Makanisa ya Kikristo ya Mungu
[261]
Torati
na Amri ya Nane ya Mungu
(Toleo
Na. 2.0 19981010-19990525-20120430)
Imeandikwa kuwa: Usiibe. Jarida hili mlinqafafanua mfumo mzima wa Torati ya Mungu, na jinsi unavyoendana na Amri zake jinsi zilivyofafanuliwa na manabii na jinsi Agano lilivyoekwa na kwenda pamoja na Usomaji wa Torati katika mwaka wa Saba ambao pia ni wa Sabato.
Email: secretary@ccg.org
(Hakimiliki © 1998, 1999, 2012 Wade Cox)
(tr. 2012)
Masomo yaliyo kwenye jarida hili yanaruhusiwa kunukuliwa na kuwapa watu bure bila kulipishwa kitu, ikiwa tu
Jarida hili linapatikana Ulimwenguni
kote kwenye wavuti yetu ya:
http://www.logon.org au http://www.ccg.org
Torati na Amri ya Nane
Imeandikwa kuwa: Usiibe (Kutoka 20:15; Mumbukumbu la Torati 5:19).
Mambo ya Walawi 19:11 Msiibe, wala msidanganye, wala msiambiane uongo.
Vitu vyote kwa ujulma wake ni
Kuna sheria zinazohusu utunzaji wa mazingira ambazo tunaruhusiwa kuzifanya, na kuna sheria zihusuzo ulaji wa aina au makundi ya vyakula ambavyo na vile ambavyo tunaruhusiwa kula, na kuna sheria zinazohusu aina ya mavuno au mazalio yanayopatikana au kuvunwa kwenye ardhi ambazo tumeeruhusiwa kula na baadhi yake ambazo zimetengwa maalumu kwa matumizi muhimu kwa Mungu katika kuendeleza mwenendo wa uumbaji wake.
Amri ya
Ulimwengu wote na
uumbaji umetuama na kumtegemea Mungu wa Pekee na wa Kweli na kwa hiyo amri ya
kwanza inaendana na amri hii ya mali na milki, ambazo Mungu amazichukulia kama
ni yake kwa pale anapotumia usemi wa Kutoa
Zaka (soma jarida la Utoaji wa Zaka (Na. 161) [Tithing (No. 161)]. Tendo
la kutotoa zaka kwa kufuata utaratibu aliouweka Mungu
ni sawa na wizi.
Malaki 3:1-12 Angalieni, namtuma mjumbe wangu, naye ataitengeneza njia mbele yangu; naye
Bwana mnayemtafuta atalijilia hekalu lake ghafula; naam, yule mjumbe wa agano
mnayemfurahia, angalieni, anakuja, asema Bwana wa majeshi. 2 Lakini
ni nani atakayestahimili siku ya kuja kwake? Au ni nani atakayesimama
atakapoonekana yeye? Kwa maana yeye ni mfano wa moto wa mtu asafishaye fedha,
ni mfano wa sabuni ya mtu afuaye nguo; 3 naye
ataketi kama asafishaye fedha na kuitakasa, naye atawatakasa wana wa Lawi,
atawasafisha kama dhahabu na fedha; nao watamtolea Bwana dhabihu katika haki. 4 Wakati ule ndipo dhabihu za Yuda na Yerusalemu
zitakapopendeza mbele za Bwana, kama katika siku za kale, na kama katika miaka
ya zamani. 5 Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami
nitakuwa shahidi mwepesi juu ya wachawi, na juu ya wazinzi, na juu yao waapao
kwa uongo; na juu yao wamwoneao mwenye kuajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake,
wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala
hawaniogopi mimi, asema Bwana wa majeshi. 6 Kwa
kuwa mimi, Bwana, sina kigeugeu; ndio maana ninyi hamkuangamizwa, enyi wana wa
Yakobo. 7 Tokea siku za baba zenu mmegeuka upande,
mkayaacha maagizo yangu, wala hamkuyashika. Nirudieni mimi, nami nitawarudia
ninyi, asema Bwana wa majeshi. Lakini ninyi mwasema, Turudi kwa namna gani? 8 Je! Mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia
mimi. Lakini ninyi mwasema, Tumekuibia kwa namna gani? Mmeniibia zaka na
dhabihu. 9 Ninyi mmelaaniwa kwa laana; maana
mnaniibia mimi, naam, taifa hili lote. 10 Leteni
zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa
njia hiyo, asema Bwana wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya
mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la. 11 Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala
hataharibu mazao ya ardhi yenu; wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake
kabla ya wakati wake katika mashamba, asema Bwana wa majeshi. 12 Na mataifa yote watawaiteni heri; maana mtakuwa nchi ya
kupendeza sana, asema Bwana wa majeshi.
Mungu ameweka utaratibu ambao unahitaji kutoa zaka kwa ajili ya kukamilisha hitaji au sharti la ibada, kuwapa masikini, na kuwafanya watu wake waashiriki vyema bila uhitaji wowote wanapokwenda kuadhimisha Sikukuu zilizoamriwa na waendapo kuziadhimisha Sabato zake.
Sadaka inayotakiwa kumtolea Mungu inabidi iwe haina dosari kwa kuwa anazichukulia sadaka zilizo na dosari kuwa ni machukizo makubwa mbele zake.
Kumbukumb la Torati 17:1-4 Usimchinjie Bwana, Mungu wako, ng'ombe wala kondoo aliye na kilema, wala neno ovu lo lote; kwa kuwa hayo ni machukizo kwa Bwana, Mungu wako. 2 Ikiwa ameonekana katikati yako, ndani ya malango yako mojawapo, upewayo na Bwana, Mungu wako, mtu mume au mke afanyaye yaliyo maovu machoni pa Bwana, Mungu wako, kwa kuvunja maagano yake, 3 naye amekwenda kutumikia miungu mingine na kuiabudu, au jua, au mwezi, au vilivyo katika jeshi la mbinguni vyo vyote, nisivyoagiza mimi; 4 ukiambiwa hayo nawe umeyasikia, ndipo utafute kwa bidii, na tazama, ikiwa ni kweli lina hakika jambo lile, kuwa yafanywa machukizo kama hayo katika Israeli
Sharti hili la kuhakikisha kuwa sadaka inayotolewa ni kamilifu na haina mawaa wala kunyanzi lolote linafananishwa na hali ambayo wanatakiwa kuwa wateule na wanadamu wote waliochaguliwa na kukukusudiwa tangu mwanzo kutoka kwa wanadamu wote.
Tena
huenda sawa na dhamani ya zaka, kiwango cha kutoa ili
kuwahesabu Israeli kilitolewa pia na kutofanya hivyo pia ni sawa na wizi.
Kutoka 30:11-16 Bwana akanena na
Musa, na kumwambia, 12 Utakapowahesabu wana
wa Israeli, kama itakavyotokea hesabu
Sadaka hiii ya ondoleo la dhambi ililipwa
na Masihi, nah ii ndiyo maana kwa sasa hakuna anayewahesabu Israeli, na wala
hakuna mtu anayejua kiini cha imani kwa kuwa kwa sasa wokovu ni kwa wote, yaani
Israeli na pia kwa Mataifa, na kwa sasa wote wanakuwa ni sehemu ya Hekalu la
Mungu (1Wakorintho 3:17). Kuna hitimisho la muhimu kuhusu
Wale wanaofanya kazi za Hekaluni wana haki ya kula vitu vya Hekaluni.
1Wakorintho 9:9-14 Kwa maana katika torati ya
Musa imeandikwa, Usimfunge kinywa ng'ombe apurapo nafaka. Je! Hapo Mungu aangalia mambo
ya ng'ombe? 10 Au yamkini anena hayo kwa ajili yetu?
Naam, yaliandikwa kwa ajili yetu; kwa kuwa alimaye nafaka ni haki yake kulima
kwa matumaini, naye apuraye nafaka ni haki yake kutumaini kupata sehemu yake. 11 Ikiwa sisi tuliwapandia ninyi vitu vya rohoni, je! Ni
neno kubwa tukivuna vitu vyenu vya mwilini? 12 Ikiwa
wengine wanashiriki uwezo huu juu yenu, sisi si zaidi? Lakini hatukuutumia
uwezo huo; bali twayavumilia mambo yote tusije tukaizuia Habari Njema ya
Kristo. 13 Hamjui ya kuwa wale wazifanyao kazi za
hekaluni hula katika vitu vya hekalu, na wale waihudumiao madhabahu huwa na
fungu lao katika vitu vya madhabahu? 14 Na Bwana vivyo hivyo
ameamuru kwamba wale waihubirio Injili wapate riziki kwa hiyo Injili.
Thawabu yetu ni
Mithali 3:9-10 Mheshimu Bwana kwa
Mithali 11:24-26 Kuna atawanyaye, lakini huongezewa zaidi; Kuna azuiaye isivyo haki, lakini huelekea uhitaji. 25 Nafsi ya mtu mkarimu itawandishwa; Anyweshaye atanyweshwa mwenyewe. 26 Awanyimaye watu nafaka, watu watamlaani; Auzaye nafaka, baraka itakuwa kichwani pake.
Kuna idadi kadhaa ya maelekezo yanayoendana na baraka na sehemu yake kwenye jamii.
Torati yote ya Mungu imeelekezwa kwenye neema na haki. Huduma za Hekalu si za bure na wala sio hotuba zisizo na maana an mapokeo, bali zinahusu mambo ya adili na haki na utakatifu.
Mathayo 23:23 Ole wenu waandishi na Mafarisayo, wanafiki! Kwa kuwa mnalipa zaka za mnanaa na bizari na jira, lakini mmeacha mambo makuu ya sheria,
yaani, adili, na rehema, na imani; hayo imewapasa kuyafanya, wala yale mengine
msiyaache.
Kwa mujibu wa taratibu za Melkizedeki, Hekalu lilipokea zaka kutoka kwa
Walawi. Masihi atakapokuja Walawi watafanya taratibu mpya za huduma za kikuhani
kwa jinsi iliyotakiwa au kustahili kuwa. Lawi alitoa
zaka kwa Melkizedeki (jina hili maana
yake ni Mfale Wangu ni Mwenye Haki na
Mtakatifu) na kama ni cheo anachostahili mfalme wa Salemu au wa Urusalaimu.
Jina na cheo hiki lilichukuliwa pia
Waebrania 7:1-10 Kwa maana Melkizedeki huyo, mfalme wa
Salemu, kuhani wa Mungu aliye juu, aliyekutana na Ibrahimu alipokuwa akirudi
katika kuwapiga hao wafalme, akambariki; 2 ambaye
Ibrahimu alimgawia sehemu ya kumi ya vitu vyote; (tafsiri ya jina lake kwanza
ni mfalme wa haki, tena, mfalme wa Salemu, maana yake, mfalme wa amani; 3 hana baba, hana mama, hana wazazi, hana mwanzo wa siku
zake, wala mwisho wa uhai wake, bali amefananishwa na Mwana wa Mungu); huyo
adumu kuhani milele. 4 Basi, angalieni jinsi
mtu huyo alivyokuwa mkuu, ambaye Ibrahimu, baba yetu mkuu, alimpa sehemu ya
kumi ya nyara. 5 Na katika wana wa Lawi nao, wale waupatao
ukuhani, wana amri kutwaa sehemu ya kumi kwa watu wao, yaani, ndugu zao, kwa
agizo la sheria, ijapokuwa wametoka katika viuno vya Ibrahimu. 6 Bali yeye, ambaye uzazi wake haukuhesabiwa kuwa umetoka
kwa hao, alitwaa sehemu ya kumi kwa Ibrahimu, akambariki yeye aliye na ile
ahadi. 7 Wala haikanushiki kabisa kwamba mdogo
hubarikiwa na mkubwa. 8 Na hapa wanadamu
wapatikanao na kufa hutwaa sehemu ya kumi; bali huko yeye ashuhudiwaye kwamba
yu hai. 9 Tena yaweza kusemwa ya kuwa, kwa njia ya
Ibrahimu, hata Lawi apokeaye sehemu ya kumi alitoa sehemu ya kumi; 10 kwa maana alikuwa katika viuno vya baba yake, hapo
Melkizedeki alipokutana naye.
Jambo hili limefafanuliwa vizuri kwenye jarida la Melkizedeki (Na. 128) [Melchisedek (No. 128)].
Mungu anataka na ameagiza sheria na kanuni iliyo kwenye Kumbukumbu la Torati 14:28 ishikwe na kwamba zaka ya mwaka wa tatu iletwe mbele zake Bwana.
Kumbukumbu la Torati 14:28 Kila mwaka wa
tatu, mwisho wake, toa fungu la kumi lote la maongeo yako ya mwaka huo, uliweke
ndani ya malango yako;
Zaka hii ya mwaka wa tatu wa mgawanyo huu wa kila miaka saba itakiwa ichukuliwe hadi mahali ambapo Sikukuu inafanyika katika nchi yetu. Mchakato mzima wa zaka ya pili itakayopatikana huenda kwa makuhani ili wawape maskini ufikapo mwaka wa saba wa mapumzikoya ardhi.
Amosi
anaongelea pia jambo hili. Sadaka za daima ilikomeshwa
kwa kuangamizwa Hekalu. Katika umaliziaji wa Hekalu aliloonyeshwa nabii Ezekieli kwenye maono yake, ni
sadaka ya asubuhi peke yakendiyo iliyoonekana kutilewa. Mwonekano huu
unatuelezea historia ya Hekalu na uvunaji unaoendelea.
Hapa nabii Amosi aanalielezea kipindi cha maangamivu ya nchi
Amosi 4:4 Njoni Betheli, mkakose; njoni Gilgali, mkaongeze makosa; kaleteni dhabihu zenu kila asubuhi, na zaka zenu kila siku ya tatu;
Mungu
anasema kwamba amewapa Israeli “meno yenye ganzi” katika maskani kwao, lakini
bado hwajamrudia yeye. Kwa maneno mengine ni kusema kwamba, aliwatesa kwa njaa lakini bado walikaza
shingo zao na wasimrudie yeye (soma Amosi 4:1-13). Wale waliowadhulumu maskini na kuwaonea wahitaji walifukuzwa kwa umbali kiasi hiki kwa
ajili ya maonevu
Tunapaswa kuwa
makini ili kutofautisha kati ya kilicho cha Kaisari na
cha Mungu (Mathayo 22:21; Marko 12:17; Luka 20:25). Kwa hiyo mamlaka yote
yanatoka kwa Mungu na wote wanalazimika kushughulikia
na mamlaka mbali mbali
Warumi 13:1-10 Kila mtu na aitii mamlaka iliyo kuu; kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na ile iliyopo umeamriwa na Mungu. 2 Hivyo amwasiye mwenye mamlaka hushindana na agizo la Mungu; nao washindanao watajipatia hukumu. 3 Kwa maana watawalao hawatishi watu kwa sababu ya matendo mema, bali kwa sababu ya matendo mabaya. Basi, wataka usimwogope mwenye mamlaka? Fanya mema, nawe utapata sifa kwake; 4 kwa kuwa yeye ni mtumishi wa Mungu kwako kwa ajili ya mema. Lakini ufanyapo mabaya, ogopa; kwa maana hauchukui upanga bure; kwa kuwa ni mtumishi wa Mungu, amlipizaye kisasi mtenda mabaya kwa ajili ya ghadhabu. 5 Kwa hiyo ni lazima kutii, si kwa sababu ya ile ghadhabu tu, ila na kwa sababu ya dhamiri. 6 Kwa sababu hiyo tena mwalipa kodi; kwa kuwa wao ni wahudumu wa Mungu, wakidumu katika kazi iyo hiyo. 7 Wapeni wote haki zao; mtu wa kodi, kodi; mtu wa ushuru, ushuru; astahiliye hofu, hofu; astahiliye heshima, heshima. 8 Msiwiwe na mtu cho chote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendaye mwenzake ameitimiza sheria. 9 Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yo yote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako. 10 Pendo halimfanyii jirani neno baya; basi pendo ndilo utimilifu wa sheria.
Watu wenye imani
wana utaratibu wa mambo yaliyo kipaumbele chao kwa
yale wanayopenda ama kukusudia kumfanya Mungu na kwenye Huduma
Mfumo wa watu wenye kutarajia mema unamaongozi ya moja kwa moja na
manabii wa Mungu katika Israeli. Maongozi ya kifalme yalianzishwa kama kitu cha pili na ukiwa ni mfumo ghali
1Samweli 8:10-18 Naye Samweli akawaambia wale watu waliotaka mfalme maneno yote ya Bwana. 11 Akasema, Mfalme atakayewamiliki ninyi atakuwa na desturi hii; atatwaa wana wenu na kuwaweka kwake, kwa magari yake, na kuwa wapanda farasi wake; nao watapiga mbio mbele ya magari yake. 12 Naye atawaweka kwake kuwa maakida juu ya elfu, na maakida juu ya hamsini; na wengine atawaweka walime shamba lake, na kuvuna mavuno yake, na kufanyiza zana zake za vita, na vyombo vya magari yake. 13 Na binti zenu atawatwaa kuwa wafanyaji wa marhamu, na wapishi, na waokaji. 14 Atatwaa makonde yenu, na mashamba yenu ya mizabibu, na ya mizeituni, yale yaliyo mazuri sana, ili awape watumishi wake. 15 Naye atawatoza ushuru wa mbegu zenu na wa mizabibu yenu, awape maakida wake, na watumishi Wake. 16 Atawatwaa watumishi wenu na wajakazi wenu, na ng'ombe zenu walio wazuri sana, na punda zenu, naye atawatia katika kazi zake mwenyewe. 17 Atawatoza fungu la kumi la makundi yenu; nanyi mtakuwa watumwa wake. 18 Nanyi mtalia siku ile kwa sababu ya mfalme wenu mliyejichagulia; Bwana asiwajibu siku ile.
Bwana hatawasikiliza Israeli wakiwa kwenye mzigo au utumwani na ambao unatakiwa kulipwa.
Kutotoa fedha kwa wakati mwafaka au Kuficha ni Wizi
Sadaka na zaka havikutakiwa kushikiliwa na wenyewe pasipo kutoa.
Kutoka 22:29-30 Usikawie kuleta malimbuko ya matunda yako na ya vinywaji vyako. Mzaliwa wa kwanza katika wanao
waume utanipa mimi. 30 Nawe utafanya
vivyo katika ng'ombe zako, na kondoo zako; utamwacha siku saba pamoja na mama
yake; siku ya nane utanipa mimi.
Siku ya nane ya kuzaliwa kwao, watoto wote katika Israeli wanatakiwa kutolewa ili kuwekwa wakfu kwa Mungu, makinda ya wanyama na watoto walitakiwa wakatahiriwe na kuwekwa wakfu pia.
Kutoka 23:17-19 Mara tatu katika mwaka watu waume wako wote
watahudhuria mbele ya Bwana MUNGU. 18 Usisongeze damu ya
dhabihu zangu pamoja na mkate uliotiwa chachu, wala mafuta ya sikukuu yangu
usiyaache kusalia hata asubuhi. 19 Ya kwanza ya
malimbuko ya nchi yako utayaleta na kuyatia ndani ya nyumba ya Bwana, Mungu
wako. Usimtokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake
Kushindwa kujihudhurisha mbele za Bwana kwenye matukio haya matatu ya sikukuu ili kumtolea sadaka, ni uasi na ni wizi.
Kutoka 34:19-20 Kila kifunguacho mimba ni changu mimi; na wanyama wako wote walio waume,
wazaliwa wa kwanza wa ng'ombe na wa kondoo. 20 Na
mzaliwa wa kwanza wa punda utamkomboa kwa mwana-kondoo; tena kwamba hutaki
kumkomboa, ndipo utamvunja shingo. Wazaliwa wa kwanza wote wa wanao
utawakomboa. Wala hapana atakayehudhuria mbele zangu mikono mitupu.
Haikuruhusiwa mtu kutokea mbele za Bwana akiwa mikono mitupu. Pia tendo la kunyimana vitu katika Israeli ni wizi.
Kutoka 34:23-26 Mara tatu kila mwaka watu waume wako wote
watahudhuria mbele za Bwana MUNGU, Mungu wa Israeli. 24 Kwa kuwa mimi nitazitupa nje taifa za watu mbele yako,
na kuipanua mipaka yako; wala hapana mtu ye yote atakayeitamani nchi yako, hapo
utakapokwea kwenda kuhudhuria mbele za Bwana Mungu wako mara tatu kila mwaka. 25 Usisongeze damu ya sadaka yangu pamoja na mkate uliotiwa
chachu; wala hiyo sadaka ya sikukuu ya pasaka haitasazwa hata asubuhi. 26 Vitu vya kwanza vya malimbuko ya nchi yako utavileta na
kuvitia ndani ya nyumba ya Bwana Mungu wako. Usimtokose mwana-mbuzi katika
maziwa ya mama yake.
Hesabu 18:20-32 Kisha Bwana akamwambia Haruni, Wewe hutakuwa na
urithi katika nchi yao, wala hutakuwa na fungu lo lote kati yao; mimi ni fungu
lako, na urithi wako, katika wana wa Israeli. 21 Na
wana wa Lawi, nimewapa zaka yote katika Israeli kuwa urithi wao, badala ya huo
utumishi wautumikao, maana, ni huo utumishi wa hema ya kukutania. 22 Mwanzo wa sasa wana wa Israeli wasikaribie hema ya
kukutania, wasije wakachukua dhambi, nao wakafa. 23 Lakini
Walawi watatumika utumishi wa hema ya kukutania, nao watauchukua uovu wao; hii
itakuwa amri ya milele katika vizazi vyenu vyote, na kati ya wana wa Israeli
hawatakuwa na urithi. 24 Kwa kuwa zaka ya
wana wa Israeli, waisongezayo kuwa sadaka ya kuinuliwa kwa Bwana, nimewapa
Walawi kuwa urithi wao; kwa hiyo nimewaambia, ya kwamba, katika wana wa Israeli
hawatakuwa na urithi uwao wote. 25 Kisha Bwana akanena
na Musa, na kumwambia, 26 Tena utanena na
Walawi, na kuwaambia, Hapo mtakapoitwaa zaka mkononi mwa wana wa Israeli
niliyowapa ninyi kutoka kwao kuwa urithi wenu, ndipo mtakaposongeza sadaka ya
kuinuliwa kwa Bwana katika hiyo, iwe zaka katika hiyo zaka. 27 Na
sadaka yenu ya kuinuliwa itahesabiwa kwenu, kama ndiyo nafaka ya sakafu ya
kupuria, na kama kujaa kwake kinu cha kushindikia zabibu. 28 Hivyo
ninyi nanyi mtasongeza sadaka ya kuinuliwa kwa Bwana katika zaka zenu zote,
mpokeazo mikononi mwa wana wa Israeli; kwa hiyo mtampa Haruni kuhani hiyo
sadaka ya kuinuliwa kwa Bwana. 29 Katika vipawa vyenu
vyote mtasongeza kila sadaka ya kuinuliwa ya Bwana, ya wema wake wote, hiyo
sehemu yake iliyowekwa takatifu. 30 Kwa ajili ya hayo
utawaambia, Mtakapoinua humo hayo yaliyo mema, ndipo yatahesabiwa kuwa ya
Walawi, kama kuongea kwake sakafu ya kupuria nafaka, na kama maongeo ya kinu
cha kushindikia zabibu. 31 Nanyi mtakula hayo
kila mahali, ninyi na watu wa nyumbani mwenu; kwa kuwa ni thawabu yenu badala ya
utumishi wenu katika hema ya kukutania.
32 Nanyi hamtachukua dhambi kwa ajili yake, hapo
mtakapokwisha kuinua humo hayo mema yake; lakini msivitie unajisi vile vitu
vitakatifu vya wana wa Israeli, ili msife.
Sadaka zinatakiwa ziwe za vitu vizuri na sio za vitu najisi au visivyofaa. Kitendo cha kutia unajisi sadaka ya mwingine, au kutotoa sadaka inayotakiwa ni wizi au kuonyesha dharau kwa Mungu. Sio tu kuwa umetokea uharibifu usiokusudiwa, kama inavyoonekana, kwa kuwa ni kwa faida au jambo jema au ridhaa kutoa sadaka kamilifu, na hakuna udhuru unaokubalika kwa mtu kusema atatoa sadaka dhaifu kwa kuwa ile kamilifu imeibiwa, na ndivyo hata kwa sadaka ya kitu kibovu pia haitakiwi.
Kumbukumb la Torati 14:22-29 Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka. 23 Nawe utakula mbele za Bwana, Mungu wako, mahali atakapochagua apakalishe jina lake, zaka ya nafaka zako, na divai yako, na mafuta yako, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yako ya ng'ombe na ya kondoo; ili upate kujifunza kumcha Bwana, Mungu wako, daima. 24 Na njia ikiwa ndefu mno nawe, usiweze kuzichukua kwa kuwa mahali ni mbali nawe mno atakapochagua Bwana, Mungu wako, apakalishe jina lake, hapo atakapokubarikia Bwana, Mungu wako; 25 ndipo uzibadili ziwe fedha, na kufunga zile fedha uende nazo mkononi mwako, hata mahali atakapochagua Bwana, Mungu wako; 26 na zile fedha zitumie kwa cho chote itakachotamani roho yako, ng'ombe, au kondoo, au divai, au kileo, au roho yako itakacho kwako cho chote; nawe utakula huko mbele za Bwana, Mungu wako; tena furahi, wewe na nyumba yako; 27 na Mlawi aliye ndani ya malango yako usimwache, kwani hana fungu wala urithi pamoja nawe. 28 Kila mwaka wa tatu, mwisho wake, toa fungu la kumi lote la maongeo yako ya mwaka huo, uliweke ndani ya malango yako; 29 na Mlawi kwa kuwa hana fungu wala urithi pamoja nawe, na mgeni, na yatima, na mjane aliyefiliwa na mumewe, walio ndani ya malango yako, na waje wale na kushiba; ili kwamba Bwana, Mungu wako, akubarikie katika kazi yote ya mkono wako uifanyayo.
Zaka ya pili inatenmgwa maalumu kwa ajili ya kuitumia kwenye maadhimisho ya Sikukuu za Mungu
ambazo ni za lazima kuzitunza.
Tendo la kufanya unyimi na kutotoa zaka ni dhambi na wizi pia. Mtu akitaka kuikomboa zaka aliyoitoa ili aitumie yeye mwenyewe, ndipo ukombozi wa zaka hiyo utaendana na malipizi. Ikiwa kama zaka yoyote itakombolewa, malipizi yake ni kwamba mtu anayeitaka imrudie tena kwake atatakiwa aongeze sehemu ya tano zaidi yake. Na pengine atalazimika kuongeza asilimia ishirini kwenye zaka yoyote itakayotumika kwa kusudi lolote lile.
Majira na kalenda
Mungu ameiweka kalenda kwa kutumia vitu vilivyoko juu mawinguni. Inafanya kazi kwa kuendana na mwenendo wa Mwezi mwandamo, na inajulikana sana na kwa uwazi na utaratibu wa kuhesabu wa wataalamu wa mambo ya nyota na anga wanaojua sana mwandamo wa Mwezi Mpya. Tendo la kutoifuata kalenda hii kama ilivyokuwa hapo zamani kwa sili yake (na sio kama walivyojifania Wayahudi kwa kalenda yao inayojulikana kama ya Hilleli) ni sawa na kufanya dhambi ya kumuibia Mungu.
Kutoitunza na kuiadhimisha Sabato na kujitoa kwa Mungu ni sawa na kumuibia Mungu muda wake. Kila mtu anatarajiwa kuwa atazitunza siku hizo ili ajifunze kumcha Mungu aliye Hai na utaratibu wake. Kila miaka saba tunapokutanika kwenye Sikukuu katika Mwaka wa Sabato, kunatakiwa isomwe Torati. Kushindwa kuzitunza au kuziadhimisha Sabato zote na kuisoma Torati ni sawa na kumuibia Mungu muda wake na kuvunja kanuni za ibada zake. Mungu anawataka wote wanao mwabudu yeye wamwabudu katika roho na kweli.
Hekalu la Mungu
Mungu amewapa watu wote ujuzi afya ili kwamba wazitumie staid zao na baraka kwa ajili ya utukufu wake mkuu. Kutozitumia staid na ujuzi aliotupa Mungu kwenye ibada na utaratibu wake ni dhambi iliyo sawa na wizi.
Kutoka 36:1-38 Basi Bezaleli na Oholiabu watatenda kazi, na kila mtu mwenye moyo wa hekima, ambaye Bwana amemtia akili na hekima ili ajue kufanya kazi hiyo yote kwa huo utumishi wa mahali patakatifu, kama hayo yote Bwana aliyoyaagiza. 2 Basi Musa akawaita Bezaleli na Oholiabu, na kila mtu aliyekuwa na moyo wa akili, ambaye Bwana alimtia moyoni mwake hekima, kila mtu ambaye moyo wake ulimhimiza ili aende kuifanya kazi hiyo; 3 nao wakapokea mkononi mwa Musa matoleo yote, ambayo hao wana wa Israeli walikuwa wameyaleta kwa ajili ya huo utumishi wa mahali patakatifu, ili wapafanye. Kisha wakamletea matoleo kila siku asubuhi kwa moyo wa kupenda. 4 Na hao watu wote wenye hekima, waliotumika katika kazi yote ya mahali patakatifu, wakaenda kila mtu kutoka katika kazi yake aliyokuwa akiifanya; 5 nao wakasema na Musa, na kumwambia, Watu waleta vitu vingi sana zaidi ya hivyo vitoshavyo kwa ajili ya utumishi wa hiyo kazi, ambayo Bwana aliagiza ifanywe. 6 Basi Musa akatoa amri, nao wakatangaza mbiu katika marago yote, wakisema, Wasifanye kazi tena, mtu mume wala mwanamke, kwa ajili ya matoleo kwa mahali patakatifu. Basi watu wakazuiwa wasilete tena. 7 Kwani vile vitu walivyokuwa navyo vilikuwa vyatosha kwa kuifanya kazi hiyo yote, kisha vilizidi. 8 Basi kila mtu mwenye moyo wa hekima miongoni mwa hao waliofanya kazi, akaifanya hiyo maskani ya mapazia kumi; ya nguo ya kitani nzuri ya kusokotwa, na nyuzi za rangi ya samawi, na za rangi ya zambarau, na nyekundu; pamoja na makerubi, kazi ya fundi stadi; ndivyo alivyoyafanya. 9 Urefu wa kila pazia ulikuwa ni dhiraa ishirini na nane, na upana wa kila pazia ulikuwa ni dhiraa nne; mapazia yote yalikuwa ya kipimo kimoja. 10 Naye akaunganisha mapazia matano hili na hili; na mapazia matano mengine akayaunganisha hili na hili. 11 Kisha akafanya matanzi ya rangi ya samawi katika ncha za pazia moja, katika upindo wa kiungo chake; akafanya vivyo katika ncha ya pazia lililokuwa upande wa nje katika kiungo cha pili. 12 Akafanya matanzi hamsini katika pazia moja, na matanzi hamsini katika upindo wa pazia lililokuwa katika kiungo cha pili; hayo matanzi yalikuwa yakabiliana hili na hili. 13 Kisha akafanya vifungo hamsini vya dhahabu, na kuyaunganya hayo mapazia hili na hili kwa vile vifungo; hivi ile maskani ilikuwa ni moja. 14 Kisha akafanya vifuniko vya singa za mbuzi kuwa hema ya kuifunika hiyo maskani; akafanya mapazia kumi na moja. 15 Urefu wa kila pazia ulikuwa ni dhiraa thelathini, na upana wa kila pazia ulikuwa ni dhiraa nne; hayo mapazia yote kumi na moja yalikuwa ya kipimo kimoja. 16 Naye akaunganya mapazia matano mbali, na mapazia sita mbali. 17 Kisha akafanya matanzi hamsini katika upindo wa pazia lililo upande wa nje katika kile kiungo, naye akafanya matanzi hamsini katika ncha ya pazia lililokuwa upande wa nje katika kiungo cha pili. 18 Kisha akafanya vifungo hamsini vya shaba aiunganye ile hema pamoja, ili iwe hema moja. 19 Kisha akafanya kifuniko kwa ajili ya hiyo hema cha ngozi za kondoo waume zilizotiwa rangi nyekundu; tena juu yake akafanya kifuniko cha ngozi za pomboo. 20 Kisha akafanya mbao za mti wa mshita kwa hiyo maskani, zilizosimama. 21 Urefu wa kila ubao ulikuwa ni dhiraa kumi, na upana wa kila ubao ulikuwa ni dhiraa moja na nusu. 22 Kila ubao ulikuwa na ndimi mbili, zilizounganywa pamoja; ndivyo alivyozifanya hizo mbao zote za maskani. 23 Naye akazifanya hizo mbao kwa ajili ya hiyo maskani; mbao ishirini kwa upande wa kusini kuelekea kusini; 24 naye akafanya matako ya fedha arobaini yawe chini ya hizo mbao ishirini; matako mawili chini ya ubao mmoja kwa hizo ndimi zake mbili, na matako mawili chini ya ubao mwingine kwa ndimi zake mbili. 25 Na kwa upande wa pili wa maskani upande wa kaskazini, akafanya mbao ishirini, 26 na matako yake ya fedha arobaini; matako mawili chini ya ubao mmoja, na matako mawili chini ya ubao mwingine. 27 Na kwa upande wa nyuma wa hiyo maskani kuelekea magharibi akafanya mbao sita. 28 Naye akafanya mbao mbili kwa pembe za maskani upande wa nyuma. 29 Nazo zilikuwa mbao pacha upande wa chini, vivyo zilishikamana pamoja hata ncha ya juu kufikilia pete ya kwanza; ndivyo alivyofanya zote mbili katika hizo pembe mbili. 30 Hivyo zilikuwa mbao nane, na matako yake ya fedha, matako kumi na sita, matako mawili chini ya kila ubao. 31 Kisha akafanya mataruma ya miti ya mshita; matano kwa mbao za upande mmoja wa maskani; 32 na mataruma matano kwa mbao za upande wa pili wa maskani, na mataruma matano kwa hizo mbao za maskani zilizokuwa upande wa nyuma kuelekea magharibi. 33 Naye akalifanya hilo taruma la katikati lipenye kati ya hizo mbao kutoka upande huu hata upande huu. 34 Naye akazifunika hizo mbao dhahabu, akazifanya zile pete zake za dhahabu ziwe mahali pa hayo mataruma, akayafunika dhahabu hayo mataruma. 35 Kisha akafanya hilo pazia la nyuzi za rangi ya samawi, na za rangi ya zambarau, na nyekundu, na kitani nzuri zilizosokotwa; akatia na makerubi kazi ya fundi stadi, ndivyo alivyofanya. 36 Naye akafanya kwa ajili yake nguzo nne za mti wa mshita, akazifunika dhahabu; na kulabu zake zilikuwa za dhahabu; naye akasubu kwa ajili yake matako manne ya fedha. 37 Kisha akafanya pazia la sitara kwa ajili ya mlango wa Hema, la nguo ya rangi ya samawi, na ya rangi ya zambarau, na nyekundu, na nguo ya kitani nzuri ya kusokotwa, kazi ya mwenye kutia taraza, 38 na nguzo zake tano pamoja na kulabu zake; naye akavifunika dhahabu vichwa vyake na vifungo vyake; na matako yake matano yalikuwa ya shaba.
Hekalu lilijengwa kwa vitu vilivyotolewa
kwa moyo wa hiyarei, na lililenga kufanana na utaratibu wa kiroho ambapo kwamba
watu wanapaswa kujitolea na kutoa vitu vyao kwa moyo wa hiyari na kujitoa
wenyewe. Kiini cha Hekalu na utaratibu wa ibada
kilikuwa ni Sanduku la Agano. Jambo hili lililrnga kwenye mfumo mpya ambao
kwamba Torati ya Mungu ingewekwa ndani ya mioyo ya watu ili
kwamba hatimaye wafanyike kuwa ni Sanduku la Agano. Kwa ajili hii ndipo
ilipaswa Sanduku hili liondolewe na kufichwa (soma
jarida la Sanduku
la Agano (Na. 190) [The
Ark of the Covenant (No. 196)].
Kutoka 37:1-29 Kisha Bezaleli akalifanya lile sanduku la mti wa mshita,
urefu wake ulikuwa dhiraa mbili na nusu, na upana wake ulikuwa dhiraa moja na
nusu, na kwenda juu kwake kulikuwa ni dhiraa moja na nusu; 2 akalifunika
dhahabu safi, ndani na nje, akafanya na ukingo wa dhahabu kulizunguka pande
zote. 3 Naye akasubu pete nne za dhahabu kwa ajili
yake, katika miguu yake minne; pete mbili upande wake mmoja na pete mbili
upande wake wa pili. 4 Akafanya na miti ya
kulichukulia, ya mti wa mshita akaifunika dhahabu. 5 Naye
akaitia hiyo miti katika zile pete zilizokuwa ubavuni mwa sanduku, ili kulichukua
hilo sanduku. 6 Kisha akafanya kiti cha rehema cha dhahabu
safi; urefu wake ulikuwa dhiraa mbili na nusu na upana wake ulikuwa dhiraa moja
na nusu. 7 Kisha akafanya makerubi mawili ya dhahabu;
akayafanya ya kazi ya kufua, yawe katika miisho miwili ya kiti cha rehema; 8 kerubi moja mwisho huu, na kerubi moja mwisho huu;
alifanya hayo makerubi mawili ya kitu kimoja na hicho kiti cha rehema katika
miisho yake miwili. 9 Na hayo makerubi
yakayanyosha mabawa yao juu, na kukifunika hicho kiti cha rehema kwa mabawa
yao, na nyuso zao zilikuwa zaelekeana hili na hili; nyuso za hayo makerubi
zilikuwa zikielekea kiti cha rehema. 10 Kisha akafanya hiyo
meza ya mti wa mshita; urefu wake ulikuwa ni dhiraa mbili, na upana wake
ulikuwa ni dhiraa moja, na kwenda juu kwake kulikuwa ni dhiraa moja na nusu; 11 naye akaifunika dhahabu safi, akaifanyia ukingo wa
dhahabu kuizunguka pande zote. 12 Kisha akaifanyia
upapi wa upana wa shibiri kuizunguka pande zote, akauzungushia ukingo wa urembo
wa dhahabu ule upapi. 13 Naye akasubu vikuku
vinne vya dhahabu kwa ajili yake, akavitia vile vikuku katika pembe nne, katika
miguu yake minne. 14 Vile vikuku vilikuwa
karibu na ule upapi, ili viwe mahali pa kutilia ile miti, ya kuichukulia meza. 15 Naye akaifanya hiyo miti ya kuichukulia, ya mti wa
mshita, akaifunika dhahabu, ili kuichukua hiyo meza. 16 Kisha,
vile vyombo vilivyokuwa juu ya meza, sahani zake, na miiko yake, na bakuli
zake, na makopo yake ya kumiminia, akavifanya vya dhahabu safi. 17 Kisha akakifanya kile kinara cha taa cha dhahabu safi,
akakifanya kile kinara cha taa cha kazi ya kufua, tako lake, na mti wake;
vikombe vyake, na matovu yake, na maua yake, vyote vilikuwa vya kitu kimoja
nacho, 18 nacho kilikuwa na matawi sita yaliyotoka
ubavuni mwake; matawi matatu ya kinara yalikuwa upande huu, na matawi matatu ya
kinara yalikuwa upande huu; 19 vikombe vitatu,
vilivyofanywa mfano wa maua ya mlozi vilikuwa katika tawi moja, tovu na ua; na
vikombe vitatu, vilivyofanywa mfano wa maua ya mlozi, katika tawi la pili, tovu
na ua; yalikuwa ni vivyo hivyo yale matawi sita yaliyokuwa katika hicho kinara.
20 Katika kinara mlikuwa na vikombe vinne, vilivyofanywa
mfano wa maua ya mlozi, matovu yake na maua yake; 21 kisha
chini ya matawi mawili mlikuwa na tovu iliyokuwa ya kitu kimoja nacho, na chini
ya matawi mawili mengine mlikuwa na tovu ya kitu kimoja nacho, tena chini ya
matawi mawili hayo mengine mlikuwa na tovu ya kitu kimoja nacho; kwa ajili ya
hayo matawi sita, yaliyotokana nacho. 22 Hayo
matovu yake na matawi yake yalikuwa ya kitu kimoja nacho; kinara hicho kizima
chote pia ni kazi moja ya kufua ya dhahabu safi. 23 Kisha
akafanya taa zake saba, na makoleo yake, na visahani vyake, vya dhahabu safi. 24 Akakifanya cha talanta moja ya dhahabu safi, pamoja na
vyombo vyake vyote. 25 Kisha akafanya hiyo
madhabahu ya kufukizia uvumba ya mti wa mshita; urefu wake ulikuwa ni dhiraa
moja, na upana wake ulikuwa ni dhiraa moja, ilikuwa mraba; na kwenda juu kwake
kulikuwa ni dhiraa mbili; na pembe zake zilikuwa za kitu kimoja nayo. 26 Naye akaifunika dhahabu safi, upande wa juu, na mbavu
zake pande zote, na hizo pembe zake; akaifanyia na ukingo wa dhahabu kuizunguka
pande zote. 27 Naye akaifanyia vikuku viwili vya dhahabu
na kuvitia chini ya ukingo wake, katika mbavu zake mbili, katika pande zake mbili,
viwe ni mahali pa hiyo miti ya kuichukulia. 28 Kisha
akafanya hiyo miti kwa mti wa mshita, na kuifunika dhahabu. 29 Kisha
akayafanya hayo mafuta matakatifu ya kutiwa, na ule uvumba safi wa viungo vya
manukato vizuri, kwa kuandama kazi ya mtengezaji manukato.
Na hakuna kitu kama
hicho kinachojulikana
Kutoka 38:1-31 Kisha akafanya hiyo madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa,
ya mti wa mshita urefu wake ulikuwa dhiraa tano, na
upana wake ulikuwa dhiraa tano, ilikuwa mraba; na kwenda juu kwake kulikuwa
dhiraa tatu. 2 Naye akazifanya pembe zake katika ncha
zake nne; hizo pembe zilikuwa za kitu kimoja nayo; naye akaifunika shaba. 3 Kisha akafanya vyombo vyote vya madhabahu, yaani sufuria
zake, na majembe yake, na mabakuli yake, na uma zake, na meko yake; vyombo
vyake vyote akavifanya vya shaba. 4 Naye akaifanyia
madhabahu wavu wa shaba, akautia chini ya ukingo kuizunguka pande zote, ukawa
katikati ya hiyo madhabahu. 5 Naye akasubu vikuku
vinne kwa kutiwa katika pembe nne za huo wavu wa shaba, viwe mahali pa kutia
ile miti ya kuichukulia. 6 Naye akaifanya hiyo
miti kwa mti wa mshita na kuifunika shaba. 7 Naye
akaitia ile miti katika vile vikuku vilivyokuwa katika mbavu za hiyo madhabahu,
ili kuichukua; akaifanya yenye mvungu ndani, kwa zile mbao. 8 Kisha
akafanya hilo birika la shaba, na tako lake la shaba; shaba hiyo ilikuwa ni ya
vioo vya wanawake wenye kutumika, waliokuwa wakitumika mlangoni mwa hema ya
kukutania. 9 Naye akafanya ule ua; upande wa kusini kwa
kuelekea kusini, chandarua ya ua ilikuwa ya nguo ya kitani nzuri ya kusokotwa,
kiasi cha dhiraa mia; 10 nguzo zake zilikuwa
ishirini, na matako yake yalikuwa ishirini, yalikuwa ya shaba; kulabu za nguzo
na vitanzi vyake vilikuwa vya fedha. 11 Upande wa kaskazini
ulikuwa ni dhiraa mia vivyo, nguzo zake ishirini na matako yake ishirini,
yalikuwa ni ya shaba; kulabu za nguzo na vitanzi vyake vilikuwa vya fedha. 12 Upande wa magharibi mlikuwa na chandarua ya dhiraa
hamsini, nguzo zake zilikuwa ni kumi, na matako yake kumi; kulabu za hizo nguzo
na vitanzi vyake vilikuwa vya fedha. 13 Upande wa mashariki
kuelekea mashariki dhiraa hamsini. 14 Chandarua ya upande
mmoja wa lango ilikuwa dhiraa kumi na tano urefu wake; na nguzo zake tatu, na
matako yake matatu; 15 ni vivyo upande wa
pili; upande huu na huu langoni mwa ua mlikuwa na chandarua ya dhiraa kumi na
tano urefu wake; nguzo zake zilikuwa ni tatu, na matako yake matatu. 16 Chandarua za nguo zote za ule ua zilizouzunguka pande
zote zilikuwa za nguo ya kitani nzuri iliyosokotwa. 17 Na
matako ya zile nguzo yalikuwa ya shaba; kulabu za hizo nguzo na vitanzi vyake
vilikuwa vya fedha; na vichwa vya zile nguzo vilikuwa ni vya fedha; na nguzo
zote za huo ua ziliungwa kwa vitanzi vya fedha. 18 Na
hilo pazia la lango la ua, lilikuwa ni kazi ya mwenye kutia taraza, lilikuwa la
nyuzi za rangi ya samawi, na za rangi ya zambarau, na nyekundu, na kitani nzuri
ya kusokotwa; lilikuwa na urefu wake dhiraa ishirini, na kutukuka kwake katika
huo upana wake kulikuwa dhiraa tano, kupatana na ile chandarua ya ua. 19 Na nguzo zake zilikuwa nne, na matako yake manne,
yalikuwa ya shaba; kulabu zake zilikuwa za fedha, na vichwa vyake na vitanzi
vyake vilikuwa vya fedha. 20 Na vigungi vyote vya
maskani, na vya ua ulioizunguka pande zote vilikuwa vya shaba. 21 Jumla ya vile vyombo vilivyofanywa kwa ajili ya hiyo
maskani, hiyo maskani ya ushuhuda ni hii, kama vilivyohesabiwa, kama maagizo ya
Musa yalivyokuwa, kwa ajili ya utumishi wa Walawi kwa mkono wa Ithamari, mwana
wa Haruni, kuhani. 22 Na Bezaleli mwana wa
Uri, mwana wa Huri, wa kabila ya Yuda, akafanya yote Bwana aliyomwagiza Musa. 23 Na pamoja naye alikuwa na Oholiabu, mwana wa Ahisamaki,
wa kabila ya Dani, aliyekuwa fundi wa kuchora nakshi, mfanyaji wa kazi mwerevu,
naye alikuwa mwenye kutia taraza za nyuzi za rangi ya samawi, na za rangi ya
zambarau, na nyekundu, na kitani nzuri. 24 Dhahabu
yote iliyotumiwa kwa ajili ya hiyo kazi, katika kazi hiyo yote ya mahali patakatifu,
hiyo dhahabu ya matoleo, ilikuwa ni talanta ishirini na kenda, na shekeli mia
saba na thelathini, kwa kadiri ya shekeli ya mahali patakatifu. 25 Na fedha ya hao waliohesabiwa, watu wa huo mkutano
ilikuwa talanta mia, na shekeli elfu moja na mia saba na sabini na tano kwa
kadiri ya shekeli ya mahali patakatifu; 26 kichwa
beka, maana, nusu shekeli, kwa kadiri ya shekeli ya mahali patakatifu, kwa
ajili ya kila mtu aliyepita kwa wale waliohesabiwa, aliyekuwa wa umri wa miaka
ishirini au zaidi, kwa ajili ya watu waume sita mia na tatu elfu, na mia tano
na hamsini (603,550). 27 Na hizo talanta mia
za fedha zilikuwa kwa kusubu yale matako ya mahali patakatifu na matako ya hilo
pazia; matako mia kwa hizo talanta mia, talanta moja tako moja. 28 Na kwa hizo shekeli elfu moja na mia saba, na sabini na
tano, akafanya vifungo vya hizo nguzo, na kuvifunika fedha vile vichwa vyake,
na kufanya vitanzi vyake. 29 Na hiyo shaba
iliyoletwa ilikuwa ni talanta sabini, na shekeli elfu mbili na mia nne. 30 Naye akafanya ya hiyo shaba matako kwa ajili ya lango la
hema ya kukutania, na hiyo madhabahu ya shaba, na ule wavu wa shaba kwa ajili
yake na vyombo vyote vya hiyo madhabahu, 31 na
matako ya ua kuuzunguka pande zote, na matako ya lango la huo ua, na vigingi
vyote vya maskani, na vigingi vyote vya huo ua uliozunguka pande zote.
Maskani kule jangwani ilijengwa kwa michango au sadaka zilizotolewa na kwa utaratibu wa kuwahesabu Israeli. Sadaka hii inaashiria hali ya Kanisa lililo jangwani, na ukweli wa kwamba Hekalu lilijengwa kwa sadaka iliyofanywa kwa kuwahesabu wana wa Mungu ambao walikuwa wamekombolewa na Masihi na kuwekwa ndani yake.
Madhabahu na pambizo zake zilifumikwa na sahani zake zilifanywa
Kutoka 39:1-43 Na zile nyuzi za rangi ya samawi, na nyuzi za rangi ya zambarau, na nyekundu, wakafanya mavazi
yaliyofumwa kwa ustadi
Kazi ya kikuhani iliwekwa chini ya Kuhani
Mkuu, ambaye alisimama kwa ajili ya makabila yote ya
Israeli, na juu ya sahani za maziwa kuliwekwa mawe kumi na mawili, ambayo ni
misingi kumi na mbili iliyowekwa kwa mpangilio wa mistari minne, kila mstari
ukiwa na mitatu mitatu. Mgawanyo huu wa miatari minne
kwa mitatu unaashiria mgawanyo wa robo ulio chini ya wenye uhai wanne. Wawili
kati ya viumbe hawa wanachukua mahala pa elohim ambaye anaonekana pia kwenye
makerubi yanayoonekana kwa umbo la kichwa cha simba na mwanadamu ukutani kwenye
maono ya Hekalu aliloonyeshwa nabii Ezekieli simba was set under a High Priest,
who stood (Ezekieli 41:19). Mawe ya misingi kumi na
miwili ni vichwa kumi na viwili vya makabila kumi na mawili kwenye Mji wa Mungu
(soma jarida la Mji wa Mungu (Na. 180) [The City of God (No. 180)]. Mawe
haya yameorodheshwa kitofauti
Uumbaji
Uumbaji wote—yaani wa dunia na ukamilifu wa viumbe vyake vyote—ni
Kutoka 9:29 Musa akamwambia, Mara nitakapotoka mjini nitamwinulia Bwana mikono yangu; na hizo ngurumo zitakoma, wala haitanyesha mvua ya mawe tena; ili upate kujua ya kuwa dunia hii ni ya Bwana.
Mataifa hawakumtii
Mungu na hawakukuchukua milki zao kama ilivyotakiwa (soma
Kutoka 9:29-35; na jarida la Musa na Miungu ya Misri (Na. 105) [Moses and the Gods of Egypt (No.
105)].
Mwelekeo wetu ni
kufanyika miungu midogo au elohim, lakini kwa mujibu wa mapenzi ya Mungu na sio
kwa kuiba. Wazo hili lilikuwa ndilo lililokuweko mioyoni mwa Adamu na Hawa na ndilo lililowapelekea kuanguka kwao (Mwanzo 3:5).
Mafundisho ya dini ya Mambo fumbo ya Mysticism, au mafundisho yanayofundisha
watu kuwa na sawa na Mungu na wao kuwa
Matendo 2:41-47 Nao waliolipokea neno
Uumbaji na viumbe wanangoja kufunuliwa kwake mwana wa Mungu.
Warumi 8:19-23 Kwa maana viumbe vyote pia vinatazamia
kwa shauku nyingi kufunuliwa kwa wana wa Mungu. 20 Kwa maana viumbe vyote pia vilitiishwa chini ya ubatili;
si kwa hiari yake, ila kwa sababu yake yeye atiyevitiisha katika tumaini; 21 kwa kuwa viumbe vyenyewe navyo vitawekwa huru na
kutolewa katika utumwa wa uharibifu, hata viingie katika uhuru wa utukufu wa
watoto wa Mungu. 22 Kwa maana twajua ya kuwa viumbe vyote pia
vinaugua pamoja, navyo vina utungu pamoja hata sasa. 23 Wala
si hivyo tu; ila na sisi wenyewe tulio na malimbuko ya Roho, sisi pia tunaugua
katika nafsi zetu, tukikutazamia kufanywa wana, yaani, ukombozi wa mwili wetu.
Wateule hawako
Mungu anapendezwa na utii zaidi kuliko sadaka.
Kutoka 19:5 Sasa basi ikiwa mtaitii sauti yangu kweli kweli, na kulishika agano langu, hapo ndipo mtakapokuwa tunu kwangu
kuliko makabila yote ya watu; maana dunia yote pia ni
Je, ni nini Mungu anachokihitaji kwetu?
Kumbukumbu la Torati 10:12-17 Na sasa, Israeli, Bwana, Mungu wako, anataka nini kwako, ila umche Bwana, Mungu wako, na kwenda katika njia zake zote, na kumpenda, na kumtumikia Bwana, Mungu wako, kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote; 13 kuzishika amri za Bwana na sheria zake, ninazokuamuru leo, upate uheri? 14 Tazama, mbingu ni mali za Bwana, Mungu wako, na mbingu za mbingu, na nchi, na vitu vyote vilivyomo. 15 Tena, Bwana aliwafurahia baba zako, na kuwapenda, akawachagua wazao wao baada yao, naam, na ninyi zaidi ya mataifa yote kama hivi leo. 16 Basi, zitahirini govi za mioyo yenu, wala msiwe na shingo ngumu. 17 Kwa maana Bwana, Mungu wenu, yeye ndiye Mungu wa miungu, na Bwana wa mabwana, Mungu mkuu, mwenye kuogofya, asiyependelea nyuso za watu, wala hakubali rushwa.
Tunatakiwa kuzishika amri zake, pasipo kuzigeuza au kuzibadilisha, na kwa kadri zilivyo kikamilifu.
Mazao na mifugo
Mifugo ni
Wizi huu hutokea kwa
kuficha au kunyima
Lakini
mtu ye yote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa
nyumbani mwake hasa, ameikana Imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini. (1Timotheo 5:8). Aaina yote ya kutojali ni
dhuluma au wizi.
Jinsi Wizi unavyohusiana na sheria ya vyakula
Sheria ya vyakula imewekwa kwenye nafasi yenye nia ya kumrekebishia mtu uratatibu wa mzunguko wa vyakula na mazingira yake. Suala hili la sheria ya vyakula limefafanuliwa kwa kina kwenye majarida ya Sheria ya Vyakula (Na. 15) na Torati na Amri ya Sita (Na. 259) [The Food laws (No. 15) and Law and the Sixth Commandment (No. 259)].
Kitendo cha kula
chakula najisi sio tu kuwa ni cha kukosa busara kwa
masuala la kiafya, bali pia ni kuiba kwenye utaratibu aliouweka Mungu katika
mfumo wa kisayari. Kumekuwa na wazo lililo wazi kabisa
na kisilo na shaka kuhusu msingi wa kisayansi na kipindi kinachohusika na
sheria za vyakula. Wanyama walio
Maadili ya kimazingira
Kuna mlolongo wa sheria unaohusika na yale tunayoweza kuchukua na kile
ambacho hatutakiwi kuua kwa ajili ya mazingira yake yalivyo. Sheria inayohusu
jinsi tunavyoweza kuua na vile ambavyo hatupaswi
kuviua,
Milki au
Kwa kuongezea kuhusu wazo hili la mazingira
huru ulio chini ya maelekezo yaliyo kwenye Torati ya Mungu kuna dhana ya
Jambo la kwanza ni
lile la
Haki ya kila mmoja imefungamanishwa kwa kiasi kikubwa
Mambo haya kwa
kawaida yanaonekana ki rahisi
Kwa hiyo migawanyo inaendelea hadi kuwa ni
Haki ya kumiliki
Kila mmoja ana haki ya kumiliki
Warumi 13:8-10 Msiwiwe na mtu cho chote, isipokuwa kupendana; kwa maana ampendaye mwenzake ameitimiza sheria. 9 Maana kule kusema, Usizini, Usiue, Usiibe, Usitamani; na ikiwapo amri nyingine yo yote, inajumlishwa katika neno hili, ya kwamba, Mpende jirani yako kama nafsi yako. 10 Pendo halimfanyii jirani neno baya; basi pendo ndilo utimilifu wa sheria.
Kila mmoja anapaswa kuwa salama na hakuna anayetakiwa kuwa tishio na kuwaogopesha (Mambo ya Walawi 26:6).
Wakati dhana na wazo hili lilipoanzisha haki ya kwa milki zao, zilifanywa kwa mpaka na utafiti. Tendo la kuondoa alama ya mpaka ni wizi pia.
Kumbukumbu la Torati 19:14 Usiiondoe alama ya mpaka wa jirani yako, waliouweka watu wa kale katika urithi wako,
utakaorithi ndani ya nchi akupayo Bwana, Mungu wako, uimiliki.
Harakati hii ilisababisha kuwepo kwa sheria ya ukombozi kwa mazao yaliyoibiwa, ikiwa ardhi haijarejeshwa milele. Tendo hili linasababisha laana (Kumbukumbu la Torati 27:17; pia soma Ufunuo 22:28; 23:10).
Tendo la kuondoa alama za mpaka na kuchukua shamba la yatima ni wizi au ni dalili ya
kukusudia kuiba. Mungu atawatetea yatima, lakini mahakimu wa
mahakama wanawajibika kushughulikia jambo kama
Kikomo cha umiliki kwa
mfumo ulio ndani ya yubile
Mambo
ya Walawi 25:1-11 Kisha Bwana akanena na Musa katika mlima wa
Sinai, na kumwambia, 2 Nena na wana wa Israeli, uwaambie, Hapo mtakapoingia katika
nchi niwapayo, ndipo hiyo nchi itashika Sabato kwa ajili ya Bwana. 3 Panda shamba lako miaka sita, na miaka sita lipelee shamba lako la
mizabibu, na kuyachuma matunda yake; 4 lakini katika mwaka
wa saba itakuwa ni Sabato ya kustarehe kabisa kwa ajili ya hiyo nchi, ni Sabato
kwa Bwana; usipande shamba lako, wala usipelee shamba lako la mizabibu. 5 Hicho kimeacho chenyewe katika mavuno yako, usikivune, wala zabibu za
mizabibu isiyopelewa usizitunde; utakuwa mwaka wa kustarehe kabisa kwa ajili ya
hiyo nchi. 6 Na hiyo Sabato ya nchi itakuwa chakula kwenu; kwako wewe, na kwa mtumwa
wako, na kwa mjakazi wako, na kwa mtumishi aliyeajiriwa, na kwa mgeni wako
akaaye pamoja nawe; 7 na kwa hayawani wako, na kwa wanyama walio katika nchi yako;
maongeo yote yatakuwa ni chakula chao. 8 Nawe utajihesabia Sabato saba za
miaka, maana, miaka saba mara saba; zitakuwa ni siku za Sabato saba za miaka
kwenu, maana miaka arobaini na kenda. 9 Ndipo utakapoipeleka pande zote hiyo
baragumu yenye sauti kuu, siku ya kumi ya mwezi wa saba; katika siku hiyo ya
upatanisho mtaipeleka baragumu katika nchi yenu yote. 10 Na mwaka wa hamsini mtautakasa, na kupiga mbiu ya kuachwa mahuru katika
nchi yote kwa watu wote wanayokaa; itakuwa ni yubile kwenu, nanyi kila mtu
atairudia milki yake mwenyewe, nanyi mtarejea kila mtu kwa jamaa yake. 11 Mwaka huo wa hamsini utakuwa ni yubile kwenu; msipande mbegu, wala
msivune kitu hicho kimeacho chenyewe, wala msizitunde zabibu za mizabibu
isiyopelewa.
Haya ni mwajibiko wa mambo yanayohusiana na umiliki wa ardhi ambayo iliyolewa yote na Mungu. Kwa matumizi ya ardhi kuna pia mambo ya kuwajibika kwayo.
Mambo ya Walawi 25:23-28 Nayo nchi haitauzwa kabisa kabisa; kwani nchi ni yangu mimi; maana ninyi ni wageni na wasafiri wangu. 24 Nanyi mtatoa ukombozi kwa ajili ya nchi, katika nchi
yote ya milki yenu. 25 Kwamba nduguyo
amekuwa maskini, na kuuza sehemu ya milki yake, ndipo jamaa yake aliye karibu
naye atakuja, naye ataikomboa ile aliyoiuza nduguye. 26 Na
kama mtu hana atakayeikomboa, naye mwenyewe amepata mali na kujiona kuwa anayo
ya kutosha kuikomboa; 27 ndipo na aihesabu
hiyo miaka ya kuuzwa kwake, na kilichozidi kumrudishia huyo mtu aliyeinunua;
naye atairejea milki yake. 28 Lakini asipoweza
kujipatia mwenyewe, ndipo hiyo iliyouzwa itakaa mkononi mwake huyo aliyeinunua,
hata mwaka wa yubile; na katika yubile itatoka, naye atairejea milki yake
Ardhi iliyo nje ya miji yenye “kuta au maboma” haitakiwi ichukuliwe kuwa milki ya milele. Pia kulikuwa na kikomo kwenye utaratibu umiliki wa ardhi, nah ii hubadilika kutokana na wajibu wake.
Mambo ya Walawi 25:29-34 Tena kwamba mtu anauza nyumba ya kukaa, iliyo ndani ya mji wenye kuta, ndipo ana ruhusa kuikomboa katika mwaka mmoja mzima baada ya kuiuza; atakuwa na amri ya kuikomboa muda wa mwaka mzima. 30 Na kama haikukombolewa katika muda wa mwaka mzima, ndipo hiyo nyumba iliyo ndani ya mji wenye kuta itathibitishwa milele kuwa ya huyo aliyeinunua, katika vizazi vyake; nayo haitatoka katika yubile.31 Lakini nyumba za vijiji, ambavyo havikuzingirwa na kuta, zitahesabiwa pamoja na mashamba ya nchi; nazo zina ruhusa ya kukombolewa, nazo zitatoka katika yubile. 32 Pamoja na hayo, miji ya Walawi, nyumba za miji ya milki yao, Walawi wana ruhusa ya kuzikomboa majira yo yote. 33 Tena kama mtu mmoja wa hao Walawi akikomboa, ndipo nyumba iliyouzwa, na mji wa milki yake, itatoka katika yubile; maana, hizo nyumba za miji ya Walawi ni milki yao kati ya wana wa Israeli. 34 Lakini konde la malisho ya miji yao lisiuzwe kwa kuwa ni milki yao ya daima.
Tofauti kati ya
miji yenye maboma na ile isiyozungushiwa na kuta au
boma hufanya kuwe maamuzi kwa kiwango cha kukombolewa kwake na jinsi ya kuwa na
sehemu kwenye utaratibu wa kukombelewa na kurejeshewa wamiliki asilia inapofika
yubile. Ni miji ile iliyo kwenye kuta au boma tu ndizo zinaweza kuuzwa na bila kurudishwa kwa wenyewe milele. Miji ya Makuhani
inayoonekana kuonekana kujumuishwa na miji ya
makimbilio, pia haikuruhusiwa kuuzwa kuwa milki ya milele bali inaweza
kukombolewa wakati wowote na makuhani. Hakuna mfumo wowote wa
ardhi iliyokuwa nje ya miji yenye boma au kwenye vijiji vilivyo kwenye nchi au
miji isiyo na maboma au kuta ambazo zinaweza kuondolewa kwenye mfumo wa yubile.
Tofauti hii inaenda hadi kwenye sheria inayohusu marejesho na
ukombozi na umiliki. Mtu aliye kwenye mji uliouzwa milele anaweza kuukomboa
Uaminifu wa mtu
Kwa kipindi cha zama na zama sasa wanadamu wamekuwa wakiuzwa kwa wenzao na pia kuchukuliwa na wachuuzi hawa makwao kwa kuwatumikisha kwa shughuli za kitumwa na kutumikishwa kwa kuodishwa kibiashara kwa kutumikishwa kwa kazi za shokoa ki mikataba. Wachezaji wa mpira wa miguu ni mfano uliobakia wa mfumo huu wa kutumikishwa kwa kazi hizi ngumu za shokoa, bali wao wamekuwa wakilipwa wenyewe kipato kikubwa japo huwa wanauzwa na wenzao.
Mara nyingi watu
wanaangukia kweenye vipindi vigumu na wanataabika
kwenye jambo
Mambo ya Walawi 25:35-43 Na ikiwa ndugu yako amekuwa maskini, na mkono wake umelegea kwako, ndipo utamsaidia, atakaa nawe
Kwa hiyo, mtu akiwa kwenye nchi yake mwenyewe anaweza kuwa mtumwa au anaweza kutumikishwa kwa kazi ngumu za shokoa. Hiki ndicho kitu kibaya zaidi na kilichopo leo lakini Wamataifa wamewekwa huru na kuwa na sehemu kwenye Ufalme wa Mungu. Wale wanaokataa kuwa ni sehemu ya taifa na kanisa wanaweza kushurutishwa kwa sheria za kidunia.
Mambo ya Walwi 25:44-46 Tena katika habari za watumwa wako na wajakazi wako, utakaokuwa nao; mataifa walio kando-kando
yenu, katika hao mtanunua watumwa na wajakazi. 45 Tena
katika wana wa wageni wakaao kati yenu mtajinunulia, na katika jamaa zao walio
pamoja nanyi, waliowazaa katika nchi yenu; wao watakuwa milki yenu. 46 Nanyi mtawafanya kuwa urithi kwa watoto wenu baada yenu,
wawe milki yao; siku zote mtatwaa watumwa wenu katika hao; lakini msitawale kwa
nguvu juu ya ndugu zenu, hao wana wa Israeli, wenyewe kwa wenyewe.
Sheria hii inaonyesha faida ya maamuzi ya uraia kwenye taifa la Israeli.
Mambo ya Walawi 25:47-55 Tena kama mgeni au mtu akaaye
nawe akitajirika, na nduguyo amekuwa maskini karibu naye, akajiuza kwa huyo
mgeni, au kwa huyo akaaye kwako, au kwa ukoo wa jamaa ya huyo mgeni; 48 baada ya kuuzwa aweza kukombolewa; mtu mmoja miongoni
mwa ndugu zake ana ruhusa kumkomboa; 49 au mjomba wake, au
mwana wa mjomba wake, ana ruhusa ya kumkomboa, au mtu awaye yote aliye karibu
naye wa jamaa yake, ana ruhusa ya kumkomboa; au kwamba yeye mwenyewe amepata
mali, ana ruhusa ya kujikomboa mwenyewe. 50 Naye
atafanya hesabu na huyo aliyemnunua, tangu mwaka huo aliojiuza hata mwaka wa
yubile; na ile bei ya kuuzwa kwake itakuwa kama hesabu ya hiyo miaka ilivyo;
atakuwa pamoja naye kama majira ya mtumishi aliyeajiriwa yalivyo. 51 Kwamba ikali imesalia miaka mingi, kama hesabu yake
ilivyo ndivyo atakavyolipa bei ya ukombozi wake, katika hiyo fedha ambayo
alinunuliwa kwayo. 52 Tena kwamba imesalia
miaka michache tu hata mwaka wa yubile, ndipo atafanya hesabu naye, kama hesabu
ya miaka yake ilivyo, ndivyo atakavyolipa tena bei ya ukombozi wake. 53 Kama mtumishi aliyeajiriwa mwaka hata mwaka, ndivyo
atakavyokuwa pamoja naye; asitawale juu yake kwa nguvu mbele ya macho yako. 54 Tena kwamba hakukombolewa kwa njia hizi mojawapo, ndipo
atatoka katika mwaka wa yubile, yeye, na watoto wake pamoja naye. 55 Kwa kuwa wana wa Israeli ni watumishi; ni watumishi
wangu niliowaleta watoke katika nchi ya Misri; mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.
Kitendo cha kushindwa kuutumia muda na kazi kwa haki ni sawa na dhuluma. Kwa hiyo, kuna umuhimu wa kutenda kwa haki hambo ya kikazi na sheria ya nguvu kazi au viwanda inayotokana na amri za Mungu. Munbu, ndiye anaowamiliki Israeli na wala sio mwanadamu awayeyote, na ni wa Waisraeli wote, wa aina zote mbili, yaani wale waliozaliwa hivyo na wale waliofanywa kuwa hivyo kwa wongofu kutoka kwenye Umataifa, hawa wote ni mali ya Bwana na wala sio watumwa. Na wala hawawezi kuuzwa kuwa watumwa na mtu yeyote au na taasisi yoyote iliyoko nchini au kwa namna yeyote ile.
Sheria hii itakuja rejeshwa upya tena katika Israeli na mfumo wa Yubile utakuja kurejeshwa upya kwa mujibu wa neno la Bwana ambalo Mungu alimwambia mtumishi wake nabii Yeremia (Yeremia 32:6-44).
Mwanakondoo amewakomboa wanadamu kwa Mungu na atawalinda kwenye Makao yake Matakatifu,
Kutoka 15:1-19 Ndipo Musa na
wana wa Israeli wakamwimbia Bwana wimbo huu wakanena, na kusema, Nitamwimbia
Bwana, kwa maana ametukuka sana; Farasi na mpanda farasi amewatupa baharini. 2 Bwana ni nguvu zangu, na wimbo wangu; Naye amekuwa wokovu
wangu. Yeye ni Mungu wangu, nami nitamsifu; Ni Mungu
wa baba yangu, nami nitamtukuza. 3 Bwana ni mtu wa vita,
Bwana ndilo jina lake. 4 Magari ya Farao na jeshi
Naye Bwana atakuwa pamoja nasi kati yetu, yeye ambaye haanguki jangwani; “Kwa hiyo msiitie unajisi nchi muiketiyo, ambayo naketi nami kati yake; kwa kuwa mimi Bwana nakaa” (Hesabu 35:34; 20:22-24).
Basi na tusishindwe kumtolea Bwana sadaka zetu (Hesabu 15:1-12).
Iwapo kama tulishindwa kumtolea pasipo kujua, ndipo
upatanisho utafanywa (Hesabu 15:17-28). Hata hivyo, hakuna awezaye kumkomboa
ndugu yake, bali ni Kristo tu ndiye awezaye
Dhana ya usawa
Katika sheria zote kuna dhana ya usawa kwenye kabila na familia zetu; ambavyo huweka majukumu ya watu na familia zao kwenye taifa lao.
Kwa hiyo
kunafuatiwa na Mafundisho
yanayofundisha Haki za Msingi yanayosema kuwa hakuna haki za mtu peke yake,
na Mafundisho ya Sheeria na makatazo.
Jamii yoyote inayoweka haki za watu kwenye mwonekano wa
wasatani hushindwa kuweka mkakati fanikishi wa kimlingano kwa kipindi kijacho.
Kwa hiyo sheria aote za kibiblia zimetuama kwenye mafundisho haya ya makatazo
au miiko ya kwenye familia na kwenye taifa na
yanatuama kwa kiasi kikubwa
Kuharibiwa kwa Mtu na
Mali
Mtu asiyejali kumharibu mtu
Kutoka
21:18-19 17 Yeye
amwapizaye baba yake au mama yake, sharti atauawa. 18 Watu
wakigombana, na mmoja akimpiga mwenziwe kwa jiwe, au kwa konde, asife, lakini
yualazwa kitandani mwake; 19 atakapoinuka tena na
kuenenda nje kwa kutegemea fimbo, ndipo hapo yule aliyempiga ataachwa; ila
atamlipa kwa ajili ya hayo majira yake yaliyompotea, naye atamwuguza hata apone
kabisa.
Uharibifu hapa unatokana na mkusanyiko au mchango wa kudharau uliofanywa na pande zote mbili. Hakuna madai kwa makosa yaliyofanywa kwa ajili ya uharibifu auliochangiwa kufanywa na pande zote mbili. Hata hivyo, upande ulioumizwa unapaswa kurejeshewe upotevu wa muda na afya uliosababishwa na kwa upande ule ambao umesababisha maumivu haya.
Uharibifu uliofanywa kwa kudharau au kwa makusudi kama ulivyokusudiwa na upande wa tatu unabidi ulipwe sawa na uharibifu huo ulivyofanyika kama itakavyoonekana na kuamriwa na mahakama (Kutoka 21:22). Malipo kwa uharibifu uliofanywa na wanyama au matendo yaliyofanywa na upande wa tatu yameelezewa kwenye kitabu cha Kutoka 21:28-33. Malipo kwa ajili ya uhai uliopotea kwa uzembe yalifanywa kwa kufuatana na vile mahakama yatakavyoona, na hukumu yake inaweza kuwa ni kifo.
Makosa ya
kuwafanyia uharibifu wa makusudi kwa watu
Makosa yenye kuleta uharibifu kwa watu yanachukuliwa kwa makundi mbali mbali. Yanaweza kufanywa na wake walioolewa (Kumbukumbu la Torati 22:13); na na wanawake ambao hawajaposwa bado (Kumbukumbu la Torati 22:28-29).
Tendo la kuteka na kumtorosha mtu hukumu yake ilikuwa ni kifo (Kutoka 21:16).
Uhalifu na dhuluma havitakiwi kumfanyia mtu yeyote na walio kwenye mamlaka (Luka 3:14; pia soma Isaya 17:14). Kudhulumiwa na wazani ni dhuluma pia na inamletea madhara yule aliyefanyiwa hivyo (Mithali 28:24).
Uharibifu
wa makusudi wa
Wakati uharibifu unapotokea kwa hali tu ya kulidharau au kutotilia manani na kupuuza jambo, inatakiwa lirejeshwe kwanye ubora wake. Tunatakiwa kwenda mbali zaidi na kulifanya liwe bora kuliko lilivyokuwa hapo kabla. Kwa jinsi hiyohiyo, tunapokuwa tunalazimika kutoa huduma na kudumu kwenye uotaji wa huduma kwa bidii na hiyari (soma Mathayo 5:41; 27:32; Marko 15:21).
Adhabu ya
makosa ya uharibifu wa makusudi
Kumbukumbu la Torati 23:24-25 Uingiapo katika shamba la mizabibu la
jirani yako, utaweza kula zabibu za kukushibisha,
Hakuna mtu anayezuiwa kula au kupura masuke
na mazao yaliyo mashambani anapokuwa na njaa, lakini
hatakiwi au anachokatazwa ni kutovuna mavuno haya ayakutapo shambani. Kufanya
hivyo ni sawa na kuiba na itachukuliwa
Uharibifu
unaofanywa kwa makusudi, kuifanyia jumuia ya kidugu,
kwa udanganyifu au wizi
Hatia inayofanywa kwa kuokota au kutapeli
Mambo ya Walawi 6:1-5 Bwana akanena na Musa, na kumwambia, 2 Mtu awaye yote akifanya dhambi, na kuasi juu ya Bwana, akamdanganya mwenziwe katika jambo la amana, au la mapatano, au la kunyang'anya, au kumwonea mwenziwe; 3 au kuzumbua kitu kilichopotea na kutenda la uongo juu yake, na kuapa kwa uongo; katika mambo hayo yote mojawapo atakalolitenda mtu, na kufanya dhambi kwalo; 4 ndipo itakapokuwa, akiwa amefanya dhambi, na kupata hatia, atarudisha hicho alichokipata kwa kunyang'anya, au kitu kile alichokipata kwa kuonea, au ile amana aliyowekewa, au kitu kile kilichopotea alichokizumbua yeye, 5 au kitu cho chote ambacho amekiapia uongo; atakirudisha hata kwa utimilifu wake, kisha ataongeza na sehemu ya tano zaidi juu yake; naye atampa huyo mwenyewe, siku hiyo ambayo atakapohukumiwa kuwa mwenye hatia.
Suala hili la
kumuondoa au kumtenga mtu kutoka kwenye ushirika linafanyika pale inapofikia
kiwango cha kuwa mtu amefanya wizi kwa kutumia cheo
alichopewa kwa kuaminiwa. Torati ina idadi kadhaa ya
mambo inayoshughulikia matukio
Wizi wa kawaida
uliozoeleka
Mgawanyo wa kwanza
na wa msingi wa amri ya nane inelezea wizi uliozoeleka na wa kawaida. Kama
tunavyoona, kuna aina nyingi
Wizi una sura na tabia za aina mbili. Wizi wa vyakula umeharimishwa kote kuwili, yaani kwenye familia na kwenye jamii. Na ukitokea au kufanyika malipizi yake hufanywa kwa namna kadhaa mbali mbali, na haulipwi kwa kile tu kilichopotea peke yake na kilichojulikana kwa umaarufu wake.
Mithali 6:30-31 Watu hawamdharau mwivi, Akiiba ili kujishibisha, iwapo aona njaa; 31 Lakini
akipatikana, atalipa mara saba; Atatoa
(pia soma Mithali 13:11)
Kungu ndiye atoaye utajiri na ili kwamba asiwepo mtu atakayetaabika kwa njaa au ukosefu wa mahitaji.
Kumbukumbu la Torati 8:17-18 Hapo usiseme moyoni mwako, Nguvu zangu na uwezo wa mkono wangu ndio ulionipatia utajiri huo. 18 Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo.
Marekebisho ya tabia ni jukumu la jamii katika kushughulikia suala la wizi (Waefeso 4:28).
Kuna kundi au aina nyingine ya wizi ambalo ni uibaji wa kitu kwa kuokota. Hakuna mtu anayeruhusiwa
kuhodhi au kushikilia kitu cha mwingine, hata kitu cha adui yake,
Wizi ufanywao kwa wadhifa wa mtu
Haitakiwi kufanyika wizi kwa kutumia cheo au wadhifa wa mtu.
Ezekieli 46:18 Tena mkuu hatawaondolea watu urithi wao, hata
kuwatoa kwa nguvu katika milki
Kwa hiyo marudisho au utwaaji wa
Marejesho ya mali au ardhi kwa kuzingatia
Haki ni miongoni kwa mambo muhimu
Wizi unaofanywa kwa kutozingatia haki
chini ya torati
Haitakiwi kuweko wizi kwa ajili ya kufanya mapunjo kwa kuzingatia torati.
Hesabu 15:13-16 Wote ambao wamezaliwa kwenu watafanya hayo yote kwa kuandama mfano huo, katika kusongeza sadaka kwa moto, ya harufu ya kupendeza kwa Bwana. 14 Tena kwamba mgeni amekaa kwenu, au mtu ye yote aliye kati yenu katika vizazi vyenu, naye yuataka kusongeza sadaka kwa moto, na harufu ya kupendeza kwa Bwana; kama ninyi mfanyavyo, na yeye atafanya vivyo. 15 Katika huo mkutano, kutakuwa na amri moja kwenu ninyi na kwa mgeni akaaye pamoja nanyi; ni amri ya milele katika vizazi vyenu; kama ninyi mlivyo, na mgeni atakuwa vivyo mbele za Bwana. 16 Itakuwa sheria moja na amri moja kwenu ninyi na kwa mgeni akaaye nanyi.
Sawa na ilivyo kwamba kuna sheria moja tu ya upatanisho.
Hesabu 15:29-31 Mtakuwa na sheria moja
kwa huyo afanyaye neno lo lote pasipo kujua, kwa huyo aliyezaliwa kwenu kati ya
wana wa Israeli, na kwa mgeni akaaye kati
(soma Kumbukumbu la Torati 28:63).
Kwa hiyo, dhuluma inayofanywa kwa kuhukumu kwa upendeleo imekatazwa (soma Mithali 18:5, 11).
Kumbukumbu la Torati 1:17 Msitazame nafsi za watu katika hukumu; mwasikize wadogo na wakubwa sawasawa; msiche uso wa mtu awaye yote; kwa kuwa hukumu ni ya Mungu; na lile neno liwashindalo mniletee mimi, nami nitalisikiza.
(soma Kumbukumbu la Torati 1:11-18).
Kinga dhidi ya mwendelezo wa usawa
wa haki za kikabila
Sheria za urithi tulizoziona zinaziendeleza
zile za tano na sita zinazolinda heshima au hali ya
kuaminika ya makabila na utajiri wa kitaifa. Tunajionea
Haki
ya kuhamisha au kubadilisha umiliko wa
Kwa namna hiyo hiyo hakutakiwi kuwa na upendeleo kwa mtu yeyote kwenye umiliki wa
Kumbukumbu la Torati 21:15-17 15 Akiwa mtu yuna wake wawili, mmoja ampenda, mmoja hampendi, nao wamemzalia watoto, ampendaye na asiyempenda wote wawili; na yule mzaliwa wa kwanza akiwa ni wa mke asiyependwa; 16 ndipo itakapokuwa ya kwamba siku atakayowarithisha wanawe alivyo navyo, asimweke mwana wa ampendaye kuwa mzaliwa wa kwanza mbele ya mwana wa asiyempenda, naye ndiye mzaliwa wa kwanza huyu; 17 lakini amkubali mzaliwa wa kwanza mwana wa yule asiyempenda, kwa kumpa mafungu mawili katika vyote alivyo navyo; kwa maana ndiye mwanzo wa nguvu zake; haki ya mzaliwa wa kwanza ni yake yeye.
Haki ya mzaliwa wa
kwanza wa Israeli na miongoni mwa Mababu zao ulipotea kwa ajili ya dhambi,
Kuiba kwa kutumia vipimo na mizani
Kipimo kile kile linatakiwa kitumike kwenye
nyumba au kwenye biashara, na ni wizi au dhuluma
kutumia vipimo na mizani ya uwongo.
Mambo ya Walawi 19:35-37 Msifanye yasiyo haki katika hukumu, wala katika kupima, wala katika mizani, wala katika cheo. 36 Mizani ya haki, vipimo vya haki, efa ya haki, hini ya haki, ndivyo mtakavyokuwa navyo. Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu, niliyewatoa katika nchi ya Misri. 37 Zishikeni sheria zangu, na hukumu zangu, na kuzitenda. Mimi ndimi Bwana.
Tunapaswa kutumia mizani kamili ili tuweze kuwa na maisha marefu,
Kumbukumbu la Torati 25:13-16 Usiwe na mawe ya kupimia mbalimbali, kubwa na dogo, katika mfuko wako. 14 Usiwe na vipimo mbalimbali, kikubwa na kidogo, katika nyumba yako. 15 Uwe na jiwe timilifu la haki, uwe na kipimo kitimilifu cha haki; zipate kuwa nyingi siku zako, katika nchi akupayo Bwana, Mungu wako. 16 Kwa kuwa wote wayatendao mambo kama haya, wote watendao yasiyo haki, ni machukizo kwa Bwana, Mungu wako.
Viwango vya uzani na vipimo vimeelezewa kwa kupitia mabii Ezekieli l.
Ezekieli 45:9-12 Bwana MUNGU asema hivi; Na iwatoshe ninyi, enyi wakuu wa Israeli; ondoeni dhuluma na unyang'anyi; fanyeni hukumu na haki; ondoeni kutoza kwa nguvu kwenu katika watu wangu, asema Bwana MUNGU. 10 Mtakuwa na mizani ya haki, na efa ya haki, na bathi ya haki. 11 Efa na bathi zitakuwa za kipimo kimoja; ili kwamba bathi ichukue sehemu ya kumi ya homeri, na efa sehemu ya kumi ya homeri; kipimo chake kitakuwa kwa kadiri ya cheo cha kawaida cha homeri. 12 Nayo shekeli itakuwa gera ishirini; shekeli tano zitakuwa shekeli tano, shekeli kumi zitakuwa kumi, na shekeli hamsini zitakuwa mane yenu.
Wizi unaofanyika kwa udanganyifu na
dhuluma
Watu wengi hawajui
kwamba tendo la kudanganya au kupunja na kudhulumu ni
wizi na vinamuathiri na kumharibu mtu. Watu hawafikiri jambo jingine zaidi ya
kufanya utapeli na kudhulumu kwa mfululizo wala
kukoma, wakiwafanyia hivyo wenzao na kwa kawaida kwa kuwa wamechagua kuwa
upande fulani au mwingine. Dini ya uwongo kwa muda
mrefu
Kuiba ubora wa jina la mtu ni jambo lililo kinyume
Uharamu wa kushikilia
Ni kinyume na
Sheria au Torati ya Mungu kumnyima mtu au kushikilia mshahara au
Kutoka 22:26-27 Ikiwa wewe kwa njia yo yote wapokea nguo ya jirani yako rehani, lazima utamrudishia mbele ya jua kuchwa; 27 maana hiyo nguo ni kifuniko chake, hiyo peke yake ni nguo ya ngozi yake; je! Atalalia nini? Itakuwa, hapo atakaponililia mimi, nitasikia; kwa kuwa mimi ni mwenye rehema.
Mambo ya Walawi 19:13 Usimdhulumu jirani yako, wala kumnyang'anya
Kumbukumbu la Torati 24:14-15 Usimwonee mtumishi mwenye
ujira aliye maskini na uhitaji, kama ni wa nduguzo, au kama ni wageni wako
mmojawapo walio katika nchi yako, ndani ya malango yako; 15
mpe ujira wake kwa siku yake, wala jua lisichwe juu yake; kwa maana ni maskini,
moyo wake umeutumainia huo; asije akamlilia Bwana juu yako, ikawa ni dhambi
kwako.
Mshahara wa malipo ya kila siku unatakiwa utolewe siku hiyo hiyo. Ni kinyume na sheria kushikilia mshahara wa malipo ya siku. Pia ni kinyume na sheria kushikilia ujira wa mkataba wa malipo ya siku kwa usiku kucha ua hadi asubuhi. Mkataba wa ujira unapaswa kufanyika kwa msingi wa makubaliano ya malipo ya kila juma au siku arobaini. Malipo ya ujira kwa kweli ni makubaliano yanayopaswa kukubaliana miongoni mwa pande zote mbili, yaani mwajiri na mwajiriwa.
Mikataba hii ya kisheria iko wazi na inaelezewa kwa wazi. Inaenda kwenye kiini cha sheria inayosema mpende jirani yako. Mtume Yakobo, ambaye alikuwa ni ndugu yake Yesu Kristo ana mengi ya kusema kuhusu jambi hili.
Yekobo 5:1-6 Haya basi, enyi matajiri! Lieni, mkapige yowe kwa sababu ya mashaka yenu yanayowajia. 2 Mali zenu zimeoza, na mavazi yenu yameliwa na nondo. 3 Dhahabu yenu na fedha yenu zimeingia kutu, na kutu yake itawashuhudia, nayo itakula miili yenu kama moto. Mmejiwekea akiba katika siku za mwisho. 4 Angalieni, ujira wa wakulima waliovuna mashamba yenu, ninyi mliouzuia kwa hila, unapiga kelele, na vilio vyao waliovuna vimeingia masikioni mwa Bwana wa majeshi. 5 Mmefanya anasa katika dunia, na kujifurahisha kwa tamaa; mmejilisha mioyo yenu kama siku ya machinjo. 6 Mmehukumu mwenye haki mkamwua; wala hashindani nanyi.
Jambo
1Timotheo 5:18 Kwa maana andiko lasema, Usimfunge kinywa ng'ombe apurapo nafaka. Na tena, Mtenda kazi astahili ujira wake
(sawa na Warumi 13:7).
Pia Mungu alimwambia nabii Yeremia
Yeremia 22:13 Ole wake aijengaye nyumba yake kwa uovu!
Na vyumba vyake kwa udhalimu! Atumiaye utumishi wa mwenzake bila ujira, Wala
hampi mshahara wake;
Mungu atawahukumu
wale wote wanaotumia vibaya mamlaka
Malaki 3:5 Nami nitawakaribieni ili kuhukumu; nami nitakuwa shahidi mwepesi juu ya wachawi, na juu ya wazinzi, na juu yao waapao kwa uongo; na juu yao wamwoneao mwenye kuajiriwa, kwa ajili ya mshahara wake, wamwoneao mjane na yatima, na kumpotosha mgeni asipate haki yake, wala hawaniogopi mimi, asema Bwana wa majeshi.
Mesihi alisema kuwa ujira wetu ambao utatolewa wote na kwamba utatolewa kwa mgao sawa, unaoitwa wokovu. Wale wanaowadhulumu na kuwatendea vibaya wale waliowajiri na kushikilia mashahara wao kinyume na haki hawatakuwa na sehemu kwenye Ufalme wa Mungu (soma Mathayo 20:1-16).
Kwa jinsi hiyo
hiyo watumishi wanaohudumu kanisani hawapaswi kushikilia mshahara wa watumishi na wale wanaotumika kwenye makanisa
Udhalimu na
unyang’anyi
Uchukuwaji wa zawadi mwa mtu mwenye majukumu ya kuhukumu unasababisha
mwenye hekima kushawishika kupotoka na kufanya matendo yasoyo ya haki (Kutoka
23:8; Mambo ya Walawi 19:15; Kumbukumbu la Torati 16:18-20). Mungu hutoa malipo
ya haki
Aina
yote ya matendo yasiyo haki huiba sehemu ya kile anachokifanya asiye haki. Hili limefafanuliwa zaidi kwenye jarida la Torati na Amri ya
Mungu atawatukuza na kuwarejesha upya wana wa watu wake.
Yoeli 3:6-8 tena watoto wa Yuda na
watoto wa Yerusalemu mmewauzia Wayunani, mpate kuwahamisha mbali na mipaka
Mambo yote hanayohusu hukumu yanapaswa yafanyike kwa haki, kwanza ni kanisani, na pilikwenye taifa (Mathayo 18:7; 1Wakorintho 6:1-8). Kushindwa kufanya mambo kwa haki kanisani ni udhalimu na dhuluma au wizi.
Riba
Moja ya makundi ya wale walioainishwa kuwa ni watu wa Bwana ni mtu yule ambaye haweki fedha zake kwenye riba au michezo ya kamari, au kumpa zawadi asiye na kosa (Ps. 15:5).
Zaburi 15:5 Hakutoa fedha yake apate kula riba, Hakutwaa rushwa amwangamize asiye na hatia. Mtu atendaye mambo hayo Hataondoshwa milele.
Kinachofuatia kwa hiyo ni kwamaa riba, au kukopesha fedha kwa riba sio tu kuwa kumekatazwa, bali kunamzuia mtu asiwe na sehemu kwenye Ufalme wa Mungu.
Mithali 28:8 Yeye azidishaye
Jambo hili huenda lisiweze kutokea kuwa la kuzingatiwa kwenye mazingira ya kila siku, bali tunashughulika pia na kutaka tuwe na sehemu kwenye hukumu na ufufuo wa kwanza wa wafu.
Nabii Yeremia
anaiona hii riba
Yeremia 15:10 Ole wangu, mama yangu, kwa kuwa umenizaa mtu wa kuteta, na mtu wa kushindana na dunia yote! Mimi sikukopesha kwa riba, wala watu hawakunikopesha kwa riba; lakini kila mmoja wao hunilaani.
Mungu anauonya “mji wa damu” kwa kufanya kwao dhambi hii.
Ezekieli 22:12 Ndani yako wamepokea rushwa ili kumwaga damu; umepokea riba na faida; nawe kwa choyo umepata mapato kwa kuwadhulumu jirani zako, nawe umenisahau mimi, asema Bwana MUNGU.
Mungu anaelezea tofauti hii pia kwenye Ezekieli 18:3-20. roho itendayo dhambi hakika yake itakufa. Riba imetajwa wazi hapa kuwa ni tendo linalomuondolea mtu kuwa na sehemu kwenye uzima wa milele (Ezekieli 18:8,13). Dhana ya kutoza riba inapata mashiko kwa imani ya kujiongezea faida pia na kwa hiyo imekatazwa kukipesha kwa malipo ya riba. Kufanya hivyo kunamfanya mteule asiwe na sehemu kwenye ufufuo wa kwanza na ni wizi na dhuluma pia.
Kipindi cha kina Ezra na Nehemia, watu walilazimishwa kukodisha ardhi zao na nyumba zao ili wamudu kununua nafaka wakati wa marejesho mapya. Nehemia aliwafanya watu waliochukua ardhi na kuimiliki tena wairudishe kwa wamiliki wake halali, kwa kuwa kukopesha fedha kwa malipo ya ziada, na hususan kwenye ukodishaji, ni wizi, jambo ambalo halitaruhusiwa kwenye Ufalme wa Mungu. Riba au kukopesha fedha kwa faida ni kinyume na inavyoelekeza Torati ya Mungu na inatakiwa isiruhusiwe kabisa.
Nehemia 5:1-13 Ndipo kukatokea kilio kikuu cha watu, na wake zao, juu ya ndugu zao Wayahudi. 2 Maana, walikuwako watu waliosema, Sisi, na wana wetu na binti zetu, tu wengi; na tupate ngano, tule, tukaishi. 3 Tena walikuwako wengine waliosema, Tumeweka rehani mashamba yetu, na mizabibu yetu, na nyumba zetu; tupate ngano, kwa sababu ya njaa. 4 Tena walikuwako wengine waliosema, Tumekopa fedha ili kulipa kodi ya mfalme kwa kuweka rehani mashamba yetu, na mizabibu yetu. 5 Walakini miili yetu ni kama miili ya ndugu zetu, na watoto wetu kama watoto wao; kumbe! Mnawatia utumwani wana wetu na binti zetu kuwa watumishi, na baadhi ya binti zetu wamekwisha kutiwa utumwani; wala hatuwezi kujiepusha na hayo; maana watu wengine wana mashamba yetu na mizabibu yetu. 6 Nami nilikasirika sana, niliposikia kilio chao, na maneno hayo. 7 Ndipo nikafanya shauri na nafsi yangu, nikagombana na wakuu na mashehe, nikawaambia, Mnatoza watu riba, kila mtu ndugu yake. Nikakutanisha mkutano mkubwa ili kushindana nao. 8 Nikawaambia, Sisi kwa kadiri ya uwezo wetu tumewakomboa ndugu zetu Wayahudi, waliouzwa kwa makafiri; na ninyi mnataka kuwauza ndugu zenu, tena kuwauza ili sisi tuwanunue? Wakanyamaza kimya, wasiweze kusema neno lo lote. 9 Tena nalisema, Neno hili mnalolitenda si jema; je! Haiwapasi ninyi kwenda katika kicho cha Mungu wetu, kwa sababu ya mashutumu ya makafiri adui zetu? 10 Na mimi pia, na ndugu zangu, na watumishi wangu, twawakopesha fedha na ngano ili kupata faida? Tafadhali na tuliache jambo hili la riba. 11 Naomba, warudishieni leo hivi mashamba yao, na mashamba yao ya mizabibu, na mashamba yao ya mizeituni, na nyumba zao, na lile fungu la mia la fedha, na la ngano, na la divai, na la mafuta, mnalowatoza. 12 Ndipo wakasema, Tutawarudishia, wala hatutataka kitu kwao; tutafanya hivyo, kama ulivyosema. Kisha nikawaita makuhani, nikawaapisha, ya kwamba watafanya kama ahadi hiyo. 13 Tena nikakung'uta nguo yangu, nikasema, Mungu na amkung'ute vivyo hivyo kila mtu nyumbani mwake, na kazini mwake, asiyeitimiza ahadi hiyo; naam, na akung'utwe vivyo hivyo, na kuwa hana kitu. Mkutano wote wakasema, Amina; wakamhimidi Bwana. Nao watu wakafanya kama ahadi hiyo.
Sheria iko wazi, fedha iliyokopeshwa
haitakiwi ikopeshwe kwa faida. Riba hii haipaswi kuwa
ya aina yoyote ya fedha wala ya
Kutoka 22:25 Ukimkopesha mtu aliye maskini, katika watu wangu walio pamoja nawe; usiwe kwake mfano wa mwenye kumdai; wala hutamwandikia faida
Kumbukumbu la Torati 23:19-20 19 Usimkopeshe ndugu yako kwa riba; riba ya fedha,
riba ya vyakula, riba ya kitu cho chote kikopeshwacho kwa riba; 20 mgeni waweza kumkopesha kwa riba, ila usimkopeshe ndugu
yako kwa riba; ili Bwana, Mungu wako, apate kukubarikia katika yote utiayo
mkono wako, katika nchi uingiayo kuimiliki.
Lakini wakili alimwambia Kristo “Ni nani ndugu yangu?” sasa wokovu umewafikia Mataifa. Hakuna mtu anayepaswa kumkopesha mwenzake kwa riba kwenye nchi. Mataifa yote yamefunguliwa sasa kwa Ufalme wa Mungu. Wasamaria na Wamisri ni ndugu wa Wayahudi kwa uthamani bora ya imani.
Haiwapasi Yuda kuwakopesha Waefraimu, wala Waefraimu kuwakopesha Wamanase. Hakutakuwa na utaratibu wa kukopesha fedha kwa faida kipindi cha milenia ya Mungu. Kukopesha kutakuwa ni kati ya mataifa kwa ajili ya kufanya biashara na kusaidia.
Ufafanuzi wa
Kristo kwenye Injili ya Mathayo 25:27 naLuka 19:23 haupaswi kuchukuliwa kuwa
alikuwa anahalalisha tendo hili la kuchukua riba. Tendo hili limekatazwa na Mungu kwa wazi
Tendo la kukopesha fedha kwa kurudishiwa na faida ni kutoza riba na Mungu ameliharimisha tendo hili na amehesabu kuwa ni haramu wale wote wafanyao hivyo. Kwa masuala ya kifedha, watu wanaweza kutoza ada kwa ajili ya huduma na sio zaidi yake. Inapohusiana na masuala ya kimahesabu kwa namna ya kujipatia faida (huwa sawa na riba au wizi), basi inabidi irejeshwe, kwa mujibu wa sheria ya torati inayoelezea masuala ya wizi ambao ni uvunjaji wa amri ya tisa. Kipindi cha utawala wa Masihi kila mtu atakayekpesha kitu chochote na kupenda kurudishiwa na faida juu yake ataletwa hukumuni na kuamriwa kulipa kwa mujibu w adhabu inayohusiana na wizi huo na faida aliyoipata kiudhalimu.
Madeni ma maachilio
Inahusiana na kulinda makatazo dhidi ya riba ni maachilio ya mwaka wa Sabato ambao kwao madeni yote huachiliwa na kusamehewa.
Kumbukumbu la Torati 15:1-23 Kila miaka saba,
mwisho wake, fanya maachilio. 2 Na jinsi ya maachilio
ni hii, kila mkopeshaji na akiache alichomkopesha mwenziwe, wala asimlipize
mwenziwe wala nduguye; kwa kuwa imepigwa mbiu ya maachilio ya Bwana. 3 Waweza kumtoza mgeni; lakini kila uwiacho kwa nduguyo
mkono wako utamwachilia. 4 Lakini hawatakuwako
maskini kwenu; (kwa kuwa Bwana atakubarikia kweli katika nchi akupayo Bwana,
Mungu wako, uimiliki, iwe urithi wako;) 5 kwamba
utaisikiza tu kwa bidii sauti ya Bwana, Mungu wako, uyatunze maagizo haya yote
nikuagizayo leo, kuyafanya. 6 Kwani Bwana, Mungu
wako, atakubarikia, kama alivyokuahidi; nawe utakopesha mataifa mengi, lakini
hutakopa; tena utayatawala mataifa mengi, usitawaliwe na wao. 7 Kama akiwapo mtu maskini pamoja nawe, nduguzo mmojawapo,
ndani ya malango yako mojawapo, katika nchi yako akupayo Bwana, Mungu wako,
usifanye moyo wako kuwa mgumu, wala usimfumbie mkono wako nduguyo maskini; 8 lakini mfumbulie mkono wako kwa kweli, umkopeshe kwa
kweli yatoshayo haja yake katika ahitajiayo. 9 Jitunze,
msiwe na neno lisilofaa moyoni mwako, kusema, Umekaribia mwaka wa saba, mwaka
wa maachilio; jicho lako likawa ovu juu ya nduguyo usimpe kitu; naye akamlilia
Bwana juu yako, ikawa ni dhambi kwako. 10 Mpe
kwa kweli, wala moyo wako usisikitike utakapompa; kwa kuwa atakubarikia Bwana,
Mungu wako, kwa neno hili katika kazi yako yote, na katika kila utakalotia
mkono wako. 11 Kwa maana maskini hawatakoma katika nchi
milele; ndipo ninakuamuru na kukuambia, Mfumbulie kwa kweli mkono wako nduguyo,
mhitaji wako, maskini wako, katika nchi yako. 12 Ikiwa
nduguyo, mume wa Kiebrania, au mwanamke wa Kiebrania, akiuzwa kwako, naye
amekutumikia miaka sita; basi mwaka wa saba mwache huru aondoke kwako. 13 Nawe utakapomwacha huru aondoke kwako, usimwache aende
zake mikono mitupu; 14 umwangalie kwa wema
katika kundi lako, na sakafu yako ya nafaka, na kinu chako cha divai; mpe kama
alivyokubarikia Bwana, Mungu wako. 15 Nawe kumbuka kwamba
ulikuwa mtumwa katika nchi ya Misri, akakukomboa Bwana, Mungu wako; kwa hiyo
mimi nakuamuru neno hili hivi leo. 16 Hata itakuwa,
akikuambia, Siondoki kwako; kwa sababu akupenda wewe na nyumba yako, kwa kuwa
yu hali njema kwako; 17 ndipo utwae uma,
uupenyeze katika sikio lake uingie katika ubao wa mlango, naye atakuwa mtumishi
wako milele. Na kijakazi chako naye mfanye vivyo. 18 Wala
usione ugumu, utakapomwacha huru kuondoka kwako; kwani amekutumikia miaka sita
kwa ujira mara mbili wa mwajiriwa; na Bwana, Mungu wako, atakubarikia kwa yote
utakayofanya. 19 Wazaliwa wa kwanza waume wote wazaliwao
katika kundi lako la ng'ombe na la kondoo, uwatakase kwa Bwana, Mungu wako;
usifanye kazi kwa mzaliwa wa kwanza wa ng'ombe wako, wala usimkate manyoya
mzaliwa wa kwanza wa kundi lako la kondoo. 20 Utamla
mbele za Bwana, Mungu wako, mwaka hata mwaka mahali atakapochagua Bwana, wewe
na nyumba yako. 21 Lakini akiwa na kilema, akichechea, au
akiwa kipofu, au mwenye kilema kibaya cho chote, usimsongezee Bwana, Mungu
wako, sadaka. 22 Utamla ndani ya malango yako; wasio
tohara na wenye tohara pia watakula, kama unavyokula paa na kulungu. 23 Pamoja na haya usile damu yake; uimwage nchi kama maji.
Utaratibu wote huu umewekwa ili kumsamehe kila mmoja kutokana ma madeni na kumuachilia kutoka kwenye kazi nguvu ya utumwa, amri inayotekelezwa katika kila mwaka wa saba wa mzunguko wa kalenda. Kushindwa kuitekeleza amri hii ni kunachukuliwa sawa na kufanya uovu mkuu na kudharau au kudhalilisha uhuru wa kila mtu na taifa kwa mujibu wa Torati ya Mungu. Uamuzi wa kubakia utumwani ni wa mtu binafsi yake na ni udhaifu wa mtu binafsi yake ndio utakaompelekea kukataa fursa hii muhimu anayopewa kwenye utaratibu huu.
Dhana nzima ni kwamba sadaka ya hiyari itolewayo ya mnyama mkamilifu na asiye na waa lolote sio sehemu ya malimbuko ya kwanza na inaweza kuliwa ndani ya malango yetu. Kwa maneno mengine ni kusema kwamba, hayapo kwenye sehemu ya matoleo ya zaka, ambayo kwayo yanawakilisha ashirio la wateule.
Kuiba vitu vya wajane, yatima na wageni
Umiliki na haki ya kumiliki huendana na matarajio. Kila mtu ana matarajio ya kuruhusiwa kwa kiasi fulani na mhimu maishani mwake. Tumejonea kwamba Wamataifa wanamatarajio ya halali ya kuwa na sehemu katika milki ya Israeli, ikiwa ni moja ya mipango yake Mungu. Wamataifa hawa watajifunza kututumainia sisi na mamlaka iliyofanywa na kuanzishwa na Mungu chini ya Masihi (sawa na inavyosema Mwanzo 39:20-23; 40:3,5; 42:16,19; Mathayo 12:21; Warumi 15:12). Hii ifatokea kwa namna ambayo siyo ya kudhalilisha mamlaka ya Mungu katika kuwashughulikia walio dhaifu na yatima, masikini na wageni.
Hatutakiwi kumdhulumu mgeni yeyote, au mjane,
au yatima, kwa kuw Mungu atawasikia kilio chao na
kuwafanya wajane wake wa wale wanaodhulumu na watoto wao kuwa yatima kwa maafa
yatakayoletwa na vita (Kutoka 22: 21-24; 23:9). Hatupaswi kumtenga na kumbagua au kumchukia mgeni bali tumpende na kumruhusu
akae kwenye nchi yetu na miongoni mwetu, na tunapaswa kumpenda
Kuwaibia masikini kwa
kuweka nadhiri au ahadi
Hatupaswi kuchukua
kitu chochote kutoka kwa masikini kuwa ni poni kwa
ajili ya madeni yake, kwa kuchukua vitu vinavyoyahusu maisha yake, kiwango cha
maisha
Kumbukumbu la Torati 24:10-14 Umkopeshapo jirani yako cho chote
kikopeshwacho usiingie katika nyumba yake kwenda kutwaa rehani kwake. 11 Simama nje, yule umkopeshaye akuletee nje ile rehani. 12 Naye akiwa ni mtu maskini, usilale na rehani yake. 13 Sharti umrudishie rehani lichwapo jua, apate kulala na
mavazi yake, na kukubarikia; nayo itakuwa ni haki kwako mbele za Bwana, Mungu
wako. 14Usimwonee mtumishi mwenye ujira aliye
maskini na uhitaji, kama ni wa nduguzo, au kama ni wageni wako mmojawapo walio
katika nchi yako, ndani ya malango yako;
Hapa tunalazimisha malipo ya shuruti kwa mwajiriwa na amri ionekanayo hapa haimaanishi kumfanyia dhuluma mtu huyo.
Kuingia kwa shuruti au pasipo kukaribishwa au kualikwa na mkopaji kwenye nyumba yake kwa nia ya kumdai kumekatazwa. Mambo yote yanapaswa yafanyike kwa mujibu wa sheria.
Kuwatunza au kuwahudumia masikini
Maagizo ya shetia yanaenda hadi kwenye masuala ya kuwahudumia masikini, kuliko kuwaacha tu na kukwepa au kuepuka kuwahudumia na kuwatendea vibaya.
Mahudhui ya torati yanaonyesha jinsi Mungu anavyowakemea wale wanalalamika kwa kukosa kufanya biashara siku za Mwandamo wa Mwezi Mpya na Sabato hadi zitakapopita. Kwa hiyo, katika siku hizi za mwisho Israeli ambayo inaonyeshwa kwa lugha picha ya kikapu cha matunda ya majira ya hari.
Amosi 8:1-8 Haya ndiyo aliyonionyesha Bwana MUNGU; tazama, kikapu cha matunda ya wakati wa hari. 2 Akaniambia, Amosii, unaona nini? Nikasema, Naona kikapu cha matunda ya wakati wa hari. Ndipo Bwana akaniambia, Mwisho wao umewajilia watu wangu Israeli; sitawapita tena kamwe. 3 Tena nyimbo za hekaluni zitakuwa vilio siku ile, asema Bwana MUNGU; mizoga itakuwa mingi; kila mahali wataitupa, wakinyamaza kimya. 4 Lisikieni hili, ninyi mnaopenda kuwameza wahitaji, na kuwakomesha maskini wa nchi, 5 mkisema, Mwezi mpya utaondoka lini, tupate kuuza nafaka? Na sabato nayo, tupate kuandika ngano? Mkiipunguza efa na kuiongeza shekeli, mkidanganya watu kwa mizani ya udanganyifu; 6 tupate kuwanunua maskini kwa fedha, na wahitaji kwa jozi ya viatu; na kuziuza takataka za ngano. 7 Bwana ameapa kwa fahari ya Yakobo, Hakika sitazisahau kamwe kazi zao hata mojawapo. 8 Kwa ajili ya hayo, je! Haitatetemeka nchi, na kuomboleza kila mtu akaaye ndani yake? Naam, itainuka yote pia kama huo Mto; nayo itataabika na kupwa tena kama Mto wa Misri
(sawa na Nehemia 5:1-13)
Kwa mtazamo huu,
tendo la kuwatunza masikini ni wajibu muhimu na uliosisitizwa
Luka 6:30-34 Mpe kila akuombaye, na akunyang'anyaye vitu vyako, usitake akurudishie. 31 Na kama mnavyotaka watu wawatendee ninyi, watendeeni vivyo hivyo. 32 Maana mkiwapenda wale wawapendao ninyi, mwaonyesha fadhili gani? Kwa kuwa hata wenye dhambi huwapenda wale wawapendao. 33 Nanyi mkiwatendea mema wale wawatendeao mema, mwaonyesha fadhili gani? Hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo. 34 Na mkiwakopesha watu huku mkitumaini kupata kitu kwao, mwaonyesha fadhili gani? Hata wenye dhambi huwakopesha wenye dhambi, ili warudishiwe vile vile.
Tuwaonapo watu
wenye uhitaji, kila mmoja wetu anawajibika kumkopesha na
asiulizie kuhusu lini atarudishiwa. Na vivyo hivyo, wale wanaokopa wanaowajibu wa kurejesha na kuwakopesha wengine wenye uhitaji zaidi
Tunapakiwa kuwapenda maadui zetu pia (Luka 6:35); na kuwalinda wanaokimbilia kwetu (Kumbukumbu la Torati 23:15-16). Wale ambao hawawadhulumu masikini, au ambao hawajachukua riba au faida itokanayo na kukopesha kwao, wataishi maisha marefu (Ezekieli 18:17; sawa na Ayubu 24:2-10; Mithali 22:22, 23).
Kukomboa, Marejesho na Marekebisho
Kusudi la la kutolewa kwa sheria zote hizi zinazoendana na migawanyo ya Kuzuia na kisha Kukomboa, au Marejesho na Marekebisho.
Waefeso 4:28 Mwibaji asiibe tena; bali afadhali afanye juhudi, akitenda kazi iliyo nzuri kwa mikono yake mwenyewe, apate kuwa na kitu cha kumgawia mhitaji.
Kwa hiyo, hata hivyo, kuna amri mahsusi zinazohusiana na adhabu na malipizi zinazohusiana na mambo ya wizi pia.
Matendo ya hila na ulaghai yanasamehewa pia. Kwa hiyo, tendo la kudanganya na ambalo liko kinyume na maagizo ya torati linapaswa kutubiwa.
Luka 17:4 Na
Dhambi zilizofanywa bila kukusudiwa na kwa ujinga zimeorodheshwa na kufafanuliwa kwenye kitabu cha Mambo ya Walawi sura za 4 na 5. Dhumuni la kuamriwa kutolewa kwa sadaka ni kufanya toba ya wazi na faini kwa ajili ya mambo yaliyofanywa kwa mikono. Kristo alitulipia deni la adhabu kwa dhambi zetu na hii isingewezekana kulilipwa yote kikamilifu kwa damu ya wanyama. Katika siku za mwisho, utaratibu utarejeshwa tena, dhabihu zitatolewa na adhabu zitarejeshwa tena na kutumika. Kwa hiyo, hakutakuwa na jinsi yoyote ya kusimamisha matendo ya utoaji wa dhabihu kwa Kristo, bali ni kwa namna ya kutoa adhabu na kufanya toba ya dhahiri tu (sawa na Hesabu 15:28). Na itakapofanyw ahivyo, mtenda dhabi atakuwa amesamehewa.
Kwa wale wanaopenda
“Na kule kuomba kwa imani kutamwokoa mgonjwa yule, na Bwana atamwinua; hata ikiwa amefanya dhambi, atasamehewa” (Yakobo 5:15). Kwa hiyo, magonjwa ni mambo yanayotokana na dhambi. Kwa hiyo, dhambi zote zinasamehewa kwa jina tukufu la Mungu katika Yesu Kristo (1Yohana 2:12)
Kwa hiyo mtu anayepuuzia msamaha unaotokana
na toba anafanya dhambi mbaya
Maombi au sala ya
Bwana yana sehemu inayosema “Baba, utusamehe sisi
Tendo la kumuiba mke wa
mtu linahusika pia na makosa haya ya kutozwa faini. Abimeleki alijikuta
akiadhibiwa ingawaje hakuwa hata amewahi kulala na
Sara, bali alikuwa amemchukua tu, kwa kuwa Abrahamu alisema kuwa alikuwa ni
dada yake tu. Ingawaa maneno yake yalikuwa ni ya
kweli, bali yalikuwa yameficha kweli nyingine ya muhimu, na ambayo ilimsababishia
Abimeleki aingie kwenye hali ambayo yeye mwenyewe pamoja na taifa
Tumeona kwamba aina yoyote ya wizi ufanywao
kwa kuokota au kwa kujitwalia kitu cha mtu pasipo ridhaa yake, au kwa kuchukua
kwa nguvu na kukificha ni matendo mabaya yasiyokubalika na yaliyoharamishwa na
sheria na kinatakiwa kirejeshwe kwa mwenyewe kikiwa na nyongeza ya sehemu ya
tano ya thamani yake asilia, na gharama ya sadaka itakayotolewa kwa Mungu
kupitia kwa makuhani wake itaongezewa pia kiasi kama hicho pia (sawa na
isemavyo Mambo ya Walawi 6:1-5 hapo juu). Inapotokea kuwa kuna kitu
kimechukuliwa au kupotea na hatimaye kuuawa, au
kimeuzwa, au kimeraruliwa kwa namna nyingine yoyote ile, ndipo thamani ya kitu
hicho italipwa kwa kiasi cha juu kwa ajili ya adhabu au faini. Ikitokea kutokea
hayo kwa ng’ombe, basi malipo yake yatakuwa ni
kutolewa watano kwa ajili ya mmoja; au
Mwizi atatakiwa kufanya marejesho kamili,
vinginevyo anaweza kuuzwa kuwa mtumwa kwa ajili ya
wizi wake. Tendo la kupuuzia uharibifu uliofanywa na
unguzo la moto kunachukuliwa pia
Kutoka 22:1-15 Mtu akiiba ng'ombe au kondoo, na kumchinja, au kumwuza; atalipa ng'ombe watano badala ya ng'ombe mmoja, na kondoo wanne badala ya kondoo mmoja. 2 Mwivi akipatikana akiwa yu hali ya kuvunja mahali, naye akapigwa hata akafa, hapatakuwa na malipizo ya damu kwa ajili yake. 3 Lakini kama jua limekucha juu yake, ndipo patakuwa na malipizo ya damu kwa ajili yake; ingempasa kutoa malipo kamili; akiwa hana kitu, na auzwe kwa ajili ya wivi wake. 4 Kama hicho kitu kilichoibwa chapatikana hai mkononi mwake, kama ni ng'ombe, au punda, au kondoo; atalipa thamani yake mara mbili. 5 Mtu akilisha katika shamba, au shamba la mizabibu, akimwacha mnyama wake, akala katika shamba la mtu mwingine; atalipa katika vitu vilivyo vizuri vya shamba lake mwenyewe, au vya mizabibu yake. 6 Ukiwaka moto, na kushika penye miiba, na ngano zilizofungwa miganda, au ngano ambazo hazijakatwa, au shamba, likateketea; yeye aliyeuwasha huo moto lazima atalipa. 7 Mtu akimpa mwenziwe amana ya fedha au vitu vingine amtunzie, na vitu vile vikaibwa katika nyumba ya mtu huyo; mwivi akipatikana, atalipa thamani yake mara mbili. 8 Mwivi asipopatikana, ndipo mwenye nyumba atakaribia mbele ya Mungu, ionekane kwamba si yeye aliyetia mkono na kutwaa vyombo vya mwenziwe. 9 Kila jambo la kukosana, kama ni la ng'ombe, au la punda, au la kondoo, au la mavazi, au la kitu cho chote kilichopotea, ambacho mtu mmoja asema ni chake, hilo jambo la watu wote wawili litaletwa mbele ya Mungu; na yeye atakayehukumiwa na Mungu kuwa ni mkosa atamlipa mwenziwe thamani yake mara mbili. 10 Mtu akimpa mwenziwe punda, au ng'ombe, au kondoo, au mnyama ye yote, ili amtunzie; yule mnyama akafa, au akaumia, au akachukuliwa mtu asione; 11 patakuwa na kiapo cha Bwana katikati ya watu hao wawili, kwamba alipeleka mkono wake kutwaa mali ya mwenziwe, na mwenyewe atakubali hayo, wala hatalipa. 12 Lakini kwamba aliibiwa mnyama huyo, sharti amlipe yule mwenyewe. 13 Kwamba aliraruliwa na mnyama mkali, na amlete uwe ushahidi; hatalipa kwa ajili ya mnyama aliyeraruliwa. 14 Mtu akiazima mnyama kwa mwenziwe, naye akaumia huyo mnyama, au akafa, mwenyewe asipokuwapo, lazima atalipa. 15 Kama huyo mwenyewe alikuwapo pamoja na mnyama wake, hatalipa; kama ni mnyama aliyeajiriwa, alikwenda kwa ajili ya ujira wake.
Sheria ihusuyo marejesho ya vitu vilivyouawa
kikiwa kwenye uangalizi au kimeazimwa yanategemea jinsi ya marejesho na sheria zinazohusu uharibifu uliotokana na uzembe. Kwa
hiyo masharti ya kufanya kwa ajili ya uangalizi wa
Kutengwa maalumu kwa
ajili ya nadhiri au kanuni za uwajibiko
Mambo ya Walawi 27:1-34 Kisha Bwana akanena na Musa, na kumwambia, 2 Nena
na wana wa Israeli, uwaambie, Hapo mtu atakapoondoa nadhiri, hizo nafsi za watu
zitakuwa kwa Bwana,
Dhana nzima ya utoaji wa
zaka na kikombozi ni kuonyesha kwamba wale waliojitoa nafsi zao kwa Bwana wa
wanyama
Taratibu na
kanuni za kimahakama
Amri zote zinazohusiana na kumpeleka mtu kwenye mahakama ya kata au kumuweka kizuizini zinategemea jinsi mahakama inavyoamua (sawa na Mambo ya Walawi 24:12; Hesabu 15:34; 1Wafalmw 22:27). Kusiweko na ucheleweshaji wa kutoa hukumu au maamuzi bila sababu ya msingi, bali haki inatakiwa iangaliwe na kuheshimiwa.
Kunapaswa kuwe na viwango vya maamuzi, ili kwamba mambo yote yashughulikiwe kikamilifu na kwa haki na kwa viwango vyake halisia (Kutoka 18:12-24). Kusiweko na mtu atakayemfanyia mwenzake jambo ambalo hakustahili au hapendi kufanyiwa yeye mwenyewe (Mathayo 7:12). Thawabu ya kila mmoja itamrudia kichwani mwake mwenyewe (Obadia 15).
Mwaka wa Sabato ni
mwaka wa maachilio pia na unapaswa uchukuliwe hivyo na kila mahakama na
taratibu zake ziheshimu mahudhui yake, kwa mikataba yote na mambo
yaliyosababisha uharibifu na hasara. Mambo yote yaliyosababisha hasara na
gharama zake yanapaswa yahusishwe kwenye mwaka wa yubile na huu wa Sabato na hakuna
zawadi inayopaswa kutolewa inayoendana na mahudhui mazima ya mwaka wa yubile na
taratibu zake (soma jarida la Torati na Amri ya Nne (Na. 250) [Law
and the Fourth Commandment (No. 256)].
Msamaha na
Maachilio
Tunapaswa kuwasamehe wote wote tunaowadai madeni katika Mwaka wa Maachilio. Hatupaswi kumfanya mtu kuwa mtumwa wa kujikia katika hisia zake wala wa madeni ya fedha kwa kumfanya awe mtumwa wetu atutumikie au kwa ajili ya madeni tunayomdai (soma Kumbukumbu la Torati 15:1-18 hapo juu).
Katika milki za urithi wetu zote ambazo Mungu
ametupa, watumishi wa kanisa au makuhani waliochaguliwa
na kuwekwa wakfu wanaotutumikia, na hao wanapaswa kuhudimiwa au kupewa sehemu
Kumbukumbu la Torati 18:1-8 Makuhani Walawi, kabila yote ya Lawi,
wasiwe na fungu wala urithi pamoja na Israeli;
watakula sadaka za Bwana zifanywazo kwa moto, na urithi wake. 2 Wala wasiwe na urithi kati ya ndugu zao; Bwana ndiye
urithi wao, kama alivyowaambia. 3 Na hii itakuwa haki
ya makuhani kwa watu hao wasongezao sadaka, ikiwa ni ng'ombe au kondoo wampe
kuhani mkono, na mashavu mawili, na tumbo. 4 Malimbuko
ya nafaka zako, na divai yako, na mafuta yako, na manyoya ya kwanza ya kondoo
zako, umpe. 5 Kwani Bwana, Mungu wako, amemchagua katika
kabila zako zote, asimame atumike kwa jina la Bwana, yeye na wanawe milele. 6 Na akija Mlawi atokaye katika malango yako mojawapo,
katika Israeli yote alipokuwa akikaa, akaja kwa mapenzi yote ya nafsi yake
mahali atakapochagua Bwana; 7 na atumike kwa jina
la Bwana, Mungu wake, kama wafanyavyo ndugu zake wote, Walawi wasimamao huko
mbele za Bwana. 8 Wawe na fungu sawasawa la kula, pamoja na
haya yaliyomfikilia kwa kuuzwa urithi wa baba zake.
Walawi walitengwa kando na sasa makuhani walio mfano wa Melkizedeki ndio pia wameitwa na kuchaguliwa (soma Waebrania 7:1-8:13).
Hesabu 1:47 Lakini Walawi kwa
kuiandama kabila ya baba zao hawakuhesabiwa katika watu hao.
Kuhani ameteuliwa na Mungu, wakiwa ni wateule kamili wa wateule wa Mungu na makuhani.
Hesabu 8:13-19 Kisha utawaweka Walawi mbele ya
Haruni, na mbele ya wanawe na kuwasongeza kwa Bwana
wawe sadaka ya kutikiswa. 14 Ndivyo
utakavyowatenga Walawi na kuwatoa katika wana wa Israeli; na Walawi watakuwa
wangu. 15 Kisha baadaye Walawi wataingia ndani, ili
wafanye utumishi wa hema ya kukutania; nawe utawatakasa, na kuwasongeza wawe
sadaka ya kutikiswa. 16 Kwa kuwa nimepewa
kabisa mimi watu hawa kutoka katika wana wa Israeli; badala ya wote wafunguao
mimba, maana, wazaliwa wa kwanza wa wana wa Israeli wote, nimewatwaa wawe
wangu. 17 Kwa kuwa wazaliwa wa kwanza wote katika
wana wa Israeli ni wangu, wa wanadamu na wa wanyama; siku hiyo niliyowapiga
wazaliwa wa kwanza wote katika nchi ya Misri niliwatakasa kwa ajili yangu
mwenyewe. 18 Nami nimewatwaa Walawi badala ya wazaliwa
wa kwanza wote walio katika wana wa Israeli. 19 Nami
nimempa Haruni hao Walawi wawe kipawa chake yeye na wanawe, kutoka kwa wana wa
Israeli, ili watumike utumishi wa wana wa Israeli katika hema ya kukutania,
kisha wafanye upatanisho kwa ajili ya wana wa Israeli; ili kusiwe na maradhi
kati ya wana wa Israeli, hapo wana wa Israeli watakapopakaribia mahali
patakatifu.
Walawi wanashughulika na mambo ya kanisa na wanawakilisha taifa zima la Israeli wakiwa ni wazaliwa wa kwanza wa Mungu. Na ndiyo maana kwa sasa kanisa ni mfano wa mzaliwa wa kwanza wa mataifa yote na wokovu wa ulimwengu.
Hesabu 18:15-18 Kila kifunguacho tumbo, cha wenye mwili wote
watakachomsongezea Bwana cha wanadamu na cha wanyama,
ni chako; lakini mzaliwa wa kwanza wa binadamu, huna budi utamkomboa, na
mzaliwa wa kwanza wa wanyama wasio
Kwenye sheria zote za sadaka, tunatakiwa kukitumia kile kilichowekwa wakfu na Bwana kwa matumizi sahihi, na hatupaswi kukitumia vibaya kabla hakijatolewa kwa Mungu. Kumzuilia kutomtoa mzaliwa wa kwanza ni sawa na kuiba, na kwa hiyo wateule ambao wnakwenda kuwa wafalme na makuhani hawataweza kuzuiliwa na Mungu. Kwa hiyo, wanyama wenye mawaa wanaweza kuliwa, bali ni wale wasio na mawaa tu ndio wanatakiwa kutengwa ili kuwekwa wakfu kwa Mungu. Hii inaonyesha ukweli kwamba wateule wananguo zao ndefu za kanzu nyeupe kwenye damu ya mwana kondoo na wamewekwa wakfu wamtumikie Mungu kwa Kristo wake (soma Kumbukumbu la Torati 15:19-23 hapo juu).
Kumbukumbu la Torati 26:1-19 Pakiwa na mashindano kati ya watu,
wakaenda maamuzini, na hao waamuzi wakawaamua; na wampe haki mwenye haki, na
wamhukumie makosa yule mwovu; 2 na iwe, ikimpasa
kupigwa yule mwovu, alazwe chini na mwamuzi, na kupigwa mbele ya uso wake, kwa
kadiri ya uovu wake, kwa kuhesabu. 3 Aweza kumpiga fimbo
arobaini asizidishe asije akaonekana nduguyo kuwa amedharauliwa kwako,
azidishapo kwa kumpiga fimbo nyingi juu ya hizi. 4 Ng'ombe
apurapo nafaka usimfunge kinywa. 5 Watakapoketi pamoja
mtu na nduguye, mmojawapo akafa, wala hana mwana wa kiume, mke wa yule
aliyekufa asiolewe nje na mgeni; nduguye yule mumewe amwingilie amweke kwake
awe mkewe, kumfanyia yampasayo nduguye mumewe. 6 Na
iwe, yule mzaliwa wa kwanza atakayemzaa, amfuate nduguye aliyekufa kwa jina
lake, lisije likafutwa jina lake katika Israeli. 7 Na
yule mtu kwamba hapendi kumtwaa mke wa nduguye, aende huyo mke wa nduguye
langoni kwa wazee, akawaambie, Nduguye mume wangu yuakataa kumsimamishia
nduguye jina katika Israeli, hataki kunitimizia yampasayo nduguye mume wangu. 8 Ndipo wamwite wazee wa mji wake waseme naye; naye
akisimama na kusema, Sitaki mimi kumtwaa mwanamke huyu, 9 ndipo
mke wa nduguye amkaribie mbele ya hao wazee, amvue kiatu chake mguuni mwake, na
kumtemea mate ya uso; kisha atajibu yule mwanamke, aseme, Mume akataaye
kumjengea nduguye nyumba yake na afanywe hivi. 10 Na
jina lake katika Israeli liitwe, Nyumba ya mvuliwa kiatu. 11 Washindanapo
waume wao kwa wao, akakaribia mke wa mmojawapo, ili kumwokoa mumewe katika
mkono wa ampigaye, yule mke akatoa mkono wake, na kumkamata tupu yake; 12 umkate ule mkono wake, lisiwe na huruma jicho lako. 13 Usiwe na mawe ya kupimia mbalimbali, kubwa na dogo,
katika mfuko wako. 14 Usiwe na vipimo
mbalimbali, kikubwa na kidogo, katika nyumba yako. 15 Uwe
na jiwe timilifu la haki, uwe na kipimo kitimilifu cha haki; zipate kuwa nyingi
siku zako, katika nchi akupayo Bwana, Mungu wako. 16 Kwa
kuwa wote wayatendao mambo kama haya, wote watendao yasiyo haki, ni machukizo
kwa Bwana, Mungu wako. 17 Kumbuka aliyokufanya
Amaleki katika njia mlipokuwa mkitoka Misri; 18 jinsi
alivyokukuta katika njia, akapiga katika watu wako walioachwa nyuma, wote
waliokuwa wanyonge nyuma yako, ulipokuwa umechoka na kuzimia; wala asimche
Mungu. 19 Basi itakuwa, hapo atakapokwisha
kukupumzisha Bwana, Mungu wako, katika adui zako wote walio kando-kando, katika
nchi akupayo Bwana, Mungu wako, iwe urithi uimiliki, ndipo uufute ukumbuko wa
Amaleki chini ya mbingu; usisahau.
Kwa hiyo, Zaka na Sikukuu kwa hiyo ni za muhimu na lazima na zinatoa ashirio
la marejesho. Kutozitunza hizi Sikukuu na kutoa zaka
ni wizi, na unamtenga mtu huyo mbali na ufufuo wa kwanza. Zaka na sadaka hizi hazipaswi zitumike kwa ajili ya wafu
Maafikiano na
uhuru
Kila mmjoa wetu amenunuliwa kwa walipo ya gharama kubwa ili kwamba tusiwe watumwa au
watumishi wa mtu yeyote yule tena (1Wakorintho 7:23). Sisi sio watumwa wala
watumishi wa mtu yeyote tena na hatupaswi kuwafanya
wengine kuwa watumwa au watumishi wetu. Tumeamriwa kuwa
tusiibe. Tendo la kuwanyang’anya watu uhuru au haki
Kushindwa kuafikiana: kwa kupuuzia
au kwa makusudi
Kushindwa kuafikiana na kila utaratibu wa kimahakama zinazofanana au kwendana sawa na sheria au amri za Mungu kunaweza kupelekea mtu kuhukumiwa adhabu ya kifo. Kila mtu anatakiwa ahakikishe kuwa sheria zote zinaheshimiwa. Amri ya nane haina udhuru wa kuivunja. Kukosa kushughulikia raslimali ya mwingine ni kupuuzia waraka na nia iliyo kwenye sheria.
Kumbukumbu la Torati 22:1-4 Umwonapo ng'ombe wa nduguyo au kondoo wake akipotea, usijifiche
Sambamba na
Hakuna mtu anayerususiwa kumchukiza au
kumfanyia uhalifu mwingine kwa kuvunja mojawapo ya amri
hizi (Mithali 28:17; pia soma Luka 10:29-30). Kuficha kitu alichoibiwa mtu kwa hila, ndipo inaashiria kwa mwingine kuwa ni udanganyifu
au utapeli, na ni aina mbaya
Kristo alisema kwamba Mafarusayo walitoa
zaka ya jira na mnaanaa, lakini bado walikuwa kwenye hukumu
kwa kutokuwa na upendo wa dhati kwa Mungu.
Sheria za umilikaji wa mali na amri ya nane zina nia ya kumlinda mtu binafsi kwenye jamii yake, na inalinda jamii kutokana na matendo ya mtu binafsi mali sio mwisho wa kila jambo kwa ilivyo yenyewe tu, bali ni kitendea kazi ambacho kinaweza kutumiwa katika kuweka mambo sawa ya watu wetu.
Kupata
Hatima ya uhalifu na hukumu
Kumbukumbu la Torati 24:7 Mtu akionekana anamwiba
nduguze mmojawapo katika wana wa Israeli, akamfanya
Kwenye maandiko tumeona kwamba tendo la kuteka nyara hukumu yake ni kifo; hata hovyo, kuna dhana pana zaidi kwenye andiko hili linalobeba maana na dhana ya kufanya biashara kila mmoja na mwingine. Kwa hiyo mashirika yale yanayopenda kufanya kazi ya kuandikisha watu na kuwaingiza jeshini na kuwauza wengine mbali na masuala ya mtandao wa kibiashara, wote hawa wanaenda kinyume na maagizo ya Torati hii ya Mungu, na watu wanaohusika kufanya hivyo wanapaswa kutubu. Hakuna mtu anayediriki kuiba au kutwaa fedha kwa kuthamanisha maisha ya mtu mwingine ambaye anaweza kuurithi Ufalme wa Mungu.
Sheria ya umilikaji wa
q