Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[246]

 

 

 

 

Fundisho la Asili ya Dhambi Sehemu I Bustani ya Edeni

(Toleo La 1.0 19980422-19980422) Audio

Jarida hili linakusudia kujibu swali kuhusu Bustani ya Edeni, anguko la Adamu na Hawa na fundisho kuhusu hanzo cha Dhambi.

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

(Hati Miliki © 1998 Wade Cox)

 (Tr. 2014)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


Fundisho Kuhusu Asili ya Dhambi Sehemu ya I


 


Bustani yaEdeni

Mwanzo 1:1-2 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. 2 Nayo nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya Mungu ikatulia juu ya uso wa maji.

 

Hapa tunaona mwanzo wa uumbaji wa Mbingu na Nchi. Hii ndiyo Dunia ambayo ndiyo iliumbwa na kuwepo (2Petro 3:5-6) ambayo kwamba viumbe wote na vingine vyote vilivyosalia vikawa Tohu na Bohu au visivyo na umbo na tupu. Viliharibiwa tena katika siku za Nuhu kwa gharika kuu. Kulikuwa hakuna kitu pale kwa namna nyingine (sawa na inavyosema aya ya 1 na 2 ya the Companion Bible).
 
Mbingu na nchi viliumbwa na elohim aliyesema na tumfanye mtu kwa sura na mfano wetu na kwa wote yaani mwanaume na mwanamke waliumbwa kwa sura na mfano wa elohim. Waliamriwa wakazae na kuongezeka na kuijaza nchi (Mwanzo 1:28; sawa na Zaburi 8 na Waebrania 2:6-8).

 

Tunaona kwenye Sura ya 2:1 nk, kwamba harakati au matendo ya vizazi vya mbinguni na duniani zinazoonekana kwa wingi kwenye sura ya 2 na kuumbwa kwa Adamu na Hawa.

 

Mwanzo 2:1-17 Basi mbingu na nchi zikamalizika, na jeshi lake lote. 2 Na siku ya saba Mungu alimaliza kazi yake yote aliyoifanya; akastarehe siku ya saba, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoifanya. 3 Mungu akaibarikia siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alistarehe, akaacha kufanya kazi yake yote aliyoiumba na kuifanya. 4 Hivyo ndivyo vizazi vya mbingu na nchi zilipoumbwa. Siku ile Bwana Mungu alipoziumba mbingu na nchi 5 hapakuwa na mche wa kondeni bado, wala mboga ya kondeni haijachipuka bado, kwa maana Bwana Mungu hajainyeshea nchi mvua, wala hapana mtu wa kuilima ardhi; 6 ukungu ukapanda katika nchi, ukatia maji juu ya uso wote wa ardhi. 7 Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai. 8 Bwana Mungu akapanda bustani upande wa mashariki wa Edeni, akamweka ndani yake huyo mtu aliyemfanya. 9 Bwana Mungu akachipusha katika ardhi kila mti unaotamanika kwa macho na kufaa kwa kuliwa; na mti wa uzima katikati ya bustani, na mti wa ujuzi wa mema na mabaya. 10 Ukatoka mto katika Edeni wa kuitilia bustani maji, na kutokea hapo ukagawanyika kuwa vichwa vinne. 11 Jina la wa kwanza ni Pishoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Havila, ambako kuna dhahabu; 12 na dhahabu ya nchi ile ni njema; huko kuna bedola, na vito shoham. 13 Na jina la mto wa pili ni Gihoni; ndio unaozunguka nchi yote ya Kushi. 14 Na jina la mto wa tatu ni Hidekeli; ndio unaopita mbele ya Ashuru. Na mto wa nne ni Frati. 15 Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Edeni, ailime na kuitunza. 16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu, akisema, Matunda ya kila mti wa bustani waweza kula, 17 walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.

 

Kutokana na hii tunaona kuwa jiografia haikuwa sawa nah ii tuliyonayo leo na mito ikabadilika namna zake na kuwa vingine. Bustani inaonekana wazi kuwa ilikuwa kwenye maeneo ya kati ya nchi za Syria na Misri pamoja na sehemu inayojulikana leo kama Israeli.

 

Bustani ya Edeni, kama eneo la kitofografiki linalogawanya Mito Minne ya Paradiso, limeelezewa kwa kina kwene jarida la Msalaba: Chanzo Chake na Maana Yake (Na. 39) [The Cross: Its Origin and Significance (No. 39)]. Mito Miine ya Paradiso iliyochorwa kwenye Msalaba Ulioambatanishwa na Alama ya Jua ime tolewa ufafanuzi kwenye jarida hilo.

 

"Msalaba uliochorwa wenye jua” unainekana kuwakilisha mito mine ya paradise. Biblia inautaja huu kuwa ni mto wa ulioanzia Edeni na ukagawanyikana na kuwa vichwa vine. Mapokeo yanasema kuwa mito hii mine iligawanyika kwa mielekeo mine tofauti. Mapokeo haya yanatokana na maelezo ya imani ya Kihindi ya Navaho ya Zama za Mwanzo. Mapokeo haya pia yanapatikana kwenye hadithi za Kichina za Paradiso ya Kwen-lun. Mito hii mine inaonekana pia kwenye imani ya Kihindu ya Rig Veda, na Vishnu Purana zinaonyesha mito midogomidogo minne wanayoamini kuwa ni paradise ya Brahma kwenye ulimwengu wa mkutaniko. Inaonekana pia kuwa imegawanyika na kutiririka ikielekea sehemu nne tofauti (Talbot, ibid.). hadithi hii inakutikana pia kwenye imani za dini za kale za Wataliano zikihusisha mchoro wa katikati wa Ardi Sura, na ni Bahari ya Maisha ya Kalmuks Msiberia. Wamadeani wa Iraqi wameendeleza mapokeo hayahaya kuwa yanatokana na zama za Mwanzo; kama walivyosema pia Wababeloni wa Nchi ya Mito Minne.

 

Kwenye nyumba au hekalu la mungu mke wa Kiyunani Calypso, kwenye kitovu au katikati ya bahari, pia alikuwa na chemichemi katikati yake zilizoelekea maeneo tofauti yanayokinzana.

 

Edda wa Waskandinaviani anatajwa kwa mujibu wa imani zao kuwa ni chanzo cha uwepo wa maji ulimwenguni kwenye kijito cha Hvergelmir kwenye nchi ya miungu. Slavs zilikuwa na chanzo chake kilichotokana na jiwe la kichawi na kishirikina lililoitwa Alatuir kwenye kisiwa cha paradise cha Bonyan. Talbot anandika kuwa Brinton au Mwingereza alikuta mito minne iliyofichika katika maeneo ya Sioux, Aztecs na Maya kama Fornander alivyoigundua kwenye hadithi za wa Polynesian (Talbot, p. 121).

 

Machache, kama hakuna kabisa miongoni mwa mataifa yenye kumbukumbu yanaweza kuonyesha kwenye chanzo chochote kile cha kijiografia cha dhana au semi hizi. Kwa hiyo, wakati Wababelonia walipomuoma Ishtar kuwa ni Mwanamke na Malakia wa dunia wa Mito Minne ya Ereki, au wakati maandiko ya Kimisri yaliyoko huko Dendera yanaonyesha kusherehekea mito mine iliyogawanyika kwenye mto Nile huko Elephantine, fikira na semi zake ni mithiolojia za kale zisizo na ukweli wowote wa kijiografia inayowazunguka. Talbot anaamini kwamba sababu ya kuachana kati ya hali ya nchi ya kimistiki na kidunia ni kwamba mito minne ilitiririka na kupita, siyo kwenye dunia yetu, lakini ni kwa kupitia kwenye robo nne za “nchi ya uzawa” iliyo maarufu na mashuhuri (Talbot, uk. 121). Talbot (ibid.) anaamini kuwa kwa kila fundisho linalojulikana la mimithia lina uhusisha na mwashirio huu. Ishara ya mito minne. Ishara ya mito minne ni msalaba wa wa jua na msalaba wenye duara ya jua,

Ishara au alama iliyotumika baadae iliyotumika kuonyesha hapo zamani ilikuwa kuwa mito mmidogo mine ilikuwa ni ya kiwanja cha zamani kilichozingirwa. Ikifanywa na ukanda maarufu wa kati (kama vile., mchoro wa jua katikati), mito mine inayopita kwenye kona nne za Satari ya Saturn (msisitizo uliongezwa).

 

Kwa hiyo, dhana ya kugawanyika mito kama inavyoonekana kwenye hadithi ya kitabu cha Mwanzo (Mwanzo 2:10), wakati ukiwa umefikiriwa na jiografia maalumu kwenye mito minne, pia inaonyesha kiini cha msingi wa mito ya maji yaliyo hai ambayo yalitiririka kutoka kwenye chanzo cha kati ambacho ni Mungu kwa kupitia kwa nyota wake wa asubuhi ambaye kwa wakati ule alikuwa ni Shetani.

 

Kwa hiyo, kiini chaa kati, ambacho kimeeneza arthi ya Afrika pamoja na mito Tigri na Frati, ina maana sana kiroho ambayo imeonyeshwa kwenye imani za dini za Wababelonia hadi kwa Ishtar na kwa Wamisri, pamoja na ulimwenguni kote kupitia kwenye ushamanismu kama ulivyoendelezwa kutoka kwenye imani za kati. Dini za Wababeloni kimsingi zilikuwa za Kianimism (soma kitabu cha Budge cha Maisha na Historia ya Wababeloni, [Budge Babylonian Life and History, 2nd ed., London, 1925]).

 

Kwa hiyo, kwa watu wa zana kale, pembe hizi nne za dunia zilikuwa na maana maalumu ya kikosmolojia ambalo sio tu kuwa lilikuwa linaonyesha jiografia lakini ramani ya ufalme wa mbinguni. Talbot anamnukuu O’Neill na kumtaja kuwa ni mmoja kati ya wanazuoni wachache kujua na kutambua kiwango muhimu cha fundisho hili la kidini la “pembe nne”.

Inafanya matokeo ya mafundisho yoyote kamili ya alama ya kubuni na mwonekano wa Pembe Nne ambazo mielekeo hii ilionekana kwenye mkazo wa imani kali ya kiorthodoxy ya mithiolojia ya kimbinguni, sio kama tafsiri ya  NSEW yenye kila aina ya doa wa namna yoyote, bali migawanyo ya mbingu nne ilienea na kuendelea “milingotini” kote.

Msalaba wa jua ... ukiwa kama alama ya robo nne inayojumuishwa na mchoro wa jua ktikati katikati. Kwenye kosmografia takatifu ya eneo la kati ya mungu jua mara nyingi inaonekana kama ya pande “tano”. Ili kuielewa kugha kama hii, ni muhimu kufikiri kuhusu “mwelekeo” wa kisirisiri (au mikono ya msalaba) kuwa ni ndiyo hisia au mwelekeo wa mtiririko wa nguvu. Kutoka kwa mungu mkuu, suala la uhai linaenenda kwa mtiririko wa ande nne. Mungu mwenyewe, aliyeumba na kufanyiza vitu vyote tuko “imara”, “mahiri” “anapumzika” au ana “pumziko” hisia yake ya tano ni ile ya mzunguko huku akisimama mahali pamoja.

 

“Mwelekeo” unaweza pia kufanyika kama dini; dini kati (tano) na robo nne iliyowekwa ndani yake.

 

Na ndiyo maana wa Pythagoreans waliichukulia tarakimu hii ya tano kuwa ni mwakilishi wa dunia iliyokamilika ya axis. Wa Pythagorean idea walihusiana kwa wazi na alama za zamani za Wahindu za mielekeo hii. Kwa kuongezea tu kuhusu mielekeo ya pande nne, mafundisho0ya Wahindu yanajua kuwa ni mielekeo mitano, wanaouita kuwa ni “mwelekeo au upande mkamilifu” mwelekeo wa kati (Talbot, pp. 122-123).

 

Talbot analionyesha wazo hili pia na la Wachina na pia alama za Nahuri wa Wamexico mwenye mielekeo mitano na hii tano kwao ni kama namba ya katikati (ibid.) " (kama ilivyonukuliwa kwenye jarida la Msalaba; Chanzo chake na Maana Yake (Na. 39) [The Cross: Its Origin and Significance (No. 39) CCG, 1997, pp. 4-5)].

 

Mtazamo huu ni wa kawaida kwa watu wengi wa kawaida na inakuwa ni kiini au msingi kwenye uelewa na mtazamo wa wa dini zao za kale. Mufumo wa madaraja manne ya ambayo ni msingi wa kiwanja cha zamani tunayoijua kama Msalaba wa Jua. Karatasi iliyo kwenye Msalaba ni ya muhimu katika kuelewa kinachotokea kwenye Utaratibu ulio kwenye kitabu cha Mwanzo na mara nyingi Shetani alihamasisha imani za kimithiolojia za dini ya kuabudu Jua na ambazo kwa siku hizi zimeshika dau kwenye 0lama za Wakristo.

 

Mfumo ulio kwenye hadithi iliyo kwenye kitabu cha Mwanzo ni kiini cha mafundisho mengi ya mithiolojia, haijalishi ni upande gani wa dhehebu ambalo mafundisho haya yanasisitizwa na yamekuwa ni msingi wao. Tunaona kutoka kwenye msalaba ulioambatanishwa na jua ambao msalaba wa katikati umeelekea na kuwa mwingi upande wa chini ya mduara ili kumuashiria Venus akiwa ni ishara ya taama ya mwili na ishara ya mwanamke. Hii ni taswira nyingine ya hadithi hii tunayoikuta kwenye Agano la Kale tangu Mwanzo na kwenye Biblia mzima yote hadi kwenye Agano Jipya kwa anguko na uhusiano wa mwanamke chini ya sheria.

 

Mtazamo huu ni wa msingi kwenye historia ya kuwepo kwa mwanadamu. Ni juhudi kama hii hii imeelezewa na dini kisiri au kimithiolojia za mataifa na kwenye mtazamo na mafundisho ya Biblia. Hizi sio hadithi zinazotofautiana. Bali ni fundisho ileile iliyoelezewa kwa mitizamo tofauti za Wema na Ubaya iliyoelezewa na nguvu au mamlaka mbili tofauti za kiroho zinazopingana.

 

Mto mmoja unagawanyika na kuzaa mito mingine minne na amri hii muhimu inayoongezeka mara tano ni ujumbe ulio nyuma ya Msalaba wa Jua. Kitu kinachoongelewa kwenye maelezo ni kile kitu kinachojulikana kuwa ni mungu anayemiliki au kuwakilishwa na alama na kwenye chanzo chake kisichobadilika, ambaye ndiye Mungu wa Kweli. Msalaba wa Jua ni ishara inayoashiria uasi na unayawakilisha madai aliyoyafanya Lusifeli kuwa ni mtawala au ‘adon.

 

Tunarudi sasa kwenye fundisho la kitabu cha Mwanzo.

 

Mfano Mzuri wa Amri hizi

Kwenye sehemu hii ya matukio kwenye Mwanzo kwenye Bustani tunaona kuwa Mungu ndiye mwanzilishi, kwa mfano mzuri, amri hizi na zikjitokeza hapa kwenye  tendo la uumbaji na kuitakasa Siku ya Sabato kuwa ni siku ya mapumziko na takatifu.

 

Ndipo tunapojionea pia tangu hapa ikitolewa amri ambayo ni ya wajibu wa moja kwa moja wa Adamu ya kumkataza kutumia miti Fulani

Katika kipindi hiki ndipo wanyama waliumbwa. Kwenye aya ya 1 wameorodheshwa mbele ya kuumbwa kwa manadamu katika siku ya sita. Hapa wanaonekana nyuma ya uumbaji ule lakini kabla ya kuumbwa kwa manamke.

Mwanzo 2:18-25 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye. 19 Bwana Mungu akafanyiza kutoka katika ardhi kila mnyama wa msituni, na kila ndege wa angani, akamletea Adamu ili aone atawaitaje; kila kiumbe hai, jina alilokiita Adamu likawa ndilo jina lake. 20 Adamu akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama wa mwituni; lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye. 21 Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake, 22 na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu. 23 Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume. 24 Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja. 25 Nao walikuwa uchi wote wawili, Adamu na mkewe, wala hawakuona haya.

 

Hapa tunaona utaratibu wa mamlaka au utawala aliopewa Adamu aliyetoa majina ya kila kitu. Mchakato huu wa kuvipa vitu majina unaashiria uwezo alliopewa juu ya kitu kile uliokuwepo siku za kale. Majina yanaashiria mamlaka na kupewa mamlaka kwa jina lililotoewa.

 

Uumbwaji wa Hawa kutokana na mbavu za Adamu ni sawa na mchakato wa kiuzazi tunaoujua leo. Kwenye tendo hili pia, uanzishaji wa ndoa ulifanyika kutoka kipindi cha uumbaji wa Hawa. Majina ya mwanaume na mwanamke yanatokana na maneno ya Kiebrania ish na ishah neno la kike la ish. Ishi maana yake ni mume wangu (lit. mtu wangu).

 

Adamu maana yake ni mgumu au katili (SHD 120) na linatokana na neno la kwenye kamusi ya SHD ’adam ambalo linamaanisha kuonyesha damu (usoni mwake) kuondoa au kukisukumiliambali na kupakwa rangi au kufanywa nyekundu. Kwa hiyo Adamu alikuwa mwekundu wa rangi mng’ao.

 

Neno ish ni la Kiebrania kwa mtazamo wa jumla wa mwanaume. Neno berithish maana yake mtu wa agano au wakimuungano kama patano lililofanywa kupita katikati ya vipande vya mwili (sawa na SHD 1285). Hii ndiyo dhana na ndiyo iliyopelekea kuwepo kwa neno Uingereza. Tangu Mwanzo 1:26 hadi Mwanzo 2:23 neno SHD 120 adamu lietumika. Neno ish linatumika hapa mwenye Mwanzo 2:23 na 2:24 kwa mara ya kwanza.

Tofauti hii imefanwa kutokana na tendo hili la muunganiko linafanyika na wanadamu wote kwenye uumbaji wa Mungu. Hii ina maana kwa jinsi ilivyo kwa kuendelea kwenye sura zinazofuatia.

 

Hapa tunaona awamu zinazofuatia amri zilizotolewa hapa kwenye zile amri za Saba na Nane. Mungu alizuia imiliki kwa ajili yake mwenyewe kwa kutumia amri. Kwa hiyo, amri iliyosema usile mti wa ujuzi wa mema na mabaya ni sawa tu katika umuhimu wake na ilw inayosema usiibe. Amri ya Kumi inayokayaza kutamani mali na vitu vya mtu mwingine imewekwa pia hapa. Ukweli ni kuzitambua taasisi hizi pia inayowapambanua mashahidi wa Kweli na wa Uwongo.

 

Kwenye kitabu cha Mwanzo sura ya 3 tunakuja karibu kwenye mfano wenye nguvu zaidi wa tafsiri ya kiroho uliotumiwa kwenye Biblia. Neno lililoko kwenye aya ya 1 inataja na kumaanisha Nachash au kitu au mtu anayeng’ara na inamaanisha nyoka au serpent kwenye lugha ya Kiingereza. Huyu kiumbe anayeng’aa ni Kerubi Afunikaye; Malaika wa Nuru Mleta Nuru au Lusifeli aliyeandikwa kwenye Isaya sura ya 14 na Ezekieli 28:13-17.

 

Jambo hilohilo limetumika kwenye nyoka mkali aliyeandikwa kwenye Hesabu 21:6,9. Wanajulikana kama nachashim saraphim. Nyoka wenye sumu kali waliitwa hivyo kwa sababu ya fikra au mhemko unavyowaka kwa ukali wake kutokana na kuumwa kwao lakini huenda pia kwa kuwa waliongozwa na kuelekezwa na malaika wakati Israeli walipomnenea vibaya Mungu na Musa kwa ajili ya kuwatoa na kuwaleta jangwani. Neno saraph maana yake ni kuungua. Maserafi wa Isaya 6:2 walitwa wachomao au waunguzao. Kwa hiyo, malaika wa mbinguni walikuwa wanawaka moto au walikuwa shaba ing’aayo kwa kuvutia.

 

Joka wa zamani (kwenye 2Wakorintho 11:3) anaweza kujigeuza kuwa malaika wa nuru (2Wakorintho 11:14). Kwa hiyo nyoka anatumika kama mfano tu wa Shetani ambaye aliongea na mwanamke na kumdanganya. Kuna jambo kubwa sana linaloendele kuhusu miti.

Mwanzo 3:1-5 Basi nyoka alikuwa mwerevu kuliko wanyama wote wa mwitu aliowafanya Bwana Mungu. Akamwambia mwanamke, Ati! Hivi ndivyo alivyosema Mungu, Msile matunda ya miti yote ya bustani? 2 Mwanamke akamwambia nyoka, Matunda ya miti ya bustanini twaweza kula; 3 lakini matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema, Msiyale wala msiyaguse, msije mkafa. 4 Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa, 5 kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.

 

Jina Elohim lililoko hapa ni neno lilelile la uwingi. Uwingi huu unaendelea hadi kiwango kikubwa zaidi ya mmoja na kwa kweli ni zaidi ya wawili lakini zaidi ni kwa elohim aliyeenea. Ibwahimu aliongea na watatu wa hawa elohim, au malaika. Kwa mujibu wa Mwanzo 18:2 wakati yeye na Luthu aliwataja na kuwachukulia wote kuwa Yahova (Mwanzo 18:27: 19:18). Huyu alibadilishwa na kuwa Adonai na wa Sopherim kutoka jina Yahova ili kufunika matumizi ya uwingi (soma pia tafsiri ya Companion Bible na uone jinsi ilivyozinukuu na kuziandika aya hizi na pia Mwanzo 18:2 ambayo inajaribu kumtaja elohim hapa kwenye muonekano wa mtu mmoja lakini inakubali kuwa jina Yahova limetumika na wote watatu).

 

Neno ‘arum linalomaanisha subtil lililotumika hapa kwa kweli linamaana ya busara au hila za kijanja au mwenye hekima (sawa na Ayubu 5:12; 15:5; Mithali 12:16, 23; 13:16; 14:8, 15, 18; 22:3; 27:12 na inahusiana na Ezekieli 28:12, 13, 17). Neno ‘arum limetumika pia kumaanisha kuwa uchi kwenye aya iliyotangulia kwenye aya ya 17. Hawakuona haya walipokuwa mbele ya elohim. Matumizi ya neno mnyama kwenye sura ya 3:1 lina maana sawa na neno zoon lililotumiwa kuwataja viumbe wenye uhai wanaofanana na wale wenye uhai wanne wa Ufunuo 4:6-9 na 5:6, 8, 14 nk. Kwa hiyo ilitumiwa na Malaika kwa darja la juu sana kama wote walivyikuwa na Baba mmoja aliyewaumba hao wote (sawa na Malaki 2:10; Waebrania 2:11). Tunaweza kupata maana ya hili sasa kwa kuangalia kwenye kitabu cha nabii Ezekieli.

Ezekieli 28:12-17 Mwanadamu, umfanyie maombolezo mfalme wa Tiro, umwambie, Bwana MUNGU asema hivi; Wewe wakitia muhuri kipimo, umejaa hekima, na ukamilifu wa uzuri. 13 Ulikuwa ndani ya Adeni, bustani ya Mungu; kila jiwe la thamani lilikuwa kifuniko chako, akiki, na yakuti manjano, na almasi, na zabarajadi, na shohamu, na yaspi, na yakuti samawi, na zumaridi, na baharamani, na dhahabu; kazi ya matari yako na filimbi zako ilikuwa ndani yako; katika siku ya kuumbwa kwako zilitengenezwa tayari. 14 Wewe ulikuwa kerubi mwenye kutiwa mafuta afunikaye; nami nalikuweka hata ukawa juu ya mlima mtakatifu wa Mungu, umetembea huko na huko kati ya mawe ya moto. 15 Ulikuwa mkamilifu katika njia zako tangu siku ile ulipoumbwa, hata uovu ulipoonekana ndani yako. 16 Kwa wingi wa uchuuzi wako watu walikujaza udhalimu ndani yako, nawe umetenda dhambi; kwa sababu hiyo nimekutoa kwa nguvu katika mlima wa Mungu, kama kitu kilicho najisi; nami nimekuangamiza, Ewe kerubi ufunikaye, utoke katika mawe hayo ya moto. 17 Moyo wako uliinuka kwa sababu ya uzuri wako; umeiharibu hekima yako kwa sababu ya mwangaza wako; nimekutupa chini, nimekulaza mbele ya wafalme, wapate kukutazama.

 

Kwa hiyo tunaona hapa kwamba huyu kerubi mwenye mabawa yanayofunika aliwekwa kwenye bustani ya Edeni na alikuwa na busara kamili. Kwa hiyo tunaviumbe wawili hapa Bustanini, Kristo na Shetani. Shetani akawa ameharibika kutokana na uelewa wake mkubwa. Kwa hiyo ujuzi wake ukawa ndiyo sababu ya kuharibika kwake.

 

Tunaona hapa tarakimu ambayo haijawekwa wazi za miti na ni mmoja tmiti na ni mmoja tu ndio uliokatazwa kuliwa au kutumiwa kwa chakula.

 

Mti wa uzima ulifikiwa tu na miti mingine kwa mtazamo huu. Mti huu ambao ulikatazwa kuliwa ulikuwa ni mti wa ujuzi wa mema na mabaya. Miti mingine yote ilizaa matunda mema. Bali mti huu ulizaa tunda lililotoa mambo yote mawili, yaani ujuzi wa mema na mabaya. Ubaya ni mvuto wa dhmbi, ambayo maana yake ni uvunjaji wa sheria na amri za Mungu. Kwa hiyo tunaona hapa kuwa sheria za Mungu zilitangulia kutoka mwanzoni kabisa mwa asili yake na ilikuwepo tangu mwanzoni mwa uumbaji (soma jarida la Serikali ya Mungu (Na. 174) na Upendo na \muundo wa Sheria (Na. 200) [The Government of God (No. 174) and Love and the Structure of the Law (No. 200)].

 

Kwa hiyo wazo la kusema kwamba Sheria za Mungu hazikuwa zimetolewa hadi walipofika Sinai na kwamba zilitolewa na kupewa Israeli peke yao linapingana na maelezo na nia au lengo la Torati.

 

Sheria za Marabi wa Kiyahudi kudai kwamba kulikuwepo na kitu kama hicho kama sheria za Nuhu, ambazo tutakwenda kuzijadili kwa kina baadae (soma jarida la Mapokeo ya Sheria za Nuhu [The Tradition of the Noahide Laws)]. Madai haya kwamba Nuhati yake aliyopewa na Mungu na kwamba Wamataifa walikuwa na chanzo chao cha sheria ambayo ilikuwa ni tofauti na kinyume Torati au kwamba zilikuwa na kiwango cha chini kiwango cya Torati ni uwongo tu wa marabi unaokusudia kuwafanya Wamataifa wawaelekee Mafarisayo wa Kiyahudi kwa mbinu za kuwarubuni kinyume kabisa na maagizo kutoka kwenye Maandiko Matakatifu.

 

Miti ya Bustanini kama Viumbe

Sababu inayotupelekea kuhitaji kutathimini pia ni hii ya neno mti. Mti umetumika kama neno la kuwaita viumbe wa kiroho wa mbinguni. Mti huu wa ujuzi wa mema na mabaya pia kwa kumtaja Shetani na utaratibu wake aliokusudia kuuweka ambao kwao aliutumia kuwaharibu na kuwaasisha malaika. Tutalielezea na kulitathmini jambo hili badae.

 

Ezekieli 31:3-18 Tazama, Mwashuri alikuwa mwerezi katika Lebanoni, wenye matawi mazuri, na kifuniko chenye uvuli, na kimo kirefu; na kilele chake kilikuwa kati ya matawi mapana. 4 Maji yalimlisha, vilindi vilimsitawisha; mito yake ilipita pande zote za miche yake; naye akapeleka mifereji yake kwa miti yote ya kondeni. 5 Basi kimo chake kilitukuzwa kuliko miti yote ya kondeni, na vitanzu vyake viliongezeka; matawi yake yakawa marefu, kwa sababu ya maji mengi, alipoyachipuza. 6 Ndege wote wa angani walifanya vioto vyao katika vitanzu vyake, na chini ya matawi yake wanyama wote wa kondeni walizaa watoto wao, na chini ya uvuli wake mataifa makuu yote walikaa. 7 Basi hivyo alikuwa mzuri katika ukuu wake, katika urefu wa matawi yake; maana mizizi yake ilikuwa karibu na maji mengi. 8 Mierezi ya bustani ya Mungu haikuweza kumficha; misunobari haikuwa kama vitanzu vyake, na miamori haikuwa kama matawi yake, wala bustanini mwa Mungu hamkuwa na mti wo wote uliofanana naye kwa uzuri. 9 Nalimfanya kuwa mzuri kwa wingi wa matawi yake; hata miti yote ya Adeni, iliyokuwa ndani ya bustani ya Mungu, ilimwonea wivu. 10 Basi Bwana MUNGU asema hivi; kwa kuwa umetukuzwa kimo chako, naye ameweka kilele chake kati ya mawingu, na moyo wake umeinuka kwa urefu wake; 11 mimi nitamtia katika mikono yake aliye mkuu kati ya mataifa; naye atamtenda mambo; nimemfukuza kwa sababu ya uovu wake. 12 Na wageni, watu wa mataifa watishao, wamemkatilia mbali na kumwacha; juu ya milima na katika mabonde yote matawi yake yameanguka, na vitanzu vyake vimevunjika karibu na mifereji yote ya nchi; na watu wote wa dunia wameshuka, wakitoka katika uvuli wake na kumwacha. 13 Juu ya magofu yake ndege wote wa angani watakaa, na wanyama wote wa jangwani watakuwa juu ya matawi yake;

Andiko hili hapa linaonyesha kwamba tunawaelezea malaika walioasi na hususan wale makerubi walioandikwa kwenye Ezekieli sura ya 28 na Isaya sura ya 14, Lusifa ambaye hatimaye alikuja kuwa ni Shetani na alitupwa chini upande wa shimo refu.

14 kusudi mti wo wote, ulio karibu na maji, usijitukuze kwa sababu ya kimo chake, wala usitie kilele chake kati ya mawingu, wala mashujaa wake wasisimame katika kimo chao kirefu, naam, wote wanywao maji; maana wote wametolewa wafe, waende pande za chini za nchi, kati ya wanadamu, pamoja nao washukao shimoni.

Waliokolewa katikati ya wana wa wanadamu ambao nao pia walikwenda chini kuzimuni. Hi inatuonyesha na kutuelezea maafa yaliyowakumba wateule katika siku za mwisho. Anguko lake kwenye tuko hili lilikuwa ni kubwa sana.

15 Bwana MUNGU asema hivi, Katika siku ile alipotelemka mpaka kuzimu naliamuru matanga, nalikifunika kilindi kwa ajili yake, nikiizuia mito yake, nayo maji makuu yalizuiwa; naliamuru Lebanoni kumwombolezea, na miti yote ya kondeni ilizimia kwa ajili yake. 16 Niliwatetemesha mataifa kwa mshindo wa kuanguka kwake, hapo nilipomtupa chini mpaka kuzimu, pamoja nao washukao shimoni; na miti yote ya Adeni, miti iliyo miteule na iliyo mizuri ya Lebanoni, yote inywayo maji, ilifarijika pande za chini za nchi. 17 Hao nao walitelemka kuzimuni pamoja naye kwa watu waliouawa kwa upanga; naam, wale waliokuwa mkono wake, waliokaa chini ya uvuli wake kati ya mataifa.

Hapa tunaona anaonekana akiwa kwenye bustani ya Edeni.

18 Umefanana na nani, hivi katika utukufu na ukuu, kati ya miti ya Adeni? Lakini utashushwa pamoja na miti ya Adeni, hata pande za chini za nchi; utalala kati ya hao wasiotahiriwa; pamoja na hao waliouawa kwa upanga. Huyu ndiye Farao, na jamii yote ya watu wake, asema Bwana MUNGU.

 

Kiumbe anayetajwa na kuonekana hapa kwene sura hii ya kitabu cha Ezekieli ni wote wawili, yaani mfalme wa Ashuru na Farao na walikuwa kwenye Bustani ya Edeni wakiwa kama Mwerezi wa Lebanoni na hakuna aliyewahi kuwa na hekima au uzuri kama yeye au aliyeweza kufanana uzuri na ukamilifu. Misri na Ashuru walikuwa bado kwenye kiuno cha Adamu na kwene upande mwingine wa gharika kuu kwenye kipindi hiki cha Bustani ya Edeni. Kiumbe huyu inawezekana kuwa alikuwa ni Yule kerubi mwenye mbawa za kufunika ambaye alitupwa chini na mapepo au ile miti iliyoasi pamoja na yeye.

 

Kwa hiyo, elohim walio Bustanini walikuwa wengi na walikuwa chini ya maelekezo ya Mungu kuwaruhusu mambo waliyotakiwa kufundisha ama kutofundisha na kufanya. Nyama au magome ya miti hatakuwa ni kwa ajili ya matumizi ya chakula cha miili tu na matunda yake, bali ilikuwa pia kwa ajili ya kujifunzia au kufundisha na ulinzi.

 

Tunayakumbuka maneno aliyoyasema Shetani kwenye Mwanzo 3:1. alisema: Ati! Hivi ndivyo alivyosema Mungu, Msile matunda ya miti yote ya bustani? Hili kwa kweli halikuwa ni swali bali yalikuwa ni madai ya mahojiano. Ndipo mwaname anarudia kuisema ile amri ya makatazo na adhabu yake itakavyokuwa wakiivunja amri hii kwa kusema: Mungu amesema, Msiyale wala msiyaguse, msije mkafa ndipo Nachashi au mtanashati akasema, " Nyoka akamwambia mwanamke, Hakika hamtakufa, kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda ya mti huo, mtafumbuliwa macho, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya.."

 

Kwa hiyo, mawazo mengi na nasaha zinatolewa hapa. Kama utakula utafunguliwa macho yako na utakuwa kama elohim. Uwingi wa hawa elohim unaonekana wazi hapa. jina Yahova, elohim linatumika kwa namna maalumu kutoka kwenye Mwanzo 2:4. Nachash hata hivyo halitumii neno hilo linaloasgiria kuwepo kwa viumbe wengine ndani yake.

 

Jinsi watrinitariani wanavyolitumia jina elohim na kulichukulia ama kulilinganisha na miungu watatu wanapotosha maana yake iliyokusudiwa hapa. Tunajua vyema sana kuwa hatima ya wanadamu wote ni kuwa kama elohim lakini kwa kupitia hatua fulanifulani kwanza. Tunajua hivyo kutokana na maandiko ya Zekaria 12:8 na Zaburi 82:6 ambalo lilirudiwa na Kristo kwenye Yohana 10:34-35 na likamjumuisha yeye mwenyewe kama sehemu ya sheria, kinyume kabisa na mgawanyo wa kawaida ulivyo kwenye Torati, Zaburi na waandishi (soma Luka 24:44). Kristo aliitaja Zaburi akiihesabia kama torati kwa sehemu zisizopungua mbili.

 

Tofauti hizi huenda alizifanya kwa makusudi na zinaturudisha nyuma kwenye wazo la kwanza la ahadi, ambalo linajitokeza hapa kwenye mwonekano wa kwanza. Shetani hakuwa anamwambia Hawa uwongo mtupu, bali alikuwa anazua mambo yanayoonekana kama ya kweli, ambayo hayakuonyesha kuwa yanaenda kinume na mabadiliko makubwa yaliyojitokeza na matokeo mabaya yatakayojitokeza kutokana na tendo hili la uasi.

 

Nchi au ardhi ikalaaniwa kwa sababu ya kitendo hiki alichokifanya Hawa.

 

Kwa kuongezea tatizo Shetani akaja na kueneza fundisho la kuwa mtu hatakufa bali ataendelea kuishi ao maisha yasiyo na mwisho wala kuona uharibifu, ambayo yanatolewa na Mungu kwa wanaomtii, lakini yanatolewa kwa utu wa ndani wa mtu mmoja mmoja. Kwa hiyo, uwongo wa kusema hakika hutakufa ndio unaoendelea kushika kasi siku hizi kwenye teolojia ya duniani kote (soma majarida ya Nafsi (Na. 92) na.Katika Kutokufa (Na. 165) [The Soul (No. 92) and On Immortality (No. 165)].

 

Shetani alikuwa anampa Hawa hapa uchaguzi na kuna mambo mengi yliyojitokeza kwenye tatizo hili. Watu hawa waliumbwa na kuwekwa hapo na Masihi akiwa kama Malaika wa Yahova. Walipewa kanuni na maelekezo ambayo ilitosha kuwafanya waendelee kuwa wakamilifu.

 

Chanzo cha malumbano hapa ni kwamba ujuzi wa mema na mabaya ulionyeshwa na Shetani ikiwa kama ni njia ya kufanyia makosa, kuruhusu uhuru wa upotofu au uhuru wa kujiribu vitu, jambo ambalo utaratibu na kanuni waliopewa kwa yenyewe tu ilikuwa inapinga.

 

Je, Ni Miti Miwili au Zaidi?

Mwonekano wa habari au hadithi hii unafanya ionekane kulikuweko na miti miwili. Mti mmoja ulikuwa ni wa ujuzi wa mema tu, peke yake na kutegemea mamlaka yaliyotolewa na Mungu kupitia kwa Roho Mtakatifu. Mti mwingine ulikuwa ndiyo huu wa ujuzi wa Mema na Mabaya na ijulikane hapa kuwa miti hii ilikuwa ni miti halisi na yenye matunda halisi ambayo hayajaelezwa tu kuwa yalikuwa ya aina gani miongoni mwa tunayoyajua leo. Miti hii miwili iliorodheshwa na kupewa majina kuwa mmoja ulikuwa ni Mti wa Uzima na mwingine ulikuwa ni Mti wa Ujuzi wa Mema na Mabaya. Hata hivyo kulikuwepo na miti mingine zaidi iliyoliwa matunda yake amoja na huu mmoja ikijulikana kama ya Miti ya Uzima.

 

Tunda lililokatazwa liliwezesha mtu kuwa na aina fulani ya fikra au ujuzi wa jambo fulani au kujitambua yeye mwenyewe. Hii ni namna nyingine ya kuelezea na kufafanua kiurahisi fumbo au mfano na kushindwa kutaja idadi ya mambo makuu yaliyo kwenye fikra za kifalsafa, ambazo zinastahili kupokea au kupewa utambulisho wa kuzitambua au kuzikubali.

 

Tunaona hapa kwenye sura hii kwamba kulikuwa na zaidi ya miti miwili na miti hii yote mingine ilirihusiwa kuliwa. Ni mti mmoja tu ndio ulikatzwa. Kwa hiyo utaratibu wote wa vyakula uliwekwa na kanuni zake na haikuwa kwa mti mmoja tu peke yake.

 

Mti wa uuzi wa mema na mabaya ndio walikatazwa wasiutumie na Shetani alilijua hilo kuwa ulikuwa umekatazwa hivyo. Alimtia tu Hawa majaribuni na kisha mume wake Adamu ambaye alijitia mwenyewe majaribuni sawa na mke wake. Kitendo hiki chenyewe tu ni cha kuzivunja sheria au amri za Mungu ziizo kwenye Kutoka 23:2.

 

Hukumu au adhabu kwa ajili ya kula tunda hili ni mauti. Hii inamaanisha kwamba kama Adamu asingekula tunda hili basi angekuwa na uzima endelevu ambavyo kwamba asingekufa. Vinginevyo, basi hukumu au adhabu hii isingekuwa na maana na angeweza kufa kwa namna yoyote. Kwa hiyo tunaongelea kuhusu mauti kwa usemi au kwa maana pana na ya jumla.

 

Wakati Shetani aliposema Hakina hutakufa alikuwa analiona hilo kwa mtazamo mrefu wa kuuathiri mpango wa Mungu ambayo ilikuwa sio mapenzi ya Mungu kuona kuwa mtu yeyote mwenye mwili akipotea (2Petro 3:9). Kwa hiyo kitaaluma hili lilikuwa ni muhimu na kweli. Watu hawa hata kama watakuwa wenye dhambi wana ufufuo wao wa wafu aliotayarishwa kwa ajili yao. Lakini Mungu alisema wangekufa hakika.

 

Ndipi tunaona hapa kwamba kulikuwa na mambo mawili kwenye mpango wa wokovu. Kama Adamu na Hawa wangetii ndipo wasingeweza kufa. Hata hivyo, mpango ulikuwa ni kwamba wangeweza kuwa elohim na kwa hiyo walipaswa kufanyika kuwa viumbe wa ulimwengu war oho. Kwa hiyo ndipo wangeweza kuyapitia mabadiliko makubwa kwenye mpango kuhusiana na habari za ufufuo wa kwanza wa wafu.

 

Tumebaliwa na fursa ya kuyachagua mambo mawili yafuatayo:

1. Adamu na Hawa na watiifu wengine wasingewez kufa na wangeweza kufanyika kuwa viumbe wa kiroho. Hii ingeweza kufanyika kiutafsiri pengine:

A. Mwanzoni mwa kipindi cha utawala wa milenia;

au

B. Wakati mwingine wa kwenye mchakato huu kama tunavyoona na ilivyotokea kwa Henoko ambaye alikuwa mtakatifu na mwelekevu na alitembea na Mungu. Hakuonja mauti kwa kuwa Mungu alimtwaa (Mwanzo 5:24).

Kutwaliwa kwa Henoko na kule kwa Eliya kumeelezewa katika jarida la Mashahidi (Na. 135).

 

2. Iwapo kama watoto waliotoka kwenye uzao huu waliasi, basi walitenda dhambi na wangekufa na kwa hiyo watakosa kuwa na sehemu kwenye ufufuo wa kwanza wa wafu na wote wangeingia kwenye ufufuo wa pili wa wafu, vinginevyo wangeruhusiwa kuwepo kwenye ufufuo wa  kwanza wa wafu kwa kufanya kwao toba na kwa hiyo taratibu tatu kubwa zingeweza kuchukua nafasi yake. Kwahiyo wale 144,000 lingeweza kuwa ni kundi linguine lenye mkutano mkubwa kwenye ufufuo wa kwanza wa wafu.

 

Hali hii hata hivyo inapingana na sifa ya Mungu ya uwezo wa kujua kila jambo ambaye alijua tangu mwanzo matokeo na kuwajua wateule ambao ameandika kwenye kitabu cha uzima cha Mwanakondoo, hata kabla ya kuwekwa kwa misingi ya dunia. Mwanakondoo alichinjwa pia hata kabla ya kuwekwa misingi ya dunia na ndipo tunaona matukio yanayojulikana.

 

Kama Shetani na Malaika zake wasingejaribu Hawa ndivyo pahala pao kule Mbinguni  wakiwa kama malaika pasingeweza kuingia majaribuni. Kwa hiyo, anguko lililo kwenye Mwanzo sura ya 3 lingekuwa ni la kujaribiwa tu na zaidi ni kwa Shetani kuliko ilivyokuwa kwa Adamu na Hawa.

 

Kukosa mwelekeo kuhusu ukweli huu na kwamba kutoka hatua hii ndipo Shetani alianzisha dini na imani za kale na mamlaka.

 

Tunda la Tufaha au Epo Katika Roma

Tunajua kwamba tunda lililoliwa maranyingi linaandikwa kama epo lakini hakuna ushahidi wa moja kwa moja kwa wazo hilo kwenye Biblia. Dhana ya kufikiri kuwa lilikuwa ni tunda la epo inatokana na hadithi za Kiyunani na Kirumi. Kuna kilichokuwa kinajulikana kama Tufaha au Epo la Mtafaruku ilijulikana na Eris, ambaye alikuwa ndiye aliyelitambulisha kwa watu akiliita kuwa ni epo la mgogoro au mtafarku, kwenye makutaniko ya miungu (theoi au elohim). Epo la dhahabu liligombewa na Juno, Minerva na Venus (soma kamusi ya.Oxford Universal Dictionary, 3rd ed., 1964, p. 86). Epo la dhahabu ni jina linguine inaloitwa taji ya kifalme nchi ya Uingereza (ibid.).

 

Kwa hiyo, wazo la muundo wa Mabishano iliyopandwa na kipande cha tunda iliyoko kitovuni mwa mzunguko wa epo ni wa kutoka siku za kale na ni wakawaida kwenye dini zote zisizo za Kiebrania pia. Mwonekano wa uwakilishi wa Venus kama Nyota ya Alfajiri huenda una maana yake kubwa kuliko tulivyoweza kudhania hapo mwanzoni. Maana ya huyu Venus yameongelewa kwa kina kwenye jarida la Ndama wa Dhahabu (Na. 222) na pia la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235) [The Golden Calf (No. 222) and also The Origins of Christmas and Easter (No. 235)].

Tunaona kwenye hadithi maarufu za Juno tangu zama za kale wazo la kwamba nyoka alionekana kuambatanishwa na ubikira wa mwanamke. Dhana hii ilitokana na kuchukuliwa kutoka zama za kale hadi ikaingizwa kwenye dini za siku hizi.

 

Warumi waliliona wazo hili la ubikira ni la muhimu katika kujikabidhi kiibada kwa miungu yao.

 

Hii ilikuwa ni muhimu kwenye ibada za hekalu la Vesta. Ilikuwa na miungu Juno Sospita huko Lanuvium ambapo tunaona wazo la kale lililochukuliwa kutoka kwene zama za kihistoria (soma Encyclopedia of Religion and Ethics (ERE) article Chastity, 3, pp. 496-497).

 

Mara tub into wa kike alipochaguliwa, alitoa sadaka ya keki kwenye Hekalu ka Nyoka. Keki hii ikikubalika na nyoka Yule ndipo ubikira wake Yule binti ulithibitika na kumhakikishia mema ya mwaka mzima. Kama nyoka aliikataa ile keki basi mambo yake yalichukuliwa kinyume ha hapo juu na iliaminika kuwa inavyotokea ni sahihi (ibid.).

 

Hapa tuna matokeo yaliyo kinyume kabisa kutoka kwenye dhana hii ambapo nyama iliyotolewa sadaka na keki kwa nyoka kama ubikira ulioondolewa wa binti wa kike. Kwa maneno mengine hapa ni kwamba wazo lililoko hapa lilikuwa kwamba nyoka ndiye aliyekuwa mlinzi wao na ndiye alikuwa ishara ya ubikira wa mwanamke. Hii inatupa uelewa wa wazo lililokuwapo nyuma ya mfano ulio kwenye Mwanzo sura ya 3.

 

Kwa kiasi kidogo sana uhusiano ulifanywa kwenye mawazo ya Wayunani wenye asili ya Kirumi kwamba kulikuwa na uhusiano na nyoka na ubikira wa kidini za kale.

 

Jupiter, Juno na Minerva walikuwa ni muunganiko mkubwa wa kiutatu au Utrinitari wa ibada za Capitoline za Rome. W. Warde Fowler anaona kwamba dini ya Kirumi ilipagawa kimapepo zaidi kuliko kuiona kwamba ilikuwa ya kuamini miungu wengi tu peke yake (soma ERE Roman Religion, vol. 10, p. 823 ff.). kwa hiyo, wazo hapa ni kwamba pepo alikuwa kiini cha viumbe na kwamba mtu angeweza kufanyika kuwa mungu kwa kupitia uwezo wa kutokufa wa pepo au kiini na chanzo cha mtu Yule au mwanzoni mwa mtu afuataye. Mwanzo wa utaratibu huu alikuwa ni Jupiter Feretrius ambaye numen au roho yake ilisemekana kuwa iliishi kwenye mti mtakatifu wa waloni uliokuwa kwenye Kilima cha Capitoline. Romulus anasemekana kuwa alikazia usindi waa kwanza (spolia opima) ya asui aliyeshindwa. Wazo hili liliaminiwa pia na Suevi wa Kijerumani (cf. ERE ibid.) na hiyo ilikuwa ya kawaida kwa Teutons pia kama Walatino. Tunajua pia kwamba iliambukiza au kuenea kwenye dini za Kiseltiki na Waariyani wote (sawa na jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235) [The Origins of Christmas and Easter (No. 235)]. Kwa hiyo, dini zenye mseto wa Kiashuru na Kibabeloni zinaonekana kuwa mtazamo huu wakati mti ulikuwa ni mwakilishi wa kiumbe au mungu na hivyo kuna maana fulani nyuma ya matumizi ya maneno haya hapa kwenye maandiko ya Waebrania.

 

Jina la mungu Jupiter lilichukuliwa kutoka kwenye neno Diovis pater (ambalo limechukuliwa kutoka kwenye shina div. "Ng’aa"). Kwa hiyo, baba wa mng’aro alijulikana kama mungu wa jua na nuru na wa dhoroba au radi na wa mbinguni akiwa kwenye umbo lolote lile. Kuelewa mambo haya ni muhimu ili kujua mawazo ya watu na imani za kale na maana au chanzo cha kuwa na alama kidini kwa ujumla. Wakati Biblia inapozungumzia kuhusu Miti ni kwamba manabii walikuwa wanaelezea imani za kidini zilizokuwepo kwenye Zama Kale kwa ujumla. Viumbe hawa wa kiroho waliwakilishwa kwa muonekano kama wa miti kama tulivyoona hapo juu. Dini ya kale nay a kienyeji ya Walatino ni kama zilivyokuwa zile za Teutons na za Aryans zote, ikiwemo na Kiseltiki, ilichukua umaarufu wa ashera na kwa kawaida ashera za Mwaloni au za miti mingine zilizotajwa kwenye majarida ya  Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235) na Msalaba: Chimbuko lake na Maana yake (Na. 39) [The Origins of Christmas and Easter (No. 235) and The Cross: Its Origin and Significance (No. 39)]. Dini potofu za mwaloni zilitengeneza na kuisimamisha sanamu ya Kiceltiki ya Zeus (Max. Tyr. Diss., viii) na tabia za kiutakaso ( soma Pliny HN, xvi. 44 cf. ERE. Celts, p. 295 sawa na jarida la Msalaba: Chimbuko lake na Maana yake (Na. 39).

 

Majivu na mavumbi vilikuwa vya kuheshimika au vitukufu sana huko Ireland na ni zaidi ya mwaloni lakini kila mti uliwaklisha uwepo wa miungu uliyokuwa kwenye kundi la Jua (soma jarida la Msalaba: Chimbuko lake na Maana yake (Na. 39), ibid., pp. 9 ff.). miti ilikuwa na maana yake maalumu kuwakilisha miungu kwa kusudi maalumu. Dini za zama kati za Jupiter Optimus Maximus, wa Juno na Minerva za huko Capitoline kwa kweli zilikuwa za mtindo wa ki Etrusca. Dini na imani potofu za kitatu zilichukuliwa kuwa hazikuwa maarufu wala chimbuko lahe halikuwa huko Roma lakini ilikuwa maarufu miongoni mwa Wayunani na huko Etruria iliwakilishwa kwa majina ya Tinia, Thalna na Minerva (ERE, 10, p. 830). Hili lilikuwa ni umbo lililotungwa la imani ya kiutatu lililowekwa huko Capitoline huko Roma kuonyesha uweza mkubwa zaidi wa mamlaka uliko kwenye Dola ya Kirumi kwenye fikra za watu na kuzizidi nguvu dini zote nyingine na vikundi vilivyokuwa vinaliunganisha taifa lao. Hawa Etruscans hawakuwa wenyeji wa hapo kale wa Etruria na walikuwa na asili ya Kiasia Ndogo. Miungu wa Kiyunani waliingizwa kwenye harakati za kidini tangu karne ya tano KK. Mnamo mwaka 493 KK hekalu lilijengwa kwa ajili ya trias wa Kiyunani wa huko Demeter, Dionysius na Persephone wakiwa wanaitwa majina ya Kirumi ya Ceres Liber na Libera. Apollo na waganga na wapigaramli wa Wa Sibyl alifuatia mwaka 431 KK. Tunaona hatimaye kuwa Artemi ambaye pia huitwa Diana na Aphrodite aambaye pia ni Venus. Venus alikuwa hapo kale sana ni mungu wa zama kale wa Warumi aliyeshughulika na bustani. Sheria Wayunani na Warumi zilitangazwa kuwa zinakiuka sheria na tunajiponea kiwango cha kushangaza cha usyncritizi na ilitambulishwa na kuingizwa kwenye imani ya Kirumi. Kile kilichoonekana kutoka kwenye kundi hili lote na imani za kidini kwa ujumla ndicho kilichokuwa ni mtazamo wa kawaida uluvyokuwa kwenye nyakati za kale, na ndicho kinachoonyesha ukweli na hali halisi kwa mtandao tunaouona ulionyeshwa kwenye michoro ya Bustani ya Edeni, sio tu kwa Waebrania, bali ni kwa ulimwengu wote wa zama za kale.

 

Mungu wa zama kale wa Warumi aitwaye Sylvanus, mungu wa mashamba, miti na mbao au kuni na ulinzi wa mipaka alichukuliwa kama mzimu au jinamizi lililokuwepo wakati wa mwanamke anapomzaa mtoto (sawa na. ERE, art. Birth, 2, p. 649).

 

Katika imani za kale za Kirumi dini ilitegemezwa kwenye mawazo ya zamani ambayo yalikuwa kwenye madaraja mawili tu ya viumbe wanaowaombea kati ya wanadamu na Mungu wa Mbinguni. Makundi haya mawili hapo kwanza yalikuwa ni ya roho za wafu a,bayo yalifungamanisha na dhana ya roho kuendelea kuishi baada ya mtu kufa au mwendelezo way ale maneno ya kwamba hakika hutakufa na kundi la pili ni lile lililojulikana kama la roho zinazokuwepo kwenye maisha ya kila mwanadamu (soma kitabu cha ERE art. Demons and Spirits (Mapepo na Roho) , 4, p. 620 ff.)

 

Hili lilikuwa wazo la zama kale ambalo lilituama kwenye kikomo cha mipaka ya mzunguko  wa viumbe  maroho ambao kwa hiyo wangeweza kutenda kazi kama maroho na kupitia wanadamu pasipo mgawanyo maalumu. Kwa hiyo tunaona mpao mkubwa wa mamepo wengi. Imani ya Miungu wengi haikuwa imani asilia. Hawa mapepo na majinamizi walipewa utambulisho kwa Wayunani na wazo hili liligwa na Warumi na hiyo ni kwa sababu kile tunachokijua kama imani ya miungu wengi. Hii haikuwa ni zama kale sana. Na wazo la kale lilikuwa ni kwamba Baba wa Wote ndiye aliyewaumba theoi au miungu yote na kwamba kila taifa au mji au nchi vilikuwa vimepewa kiumbe wa namna  ya roho. Hata hivyo hakukuwa na mgawanyo wa wazi wa vitu. Viumbe hawa wangeweza pia kuwakilisha kundi la pamoja.

 

Viumbe hivi vya kiroho au mapepo vilijulikana nao na kwa muonekano wa miti ambazo kwazo roho hawa pamoja na chanzo cha nguvu na uwepo wao vilikuwepo. Hata hivyo wangweza kuwatenda wanadamu wakiwa kama wa aina ya pepo.

 

Roho kama Kiumbe Mwingine Tofauti

Tupo sasa kwenye nafasi ya kuelewa mfano na chanzo ambacho kiliwekwa wakati ilipoandikwa na kabla kwamba wakati iliposimuliwa kama hadithi kwa vizazi vya watu wa kale, vyote viwili, yaani vya kabla na baada ya gharika kuu. Kuna mifano mingi isiyohesabika wala kuwa  na idadi kuhusu mtazamo huu kuhusu dhana ya uwepo wa umbo au kiumbe kisichoonekana aliye mbali na tofauti na washitika waliokaribu kwenye maisha au uhai wa mtu aliyehai anayeonekana. Waajemi waliita hii kuwa ni fravashi, wamisri waliita ka, Wayunani waliita psyche (roho). Mgawanyiko wa Warumi kwa hili utatuonyesha jinsi ilivyokuwa imeeleweka na kile kinachotokea kwenye kundi hili. Neno lililotumika kuilezea roho iliyo ndani ya kila mtu ni genius ambalo kwa matumizi mengine ni mtu mwenye uwezo mkubwa wa uelewa ambalo ni neno tulilolichukua. Alama ya Wababeloni wa kale ya Genii ilikuwa sanamu la kiumbe mwenye kichwa cha tai. Wataliano wa kale waliona kitu kingine cha tofauti na huyu Genius wa zama kale aliye mbali na mwanadamu mwenyewe na ambaye alijiona kuwa na uweza au mamlaka ya kufanya propaganda za mchakato huu. Kitanda cha fungate la ndoa kiliwekwa kwenye Atrium ya Jumba la kale la Warumi ilikuwa limetajwa kwa wazi kuwa ni lectus genialis na tunaona kutoka nah ii wazo linalohusiana na ndoa na muungano wa pamoja unaweka taswira kwenye kitabu cha Mwanzo. Ni kutokana na dhana hii ndipo tunapata maneno yasemayo kumfanya mtu awe mwenyeshauku ya kuwa na uwezo mkubwa wa kuelewa.

 

Matroni wa bweni analitaja neno hili kuwa uweza wa kungu wake juno na baadae mungu mke anayeitwa Juno ni mjumuisho tu wa ujumla na kumtukuza mungu mke juno aliyetengwa mbali na wanawake. Sasa tunakuja hadi kwenye wazo la imani ya Utatu. Tuna Jupiter aliye kama alama ya kimwili wa mpangilio huu na mungu na ni mume wa Genii. Juno ni muunganiko wa udhihirisho  wa uweza wa miungu ya kike kwa watu. Dhana hii ilishamiri na kuwepo na wao walikuwa bado wanaweza kujipatia mvuto mkubwa kwao na kuwabashiria “bahati” kama zilivyokuwa (ERE, 4, p. 621).

Uhusiano uliokuwepo na mafundisho ya kubadilika roho na kuendelea kuishi baada ya kufa unaweza kuonekana hapa wakati ambapo viumbe hata hawakuweza kutoka na hatimayhe wakaenda kuendelea kuishi na mwili.

 

Kipindi ambacho kulitokea upuuzi wenye mashiko wa kumtukuza Genii kuwa ni mungu mkuu kati ya miungu yote ambapo kwa kweli walikuwa ni genii hawahawa wenyewe na wawakilishi wa miundo yote iliyoungana kwa pamoja. Hii ilikujakuwa ni ukengeufu mkubwa wa imani ya miungu wengi uliokuwepo kwenye mfumo ule wa imani. Kwa kweli, imani ya kwanza ya utatu ya Warumi nay a Waariani wote ilikuwa kama ni imani kubwa ya dini ya urutubisho ambayo kwayo muungano wa Utatu ndiyo ulisimama kama ndiyo bora na ni kama nembo ya mvuto wa pamoja wa joka na wa watu wawili wanandoa waliokuwepo Edeni. Nyoka alionyeshwa kuwa ni kama alama ya wote wawili, genius na juno.

 

Horace alimtangaza genius kuwa ni mungu lakini alitangaza pia kuwa anaweza kufa pia (Waefeso II, ii, 188 sawa na ERE 4, p. 621). Wayunani walimuona genius kupitia kwa tuche lakini mara nyingi kwa daemon anaonekana vizuri sana kwenye nuru ya genius wa Warumi. Kwa hiyo tunashughulika na mtazamo wa kawaida kwamba genius (au daemon) ni mungu ambaye anayeweza kufa lakini ana ushawishi na mvuto kwenye maisha ya wanaume na wanawake na anawakilishwa na mti.

 

Mmoja wa miungi hawa alisababisha mafarakano kwenye ulimwengu wa kiroho na wa kimbinguni kwa kutupa epo la mbinguni kama mtafaruku na kusababisha mafarakano kuwa ni chanzo cha mivutano kati ya alama ya mwanaume na ya mwanamke za urutubisho wa pamoja ambao ndio hakika ilivyotokea katika kuumbwa kwa Adamu na Hawa aliye mama wa wote.

 

Jua, Mwezi na Nyota Kwenye Dini za Kale

Zeus wa Kiyunani ni wasifa au sifa za kale zaidi ya Macho Mapana ndiye mbebaji wa nuru ya siku, hivyo, ni mbeba nuru na mungu jua. Kwa huyu Jupiter, kiheshima yuko sawa tu na Zeus. Uhusiano ambao dini ya Waceltiki wanauendeleza sio ule tu wa mwaloni wa Duir kama Zeus/Jupiter, bali pia wa miti mingine kwenye mambo yao matakatifu ikihusishwa na miungu ya Dini za Siri akiwemo Apollo. Wadruids (kama vile oak) walitumia pia picha za Wayunani kwenye ibada zao kwa wazi [soma jarida la Msalaba: Chimbuko lake na Maana Yake (Na. 39) (The Cross: Its Origin and Significance (No. 39)].

 

Imani ya Kiceltiki ya Kuzaliwa Tena baada ya Kufa

Waceltiki wanaonekana kuwa na makundi tisa ya imani yao waliotokana na washamas wa kale waliounganishwa kwenye imani yao ya kiibada na imani ya mtu kuzaliwa tena na tena baada ya kufa kwake.

 

Inaonekana kwamba maelezo ya kazi za wanazuoni wa elimu kale na uchimbuzi wa mwaka 1978-79, iliyotolewa na Jorg Biel na timu hii, ya Hochdorf Chieftain wa Baden Wurttemburg anaweza kuwa alipuuzia. Kaburi lililokuwa ni eneo kamili la maziara halikuibiwa. Hatimaye tunaweza kuhitimisha kutokana na kaburi hili kwamba haikuwa hivyo, vinginevyo ingewekwa wazi kwetu.

 

Kaburi hili lilikuwa na lundo kubwa la shaba ya Kitaliano iliyokaridiwa kwa kipimo cha kukadiria nyakati kuwa ilikuwa ya mwaka 530 KK na seti tisa za bakuli za shaba ziliyokuwa zinawahudumia watu tisa. Kulikuwepo pia pembe tisa za kunywea na tisa nyingine kubwa zaidi ya zile nyingine. Hii inaonekana kuwa ni ushahidi au ishara ya mawazo ya Kiyunani ya kongamano na jungu au sufuria kubwa la mvinyo ambalo linaasiria tena kwamba dhana ya kufanya karamu au kongamano kipindi cha baada ya maisha ilikuwa sawa na matarajio na mafundisho ya dini hii ya Selti ya mtu kubadilika kwa kuhamishiwa kwenye mwili mwingine wa mahala pengine mtu anapokufa.

 

Vitu vingine vilivyoonekana kuzikiwa pamoja vilikuwa ni magari ya vita na kabati lake haviwezi kuelezewa sana ila na tuseme tu kuwa vilikuwa kwenye hali nzuri kabisa na havikuwa na asili ya kijeshi. Maelezo haya yanaweza kufanywa kwa kina zaidi. Maelezo ya makongamano ya Kiyunani chukua hayakuwa mbali kutoka kwenye alama bali ni mapokeo yasiyo na maana ya mwonekano wa kidini uliokuwa unaonyeshwa hapa kaburini.

 

Kwenye jarida la Msalaba: Chimbuko lake na Maana Yake (Na. 39) (The Cross: Its Origin and Significance (No. 39)]. (toleo la 3 la CCG, 1994, 1997, uk. 10) mrejesho umefanywa kuhusu sanamu ya jua na maana ya alama hii kwa wa swastikas, triskele na mzunguko na misalaba iliyochorwa kwenye sanamu za shaba za mungu Dispater. Alama ya S inayoonekana kwenye sarafu. Tisa kati ya hizi alama za S huning’inia kwenye mduara uliobebwa na Mungu na gurudumu. Kamusi ya ERE (art. Celts, pp. 301-302) inasema

Maelezo mbalimbali ya rembo hii yamekuwa yakitolewa; linaloonekana kufanana sana ni ile inayotabua hii kuwa ni kifundo cha kushitukiza.

 

Sasa, hii ni sehemu tu ya maelezo; na inaonekana kuwa maelezo kuhusu mambo haya hadi leo yanautata mkubwa kueleweka.

 

Alama hii ya S ni ileile kabisa iliyotumika na inayoonekana kuwekwa kwenye viwango vya dini za siri maarufu kama mithiolojia inayoitaja alama hii kuwa ni ya joka. Joka huyu amehusishwa au kujumuishwa kwenye dini na imani za Siri na inakutikana kama hivyohivyo bila kukosewa kwenye milolongo tisa tunayoiona na Dispater. Mijumuisho tisa ya joka huyu inaweza kukutwa na majoka mengine tisa inayofanya ulinzi kwekye korido zalizo kwenye ufalme wa mungu Seker. Joka la kwanza, la tatu na la tisa wanaonyeshwa kumashiria ankh ambayo ilijumuishwa kwenye majina yao (soma kitabu cha Budge, The Book of the Dead (Kitabu cha Wafu), Arkana, London, xcv f. sawa na jarida la Cox la; Msalaba: Chimbuko lake na Maana Yake (Na. 39) (The Cross: Its Origin and Significance (No. 39)]. ibid., The Ankh Cross, (Msalaba wa Ankh) p. 6)

 

Kwa hiyo tunaona kuwa kinachotokea kwenye kile kinachojulikana kama Kongamano la Wayunani na maandalizi ya Sikukuu ya sehemu tisa kwa Waceltiki wa Hochdorf Chieftain.

 

Gurudumu la Dispater ni Gurusumu la Mzunguko wa kuzaliwa tena na tena baada ya kufa unaoaminika na kufundishwa kwenye imani na Dini ya Waceltiki. Imani dini hii ya umejikita kumuamini Apollo miongoni mwa Waceltiki wa Hyperborean wanaoishi huko Danube ilikuwa na Falsafa wenye maswali waliojiunda kuwa kama dini kwa mahala pa kwanza (sawa na Burnet, Early Greek Philosophy, 4th ed. Black, London, 1958, pp. 81 ff.).

 

Kile kinachotokea sasa ni kwamba joka wa tisa wa imani ya Wamisri nay ale majoka tisa ya Waceltiki wanashughulika na mchakato huu wa watu kuzaliwa tena na tena baada ya kufa kwa kutumia mfumo wa roho uliofanyizwa miongoni mwa Waunani wa kale. Dini hizi zilienea kutoka Thrace kwa umbo la Dionysian wa dini za siri. Dionysius alijumuishwa hapa na viwango vya ulevi. Kati ya wale wa Kirumi, kulikuwepo kiwango kama cha Bacchanalian kutoka Bacchus. Hii pia ni kama sheria za kidini za wa Orphiki na kadhalika. Ilikuwa ni Pythagoras aliyeichukua shule au mafundisho ya Delian hadi Italia (Burnet ibid.).

 

Majoka tisa au mapepo yalituliz katika hatua zote za kupanda hadi kwenye hatua ya tisa nay a mwisho. Hatua hii ya tisa ni mlango wa mwisho wa kuingilia kwenye kiti cha mungu na ndiye mtawala wa maisha na mchakato wa kuzaliwa tena na tena.

 

Imani ya ankh imebobea kwenye dhana hiihii kama ya alama ya Venus na inatokana tena kama umbo la Msalaba Ulioambatanishwa na Jua pamoja na msalaba uliochorwa tena chini ya duara.

 

Ankh-em-beu-mit ndiye njoka wa tisa kwenye imani ya Wamisri. Ni vigumu sana kuwa na utofauti inayofanya mwonekano sawa wa kiimani pamoja na mapokeo ya chimbuko moja linalojulikana la makuhani na kisha kupuuzia uwazi wa udogo ambazo zinaweza kuletwa kutoka kwenye aina ya imani au itikadi. Joka ni mwakilishi wa malaika kwa lugha ya kikale. Kiebrania ni mfano wa aina ya Kiceltiki, hususan P Brythonic, zimejumuishwa na lugha za Punic na Kiebrania.

 

Druids wanaotokana na Waceltiki walitokea kutoka Misri pamoja na wa Gadelians na walichukuliwa na wa Milesians huko Hispania au Iberia wakiwa ni wa Gadelians (soma kitabu cha MacGeohagen na Mitchell, cha History of Ireland (Historia ya Ireland); Sadlier, New York, 1868, p. 42). Wayunani walipowasiliana nao ambapo Graeci Vetustissimi wa kale. Kadiri Wayunani na Warumi walipokuwa na fikra za kimamboleo ndipo walishindwa kuendana na Waingereza (ibid.).

 

Haiwezi kuwa na mashiko kuhitimisha kwa kusema kuwa wa Hochdorf Chieftain wa zama kale kwa kweli walijiandaa kwa kuyaingiza mapokeo na kanuni za kidini kwa kupitia viwango au ngazi saba za mizunguko ya roho baada ya kufa. Kila hatua ililindwa na  kiumbe wa kiroho aliyeonyeshwa kwa umbo la nyoka katika kila hatua. Kwa jinsi hiyohiyo, hatua saba za malango ya Hekkalot kwenye Imani-siri za Merkabah za dini ya Kiyahudi ya Kikabalistiki yalikuwa yanalindwa na malaika. Kumbuka neno la Kiebrania linalotaja Serafi linahusiana na neno linalomaanisha nyoja mkali ambaye ndiye mwenye kung’aa. Imani hii ilikuwa ya aina moja tu kutoka Misri hadi India na iliendelea hadi bara Asia lote na kwingineko.

Hatua ay daraja la tisa ilionyeshwa kwa ukubwa wa pembe tisa za kunywea na ukubwa unaoshabihiana na uweza wa mungu. Mtindo au aina ya tamasha ilikuwa ni ya namna moja na sheria au kanuni ya kushiriki ilivyo ya kifungu na kwa hiyo kimsingi ni wanaume husika tu waliruhusiwa (sawa na Smiths Dictionary of Greek and Roman Antiquities art Symposium, London 1851, pp. 1082 ff.).

 

Hitimisho kuhusu ukawaida haijafanywa bado na wanazuoni wa leo kwa kuwa kielelezo cha wataalamu wa elimuya mambo ya kale wa kisasa huko Ulaya hawajumuishi mtazamo huu wa kifaa au chombo na inahitaji nasaba ya kitamaduni ya kiuzawa ya Waceltiki ambayo inaendelea.

 

Kama tutakavyojionea hadithi zake kuwa ni zilezile na zinaonyesha nyuma kwenye andiko hili la biblia kuhusu BustupelekaeAs we will see the legends are the same andani ya Edeni. Imani za kidini za zama kale zinakuwa na dhana ama chimbuko linalofanana.

 

Kufanana kwa Ibada

Jua, mwezi na nyota za asubuhi na jioni zimeonyeshwa kwenye alama zinazoashiria uwepo wa ibada za aina moja zilizozoeleka kati ya Waariyani walio kwenye makabila yanayotokana na Wabaltiki na Wateutons hadi kwa Waajemi. Wote hawa wana dhana inayofanana ya wingu lililounganishwa na nuru au mwanga. Hii inaenda nyuma hadi kwenye mawazo ya kale zaidi ya kidini ambayo ni ya kawaida kwa Waaryani wote kabla hawajachana mtawanyiko (soma ERE, The Aryan Religion(Dini ya Waryani), 2, p. 34 ff.)

 

Inaonekana kuwa (kutkana na taarifa ya walio pande za Watenfons wa Maghaeibi) kulikuwa na mungu mke wa zama kale ambaye pia wa Sunna, ambaye alikuwepo hatika Ujerumani ya Zamani Sunnen-aband au maana yake asilia yalikuwa ni jioni kabla ya Jumapili

 

Kutokana na dhana hii, moto unachukuliwa kama kitu kitakatifu kilichoshuka na kuja hapa dunianina kwa moto uwakao na kwamba dini ya Vesta ya huko Roma ‘Estin huko Ugiriki na Fistia huko Arcadian kama Meko au mama Meko wote wanahusiana kwenye dhana kuhusu muundo huyu wa Waaryani wa kale. Imefungamanishwa kwenye mwaloni ikiwa kama mti unaofanywa taswira ya mungu aliyetoa rutuba kwenye nchi nzima yote na kwa mtu mmoja mmoja kupitia roho wanaotawala wanadamu au wanaume.

 

Miti mingine inaashiria vitu vingine tofauti vya miungu, baadae vilijumuishwa kwa majina tofauti (soma jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235) [The Origins of Christmas and Easter (No. 235)]. Hapo mwanzoni wote walijulikana kama wana wa Mungu.

 

Miungu hii imekuwa hapo kale haikuwa na utofauti wowote wa majina zaidi sana ni kama ilvyokuwa imani ya Jua, Mwezi, na Nyota ya alfajiri na dini au imani ya urutubisho iliyoonekana. Ilikuwa ya pili kwamba Waaryani walianzisha majina na utambulisho wa miungu hii na kuijuza kwa watu. Ndipo tunaona kwamba kwenye historia ya zama kale ya Mwanzo ni mfano wenye tafsiri ya kiroho ya nyoka akiwa kama mwenye Kung’ara na miti ya Edeni.

 

Kwa tendo hili tunachukulia utofauti kati ya watakatifu na ufafanuzi wa epo la dhahabu la nyakati za Warumi kama tulivyoona hapo juu.

 

Kitu au jambo la mwisho kwenye habari hii ni Minerva, mungu mke aliyefanya juhudi na Jupiter na Juno. Ni vivyohivyo imechukuliwa kutoka kwenye lugha ya zamani ya Wataliano na Schreader anaichukulia hii kuwa ni lazima itakuwa ni ya zamani sana (ERE 4, p. 35). Jina (Menese ova lina muundo wa Kiyunani la menos na menes os). Inaonekana kuwa inahusiana na wazo mungu mke asilia wa alfajiti ambaye ni Teutonic aliyekuwa akiitwa Ostara ambaye ndiye alikuwa ni mungu mke wa majira ya baridi na anahusiana kama tulivyoona imani ya Ishtar wa Waashuru na Wababeloni (soma jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235) [The Origins of Christmas and Easter (No. 235)].

 

Hapa Minerva anashindana na Venus akiwa kama Nyota ya Jioni na Alfajiri au mleta nuru kama Minerva na Lusifeli.

 

Kwa hiyo tumerudi kwenye imani za kale zilizoelezewa kwenye kitabu cha Mwanzo na kueleweka lakini zikapotoshwa na Waaryani na imani yote iliyo na msingi kwa anima au maroho, ambaye amlishi kwa wanadamu na kuvutia mpangilio wa uumbaji. Waaryani waliiazima imani hii kutoka kwa wa Semites na wa Sumerians kipindi cha mapema sana Wahindi na Wairani (ERE, 4, p. 36). Hii ilipotosha maelezo ya ya imani miongoni mwa Waashuru wa asili ya Kibabeloni kwa kuwa imani ya Uaminism na iliingia kwenye imani ya dini zote za dunia kama Ushamanism miongoni mwa wahamahamaji na waliendeleza sheria kwa hali ya juu ya imani-siri miongoni mwa watu walioketi.

 

Imani-siri iliendeleza itikadi hii ya kupaaji juu kwa viumbe hawa kupitia mtazamo wa makini.

 

Maelezo yak le kinachotokea kwenye kitabu cha Mwanzo sura ya 3 iko mbali kutoka kwenye tafsiri za kiroho za kipuuzi. Inaunda au kuweka msingi wa tafsiri wa imani za kidini za ulimwengu na migawanyiko mikubwa kati ya Biblia na imani yote yenye msingi wa dini za kipagani zilizofanyizwa na kuonyshwa na itikadi au dini zenye msingi wa imani za Krismas na Easter na mfumo wote wa kisolsaiti.

 

Imani za kidini zinaonesha hii tangu zamani. Stonehenge ilijengwa kwa kipindi cha zaidi ya miaka 5,000 iliyopita hadi kwenye miaka 3,500 iliyopita. Stonehenge una vigezo vyote za imani za majira ya kipupwe cha solisaiti. Upakaji wa majivu watu unaashiria mioto mitakatifu. Mpangilio ni kwa ajili ya kushikilia majira ya solisaiti. Lile jiwe la rangi ya udhurungi linaashiria jiwe la kuwashia mioto mitakatifu wa mwaloni. mpangilio wa nyakati ni kwa nyakati zote mbili, yaani kabla na baada ambayo ilipelekea gharika kuu. Imani hii ya kuadhimisha vipindi vya solisaiti kwenye dini za zamani za wateule.

 

Hii ni tofauti kati ya imani za kale za Waashuru wa asili ya Kibabeloni na kwenye Biblia. Tunaona hili kuwa limeondolewa pale ambapo Hermes na Apollo wanaendeleza pia kwenye wazo au dhana iliyokutikana kwenye Biblia. Apollo maana yake ni "Yeye mwenye kuzidi." Hermes maana yake "Yeye mwenye mawe" au Yeye mwenye lundo la Mawe" (soma ERE, Aryan Religion (Dini ya Waaryani), 4, p. 36).

 

Cheo cha mawe kidogokidogo huja kuwakilisha Wajumbe wa miungu na mlinzi wa wasafiri na kwa hiyo matulizo yamesimama barabarani (sawa na jarida la Msalaba: Chimbuko lake na Maana yake (Na. 39) [The Cross: Its Origin and Significance (No. 39)], kurasa za 12-15).

 

Yeye mwenye chakuzidi au kondoo aliyezidi kwa kuwa pia yeye aliye na zakari ya mnyama.

 

Tangu kipindi cha zamani sana cha Apollo kilifungamanishwa na Phoibos au Mtanashati akiwa ni kama mungu jua (ERE ibid.).

 

Mungu Jua Phoebus alifungua zizi la mifugo asubuhi na kuwaswaga mifugo hawa malishoni. Mungu wa mipaka wa miti na mbao kama Sylvanus anaonekana kuwa nsiye mweka mipaka kwa mawe na tunaliendeleza mawazo haya kipindi kale zaidi kwa mwonekano nwingi uliokabiliwa ambao hawakujulikana kuwa ni chanzo.

 

Tuliyonayo ni mawazo kama hayohayo hapa yanayofanyiwa rejea kwenye Biblia na kupoteaa kwenye uelewa kupitia kwenye dini za zama kale.

 

Phobos au Lusifeli (Isaya 14:12), mleta Nuru alikuwa ni kerubi mwenye mbawa zinazofunika aliyetiwa mafuta aliyetembea juu na chini kwenye mawe ya moto (Ezekieli 28:14).

 

Mjumbe wa elohim alikuwa ni Memra au Malaika wa Yahova. Cheo cha Nyota ya Alfajiri na mleta Nuru lililomlenga Shetani na pia limetumika kumuita Masihi. Matendo na kazi za Masihi zilikuwa hazijaporwa na Shetani na akafanyika kuwa ni mwalimu wa wanadamu. Kazi hii ya kufundisha ni kama tunavyoona kutoka kwenye Kitabu cha Henoko uelewa wa kawaida unaojulikana wa Kiebrania cha zamani kuhusu anguko la Malaika.

 

Kile tunachoonekana kukiona ni wazo lililojulikana sana zamani ambalo liliharibika kwa uzemba na makosa ya kutafsiri yaliyofuatia baabae ya kile kinachotokea kwenye habari za mataifa. Sio wajibu mdogo ulikuwa makosa ya theolojia ya kanisa ya wanateolojia wa kanisa la kwanza wa karne ya nne na ya tano. Mungu aliyaweka maraifa kwa kufuata idadi ya wana wa Mungu (soma Kumbukumbu la Torati 32:8 RSV, sawa pia na tafsiri ya the LXX; 1 Clement na the DSS kwenye andiko hili). Aliwaweka wanadamu chini ya viumbe hawa.

 

Israeli, waliwekwa chini ya Yahova wakiwa kama milki yake (Kumbukumbu la Torati 32:9). Mataifa mengine yalikuwa chini ya wanachama na washiriki na Malaika. Hi ndiyo maana andiko la Kumbukumbu la Torati 32:8 lilibadilishwa na Marabi wa Kiyahudi baada ya kuanguka kwa hekalu kwenye maandiko ya tafsiri ya Masoretic (sawa na jarida la Uwepo wa Yesu Kristo Kabla ya Kuzaliwa Kwake Kimwili (Na. 243) [The Pre-Existence of Jesus Christ (No. 243)].

 

Njia Mbili, Imani Mbili

Tunaona sasa kwamba miti huwakilisha utaratibu wa imani na uzoefu. Mungu ameiweka imani mahali pake ambayo kwayo mwanadamu anaweza kuanzisha imani pasipo kufa na kutenda dhambi na kwa imani ile aweze kufikilia uijua kweli na uzima wa milele.

 

Hii ndiyo kwa hakika ndivyo Malaika aliyoumwa kwayo. Viumbe wote ni matokeo ya uumbaji wa Mungu Baba na walikuwa watiifu kwenye mapenzi yake kwa kumpokea au kujazwa Roho Mtakatifu. Alikuwa ni yeye Eloa kama mmoja wa pekee na Mungu wa kweli ambaye alikuwepo tangu mwanzo, kama vile Kristo na mitume na waandishi wa kanisa kama Irenaeus alivyosema, hakuna kilichojipinga/coeval chenyewe (sawa na Yohana 17:3; 1Yohana 5:20 nk na sawa na alivyosema Irenaeus kwenye kitabu chake cha Against Heresies (Kupinga Mafundisho ya Uzushi) kama alivyonukuliwa kwenye jarida la Teolojia ya Mwanzo ya Uungu (Na. 127) [The Early Theology of the Godhead (No. 127)]. Kwa maneno mengine ni kwamba, hawakuwahi kuwako miungu wawili wala watatu, hapo mwanzo bali kuna Mungu mmoja tu.

 

Muundo ulitegemea na ulifanya kazi kutegemeana na mapenzi ya Baba. Imani iliyoko duniani ilikuwa kwa ajili ya Adamu kumuweka mbadala wa Malaika wa Yahova au Yahova elohim. Kiumbe huyu alikuwa ni Elohim na Yahova, na Yakobo alishindana naye na kumshinda kama tunavyoona kwenye Hosea 12:3-5. Yahova wa Majeshi ni ukumbusho wa huyu elohim. Kwa maneno meingine, analichukua jina lake na mamlaka kutoka kwa Yahova wa Majeshi (sawa na jarida la Malaika wa YHVH (Na. 24) [The Angel of YHVH (No. 24)].

 

Kwa hiyo, Adamu aliwekwa chini ya Masihi aliyemzaa Yahova elohim mdogo. Shetani alijaribu kuwashawishi wafuate imani nyingine na kuifuata na kuifanya njia yake. Kwa mtazamo huu ilikuwa pia jaribio la Azazeli ambaye alikuwa ni Shetani. Shetani alinuia kuwapepeta wanadamu na kuwashitaki mbele za Mungu. Kimsingi ukamilifu wa uumbwaji wa Adamu ni jambo la kujadiliwa.

 

Jaribu

Tunakuja sasa kwenye suala la mujaribina na anguko. Je, ni kwelli kwamba Hawa alikula kipande hasa asilia cha tunda? Je, ni kwa jinsi gani basi ulaji huu ulivyomfungua macho yake. Je, hii imewahusuje Shetani na Adamu? Kwa hakka maswali yaliyoulizwa kwa karne nyingi ni: je, hili lilikuwa ni tendo la ngono? Majibu yapo ya aina mbili. Kibiblia, inategemea na kipindi kilivyokuwa.

Katika siku za zamani hadi wakati wa Augustine wa Hippo (maandoko ya takriban mwaka 405 BK), jibu lisilojulikana na tata lilikuwa ni ndiyo, uzinzi ulitendeka. Malaika walifanya zinaa na wanawake. Biblia ina idadi kadhaa ya rejez za wazi zinazothibitisha ukweli huo. Maandiko ya kale yasiyo ya kibiblia yanataarifa sawa na hizi, na kama sivyo rejea  au tafsiri na mawazo haya hayajathibitika wala kukubalika na Waisraeli wa kale. Kwenye Antiquities yake kuhusu Wayahudi (Kitbu cha 1, 3, 1), Josephus anasema kuwa ni malaika wale wale:

Walimfannya Mungu kuwa adui yao, kwa kuwa malaika wengi walishirikiana na wanawake na wakazaa wana walioishi masisha ya dhuluma na uovu.

 

William Whiston kwenye maandiko ya ufafannzi ya chini ya ukurasa kwenye ayah ii anasema kuwa:

Dhana ya kwamba malaika walioasi walikuwa na aina fulani ya maumbo au mwonekano wa kama mababa wa majitu wa kale ni mawazo ya kilamara yaliishia (soma kitabu cha Complete Works Kregel, 1981, uk. 28).

 

Wazo hili halikuwa ni la kwamba laini nyingine zimefantika hivyo kama hii ilivyoingizwa kirahisi kwenye Agano Jipya kwenye waraka ulioandikwa na Paulo kwa Wakorintho hapa akisema hivyo:

1Wakorintho 11:9-10 Wala mwanamume hakuumbwa kwa ajili ya mwanamke, bali mwanamke kwa ajili ya mwanamume. 10 Kwa hiyo imempasa mwanamke awe na dalili ya kumilikiwa kichwani, kwa ajili ya malaika.

 

Tunayo pia kwennye waraka wa Yuda ndugu wa Bwana wetu Yesu Kristo ambako hili lilikuwa limetazamwa pia.

 

Yuda 6-7  Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakayaacha makao yao yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya siku ile kuu. 7 Kama vile Sodoma na Gomora na miji iliyokuwa kando-kando, waliofuata uasherati kwa jinsi moja na hawa, wakaenda kufuata mambo ya mwili yasiyo ya asili, imewekwa kuwa dalili, wakiadhibiwa katika moto wa milele.

 

Tafsiri ya KJV imasema kuwa ni uzinzi (SGD 1608 ekporneusasai kutoka kwenye neno ekporneuo kuwa kwenye kuondolewa kabisa ubikira) zaidi ya kuwa tu ni tamaa ya ngono isiyo ya kawaida kiasilia na hili lilikuwa ndilo wazo la maandiko mengine pia kama ilivyo kwenye Kitabu cha Henoko.

 

Kwa hiyo, mtazamo wa andiko hili unatokana na dhana nzima ya uumbaji wa mwanamke na uweli wa kwamba wanawake waliingiliana kingono na malaika.

 

Hili lilikuwa ni wazo la kizamani lililopitwa na wakati na ni muono wa kinachoelezewa kwenye Mwanzo 6:4 wakati walipowazaa watoto na uzao wa majitu hawakukusudiwa kuwepo kwenye ufufuo wa wafu (soma jarida la Wanefili (Na. 154) na pia linguine la Ufufuo wa Wafu (Na. 142) [The Resurrection of the Dead (No. 143)]. Hawa walijulikana kama Warefai na hawakuwa na ufufuko (sawa na Isaya 26:13). Hawa walikuwa mabwana wengine waliowatawala wanadamu.

Isaya 26:13-14 Ee Bwana, Mungu wetu, mabwana wengine zaidi ya wewe wametumiliki; lakini kwa msaada wako peke yako tutalitaja jina lako. Wao wamekufa, hawataishi; wamekwisha kufariki, hawatafufuka; kwa sababu hiyo umewajilia, na kuwaangamiza, na kuupoteza ukumbusho wao.. (KJV) Neno miungu mingine kwenye SHD 113 ‘adon au mwenyezi au mtawala kama mwanadamu au wa mbinguni lakini ni kwa neno hili ambalo limetukika kwenye Mwanzo 19:2 na Kumbukumbu la Torati 10:17.

 

Kwa kifupi sana kutoka kwnye andiko hili tunaona kwamba baadhi ya njia za kujikinga na utendaji wa ngono ulikuwepo kati ya Hawa na Shetani.

 

Mtazamo wa imani nyingine za dini za kale kutoka gharika kuu inaliunga mkono wazo hili kwa ukweli unaotokana na mfano wake/ imani ya utatu au Utrinitariani kama ilivyokuwa imeeleweka hapo kale ilikuwa na alama ya Juan a Mwezi na Nyota ya Alfajiri zikiungana pamoja kwenye kazi ya urutubisho. Mara mbili ya jambo hili ya imani ya Wababeloni na Ishtar (tunaweza kujinea kwa kina kwenye jarida la Ndama wa Dhahabu (Na. 222) [The Golden Calf (No. 222)] inahusiana na Mbingu na Nchi. Kwa hiyo, huyu anima (ambaye anaweza tu kuwa ni roho mchafu au wa uwongo) huwaingi wanadamu kwa hila na ujanja wa kazi au harakati za Shetani akiwa kama Nyota ya Alfajiri kwenye matamasha kwa mwonekano wa mwili wa mwanamume au mwanamke.

Kwa hiyo alama yote imeharibiwa kutokana na Jua la Haki na Mwezi, Kanisa na Roho Mtakatifu anayetenda kazi kwenye shughuli na hamasa za tamasha kwa viumbe watatu tofauti kutoka kwa wateule kanisani.

 

Augustine wa Hippo

Dhana au fikra ya pili iliundishwa na Augustine wa Hippo mwanzoni mwa karne ya tano. Alilichukulia lile wazo la kwamba Sethi alikuwa ni ni aliyetoka kwenye mnyororowa uzao wa Adamu na kwamba Kaini alioana na wanawake waliokwa wa uzao wa malaika walioasi na hivyo kwamba uzao wake haukuwa safi kwenye mnyororo wa wazaliwa wake kama ilivyokuwa kwa Nuhu ambaye alikuwa safi na mkamilifu na uzao wake wote (Mwanzo 6:9) (sawa na kitabu cha The Genesis Apochryphon, DSS, cf. Vermes, The Dead Sea scrolls in English, 2nd. ed., Pelican 1975, pp. 215 ff.).

 

Augustine, kwenye kazi yake ya uandishi kitabu kinachoitwa Mji wa Mungu (Bk. XV, XXIII, NPNF 1st. series, vol. 2, pp. 303 ff.) alitangaza kuwa malaika hawakushiriki matendo ya ngono na wanawake wanadamu na kwamba wana wa Mungu walikuwa ni wale waliotoka kwenye laini kamilifu kuanzia Sethi na wana wa wanadamu walikuwa ni uzao wa Kaini na majitu ambao waliangamizwa hatimaye, walikuwa ni wa uzao wa Kaini.

 

Sasa basi, hii hali halisi inayoonekana kuwa ni jema na yenye mashiko kidogo ilikubalika na kila mtu ambaye hakuweza kufikiria kwa kina kuhusu kweli ya Biblia kuwa ni maandiko ekee yaliyovuviwa. Ililipa Kanisa la Kikisto lifanye kazi chini ya mwavuli wa dola ni jibu la wazi na lisilo na utata ambalo lingeweza kukithi haja ya udadisi na kutoweza kuacha swali lolote likining’inia. Kwa hiyo, inafikiliza malengo ya wazee wa kanisa wasio na habari hadi kilipofika kipindi cha mavumbuzi wa kisayansi ya zama za mapinduzi ya viwanda huko Ulaya.

 

Watu walivunja kwa uhuru kanisa lisilokuwa na uelewa na walianza kuchimba mambo yaliyopita na kwa hiyo waliikuta dunia ilikuwa imezeeka na kulikuwa na wanyama wengine walio na umri mrefu zaidi mwanadamu na kulikuwa na aina nyingine za wanadamu waliokuwa wa kale zaidi ambazo hazikuwa na kitu cha kutendea kitu chochote. Kwa hiyo, hadithi yote ya Augustine ilianza kuanguka.

 

Kwa mpangilio mbinu vya kutosha iliondolewa mapema sana ndani ya kanisa hilohilo ambalo liliendeleza hili hadi kuitwa Kanisa la Kikatoliki. Tawi la Warumi ya hilo lilikubaliana hivi karibuni na dhana ya elimu ya mageuzi ya maumvile ya viumbe au evolusheni badala ya kukubaliana na ukweli wa wazi ulio kwenye Biblia.

 

Watetezi wakubwa wa dhana ya uzazi ya Augustine ni kile tutakachokiita ambapo ni kwa ukweli dini za watu wenye imani kali ya kidini waliolipinga Kanisa Katoliki la Roma bado walikuwa ni sawa kama kwenye shirika. Mtazamo huu ulifanya kuwa ni vigumu sana kueleweka na kufanya tafsiri ya kiroho au maana yaliyo kwenye maandiko ya kitabu cha Mwanzo.

 

Bila shaka kwamba malaika hawa waasi wanachukuliwa na kuelezewa kwenye Biblia kuwa walifanya matendo ya zinaa na wanawake wa wanadamu. Basi na hata kama itakuwa kwamba kwenye mfano wa kwanza wa hii ulihusisha matendo ya ngono au la, hatuwezi kusema. Inaonekana kuwepo na namna ya uelewa kwamba kulikuwepo walioshiriki na matendo ya wanawake wakifanya tendo la kujaamiiana na joka au Nachash, na kwamba tendo hili walimsababishia kufukuzwa na kutupwa hapa chini duniani na kutembea kwa tumbo badala ya kusimama kama tunavyoona kwa yale yaliyomtokea alipokuwa akiadhibiwa.

 

Iwe ni kwamba tendo hili la kwanza lilihusisha kutendaji wa ngono au la, bali hakika ni kwamba ilipelekea kwenye tendo hilo kwene uzazo wa mwanamke. Kukataa ukweli huu ni sawa na kukataa kwa wazi maneno yaliyoandikwa kwenye maandiko ya Biblia.

 

Ndoa

Tukio la ndoa na kizazi ni lengo lililo wazi kwenye Mwanzo 1:28. Adamu alipewa mwanamke ili awe ni msaidizi wake na waliungana kama mwili mmoja na waliambiwa waijaze nchi. Hii ni amri moja kama aliyopewa Nuhu baada ya gharika kuu.

 

Kwa hiyo mtazamo ulikuwa ni mmoja ambao ni kuanzisha mahusiano ya kmwili ya kingono kati yao na hawakuona haya. Hata hivyo, tunaona baadae kwamba wakati Adamu na Hawa walipotenda dhambi walianza kuona aibu na wakajitengenezea majani na kujifunika ili kuficha tupu zao. Tendo la kwanza halikuhusisha hali hii ya kuona haya bali tendo la pili ni wazi kabisa lilipelekea wao kuona haya na walishurutishwa na Shetani kufanya tendo hiji.

 

Mungu alimpa Adamu maelekezo ya wazi ili kumtii yeye na kutokula tunda hili. Mwanamke huyu alimuasi mume wake ambaye ni elohim wake kwa kushirikiana na kiumbe mwingine. Adamu alikuwa na wajibu kwa mke wake hapa wa kumuongoza na na kuwa hodari lakini hakuwa hivyo. Alimruhusu kutenda dhambi na akawa ni mtu asiye mtakatifu tena mbele za Mungu.

 

Kwa namna hiyohiyo, Adamu wa pili anawajibu mkubwa kwa bibi arusi wake ambaye ni kanisa na anawajibika kwa kulisafisha ili liwe halina doa mbele za Mungu. Kwa ajili hii, uhusiano wa kindoa uliwekwa hata kabla ya kipindi cha anguko lao na ni tendo takatifu.

 

Gharika Kuu

Lengo la ibilisi lilikuwa ni kuingilia kati na kuuharibu mpango wa Mungu na mbinu yake hiyo ililenga kuharibu kusudi zima la mpango wa uumbaji na kusababisha gharika kuu. Aliingia mchakato wa uumbaji kwa kiasi cha kufanya kwamba wakati ule wa gharika kuu walikuwa hawafai kabisa tena kiasi cha kuwa walistahili kuangamia tu na kuwaacha wale waliokuwa wanastahili kwa ukamilifu wao wa kizazi kilichosalia hai.

 

Kwa hiyo mchakato wa uasi huu ulirithishwa kwa kutumia tendo la ngono kuwa silaha kuu kama ilivyofanyika kuharibu uzao nasaba na hali yake kwenye uumbaji. Hii inaonekana kuwa imesimamishwa. Lakini matatizo ya kinasaba yaliendelea kwa kupunguza kiwango cha uumbaji.

 

Utawala

Kile ambacho hakijaongelewa kwenye jambo hili ni kwamba utawala wa sayari yetu ulihetani ambaye ni Nyota ya Alfajiri au Mleta Nuru. Utawala wa dunia hii hakupewa Yesu Kristo. Kwa hiyo utaratibu ambao Mungu aliuweka hata mapema kabla ya anguko la malaika kutokea ulikuwa ni kumpa Shetani nguvu na mamlaka haya ya kiutawala.

 

Kwa hiyo, dhambi ya Asili ilipata nguvu ya haraka katika kuondoa uumbaji wa mwanadamu kutoka kwenye Bustani ya Edeni na uhusiano wake na Mungu.

 

Pale Bustanini, Ruach wa Mungu aliondolewa na Adamu na Hawa walipewa fusra ya kumrudia Mungu.

 

Mwanzo 3:8-12 Kisha wakasikia sauti ya Bwana Mungu, (Yahova elohim) akitembea bustanini wakati wa jua kupunga; Adamu na mkewe wakajificha kati ya miti ya bustani, Bwana Mungu asiwaone. 9 Bwana Mungu akamwita Adamu, akamwambia, Uko wapi? 10 Akasema, Nalisikia sauti yako bustanini, nikaogopa kwa kuwa mimi ni uchi; nikajificha. 11 Akasema, Ni nani aliyekuambia ya kuwa u uchi? Je! Umekula wewe matunda ya mti niliyokuagiza usiyale? 12 Adamu akasema, Huyo mwanamke uliyenipa awe pamoja nami ndiye aliyenipa matunda ya mti huo, nikala.

 

Hapa inasema kwamba walijiondoa wenyewe mbali na Roho Mtakatifu au Ruach wa Mungu. Waliisikia sauti ya Yahova elohim. Hii ilikuwa ni mpumuo (SHD 7307) wa Bustani au utulivu au mvumo wa hewa ya siku ambayo ni Ruach.

 

Walikuwa wametenda dhambi na wakajificha wasionnekane na Mungu katikati ya miti iliyokuwepo Bustanini. Swali la kwanza kuwahi kuulizwa kwenye Agano la Kale ni hili la Mungu kuwauliza wenye dhambi waliojificha (Mwanzo 3:9). Yahova elohim anawaambia Adamu na Hawa "Muko wapi?"

 

Hii ni kinyume kabisa na swali la kwanza la kwenye Agano Jipya lililo kwenye Mathayo 2:2 la mdhambi aliyesema: ‘uko wapi?’

Mathayo 2:2 Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake mashariki, nasi tumekuja kumsujudia.

 

Hapa tunawaona Mamajusi au wenye hekima waliokuwa wanamtafuta Mwana wa Mungu na ukombozi walioupoteza wakati Adamu alipotenda dhambi. Kwa hiyo kiumbe alioyewatafuta wao pale Bustanini aliwatafuta kwa hekima alipokuja kuwakomboa. Hekima hii yaitokani na wanadamu bali na Mbingu.

 

Adamu aliisikia sauti na akajificha kwa kuwa alikuwa yu uchi. Ujuzi huu hakuwanao hapo kabla bali ujuzi huu ulitokana na hali yake mpya ya kujua mema na mabaya. Malumbano yaliyokuwepo ni kwamba ule ulikuwa ni ujuzi wa mema kuwa ilikuwa ni njia ya Mungu, sio sahihi ama kweli.

 

Zaidi ya yote, tunajua kwamba kiumbe Yule alikuwa ni Malaika wa Yahova au Yahova Elohim, kwa kuwa tunajua kuwa hakuna mtu aliyewahi kumuona Mungu wala kuisikia sauti yake wala kwenye ushuhuda wa kiumbe huyu kama alivyokuwa Yesu Kristo (Yohana 5:37).

Yohana 5:37 Naye Baba aliyenipeleka amenishuhudia. Sauti yake hamkuisikia wakati wo wote, wala sura yake hamkuiona.

 

Kwa hiyo huyu Yahova elohim kwenye ushuhuda wa Yesu Kristo (na mitume) hakuwa ni Mungu wa Pekee na wa Kweli.

 

Tunaone kwa kina sana kwamba kile alichokisema Shetani kwa kweli kilikuwa cha kweli na kwamba ujuzi wa mema na mabaya, ulikuwa wa muhimu kwa hadhi ya mtu ambaye ni elohim.

 

Anasemaje Yahova elohim kuwaambia wengine.

Mwanzo 3:21-24 21 Bwana Mungu akawafanyia Adamu na mkewe mavazi ya ngozi, akawavika. 22 Bwana Mungu akasema, Basi, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema na mabaya; na sasa asije akanyosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima, akala, akaishi milele; 23 kwa hiyo Bwana Mungu akamtoa katika bustani ya Edeni, ailime ardhi ambayo katika hiyo alitwaliwa. 24 Basi akamfukuza huyo mtu, akaweka Makerubi, upande wa mashariki wa bustani ya Edeni, na upanga wa moto uliogeuka huko na huko, kuilinda njia ya mti wa uzima.

 

Viumbe hawa wote walikuwa na ujuzi wa mema na mabaya. Na Yahova Elohim anasema, Basi, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu, kwa kujua mema na mabaya; na sasa asije akanyosha mkono wake akatwaa matunda ya mti wa uzima, akala, akaishi milele ilikuwa ni lazima aadhibiwe kwa kuondolewe kutoka bustanini

 

Kwa jinsi hiyohiyo mapepo pia walikatazwa wasiingie kwenye mti wa uzima kwa msingi endelevu. Kwa maana hii hawakuwa tena (wenye kutokufa) kwa maana ya kuwa na uzima ujulikanao kama aionion, bali waliwekewa nakati na mahali kama tunavyoona kwenye maandiko haya ya na kwenye Injili za Agano Jipya kwa ujumla. Kwa hiyo ujuzi wa mema na mabaya uliokuwepo kwenye mti wa uzima iliwafanya wawe kama elohim.

 

Shetani alikuwa sahihi kwa alichokisema kumwambia Hawa. Yeye kama Kerubi mwenye Mbawa Afunikaye alijua jambo hili na kwamba ndvyo alivyo Yahova elohim au kamanda aliyepewa mamlaka aliyetawala kwa jina la Yahova wa Majeshi jambo ambalo ndvyo alivyokuwa.

 

Kwa hiyo ni upuuzi kudai kwamba mti mmoja ndiyo ulitakiwa kuwapelekea kufa. Mti ulikuwa umekatazwa kwa kuwa Mungu alikuwa ana mpango wake, ambao ungewawezesha wanadamu kuendelea mbele kwenye kiwango kama cha elohim kwenye mpangilio ulio wa tofauti na ule ambao tunaoujua leo.

 

Kwa kulileta kwake hili Shetani kisha akapewa wajibu wa kuwatawala viumbe hadi mwisho na kwa hilo atahumumiwa. Jinsi aangvyoamua  kufanyanyia na kuwatesa wanadamu inaamua jinsi yeye mwenye na Masihi wangalivyoweza kuwatendea wanadamu.

 

Kupuuzia Lawama

Kuna malumbano au mabishano makubwa hapa kwenye Maamuzi. Iwapo kama Mungu alijua na akawawaweka viumbe wote wawili hapa ili wawatawale viumbe na huku akijua kuwa Shetai angeingilia kati na kuharibu na anawajibika kwa matukio haya. Kwakuwa yeye anauweza wa kujua kila jambo, basi lazima angelijua hili, vingevyo Masihi basi hangekuwa mwanakondoo wa aliyeuawa hata kabla ya kuwekwa kwa misingi ya dunia.

 

Basi huenda Mungu hakumpa maelekezo sawasawa Yahova elohim au engine alipenda kuwaruhusu viumbe hawa wawili waamue kwa njia ya matendo yao wenyewe, siri ya mpango wa wokovu kwenye kipindi chote cha majaribu. Kwa kutokuingilia, Mungu pia angewapa Malaika wajibu wao kwa kila kiwango.

 

Kristo akiwa kama Yahova elohim anafanya kazi chini ya mamlaka nay eye hana ule uweza wa kujua kila jambo kama tunavyoona kwenye maandiko mengine yanayofuatia, ni lazima iwe kwamba ama hakuambiwa au alikuwepo wakati wa anguko bila yeye kushiriki kuasi.

 

Kwa namna nyingine, uhamishaji wa madaraka uliathirika kutoka kwa Yahova elohim hadi kwa Nachash aliyefukuzwa na kutupwa duniani. Huhu Nachash akiwa kama Nyota ya Asubuhi, bado anaruhusiwa kuingia kwenye kiti cha enzi cha Mungu kwa wakati wowote anaotaka kama tunavyoona kwenye Ayubu 1:6; 2:1.

 

Kwa hiyo, dunia ililaaniwa kwa sababu ya uasi wa Adamu na Hawa. Hili ndilo wazo zima lililo kwenye Kumbukumbu la Torati 32:8. Torati ambayo ina umuhimu wahe na laana zilikuja kuchukua mkondo wake.

 

Kama Yahova elohim hakuchukua hatua ya kuwalinda, analawama kwa namna ileile kama wazazi wanavyoweza kulaumiwa wanaposhindwa kuwalinda watoto wao kutoka kwenye hatari zinazoweza kusababisha kifo.

 

Utaratibu wote mzima unaonekana kama imewekwa na Mungu ili kujaribu elohim kwanza na heatimaye kuweza kuwapa wao utaratibu na fursa ili kuwafanya wawatawale viumbe hadi kufikia mwisho.

 

Roho hizi hapa ni za aina mbili. Ya kwanza ni ile ya utii nay a pili ni ile inayotamani kuwa kando na mapenzi ya Mungu. Mirengo hii haiepukiki kwa jinsi ilivyo hapa. Na inajumuisha umuhimu wa kuhadhari kwa masharti yao kwa kuhusiana na elohim visivyo na shaka.

 

Kwa hiyo hatuzizungumzii juu ya tahadhari ya kuwa tupu kwao na kujiona hivyo wote wawili. Bali tunaongelea juu ya tahadhari ya utupu wa kila mmoja wao mbele za elohim ambayo ndiyomatokeo ya ujuzi walioupata baada ya kulila lile tunda.

 

Kwamba kama Mungu Baba alilijua hili kuwa litatokea, ni hakika kabisa. Ushiriki wa Kristo kama Yahova elohim kwa hili hakuasirii uweza wa kujua kila jambo wa kiwango sawa na ule wa Yahova wa Majeshi.

Mpango wa Mungu ndio ulitakiwa zaidi ya kiumbe mwingine yeyote pamoja ya Kristo alijua. Na ndiyo maana hata Kristo mwenyewe alijaribiwa utii na imani yake ambayo kwayo uweza wa kujua kila jambo unakuwa wa muhimu mbali na imani. Kwa kuwa hapo ndipo hasa ujuzi ulipo, wakati imani inapokuwa si ya muhimu.

 

Kuondoa hilo kwenye malumbano haya mara nyingi kunachukuliwa kuwa ni kuuchukulia au kumuona Mungu kuwa ni Mmoja aliye ndani ya migawanyo mingine ya viumbe wawili. Mfano mmojawapo wa mtazamo huu ni usemi au fundisho la kanisa la Worldwide Church of God kwenye kijitabu chao. Kwa kuanza: Kuyajibu Maswali yaliyo kwenye kitabu cha Mwanzo (WCG 1980, p. 2.)

Kumbuka inavyosema Yohana 1:1:  Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu." Hilini ni rekodi ya zama za kabla ya historia. Inaweza kuwa ni kipindi cha zaidi ya mamilioni au maelfu milioni ya miaka iliyopita. Viumbe wawili waishio milele kama Roho ziishizo Zilijiunga pamoja na kuwa MMOJA kwenye anga tupu. Kulikuwa hakuna ulimwengu wenye kuonekana BADO.

 

Makala inaendelea kumwelezea Mungu kwa namna ya umoja         

Lakini kama wengi wanavyodhania, na ilivyofanyika na kupangwa hapo kabla ya kufanya kama alivyofanya Mungu aliweka mpangilio na akapanga kuwaumba malaika wakiwa ni roho zisizo-kufa na akafanyiza roho wote walioko. Mungu aliwaumba malaika kabla hajaiumba dunia. Tunajua kuwa walikuwa wameumbwa mapema hapa duniani kwa kuwa waliimba pamoja na kupiga makelele kwa furaha wakati dunia ilipoumbwa (Ayubu 38:4-7.) (msisitizo umefanywa).

 

Hii ni wazi kabisa kuwa teolojia ya kipagani. Inatokana moja kwa moja na imani za kumuabudu mungu Attis ambayo kutoka kwayo imani ya Kimodalism ya Warumi ndimo ilimotokea. Na jambo hili limefafanuliwa kwenye jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235) [The Origins of Christmas and Easter (No. 235)]. Kwenye imani ile Mungu alikuwa ni muungano wa vitu viwili vinavyoishi kama Baba na Mwana. Hatimaye imani hii iliendelezwa hadi kwenye kiwango cha Utrinitariani kwa kumuongeza Roho Mtakatifu kwenye Baraza la Mtaguso wa Constantinople mwaka 381. Imani hii ya kuamini miungu wawili maarufu Ubinitariani ulojaribu kuweka tofauti ya vitu viwili iliendelezwa kutoka Mtaguso wa Nikea mwaka 325 BK.

 

Imani hii hata hivyo ni ya kipagani na inapingana na Maandiko Matakatifu na ni chanzo cha kuingia kwa imani ya utatu kwenye makanisa ya Mungu. Hii inaanzisha utendaji kazi wake tangu hapa kwenye zama za Mwanzo.

 

Hebu tazama maelezo yake kidogo hapa kwenye Mwanzo, Yahova elohim aliwambia Adamu na Hawa. Yahova elohim alinena kwa mwonekano wa uwingi kwa elohim akasema, Basi, huyu mtu amekuwa kama mmoja wetu. Kuna viumbe wengi, Shetani kama Nyota ya Asubuhi na wale waliotajwa kwenye Ayubu 38:4-7. Masihi pia ni Nyuta ya Asubuhi.

 

Kulikuwa na elohim watatu waliokuwa viumbe waliojtatwa kama malaika na pia Yahova, ambalo ni jina la elohim aliyenena na Ibwahimu na Lutu kama tulivyoona hapo juu.

 

Kristo alisema hakuna mtu aliyewahi kumuona Mungu au aliyewahi kisikia sauti yake. Lakini Adamu na Hawa waliongea na Yahova elohim uso kwa uso kama alivyofanya Musa, Yakobo alishindananaye mweleka. Kwa ukweli, Yahova elohim sio Baba, Mungu wa Pekee na wa Kweli. Kristo alimuongelea kwenye Yohana 5:37. Zaidi ya yote kuna takriban viumbe watatu kwenye Agano la Kale wanaobeba jina la Yahova, lakini hakuna hata mmoja walio aliye Mungu Baba yetu na watatu hawa wote wanajulikana kama malaika.

 

Kwa hiyo, utofauti usio sahihi kama ulivyofanywa na hawa Wabinitariani. Hatimaye watu haohao waliandika kuwa Mungu na Kristo kama viumbe hawa wawili walivyo walijadiliana na kuamua Yule ambaye atakuja hapa chini na kutolewa sadaka. Dhana hii ni upotofu na imeingizwa kutoka Uditheism na Ubinitarianism iliyoingizwa na kukubalika tu pasipo kuyajua au kutimia maanani maneno aliyoyasema Masihi mwenyewe.

 

Mungu, Aliye Juu Sana hakuwepo hapa kwenye bustani ya Edeni, ila ni kwa kupitia Roho Mtakatifu tu. Viumbe wawili waliokuwa kwenye nafasi ya uongozi au mamlaka na utawala walinikuwa ni viumbe wawili wakubwa kicheo hapa.

 

Waliweka utaratibu hapa kwa ajili ya awamu inayofuatia. Viumbe hawa wawili hapa ni Yahova elohim ni kiumbe Yule Yule anayetajwa kwenye Hosea 12:3-4.

 

Kwa hiyo, mpango uliwekwa kwa ajili ya kuwajaribu elohim hawa katika kuitawala dunia. Waliasi na walikuwa wanakwenda kushitakiwa sawasawa na makosa ya uasi wao.

 

Utaratibu ambao Shetani aliupinga uliwekwa mahali na alifanywa kuwa ni kamanda wake. Taifa la Israeli hata hivyo liliiondoka utumwani na kuwekwa chini ya Yahova elohim ili liweze kuuleta ulimwengu wote kwenye wokovu kwa kupitia mnyororo na utaratibu au imani ingaliyoweza kutengwa mbali chini ya Sheria za Mungu kwa hiyo, utaratibu wote ulikuwepo tangu mwanzo.

 

q