Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[184]
Maabadi /
Vipaumbele Ya Mungu
(Toleo 1.4 19961214-20000624)
Baadhi ya vikundi hufuata kalenda ya Kiyahudi na tarehe zao kwa siku takatifu za bwana. Hii ni kwa sababu Herbert Armstrong aliamua kuwa Wayahudi ndio wanaojukumu la kuamua siku hizo. Uamuzi huu ulitokana na kutokuwa na uwezo wa kupata msingi vya kalenda katika Bibilia na andiko la Paulo katika kitabu cha Warumi kuwa Wayahudi ndio walifadhi wa vipaumbele vya Mungu.
Christian
Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Copyright ©
1996, 1998 Wade Cox)
(Tr. 2009)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na
kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au
kufuta maneno. Jina la
mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe
pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote
atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja
ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Vipaumbele Vya Mungu
Mungu alichagua
kuongea na binadamu kupitia kwa watumishi wake. Uanzilishi wa msururu wa
ufunalo umetoka kwa Adamu na kupitia kwa wahubiri wakuu. Noa, Abrahamu, Isaka
na Yakobo. Mungu alichagua watu ambao angetumia kuhalalisha na tehemiza sheria
zake na kufichua mpango wake wa uokovu.
Mpangilio huu
ulifichuliwa na kufuatwa kwa imani (Heb 11:1-40) viongozi wakalipokea neno la
Bwana kwa imani (Heb 11:2) kwa imani kafara za Abeli zilikubaliwa na kuonekana
zenye dhamana kuliko za kaini. (Heb 11:5). Mungu aliasiliana na wahubiri wakuu
kupitia imani na aanzisha sheria zake kupitia kwa Musa ambaye aliokolewa kwa
sababu wazaziwe hawakuogopa amri ya mfalme. (Heb 11:23) Musa kupitia kwa imani
aliamua asiitwe mwana wa msichana wa Farao na badala yake akaamua kuteseka
pamoja na watu wa Mungu. Alisaliti Misri na kuvumilia kuonana na mtume dhania
ya Bwana.
Kwa imani watu
pamoja na wakimbizi waliokuwa pamoja nao walivuka bahari la Red Sea na
wengine wakafiwa na maji. Kwa imani waliingia katika nchi waliohidiwa. Kwa
imani walisaidiwa na Rahabu, hawara ambaye hakuangamia pamoja na wasiotii
matakwa ya Mungu. (Heb 11:29-30) kwa imani maamuzi na manabi walishinda ufalme
mbalimbali na kulazimisha haki, wakapokea ahadi, wakamamisha vinywa vya samba,
wakaangamiza mioto, wakahepa mikuki wakapata nguvu kutokana na ulegevu, wakawa
mabingwa wa vita mpaka hata wanajeshi waadui wakawakimbia. Wanawake wapokea
wafu kwa ufufuko na wengine waliteseka bila kukubali kuachiliwa ili siku moja
wafufuke maisha bora. Wengine walipitia madharau na kejeli. Minyororo na
hukumu. Wengine walipigwa kwa mawe. Wakapitishwa kwa mikuki, wengine wakavatia
ngozi za wanyama, wakawa wafukara, wakatengwa na kuteswa. Walipitia magonjwa na
milima huku wakiisha kwenye mapango ya wanyama. Dunia haikuwadhamani.
Watu wote hawa
ingawa imani yao ilidhihiriska bayana wakupokea ahadi zao. Kwani Mungu
alishaona kile kilichokuwa bora zaidi kwa wanadamu (Heb. 11:39-40).
Mungu aliasiliana
kupitia kwa maaskofu wakuu na mitume na kutoa sheria na amri na mpango
wake kupitia wao, ingawa wakapokea ahadi. Ni muhali kutaja kuwa ni kupitia na
kuwa nasi pekee ndiko wangekuwa dhabiti.
Udhabiti wa
askofu mkuu na mitume ulipokezwa. Kupitia kwa kanisa kwani kanisa ilipatiwa
roho takatifu na uongozi wa kanisa na watu wake. Maandiko hasa sheria ndio vipaumbele
za Mungu. Vipaumbele vilipokezwa watu wa Mungu kupitia mnabii na manabii wa
Israeli mwisho wa vipaumbele vya Mungu katika raundi ya kwanza
ulitendeka kupitia kwa rasuli Ezra na Nehemia. Agalo la kale ilimalizimika na
watu hawa Mungu alikuwa kimya alipoongoza kupitia kwa pepo zake kwa Zekaria
babake Yohana mbaptizaji (Luka 1:5-30).
Mungu ailikuwa
ameongea kupitia kwa mtumishi wake Danieli mojawapo vya wale wapakwa Hekalu ya
bwana. Urasuli katika kitabu cha Danieli 9:25amekalimiwa vibaya katika KJV
kumaanisha kuwa Mesaya ndiye mpakwa na maandiko yenyeweni tubu. Waama maandiko
hayo hueleza kuhusu wapakwa wawili, mmoja baada ya wiki saba za mwaka na
mwingine baada ya wiki sitini na mbili za miaka. Wakati unaotajwa huzungumza kuhusu ujenzi wa
Hekalu na uazilishi wake kama chombo cha Mungu (Danieli 9:25-27).
Danieli 9:25-27 Nawe
ujue na ufahamu kwamba tangu kutulewa kwa lile neno la kurudisha na kujenga
upya Yerusalemu mpaka masihi aliye kiongozi kutakuwa na majuma 7, pia majuma 62
atarudi na kujenga hakika, pamoja na kiwango cha wote na handaki katika dhiki
ya nyakati, baada ya yale majuma 62 masihi atakatiliwa mbali bila kuwa na
chochote kwa ajili yake. Na watu wa kiongozi anayekuja wataharibu jiji na
mahali patakatifu. Mwisho wake atakuwa kwa mafuriko. Na mpaka ule mwisho
kutakuwa na vita, kilichoomuliwa ni ukiwa. Naye ataendelea kuliiendesha agano
kwa ajili ya wengi kwa juma moja na kati nusu ya juma bilo atakomesha dhabihu
na toleo la zawadi. Na juu ya bawa la machukizo kutakuwa nay ale anayesababisha
akiwa na mpaka maangamizi, kitu kile kilichomuliwa kitamwagika pia juu ya yule
anayekaa ukiwa.
Ni muhali kutaja
hapa kuwa maandiko haya huashiria wiki saba miaka kutoka amri ya kujengwa kwa
Hekalu ya Bwana kwa mpakwa mwenyewe. Huyu mpakwa ambaye ndio maana haswa ya
neno Mesaya na ndio maana unatumiwa kuashiria Yesu Kristo (Kristo ni neno la
kigiriki kumaanisha mpakwa), kwa kweli ni Nehemia katika Kumbukumbu ya Kiyahudi
Nehemia huonekana kama Musa wa pili. Alifufua sheria za bwana maaskofu kwake.
Alimaliza mfufulizo wa maaskofu na kazi yake mwisho katika Agano la kale.
Wakati ambapo
ujenzi wa Hekalu ulianza haikuwa kutoka utawala wa Danieli wa kwanza wala si
kutoka Darusi. Hystaspesi bali ni kutoka Darusi wa pili. Artaxerxes wa kwanza
alisimamisha ujenzi wa Hekalu (Ezra 4:23-24). Mjengo
iliendelea kwa mwaka wa pili wa utawala wa Darius II (Ezra 4:24 hadi 6:12).
Hekalu ilimalizwa kwa mwaka wa sita wa utawala wake (Ezra 6:13-15)
Wiki saba za
miaka kutoka amri ya mfalme huyu mpaka mwaka wa ukabidisho kwa Nehemia kutoka
Artaxerxes ya pili (wala Artaxerxes wa kwanza kama inavyodhaniwa).
Wakati huo
ulishuhudia mwisho wa agano la kale usanjari wa kujengwa kwa Hekalu. Hii
ilikuwa ni ufufuluzi wa sheria chini nabi wa mwisho katika agano la kale.
Alikuwa mpakwa wa mwisho mpangilio wa agano la kale.
Mshururu huo wa
ujenzi na histroria umeshughulikiwa katika kijitabu Ishara ya Jonan na
histroria ya ukarabati wa Hekalu. (The Sign of Jonah and the History of the Reconstruction of the Temple
(No. 13)).
Mpakwa wa pili anayeshughulikuwa katika Danieli 9:25-27 inaashiria mpakwa baada ya wiki sitini na mbili za miaka. Hivyo basi wiki saba za miaka ikijumulishwa na wiki sitini na mbili za miaka ni sawa na wiki sitini na tisa za miaka. Kipindi hiki unatamatika 63CE. Mpakwa ambayo amekatizwa lakini si kibinafsi ni Yakobo ambaye ilikuwa askofu ni Yerusalemu na dunguye Yesu Kristo. Aliuwawa kinyama kwa sababu ya imani yake na kutoka mwaka huu wiki wa mwisho wa miaka, huanzia na kuongoza kwa ubomoaji wa jingo la Hekalu.
Mwisho wa wiki sabini za miaka unalingana
na miaka arobaini iliyowekewa Yuda ili watubu. Taifa halikutubu na waama katika
hiiwiki ya mwisho wa miaka. Maaskofu wakuu alipigana katika vikiviya vya
kumitaa ili kubakia na nguvu na uongozi ulijaa ufisadi. Kutoka 63 CE, kanisa
lilianza kutoka Yerusalemu kwenda Pella na kwengineko. Uaskofu na taifa
lilizagwa na ufisadi. Huyu basi Mungu aliazisha kuangamiza taifa na kabila la
Yuda na kutuma kwa utumwa. Kutoka 1 Nisan 70 CE Yerusalemu ulikuwa mkononi mwa
maadui wake. Kutoka 1 Nisani 71 CE. Hekalu na mji uliharibiwa. Uharibifu huu
ulianza punde tu miaka arobaini ulitimia baada ya kifo cha Kristo katika 30 CE.
Kipindi hiki ni sawia na mwaka moja kwa mpangilio siku pamoja na onyo la
Nineva. Nineva alitubu lakini Yuda haikutubu. Kristo alisema kuwa watu wa
Nineva wangifufuka siku ya ufufuko na kukanya Yuda kwa sababu kitu kikubwa
kuliko Yona lilitumia na hawakutubu. (Mathayo 12:38-41). Uhusiano wa ishara ya
Yona kwa utumishi kwa Kristo ni kwa miaka kwa msingi wa siku. Uhusiano huu umedunishwa na mafundisho ya
uongo ya miaka mitatu na nusu ya Mesaya.
Utumishi
unaokitwa katika upotovu wa kuteulewa maandiko ya Danieli 9:25-27. masomo
kuhusu mgawo wa wiki za miaka pia ni urasuli bandia ambayo laana msingi katika
historia au ukweli. Wiki sabini za miaka uhanzia amri ya Darusi wa pili mpaka
ubomoaji wa Hekalu mnamo 70 CE. Inahusika kwa mpakwa, Nehemia na ndio hitimisho
la kipindi cha wema wa Hekalu na vile vile nchi ya Yuda katika mwisho wa
kipindi 63-70 CE. Yuda ulitolewa na kupelekwa kwenye utumwa na mamlaka yao
ikatolewa.
Kipindi cha wiki
wa miaka kutoka 63 CE mpaka 70 CE imeangazwa pia katika kuanguka kwa utawala wa mataifa katika siku
za mwisho. Pengele hiki kimetolewa katika kuanguka kwa Yeriko (angalia Kuanguka
Kwa Jeriko (No. 142) na itaelezwa katika vijikitabu fuata. Madhara haya pia
yanapatikana katika ishara ya Yona na wiki sabini za miaka. Hizi ishara au
urasuli zinaelezwa kwa mapana. Zinaathiri uweza wa mamlaka kama inavyotumika
kwa utumishi kwa Mungu na taifa la pamoja la Yuda na Israeli. Uamisho mamlaka ulikamilika na kama
tutakavyo ona iliathiri Israeli kama taifa na hata taifa na hata kanisa.
Ndiposa mamlaka ya Kiyahudi iliunga mkono funzo bandia ya wiki sabini za miaka
kutoka ukalmani mbovu ya Danieli 9:25-27, hata wakarithi funzo bandia wao
wenyewe katika harakati za ujenzi wa Hekalu ingawa Ezra anaeleza mambo haya
kinaganaga. Kwanza Esdras anaonekana kama anayeunga mkono ukalimani bandia
katika maandiko yake ingawa yakuzingatia katika utumishi. Yuda lilifahamu fika kuwa mafunzo bandia yalificha
ishara ya kweli yake Yona. Waama, walitumiwa mtume wa Mungu; mtume mkuu zaidi
ambaye Mungu angemtuma. Walimuua na wakaangamizwa kwa sababu hilo. Kama Yuda
lilikubali au lilikataa Kristo kama Mesaya haina umuhimu wowote au uhusiano
naye mtume wa Mungu. Fursa ya utumishi wa Yohana mbatizaji na Kristo ambao
walifanywa kama washuhuda dhidi ya Yuda, ulikuwa ni mwaka, ukizingatia msingi
wa siku kwa lile la Yona. Kipindi cha kutubu kilichopatiwa Yuda kilikuwa sawia
na muda wa Nineva kwa msingi wa mwaka kwa siku. Historia ya kweli ya ukarabati
na wiki sabini za miaka inadhihirisha ukweli huu bila hati yoyote. Hii inatosha
ujuda na ukristo wa Trinitari kuziba ukweli wa mambo katika madhara haya ya
uongo.
Kanisa la bwana
miaka chache yaliyopita imeunga mkono, urasuli huu bandia ingawa kuna maandiko
bayana. Halikadhalika kanisa limetesa ukweli na vile vile uwezekano wa
kubadilishwa kwa Yuda na Israeli.
Yesu Kristo
alimpa Musa shera za Mungu katika mlima wa Sinai (angalia Pentekosti Katika
Sinai (No. 115)). Kutoka kukabidhiwa kwa sheria, alianzisha utawala katika
taifa la Israeli. Hii ilitumizwa kupitia kwa baraza la watu sabini
lililojulikana kama baraza la wazee ama Sanhedrini. Kabla ya hapo palikuwa na
wazee wa Israeli kule Misri (Kutoka 3:16-18, Kutoka 4:29, Kutoka 12:21;
17:5-6).
Israeli
ilianzisha maamuzi ya haki lilipoundwa baada ya kutoka Yethro ambayo alikuwa ni
askofu ni askofu wa michani na Musa baavya wake Musa walijitolea mhanga. Wazee
na Musa aliketa kutoa uamuzi wa haki siku iliyofuatia. Ndipo Yethro alimshauri
Musa kuwa maamuzi ya haki inafaa ikabithiwe kima yahe. Hili lilifanyika kupitia
kwa wazee kutoka siku hiyo, baraza la wazee ndilo lililotoa uamuzi wa haki
Israeli na likajulikana kama sanhedrini. Wazee haya waliwekwa kwenye vikundi au
baraza la sabini (Kutoka 24:1-9). Sabini haya waliandamana na Mathani na abihu na hivyo kuwa sabini na
wawili. Idadi hii ilibakia hivyo Israeli waliitwa sabini ingawa idadi yao
ilizidi hiyo. Nambari ya kitamaduni umeshikiliwa kama sabinina moja ingawa
kitabu cha kutoka na Luka 10:1,17 inaonyesha dhahiri kuwa idadi kamili ilikuwa
ni sabini na mbili au Hebdomekonta (hebdomekonta
[duo]) (neno la Kigiriki).
Kutoka 24:1-18 Naye
akamwambia Musa, “Panda uende kwa Yehova, wewe na Haruni, Mdabu na Abibu na
wanaume wazee 70 wa Israeli, nanyi mtainama mbali. 2 Naye Musa peke
yake atamkaribia Yehova lakini wao wasikambie wale watu wasipande kwenda pamoja
naye”. 3 Kisha Musa akaja kuwasimulia watu maneno yote ya Yehova na
maamuzi yote ya hukumu nao watu wote wakajibu kwa suati moja na kusema “Maneno
yote ambayo Yehova amesema tuko tayari kuyafanya”. 4 Basi Musa
akaandika manen yote ya Yehova. Kisha akaamka asubuhi na mapema na kupanga
kwenye sehemu ya chini ya hao mlima madhabahu na nguzo kumi na mbili
zinazolingana nay ale makabla kumi na mawili ya Israeli. 5 Baadaye
akawahema ujana kati ya wana wa Israeli nao wakatoa dhabihu za kutoelewa na
kutoa ng’ombe dume wakiwa dhabihu za ushiriki kwa Yehova. 6 KIsha
Musa akachukua nusu ya samu na kuitia katika mabauli na nusu ya damu akaimyunyiza
juu ya madhahabu. 7 Mwishowe akacukua kitabu cha agano na kukisoma
katika masikia ya watu. Kisha akasema “yote ambayo Yehova amesema tuko tayari
kufanya na kutii.” 8 Basi akaichukua damu na kuingiza kuinyunyiza
juu ya watu na kusema “tazama hii ndiyo damu ya agano ambalo Yehova amefanya
pamoja nanyi kuhusu maneno yote haya. 9 Na Musa na Haruni, Nadabu na
Abihu na watu 70 kati ya wanaume wazee wa Israeli wapanda juu. 10
Nao wakamwona Mungu wa Israeli. Na chini ya miguu yake palikuwa na kitu
kilifanana na mkate bapa ya yakuti na kamba mbingu kila kutakata. 11
Naye hakunyoosha mkono wake juu ya wale wanaume mashahuri kati ya wana wa
Israeli bali walipata maono ya Mungu wa kweli wakala na kunywa. 12
Sasa Yehova akasema na Musa “Njoo kwangu juu mbinguni ukae huko, kwa maana
nataka kukupa mabamba yam awe na sheria na mari ambayo nitaiandika ili
kuwafunsisha wao.” 13Basi Musa, Yoshua mhudumu wake wakasimama naye
Musa akapanda kwenda juu katika mlima wa Mungu wa kweli. 14 Lakini
alikuwa amewaambia wale wanaume wazee “Ninyi tungojee mahali hapa mpaka turudi
kwenu. Na tazama! Haruni na huru wako pamoja nanyi. Yeyote laiye na ksesi na
waendee. 15 Basi Musa akaenda juu
katika mlima huku wingu likimfunika mlima huo. 16 Na utukufu
wa Yehova ukaendea kukaa juu ya mlima Sinai nalo wingu likaendelea kufunika kwa
siku sita. Mwishowe katika siku ya saba akamwita Musa kutoka katikati lile
wingi. 17 Ni machoni pa wana wa Israeli, kuonekana na utukufu wa
Yehova kulikuwa kama medo yenye kuiteketeza juu ya kilele cha mlima. Naye Musa
akakaa siku 40, mchana na usiku
Hivyo basi baraza
la wazee sabini liliundwa kwanza kabla ya sheria kutolewa ili waweze kufuatilia
haki. Walifanya hivi pamoja Musa katika kesi ya Kora na Dathari (Hesabu 16:25).
Musa kisha akakabidhiwa sheria kule Sinai. Mamlaka ya maabudu ya Mungu
ilianzishwa katika taifa la Israeli na kuwekwa mkononi mwa Israeli.
Wazee wa Israeli
alikuwa na jukumu la kubariki ng’ombe ambaye angetumiwa kusafisha kafara ya
dhambi iliyotumwa kutakasa waumini walivunja sheria za bwana (Lev. 4:13-21).
Tendo hili
liliashiria kuwa majukumu ya sheria yalikuwa makononi mwa sabini hata kama
askofu mkuu angeingia katika sanchuri peke yake. Ambalo sabini walikuwa na
jukumu kando na kutambulisha utakatifu wa uaskofu (Lev. 9:1ff).
Wazee walipokezwa
roho la bwana ambalo lilipatiwa Musa na ambalo lilisafisha Musa roho la Bwana
lilitumika kuwatenga kwa kazi ya Bwana.
Hesabu 11:16-17 Basi
Yehova akamwambia Musa: Nikisanyie wanaume 70 kati ya wanaume wazee na maofisa
wao, anwe utawapeleka kwenye hema la mkutano, nao watasimama hapo pamoja nao. 17
Nami nitashuka chini na kusema nawe huko; nami nitaondoa sehemu ya roho iliyo
juu yako na kuiweka juu yao, nao watakusaidia kuubeba mzingo wa watu ili
usiubebe wewe peke yako.
Mpangilio huu pia
unahusisha sabini na wawili ambapo Eldadi walikuwa watume nje ya kambi kwa
hivyo Mungu alitoa ishara ya sabini na wawili kwa Israeli na inaonyesha kuwa
alihifashi msingi wa mbili kwake kwenyewe kama rasuli. Haya hivyo sabini
wanaelewa kuwa ni sabini na wawili kutoka mifano ya awali. Vile vile msingi wa
mamlaka unajengwa kwa baraza kama tulivyoona. Tabanakuli wa hapa duniani ni
kama kivuli cha kile cha binguni (Waheb 8:5).
Hesabu 11:24-26
Kisha kutoka na kusema na watu maneno ya Yehova. Naye akakusanya wanaume 70
kutoka kwa wanaume wazee wa watu na kunasimisha kulizunguka hema pande zote. 25
Ndipo Yehova akashuka katika wingu akisema naye, akachukua sehemu ya roho
aliyekuwa juu yake na kuweka juu ya kila mmoja wa wale wanaona wazee 70. Ni
ikiwa kwamba mane tu roho hiyo ilipotua juu yao, ndipo wakaanza kutenda kama
manabii lakini hawakufanya hivyo tena. 26 Sasa kulikuwa na wawili
kati ya wanaume hao; waliobaki kartika kambi. Jina la mmoja wao lilikuwa Eldadi
na jina la yule mwingine lilikuwa madadi. Nayo roho ikaanza kushuka juu yao kwa
maana walikuwa kati ya wale waliandikwa lakini hawakuwa wameenda kwenye hema.
Basi wakaanza kutenda kama manabii katika kambi.
Ndiposa mamlaka
ya Musa katika roho mtakatifu iliishi na kiitumika kwa pamoja na baraza la
sabini. Baraza pamoja na Musa na mhubiri mkuu walikuwa ni waakilishi na bwana
huku Kristo akiwa mkuhani mkuu wa baraza la Elohimu wa haki kule binguni. Hii
pia ilikuwa ni kivuli cha uhusiano ambao ungekuja kati ya kanisa na Kristo
kanisa lilikuwa kama gani ambalo lingepatiwa uovu kwa imani mbali na sisi kama
tulivyoelezwa hapo awali. Maaskofu wakuu na mitume hawange tolewa kati kando
nasi.
Mamlaka ya kanisa
ndio nguvu ya Mungu katika roho mtakatifu ambaye kanisa lilikabiliwa na mesaya
katika jina la Mungu wakati wautakatosha wa sabini.
Mkakati wa kugawa
roho kama tulivyoona kwa Sanhedrin unaonyesha uhusiano wa kanisa na yesu Kristo
kwa Mungu.Roho ambayo ilishi ndani ya Kristo ilipatiwa waliochaguliwa ambayo
ilishi ndani ya Kristo lipatiwa waliochunguliwa ambao walitakaswa na kutengwa
kama sabini (Luka 10:1,17).
Luka 10:1-20 Baada
ya mambo hayo Bwana akachagua wengine na kuwaremu wawili wawili
wamtangulie kuingia katika katika kila
jiji na mahali ambapko yeye mwenyewe alikuwa aende.2Ndipo akaanza
kumwambia. “Kwa kweli mavuno ni mengi lakini wafanya kazi ni wachache.kwa hivyo
mwotubeni Bwana wa mavuno atame wafanyakazi katika mavuno yake. 3Nendeni
tazama! Ninawatuma ninyi kama wanakondoo katikati ya mbwamwitu. 4Msichukuwe
mkoba huo wala mfuko wa chakula, wala viatu, nayi msikumbatie mtu yeyote
mkimsalimu barabarani. 5 Popote pale mtakapoingia katika nyumba hii
na iwe na amani. 6 Na ikiwa rafiki wa amani yumo, amani yenu itakaa
juu yake. Lakini ikiwa hayumo, itawarudia ninyi. 7 Kwa maana
mfanyakazi katika nyumba hiyo, mkila na kunywa vitu ambavyo wao wanaandaa, kwa
maana mfanyikiazi anashtahili mshahara wake. Msiwe mkihama kutoka nyumba mpaka
nyumba. 8 Pia popote mtakapoingia katika jiji nao wawapokee, kuleni
vitu vilivyowekwa mbele yenu, 9 na mwaponye wagonjwa walio humo na
kuendelea kuwaambia “ufalme wa Mungu umekuja karibu na ninyi”. 10
Lakini popote mtakapoingia katika jiji nao kuwawapokea tokeni mwende katika
njia zake pana na kusema. 11 Hata vumbi lililoshilamana na miguu
yenu kutoka katika jiji lenu tunalifuta juu yenu. Hata hivyo wekeni jambo hili
akilini, kwamba ufalme wa Mungu umekaribia. 12 Ninawaambia ninyi
kwamba itakuwa rahisi zaidi kwa Sodoma katika siku hiyo kuliko kwa jiji hilo. 13
“Ole wako korazini! Ole wako, Bethsaida! Kwa sababu kama zile kazi zenye nguvu
ambazo zimetendeka kwenu zingalikuwa zimetendeka katika Tiro na Sidoni katika
hukumu kuliko kwenu. 15 Na wewe kupeanwa je, labla utainuliwa mpaka
mbinguni. Utashika chini mpaka kwa kaburi!16 Yeye anayewasikiliza
ninyi anakuakiliza mimi pia. Naye anayewapuuza ninyi ananipuuza mimi pia. Zaidi
hayo anayenipuuza mimi anampuuza pia yule aliyenituma”. 17 Ndipo
wale 70 wakundi wakiwa na shangwe, wakisema “Bwana, hata roho waovu
wanatiksihwa kwetu kutumia jua lake.” 18 Ndipo akawaambia “nilianza
kuona shetani akiwa tayari ameanguka kama umme kutoka mbinguni. 19
Tazama! Nimewapa ninyi mamlaka ya kukanyaga kunyaga nyoka na nge na juu ya
nguvu zote za adui na hakuna kitu kitakachowaumiza ninyi kamwe. 20
Hata hivyo msishanglie juu ya hili, kwamba roho wanatiishwa kwenu, bali
shangilieni kwa sababu majina yenu yameandikwa mbinguni.
Hawa sabini
(mbili) walijikita kanisani yaani walikuwa kama baraza ambalo lilichorwa mara
mbili kwa mwaka kwa muda wa miaka elfu mbili na kupitia siku za mwisho na
mitume takribani 144,00 (angalia mavuno ya Mungu, wa mwezi mpya mhanga na
144,000 (No. 120). Roho mtakatifu ni nguvu ambayo hufanya wana wa Mungu na yule
wa binguni kama wana wa Mungu (angalia ushirika na bwana (No. 81) na katika
ukahaba (No. 165). Ni kupitia kwa sabini ambapo nguvu ilikuwa na mamlaka juu ya
pepo na utawala ule mpangilio wa kisiasa wa dunia kuhusu ufalme wa Mungu. Vipaumbale
vya Mungu vikalainishwa kanisani kutoka uhamisho huo wa mamlaka.
Matendo ya Kristo
katika kutakasa sabini ilikuwa matendo ambayo taliigwa kutoka kwa mitume na
uhamisho wa nguvu. Uhamisho huu ulilingana na ishara ya Yona, Yuda na mamlaka
ya kikanisa walitolewa katika muda wa miaka arobaini kutoka 30-70CE. Uhamisho
huu wa nguvu na mamlaka inaonekana katika mfano wa watoto wa kiume saba, wa
skeva, askofu mkuu. Hii mfano ilitumika kuonyesha kuwa mamlaka ya kanisa
ilifaulu kurithi ile ya Yuda na Levi hata kwa ngazi ya juu zaidi.
Matendo 19:11-17 Na
Mungu akazidi kufama kazi za nguvu zinazozidi za kawaida kupipitia mikono ya
Paulo, hivi kwamba hata nguo na vitambaa vilichuliwa kutoka katika mwili wake
na kupelekwa kwa watu wame uungua na magonjwa yakawaacha na roho waovu
wakatoka. Lakini watu Fulani kati ya wayahudi wenye kuzunguka – zunguka
waliozuea kazi ya kufukuza roho waovu pia wakachukuwa daraka la kuliitia jina
la Bwana Yesu juu ya wale wenye roho waovu wakisema; “mimi ninawaagiza ninyi
kwa uzito kwa Yesu ambaye Paulo humhubiri 14 Sasa kulikuwa na saba
wa skewa, mkuu wa makuhani wa kiyahudi, wakifanya jambo hilo. 15
Lakini roho mwovu akawajibu, akawaambia “mimi ninamjua Yesu nami ninamfahamu
Paulo, lakini ninyi ni nani? 17 Ndipo mtu huyo roho mwau alikuwa
ndani yake akawarukia, akawazi nguvu mmoja baada ya mwingine, na kuwashinda
hivi kwa hakakimbia kutoka nyumba hiyo hakiwa uchi na wakiwa wameuzizwa. Jambo
hilo likajulikana na watu Wayahudi na Wagiriki pia walikaa katika Efeso na wogo
akawaingia hao wote, na jina la Bwana Yesu likaendelea kutukuzwa.
Uhamisho wa nguvu
ulianza utakaso. Juda hata hivyo ilipewa miaka arobaini kutubu dhambi ilhali
hawakutubu. Je, ni nini kingetendeka ikiwa Juda ingetubu wakati huo Jibu ni
rahisi wangeushiriki katika kutenda miujiza za Mungu na uaskofu ungeenezwa
kuhusisha Levi kama ilivyo, tabiriwa vipaumbele vya Mungu vilihamishwa
kanisani. Ukweli huu unadhihirika wakati Paulo aliponena kuhusu vipaumbele vya
Bwana.
Marejelo katika
Agano jipya ya Kigriki ni kwa wingi
(kama tunavyooona katika Matendo 7:38; Warumi 3:2; Wahebrania 5:12 na
Petro 4:11; cf. Aristeas 177; Philo, Legation
to Caius 31). Marejeleo ya agano la kale yanajitokeza mara kumi na tano
moja moja kutoka Dabar (inalomaanisha neno la Mungu na pia mtakatifu wa
watakatifu kwa sababu neno la yehova ilisikizwa hapo.
Neno maabadiliko
/ vipaumbele au dobar mjitokeza wa kwanza katika Samweli wa pili 16:23 (pengine
ni wafalme 6:5,16,19,20,22, 23,31; 8:6,8; 2Chr. 2:16; 4:20; 5:7-9; Ps. 28:2).
Kutoka andiko la
kwanza tunaona kuwa urasuli umehusika na kutamatika kwa Nehemia mpaka Mesaya na
urasuli wa mwisho inayorejelea Mesaya iliposemwa na askofu mkuu kuhusu. Kifo
chake mwaka huu. Baada ya kifo chake Mesaya hakuna kumbukumbu kuwa Mungu
aliongea kupitia kwa Juda isipokuwa kama kutendo cha kanisa. Vipaumbele
uinanenwa kivyao kwa Hekalu katika rejeleo la wafalme wa kwanza inajitokeza
kuwa vyumba hivi vilijengwa katika mandhara Hekalu na orakuli inajitokeza kuwa
ni kutokana na haya ndipo mtakatifu wa watatifu inazungumzwa kama mwili.
(hasa katika wafalme wa kwanza 6:16, 19, 20). Hii ilitokana na ukweli kwamba
sheria za bwana ziliwekwa hapo na Mungu alijitambua kupitia kwa urasuli hapo.
Ilikuwa chumba chenye vijumba ishirni (wafalme wa kwanza 6:20). Hii inaitwa
naos katika agano jipya ambalo linatiliza mkazo kanisa lengonaosa.
Wakorintho 3:17
Yeyote akilingamiza Hekalu la Mungu. Mungu atamwangaiza yeye kwa maana Hekalu
la Mungu ni takatifu nanyi ni Hekalu hilo.
Kanisa hivyo basi
ndio naos au mtakatifu wa watakatifu na kuwa Orakuli wa Mungu. Orakuli
wa Mungu ulikuja kuwa kanisa katika pentekosti 30 CE. Isitoshe yale ambayo
Paulo alimaanisha yanaangazwa alipoongea kuhusu Orakuli za Mungu kwa
pana zaidi Stefano alisisitiza kuwa Orakuli ilikuwa na kaziye Musa na
baba walipokabidhiwa na malaika kilele mlima Sinai. Yule ambaye aliongea na
Musa alikuwa Kristo kama anavyoshuhudu (Yohana 8:58). Alikabidhi vipaumbele kwa
wazee wa Israeli wala si Juda. Juda ukarithi kutoka utumwa wa Israeli na kutoka
ufufuluzi wa Nehemia. Hapa hivii tunagundua maana kamili ya matamshi ya Paulo
katika kitabu cha Warumi 3:2.
Warumi 3:1-3 Basi,
myahudi ana ubora gani au ni faida ya kutalani wa. 2 Ni nyingi
katika kila njia. Kwanza kabisa kwa sababu wao walikabidhiwa maneno matakatifu
ya Mungu. 3 Basi, haliikoje? Ikiwa wengine hawakuonyesha imani je,
ukosefu wao wa imani labda utafanya uaminifu wa Mungu usiwe na matokeo.
Juda ilikuwa
imejigawanya. Walifafanua maana ya arokuli tofauti. Wasadusi walikaa
katika kiti cha Musa hivyo basi waliheshimiwa kwa sababu walikuwa wanaendesha
Hekalu. Wafarisayo pamoja na Wasadusi walitoa maamuzi juu ya sheria. Lakini
waliendesha Hekalu isipokuwa kwa miaka tisa chini ya utawala wa malkia
Alexandria. Wasamaria na Wasadusi walikata kata kata mafunzo ya kifarisayo ya
sheria katika uundaji wa kalenda. Aghalabu mwezi mpya ulichelewesha lakini wa
Samaria waliwasha mwenye zao mapema katika siku kamili.
Wayahudi halikadhali
Waisraeli walipatiwa makatuba Juda aliwekwa kwenye jela la orkuli kwa
muda Fulani. Paulo hakuwa kueleza kuwa hawa kuwa na mamlaka hata kidogo.
Alieleza kuhusu hali yao na mapatano ya hapo baadaye kuhusu kuzingatia imani ya
Mungu. Hili linazalishwa na maandiko mengine kuhusu orakuli kama lililo
pamoja na kanisa. Kanisa huonekana kama mwalimu wa orakuli za Mungu.
Ofisi hilo halipo tena Israeli.
Waebrania 5:5-14
Vivyo hivyo pia Kristo hakujitakuza mwenyewe kwa kuwa kuhani mkuu, bali
alitukuzwa nay eye aliyesema hivi kumhusu “we ni mwanangu, mimi leo nimekuwa
baba yako 6 Kama ule anavyosema pia mahali pengine “wewe ni kuhani
mbele kwa mfano wa Melkizedeki. 7 Katika siku za mwili wake wenye
nyumba Kristo alitoa dua na pia maombi kwa yule aliyekuwa na uwezo wa kumwokoa
kutoka kifo, pamoja na vilio vyenye nguvu na machozi, naye akasikanua vizuri
kwa sababu ya kumwogopa. 8 Ijapokuwa yeye alijifunza kutii kutokana
na mambo aliyoteseka. 9 na baada ya yeye kufanywa kuwa mkamilifu
akawa ndiye mwenye daraka la wakovu na milele kwa wale wote wanaomtii. 10
kwa sababu Mungu amemwita jina kuhani mkuu kwa mfano wa Melkizedeki. 11
Kumhusu yeye sisi tuna mengi ya kusema na yaliyo magumu kufafanuliwa, kwa kuwa
mmekuwa wazito katika kusikia kwenu. 12 Kwa maana, kwa kweli, ijapokuwa
mnapaswa kuwa walimu kwa sababu ya wakati, ninyi mnahi tena mtu awafundishe
tangu mwanzo mambo ya msingi ya maneno matakatifu ya Mungu, nanyi mmekuwa kama
wazaohifaji maziwa si chakula kigumu. 13 Kwa maana kila mtu
anayetumia maziwa hafahamu neno la uadilifu, kwa maana yeye ni mto mchanga. 14
Lakini chakula kigumu ni cha watu wakomavu cha wale ambao kwa kutumia, nguvu
zao za ufahamu zimezoezwa kutufautisha yaliyo sawa na yaliyo makasi pia.
Ufunuo
ulikabidhiwa kanisa pekee; kutoka Mungu mpaka Yesu Kristo kupitia kwa Yohana.
Ni jukumu la kipekee la kanisa. Wengi wamejaribu kutoa ufunuo kutoka Bibilia
(angalia Bibilia (No. 164)). Wayahudi hawakukubali haya na kwa hivyo
hawatambuliwi kama walio na kanisa lilipokea orakuli kama uaskofu
ulitokea kwa askofu mkuu Kristo
hakujisifu pekee yake ili atafanywa askofu mkuu lakini ni katika siku zake za
kiwiliwili (alipokuwa mwanaume) aliomba na kutoa shukurani kwa yule ambaye
angemtoa kutoka kifo yaani Mungu, naye Mungu alimsikia. Ingawa alikuwa mwana wa
Mungu alijifunza kunyenyekea kutoka na taabu alizopitia na akawa askofu mkuu
baada ya maaskofu uaskofu ilikabidhiwa mteuele wakati Kristo aliishikilia. Bila
mwanz wa siku au mwisho wa miaka bila kuzingatia ukoo ili kufanywa wafalme au
maaskofu wa milele.
Isipokuwa alikuwa
mwanawe alijufundisha kuwa na adabu kwa vitu ambavyo alifanyiana kuwa padri
mkuu kwa kupitia ratiba wa Melkizedekia. Padri mkuu ni wa ratiba wa padri kwa msemo. Upandri zilikuwa zina pewa
kwa waliochaguliwa ka Kristo usema bila mwanzo wa siku ua mwisho wa mwaka au
bila ratiba yeyoto kwao wano kuwa milele (Heb. 7:3; Rev. 5:10 RSV).
Ufunuo 5:9-10
Tukipokea ushahidi ambao wanadamu kutoa udhahidi ambao Mungu hutoa ni mkuu
zaidi, kwa sababu huu ndio ushahidi ambao Mungu hutoa. Jambo la kwamba ametoa
udhahidi kumhusu mwana wake. 10Mtu anayemwamini mwana na Mungu,
ushahidi, umetolewa kwa habari yake. Mtu asiye na imani katika Mungu amemfanya
yeye kuwa mwongo; kwa sababu hakuwa na imani katika ushahidi uliotolewa ambao
Mungu akiwa shahidi ametoa kumhusu mwana wake.
KJV inapotosha
katika maandishi haya ili kuficha ukweli. Kristo kama askofu mkuu ni lazima awe
na mari juu ya uaskofu na huu kuhani umepatiwa jukumu la kutunza na kuendesha orakuli
za Mungu.
Waebrania 5:12-14
Kwa maana kwa kweli ijapokuwa mnapaswa kuwa walimu kwa ya wakati, ninyi
ninahitaji tena mtu awafundishe tangu mwanza mambo ya msingi ya maneno
matakatifu ya Mungu; nanyi mmekuwa kama wanaohitaji maziwa, si chakula kigumu.
Kwa maana kila mtu anayetumia maziwa. Si chakula kigumu. 13 Kwa maana
kila mtu anayetumia maziwa hajahamu neno la uadilifu kwa maana yeye ni mtoto
mchanga. Lakini chakula kigumu ni cha watu wakomavu, cha wale ambao kwa kutumia
nguvu zao za ufalme zimezeezwa kutofautisha yaliyo sawa na yaliyo maksoa pia.
1 Petro 4:11 Kama
yeyote akisema na asema kana kwamba ni maneno matakatifu ya Mungu; kama yeyote
akihudmu na uhadumu kama anayetengemea nguvu ambazo Mungu hutoa, ili katika
mtambo yote Mungu atakuzwa kupitia Yesu Kristo. Utukufu na nguvu ni zake milele
na milele amina.
Atuposa orakuli
za Mungu zinakabithiwa kanisa na kueleweka hivyo na mwandishi wa kitabu cha
Wahebrania, ni isipokuwa Paulo alikuwa mamlaka ya kitubu hiki ambacho
kilichokuwa na mshiriki wake na pia na petro. Hivyo basi mamlaka ya Kristo na
kama invyokitokeza kupita mfuasi Petro na Paulo, tunaona uhamisha wa jukumu kwa
kanisa.
Kuna dhibitisho
bandia kiasi cha haja kuhusu kuwekwa kwa hizi hufanywa na wale ambao wanajaribu
kutuhakikishia matumizi ya kalenda ya Hilleli katika kutunza siku takatifu za
Mungu. Haya yanajitokeza katika agano la kale kwengineko wengi wa wakristo
hawatilimaanani siku hivyo basi mjadala huu haikuwasihsa. Kudai kuwa ni jukumu
la Wayahudi kuwa na za Mungu ungekabiliwa kwa kejeli kwa sababu agano jipya
haitambuliwa na Juda na hivyo basi haijajumuishwa katika maandiko yao. Ugunduzi
huu unaweza kuonekana bayana kuwa ni bandia kwa mkristo wa kawaida kwani haina
ugumu. Wanajuda katika kanisa la Mungu, wakati huo huo wanatumia msururu muda
bandia kuhalalisha kalenda ya kihaleli ambayo si mojawapo wa orakuli za
Mungu. Hili kinadhilirika mnamo 358 CE, muda mrefu baada ya kuondolewa kwa
mamlaka ya kiyahudi. Kutokana na hilo mbinu ya kutewa siku ya kutufuka kwa
Kristo haikuigwa na makanisa mengi kwani ulijulikana kwa miaka mingi kabla ya
Hilleli ya pili na siku zilizobuniwa na wayahudi kuonena kama uongo na
unaopotosha.
Kuingizwa Kwa
Uaskofu Wa Agano La Kale
Jambo jingine la
ulaghai ni kuwa ushiriki wa agano la kale halikuingizwa mpaka kuitishawa kwa
kongamano la jamnia. Hii lilitumiwa na wayahudii na wakristo waaminifu kwa
wajuda kama ushahidi kuwa jambo tata la mamlaka ya kuamua babilia bado lilikuwa gao hata baada
kutuwanyika.Jania au yavne lilikuwa jiji rithi la salame wa kwanza mpaka.Herode
wa kwanza .wakati wa kuharibika kwake ulifurahisha Livia ambalo liliharibika na
kuwa mali ya kibinafsi ya Tiberusi
inayoelekeza maandiko ya Schurer.
Schura anamini
kuwa malumbano baina ya wayahudi na walimwengu, kutoka wingi wa wayahudi ndiyo
sababu Vespasiani alilazimika kulinda jiji marambili (E. Schurer The History of the Jewish People in the Age
of Jesus Christ, Vol. I, p. 333; Vol. II, p. 110). Kulikuwa na mavutano ya kiasi cha haja kati
ya wayahudi na walimwengu wakati wa Caligula (ibid. I, p. 394). Jamnia haikuwa
mojawapo ya maeneo katika utawala wa wayahudi chini ya Alexanda Jannaeus.
Pompey ilitowa kutoka utawala wa kiyahudi na Gabinius ilijijenga (ibid. II, uk.
110). Jamnia ilinyakuwa wakati wa Vespasian katika nasi (ibid I, uk.498; II, uk
110). Baada ya kubomolewa kwa Hekalu na Jerusalem mnamo 70 CE, Jamnia ilikuwa
kitovu cha masomo cha masomo cha wayahudi (ibid I, uk.521). Wingi wa wayahudi
ndio sababu ilikuwa kitovu cha masomo baada ya kuharibika kwa Hekalu.Shule pale
Jamnia ikawa koti juu ya wayahudi (ibid I, uk. 525-526). Jamnia ilikuwa ni
jaribio la kuanzisha upya mamlaka baada ya kutolewa na Mungu, ambalo
lililingana na kuharibika kwa Hekalu kutoka hitimisho la ishara ya Jona mnamo
70 CE.
Mkataba wa kale
iliofanywa na wayahudi ambayob inaonekana kuhusisha Israeli ambayo pia ilikuwa
katika mapatano na mungu. (Wakorintho wa pili 3:14,wahibrania 9:15;
angalia “Mkataba wa Mungu” (No. 152)).
Mkataba mpya iliohidiwa katika kitabu cha Jeremia ilipanuliwa kuhusisha piua
walimwengu wengine.
Mesmo wa mpya
ambaye ili haidiwa kwa Yeremia 31:31, ileendelea kwa Wagenti kutengenezwa na
wakristo (1Cor. 11:25; 2Cor. 3:6; Heb. 8:6-13; 10:16-17; cf. Lk. 22:20).
Waaskofu wa agano la kale halikuingiza mpaka takribani 323 BCE baada ya ufufuluzi wa nehemia ambalo kulikuwa katika utawala wa Artaxerxes wa pili. Paka wakati huo liliheshimika kama kazi ya adimu ya Kistoria na urasuli. Historia ya kawaida ya kiyahudi imechukuwa mtazamo huu na hata wale ambao wanapinga Bibilia,kuwa haukuwa imeingizwa Tora peke yake ndiyo iliyotengwa kama lililoandikwa kutikana uongozi war oho mnamo 621 BCE na kutoka vitabu vine vya mkusanyiko mnamo 400 BCE. Joshua, Judges, Samueli na Wafualme ukatengwa kutoka Pentateuch mnamo 400 BCE na yakawaachwa kazi ya kawaida (see The Interpreters Dictionary of the Bible, Vol. 1, article Canon of the OT, p. 507). Wasomi wa siku hizi wanasisitiza kuwa hili lilikuwa baada ya miaka mia moja lakini mchemaya alififua mpangilio huyo watoe wakati wake. (kati kati ya karne ya nne BCE). Kuna makala ambazo zilirekebishwa ambazo ni muhimu katika uelewa ya 300–250 BCE uanzilishi wa vitabu ulitendeka baada ya kuandikwa upya kwa kitabu cha Samweli na wafalme, wakwanza wa Krinikuli wa pili (ibid). Magongano ya Samueli na wafalme na kile kitabu cha imeorodheshwa na R.H proffer katika kazi yake. Baada ya 200 CBE na kabla ya 30 CE kusoma kutoka maandishi ya kirasuli (haphtarah) yalifanyika katika sinagogi wakati wa maombi (Lk. 4:16-19; Acts 13:15 cf. Meg. 4:1-2; ibid., p. 509).
Maandiko au ketubbin ilisomwa kwa desturi wakati wa pasaka, pentekosti na ukumbusho wa tisa wa kibomulewa kwa Jerusalemu mnamo 586 BCE. Yalitimishwa na Ezra – Nehemaya na kuingizwa. P Feiffer ulikamilika baada ya kifo cha Ezra wakati wanaume wa synagogi walikusanya maandiko yote. Hakuna kitabu chochote killichoandikwa baada Ezra au Alexanda ambacho kilikuwa na ususo (ibid). Kulingana na Seder Olam Rabba 30 wawili hawa walikuwa wakati moja kulinga hesabu za siku za wayahudi. Wakati Alexandra (b.356 BCE) ilipenda. India circia 326 BCE na kuaga Cirsa 323 BCE ni bayana kuwa tunazungumzia Artaxerxes wa pili na wala si wa kwanza cha kitabu cha Ezra. Kwengineko tunagundua kutoka tamko hili kuwa maandiko matakatifu ya agano la kale yalimalizika na kuingizwa kutoka 323BCE. Agano la kale lilikalimiwa kwa lugha ya kigiriki mjini Alexandria (na kujulikana kama Sephetuagint (LXX) chini ya prohemy Philadelphus (283-246 BCE) na wanaume sabaini na wawili waliiyatimu na kuhitimu, inashukiwa kuwa sita kutoka kila kabila. Walitamatisha kazi hii baada ya siku sabini na mbili (Schurer, Vol. II, p. 312; Vol. III, pp. 474-476, 677-679). Hata hapa tuinaona kuwa sabini walikuwa ni sabini na wawili kwa idadi kamili. LXX ilikashifiwa kama ukalimani wa R. Akiba mnamo 130 CE lakini alibadilisha lile la Aquila. Hapa tutaona kuwa kanisa ndilo lililokuwa na mamlaka. Brohton katika ukalimani wake wa LXX anazungingatia lile la Aquila kama lililobadilishwa na mamlaka ya Kiyahudi kwa LXX yenyewe kwani LXX ilikuwa kama lugha ya kiwahebrania. Anashuka kuwa hili lilitendwa ilikukejeli maandiko ya LXX yaliyotumiwa na wakaristo kujua ujikito wa Kristo. Bronton ameandika kuhusu mavazi ya kijeshi ya askofu mkuu inalozungumziwa katika Kutoka 28:23-28 ndilo linazingatiwa kama arkuli katika complutensian na sio kutoka vitakana au maandiko ya Alexandria. Umuhimu wa kutumia neno hili ni kuwa mavazi ya kijeshi iliashiria kitovu cha maamuzi wa kihari kwa makabila kumi na mbili ambayo ni mazingitio makuu ya mtakatifu wa watakatifu katika uhusiano wake na Mungu.
Baada ya kuingia kwa vitabu kadhaa kulikuwa kazi ambazo hazikukubaliwa kama la kitakatifu. Haya yalikuwa ni pamoja na makabi Judith, Tobilo nk ambazo zilijulikana lakini zikatiliwa shaka na zikajulikana kama apocrypha. Majaribio yalifanywa ili zitambuliwe na Wayahudi nah ii likafanya kongamano lilitishwa kule Jomnia. Baada ya kanisa kutoka Jerusalemu na jiji lenyewe kuanguka kanisa lilitowa kazi yake murua vitabu vingi vya Bibilia – vilikalimiwa na kanisa ambao wengi wao walikuwa wasomi Wahebrania.
Mifumo mitatu ya kigiriki ambayo yaliwekwa badala ya LXX yalikuwa ya Aquilo, Symmachusi na theodotion. Ingawa symmachus alikuwa na uwezo wa kutumia kazi ya Hebrania hakuwa myahudi. Alikuwa mkristo wa eboruta kulingana na Eusebius (Eccl. Hist. vi, 17) mpangilio huu inaweza kutumika kama historia ya awali yak anisa kama maandishi yao yalivyopatikana. Inashukiwa kuwa Aquila na Theodotion walikuwa waaminifu kwa Wayahudi. Aquila alitoka Pontes (angalia Matendo ya Watume 18:2 huku Epiphanies inataja sinope) (angalia schura col III UK 494) Utamaduni wa kiyahudi (yKidd 59a) inamweka katika kipindi cha R Eliezer, R. Joshua na R. Akiba, kumaanisha thuluthi wa kwanza karne ya pili.alitoa toleo la kwanza na la pili kulingana na Jerome (ibid uk 495). Alikuwa mwanafunzi wa Akiba. Maandiko yake yalipitishwa na wakuu na mamlaka ya kiyahudi na kuhifadhiwa katika Hexapta origeni na kutumika na wakuu wa makanisa ambao walikuwa wanatumia nakala ya Hexapla katika hazi ya Pamphilasi kule kaesarega na kwa kiwango Fulani sura za Hezapla LXX. Tunapata vipengele vingi vya maandiko tunavyoendelea anatambuliwa na onkelo ambaye ni mwundaji na kitabu cha kiarabu cha Targum wa Pentateuchi (Schurer, ibid uk 496). Mekati alipata maandiko ya karne sita inayohusisha Hexapla katika mistari 150 za psaltex ikiwemo. Nakala ya aquila pato katika sinagogi ya Geniza kule Kairo inaonyesha nakala ya pamoja ya kigiriki na kihebrania (mistari wa juu wa hetrmia na wa chini wa Kigiriki) ilikuwa pana mamo karne ya tano nay a sita (Schurer, ibid). Schurer anashikilia kuwa nakala ya LXX inakumbusha jinsi Aquila alivyofanya kazi yake hivyo basi inapotosha kuwa ni kazi ya Aquila mwenyewe.
Jerume alitoa vulgate ya kilatino na nakala za kigriki kama zinavyo patikana katika maandiko ya kale kutoka codi na vipengele. Jerume alifahamu kuhusu kazi za Aquila na theodotion ambao alisema alishuku walikuwa waebonita, kwani ni Wayahudi kwa kuzaliwa, kama alivyokuwa aquila JEROME alifoka kuwa ni baadhi tu ya watu ambaye walidhani kuwa alikuwa Myahudi (Schurer ibid uk 499). Jerome hivyo basi alitumia kazi hizi kutoka orodha ambayo imetumika kutengeneza nakali zinazokubaliwa za kisasa.
Hexapla ya ongeni
imepangwa kwa mfungu. Aquila iliwekwa karibu ile ya Hebomia kwa sababu
zilifanana. Teodotion ikawekwa karibu na LXX kwani ziliandana. Ya symmachus
ikawekwa karibu na Aquila kwa sababu lilo hilo, ambalo lilishangaza Schara.
Aqila inazingatia katika mwongo wa kwanza wa karne ya pili. Hteodotion imewekwa
wakati wa commadus (180–192 CE); na symmachus baadaye – kulingana na schura.
Lakini Iranaes anaorodhesha Theodotion kabla ya aquila ambayo schurex
anafikiria ni potovu kwa tarehe za kazi ikizingatiwa (ibid uk 500) irenaeus
alikuwa hai mpaka mnamo 190–191 CE kwa hivyo tarehe ya baadaye ya theodotion
inawezekana lakini kuna uwezekano kuwa ilikuwa hapo awali.
Hoja ni kuwa
kanisa alikuwawategemea Wayahudi kwa orakuli lakini ilichemgia pakubwa katika
kubadilisha maandiko katika Kigriki na kiarabi na hata kwa lugha
zingine.hakikisho kuwa maandiko matakatifu hayakuingizwa hadi 70 CE wakati
kongamano la kwanza (c 90 CE) au la pili (118 CE) wa Jamnia ni uwongo. Uongo
huu unaungwa mkono na Wayahudi na wakristo waaminifu kwa Juda. Kiini cha
kongamano cha jamnia ilikuwa ni kupinga kuingizwa kwa kazi zilizojulikana
lakini zilishukiwa za Ben Sirachi. Makongamano haya hayakuwa na athari kwa
kanisa ambalo lilijua fika kwamba maandiko matakatifu yalihitimishwa kipindi
cha Ezra.
Dhania kuhusu
jamnia inaenezwa kuunga mkono uongo wa kalenda kama ilivyowekwa 358 CE chini ya
Hilleli ya pili, kama yenye mamlaka kwa kanisa ambayo haina hata katu na hata
halikuwahi kuwa hayo. Kanisa katika nyakati za awali iliamini na kufundisha
kuwa agano la kale liliingazwa wakati wa Ezra alipoaga. Hili lifundishwa
tertulliani irenaeus na klementi wa Alexandria (kamusi ya Interp. Dict., Vol. 1, p. 514).
Wagriki
hawajakuwa na jukumu kwa za Mungu na hata kuanzishwa kwa maandiko ya kigriki.
Huo uongo mwingine uliotungwa na. Hili ni Jmabo mpya mbeleni wa Wa Yuda
kuungamkono waYaudi orakali Theologia.
Maono bandia
unaofuata katika handaki ya baadhi ya wanajeshi waingoreeza – waisraeli na wale
walinda mpangilio wa Hileli ni urasuli wa Haggai kwa 2:1-23.
Haggai 2:1-23 Siku
ya 21 ya mwezi huo, neno la Yehova likaja kupitia nabii Haggai likisema
“tafadhali mwambie Zerubabeli mwana wa shealtieli govana wa Yuda na yoshua mwana
wa Yonosadaki kuhani mkuu wa mabaki ya watu, akisema, 3 ni nani kati
yanozamani? Nanyi maionaje sasa? Kwa kulinganisha, je hii haionekani machoni
penu kuwa kama si kitu? 4 Lakini sasa, uwena nguvu, ee Zerobbed
asema Yehova na uwe na nguvu, ee Yoshua mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu” nanyi
iweni nguvu ninyi nyote watu wan chi” asema Yehova “na mfanye kazi” kwa maana
nipo pamoja nanyi, asema Yehova wa majeshi 5 kumbukeni jambo
tuliloangana nanyi mlipotoka Misri na wakati ambapo roho yangu ilikuwa ikisimama
katikati yenu msiogope”. 6 kwa maana Yehova wa majeshi anasema hivi.
Bado mara moja – ni kitamkono kidogo – nami nitatikisa mbingu na dunia na
habari na nchi kaw. 7 nami nitayatikisa mataya yote, navyo vitu
vyenu kutamanika vya mataya yote vitaingia, nami nitaijaza nyumba ni utukudu,
asema Yehova wa majeshi. 8 Fedha ni yangu na dhahabu bi yangu asema
Yehova wa majeshi. 9 utukufu wangumba hii baadaye utakuwa mkubwa
kuliko ule walie ya zamani asema yehova wa majeshi. 10 katika siku
ya 24 ya mwezi wa 9 katika mwaka wa pili Dario, neno Yehova lilimjia nabii
Haggai likasema. 11 Yohana wa majeshi amesema hivi, “tafadhali uliza
makuhani juu ya sheria ukisema, 12 mtu akichukuanyama takatifu
katika upindo wa vazi lake, naye aguse kwa upindo wake mkate au mchuzi au divi
au mafuta au aina yoyote ya chakula, je kitu hicho kitakuwa kitakatifu? Nao
makuhani wakajibu wakasema “Hapana!” 13 Nayo Haggai akaenda kusema
“mtu aliyenajisi kutokana na nafsi iliyokufa akigusa chochote kati ya vitu
hivyo, je kitu hicho kitakuwa najisi? Nao makuhani wakajibu na kusema “kitakuwa
najisi”. 14 Basi Haggai akajibu na kusema “hivyo ndivyo kikundi hiki
cha watu kilivyona hivyo ndivyo taifa hili lilivyo nibele zangu, asema Yehova
na hivyo ndivyo taifa hili lilivyo mbele zangu asema Yehova na hivyo ndivyo
kazi yote ya mikono yao ilivyo na chochote wanachotoa huko ni najisi. 15 Lakini sasa, tafadhali wekeni
moyo wenu juu ya hili kuanza leo na kuendela kabla jiwe halijawekwa juu ya jiwe
katika Hekalu la Yehova 16 Tangu mambo hayo yalipotoka mtu alikuja
kwenye mtungi wa kushinikizia ili kuchota vipimo 50 vya pipa la divai, kumbe
vilikuwa 20 17 niliwapiga ninyi kwa kuwaungoza na kwa ukungu na kwa
mvua yam awe hata kazi yote yamikano yenu na hakukuwa na yeyote kati yenu
aliyegeuaka kuja kwangu asema Yehova. 18 Kwanza leo na kuendelea,
tafadhali wekeni moyo wenu juu ya hili, kutoka siku ya 24 ya mwezi wa 9,
kwanzia siku ambayo msingi wa Hekalu la Yehova uliwekwa wekeni moyoni wenu juu
yah ii. 19 Je bado kuna mbagu katika shimo la nafaka na kufikia sasa,
mazabibu na mtini na mkoamango na mzeituni – je umezaa? Kuanzia leo hii nitatoa
baraka. 20 Nalo neno la Yehova likamjia Haggai mara ya pili gaven
siku ya 24 ya mwezi huo likisema. 21 mwambie zerubabeli Gaven Yuda
nitazitikisa mbingu na dunia. Nitakipindua KNO cha falme za mataifa.
Nitalipingua gari na wapandaji wao wataanguka kila moja kwa upanga wa ndugu
yake. 23 Katika siku hiyo asema Yehova wa majeshi, nitakuchukua, ee
Zarubabeli mwana wa sheltleo mtumishi wangu, asema tehera. “Nami nitakuwekwa
kama poer ya muhuri kwa sababu ni wewe nimechagua asema Yehova wa majeshi.
Ujumbe kamili
unaojitokeza katika urasuli huu ni Ubabi huu inahusu siku za hapo baadaye.
Terehe ishirini na nne wa Chislev ni siku kamili hapa mbeleni.
Kinacho semekano
katika hii Unabii ni:
1. The prophecy concerns the latter days.
2. 24th
wa Chislevi ni tarehe ya pekee hapo mbeleni.
3. Hii siku
ilikuwa ni siku ambayo Yesusalemu ilikombolewa mnamo March tisa, Desemba 1917
na inashukuwa kuwa siku ambayo Akembi aliingia Jerusalemu kulingana na kalenda
ya Hillel.
4. Baraka ambazo
Haggai anaongea juu yao zinatimika.
5. Hii kwa
kiwango Fulani ilikuwa imeangukwa ya saba kutoka kuanguka kwa Jerusalemu.
6. Kutoka hoja
hili kalenda ya hilleti ikadhaniwa kuwa ya mguso na orakuli wa Mungu.
Kwanza
tukizingatia kuanguka kwa Jerusalemu, kamusi ya harpo ya Bibilia inarekodi kuwa
wababiloni walivamia jiji katika 598 BCE na kulibomoa vilivyo. Hakuna tarehe
ambayo iliyoipa 1917 kama sawa na mizunguka saba au miaka 2,520 tarehe ingetoa
takribani 1923 na tarehe ya baadaye ingekuwa 1933.
Utakatifu wa
mawazo yanazunguka kama tutakavyo ona. Inajitokeza katika mitihani ya historia
ya kukomboelwa kwa Jerusalemu. Kuwa matokeo yalipangwa ili kuenze ujumbe kuwa
Mungu alitenda tendo la kutumiza Haggai kwani hatu walioshi nyakati hizo
walidhani kuwa ilikuwa ni mkutimia kwa urasuli wa Haggai. Baada kuandika
maandiko baniai yaliyohusu tarehe tisa 1917, maandiko haya bandia yalitumika
kuunga mkono kalenda ya Hilelli ambayo ilikuwa msingi wa maandiko bandia.
Mnamo 1917 ordhi takatifu ilikombolewa na asustralia, usiizi uingereza na washiriki wao walipingana na waturuki waliopata usaidizi wa ujerumani. Kulingana na sagara ya vita (H. S. Gullett, The Australian Imperial Force in Sinai and Palestine, Vol. II of the Official History of Australia in the War of 1914-18, Angus and Robertson Ltd, Sydney, 1937), Gaza na Beersheba ilinyakuliwa namo Octona 31 hadi Novemba 1, 1917. kavalia kwa Palestina lilikuwa jambo la lazima. Mnamo Novemba 2, 1917 azimio yake Balfour huku taifa la kiyahudi liendwe ilitolewa na waziri mkuu wa uingereza kama azimio la kwanza (Azimio la pili lilihusu jumuia ya madola ya Australia chini ya sheria za kiingereza). Kunyakuliwa kwa Jerusalemu halikuwa tekelezwa hadi Desemba. Maendeleo ya nguvu za kijeshi yalikuwa hivi:-
Vita vya Beesheba |
31 Octoba hadi
1 Novemba |
Tel el Khuweilfe |
8 Novemba |
Mafanikio
alitendeka (Sinai na Palestina 4-8 Novemba) |
6-11 Novemba |
Makimbizo yaliyofanyika |
8-15 Novemba |
Nahr
Auja na El Buij Novemba |
11-17 Novemba |
Yerusalemu
mbeleni |
16-24 Novemba |
Nahr Auja and El Buij |
24 Novemba hadi 1 Desemba |
Vamio
la mwisho lakikomboa of Jerusalemu |
7 Desemba |
Vamio la mwisho lilianzishwa na wanajeshi wa jumuia ya madola mnano Desemba 7, 1917. kulingana na mwezi mpya kamili hili lilikuwa na siku ambayo 24 Chislev (kalenda ya Hilleli inaanzia mwezi huu, siku mbili baadaye. Waturuki na Wanajerumani wakaanzisha uhamisho na mnamo Desemba 8, 1917 Jerusalemu ilikuwa hudu. Wanajeshi wa ardhini waliingia na kujikita ilipfika Desemba 10, Farasa Ndogo lilikimbiza wakifuata barabara ya Nablus kama maili nane.
Walikumbana na mashambulishi mazito kutoka Wanajeshi wa uturuki. Walikuwa wanaelekea pembe ya kusini ya bonde la Jordani huku wakirajibu kuzura washiriki kuvuka mto ili waingia reliyo. Hajaz na hivyo basi kulemeza oparesheni yake Allenby katika mrengo wa kulia.
Hakuna kilichotokea Desemba 9, 1917 kwani Jerusalemu ilikuwa imekombolewa tayari na mashambulizi ya tarehe saba. Historia nyingi za amerikani zinadai kuwa Allenby aliingia Jerusalemu na kulikomboa. Ukweli wa mambo ni Allenby aliingia kirasmi Jerusalemu Desemba 11, 1917. Allenby alifahamu kuwa kiongozi wa ujerumani Wilhelm (William) aliingia Jerusalemu kwa shangwe na sherehe mnamo 1908. Hivyo basi, akafanya yake kichinichini kwa kuingia kwa miguu wanajeshi mia moja kutoka vikundi vyake yalijipanga katika barabara ya Jafla. Ikiwemo wangereza waskofu, irishi, wawelshi, wagurka, waastaralia na Waitaliano. Wale kutoka Uwidi wakimbia sana Dominioni likabadhiwe. Rangi ya kipekee ilikuwa ni ya baadhi ya wanajeshi wa ardhini wafaransa aliyovaa samawati. Hii ilikuwa na mara ya ishirini na nne ambapo Jerusalemu ingawa na wapiganaji wa kigeni. (Gullett ibid uk. 523) lakini si mnamo xhislev 24, 1917. Kwa kuzingatia kalenda ya Hilleli ilikuwa mnamo chislev 26 na kulingana na mwezi mpya kamili ilikuwa Chisler 28. Wanajeshi wetu waama walivamia mnamo chisler 24 lakini kwa nguvu. Msingi wake ilikuwa ushirikano ya dhati na kutohairisha mambo.
Jerusalemu wakati iliponyakuliwa halikuwa katika hali ya ufukara mbali ilikuwa chafu. Ilichafuliwa ibid watu waliokuwa wakiuza bidhaa wadhehebu na dhehebu bandia ambao kimaendeleo walikuwa wachafu (wakisaidiwa na mienendo jinga za wanajeshi waturuki kwa miaka miwili) mpaka wakristo hukumbuka ziara zao kwa kubugaa (ibid uk 522).
Baada ya kunyakuliwa kwa Jerusalemu, jiji lilikumbwa na baa la njaa hadi uingereza ikalazimika kuleta chakula cha msaada kupitia bahari la mediterania kuingia kwetu kuingia kusini kulikuwa haraka ndiposa uturuki haikuwa na fursa ya kuachiliwa koloni za kusini walikuwa wadhibitishe umuhimu yao.Tume ya Zioni chini ya Rais wa Shirikisho la Kizioni,Daktari Weizmann,ilifanyishwa kazi na kupewa mamlaka na Serikali ya kiingereza,na ukarabati wa Palestina. Kazi hizi zilijumuishwa kukarabati mahemu ya elfu moja mia nane na nusu Karne (The Times History of the War, Vol. XV, London, 1918, p. 179).
Maendeleo haya yatambulilika katika mwangaza wa historia ya kweli bila kulaghai wa uwongo wa wapinzani wa Kiingereza – Israeli ambao hawakuhusika lakini walitoa propaganda kutoka Americani.
Hata hivyo ni
mhali tukumbuka kuwa Judah haikuwa imebarikiwa muda huu wote. Ni potovu
kufikiria kuwa Mungu angechukuwa wakati huu kutimiza Haghaina kuacha unabii
mwengine bila kutimiza ambako Judah ingepitia masikitiko yake mkuu katika maisha
yake kama Taifa.Punde tuu Mizunguko ya mara saba kutoka kubomolewa kwa
Yerusalemu na Wababiloni, Chama aha Nazi ilishika hatamu ya Uongozi Ugerumani
na kuanza Mushururo wa Kushtaki wayahudi kutoka 1942 hadi 1945 Ujerumani ilishushishwa katika
mkururo wa mauwaji halaiki ya Wayahudi-Hii imerekodiwa katika Historia ya kila
Nchii.Kusisitiza kuwa hili lilikuwa maono ya Mungu ya baraka katika katika
kutimiza Haggai. Ni ulaghai mtupu.Kama Haggai imetimizwa katika matokeo
haya,tunaweza hitimisha kuwa.
Kalenda ya
Hilleli niulaghai.
Kwa Uzito zaidi
Hash Kenazim na Wayahudi wa Ulaya wake wote wako injee ya Baraka ya Mungu Baada
ya Kupotosha Matakw ya Sheria na Sherehe. Laana nzito zina sababu (Prov. 26:2).
Haieleweki hata
hivyo kuwa Haggai imetimizwa.
Danieli 12
Tuendeleo
kutahili mada kuwa Hagai ilitimizwa Desemba 1917. Andiko linalotumiwa kuunga mkono mada hii ni Danieli
12:1-13.Andiko hili linafuatilia kuanzia Danieli 11, Kuhusu vita vya Wafualme
wa Kaskazini. Andiko katika Danieli 11:41-45, pia ni muhimu sana. Vikwazo
ambayo lazima vifuatue. Kwanza, Urasuli huu imetimzwa yote kabla ya mgao wa
Danieli 12 kutimizwa.
Daniel 11: 41-45 Pia
ataingia katika nail ya lilo pambo, nakutakuwa nchi nyingi zitakazokwazwa,
lakini hizi ndizo zitakazoponyoka mkononi mwake, Edomo na Maobu na lile sehemu
kuu ya wana wa Amoni naye ataendela kunyoosha mkono wake juu ya nchi hizo, nayo
nchi ya Misri haitaponyoka. 43 naye atatawala juu ya hazna
zilizofichwa dhahabu na fedha na juu ya vitu vyote vyenye kutamanika vya Misri
na Walibya na Waethiopia watafuata nyayo zake. 44 Lakini kutakuwako
habari ambazo zitamsumbua kutoka upande wa mashariki na kutoka kaskazini, naye
ataendia kwa ghadhabu kuwa ni kuangamiza na kuharibu wengi. 45 Naye
atasimamisha mahema yake makubwa kati ya ile habari kuu na mlima mtakatifu wa
lilo pambo naye ataenda mpaka mwisho wake, wala hatakuwa wakumsaidia.
Andiko hili
linadai kuwa Msiri, Palestine na ardhi nayounganisha Jordani iliyakuliwa kwa pamoja. Mfalme aliingia na kunyakua Misri
na hata Palestine. Wakati huo huo alielewa kuwa mashariki na kaskazini
wanahungunika akaingia na kuyaharibu na kuondoa wengi wao. Unabii kwa haliku
zingatia kama uliotimizwa hadi vita vikuu ya pili vya dunia – uvumizi wa Axis
kwa Afrika na uvamuzi wa Hitla kwa urusi. Hata hivyo mashariki na kaskazini mwa
palestina na Jerusalemu imo katikati mwa Urusi na urasuli hauonekani kama
iliyotimia. Maandiko kuhusu kuwekwa kwa mahema kati kati ya habari na mlima
takatifu inatimizwa na wanajeshi mnamo 1977, lakini hawakuingia Urusi au anzisha
oparesheni kali kuzidi kuvumbuliwa kwa Iraki kama ufalme shirika la magharibi.
Daniel 12:1-13 Na
makaeli atasimama wakati huo, yule mkuu anayesimama kwa ajili ya wana wa wana
wa wana wa watu wake, na kutakuwa na wakati wa taabu ambayo hajapata kutokea
tangu kuwapo kwa taifa lolote mpaka watu hao na wakati huo watu wako
wataponyoka kila mmoja anayeyatikana ameandikwa katika kile kitabu, 2
na kutokana na wengi kati ya wale waliolala katika mavumbi ya nchi ambao
wataamka, hawa kwa ajili ya uzima unadumu mpaka wakati usio na kipimo na wale
kwa ajili ya shutuma na chuku zinazodumu mpaka wakati usio na kipimo na wale
kwa ajili ya shutuma na chuki zinazodumu mpaka wakati usio na kipimo 3
na wale kwa ajili ya uzima unaodumu mpaka wakati usio na kipimo na wale walio
na ufahamu watangaa kama mwangaza wa anga, na wale wanaoleta wengi kwenye
uadilifu watangaa mpaka wakati usio na kipimo milele kama nyota. 4
Na wewe, Ee Danieli yafanye siri maneno hayo na kififunga kitabu kwa muhuri,
mpaka wakati wa mwisho. Wengi watakwenda huku na kuko na ujuzi wa kweli utakuwa
mwingi. 5 nami Danieli nikaona na tazama! Watu wengine wawili
walikuwa wamesimama, mmoja kwenye ukingo ule mwingine kwenye ukingo ule
mwingine wa mto, 6 ndipo mmoja akamwambia yule mtu aliyevaa kitani,
aliyekuwa juu ya maji ya ule mto “itakuwa mda gani kufukia mwisho wa inambo
hayo ya ajabu?” 7 Nami nikaanza kuisikia yule aliyevaa kitani ambayo
ilikuwa juu ya nami nikaanza kumsikia yule mtu aliyevaa kitani, alipoinua mkono
wake wa kuume na mkonoi wake wa kushoto, kuelekea mbingu na kuapa kwa yule
aliye hai kwa wakati usio na kipimo, “itakuwa ni kwa wakati uliowekwa, nyakati
zilizowekwa na nusu ya wakati na mara tu baada ya kuvunjwa vipande, vipande kwa
nguvu za watu watakatifu kutakapokwisha, mambo haya yote yatakwisha. 8
Mimi nami niasikia, lakini sikuweza kuelewa, basi nikauliza, “Ee Bwana wangu
mwisho wa mambo haya itakuwa nini?” 9 naye akaniambia tena “nenda
Danieli kwa sababu maneno haya yamewekwa siri na kufungwa kwa muhuri mpaka
wakati wa mwisho. “wengi watajikosa na kujifanya wape na kusafishwa na waovu
watatenda kwa uovu wala hakuna waovu wowote watakao elewa bali wale walion na
ufahamu wa taelewa,” na kutoka wakati wa kuonfolewa kwa ile dhabihu ya daima na
kusimamishwa kwa lile chuki zolinalosababishwa ukiwa, kutokuwa na siku 1, 290 12
mwenye furaha ni yule anayeendelea
kutaraji na anayefika kwenye zile siku 1,335 13 wewe nawe nenda zako
kuelekea ule mwisho nawe utapumzika lakini utasimama kwa ajili ya fungu lako
mwishoni mwa zile siku.
Kifungu hiki kinahusisha
adventi na ufufuo katika nyakati za mwisho. Inadhihirisha wakati au muda wa
siku 1,290 mpaka 1,335. Vile vile inadhihirisha kuimarika kwa roho mtakatifu
ambapo wenye busara wataamrisha wengi katika maajibu yaliyoko ufalme wa Mungu.
Kwa ajili ya azimia
la kimesia katika huu utabiri waneji wamemchukuwa mikalei kuwa Kristo kwa mfano
kanisa la Mungu iliyoko uingereza inashikilia kwamba mikaeli ni Kristo ila
hupinga kuwa si malaika mkuu yamaanisha nani kama si Mungu.
Ukwli ni kwamba
huyu ana kujumu kuu kwa Israeli katika Kumbukumbu la Torari 32:8. Mesaya ana
jukumu kwa Waisraeli kama Yehova – mamlaka anayopewa na mwenyezi Mungu. Kwa
hivyo mikaeli sharti awe Mesaya. Tamati ilikabidhiwa jukumu la kuwa makamu wake
Mesaya. Watu ni wana wa Mungu tunaoujuwa kutoka kwenye maandi kadhaa. Malaika
walitazimwa tu kuumbwa ex nihilo kwanzia nyakati za nne za “baraza la Laterani” kipindi cha 1215 kukana shetani uwezo wa
kuishi milele kwa sababu ya zingizi la pingamizi kuhusu dini, baina ya
wakathari wa ufaransa kusini baina ya Waalbigenesia. Matawi kadhaa ya kanisa la
Mungu walipanga kuruka kwa kimantiki kwa muda wa miaka karne zilisopita na pia
haizingatii maonyesho ya kibibilia tuliyonayo. Kikeeli na Mesaya wote ni wana
wa Mungu na isitoshe wana mgawa sawa kwenye roho mtakatifu wa Mungu kama wana.
Sharti
linalifuatilia ni kwamba inazingatia wakati, nyakati nusu wakati na kipindi
ambapo kusambaratika kwa nguvu wa watu watakatifu utakaposhitishwa. Mtazamo
katika mwaka 1914–18 ulikuwa kwamba siku hizi 1, 260 ziweze kutimizwa kwa miaka
1,260 za Hekalu ya Roma takatifu. Makundi Fulani ya wamerikani waliozingatia,
waliisitisha mwaka wa 1798, huku wengine 1814. Wote walikosea kwa sababu
mtazamo duni wa historia ya hiyo Hekalu na azimio la utimizaji utabinafsi.
Hekalu hiyo iliazishwa 59CE kwa amri zake Gregori wa kwanza na kusitishwa 1850
maadama ya kuraza nchi mbalimbali zinazomtukuza papa (tazama M. Martin kuanguka
na kusambaratika kwa kanisa ya Kiroma, secker na Warburg uk 264, langanisha pia
karatasi “jukumu la amri ya nne katika kutunzwe kwa sabato kwenye kanisa za
Mungu kwenye historia (Hesabu 170).
(see M. Martin The Decline and Fall of the Roman Church, Secker and Warburg, p.
254 ff.); (cf. also the paper The Role of the Fourth Commandment in the Historical Sabbath-keeping
Churches of God (No. 170).
Mtazamo huu hamnazo kuwa msingi wa mwaka
kwa siku inahusika tu na ufalme na si kwa na hadithi maanani shida ya mara saba
kwa uzito unaostahili. Unabii ya mra saba wa Danieli kwa wababilini ilihesabiwa
kutoka 605 BCE katika vita vya karchemishi mpaka 1914 mwanzo wa vita vya kwanza
vya dunia. Hata hivyo Misri haikuvamia wakati huo na hat walihusika. Urasuli wa
Ezekieli 28-29 inahusisha kuanguka kwa utawala wa Misri. Vikundi viwili hivi
vya wanajeshi walihusika kwa nyakati mbili za miaka arobaini, na kumalizika
miaka minane baada ya wamizi wa cambyses mnamo 525 BCE. Kulikuwa na nyakati
mbili za miaka arobaini lakini hapo kati kati Misri ikajifufua. Hii ilifanyika punde tu baada ya mara ya
saba mnamo 1953 pamoja na azimio la jamhuri ya Misri chini ya Gamel Abdul
Nasser. Muda huu wote haimaliziki mpaka 1996. Katika mwaka huo wananzilishi ya
uislamu wameshika udhabiti hadi serikali ikawa jina tu. Kanisa la koptiki la
Misri lilikumbana na mateso makali mpaka ikaungana na Roma baada ya malumbano
tangu chelkedoni kwa 451. Vipengele hivi havikuzingatiwa.
Hanzano
inaofuatilia ni kuwa miaka 1,290 na miaka 1,335 inahusiana kipindi Fulani.
Andiko hili inahusika na uzunduzi wa mwiko inayohuzunisha mahanga ya kila siku
ilihitimishwa kabla ya kubomolewa kwa Hekalu mnano 70 CE. Ukizingatia Danieli
12 kutoka siku hii haikudhuru. Utabiri huu ulitumika kwa 1917 kwa kutoka
nambari ndogo ya 1290 kutoka 1917 na kuchukua nambari ya kuanza kwa Muislamu
(1917 – 1290 = 627).
Mwaka huu
inahusishwa na kalenda ya kiislamu. Hata hivyo kalenda ya kiislamu inaanza
kutoka hijra na inakubaliwa kama mwanzo kutoka 15 (16) julai 622CE. Mwaka wa
ambayo ilikuwegoni kwa waislamu iliazishwa kwa kuweko wa jua mnamo 10AH au 631
CE katika ziara ya kitakatifu ya mwisho kwa Mecca (Qur’an 9:36 ff; cf ERE Vol
3, Uk 126).
Fomula
inaokubalika kubadilisha ni
Hijra (A) – (3A ÷ 100) + 622 = mwaka wa kikristo (ibid)
Mwaka wa 1290 AH
unaanzia 1911. Desemba 1917 ilikuwa 1296 AH. Mwaka 1335 AH ilikuwa 1956 CE.
Unyakuwa wa
Jerusalemu inafaa ileweka kuwa inahuskika na madai kuhusu wakati huu. Kuuanza
Jerusalemu ili nyakuliwa na pashia mnano 614. Chosroes wa pili wa Pashia
alipigana na mnyakuzi Phocas ambayealiuwa mfalme Maurice wa Warumi. Maurice
alikuwa rafiki na msaidizi wake chasroes. Mnamo 1611 Pashia ilivamia atoich.
Jerusalemu katika kikosi chake kulikuwa na Wayahudi 26,000 ambayo walikuwa na
ari ya kuvunja kujitawala kwa wakristo hapa Jerusalemu. Wakristo 40,000
walikuwawa na Jerusalemu ikanyakuliwa (Cath. Encyc., Vol VIII, article
‘Jerusalemu’ uk 359) Wayahudi walikubaliwa kufa chochote walichotaka hapa
jijini lakini hayakidumu. Mnamo 622 iteridius aliandama kupitia Asia minor huku
akikimbiza kinymenyumbe Wapashia na kuvamia mnamo 627.Shosroes alikimbia
uhamishoni lakini akaondolewa mamlakani na kuowawa na wanawe Siroes mnamo
628.Mwaka huo walipignia amani kwa kuachiliwa mataifa walioteka. Waliacha Siria
na Misri na Kufufua msalaba wa kidhebehu walitoa Jerusalemi Mnamo 629 Heralius
mwenyewe alikuja Jerusalemi ilikuonyesha heshima kwa msalaba (ibid). Hii
lilikuwa uanzilishi wa sherehe ya kikatholiki ya kuinuliwa kwa msalaba,
Septemba 14.
Kutokana na
ujinai wa wayahudi, sheria ya kale ya Hadriani ilifufuliwa na walikatazwa
kuzuri jiji. Askofu mkuu Theodosiusi alifufua Mzunguko wa kale wa Anastasis
hapa. Hakukuwa na jenga lingine katika eneo la mlima wa Hekalu. Heraclius alijenga ukuta na kujenga sehemu ya sehena. Wa
Patriaki Sophonius (634-638) ni wa Yerusalemu.
Vislamu chini ya
kalif Abu-Baka (632-634) walivamiasiria. Abu-‘Ubaidah alimurisha wanajeshi.
Alikuwa Ashab,mwana bandi asilia aliyeandaandamana na nabii kutoka Mecca hadi
Medina mnamo Julai 633.Mnamo 634 wakanyakuwa Damaskas na kushinda wapiganaji
wakirumi tena Yarmuk na kuchukua Emesa mnamo 636. Kalif Omar (634-644) aliulizwa
kama wangeandamana kuelekea Jerusalemu au Caeserea. Kutokana na Ushari wa
Aliwaliandaman kulelekea Jerusalemu.Ilivamiwa wan a walinzi 5000chini ya
uongozi ya Mo’awayah.Ibu-Abu-Sufyani na Kuzingirwa na Jeshi loto chini ya
Abu-Utaidhah.Jerusalemi ililindwa na
Jeshi kubwa ya wakimbizi kutika kote
Siria na mababe wa Yarmuk.Jiji lilishambuiwa kila siku kwa muda miezi minne.
Askofu mkuu Sophronius hatimaye aliomba amani na komanda
Abu-Ubaidah.Walikubaliwa kwa Usawa na Heshima. Wakristowalikubaliwa kubaki na
makanisa yao na hakuna aliyelazimishwa kukubali uislamu. Makabiliano haya
yaliwekwa saini na kalif Omar aliyekuwa Medina. Omar alikuja kwa nyuta na
farasi moja na kutia saini mapatano,akaingia Jerusalemu na kupiga gumzona
Sophronius kuhusu historia ya kale (Cath.
Encyc., ibid., p. 360).
Omari alikata
kuomba kule Anastasis ili isitumiwe kama sababu ya waislamu kuvunja
makubaliano. Kilima cha Hekalu kilikuwa bure na kubakiia eneo la kutapa
takataka. Hakunwa na jingo lingine ila Anastasis. Msikiti wa Omari ulijengwa
hapa ambamo alienda. Chini ya waislaminu, Wakristo walivumiliwa na hata
wasroamini uislamu.Uislamu hafanya Jerusalemu kuwa kiini cha wapalestina. Hii
ilikuwa hydda mpaka 716, Kishi katika Ar. Ramal (Ramleh). Jerusalemu hata hivyo
ndio jiji la tatu bora baada ya Mecca naMedinna kwa utakatifu (Angalia Qurum
Sura ya 17).
Wakati wa utawala
wa Kalif, Abd-al-Malik(684-705),Ummayaid Calif wa tano kule Damaskas Wairaki
aliasi na kunyakua mali Hijaz.Ili watu wawe badala ya Haramani ya Mecca na
Medina,ambako walikatazwa kuenda,alianza kusafisha na kurembesha mahali ya
Hekalu kwa kuwekaMsikiti Omar alizuru kilima na kupata kuwa ilijaa wakimbizi(ibid).Katika kipindi chake
alijenga jingo kubwa kwa waislamu na Abd-al- amalik mnamo 691 alijenga kutoka
usaidizi wa wajenzi wa Byzantine, ‘Dome of rock’ambalo bado imejikita kule
kilima cha Hekalu.
Kwa hivyo jingo
asili haikujengwa juu ya kilima mpaka baada ya 636 ‘Dome of the
rock’haikujengwa mpaka 691. Kutoka 636 mlima wa Hekalu ilitumika kama eneo la
Kitupa takaka na walijiita Wakrito. Jengo hilo (Kwa jina Bandia msikiti wa
Omar) Inasimama katika eneola Altari ya vyumba vya kuangamiza za Hekalu ya
kale.
Kutumika kwa
utabiri katika Danieli 12 kwa kipindi hiki haileti picha kamili na mwiko
inatisha na kusikitisha haiwezi tumika kwa Uislamu mahali na wakati huu. Bila
shaka ilikuwa ni takribani miaka 1290 kama kung’utisha kwa Babiloni mnamo 598CE
na kumalizika 691 CE inazingatiwa. Tarehe hizi zilichukuliwa kutoka 637 CE na
kisha miaka 1290 inaongezwa inaleta 1927 na wala si 1917.Tukiongeza kipindi cha
miaka Arubaini na tano inakuwa 1972. Tarehe hizi hazihusiki na tukio lolote
mhimu na Wahama hakuna amani Jerusalemu.
Kuunda kwa
utabiri hizi kama matimizo ya Danieli mnamo 1917 inaushahidi hafifu na
inapingana na uundaji wowote wa tarehe intolewa kutoka historia inayohusiana na
kilima cha Hekalu cha Yerusalemu. Inaonekana kuwa Urasuli huu katika Danieli 12
inahusiano na matokeo watakayo jitokeza hapo mbeleni inatokana na vita vya
mwisho inayohitaji hustahimilivu wa watakatifu. Ndiposa Judah na taifa la
Israeli lazima zipitia kuvunjika kwa nguvu zao kabla ya utabiri huu kutimia.
Huu aukutendeka katika vita vikuu viwili vya dunia. Kuangamiza kwa halaiki kwa
kuteketezwa ndio inayogusana na utabiri huu na unaweza oonekana kama matunda
yake.
Hatua nikuangalia
tena Haggai kwa utahini ya hapo baadaye. Haggai inahusisha kwa kujengwa kwa
Hekalu na hulka kwa jukumu hilo.
Haggai 1:1-15 Katika
mwaka wa pili wa mfalme Dario, mwezi wa sita siku ya kwanza ya mwezi huo, neno
la Yehova lilikuja kupitia kwa nabii Haggai, kwa ajili ya Zorubabeli mwana wa
Shealtioli,gavana wa Yudah,na kwa ya Yoshua: mwana Yehosadaki ,kuhani mkuu na
kusema.2 Hivi ndivyoo yehova wa inajeshi amesem,kikundi hiki cha
watu kimesema katika Haujaja, wakati wa kujengwa kwa Nyumba ya Yehova.3
Nalo nenola Yehova likaendelea kuja kupitia na nabii Haggai, likisema 4Je?
Huu ni wakati wa ninbyi kukaa, katika nyumba zenu zilizofunikwa kwa mbao, huku
nyumba hii ikiwa imeharika? 5Na sasa, hivi ndivyo Yehova wa majeshi
amesema “Wekeni moyo wenu juu ya zenu” 6Mmepanda mbegu nyingi,
lakini mavuno ni kidogo. Mnakula chakula lakini hamshibi, mnakunywa lakini
hamlowi, mnavaa nguo lakini hakuna yeyote apataye joto na yenye anaye ajiriwa,
anaajiriwa kwa ajili ya mfuko wenye matunda7 Yehova wa Wajeshi
amesema hivi “Wekeni moyo wenu juuu ya njia zenu. 8Pandeni mlimani
mkalete miti jengeni nyumba hii nipate kuhifurahia na nipate kutokaa asema
Yehova. 9Mlitafuta vitu vingi lakini tazama kulikuwa na vichache
tuu, nanyi mmeileta ndani ya nyumba nami nikapeperusha kwa kwa sababu gani?
Hasema yehova wa Majeshi.Kwa sababu nyumba yangu imeharibika,huku mkiwa
mbioni,kila mmoja kwa ajili ya nyumba yake mwenyewe.10 Kwa hiyo
mbegu zilizo zuilia umande wako juu yenu naye dunu ikazulia mazao yake.11
Nami nikaendelea kuita ukavu juu ya dunia na juu ya milima na juu ya nafaka na
juu ya divai mpya na juu ya mafuta,na juu ya vitu ambavyoo inchi
ingejitokeza na juu mtua udongo na juu ya wanyama wa kufugwa, juu
ya kazi ngumu yote ya mkono12 Nayo Zerubeli mwana wa Shealtioli na
Yoshua mwana wa Yehosadaki,Kuhani mkuu,na mabaki yote ya watu wakaanza
kusikiliza sauti ya Yehova wao na manbeno ya nabii Haggai kulingana na vile
Yehova Mungu wao alivyokuwa ametuma nao watu wakaanza kuogopa kwa sababu ya
Yehova 13Nayo Haggai mjumbe wa Yehova akaendelea kuwambia watu
ujumbe uliotoka kwa Yehova akisema, “Mimi nipo pamoja nanyi”Asema Yehova.14
Naye Yehova akamsha moyo wa Seruboli mwana wa Shealtioli,gavana wa Yudah
na roho wa Yoshua mwana wa Yehosadaki,Kuhani mkuu na roho ya mabaki yoke wa
watu na wakaanza kuingia na kufanya kazi katika nyumba ya Yehova wa majeshi
Mungu wao15 Mlikuwa siku ya 24 ya mwezi wa 6 katika mwaka wa pili
wa mfalmeDario.
Andiko katika
sura ya 1 ni apizo kwa taifa la Juda kuanza kazi ya kujenga Hekalu. Taifa
halibariki kwa sababu wameweka mashahi yao mbele ya ile ya Mungu kuna
usambamba naojitokeza katika historia ya
hulka za Juda na kukejeli kazi ya Mungu. Ikiwa urasuli huu inazungumzia siku za
mwisho, basi inazungumzia Hekalu ya kiroho ambayo ni kanisa. Vitengo vya
utabiri huu ni Zerubbel mwana wa Shealtieli gavana wa Juda na Joshua mwana wa
Josedachi askofu mkuu. Kipindi ni cha katika kijitabu ishara ya Jonan a
historia ya ukarabati wa Hekalu (No. 13). Majina ya watu wa wakati wa ukarabati
wa Hekalu wa pili (angalia pia historia ya kifamilia ya Mesaya (No. 119)).
Ikiwa utabiri ni
wa siku za baadaye, tunaweza kuzungumuzia Hekalu ya kiroho na watu kama
zerubbabeli na joshua kama maaskofu wakuu. Askofu Joshua ni Yehoshua au Mesaya.
Mgawanyiko iliyo na Yesu Kristo inapatikana katika Zecharia katika uamuzi wa
haki. Kristo anasauriwa kama
mfalme na askofu, inatimiza migawanyo yote mbili. Amri ya korti katika sura ya
kwanza ya Haggai ni kuwa serikali ya Israeli haitatajirika mpaka itkeleze kazi
ya Mesaya katika ufufuluzi kama sehemu ya Hekalu ya Mungu. Laana kwa ardhi hii
ingeongezeka mpaka hilo litendeke (Hag 1:10-11). Mfano wa kwanza iko katika
siku ya ishirini na nne wa mwezi wa sita. Hii inafanyika na Hekalu ya pili. Ni
aidha siku za hapo awali au siku za mbeleni.
Haggai inahusika
na ujenzi wa Hekalu na baraka kwa Israeli inatokana na tendo hilo. Haiwezekani kuhusisha matukio katika sura
ya pili na lile la ambalohalitokana na sura ya kwanza. Ndiposa siku ya 24 ya
mwezi wa sita ilidhuhudia kazi ya Mungu.
Sura ya pili inaanza kutoka siku ya 21 ya mwezi wa saba au siku ya
mwisho wa sherehe za Tabanakuli. Siku kubwa ya mwisho ni siku ya nane.
Katika mwezi wa 7
siku ya 21 ya mwezi huo, neno la Yehova likaja kupitia nabii Haggai lilisona. 2Tafadhalini
mwambie Zerubabeli mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu na mabaki ya watu, ukisema 3
Ni nani kati yenu anayebaki ambaye aliona nyumba hii katika utukufu wake wa
zamani? Nani mnainaje sasa? Kwa kulingana je, hii haionekani penu kuwa kama
kitu? 4 Lakini sasa, uwe na nguvu yangu, ee Zerubabeli kuhani mkuu
“nanyi iweni na nguvu ninyi nyote watu wan chi, asema Yehova na “mfalme kazi”.
Kwa maana nipo pamoja nanyi” asema Yehova na “mfanye kazi” kumbukeni jambo
tuliogana.
Ukadhani ya Hekalu aliashiria kama kwamba Hekalu ilikuwa kubwa kuliko ya solomoni. Hii ilikuwa ni ujinga dhahiri. Waama utabiri katika Danieli 9:25-27 inaonyesha ilijengwa kwa muda wa wiki sabini za miaka. Bila shaka Hekalu wa pili, na pia ukarabati ulifanywa na Herode haikuwa chochote lolote ikilinganishwa na Hekalu ya solomoni. Hekalu inayozungumziwa ni utabiri unalinganisha Hekalu ya kiroho chini ya Mesaya na lile ya kijengo na mkataba wa zama.
Roho ya bwana ingebaki na watu nah ii ilitendeka kutoka msingi wa kanisa. Haggai 2:6 inatajwa katika Wahebrania 12:26-27.
Wakati huo sauti yake iliitisa dunia, lakini sasa ameahidi akisema “Bado mara moja tena nitaitikisa si dunia pekee yake, bali pia na mbingu 27 Sasa maneno “bado mara moja tena yanatoa ishara ya kuondolewa kwa vitu vinavyotikiswa kuwa vitu ambayo vimefanywa, ili vitu ambavyo havitikiswi vinaki.
Hii ni onyo kutoka Mesaya kuwa utabiri huu unataja kutingizika kwa bingu na dunia ili ile lisiotikisa ibaki. Tikisiko ni kanisa, nao au mtakatifu wa mtakatifu (1 Kor 3:17). Hivyo basi tushangilia Mungu kwa kutupa ufalme usitingizika (Waeb 12:28).
Kipindi ni cha vita vya mwisho na kurudi
kwa Mesaya. Vita vikuu vya kwanza vya dunia iliitwa vita vya ukomavu kwani
wengi wafikiria ilikuwa wakati wa mwisho na 1914 ilionekana katika utabiri kama
hitimisho la mara saba kutoutawala wa Nebuchadneza kuanzia vita vya Chrchemish
mnamo 605 BCE. Vita vya mwisho kweli vilianzia kutoka tarehe hiyo lakini
yangeendela kwa kipindi kirefu. Utabiri ilihusisha ufufuluzi chini ya Mesaya.
Chislev 24 (mwezi wa tisa) inahusu swali la mtakatifu na muovu. (Hag 2:10-14)
taifa linaonekana chafu na kutoka kipindi hii kinasafishwa. Hoja hili
linahusika moja kwa moja na kuweka jiwe juu ya jiwe kule hekaluni. Kutoka siku
hiyo msingi wa Hekalu ingweka na Bwana angeweka jiwe juu ya jiwe katika ujenzi
wa Hekalu. Msanjari huu hauhusiki na vita vya kawaida bali mawasiliano wa
taifa. Kutoka ujenzi wa Hekalu kama mawe yanayoishi, taifa lingepokea baraka.
Ndiposa kuangamiza watu kwa kuwateketeza kuliendeka kwa taifa halikubadilika na
baraka za bwana hazijatolesa. Kutakuwa na vita vingi na majanga mengi kwa Juda na Israeli mpaka watubu na
wasafishiwe dhambi zao.
Kalenda ya
Hilleli haina ungaji mkono kwa vyovyote vile kwa aidha orakuli vya Mungu au
kutoka kubadili ukweli wa historia ili kutunga ulaghai ya utabiri. Wahifadhi wa
za Mungu ni wateule kama watunzaji wa maajabu ya Mungu. Ni “naos” au mtakatifu
wa matakatifu na kama naos ndio orukili za Mungu, wao pia ni orkulli za Mungu
kwani ni roho za urasuli.
q