Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu

[268]

 

 

Vita Vya Waunitariani Na Watrinitariani

(Toleo La 2.0 19980918-20000115-20040709)

 

Wakati Constantine alipoingia madarakani kuwa mfalme alijaribu kuiunganisha Dola ya Rumi iwe na mfumo na imani moja na alitaka kufanya hivyo kwa kuutumia Ukristo. Kile alichoshindwa kukigundua ni kwamba utendaji kazi wa Warumi haukuwa umeeleweka na kujikita miongoni mwa watu wengi kwa kuwa haukujulikana tangu kale na kwamba mafundisho ya Kanisa yalikuwa yamechanganywa kiutata kutokana na wale waliokuwa kwenye kanisa la kwanza asilia. Mchanganyo huu ulipelekea kuwepo kwa mlolongo wa mapigano kadha wa kadha katikati ya utendaji kazi wake ambao pia ulipelekea kuwepo kwa makosa ya kimafundisho. Matokeo ya mwisho yaliyotokana na makosa haya ya kimafundisho na tama ya kuchukua maongozi ya kisiasa kwa kutumia dini yalikuwa ni mwendelezo wa vita visivyokoma na mateso yaliyodumu kwa miaka mia saba sasa. Makosa haya pamoja na migongano yake vitapelekea kuwepo kwa uharibifu mkubwa sana na maangamizo makubwa ya hii dunia.

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

(Hati Miliki © 1998, 2000, 2014 Wade Cox)

 (Tr. 2014)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:

http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 

 


Vita Vya Waunitariani na Watrinitariani


 


Mabishano ya Waathanasi na Waariani Kutoka Nikea

Baada ya Tangazo au Azimio la Uvumiliano la Milan la mwaka 314, mfalme Constantine alitanza mbinu za kuutumia Ukristo kwa malengo ya kisiasa na hasa akilenga au kukusudia kuutumia ili kusaidia matendo na shughuli za Kirumi, ambao hatimaye ulikuja kukubaliana na mafundisho ya Athanasius na hatimaye yale ya Wakapadokiani. Imani iliyopo na kukubalika na Kanisa ilichanganika na kunajisika na imani na matendo ya Wanostiki, ikiwa na ushawishi mkubwa wa dini za imani za sirisiri zisizoelezeka vizuri. Constantine aliwasaidia na kuwaunga mkono Waathanasius na imani yao kwa dhana aliyokuwanayo kimakosa kwamba walikuwa wengi na imani yao inaumaarufu mkubwa huko Roma, na ilikuwa ni dini na imani kubwa iliyokuwa kinume ikipingana na Waarius ambayo ilishika dau kwa wengi keenye Sinodi ya Alexandria mgongano uliopelekea kuvuka vita ndani ya dola yake dhidi ya mtawala mweza wake aliyeitwa Licinius na kuzuka ma mapambano kwenye miaka ya 322-323 BK.

 

Baada ya kumshindwa Licinius na kujitangaza mwenyewe kuwa ni Mfalme  wa Dola yote nzima, aliitisha Mtaguso wa Baraza lake huko Nicea mwaka 325 BK, mtaguso uliolenga kuirasmisha na kuiongezea nguvu imani hii ya Waathanasiani (ambayo hatimaye ilikujakuwa ndiyo hii ya Ukatoliki). Msingi wa Ukiri wa Imani ilitungwa na kurasmishwa kwenye Mtaguso huu wa Baraza la Nicea na kujulikana kama ni Ukiri wa Imani wa Nicea, lakini kipindi cha kutangazwa kwake rasmi na kupigwa marufuku aina nyingine zote za imani kiliongezwa hadi walipoitisha Mtaguso mwingine wa Baraza huko Constantinople mwaka 381, lakini kwa kwa ni kwa juhudi kubwa waliupa taswira potofu na endelevu. Mtaguso ule wa Baraza la Nicea ulijulikana kama wa Ukristo unaoamini Utatu. Mwaka 318 Constantine aliitisha kikao cha baraza la maaskofu wote waliokuwapo huho Roma na kutoka maeneo mengineyo na wadesposyni; maaskofu hawa walikuwa wanatoka kwenye familia ya Yesu Kristo. Mwitikio uliotokana na Kanisa la Roma ulikuwa ni wa kukomesha (tazama na soma jarida la Bikira Mariamu na Familia ya Yesu Kristo (Na. 232) [The Virgin Mariam and the Family of Jesus Christ (No. 232)].

 

Kile kilichoitwa Kanuni ya Mtaguso wa Nicea kikakomeshwa. Hatimaye ikaanzishwa myingine iliyosema kuwa ziwepo 20 tu ambazo zilitanguliwa na kuanzishwa kwa ukengeufu kama vile sheria za maisha na taratibu za nyumbani zilizohusu uhusiano na huduma za wazee au makasisi wanaoishi na wanawake, kama vile aheria za maisha ya useja, mateso yanayotokana na kuingizwa kwa sheria za kuwaadhibu wanaopingana na imani ya Utatu (ambao waliitwa kimakosa Waarians) na wale waliokuwa wakimsaidia Licinius; kuanzishwa kwa utaratibu wa kuweka dayosisi na usimamiwaji wake na makasisi na makato kwa makasisi kudai riba; na kuanzishwa kwa maombi ya kufanywa watu wamesimama na ibada za siku ya Jumapili na “Majira ya Pasaka” (ambayo kwa kweli ulikuwa ni mwanzo wa kuanzishwa kwa maadhisho ya Easter badala ya Pasaka). Tamko hili la Ukiri wa Imani ulianzishwa hukohuko Constantinople, na ndiyo huohuo uliofanyika chimbuko la imani ya Ubinitarianism na ambao ni muhimu sana na unatumiwa na watu wanapoanza kuchukua hatua ya kuwaingiza watu kwenye itikadi ya Utatu na ulianzisha imani ya ukengekfu kwamba Kristo alikuwa ni “mwana wa pekee wa Baba” na ambayo indiye aliyehat Christ was the "only begotten of the Father" anaodoa ahadi ya wateule kama wana wa pekee wa Mungu. Athanasius anasema (kwenye kitabu chake cha Ad Afros) kwamba walikuwepo maaskofu takriban 318 waliohudhuria. Arius alionywa na ndiye aliyekuwa mlengwa kwenye Baraza la Mtaguso huu ulioanza takriban tangu tahere 20 Mei 325 BK ulioitishwa na Hosius Muathanasius wa Cordova. Constantine alijiunga kwenye kikao cha Baraza hili tarehe 14 Juni. Ili kufikia muafaka na kuwapndeza, Constantine alienda kwenye divisheni ya Warumi na kuwatia mbaroni maaskofu hadhaa na kuwafukuza kina Arius, Theonas wa Marmarica na Secundus wa Ptolemais na kuwapeleka huko Illyrica. Maandiko ya Arius hatimaye yalichomwa moto na wote watatu walisomea dua ya kuwalaani. Iliazimiwa kuwa siku ya ukumbusho mfano wa Tamko hili la Ukiri wa Imani ufanyike kila siku ya tarehe 19 Juni. Kikao cha Baraza hili la Mtaguso kiliishia tarehe 25 August kwa sherehe na karamu yenye mbwe,mbwe iliyoandaliwa na Constantine mwenyewe akishirikiana na maaskofu waliokuwepo.

 

Miezi mitatu baada ya kwisha kwa Mtaguso huu, Eusebius  wa Nicomedia na Theognius wa Nicea, ambao walilazimishwa kutia saini Tangazo hili la Ukiri wa Imani chini ya shinikizo kubwa/na kutishwa kwa kuttiwa mbaroni na kufukuzwa kwa sababu ya kufuta usemi au kumpinga Theodotus wa Laodicea, ambaye pia alitia saini kwa kushinikizwa na vitisho na kumpinga, akakubali kuachahanayo kuliko kujiunganao.

 

Mwaka 328 BK Constantine baada ya kugundua kuwa kumbe Waathanasius hawakuwa ni kundi kubwa na kwamba walikuwa ni chanzo cha migawanyiko na mateso kwenye Dola yake na akawakumbuka na kuwaita viongozi watano wa Kiunitariani. (Inadhaniwa kuwa miongoni mwao alikuwepo Constantia, mjane wa Licinius. Hata hivyo inawezekana sana kwamba yeye alikuwa ni muumini tu mashuhuri wa imani hii ya Kiunitariani aliyekuwa wa mrengo wa Eusebian au Arian). Tatizo lililopo kwenye imani hii ya Ukristo wa Kiyunitariani ni kwamba ulifuata misingi ya imani ya Biblia na haikuwa inahusisha na mchakato wowote wa kutawala mataifa. Kila taifa lilikuwa pekeyake na liliwajibika kwa viongozi wake lenyewe na kwenye mfumo na imani yao ya kidini waliopo kwenye taifa lile na uhusiano wao ulikuwa ni kati yao na Mungu na kama taifa walimcha na kumtii Mungu na hivyo walibarikiwa. Dola ilijiri na mambo yanayohusu na utawala wa dunia na waongofu wa kanisa la Roma pia walijengwa na mawazo hayo. Kwa hiyo wakaanzisha shirika la kidini lililokusudia kutamalaki mamlaka au utawala wa dunia na isiyovumilia upinzani wowote wa imani na utawala ule. Matokeo yake, imani ya Kanisa la Roma ikachukua na kuingiza imani nyingi za kipagani zilizokuwa zinafundishwa na kutumiwa kwenye dini za mungu jua zz Waariani na uziingiza kwenye Ukristo, ambazo kwamba hakuna mtu anayeiamini Biblia anneweza kufuata imani zote mbili. Na hiki ndicho kiini cha tatizo. Na hii ndiyo sababu iliwafanya waihakachue maandiko ya Biblia kwenye maandiko muhimu na kusababisha utata wa kitafsiri hadi leo na kuharibu ukosoaji wa kisomi, kama ilivyofanyika kwenye mauaji ya halaiki ya Holocaust.

 

Constantine mwenyewe hakuwa amebatizwa kama Mkristo wa imani hii ya Kiathanasian na kwa kweli alikuja kuwa Mkristo kwenye kipindi cha mwisho wa maisha yake, akibatizwa kama Myunitariani na Eusabius wa Nicomedia, ndugu wa Julian, ambaye alikujakuwa ni msaada wake mkubwa mwaka 329 BK. Hakukuwa na kitu kama hicho kwa Wakatoliki wa Roma au kweenye Kanisa Katoliki la Roma katika siku hizo wakati kila mmoja wao alikuwa ni mkatoliki au mdunia kwa kulinganisha na hali ya kanisa. Uyunitariani ulikuwa ni mtindo na imani ya kizamani sana na ndiyo yalikuwa nidiyo mafundisho ya kwanza ya kanisa la mitume na ukwali huo hautaweza kusahaulika kamwe. Makasisi waliokuwa wanapinga maazimio ya Mtaguso wa Nicea (ANF) wote walikuwa ni Wayunitariani na walidumu wakiamini hivyo kwa karne kadhaa mbele (soma jarida la Teolojia ya Mwanzo ya Uungu (Na. 127) [Early Theology of the Godhead (No. 127)]. Ubinitariani ulikuwa ni imani mpyua ambayo ilikuwa na mafundisho mapya na uliendeleza mafundisho yaliyochukuliwa kwenye chimbuko la teolojia ya kipagani ya mungu wa Utatu aliyetokana na ibada za mungu Attis wa Roma na Adonis wa Wayunani. Watrinitariani na imani ya Utrinitariani haikuwepo hapo mwanzoni hadi ulipofika mwaka  381. Constantine II na Constantinius wote hawa walikuwa ni Wayunitariani walioitwa pia kama “Waariani” au “Waeusebiani” na wale waliokuwa baadae Watrinitariani. Vikundi hivi vilipewa majina hayo na Waathanasius, ambao waliwaita Waariani au Waeusabius, majina ambayo wao hawakupenda kuitwa hivyo. Inaonekana kuwa ilikuwa ni mbinu chafu tu ya Waathanasius kuwaita hawa kuwa ni Waarius kutokana na msimamo wake alioutangaza kwa lengo la kuwapunguza nguvu na kuidhalilisha imani yao isikubalike na watu japo ilikuwa ni ya zamani zaidi na ilikuwa kubwa kuliko ile ya Waathanasius.

 

Kama ni kweli kwamba kikundi hiki kiliamini kwamba Kristo ndiye alimuumba Roho Mtakatifu basi hilo litakuwa ni kosa na upotofu mkubwa, ila jambo hili halina ushahidi wowote kwa kuwa hakuna hata andiko lao lolote linaloonyesha kuwa waliamini na kufundisha hivyo. Inawezekana kuwa huenda liliingia kwnye imani au kundi wa Wagoths kama makosa na ni katika kipindi cha baadae sana, likiwa ni matokeo ya makosa ya kuandishwa kisynkretiki ,na imani ya Wakatoliki wa Roma wa kundi la Filioque ya huko Toldeo katika jamii ya wa Visigoths.

 

Mabishano haya ya Waathanasian/na Waarian yalipoeleweka vyema, ndipo walipouunda Ukristo ambao ulifanya kuwepo na tofauti kubwa na uliotegemea muundo wa kiujuzi na ujanja wa kifalsafa. Sayansi ya kibinadamu na elimu ya kimaboleo ya tamaduni za watu ulimwenguni maarufu kama anthropoloji ya kipaleo vilifanyika vieleweke vizuri na watu na huenda viliendelezwa kwa amani na ukimya sana, ili kuzuia vipindi vyote viwili, yaani vya Zama ya Giza na zama za watu Mateso ya Kidini kwa wasiokubaliana na mafundisho. Hebu na tuyatathmini mabishano haya kama ifuatavyo.

 

Wahuasika wakuu au watunguli walikuwa ni Alexander na Athanasius, maaskofu wa Alexandria tangu mwaka 312-328 na 328-373 aliyeheshimiwa sana na kukubalika na Waathanasians; na Waarius (256-336), Asterius wa imani ya Sophist (yapata kama mwaka 341), na Eusebius wa Nicomedia (takriban mwaka 342), kwa Waarians au Waeusebians.

 

Bahati mbaya, kutokana na kushundwa kwa Waarians huko Hispania, historia imeandikwa na Waathanasians, na kwa mtindo wa kulalia upande mmoja na kwa upendeleo mkubwa kuwa haiwezekani kabisa. Hata hivyo, Robert C. Gregg na Dennis E. Groh wameandika kazi nzuri nay a maana san a kwenye kitabu kijulikanacho kama Early Arianism: A View of Salvation[Waariani wa Zamani na Mtazamo wao Kuhusu Wokovu]  (Fortress Press, Philadelphia, 1981). Kutoka kwenye kitabu hiki tunaweza kuanzisha utafiti wa kimetafizikia au uchunguzi, na inaweza kuwa dhahiri kuwa imani zote mbili zilikosea.

 

Kuandikwa upya kwa walichokiita Thalia ya Arius kulichukuliwa kutoka kwenye maandiko ya wapinzani wao na hivyo yalikuwa na makosa ya jinsi yalivyoandikwa kwenye nakala halisi. Mapishano haya yanatuama kuonekana kama Waathanasians walivyopenda iwe kwa kuzingatia yafuatayo:

Wokovu wa wale walioshiklia itikadi kali ililazimu kwenye umuhimu wa jinsi alivyo Mwana na Baba: kwamba ndio uliowajumuisha Mungu na Kristo kwenye uumbaji uliodhaniwa au kuchukuliwa kuwa ni mwili wenye asili ya kimbinguni. Wokovu wa Waariani umeathiriwa na uthibitisho wa Mwana na viumbe wengine: na ambao unamjumuisha Kristo na viumbe wengine wa Mungu unathibitika kwa mapenzi yake (Gregg & Groh p.8).

 

Kwa kukubali kwao Waathanasians, tafsiri ya kibayolojia ya mwana, waliendeleza uhusiano wa kiantolojia kati Mwana na Mungu, ambao waliaminkuwa ndicho kilimuwezesha Kristo kuwa ni neno halisi au Logos wa Mungu na Hekima, na ambaye amemfanya Mwana awe na weza wa kimungu wa kuelewa kila kitu (ibid., Ep.9).

 

Kutokana na Mtaguso huu ni dhahiri kabisa kwamba imani ya Kiyunitari ilikuwa na nguvu kubwa. Ni kweli kwamba waliongoka kutokana na kitendo kile tu cha kuwashinda wafuasi wa Salien Franks ambao waliitisha mdahalo uliopangiliwa vizuri. Waliwashinda na “kuoingiza” upande wao kwa shuruti kupitia na maslahi binafsi ya viongozi wao wa jamii za Goths, Vandals, Heruli, Burgundians na Lombards na vikundi vingine vilivyotajwa kwa ufupi tu kama Teutons, kwenye mwendelezo na mchakato endelevu. Waingereza waliongoka na kujiunga kwenye makubaliano na muafaka uliofanyika huko Whitby mwaka 664 BK kwa mkataba au makubaliano ya lazima kutoka kwa wa Anglo‑Saxons, baada ya wongofu au makubaliano yaliyofanyika baadae mwaka 597 (soma kitabu cha Stephen Neill, Anglicanism, Pelican, London, 1965).

 

Mgongano ulionekana kwa mtazamo rahisi na makabila haya kama yalivyokuwa wanamueleza bayana  mmoja wa Wafalme wa Waariani Gundobald wa jamii ya Burgundian, aliyekataa kuabudu miungu watatu (Encyc. Of Religion and Ethics (ERE), Vol. 1, p.782). Tafsiri hii rahisi ilikuwa ni kiini cha mambo, na matendo ya Waathanasians yaliingizwa na kukataliwa kwa walei ambao kwayo walilazimisha kufufua hisia na wazo la aina ya Uungu. Foakes‑Jackson alukubali makosa ya mawazo yake ya zamani  (imeelezewa vema kwenye kitabu cha Cambridge Theological Essays, p.500) cha udogo au uduni wa wa Teolojia ya Waarian wa Barbarians. Alidai baadae kwamba imani ya Uariani ya jamii ya Visigoths, Lombards, Vandals, nk, haikuwepo tena zaidi ya kuwa t uni kifungu kwenye utaratibu wa makasisi katikati ya mawazo ya Kikristo tu wa Wateutonic na Warumi (ibid., p.783). Hili ni jambo kubwa ambalo halijatathminiwa vizuri. Chimbuko la Wateutons huko Mahariki ya Kati, hususan baada ya kuanguka kwa Dola ya Wapurthian, hakujawa na utafiti wa wazi au kufafanuliwa na wanahistoria kwa sababu ya mkanganyiko wa Watrinitariani waliotoka shule yenye kiwango cha juu cha ufundishaji.

 

Kile kilichoenguliwa kwenye majaribio ya Mabishano ya Waathanasiua dhidi ya Waariani ni kwamba kanisa sasa limekuwa na mjumuisho wa imani mbili ambazo zimepingwa sana na ambazo zimejumuishwa na mitizamo ya kisiasa na likapelekea kusalitiana na kutesana. Waathananius waliwa wameweka makao yake huko Roma ambao muorodhesho wake wa uweza waliokuwanao wafuasi wa Salien Franks kisiasa na kijeshi na jinsi walivyofanikiwa kwa kipindi kirefu kilichofuatia. Dini hizi mbili zote kwa kweli zilizikataa imani kwa ajili ya kupenda kwao madaraka. Mchakato wa mfuatano wa matukio ya kumbania na vuguvugu la makabila yaliyohusishwa ni ya muhimu kwenye uelewa wa asili na msimamo wa watu waliohusika.

 

Uyunitariani, Makabila ya Wateutoniki na Wagoths

Huku ikikabiliwa na mkanganyiko wa kuwa ni dini rasmi ya taifa na ikiendelea kufanya matendo ya nguvu za kiutawala katika jamii nay a kijeshi, kinyume kabisa na maelekezo ya Kristo, mafundisho yalienezwa na mlinganisho mkubwa wa kwanza wa biblia tulionao unaoruhusu matumizi wa nguvu za kijeshi yakajitokezwa kwenye maandishi au vitabu vya Augustine, wanatafakari wa Afrika Kaskazini, waliobatizwa kwenye Ukristo kama walivyoelimishwa huko Punic, maandiko mbalimbali ya Kiebrania, pamoja nay a Kilatini. Tangu mwaka 373-383 BK, walikuwa ni wanafalsafa wa Kimanichean na Kiplatoni, aliokuwa na suria aliyezaa mtoto mwaka 372 BK. Alibatizwa mwaka 387 kuwa muamini wa mrengo wa Kiathanasian. Ambrose wa Milan, pamoja na Theodosius, walichukua mamlaka ya uongozi wa Kanisa la Roma na kulipeleka upande wa Waathanasian na mambo yao mwaka (381 BK) na uhusika wake na Augustine alikuwa ni kifaa kwenye uchukuliwaji wa baadae wa amri ile, ambapo kwa wakati uliokuwepo kwake, kitu cha busara.

 

Malumbano ya Waathanasian na Waarian yalipelekea mateso makubwa na pande zote mbili za Waathanasians na zaidi sana baadae kwa Waarians. Wagoths na Wavandals walioitwa kama “Waarians” (Biblia ya Wagothiki inasema ilikuwa kuanzia mwaka 351). Malumbano yaliibuka hata wakati Mtawala Mwanamke Placidia aliwatumia msaada Wagoths, na Wavandals, kuzuia maasi ya Jimbo la Boniface hapa Afrika mwaka 427. Walisaidiwa na kuungwa mkono na Maximinius, Myunitariani (walioitwa Waarian) Askofu. Augustine alilazimika kuwapigania na kuinda kwa wazi kabisa dini ya Waathanasian mwaka 428.

 

Mnamo mwaka 330 BK, Constantine alilitoa kabila dogo la Wavandals upande wa Ujerumani Mashariki (au Silingi) wan chi ya Pannonia ukanda wa kuume wa Danube. Mnamo miaka ya 166-181 waliishi huko Silesia na waliwapigavita Waaurilian mwaka 271, wakiwa kwenye upande wa katikati ya Danube. Yale yan yoitwa kuwa ni makabila ya Kijerumani yaliwajumuisha wa Vandals, Alans, Sarmations, Suevians na Alamanni upande wa Mashariki na wa Franks (su Wafaransa), wa Burgundians (ambao kwa kweli hawakuwa Majerumani) na Lombards au Longobards upande wa Magharibi. Parsons, Masalia wa kaila la Yafethi (1767) anamnukuu Procopius akisema kwamba Waalans walikuwa ni Wagoths kama walivyokuwa Wasauromatae na Wamelancleni na kwamba Wavandals wana ukawaida wa asili na Waostrogoths (p.73).

 

Kabila la Lombards walikuwa mfanano wa karibu sana na makabila ya Anglo-Saxons katika uvaaji wao na matendo yao kuliko walivyokuwa Wajerumani na wanaonekana kufanana zaidi na wa Anglo–Saxons wakiwa kama kabila dogo. waliishi na kuenea nchini Austria hadi Katikati ya Italia na waliungana na makabila ya Waceltiki na ya wa Ostrogoths, ambao pia waliishi kwenye nchi inayoitwa leo Croatia na majimbo yaliyo jirani yake. Waburgundians (mwaka 443 BK) waliishia mara ya mwisho upande wa Magharibi ya Cantons huko Switzerland, waliishi pande zote mbili za Jura, ziwa la Geneva, huko Valais, na kwenye kingo za Rhone na Saone (kwa mujibu wa kitabu cha Historians History Vol. XVI pp. 534ff.). Sehemu yake kubwa ilijiunga na nchi inayoitwa siku hizi Ufaransa na vilevile upande wa Kaskazini mwa Italia. Dola ya kwanza ya Waburgundian iliyoishia mwaka 534 BK iliweka msukumo kwa kiasi kikubwa na ugomvi au migogoro ya kifamilia na uliwasaidia wafalme wake (ibid., p. 535). Dola ya Waostrogothi iliishia kipindi kinachofanana na hikihiki baad ya kuwakosa wafalme wapatao watano wa kuwarithi kwenye vita hivi viwili vyote na nchi zao. Thibert, Mfalme wa Franks, aliutumia vizuri udhaifu wao, kwa kuirejesha mikononi mwake Rhaetia mwaka 536 BK na tangu hapo alilichukua na kulimiliki eneo lote la Rhaetia na Helvetia, eneo lililoitwa Uswizi au Switzerland (ibid.).

 

Waalemanni waliishi upande wa Kasakazini mwa Switzerland au Uswizi, Alsatia na Baden-Wurtemburg na walitwaa maeneo na lijichanganya kwa kujiita kuwa wao ni watu wenye uasilia wa Gallo-Celtic, waliokuja wakitokea maeneo hayohayo yaliyo karibu na Bahari Nyeusi hadi huko Danube. Wafaransa ambao walishindwa na kuwatumikia Waalemanni, walifanya mambo yao sawa tu na Wacimbri, Gauls na Celts ambao kwa sasa wako pande za Kaskazini mwa Ufaransa. walombards waliwafuatia Waostrogos Kuitawala Italia, ila walikuwa ni wachache idadi yao baada ya kuanzisha ufalme wa kaskazini ambao mji wake mkuu ulikuwa ni Pavia na upande wa kaskazini mwa Duchy ya Benevento, ambao walipigwa na kushindwa na Wafaransa mwaka 774. Kusini mwa Duchy walidumisha uhuru kwa kipindi cha takriban karne mbili zaidi. (ibid., vol. IX p. 18). Was axons walitengwa kutoka jamii ya Wascandinavia na wakafukuziwa kwenye muungano wa Ujerumani na Charlemagne (miaka ya 768-814) kama walivyofanya Wafaransa. Inatosha tu kusema kuwa hii Helvetia ilikuwa ni koloni au nchi iliyokaliwa na Wakatoliki Warfaransa wakiongozwa na Clotaire II na mwanae Dagobert aliyemrithi baadae yapata mwaka 628, ilikuwa kwa ujumla Maaskofu waishi kwenye ndoa kama walei waliowachagua na baadae walikubalina na kuthibitika na  mfalme (ibid., p. 535). Kwa hiyo, haya baada ya kuchelewa kiasi hiki cha zamani, utawa na useja vilikuwa ni aina ya maisha iliyokataliwa na haikukubalika kabisa kwenye maeneo mengi ya Wakristo wa Ulaya.

 

Mtawala au Mfalme Valens (364-378) alifanya kazi kubwa kuwajumuisha Wavandals na kuwaingiza kwenye imani ya Ukristo wa Kiuyunitarian (ulioitwa pia kuwa ni Uarian). Na walipoongoka na kuwa Wakristo hawakuwa wabishi au wagumu wa kupigwavita, kwa kuwa waliyajua makatazo na marufuku aliyoyatoa Constantine aliyoyaweka na kuipa dini mamlaka au uweza wa kijeshi. Wagoths waliingia imani ya Kikristo kipindi kirefu zaidi kle, na wakaonekana kutoka kwa Wakristo katika makabila na kutoka kwenye barabara.

 

Kanisa la Sabato la Kiyunitarian liliendelea katikati ya makabila na watu wa Ufaransa, Kaskazini mwa Italia na Ulaya kwa ujumla kwa sababu mbalimbali.    Sababu ya kwanza ni kwamba, baada ya Mtaguso wa Baraza la Nicea wa mwaka 325 BK Mfalme Costantine aliwapendelea Waathanasius ambao hatimaye walikuja kufanyika kuwa ni waanzilishi wa Kanisa Katoliki la Roma  mwaka 381 BK. Aliitishna mkutano mkuu wa Wadesposyni, waliokuja huko Roma mwaka 318 BK, ili kuungana na kujadiliana na askofu wa Roma. Ndugu hawa wa damu na Kristo walidai marejesho ya maagizo Torati, kukiwemo na utunzaji wa Sabato pamoja na maadhimisho ya Siku zote zilizoamriwa ambazo ni Sikukuu za BWANA, Miandamo ya Mwezi pamoja Siku nyingine zote Takatifu kama zilivyoandikwa na kuagizwa kwenye Maandiko Matakatifu. Pia walitaka kuwa Yerusalemu iteuliwe kuwa ni mahali zitakapotunziwa zaka ndipo askofu au papa (maaskofu wote wakuu inaonekana waliitwa papa kwa kweli hasa ilipokuwa neno hilo linatumika kwa mambo ya kidini) ndipo akiwa na mamlaka ya Roma, aliamuru kufanyike mauaji ya kuwakomesha na kampeni hii ya mauaji haya ililengwa hasa kwa ndugu wa karibu wa familia ya Kristo, hujuma iliyoanza tangu mwaka 318 na kuendelea (soma jarida la Bikira Mariamu na Familia ya Yesu Kristo (Na. 232) [The Virgin Mariam and the Family of Jesus Christ (No. 232)].

 

Haratati na vuguvugu la imani ya Kuyunitarian hata hivyo chini ya usimamizi wa Eusebius na akiwa kama msemaji wao, ilirudishwa nyuma kiushawishi miaka miwili na zaidi baada ya Mtaguso huu wa Nicea hasa tangia 0mwaka 327. Mafundisho yao yakajakuitwa baadae na kujulikana kama Uarianism, lakini Arius alikuwa pia ni mzee-mwangalizi na hakuwepo hata kwenye Mtaguso huo wa Nicea. Hata hivyo alikuwa anatajwatajwa sana na wataalamu wa uchabuzi wa imani za dini. Mafundisho aliyoyashikilia na kuyafundisha hatimaye yalipewa jina la Uarianism, yaliyoitwa kutokana na uumbaji wa Roho Mtakatifu na Kristo, hayakuimarika kutoka kwenye maandiko yoyote ya Arius au kwenye harakati zake (soma jarida la Usocianism, Uarianism na Uyunitarianism (Na. 185) [Socinianism, Arianism and Unitarianism (No. 185)].

 

Mfalme Constantine alibatizwa katika imani ya Kiyunitariani na Eusebius alipokuwa taabani kifoni kitandani kwake. Alikuwa amekwishafanikiwa harakati zake za kuliunganisha taifa lote likawa upande wake, akiwa ni mfalme wa dola yote nzima na kukiweka kiti chake cha enzi cha ufalme wake huko Constantinople mwaka 331. Alifariki mwaka 337. Watoto wake watatu, yaani Constantine II, Constantius II na Constans, waligombania urithi wa ufalme wake na Constantine II aliuawa vitani huko Aquileia, alipokuwa anapigana na ndugu yake Constans, mwaka 340. Ndipo dola ikagawanyika tena vipande viwili, upande wa Magharibi ikatawaliwa na Constans na Constantius akawa Mfalme wa upande wa Mashariki tangu mwaka 340.

 

Mwaka 360 Wahuns aliishambulia Ulaya, wakashambulia maeneo yanayojulikana siku hizi kama Urusi mwaka 376. Mwaka 361 Julian mkengeufu alijaribu kuyapokea mafundisho ya kipagani au kile linachojulikana kama upagani kwenye Dola ya Rumi lakini alishindwa.

 

Wahuns baadae walikuwa ni wa Scythian Horde. Waliiharibu Asia Ndogo baada ya kifo cha Theodosius mwaka 395, na wakati huo huo wakiwa kama wa Visigoths chini ya Alaric aliyeinuka kutoka Moesia na Thrace. Alaric akafanyika kuwa Liwali wa Mashariki ya Illyricum mwaka 398 (soma kitabu cha H.H., Vol. VII, p. 6). Katika karne ya 9, Wahuns waliingia Ulaya wakiingia kupitia Danube ambapo Waslavs wakawasukumia upande wa kaskazini (ibid., p. xvii). Baadhi ya watu hawa walijichanganya na Wajerumani wa asili ya Kiasia huko Ulaya kama tabaka la jamii kuu ya Waariani, na pamoja na Wagoths, ‘kabila’ linguine la Waarian (huenda lilitokana na mchanganyiko wakiwemo Waguti wa kwenye Biblia) walioenea maeneo mengi ya wakazi wa Ulaya na makabila yake pamoja na yale ya maeneo ya Mesopotamian.

 

Horde wa Wascythian haikuwa taifa moja, bali ulikuwa ni mjumuisho wa makabila mengi mbalimbali. Uundwaji wa mataifa ya Wascythian ni somo linguine tofauti. Etzal (au Attila) waliyakusanya mataifa haya yaliyokuwa na woga mkubwa mwanzoni mwa karne ya 5 na wakaishi maeneo ya ukanda wa kushoto wa Danube na hatimaye upande wote wa Kaskazini mwa Ulaya. Hata hivyo Wahuns waliondoka Ulaya kwenye karne ya tano na wakalenga waweke makazi yao tena Mashariki mwa Ulaya mwanzoni mwa karne ya tisa, na waungane na makabila mengine zaidi ya upande wa mashariki.

 

Mwaka 364 nusu ya upande wa Mashariki mwa Dola ya Kirumi, kutoka Danube hadi mpaka wa Uajemi, ilikuwa chini ya Mfalme Valens, ambaye alikuwa ni Myunitarian. Wakati huu, kile kinachojulikana sasa kuwa ni Kanisa la Katoliki au la Kidunia na la Kiafidhina lilikuwa ni la Kiyunitarian, isipokuwa tu kuwa liligubikwa na matendo na imani za kipagani huko Roma na na likayakumbatia matendo ya kipagani ya imani na ibada za Wahellena waliokuwa wanamuabudu na kumtumikia mungu Attis upande wa Magharibi na Adonis upande wa Mashariki wakiwaita kwa kutumia kivuli cha jina la Yesu Kristo (soma jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235) [The Origins of Christmas and Easter (No. 235)]. Nusu ya upande wa magharibi tangia Caledonia hadi kaskazini magharibi ya Afrika zilikuwa chini ya Valentinian I. Valens anasemekana kuwa alikuwa anaainhiza makabila ya kaskazini kwenye Uyunitarian (iliyoitwa Uarianism), lakini mwaka 378 alishindwa vita na kuuawa na Wavisigoths huko Adrianople huko Thrace. Nafasi yake ya ufalme ilichukuliwa na mzaliwa wa Hispania aliyeitwa Theodosius, ambaye alikuwa ni Muathanasian wa kwanza au Mbinitarian aliyewahi kuwa mfalme ambaye hatimaye alikuja kuwa ni Mtrinitarian kuwahi kuketi kwene kiti cha enzi cha ufalme akiwa amechaguliwa na Gratian. Aliwafukuzwa Wapicts na Wascoti na kuwatoa huko Uingereza mwaka 370, lakini mwaka 383 majeshi ya Warumi yalianza kuichukua nchi ya Uingereza. Wakiwa chini ya uongozi wa mfalme Magnus Maximus majeshi yalivuka mpaka na kuitwaa Gaul na Hispania.

 

Hakukuwa na mfalme Mtrinitarian kuwahi kuketi kwenye kiti cha enzi cha ufalme hadi ulipofika mwaka 381, wakati imani ya Utatu ilipoanzishwa huko Costantinople kwa shinikizo na mateso makubwa yaliyofanywa na mfalme Theodosius. Walikuwa wote Wayunitariani hadi mwaka huu wa 381 mali ya kipindi cha Julian na ukengeufu wake.

 

Ukiri huu wa imani ya Kiyunitarian umetuama kwenye teolojia iliyoelezewa kwenye Zauri 45:6-7 na Waerania 1:8-9. Wateteadini wa mwanzoni kama vile kina Irenaeus wa Lyons aliishikilia na kuiamini hadi karne ya pili. Teolojia hii iliaminiwa na kukubaliwa na Wagoths, Wavandals, Waalans, Wasuevi, Waheruli, Waingereza, Walombards, Wajerumani na makabila yote ya upande wa kaskazini (soma pia jarida la Uwepo wa Yesu Kristo Kabla ya Kuzaliwa Kwake Duniani (Na. 243) [The Pre-Existence of Jesus Christ (No. 243)] kuhusu ukiri wa imani ya Wagoths). Ilitokana na mafundisho ya wanateolojia na wanafunzi wa mitume ambao walikuwepo kipindi cha karne nyingi tayari kabla ya Mtaguso wa Halmashauri Kuu ya Nicea mwaka 325 BK, wakati wengi wa maaskofu hawa walikuwepo. Mafundisho ya kizushi ya Wabinitariani yalitangulia kipindi cha kuitishwa kwa Mtaguso huu.

 

Mwaka 381 Utrinitariani ulitangazwa rasmi kwenye Mtaguso wa Costantinople kutokana na teolojia ya Basili Mkapadokian, Gregory wa Nyssa na Gregory wa Nazianzus. Kuharibiwa kwa imani kulikofanywa na Wayunani na Warumi ulikuwa umeanza kuchukua mkondo wake. Watrinitarian kwa makosa na bila kujali uadilifu waliuita ukiri huu wa imani kuwa ni Uarianism, wakikusudia kuashiria kwamba mafundisho yao yalikuwa ni ya zamani zaidi na kuwa mafundisho haya yalianzishwa tu na Arius katika karne ya nne. Watrinitarian hatimaye walifanya mbinu chafu za makusudi za kuwaita wasaidizi wa mafundisho ya Uyunitarian (Uarianism) na hatimaye Eusebius wa Nicomedia (Ueusebianism) na maaskofu wengine waliokuwa wa cheo kikubwa sana na Arius (ambao hata hawakuwepo huko Nicea, ili wamshuhudie tu kwa kumzidia umahiri wa kimashiko wa imani yake). Watrinitariani wakawashutumu Waarians kwa kushikilia kuwa Roho ndiye aliyemuumba |Mwana, ambavyo kwamba haya ni mafundisho ya Wafillioque yaliyoendelezwa kutoka kwenye Mtaguso wa Toledo, na Wakatoliki wenyewe katika karne ya sita. Hata Wayunani yalikataa na kupuuza mafundisho haya. Watu waliyoyaita mafundisho haya kuwa ni ya Arian, basi wanawezekana kuwa wamefanya hila za makusudi au basi huenda hawaelewi vya kutosha kukijua kile wanachokisema.

 

Theodosius Mkuu (392-395) aliiunganisha tena dola, ile iligawanyika tena na warithi wake kina Honorius na Arcadius mwaka 395.

 

Mwaka 382 Theodosius I aliwaruhusu tena kuishi kwenye dole yake watu wa kabila la Visigoths ila walikuwa bado ni Wayunitarian. Ilidhaniwa sana kuwa wafalme, hasahasa Valens, aliyeyaingiza makabila ya kaskazini kwenye Uyunitariani na sio kwenye Utrinitarian. Makabila ya Goths, Vandals, Alans, Suevi, Heruli, wote walikuwa ni Wayunitarian kama yalivyokuwa makabila ya Wateutons na kulikuwa na idadi ya maskofu kadhaa kutoka makabila yaliyokuwa wanaamini Uyunitarian huko Nicea. Wahemunduri wa Kijerumani walibakia kuwa Wayunitarian hadi kwenye karne ya nane.

 

Wahermunduri walikuwa ni kabila la Kijerumani (baadae waliitwa Wathuringians tangu mwaka 420 BK) na walilimiliki eneo kubwa la Ujerumani ya kati. Ukristo wa Kiyunitaria ulilifikia kabila hili ukiletwa na wa Visigoths na Frisians. Walipinduliwa na Wafaransa mwaka 531 na waliingia kwenye Ukatoliki mwaka 742 na Boniface, Muanglo-Saxon kutoka kwenye juhudi za kwanza za Wakatoliki Wafaransa. Hatimaye Boniface aliuawa na Wafrisians (754), alipokuwa anatembelea mara yake ya tatu, huenda ni kwa ajili ya uzushi wake, kama walivyoikaataa kabisa teolojia ya Kitrinitarian kwa mara yake ya kwanza (716) jaribio lake la pili (719).

 

Lakuvutia sana ni kwamba kabila hili lilichukua jina lake kutoka kwenye kabila la kale la Wakaldayo waliokuwa na mapokeo au utamaduni wa Kibabeloni. Waliitwa Wahermunduri, maana yake ni “watu wa Her au Er", ambalo limechukuliwa moja kwa moja kutoka kwene Hadithi za mwanzoni za Er kutokana na kuabudu kwenye imani ile. Kitecho cha kuwaita watoto wa Herman ni alama ya watu hawa hata leo, kama lilivyo tendo la kuwaita wanaume Malcolm kutoka Milcolm, Mungu Moto au wa Moto wa Wawakanaani ambaye anaendelea bado kujulikan a kwa Waceltiki. Tunaweza kuwaita watu hawa kuwa “watu wa Uru”. Kwa hakika wao ni watu waliomchanganyiko wa Waashuru na Waajemi, waliorithi kwa kuzaliwa imani ya dini ya Kibabeli, ambayo hatimaye ilikubalika kwenye itikadi syncretikia ya kidini huko Roma, ambayo imerokea kwenye chanzo kimoja. Licha ya Wajerumani kuwa ni kabila dogo la Waajemi kama Waherodotus walivyotunza kumbukumbu yao, wanaonekana kuwa ni mmeguko mkubwa wa Waashuru na Wakaldayo au watu wa Uajemi. Waanglo-Saxon na makabila yaliyokuja pamoja nao kutoka Maashariki ya Kati wanaonekana kuwa ni masalio ya Dola Kuu ya Waparthian ambao walishirikiana na Yuda na yakawa katikati ya Waajemi na Dola za Warumi, hadi karne ya pili ya zama hizi. Wanaonekana kuwa walikuwa ni wa nasaba ya Kiaebrania na wanadai kuwa wao ni miongoni mwa yale Makabila Kumi Yaliyopotea ya Israeli ambayo yalikwenda kuishi hapo, kaskazini mwa Araxes, mwaka 722 na Waashuru. Hawa wanaoitwa Mamajusi kwenye maandiko ya Agano Jipya huenda walitokana na watu hawa.

 

Wagoths na Wavandals: Shinikizo mbaya

Alaric akawa mfalme wa Wavisigoths na mnamo mwaka 396 aliishambulia Ugiriki. Kwa ajili ya kuziheshimu sheria za biblia, alizibomoa sanamu za miungu ya kipagani zilizokuwepo huko na halafu anadhaniwa kkuwa aliuteka pia mji wa Athens na hatimaye pia Balkans mwaka 398. Mwaka 401 waliishambulia Italia kwa mfululizo hadi mwaka 403. Mwaka 406 Gunderic (406-428) akatawazwa kuwa mfalme wa Wavandals. Katika mwaka huohuo Ufalme wa Waburgundian wa Worms ulianzishwa. Makabila ya Wateutonic yote yalikuwa ni ya Wayunitarian. walombards wanaonekana kuwa na uzao unaohusiana na Waango-Saxons na walitawanyika kutoka kwao upande wa kaskazini waliendelea kuelekea upande wa Ulaya, wakielekea upande wa kusini kuelekea ukanda wa kaskazini mwa Danube yapata takriban mwaka 500. Walienea kutoka huko kutokana na vita, wakahamia pia kwenye maeneo ya kaskazini mwa Italia.

 

Waostrogoths walijaribu kushambulia, lakini walisimamishwa ama kuzuiwa na Stilicho mwaka 406. Hata hivyo, Wavisigoths wakiwa chini ya Alaric waliuteka na kukamia mji wa Roma, lakini alikufa alipokuwa  njiani kuelekea kusini na alizikwa pembezoni mwa Mto Busento karibu na Cosenza. Tendo hili hatahivyo, liliyalazimisha majeshi yaliyosalia ya Warumi yaondoke kutoka Uingereza ili yakailinde Italia mwaka 410.

 

Wagoths walishamiri upande wa Mashariki au Ostrogoths na upande wa Magharibi au Visigoths, na kwa pamoja walikuwa ni sehemu ya Waguti (au ni |Wamassagetae?) Goths Mkuu zaidi. Watu wa Guta au Waguta hapo mwanzoni waliishi maeneo ya karibu na Tigri na kaskazini mwa Akkadia. Makundi ya Waguti na walio na nasaba ya makabila haya ni jambo lisilo bayana. Mwelekeo wao wa kuelekea Ulaya utajadiliwa baadae mahali penyinepo, kusema kwamba watu wengine wenye asili ya Wagoths walielekea upande wa kusini mwa Caspian na waliweka wachukue mahala pa Wamedi. Dini za kale huko Danube zinaonekana kuwa ni za wale waliojulikana kama Wayunani wa Hyperboreans, wakiwa ni wakoloni wa kwanza kabisa wa Kiscythian wa Ulaya "mbele ya pepo za kaskazini". Istlahi za majina ya  Celts na zama kale za Wahiti kama Wahatinau Wakalti waliojulikana kama Wayunani na Wacelti kama Wakeltoi hawakufanyika hivyo kwa nasibu. Jambo hili litaelezewa kwa kina kwenye jarida linalowatathimini hawa Waceltiki [amoja na historia yao na chimbuko lao. Pia Wadanes na Waswedes nao kwa kipindi cha karne kadhaa wamekuwa wakijulikana kama Wadanea waliotokana na Wagoths wa huko Scandinavia, ambao jina lao linatokana na Dan mwana wa Humelus.

 

Hawa Ostrogoths pia waliishi kwenye maeneo au nchi inayojulikana siku hizi kuwa ni Yugoslavia baada ya kifo cha Valens mwaka 378 na hatimayhe walihamia Roma. Mwaka 395 Visigoths ambayo ilikuwa imejiunga au kuungana na Dola ya Rumi, waliasi wakiwa chini ya Alaric huko Moesia na Thrace na Alaric akafanyika kuwa liwali wa Mashariki mwa Illyricum mwaka 398 (soma kitabu cha H.H, Vol. VII p. 6). Walizuiwa na Stilicon Mvandal akisaidiwa na Dola, lakini ilikuwa inaongozwa na Waathanasius, kwa kipindi hiki na Theodosius mzaliwa wa Uhispania, aliyekufa mwaka 395 huku aliwa amejitwalia ma,laka ya kuitawala Dola ya Rumi na Kanisa. Mnamo mwezi Desemba 31, 406 BK ndipo Vandals, Sarmatians, Alans, Suevians na Alemanni, pamoja na Huns wakiwa wanarudi nyumbani. Walivuka Rhine na Vandals wakiongozwa na Suevians kutoka Pannonia, wakipitia njia yha Gaul iliyoko Hispania ambako waliweka kambi na kuishi mwaka 411 katika Galicia na Asturia. Hispania iligawanywa kwa kupigiwa kura na Suevian mwenye mchanganyiko wa Teutons akashinda Galicia na sehemu kubwa ya Leon na Castille. Baetica iliangukia kwa Vandals na ilipewa tena jina la Vandalusia. Magharibi mwa Alans, waliojiunganao tena huko ni Uhispania, ikaishinda Lusitania, lakini hatimaye uliangamia na kujumuishwa na Vandals na jina lao likapotea. Wasuevi walipigana na Vandals na wote wakaungana kupigana na Goths, wakati Wagoths Waarians walipigana wa Wakatoliki/Waroman  Wafaransa na pia Waburgundians. Makabila yaliyokuwa kwenye mrengo wa Kiyunitarian huko Hispania yalipigana na Waheruli (wa Ostrogoths) na wenyewe kwa wenyewe. Wasuevi wakaishi maeneo ya Galicia na sehemu ya Leon na Ureno baada ya kupigwa na kushindwa na Wagoths. Wareno ndiyo hawa wa Teutons (wanaoitwa Germanic) wa Vandal Alans Kusini na Suevi upande wa Kaskazini akitiwa nguvu na Carthagineans Mfoenike ambaye ni Myunitarian wa kwanza na ambaye hatimaye mapokeo ya Kiislamu.

 

Wasuevians wametofautiana na Waallemani kwa kuwa waliishia kuwa kama makundi mawili ya kitaifa. Wasuevans walikuwa na asili ya Waalleni (pia Waalemani). Kabila lilikuwa na uasili wa Wasuevian hadi miaka ya 201-211, wakati walipokutana pamoja kama “Wanaume wote” baadae kwa Waallemani. Gibbon (Vol 1, p. 104, col. 2) anasema:

“Jeshi la haraka la wanajeshi wa kujitolea liliungana kidogokidogo kwenye taifa kubwa na kudumu, na kama lilivyoundwa kutokana na makabila mengi mbalimbali, waliojiita la Waalemanni, au Watu wote:..

 

Kundi la magharibi ndipo lilikwenda huko Hispania na kuweka makazi yake huko Ureno, ambako Waalan ambao walikuwa ni kundi linalohusiananao walikwendaa pia. Sehemu ya watu wa Ukoo wa Ufalme wa Yuda walifanya makao yao pia huko. Jambo hili linaelezwa kwa kina kwenye jedwali la vizazi lililpo kwenye wavuti wa http://www.ccg.org/_domain/Abrahams-Legacy.org/.

 

Kuongeza kwa wanaume wa kazi za kujitolea walioongezwa kwenye kabila hili waliokwenda pia huko Uswizi na wakaunda chimbuo la Waswizi. Hili kwa kweli ni masalia ya kabila la Benyamini lililoongezwa na ambalo hatimaye liliunda muungano wenye nguvu kupitia mstari wa damu ya wanawake.

 

Wavandals waliweka kamazi yao huko Hispania, na Wahispania walikuwa ni Wayunitasrian. Wavisigoths waliushinda ufalme wa Vandali huko Hispania mwaka 416. Kwa hiyo maeneo yote ya kaskazini na magharibi walikuwa ni Wayunitarian. Ilisemekana pia kwamba Italia ilikuwa ni ya mrengo huu wa Kiyunitarian. Mnamo mwaka 418 Wafaransa waliishi kwenye sehemu fulani ya Gaul. Na katika mwaka huohuo, Theodiric I akafanika kuwa mfalme wa Visigoths. Mnamo mwaka 425 hawa wanaoitwa wababarians ambao kwa kweli walikuwa ni Wayunitarian walioishi maeneo karibu yote, waliweka makazi yao kwene majimbo ya Warumi. wavandals walikuwa kusini mwa Uhispania, Wahuns walikuwa huko Pannonia, Waostrogoths (na hatimaye Waheruli) walikuwa huko Dalmatia na Wavisigoths na Wasuevi waliishi kaskazini mwa Ureno na Hispania. Wahuns wa Ulaya walibakia huko   Pannonia hadi mwaka 470 walipjiondoa kutoka Ulaya.

 

Kama tulivyoona hapo juu, Wahuns wanaonekana kuwa waliondoka na kuhamia kwenye kingo na kujiunga ushirika na Wakhazars, na wakasalia kule hadi walipoutamalaki Pannonia tena baada ya 800, pamoja na wale ambao ni kirasmi waliwasaidia Wayahudi na Wakhazars. Uwezekano hauwezi kukanushika  kuwa kwamba Wasabato wa Transylvania kwa hakika walikujakuwa ni sehemu ya horde ya Wahuns kutoka Khazaria na Levedia na zilikuwa ni sehemu ya Makanisa yaliyoanzishwa upande wa Mashariki tangu mwanzo na mitume kupitia dola ya Parthian (sawa na kitabu cha Grun, The Timetable of History, 3rd ed., Touchstone, 1991, p. 30) (pia sawa na nukuu za bango kitita yaliyochukuliwa na Cox kutoka kwa R. Samuel Kohn, na kuandikwa kwenye jarida la Wasabato wa Transylvania, [1894], CCG Publishing, 1998)

 

Mwaka 425, Valentinian III akafanyika Mfalme wa upande wa Magharibi mwa Dola ya Roma chini ya uangalizi wa mama yake Galla Placidia. Gaiseric (428-477) akafanyika kuwa malme wa Vandals mwaka ule.

 

Mwaka 429 Wapicts na Wascots walifukuzwa kutoka kusini mwa Uingereza na Waangles, Saxons na Jutes. Mwaka 457, kwenye mapigano ya Crayford, Wajutes wakiongozwa na Hengest waliwashinda Waingereza na kuikalia Kenti ambako wapo hadi sasa. Mnamo mwaka 429 Aetius waziri mkuu wa mfalme Valentinian III akafanyika kuwa mtawala halisi wa upande wa Magharibi mwa Dola ya Rumi (429-454). Mwaka huohuo, Gaiseric alianzisha ufalme wa Vandal wa Kaskazini mwa Afrika. Mwaka 443 akaichukua sehemu ya mwisho ya dola ya Warumi upande wa Kaskazini mwa Afrika na Afrika ikawa chini ya utawala wa Wayunitariani tena.

 

Mwaka 433 Attila (d. 453) akafanyika kuwa kiongozi na mtawala wa Wahuns. Mwaka 436 majeshi ya mwisho ya Warumi yaliondoka Uingereza. Na mwaka huohuo Wahuns wakauangusha na kuuhusuru kabisa Ufalme wa Waburgundian wa Worms. Waburgundians walikuwa ni sehemu kuondolewa kwao kikatili huko Ulaya, kazi iliyofanywa na Waanglo-Saxons na Walombards na makabila mengine yanayoonekana kama ya horde za Waparthians.

 

Mwaka 443 Waalemanni Wakijerumani (Wajerumani wa Kisiwzi) wakaweka makao yao huko Alsace.

 

Mwaka 453 Attila wa Huns alifariki na Theodoric II (453-466) akawa mfalme wa Wavisigoths hadi alipouawa na ndugu yake Eric (466-484) ndiye alimrithi. Hii ilifuatiwa na kushambulia au mashambulio ya Roma mwaka 455 na Wavandals. Ukweli wa mambo ulikuwa ni kwamba Wavandals walikuwa ni Wayunitarian. Walizivunja sanamu za kipagani zilizopewa majina yanayoitwa ya Kikristo wakionssa mambo hayo kuwa ni machikizo na uvunjaji wa amri ya pili ya Mungu. Neno la Uvandalism linatokana na kitendo hiki. Kitendo cha kuzivunja na kuzibomoa kwa kweli kilikuwa ni agizo la kibiblia lililoagiza tuvivunje na kuharibu vinyago na sanamu zote za kipagani.

 

Theodoric Mkuu alifanyika kuwa mfalme wa Ostrogoths tangu mwaka 471-526.

 

Mashariki mwa Doma ya Rumi, kwa wakati ule, walikuwa ni Theodosius II (d. 450), Marcian 450-457), Leo I (457-474). Mwaka 457 Childeric I (457-481) akafanyika kuwa mfalme wa Salien Ufaransa. Mwaka 460 Wafaransa wakautwaa mji wa Cologne. Wavandals pia waliungamiza manowari ya Warumi wa Cartagena kwenye mwaka huohuo.

 

Migongano iliyojitokeza Ulaya kote kwa kweli chanzo chake kilikuwa ni kuhusu kabila gani litakalokuwa limezungushiwa maeneo gani ya Ulaya. Ingawa walikuwa ni Wayunitarian, lakini bado waliongozwa na watu walafi na haya ndiyo yalikuwa wasiyokuwa wanayafanya.

 

Wafalme wa mwisho kutawala upande wa Magharibi mwa Roma katika kipindi cha tangu mwaka 461 walikuwa ni Severus (461-465); Athemius (to 467); Alybrius (to 473); Glycerius (to 474); Julius Nepos (hadi 475); na Romulus Augustulus (hadi 476). Dola ya Magharibi ilifikia mwisho wake kutokana na udhaifu wa wafalme wake. Mjerumani Odoacer (433-493) alimkamata na kumuua Orestes huko Placentia na hatimaye akamuua mtoto wake Romulus Augustulus na akatangazwa kuwa mfalme wa Italia.

 

Kwa hiyo, Dola ya upende wa Magharibi ya Roma ililetwa karibu, pasipo kuanzishwa kwa Kanisa Katoliki na bila ya sera inayojulikana kwa Ulaya.

 

Kukomeshwa kwa Dini za Kimagharibi

Mwaka 474 Zeno alifanywa kuwa Mfalme wa Magharibi ya Dola ya Roma  (474-491). Shule za Watrinitarian zilikuwa zimeendelezwa sana na kuwezeshwa upande wa Magharibi mwa Dola tangu kipindi hiki, na Uplatonist Mamboleo ulianzishwa na Proclus akafanyika kuwa kiongozi au mkuu wa chuo cha Kiplatonist huko Athens mwaka 476. Imani ya Utrinitarian ilianzishwa na kurekebishwa kwene Mtaguso wa Chalcedon mwaka 451. Mgawanyiko uliopelekea kuanzishwa kwa Kanisa la Wacoptic wa Misri ulianzia wakati huu. Mwaka 483 Papa Simplicius alirithiwa na Felix III (-492). Mwaka 484 kwenye tukio la kumtenga kutoka kwenye ushirika Patriarch Acacius wa Constantinople kulipelekea mafarakano ya kwanza wa makanisa yaliyoamini Utrinitarian ya upande wa Magharibi na Mashariki (484-519).

 

Mwaka 489 Mfalme Zeno wa upande wa Mashariki aliiangamiza shule ya Kikristo ya Wanestorian ya huko Edessa na akalijenga kanisa la Mt. Symeon Stylites karibu na mnara wake. Mwaka 491 kanisa la Waarmenian lililazimishwa kufanya uhusiano wa karibu na Byzantium na Roma na mwaka 498 Wanestorians waliweka makazi yahoo huko Nisibis iliyoko Persia. Kanisa lililokuwako kutoka Yerusalemu  hadi Armenia halikuwa la Kitrinitarian Diphysite na lilikuwa ni la watunza Sabato. Pia lilikuwa ni hazina na la kutegemeka, huko Edessa, na maandiko ya Kiaramu na liliuwa na Biblia ya toleo la Kipeshitta, hadi lilipokomeshwa. Utunzaji wa Sabato na mafundisho yake vilienea hadi kufika mbali huko Uchina na kanisa la kwanza kutoka upande wa mashariki (soma jarida la Mgawanyo Mkuu wa Makanisa Yanayozishika Sabato (Na. 122) [General Distribution of the Sabbath-keeping Churches (No. 122)].

 

Mapapa kwa kipindi hiki tangu kifo cha Felix III, walikuwa ni Gelasius (492-496); nad Anastasius II (hadi 498) na Symmachus (hadi 514). Gelasius akakinndika na kukitambulisha Gelasian Missal, Kitabu cha maombi, na kusifu na kuelekeza au kuongoza kwenye ibada Madhabahuni na Meza ya Ushirika. Mwaka 499 sinodi ya Roma ilitangaza amri wakati wa uchaguzi wa papa na mwaka 500, ibada za kufukiza uvumba zilianzishwa kwenye ibada za makanisa ya Kitrinitarian kwa mara ya kwanza na kwenye kila kanisa la Kikristo.

           

Mateso

Mwaka 476 Gaiseric mfalme wa Vandals aliliuza eneo la mashariki mwa Sicily kwa Theodoric mfalme wa Visigoths. Wayunitarians wakiwa chini ya Hunneric mfalme wa Vandals alianza kuwa na msimamo unaopingana na wa Wakatoliki, ambao walijiondoa kwenye muafaka wa kuvumiliana hadi leo, kukiwemo msamaha wa wazi wa ibada za sanamu. Mabishano ya Wayunitarian na Watrinitarian sasa yakapelekea kuanza rasi kwa mateso.

 

Malengo na dhamira ya Watrinitarian au Waikatoliki/Wahathinina yalilenga kwenye wale waliokuwa dhaifu au kuwadhoofisha na Uyunitarian ukomeshwe na kuondolewa mbali kabisa. Hii ilikuwa ni pamoja na mkakati wa kubadilisha hali ya kuwasaidia Wasalien wa Ufaransa. Mwaka 481 Childeric I alifariki na nafasi yake ikarithiwa na mtoto wake Clovis (hadi 511) ambaye ndiye alikuwa mwanzilishi wa nguvu za wa Merovingian. Mwaka 484 Hunneric mfalme wa Vandals alirithiwa na mjomba wake Gunthamund (hadi 496). Mwaka 486 Clovis alimshinda Syagrius aliyekuwa liwali wa mwisho wa Warumi huko Gaul. Roma haikuwa na nguvu tena huko Gaul.

 

Mara tu baada ya tukio hili, huko Armenia, maasi yaliyoongozwa na Vahan Mamikonian yalitokea tangu mwaka 481-484 na ushindi huu uliliunusuru uhuru wa kidini na kisiasa huko Armenia. Uhuru huu pia unaonekana kuwa ni wa muhimu katika kuyasaidiwa makanisa yanayozitunza Sabato kuanzishwa na Wapaulicians waliokuwa wakiishi kwene Milima ya Taurus. Wapaulicians walikuwa bado wanapatikana pende za mashariki katika karne ya kumi na tisa. Kizazi chao kinafikia idadi ya watu takriban milioni au zaidi, aliteswa na kuuawa kwenye maeneo ya Armenia baada ya Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia. Walikuwa idadi inayokadiriwa kuwa kati ya millioni moja ua mbili ya Wasabato waliuawa baada ya uharamisho uliofanywa Bektashi Uislamu baada ya mwaka 1927. Mchakaio huu wa mateso ma mauaji uliendelezwa kupitia mauaji ya kuangamiza maarufu kama Holocaust huko Ulaya na mnamo mwaka 1953 na kufa kwa Stalin.

 

Kuunganishwa na kuunganishwa Kwa Ulaya

Kipindi hiki pia (487-493) Waostrogoths waamini Uyunitaria walianza harakati za kuiteka Italia. Theodoric alimshinda Odoecer Mjerumani kwenye mapigano yaluyofanyika kwenye Mto Isonzo na tena karibu na Verona (489). Mwaka 493 Odoace r walisalimu amri kwa Waostrogoths na aliuawa na Theodoric ambaye hatimaye alianzisha ufalme wa Ostrogothi wa Italia na alimuona dada wa Clovis. waostrogoths waliitamalaki Malta tangu mwaka 494-534. Mwaka 500 Thrasamund alimuoa dada wa Theodoric ana alipewa kutawala magharibi mwa Sicily kama mahari.

 

Katika mwaka huohuo wa 500 Wajerumani wa jamii ya Marcomanni huko Bohemia waliivamia na kuishambulia Bavaria na walipokuwa wanaivamia, Waczechs waliingia na kukaa huko Bohemia

 

Mwaka 493 Clovis alimuoa Clothilda, Mburgundian ambaye alikuwa ni binti wa mfalme aliyemfanya aingie kwenye Ukristo wa mrengo wa Kiyunitarian mwaka 496. Aliwashinda Waalemanni karibu na Strasbourg mwaka 496 na hatimaye akabatizwa na rafiki yake Remigius, au Remy, askofu wa Rheims.

 

Mwaka 506 Alaric II alianzisha Sheria iliyojulikana kama Lex Romana Visigothorum lakini mwaka 507 alilemewa na kushindwa vita na kuuawa na Clovis kwenye Mapigano ya Campus Vogladensis (Vouillé, karibu na Poitiers). Clovis hatimaye wakaungana na ufalme wa Wavisigothic wa Toulouse. Ufalme wa Wavisigothi wa Castille ya Zamani uliendelea hadi mwaka 711. Eneo hili la Toulouse lilibidi libakie kuwa eneo kubwa la Wasabato au Kanisa la Wayunitarian wanaozishika Sabato haki kipindi cha Vita vya Kidini au Crusade ya Waalbigensian na kipindi cha Kudhuriwa wapinga mafundisho cha Counts wa Toulouse.

 

Hawa Wavisigoths pia waliitwa Wabonosonians inaonekana walitokea maeneo ya Bonosus ya Sardica waliofundisha (kutoka kwenye maandiko ya Biblia na historia) kwamba Yusufu na Mariamu walikuwa na watoto wengine. Mafundisho haya yanaonekana kuwa ni mafundisho ya kudumu ya historia ya kanisa zima la watunza Sabato, yaliyotokana na fafanuzi za Agano Jipya na majina ya ndugu wane wa Kristo waliojumuishwa pale na kutajwa kwa dada zake, kama ilivyo pia kwenye historia za (Mathayo 13:55; Marko 6:3; sawa na jarida la Bikira Mariamu na Familia ya Yesu Kristo (Na. 232) [The Virgin Mariam and the Family of Jesus Christ (No. 232)]. Tukilinganisha na Marcellus na Photius tunapata dalili kuwa walikuwa ni watu wenye nia moja wakiwa ni watunza Sabato na Torati (sawa na linavyosema jarida la Migawanyiko Mikuu ya Makanisa Yanayozishika Sabato (Na. 122_ [General Distribution of the Sabbath-keeping Churches (No. 122), uk. 2)]. Mji wa Sabadell ulio kaskazini mwa Uhispania pia ilitokana na Wasabato au watunza Sabato.

 

Wavisigoths waliweka makazi yao huko Aquitaine tangu mwaka 418 kama shinikizo dhidi ya Vandals na Alans Mwingingereza Constantinus aliyeweka makao yake huko Arles. Waingereza hawakuutarajia Ukatoliki hadi bada ya kutangazwaau kuwekwa kwa Sinodi ya Whitby mwaka 664 BK huko Hilda's Abbey, walipoketi mkutano wa kujadili wakisema:

"namna anayoitumia papa kuhesabu au kupanga siku ya kusherehekea Easter ni kama ishara ya mamlaka kamili ya jumla ya Wakristo wa Roma. Inaweza kuonekana kama maamuzi yameenda na kufanyika kwa kuwapendelea Waceltiki au Kanisa la  Wairish na maadhimisho yao ya Easter lakini wanailinda tarehe ya kizamani ya Kiceltic kwenye sinodi ya Whitby ilikuwa na matumaini ya kweli madogo ya kufanikiwa. Mfalme  (Oswiu) aliyekuwa kiongozi kwenye sinodi alimuoa malkia (ndinti wa Mfalme Edwin aliyeitwa Eanfled) ambaye alikuwa amelelewa huko Kent, na ambaye alikuwa amekwisha iadhimisha Easter ya Wakatoliki" (David L. Edwards, Christian England, vol I. p.57).

 

Edwards anadai kwamba wnwo kubwa ya kusini mwa Ireland wameikubali tarehe mpya iliyowekwa ya kuadhimisha Easter. Kwa kweli walikuwa ni Wakwato-desiman, waliokuwa wanaishika Pasaka na Idi ya Mikate Isiyo na Chachu na jambo hili limetathminiwa kwa kina kwenye jarida la Mwanzo wa Kanisa la Kikristo Nchini Uingereza (Na. 266) [Origin of the Christian Church in Britain (No. 266)] (sawa na pia ilivyoandikwa kwenye jarida la Migongano ya Kwrto-sediman (Na. 277) [The Quartodeciman Disputes (No. 277)]. Askofu Colman alirudi zake Iona baada ya kuachana na jambo hilo, ingawa Chqad na Cedd walimthibitisha kama alivyofana Tuda askofu mpya wa Northumbrian, ambapo yeye mwenyewe alikuwa ni Muairish ya Kusini, na Mueata wa Mwiingereza, Abbot wa Lindisfarne, ambaye alifundishwa na Aidan (Edwards, ibid.). ni makosa ya kuelezea kwa mtu akisema kwamba hay yalikuwa ni mabishano yaliyohusu tu tarehe ya kusherehekea Easter. Mabishano yalikuwa ni kwa sababu ya kuishika ama kuiadhimisha Pasaka ya Wakwortodesiman pamoja na mlolongo wake wote unaofuatia mazingira yake ya kimaadhimisho ya Pasaka, ama kuchagua kuadhimisha sikukuu ya kipagani ya Easter, iliyopewa jina lake kutokana na mungu Ishtar au Astarte au Ahtoreti, au mungu mke wa Kikaldayo aitwaye Easter. Maadhimiso ya sikukuu hii yalijumuisha tukio la Kifo au maombolezo ya Msiba yaliyofanyika siku ya Ijumaa, na Jumapili iliyofuatia kuliadhimishwa tukio la Ufufuo na ilijumuishwa na sikukuu ya majira ya baridi ya miungu waliojulikana kwa mujina ya Attis na Adonis, na mwingine aliyejumuishwa baadae aliyeitwa Tamuzi aliyetajwahata  kwenye kitabu cha nabii Ezekieli (kwenye Ezekieli 8:14).

 

Mabadiliko hayo yaliyojumuisha maadhimisho ya Sabato na Sikukuu ya Vibanda pia. Na kwa kweli, yalihusu hatima ya mabadiliko kalenda nzima yote ya Waceltiki na kuingiza sheria ya ulaji wa cyakula. Edwards aliona kwamba waliyzshika maagizo zu desturi zote za Wakristo wn zamani. Wairish wa kaskazini walidumu kwa kiasi kikubwa kwenye utaratibu wa tarehe za zamani kama walivyofanywa wale wa Iona hadi mwaka 716 (ibid., sawa na majarida ya Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235); Ndama wa Dhahabu (Na. 222) na Wajibu wa Amri ya Nne Katika Historia ya Makanisa ya Mungu Yanayozishika Sabato (Na. 170) [The Origins of Christmas and Easter (No. 235); The Golden Calf (No. 222) and The Role of the Fourth Commandment in the Historical Sabbath-keeping Churches of God (No. 170)].

 

Utaratibu wa kuweka tarehe ya kusherehekea 'Easter' ulibuniwa na Victorius wa Aquitane, kwa kweli ulikuwa unaigwa tu kidogokidogo. Gaul aliuiubali imani mpya mwaka 541, huenda inaweza kuwa ni matokeo ya kushindwa kwake na Wayunitariann pale, na Edwards anathibitisha hilo kwenye ukurasa wa 38. Kwa kweli ilikuwa ni mkono wa chuma au ukatili na shuruti ndiyo ndiyo uliosababisha Waceltiki wawe sasa ni waungaji mkono wa imani ile..ambavyo walipigana kwa nguvu zote kuipinga. Kwa kweli, Ireland ilitolewa kwa Uingereza na papa katika karene ya kumi na mbili, kwa hila ya makusudi yas kukomesha masalia yaliyokuwepo huko ya wanaoamini katika utunzanji wa Sabato ambayo yado ilikuwa inaadhimishwa na watu wa huko. Hali hii kwa kiasi kikubwa ililetwa kwa kushirikiana na wafalme wa Ki-Irish wa wakati ule na tamaa au mpano au mkakati waliokuwanao Wakatoliki wa kuachana na imani ya kibiblia upande wote wa kaskazini. Mtu muhimu aliyetwishwa mkakati huu alikuwa ni Malachy askofu wa Armagh (soma jarida la Papa wa Mwisho: Kama Alivyoelezewa na Nostradamas na Malachy (Na. 288) [he Last Pope: Examining Nostradamus and Malachy (No. 288) kuhusu unabii huu mkuu)].

 

Kulikuwa na makubaliano huko Whitby tu kwa kuwa patano la kukomesha vita la Waanglosaxon lilifuatia majadiliano nao mwaka 598 kufuatia ujio wa Augustine mwaka 597 (tazama kitabu cha Neill, S. Anglicanism, p.11). Wangles 10,000 waliingia kwenye sherehe za Krismas huko Kent wakiongozwa na Mfalme wao Ethelbert. Uingereza haikuwa imejikita yote kwenye Ukatoliki kipindi hiki hadi kufikia mwaka 716 BK I ingawaje mwaka 786 papa wa kwanza alitangulia kuwasili akikusudia kushawishi uwepo na mwendelezo wa matendo na imani za kipagani (ibid., p. 45). Waraka uliotoka kwa Alcuin kumpelekea Etherhard, Askofu Mkuu wa York, ulielezea kwamba baadhi ya watu walikuwa wanabeba hirizi za kishirikina na 'kwendanazo milimani ambako wanafanyia iada, si kwa kwenda kufanya maombi, bali kwenda kulewa na vileo' (kutoka kitabu cha Edwards ibid.).

 

Wakatoliki walianza kuimiliki Hispania ya Kati. Wahispania wpte walikuwa ni Wayunitarian wengi wao tangu wakati huu na wafalme wa Wavigothic Toledo walisaliwa washupavu kwenye kile kinachojulikana kuwa ni imani ya Arian au Uarianism ikiwa ni dini ya Kitaifa na Askofu wa Taledo Primate wa Hispania. Kutoka kwenye imani ya Kiyunitarian ya Kikristo na Uislamu, Hispania ikawa mrengo wa Watunza Sabato Wayahudi na Wakristo pia hadi kipindi cha Inkwisisheni mnamo karne ya 13. (Udadisi wa imani ya Waarian ulikuwa ni kwamba kalenda ilianza miaka 38 kabla ya tarehe inayoaminika sasa na iliendelea hadi karne ya 11). Tangu mwaka 573 nchi iliweza kuwa na maendele akuunganisha tena na wale walioitwa ama kujulikana kama Waarian wakawa kwenye uthibiti wa Warumi na kutawaliwa nao. Mwaka 586 Wavigoths wote na kwa kiasi kikubwa wanaingia na kuwa Wakatoliki. Mnamo mwaka 590 Roma ikajiundia utaratibu wake wa kidini ya kifalme.

 

Wanahistoria wanatofautiana na kwa kweli wamesababisha kujikanganyika kitabu cha fasiri cha Kikatoliki kinachoitwa Catholic Encyclopedia kwa suala linalohusiana na uwekaji makazi upande wa Afrika Kasakazini mwaka 427-429, wakiwa na wanajeshi takriban 80,000 wakiongozwa na Genseric, lakini Malkia au Mtawala wa kike Placidia inawezekana kuwa aliwapeleka Wavisigoths na Vandals hadi Afrika ili kupinga na kuyazima maasi ya Count Boniface mwaka 427 BK. Walifuatana na Maximinius, Askofu wa Kiyunitarian. Ilimpasa Augustine awatetee kwa wazi Waathanasians mwaka 428 BK. Ni dhahiri kabisa kwamba Wayunitarian wa Goths na Vandals walikuwa vitani na Waathanasian (ambao baadae walikujakuwa Warumi) Wakatoliki wa huko Roma isopokuwa ni kwa ajili ya amani mwaka 435-439, tangu mwaka 429 na waliweka makazi yao huko Roma mwaka 455. Hii ilikuwa ni dhahaka ya maombi ya Malakia au Mtawala wa kike Eudoxia, aliyemuomba Genseric kummuweka huru kutona kwenye ndoa aliyoichukia na Mfalme Petronius Maximus.

 

Kutoka uwekaji makazi huu wamapema hawa Vandal na mwendo wao wa mapema wakipitia huko Gaul mmoja kati ya miji yenye miungu mingi ya ajabu kwa kipindi kile, bado imani na matendo ya Wakatoliki na Waathanasius yalijipenyeza. Wavandals walikuwa Wayunitari na na kwa hiyo kuwa ni wapinzani na walizidharau ibada za sanamu na vinyago zilizokuwa na imani kamilifu yenye kufanana huko Roma na uingizaji wa syncretic na imani au sanamu za kale za kipagani na vinyago vyake. Hizi kwa kweli zilibomolewa na hapo mwanzo na Gaul mwaka 409-411 na alipokuwa anawasili Hispanoa, Afrika, na tena huko Roma. Walichukuliwa kuwa kama wapagani wakibarbarians na kutokana na tendo hili ndipo neno ubabariani lilitokea, lakini kwa kweli walikuwa ni wa wapingaji waliodharau na kuchukia ibada za sanamu za syncretics. Walitaka kuiangamiza Roma pia kwa kile walichoichukulia kuwa ni mji wa waabudu sanamu, lakini waliuacha kutokana na ombi la Leo la tarehe 2 Juni 455.

 

Kwenye kitabu chake, Dr. Peter Heylyn (History of the Sabbath[Historia ya Sabato], London 1636, Part 2, para. 5, pp. 73-74) anasema kwamba mji wa Milan ulikuwa wa Washika Sabato tangu zama za kale kufuatia na matendo ya kimashariki.

 

Wakati huohuo, mnamo mwaka 510 Jimbo, sehemu ya kusini magharibi mwa Ufaransa, lilienda kwa Waostrogothshadi mwaka 563. Ukweli huu unaonyesha sababu gani iliyopelekea Wasabato wote walikuwa pande za kusini mwa Ufaransa, kaskazina mwa Uhispania, na kaskazini mwa Italia. Wakristo waliitunza Sabato hadi ilipofika karne ya tano na wakati wa Jerome (yapata mwaka 420) Wakrito waliojitoa na kuwa waaminifu walifana kazi za kawaida siku za Jumapili (kwa mujibu wa Dr. White, aksofu wa Ely, kitabu chake cha Kuikomesha Siku ya Sabato [Treatise of the Sabbath Day], p. 219; sawa na kitabu cha Augustine wa Hippo, cha NPNF First Series, Vol. 1, pp. 353-354 na jarida la Mgawanyo Mkubwa wa Makanisa ya Watunza Sabato (Na. 122) [General Distribution of the Sabbath-keeping Churches (No. 122), p. 2)].

 

Mwaka 511 Clovis, mfalme wa Urafansa alifariki na ufalme wake uligawanyika miongoni mwa watoto wake wanne; Theodoric I (mwaka 534); Chlodomer (mwaka 524); Childebert I (mwaka 558) na Chlothar (mwaka 561) na walianzisha mahakama huko Soissons, Paris, Metz, na Orleans kwa umakini mkubwa. Kipindi hiki pia jumba la watawa ya huko St Césaire iliyoko Arles ilianzishwa pia. Maisha ya Useja au Umonastiki yalikuwa pia yameanza kuchukua mkondo wake katika kuiendeleza imani ya Utatu au Utrinitarian.

 

Mwaka 523 Thrasamund mfalme wa Vandals alifariki dunia na nafasi yake ilirithiwa na Hilderic (hadi mwaka 530). Mwaka 524 Sigismund aliuawa na Chlodomer, mwana wa Clovis I. Waostrogoths alijenga kile kinachojulikana kama Baptistery ya Kiarian ambayo leo inajulikana kama Bapstery ya S. Maria huko Cosmedin, Ravenna mwaka 525. Hata hivyo, mwaka 526 Theodoric Mkuu alifariki na alizikwa huko Ravenna. Binti yake Amalaswintha akawa liwali wa Italia (hadi mwaka 534).

 

Mwaka 527 Justinian I akaf anyika kuwa Mfalme wa Byzantine (hadi mwaka 565) na mlolongo wa matukio ya kurudi nyuma na migongano na migawanyiko ilitokea  kwa Wagoths na Wavandals na ndipo kanisa la Wayunitarian lilidumu kwa muda mrefu hadi mwaka 590. Ni tukio la kustusha sana la kurudi nyuma kwa hali ya juu kuwahi kushuhudiwa katika historia ya watu wa Ulaya kuwaona Wafaransa wakijiunga na imani ya Utrinitaria, kama ukweli huu ulivyodaiwa kuwa ndiyo fursa iliyopelekea kuazishwa kwa Kanisa la Roma huko Ulaya. Kama isingekuwa Wafaransa basi kusingekuwepo na chochote. Tutaliona hilo sasa kwashuruti pasi na huruma kuendelea hadi kutangazwa kwa Dola Takatifu ya Rumi mwaka 590 na dola hii ilidumu kwa kipoindi cha miaka 1260 hadi ilipotawanyika au kuparaganyika mwaka 1850.

 

Vita vya Mwisho hadi kuinuka kwa Uislamu na Dola \Takatifu ya Rumi

Mwaka 529 Justinian aliifunga shule ya Wanafalsafa wa Kiyunani iliyokuwa dumu kwa miaka takriban 1,000 huko mjini Athens. Kitendo hiki kilidaiwa kupata maelekezo yaliyolenga kuupa nafasi Upagani lakini kililazimisha syncretisasheni ya Waplatonists Mamboleo na iliwalazimisha kwa shuruti kubwa Maprofesa waende Uajemi na Syria ambako wawe huko, kuanzia mwaka unaofuatia na kuendelea, amri iliyotolewa na Chosroes I (531-579), waajemi wakanufaika na kitendo hiki kwa kufikia upeo wa juu zaidi wa kimasomo. Mkakati huu ulitekelezwa kwa kitovu cha masomo hadi kwenye kile kilichokuwa kinajulikana kama ulimwengu wa Kiislamu, wakati ilipounda kanre iliofuatia kwa kuonyesha muendelezo wa Utrinitarian wa Constantinople.

 

Mwaka 532 Wafaransa waliuangusha ufalme wa Burgundy, ambao ulifumika maeneo yote ya Ufaransa, Uswizi na Austria. Pia jemadari Belisarius alikiokoa kiti cha ufalme cha Justinian kwa kuyazuia na kushinda uasi wa Nika huko Constantinople. Aliukumbuka mwaka uliopita baada ya kufukuzwa kwake aliposhindwa na kufukuzwa na Waajemi. Mji wa Costantinople hatimaye ulijengwa tena. Mwaka 533 Belisarius aliupindua ufalme wa Vandal na kuifanya Afrika Kaskazini kuwa ni Jimbo la Byzantine. Mwaka 534 Toledo ulifanywa kuwa ni mji mkuu wa ufalme wa Wavisigoths ya Yunitarian huko Hispania (hadi mwaka 711). Mwaka 535 Belisarius aliutwaa ufalme wa Waostrogothis wa Italia na akabakia hadi mwaka 540. Kiendo hiki kiliruhusu Jimbo liende kutoka kwa Waostrogoths hadi kwenye ufalme wa Wafaransa na Naples ikawa sehemu ya Dola ya Byzantine.

 

Tangu mwaka 539 hadi 562 Dola ya Byzantine ilikuwa vitani na Waajemi. Vita hii ilimfanya Totila wa Waostrogoths kukomesha utawala wa Byzantine huko Italia mwaka 540 na kuwa mfalme mwaka 541 wakati alipokufa mjomba wake Hildebad (hadi mwaka 552). Mwaka 546 Totila aliingia Roma (na kuondoka tena mwaka 547). Katika mwaka ule, Adouin mwenyeji wa Lombard akaanzisha kizazi kipya cha Lombard na akautadaza au kuueneza utawala wake hadi maeneo ya mbali kwenye Mto Save. Mwaka 550 Totila aliushinda tena Roma na Wayunitariani walirudi tena madarakani. Na katika mwaka huohuo, uingiaji wa Waturuki wa asili ya Waras upande wa Magharibi ulianza na makabila ya Waslav yaliweka makazi yao huko Mecklenburg.

 

Wapoles waliishi magharibi mwa Galicia, na Waukrainians waliishi mashariki mwa Galicia. Kwenye mwaka huohuo pia, Wawelsh waliongoka na kuingia kwenye Ukristo kwa ushuhuda wa David na watunza Sabato wakaanza kuingia huko Wales, ambako hawakuweza kufukuzwa kabisa huko hadi kufikia karne ya kumi na moja. Maisha ya ndoa kwa makasisi yaliendelea hadi mnamo karne ya kumi na mija hivi. Columban, mmishenari wa Kiairish huko Ufaransa na Italiay (550-615), pia alihesabu tangu mwaka huu. Kengele zilitumika makanisani huko Ufaransa kwa mara ya kwanza tangu mwaka huu pia, zikitumika kwa lengo la kuwavutia Watrinitarian syncretic kuja ibadani huko Ufaransa.

 

Mwaka 543 maandiko ya Origen yalilaaniwa na kupigwa marufuku na Justinian. Ingawa Origen alikuwa na asili ya kupenda na kuamini Ukwasi-Nostiki, bali maandiko au vitabu vyake pamoja na Hexapla vilikuwa muhimu pia. Tendo hili lilikuwa ni mkakati wa mafundisho ya kimapokeo ya wapinga Sabato ambao pia ni Watrinitarian upande wa Mashariki. Mfalme Theodora alifariki mwaka 548.

 

Mwaka 551 nyambizi ya Waostrogoth ilipigwa na Wabyzantines. Totila mfalme wa Ostrogoths aliuawa mwaka uliofuataia na wa Byzantines wakiongozwa na towashi Narses (mwaka 478-c. 573) kwenye mapigano ya Taginae. Mwaka 553 Narses ndipo alijiunga na Naples na Roma kwa Byzantine na alimteua Exarch wa Italia, kuwa mtu wa cheo kikubwa sana jeshini una kwenye mamlaka ya kijamii. Kiti cha ufalme cha askofu mkuu Maximian pia kilianzishwa huko Roma katika mwaka huu.

 

Mwaka 558 Clothar I mwana wa Clovis aliuunganisha tena ufalme wa Ufaransa ambao uliishia hadi ilipofikia mwaka 561 wakati ulipogawanyika tena chini ya watoto wake Charibert, Guntram, Sigebert na Chilperic. Mwaka 563 Mmishonari wa mrengo wa Waceltiki wa Sabato aliyeitwa Columbia, alijitangaza kutawala Kisiwa cha Iona na alianza kuwaingiza kwenye imani Wapicts.

 

Mwaka 565 Justinian I alifariki dunia na nafasi yake ilichukuliwa na mrithi wake ambaye pia alikuwa ni mjomba wake Justin II (hadi mwaka 578). Kisha Lombards aliwafukuza Wabyzantines kutoka kaskazini mwa Italia waende kusini, lakini akawaacha huko Ravenna. Audoin alirithiwa na mtoto wake Alboin aliyewasaidia Waavars, kuuangusha ufalme wa Wagothiki wa Gepidae wa nyanda za chini za Vistula, na mnamo mwaka 568 alianzisha ufalme wa Lombard kaskazini na katikati ya Italia.

 

Mwaka 567 Leovigild mfalme wa Visigoths (hadi 586) aliwafukuza Wabyzantines kutoka Magharibi ya Uhispania na kuishinda na kuiteka Hispania yote mwaka 585. Ufalme wa Ufaransa ulikuwa pia umegawanyika kitakaba, upande wa Waaustrasia ukijumuisha Walorraine, Ubelgiji na ukanda wa kulia wa Rhine na Neustria (Ufaransa) na Burgundy.

 

Mwaka 570 Muhammad mwanzilishi wa Uislamu alizaliwa. Mwaka 572, vita kati ya Waajemi na Wabyzantines ilianza tena na iliendelea ikiongozwa na Chosroes II baada ya kilichodaiwa kuwa kupaa kwake mwaka 590 hadi 628, na Uislamu alianzishwa mwaka 632. Mnamo mwaka 632 mgawanyiko wa kisiasa ambao hatimaye utasababisha kuwepo kwa Vita Kuu ya III ya Dunia ulianza.

 

Mwaka 573 watoto wa Clothar kina Chilperic na Sigebert walienda vitani.

 

Mwaka 590 Authari mfalme wa Lombards alirithiwa na Agilulf (hadi 615) na papa Pelagius II alirithiwa na papa Gregory I aliyeitwa Mkuu. Aliitanga Roma kuwa ni Dola Takatifu. Mwaka 591 Columbanus (hadi 543) aliwasili huko Brittany akitokea Ireland. Gregory alimtuma Augustine kuwa mmisionari huko Uingereza mwaka 597 aliyembatiza Ethelbert huko Kent na ilifuatia kushamiri kwa imani ya Ukatoliki huko Uingereza.

 

Mnamo mwaka 600 mashambulizi ya magharibi mwa Ulaya yalifanika. Katika mwaka huu huu, Wakhazars walianzisha ufalme au dola yao katikati ya nyanda za chini za Volga na nyanda myanda mwa Don. Waczechs na Waslovaks waliweka makazi huko Bohemia na Moravia na Yugoslavs huko Serbia. Ulaya ikafanyika imara na wakati huohuo dhaifu sana. Hata hivyo, matokeo mengine ya ghafla ya “mchakato” huu yalikuwa kwamba utaratibu wa kudurufu wa Italia ulibadilika na kuchukuliwa na muaji ya kutisha katika mwaka 600 na ugonjwa wa ndui ukaingia kusini mwa Ulaya ukitokea India kwa kupitia Asia Ndogo.

 

Kwa kuiimarisha Ulaya, Watrinitarian waliweka nguvu zao pamoja kwa kuweka mgawanyo wa vyeo na madakahuko Ulaya kwa nguvu za Wafaransa na Waangles na ulafi au tamaa yao. Mwaka 600 Gregory aliazisha programu ya majadiliano ya amani na Wayahudi. Ndipo akaanzisha au kuamuru kiandikwe kitabu cha mtindo wa picha ili kitumike mahala pa Biblia kwa wasiojua kusoma. Biblia ya Wagoths inayokadiriwa kuwa iliandikwa mwaka 351. Biblia hii ilikataliwa na haikuaminika, na hatimaye iliondolewa kabisa kutoka kwenye maeneo ya wazi ya Roma hadi tangazo la kuifana Roma kuwa ni Dola Takatifu mwaka 1850. Mwaka 603 watu wa Lombards walijiunga kwenye Ukatiliki wa Roma. Mwaka 609 Mantheon ya Roma iliwekwa wakfu kuwa kanisa la Kusini S. Maria Rotunda.

 

Kwenye mkakati wa kuiunganisha Ulaya, ndipo Utrinitaria ulligeuza macho yake kuitazama Asia Ndogo. Kuongezeka kwa Ulaya na Byzantium kuliona uwezekano uliokuwepo wa kwamba matokeo yake yatakuwa ni kuja kwa umbo la Uislamu.

 

Ukristo wa Kiutrinitarian ulijipenyeza hadi Urusi mwishoni mwa karne ya kumi, ukiletwa na Waorthodox wa Kiyunani wa Constantinople. Inawezekana sana kuwa huenda haya yalikuwa ni maamuzi ya kisiasa tu, ikichukuliwa kwamba Wakhazars wa kusini na kupitia Ukraine kote huko hadi Ulaya wote walikuwa ni watunza Sabato na Wayunitarian, kwa dini zote mbili, yaani Wayahudi na Wakristo. Na pia kulikuwa na Wabulgars waliofika huko kwa wakati huohuo kama walivyofika Wahuns katika karne ya kumi. Na ndivyo ilivyo kuwa kulikuwa na Wapaulicians waliokuja tena kuishi huko Trace wakiongozwa na  Constantine Capronymus katika karne ya nane na baadae na John Tsimiskes katika karne ya tisa (soma jarida hilohilo (Na. 122). Kwa kweli inawezekana kabisa kuwa kwamba maamuzi yote yaliyofanyika kuhusu jinsi gani imani itakavyokuwa ya Wakristo wa Ulaya yamefanyika kwa kuzingatia mtazamo wa kisiasa na hayana uhusiano wowote na masuala ya imani iliyoanzishwa na Yesu Kristo na kama inavyoonekana au kufunuliwa kwenye maandiko ya Biblia.

 

Katika miaka ya 1260 tangu mwaka 590 hadi 1850 Kanisa Katoliki la Roma limejenga teolojia yake kwenye mambo ya uwongo, iliweka msingi wake kwenye Falsafa za Kiyunani na imani za kipagani za ibada na miungu. Kuchukua kwao Kalenda ya kipagani na imani zake kuliitumbukiza imani ya Kitrinitariani kwenye mgongano na kila kabila na watu waliokuwa nazo, au kusoma, au waliojifunza Biblia na Torati au Sheria za Mungu.

 

Matokeo yake, ili kulinda mamlaka yao, wakaanzisha mkakati wa kuwatesa watu kitaifa na kimataifa na kuwadhoofisha au kuwanyamazisgha, ambao ulipelekea kuteswa na kuuawa na kuwekwa kwa mamilioni ya sheria za usalama zinazowahusu wakazi walioko barani Ulaya na katia Asia Ndogo (na hatimaye huko Marekani). Uvamizi na mashambulizi yake huko Mashariki ya Kati kwa kile kinachodaiwa kuwa ni Vita ya kuitetea Dini yaani Crusades imeshudia kusababisha muwako wa hasira na chuki dhidi ya Uislamu kiasi ambacho kwa sasa umeikumba zaidi ya nusu ya wakazi ulimwenguni. Karne ya ishirini imeshuhudia vita hivi vikiendelea dhidi ya sheria za amani zinazowazuia wakazi na wazawa wa Ulaya, kwa mauaji yaliyoratibiwa na kufanwa kwa makusudi ya kuangamiza halaiki ya watu maarufu kama genocide waliyofanyiwa Wayahudi na Wakristo watunza Sabato wa Ulaya. Jambo hili limefafanuliwa na kuchambuliwa vizuri kwenye jarida lisemalo Mauaji ya Kuangamiza Halaiki ya Watu, Siri yake Imefunuliwa (The Holocaust Revealed).

 

q