Makanisa ya
Kikristo ya Mungu
[259]
Torati na Amri ya Sita
(Toleo La 3.0
19981009-20050810-20120804)
Imeandikwa: Usiue. Jarida hili linaelezea muundo mzima wa Torati au Sheria ya Mungu na jinsi inavyoendana na Amri zake, na jinsi inavyoelezewa na manabii na Agano na uhusiano wake na agizo la Usomaji wa Torati katika mwaka wa Sabato.
Email: secretary@ccg.org
(Hatimiliki © 1998, 1999, 2005,
2012 Wade Cox)
(tr. 2012)
Masomo yaliyo kwenye jarida hili yanaruhusiwa kunukuliwa na kuwapa watu bure bila kulipishwa kitu, ikiwa tu
Jarida hili linapatikana Ulimwenguni
kote kwenye wavuti yetu ya:
http://www.logon.org au http://www.ccg.org
Torati na Amri ya Sita
Imeandikwa kwenye Kutoka 20:13 na Kumbukumbu la Torati 5:17: “Usiue”.
Hali ya kulinda au ulinzi wa maisha unaendelea hadi kwenye ulinzi wa mwili. Inahusika na hali ya kutilia maanani utakatifu na kujitakasa kwa mtu binafsi yake. Kama tunavyoendelea kwenye amri ya tano, ambayo inahusika na mambo ya familia na taifa, kwa hiyo ni sawa pia na ulindaji wa familia na taifa inayofungamana na amri ya sita.
Kuwaombolezea
wafu kwa mtindo unavyofanywa na mataifa mengi hakupaswi
kuwa hivyo kwenye familia za wana wa Israeli (Mambo ya Walawi 19:28). Kifo cha
asili cha mtu yeyote ni tukio linqlotokea kwa mujibu wa Mpango wa Mungu, na
kinamtazamo tarajiwa na tukio la ufufuo wa wafu, na Israeli watawekwa kwenye
nchi yao wenyewe (soma Ezekieli. 37:1-14; Ufunuo 20:1-15).
Israeli wanapaswa wasiwe
na doa wala kunyanzi na ngozi zao hazitakiwi zichanjwe
chale au kuwekwa alama yoyote. Kwa hiyo, mtindo wa kujichora
michoro na kuweka alama nyingine kwa makusudi kwenye mwili kumekatazwa. Tendo
la kumruhusu mtumwa akubali kuchomwa kwa umma sikioni
mwake kwa dhumuni la kuweka alama lilionekana
Kiini au chanzo na Muundo wa Taifa
Uweza wa kuishi na
kufa unamtegemea Mungu kama tulivyojionea kwenye jarida la Torati na Amri ya Tano
(Na. 258) [Law and the Fifth Commandment (No. 258)].
Mungu ameanzisha
familia kama msingi ambao Nchi inajengwa juu yake. Ameweka
mamlaka ya juu
Warumi 13:1-7 inasema: Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu. 2 Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu. 3 Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo mema, bali kwa sababu ya matendo mabaya. Basi, wataka usimwogope mwenye mamlaka? Fanya mema, nawe utapata sifa kwake; 4 kwa kuwa yeye ni mtumishi wa Mungu kwako kwa ajili ya mema. Lakini ufanyapo mabaya, ogopa; kwa maana hauchukui upanga bure; kwa kuwa ni mtumishi wa Mungu, amlipizaye kisasi mtenda mabaya kwa ajili ya ghadhabu. 5 Kwa hiyo ni lazima kutii, si kwa sababu ya ile ghadhabu tu, ila na kwa sababu ya dhamiri. 6 Kwa sababu hiyo tena mwalipa kodi; kwa kuwa wao ni wahudumu wa Mungu, wakidumu katika kazi iyo hiyo. 7 Wapeni wote haki zao; mtu wa kodi, kodi; mtu wa ushuru, ushuru; astahiliye hofu, hofu; astahiliye heshima, heshima.
Mungu ametoa
mamlaka yake kwa kupitia kwenye vibao vilivyoandikwa
torati, ambazo alimpa Musa (Kumbukumbu la Torati 9:11). Kwa hiyo, wafalme wote
wanapaswa kuwa na nakala
Kumbukumbu la Torati 17:18 Tena na iwe, zamani aketipo juu ya kiti cha ufalme wake, ajiandikie nakala ya torati hii katika chuo, kufuata hicho kilicho mbele ya makuhani Walawi;
Mungu aliwaweka
wazee katika Israeli kwenye nchi
Hesabu 11:16-17 Kisha Bwana akamwambia Musa,
Nikusanyie watu sabini, miongoni mwa wazee wa israeli,
ambao wewe wawajua kuwa ndio wazee wa watu hawa, na maakida juu
Kwa mujibu wa
Hesabu 11:26, Mungu pia aliwaweka akiba manabii wawili nje ya Maskani ya
Israeli. Mungu hafanyi kitu chochote mbali ya kile alichokisema kupitia kwa watumishi wake manabii, ambao ni yeye mwenyewe ndiye
aliyewachagua kutoka miongoni mwa watu wake. Na ndivyo ilivyo kwamba waamuzi au
mahakimu wanatoa hukumu kwa ajili ya Bwana Mungu (2Nyakati
19:5-7).
Mfalme
anateuliwa pia na kupewa mamlaka ya Roho ili waeeze kuwatawala
Israeli (soma 1Samweli10:1-7). Viongozi au wazee wanaosimamia huduma za kiroho wa Israeli walichaguliwa kwa kupigiwa kura (Matendo 1:26). Matendo
6:3-6 inaonyesha kwamba mashemasi na wazee
walichaguliwa kutoka miongoni mwa wapendwa. Viongozi wenyewe wanachaguliwa kwa kutiwa mafuta
Kumbukumbu la Torati 1:9-14 Nami wakati ule niliwaambia, nikasema,
Siwezi mimi mwenyewe kuwachukua peke yangu. 10 Bwana, Mungu wenu, amewafanya kuwa wengi, nanyi,
angalieni, mmekuwa leo mfano wa nyota za mbinguni kwa wingi. 11
Bwana, Mungu wa baba zenu, na awafanye kuwa wengi mara elfu kuliko
mlivyo, na kuwabarikia, kama alivyowaahidi. 12 Nitachukuaje
peke yangu mimi mwenyewe udhia wenu, na mzigo wenu, na mateto yenu? 13 Jitwalieni watu wenye akili na fahamu, watu
wanaojulikana, kwa kadiri ya kabila zenu, nami nitawafanya wawe vichwa juu
yenu. 14 Nanyi mkanijibu, mkaniambia, Jambo ulilonena
ni jema la kufanya.
Kwa yote haya hakuna hata mzigo miongoni mwa watu, waamuzi, au wanyama, au kiumbe yeyote, au kwa msingi wa torati yenyewe (soma Kumbukumbu la Torati 22:10).
Torati hii ya Mungu haipaswi kufungiwa nira pamoja na sheria za mataifa, wala hazitakiwi kumwagiliwa maji ili kuzizima au kuzidiwa na sheria za kimataifa. Utaratibu wa Torati hii ya Mungu, kalenda yake na namna yake ya kumuabudu hazipaswi kufungamanishwa na mifumo yeyote ile ya mataifa wasioamini (2Wakorintho 6:14). Mfumo wa kimaongozi na kimahakama wa wana wa maagano wote ni wa mwelekeo ashirio wa wanaoiamini Torati ya Mungu.
Viumbe
wote wanatunzwa kwenye nchi iliyoumbwa kikamilifu. Hakupaswi kuwa na machafuko kati ya viumbe
wa Mungu tangia mwanzo,
Wala mtumishi wa Mungu asishitakiwe kwa kuzifundisha na kuzikazia sheria, na kwa kuzisimamia na kuzizimamia kwa kutochangamanisha na kazi au shughuli za kila juma. Wala kusiweko na mnyama au mwanadamu mwenye kuzuiwa kufurahia matunda mema yatokanayo na kazi zake za utumishi.
Kumbukumbu la Torati 25:4 Ng'ombe
apurapo nafaka usimfunge kinywa.
Je, hapa Mungu anaongelea habari za punda peke yake? (soma 1Wakorintho 9:9;
1Timotheo 5:18; sawa na Ayubu 38:41; Mathayo 6:26; 10:29). Vitu vyote
vimetokana na sheria za Mungu, ikiwa mataifa watazitii
(Mambo ya Walawi 5:5-7). Sadaka ya upatanisho na za
dhambi zimefungamanishwa kwenye dhabihu bora aliyoitoa Masihi.
Haki
inajiri kwa Watu wa Mataifa na kwa adui, na pia kwa
ndugu yako (Kumbukumbu la Totari 22:1-4; Mambo ya Walawi 20:22-24).
Kutoka 23:4-5 Ukimwona ng'ombe wa adui wako, au punda wake, amepotea, sharti umrudishie mwenyewe tena. 5 Ukimwona punda wake huyo akuchukiaye hali ameanguka chini ya mzigo wake, nawe ungejizuia usimsaidie, lazima umsaidie..
2Wakorintho 6:14-18 Msifungiwe nira pamoja na
wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki
na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza? 15 Tena
pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu
gani pamoja na yeye asiyeamini? 16 Tena pana mapatano
gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye
hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao
nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu. 17 Kwa hiyo, Tokeni kati yao, Mkatengwe nao, asema Bwana,
Msiguse kitu kilicho kichafu, Nami nitawakaribisha. 18 Nitakuwa
Baba kwenu, Nanyi mtakuwa kwangu wanangu wa kiume na wa kike,
Imeandikwa:
“Usimchukie
ndugu yako moyoni mwako; ni lazima kumkemea jirani
yako, wala usichukue dhambi kwa ajili yake. 18 Usifanye
kisasi, wala kuwa na kinyongo juu ya wana wa watu wako; bali umpende jirani
yako kama nafsi yako; Mimi ndimi Bwana.
Na mgeni akikaa pamoja nawe katika nchi yako, usimdhulumu. 34 Mgeni akaaye pamoja nawe atakuwa kama mzalia
kwenu; mpende kama nafsi yako; kwa maana ninyi mlikuwa wageni katika nchi ya
Misri; Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu. ” (Mambo ya Walawi 19:17-18,33-34; Kutoka
22:21 RSV).
Amri hii ya sita sio tu kwamba inakataza tu tendo la kuua, bali ni katazo linalolinda uhai na kumfanya mtu kuwa mtakatifu kwa Bwana, kwenye sheria za Mungu aliye Hai. Uhai hauwezi kupunguzwa kiwangochake cha thamani au uzani wake wa ubora kwa kutumia udhalimu au dhuluma au kwa tendo la kuwapendelea watu. Kwa hiyo, muundo wa amri hizi unaendana na dhana ya kumshambulia au kumnyag’anya mtu na raslimali.
Matoleo kwa kuivunja amri ya sita
Kumbukumbu
la Torati 19:1-13 [ISOMWE YOTE NA KWA UKAMILIFU]
Wakati taifa la Israeli lilipoanzishwa,
lilipangiliwa na kutengwa miji mitatu ya makimbilio
ambayo ilitumika kwa kuikimbilia mtu yeyote aliyemuua mwenzake bila kukusudia,
ili kwamba kisasi kisimfike kwa kipindi hiki na akadhuriwa na wenye hasira.
Kwa hiyo, uvunjaji
wa sheria hii kwa marudio ulilindwa na Nchi iliyo
kwenye moja ya miji hii ya makimbilio, ikiwa kama jambo
Upotoshaji na ubadilishaji wa sheria za kibiblia uliofanywa na Yuda
Kwa hiyo, mgeni na mpitaji wanapaswa pia wapewe ulinzi huu wa kila mmoja
kwenye jamii, na kupewa msaada kunapotokea hali ya hatari. Upotoshaji wa sheria za kibiblia ulitokea na kufanywa kwa kiasi kikubwa
na jopo la Kiyahudi lililojulikana
Kwa watu wa mataifa
ambao hatumo kwenye vita wala mapigano nao …kifo chao hakipaswi kisababishwe,
bali imekatazwa ili kuwaokoa wanapokuwa kwenye kipindi au kiwango cha kufa,
ikiwa, kwa mfano, iwapo kama mmoja wao ataangukia baharini, na iwapo
Kitabu cha Soncino
hakionyeshi uhusisiano wa kiuandishi na tafsiri za
kibiblia kwenye maandiko yake kwa kuwa ukukaji na upotoshaji huu wa Maandiko
Matakatifu usio sawa wala haki ni kiwango kinachoelezewa. Nukuu halisi zinaonekana
Mambo ya Walawi 19:16 Usiende huko
na huko katikati ya watu wako,
Andiko hili (hususan
aya ya 16b) linaeleweka
Kuinajisi Sabato kunafanika hata ikiwa mtu anafanya kazi ya kuokoa maisha ya Myahudi mwenzao italazimika kuhitajika kufanyika. Tatizo la kuyaokoa maisha ya Mmataifa siku ya Sabato hayakuelezewa kwenye kanuni na imani ya hawa Talmud wala haikuelezewa kuwa ni kitu muhimu, kwa kuwa lilikuwa kwa sababu yeyote ile limekatazwa kufanywa hata kwa siku za wakati wa katikati ya juma (ndivyo walivyoamini.).
Tafsiri hii kuhusu watu wa Mataifa huenda ni marejeo mabaya zaidi kuliko yote kupotosha kile ambacho Maandiko Matakatifu yalikikusudua. Na hii ni sababu iliyomfanya Kristo atumie mfano wa Msamaria Mwema, kwa jinsi mtazamo huu ulivyoingia na kupata nafasi kwenye imani ya Kiyahudi na hata kipindi cha Hekaluni katika karne ya kwanza ya zama zetu za sasa.
Kile kinachoitwa
mapokeo ya Sheria Zinazofundishwa pasipo maandiko yznzyodaiwa kuwa yalifasiriwa
au kuwa na ushawishi na Masihi ambayo yalitumiwa na
vikundi vyote viwili yaani vya Watalmud wa Yerusalemu na Wakibabelonia ambayo
waliyachukua, na kwa kweli yalikuwa ni nakala zilizoandikwa za tafsiri.
Ziliandikwa kwa lengo la kusaidia kuzipa mashiko ya
kuthibitisha mapokeo yanayoanzisha yaliyoanzishwa katika kipindi zama cha
mapema ya miaka ya 160 KK. Hayakuwepo wala kueleweka kabisa kwenye historia ya
Israeli, na wala hayakutokana na Musa, kama Biblia
yenyewe inavyotuonyesha. Israeli mara nyingi wamesahau hata sheria
zilizoandikwa, na kuziacha kabisa zile zinazojulikana
Luka 10:25-37 inasema: Na tazama, mwana-sheria mmoja
alisimama amjaribu; akisema, Mwalimu, nifanye nini ili
niurithi uzima wa milele? 26 Akamwambia,
Imeandikwa nini katika torati? Wasomaje? 27 Akajibu
akasema, Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na
kwa nguvu zako zote, na kwa akili zako zote; na jirani yako kama nafsi yako. 28 Akamwambia, Umejibu vema; fanya hivi nawe utaishi. 29 Naye akitaka kujidai haki, alimwuliza Yesu, Na jirani
yangu ni nani? 30 Yesu akajibu akasema, Mtu mmoja alishuka
toka Yerusalemu kwenda Yeriko, akaangukia kati ya wanyang'anyi; wakamvua nguo,
wakamtia jeraha, wakaenda zao, wakimwacha karibu ya kufa. 31 Kwa
nasibu kuhani mmoja alishuka kwa njia ile; na alipomwona alipita kando. 32 Na Mlawi vivyo hivyo, alipofika pale akamwona, akapita
kando. 33 Lakini, Msamaria mmoja katika kusafiri
kwake alifika hapo alipo; na alipomwona alimhurumia, 34 akakaribia,
akamfunga jeraha zake, akizitia mafuta na divai; akampandisha juu ya mnyama
wake, akampeleka mpaka nyumba ya wageni, akamtunza. 35 Hata
siku ya pili akatoa dinari mbili, akampa mwenye nyumba ya wageni, akisema,
Mtunze huyu, na cho chote utakachogharimiwa zaidi, mimi nitakaporudi
nitakulipa. 36 Waonaje wewe, katika hao watatu, ni yupi
aliyekuwa jirani yake yule aliyeangukia kati ya wanyang'anyi? 37 Akasema, Ni huyo aliyemwonea huruma. Yesu akamwambia,
Enenda zako, nawe ukafanye vivyo hivyo.
Hakuna mahali pengine popote ambapo mapokeo haya ya Kiyahudi yanapotosha sheria asilia zaidi ya mfumo huu dhanifu wa jinsi ya kuelewa maagizo ya kulinda uhai au maisha na kumtendea mabaya mtu asiye na makosa.
Kumuonea mtu asiye na hatia
Kumhukumu kwa maonevu mtu asiye na hatia kumekatazwa na Biblia na hakuna mtu anayepaswa kuuawa au kuadhibiwa kwa kosa ambalo halikushuhudiwa na mashahidi watu wawili au watatu. Ni kwa mujibu wa Biblia kwa namna yoyote ile waliyoifasiri wenyewe, ndipo waliitumia kuiwekwa sheria ijulikanayo kama Mishna ambayo inaendana kinyume kabisa na Mgawanyo wa Nne : Mari ya Kuvunja baraza la Sanhedrin 4:1 E(2) (Fourth Division: The Order of Damages Sanhedrin 4:1 E(2)] inayosema:.
Kwa mabo yahusuyo
(sawa na anavyosema
Jacob Neusner, kwenye kitabu chake cha Tafsiri
Mpya ya Mishna, iliyochapishwa kwenye Chuo Kikuu cha Yale,huko New Heaven na
London, mwaka 1988, ukurasa wa 589 (The Mishnah A New Translation, Yale
University Press, New Haven and London, 1988, p. 589)
Katika mambo yote,
tendo la kumuonea au kumdhulumu mtu asiye na hatia linahitaji
kwamba mashitaka yafanywe, kisha yasikike na kutolewa kwa ushuhuda wa mashahidi
wawili. Kwa hiyo, mshitakiwa anapaswa apewe muda muafaka wa
kujitetea mahakamani ya hakimu aliyeteuliwa kusikiliza, ambaye hatayumbishwa
kwa namna yoyote ile katika kutoa hukumu na kuwa hatajaribiwa kuonyesha upendeleo
au kumuogopa mtu. Katika kipindi cha huduma za Hekalu, mashitaka yanayohusu
umiliki wa malia yalisikilizwa na kundi la mahakimu
watatu na kila mashitaka makubwa yalisikilizwa na mahakimu wasiopungua ishirini
na tatu wa baraza la Sanhedrin,
Kwa sababu hii
madai ya uwongo ya kila kinachojulikana
Ni
kwa jinsi hiyohiyo, wakati Muhammed alipojaribu
kufundisha tena Torati ya Mungu, na Mahalifa wake Wanne Wenye haki na Waliolindwa
na kuheshimika
Wajibu katika
kusababisha kuishi
Kwenye dhana au mafundisho ya sheria ya udhibiti wa maisha au uhai, sisi pia tunamafundisho yasemayo kuendeleza au kutoa uhai au kusababisha kuishi.
Kumbukumbu la Torati 32:39 Fahamu sasa ya kuwa Mimi, naam, Mimi ndiye, Wala hapana Mungu mwingine ila Mimi; Naua Mimi, nahuisha Mimi, Nimejeruhi, tena naponya; Wala hapana awezaye kuokoa katika mkono wangu,
Mungu ni mmoja na hana mungu mwingine mdogo wa kuambatana naye, bali ni yeye tu peke yake ndoye aliye Mungu naye ndiye atoaye uzima na kuutwa uhai. Mkono wake unashikilia hukumu zote. Kwahiyo, kitendo cha kutwa uhai wa kiumbe kutokana na kushindwa au kuanguka kwake kunachukuliwa kama kuyatoa maisha kwa ufufuko (soma majarida ya Fundisho la Dhambi ya Asili Sehemu ya 1 Bustani ya Edeni (Na. 246) na Fundisho la Dhambi ya Asili Sehemu ya 2 Kizazi cha Adamu (Na. 248) na Ufufuo wa Wafu (Na. 143) [Doctrine of Original Sin Part 1 The Garden of Eden (No. 246) and Doctrine of Original Sin Part 2 The Generations of Adam (No. 248) and The Resurrection if the Dead (No. 143)]. Kwa hiyo Mungu ndiye mlengwa kwenye sheria zake na anafanya ukombozi katika matendo yote aliyoyafanya, au aliyoyaamuru kuwepo kwenye mchakato wa uumbaji wake.
1Samweli 2:6 Bwana huua, naye hufanya kuwa hai; Hushusha hata kuzimu, tena huleta juu.
(pia soma Isaya 43:13)
Yahova-elohim alimpulizia Adamu pumzi ya uzima kwenye mianzi ya pua zake (Mwanzo 2:7). Kwa hiyo hwa huyo elohim pia tunapokea pumzi za Roho Mtakatifu (soma Yohana 20:22-23).
Mungu huwahukumu watu kwa ahdhabu ya kifo kwa kufanya kwao dhambi na uvunjaji wao amri zake. Na ndipo tunapojionea kwamba uvunjaji wa amri hii ya sita kunapelekea mtu kuhukumiwa kifo, jambo ambalo linaonekana kutokea kwenye mifano kadhaa ya kila inapotokea hivyo kwenye kila uvunjifu wa amri hizi za Mungu unapotokea. Hukumu kubwa itolewayo kwa makosa ya uvunjaji wa mri hizi ni kifo, tangia uvunjifu wa amri ya kwanza hadi kwa ile ya mwisho na ya kumi (Kutoa 22:22-24; Kumbukumbu la Torati 24:14-17). Amri hizi zimewekwa msingi wake kwenye ukombozi na marejesho, bali hukumu kwa ajili ya uvunjaji unayofanywa kwa kurudiwa na kukaidi kuzitii, ahdabu yake ni kifo kwa namna yoyote ile.
Taifa linawajibika
kumtunza na kuangalia ustawi na uzima wa kila raia
wake aliyezaliwa kwenye nchi
Mambo ya Walawi 19:9-10 Na
mtakapovuna mavuno ya nchi yenu, usivune kabisa kabisa pembe za shamba lako,
wala usiyakusanye masazo ya mavuno yako; 10 wala
usiyakusanye masazo ya mizabibu yako, wala usiyaokote matunda ya mizabibu yako
yaliyopukutika; uyaache kwa ajili ya maskini na mgeni; mimi ndimi Bwana, Mungu
wenu.
Aheri
hizi pia zinamlinda mlemavu dhidi ya matendo ya kudhalilishwa na dhidi ya vitendo vyote viovu ambavyo anaweza kufanyiwa vikiwemo
vya kudhulumiwa.
Mambo ya Walawi 19:14 Usimlaani kiziwi, wala usitie kwazo mbele ya kipofu, bali umche Mungu wako; Mimi ndimi Bwana.
Ulindaji wa maisha
na familia
Mambo ya Walawi 25:35-43 Na ikiwa ndugu yako amekuwa maskini, na mkono wake umelegea kwako, ndipo utamsaidia, atakaa nawe
Utozaji
riba ni tendo linalopigwa vita na ni la haramu kwa
kila imani ya kidini, kwa kuwa kwa kutenda hivyo tunafanya tendo baya la
kudhulumiana. Sisi sote tumenunuliwa kwa gharama na thamani yetu ni moja, hivyo
basi, tunapaswa sisi sote tumtukuze Mungu kwa kutulinda kila mmoja wetu (1Wakorintho
6:20; sawa na Kutoka 22:21), kwa kuwa Mungu ni elohe wa elohim, au Mungu wa miungu na Bwana wa mabwana (adonai wa adonimu) (Kumbukumbu la Torati
10:17-19, kama ilivyoandikwa kwenye Biblia iitwayo Companion Bible).
Taifa na mwanadamu wanapaswa kutunzwa uzima na uhai wao kwa uhuru chini ya sheria za haki.
Kutoka 21:1-6 Basi
hukumu utakazoziweka mbele ya watu ni hizi 2 Ukimnunua
mtumwa wa Kiebrania, atakutumikia muda wa miaka sita; mwaka wa saba atatoka
kwako huru bure. 3 Kwamba aliingia
kwako peke yake tu, atatoka hivyo peke yake; kwamba ameoa, mkewe atatoka aende
pamoja naye. 4 Kwamba ni
bwana wake aliyempa huyo mke, naye amemzalia wana, wa kiume au wa kike; yule
mke na wanawe watakuwa ni
Mfuniko huu wa tundu ni alama ya ashirio la aibu. Ikifika miaka saba mtumwa aatakiwa aachiliwe huru, na bwana wake anatakiwa
amwachilie huru na kumruhusu aondoke na mke wake pia. Haijalishi ni kwa kiasi gani alimtumikisha na kumdhulumu mtumwa wake
huyu, bali anatakiwa ampe ujira wake anaostahili kuondoka nao (Kumbukumbu la
Torati 15:12-15).
Itawezekanaje
ujihesabu umemtendea haki kwa kumwachilia huru mtumwa
wa kiume huku ukiendelea kuwashikilia wattoto wake na mke wake? Hii ni mari inayohitaji kutenda kwa haki na marejesho yaliyo na
haki. Jambo linalotakiwa kufanywa hapa ni kwamba hali
ya utumshi kwenye maisha haya ya utumwa ni ya lazima, na bwana wake hawezi kuadhibiwa
kwa kukosa au kufanya kwake ukarimu uhusuo zawadi zake alizotoa hapo mwanzo, iwapo
Sheria inafanya kazi kwa watu wote wanaishi kwenye nyumba na kwa taifa, na wajibu ni wa watawala na wamilikaji wa mali katika kuwapa haki na mahitaji yanayohitajika kwa watu wote wanaishi kwenye maeneo yao.
Kutoka 23:10-11 Utapanda mbegu katika nchi yako muda wa miaka sita na kuyavuna maongeo yake; 11 lakini mwaka wa saba utaiacha nchi ipumzike na kutulia; hao maskini miongoni mwa watu wako wapate kula; na hicho watakachosaza wao, wapate kula wanyama wa kondeni. Utafanya vivyo katika shamba lako la mizabibu, na katika shamba lako la mizeituni.
Kwa hiyo,
tujiepushe na matendo ya mauaji ya makusudi au
kuwanyima chakula katika ardhi yetu yote (soma Mambo ya Walawi 19:9-10).
Wajibu wetu ni kuwatunza hai watu wote waishio kwenye jamii yetu, na kwenye masuala yahusuyo ushawishi wa kila mmoja. Agizo la kumpenda jirani kama nafsi ni amri inayoendelea kwa watu wote walio kwenye maeneo yetu yanayotuhusu na tunayoishi (soma fundisho la mfano wa Msamaria Mwema katika Luka 10:30-37).
Wajibu wa kuwasaidia majirani zetu unatakiwa uendelee hadi kwamba
hali yetu ya kudharau ichukuliwe
Kumbukumbu la Torati 24:19-22 Uvunapo mavuno yako katika shamba lako, ukasahau mganda
shambani, usirudi kuuchukua; na uwe wa mgeni, au yatima, au mjane; ili Bwana,
Mungu wako, akubariki katika kazi yote ya mikono yako. 20 Utakapochuma matunda ya mizeituni
yako, usirudi kuchuma mara ya pili; yaliyobaki apewe mgeni, na yatima, na
mjane. 21 Uchumapo
zabibu katika shamba lako la mizabibu, usichume mara ya pili; zilizobaki apewe
mgeni, na yatima, na mjane. 22
Nawe kumbuka ya kuwa ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri; kwa hiyo nakuamuru
kutenda neno hili.
Linganisha pia na hadithi iliyo kwenye kitabu cha Ruthu sura ya 2.
Mungu aliwalinda Israeli kipindi chao chote cha
kutangatanga kwao jangwani na akawalinda na kuwatunza
hai ili wawe mfano wetu sisi. Musa anaelezea mzunguko wa
kutangatanga kwao Israeli kwenye Kumbukumbu la Torati 1:1-46. Mungu anawahakikishia kwamba
wote watapewa vitu vingi kwenye makao
Israeli wote waliatakiwa makabila yote yaliyokuwa kwenye milki
Haki ya kuishi nay a
kuua ilikuwa ni ya Mungu
Mungu ndiye aliweka uweza na mamlaka yote. Mahakimu wa
mahakama wanashikilia upanga kwa mapenzi ya Mungu (soma
Warumi 13:1-7).
Tito 3:1-3 Uwakumbushe watu kunyenyekea kwa wenye uwezo na mamlaka, na kutii, na kuwa tayari kwa kila kazi njema; 2 wasimtukane mtu ye yote, wasiwe wagomvi, wawe wema, wakionyesha upole wote kwa watu wote. 3 Maana hapo zamani sisi nasi tulikuwa hatuna akili, tulikuwa waasi, tumedanganywa, huku tukitumikia tamaa na anasa za namna nyingi, tukiishi katika uovu na husuda, tukichukiza na kuchukiana.
Tunalazimika kulipa kodi na
kuwatiti wale wote ambao Mungu amewainua na kuwapa mamlaka na kwa wale ambao
wanastahili kuogopwa na kuheshimiwa. Taifa kwa namna
yoyote ile lina haki ya kulinda maisha dhidi ya dhuluma inayofanyika kwa sheria
zisizo na haki (soma Kutoka 11:1-10).
Kifo ni mfano, na damu inatumika kuonyesha ujio wa Masihi, ambaye
kwa damu yake iliyomwagika iliwafanya watu wote wawe hai na wazima. Mfumo wa utoaji wa dhabihu ulianzishwa ili kuonyesha ashirio la
kuanzishwa kwa mfumo wote kwa wanaomtii Mungu.
Kutoka 29:11-12 Kisha utamchinja huyo ng'ombe mbele ya Bwana, mlangoni pa hema ya kukutania. 12 Kisha twaa baadhi ya damu ya ng'ombe, uitie katika pembe za madhabahu kwa kidole chako; na kuimimina damu yote chini ya madhabahu.
Masihi aliiingia Patakatifu pa Patakatifu mara moja tu na kwa ajili ya wote akiwa na damu yake mwenyewe. Kwa hiyo alitufanyia njia sisi sote ya kuingia na kufanywa kuwa wana wa Mungu kwa nguvu ya kufufuka kwake kutoka kwa wafu, tukiwa ni warithi pamoja na Kristo (soma Warumi 1:4; Waebrania 9:12 na sehemu nyingi nyingine). Maskani ilikuwa ni mfano na uwakilishi wa ile iliyoko mbinguni. Hekalu lilikuwa ni ishara iliyotuelekea sisi ambao ni Hekalu la kiroho, ambalo ndivyo tulivyo leo (1Wakorintho 3:16-17).
Israeli
walitembea jangwani kwa kipindi cha miaka arobaini, na
wo wote miongoni mwao ambao hawakuwa tayari kupenda kuirithi ahadi yake
walikufa jangwani. Ni Kalebu na Yoshua tu ndio
walifanikiwa kufika hadi mwisho. Ukweli huu unatuonyesha wale Israeli ambao
hawakuweza kuifikilia ile ahadi makabila walikula mana kwa
kipindi hiki chote, na walikunywa kutoka kwenye mwamba wa kiroho ambao ulikuwa
ni Kristo. Aliwatokea akiwa kama Amiri wa Jeshi la
Bwana ili kuwaimarisha mioyo
Jingo la Hekalu
lilijengwa mwishoni hadi pale Masihi na hatimaye lile
la kujengwa litoe nafasi kwa lile la kiroho. Kanisa lote lililo kwenye kipindi
cha kupita jangwani kwa kipindi cha zaidi ya yubile
arobaini, halina dhabihu nyingine zaidi ya ile ya wateule. Wale 144,000 walikuwa
ni dhabihu ya kutolewa siku za Sabato, Mwandamo wa
Mwezi Mpya na Sikukuu Takatifu zilizoamriwa. Sadaka za kila siku ni ashirio la wale makutano makubwa, na majira ya usiku
unaofuatiwa kabla ya kupambazuka, jioni kabla ya asubuhi. Na ndiyo maana kuna
dhabihu moja tu kwenye Hekalu aliloonyeshwa nabii Ezekieli, kwa
kuwa sehemu kubwa ya mavuno yamekwisha kufa tayari, bali ni kwa ufufuo wa kwanza
wa wafu tu ambao watafufuliwa. Kuna mavuno mengi zaidi
yanakuja (Ufunuo 20:4-15). Sadaka ya jioni imeishaanzjshwa na kujulikana tayari. Kadhalika na
dhabihu ya jioni imekwisha anzishwa na kutolewa tayari
Ezekieli 46:13-15 Nawe utatengeneza mwana-kondoo wa
mwaka wa kwanza, mkamilifu, kuwa sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana kila siku;
kila siku asubuhi utamtengeneza. 14 Nawe utatengeneza
sadaka ya unga pamoja nayo kila siku asubuhi, sehemu ya sita ya efa moja, na
sehemu ya tatu ya hini moja ya mafuta; kuchanganya na unga ule mzuri; sadaka ya
unga kwa Bwana daima, kwa amri ya milele. 15 Hivyo
ndivyo watakavyomtengeneza mwana-kondoo, na sadaka ya unga, na mafuta, kila
siku asubuhi, kuwa sadaka ya kuteketezwa ya daima.
Utaratibu wa utoaji dhabihu unalenga kwenye kila kitu kinachohusiana na neema ya Mungu inayookoa kwa ukombozi wa dhabihu ya Masihi. Hakukuwa na siku hata moja ambayo dhabihu haikutolewa katika kipindi chote cha kudumu kwa Hekalu. Wakati Hekalu hili lilipohusuriwa, bado kulikuwa na mahala fulani huko Elephantine nchini Misri wakati wa utumwa wa babeli. Mji wenyewe wa. Elephantine ulikuwa umehusuriwa pia na hatimaye utoaji wa sadaka ulikuja kukoma baadae. Pia Hekalu lilijengwa na Onias IV huko Leontopolis ulioko kwenye mji wa kale wa Gosheni, na hii ilifanyika ili kutimiza unabii uliotolewa na nabii Isaya 19:19 kuhusu kufuru kubwa ya kinajisi itakayoanza kufanyika hadi kuangamizwa kwa Yerusalemu mnamo mwaka wa 70 BK. Hekalu katika Leontopolis lilifungwa kwa amri ya mfalme Vespasian mwaka 71 BK (soma jarida la Ishara ya Yona na Historia ya Ujenzi Mpya wa Hekalu (Na. 13) [The Sign of Jonah and the History of the Reconstruction of the Temple (No. 13)].
Kipindi
ch Hekalu kilikoma tangu ujenzi wake uliofanywa na
Sulemani kwa kipindi cha miaka elfu, hadi kujakwake Masihi akiwa ni Kuhani Mkuu
na Kanisa likiwa ndio wakala wake wa huduma za kikuhani mfano wa Melkizedeki.
Miaka hii elfu ilikuwa ni kipindi cha yubile ishirini
zinzofananishwa na dhabihu za jioni. Kwa hiyo, Kanisa likapitia kipindi cha
usiku mrefu wa kutangatanga jangwani na ambacho kilikuwa hakina jingo la Hekalu
na dhabihu yake ilikuwa ni wale 144,000, wakiongezwa watu sabini na wawili kila
mwaka (wakilinganishwa au kugawanishwa na idadi ya sadaka au dhabihu za kila
juma, kila mwezi na za Siku Takatifu zilizoamriwa) ambao wamechukuliwa na
kutolewa kwa kipindi cha zaidi ya miaka elfu mbili au yubile arobaini. Wateule
walikuwa ndiyo sadaka iliyo hai, na mkutano mkubwa
unaosimama na wao (wanaoonekana kwenye Ufunuo 7:1-17) ambako sadaka za daima
ambazo hakuna mtu anayeweza kuwahesabu. Ambao “wamelala” katika Bwana
wakingojea ufufuo wa kwanza wa wafu, ambao wanaoneshwa
hapa.
Dhabihu ya asubuhi iliyoonyeshwa ikitolewa kwenye Hekalu aliloliona Ezekieli linawakilisha mwonekano wa kipindi cha mwisho cha utawala wa milenia wa Yesu Kristo na wateule wake. Kipindi hiki cha mwisho cha yubile ishirini au cha miaka elfu moja, kinafanya jumla ya kipindi cha miaka elfu nne ya Hekalu, kinachoishia kwenye ufufuo wa pili wa wafu na cha hukumu na cha kuja kwa Mungu wetu aliye wa Pekee na wa Kweli kwa Utukufu wa Mji wake Mungu (sawa na Mambo ya Walawi 1:1-17 na majarida ya Mwelekeo wa Ratiba ya Nyakati (Na. 272) na Mji wa Mungu (Na. 180) [Outline Timetable of the Age (No. 272) and The City of God (No. 180)]. Dhabihu hizi zote zilitakiwa ziwe za wanyama, (kondoo, mbuzi au mafahali ya ng’ombe) au ya makinda ya ndege wasio na mawaa, na sadaka zinatakiwa zitolewe kwa hiyari na moyo wa kupenda, pasipo kulazimishwa. Makuhani ndio waliokuwa wanazitoa kwa Bwana na kuzitumia.
Lingine linalotakiwa kufanywa na wateule ni kutoa dhabihu kwa kuhudumiana, hakuna dhabihu
iliyoruhusiwa kutolewa kwa kipindi chote cha miaka elfu mbili. Hekalu liliharibiwa
kwa mpango maalumu
Utaratibu wa kumtolea Bwana dhabihu (Mambo ya Walawi 2:1-16) haupo tena wa jinsi ya ukuhani wa Haruni bali huu wa sasa ni wa mfano wa Melkizedeki (soma Zaburi 110:4); huu haufuatani na nasaba ya kuzaliwa, hauendani na utaratibu wa kufuata uzawa, wa upande wa mama au baba, bali ni kuhani wa milele ulio chini ya Kuhani Mkuu ambaye ni Masihi (soma Waebrania 7:1-22).
Dhabihu zilikuwa ni kwa ajili ya wanaotoa huduma ya kikuhani kwenye utaratibu wa siku za kale (Mambo ya Walawi 3:1-17; 4:1-35). Lakini kwenye utaratibu mpya, dhabihu ni makuhani wenyewe.
Tumefanyika sote kwa
dhabihu ya Masihi. Sheria imeandikwa ndani ya mioyo yetu (Waebrania 8:8-13), na sadaka zetu ni marejesho kwa kuwa Kuhani wetu Mkuu
ameketi mkono wa kuume wa Mungu (Waebrania 8:1). Vitu vyote vinavyochinjwa,
vinachinjwa kwa mamlaka na ruhusa ya Mungu. Vyote
viishivyo ni mali ya Mungu, kwa kuwa ng’ombe wote ni wa Mungu, na vyungu
vitakavyokuwa mjini Yerusalemu kipindi cha marejesho mapya vitakuwa vitakatifu
kwa Bwana, kama itakavyokuwa kwa kila chenye uhai ni yeye mwenye mamlaka ya
kuamuru kichichinjwe ama kiuawe. Dhabihu ya Masihi na
sadaka ya hatia vilikuwa ni vitu muhimu kutolewa katika utaratibu mzima wa
shughuli na huduma za kikuhani. Hakuna mtu anayeweza kuwa kuhani isipokuwa kwa sadaka hii ya hatia ya dhambi ya Masihi. Yeye ndiye
aliye sadaka ya amani ambayo tumefanyiwa sisi mara moja na
Mungu,
Kwa hiyo, huduma hii ya kikuhani inatakaswa
kwa kwa njia ya sadaka, na haya yote yanamlenga
Masihi. Inampasa kuhani aoshwe kwenye maji ya ubatizo, akiwa amevalishwa vazi
jeupe na lisilo na mawaa wala doa lililooshwa kwa damu
ya mwanakondoo, na kwa hiyo wameandaliwa
Utakaso wa makuhani unafanyika kwa namna sawasawa na ule wa kulitakasa Hekalu (soma jarida la Utakaso wa Hekalu (Na. 241) [The Sanctification of the Temple (No. 241)]. Wao ni watu wasio na chachu, walio mbali na aina yeyote ya chachu ya uovu na udhaifu, na wanangojea donge jipya la chacu ya Roho Mtakatifu. Tangia Mwanzo wa mwezi wa Kwanza unaoitwa wa Abibu au Nisani, hadi siku ya saba ya mwezi huo huo wa Kwanza, makuhani na wateule wote wanalitabaruku Hekalu, na kuzitubia dhambi zilizofanywa pasipo kujua au kwa kupotoshwa, tendo ambalo linaishia siku ya mwisho (ambayo ni ya saba ya mwezi huu). Kuhani ni.Hekalu lililomfano wa Melkizedeki.
Desturi ya kuadhimisha
siku ya Mwaka Mpya katika siku ya kwanza ya mezi wa Saba, inaoitwa Rosh Hashanah, unapingana na agizo
lililotolewa na Mungu kwenye kitabu cha Torati, na tendo au mafundisho haya
hayakuingia kwenye imani ya Kiyahudi hadi ilipofika karne ya tatu ya zama zetu,
kama ilivyoelezwa na rabi mmoja anayeitwa Rabi Kohn, aliyekuwa Rabi Mkuu wa Budapest
(soma kitabu cha Wasabato wa Transylvania
cha mwaka 1894, [The Sabbatarians in
Transylvania, (1894}] na ambacho kimechapishwa upya na W. Cox, kikitafsiriwa
na T. McElwain na B. Rook, 1998, CCG Publishing, pp. v. et seq.). Rosh Hashanah
ilikuwa haiadhimishwi kabisa katika zama za kipindi
cha Hekalu. Maana shirio mazima ya Utakaso wa Hekalu
hayahusishi na dhana nzima
Mambo ya Walawi 9:1-24 inasema: Basi ilikuwa siku ya nane,
Musa akawaita Haruni na wanawe, pamoja na wazee wa
Israeli; 2 akamwambia Haruni, Twaa wewe mwana-ng'ombe
mume awe sadaka ya dhambi, na kondoo mume wa sadaka ya kuteketezwa, wakamilifu,
ukawasongeze mbele ya Bwana. 3 Nawe utawaambia wana
wa Israeli, ukisema, Twaeni mbuzi mume awe sadaka ya dhambi; na mwana-ng'ombe,
na mwana-kondoo, wote wa mwaka wa kwanza, wakamilifu, kwa sadaka ya
kuteketezwa; 4 na ng'ombe mume, na kondoo mume, kwa
sadaka za amani, ili kuwachinja mbele za Bwana; na sadaka ya unga
uliochanganywa na mafuta; kwa maana, Bwana hivi leo atawatokea. 5 Nao wakayaleta hayo yaliyoagizwa na Musa wakayaweka mbele
ya hema ya kukutania; kisha mkutano wote ukakaribia wakasimama mbele za Bwana. 6 Kisha Musa akasema, Neno aliloliagiza Bwana kwamba
mlifanye ni hili; na huo utukufu wa Bwana utawatokea. 7 Musa akamwambia Haruni, Ikaribie
madhabahu, uitoe sadaka yako ya dhambi, na sadaka yako ya kuteketezwa, ukafanye
upatanisho kwa ajili ya nafsi yako, na kwa ajili ya watu; nawe uitoe hiyo
dhabihu ya watu, ukafanye upatanisho kwa ajili yao; kama Bwana alivyoagiza. 8 Basi Haruni
akakaribia madhabahuni, akamchinja huyo mwana-ng'ombe wa sadaka ya dhambi,
aliyekuwa kwa ajili ya nafsi yake. 9 Kisha wana wa Haruni
wakamsongezea Haruni ile damu; naye akatia kidole chake katika damu, na kuitia
katika pembe za madhabahu, kisha akaimwaga hiyo damu hapo chini ya madhabahu; 10 lakini mafuta, na figo, na kitambi kilichotoka katika
ini ya hiyo sadaka ya dhambi, akaviteketeza juu ya madhabahu, kama Bwana
alivyomwagiza Musa. 11 Na nyama, na ngozi
akazichoma moto nje ya marago. 12 Naye akaichinja
sadaka ya kuteketezwa; na wanawe Haruni wakamsongezea ile damu, naye
akainyunyiza katika madhabahu pande zote. 13 Nao
wakamletea sadaka ya kuteketezwa kipande kwa kipande, na kichwa; naye
akaviteketeza juu ya madhabahu. 14 Kisha akaosha
matumbo, na miguu na kuiteketeza juu ya hiyo sadaka ya kuteketezwa madhabahuni.
15 Kisha akaisongeza dhabihu ya watu, akamtwaa mbuzi wa
sadaka ya dhambi aliyekuwa kwa hao watu, na kumchinja, na kumtoa kwa ajili ya
dhambi kama yule wa kwanza. 16 Kisha akaisongeza
sadaka ya kuteketezwa, na kuitoa sawasawa na sheria. 17 Kisha
akaisongeza sadaka ya unga, na kutwaa konzi humo, na kuiteketeza juu ya
madhabahu, pamoja na sadaka ya kuteketezwa ya asubuhi. 18 Huyo
ng'ombe mume naye akamchinja, na huyo kondoo mume pia, dhabihu ya sadaka za
amani, zilizokuwa kwa ajili ya watu; na wanawe Haruni wakamsongezea ile damu,
naye akainyunyiza katika madhabahu pande zote, 19 na
mafuta ya ng'ombe; na ya kondoo, mkia wake wa mafuta, na hayo yafunikayo
matumbo, na figo zake, na kitambi cha ini; 20 nao
wakayaweka hayo mafuta juu ya vidari, naye akayateketeza mafuta juu ya
madhabahu; 21 na vile vidari, na mguu wa nyuma wa
upande wa kuume, Haruni akavitikisa huku na huku viwe sadaka ya kutikiswa mbele
ya Bwana; kama Musa alivyoagiza. 22 Kisha Haruni akainua
mikono yake na kuielekeza kwa hao watu, akawabariki; kisha akashuka akisha
isongeza sadaka ya dhambi, na sadaka ya kuteketezwa, na sadaka za amani. 23 Kisha Musa na Haruni wakaingia ndani ya hema ya
kukutania, kisha wakatoka nje, na kuwabarikia watu; na huo utukufu wa Bwana
ukawatokea watu wote. 24 Kisha moto ukatoka
hapo mbele za Bwana, na kuiteketeza sadaka ya kuteketezwa, na yale mafuta juu
ya madhabahu; watu wote walipouona huo moto wakapiga kelele wakainama
kifudifudi.
Tangia utakaso na kuwateua na kuwatenga kando wateule, watu wamebarikiwa tena kwa namna nyingi. Taifa na dunia haviwezi kudhurika hadi mteule wa mwisho atakapokuwa amebatizwa, ametiwa mhuri na kutengwa mbali, na ndipo ule mwisho utakapokuja (Ufunuo 7:3-4).
Aina yoyote ya uuaji ni amri yake Bwana Mungu, na kisasi cha damu ni lazima kilipwe kwa damu, kisipifanywa kwa mapenzi matakatifu ya Bwana Mungu.
Mambo
ya Walawi 17:1-6 Bwana akamwambia Musa, akisema, 2 Sema na Haruni, na wanawe, na wana wote wa Israeli,
ukawaambie; Neno hili ndilo aliloliamuru Bwana, akisema, 3 Mtu
awaye yote wa nyumba ya Israeli atakayechinja ng'ombe, au mwana-kondoo, au
mbuzi, ndani ya marago, au atakayemchinja nje ya marago, 4 wala
hamleti mlangoni pa hema ya kukutania, ili amtoe kuwa matoleo kwa Bwana mbele
ya hema ya Bwana; mtu huyo atahesabiwa kuwa ana hatia ya damu; amemwaga damu;
na mtu huyo atakatiliwa mbali na watu wake; 5 ili
kusudi wana wa Israeli walete sadaka zao, wazichinjazo mashambani, naam,
wazilete kwa Bwana, mpaka mlango wa hema ya kukutania, kwa huyo kuhani, ili
wazichinje ziwe sadaka za amani kwa Bwana. 6 Naye
kuhani atainyunyiza damu yake juu ya madhabahu ya Bwana, mlangoni pa hema ya
kukutania, na kuyateketeza mafuta yake, yawe harufu njema mbele za Bwana
Kwa hiyo, mambo yote yanafanywa kwa utukufu mkubwa wa Mungu. Shughuli za machinjioni au za
kuchinja za mchinjaji zinatakiwa pia kuwa na uangalizi
wa kuhani. Kwenye kipindi cha marejesho ya mfumo wa
dunia, shughuli zote za uchinjaji wa wanyama zitafanyika kwa dhumuni la kutoa sadaka
takatifu kwa Bwana tu, na vyombo vitakuwa vitakatifu kwa Bwana (Zekaria
14:20-21; pia soma jarida la Imani ya Kutokula Nyama au Uvujitariani Kwenye Biblia (Na.
183) [Vegetarianism
and the Bible (No. 183)].
Tendo la kuchukua
uhai linafanyika kwa mamlaka na ruhusa ya Mungu. Kwa
hiyo damu ina uhai ndani yake na inapaswa imwagwe
chini kwenye ardhi.
Kumbukumbu la Torati
12:20-28 Bwana, Mungu wako,
atakapoongeza mpaka wako, kama alivyokuahidi, nawe utakaposema, Nataka kula
nyama, kwa kuwa roho yako yatamani kula nyama; waweza kula nyama, kwa kufuata
yote inayotamani roho yako. 21 Na mahali
atakapochagua Bwana, Mungu wako, apaweke jina lake, pakiwa mbali nawe mno,
ndipo utakapochinja katika kundi lako la ng'ombe na kondoo alilokupa Bwana kama
nilivyokuagiza, nawe utakula ndani ya malango yako, kwa kufuata yote
inayotamani roho yako. 22 Kama vile aliwavyo
paa na kulungu, ndivyo utakavyoila nyama hii; asiyekuwa tohara na aliye tohara
wataila pia. 23 Ila ujihadhari kwamba usile damu, kwani
ile damu ndiyo uhai; na uhai usile pamoja na nyama. 24 Usiile;
imwage juu ya nchi kama maji. 25 Usiile; ili upate
kufanikiwa, na watoto wako baada yako utakapofanya yaliyoelekea machoni pa
Bwana. 26 Ila vitu vyako vitakatifu ulivyo navyo,
na nadhiri zako, uvitwae ukaende mahali atakapochagua Bwana; 27 nawe zisongeze sadaka zako za kuteketezwa, nyama na
damu, juu ya madhabahu ya Bwana, Mungu wako; na damu ya dhabihu zako uimwage
juu ya madhabahu ya Bwana, Mungu wako, na wewe utakula nyama yake. 28 Maneno haya nikuagizayo yote yatunze na kuyasikiza, ili
upate kufanikiwa na watoto wako baada yako milele, hapo uyafanyapo yaliyo mema
na kuelekea machoni pa Bwana, Mungu wako.
Haki ya
Jamhuri kutwaa uhai wa mtu
Haki ya kutwaa uhai wa
mtu imepewa Jamhuri lakini imepewa tolewa kwa mtu binafsi pia kwa mazingira fulani
fulani. Kwa mujibu wa Torati, kuna Goel aliyeteuliwa kama mlipiza kisasi
cha damu, au mkombozi wa Israeli aliye
Udhibiti wa uhai kwa amani
Sheria zote zinazohusika na masuala ya usafi zimetolewa ili kuyalinda maisha yetu. Ujinga au kutojua hakumfanyi mtu akubalike anapotoa udhuru kwa kuvunja shiria.
Mambo ya Walawi 5:2-3 au kama mtu akigusa kitu kilicho
najisi, kama ni mzoga wa mnyama wa nyikani aliye najisi, au kama ni mzoga wa
mnyama wa mfugo aliye najisi, au kama ni mzoga wa mdudu aliye najisi, naye
jambo hilo linamfichamania, akapata kuwa najisi, ndipo atakapochukua uovu wake;
3 au kama akiugusa uchafu wa binadamu, uchafu uwao wote
ambao kwa huo amepata unajisi, na jambo hilo linamfichamania, hapo apatapo
kulijua, ndipo atakapokuwa na hatia.
Baadhi ya mambo yanayotolewa dhabihu
yalitolewa pia kwa kina na Bwana. Tendo hili ni adhabu na litarudishwa upya tena
Mambo ya Walawi 7:21-27 Kisha mtu awaye yote atakapogusa kitu cho chote kilicho najisi, uchafu wa
binadamu, au mnyama aliye najisi, au machukizo yo yote yaliyo najisi, kisha
akala nyama ya dhabihu ya sadaka za amani, ambazo ni za Bwana, mtu huyo
atakatiliwa mbali na watu wake. 22 Bwana akanena na
Musa, na kumwambia, 23 Nena na wana wa
Israeli, uwaambie, Msile mafuta yo yote, ya ng'ombe, wala ya kondoo, wala ya
mbuzi. 24 Tena mafuta ya mnyama afaye mwenyewe, na
mafuta ya mnyama aliyeraruliwa na wanyama, mna ruhusa kuyatumia kwa ajili ya
matumizi mengine; lakini msiyale kabisa. 25 Kwani
huyo mtu atakayekula mafuta ya mnyama, ambaye ni katika wanyama ambao watu
husongeza sadaka kwa Bwana kwa moto, mtu huyo atakayekula mafuta hayo
atakatiliwa mbali na watu wake. 26 Tena msiile damu yo
yote, ama ya ndege, ama ya mnyama, katika nyumba zenu zote. 27 Mtu
ye yote alaye damu, mtu huyo atakatiliwa mbali na watu wake.
Madhara ya muda mrefu yatokanayo na ulaji wa mafuta na damu kwa sasa yanajulikana vizuri. Matendo haya yamekatazwa kwa mujibu wa sheria na kanuni zinazofundisha mbinu za kuishi maisha marefu.
Aina yoyote ya
mqauaji na hasa uchinjaji vinapaswa vifanyike kwa lengo
la kufanya kitoweo kwenye chakula tu, na kulinda uwiano au kwa ajili ya
Kumbukumbu la Torati 22:6-8 Kiota cha ndege kikitukia kuwa
mbele yako njiani, katika mti wo wote, au chini,
chenye makinda au mayai, naye koo ameatamia juu ya makinda, au juu ya mayai,
usimtwae yule koo pamoja na makinda; 7 sharti umwache yule
koo aende zake, lakini makinda waweza kuyatwaa uwe nayo; ili upate kufanikiwa,
ufanye siku zako kuwa nyingi. 8 Utakapojenga nyumba
mpya, fanya ukuta kando-kando ya dari lako, usije ukaleta damu juu ya nyumba
yako, mtu akianguka huko.
Damu ya kila kiumbe iko
juu ya yule aliyehusika kukitoa uhai wake. Kuna
miiko inayowataka watu kuwalinda wengine au wenzao dhidi ya kupoteza maisha
Magonjwa
Udhibiti wa
magonjwa ni sehemu muhimu
Mambo ya Walawi 12:1-8 inasema: Kisha Bwana akanena na Musa, na kumwambia, 2 Nena
na hao wana wa Israeli, uwaambie, Mwanamke akitunga mimba na kuzaa mtoto mume,
ndipo atakuwa yu najisi siku saba;
Sheria za utakaso zinaweka
tofauti kati ya motto wa kimume na wa kike. Tendo hili
halijafanyiwa uchunguzi na wana sayansi peke
Kuweka karantini ni sehemu ya muhimu
Mambo
ya Walawi 13:1-59 [ISOMWE YOTE NA KWA UKAMILIFU]
Sura hii inaelezea jinsi ya kutambua nakanuni za kushughulikia aina mbalimbali ya vipaku vinavyoonekana kwenye ngozi na kwa nguo zilizoathirika kwa kuguswa na mtu mwenye madhara haya. Utaratibu wa kuorodhesha majina ya magonjwa ni rahisi pia kwa watu wa kawaida. Upigaji marufuku na utekelezaji wake, na kwa usemi wa kisasa wanaita hali hii kuwa Torati yasingekuwako tena, bali utaratibu na kanuni zake zingebakia kuwa ni zile zile.
Mambo ya Walawi 14:1-57 [ISOMWE YOTE NA KWA UKAMILIFU]
Mambo ya Walawi 14 inauelezea ogonjwa wa ukoma, na dhabihu anayotakiwa aitoe yule aliyeponywa, pia inaelezea juu ya nguo iliyochafuliwa na nyumba iliyonajisika.
Mambo yote yanayohusu na utiwaji najisi wa maeneo yameongelewa kwa kina kwenye sheria hizi. Iwapo kama sheria hizi zingekuwa zinaadhimishwa leo, basi majongwa ya kuambukizwa na mikakati ya kuzuia maambukizi hospitalini vingepungua au kukomeshwa kabisa. Tunajua sababu za maambukizi haya siku hizi kwa msingi wa kisayansi zaidi) kuliko katikwa kipindi kingine chochote lilichopita, lakini nia yetu na mtazamo wa kuweka karantini na kuwatenga wengine mbali haitendeki kikamilifu sawa na inavyopaswa kuwa. Hafungi wadi za kulala wagonjwa kwa ajili ya gharama ilivyo wala kukosekana kwa vitanda, kwa mahali ambapo kunaupinzani au vikwazo vya mazuio au marufuku vimeenea. Watu hufia hospitalini kwa sababu ya kuzivunja sheria za kibiblia hata leo.
Kumbukumbu la Torati 24:8-9 Angalia katika pigo la ukoma,
utunze kwa bidii, kwa kufanya mfano wa yote
watakayowafundisha makuhani Walawi; tunzeni kwa kuyafanya vile vile
Ugonjwa wa ukoma ni adhabu pia kwa ajili ya uasi. Siku hizi, suala la mbingu kuingilia kati hakuchukuliwi na kutiwa maanani kabisa.
Mambo
ya Walawi 15:1-33 [ISOMWE YOTE NA KWA UKAMILIFU]
Sura hii kwanza kabisa inaelezea kuhusu ogonjwa uliosababishwa na mtu kutokwa na shahawa (ni sawa na magonjwa yanayotokana na matendo ya zinaa, UKIMWI, mafua na aina nyingine ya magonjwa yanayoweza kuambukiza kwa urahisi). Kisha inaelezea jinsi ya kuitendea nguo iliyopatwa na kipaku cha maambukizi haya, iliyoguswa na uume, na iliyoguswa na machafu yaliyotokana na tendo la ngono na damu ya uke wa mwanamke aliye kwenye kipindi chake cha hedhi.
Sheria za usafi na karantini zimewekwa wa lengo kuu la kuzuia maambukizi. Sasa tunaelewa sababu ya magonjwa kwa kina zaidi na kwa upana zaidi kuliko tulivyokuwa huko nyuma, bali tunaona pia kwamba sheria za kupiga marufuku na karantini bado ni za muhimu na zinaendelea kutenda kazi.
Hesabu 5:1-4 Kisha Bwana akanena na Musa, na kumwambia, 2 Waamrishe wana wa Israeli kwamba wamtoe kila mwenye ukoma
maragoni, na kila mtu aliye na kisonono, na kila aliye najisi kwa ajili ya
wafu; 3 mtawatoa nje wote, waume kwa wake,
mtawaweka nje ya marago; ili wasiyatie unajisi marago yao, ambayo mimi naketi
katikati yake. 4 Wana wa Israeli wakafanya vivyo, wakawatoa
na kuwaweka nje ya marago; kama Bwana alivyonena na Musa, ndivyo walivyofanya
wana wa Israeli.
Kwa hiyo, kuweka karantini kwa magonjwa ya kuambukiza yanapotokea ni muhimu (Hesabu 9:6-11).
Maadhimisho yajulikanayo Pasaka ya pili yaliwekwa kwa wale wote walioshindwa kwa sababu mbalimbali na bahati mbaya kuitunza ile ya kwanza, kwa kuwa walikuwa wamesafiri, au kama kulikuwa na karantini fulani au kama kulijitokeza tatizo fulani lolote lile. Haikuwekwa kwa ajili ya uchaguzi wao wa hiyari kuchagua waiadhimisheje au lini.
Mahusiano ya sadaka hizi ni
kumlingana Mungu kuwa ni kiini na chanzo cha uzima na maisha na uponyaji wetu. Uponyaji
ni tendo la kisayansi, na mponyaji anayetenda kazi
kwenye taifa anapaswa afanye kazi yake hii kwa mujibu wa sheria na amri za
Mungu. Wanapaswa kuifanya kazi hii kwa uaminifu mkubwa
Kumbukumbu la Torati
23:1-8 Aliyejeruhika konde, au aliyekatika tupu yake, asiingie mtu huyo katika
mkutano wa Bwana. 2 Mwana wa haramu asiingie katika mkutano
wa Bwana; hata kizazi cha kumi asiingie aliye wake katika mkutano wa Bwana. 3 Mwamoni wala
Mmoabi wasiingie katika mkutano wa Bwana; wala hata kizazi cha kumi mtu wao
asiingie katika mkutano wa Bwana milele; 4
kwa sababu hapo mlipotoka Misri hawakuwalaki na chakula wala maji njiani; na
kwa kuwa walimwajiri juu yako Balaamu mwana wa Beori kutoka Pethori iliyo
Mesopotamia, aje akuapize. 5 Lakini Bwana, Mungu wako, hakukubali kumsikiza huyo Balaamu;
Bwana, Mungu wako, aliyageuza yale maapizo kuwa ni baraka, kwa vile
alivyokupenda Bwana, Mungu wako. 6 Usitafute amani yao
wala heri yao siku zako zote, milele. 7 Usimchukie Mwedomi; kwa kuwa ni ndugu
yako; usimchukie Mmisri, kwa kuwa ulikuwa mgeni katika nchi yake. 8 Wana wao watakaozaliwa kizazi cha tatu na waingie katika
mkutano wa Bwana.
Sehemu hii sheria, tunajionea kwamba ulinzi
wa taifa unahusiana moja kwa moja na ulinzi wa familia
ulivyo ndani ya maisha ya ndoa. Aina hii ya makundi ya watu yamekatazwa kuingia
kwenye mkutano wa Bwana
Ilikuwa ni tabia na imani ya wapagani pia kuwaoona mahuhani wao wakiishi maisha ya useja bila mke, au kuwafanywa wawe matowashi. Sheria iliwekwa pia ili kuzuia au kukataza matendo haya. Wapagani na wengine wote wanaoijua vema sheria hii maranyingine wanawaona na kuwafananisha wateule na matowashi ili kukanganya kile kinachosemwa na sheria hii, na kuwafatenga kiujanja na kwa hila kuwa hawastahili kuingia kwenye masunagogi yao wala kwenye makutaniko yao. Agano Jipya linathibitisha matendo haya na maamuzi yalifanywa baadae (sawa na zinavyosema nakala zinazoaminiwa kuwa ni za Katiba ya Mitume au kwa Kiingereza ni Apostolic Constitutions, ANF, Vol. VIII, pp. 479 et seq.) ambayo iliwaruhusu watu aina hii kuwa maaskofu au wazee.
Masihi alikufa kwa ajili ya dhambi za ulimwengu. Wokovu sasa ni kwa Wamataifa, na dhambi za mababu zetu waliotutangulia hazihesabiwi
tena kwa watoto na wajukuu zao. Hili ni agano jipya
ambao kwao sheria zimeandikwa ndani ya mioyo ya watu, na kila mtu anawajibika kwa
dhambi zake mwenyewe. Hii ndiyo maana ya kutimilizwa kwa
jinsi lilivyokuwa agano (soma Yeremia 31:29-34).
Utaratibu mzima wa Agano Jipya chini ya Masihi ulikusudia kushughulika na
dhambi (soma Mathayo 26:28; Waebrania 8:8-12; 10:16-17). Fafanuzi tafsiri za
Marabi zimeshindwa kuelezea kile kilichobadilishwa kwa
usahihi (soma kitabu cha fasiri kijulikanacho
Mapatilizo kwa
ajili ya uchafu uliofanywa kwenye taifa kipindi cha vita yanaelezewa pia kwenye
kifungu hiki cha maandiko. Taifa la Israeli halikupaswa kufanya mambo yake sawa
na wanavyofanya Mataifa wapagani, na wala
hawakuruhusiwa kujitia unajisi na Wamataifa.
Kumbukumbu la Torati 23:9-14 inasema: Utakapotoka kwenda juu ya adui
zako nawe u katika marago, jilinde na kila neno baya. 10 Akiwa kwenu mtu
awaye yote asiyekuwa ni tohara kwa ajili ya yaliyomtukia usiku, na atoke nje ya
kituo, wala asiingie ndani ya kituo; 11
lakini na iwe ikaribiapo jioni, yeye ataoga maji; na jua likiisha kuchwa
ataingia ndani ya kituo. 12
Tena uwe na mahali nje ya kituo, kwa kutokea nje; 13nawe uwe na jembe dogo katika silaha zako;
napo uotamapo nje uchimbe kwa lile jembe, na kugeuka na kukifunika kikutokacho;
14 kwa kuwa Bwana.
Mungu wako, yuatembea katika kituo akuokoe, na kukutolea adui zako mbele yako;
kwa hiyo na kiwe kitakatifu kituo chako; asije akaona kitu kwako kisichokuwa
safi, akageuka na kukuacha.
Bwana Mungu wetu anatembea katikati yetu, na tunapaswa kuwa watakatifu kwa vipindi vyote, yaani cha amani na cha vita. Mungu anakaa kati yetu na sisi tu Hekalu la Mungu.
Sheria ya Vyakula
Sheria inayohusiana na
vyakula inakusudia kurefusha maisha yetu na kuilinda sayari yetu hii ya dunia,
pia zinaweka hakika ya mnyororo wa vyakula na kupunguza maambukizo au
mashambulizi ya magonjwa. Misingi ya kisayansi ya sheria ya vyakula imeelezewa kwa kina katika jaarida la Sheria ya Vyakula (Na. 15) [The Food Laws (No. 15)]. Ukengeufu
dhidi ya kuzishika sheria za vyakula, mafundisho ya kiasetiki yanayofundisha
kutokula nyama bali kula mbogamboga peke na ukengeufu unaoenenda nayo
vimeelezewa kwa kina kwenye majarida ya Uvijiteriani Na Biblia (Na. 183), Mvinyo Katika Biblia (Na. 188)
na Uwiano
(Na. 209) [Vegetarianism
and the Bible (No. 183); Wine in the Bible (No. 188)
and Balance (No. 209)]. Itikadi
ya Kutokula nyama au Uvijiteriani na useja na
mafundisho ya kujinyima kutofanya tendo la ndoa kwenye ndoa yameelezwa kuwa ni
mafundisho ya mapepo yatakayoshika kazi siku za mwisho (1Timotheo 4:3; sawa na
Matendo 15:20; Mathayo 3:4)
Kujilinda dhidi ya
magonjwa kwa kutumia mbinu za kuyashika maelekezo yaliyomo kwenye sheria za vyakula
na uchinjaji kwa uangalifu, na kuacha kula wanyama walioraruliwa na wanyama
wakali wa porini kama ilivyoelezewa na kuagizwa kwenye amri na sheria za
Mwenyezi Mungu (kama ilivyoandikwa kwenye Kutoka 22:31). Pia malimbuko
yatokanayo na malimbuko ya kwanza yamewekwa wakfu kwenye
Nyumba ya Mungu (Kutoka 34:26). Bwana aliwaongoza Israeli kwa
kuwa hawakuwa na mungu mgeni katikati
Sheria hii ya vyakula imeandikwa kwenye Mambo ya Walawi sura ya 11.
Mambo ya Walwi 11:1-47 inasema: Bwana akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia, 2 Neneni
na wana wa Israeli, mkiwaambia, Wanyama hawa ndio wanyama wenye uhai
mtakaowala, katika hayawani wote walio juu ya nchi. 3 Kila mnyama mwenye kwato katika miguu yake, mwenye miguu
ya kupasuka kati, mwenye kucheua, katika hayawani, hao ndio mtakaowala. 4 Pamoja na hayo, wanyama hawa
hamtawala katika wale wenye kucheua, na katika wale walio na kwato; ngamia, kwa
sababu yuacheua lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu. 5 Na
wibari, kwa sababu yeye hucheua lakini hana kwato,
yeye ni najisi kwenu. 6 Na sungura, kwa
sababu hucheua, lakini hana kwato, yeye ni najisi kwenu. 7 Na
nguruwe, kwa sababu yeye anazo kwato, ni mwenye miguu
iliyopasuka kati, lakini hacheui, yeye ni najisi kwenu. 8 Msiile
nyama
Ikumbukwe kwamba tafsiri ya Biblia ya
Mfalme Yakobo (KJV) inatumia neno swan
kumtaja nguruwe na haikujumuishwa kwa kulinganisha wanyama
walio kwenye kundi la bata salili na bata bukini kwenye ile aya ya 18. Neno
lililoko hapa kwa kweli halimaanishi kutaja swan na hawekwi kwenye mjumuisho wa
kundi la hawa bata salili na bata bukini. Neno lililotumika la tinshemes linamjumuisha popo (Rashi;
Chizkuni) au mwewe (Ralbag;
Kumbukumbu la Torati 14:1-21 inasema: Kisha Ninyi mmekuwa wana wa
Bwana, Mungu wenu; msijitoje miili yenu, wala msifanye upaa katikati ya macho
yenu kwa ajili ya aliyekufa. 2 Kwa kuwa u taifa
takatifu kwa Bwana, Mungu wako, na Bwana amekuchagua kuwa watu wake hasa,
kuliko mataifa yote yaliyo juu ya uso wa nchi. 3 Usile
kitu cho chote kichukizacho. 4 Wanyama mtakaokula ni
hawa ng'ombe, na kondoo, na mbuzi, 5 kulungu, na paa, na
kongoni, na mbuzi wa mwitu, na paa mweupe, na pofu, na mbuzi wa mlima; 6 na kila mnyama aliyepasuliwa ukwato, ukapasuka ukwato
wake zikawa mbili, naye ni mnyama mwenye kucheua akatafuna tena, katika wanyama
wote, ndiye mnyama mtakayemla. 7 Lakini, hawa msile
katika wale wenye kucheua, na hao waliopasuliwa ukwato; ngamia, na sungura, na
kwang'a, kwa kuwa hucheua, lakini hawakupasuliwa kwato, ni najisi kwenu; 8 na nguruwe, kwa kuwa amepasuliwa ukwato lakini hacheui,
huyu ni najisi kwenu msile nyama zao, wala mizoga yao msiiguse. 9 Mtakula hawa katika wote walio majini; kila kilicho na
mapezi na magamba mtakula; 10 na kila kisichokuwa
na mapezi na magamba msile; ni najisi kwenu. 11 Mna
ruhusa kula katika nyuni wote walio safi. 12 Lakini
hawa msiwale; tai, na furukombe, na kipungu; 13 na
kengewa, na kozi, na mwewe kwa aina zake; 14 na
kila kunguru kwa aina zake; 15 na mbuni, na
kirukanjia, na dudumizi, na kipanga kwa aina zake; 16 na
bundi, na mumbi, na bundi mkubwa; 17 na mwari, na nderi,
na mnandi; 18 na membe, na koikoi, kwa aina zake; na
hudihudi, na popo. 19 Na wadudu wote
watambaao wenye mabawa ni najisi kwenu; msiwale. 20 Mna
ruhusa kula katika nyuni wote walio safi. 21 Msile
nyamafu yo yote; waweza kumpa mgeni aliye ndani ya malango yako, ili apate
kula; au kumliza mtu wa mataifa; kwa kuwa wewe u taifa takatifu kwa Bwana,
Mungu wako. Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mamaye.
Kwa hiyo, ndiyo maana
kuna umuhimu wa kuwa na uzao mkamilifu wa wanyama wafugwao na sio
waliochanganyika aina mbalimbali, au kuwa na wanyama wa aina moja, na wala
tusizae mavazi au nguo zenye sufi iliyochanganyikana na hariri (Mambo ya Walawi 19:19) mbali na ile anayoivaa Kuhani Mkuu.
Mambo ya Walawi 20:25 inasema: Kwa ajili ya
hayo mtapambanua kati ya mnyama aliye
Tofauti hizi za vitu fasi na najisi zipo pale ili kuwalinda watu.
Mambo ya Walawi 22:1-33 inaelezea matumizi au ulaji wa vitu vitakatifu. Vitu hivi havitakiwi vitiwe unajjsi.
Sheria hizi hapa
zimewekwa ili kuwalinda Makuhani na huduma
Maandiko yaliyo kwenye Hesabu 19 yanaelezea kutolewa kwa
sadaka ya mtamba mwekunbu na jinsi ya kuwafanyia waliokufa.
Hesabu 19:1-22 inasema: Bwana akanena na Musa na Haruni, na kuwaambia, 2 Hii ndiyo amri ya sheria Bwana aliyoagiza, akisema,
Waambie wana wa Israeli wakuletee ng'ombe mke mwekundu asiye na kipaku,
mkamilifu, ambaye hajatiwa nira bado; 3 nanyi
mtamleta kwa Eleazari kuhani, naye atakwenda naye nje ya kambi, na mtu mmoja
atamchinja mbele yake; 4 kisha Eleazari kuhani
atatwaa katika damu yake kwa kidole chake, na kuinyunyiza damu yake kuelekea
upande wa mbele wa hema ya kukutania mara saba; 5 kisha
mtu mmoja atamchoma moto huyo ng'ombe mbele yake; ngozi yake, na nyama yake, na
damu yake, pamoja na mavi yake pia atachoma moto; 6 kisha
kuhani atatwaa mti wa mwerezi, na hisopo, na sufu nyekundu, na kuvitupa katika
huo moto unaomchoma ng'ombe. 7 Ndipo kuhani atazifua
nguo zake, na kuoga mwili wake majini, kisha baadaye ataingia kambini, naye
kuhani atakuwa najisi hata jioni. 8 Na huyo aliyemchoma
moto ng'ombe atazifua nguo zake majini, na kuoga mwili wake majini, naye
atakuwa najisi hata jioni. 9 Kisha mtu mmoja aliye
safi atayazoa majivu ya huyo ng'ombe, na kuyaweka yawe akiba katika mahali safi
nje ya kambi, nayo yatatunzwa kwa ajili ya mkutano wa wana wa israeli, kuwa
ndiyo maji ya farakano; ni sadaka ya dhambi. 10 Na
yeye ayazoaye majivu ya huyo ng'ombe atazifua nguo zake, naye atakuwa najisi
hata jioni; na jambo hili litakuwa amri ya milele, kwa wana wa Israeli, na wa
mgeni akaaye kati yao. 11 Mtu agusaye maiti ye
yote atakuwa najisi muda wa siku saba; 12 naye
atajitakasa kwa yale maji siku ya tatu, na siku ya saba atakuwa safi; lakini
kama hajitakasi siku ya tatu, ndipo na siku ya saba hatakuwa safi. 13 Mtu awaye yote agusaye maiti wa mtu aliyekufa,
asijitakase, yuatia unajisi maskani ya Bwana; na mtu huyo atakatiliwa mbali na
Israeli; maana, hayo maji ya farakano hayakunyunyizwa juu yake, atakuwa najisi;
unajisi wake ukali juu yake bado. 14 Hii ndiyo amri, mtu
afapo ndani ya hema; kila mtu aingiaye ndani ya hema hiyo, na kila mtu aliye
humo hemani, atakuwa najisi muda wa siku saba. 15 Na
kila chombo kilicho wazi, kisichofungwa na kifuniko, ni najisi. 16 Kisha mtu ye yote huko nje shambani atakayemgusa mtu
aliyeuawa kwa upanga, au mzoga, au mfupa wa mtu, au kaburi, atakuwa najisi muda
wa siku saba. 17 Na kwa huyo aliye najisi watatwaa katika
majivu ya kuchomwa kwake hiyo sadaka ya dhambi, na maji ya mtoni yatachanganywa
na majivu katika chombo; 18 kisha mtu mmoja
aliye safi atatwaa hisopo, na kuitia katika hayo maji naye atayanyunyiza juu ya
hema, na juu ya vyombo vyote, na juu ya watu waliokuwapo, na juu yake yeye
aliyeugusa mfupa, au mtu aliyeuawa, au mzoga, au kaburi; 19 na
yule aliye safi atamnyunyiza huyo aliye najisi siku ya tatu, na siku ya saba;
na katika siku ya saba atamtakasa; naye atazifua nguo zake, na kuoga majini,
naye atakuwa safi jioni. 20 Lakini mtu
atakayekuwa najisi, naye hataki kujitakasa, mtu huyo atakatiliwa mbali katika
mkutano, kwa sababu amepatia unajisi mahali patakatifu pa Bwana; hayo maji ya
farakano hayakunyunyizwa juu yake; yeye yu najisi. 21 Nayo
itakuwa amri ya sikuzote kwao; na yeye anyunyizaye maji ya farakano atazifua
nguo zake; naye ayagusaye hayo maji ya farakano atakuwa najisi hata jioni. 22 Na kitu cho chote atakachokigusa mtu aliye najisi
kitakuwa najisi; na mtu atakayekigusa kitu hicho atakuwa najisi hata jioni.
Utaratibu au kanuni ya utakaso ulifanya kazi kuu mbuli: ilihusika na kutimiliza kanuni au utaratibu wa kutakasa au kusafisha kwa ajili ya mazingira ambayo yalikuwa yanahatari ya kuwapelekea kuitia unajisi sheria, na ilikuwa pia inaelekeza kanuni na utaratibu wa utakaso wa Hekalu la wateule. Kwa kuwa kanisa potovu halikuzielewa sheria za Agano la Kale lenye maagizo haya, na kwa ajili hii, mamilioni ya watu wamekufa kabla ya kipindi chao cha kuzaliwa kwa ajili ya kuzivunja sheria na amri hizi, vifo vilivyotokana na ujinga na magonjwa.
Kumbukumbu la Torati 22:9-11 Usipande shamba lako la
mizabibu aina mbili za mbegu; yasije yakaondolewa matunda yote, mbegu
ulizopanda na maongeo ya mizabibu yako. 10 Usilime kwa ng'ombe na punda wakikokota jembe pamoja. 11 Usivae nguo iliyochanganyikana sufu na kitani pamoja.
Sheria hizi zinazohusu usafi
wa mbegu na aina zake zimeelezewa kwa kina kwenye jarida la Torati na Amri
ya Tano (Na. 258) [Law
and the Fifth Commandment (No. 258)].
Ukiukaji wa sheria hii kwa kundandikiza wanyama au kupanda mbegu za
aina mbalimbali ni jambo linaloleta mkanganyiko. Mikakati ya makusudi ya
kufanya mambo haya na kufanya mambo mengine mengi
kunafanyika
Makatazo dhidi ya ulaji wa
damu
Kwa hiyo damu ni uhai
na ulaji wa damu ni jambo linalohatarisha uhai kwa kiasi kikubwa
Mambo ya Walawi 17:10-16 Kisha mtu
awaye yote wa nyumba ya Israeli, au miongoni mwa hao wageni wakaao kati
Tendo la kushindwa kudumu su kuzitii Sheria za Mungu kunapelekea mtu huyo kupata adhabu.
Masuala makuu ya sheria hizi huashiria aina
ya ibada ambayo ilikuwa inafanyika kwenye ulimwengu wa
kipagani wa kale. Tunajua na kujionea sasa kwamba
imani au dini inayokumbatia mafundisho ya Utatu ya Wadruidi, Wacelti na Waaryan
kwa ujumla wao, ambapo utoaji sadaka za wanadamu ulikuwa unafanyika na grovusi
zilikuwa zinachafuliwa, au kuvaliwa na korodani za wanadamu na damu (soma
jarida la Chanzo
Cha Krismas na Easter (Na. 235) [The Origin of Christmas and
Easter (No. 235)]. Itikadi ya kizodiaki,
Uasi
Mungu anatutaka tutii na
anapenda tufanye hivyo, na wala hapendezwi na sadaka. Kuasi kunafananishwa na dhambi ya uchawi (1Samweli 15:22-23) kwa kuwa kunaanzisha
hali ya kupinga mapenzi ya Mungu, kama tunavyoona kwenye Hesabu 16:1-50. Andiko hili linaelezea kuhusu uasi wa Kora, na ambalo limefafanuliwa kwa kina kwenye jarida la Torati na Amri
ya Tano (Na. 253) [Law
and the First Commandment (No. 253)].
Mungu aliushughulikia uasi huu kwa namna mbili. Hatua ya kwanza haikusilikizwa wala kuogopwa, na umaarufu au umuhimu wake ulikuwa hatarini kuharibiwa miongoni mwa watu. Huduma yote ya kikikuhani ilitengwa mbali wakati huu, hadi alipokuja Masihi na huduma ya kikuhani ya Melkizedeki. Na ndipo wateule watahudumu huduma hii ya kikuhani milele baada ya amri ya Melkizedeki, na Mungu amesema kwamba kutakuwa na miungu wadogo, wana wa Yeye Aliye Juu, na wote miongoni mwao, na Maandiko Matakatifu hayawezi kutanguka (Zaburi 82:6-7; Yohana 10:35).
Kwenye Hesabu 17 tunaona Haruni akichaguliwa kufanya huduma ya kikuhani katika
makabila kumi na mawili na akitumika chini ya Masihi,
na kisha Lawi anafanya mahala pake
Mfumo wa maagizo
ya sheria za Mungu umeanzishwa kwenye taifa ambalo kiongozi wake ni
Kuanzishwa kwa utaratibu na mfumo wa makosa ya jinai na humuku zake
Kila moja ya sheria hizi imewekewa hukumu
ya kifo kwa anayeivunja, na adhabu au hukumu hii
haileti madhara au matokeo yanayopendelea au ubaguzi wa kihukumu. Mungu
anapendezwa na rehema na haki. Kristo
alionyesha jinsi hukumu hizi zilivyopaswa kusimamiwa. (Yohana 8:7). Hukumu
haifai ifanyike kwa machafuko na mzozo wa kundi kubwa
la watu. Na wala haipaswi hukumu ya kifo itolewe kwa upendeleo
au kimaonevu,
Kwenye mfano huu, Masihi anaonyesha tafsiri halisi ya sheria. Ni kwa kuzivunja mara nyingi sheria hizi ndipo hukumu ya kifo itekelezwe, au wakati amri ya sita inapokuwa imevunjwa kwa mazingira fulani na mahsusi, kwa kuwa torati inaruhusu kuyakatiza maisha ya mtu kwa sababu fulani na kwa mazingira yake fulani muafaka.
Utoaji mimba
Tendo la kutoa mamba ni dhambi inayotokana na kuvunja amri ya sita, isipokuwa ni kwa mazingira fulani. Mazingira yanayoongelewa hapa ni yale yanayoonekana kusababisha uvunjifu wa sheria nyingine hasa inavyodhihirika kwamba kitoto kichanga kinaweza kusababisha madhara ya mzazi, ndipo kitoto hiki kichanga kinaweza kuidhinishiwa kifo.
Hii inaashiria amri ya sita, na amri ya sita inafuatia baada ya ile ya tano nah ii inaitafsiri ile ya juu yake, yaani ya tano. Kwa hiyo, motto hawezi kuruhusiwa amuue mzazi wake, jambo ambalo lingekuwa ni kinyume kabisa na Amri za Mungu. Mri sita za kwanza zinahusika na kumpa mtu wajibu wake kwa Mungu na kwenye familia za kwenye jamii yake, akiwa ni muumbaji wa wazazi. Amri nyingine tano za mwisho zinahusika na uhusiano au mwingiliano katika jamii. Hakuna mtoto anayeruhusiwa kumdhuru au kumsababishia kifo mzazi wake kwa kumdhuru kwa namna yoyote ile.
Kutoka 21:15 Naye asiwatie unajisi kizazi chake katika watu wake; kwa kuwa mimi ndimi Bwana nimtakasaye Ampigaye baba yake au mama yake, sharti atauawa.
Kwa ajili hii ndopo utoaji mamba unaporuhusiwa kwa mujibu kabisa wa sheria au Torati ya Mungu kwa lengo la kuokoa uhai wa mama yake.
Madhara ya kuharibika mimba
Adhabu ya kutoka au kuharibika kwa mamba yanayotokana na machafuko yanayodaiwa kuwa ni
kuharibika,
Kutoka 21:22-25 Watu waume wakiteta pamoja,
wakamwumiza mwanamke mwenye mimba hata akaharibu mimba, tena yasiwe madhara
zaidi; sharti atatozwa
Tendo la kukataa kuja mahakamani, na utengenezaji wa mazingira ya kutoka kwa mambo mengine
yote yanayofuatiia, yanapaswa yaclukuliwe kwa kuhukumiwa kwa hukumu ya haki ya
mtu aliyeiharibu. Kwa hiyo, sehemu zote mbili zinapaswa zifungamanishwe na mahakama na maamuzi yake, na utoaji wowote uliosababishwa
ama na sehemu ya adhabu itahukumiwa
Uuaji au Kuua
Tendo la kuchukua uhai wa mtu pasipo sababu za kisheria ni uuaji. Torati inaelezea kwa kutoa mifano kadhaa na mazingira na sababu ambazo kwazo mtu anaweza kuuawa. Aina yoyote ya utekelezaji wa kuchukua uhai wa mtu kinyume cha sheria ni uuaji, ambao unaelezewa na kukatazwa na amri hii ya sita kwa kusema kuwa “Usiue,” na ni jambo linalojulikana vema na maana yake kuwa ni “Usiue”
Tendo hili la
kutwaa uhai wa mtu sio tu kwamba limekatazwa, bali
limeharamishwa kabisa kwa mujibu wa sheria na kwa mifano kadhaa ya namna fulani,
Sheria ya ndoa
Taifa linahesabiwa kwa ajili ya vita, kwa mujibu wa sheria (Hesabu 26:2).
Mfalme anayechaguliwa
kuwaongoza Israeli anatakiwa atoke miongoni mwa ndugu zao na
asiwe mgeni. Pia anatakiwa asijifanyie farasi wake kuwa wengi, na wala asiwe mwenye kuwafanya ndugu zake arudi Misri ili
wakamchukulie farasi wengi na kumlimbikizia. Na pia asiwe ni
mtu mwenye kujikusanyia na kujilimbikizia wake wengi, au mtu asiyeyajua au
kupenda kuyashika maneno ya Torati hii ya Mungu (Kumbukumbu
la Torati 17:14-20; Mhubiri 5:9; Isaya 32:17; pia soma jarida la Torati na Amri
ya Tano (Na. 258) [Law
and the Fifth Commandment (No. 258)].
Mfalme atatawala sawa na maagizo na mapenzi ya Mungu hata katika kipindi cha utawala wa Masihi, ambacho itakayotawala itatoka Sayuni.
Isaya 2:2-5 Na itakuwa katika siku za mwisho, mlima wa nyumba ya Bwana utawekwa imara juu ya milima, nao utainuliwa juu ya vilima; na mataifa yote watauendea makundi makundi. 3 Na mataifa mengi watakwenda na kusema, Njoni, twende juu mlimani kwa Bwana, nyumbani kwa Mungu wa Yakobo, naye atatufundisha njia zake, nasi tutakwenda katika mapito yake maana katika Sayuni itatoka sheria, na neno la Bwana katika Yerusalemu. 4 Naye atafanya hukumu katika mataifa mengi, atawakemea watu wa kabila nyingi; nao watafua panga zao ziwe majembe, na mikuki yao iwe miundu; taifa halitainua upanga juu ya taifa lingine, wala hawatajifunza vita tena kamwe. 5 Enyi wa nyumba ya Israeli, njoni, twende katika nuru ya Bwana.
Maisha yote yanaendana kwa kufuatana na kutii Torati ya Mungu (soma Kumbukumbu la Torati 7:1-5).
Mamlaka na uhalali wa kuandaa vita
Mamlaka ya kuandaa vita yamewekwa kwa viongozi wan chi, na viapo vya mataifa vinahusika na
jambo hili na vinafungamanishwa. Mungu alisababisha mapatilizo kwa ajili ya kushindwa kwao kupandilia vita kwa utaratibu
mzuri na unaotakiwa (soma Hesabu 21:1-5).
Kutotii na
kutoamini au ukosefu wa imani katika taifa kuliwasababishia kufanya makosa ya
serafi wa
Mara nyingi Bwana hulazimisha maamuzi ili kwamba adui aweze kutiwa kwenye mikono ya taifa, ingawaje hawapendi kwenda vitani, na ndivyo itakavyokuwa hata katika siku za mwisho. Mataifa watajikusanya kwenye bonde la kukata maneno wakisimama kinyume na Masihi, na huko ndiko wataangamizwa.
Hesabu
31:1-54 [ISOMWE YOTE NA KWA UKAMILIFU]
Sura hii inaelezea vita na mapigano zaidi na matayarisho mazuri nay a umakini yaliyoweka tahadhari ya kukiuka mipangilio yake na adhabu kwa atakayefanya hivyo.
Watu pekee waliomudu kuingia kwenye mkutano
wa Israeli walikuwa ni wanawake elfu thelathini na
mbili ambao walikuwa hawajawahi kumjua mwanaume bado. Mfano kama
huu tunauona ukitendeka pia kwa Gideoni, wakati idadi
Huduma ya
vita na utaratibu wa kuhesabu askari
Hakuna mtu aliyelazimishwa kwenda vitani akiwa kwenye kipindi cha mwaka mmoja cha ndoa yake, na wala hakulazimishwa kwenda kupigana wakati akiwa hapendi kwenda na akiwa hana utashi moyoni mwake (soma Kumbukumbu la Torati 20).
Kumbukumbu la Torati 24:5 Mtu atwaapo mke mpya, asiende vitani pamoja na jeshi, wala asipewe shughuli juu yake yo yote; akae faragha mwaka mmoja nyumbani mwake, apate mfurahisha mkewe aliyemtwaa.
Na hakuna aliyeruhusiwa kujiunga na mapigano au jeshi akiwa na umri wa chini ya miaka ishirini, na hakuruhusiwa hata kupelekwa vitani akiwa hapendi.
Hesabu
1:1-46 [ISOMWE YOTE NA KWA UKAMILIFU]
Sura hii inaelezea juu ya jinsi ya kuwahesabu Israeli, zoezi ambao lilifanyika siku ya kwanza ya mwezi wa Pili katika mwaka wa pili baada ya kuondoa kwao nchini Misri.
Wale waliohesabiwa na wakawa hawataki kwenda vitani ni sehemu ya wenyeji ambao hawamo kwenye makundi yaliyoorodheshwa hapo juu na ambao waliachwa nje ya mchakato wa mapigano, na ambao wanaweza kutumika kwa kutumikishwa kazi zote za shokoa na hasa kwa zile zinazohusika na ubebaji wa makusanyo ya michango, inayochangwa kwa ajili ya kumpelekea mfalme au zilizoamriwa na dola (soma 1Wafalme 5:13ff.). Israeli wote ni lazima wajihudhurishe wakati inapopigwa mbiu ya kuwataka kufanya kazi na viongozi wao. Wana namna fulani na maalumu ya kupita na amri ya vita.
Hesabu
10:1-36 [ISOMWE YOTE NA KWA UKAMILIFU]
Tarummeta zilitengenezwa kwa
ajili ya kuzipiga mbiu za namna mbalimbali ili kuwafanya Israeli wakusanyike
pamoja kwa ajili ya kusudi lolote litakalohitajika. Fungu hili la maandiko
linaelezea pia utaratibu wa jinsi ya kupita mbele kufanywa
na makabila yote. Taifa la Israeli lilikuwa chini ya usimamizi na uangalizi wa
Malaika wa Bwana, Masihi wao, kwa usiku na kwa mchana, kama inavyoonekana
kwenye Hesabu 13; na tumeifafanua vizuri kwenye jarida letu la Torati na Amri
ya Kwanza (Na. 253) [Law
and the First Commandment (No. 253)]. Wanaume
walitumwa wakaipeleleze Nchi ya Ahadi ya Kanaani. Ripiti waliyoileta ilisema
kwamba nchi ilikuwa ni njema mno nay a ajabu, ila
walikuwa wanawaogopa wenyeji wanaoikaa nchi hiyo. Bwana Mungu aliwapa ushindi bali wakuu wa makabila
Oparesheni za kawaiada
za vita
Imeruhusiwa kuua kwa
ajili ya kulilinda taifa
Kumbukumbu la Torati 20:1-20 inasema: Utokapo kwenda vitani
kupigana na adui zako, na kuona farasi, na magari, na watu wengi kuliko wewe,
usiwaogope; kwa kuwa Bwana Mungu wako, yu pamoja nawe, aliyekukweza kutoka nchi
ya Misri. 2 Na iwe, msongeapo mapiganoni, kuhani na
akaribie na kusema na watu, 3 awaambie, Sikizeni,
enyi Israeli, hivi leo mwasongea mapiganoni juu ya adui zenu mioyo yenu na
isizime; msiche, wala msiteteme, wala msiingiwe na hofu kwa ajili ya wao; 4 kwa maana Bwana, Mungu wenu, ndiye awaandamaye kwenda
kuwapigania juu ya adui zenu, ili kuwaokoa ninyi. 5 Na
maakida na waseme na watu, na kuwaambia, Ni mtu gani aliye hapa aliyejenga
nyumba mpya, wala hajaiweka wakfu? Aende akarudi nyumbani kwake, asije akafa
mapiganoni, ikawekwa wakfu na mtu mwingine. 6 Ni
mtu gani aliye hapa aliyepanda shamba la mizabibu, wala hajatumia matunda yake?
Aende akarudi nyumbani kwake asije akafa mapiganoni, yakatumiwa na mtu mwingine
matunda yake. 7 Ni mtu gani aliye hapa aliyemposa mke wala
hajaoa? Aende akarudi nyumbani kwake asije akafa mapiganoni, huyo mwanamke
akaolewa na mume mwingine. 8 Tena maakida na
waseme zaidi na watu, wawaambie, Ni mtu gani aliye hapa tena mwenye hofu na
moyo mnyonge? Aende akarudi nyumbani kwake, isije mioyo ya nduguze ikayeyuka
mfano wa moyo wake. 9 Itakuwa hapo
watakapokwisha wale maakida kusema na watu, na waweke majemadari wa majeshi juu
ya watu. 10 Utakaposongea karibu ya mji kwenda
kupigana juu yake, ndipo utakapowapigia ukelele wa amani. 11 Itakuwa
utakapokujibu kwa amani, na kukufungulia, ndipo watu wote watakaoonekana humo
watakufanyia kazi ya shokoa, na kukutumikia. 12 Na
kwamba hautaki kufanya amani nawe, lakini utafanya vita juu yako, ndipo
uuhusuru; 13 na Bwana, Mungu wako, autiapo mkononi
mwako, mpige kila mume aliyemo kwa makali ya upanga; 14 lakini
wanawake na watoto, na wanyama wa miji, na vilivyo mjini vyote, navyo ni nyara
zake zote, uvitwae viwe mateka kwako; nawe utakula nyara za adui zako alizokupa
Bwana, Mungu wako. 15 Utaifanyia vivyo miji
yote iliyo mbali sana nawe, isiyokuwa miji ya mataifa haya. 16 Lakini
katika miji ya mataifa haya akupayo Bwana, Mungu wako, kuwa urithi, usihifadhi
kuwa hai kitu cho chote kipumzikacho; 17 lakini
uwaangamize kabisa, Mhiti, na Mwamori, na Mkanaani, na Mperizi, na Mhivi, na
Myebusi, kama alivyokuamuru Bwana, Mungu wako; 18 wasije
wakawafunza kufanya mfano wa machukizo yao yote, waliyoifanyia miungu yao;
hivyo itakuwa ni makosa juu ya Bwana, Mungu wenu. 19 Wewe
utakapohusuru mji siku nyingi kwa kufanya vita juu yake, upate kuutwaa,
usiangamize miti yake kwa kupeleka shoka juu yake, kwani utaweza kula matunda
yake; wala usiiteme, kwa maana huo mti wa kondeni, je! Ni mtu, hata ukauzuie? 20 Ila miti uijuayo si miti ya kuliwa iangamize, na
kuitema; ukajenge maburuji juu ya mji ufanyao vita juu yako, hata uanguke.
Nchi lazima ilindwe na mazingira yanapaswa yalindwe pia. Ni wale wanaoabudu miungu mingine tu (mbali na Bwana Mungu wa Israeli) ndio wanatakiwa waangamizwe kabisa na pasipo na huruma.
Maovu na
makosa ya jinai vitani
Tendo la kuwaangamiza waabudu sananmu halimo nwenye orodha ya makosa ya jinai
ya kivita, kwa mujibu wa torati ya Mungu. Wanapaswa
kuonywa kwanza na kupewa muda ambao utakuwa ni fursa
Iwapo kama
hatutawaangamiza na badala yake tunaishi kwenye nchi yao pamoja nao, ndipo sisi
kama taifa kunauwezekano mkubwa sana wa kulazimika kuingia kwenye mtindo na
imani yao ya kuabudu sanamu na kulisababishia taifa letu liangamizwe kwa hasira
kali ya Mungu. Ibada ya sanamu ni jambo lililokatazwa na kuharimishwa kabisa
kufanywa na Israeli na hata kwa mgeni aliye kwenye malango yao, na ni chukizo
kuu sana mbele za Mungu (Kumbukumbu la Torati 7:22-26).
Wakati taifa linapokuwa
linatubu linatakiwa kitendewe
Waamaleki na vita
kati ya mataifa
Unabii wa Balaamu ulionyesha hatima ya mataifa yanayoinuka kinyume
na Israeli. Amaleki walikuwa ni wa kwanza kukutananao
kati ya mataifa mengine yaliyofuatia, lakini mwisho wake ilikuwa ni kuangamia
milele,
Vita hivi vya siku za mwisho ni masalio ya vita vilivyopiganwa kati ya Israeli na Amaleki siku za kale hata kabla hawajaingia kwenye Nchi ya Ahadi (Kutoka 17:8-16).
Kutoka 17:8-16 inasema: Wakati huo Waamaleki
wakatokea, wakapigana na Israeli huko Refidimu. 9 Musa akamwambia Yoshua, Tuchagulie watu, ukatoke upigane
na Waamaleki; kesho nitasimama juu ya kilele kile, na ile fimbo ya Mungu
nitakuwa nayo mkononi mwangu. 10 Basi Yoshua akafanya
kama Musa alivyomwambia, akapigana na Amaleki; na Musa na Haruni na Huri
wakapanda juu ya kile kilima. 11 Ikawa, Musa
alipouinua mkono wake, Israeli walishinda; na alipoushusha mkono wake, Amaleki
walishinda. 12 Lakini mikono ya Musa ilikuwa mizito;
basi wakatwaa jiwe, wakaliweka chini yake akalikalia. Haruni na Huri
wakaitegemeza mikono yake, mmoja upande huu na mmoja upande huu; mikono yake
ikathibitika hata jua lilipokuchwa. 13 Yoshua akawaangamiza
Amaleki na watu wake kwa ukali wa upanga. 14 Bwana
akamwambia Musa, Andika habari hii katika kitabu iwe ukumbusho, kisha ihubiri
masikioni mwa Yoshua; ya kuwa nitaufuta ukumbusho wa Amaleki kabisa, usiwe tena
chini ya mbingu. 15 Musa akajenga madhabahu, akaiita jina
lake Yehova-nisi; 16 akasema, Bwana
ameapa; Bwana atakuwa na vita na Amaleki kizazi baada ya kizazi.
Amaleki waliwapiga watu dhaifu na wasiojiweza na hawakuwa na hofu ya Mungu kabisa (Kumbukumbu la Torati 25:17-19).
Muungano
wowote unasimama pamoja kwenye Zaburi 83. Matawi
yote ya mataifa haya walijiunga pamoja na kufanya hila
wakinuia kuwaangamiza Israeli. Kulikuwa na jumla ya
mataifa kumi kwa ujumla wao, ambao waalifanya muungano wa wafalme. Waedomu na Waishimaeli, Wamoabu na Wahagiri, Wageba na Waamoni na Waamaleki,
Wafilisti na wenyeji wa Tiro, na Waashuru walijiunga nao (Zaburi 83:5-8). Mungu
akawaamuru wafanye maangamizi mzkuu (soma 1Samweli 15:2,3;
28:18), lakini haikufanyika hivyo, na badala yake ilikuwa ni nusura kabisa
waangamize Yuda (soma Esta 3:7-9, 10). Kwa yote haya, busara –
Jinsi ya kumtendea
mateka wa kike
Mwanamke aliyetekwa vitani anaweza pia
kuchukuliwa na kufanywa kuwa mke na anahesabiwa kuwa
ni sehemu ya taifa la Israeli, haipaswi watumiwe kwa shughuli za kikahaba, au
kuwatumia kwa matumizi mengine yasiyomema na stahiki. Na iwapo
Kumbukumbu la Torati 21:10-14
Utakapokwenda vitani kupigana juu ya adui zako, na Bwana, Mungu wako, awatiapo mikononi
mwako, nawe uwachukuapo mateka, 11 ukaona kati ya
mateka mwanamke mzuri, ukafanya tamaa kwake, ukawaza kumtwaa kuwa mkeo; 12 ndipo umchukue kwenu nyumbani kwako, naye atanyoa
kichwa, akate na kucha; 13 avue na mavazi ya
uteka wake akae nyumbani mwako, awakalie matanga babaye na mamaye mwezi mzima,
kisha uingie kwake uwe mumewe, naye awe mkeo. 14 Tena
utakapokuwa huna furaha naye, mpe ruhusa aende atakako; lakini usimwuze kabisa
kwa fedha, usimfanye kama mtumwa, kwa kuwa ulimtweza.
Jinsi ya kuigawa Nchi
Hesabu
33:1-56 [ISOMWE YOTE NA KWA UKAMILIFU]
Safari ya kutoka Misri ndiyo inayoelezewa hapa.
Hesabu
32:1-42 [ISOMWE YOTE NA KWA UKAMILIFU]
Kwa hawa Manase wa pili, Reubeni na Gadi walipewa urithi nje ya milki ya Israeli, ila bado walitarajiwa kuwa watakuwa wanajiunga ma wenzao kupigana inapotokea vita. Na hivi ndivyo itakavyotokea pia siku za mwisho wakati makosa ya kutoshiriki yatakapotoa taswira yenye maana sawa na kutengana na Israeli chini ya utawala wa Masihi.
Hesabu
34:1-29 [ISOMWE YOTE NA KWA UKAMILIFU]
Mipaka ya nchi imeelekezwa kwa kina kwenye sura hii. Ardhi au nchi imegawanywa kwa kupigiwa kura kwa umilikaji wa makabila haya. Kwa hiyo mgawanyo wan chi unaendana kwa mujibu sawa na uongozi ulivyo wa kila kabila, na inafanyika kwa kuzingatia na idadi ya makabila yalivyo. Mipaka ya nchi imepanuliwa katika siku za mwisho hadi kufika kwenye Mto Mkubwa wa Frati na kuelekea upande wa mashariki kutoka palestina. Mataifa ya Yordani yamemezwa na kujumuishwa na taifa la Israeli, au limefanyika kuwa ni moja ya majimbo yake (Isaya 11:1-16).
Milki na alama ya
mipaka
Suala la umiliki na alama ya mipaka ni moja ya mambo yanayohusika na usalama wa maisha ya familia na makabila. Ni laana kuiondoa, au kuongeza vipimo vyake kwa kusogeza mbele, au kuingia na kulitwaa shamba la yatima, “Kwakuwa Mwokozi wao yu Mwenyenguvu na atawapigania” (Kumbukumbu la Torati 27:17; Ayubu 24:2; Mithali 22:28; 23:10,11; Hosea 5:10). Mambo haya yanashughulikiwa na kufafanuliwa kwa kina kwenye majarida yetu ya Torati na Amri ya Nne (Na. 256) pia na lile la Torati na Amri ya Tano (Na. 258) [Law and the Fourth Commandment (No. 256) and also Law and the Fifth Commandment (No. 258)].
Miji ya Walawi ya kujipatia
riziki zao
Makuhani walipaswa
kupewa miji ambayo kwayo wangeishi na kujipatia riziki
zao, na utoaji wa miji hii utakuja fanyika tena kwenye kipindi cha marejesho
mapya kitakapokuja. Sambamba na
Hesabu 35:1-8 inasema Kisha Bwana akanena na
Musa katika nchi tambarare za Moabu, karibu na mto wa Yordani, hapo Yeriko,
akamwambia, 2 Uwaagize wana wa Israeli wawape Walawi
miji wapate mahali pa kukaa, katika milki
Mauaji na miji ya makimbilio
Hesabu 35:9-15 inasema: Kisha Bwana akanena na
Musa, na kumwambia, 10 Nena na wana wa
Israeli, uwaambie, Mtakapovuka mto wa Yordani na kuingia nchi ya Kanaani, 11 Ndipo mtajiwekea miji iwe miji ya makimbilio kwa ajili
yenu; ili kwamba mwenye kumwua mtu, pasipo kukusudia kumwua, apate kukimbilia
huko. 12 Na hiyo miji itakuwa kwenu kuwa
makimbilio, kumkimbia mwenye kutwaa kisasi, ili asiuawe mwenye kumwua mtu, hata
atakaposimama mbele ya mkutano ahukumiwe. 13 Na
hiyo miji mtakayowapa itakuwa kwenu ni miji sita ya makimbilio. 14 Mtawapa miji mitatu ng'ambo ya pili ya Yordani, na miji
mitatu mtawapa katika nchi ya Kanaani; miji hiyo itakuwa ni miji ya makimbilio.
15 Miji hiyo sita itakuwa miji ya makimbilio kwa ajili ya
wana wa Israeli, na kwa ajili ya mgeni, na kwa ajili ya huyo aketiye kati yao
hali ya ugeni; ili kila amwuaye mtu, naye hakukusudia kumwua, apate kukimbilia
huko.
Mauaji yanayofanywa kwa
ajali na pasipo kukusudia ndiyo sababu ya kutengwa kwa miji hii, na watu
wanatakiwa kulindwa dhidi ya mwenye kujilipiza kisasi kwa kumuua. Hata hivyo,
kunapofanyika mauaji yaliyipangwa tangu mwanzo, kuuawa kwa
muuaji ndiyo tukio la mwisho linalopaswa kufanyika na ndivyo ilivyogizwa
ifanyike na Torati.
Hesabu 35:16-21 inasema: Lakini kama
alimpiga kwa chombo cha chuma, akafa, ni mwuaji huyo; mwuaji hakika yake
atauawa. 17 Na kama alimpiga kwa jiwe lililokuwa
mkononi mwake, ambalo kwa hilo humkini mtu kufa, naye akafa, yeye ni mwuaji;
huyo mwuaji lazima atauawa. 18 Au kama alimpiga kwa
chombo cha mti kilichokuwa mkononi mwake ambacho kwa hicho humkini mtu kufa,
naye akafa, ni mwuaji huyo, mwuaji lazima atauawa. 19 Mwenye
kutwaa kisasi cha damu ndiye atakayemwua mwuaji; hapo atakapokutana naye,
atamwua. 20 Tena kwamba alimsukuma kwa kumchukia, au
kwamba alimtupia kitu kwa kumvizia, hata akafa; 21 au
akampiga kwa mkono wake kwa kuwa ni adui, naye akafa; yeye aliyempiga lazima
atauawa; yeye ni mwuaji; mwenye kutwaa kisasi cha damu atamwua mwuaji, hapo
atakapokutana naye.
Mauaji yaliyotokea kwa
bahati mbaya
Hesabu 35:22-34 inasema: Lakini ikiwa alimsukuma
ghafula pasipo kumchukia; au akamtupia kitu cho chote pasipo kumvizia, 23 au kwa jiwe liwalo lote, ambalo kwa kupigwa kwalo
humkini mtu kufa, asipomwona, akamtupia hata akafa, naye hakuwa adui yake, wala
hakumtakia madhara; 24 ndipo mkutano
utaamua kati ya huyo aliyempiga mtu na huyo atakayetwaa kisasi cha damu, kama
hukumu hizi zilivyo; 25 nao mkutano
utamwokoa yule aliyemwua mtu na mkono wa mwenye kutwaa kisasi cha damu; tena
mkutano utamrejeza katika mji wake wa makimbilio, aliokuwa anaukimbilia; naye
atakaa humo hata kifo chake kuhani mkuu, aliyepakwa mafuta kwa mafuta
matakatifu. 26 Lakini kama mwenye kumwua mtu akienda
wakati wo wote kupita mpaka wa huo mji wa makimbilio, alioukimbilia; 27 na mwenye kutwaa kisasi cha damu akamwona, naye yu nje
ya mpaka wa mji wake wa makimbilio, na mwenye kutwaa kisasi cha damu akamwua
huyo mwuaji, hatakuwa na hatia ya damu; 28 kwa
sababu ilimpasa kukaa ndani ya mji wake wa makimbilio hata kifo chake kuhani
mkuu lakini kuhani mkuu atakapokwisha kufa huyo mwuaji atarudi aende nchi ya
urithi wake. 29 Mambo haya yatakuwa ni amri ya hukumu
kwenu, katika vizazi vyenu vyote, katika makazi yenu yote. 30 Mtu
awaye yote atakayemwua mtu, huyo mwuaji atauawa kwa vinywa vya mashahidi;
lakini shahidi mmoja hatashuhudia juu ya mtu hata akafa. 31 Tena,
msipokee fidia kwa ajili ya uhai wa mwuaji, ambaye amekuwa na hatia ya mauti;
Lakini lazima atauawa. 32 Tena hamtapokea
fidia kwa ajili ya huyo aliyeukimbilia mji wake wa makimbilio, apate kwenda
tena kuketi katika nchi, hata kifo cha kuhani mkuu. 33 Hivi
hamtaitia unajisi nchi ambayo mwakaa; kwa kuwa damu huitia nchi unajisi; wala
hapana sadaka itoshayo kwa ajili ya nchi, kwa ajili ya damu iliyomwagwa ndani
yake, isipokuwa ni damu ya huyo aliyeimwaga. 34 Kwa
hiyo msiitie unajisi nchi muiketiyo, ambayo naketi nami kati yake; kwa kuwa
mimi Bwana nakaa kati ya wana wa Israeli.
Mtu akikimbilia na kufika kwenye mji wa
makimbilio, ataishi humo kwa kipindi chote cha uhai wa kuhani aliye kwenye mji ule,
ni sharti muhimu na la lazima kwa kila aliyeua bila kukusudia. Anapofariki kuhani
aliyekuwa anasikiliza kesi na kuhukumu, au mwenye mamlaka
ya kutoa hukumu kwenye mji huo wa makimbilio, ndipo yule muuaji ataruhusiwa
kurudi kwenye makazi yake asilia. Kesi na mashitaka
haya hayawezi kutolewa kikombozi chochote.
Tunajionea pia kwamba jambo lingine kuhusu suala hili limeandikwa kwenye kitabu cha Kutoka.
Kutoka 2:11-15 Hata siku zile, Musa alipokuwa
mtu mzima, akatoka kuwaendea ndugu zake, akatazama mizigo
Tendo la kumuua
mtu kwa kimvizia na pasipo kupewa ruhusa au mamlaka ya
kufanya hivyo ni uvunjaji wa amri hii pia. Mji wa
makimbilio uliwekwa na Musa ukiwa kama adhabu, na ni mtindo ulio sawa tu na
Kifo kilichotokana na sababu zisizojulikana
Kumbukumbu la Torati 21:1-9 inasema: Aonekanapo mtu ameuawa katika nchi akupayo Bwana, Mungu wako, kuimiliki,
amelala kondeni, wala haijulikani ni nani aliyempiga; 2 na
watoke nje wazee wako na waamuzi wako, nao wapime hapo mpaka miji iliyomzunguka
huyo aliyeuawa; 3 na iwe, mji ulio karibu na yule aliyeuawa,
wale wazee wake mji huo watwae mtamba katika kundi la ng'ombe, ambaye hajafanya
kazi, wala hajakokota jembe la nira; 4 wazee wa mji huo na
wamshushe yule mtamba mpaka bonde lenye maji ya mtoni, lisilolimwa wala
kupandwa, wakamvunje yule mtamba shingo yake humo bondeni; 5 nao
makuhani wana wa Lawi wasongee karibu, kwa kuwa ndio aliowachagua Bwana, Mungu
wako, wamtumikie, na kubariki katika jina la Bwana na kila neno lishindaniwalo,
na kila pigo, litakuwa kwa kufuata maneno yao; 6 na
wazee wote wa mji ule, ulio karibu sana na yule aliyeuawa, na waoshe mikono yao
juu ya huyo mtamba aliyevunjwa shingo yake humo bondeni; 7 na
wajibizane kwamba, Mikono yetu haikumwaga damu hii, wala macho yetu hayakuiona.
8 Ee Bwana, samehe watu wako Israeli, uliowakomboa, wala
usiache damu ya asiye makosa ikakaa katikati ya watu wako Israeli. Na ile damu
utasamehewa kwao. 9 Ndivyo utakavyoondoa
damu ya asiye makosa katikati yako, utakapofanya yaliyo sawa machoni pa Bwana.
Kutokana na
maandiko haya tunaona na kujua kwamba kila mtu mmoja mmoja anawajibu mkubwa na
wa aina yake machoni pa Mungu katika kuilinda haki isiharibiwe ama kupotea, na
kulinda maisha na kuisimamia sheria isipindishwe ama kuhalifiwa kwenye maeneo
yake. Ndio maana kuna mazingira ya kumfungamanisha mtu ndani
ya sheria.
Ukombozi au marejesho
Ukombozi au marejesho sio matendo tu ya
masuala yaliyo kwenye amri hii ya sita tu, na ambayo
inawafanya watu kuielewa sheria. Hata hivyo, damu hulipwa kwa
damu kwa mujibu wa amri hii ya sita.
Ukomboaji
ulifanywa kwa ajili ya uvunjaji wa amri hizi nyingine,
na iwapo
Jinsi ya kuitenda kazi
Torati
Kuna sheria moja tu kwa wote.
Hesabu 15:29-31 Mtakuwa na sheria moja
kwa huyo afanyaye neno lo lote pasipo kujua, kwa huyo aliyezaliwa kwenu kati ya
wana wa Israeli, na kwa mgeni akaaye kati
Kitendo cha kudharau mahakama na kuidharau Torati ya Mungu kunempelekea mtu kuhukumiwa kifo kwa mujibu wa mfano tuliouona mwishoni.
Kumbukumbu la Torati 17:12-13 Na mtu afanyaye kwa
kujikinai, kwa kutomsikiza kuhani asimamaye hapo kwa kumtumikia Bwana, Mungu
wako, au mwamuzi, na afe mtu huyo; nawe utauondoa uovu katika Israeli. 13 Na hao watu wote watasikia na kuogopa, wasifanye tena
kwa kujikinai
Hukumu ya kifo
Mwanadamu aliumbwa kwa haiba ya mfano wa Mungu, na yeyote atakayeimwaga damu ya mwanadamu, basi damu hiyo itadaiwa kwake na atailipa (Mwanzo 9:5-6). Hukumu ya kifo imelengwa kutolewa kwenye mazingira yake fulani (soma Mambo ya Walawi 20:1-27; 24:10-23; Hesabu 15:29-31; Kumbukumbu la Torati 17:12-13).
Mambo yaha yote yanafanyika ili kwamba tujifunze kumcha Mungu na kuzitii Sheria na amri zake, ili tuwe ulinzi wetu na haki yetu, na pia zifanyike kuwa ni agano letu kwenye Hekalu lake (Kumbukumbu la Torati 8:6; Kutoka 12:15-19; Mwanzo 17:14; Kutoka 3:14; Mambo ya Walawi 17:8).
Mtu akimlaani baba yake au mama yake hufa bila kuzaa mtoto, na hivyo kumfanya kizazi chake kinakatiliwa mbali au atakubwa na mauti (Mithali 20:20; Mathayo 15:4; Marko 7:10).
Hukumu ya kifo hutolewa kwa
makosa yafuatayo:
·
Utekaji wa
nyara kwa manufaa fulani (Kumbukumbu la Torati 24:7);
·
uzininzi (Kumbukumbu
la Torati 22:22-24);
·
kumbaka kwa
nguvu mwanamke aliyechumbiwa au kuolewa (Kumbukumbu la Torati 22:25-27);
·
vitendo vya
ufiraji (Lev. 20:13);
·
uchawi au
ushirikina au machukizo ya kutoa sadaka kwa miungu wa uwongo (Kutoka 22:18-20);
·
kuwaasi na
kutowatii wazazi (Kumbukumbu la Torati. 21:18-21);
·
kuivunja Sabato
(Kutoka 35:2; Hesabu 15:32-36);
·
kutoa
unabii wa an mafundisho ya uwongo yanayodharau umuhimu wa kuishika na
kuiheshimu Torati na amri za Mungu (Kumbukumbu la Torati 13:1-10);
·
kuidharau
mahakama kwa kutotumikia hukumu zake (kumbukumbu la Torati 17: 8-13);
·
mwana aliye
mwizi au mvunjaji wa maagano, au mtu aliye mwabudu sanamu, mzinzi,
anayewadhulumu maskini na wahitaji, afanyaye machukizo kwa kudhulumu na ufisadi,
au anayechukua riba au aina hiyo ya mapato ya aibu (Ezekieli 18:10-13).
Mashahidi na Mtego
wa fumanizii
Hairuhusiwi mtu kutiwa hatiani hadi kuweko mashahidi wawili au watatu walioshuhudia jambo likitokea (Kumbukumbu la Torati 17:6). Hairuhusiwi kumhukumu mtu kifo na kumuua kwa ushahidi uliotolewa na mtu mmoja tu, na wala hairuhusiwi shahidi mmoja tu kutoa ushahidi dhidi ya dhambi za mwenzake na akachukuliwa kuwa ni kweli (soma Kumbukumbu la Torati 19:15). Mikono ya mashahidi ndiyo itakuwa ya kwanza kumpatiliza, au kwa maneno mengine ni kwamba, mashahidi wanatakiwa wawe ni sehemu ya wale wanaotoa mapatilizo ya hukumu ya mkosaji (Kumbukumbu la Torati 17:7).
Kutokana na dhana hii kwenye maandiko yanayoelezea utumiaji uwongo ili kufanikisha kumtia mtu hatiani au kukamata wengine, tunaona kwamba tendo la kumuwekea mtu mtego ni baya au machukizo kabisa, sawa tu na ilivyo kwa usingiziaji. Ni mambo yaliyotofauti kabisa na ni matedo ya namna ile ile ya dhambi inayokusidia kumchafua au kumharibia sifa zake mtu kwa kutumia mbinu ya namna nyingine.
Aina ya hukumu za kifo
Kuna aina mbalimbali kadhaa zinazotumika katika kumuua mtu zilizoelekezwa kwenye Bbilbia:
· Kuchoma moto (Mambo ya Walawi 20:14; 21:9).
· Kupiga mawe (Mambo ya Walawi 20:1, 27; 24:14; Kumbukumbu la Torati 21:21).
· Kunyoka hadi kufa (Kumbukumbu la Torati 21:22, 23; Yoshua 8:29).
· Kuua kwa Upanga (Kutoka 32:27, 28).
Utaratibu wa kutekeleza hukumu hii ya kifo inatakiwa itekelezwe hadharani ili iwe fundisho kwa wengine, na haikuwa lazima kumhukumu mtu hivi kwa kosa la kwanza, isipokuwa ni kama tu itakuwa inahusiana na uvunjifu wa amri hii ya sita.
Kutumia vibaya
kanuni ya utoaji wa ushahidi na uendekezaji wa mapokeo
ya kifarisayo ni uvunjifu na ukiukaji wa amri na sheria za kibiblia. Kwa mfano,
Biblia inasema kwamba mtu asihukumiwe kifo na kuuawa
kwa ushahidi wa mtu mmoja tu, lakini mapokeo haya yanasema kuwa ushahidi wa mtu
mmoja unatosha kuutolea hukumu. Kila anayeyaendekeza mapokeo ya Watalmudi na kuyatumia ili kupinga maelezo yaliyotokewa wazi ya Biblia
kwa ajili ya jambo hili anakuwa ametenda dhambi kubwa
Utekelezaji
usio sahihi wa hukumu hii ya kifo
Agizo au amri ya kuua, ikitolewa kwa lengo potofu tu la kuwaangamiza watu wetu, inapaswa kuligomea na kutoitekeleza.
Kutoka 1:15-16 Kisha mfalme wa Misri akasema na wazalisha wa Waebrania, mmoja jina lake aliitwa Shifra, na wa pili jina lake aliitwa Pua; 16 akasema, Wakati mwazalishapo wanawake wa Kiebrania na kuwaona wa katika kuzaa, ikiwa ni mtoto mwanamume, basi mwueni, bali ikiwa ni mtoto mwanamke, na aishi.
Sera hii zimewahi kufanywa na baadhi ya imani fulani za kidini katika karene hii, kwa sehemu
zote mbili yaani za Ulaya na
Kutoka 1:22 Kisha huyo Farao akawaagiza watu wake, akisema, Kila mtoto mwanamume
atakayezaliwa mtamtupa mtoni, na kila mtoto mwanamke
mtamhifadhi hai.
Rehema na haki
Utekelezaji wa sheria hizi unapaswa kuzingatia kanuni njema ya rehema na haki, na Kristo alituonyesha kwa bayana jinsi sheria hizi zinavyotakiwa kutekelezwa. Hukumu ya kifo—kwa mfano, inatokana na tabia ya uzinifu—haikuwa lazima, bali ilitekelezwa baada ya kuona kwamba tabia hiyo ilikuwa inarudiwa rudiwa na kwa mwonekano usioashiria kuwa mtu huyu anahofu tena na maagizo au maelekezo ya torati.
Kila amri inapelekea hukumu ya kifo ili kuonyesha usawa wa mamlaka ya sheria kwa kila jambo. Ni kwenye hii amri ya sita tu ndiko hukumu hii ya kifo ni ya lazima na kwa kosa la kwanza, lakini ni kwenye mazingira na hali ileile.
Maneno ya Kristo yanaonyesha kuwa hili ndiyo ilikuwa kusudi la sheria (Yohana 8:7). Sheria hizi zinapaswa zitekelezwe kwa kuzingatia rehema na haki, na ili kusiweko na mauaji ya kidhalimu au maonevu, au kwa kuwaendekeza wale wanaomvizia mwenzao au kumvizia ili wamkamate.
Kuabudu sanamu na ushiriki wa ibada zake ni mambo waliyokatazwa kabisa Israeli, au kufanywa na wageni waliowatembelea malangoni mwao wote walikatazwa kufanya hivyo na ni machukizo makuu kwa Mungu wao.
Kumbukumbu la Torati 7:22-26 Naye Bwana, Mungu wako, atayatupia nje mataifa yale mbele yako kidogo kidogo;
haikupasi kuwaangamiza kwa mara moja, wasije wakaongezeka kwako wanyama wa
mwitu. 23 Ila Bwana, Mungu wako, atawatoa mbele
yako, atawatia mashaka, mashaka makuu, hata waishe kuangamizwa. 24 Na wafalme wao atakutilia mkononi mwako, nawe
utalipoteza jina lao litoke chini ya mbingu; hapana mtu atakayeweza kusimama
mbele yako, hata utakapokwisha kuwaangamiza. 25 Sanamu
za kuchonga za miungu yao mtaziteketeza kwa moto; usitamani fedha wala dhahabu
iliyo juu yao, wala usiitwae iwe yako usije ukanaswa nayo; kwa maana ni
machukizo kwa Bwana, Mungu wako; 26 na machukizo usitie
ndani ya nyumba yako, usije wewe kuwa kitu cha haramu mfano wake; ukichukie
kabisa, na kukikataa kabisa; kwa kuwa ni kitu kilichoharimishwa.
Hukumu kwa dhambi zifanywapo na haki ya maisha au uhai kwa mujibu wa
Torati
Hakuna mtoto au mwana atakayeuawa kwa ajili ya dhambi zilizofanywa na baba yake, bali kila mtu atauawa kwa ajili ya dhambi alizozitenda mwenyewe (Kumbukumbu la Torati 24:16,17; 2Wafalme 14:6).
Mtumwa aliyemudu kumtotoka bwana wake haikuruhusiwa kumrejesha kwa bwana wake tena. Wakimbizi wanapaswa wapewe sehemu ya kuishi ndani ya malango ya miji, mahala wanapopachagua, na haipaswi waonewe au kubughudhiwa. Wanastahili kupewa msaada wa kuishi na ulinzi kwa mujibu wa Torati na sheria nyingine nyingi za Mungu (Kumbukumbu la Torati 23:15, 16).
Ushuhuda wa sababu asilia ya hukumu hii ya kifo
Hukumu ya kifo ni ya lazima kunapotokea matukio ya mauaji yaliyopangwa na kufanyika kwa kukusudia, na kutengwa kwa miji ya makimbilio ni muhimu kwa ajili ya kukimbilia mtu aliyeua pasipo kukusudia, ambaye ataishi humo kipindi chote cha maisha ya kuhani aliye ndani ya mji huo wa makimbilio.
Kwa makosa ya mauaji, kuuawa kwa muuaji ni tukio la mwisho na ndivyo inavyoagiza sheria kuwa ifanyike.
Hesabu 36:13 Haya ndiyo maagizo na hukumu, ambayo Bwana aliwaagiza wana wa Israeli, kwa mkono wa Musa, hapo katika nchi tambarare za Moabu, karibu na Yordani, hapo Yeriko
Mazingira ambayo kuua kunakua
sio uhalifu
Haiwi uhalifu mtu
anapoua iwapo kama atakuwa anatekeleza maagizo
aliyopewa na Mungu kupitia Torati yake,
Kutoka 4:24 Ilikuwa walipokuwa njiani mahali pa kulala, Bwana akakutana naye akataka kumwua.
Mungu anaonyesha nia yake hapa kwa vile alivyotaka kumuua Musa kwa kutolitii agano
linalomtaka awatahiri watoto wake wa kiume.
Mungu alisababisha vifo
vya watu ili iwe mfano kwetu kwa kipindi cha zaidi ya
karne kadhaa zilizopita. Hakuna dhambi katika tendo lenyewe la kuua liifanywa kwa mujibu wa sheria za Mungu zinzzohusiana na jinsi ya
kutekeleza hukumu ya kifo, sawa na ilivyo kwa mtu aliyeihalifu Sheria ya Mungu
kwa ajili kumuua Masihi ambaye hakutenda dhambi yoyote.
Ulinzi wa Maskani na haki na utumishi wa kutoa huduma kumtumikia Mungu ni sehemu ya sheria pia.
Hesabu 18:22 Mwanzo wa sasa wana wa Israeli wasikaribie hema ya kukutania, wasije wakachukua dhambi, nao wakafa.
Maagizo haya yanayolenga Hekalu jipya na kuwateuwa wateule kwa utumishi ulio wa mfano wa Melikizedeki katika jamii. Marekebisho ya sheria ya kuiondoa moja kutoka kwenye ile ya kwanza na kuifanya ya pili ifufuke. Hekalu liliondolewa na Hekalu jipya ni mawe yaliyo hai.
Mtu
anaweza kuuawa kwa lengo la kulinda
Miji ya makimbilio
na sheria inayohusika na mauaji yaliyofanywa kwa
bahati mbaya na mtu asiyekusudia kumuua mwenzake, haviwezi kumuokoa muuaji,
hata
Kutoka 21:12-14 Mtu awaye yote ampigaye mtu, hata akafa, hana budi atauawa huyo. 13 Lakini kama hakumvizia, ila Mungu amemtia mkononi mwake; basi nitakuonyesha mahali atakapopakimbilia. 14 Lakini, mtu akimwendea mwenziwe kwa kujikinai, kusudi apate kumwua kwa hila; huyo utamwondoa hata madhabahuni pangu, auawe.
Marufuku iliyowekwa kwa
ajili ya kumtumia ng’ombe maksai kwa chakula kama akigonga na kumuumiza mtu
yeyote ni kuiachqa nyama yake isitumiwe, na inasaidia kuwavunja watu mioyo
Kutoka 21:28-36 inasema: Ng'ombe akipiga pembe mtu
mume au mtu mke, nao wakafa, huyo ng'ombe atauawa kwa
kupigwa kwa mawe, nyama yake isiliwe; lakini mwenye huyo ng'ombe ataachiliwa. 29 Lakini kwamba huyo ng'ombe alizoea kupiga watu tangu
hapo, naye mwenyewe ameonyeshwa jambo
Kushindwa au kutolipa gharama ilioyotokana na uharibifu ni kutoyatendea haki maisha na kudharau
uthamani wake. Uharibifu unaendelea hadi kwenye
32 Ng'ombe akimtumbua mtumwa mume au kijakazi; mwenye
ng'ombe atampa bwana wao shekeli thelathini za fedha, naye ng'ombe atauawa kwa kupigwa kwa mawe.
Hasara au kuumizwa kunakoelezewapa ni kwa thamani ya mtumwa ambayo fidia yake ni vipande thelathini vya fedha. Fedha hizi alipewa bwana wa mtumwa yule, ambaye anajukumu la muda mrefu wa kumtunza na kumhudumia yule mtumwa. Hata hivyo, malipo haya hayamfanyi yule mkosaji ajitoe na kujiweka mbali na wajibu wa kumhudumia. Kwa ajili hii, jamii inawajibika kwenye masuala yote yanayohusiana na mahitaji na usalama wa watu wake.
Kwa masuala yahusuyo uharibifu, kila mmoja wetu anao wajibu kwa matendo yake mwenyewe yanapoharibika.
33 Kwamba mtu atafunua shimo, au kuchimba shimo, naye
asilifunike, kisha ikawa ng'ombe au punda kutumbukia humo, 34
mwenye shimo atalipa; atampa huyo mwenye mnyama fedha, na mnyama aliyekufa atakuwa ni wake.
Gharama hii inafidiwa kwa mnyama aliyekufa. Mwenye kubeba wajibu wa lawama kwa ajili ya kuondolewa au kutoweka kwake huwa ni juu ya yule aliyekutwa na hatia. Kwa hiyo juhudi zote za kuonyesha kutojali jambo hili linachukuliwa kwa kutolewa hukumu inayostahili.
35 Ng'ombe wa mtu akimwumiza
ng'ombe wa mtu mwingine hata akafa; ndipo watamwuza huyo ng'ombe aliye hai na
kugawanya thamani yake; na ng'ombe aliyekufa pia watamgawanya. 36 Au kwamba ilijulikana ya kuwa ng'ombe tangu hapo amezoea
kupiga kwa pembe, wala mwenyewe asimzuie; ndipo
atakapolipa yeye, ng'ombe kwa ng'ombe, na huyo ng'ombe aliyekufa atakuwa ni
wake.
Tunaona hapa kwamba kuna aina kuu mbili za uuaji. Namna ya kwanza ni ile ya uhatarisho wa kawaida, yaani iwapo kwma wanyama watajulikana kuwa walikuwa wanapigana na hovyohovyo, na ndipo hasara yake itakuwa sawa na kuharibu uzazi wote. Wakati mfugo unapojulikana kuwa unaleta matatizo, ndipo lawama yote atapewa yule mmiliki wake. Na hii ndivyo ilivyo kwa nyakati zetu hizi za leo wakati ng’ome anapopita barabarani na uharibifu wake unawaathiri wengine.
Mambo ya Walawi 24:17-21 Na mtu ampigaye mtu hata akafa, lazima
atauawa; 18 na atakayempiga
mnyama hata akafa atalipa; uhai kwa uhai. 19 Na
mtu akimtia mwenziwe kilema; vile vile kama alivyofanya, naye atafanyiwa vivyo;
20 jeraha kwa jeraha, jicho kwa jicho, jino kwa jino; vile
vile kama alivyomtia mtu kilema, naye atalipwa vivyo. 21 Na
mtu amwuaye mnyama atalipa; na yeye atakayemwua binadamu atauawa
Aina hii ya tozo za faini au adhabu za kisheria ziliwekwa ili kukomesha uharibifu na maovu yenye kuleta madhara, vifo, sisasi cha jicho kwa jovho, jino kwa jino, nk. Uharibifu na fujo zinakwisha na kukoma katika kati ya watu. Tukio la uharibifu unaotokea kwa bahati mbaya pasipo kukusudia ni jambo lingine, na hapa hasara iliyotokea inafidiwa kwa njia ya kupatiliza kulingana na ukubwa wa jambo lenyewe ulivyo.
Suala ya usiri au kuficha uharibifu wa makusudi unampekelea mkosaji kulaanika. Na watu wanatakiwa wakuli jambo hili kwa kusema Amina (au ukweli au kweli auna iwe hivyo), wanaposimama mbele ya mahakama. Adhabu utatolewa, lakini laana itakuwa juu yake.
Kumbukumbu la Torati 27:24-25 Na alaaniwe ampigaye mwenzake kwa
siri. Na watu wote waseme Amina. 25 Na alaaniwe atwaaye
ujira wa kumwua asiye makosa. Na watu wote waseme, Amina. 26 Na
alaaniwe asiyeyaweka imara maneno ya torati hii kwa kuyafanya. Na watu wote
waseme, Amina.
Sheria iko wazi ili kufanya kusiweko na majonzi au kujihisi kuonewa na machungu kwa suala la mauaji na maovu ya aina hiyo.
Kumbukumbu la Torati 19:21 Wala jicho lako lisiwe na huruma; uzima kwa uzima, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu
Sheria zinataka kwamba kusiwe na mtu anayeendelea kuwambwa juu mtini na kubakia hapo kwa usiku mzima akiwa bado anaendelea kuwa juu ya mti, bali anatakiwa azikwe siku ile ile anayowambwa. Shria hii mara nyingi ilikuwa inavunjwa na Wayunani na Warumi na desturi hii ya kuwaacha watu wakining’inia juu ya mti usiku kucha ilijipenyeza hata kwenye ulimwengu unaojiita kuwa ni Wakikristo.
Kumbukumbu la Torati 21:22-23 Akiwa mtu ametenda dhambi ipasayo kufa, akauawa,
nawe ukamtundika juu ya mti; 23 mzoga wake usikae
usiku kucha juu ya mti; lazima utamzika siku iyo hiyo; kwani aliyetundikwa
amelaaniwa na Mungu; usije ukatia unajisi katika nchi
yako akupayo Bwana, Mungu wako, iwe urithi wako.
Nchi haipaswi kulaaniwa kwa ajili ya ushenzi na ukatili huu. Kwa hiyo unyongaji ulichukuliwa kuwa ni jambo la kawaida la kumwua mtu. Mazishi yalipaswa yafanyike siku ile, nia ikiwa ni kuliokoa taifa kutokana na ushenzi na ubadhirifu, kwa wakati mmoja.
Mungu amemuinua mwokozi kwa wakati huu.
Hesabu 25:7-9 Naye Finehasi mwana wa Eleazari, mwana wa Haruni kuhani,
alipoona jambo hilo, akaondoka hapo katikati ya mkutano, akashika fumo mkononi
mwake; 8 akamwandama huyo mtu wa Israeli na kuingia
ndani ya hema nyuma yake, naye akawachoma wote wawili kwa fumo lake, yule mume
wa Israeli na huyo mwanamke kati ya tumbo lake. Basi pigo likazuiwa kwao wana
wa Israeli. 9 Nao waliokufa kwa hilo pigo walikuwa watu
elfu ishirini na nne hesabu yao.
Fineasi alihukumiwa kwa haki kwa kuuawa kwa hawa watuhumiwa, wakati taifa liliposimama kivivu na maafa ya tauni yaliwaangamiza kwa ajili ya wivu huu. Somo lilikuwa ni kwamba “Usiandamane na mkutano kutenda uovu” (Kutoka 23:2), au hukumu ya mashindano.
Ibada ya sanamu husababisha kuwepo na ulazima wa kutolewa hukumu ya kifo.
Kumbukumbu la Torati 13:11-18 Na Israeli wote watasikia na kuogopa, wasifanye tena uovu mfano wa huo katikati yako. 12 Ukisikia yasemwa habari ya miji yako mmojawapo, akupayo
Bwana, Mungu wako, ukae humo, ukiambiwa, 13 Kumetoka
katikati yako mabaradhuli kadha wa kadha, wamewapotoa wenyeji wa mji wao,
wakisema, Twendeni tukaabudu miungu mingine msiyoijua; 14 ndipo
nawe uulize na kutafuta, ukiuliza kwa bidii; nawe angalia, ikiwa kweli, na
jambo lile halina shaka, kwamba machukizo mfano wa haya yafanyika katikati
yako; 15 hakika yako uwapige wenyeji wa mji ule
kwa makali ya upanga, kwa kuwaangamiza kabisa, pamoja na vitu vyote vilivyomo,
na wanyama walio humo, kwa makali ya upanga. 16 Na
nyara zake zote uzikusanyie katikati ya njia yake; na mji uuteketeze kwa moto,
na nyara zake zote, kuwe sadaka kamili ya kuteketezwa kwa Bwana, Mungu wako;
nao utakuwa magofu milele; usijengwe tena. 17 Kisishikamane
na mkono wako kitu cho chote katika kitu kilichoharimishwa; ili ageuke Bwana na
ukali wa hasira zake akurehemu, akuonee huruma, na kukufanya kuwa wengi, kama
alivyowaapia baba zako; 18 utakaposikiza sauti
ya Bwana, Mungu wako kwa kushika maagizo yake yote nikuagizayo leo, ufanye
yaliyoelekea machoni pa Bwana, Mungu wako.
Sulemani alitenda dhambi na
akafa kifo cha kimeili. Thawabu yake hata hivyo itategemea
Hukumu ya kifo inaendelea kwa kipatiliza familia, na wazazi wanawajibika kwa matendo ya watoto wao.. kwa hiyo, uharibifu uliofanywa na watoto ni wajibu wa familia hadi watakapofikia umri wa ujibu wa mzazi wake pia, na wanatakiwa wamtoe na kumleta mbele ya mashitaka ili ashitakiwe.
Kumbukumbu la Torati 21:18-21 Mtu akiwa na mwana mkaidi, mshupavu, asiyetii sauti ya baba yake, wala sauti ya mama yake, nao wajapomwadhibu hawasikizi, 19 ndipo babaye na mamaye na wamkamate, na kumpeleka kwa wazee wa mji wake, katika lango la mahali pake; 20 wawaambie wazee wa mji wake, Huyu mwana wetu ni mkaidi, mshupavu, hasikizi sauti yetu; ni mwasherati, tena ni mlevi. 21 Waume wote wa mji wake na wamtupie mawe, afe; ndivyo utakavyoondoa uovu katikati yako; na Israeli wote watasikia na kuogopa.
Sambamba na
Umuhimu wa kuwatii
viongozi unaofundishwa kwenye familia na inashhinikizwa na mfumo wa sheria za
nchi,
Kuyatii Mapenzi ya Mungu
Bwana anapendezwa na utii zaidi kuliko sadaka au dhabihu.
Kumbukumbu la Torati 11:1-32 [ISOMWE YOTE NA KWA UKAMILIFU]
Kwa hiyo, Bwana hutoa maisha na hurefusha siku zetu na kuilinda dunia
Kuyatii mapenzi ya Mungu ni jambo muhimu na lazima kwa ajili ya kuishi. Taifa
limekuwa likifanyiwa marejesho mapya kwa mara nyingi. Mungu
amekuwa akiliadhibu pia mara nyingi, ila bado limekuwa
halisikii. Wakati Israeli walipopewa fursa ya kuupata wokovu, lakini hao hawakufanya
hivyo, na Mungu akaondoka kati
Torati na amri ya sita pamoja nayo inaweka ulazima wa kutoa uhai na kuyalinda. Kutochukua hatua kwa mujibu wa amri hii kunapelekea kusababisha kuharibika kwa jamii. Sheria inapaswa itekelezwe kwa rehema na haki, hata hivyo, haki inapaswa haipaswi icheleweshwe. Haki haipasw pia ikataliwe kwa ajili ya kushindwa kuiua haki kwa udhaifu. Rehema na uvumilivu sio udhaifu, na haki haipaswi ichanganywe kwa wanaoipuuza sheria.
q