Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[246]
Fundisho la Asili ya Dhambi Sehemu I Bustani ya Edeni
(Toleo La 1.0 19980422-19980422) Audio
Jarida hili linakusudia kujibu
swali kuhusu Bustani ya Edeni, anguko la Adamu na Hawa na fundisho kuhusu hanzo
cha Dhambi.
Christian
Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Hati Miliki © 1998 Wade Cox)
(Tr. 2014)
Masomo haya
yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu
bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni
lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa
nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa
kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Fundisho Kuhusu Asili ya Dhambi
Sehemu ya I
Bustani yaEdeni
Mwanzo 1:1-2 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi.
2 Nayo nchi
ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji;
Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.
Tunaona kwenye
Sura ya 2:1 nk, kwamba harakati au matendo ya vizazi vya mbinguni na duniani
zinazoonekana kwa wingi kwenye sura ya 2 na kuumbwa kwa Adamu na Hawa.
Mwanzo 2:1-17
Basi mbingu na nchi
zikamalizika, na jeshi lake lote. 2 Na siku ya saba
Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha
kufanya kazi yake yote aliyoifanya. 3 Mungu
akaibarikia siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu
alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya. 4 Hivyo ndivyo vizazi vya mbingu na nchi zilipoumbwa. Siku
ile Bwana Mungu alipoziumba mbingu na nchi 5 hapakuwa
na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana
Bwana Mungu hajainyeshea nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi; 6 ukungu ukapanda katika nchi, ukatia maji juu ya uso wote
wa ardhi. 7 Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya
ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai. 8
Bwana Mungu akapanda bustani upande wa mashariki wa Edeni, akamweka
ndani yake huyo mtu aliyemfanya. 9 Bwana Mungu
akachipusha katika ardhi kila mti unaotamanika kwa macho na kufaa kwa kuliwa;
na mti wa uzima katikati ya bustani, na mti wa ujuzi wa mema na mabaya. 10 Ukatoka mto katika Edeni wa kuitilia bustani maji, na
kutokea hapo ukagawanyika kuwa vichwa vinne. 11 Jina
la wa kwanza ni Pishoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Havila, ambako kuna
dhahabu; 12 na dhahabu ya nchi ile ni njema; huko kuna
bedola, na vito shoham. 13 Na jina la mto wa pili ni Gihoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Kushi. 14 Na jina la mto wa tatu ni Hidekeli; ndio unaopita mbele
ya Ashuru. Na mto wa nne ni Frati. 15 Bwana Mungu
akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza. 16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila
mti wa bustani waweza kula, 17 walakini matunda ya mti
wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo
utakufa hakika.
Kutokana na hii
tunaona kuwa jiografia haikuwa sawa nah ii tuliyonayo leo na mito ikabadilika
namna zake na kuwa vingine. Bustani inaonekana wazi kuwa ilikuwa kwenye maeneo
ya kati ya nchi za Syria na Misri pamoja na sehemu inayojulikana leo kama
Israeli.
Bustani ya Edeni,
kama eneo la kitofografiki linalogawanya Mito Minne ya Paradiso, limeelezewa kwa
kina kwene jarida la Msalaba: Chanzo Chake
na Maana Yake (Na. 39) [The Cross: Its
Origin and Significance (No. 39)]. Mito Miine ya Paradiso
iliyochorwa kwenye Msalaba Ulioambatanishwa
na Alama ya Jua ime tolewa ufafanuzi kwenye jarida hilo.
"Msalaba
uliochorwa wenye jua” unainekana kuwakilisha mito mine ya paradise. Biblia
inautaja huu kuwa ni mto wa ulioanzia Edeni na ukagawanyikana na kuwa vichwa
vine. Mapokeo yanasema kuwa mito hii mine iligawanyika kwa mielekeo mine
tofauti. Mapokeo haya yanatokana na maelezo ya imani ya Kihindi ya Navaho ya Zama za Mwanzo. Mapokeo haya pia yanapatikana
kwenye hadithi za Kichina za Paradiso ya Kwen-lun. Mito hii mine inaonekana pia
kwenye imani ya Kihindu ya Rig Veda, na Vishnu Purana zinaonyesha
mito midogomidogo minne wanayoamini kuwa ni paradise ya Brahma kwenye ulimwengu
wa mkutaniko. Inaonekana pia kuwa imegawanyika na kutiririka ikielekea sehemu
nne tofauti (Talbot, ibid.). hadithi hii inakutikana pia kwenye imani za dini
za kale za Wataliano zikihusisha mchoro wa katikati wa Ardi Sura, na ni Bahari
ya Maisha ya Kalmuks Msiberia. Wamadeani wa Iraqi wameendeleza mapokeo hayahaya
kuwa yanatokana na zama za Mwanzo; kama walivyosema pia Wababeloni wa Nchi ya Mito Minne.
Kwenye nyumba au hekalu
la mungu mke wa Kiyunani Calypso, kwenye kitovu
au katikati ya bahari, pia
alikuwa na chemichemi katikati yake zilizoelekea maeneo tofauti yanayokinzana.
Edda wa Waskandinaviani anatajwa kwa mujibu wa
imani zao kuwa ni chanzo cha uwepo wa maji ulimwenguni kwenye kijito cha Hvergelmir
kwenye nchi ya miungu. Slavs zilikuwa na chanzo chake kilichotokana na jiwe la
kichawi na kishirikina lililoitwa Alatuir kwenye kisiwa cha paradise cha
Bonyan. Talbot anandika kuwa Brinton au Mwingereza alikuta mito minne iliyofichika
katika maeneo ya Sioux, Aztecs na Maya kama Fornander alivyoigundua kwenye
hadithi za wa Polynesian (Talbot, p. 121).
Machache, kama
hakuna kabisa miongoni mwa mataifa yenye kumbukumbu yanaweza kuonyesha kwenye
chanzo chochote kile cha kijiografia cha dhana au semi hizi. Kwa hiyo, wakati
Wababelonia walipomuoma Ishtar kuwa ni Mwanamke na Malakia wa dunia wa Mito
Minne ya Ereki, au wakati maandiko ya Kimisri yaliyoko huko Dendera yanaonyesha
kusherehekea mito mine iliyogawanyika kwenye mto Nile huko Elephantine, fikira
na semi zake ni mithiolojia za kale zisizo na ukweli wowote wa kijiografia
inayowazunguka. Talbot anaamini kwamba sababu ya kuachana kati ya hali ya nchi ya kimistiki na kidunia ni kwamba mito minne ilitiririka na kupita, siyo
kwenye dunia yetu, lakini ni kwa kupitia kwenye robo nne za “nchi ya uzawa”
iliyo maarufu na mashuhuri (Talbot, uk. 121). Talbot (ibid.) anaamini kuwa
kwa kila fundisho linalojulikana la mimithia lina uhusisha na mwashirio huu.
Ishara ya mito minne. Ishara ya mito minne ni msalaba wa wa jua na msalaba
wenye duara ya jua,
Ishara au alama
iliyotumika baadae iliyotumika kuonyesha hapo zamani ilikuwa kuwa mito mmidogo
mine ilikuwa ni ya kiwanja cha zamani kilichozingirwa. Ikifanywa na ukanda
maarufu wa kati (kama vile., mchoro wa jua katikati), mito mine inayopita
kwenye kona nne za Satari ya Saturn (msisitizo uliongezwa).
Kwa hiyo, dhana
ya kugawanyika mito kama inavyoonekana kwenye hadithi ya kitabu cha Mwanzo (Mwanzo
2:10), wakati ukiwa umefikiriwa na jiografia maalumu kwenye mito minne, pia inaonyesha
kiini cha msingi wa mito ya maji yaliyo hai ambayo yalitiririka kutoka kwenye
chanzo cha kati ambacho ni Mungu kwa kupitia kwa nyota wake wa asubuhi ambaye
kwa wakati ule alikuwa ni Shetani.
Kwa hiyo, kiini
chaa kati, ambacho kimeeneza arthi ya Afrika pamoja na mito Tigri na Frati, ina
maana sana kiroho ambayo imeonyeshwa kwenye imani za dini za Wababelonia hadi kwa
Ishtar na kwa Wamisri, pamoja na ulimwenguni kote kupitia kwenye ushamanismu
kama ulivyoendelezwa kutoka kwenye imani za kati. Dini za Wababeloni kimsingi
zilikuwa za Kianimism (soma kitabu cha Budge cha Maisha na Historia ya Wababeloni, [Budge Babylonian Life and
History, 2nd ed., London, 1925]).
Kwa hiyo, kwa watu
wa zana kale, pembe hizi nne za dunia zilikuwa na maana maalumu ya kikosmolojia
ambalo sio tu kuwa lilikuwa linaonyesha jiografia lakini ramani ya ufalme wa mbinguni. Talbot anamnukuu O’Neill na kumtaja
kuwa ni mmoja kati ya wanazuoni wachache kujua na kutambua kiwango muhimu cha
fundisho hili la kidini la “pembe nne”.
Inafanya matokeo ya
mafundisho yoyote kamili ya alama ya kubuni na mwonekano wa Pembe Nne ambazo
mielekeo hii ilionekana kwenye mkazo wa imani kali ya kiorthodoxy ya
mithiolojia ya kimbinguni, sio kama tafsiri ya NSEW yenye kila aina ya doa wa namna yoyote,
bali migawanyo ya mbingu nne ilienea na kuendelea “milingotini” kote.
Msalaba wa jua ... ukiwa
kama alama ya robo nne inayojumuishwa na mchoro wa jua ktikati katikati. Kwenye kosmografia takatifu ya eneo la kati ya
mungu jua mara nyingi inaonekana kama ya pande “tano”. Ili kuielewa kugha kama
hii, ni muhimu kufikiri kuhusu “mwelekeo” wa kisirisiri (au mikono ya msalaba)
kuwa ni ndiyo hisia au mwelekeo wa mtiririko wa nguvu. Kutoka kwa mungu
mkuu, suala la uhai linaenenda kwa mtiririko wa ande nne. Mungu mwenyewe,
aliyeumba na kufanyiza vitu vyote tuko “imara”, “mahiri” “anapumzika” au ana
“pumziko” hisia yake ya tano ni ile
ya mzunguko huku akisimama mahali pamoja.
“Mwelekeo” unaweza
pia kufanyika kama dini; dini kati
(tano) na robo nne iliyowekwa ndani yake.
Na ndiyo maana wa Pythagoreans
waliichukulia tarakimu hii ya tano kuwa ni mwakilishi wa dunia iliyokamilika ya
axis. Wa Pythagorean idea walihusiana
kwa wazi na alama za zamani za Wahindu za mielekeo hii. Kwa kuongezea tu kuhusu
mielekeo ya pande nne, mafundisho0ya Wahindu yanajua kuwa ni mielekeo mitano,
wanaouita kuwa ni “mwelekeo au upande mkamilifu” mwelekeo wa kati (Talbot, pp.
122-123).
Talbot analionyesha wazo hili pia na la Wachina na pia alama za Nahuri wa Wamexico mwenye mielekeo mitano na hii tano kwao ni kama namba ya katikati (ibid.) " (kama ilivyonukuliwa kwenye jarida la Msalaba; Chanzo chake na Maana Yake (Na. 39) [The Cross: Its Origin and Significance (No. 39) CCG, 1997, pp. 4-5)].
Mtazamo huu ni wa kawaida kwa watu wengi wa kawaida na inakuwa ni kiini au msingi kwenye uelewa na mtazamo wa wa dini zao za kale. Mufumo wa madaraja manne ya ambayo ni msingi wa kiwanja cha zamani tunayoijua kama Msalaba wa Jua. Karatasi iliyo kwenye Msalaba ni ya muhimu katika kuelewa kinachotokea kwenye Utaratibu ulio kwenye kitabu cha Mwanzo na mara nyingi Shetani alihamasisha imani za kimithiolojia za dini ya kuabudu Jua na ambazo kwa siku hizi zimeshika dau kwenye 0lama za Wakristo.
Mfumo ulio kwenye hadithi iliyo kwenye kitabu cha Mwanzo ni kiini cha mafundisho mengi ya mithiolojia, haijalishi ni upande gani wa dhehebu ambalo mafundisho haya yanasisitizwa na yamekuwa ni msingi wao. Tunaona kutoka kwenye msalaba ulioambatanishwa na jua ambao msalaba wa katikati umeelekea na kuwa mwingi upande wa chini ya mduara ili kumuashiria Venus akiwa ni ishara ya taama ya mwili na ishara ya mwanamke. Hii ni taswira nyingine ya hadithi hii tunayoikuta kwenye Agano la Kale tangu Mwanzo na kwenye Biblia mzima yote hadi kwenye Agano Jipya kwa anguko na uhusiano wa mwanamke chini ya sheria.
Mtazamo huu ni wa
msingi kwenye historia ya kuwepo kwa mwanadamu. Ni juhudi kama hii hii
imeelezewa na dini kisiri au kimithiolojia za mataifa na kwenye mtazamo na
mafundisho ya Biblia. Hizi sio hadithi zinazotofautiana. Bali ni fundisho
ileile iliyoelezewa kwa mitizamo tofauti za Wema na Ubaya iliyoelezewa na nguvu
au mamlaka mbili tofauti za kiroho zinazopingana.
Mto mmoja unagawanyika
na kuzaa mito mingine minne na amri hii muhimu inayoongezeka mara tano ni ujumbe
ulio nyuma ya Msalaba wa Jua. Kitu kinachoongelewa kwenye maelezo ni kile kitu
kinachojulikana kuwa ni mungu anayemiliki au kuwakilishwa na alama na kwenye
chanzo chake kisichobadilika, ambaye ndiye Mungu wa Kweli. Msalaba wa Jua ni
ishara inayoashiria uasi na unayawakilisha madai aliyoyafanya Lusifeli kuwa ni
mtawala au ‘adon.
Tunarudi sasa
kwenye fundisho la kitabu cha Mwanzo.
Mfano Mzuri wa Amri hizi
Kwenye sehemu hii
ya matukio kwenye Mwanzo kwenye Bustani tunaona kuwa Mungu ndiye mwanzilishi,
kwa mfano mzuri, amri hizi na zikjitokeza hapa kwenye tendo la uumbaji na kuitakasa Siku ya Sabato
kuwa ni siku ya mapumziko na takatifu.
Ndipo tunapojionea
pia tangu hapa ikitolewa amri ambayo ni ya wajibu wa moja kwa moja wa Adamu ya
kumkataza kutumia miti Fulani
Katika kipindi
hiki ndipo wanyama waliumbwa. Kwenye aya ya 1 wameorodheshwa mbele ya kuumbwa
kwa manadamu katika siku ya sita. Hapa wanaonekana nyuma ya uumbaji ule lakini
kabla ya kuumbwa kwa manamke.
Mwanzo 2:18-25
Bwana Mungu akasema, Si vema
huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye. 19 Bwana Mungu akafanyiza kutoka katika ardhi kila mnyama wa
msituni, na kila ndege wa angani, akamletea Adamu ili aone atawaitaje; kila
kiumbe hai, jina alilokiita Adamu likawa ndilo jina lake. 20 Adamu
akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama
wa mwituni; lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye. 21 Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala;
kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake, 22
na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke,
akamleta kwa Adamu. 23 Adamu akasema, Sasa huyu ni
mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke,
kwa maana ametwaliwa katika mwanamume. 24 Kwa hiyo
mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao
watakuwa mwili mmoja. 25 Nao walikuwa uchi wote
wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya.
Hapa tunaona
utaratibu wa mamlaka au utawala aliopewa Adamu aliyetoa majina ya kila kitu.
Mchakato huu wa kuvipa vitu majina unaashiria uwezo alliopewa juu ya kitu kile
uliokuwepo siku za kale. Majina yanaashiria mamlaka na kupewa mamlaka kwa jina
lililotoewa.
Uumbwaji wa Hawa
kutokana na mbavu za Adamu ni sawa na mchakato wa kiuzazi tunaoujua leo. Kwenye
tendo hili pia, uanzishaji wa ndoa ulifanyika kutoka kipindi cha uumbaji wa
Hawa. Majina ya mwanaume na mwanamke yanatokana na maneno ya Kiebrania
ish na ishah neno la kike la ish. Ishi maana yake
ni mume wangu (lit. mtu wangu).
Adamu maana yake
ni mgumu au katili (SHD 120) na linatokana na neno la kwenye kamusi ya
SHD ’adam ambalo linamaanisha kuonyesha damu (usoni mwake) kuondoa
au kukisukumiliambali na kupakwa rangi au kufanywa nyekundu.
Kwa hiyo Adamu alikuwa mwekundu wa rangi mng’ao.
Neno ish ni
la Kiebrania kwa mtazamo wa jumla wa mwanaume. Neno berithish maana yake
mtu wa agano au wakimuungano kama patano lililofanywa kupita katikati
ya vipande vya mwili (sawa na SHD 1285). Hii ndiyo dhana na ndiyo
iliyopelekea kuwepo kwa neno Uingereza.
Tangu Mwanzo 1:26 hadi Mwanzo 2:23 neno SHD 120 adamu lietumika. Neno ish
linatumika hapa mwenye Mwanzo 2:23 na 2:24 kwa mara ya kwanza.
Tofauti hii
imefanwa kutokana na tendo hili la muunganiko linafanyika na wanadamu wote
kwenye uumbaji wa Mungu. Hii ina maana kwa jinsi ilivyo kwa kuendelea kwenye
sura zinazofuatia.
Hapa tunaona
awamu zinazofuatia amri zilizotolewa hapa kwenye zile amri za Saba na Nane. Mungu
alizuia imiliki kwa ajili yake mwenyewe kwa kutumia amri. Kwa hiyo, amri iliyosema
usile mti wa ujuzi wa mema na mabaya ni sawa tu katika umuhimu wake na ilw inayosema usiibe. Amri
ya Kumi inayokayaza kutamani mali na vitu vya mtu mwingine imewekwa pia hapa.
Ukweli ni kuzitambua taasisi hizi pia inayowapambanua mashahidi wa Kweli na wa
Uwongo.
Kwenye kitabu cha
Mwanzo sura ya 3 tunakuja karibu kwenye mfano wenye nguvu zaidi wa tafsiri ya
kiroho uliotumiwa kwenye Biblia. Neno lililoko kwenye aya ya 1 inataja na
kumaanisha Nachash au kitu au mtu anayeng’ara na inamaanisha nyoka au serpent kwenye lugha ya
Kiingereza. Huyu kiumbe anayeng’aa ni
Kerubi Afunikaye; Malaika wa Nuru Mleta Nuru au Lusifeli aliyeandikwa kwenye
Isaya sura ya 14 na Ezekieli 28:13-17.
Jambo hilohilo
limetumika kwenye nyoka mkali aliyeandikwa kwenye Hesabu 21:6,9. Wanajulikana
kama nachashim saraphim. Nyoka wenye sumu kali waliitwa hivyo kwa sababu
ya fikra au mhemko unavyowaka kwa ukali wake kutokana na kuumwa kwao lakini
huenda pia kwa kuwa waliongozwa na kuelekezwa na malaika wakati Israeli
walipomnenea vibaya Mungu na Musa kwa ajili ya kuwatoa na kuwaleta jangwani.
Neno saraph maana yake ni kuungua. Maserafi wa Isaya 6:2 walitwa
wachomao au waunguzao. Kwa hiyo, malaika wa mbinguni walikuwa wanawaka moto au
walikuwa shaba ing’aayo kwa kuvutia.
Joka wa zamani (kwenye
2Wakorintho 11:3) anaweza kujigeuza kuwa malaika wa nuru (2Wakorintho 11:14). Kwa
hiyo nyoka anatumika kama mfano tu wa Shetani ambaye aliongea na mwanamke na
kumdanganya. Kuna jambo kubwa sana linaloendele kuhusu miti.
Mwanzo 3:1-5
Basi nyoka alikuwa mwerevu
kuliko wanyama wote wa mwitu aliowafanya Bwana Mungu. Akamwambia mwanamke, Ati!
Hivi ndivyo alivyosema Mungu, Msile matunda ya miti yote ya bustani? 2 Mwanamke akamwambia nyoka, Matunda ya miti ya bustanini
twaweza kula; 3 lakini matunda ya mti ulio katikati ya
bustani Mungu amesema, Msiyale wala msiyaguse, msije mkafa. 4
Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa, 5 kwa
maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa
macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.
Jina Elohim
lililoko hapa ni neno lilelile la uwingi. Uwingi huu unaendelea hadi kiwango
kikubwa zaidi ya mmoja na kwa kweli ni zaidi ya wawili lakini zaidi ni kwa
elohim aliyeenea. Ibwahimu aliongea na watatu wa hawa elohim, au malaika. Kwa
mujibu wa Mwanzo 18:2 wakati yeye na Luthu aliwataja na kuwachukulia wote kuwa Yahova
(Mwanzo 18:27: 19:18). Huyu alibadilishwa na kuwa Adonai na wa Sopherim kutoka
jina Yahova ili kufunika matumizi ya uwingi (soma pia tafsiri ya Companion
Bible na uone jinsi ilivyozinukuu na kuziandika aya hizi na pia Mwanzo 18:2
ambayo inajaribu kumtaja elohim hapa kwenye muonekano wa mtu mmoja lakini
inakubali kuwa jina Yahova limetumika na wote watatu).
Neno ‘arum
linalomaanisha subtil lililotumika hapa kwa kweli linamaana ya busara au
hila za kijanja au mwenye hekima (sawa na Ayubu 5:12; 15:5; Mithali 12:16, 23;
13:16; 14:8, 15, 18; 22:3; 27:12 na inahusiana na Ezekieli 28:12, 13, 17). Neno
‘arum limetumika pia kumaanisha kuwa uchi kwenye aya iliyotangulia kwenye aya
ya 17. Hawakuona haya walipokuwa mbele ya elohim. Matumizi ya neno mnyama kwenye sura ya 3:1 lina maana sawa
na neno zoon lililotumiwa kuwataja viumbe wenye uhai wanaofanana na wale
wenye uhai wanne wa Ufunuo 4:6-9 na 5:6, 8, 14 nk. Kwa hiyo ilitumiwa na
Malaika kwa darja la juu sana kama wote walivyikuwa na Baba mmoja aliyewaumba
hao wote (sawa na Malaki 2:10; Waebrania 2:11). Tunaweza kupata maana ya hili
sasa kwa kuangalia kwenye kitabu cha nabii Ezekieli.
Ezekieli
28:12-17 Mwanadamu, umfanyie
maombolezo mfalme wa Tiro, umwambie, Bwana MUNGU asema hivi; Wewe wakitia
muhuri kipimo, umejaa hekima, na ukamilifu wa uzuri. 13 Ulikuwa
ndani ya Adeni, bustani ya Mungu; kila jiwe la thamani lilikuwa kifuniko chako,
akiki, na yakuti manjano, na almasi, na zabarajadi, na shohamu, na yaspi, na
yakuti samawi, na zumaridi, na baharamani, na dhahabu; kazi ya matari yako na
filimbi zako ilikuwa ndani yako; katika siku ya kuumbwa kwako zilitengenezwa
tayari. 14 Wewe ulikuwa kerubi mwenye kutiwa mafuta
afunikaye; nami nalikuweka hata ukawa juu ya mlima mtakatifu wa Mungu,
umetembea huko na huko kati ya mawe ya moto. 15 Ulikuwa
mkamilifu katika njia zako tangu siku ile ulipoumbwa, hata uovu ulipoonekana
ndani yako. 16 Kwa wingi wa uchuuzi wako watu
walikujaza udhalimu ndani yako, nawe umetenda dhambi; kwa sababu hiyo nimekutoa
kwa nguvu katika mlima wa Mungu, kama kitu kilicho najisi; nami nimekuangamiza,
Ewe kerubi ufunikaye, utoke katika mawe hayo ya moto. 17 Moyo
wako uliinuka kwa sababu ya uzuri wako; umeiharibu hekima yako kwa sababu ya
mwangaza wako; nimekutupa chini, nimekulaza mbele ya wafalme, wapate
kukutazama.
Kwa hiyo tunaona
hapa kwamba huyu kerubi mwenye mabawa yanayofunika aliwekwa kwenye bustani ya
Edeni na alikuwa na busara kamili. Kwa hiyo tunaviumbe wawili hapa Bustanini,
Kristo na Shetani. Shetani akawa ameharibika kutokana na uelewa wake mkubwa.
Kwa hiyo ujuzi wake ukawa ndiyo sababu ya kuharibika kwake.
Tunaona hapa
tarakimu ambayo haijawekwa wazi za miti na ni mmoja tmiti na ni mmoja tu ndio
uliokatazwa kuliwa au kutumiwa kwa chakula.
Mti wa uzima
ulifikiwa tu na miti mingine kwa mtazamo huu. Mti huu ambao ulikatazwa kuliwa
ulikuwa ni mti wa ujuzi wa mema na mabaya. Miti mingine yote ilizaa matunda
mema. Bali mti huu ulizaa tunda lililotoa mambo yote mawili, yaani ujuzi wa
mema na mabaya. Ubaya ni mvuto wa dhmbi, ambayo maana yake ni uvunjaji wa
sheria na amri za Mungu. Kwa hiyo tunaona hapa kuwa sheria za Mungu
zilitangulia kutoka mwanzoni kabisa mwa asili yake na ilikuwepo tangu mwanzoni mwa
uumbaji (soma jarida la Serikali ya Mungu (Na. 174) na Upendo na \muundo wa Sheria (Na. 200)
[The Government of God (No. 174) and Love and the
Structure of the Law (No. 200)].
Kwa hiyo wazo la
kusema kwamba Sheria za Mungu hazikuwa zimetolewa hadi walipofika Sinai na
kwamba zilitolewa na kupewa Israeli peke yao linapingana na maelezo na nia au
lengo la Torati.
Sheria za Marabi
wa Kiyahudi kudai kwamba kulikuwepo na kitu kama hicho kama sheria za Nuhu,
ambazo tutakwenda kuzijadili kwa kina baadae (soma jarida la Mapokeo ya
Sheria za Nuhu [The Tradition of the Noahide Laws)]. Madai haya kwamba
Nuhati yake aliyopewa na Mungu na kwamba Wamataifa walikuwa na chanzo chao cha
sheria ambayo ilikuwa ni tofauti na kinyume Torati au kwamba zilikuwa na
kiwango cha chini kiwango cya Torati ni uwongo tu wa marabi unaokusudia kuwafanya
Wamataifa wawaelekee Mafarisayo wa Kiyahudi kwa mbinu za kuwarubuni kinyume
kabisa na maagizo kutoka kwenye Maandiko Matakatifu.
Miti ya Bustanini kama Viumbe
Sababu
inayotupelekea kuhitaji kutathimini pia ni hii ya neno mti. Mti umetumika kama neno la kuwaita viumbe wa kiroho wa
mbinguni. Mti huu wa ujuzi wa mema na mabaya pia kwa kumtaja Shetani na
utaratibu wake aliokusudia kuuweka ambao kwao aliutumia kuwaharibu na kuwaasisha
malaika. Tutalielezea na kulitathmini jambo hili badae.
Ezekieli
31:3-18 Tazama, Mwashuri
alikuwa mwerezi katika Lebanoni, wenye matawi mazuri, na kifuniko chenye uvuli,
na kimo kirefu; na kilele chake kilikuwa kati ya matawi mapana. 4 Maji yalimlisha, vilindi vilimsitawisha; mito yake ilipita
pande zote za miche yake; naye akapeleka mifereji yake kwa miti yote ya
kondeni. 5 Basi kimo chake kilitukuzwa kuliko miti
yote ya kondeni, na vitanzu vyake viliongezeka; matawi yake yakawa marefu, kwa
sababu ya maji mengi, alipoyachipuza. 6 Ndege wote wa
angani walifanya vioto vyao katika vitanzu vyake, na chini ya matawi yake
wanyama wote wa kondeni walizaa watoto wao, na chini ya uvuli wake mataifa
makuu yote walikaa. 7 Basi hivyo alikuwa mzuri katika
ukuu wake, katika urefu wa matawi yake; maana mizizi yake ilikuwa karibu na
maji mengi. 8 Mierezi ya bustani ya Mungu haikuweza
kumficha; misunobari haikuwa kama vitanzu vyake, na miamori haikuwa kama matawi
yake, wala bustanini mwa Mungu hamkuwa na mti wo wote uliofanana naye kwa
uzuri. 9 Nalimfanya kuwa mzuri kwa wingi wa matawi
yake; hata miti yote ya Adeni, iliyokuwa ndani ya bustani ya Mungu, ilimwonea
wivu. 10 Basi Bwana MUNGU asema hivi; kwa kuwa
umetukuzwa kimo chako, naye ameweka kilele chake kati ya mawingu, na moyo wake
umeinuka kwa urefu wake; 11 mimi nitamtia katika
mikono yake aliye mkuu kati ya mataifa; naye atamtenda mambo; nimemfukuza kwa
sababu ya uovu wake. 12 Na wageni, watu wa mataifa
watishao, wamemkatilia mbali na kumwacha; juu ya milima na katika mabonde yote
matawi yake yameanguka, na vitanzu vyake vimevunjika karibu na mifereji yote ya
nchi; na watu wote wa dunia wameshuka, wakitoka katika uvuli wake na kumwacha. 13 Juu ya magofu yake ndege wote wa angani watakaa, na
wanyama wote wa jangwani watakuwa juu ya matawi yake;
Andiko hili hapa
linaonyesha kwamba tunawaelezea malaika walioasi na hususan wale makerubi
walioandikwa kwenye Ezekieli sura ya 28 na Isaya sura ya 14, Lusifa ambaye
hatimaye alikuja kuwa ni Shetani na alitupwa chini upande wa shimo refu.
14
kusudi mti wo wote,
ulio karibu na maji, usijitukuze kwa sababu ya kimo chake, wala usitie kilele
chake kati ya mawingu, wala mashujaa wake wasisimame katika kimo chao kirefu,
naam, wote wanywao maji; maana wote wametolewa wafe, waende pande za chini za nchi,
kati ya wanadamu, pamoja nao washukao shimoni.
Waliokolewa
katikati ya wana wa wanadamu ambao nao pia walikwenda chini kuzimuni. Hi
inatuonyesha na kutuelezea maafa yaliyowakumba wateule katika siku za mwisho.
Anguko lake kwenye tuko hili lilikuwa ni kubwa sana.
15
Bwana MUNGU asema
hivi, Katika siku ile alipotelemka mpaka kuzimu naliamuru matanga, nalikifunika
kilindi kwa ajili yake, nikiizuia mito yake, nayo maji makuu yalizuiwa;
naliamuru Lebanoni kumwombolezea, na miti yote ya kondeni ilizimia kwa ajili
yake. 16 Niliwatetemesha mataifa kwa mshindo wa
kuanguka kwake, hapo nilipomtupa chini mpaka kuzimu, pamoja nao washukao
shimoni; na miti yote ya Adeni, miti iliyo miteule na iliyo mizuri ya Lebanoni,
yote inywayo maji, ilifarijika pande za chini za nchi. 17 Hao
nao walitelemka kuzimuni pamoja naye kwa watu waliouawa kwa upanga; naam, wale
waliokuwa mkono wake, waliokaa chini ya uvuli wake kati ya mataifa.
Hapa tunaona
anaonekana akiwa kwenye bustani ya Edeni.
18
Umefanana na nani,
hivi katika utukufu na ukuu, kati ya miti ya Adeni? Lakini utashushwa pamoja na
miti ya Adeni, hata pande za chini za nchi; utalala kati ya hao wasiotahiriwa;
pamoja na hao waliouawa kwa upanga. Huyu ndiye Farao, na jamii yote ya watu
wake, asema Bwana MUNGU.
Kiumbe anayetajwa
na kuonekana hapa kwene sura hii ya kitabu cha Ezekieli ni wote wawili, yaani
mfalme wa Ashuru na Farao na walikuwa kwenye Bustani ya Edeni wakiwa kama
Mwerezi wa Lebanoni na hakuna aliyewahi kuwa na hekima au uzuri kama yeye au
aliyeweza kufanana uzuri na ukamilifu. Misri na Ashuru walikuwa bado kwenye
kiuno cha Adamu na kwene upande mwingine wa gharika kuu kwenye kipindi hiki cha
Bustani ya Edeni. Kiumbe huyu inawezekana kuwa alikuwa ni Yule kerubi mwenye
mbawa za kufunika ambaye alitupwa chini na mapepo au ile miti iliyoasi pamoja
na yeye.
Kwa hiyo, elohim
walio Bustanini walikuwa wengi na walikuwa chini ya maelekezo ya Mungu kuwaruhusu
mambo waliyotakiwa kufundisha ama kutofundisha na kufanya. Nyama au magome ya
miti hatakuwa ni kwa ajili ya matumizi ya chakula cha miili tu na matunda yake,
bali ilikuwa pia kwa ajili ya kujifunzia au kufundisha na ulinzi.
Tunayakumbuka maneno
aliyoyasema Shetani kwenye Mwanzo 3:1. alisema: Ati! Hivi ndivyo alivyosema Mungu, Msile matunda ya miti yote ya
bustani? Hili kwa kweli halikuwa
ni swali bali yalikuwa ni madai ya mahojiano. Ndipo mwaname anarudia kuisema
ile amri ya makatazo na adhabu yake itakavyokuwa wakiivunja amri hii kwa kusema:
Mungu amesema, Msiyale wala msiyaguse,
msije mkafa ndipo Nachashi au mtanashati
akasema, " Nyoka akamwambia
mwanamke, Hakika hamtakufa, kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula
matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema
na mabaya.."
Kwa hiyo, mawazo
mengi na nasaha zinatolewa hapa. Kama utakula utafunguliwa macho yako na
utakuwa kama elohim. Uwingi wa hawa elohim unaonekana wazi hapa. jina Yahova,
elohim linatumika kwa namna maalumu kutoka kwenye Mwanzo 2:4. Nachash hata
hivyo halitumii neno hilo linaloasgiria kuwepo kwa viumbe wengine ndani yake.
Jinsi
watrinitariani wanavyolitumia jina elohim na kulichukulia ama kulilinganisha na
miungu watatu wanapotosha maana yake iliyokusudiwa hapa. Tunajua vyema sana
kuwa hatima ya wanadamu wote ni kuwa kama elohim lakini kwa kupitia hatua
fulanifulani kwanza. Tunajua hivyo kutokana na maandiko ya Zekaria 12:8 na
Zaburi 82:6 ambalo lilirudiwa na Kristo kwenye Yohana 10:34-35 na likamjumuisha
yeye mwenyewe kama sehemu ya sheria, kinyume kabisa na mgawanyo wa kawaida
ulivyo kwenye Torati, Zaburi na waandishi (soma Luka 24:44). Kristo aliitaja
Zaburi akiihesabia kama torati kwa sehemu zisizopungua mbili.
Tofauti hizi
huenda alizifanya kwa makusudi na zinaturudisha nyuma kwenye wazo la kwanza la
ahadi, ambalo linajitokeza hapa kwenye mwonekano wa kwanza. Shetani hakuwa
anamwambia Hawa uwongo mtupu, bali alikuwa anazua mambo yanayoonekana kama ya
kweli, ambayo hayakuonyesha kuwa yanaenda kinume na mabadiliko makubwa
yaliyojitokeza na matokeo mabaya yatakayojitokeza kutokana na tendo hili la
uasi.
Nchi au ardhi
ikalaaniwa kwa sababu ya kitendo hiki alichokifanya Hawa.
Kwa kuongezea
tatizo Shetani akaja na kueneza fundisho la kuwa mtu hatakufa bali ataendelea
kuishi ao maisha yasiyo na mwisho wala kuona uharibifu, ambayo yanatolewa na Mungu kwa wanaomtii, lakini
yanatolewa kwa utu wa ndani wa mtu mmoja mmoja. Kwa hiyo, uwongo wa kusema hakika hutakufa ndio unaoendelea kushika
kasi siku hizi kwenye teolojia ya duniani kote (soma majarida ya Nafsi (Na.
92) na.Katika Kutokufa (Na. 165) [The Soul (No. 92) and On Immortality
(No. 165)].
Shetani alikuwa
anampa Hawa hapa uchaguzi na kuna mambo mengi yliyojitokeza kwenye tatizo hili.
Watu hawa waliumbwa na kuwekwa hapo na Masihi akiwa kama Malaika wa Yahova.
Walipewa kanuni na maelekezo ambayo ilitosha kuwafanya waendelee kuwa
wakamilifu.
Chanzo cha
malumbano hapa ni kwamba ujuzi wa mema na mabaya ulionyeshwa na Shetani ikiwa
kama ni njia ya kufanyia makosa, kuruhusu uhuru wa upotofu au uhuru wa kujiribu
vitu, jambo ambalo utaratibu na kanuni waliopewa kwa yenyewe tu ilikuwa
inapinga.
Je, Ni Miti Miwili au Zaidi?
Mwonekano wa
habari au hadithi hii unafanya ionekane kulikuweko na miti miwili. Mti mmoja
ulikuwa ni wa ujuzi wa mema tu, peke yake na kutegemea mamlaka yaliyotolewa na
Mungu kupitia kwa Roho Mtakatifu. Mti mwingine ulikuwa ndiyo huu wa ujuzi wa
Mema na Mabaya na ijulikane hapa kuwa miti hii ilikuwa ni miti halisi na yenye
matunda halisi ambayo hayajaelezwa tu kuwa yalikuwa ya aina gani miongoni mwa
tunayoyajua leo. Miti hii miwili iliorodheshwa na kupewa majina kuwa mmoja
ulikuwa ni Mti wa Uzima na mwingine ulikuwa ni Mti wa Ujuzi wa Mema na Mabaya.
Hata hivyo kulikuwepo na miti mingine zaidi iliyoliwa matunda yake amoja na huu
mmoja ikijulikana kama ya Miti ya Uzima.
Tunda
lililokatazwa liliwezesha mtu kuwa na aina fulani ya fikra au ujuzi wa jambo
fulani au kujitambua yeye mwenyewe. Hii ni namna nyingine ya kuelezea na kufafanua
kiurahisi fumbo au mfano na kushindwa kutaja idadi ya mambo makuu yaliyo kwenye
fikra za kifalsafa, ambazo zinastahili kupokea au kupewa utambulisho wa
kuzitambua au kuzikubali.
Tunaona hapa kwenye
sura hii kwamba kulikuwa na zaidi ya miti miwili na miti hii yote mingine
ilirihusiwa kuliwa. Ni mti mmoja tu ndio ulikatzwa. Kwa hiyo utaratibu wote wa
vyakula uliwekwa na kanuni zake na haikuwa kwa mti mmoja tu peke yake.
Mti wa uuzi wa
mema na mabaya ndio walikatazwa wasiutumie na Shetani alilijua hilo kuwa
ulikuwa umekatazwa hivyo. Alimtia tu Hawa majaribuni na kisha mume wake Adamu
ambaye alijitia mwenyewe majaribuni sawa na mke wake. Kitendo hiki chenyewe tu
ni cha kuzivunja sheria au amri za Mungu ziizo kwenye Kutoka 23:2.
Hukumu au adhabu
kwa ajili ya kula tunda hili ni mauti. Hii inamaanisha kwamba kama Adamu
asingekula tunda hili basi angekuwa na uzima endelevu ambavyo kwamba
asingekufa. Vinginevyo, basi hukumu au adhabu hii isingekuwa na maana na
angeweza kufa kwa namna yoyote. Kwa hiyo tunaongelea kuhusu mauti kwa usemi au
kwa maana pana na ya jumla.
Wakati Shetani aliposema
Hakina hutakufa alikuwa analiona hilo kwa mtazamo mrefu wa kuuathiri
mpango wa Mungu ambayo ilikuwa sio mapenzi ya Mungu kuona kuwa mtu yeyote
mwenye mwili akipotea (2Petro 3:9). Kwa hiyo kitaaluma hili lilikuwa ni muhimu
na kweli. Watu hawa hata kama watakuwa wenye dhambi wana ufufuo wao wa wafu
aliotayarishwa kwa ajili yao. Lakini Mungu alisema wangekufa hakika.
Ndipi tunaona
hapa kwamba kulikuwa na mambo mawili kwenye mpango wa wokovu. Kama Adamu na
Hawa wangetii ndipo wasingeweza kufa. Hata hivyo, mpango ulikuwa ni kwamba
wangeweza kuwa elohim na kwa hiyo walipaswa kufanyika kuwa viumbe wa ulimwengu
war oho. Kwa hiyo ndipo wangeweza kuyapitia mabadiliko makubwa kwenye mpango
kuhusiana na habari za ufufuo wa kwanza wa wafu.
Tumebaliwa na
fursa ya kuyachagua mambo mawili yafuatayo:
1. Adamu na Hawa na
watiifu wengine wasingewez kufa na wangeweza kufanyika kuwa viumbe wa kiroho.
Hii ingeweza kufanyika kiutafsiri pengine:
A. Mwanzoni mwa
kipindi cha utawala wa milenia;
au
B. Wakati
mwingine wa kwenye mchakato huu kama tunavyoona na ilivyotokea kwa Henoko
ambaye alikuwa mtakatifu na mwelekevu na alitembea na Mungu. Hakuonja mauti kwa
kuwa Mungu alimtwaa (Mwanzo 5:24).
Kutwaliwa kwa
Henoko na kule kwa Eliya kumeelezewa katika jarida la Mashahidi (Na. 135).
2. Iwapo kama
watoto waliotoka kwenye uzao huu waliasi, basi walitenda dhambi na wangekufa na
kwa hiyo watakosa kuwa na sehemu kwenye ufufuo wa kwanza wa wafu na wote
wangeingia kwenye ufufuo wa pili wa wafu, vinginevyo wangeruhusiwa kuwepo
kwenye ufufuo wa kwanza wa wafu kwa
kufanya kwao toba na kwa hiyo taratibu tatu kubwa zingeweza kuchukua nafasi
yake. Kwahiyo wale 144,000 lingeweza kuwa ni kundi linguine lenye mkutano
mkubwa kwenye ufufuo wa kwanza wa wafu.
Hali hii hata
hivyo inapingana na sifa ya Mungu ya uwezo wa kujua kila jambo ambaye alijua
tangu mwanzo matokeo na kuwajua wateule ambao ameandika kwenye kitabu cha uzima
cha Mwanakondoo, hata kabla ya kuwekwa kwa misingi ya dunia. Mwanakondoo
alichinjwa pia hata kabla ya kuwekwa misingi ya dunia na ndipo tunaona matukio
yanayojulikana.
Kama Shetani na
Malaika zake wasingejaribu Hawa ndivyo pahala pao kule Mbinguni wakiwa kama malaika pasingeweza kuingia
majaribuni. Kwa hiyo, anguko lililo kwenye Mwanzo sura ya 3 lingekuwa ni la
kujaribiwa tu na zaidi ni kwa Shetani kuliko ilivyokuwa kwa Adamu na Hawa.
Kukosa mwelekeo
kuhusu ukweli huu na kwamba kutoka hatua hii ndipo Shetani alianzisha dini na
imani za kale na mamlaka.
Tunda la Tufaha au Epo Katika Roma
Tunajua kwamba
tunda lililoliwa maranyingi linaandikwa kama epo lakini hakuna ushahidi wa moja
kwa moja kwa wazo hilo kwenye Biblia. Dhana ya kufikiri kuwa lilikuwa ni tunda
la epo inatokana na hadithi za Kiyunani na Kirumi. Kuna kilichokuwa
kinajulikana kama Tufaha au Epo la
Mtafaruku ilijulikana na Eris, ambaye alikuwa ndiye aliyelitambulisha kwa watu
akiliita kuwa ni epo la mgogoro au mtafarku, kwenye makutaniko ya miungu (theoi
au elohim). Epo la dhahabu liligombewa na Juno, Minerva na Venus (soma kamusi
ya.Oxford Universal Dictionary, 3rd ed., 1964, p. 86). Epo la dhahabu ni
jina linguine inaloitwa taji ya kifalme nchi ya Uingereza (ibid.).
Kwa hiyo, wazo la
muundo wa Mabishano iliyopandwa na kipande cha tunda iliyoko kitovuni mwa
mzunguko wa epo ni wa kutoka siku za kale na ni wakawaida kwenye dini zote
zisizo za Kiebrania pia. Mwonekano wa uwakilishi wa Venus kama Nyota ya
Alfajiri huenda una maana yake kubwa kuliko tulivyoweza kudhania hapo mwanzoni.
Maana ya huyu Venus yameongelewa kwa kina kwenye jarida la Ndama wa Dhahabu
(Na. 222) na pia la Chimbuko la
Krismas na Easter (Na. 235) [The Golden Calf (No. 222) and
also The Origins of Christmas and Easter (No. 235)].
Tunaona kwenye hadithi
maarufu za Juno tangu zama za kale wazo la kwamba nyoka alionekana
kuambatanishwa na ubikira wa mwanamke. Dhana hii ilitokana na kuchukuliwa
kutoka zama za kale hadi ikaingizwa kwenye dini za siku hizi.
Warumi waliliona
wazo hili la ubikira ni la muhimu katika kujikabidhi kiibada kwa miungu yao.
Hii ilikuwa ni
muhimu kwenye ibada za hekalu la Vesta. Ilikuwa na miungu Juno Sospita huko
Lanuvium ambapo tunaona wazo la kale lililochukuliwa kutoka kwene zama za kihistoria
(soma Encyclopedia of Religion and Ethics (ERE) article Chastity,
3, pp. 496-497).
Mara tub into wa
kike alipochaguliwa, alitoa sadaka ya keki kwenye Hekalu ka Nyoka. Keki hii
ikikubalika na nyoka Yule ndipo ubikira wake Yule binti ulithibitika na
kumhakikishia mema ya mwaka mzima. Kama nyoka aliikataa ile keki basi mambo
yake yalichukuliwa kinyume ha hapo juu na iliaminika kuwa inavyotokea ni sahihi
(ibid.).
Hapa tuna matokeo
yaliyo kinyume kabisa kutoka kwenye dhana hii ambapo nyama iliyotolewa sadaka
na keki kwa nyoka kama ubikira ulioondolewa wa binti wa kike. Kwa maneno
mengine hapa ni kwamba wazo lililoko hapa lilikuwa kwamba nyoka ndiye aliyekuwa
mlinzi wao na ndiye alikuwa ishara ya ubikira wa mwanamke. Hii inatupa uelewa
wa wazo lililokuwapo nyuma ya mfano ulio kwenye Mwanzo sura ya 3.
Kwa kiasi kidogo
sana uhusiano ulifanywa kwenye mawazo ya Wayunani wenye asili ya Kirumi kwamba
kulikuwa na uhusiano na nyoka na ubikira wa kidini za kale.
Jupiter, Juno na
Minerva walikuwa ni muunganiko mkubwa wa kiutatu au Utrinitari wa ibada za Capitoline
za Rome. W. Warde Fowler anaona kwamba dini ya Kirumi ilipagawa kimapepo zaidi
kuliko kuiona kwamba ilikuwa ya kuamini miungu wengi tu peke yake (soma ERE Roman
Religion, vol. 10, p. 823 ff.). kwa hiyo, wazo hapa ni kwamba pepo alikuwa
kiini cha viumbe na kwamba mtu angeweza kufanyika kuwa mungu kwa kupitia uwezo
wa kutokufa wa pepo au kiini na chanzo cha mtu Yule au mwanzoni mwa mtu
afuataye. Mwanzo wa utaratibu huu alikuwa ni Jupiter Feretrius ambaye numen au
roho yake ilisemekana kuwa iliishi kwenye mti mtakatifu wa waloni uliokuwa
kwenye Kilima cha Capitoline. Romulus anasemekana kuwa alikazia usindi waa
kwanza (spolia opima) ya asui aliyeshindwa. Wazo hili liliaminiwa pia na
Suevi wa Kijerumani (cf. ERE ibid.) na hiyo ilikuwa ya kawaida kwa Teutons pia
kama Walatino. Tunajua pia kwamba iliambukiza au kuenea kwenye dini za
Kiseltiki na Waariyani wote (sawa na jarida la Chimbuko la Krismas na Easter
(Na. 235) [The Origins of Christmas and Easter (No. 235)]. Kwa hiyo,
dini zenye mseto wa Kiashuru na Kibabeloni zinaonekana kuwa mtazamo huu wakati
mti ulikuwa ni mwakilishi wa kiumbe au mungu na hivyo kuna maana fulani nyuma
ya matumizi ya maneno haya hapa kwenye maandiko ya Waebrania.
Jina la mungu Jupiter
lilichukuliwa kutoka kwenye neno Diovis pater (ambalo limechukuliwa
kutoka kwenye shina div. "Ng’aa"). Kwa hiyo, baba wa mng’aro alijulikana
kama mungu wa jua na nuru na wa dhoroba au radi na wa mbinguni akiwa kwenye
umbo lolote lile. Kuelewa mambo haya ni muhimu ili kujua mawazo ya watu na
imani za kale na maana au chanzo cha kuwa na alama kidini kwa ujumla. Wakati
Biblia inapozungumzia kuhusu Miti ni
kwamba manabii walikuwa wanaelezea imani za kidini zilizokuwepo kwenye Zama Kale
kwa ujumla. Viumbe hawa wa kiroho waliwakilishwa kwa muonekano kama wa miti
kama tulivyoona hapo juu. Dini ya kale nay a kienyeji ya Walatino ni kama zilivyokuwa
zile za Teutons na za Aryans zote, ikiwemo na
Kiseltiki, ilichukua umaarufu wa ashera na kwa kawaida ashera za Mwaloni au za
miti mingine zilizotajwa kwenye majarida ya Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235) na Msalaba: Chimbuko lake na Maana yake
(Na. 39) [The Origins of Christmas and Easter (No. 235) and The
Cross: Its Origin and Significance (No. 39)]. Dini potofu za mwaloni
zilitengeneza na kuisimamisha sanamu ya Kiceltiki ya Zeus (Max. Tyr. Diss., viii) na tabia za kiutakaso ( soma Pliny HN,
xvi. 44 cf. ERE. Celts, p. 295 sawa na jarida la Msalaba: Chimbuko lake na
Maana yake (Na. 39).
Majivu na mavumbi
vilikuwa vya kuheshimika au vitukufu sana huko Ireland na ni zaidi ya mwaloni lakini
kila mti uliwaklisha uwepo wa miungu uliyokuwa kwenye kundi la Jua (soma jarida
la Msalaba: Chimbuko lake na Maana yake (Na. 39), ibid., pp. 9 ff.). miti
ilikuwa na maana yake maalumu kuwakilisha miungu kwa kusudi maalumu. Dini za
zama kati za Jupiter Optimus Maximus, wa Juno na Minerva za huko Capitoline kwa
kweli zilikuwa za mtindo wa ki Etrusca. Dini na imani potofu za kitatu
zilichukuliwa kuwa hazikuwa maarufu wala chimbuko lahe halikuwa huko Roma lakini
ilikuwa maarufu miongoni mwa Wayunani na huko Etruria iliwakilishwa kwa majina
ya Tinia, Thalna na Minerva (ERE, 10, p. 830). Hili lilikuwa ni umbo
lililotungwa la imani ya kiutatu lililowekwa huko Capitoline huko Roma kuonyesha
uweza mkubwa zaidi wa mamlaka uliko kwenye Dola ya Kirumi kwenye fikra za watu
na kuzizidi nguvu dini zote nyingine na vikundi vilivyokuwa vinaliunganisha
taifa lao. Hawa Etruscans hawakuwa wenyeji wa hapo kale wa Etruria na walikuwa na
asili ya Kiasia Ndogo. Miungu wa Kiyunani waliingizwa kwenye harakati za kidini
tangu karne ya tano KK. Mnamo mwaka 493 KK hekalu lilijengwa kwa ajili ya trias
wa Kiyunani wa huko Demeter, Dionysius na Persephone wakiwa wanaitwa majina ya
Kirumi ya Ceres Liber na Libera. Apollo na waganga na wapigaramli
wa Wa Sibyl alifuatia mwaka 431 KK. Tunaona hatimaye kuwa Artemi ambaye pia huitwa Diana na Aphrodite aambaye
pia ni Venus. Venus alikuwa hapo kale sana ni mungu wa zama kale wa Warumi
aliyeshughulika na bustani. Sheria Wayunani na Warumi zilitangazwa kuwa
zinakiuka sheria na tunajiponea kiwango cha kushangaza cha usyncritizi na
ilitambulishwa na kuingizwa kwenye imani ya Kirumi. Kile kilichoonekana kutoka
kwenye kundi hili lote na imani za kidini kwa ujumla ndicho kilichokuwa ni mtazamo
wa kawaida uluvyokuwa kwenye nyakati za kale, na ndicho kinachoonyesha ukweli
na hali halisi kwa mtandao tunaouona ulionyeshwa kwenye michoro ya Bustani ya
Edeni, sio tu kwa Waebrania, bali ni kwa ulimwengu wote wa zama za kale.
Mungu wa zama
kale wa Warumi aitwaye Sylvanus, mungu wa mashamba, miti na mbao au kuni na
ulinzi wa mipaka alichukuliwa kama mzimu au jinamizi lililokuwepo wakati wa
mwanamke anapomzaa mtoto (sawa na. ERE, art. Birth, 2, p. 649).
Katika imani za kale
za Kirumi dini ilitegemezwa kwenye mawazo ya zamani ambayo yalikuwa kwenye
madaraja mawili tu ya viumbe wanaowaombea kati ya wanadamu na Mungu wa
Mbinguni. Makundi haya mawili hapo kwanza yalikuwa ni ya roho za wafu a,bayo
yalifungamanisha na dhana ya roho kuendelea kuishi baada ya mtu kufa au mwendelezo
way ale maneno ya kwamba hakika hutakufa na
kundi la pili ni lile lililojulikana kama la roho zinazokuwepo kwenye maisha ya
kila mwanadamu (soma kitabu cha ERE art. Demons and Spirits (Mapepo na Roho)
, 4, p. 620 ff.)
Hili lilikuwa
wazo la zama kale ambalo lilituama kwenye kikomo cha mipaka ya mzunguko wa viumbe
maroho ambao kwa hiyo wangeweza kutenda kazi kama maroho na kupitia
wanadamu pasipo mgawanyo maalumu. Kwa hiyo tunaona mpao mkubwa wa mamepo wengi.
Imani ya Miungu wengi haikuwa imani asilia. Hawa mapepo na majinamizi walipewa
utambulisho kwa Wayunani na wazo hili liligwa na Warumi na hiyo ni kwa sababu
kile tunachokijua kama imani ya miungu wengi. Hii haikuwa ni zama kale sana. Na
wazo la kale lilikuwa ni kwamba Baba wa Wote ndiye aliyewaumba theoi au miungu
yote na kwamba kila taifa au mji au nchi vilikuwa vimepewa kiumbe wa namna ya roho. Hata hivyo hakukuwa na mgawanyo wa
wazi wa vitu. Viumbe hawa wangeweza pia kuwakilisha kundi la pamoja.
Viumbe hivi vya
kiroho au mapepo vilijulikana nao na kwa muonekano wa miti ambazo kwazo roho
hawa pamoja na chanzo cha nguvu na uwepo wao vilikuwepo. Hata hivyo wangweza kuwatenda
wanadamu wakiwa kama wa aina ya pepo.
Roho kama Kiumbe Mwingine Tofauti
Tupo sasa kwenye nafasi
ya kuelewa mfano na chanzo ambacho kiliwekwa wakati ilipoandikwa na kabla
kwamba wakati iliposimuliwa kama hadithi kwa vizazi vya watu wa kale, vyote
viwili, yaani vya kabla na baada ya gharika kuu. Kuna mifano mingi isiyohesabika
wala kuwa na idadi kuhusu mtazamo huu
kuhusu dhana ya uwepo wa umbo au kiumbe kisichoonekana aliye mbali na tofauti
na washitika waliokaribu kwenye maisha au uhai wa mtu aliyehai anayeonekana.
Waajemi waliita hii kuwa ni fravashi, wamisri waliita ka, Wayunani
waliita psyche (roho). Mgawanyiko wa Warumi kwa hili utatuonyesha jinsi
ilivyokuwa imeeleweka na kile kinachotokea kwenye kundi hili. Neno lililotumika
kuilezea roho iliyo ndani ya kila mtu ni genius ambalo kwa matumizi mengine ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa uelewa ambalo
ni neno tulilolichukua. Alama ya Wababeloni wa kale ya Genii ilikuwa
sanamu la kiumbe mwenye kichwa cha tai. Wataliano wa kale waliona kitu kingine
cha tofauti na huyu Genius wa zama
kale aliye mbali na mwanadamu mwenyewe na ambaye alijiona kuwa na uweza au
mamlaka ya kufanya propaganda za mchakato huu. Kitanda cha fungate la ndoa
kiliwekwa kwenye Atrium ya Jumba la kale la Warumi ilikuwa limetajwa kwa wazi
kuwa ni lectus genialis na tunaona kutoka nah ii wazo linalohusiana na ndoa
na muungano wa pamoja unaweka taswira kwenye kitabu cha Mwanzo. Ni kutokana na
dhana hii ndipo tunapata maneno yasemayo kumfanya
mtu awe mwenyeshauku ya kuwa na uwezo mkubwa wa kuelewa.
Matroni wa bweni
analitaja neno hili kuwa uweza wa kungu wake juno na baadae mungu mke anayeitwa Juno
ni mjumuisho tu wa ujumla na kumtukuza mungu mke juno aliyetengwa mbali na wanawake. Sasa tunakuja hadi kwenye wazo
la imani ya Utatu. Tuna Jupiter aliye kama alama ya kimwili wa mpangilio huu na
mungu na ni mume wa Genii. Juno ni muunganiko wa udhihirisho wa uweza wa miungu ya kike kwa watu. Dhana
hii ilishamiri na kuwepo na wao walikuwa bado wanaweza kujipatia mvuto mkubwa
kwao na kuwabashiria “bahati” kama zilivyokuwa (ERE, 4, p. 621).
Uhusiano uliokuwepo
na mafundisho ya kubadilika roho na kuendelea kuishi baada ya kufa unaweza
kuonekana hapa wakati ambapo viumbe hata hawakuweza kutoka na hatimayhe
wakaenda kuendelea kuishi na mwili.
Kipindi ambacho
kulitokea upuuzi wenye mashiko wa kumtukuza Genii kuwa ni mungu mkuu kati ya
miungu yote ambapo kwa kweli walikuwa ni genii hawahawa wenyewe na wawakilishi
wa miundo yote iliyoungana kwa pamoja. Hii ilikujakuwa ni ukengeufu mkubwa wa
imani ya miungu wengi uliokuwepo kwenye mfumo ule wa imani. Kwa kweli, imani ya
kwanza ya utatu ya Warumi nay a Waariani wote ilikuwa kama ni imani kubwa ya
dini ya urutubisho ambayo kwayo muungano wa Utatu ndiyo ulisimama kama ndiyo
bora na ni kama nembo ya mvuto wa pamoja wa joka na wa watu wawili wanandoa
waliokuwepo Edeni. Nyoka alionyeshwa kuwa ni kama alama ya wote wawili, genius
na juno.
Horace alimtangaza
genius kuwa ni mungu lakini alitangaza pia kuwa anaweza kufa pia (Waefeso II,
ii, 188 sawa na ERE 4, p. 621). Wayunani walimuona genius kupitia kwa tuche
lakini mara nyingi kwa daemon anaonekana vizuri sana kwenye nuru ya genius wa Warumi. Kwa hiyo
tunashughulika na mtazamo wa kawaida kwamba genius (au daemon) ni mungu ambaye
anayeweza kufa lakini ana ushawishi na mvuto kwenye maisha ya wanaume na wanawake
na anawakilishwa na mti.
Mmoja wa miungi
hawa alisababisha mafarakano kwenye ulimwengu wa kiroho na wa kimbinguni kwa
kutupa epo la mbinguni kama mtafaruku na kusababisha mafarakano kuwa ni chanzo
cha mivutano kati ya alama ya mwanaume na ya mwanamke za urutubisho wa pamoja
ambao ndio hakika ilivyotokea katika kuumbwa kwa Adamu na Hawa aliye mama wa
wote.
Jua, Mwezi na Nyota Kwenye Dini za Kale
Zeus wa Kiyunani ni
wasifa au sifa za kale zaidi ya Macho
Mapana ndiye mbebaji wa nuru ya siku, hivyo, ni mbeba nuru na mungu jua.
Kwa huyu Jupiter, kiheshima yuko sawa tu na Zeus. Uhusiano ambao dini ya
Waceltiki wanauendeleza sio ule tu wa mwaloni wa Duir kama Zeus/Jupiter, bali
pia wa miti mingine kwenye mambo yao matakatifu ikihusishwa na miungu ya Dini
za Siri akiwemo Apollo. Wadruids (kama
vile oak) walitumia pia picha za Wayunani kwenye ibada zao kwa wazi [soma
jarida la Msalaba: Chimbuko lake na Maana
Yake (Na. 39) (The Cross: Its Origin
and Significance (No. 39)].
Imani ya Kiceltiki ya Kuzaliwa Tena baada ya Kufa
Waceltiki
wanaonekana kuwa na makundi tisa ya imani yao waliotokana na washamas wa kale
waliounganishwa kwenye imani yao ya kiibada na imani ya mtu kuzaliwa tena na
tena baada ya kufa kwake.
Inaonekana kwamba
maelezo ya kazi za wanazuoni wa elimu kale na uchimbuzi wa mwaka 1978-79, iliyotolewa
na Jorg Biel na timu hii, ya Hochdorf Chieftain wa Baden Wurttemburg anaweza
kuwa alipuuzia. Kaburi lililokuwa ni eneo kamili la maziara halikuibiwa.
Hatimaye tunaweza kuhitimisha kutokana na kaburi hili kwamba haikuwa hivyo,
vinginevyo ingewekwa wazi kwetu.
Kaburi hili
lilikuwa na lundo kubwa la shaba ya Kitaliano iliyokaridiwa kwa kipimo cha
kukadiria nyakati kuwa ilikuwa ya mwaka 530 KK na seti tisa za bakuli za shaba
ziliyokuwa zinawahudumia watu tisa. Kulikuwepo pia pembe tisa za kunywea na
tisa nyingine kubwa zaidi ya zile nyingine. Hii inaonekana kuwa ni ushahidi au
ishara ya mawazo ya Kiyunani ya kongamano na jungu au sufuria kubwa la mvinyo
ambalo linaasiria tena kwamba dhana ya kufanya karamu au kongamano kipindi cha
baada ya maisha ilikuwa sawa na matarajio na mafundisho ya dini hii ya Selti ya
mtu kubadilika kwa kuhamishiwa kwenye mwili mwingine wa mahala pengine mtu
anapokufa.
Vitu vingine
vilivyoonekana kuzikiwa pamoja vilikuwa ni magari ya vita na kabati lake haviwezi
kuelezewa sana ila na tuseme tu kuwa vilikuwa kwenye hali nzuri kabisa na
havikuwa na asili ya kijeshi. Maelezo haya yanaweza kufanywa kwa kina zaidi.
Maelezo ya makongamano ya Kiyunani chukua hayakuwa mbali kutoka kwenye alama
bali ni mapokeo yasiyo na maana ya mwonekano wa kidini uliokuwa unaonyeshwa
hapa kaburini.
Kwenye jarida la Msalaba: Chimbuko lake na Maana Yake (Na. 39) (The Cross: Its Origin and Significance (No. 39)]. (toleo la 3 la CCG, 1994, 1997, uk. 10) mrejesho umefanywa kuhusu sanamu ya jua na maana ya alama hii kwa wa swastikas, triskele na mzunguko na misalaba iliyochorwa kwenye sanamu za shaba za mungu Dispater. Alama ya S inayoonekana kwenye sarafu. Tisa kati ya hizi alama za S huning’inia kwenye mduara uliobebwa na Mungu na gurudumu. Kamusi ya ERE (art. Celts, pp. 301-302) inasema
Maelezo mbalimbali ya rembo hii yamekuwa yakitolewa; linaloonekana kufanana sana ni ile inayotabua hii kuwa ni kifundo cha kushitukiza.
Sasa, hii ni sehemu tu ya maelezo; na inaonekana kuwa maelezo kuhusu mambo haya hadi leo yanautata mkubwa kueleweka.
Alama hii ya S ni ileile kabisa iliyotumika na inayoonekana kuwekwa kwenye viwango vya dini za siri maarufu kama mithiolojia inayoitaja alama hii kuwa ni ya joka. Joka huyu amehusishwa au kujumuishwa kwenye dini na imani za Siri na inakutikana kama hivyohivyo bila kukosewa kwenye milolongo tisa tunayoiona na Dispater. Mijumuisho tisa ya joka huyu inaweza kukutwa na majoka mengine tisa inayofanya ulinzi kwekye korido zalizo kwenye ufalme wa mungu Seker. Joka la kwanza, la tatu na la tisa wanaonyeshwa kumashiria ankh ambayo ilijumuishwa kwenye majina yao (soma kitabu cha Budge, The Book of the Dead (Kitabu cha Wafu), Arkana, London, xcv f. sawa na jarida la Cox la; Msalaba: Chimbuko lake na Maana Yake (Na. 39) (The Cross: Its Origin and Significance (No. 39)]. ibid., The Ankh Cross, (Msalaba wa Ankh) p. 6)
Kwa hiyo tunaona kuwa kinachotokea kwenye kile kinachojulikana kama Kongamano la Wayunani na maandalizi ya Sikukuu ya sehemu tisa kwa Waceltiki wa Hochdorf Chieftain.
Gurudumu la Dispater ni Gurusumu la Mzunguko wa kuzaliwa tena na tena baada ya kufa unaoaminika na kufundishwa kwenye imani na Dini ya Waceltiki. Imani dini hii ya umejikita kumuamini Apollo miongoni mwa Waceltiki wa Hyperborean wanaoishi huko Danube ilikuwa na Falsafa wenye maswali waliojiunda kuwa kama dini kwa mahala pa kwanza (sawa na Burnet, Early Greek Philosophy, 4th ed. Black, London, 1958, pp. 81 ff.).
Kile kinachotokea sasa ni kwamba joka wa tisa wa imani ya Wamisri nay ale majoka tisa ya Waceltiki wanashughulika na mchakato huu wa watu kuzaliwa tena na tena baada ya kufa kwa kutumia mfumo wa roho uliofanyizwa miongoni mwa Waunani wa kale. Dini hizi zilienea kutoka Thrace kwa umbo la Dionysian wa dini za siri. Dionysius alijumuishwa hapa na viwango vya ulevi. Kati ya wale wa Kirumi, kulikuwepo kiwango kama cha Bacchanalian kutoka Bacchus. Hii pia ni kama sheria za kidini za wa Orphiki na kadhalika. Ilikuwa ni Pythagoras aliyeichukua shule au mafundisho ya Delian hadi Italia (Burnet ibid.).
Majoka tisa au mapepo yalituliz katika hatua zote za kupanda hadi kwenye hatua ya tisa nay a mwisho. Hatua hii ya tisa ni mlango wa mwisho wa kuingilia kwenye kiti cha mungu na ndiye mtawala wa maisha na mchakato wa kuzaliwa tena na tena.
Imani ya ankh imebobea kwenye dhana hiihii kama ya alama ya Venus na inatokana tena kama umbo la Msalaba Ulioambatanishwa na Jua pamoja na msalaba uliochorwa tena chini ya duara.
Ankh-em-beu-mit ndiye njoka wa tisa kwenye imani ya Wamisri. Ni vigumu sana kuwa na utofauti inayofanya mwonekano sawa wa kiimani pamoja na mapokeo ya chimbuko moja linalojulikana la makuhani na kisha kupuuzia uwazi wa udogo ambazo zinaweza kuletwa kutoka kwenye aina ya imani au itikadi. Joka ni mwakilishi wa malaika kwa lugha ya kikale. Kiebrania ni mfano wa aina ya Kiceltiki, hususan P Brythonic, zimejumuishwa na lugha za Punic na Kiebrania.
Druids wanaotokana na Waceltiki walitokea kutoka Misri pamoja na wa Gadelians na walichukuliwa na wa Milesians huko Hispania au Iberia wakiwa ni wa Gadelians (soma kitabu cha MacGeohagen na Mitchell, cha History of Ireland (Historia ya Ireland); Sadlier, New York, 1868, p. 42). Wayunani walipowasiliana nao ambapo Graeci Vetustissimi wa kale. Kadiri Wayunani na Warumi walipokuwa na fikra za kimamboleo ndipo walishindwa kuendana na Waingereza (ibid.).
Haiwezi kuwa na mashiko kuhitimisha kwa kusema kuwa wa Hochdorf Chieftain wa zama kale kwa kweli walijiandaa kwa kuyaingiza mapokeo na kanuni za kidini kwa kupitia viwango au ngazi saba za mizunguko ya roho baada ya kufa. Kila hatua ililindwa na kiumbe wa kiroho aliyeonyeshwa kwa umbo la nyoka katika kila hatua. Kwa jinsi hiyohiyo, hatua saba za malango ya Hekkalot kwenye Imani-siri za Merkabah za dini ya Kiyahudi ya Kikabalistiki yalikuwa yanalindwa na malaika. Kumbuka neno la Kiebrania linalotaja Serafi linahusiana na neno linalomaanisha nyoja mkali ambaye ndiye mwenye kung’aa. Imani hii ilikuwa ya aina moja tu kutoka Misri hadi India na iliendelea hadi bara Asia lote na kwingineko.
Hatua ay daraja la tisa ilionyeshwa kwa ukubwa wa pembe tisa za kunywea na ukubwa unaoshabihiana na uweza wa mungu. Mtindo au aina ya tamasha ilikuwa ni ya namna moja na sheria au kanuni ya kushiriki ilivyo ya kifungu na kwa hiyo kimsingi ni wanaume husika tu waliruhusiwa (sawa na Smiths Dictionary of Greek and Roman Antiquities art Symposium, London 1851, pp. 1082 ff.).
Hitimisho kuhusu ukawaida haijafanywa bado na wanazuoni wa leo kwa kuwa kielelezo cha wataalamu wa elimuya mambo ya kale wa kisasa huko Ulaya hawajumuishi mtazamo huu wa kifaa au chombo na inahitaji nasaba ya kitamaduni ya kiuzawa ya Waceltiki ambayo inaendelea.
Kama tutakavyojionea hadithi zake kuwa ni
zilezile na zinaonyesha nyuma kwenye andiko hili la biblia kuhusu BustupelekaeAs
we will see the legends are the same andani ya Edeni. Imani za kidini za zama kale zinakuwa na dhana ama
chimbuko linalofanana.
Kufanana kwa Ibada
Jua, mwezi na
nyota za asubuhi na jioni zimeonyeshwa kwenye alama zinazoashiria uwepo wa
ibada za aina moja zilizozoeleka kati ya Waariyani walio kwenye makabila
yanayotokana na Wabaltiki na Wateutons hadi kwa Waajemi. Wote hawa wana dhana
inayofanana ya wingu lililounganishwa na nuru au mwanga. Hii inaenda nyuma hadi
kwenye mawazo ya kale zaidi ya kidini ambayo ni ya kawaida kwa Waaryani wote
kabla hawajachana mtawanyiko (soma ERE, The Aryan Religion(Dini ya Waryani),
2, p. 34 ff.)
Inaonekana kuwa
(kutkana na taarifa ya walio pande za Watenfons wa Maghaeibi) kulikuwa na mungu
mke wa zama kale ambaye pia wa Sunna, ambaye alikuwepo hatika Ujerumani ya
Zamani Sunnen-aband au maana yake asilia yalikuwa ni jioni kabla ya Jumapili
Kutokana na dhana
hii, moto unachukuliwa kama kitu kitakatifu kilichoshuka na kuja hapa dunianina
kwa moto uwakao na kwamba dini ya Vesta ya huko Roma ‘Estin huko Ugiriki
na Fistia huko Arcadian kama Meko au mama Meko wote wanahusiana kwenye
dhana kuhusu muundo huyu wa Waaryani wa kale. Imefungamanishwa kwenye mwaloni ikiwa
kama mti unaofanywa taswira ya mungu aliyetoa rutuba kwenye nchi nzima yote na
kwa mtu mmoja mmoja kupitia roho wanaotawala wanadamu au wanaume.
Miti mingine
inaashiria vitu vingine tofauti vya miungu, baadae vilijumuishwa kwa majina
tofauti (soma jarida la Chimbuko la
Krismas na Easter (Na. 235) [The
Origins of Christmas and Easter (No.
235)]. Hapo mwanzoni wote walijulikana kama wana wa Mungu.
Miungu hii imekuwa
hapo kale haikuwa na utofauti wowote wa majina zaidi sana ni kama ilvyokuwa
imani ya Jua, Mwezi, na Nyota ya alfajiri na dini au imani ya urutubisho
iliyoonekana. Ilikuwa ya pili kwamba Waaryani walianzisha majina na utambulisho
wa miungu hii na kuijuza kwa watu. Ndipo tunaona kwamba kwenye historia ya zama
kale ya Mwanzo ni mfano wenye tafsiri ya kiroho ya nyoka akiwa kama mwenye
Kung’ara na miti ya Edeni.
Kwa tendo hili
tunachukulia utofauti kati ya watakatifu na ufafanuzi wa epo la dhahabu la
nyakati za Warumi kama tulivyoona hapo juu.
Kitu au jambo la
mwisho kwenye habari hii ni Minerva, mungu mke aliyefanya juhudi na Jupiter na
Juno. Ni vivyohivyo imechukuliwa kutoka kwenye lugha ya zamani ya Wataliano na Schreader
anaichukulia hii kuwa ni lazima itakuwa ni ya zamani sana (ERE 4, p. 35). Jina
(Menese ova lina muundo wa Kiyunani la menos na menes os).
Inaonekana kuwa inahusiana na wazo mungu mke asilia wa alfajiti ambaye ni Teutonic
aliyekuwa akiitwa Ostara ambaye ndiye alikuwa ni mungu mke wa majira ya
baridi na anahusiana kama tulivyoona imani ya Ishtar wa Waashuru na Wababeloni (soma
jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235) [The Origins of Christmas
and Easter (No. 235)].
Hapa Minerva anashindana
na Venus akiwa kama Nyota ya Jioni na Alfajiri au mleta nuru kama Minerva na Lusifeli.
Kwa hiyo tumerudi
kwenye imani za kale zilizoelezewa kwenye kitabu cha Mwanzo na kueleweka lakini
zikapotoshwa na Waaryani na imani yote iliyo na msingi kwa anima au maroho,
ambaye amlishi kwa wanadamu na kuvutia mpangilio wa uumbaji. Waaryani
waliiazima imani hii kutoka kwa wa Semites na wa Sumerians kipindi cha mapema sana
Wahindi na Wairani (ERE, 4, p. 36). Hii ilipotosha maelezo ya ya imani miongoni
mwa Waashuru wa asili ya Kibabeloni kwa kuwa imani ya Uaminism na iliingia
kwenye imani ya dini zote za dunia kama Ushamanism miongoni mwa wahamahamaji na
waliendeleza sheria kwa hali ya juu ya imani-siri miongoni mwa watu walioketi.
Imani-siri
iliendeleza itikadi hii ya kupaaji juu kwa viumbe hawa kupitia mtazamo wa
makini.
Maelezo yak le
kinachotokea kwenye kitabu cha Mwanzo sura ya 3 iko mbali kutoka kwenye tafsiri
za kiroho za kipuuzi. Inaunda au kuweka msingi wa tafsiri wa imani za kidini za
ulimwengu na migawanyiko mikubwa kati ya Biblia na imani yote yenye msingi wa
dini za kipagani zilizofanyizwa na kuonyshwa na itikadi au dini zenye msingi wa
imani za Krismas na Easter na mfumo wote wa kisolsaiti.
Imani za kidini
zinaonesha hii tangu zamani. Stonehenge ilijengwa kwa kipindi cha zaidi ya
miaka 5,000 iliyopita hadi kwenye miaka 3,500 iliyopita. Stonehenge una vigezo
vyote za imani za majira ya kipupwe cha solisaiti. Upakaji wa majivu watu
unaashiria mioto mitakatifu. Mpangilio ni kwa ajili ya kushikilia majira ya
solisaiti. Lile jiwe la rangi ya udhurungi linaashiria jiwe la kuwashia mioto mitakatifu
wa mwaloni.
mpangilio wa nyakati ni kwa nyakati zote mbili, yaani kabla na baada ambayo
ilipelekea gharika kuu. Imani hii ya kuadhimisha vipindi vya solisaiti kwenye
dini za zamani za wateule.
Hii ni tofauti
kati ya imani za kale za Waashuru wa asili ya Kibabeloni na kwenye Biblia.
Tunaona hili kuwa limeondolewa pale ambapo Hermes na Apollo wanaendeleza pia
kwenye wazo au dhana iliyokutikana kwenye Biblia. Apollo maana yake ni "Yeye
mwenye kuzidi." Hermes maana yake "Yeye mwenye mawe" au Yeye
mwenye lundo la Mawe" (soma ERE, Aryan Religion (Dini ya Waaryani),
4, p. 36).
Cheo cha mawe kidogokidogo huja kuwakilisha
Wajumbe wa miungu na mlinzi wa wasafiri na kwa hiyo matulizo yamesimama
barabarani (sawa na jarida la Msalaba: Chimbuko lake na Maana yake (Na. 39)
[The Cross: Its Origin and Significance (No. 39)], kurasa za 12-15).
Yeye mwenye
chakuzidi au kondoo
aliyezidi kwa kuwa pia yeye aliye na zakari ya mnyama.
Tangu kipindi cha
zamani sana cha Apollo kilifungamanishwa na Phoibos au Mtanashati akiwa
ni kama mungu jua (ERE ibid.).
Mungu Jua Phoebus
alifungua zizi la mifugo asubuhi na kuwaswaga mifugo hawa malishoni. Mungu wa
mipaka wa miti na mbao kama Sylvanus anaonekana kuwa nsiye mweka mipaka kwa
mawe na tunaliendeleza mawazo haya kipindi kale zaidi kwa mwonekano nwingi
uliokabiliwa ambao hawakujulikana kuwa ni chanzo.
Tuliyonayo ni
mawazo kama hayohayo hapa yanayofanyiwa rejea kwenye Biblia na kupoteaa kwenye
uelewa kupitia kwenye dini za zama kale.
Phobos au Lusifeli
(Isaya 14:12), mleta Nuru alikuwa ni kerubi mwenye mbawa zinazofunika aliyetiwa
mafuta aliyetembea juu na chini kwenye mawe ya moto (Ezekieli 28:14).
Mjumbe wa elohim
alikuwa ni Memra au Malaika wa Yahova. Cheo cha Nyota ya Alfajiri na mleta Nuru
lililomlenga Shetani na pia limetumika kumuita Masihi. Matendo na kazi za
Masihi zilikuwa hazijaporwa na Shetani na akafanyika kuwa ni mwalimu wa wanadamu.
Kazi hii ya kufundisha ni kama tunavyoona kutoka kwenye Kitabu cha Henoko
uelewa wa kawaida unaojulikana wa Kiebrania cha zamani kuhusu anguko la Malaika.
Kile tunachoonekana
kukiona ni wazo lililojulikana sana zamani ambalo liliharibika kwa uzemba na
makosa ya kutafsiri yaliyofuatia baabae ya kile kinachotokea kwenye habari za
mataifa. Sio wajibu mdogo ulikuwa makosa ya theolojia ya kanisa ya wanateolojia
wa kanisa la kwanza wa karne ya nne na ya tano. Mungu aliyaweka maraifa kwa
kufuata idadi ya wana wa Mungu (soma Kumbukumbu la Torati 32:8 RSV, sawa pia na
tafsiri ya the LXX; 1 Clement na the DSS kwenye andiko hili). Aliwaweka
wanadamu chini ya viumbe hawa.
Israeli, waliwekwa
chini ya Yahova wakiwa kama milki yake (Kumbukumbu la Torati 32:9). Mataifa mengine yalikuwa chini ya
wanachama na washiriki na Malaika. Hi ndiyo maana andiko la Kumbukumbu la
Torati 32:8 lilibadilishwa na Marabi wa Kiyahudi baada ya kuanguka kwa hekalu
kwenye maandiko ya tafsiri ya Masoretic (sawa na jarida la Uwepo wa Yesu
Kristo Kabla ya Kuzaliwa Kwake Kimwili (Na. 243) [The Pre-Existence of Jesus
Christ (No. 243)].
Njia Mbili, Imani Mbili
Tunaona sasa
kwamba miti huwakilisha utaratibu wa imani na uzoefu. Mungu ameiweka imani
mahali pake ambayo kwayo mwanadamu anaweza kuanzisha imani pasipo kufa na
kutenda dhambi na kwa imani ile aweze kufikilia uijua kweli na uzima wa milele.
Hii ndiyo kwa
hakika ndivyo Malaika aliyoumwa kwayo. Viumbe wote ni matokeo ya uumbaji wa
Mungu Baba na walikuwa watiifu kwenye mapenzi yake kwa kumpokea au kujazwa Roho
Mtakatifu. Alikuwa ni yeye Eloa kama mmoja wa pekee na Mungu wa kweli ambaye
alikuwepo tangu mwanzo, kama vile Kristo na mitume na waandishi wa kanisa kama Irenaeus
alivyosema, hakuna kilichojipinga/coeval
chenyewe (sawa na Yohana 17:3; 1Yohana 5:20 nk na sawa na alivyosema Irenaeus kwenye
kitabu chake cha Against Heresies (Kupinga Mafundisho ya Uzushi) kama
alivyonukuliwa kwenye jarida la Teolojia ya Mwanzo ya Uungu (Na. 127) [The
Early Theology of the Godhead (No. 127)]. Kwa maneno mengine ni
kwamba, hawakuwahi kuwako miungu wawili wala watatu, hapo mwanzo bali kuna
Mungu mmoja tu.
Muundo ulitegemea
na ulifanya kazi kutegemeana na mapenzi ya Baba. Imani iliyoko duniani ilikuwa kwa ajili ya Adamu kumuweka mbadala
wa Malaika wa Yahova au Yahova elohim. Kiumbe huyu alikuwa ni Elohim na Yahova,
na Yakobo alishindana naye na kumshinda kama tunavyoona kwenye Hosea 12:3-5.
Yahova wa Majeshi ni ukumbusho wa huyu elohim. Kwa maneno meingine, analichukua
jina lake na mamlaka kutoka kwa Yahova wa Majeshi (sawa na jarida la Malaika
wa YHVH (Na. 24) [The Angel of YHVH (No. 24)].
Kwa hiyo, Adamu
aliwekwa chini ya Masihi aliyemzaa Yahova elohim mdogo. Shetani alijaribu kuwashawishi
wafuate imani nyingine na kuifuata na kuifanya njia yake. Kwa mtazamo huu ilikuwa pia jaribio la Azazeli
ambaye alikuwa ni Shetani. Shetani alinuia kuwapepeta wanadamu na kuwashitaki
mbele za Mungu. Kimsingi ukamilifu wa uumbwaji wa Adamu ni jambo la kujadiliwa.
Jaribu
Tunakuja sasa kwenye
suala la mujaribina na anguko. Je, ni kwelli kwamba Hawa alikula kipande hasa asilia
cha tunda? Je, ni kwa jinsi gani basi ulaji huu ulivyomfungua macho yake. Je,
hii imewahusuje Shetani na Adamu? Kwa hakka maswali yaliyoulizwa kwa karne
nyingi ni: je, hili lilikuwa ni tendo la ngono? Majibu yapo ya aina mbili.
Kibiblia, inategemea na kipindi kilivyokuwa.
Katika siku za
zamani hadi wakati wa Augustine wa Hippo (maandoko ya takriban mwaka 405 BK), jibu
lisilojulikana na tata lilikuwa ni ndiyo, uzinzi ulitendeka. Malaika walifanya
zinaa na wanawake. Biblia ina idadi kadhaa ya rejez za wazi zinazothibitisha
ukweli huo. Maandiko ya kale yasiyo ya kibiblia yanataarifa sawa na hizi, na
kama sivyo rejea au tafsiri na mawazo
haya hayajathibitika wala kukubalika na Waisraeli wa kale. Kwenye Antiquities yake
kuhusu Wayahudi (Kitbu cha 1, 3, 1), Josephus anasema kuwa ni malaika wale wale:
Walimfannya Mungu
kuwa adui yao, kwa kuwa malaika wengi walishirikiana na wanawake na wakazaa
wana walioishi masisha ya dhuluma na uovu.
William Whiston kwenye
maandiko ya ufafannzi ya chini ya ukurasa kwenye ayah ii anasema kuwa:
Dhana ya kwamba malaika
walioasi walikuwa na aina fulani ya maumbo au mwonekano wa kama mababa wa
majitu wa kale ni mawazo ya kilamara yaliishia (soma kitabu cha Complete
Works Kregel, 1981, uk. 28).
Wazo hili
halikuwa ni la kwamba laini nyingine zimefantika hivyo kama hii ilivyoingizwa
kirahisi kwenye Agano Jipya kwenye waraka ulioandikwa na Paulo kwa Wakorintho
hapa akisema hivyo:
1Wakorintho 11:9-10 Wala
mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya
mwanamume. 10 Kwa hiyo imempasa mwanamke awe na dalili
ya kumilikiwa kichwani, kwa ajili ya malaika.
Tunayo pia
kwennye waraka wa Yuda ndugu wa Bwana wetu Yesu Kristo ambako hili lilikuwa
limetazamwa pia.
Yuda 6-7 Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakayaacha makao yao
yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya
siku ile kuu. 7 Kama vile Sodoma na Gomora na miji
iliyokuwa kando-kando, waliofuata uasherati kwa jinsi moja na hawa, wakaenda
kufuata mambo ya mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa dalili, wakiadhibiwa
katika moto wa milele.
Tafsiri ya KJV imasema
kuwa ni uzinzi (SGD 1608 ekporneusasai kutoka kwenye neno ekporneuo
kuwa kwenye kuondolewa kabisa ubikira) zaidi ya kuwa tu ni tamaa ya ngono isiyo
ya kawaida kiasilia na hili lilikuwa ndilo wazo la maandiko mengine pia kama
ilivyo kwenye Kitabu cha Henoko.
Kwa hiyo, mtazamo
wa andiko hili unatokana na dhana nzima ya uumbaji wa mwanamke na uweli wa
kwamba wanawake waliingiliana kingono na malaika.
Hili lilikuwa ni
wazo la kizamani lililopitwa na wakati na ni muono wa kinachoelezewa kwenye
Mwanzo 6:4 wakati walipowazaa watoto na uzao wa majitu hawakukusudiwa kuwepo
kwenye ufufuo wa wafu (soma jarida la Wanefili (Na. 154) na pia
linguine la Ufufuo wa Wafu (Na. 142) [The Resurrection of the Dead (No.
143)]. Hawa walijulikana kama Warefai
na hawakuwa na ufufuko (sawa na Isaya 26:13). Hawa walikuwa mabwana wengine
waliowatawala wanadamu.
Isaya 26:13-14 Ee Bwana, Mungu wetu, mabwana wengine
zaidi ya wewe wametumiliki; lakini kwa msaada wako peke yako tutalitaja jina
lako. Wao wamekufa, hawataishi; wamekwisha kufariki, hawatafufuka; kwa sababu
hiyo umewajilia, na kuwaangamiza, na kuupoteza ukumbusho wao.. (KJV) Neno miungu mingine kwenye SHD 113 ‘adon
au mwenyezi au mtawala kama mwanadamu au wa mbinguni lakini ni
kwa neno hili ambalo limetukika kwenye Mwanzo 19:2 na Kumbukumbu la Torati
10:17.
Kwa kifupi sana
kutoka kwnye andiko hili tunaona kwamba baadhi ya njia za kujikinga na utendaji
wa ngono ulikuwepo kati ya Hawa na Shetani.
Mtazamo wa imani
nyingine za dini za kale kutoka gharika kuu inaliunga mkono wazo hili kwa
ukweli unaotokana na mfano wake/ imani ya utatu au Utrinitariani kama
ilivyokuwa imeeleweka hapo kale ilikuwa na alama ya Juan a Mwezi na Nyota ya
Alfajiri zikiungana pamoja kwenye kazi ya urutubisho. Mara mbili ya jambo hili
ya imani ya Wababeloni na Ishtar (tunaweza kujinea kwa kina kwenye jarida la Ndama
wa Dhahabu (Na. 222) [The Golden Calf (No. 222)] inahusiana na
Mbingu na Nchi. Kwa hiyo, huyu anima (ambaye anaweza tu kuwa ni roho
mchafu au wa uwongo) huwaingi wanadamu kwa hila na ujanja wa kazi au harakati
za Shetani akiwa kama Nyota ya Alfajiri kwenye matamasha kwa mwonekano wa mwili
wa mwanamume au mwanamke.
Kwa hiyo alama
yote imeharibiwa kutokana na Jua la Haki na Mwezi, Kanisa na Roho Mtakatifu
anayetenda kazi kwenye shughuli na hamasa za tamasha kwa viumbe watatu tofauti
kutoka kwa wateule kanisani.
Augustine wa Hippo
Dhana au fikra ya
pili iliundishwa na Augustine wa Hippo mwanzoni mwa karne ya tano. Alilichukulia
lile wazo la kwamba Sethi alikuwa ni ni aliyetoka kwenye mnyororowa uzao wa
Adamu na kwamba Kaini alioana na wanawake waliokwa wa uzao wa malaika walioasi
na hivyo kwamba uzao wake haukuwa safi kwenye mnyororo wa wazaliwa wake kama
ilivyokuwa kwa Nuhu ambaye alikuwa safi na mkamilifu na uzao wake wote (Mwanzo
6:9) (sawa na kitabu cha The Genesis Apochryphon, DSS, cf. Vermes, The
Dead Sea scrolls in English, 2nd. ed., Pelican 1975, pp. 215 ff.).
Augustine, kwenye
kazi yake ya uandishi kitabu kinachoitwa Mji wa Mungu (Bk. XV, XXIII, NPNF
1st. series, vol. 2, pp. 303 ff.) alitangaza kuwa malaika hawakushiriki matendo
ya ngono na wanawake wanadamu na kwamba wana wa Mungu walikuwa ni wale
waliotoka kwenye laini kamilifu kuanzia Sethi na wana wa wanadamu walikuwa ni
uzao wa Kaini na majitu ambao waliangamizwa hatimaye, walikuwa ni wa uzao wa
Kaini.
Sasa basi, hii
hali halisi inayoonekana kuwa ni jema na yenye mashiko kidogo ilikubalika na
kila mtu ambaye hakuweza kufikiria kwa kina kuhusu kweli ya Biblia kuwa ni
maandiko ekee yaliyovuviwa. Ililipa Kanisa la Kikisto lifanye kazi chini ya
mwavuli wa dola ni jibu la wazi na lisilo na utata ambalo lingeweza kukithi
haja ya udadisi na kutoweza kuacha swali lolote likining’inia. Kwa hiyo,
inafikiliza malengo ya wazee wa kanisa wasio na habari hadi kilipofika kipindi
cha mavumbuzi wa kisayansi ya zama za mapinduzi ya viwanda huko Ulaya.
Watu walivunja
kwa uhuru kanisa lisilokuwa na uelewa na walianza kuchimba mambo yaliyopita na
kwa hiyo waliikuta dunia ilikuwa imezeeka na kulikuwa na wanyama wengine walio
na umri mrefu zaidi mwanadamu na kulikuwa na aina nyingine za wanadamu
waliokuwa wa kale zaidi ambazo hazikuwa na kitu cha kutendea kitu chochote. Kwa
hiyo, hadithi yote ya Augustine ilianza kuanguka.
Kwa mpangilio
mbinu vya kutosha iliondolewa mapema sana ndani ya kanisa hilohilo ambalo
liliendeleza hili hadi kuitwa Kanisa la Kikatoliki. Tawi la Warumi ya hilo
lilikubaliana hivi karibuni na dhana ya elimu ya mageuzi ya maumvile ya viumbe
au evolusheni badala ya kukubaliana na ukweli wa wazi ulio kwenye Biblia.
Watetezi wakubwa
wa dhana ya uzazi ya Augustine ni kile tutakachokiita ambapo ni kwa ukweli dini
za watu wenye imani kali ya kidini waliolipinga Kanisa Katoliki la Roma bado
walikuwa ni sawa kama kwenye shirika. Mtazamo huu ulifanya kuwa ni vigumu sana
kueleweka na kufanya tafsiri ya kiroho au maana yaliyo kwenye maandiko ya
kitabu cha Mwanzo.
Bila shaka kwamba
malaika hawa waasi wanachukuliwa na kuelezewa kwenye Biblia kuwa walifanya
matendo ya zinaa na wanawake wa wanadamu. Basi na hata kama itakuwa kwamba kwenye
mfano wa kwanza wa hii ulihusisha matendo ya ngono au la, hatuwezi kusema.
Inaonekana kuwepo na namna ya uelewa kwamba kulikuwepo walioshiriki na matendo
ya wanawake wakifanya tendo la kujaamiiana na joka au Nachash, na kwamba tendo
hili walimsababishia kufukuzwa na kutupwa hapa chini duniani na kutembea kwa
tumbo badala ya kusimama kama tunavyoona kwa yale yaliyomtokea alipokuwa
akiadhibiwa.
Iwe ni kwamba
tendo hili la kwanza lilihusisha kutendaji wa ngono au la, bali hakika ni
kwamba ilipelekea kwenye tendo hilo kwene uzazo wa mwanamke. Kukataa ukweli huu
ni sawa na kukataa kwa wazi maneno yaliyoandikwa kwenye maandiko ya Biblia.
Ndoa
Tukio la ndoa na
kizazi ni lengo lililo wazi kwenye Mwanzo 1:28. Adamu alipewa mwanamke ili awe
ni msaidizi wake na waliungana kama mwili mmoja na waliambiwa waijaze nchi. Hii
ni amri moja kama aliyopewa Nuhu baada ya gharika kuu.
Kwa hiyo mtazamo
ulikuwa ni mmoja ambao ni kuanzisha mahusiano ya kmwili ya kingono kati yao na
hawakuona haya. Hata hivyo, tunaona baadae kwamba wakati Adamu na Hawa
walipotenda dhambi walianza kuona aibu na wakajitengenezea majani na kujifunika
ili kuficha tupu zao. Tendo la kwanza halikuhusisha hali hii ya kuona haya bali
tendo la pili ni wazi kabisa lilipelekea wao kuona haya na walishurutishwa na
Shetani kufanya tendo hiji.
Mungu alimpa
Adamu maelekezo ya wazi ili kumtii yeye na kutokula tunda hili. Mwanamke huyu
alimuasi mume wake ambaye ni elohim wake kwa kushirikiana na kiumbe mwingine. Adamu
alikuwa na wajibu kwa mke wake hapa wa kumuongoza na na kuwa hodari lakini
hakuwa hivyo. Alimruhusu kutenda dhambi na akawa ni mtu asiye mtakatifu tena
mbele za Mungu.
Kwa namna
hiyohiyo, Adamu wa pili anawajibu mkubwa kwa bibi arusi wake ambaye ni kanisa
na anawajibika kwa kulisafisha ili liwe halina doa mbele za Mungu. Kwa ajili
hii, uhusiano wa kindoa uliwekwa hata kabla ya kipindi cha anguko lao na ni
tendo takatifu.
Gharika Kuu
Lengo la ibilisi
lilikuwa ni kuingilia kati na kuuharibu mpango wa Mungu na mbinu yake hiyo ililenga
kuharibu kusudi zima la mpango wa uumbaji na kusababisha gharika kuu. Aliingia
mchakato wa uumbaji kwa kiasi cha kufanya kwamba wakati ule wa gharika kuu walikuwa
hawafai kabisa tena kiasi cha kuwa walistahili kuangamia tu na kuwaacha wale
waliokuwa wanastahili kwa ukamilifu wao wa kizazi kilichosalia hai.
Kwa hiyo mchakato
wa uasi huu ulirithishwa kwa kutumia tendo la ngono kuwa silaha kuu kama
ilivyofanyika kuharibu uzao nasaba na hali yake kwenye uumbaji. Hii inaonekana
kuwa imesimamishwa. Lakini matatizo ya kinasaba yaliendelea kwa kupunguza
kiwango cha uumbaji.
Utawala
Kile ambacho
hakijaongelewa kwenye jambo hili ni kwamba utawala wa sayari yetu ulihetani
ambaye ni Nyota ya Alfajiri au Mleta Nuru. Utawala wa dunia hii hakupewa Yesu Kristo.
Kwa hiyo utaratibu ambao Mungu aliuweka hata mapema kabla ya anguko la malaika
kutokea ulikuwa ni kumpa Shetani nguvu na mamlaka haya ya kiutawala.
Kwa hiyo, dhambi
ya Asili ilipata nguvu ya haraka katika kuondoa uumbaji wa mwanadamu kutoka
kwenye Bustani ya Edeni na uhusiano wake na Mungu.
Pale Bustanini, Ruach
wa Mungu aliondolewa na Adamu na Hawa walipewa fusra ya kumrudia Mungu.
Mwanzo 3:8-12 Kisha wakasikia sauti ya Bwana Mungu, (Yahova
elohim) akitembea bustanini wakati wa jua kupunga; Adamu na mkewe wakajificha
kati ya miti ya bustani, Bwana Mungu asiwaone. 9 Bwana
Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi? 10 Akasema,
Nalisikia sauti yako bustanini, nikaogopa kwa kuwa mimi ni uchi; nikajificha. 11 Akasema, Ni nani aliyekuambia ya kuwa u uchi? Je! Umekula
wewe matunda ya mti niliyokuagiza usiyale? 12 Adamu
akasema, Huyo mwanamke uliyenipa awe pamoja nami ndiye aliyenipa matunda ya mti
huo, nikala.
Hapa inasema
kwamba walijiondoa wenyewe mbali na Roho Mtakatifu au Ruach wa Mungu. Waliisikia
sauti ya Yahova elohim. Hii ilikuwa ni mpumuo
(SHD 7307) wa Bustani au utulivu au mvumo wa hewa ya siku ambayo ni Ruach.
Walikuwa
wametenda dhambi na wakajificha wasionnekane na Mungu katikati ya miti
iliyokuwepo Bustanini. Swali la kwanza kuwahi kuulizwa kwenye Agano la Kale ni
hili la Mungu kuwauliza wenye dhambi waliojificha (Mwanzo 3:9). Yahova elohim anawaambia
Adamu na Hawa "Muko wapi?"
Hii ni kinyume
kabisa na swali la kwanza la kwenye Agano Jipya lililo kwenye Mathayo 2:2 la
mdhambi aliyesema: ‘uko wapi?’
Mathayo 2:2 Yuko
wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake
mashariki, nasi tumekuja kumsujudia.
Hapa tunawaona
Mamajusi au wenye hekima waliokuwa wanamtafuta Mwana wa Mungu na ukombozi
walioupoteza wakati Adamu alipotenda dhambi. Kwa hiyo kiumbe alioyewatafuta wao
pale Bustanini aliwatafuta kwa hekima alipokuja kuwakomboa. Hekima hii
yaitokani na wanadamu bali na Mbingu.
Adamu aliisikia
sauti na akajificha kwa kuwa alikuwa yu uchi. Ujuzi huu hakuwanao hapo kabla
bali ujuzi huu ulitokana na hali yake mpya ya kujua mema na mabaya. Malumbano
yaliyokuwepo ni kwamba ule ulikuwa ni ujuzi wa mema kuwa ilikuwa ni njia ya
Mungu, sio sahihi ama kweli.
Zaidi ya yote,
tunajua kwamba kiumbe Yule alikuwa ni Malaika wa Yahova au Yahova Elohim, kwa
kuwa tunajua kuwa hakuna mtu aliyewahi kumuona Mungu wala kuisikia sauti yake
wala kwenye ushuhuda wa kiumbe huyu kama alivyokuwa Yesu Kristo (Yohana 5:37).
Yohana 5:37 Naye
Baba aliyenipeleka amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wo wote, wala
sura yake hamkuiona.
Kwa hiyo huyu
Yahova elohim kwenye ushuhuda wa Yesu Kristo (na mitume) hakuwa ni Mungu wa
Pekee na wa Kweli.
Tunaone kwa kina
sana kwamba kile alichokisema Shetani kwa kweli kilikuwa cha kweli na kwamba
ujuzi wa mema na mabaya, ulikuwa wa muhimu kwa hadhi ya mtu ambaye ni elohim.
Anasemaje Yahova
elohim kuwaambia wengine.
Mwanzo 3:21-24 21 Bwana Mungu akawafanyia Adamu na mkewe mavazi ya ngozi,
akawavika. 22 Bwana Mungu akasema, Basi, huyu mtu
amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema na mabaya; na sasa asije akanyosha
mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima, akala, akaishi milele; 23 kwa hiyo Bwana Mungu akamtoa katika bustani ya Edeni,
ailime ardhi ambayo katika hiyo alitwaliwa. 24 Basi
akamfukuza huyo mtu, akaweka Makerubi, upande wa mashariki wa bustani ya Edeni,
na upanga wa moto uliogeuka huko na huko, kuilinda njia ya mti wa uzima.
Viumbe hawa wote
walikuwa na ujuzi wa mema na mabaya. Na Yahova Elohim anasema, Basi, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu, kwa
kujua mema na mabaya; na sasa asije akanyosha mkono wake akatwaa matunda ya mti
wa uzima, akala, akaishi milele ilikuwa ni lazima aadhibiwe kwa kuondolewe
kutoka bustanini
Kwa jinsi
hiyohiyo mapepo pia walikatazwa wasiingie kwenye mti wa uzima kwa msingi
endelevu. Kwa maana hii hawakuwa tena (wenye kutokufa) kwa maana ya kuwa na
uzima ujulikanao kama aionion, bali waliwekewa nakati na mahali kama tunavyoona
kwenye maandiko haya ya na kwenye Injili za Agano Jipya kwa ujumla. Kwa hiyo
ujuzi wa mema na mabaya uliokuwepo kwenye mti wa uzima iliwafanya wawe kama elohim.
Shetani alikuwa sahihi
kwa alichokisema kumwambia Hawa. Yeye kama Kerubi mwenye Mbawa Afunikaye alijua
jambo hili na kwamba ndvyo alivyo Yahova elohim au kamanda aliyepewa mamlaka
aliyetawala kwa jina la Yahova wa Majeshi jambo ambalo ndvyo alivyokuwa.
Kwa hiyo ni
upuuzi kudai kwamba mti mmoja ndiyo ulitakiwa kuwapelekea kufa. Mti ulikuwa
umekatazwa kwa kuwa Mungu alikuwa ana mpango wake, ambao ungewawezesha wanadamu
kuendelea mbele kwenye kiwango kama cha elohim kwenye mpangilio ulio wa tofauti
na ule ambao tunaoujua leo.
Kwa kulileta
kwake hili Shetani kisha akapewa wajibu wa kuwatawala viumbe hadi mwisho na kwa
hilo atahumumiwa. Jinsi aangvyoamua kufanyanyia
na kuwatesa wanadamu inaamua jinsi yeye mwenye na Masihi wangalivyoweza
kuwatendea wanadamu.
Kupuuzia Lawama
Kuna malumbano au
mabishano makubwa hapa kwenye Maamuzi. Iwapo kama Mungu alijua na akawawaweka
viumbe wote wawili hapa ili wawatawale viumbe na huku akijua kuwa Shetai
angeingilia kati na kuharibu na anawajibika kwa matukio haya. Kwakuwa yeye
anauweza wa kujua kila jambo, basi lazima angelijua hili, vingevyo Masihi basi hangekuwa
mwanakondoo wa aliyeuawa hata kabla ya kuwekwa kwa misingi ya dunia.
Basi huenda Mungu
hakumpa maelekezo sawasawa Yahova elohim au engine alipenda kuwaruhusu viumbe
hawa wawili waamue kwa njia ya matendo yao wenyewe, siri ya mpango wa wokovu
kwenye kipindi chote cha majaribu. Kwa kutokuingilia, Mungu pia angewapa
Malaika wajibu wao kwa kila kiwango.
Kristo akiwa kama
Yahova elohim anafanya kazi chini ya mamlaka nay eye hana ule uweza wa kujua
kila jambo kama tunavyoona kwenye maandiko mengine yanayofuatia, ni lazima iwe
kwamba ama hakuambiwa au alikuwepo wakati wa anguko bila yeye kushiriki kuasi.
Kwa namna
nyingine, uhamishaji wa madaraka uliathirika kutoka kwa Yahova elohim hadi kwa Nachash
aliyefukuzwa na kutupwa duniani. Huhu Nachash akiwa kama Nyota ya Asubuhi, bado
anaruhusiwa kuingia kwenye kiti cha enzi cha Mungu kwa wakati wowote anaotaka
kama tunavyoona kwenye Ayubu 1:6; 2:1.
Kwa hiyo, dunia
ililaaniwa kwa sababu ya uasi wa Adamu na Hawa. Hili ndilo wazo zima lililo
kwenye Kumbukumbu la Torati 32:8. Torati ambayo ina umuhimu wahe na laana
zilikuja kuchukua mkondo wake.
Kama Yahova
elohim hakuchukua hatua ya kuwalinda, analawama kwa namna ileile kama wazazi wanavyoweza
kulaumiwa wanaposhindwa kuwalinda watoto wao kutoka kwenye hatari zinazoweza
kusababisha kifo.
Utaratibu wote
mzima unaonekana kama imewekwa na Mungu ili kujaribu elohim kwanza na heatimaye
kuweza kuwapa wao utaratibu na fursa ili kuwafanya wawatawale viumbe hadi
kufikia mwisho.
Roho hizi hapa ni
za aina mbili. Ya kwanza ni ile ya utii nay a pili ni ile inayotamani kuwa
kando na mapenzi ya Mungu. Mirengo hii haiepukiki kwa jinsi ilivyo hapa. Na
inajumuisha umuhimu wa kuhadhari kwa masharti yao kwa kuhusiana na elohim
visivyo na shaka.
Kwa hiyo hatuzizungumzii
juu ya tahadhari ya kuwa tupu kwao na kujiona hivyo wote wawili. Bali
tunaongelea juu ya tahadhari ya utupu wa kila mmoja wao mbele za elohim ambayo ndiyomatokeo
ya ujuzi walioupata baada ya kulila lile tunda.
Kwamba kama Mungu
Baba alilijua hili kuwa litatokea, ni hakika kabisa. Ushiriki wa Kristo kama
Yahova elohim kwa hili hakuasirii uweza wa kujua kila jambo wa kiwango sawa na
ule wa Yahova wa Majeshi.
Mpango wa Mungu
ndio ulitakiwa zaidi ya kiumbe mwingine yeyote pamoja ya Kristo alijua. Na
ndiyo maana hata Kristo mwenyewe alijaribiwa utii na imani yake ambayo kwayo
uweza wa kujua kila jambo unakuwa wa muhimu mbali na imani. Kwa kuwa hapo ndipo
hasa ujuzi ulipo, wakati imani inapokuwa si ya muhimu.
Kuondoa hilo
kwenye malumbano haya mara nyingi kunachukuliwa kuwa ni kuuchukulia au kumuona
Mungu kuwa ni Mmoja aliye ndani ya migawanyo mingine ya viumbe wawili. Mfano
mmojawapo wa mtazamo huu ni usemi au fundisho la kanisa la Worldwide Church of
God kwenye kijitabu chao. Kwa kuanza: Kuyajibu Maswali yaliyo kwenye kitabu cha
Mwanzo (WCG 1980, p. 2.)
Kumbuka inavyosema Yohana
1:1: Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno
alikuwa Mungu." Hilini
ni rekodi ya zama za kabla ya historia. Inaweza kuwa ni kipindi cha zaidi ya
mamilioni au maelfu milioni ya miaka iliyopita. Viumbe wawili waishio milele
kama Roho ziishizo Zilijiunga pamoja na kuwa MMOJA kwenye anga tupu. Kulikuwa
hakuna ulimwengu wenye kuonekana BADO.
Makala inaendelea
kumwelezea Mungu kwa namna ya umoja
Lakini kama wengi
wanavyodhania, na ilivyofanyika na kupangwa hapo kabla ya kufanya kama
alivyofanya Mungu aliweka mpangilio na akapanga kuwaumba malaika wakiwa ni roho
zisizo-kufa na akafanyiza roho wote walioko. Mungu aliwaumba malaika kabla
hajaiumba dunia. Tunajua kuwa walikuwa wameumbwa mapema hapa duniani kwa kuwa
waliimba pamoja na kupiga makelele kwa furaha wakati dunia ilipoumbwa (Ayubu
38:4-7.) (msisitizo umefanywa).
Hii ni wazi
kabisa kuwa teolojia ya kipagani. Inatokana moja kwa moja na imani za kumuabudu
mungu Attis ambayo kutoka kwayo imani ya Kimodalism ya Warumi ndimo ilimotokea.
Na jambo hili limefafanuliwa kwenye jarida la Chimbuko la Krismas na Easter
(Na. 235) [The Origins of Christmas and Easter (No. 235)]. Kwenye
imani ile Mungu alikuwa ni muungano wa vitu viwili vinavyoishi kama Baba na
Mwana. Hatimaye imani hii iliendelezwa hadi kwenye kiwango cha Utrinitariani
kwa kumuongeza Roho Mtakatifu kwenye Baraza la Mtaguso wa Constantinople mwaka 381.
Imani hii ya kuamini miungu wawili maarufu Ubinitariani ulojaribu kuweka
tofauti ya vitu viwili iliendelezwa kutoka Mtaguso wa Nikea mwaka 325 BK.
Imani hii hata
hivyo ni ya kipagani na inapingana na Maandiko Matakatifu na ni chanzo cha
kuingia kwa imani ya utatu kwenye makanisa ya Mungu. Hii inaanzisha utendaji
kazi wake tangu hapa kwenye zama za Mwanzo.
Hebu tazama
maelezo yake kidogo hapa kwenye Mwanzo, Yahova elohim aliwambia Adamu na Hawa.
Yahova elohim alinena kwa mwonekano wa uwingi kwa elohim akasema, Basi,
huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu. Kuna viumbe wengi, Shetani kama Nyota ya Asubuhi
na wale waliotajwa kwenye Ayubu 38:4-7. Masihi pia ni Nyuta ya Asubuhi.
Kulikuwa na
elohim watatu waliokuwa viumbe waliojtatwa kama malaika na pia Yahova, ambalo
ni jina la elohim aliyenena na Ibwahimu na Lutu kama tulivyoona hapo juu.
Kristo alisema
hakuna mtu aliyewahi kumuona Mungu au aliyewahi kisikia sauti yake. Lakini
Adamu na Hawa waliongea na Yahova elohim uso kwa uso kama alivyofanya Musa,
Yakobo alishindananaye mweleka. Kwa ukweli, Yahova elohim sio Baba, Mungu wa
Pekee na wa Kweli. Kristo alimuongelea kwenye Yohana 5:37. Zaidi ya yote kuna
takriban viumbe watatu kwenye Agano la Kale wanaobeba jina la Yahova, lakini
hakuna hata mmoja walio aliye Mungu Baba yetu na watatu hawa wote wanajulikana
kama malaika.
Kwa hiyo,
utofauti usio sahihi kama ulivyofanywa na hawa Wabinitariani. Hatimaye watu
haohao waliandika kuwa Mungu na Kristo kama viumbe hawa wawili walivyo
walijadiliana na kuamua Yule ambaye atakuja hapa chini na kutolewa sadaka. Dhana
hii ni upotofu na imeingizwa kutoka Uditheism na Ubinitarianism iliyoingizwa na
kukubalika tu pasipo kuyajua au kutimia maanani maneno aliyoyasema Masihi
mwenyewe.
Mungu, Aliye Juu
Sana hakuwepo hapa kwenye bustani ya Edeni, ila ni kwa kupitia Roho Mtakatifu
tu. Viumbe wawili waliokuwa kwenye nafasi ya uongozi au mamlaka na utawala
walinikuwa ni viumbe wawili wakubwa kicheo hapa.
Waliweka
utaratibu hapa kwa ajili ya awamu inayofuatia. Viumbe hawa wawili hapa ni Yahova
elohim ni kiumbe Yule Yule anayetajwa kwenye Hosea 12:3-4.
Kwa hiyo, mpango
uliwekwa kwa ajili ya kuwajaribu elohim hawa katika kuitawala dunia. Waliasi na
walikuwa wanakwenda kushitakiwa sawasawa na makosa ya uasi wao.
Utaratibu ambao
Shetani aliupinga uliwekwa mahali na alifanywa kuwa ni kamanda wake. Taifa la
Israeli hata hivyo liliiondoka utumwani na kuwekwa chini ya Yahova elohim ili
liweze kuuleta ulimwengu wote kwenye wokovu kwa kupitia mnyororo na utaratibu
au imani ingaliyoweza kutengwa mbali chini ya Sheria za Mungu kwa hiyo,
utaratibu wote ulikuwepo tangu mwanzo.
q