Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[280]
Yesu Kristo,
Mfalme, Kuhani Na Nabii
(Toleo
1.0 19990713-19990713)
Kipengela hiki kinashughulika na Yohana 17:3. Kemeandikwa na myahudi wa kimasihi na kinaonyesha uhusiano baina ya Mungu Baba na Yesu Kristo kama masihi. Lucha ya kuhani na makala hazitenganiki.
Christian
Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Copyright ©
1999 René
Morpurgo)
(Tr. 2009)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa
watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta
maneno. Jina la mchapishaji
na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna
malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo
pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha
lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Yesu Kristo, Mfalme, Kuhani Na Nabii
Kufunga kiongozi
katika Bibilia cha kuwelewa Mungu kinapatikana katika Yohana 17:3.
Yohana 17:3 na uzima
wa milele ndio huu wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma.
Maoni yako ni
yapi kumchusu Mungu? Na yafiki nini kumhusu Yesu Kristo? (=Yohoshua haMashiah)?
Ukiwauliza watu
wawili, watatu au zaidi maswali haya, wawe kutarajia kupokea majibu mawili,
matatu au zaidi. Kila mmoja analo jawabu lake kumhusu Mungu au Yesu Kristo.
Maoni haya aghalabu ni kutoka na elimu. Zazingira, maendeleo na vitendo. Hivyo
kila mmoja ana hisia yake.
Majikoni mwingi
mwa wachira kwa mfano, ipo piacha ya Tsao Wang, Mungu wa fikini wa lachina. Juu
ya ubani ukaowaka uliwasha kwa utukufu wake daima anatazama, anatabasamu na
atatoa. Kutoka mahali hapa, anatazama miendendo kabambe humo jikoni. Katika
mwaka mpya wa Wachina, Mungu huyu huchomwa ili kuenda safari ya mbinguni ili
kuripoti alichokisikia na kukiona katika mwaka uliotangulia.
Muda mfupi kabla
ya kumwasha wake wa Chanina hupata asali mdomoni pake wakitumai ya kuwa ataenda
kuripoti mambo matamu tu.
Hisia za
mashariki kumhusu Mungu ni tofauti sana na zile za magharibi. Hisia izimekuwa
zikibadiliwa mara kwa mara na athari tofauti na kubadiliwa upya kuwa hisia mpya
ya Mungu. Harakati hizi za mabadiliko zimekuwa imara kwa takribani miaka 6,000.
Kutokana na hisia
hizi tofauti, kuwahusu Mungu na Yesu Kristo, madhehebu mengi sana yamezuka,
kila moja likihubiri tafsiri yake ya “ukweli” matokeo yalikuwa watu –
wakishaunda dini – waliongzwa na haja zao ili kuhakikikisia zao, wala si haja
ongufu ya kumtafuta ukweli. Watu hutafuta imani ambazo zaoana na mafuzo yao. Ni
sawa na kununua nguo kutoka dukani.
Aghalabu dhehebu
lilikuwa na lingali lina tumiwa visivyo ilikuruhusu haja Fulani, Mungu wa
kiyunani Bacchus kama Mungu wa mvinyo aliuziba utamanu na ufuasi wake.
Kadhalika Ishtar kama Mungu wa kike wa rotuba liyaziba mapito mengi ya
matendo ya nguno.
Kwa mtazamo wa
kisiasi, dhehebu lilikuwa nja bora zaidi ya kuweza kudumu uongozini. Mars,
Mungu wa vita aliruhusu haja ya kuvamia, na matarajio wa Misri wakajiita wao
pamoja na wazawa wao kuwa takatifu, ili kuutetea mfululizo wa ufalme kwenye
familia yao.
Kwa karne nyingi,
vita vingi vimekuwa vikiendelezwa kwa kutumia jina la Mungu, kwa, mfano vya
kutetea haki (crusades).
Hata katika
kipindi cha vita vya mwisho vya dunia vya 1939 – 1945 viongozi wa makanisa
walizibariki silaha kwa jina la Mungu silaha ziliundwa kwa ajili ya kazi moja
tu. Kuwana watu. Kuzibaki ni sawa na kusema ya kuwa Mungu amectumhusu kufanya
maangamizi mengi ambayo yalikusudiwa kuuokoa uso wa kisiasa wa kiongozi wa
nchi.
Hadi leo tunahisi
matokeo yaliyotanda kuhusu maoni haya tofauti kumhusu Mungu katika jamii zetu.
Wakati Fulani
Robert Garcet alisema:
Watu wnapotoshwa na
madhehebu madhehebu ni ukungu na makanisa hayafanyi lolote ila kupima maki na
kimo cha ukungu huo. Mungu anakuwa mfofu ambamo kwamo kila kanisa hujikatia
kipande.
Katika
majadiliano na watu tofauti tofauti, maswali yafuatayo yataulizwa. “Kama yupo Mungu wa upendo, mbona basi
kuna maajabu yote haya ulimwenguni? Yeye ni mwenye enzi, mbona asiingilie
kati?” Watu hawa wanamfahamu Mungu asiyejali tu, Mungu wa kuchukiwa!
Katika
majadiliano na wazee wa makanisa yashikayo amri zilizopitishwa, itakuwa wazi
kuwa wanamwona Mungu kama kiumbe ambaye huyachukua mafungu ya wanadamu kama
wenye dhambi kiumbe ambaye huyachukua mafungu ya wanadamu kama wenye dhambi.
Kiumbe ambaye huwajia watu kama Mungu wa kulipiza kisasi. Mungu wa kuogopwa!
Katika makanisa
huru, wao huenda na msemo kuwa “Mungu ni pendo” vitu vyote vimehusiwa. Katika
hisia zao, “Mungu hatalitilia maanani.” Kwa maoni yao si lazima umitilie Mungu
maanani.
Hisia zote hizi
kumhusu Mungu zaweza kufuatiliwa na kutiwa mbavu watu wamemfanya Mungu kuwa
maoni yao, kama wazishikao amti zilizokwekwa hawifahamu Bibilia yote au labda
wajua sehemu tu. Nadhani hisia zao mbaya humhusu Mungu na Mungu zinaletwa na
kutojua.
Yapendeza husoma
anakisema Mungu mwenye kuhusu hili katika Zaburi:
Zaburi 50:21 ndivyo
ulivyofanya, nami nikanyamaza: ukadhani ya kuwa mimi ni kama wewe. Walakini
nitakukemea. Nitayapanga hayo mbele ya macho yako.
Hili lanileta
kwenye swali. Ni vipi haswa wamefahamu watu?
Tinamfahamu mtu
kwa maneno na matendo yake. Maneno na matendo hayo ni kioo cha mawazo yake.
Mawazo haya ni matokeo ya mapito na tabia
tabia.
NI VIPI TWAPATA
KUMFAHAMU MUNGU? |
||
MANENO Zaburi 33:4 kwa kuwa neno la bwana lina adili Mika 2:7 Je, litasewa neno hizi? Enyi nyumba
ya Yakobo roho ya Bwana imepunguzwa? Je hata ni matendo yaje? Je, maneno yangu hajamfai yeye aendaye kwa
unyofu? |
+ |
MATENDO Yohana 3:16-17 kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe wa pkee ili kila mtu amwaminiye asipotee bali awe na uzima wa milele maana Mungu hakutuma mwana ulimwenguni ili auhakumu ulimwengu bali ulimwengu uokolewe katika yeye. |
MAWAZO Yeremia 29:11 maana nayajua mawazo mnayowawazi ninyi asema Bwana, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho. |
||
MAPITO Yohana 1:10-11 Alikuwako ulimwenguni hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako. Wala ulimwengu haumfambua. Alikuja kwake wala walio wake hawakumpokea. Mathayo 23:37 Ee Yerusalemu, Yerusalemu awanaye manabii na kuwapiga kwa mawe waliotumwa kwako! Ni mara ngapi minetaka kuwakusanya pamoja watoto wako kama vile kuku avikudanyavyo pamoja vyake chini ya mabawa yake, lakini hamkutaka (RSV) |
||
TABIA 1 Yohana 4:8 yeye
asiyependa hakumjua Mungu kwa maana Mugu ni upendo. |
Njia ya pekee ya
kuweza kumfahamu Mungu wa Bibilia ni kufunwa Bibilia na kuifurusu bibilia.
Bibilia ni warakawa mapenzi kutoka kwa Mungu, ambamo najitambulsiha kwako na
kwangu.
Hivyo katika
Bibilia ni mengi yameandikwa kuhusu maneno na matendo ya Mungu kuhusu mawazo
ya Mungu, mapito yake na tabia yake.
Hebu tufume
Bibilia.
Tunapata taarifa
kuhusu maneno ya Mungu katika Zaburi 33:4 na Mika 2:7. Hapo imeandikwa.
Zaburi 33:4 kwa kuwa
neno la Bwana lina adili na kazi yake yote huitenda kwa uaminifu.
Mika 2:7 Je
litasimwa neno hili, enyi nyumba ya Yakobo, roho ya bwana limepunguzwa? Je,
haya ni matendo yake? Je maneno yangu hayamfai yeye aendaye kwa unyofu?
Hali ya matendo
ya Mungu imeelezwa katika Yohana ya Mungu imeelezwa katika Yohana 3:16-17,
ambapo tunasoma:
Yohana 3:16-17 kwa
maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawake peke, ili kila
mtu amwaminiye asipitee bali awe na uzima wa milele. Maana Mungu hakutuma
uliwemwengini ili auhukumu uliwengu bali uokolewe katika yeye.
Tunaweza kusoma
kuhusu mawazo ya Mungu katika:
Yeremia 29:11 maana
nayajua mawazo kinayowawazia ninyi, asema Bwana.
Na ni mwanzo ya
amani, wala si mabaya kuwapa ninyi
tumani siku za mwisho.
Taarifa hii yote
ambayo inatoa mtazamo mufti wa huruma na wema wa Mungu, yadhihirika zaidi
katika chimbuko la mapito ya Mungu. Tunasoma kuhusu hili katika Mathayo 23:37b.
Mathayo 23:37b ni
mara ngapi nimetaka kuwakusanya pamoja watoto wako kama vile kuku avikusanyayo
vifaranga vyake chini ya mabata yake, lakini hamkutaka!
Pia tunasoma
katika Yohana 1:10-11
Yohana 1:10-11
alikuwako ulimwengu hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako, wala ulimwengu
haukumtambua. Alikuja kwake wala walio wake hawa kumpotea.
Kwa mtazamo wa
kibinadamu tunaona kuwa Mungu alikuwa na mapito ya kufisha moyo sana na
binadamu. Mbona hakufa moyo na aendelea tu mwenyewe? Kasha tunaona taswira kuu
ambayo kwayo Mungu hutenda. Taswira ambayo hutambilisha tabia yake. Yaweza
kupatikana katika 1 Yohana 4:8.
1 Yohana 4:8 yeye
asiyependa hakunyoe Mungu kwa maana Mungu upendo.
Hapa hatujaambiwa
kwa Mungu ana upendo ila Mungu ni upendo! Upendo wa kila namna
tujuayo, huchimbuka kutoka kwa Mungu. Mungu huumba na kupeana pendo bila
kukoma.
Ni upi mtazamo
wetu kumhusu Yesu (=Yohoshua)? Jukumu la Yesu na wanaregi ni lipi panga na
pendo la Mungu?
Mungu wa Bibilia
na wa Israeli walimwita Mugu, mwanangu mpendwa, nimependezwa nawe (Marko 1:11).
Hili lamfanya Yesu “mwana wa pendo.”
Hivi pia ndivyo
jinsi Yesu alivyotajwa katika Wakolosai:
Wakolosai 1:13 naye
ni mfalme wa Mungu asiyeonekama mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
na
Walolosai 1:15 Nani
ndio mifano wa Mungu isionekana. Kitimimba wa Umbaji. (AV)
Kama uakisi wa
Mungu asiyeonekana, Yesu kama mwanadamu aishiye, aliutambulisha uakisi wa Mungu
aishiye, Mungu wa pendo.
Bibilia yaonyesha
uhusiano wa wazi baina ya Mungu wa pendo na masihi. Katika Yohana 17:3
imeandikwa kuwa Mungu alimtupa Yesu kwa jukumu maalum ya kuwa kumjua, Mungu
mmoja wa kweli na Yesu Kristo, masihi ni uzima wa milele.
Yohaha 17:3 Na uzima
wa milele ndio huu wakujue wewe Mungu wa pekee wa kweli na Yesu Kristo
uliyemtuma.
Mungu wa Bibilia,
baba wa Binguni na yesu wa Nazareti, masitii wa Mungu ni mwungano!
Katika johana 14:6 Yesu alisema:
Yohana 14:6 Yesu
akamwambia, mimi ndimi na kweli na uzima, mtu haji kwa Baba ila kwa njia ya mimi.
Hivyo masihi
amereuliwa katika nafasi muhimu mno!
Siku hizi kuna
mamilioni mengi ya watu ambao, tunavyoweza kuchukulia, hungama katika utakatifu
wote: “Namwamini Mungu wa upendo na mwanwe Yesu masihi,” ilhali ndani za maisha
yao. Iweje wote wasema namaanini kiti kimoja ilhali wana itakadi za mema
na maovu za haki na utovu
wa haki hili lawezekanaje?
Nadhani hili pia
lasababishwa na kutofahamu. Kama jinsi mtu aweza kuunda hisia ya uongo kuhusu
Mungu kwa kutojua ndivyo vivyo hivyo aweza kuunda hisia ya uongo kumhusu Yesu
masihi.
Kama jinui
awezavyo kuunda hisia kumhusu Mungu kuyafaa mapenzi yake, basi hili pia laweza
kutokea kwake masihi.
Hili
limesababisha siku hizi makanisa mengi yanajiita “kanisa ya Yesu Kristo”, bila
kutambua haswa Yesu Kristo ni nani. Makanisa haya yameundwa kwa hisia potovu
hivyo kuishambaza hisia hii na kuharibiwa zaidi.
Aina hizi za
makanisa haya yaweza kutajwa kukidhi haya na matakwa ya watu wasiobadilishwa.
Labda wa staajabu
sasa pengine umo katika safu mbaya. Una uhakika kuwa hisia zako na mtazamo wako
kumhusu Yesu Kristo, masihi zinafutana na Bibilia na ni nadhefu? Utawezaje
kutambua kuwa umatumia miwani mibovu kuona?
Waweza kumtambua
Yesu Kristo masihi wa Bibilia katika majukumu matatu muhimu aliyonayo kwa
pamoja yale ya ufalme, ukuhani na ubanii.
Yesu Kristo, Masihi Wa Bibilia |
||
MFALME |
Amepewa mamlaka yote aheshimiwe |
Mathayo 28:18 |
KUHANI |
Hupatanisha katika msamaha wa dhambi |
Yoh 3:17; Waeb 5:9, 1 Tim 2:5 |
NABII |
Hufunza sheria unelimisha |
Marko 7:6-13; Mathayo 5:17-19 |
Masihi kama mfalme amepewa uwezo wa juu zaidi na mamlaka yote ya kuamua juu ya uzima wa kifo cha walio waaminifu.
Mathayo 28:18 Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia; nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
Mashihi kama kuhani ameteuliwa kuwa mtatuzi wa pekee kati ya Mungu na mwanadamu kufanya maamuzi.
Yoh 3:17 maana Mungu hakumtuma mwana uliwengini ili amhukumu ulimwengu bali ulimwengu uokolewe katika yeye.
Waebrania 5:9 naye alipokwisha kukamilishwa, akawa sababu ya wokovu wa milele kwa watu wote wanaoamini.
1 Timothy 2:5 kwa sababu Mungu ni mmoja na mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni mmoja.
Masihi kuona nabii amepeanwa kuwa mwalioni wa haki wa kuwaita na kuwa kusoa waaminifu kuitii amri.
Marko 7:6-13 Akawaambia, Isaya alitatambui wema juu yenu ninyi wanafiki, kama ilivyoandikwa, watu hawa humiheshimu kwa mdomo ila mioyo yao iko mbali nami. Nao waniabudu bure, wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu. Ninyi mwanachama mri ya Mungu na kuyashika mapokeo yenu maana Musa alisema.waheshimu baba yako na mama yako na amtukanaye babaye au mmaye kufa na afe. Bali ninyi husema mtu akimwambia babaye au mamaye. Ni korbani yaani wakfu kitu changu chochote kikupasacho kufaidiwa nacho huwa basi wala hamrahusu baada ya hayo kumtendea neno babaye au mamaye. Huku mkilitangua neno la Mungu kwa mapokeo yenu mjipokeana; tena mwafanya mambo mengi yasiyo sawasawa na hayo.
Mathayo 5:17-19 msidhani ya kuwa nilikuja kuitengua torati ya manabii; la sikuja kutangua, bali kutimiza. Kwa maana amiu nawaambia, mpaka mbingu na nchi zitakapoundoka, yodi moja wala nukta moja haitaondoka, hata yote yatimle. Basi mtu yeypte atakayevunja amri kati ya hizi zilizo mdogo, a kuwafundisha watu hivyoataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atakayezitenda na kuzifundisha huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinuni.
Pindi tu mtu atakapotelezwa moja kati ya majukumu haya ya masihi, basi masihi atakuwa si masihi wa Bibilia tena. Hisia zake au mtazamo wake hautakuwa kamili.
Yesu Kristo, Masihi Wa Bibilia |
||
KUHANI |
Hupatanisha katika msamaha wa dhambi |
Yoh 3:17, Waeb 5:9, 1 Tim 2:5 |
NABII |
Hufunza sheria, huelimisha |
Marko 7:6-13, Mathayo 5:17-19 |
Bila Ufalme |
Hawa mamlaka, waweza kumfanya nyingi, linganisha |
Compare Mat 28:18 |
Ukimtekeleza masihi kama mfalme
kutabaki mfano tu, ambao huingia shuguli za kuhani na kufunza sheria na kuwaita
watu kwenye utiifu. Ikiwa hakuna mtalme, hana ruhusa wala mamlka kwa waaminifu.
Hivyo ni umbo unatoweza kulifanya njia na kupaswi kumheshimu. Basi mtu akawa ana masihi asiye na uwezo,
asiye na mfanano na masihi wa Bibilia, alisema:
Mathayo 28:18 Yesu
akaja kwao, akasema nao akawaambia nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.
Yesu Kristo, Masihi Wa Bibilia |
||
MFALME |
Amepewa mamlaka yote, aheshimiwe |
Mathayo 28:18 |
NABII |
Hudunza sheria, huelimisha |
Marko 7:6-13, Mathayo 5:17-19 |
Bila Kuhani |
Hauna upatanisha katika msamaha wa dhambi, kila mmoja amepotea. Lingamisha |
Compare Yohana 3:17; Waeb 5:9; 1 Tim 2:5 |
Ukimteteka masihi kuhani kutobaki mfano tu ambao hauna uwezo wala mamlaka kwa waaminifu, na kama nabii ambaye hufunza sheria na kuwa kosoa waaminifu. Hata hivyo usipomkubali kama kuhani basi hawezi akufanya chochote kwa naaminifu ili kuwaokoa. Aweza tu kuashiria sheria na waaminifu wakitenda dhambi atawaadhibu tu bila huruma yeyote. Hana mfano kabisa na Yesu wa Bibiliaambaye kwaye, hana yameadnikwa.
Yoh 3:17 maana Mungu hakufumamwana ulimwengu ili auhukumu ulimwengu bali ulimwengu uokolewe katika yeye.
Yesu Kristo, Masihi Wa Bibilia |
||
MFALME |
Amepewa mamlaka yote, aheshimiwe |
Mathayo 28:18 |
KUHANI |
Hupatanisha katika msamaha wa dhambi |
Yoh 3:17; Waeb 5:9; 1 Tim 2:5 |
Bila Nabii |
Hafunzi sheria, haelimishi, linganisha |
Compare Marko 7:6-13 Mathayo 5:12-19 |
Ukimtelekiza masihi kuoona nabii, kutabaki mfano tu; ambayo kuna mfalme ana mamlaka na uwezo kwa waaminidu na kuwa kuhani; hutekeleza wajibu wa hukani kwa maaminifu.
Hata hivyo hakubaliki kama nabii, mwaliama
hutekeleza kuwakosoa waaminifu kwani haashili shria. Yesu huyu aweza kuwana upendo tele na kufitilia
mbali kila kitu. Hiteketeza sheria
Masihi kama huyu
ni masihi wa mvutano ambao hana hana mfanano na masihi wa Bibilia. Masihi wa
Bibilia azungumza wazi kwa lugha fasaha na kushutumu dhambi wazi wazi.
Hivyo anasema
katika Marko:
Marko 7:6-13
anataambia Isaya alitabiri vema juu yeni ninyi wanafiki; kama ilivyoandikwa,
watu hawa wananiheshimu kwa mdomo ila mioyo yao iko mbali nami. Nao wanaabudu
bure. Wakifundisha mafundisho yaliyo maagizo ya wanadamu. Ninyi mwaiachia amri
ya Mungu na kytashika mapojeo ya wanadamu. Akwaambia vena, mwaikuta amri ya
Mungu mpate kuyashika mapokeao yenu maana Musa lisema waheshimu baba yako na
mama yako na amtukanaye babaye au mamaye hufa na afe. Bali ninyi husema mtu
akimwmbia babaye au mamaye kufa na aje. Bali ninyi husema mtu akimwambia babaye
au mamaye.
Ni korbani au
wakfu. Kitu changu chochote kikupasacho hafaidiwa nacho huwa basi wala
hamrihusi baada ya hiyo kumtendea neno babaye au mamaye. Huku mkilitangua neno
la Mungu kwa mapokeo yenu mligopokeana. Tena mwafanya mambo mengi yaliyo
sawasawa na hayo.
Na Yesu akasema
katika Mathayo:
Mathayo 5:17-19
msidhani ya kuwa nilikuja kuitongua torati au manabii la sikuja kutangua bali
kutimiza. Kwa maana aumini naeambia mpaka nguni an nchi zitakapondoka yodi moja
wala nkuta moja ya torati haitaondoka hata yote yatimie. Basi mtu yeyote
atakayeu vunja amri moja katika hizi zilizo ndogo na kuwafindisha watu hivyo
taitambua mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni, bal mtu atakayeutanda na
kuzifundisha, huyo taitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni.
Huenda ikawa
ilikuwa na hisia mbaya kuhusu Mungu Baba na Yesu Kristo masihi aliyemtuma
kutoka na hilo hungeweza kumpenda Mungu.
Sasa wafahamu, kwamba haweza kumpenda Baba, Mungu wa Bibilia na Yesu Kristo
(Yahoshua hamashiah) na kawa manalo thibitisho katika pendo lako.
Mungu aishiye
milele amesema katika neno lake.
Yohana 31:3 Bwana
alimtokea zamani akisema naam nimekupenda kwa upendo wa milele maisha na Mungu
wa Bibilia si mbaya hata kidogo. Mungu wa Israeli hukurai kibinafsi.
Kwanini uta
achilia kuendeleza Bibilia wa Maisha. Maisha na Mungu wa Bibilia si mbaya
kamwe. Mungu wa Israeli an Kujua Vile ulivyo.
Methali 23:26
mwanangu nipe moyo wako, macho yapendenzwe na njia zangu.
Na masihi
anakukatibisha pia:
Mathayo 11:28 Njooni
kwangu ninyi wote msimbukao na wenye
kulemewa na mingo nami nitawapumshisha.
Na roho mtakatifu
(Ruah haKodesh) achungmza Waebrania 3:7
kwa hiyo kama asembavyo roho mtakatifu, leo kuona mtaisikia sauti yake.
Kumb 30:15 Angalis
nimekuwekea leo mbele yako wame na mema na matuti na mabaya
Kumb 30:19
nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo kuwa nimekuwekea mbele yako
uzima na mauti baraka na kana basi chungua uzima ili uwe hai, wewe na uzao
wako.
q