen yote ya Yehova. Kisha akaamka asubuhi na mapema na kupanga kwenye sehemu ya chini ya hao mlima madhabahu na nguzo kumi na mbili zinazolingana nay ale makabla kumi na mawili ya Israeli. 5 Baadaye akawahema ujana kati ya wana wa Israeli nao wakatoa dhabihu za kutoelewa na kutoa ng’ombe dume wakiwa dhabihu za ushiriki kwa Yehova. 6 KIsha Musa akachukua nusu ya samu na kuitia katika mabauli na nusu ya damu akaimyunyiza juu ya madhahabu. 7 Mwishowe akacukua kitabu cha agano na kukisoma katika masikia ya watu. Kisha akasema “yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kufanya na kutii.” 8 Basi akaichukua damu na kuingiza kuinyunyiza juu ya watu na kusema “tazama hii ndiyo damu ya agano ambalo Yehova amefanya pamoja nanyi kuhusu maneno yote haya. 9 Na Musa na Haruni, Nadabu na Abihu na watu 70 kati ya wanaume wazee wa Israeli wapanda juu. 10 Nao wakamwona Mungu wa Israeli. Na chini ya miguu yake palikuwa na kitu kilifanana na mkate bapa ya yakuti na kamba mbingu kila kutakata. 11 Naye hakunyoosha mkono wake juu ya wale wanaume mashahuri kati ya wana wa Israeli bali walipata maono ya Mungu wa kweli wakala na kunywa. 12 Sasa Yehova akasema na Musa “Njoo kwangu juu mbinguni ukae huko, kwa maana nataka kukupa mabamba yam awe na sheria na mari ambayo nitaiandika ili kuwafunsisha wao.” 13Basi Musa, Yoshua mhudumu wake wakasimama naye Musa akapanda kwenda juu katika mlima wa Mungu wa kweli. 14 Lakini alikuwa amewaambia wale wanaume wazee “Ninyi tungojee mahali hapa mpaka turudi kwenu. Na tazama! Haruni na huru wako pamoja nanyi. Yeyote laiye na ksesi na waendee. 15 Basi Musa akaenda juu  katika mlima huku wingu likimfunika mlima huo. 16 Na utukufu wa Yehova ukaendea kukaa juu ya mlima Sinai nalo wingu likaendelea kufunika kwa siku sita. Mwishowe katika siku ya saba akamwita Musa kutoka katikati lile wingi. 17 Ni machoni pa wana wa Israeli, kuonekana na utukufu wa Yehova kulikuwa kama medo yenye kuiteketeza juu ya kilele cha mlima. Naye Musa akakaa siku 40, mchana na usiku

 

Hivyo basi baraza la wazee sabini liliundwa kwanza kabla ya sheria kutolewa ili waweze kufuatilia haki. Walifanya hivi pamoja Musa katika kesi ya Kora na Dathari (Hesabu 16:25). Musa kisha akakabidhiwa sheria kule Sinai. Mamlaka ya maabudu ya Mungu ilianzishwa katika taifa la Israeli na kuwekwa mkononi mwa Israeli.

 

Wazee wa Israeli alikuwa na jukumu la kubariki ng’ombe ambaye angetumiwa kusafisha kafara ya dhambi iliyotumwa kutakasa waumini walivunja sheria za bwana (Lev. 4:13-21).

 

Tendo hili liliashiria kuwa majukumu ya sheria yalikuwa makononi mwa sabini hata kama askofu mkuu angeingia katika sanchuri peke yake. Ambalo sabini walikuwa na jukumu kando na kutambulisha utakatifu wa uaskofu (Lev. 9:1ff).

 

Wazee walipokezwa roho la bwana ambalo lilipatiwa Musa na ambalo lilisafisha Musa roho la Bwana lilitumika kuwatenga kwa kazi ya Bwana.

 

Hesabu 11:16-17 Basi Yehova akamwambia Musa: Nikisanyie wanaume 70 kati ya wanaume wazee na maofisa wao, anwe utawapeleka kwenye hema la mkutano, nao watasimama hapo pamoja nao. 17 Nami nitashuka chini na kusema nawe huko; nami nitaondoa sehemu ya roho iliyo juu yako na kuiweka juu yao, nao watakusaidia kuubeba mzingo wa watu ili usiubebe wewe peke yako.

Mpangilio huu pia unahusisha sabini na wawili ambapo Eldadi walikuwa watume nje ya kambi kwa hivyo Mungu alitoa ishara ya sabini na wawili kwa Israeli na inaonyesha kuwa alihifashi msingi wa mbili kwake kwenyewe kama rasuli. Haya hivyo sabini wanaelewa kuwa ni sabini na wawili kutoka mifano ya awali. Vile vile msingi wa mamlaka unajengwa kwa baraza kama tulivyoona. Tabanakuli wa hapa duniani ni kama kivuli cha kile cha binguni (Waheb 8:5).

Hesabu 11:24-26 Kisha kutoka na kusema na watu maneno ya Yehova. Naye akakusanya wanaume 70 kutoka kwa wanaume wazee wa watu na kunasimisha kulizunguka hema pande zote. 25 Ndipo Yehova akashuka katika wingu akisema naye, akachukua sehemu ya roho aliyekuwa juu yake na kuweka juu ya kila mmoja wa wale wanaona wazee 70. Ni ikiwa kwamba mane tu roho hiyo ilipotua juu yao, ndipo wakaanza kutenda kama manabii lakini hawakufanya hivyo tena. 26 Sasa kulikuwa na wawili kati ya wanaume hao; waliobaki kartika kambi. Jina la mmoja wao lilikuwa Eldadi na jina la yule mwingine lilikuwa madadi. Nayo roho ikaanza kushuka juu yao kwa maana walikuwa kati ya wale waliandikwa lakini hawakuwa wameenda kwenye hema. Basi wakaanza kutenda kama manabii katika kambi.

 

Ndiposa mamlaka ya Musa katika roho mtakatifu iliishi na kiitumika kwa pamoja na baraza la sabini. Baraza pamoja na Musa na mhubiri mkuu walikuwa ni waakilishi na bwana huku Kristo akiwa mkuhani mkuu wa baraza la Elohimu wa haki kule binguni. Hii pia ilikuwa ni kivuli cha uhusiano ambao ungekuja kati ya kanisa na Kristo kanisa lilikuwa kama gani ambalo lingepatiwa uovu kwa imani mbali na sisi kama tulivyoelezwa hapo awali. Maaskofu wakuu na mitume hawange tolewa kati kando nasi.

 

Mamlaka ya kanisa ndio nguvu ya Mungu katika roho mtakatifu ambaye kanisa lilikabiliwa na mesaya katika jina la Mungu wakati wautakatosha wa sabini.

 

Kanisa Kama Mamlaka

 

Mkakati wa kugawa roho kama tulivyoona kwa Sanhedrin unaonyesha uhusiano wa kanisa na yesu Kristo kwa Mungu.Roho ambayo ilishi ndani ya Kristo ilipatiwa waliochaguliwa ambayo ilishi ndani ya Kristo lipatiwa waliochunguliwa ambao walitakaswa na kutengwa kama sabini (Luka 10:1,17).

 

Luka 10:1-20 Baada ya mambo hayo Bwana akachagua wengine na kuwaremu wawili wawili wamtangulie  kuingia katika katika kila jiji na mahali ambapko yeye mwenyewe alikuwa aende.2Ndipo akaanza kumwambia. “Kwa kweli mavuno ni mengi lakini wafanya kazi ni wachache.kwa hivyo mwotubeni Bwana wa mavuno atame wafanyakazi katika mavuno yake. 3Nendeni tazama! Ninawatuma ninyi kama wanakondoo katikati ya mbwamwitu. 4Msichukuwe mkoba huo wala mfuko wa chakula, wala viatu, nayi msikumbatie mtu yeyote mkimsalimu barabarani. 5 Popote pale mtakapoingia katika nyumba hii na iwe na amani. 6 Na ikiwa rafiki wa amani yumo, amani yenu itakaa juu yake. Lakini ikiwa hayumo, itawarudia ninyi. 7 Kwa maana mfanyakazi katika nyumba hiyo, mkila na kunywa vitu ambavyo wao wanaandaa, kwa maana mfanyikiazi anashtahili mshahara wake. Msiwe mkihama kutoka nyumba mpaka nyumba. 8 Pia popote mtakapoingia katika jiji nao wawapokee, kuleni vitu vilivyowekwa mbele yenu, 9 na mwaponye wagonjwa walio humo na kuendelea kuwaambia “ufalme wa Mungu umekuja karibu na ninyi”. 10 Lakini popote mtakapoingia katika jiji nao kuwawapokea tokeni mwende katika njia zake pana na kusema. 11 Hata vumbi lililoshilamana na miguu yenu kutoka katika jiji lenu tunalifuta juu yenu. Hata hivyo wekeni jambo hili akilini, kwamba ufalme wa Mungu umekaribia. 12 Ninawaambia ninyi kwamba itakuwa rahisi zaidi kwa Sodoma katika siku hiyo kuliko kwa jiji hilo. 13 “Ole wako korazini! Ole wako, Bethsaida! Kwa sababu kama zile kazi zenye nguvu ambazo zimetendeka kwenu zingalikuwa zimetendeka katika Tiro na Sidoni katika hukumu kuliko kwenu. 15 Na wewe kupeanwa je, labla utainuliwa mpaka mbinguni. Utashika chini mpaka kwa kaburi!16 Yeye anayewasikiliza ninyi anakuakiliza mimi pia. Naye anayewapuuza ninyi ananipuuza mimi pia. Zaidi hayo anayenipuuza mimi anampuuza pia yule aliyenituma”. 17 Ndipo wale 70 wakundi wakiwa na shangwe, wakisema “Bwana, hata roho waovu wanatiksihwa kwetu kutumia jua lake.” 18 Ndipo akawaambia “nilianza kuona shetani akiwa tayari ameanguka kama umme kutoka mbinguni. 19 Tazama! Nimewapa ninyi mamlaka ya kukanyaga kunyaga nyoka na nge na juu ya nguvu zote za adui na hakuna kitu kitakachowaumiza ninyi kamwe. 20 Hata hivyo msishanglie juu ya hili, kwamba roho wanatiishwa kwenu, bali shangilieni kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.

 

Hawa sabini (mbili) walijikita kanisani yaani walikuwa kama baraza ambalo lilichorwa mara mbili kwa mwaka kwa muda wa miaka elfu mbili na kupitia siku za mwisho na mitume takribani 144,00 (angalia mavuno ya Mungu, wa mwezi mpya mhanga na 144,000 (No. 120). Roho mtakatifu ni nguvu ambayo hufanya wana wa Mungu na yule wa binguni kama wana wa Mungu (angalia ushirika na bwana (No. 81) na katika ukahaba (No. 165). Ni kupitia kwa sabini ambapo nguvu ilikuwa na mamlaka juu ya pepo na utawala ule mpangilio wa kisiasa wa dunia kuhusu ufalme wa Mungu. Vipaumbale vya Mungu vikalainishwa kanisani kutoka uhamisho huo wa mamlaka.

 

Matendo ya Kristo katika kutakasa sabini ilikuwa matendo ambayo taliigwa kutoka kwa mitume na uhamisho wa nguvu. Uhamisho huu ulilingana na ishara ya Yona, Yuda na mamlaka ya kikanisa walitolewa katika muda wa miaka arobaini kutoka 30-70CE. Uhamisho huu wa nguvu na mamlaka inaonekana katika mfano wa watoto wa kiume saba, wa skeva, askofu mkuu. Hii mfano ilitumika kuonyesha kuwa mamlaka ya kanisa ilifaulu kurithi ile ya Yuda na Levi hata kwa ngazi ya juu zaidi.

 

Matendo 19:11-17 Na Mungu akazidi kufama kazi za nguvu zinazozidi za kawaida kupipitia mikono ya Paulo, hivi kwamba hata nguo na vitambaa vilichuliwa kutoka katika mwili wake na kupelekwa kwa watu wame uungua na magonjwa yakawaacha na roho waovu wakatoka. Lakini watu Fulani kati ya wayahudi wenye kuzunguka – zunguka waliozuea kazi ya kufukuza roho waovu pia wakachukuwa daraka la kuliitia jina la Bwana Yesu juu ya wale wenye roho waovu wakisema; “mimi ninawaagiza ninyi kwa uzito kwa Yesu ambaye Paulo humhubiri 14 Sasa kulikuwa na saba wa skewa, mkuu wa makuhani wa kiyahudi, wakifanya jambo hilo. 15 Lakini roho mwovu akawajibu, akawaambia “mimi ninamjua Yesu nami ninamfahamu Paulo, lakini ninyi ni nani? 17 Ndipo mtu huyo roho mwau alikuwa ndani yake akawarukia, akawazi nguvu mmoja baada ya mwingine, na kuwashinda hivi kwa hakakimbia kutoka nyumba hiyo hakiwa uchi na wakiwa wameuzizwa. Jambo hilo likajulikana na watu Wayahudi na Wagiriki pia walikaa katika Efeso na wogo akawaingia hao wote, na jina la Bwana Yesu likaendelea kutukuzwa.

 

Uhamisho wa nguvu ulianza utakaso. Juda hata hivyo ilipewa miaka arobaini kutubu dhambi ilhali hawakutubu. Je, ni nini kingetendeka ikiwa Juda ingetubu wakati huo Jibu ni rahisi wangeushiriki katika kutenda miujiza za Mungu na uaskofu ungeenezwa kuhusisha Levi kama ilivyo, tabiriwa vipaumbele vya Mungu vilihamishwa kanisani. Ukweli huu unadhihirika wakati Paulo aliponena kuhusu vipaumbele vya Bwana.

 

Marejelo katika Agano jipya ya Kigriki ni kwa wingi  (kama tunavyooona katika Matendo 7:38; Warumi 3:2; Wahebrania 5:12 na Petro 4:11; cf. Aristeas 177; Philo, Legation to Caius 31). Marejeleo ya agano la kale yanajitokeza mara kumi na tano moja moja kutoka Dabar (inalomaanisha neno la Mungu na pia mtakatifu wa watakatifu kwa sababu neno la yehova ilisikizwa hapo.

 

Neno maabadiliko / vipaumbele au dobar mjitokeza wa kwanza katika Samweli wa pili 16:23 (pengine ni wafalme 6:5,16,19,20,22, 23,31; 8:6,8; 2Chr. 2:16; 4:20; 5:7-9; Ps. 28:2).

 

Kutoka andiko la kwanza tunaona kuwa urasuli umehusika na kutamatika kwa Nehemia mpaka Mesaya na urasuli wa mwisho inayorejelea Mesaya iliposemwa na askofu mkuu kuhusu. Kifo chake mwaka huu. Baada ya kifo chake Mesaya hakuna kumbukumbu kuwa Mungu aliongea kupitia kwa Juda isipokuwa kama kutendo cha kanisa. Vipaumbele uinanenwa kivyao kwa Hekalu katika rejeleo la wafalme wa kwanza inajitokeza kuwa vyumba hivi vilijengwa katika mandhara Hekalu na orakuli inajitokeza kuwa ni kutokana na haya ndipo mtakatifu wa watatifu inazungumzwa kama mwili. (hasa katika wafalme wa kwanza 6:16, 19, 20). Hii ilitokana na ukweli kwamba sheria za bwana ziliwekwa hapo na Mungu alijitambua kupitia kwa urasuli hapo. Ilikuwa chumba chenye vijumba ishirni (wafalme wa kwanza 6:20). Hii inaitwa naos katika agano jipya ambalo linatiliza mkazo kanisa lengonaosa.

 

Wakorintho 3:17 Yeyote akilingamiza Hekalu la Mungu. Mungu atamwangaiza yeye kwa maana Hekalu la Mungu ni takatifu nanyi ni Hekalu hilo.

 

Kanisa hivyo basi ndio naos au mtakatifu wa watakatifu na kuwa Orakuli wa Mungu. Orakuli wa Mungu ulikuja kuwa kanisa katika pentekosti 30 CE. Isitoshe yale ambayo Paulo alimaanisha yanaangazwa alipoongea kuhusu Orakuli za Mungu kwa pana zaidi Stefano alisisitiza kuwa Orakuli ilikuwa na kaziye Musa na baba walipokabidhiwa na malaika kilele mlima Sinai. Yule ambaye aliongea na Musa alikuwa Kristo kama anavyoshuhudu (Yohana 8:58). Alikabidhi vipaumbele kwa wazee wa Israeli wala si Juda. Juda ukarithi kutoka utumwa wa Israeli na kutoka ufufuluzi wa Nehemia. Hapa hivii tunagundua maana kamili ya matamshi ya Paulo katika kitabu cha Warumi 3:2.

 

Warumi 3:1-3 Basi, myahudi ana ubora gani au ni faida ya kutalani wa. 2 Ni nyingi katika kila njia. Kwanza kabisa kwa sababu wao walikabidhiwa maneno matakatifu ya Mungu. 3 Basi, haliikoje? Ikiwa wengine hawakuonyesha imani je, ukosefu wao wa imani labda utafanya uaminifu wa Mungu usiwe na matokeo.

 

Juda ilikuwa imejigawanya. Walifafanua maana ya arokuli tofauti. Wasadusi walikaa katika kiti cha Musa hivyo basi waliheshimiwa kwa sababu walikuwa wanaendesha Hekalu. Wafarisayo pamoja na Wasadusi walitoa maamuzi juu ya sheria. Lakini waliendesha Hekalu isipokuwa kwa miaka tisa chini ya utawala wa malkia Alexandria. Wasamaria na Wasadusi walikata kata kata mafunzo ya kifarisayo ya sheria katika uundaji wa kalenda. Aghalabu mwezi mpya ulichelewesha lakini wa Samaria waliwasha mwenye zao mapema katika siku kamili.

 

Wayahudi halikadhali Waisraeli walipatiwa makatuba Juda aliwekwa kwenye jela la orkuli kwa muda Fulani. Paulo hakuwa kueleza kuwa hawa kuwa na mamlaka hata kidogo. Alieleza kuhusu hali yao na mapatano ya hapo baadaye kuhusu kuzingatia imani ya Mungu. Hili linazalishwa na maandiko mengine kuhusu orakuli kama lililo pamoja na kanisa. Kanisa huonekana kama mwalimu wa orakuli za Mungu. Ofisi hilo halipo tena Israeli.

 

Waebrania 5:5-14 Vivyo hivyo pia Kristo hakujitakuza mwenyewe kwa kuwa kuhani mkuu, bali alitukuzwa nay eye aliyesema hivi kumhusu “we ni mwanangu, mimi leo nimekuwa baba yako 6 Kama ule anavyosema pia mahali pengine “wewe ni kuhani mbele kwa mfano wa Melkizedeki. 7 Katika siku za mwili wake wenye nyumba Kristo alitoa dua na pia maombi kwa yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa kutoka kifo, pamoja na vilio vyenye nguvu na machozi, naye akasikanua vizuri kwa sababu ya kumwogopa. 8 Ijapokuwa yeye alijifunza kutii kutokana na mambo aliyoteseka. 9 na baada ya yeye kufanywa kuwa mkamilifu akawa ndiye mwenye daraka la wakovu na milele kwa wale wote wanaomtii. 10 kwa sababu Mungu amemwita jina kuhani mkuu kwa mfano wa Melkizedeki. 11 Kumhusu yeye sisi tuna mengi ya kusema na yaliyo magumu kufafanuliwa, kwa kuwa mmekuwa wazito katika kusikia kwenu. 12 Kwa maana, kwa kweli, ijapokuwa mnapaswa kuwa walimu kwa sababu ya wakati, ninyi mnahi tena mtu awafundishe tangu mwanzo mambo ya msingi ya maneno matakatifu ya Mungu, nanyi mmekuwa kama wazaohifaji maziwa si chakula kigumu. 13 Kwa maana kila mtu anayetumia maziwa hafahamu neno la uadilifu, kwa maana yeye ni mto mchanga. 14 Lakini chakula kigumu ni cha watu wakomavu cha wale ambao kwa kutumia, nguvu zao za ufahamu zimezoezwa kutufautisha yaliyo sawa na yaliyo makasi pia.

 

Ufunuo ulikabidhiwa kanisa pekee; kutoka Mungu mpaka Yesu Kristo kupitia kwa Yohana. Ni jukumu la kipekee la kanisa. Wengi wamejaribu kutoa ufunuo kutoka Bibilia (angalia Bibilia (No. 164)). Wayahudi hawakukubali haya na kwa hivyo hawatambuliwi kama walio na kanisa lilipokea orakuli kama uaskofu ulitokea  kwa askofu mkuu Kristo hakujisifu pekee yake ili atafanywa askofu mkuu lakini ni katika siku zake za kiwiliwili (alipokuwa mwanaume) aliomba na kutoa shukurani kwa yule ambaye angemtoa kutoka kifo yaani Mungu, naye Mungu alimsikia. Ingawa alikuwa mwana wa Mungu alijifunza kunyenyekea kutoka na taabu alizopitia na akawa askofu mkuu baada ya maaskofu uaskofu ilikabidhiwa mteuele wakati Kristo aliishikilia. Bila mwanz wa siku au mwisho wa miaka bila kuzingatia ukoo ili kufanywa wafalme au maaskofu wa milele.

 

Isipokuwa alikuwa mwanawe alijufundisha kuwa na adabu kwa vitu ambavyo alifanyiana kuwa padri mkuu kwa kupitia ratiba wa Melkizedekia. Padri mkuu ni wa ratiba wa  padri kwa msemo. Upandri zilikuwa zina pewa kwa waliochaguliwa ka Kristo usema bila mwanzo wa siku ua mwisho wa mwaka au bila ratiba yeyoto kwao wano kuwa milele (Heb. 7:3; Rev. 5:10 RSV).

 

Ufunuo 5:9-10 Tukipokea ushahidi ambao wanadamu kutoa udhahidi ambao Mungu hutoa ni mkuu zaidi, kwa sababu huu ndio ushahidi ambao Mungu hutoa. Jambo la kwamba ametoa udhahidi kumhusu mwana wake. 10Mtu anayemwamini mwana na Mungu, ushahidi, umetolewa kwa habari yake. Mtu asiye na imani katika Mungu amemfanya yeye kuwa mwongo; kwa sababu hakuwa na imani katika ushahidi uliotolewa ambao Mungu akiwa shahidi ametoa kumhusu mwana wake.

 

KJV inapotosha katika maandishi haya ili kuficha ukweli. Kristo kama askofu mkuu ni lazima awe na mari juu ya uaskofu na huu kuhani umepatiwa jukumu la kutunza na kuendesha orakuli za Mungu.

 

Waebrania 5:12-14 Kwa maana kwa kweli ijapokuwa mnapaswa kuwa walimu kwa ya wakati, ninyi ninahitaji tena mtu awafundishe tangu mwanza mambo ya msingi ya maneno matakatifu ya Mungu; nanyi mmekuwa kama wanaohitaji maziwa, si chakula kigumu. Kwa maana kila mtu anayetumia maziwa. Si chakula kigumu. 13 Kwa maana kila mtu anayetumia maziwa hajahamu neno la uadilifu kwa maana yeye ni mtoto mchanga. Lakini chakula kigumu ni cha watu wakomavu, cha wale ambao kwa kutumia nguvu zao za ufalme zimezeezwa kutofautisha yaliyo sawa na yaliyo maksoa pia.

 

1 Petro 4:11 Kama yeyote akisema na asema kana kwamba ni maneno matakatifu ya Mungu; kama yeyote akihudmu na uhadumu kama anayetengemea nguvu ambazo Mungu hutoa, ili katika mtambo yote Mungu atakuzwa kupitia Yesu Kristo. Utukufu na nguvu ni zake milele na milele amina.

 

Atuposa orakuli za Mungu zinakabithiwa kanisa na kueleweka hivyo na mwandishi wa kitabu cha Wahebrania, ni isipokuwa Paulo alikuwa mamlaka ya kitubu hiki ambacho kilichokuwa na mshiriki wake na pia na petro. Hivyo basi mamlaka ya Kristo na kama invyokitokeza kupita mfuasi Petro na Paulo, tunaona uhamisha wa jukumu kwa kanisa.

 

Thibitisho Bandia Kuhusu Orakuli

 

Kuna dhibitisho bandia kiasi cha haja kuhusu kuwekwa kwa hizi hufanywa na wale ambao wanajaribu kutuhakikishia matumizi ya kalenda ya Hilleli katika kutunza siku takatifu za Mungu. Haya yanajitokeza katika agano la kale kwengineko wengi wa wakristo hawatilimaanani siku hivyo basi mjadala huu haikuwasihsa. Kudai kuwa ni jukumu la Wayahudi kuwa na za Mungu ungekabiliwa kwa kejeli kwa sababu agano jipya haitambuliwa na Juda na hivyo basi haijajumuishwa katika maandiko yao. Ugunduzi huu unaweza kuonekana bayana kuwa ni bandia kwa mkristo wa kawaida kwani haina ugumu. Wanajuda katika kanisa la Mungu, wakati huo huo wanatumia msururu muda bandia kuhalalisha kalenda ya kihaleli ambayo si mojawapo wa orakuli za Mungu. Hili kinadhilirika mnamo 358 CE, muda mrefu baada ya kuondolewa kwa mamlaka ya kiyahudi. Kutokana na hilo mbinu ya kutewa siku ya kutufuka kwa Kristo haikuigwa na makanisa mengi kwani ulijulikana kwa miaka mingi kabla ya Hilleli ya pili na siku zilizobuniwa na wayahudi kuonena kama uongo na unaopotosha.

 

Kuingizwa Kwa Uaskofu Wa Agano La Kale

 

Jambo jingine la ulaghai ni kuwa ushiriki wa agano la kale halikuingizwa mpaka kuitishawa kwa kongamano la jamnia. Hii lilitumiwa na wayahudii na wakristo waaminifu kwa wajuda kama ushahidi kuwa jambo tata la mamlaka ya kuamua babilia  bado lilikuwa gao hata baada kutuwanyika.Jania au yavne lilikuwa jiji rithi la salame wa kwanza mpaka.Herode wa kwanza .wakati wa kuharibika kwake ulifurahisha Livia ambalo liliharibika na kuwa mali ya kibinafsi  ya Tiberusi inayoelekeza maandiko ya Schurer.

 

Schura anamini kuwa malumbano baina ya wayahudi na walimwengu, kutoka wingi wa wayahudi ndiyo sababu Vespasiani alilazimika kulinda jiji marambili (E. Schurer The History of the Jewish People in the Age of Jesus Christ, Vol. I, p. 333; Vol. II, p. 110).  Kulikuwa na mavutano ya kiasi cha haja kati ya wayahudi na walimwengu wakati wa Caligula (ibid. I, p. 394). Jamnia haikuwa mojawapo ya maeneo katika utawala wa wayahudi chini ya Alexanda Jannaeus. Pompey ilitowa kutoka utawala wa kiyahudi na Gabinius ilijijenga (ibid. II, uk. 110). Jamnia ilinyakuwa wakati wa Vespasian katika nasi (ibid I, uk.498; II, uk 110). Baada ya kubomolewa kwa Hekalu na Jerusalem mnamo 70 CE, Jamnia ilikuwa kitovu cha masomo cha masomo cha wayahudi (ibid I, uk.521). Wingi wa wayahudi ndio sababu ilikuwa kitovu cha masomo baada ya kuharibika kwa Hekalu.Shule pale Jamnia ikawa koti juu ya wayahudi (ibid I, uk. 525-526). Jamnia ilikuwa ni jaribio la kuanzisha upya mamlaka baada ya kutolewa na Mungu, ambalo lililingana na kuharibika kwa Hekalu kutoka hitimisho la ishara ya Jona mnamo 70 CE.

 

Mkataba wa kale iliofanywa na wayahudi ambayob inaonekana kuhusisha Israeli ambayo pia ilikuwa katika mapatano na mungu. (Wakorintho wa pili 3:14,wahibrania 9:15; angalia  “Mkataba wa Mungu” (No. 152)). Mkataba mpya iliohidiwa katika kitabu cha Jeremia ilipanuliwa kuhusisha piua walimwengu wengine.

 

Mesmo wa mpya ambaye ili haidiwa kwa Yeremia 31:31, ileendelea kwa Wagenti kutengenezwa na wakristo (1Cor. 11:25; 2Cor. 3:6; Heb. 8:6-13; 10:16-17; cf. Lk. 22:20). 

 

Waaskofu wa agano la kale halikuingiza mpaka takribani 323 BCE baada ya ufufuluzi wa nehemia ambalo kulikuwa katika utawala wa Artaxerxes wa pili. Paka wakati huo liliheshimika kama kazi ya adimu ya Kistoria na urasuli. Historia ya kawaida ya kiyahudi imechukuwa mtazamo huu na hata wale ambao wanapinga Bibilia,kuwa  haukuwa imeingizwa Tora peke yake ndiyo iliyotengwa kama lililoandikwa kutikana uongozi war oho mnamo 621 BCE na kutoka vitabu vine vya mkusanyiko mnamo 400 BCE. Joshua, Judges, Samueli na Wafualme ukatengwa kutoka Pentateuch mnamo 400 BCE na yakawaachwa kazi ya kawaida (see The Interpreters Dictionary of the Bible, Vol. 1, article Canon of the OT, p. 507). Wasomi wa siku hizi wanasisitiza kuwa hili lilikuwa baada ya miaka mia moja lakini mchemaya alififua mpangilio huyo watoe wakati wake. (kati kati ya karne ya nne BCE). Kuna makala ambazo zilirekebishwa ambazo ni muhimu katika uelewa ya 300–250 BCE uanzilishi wa vitabu ulitendeka baada ya kuandikwa upya kwa kitabu cha Samweli na wafalme, wakwanza wa Krinikuli wa pili (ibid). Magongano ya Samueli na wafalme na kile kitabu cha imeorodheshwa na R.H proffer katika kazi yake. Baada ya 200 CBE na kabla ya 30 CE kusoma kutoka maandishi ya kirasuli (haphtarah) yalifanyika katika sinagogi wakati wa maombi  (Lk. 4:16-19; Acts 13:15 cf. Meg. 4:1-2; ibid., p. 509).

 

Maandiko au ketubbin ilisomwa kwa desturi wakati wa pasaka, pentekosti na ukumbusho wa tisa wa kibomulewa kwa Jerusalemu mnamo 586 BCE. Yalitimishwa na Ezra – Nehemaya na kuingizwa. P Feiffer ulikamilika baada ya kifo cha Ezra wakati wanaume wa synagogi walikusanya maandiko yote. Hakuna kitabu chochote killichoandikwa baada Ezra au Alexanda ambacho kilikuwa na ususo (ibid). Kulingana na Seder Olam Rabba 30 wawili hawa walikuwa wakati moja kulinga hesabu za siku za wayahudi. Wakati Alexandra (b.356 BCE) ilipenda. India circia 326 BCE na kuaga Cirsa 323 BCE ni bayana kuwa tunazungumzia Artaxerxes wa pili na wala si wa kwanza cha kitabu cha Ezra. Kwengineko tunagundua kutoka tamko hili kuwa maandiko matakatifu ya agano la kale yalimalizika na kuingizwa kutoka 323BCE. Agano la kale lilikalimiwa kwa lugha ya kigiriki mjini Alexandria (na kujulikana kama Sephetuagint (LXX) chini ya prohemy Philadelphus (283-246 BCE) na wanaume sabaini na wawili waliiyatimu na kuhitimu, inashukiwa kuwa sita kutoka kila kabila. Walitamatisha kazi hii baada ya siku sabini na mbili  (Schurer, Vol. II, p. 312; Vol. III, pp. 474-476, 677-679). Hata hapa tuinaona kuwa sabini walikuwa ni sabini na wawili kwa idadi kamili. LXX ilikashifiwa kama ukalimani wa R. Akiba mnamo 130 CE lakini alibadilisha lile la Aquila. Hapa tutaona kuwa kanisa ndilo lililokuwa na mamlaka. Brohton katika ukalimani wake wa LXX anazungingatia lile la Aquila kama lililobadilishwa na mamlaka ya Kiyahudi kwa LXX yenyewe kwani LXX ilikuwa kama lugha ya kiwahebrania. Anashuka kuwa hili lilitendwa ilikukejeli maandiko ya LXX yaliyotumiwa na wakaristo kujua ujikito wa Kristo. Bronton ameandika kuhusu mavazi ya kijeshi ya askofu mkuu inalozungumziwa katika Kutoka 28:23-28 ndilo linazingatiwa kama arkuli katika complutensian na sio kutoka vitakana au maandiko ya Alexandria. Umuhimu wa kutumia neno hili ni kuwa mavazi ya kijeshi iliashiria kitovu cha maamuzi wa kihari kwa makabila kumi na mbili ambayo ni mazingitio makuu ya mtakatifu wa watakatifu katika uhusiano wake na Mungu.

 

Baada ya kuingia kwa vitabu kadhaa kulikuwa kazi ambazo hazikukubaliwa kama la kitakatifu. Haya yalikuwa ni pamoja na makabi Judith, Tobilo nk ambazo zilijulikana lakini zikatiliwa shaka na zikajulikana kama apocrypha. Majaribio yalifanywa ili zitambuliwe na Wayahudi nah ii likafanya kongamano lilitishwa kule Jomnia. Baada ya kanisa kutoka Jerusalemu na jiji lenyewe kuanguka kanisa lilitowa kazi yake murua vitabu vingi vya Bibilia – vilikalimiwa na kanisa ambao wengi wao walikuwa wasomi Wahebrania.

 

Mifumo mitatu ya kigiriki ambayo yaliwekwa badala ya LXX yalikuwa ya Aquilo, Symmachusi na theodotion. Ingawa symmachus alikuwa na uwezo wa kutumia kazi ya Hebrania hakuwa myahudi. Alikuwa mkristo wa eboruta kulingana na Eusebius (Eccl. Hist. vi, 17) mpangilio huu inaweza kutumika kama historia ya awali yak anisa kama maandishi yao yalivyopatikana. Inashukiwa kuwa Aquila na Theodotion walikuwa waaminifu kwa Wayahudi. Aquila alitoka Pontes (angalia Matendo ya Watume 18:2 huku Epiphanies inataja sinope) (angalia schura col III UK 494) Utamaduni wa kiyahudi (yKidd 59a) inamweka katika kipindi cha R Eliezer, R. Joshua na R. Akiba, kumaanisha thuluthi wa kwanza karne ya pili.alitoa toleo la kwanza na la pili kulingana na Jerome (ibid uk 495). Alikuwa mwanafunzi wa Akiba. Maandiko yake yalipitishwa na wakuu na mamlaka ya kiyahudi na kuhifadhiwa katika Hexapta origeni na kutumika na wakuu wa makanisa ambao walikuwa wanatumia nakala ya Hexapla katika hazi ya Pamphilasi kule kaesarega na kwa kiwango Fulani sura za Hezapla LXX. Tunapata vipengele vingi vya maandiko tunavyoendelea anatambuliwa na onkelo ambaye ni mwundaji na kitabu cha kiarabu cha Targum wa Pentateuchi (Schurer, ibid uk 496). Mekati alipata maandiko ya karne sita inayohusisha Hexapla katika mistari 150 za psaltex ikiwemo. Nakala ya aquila pato katika sinagogi ya Geniza kule Kairo inaonyesha nakala ya pamoja ya kigiriki na kihebrania (mistari wa juu wa hetrmia na wa chini wa Kigiriki) ilikuwa pana mamo karne ya tano nay a sita (Schurer, ibid). Schurer anashikilia kuwa nakala ya LXX inakumbusha jinsi Aquila alivyofanya kazi yake hivyo basi inapotosha kuwa ni kazi ya Aquila mwenyewe.

 

Jerume alitoa vulgate ya kilatino na nakala za kigriki kama zinavyo patikana katika maandiko ya kale kutoka codi na vipengele. Jerume alifahamu kuhusu kazi za Aquila na theodotion ambao alisema alishuku walikuwa waebonita, kwani ni Wayahudi kwa kuzaliwa, kama alivyokuwa aquila JEROME alifoka kuwa ni baadhi tu ya watu ambaye walidhani kuwa alikuwa Myahudi (Schurer ibid uk 499). Jerome hivyo basi alitumia kazi hizi kutoka orodha ambayo imetumika kutengeneza nakali zinazokubaliwa za kisasa.

 

Hexapla ya ongeni imepangwa kwa mfungu. Aquila iliwekwa karibu ile ya Hebomia kwa sababu zilifanana. Teodotion ikawekwa karibu na LXX kwani ziliandana. Ya symmachus ikawekwa karibu na Aquila kwa sababu lilo hilo, ambalo lilishangaza Schara. Aqila inazingatia katika mwongo wa kwanza wa karne ya pili. Hteodotion imewekwa wakati wa commadus (180–192 CE); na symmachus baadaye – kulingana na schura. Lakini Iranaes anaorodhesha Theodotion kabla ya aquila ambayo schurex anafikiria ni potovu kwa tarehe za kazi ikizingatiwa (ibid uk 500) irenaeus alikuwa hai mpaka mnamo 190–191 CE kwa hivyo tarehe ya baadaye ya theodotion inawezekana lakini kuna uwezekano kuwa ilikuwa hapo awali.

 

Hoja ni kuwa kanisa alikuwawategemea Wayahudi kwa orakuli lakini ilichemgia pakubwa katika kubadilisha maandiko katika Kigriki na kiarabi na hata kwa lugha zingine.hakikisho kuwa maandiko matakatifu hayakuingizwa hadi 70 CE wakati kongamano la kwanza (c 90 CE) au la pili (118 CE) wa Jamnia ni uwongo. Uongo huu unaungwa mkono na Wayahudi na wakristo waaminifu kwa Juda. Kiini cha kongamano cha jamnia ilikuwa ni kupinga kuingizwa kwa kazi zilizojulikana lakini zilishukiwa za Ben Sirachi. Makongamano haya hayakuwa na athari kwa kanisa ambalo lilijua fika kwamba maandiko matakatifu yalihitimishwa kipindi cha Ezra.

 

Dhania kuhusu jamnia inaenezwa kuunga mkono uongo wa kalenda kama ilivyowekwa 358 CE chini ya Hilleli ya pili, kama yenye mamlaka kwa kanisa ambayo haina hata katu na hata halikuwahi kuwa hayo. Kanisa katika nyakati za awali iliamini na kufundisha kuwa agano la kale liliingazwa wakati wa Ezra alipoaga. Hili lifundishwa tertulliani irenaeus na klementi wa Alexandria (kamusi ya Interp. Dict., Vol. 1, p. 514).

 

Wagriki hawajakuwa na jukumu kwa za Mungu na hata kuanzishwa kwa maandiko ya kigriki. Huo uongo mwingine uliotungwa na. Hili ni Jmabo mpya mbeleni wa Wa Yuda kuungamkono waYaudi orakali Theologia.

 

Unabi wa Haggai

 

Maono bandia unaofuata katika handaki ya baadhi ya wanajeshi waingoreeza – waisraeli na wale walinda mpangilio wa Hileli ni urasuli wa Haggai kwa 2:1-23.

 

Haggai 2:1-23 Siku ya 21 ya mwezi huo, neno la Yehova likaja kupitia nabii Haggai likisema “tafadhali mwambie Zerubabeli mwana wa shealtieli govana wa Yuda na yoshua mwana wa Yonosadaki kuhani mkuu wa mabaki ya watu, akisema, 3 ni nani kati yanozamani? Nanyi maionaje sasa? Kwa kulinganisha, je hii haionekani machoni penu kuwa kama si kitu? 4 Lakini sasa, uwena nguvu, ee Zerobbed asema Yehova na uwe na nguvu, ee Yoshua mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu” nanyi iweni nguvu ninyi nyote watu wan chi” asema Yehova “na mfanye kazi” kwa maana nipo pamoja nanyi, asema Yehova wa majeshi 5 kumbukeni jambo tuliloangana nanyi mlipotoka Misri na wakati ambapo roho yangu ilikuwa ikisimama katikati yenu msiogope”. 6 kwa maana Yehova wa majeshi anasema hivi. Bado mara moja – ni kitamkono kidogo – nami nitatikisa mbingu na dunia na habari na nchi kaw. 7 nami nitayatikisa mataya yote, navyo vitu vyenu kutamanika vya mataya yote vitaingia, nami nitaijaza nyumba ni utukudu, asema Yehova wa majeshi. 8 Fedha ni yangu na dhahabu bi yangu asema Yehova wa majeshi. 9 utukufu wangumba hii baadaye utakuwa mkubwa kuliko ule walie ya zamani asema yehova wa majeshi. 10 katika siku ya 24 ya mwezi wa 9 katika mwaka wa pili Dario, neno Yehova lilimjia nabii Haggai likasema. 11 Yohana wa majeshi amesema hivi, “tafadhali uliza makuhani juu ya sheria ukisema, 12 mtu akichukuanyama takatifu katika upindo wa vazi lake, naye aguse kwa upindo wake mkate au mchuzi au divi au mafuta au aina yoyote ya chakula, je kitu hicho kitakuwa kitakatifu? Nao makuhani wakajibu wakasema “Hapana!” 13 Nayo Haggai akaenda kusema “mtu aliyenajisi kutokana na nafsi iliyokufa akigusa chochote kati ya vitu hivyo, je kitu hicho kitakuwa najisi? Nao makuhani wakajibu na kusema “kitakuwa najisi”. 14 Basi Haggai akajibu na kusema “hivyo ndivyo kikundi hiki cha watu kilivyona hivyo ndivyo taifa hili lilivyo nibele zangu, asema Yehova na hivyo ndivyo taifa hili lilivyo mbele zangu asema Yehova na hivyo ndivyo kazi yote ya mikono yao ilivyo na chochote wanachotoa huko ni najisi.  15 Lakini sasa, tafadhali wekeni moyo wenu juu ya hili kuanza leo na kuendela kabla jiwe halijawekwa juu ya jiwe katika Hekalu la Yehova 16 Tangu mambo hayo yalipotoka mtu alikuja kwenye mtungi wa kushinikizia ili kuchota vipimo 50 vya pipa la divai, kumbe vilikuwa 20 17 niliwapiga ninyi kwa kuwaungoza na kwa ukungu na kwa mvua yam awe hata kazi yote yamikano yenu na hakukuwa na yeyote kati yenu aliyegeuaka kuja kwangu asema Yehova. 18 Kwanza leo na kuendelea, tafadhali wekeni moyo wenu juu ya hili, kutoka siku ya 24 ya mwezi wa 9, kwanzia siku ambayo msingi wa Hekalu la Yehova uliwekwa wekeni moyoni wenu juu yah ii. 19 Je bado kuna mbagu katika shimo la nafaka na kufikia sasa, mazabibu na mtini na mkoamango na mzeituni – je umezaa? Kuanzia leo hii nitatoa baraka. 20 Nalo neno la Yehova likamjia Haggai mara ya pili gaven siku ya 24 ya mwezi huo likisema. 21 mwambie zerubabeli Gaven Yuda nitazitikisa mbingu na dunia. Nitakipindua KNO cha falme za mataifa. Nitalipingua gari na wapandaji wao wataanguka kila moja kwa upanga wa ndugu yake. 23 Katika siku hiyo asema Yehova wa majeshi, nitakuchukua, ee Zarubabeli mwana wa sheltleo mtumishi wangu, asema tehera. “Nami nitakuwekwa kama poer ya muhuri kwa sababu ni wewe nimechagua asema Yehova wa majeshi.

 

Ujumbe kamili unaojitokeza katika urasuli huu ni Ubabi huu inahusu siku za hapo baadaye. Terehe ishirini na nne wa Chislev ni siku kamili hapa mbeleni.

 

Kinacho semekano katika hii Unabii ni:

 

1. The prophecy concerns the latter days.

 

2. 24th wa Chislevi ni tarehe ya pekee hapo mbeleni.

 

3. Hii siku ilikuwa ni siku ambayo Yesusalemu ilikombolewa mnamo March tisa, Desemba 1917 na inashukuwa kuwa siku ambayo Akembi aliingia Jerusalemu kulingana na kalenda ya Hillel.

 

4. Baraka ambazo Haggai anaongea juu yao zinatimika.

 

5. Hii kwa kiwango Fulani ilikuwa imeangukwa ya saba kutoka kuanguka kwa Jerusalemu.

 

6. Kutoka hoja hili kalenda ya hilleti ikadhaniwa kuwa ya mguso na orakuli wa Mungu.

 

Kwanza tukizingatia kuanguka kwa Jerusalemu, kamusi ya harpo ya Bibilia inarekodi kuwa wababiloni walivamia jiji katika 598 BCE na kulibomoa vilivyo. Hakuna tarehe ambayo iliyoipa 1917 kama sawa na mizunguka saba au miaka 2,520 tarehe ingetoa takribani 1923 na tarehe ya baadaye ingekuwa 1933.

 

Utakatifu wa mawazo yanazunguka kama tutakavyo ona. Inajitokeza katika mitihani ya historia ya kukomboelwa kwa Jerusalemu. Kuwa matokeo yalipangwa ili kuenze ujumbe kuwa Mungu alitenda tendo la kutumiza Haggai kwani hatu walioshi nyakati hizo walidhani kuwa ilikuwa ni mkutimia kwa urasuli wa Haggai. Baada kuandika maandiko baniai yaliyohusu tarehe tisa 1917, maandiko haya bandia yalitumika kuunga mkono kalenda ya Hilelli ambayo ilikuwa msingi wa maandiko bandia.

 

Mnamo 1917 ordhi takatifu ilikombolewa na asustralia, usiizi uingereza na washiriki wao walipingana na waturuki waliopata usaidizi wa ujerumani. Kulingana na sagara ya vita (H. S. Gullett, The Australian Imperial Force in Sinai and Palestine, Vol. II of the Official History of Australia in the War of 1914-18, Angus and Robertson Ltd, Sydney, 1937), Gaza na Beersheba ilinyakuliwa namo Octona 31 hadi Novemba 1, 1917. kavalia kwa Palestina lilikuwa jambo la lazima. Mnamo Novemba 2, 1917 azimio yake Balfour huku taifa la kiyahudi liendwe ilitolewa na waziri mkuu wa uingereza kama azimio la kwanza (Azimio la pili lilihusu jumuia ya madola ya Australia chini ya sheria za kiingereza). Kunyakuliwa kwa Jerusalemu halikuwa tekelezwa hadi Desemba. Maendeleo ya nguvu za kijeshi yalikuwa hivi:-

 

Vita vya Beesheba

31 Octoba hadi 1 Novemba

Tel el Khuweilfe

8 Novemba

Mafanikio alitendeka (Sinai na Palestina 4-8 Novemba)

6-11 Novemba

Makimbizo yaliyofanyika

8-15 Novemba

Nahr Auja na El Buij Novemba

11-17 Novemba

Yerusalemu mbeleni

16-24 Novemba

Nahr Auja and El Buij

24 Novemba hadi 1 Desemba

Vamio la mwisho lakikomboa of Jerusalemu

7 Desemba

 

Vamio la mwisho lilianzishwa na wanajeshi wa jumuia ya madola mnano Desemba 7, 1917. kulingana na mwezi mpya kamili hili lilikuwa na siku ambayo 24 Chislev  (kalenda ya Hilleli inaanzia mwezi huu, siku mbili baadaye. Waturuki na Wanajerumani wakaanzisha uhamisho na mnamo Desemba 8, 1917 Jerusalemu ilikuwa hudu. Wanajeshi wa ardhini waliingia na kujikita ilipfika Desemba 10, Farasa Ndogo lilikimbiza wakifuata barabara ya Nablus kama maili nane.

 

Walikumbana na mashambulishi mazito kutoka Wanajeshi wa uturuki. Walikuwa wanaelekea pembe ya kusini ya bonde la Jordani huku wakirajibu kuzura washiriki kuvuka mto ili waingia reliyo. Hajaz na hivyo basi kulemeza oparesheni yake Allenby katika mrengo wa kulia.

 

Hakuna kilichotokea Desemba 9, 1917 kwani Jerusalemu ilikuwa imekombolewa tayari na mashambulizi ya tarehe saba. Historia nyingi za amerikani zinadai kuwa Allenby aliingia Jerusalemu na kulikomboa. Ukweli wa mambo ni Allenby aliingia kirasmi Jerusalemu Desemba 11, 1917. Allenby alifahamu kuwa kiongozi wa ujerumani Wilhelm (William) aliingia Jerusalemu kwa shangwe na sherehe mnamo 1908. Hivyo basi, akafanya yake kichinichini kwa kuingia kwa miguu wanajeshi mia moja kutoka vikundi vyake yalijipanga katika barabara ya Jafla. Ikiwemo wangereza waskofu, irishi, wawelshi, wagurka, waastaralia na Waitaliano. Wale kutoka Uwidi wakimbia sana Dominioni likabadhiwe. Rangi ya kipekee ilikuwa ni ya baadhi ya wanajeshi wa ardhini wafaransa aliyovaa samawati. Hii ilikuwa na mara ya ishirini na nne ambapo Jerusalemu ingawa na wapiganaji wa kigeni. (Gullett ibid uk. 523) lakini si mnamo xhislev 24, 1917. Kwa kuzingatia kalenda ya Hilleli ilikuwa mnamo chislev 26 na kulingana na mwezi mpya kamili ilikuwa Chisler 28. Wanajeshi wetu waama walivamia mnamo chisler 24 lakini kwa nguvu. Msingi wake ilikuwa ushirikano ya dhati na kutohairisha mambo.

 

Jerusalemu wakati iliponyakuliwa halikuwa katika hali ya ufukara mbali ilikuwa chafu. Ilichafuliwa ibid watu waliokuwa wakiuza bidhaa wadhehebu na dhehebu bandia ambao kimaendeleo walikuwa wachafu (wakisaidiwa na mienendo jinga za wanajeshi waturuki kwa miaka miwili) mpaka wakristo hukumbuka ziara zao kwa kubugaa (ibid uk 522).

 

Baada ya kunyakuliwa kwa Jerusalemu, jiji lilikumbwa na baa la njaa hadi uingereza  ikalazimika kuleta chakula cha msaada kupitia bahari la mediterania kuingia kwetu kuingia   kusini  kulikuwa haraka  ndiposa uturuki haikuwa na  fursa ya kuachiliwa  koloni za kusini walikuwa wadhibitishe umuhimu yao.Tume ya Zioni chini ya Rais  wa Shirikisho la Kizioni,Daktari Weizmann,ilifanyishwa kazi na kupewa mamlaka na Serikali ya kiingereza,na ukarabati wa Palestina. Kazi hizi zilijumuishwa kukarabati mahemu ya elfu moja mia nane na nusu Karne (The Times History of the War, Vol. XV, London, 1918, p. 179).

 

Maendeleo haya yatambulilika katika mwangaza wa historia ya kweli bila kulaghai wa uwongo wa wapinzani wa Kiingereza – Israeli ambao hawakuhusika lakini walitoa propaganda kutoka Americani.

 

  1. Haikuwa mzunguko wa mara ya saba kutoka kuingia kwa wa babiloni. Kutumika kwa mizunguko mara saba inatahiniwa katika kijitabu ‘Kuanguka kwa Misri’ (No. 36) ‘Unabii wa Mkono wa farao Ulivyovunjika’ 
  2. Allenby haikuingia Jerusalemu ya madola walivamia jiji mnamo December 7, 1917
  3. Ujerumani na uturuki walijitoa Desemba 8. 
  4. Ukusanyiko wa ulinzi ulifanya baina ya Desemba 8 na 10. 
  5. Siku kamili kwa Chislev 24 1917 ilikuwa Desemba 7 1917 na walasi Desemba 9 1917.
  6. Kulingana na kalenda ya Hilleli. 

 

 

Hata hivyo ni mhali tukumbuka kuwa Judah haikuwa imebarikiwa muda huu wote. Ni potovu kufikiria kuwa Mungu angechukuwa wakati huu kutimiza Haghaina kuacha unabii mwengine bila kutimiza ambako Judah ingepitia masikitiko yake mkuu katika maisha yake kama Taifa.Punde tuu Mizunguko ya mara saba kutoka kubomolewa kwa Yerusalemu na Wababiloni, Chama aha Nazi ilishika hatamu ya Uongozi Ugerumani na kuanza Mushururo wa Kushtaki wayahudi kutoka 1942  hadi 1945 Ujerumani ilishushishwa katika mkururo wa mauwaji halaiki ya Wayahudi-Hii imerekodiwa katika Historia ya kila Nchii.Kusisitiza kuwa hili lilikuwa maono ya Mungu ya baraka katika katika kutimiza Haggai. Ni ulaghai mtupu.Kama Haggai imetimizwa katika matokeo haya,tunaweza hitimisha kuwa.

 

Kalenda ya Hilleli niulaghai.

 

Kwa Uzito zaidi Hash Kenazim na Wayahudi wa Ulaya wake wote wako injee ya Baraka ya Mungu Baada ya Kupotosha Matakw ya Sheria na Sherehe. Laana nzito zina sababu (Prov. 26:2).

 

Haieleweki hata hivyo kuwa Haggai imetimizwa.

 

Danieli 12

 

Tuendeleo kutahili mada kuwa Hagai ilitimizwa Desemba 1917. Andiko linalotumiwa  kuunga mkono mada hii ni Danieli 12:1-13.Andiko hili linafuatilia kuanzia Danieli 11, Kuhusu vita vya Wafualme wa Kaskazini. Andiko katika Danieli 11:41-45, pia ni muhimu sana. Vikwazo ambayo lazima vifuatue. Kwanza, Urasuli huu imetimzwa yote kabla ya mgao wa Danieli 12 kutimizwa.

 

Daniel 11: 41-45 Pia ataingia katika nail ya lilo pambo, nakutakuwa nchi nyingi zitakazokwazwa, lakini hizi ndizo zitakazoponyoka mkononi mwake, Edomo na Maobu na lile sehemu kuu ya wana wa Amoni naye ataendela kunyoosha mkono wake juu ya nchi hizo, nayo nchi ya Misri haitaponyoka. 43 naye atatawala juu ya hazna zilizofichwa dhahabu na fedha na juu ya vitu vyote vyenye kutamanika vya Misri na Walibya na Waethiopia watafuata nyayo zake. 44 Lakini kutakuwako habari ambazo zitamsumbua kutoka upande wa mashariki na kutoka kaskazini, naye ataendia kwa ghadhabu kuwa ni kuangamiza na kuharibu wengi. 45 Naye atasimamisha mahema yake makubwa kati ya ile habari kuu na mlima mtakatifu wa lilo pambo naye ataenda mpaka mwisho wake, wala hatakuwa wakumsaidia.

 

Andiko hili linadai kuwa Msiri, Palestine na ardhi nayounganisha Jordani iliyakuliwa  kwa pamoja. Mfalme aliingia na kunyakua Misri na hata Palestine. Wakati huo huo alielewa kuwa mashariki na kaskazini wanahungunika akaingia na kuyaharibu na kuondoa wengi wao. Unabii kwa haliku zingatia kama uliotimizwa hadi vita vikuu ya pili vya dunia – uvumizi wa Axis kwa Afrika na uvamuzi wa Hitla kwa urusi. Hata hivyo mashariki na kaskazini mwa palestina na Jerusalemu imo katikati mwa Urusi na urasuli hauonekani kama iliyotimia. Maandiko kuhusu kuwekwa kwa mahema kati kati ya habari na mlima takatifu inatimizwa na wanajeshi mnamo 1977, lakini hawakuingia Urusi au anzisha oparesheni kali kuzidi kuvumbuliwa kwa Iraki kama ufalme shirika la magharibi.

 

Daniel 12:1-13 Na makaeli atasimama wakati huo, yule mkuu anayesimama kwa ajili ya wana wa wana wa wana wa watu wake, na kutakuwa na wakati wa taabu ambayo hajapata kutokea tangu kuwapo kwa taifa lolote mpaka watu hao na wakati huo watu wako wataponyoka kila mmoja anayeyatikana ameandikwa katika kile kitabu, 2 na kutokana na wengi kati ya wale waliolala katika mavumbi ya nchi ambao wataamka, hawa kwa ajili ya uzima unadumu mpaka wakati usio na kipimo na wale kwa ajili ya shutuma na chuku zinazodumu mpaka wakati usio na kipimo na wale kwa ajili ya shutuma na chuki zinazodumu mpaka wakati usio na kipimo 3 na wale kwa ajili ya uzima unaodumu mpaka wakati usio na kipimo na wale walio na ufahamu watangaa kama mwangaza wa anga, na wale wanaoleta wengi kwenye uadilifu watangaa mpaka wakati usio na kipimo milele kama nyota. 4 Na wewe, Ee Danieli yafanye siri maneno hayo na kififunga kitabu kwa muhuri, mpaka wakati wa mwisho. Wengi watakwenda huku na kuko na ujuzi wa kweli utakuwa mwingi. 5 nami Danieli nikaona na tazama! Watu wengine wawili walikuwa wamesimama, mmoja kwenye ukingo ule mwingine kwenye ukingo ule mwingine wa mto, 6 ndipo mmoja akamwambia yule mtu aliyevaa kitani, aliyekuwa juu ya maji ya ule mto “itakuwa mda gani kufukia mwisho wa inambo hayo ya ajabu?” 7 Nami nikaanza kuisikia yule aliyevaa kitani ambayo ilikuwa juu ya nami nikaanza kumsikia yule mtu aliyevaa kitani, alipoinua mkono wake wa kuume na mkonoi wake wa kushoto, kuelekea mbingu na kuapa kwa yule aliye hai kwa wakati usio na kipimo, “itakuwa ni kwa wakati uliowekwa, nyakati zilizowekwa na nusu ya wakati na mara tu baada ya kuvunjwa vipande, vipande kwa nguvu za watu watakatifu kutakapokwisha, mambo haya yote yatakwisha. 8 Mimi nami niasikia, lakini sikuweza kuelewa, basi nikauliza, “Ee Bwana wangu mwisho wa mambo haya itakuwa nini?” 9 naye akaniambia tena “nenda Danieli kwa sababu maneno haya yamewekwa siri na kufungwa kwa muhuri mpaka wakati wa mwisho. “wengi watajikosa na kujifanya wape na kusafishwa na waovu watatenda kwa uovu wala hakuna waovu wowote watakao elewa bali wale walion na ufahamu wa taelewa,” na kutoka wakati wa kuonfolewa kwa ile dhabihu ya daima na kusimamishwa kwa lile chuki zolinalosababishwa ukiwa, kutokuwa na siku 1, 290 12 mwenye  furaha ni yule anayeendelea kutaraji na anayefika kwenye zile siku 1,335 13 wewe nawe nenda zako kuelekea ule mwisho nawe utapumzika lakini utasimama kwa ajili ya fungu lako mwishoni mwa zile siku.

 

Kifungu hiki kinahusisha adventi na ufufuo katika nyakati za mwisho. Inadhihirisha wakati au muda wa siku 1,290 mpaka 1,335. Vile vile inadhihirisha kuimarika kwa roho mtakatifu ambapo wenye busara wataamrisha wengi katika maajibu yaliyoko ufalme wa Mungu.

 

Kwa ajili ya azimia la kimesia katika huu utabiri waneji wamemchukuwa mikalei kuwa Kristo kwa mfano kanisa la Mungu iliyoko uingereza inashikilia kwamba mikaeli ni Kristo ila hupinga kuwa si malaika mkuu yamaanisha nani kama si Mungu.

 

Ukwli ni kwamba huyu ana kujumu kuu kwa Israeli katika Kumbukumbu la Torari 32:8. Mesaya ana jukumu kwa Waisraeli kama Yehova – mamlaka anayopewa na mwenyezi Mungu. Kwa hivyo mikaeli sharti awe Mesaya. Tamati ilikabidhiwa jukumu la kuwa makamu wake Mesaya. Watu ni wana wa Mungu tunaoujuwa kutoka kwenye maandi kadhaa. Malaika walitazimwa tu kuumbwa ex nihilo kwanzia nyakati  za nne za “baraza la Laterani”  kipindi cha 1215 kukana shetani uwezo wa kuishi milele kwa sababu ya zingizi la pingamizi kuhusu dini, baina ya wakathari wa ufaransa kusini baina ya Waalbigenesia. Matawi kadhaa ya kanisa la Mungu walipanga kuruka kwa kimantiki kwa muda wa miaka karne zilisopita na pia haizingatii maonyesho ya kibibilia tuliyonayo. Kikeeli na Mesaya wote ni wana wa Mungu na isitoshe wana mgawa sawa kwenye roho mtakatifu wa Mungu kama wana.

 

Sharti linalifuatilia ni kwamba inazingatia wakati, nyakati nusu wakati na kipindi ambapo kusambaratika kwa nguvu wa watu watakatifu utakaposhitishwa. Mtazamo katika mwaka 1914–18 ulikuwa kwamba siku hizi 1, 260 ziweze kutimizwa kwa miaka 1,260 za Hekalu ya Roma takatifu. Makundi Fulani ya wamerikani waliozingatia, waliisitisha mwaka wa 1798, huku wengine 1814. Wote walikosea kwa sababu mtazamo duni wa historia ya hiyo Hekalu na azimio la utimizaji utabinafsi. Hekalu hiyo iliazishwa 59CE kwa amri zake Gregori wa kwanza na kusitishwa 1850 maadama ya kuraza nchi mbalimbali zinazomtukuza papa (tazama M. Martin kuanguka na kusambaratika kwa kanisa ya Kiroma, secker na Warburg uk 264, langanisha pia karatasi “jukumu la amri ya nne katika kutunzwe kwa sabato kwenye kanisa za Mungu kwenye historia (Hesabu 170).

(see M. Martin The Decline and Fall of the Roman Church, Secker and Warburg, p. 254 ff.); (cf. also the paper The Role of the Fourth Commandment in the Historical Sabbath-keeping Churches of God (No. 170).

 

Mtazamo huu hamnazo kuwa msingi wa mwaka kwa siku inahusika tu na ufalme na si kwa na hadithi maanani shida ya mara saba kwa uzito unaostahili. Unabii ya mra saba wa Danieli kwa wababilini ilihesabiwa kutoka 605 BCE katika vita vya karchemishi mpaka 1914 mwanzo wa vita vya kwanza vya dunia. Hata hivyo Misri haikuvamia wakati huo na hat walihusika. Urasuli wa Ezekieli 28-29 inahusisha kuanguka kwa utawala wa Misri. Vikundi viwili hivi vya wanajeshi walihusika kwa nyakati mbili za miaka arobaini, na kumalizika miaka minane baada ya wamizi wa cambyses mnamo 525 BCE. Kulikuwa na nyakati mbili za miaka arobaini lakini hapo kati kati Misri ikajifufua. Hii ilifanyika punde tu baada ya mara ya saba mnamo 1953 pamoja na azimio la jamhuri ya Misri chini ya Gamel Abdul Nasser. Muda huu wote haimaliziki mpaka 1996. Katika mwaka huo wananzilishi ya uislamu wameshika udhabiti hadi serikali ikawa jina tu. Kanisa la koptiki la Misri lilikumbana na mateso makali mpaka ikaungana na Roma baada ya malumbano tangu chelkedoni kwa 451. Vipengele hivi havikuzingatiwa.

 

Hanzano inaofuatilia ni kuwa miaka 1,290 na miaka 1,335 inahusiana kipindi Fulani. Andiko hili inahusika na uzunduzi wa mwiko inayohuzunisha mahanga ya kila siku ilihitimishwa kabla ya kubomolewa kwa Hekalu mnano 70 CE. Ukizingatia Danieli 12 kutoka siku hii haikudhuru. Utabiri huu ulitumika kwa 1917 kwa kutoka nambari ndogo ya 1290 kutoka 1917 na kuchukua nambari ya kuanza kwa Muislamu (1917 – 1290 = 627).

 

Mwaka huu inahusishwa na kalenda ya kiislamu. Hata hivyo kalenda ya kiislamu inaanza kutoka hijra na inakubaliwa kama mwanzo kutoka 15 (16) julai 622CE. Mwaka wa ambayo ilikuwegoni kwa waislamu iliazishwa kwa kuweko wa jua mnamo 10AH au 631 CE katika ziara ya kitakatifu ya mwisho kwa Mecca (Qur’an 9:36 ff; cf ERE Vol 3, Uk 126).

 

Fomula inaokubalika kubadilisha ni

Hijra (A) – (3A ÷ 100) + 622 = mwaka wa kikristo (ibid)

 

Mwaka wa 1290 AH unaanzia 1911. Desemba 1917 ilikuwa 1296 AH. Mwaka 1335 AH ilikuwa 1956 CE.

 

Unyakuwa wa Jerusalemu inafaa ileweka kuwa inahuskika na madai kuhusu wakati huu. Kuuanza Jerusalemu ili nyakuliwa na pashia mnano 614. Chosroes wa pili wa Pashia alipigana na mnyakuzi Phocas ambayealiuwa mfalme Maurice wa Warumi. Maurice alikuwa rafiki na msaidizi wake chasroes. Mnamo 1611 Pashia ilivamia atoich. Jerusalemu katika kikosi chake kulikuwa na Wayahudi 26,000 ambayo walikuwa na ari ya kuvunja kujitawala kwa wakristo hapa Jerusalemu. Wakristo 40,000 walikuwawa na Jerusalemu ikanyakuliwa (Cath. Encyc., Vol VIII, article ‘Jerusalemu’ uk 359) Wayahudi walikubaliwa kufa chochote walichotaka hapa jijini lakini hayakidumu. Mnamo 622 iteridius aliandama kupitia Asia minor huku akikimbiza kinymenyumbe Wapashia na kuvamia mnamo 627.Shosroes alikimbia uhamishoni lakini akaondolewa mamlakani na kuowawa na wanawe Siroes mnamo 628.Mwaka huo walipignia amani kwa kuachiliwa mataifa walioteka. Waliacha Siria na Misri na Kufufua msalaba wa kidhebehu walitoa Jerusalemi Mnamo 629 Heralius mwenyewe alikuja Jerusalemi ilikuonyesha heshima kwa msalaba (ibid). Hii lilikuwa uanzilishi wa sherehe ya kikatholiki ya kuinuliwa kwa msalaba, Septemba 14.

 

Kutokana na ujinai wa wayahudi, sheria ya kale ya Hadriani ilifufuliwa na walikatazwa kuzuri jiji. Askofu mkuu Theodosiusi alifufua Mzunguko wa kale wa Anastasis hapa. Hakukuwa na jenga lingine katika eneo la mlima wa Hekalu. Heraclius alijenga ukuta na kujenga sehemu ya sehena. Wa Patriaki Sophonius (634-638) ni wa Yerusalemu.

 

Vislamu chini ya kalif Abu-Baka (632-634) walivamiasiria. Abu-‘Ubaidah alimurisha wanajeshi. Alikuwa Ashab,mwana bandi asilia aliyeandaandamana na nabii kutoka Mecca hadi Medina mnamo Julai 633.Mnamo 634 wakanyakuwa Damaskas na kushinda wapiganaji wakirumi tena Yarmuk na kuchukua Emesa mnamo 636. Kalif Omar (634-644) aliulizwa kama wangeandamana kuelekea Jerusalemu au Caeserea. Kutokana na Ushari wa Aliwaliandaman kulelekea Jerusalemu.Ilivamiwa wan a walinzi 5000chini ya uongozi ya Mo’awayah.Ibu-Abu-Sufyani na Kuzingirwa na Jeshi loto chini ya Abu-Utaidhah.Jerusalemi ililindwa  na Jeshi kubwa  ya wakimbizi kutika kote Siria na mababe wa Yarmuk.Jiji lilishambuiwa kila siku kwa muda miezi minne. Askofu mkuu Sophronius hatimaye aliomba amani na komanda Abu-Ubaidah.Walikubaliwa kwa Usawa na Heshima. Wakristowalikubaliwa kubaki na makanisa yao na hakuna aliyelazimishwa kukubali uislamu. Makabiliano haya yaliwekwa saini na kalif Omar aliyekuwa Medina. Omar alikuja kwa nyuta na farasi moja na kutia saini mapatano,akaingia Jerusalemu na kupiga gumzona Sophronius kuhusu historia ya kale (Cath. Encyc., ibid., p. 360).

 

Omari alikata kuomba kule Anastasis ili isitumiwe kama sababu ya waislamu kuvunja makubaliano. Kilima cha Hekalu kilikuwa bure na kubakiia eneo la kutapa takataka. Hakunwa na jingo lingine ila Anastasis. Msikiti wa Omari ulijengwa hapa ambamo alienda. Chini ya waislaminu, Wakristo walivumiliwa na hata wasroamini uislamu.Uislamu hafanya Jerusalemu kuwa kiini cha wapalestina. Hii ilikuwa hydda mpaka 716, Kishi katika Ar. Ramal (Ramleh). Jerusalemu hata hivyo ndio jiji la tatu bora baada ya Mecca naMedinna kwa utakatifu (Angalia Qurum Sura ya 17).

 

Wakati wa utawala wa Kalif, Abd-al-Malik(684-705),Ummayaid Calif wa tano kule Damaskas Wairaki aliasi na kunyakua mali Hijaz.Ili watu wawe badala ya Haramani ya Mecca na Medina,ambako walikatazwa kuenda,alianza kusafisha na kurembesha mahali ya Hekalu kwa kuwekaMsikiti Omar alizuru kilima na kupata kuwa  ilijaa wakimbizi(ibid).Katika kipindi chake alijenga jingo kubwa kwa waislamu na Abd-al- amalik mnamo 691 alijenga kutoka usaidizi wa wajenzi wa Byzantine, ‘Dome of rock’ambalo bado imejikita kule kilima cha Hekalu.

 

Kwa hivyo jingo asili haikujengwa juu ya kilima mpaka baada ya 636 ‘Dome of the rock’haikujengwa mpaka 691. Kutoka 636 mlima wa Hekalu ilitumika kama eneo la Kitupa takaka na walijiita Wakrito. Jengo hilo (Kwa jina Bandia msikiti wa Omar) Inasimama katika eneola Altari ya vyumba vya kuangamiza za Hekalu ya kale.

 

Kutumika kwa utabiri katika Danieli 12 kwa kipindi hiki haileti picha kamili na mwiko inatisha na kusikitisha haiwezi tumika kwa Uislamu mahali na wakati huu. Bila shaka ilikuwa ni takribani miaka 1290 kama kung’utisha kwa Babiloni mnamo 598CE na kumalizika 691 CE inazingatiwa. Tarehe hizi zilichukuliwa kutoka 637 CE na kisha miaka 1290 inaongezwa inaleta 1927 na wala si 1917.Tukiongeza kipindi cha miaka Arubaini na tano inakuwa 1972. Tarehe hizi hazihusiki na tukio lolote mhimu na Wahama hakuna amani Jerusalemu.

 

Kuunda kwa utabiri hizi kama matimizo ya Danieli mnamo 1917 inaushahidi hafifu na inapingana na uundaji wowote wa tarehe intolewa kutoka historia inayohusiana na kilima cha Hekalu cha Yerusalemu. Inaonekana kuwa Urasuli huu katika Danieli 12 inahusiano na matokeo watakayo jitokeza hapo mbeleni inatokana na vita vya mwisho inayohitaji hustahimilivu wa watakatifu. Ndiposa Judah na taifa la Israeli lazima zipitia kuvunjika kwa nguvu zao kabla ya utabiri huu kutimia. Huu aukutendeka katika vita vikuu viwili vya dunia. Kuangamiza kwa halaiki kwa kuteketezwa ndio inayogusana na utabiri huu na unaweza oonekana kama matunda yake.

 

Haggai Ikachambuliwa Tena

 

Hatua nikuangalia tena Haggai kwa utahini ya hapo baadaye. Haggai inahusisha kwa kujengwa kwa Hekalu na hulka kwa jukumu hilo.

 

Haggai 1:1-15 Katika mwaka wa pili wa mfalme Dario, mwezi wa sita siku ya kwanza ya mwezi huo, neno la Yehova lilikuja kupitia kwa nabii Haggai, kwa ajili ya Zorubabeli mwana wa Shealtioli,gavana wa Yudah,na kwa ya Yoshua: mwana Yehosadaki ,kuhani mkuu na kusema.2 Hivi ndivyoo yehova wa inajeshi amesem,kikundi hiki cha watu kimesema katika Haujaja, wakati wa kujengwa kwa Nyumba ya Yehova.3 Nalo nenola Yehova likaendelea kuja kupitia na nabii Haggai, likisema 4Je? Huu ni wakati wa ninbyi kukaa, katika nyumba zenu zilizofunikwa kwa mbao, huku nyumba hii ikiwa imeharika? 5Na sasa, hivi ndivyo Yehova wa majeshi amesema “Wekeni moyo wenu juu ya zenu” 6Mmepanda mbegu nyingi, lakini mavuno ni kidogo. Mnakula chakula lakini hamshibi, mnakunywa lakini hamlowi, mnavaa nguo lakini hakuna yeyote apataye joto na yenye anaye ajiriwa, anaajiriwa kwa ajili ya mfuko wenye matunda7 Yehova wa Wajeshi amesema hivi “Wekeni moyo wenu juuu ya njia zenu. 8Pandeni mlimani mkalete miti jengeni nyumba hii nipate kuhifurahia na nipate kutokaa asema Yehova. 9Mlitafuta vitu vingi lakini tazama kulikuwa na vichache tuu, nanyi mmeileta ndani ya nyumba nami nikapeperusha kwa kwa sababu gani? Hasema yehova wa Majeshi.Kwa sababu nyumba yangu imeharibika,huku mkiwa mbioni,kila mmoja kwa ajili ya nyumba yake mwenyewe.10 Kwa hiyo mbegu zilizo zuilia umande wako juu yenu naye dunu ikazulia mazao yake.11 Nami nikaendelea kuita ukavu juu ya dunia na juu ya milima na juu ya nafaka na juu ya divai mpya na juu ya mafuta,na juu ya vitu ambavyoo inchi ingejitokeza  na juu  mtua udongo na juu ya wanyama wa kufugwa, juu ya kazi ngumu yote ya mkono12 Nayo Zerubeli mwana wa Shealtioli na Yoshua mwana wa Yehosadaki,Kuhani mkuu,na mabaki yote ya watu wakaanza kusikiliza sauti ya Yehova wao na manbeno ya nabii Haggai kulingana na vile Yehova Mungu wao alivyokuwa ametuma nao watu wakaanza kuogopa kwa sababu ya Yehova 13Nayo Haggai mjumbe wa Yehova akaendelea kuwambia watu ujumbe uliotoka kwa Yehova akisema, “Mimi nipo pamoja nanyi”Asema Yehova.14 Naye Yehova akamsha moyo wa Seruboli mwana wa Shealtioli,gavana wa Yudah na roho wa Yoshua mwana wa Yehosadaki,Kuhani mkuu na roho ya mabaki yoke wa watu na wakaanza kuingia na  kufanya    kazi katika nyumba ya Yehova wa majeshi Mungu wao15 Mlikuwa siku ya 24 ya mwezi wa 6 katika mwaka wa pili wa  mfalmeDario.

 

Andiko katika sura ya 1 ni apizo kwa taifa la Juda kuanza kazi ya kujenga Hekalu. Taifa halibariki kwa sababu wameweka mashahi yao mbele ya ile ya Mungu kuna usambamba  naojitokeza katika historia ya hulka za Juda na kukejeli kazi ya Mungu. Ikiwa urasuli huu inazungumzia siku za mwisho, basi inazungumzia Hekalu ya kiroho ambayo ni kanisa. Vitengo vya utabiri huu ni Zerubbel mwana wa Shealtieli gavana wa Juda na Joshua mwana wa Josedachi askofu mkuu. Kipindi ni cha katika kijitabu ishara ya Jonan a historia ya ukarabati wa Hekalu (No. 13). Majina ya watu wa wakati wa ukarabati wa Hekalu wa pili (angalia pia historia ya kifamilia ya Mesaya (No. 119)).

 

Ikiwa utabiri ni wa siku za baadaye, tunaweza kuzungumuzia Hekalu ya kiroho na watu kama zerubbabeli na joshua kama maaskofu wakuu. Askofu Joshua ni Yehoshua au Mesaya. Mgawanyiko iliyo na Yesu Kristo inapatikana katika Zecharia katika uamuzi wa haki. Kristo anasauriwa kama mfalme na askofu, inatimiza migawanyo yote mbili. Amri ya korti katika sura ya kwanza ya Haggai ni kuwa serikali ya Israeli haitatajirika mpaka itkeleze kazi ya Mesaya katika ufufuluzi kama sehemu ya Hekalu ya Mungu. Laana kwa ardhi hii ingeongezeka mpaka hilo litendeke (Hag 1:10-11). Mfano wa kwanza iko katika siku ya ishirini na nne wa mwezi wa sita. Hii inafanyika na Hekalu ya pili. Ni aidha siku za hapo awali au siku za mbeleni.

 

Haggai inahusika na ujenzi wa Hekalu na baraka kwa Israeli inatokana na tendo hilo. Haiwezekani kuhusisha matukio katika sura ya pili na lile la ambalohalitokana na sura ya kwanza. Ndiposa siku ya 24 ya mwezi wa sita ilidhuhudia kazi ya Mungu.  Sura ya pili inaanza kutoka siku ya 21 ya mwezi wa saba au siku ya mwisho wa sherehe za Tabanakuli. Siku kubwa ya mwisho ni siku ya nane.

 

Katika mwezi wa 7 siku ya 21 ya mwezi huo, neno la Yehova likaja kupitia nabii Haggai lilisona. 2Tafadhalini mwambie Zerubabeli mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu na mabaki ya watu, ukisema 3 Ni nani kati yenu anayebaki ambaye aliona nyumba hii katika utukufu wake wa zamani? Nani mnainaje sasa? Kwa kulingana je, hii haionekani penu kuwa kama kitu? 4 Lakini sasa, uwe na nguvu yangu, ee Zerubabeli kuhani mkuu “nanyi iweni na nguvu ninyi nyote watu wan chi, asema Yehova na “mfalme kazi”. Kwa maana nipo pamoja nanyi” asema Yehova na “mfanye kazi” kumbukeni jambo tuliogana.

 

Ukadhani ya Hekalu aliashiria kama kwamba Hekalu ilikuwa kubwa kuliko ya solomoni. Hii ilikuwa ni ujinga dhahiri. Waama utabiri katika Danieli 9:25-27 inaonyesha ilijengwa kwa muda wa wiki sabini za miaka. Bila shaka Hekalu wa pili, na pia ukarabati ulifanywa na Herode haikuwa chochote lolote ikilinganishwa na Hekalu ya solomoni. Hekalu inayozungumziwa ni utabiri unalinganisha Hekalu ya kiroho chini ya Mesaya na lile ya kijengo na mkataba wa zama.

 

Roho ya bwana ingebaki na watu nah ii ilitendeka kutoka msingi wa kanisa. Haggai 2:6 inatajwa katika Wahebrania 12:26-27.

 

Wakati huo sauti yake iliitisa dunia, lakini sasa ameahidi akisema “Bado mara moja tena nitaitikisa si dunia pekee yake, bali pia na mbingu 27 Sasa maneno “bado mara moja tena yanatoa ishara ya kuondolewa kwa vitu vinavyotikiswa kuwa vitu ambayo vimefanywa, ili vitu ambavyo havitikiswi vinaki.

 

Hii ni onyo kutoka Mesaya kuwa utabiri huu unataja kutingizika kwa bingu na dunia ili ile lisiotikisa ibaki. Tikisiko ni kanisa, nao au mtakatifu wa mtakatifu (1 Kor 3:17). Hivyo basi tushangilia Mungu kwa kutupa ufalme usitingizika (Waeb 12:28).

 

Kipindi ni cha vita vya mwisho na kurudi kwa Mesaya. Vita vikuu vya kwanza vya dunia iliitwa vita vya ukomavu kwani wengi wafikiria ilikuwa wakati wa mwisho na 1914 ilionekana katika utabiri kama hitimisho la mara saba kutoutawala wa Nebuchadneza kuanzia vita vya Chrchemish mnamo 605 BCE. Vita vya mwisho kweli vilianzia kutoka tarehe hiyo lakini yangeendela kwa kipindi kirefu. Utabiri ilihusisha ufufuluzi chini ya Mesaya. Chislev 24 (mwezi wa tisa) inahusu swali la mtakatifu na muovu. (Hag 2:10-14) taifa linaonekana chafu na kutoka kipindi hii kinasafishwa. Hoja hili linahusika moja kwa moja na kuweka jiwe juu ya jiwe kule hekaluni. Kutoka siku hiyo msingi wa Hekalu ingweka na Bwana angeweka jiwe juu ya jiwe katika ujenzi wa Hekalu. Msanjari huu hauhusiki na vita vya kawaida bali mawasiliano wa taifa. Kutoka ujenzi wa Hekalu kama mawe yanayoishi, taifa lingepokea baraka. Ndiposa kuangamiza watu kwa kuwateketeza kuliendeka kwa taifa halikubadilika na baraka za bwana hazijatolesa. Kutakuwa na vita vingi na majanga mengi kwa Juda na Israeli mpaka watubu na wasafishiwe dhambi zao.

 

Hitimisho

 

Kalenda ya Hilleli haina ungaji mkono kwa vyovyote vile kwa aidha orakuli vya Mungu au kutoka kubadili ukweli wa historia ili kutunga ulaghai ya utabiri. Wahifadhi wa za Mungu ni wateule kama watunzaji wa maajabu ya Mungu. Ni “naos” au mtakatifu wa matakatifu na kama naos ndio orukili za Mungu, wao pia ni orkulli za Mungu kwani ni roho za urasuli.

 

 

q