Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[282C]
Utawala wa Wafalme
Sehemu ya III:
Sulemani na Ufunguo wa Daudi
(Toleo
La 1.0 20000315-20060717-20070906)
Awamu ya mwisho ya Mpango wa Mungu kama ulivyoonyeshwa kwenye utawala wa
wafalme wa Israeli ni ile ya Mfalme Sulemani. Mwandamano huu wa matukio ulikuwa
unamuashiria au kumuonyesha Kristo na uanzishaji wa Kanisa likiwa kama Hekalu
la Kiroho la Mungu.
Christian
Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Hati Miliki © 2002, 2006, 2007 Wade Cox)
(Tr. 2014)
Masomo haya
yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu
bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni
lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa
nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa
kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Utawala wa
Wafalme Sehemu ya III: Sulemani na Ufunguo wa Daudi
Kupewa Mamlaka kwa Sulemani
Ni kama
tulivyoona, Mungu alimchagua Sulemani awe Mfalme, kama al;ivyomchagua Daudi
achukue nafasi ya Sauli’ kila mmoja wa watawala hawa watatu walichaguliwa kwa
malengo na makusudi fulani na maisha yao yalikuwa na kielelezo chenye maana
kwenye Mpango wa Mungu kwenye kipindi cha miaka 6,000 ya uumbaji tangu Adamu na
kufungwa kwa Bustani ya Edeni na kuendelea hadi kwenye kipindi cha Milenia kuu
ya mapumziko na Yesu Kristo.
1Wafalme 2:1-46 Basi siku ya kufa kwake Daudi ikakaribia, akamwusia Sulemani mwanawe, akasema, 2 Mimi naenda njia ya ulimwengu wote; basi uwe hodari, ujionyeshe kuwa mwanamume; 3 uyashike mausia ya Bwana, Mungu wako, uende katika njia zake, uzishike sheria zake, na amri zake, na hukumu zake, na shuhuda zake, sawasawa na ilivyoandikwa katika torati ya Musa, upate kufanikiwa katika kila ufanyalo, na kila utazamako; 4 ili Bwana afanye imara neno lake alilonena kwa habari yangu, akisema, Ikiwa watoto wako wataiangalia njia yao, wakienda mbele zangu kwa kweli, kwa moyo wao wote, na kwa roho yao yote, (akasema), hutakosa mtu katika kiti cha enzi cha Israeli. 5 Na zaidi ya hayo, umejua alivyonitenda Yoabu, mwana wa Seruya, yaani, alivyowatenda majemadari wawili wa majeshi ya Israeli, Abneri, mwana wa Neri, na Amasa, mwana wa Yetheri, ambao aliwaua, na kuimwaga damu ya vita wakati wa amani, akautia damu ya vita mshipi uliokuwa viunoni mwake, na viatu vilivyokuwa miguuni mwake. 6 Kwa hiyo ufanye kama ilivyo hekima yako, wala usimwachie mvi zake kushukia Ahera kwa amani. 7 Lakini uwafanyie mema wana wa Barzilai Mgileadi, wawe miongoni mwao walao mezani pako; kwa jinsi walivyonijilia nilipokuwa nimekimbia mbele ya Absalomu, ndugu yako. 8 Hata, angalia, yuko pamoja nawe Shimei, mwana wa Gera, Mbenyamini, wa Bahurimu, ndiye aliyenilaani kwa laana kuu siku ile nilipokwenda Mahanaimu; lakini akashuka kunilaki kule Yordani, nami nikamwapia kwa Bwana, nikamwambia, Mimi sitakuua kwa upanga. 9 Basi kwa hiyo usimwachilie, kwa kuwa wewe u mtu wa akili; nawe utajua ikupasayo umtendee, na mvi zake utazishusha Ahera pamoja na damu. 10 Basi Daudi akalala na babaze, akazikwa mjini mwa Daudi. 11 Na siku alizotawala Daudi juu ya Israeli zilikuwa miaka arobaini; huko Hebroni alitawala miaka saba, na katika Yerusalemu akatawala miaka thelathini na mitatu.
Daudi alikuwa
ameyaona matatizo yaliyosababishwa na wale waliomuathiri yeye, kama vile Yoabu
na Shimei Mbenyamini, na alimuamini Sulemani kuwa ataweza kuwaadhibu kwa damu
yao. Sulemani aliaminiwa na kupewa ufalme na alikuwa na kazi fulani maalumu.
Tangu wakati ule alipewa hekima pia ya kupambanua na mfano wake wa kwanza tuliouona
ulikuwa ni ule wa kumhukumu Adonia.
12 Basi Sulemani akaketi katika kiti cha enzi cha Daudi baba yake; na ufalme wake ukawa imara sana. 13 Ndipo Adonia mwana wa Hagithi akaja kwa Bath-sheba mamaye Sulemani. Naye akasema, Je! Umekuja kwa amani? 14 Naye akajibu, Kwa amani. Tena akasema, Nina shauri ninalotaka kukuambia. Naye akamwambia, Sema. 15 Basi akasema, Wajua ya kwamba ufalme ulikuwa wangu, na Israeli wote wakaniwekea nyuso zao ili nimiliki mimi; walakini sasa ufalme umegeuka kuwa wake ndugu yangu; kwa maana ulikuwa wake kutoka kwa Bwana. 16 Basi sasa nina haja moja ninayokuomba, usinikataze hiyo. Naye akamwambia, Sema. 17 Akasema, Nena, nakusihi, na Sulemani, mfalme, (kwa kuwa hawezi kukukataza neno), kwamba anioze Abishagi, Mshunami. 18 Naye Bath-sheba akasema, Vema; nitasema na mfalme kwa ajili yako. 19 Basi Bath-sheba akaingia kwa mfalme Sulemani, aseme naye kwa ajili ya Adonia. Naye mfalme akainuka kwenda kumlaki, akamwinamia, akaketi katika kiti chake cha enzi; kisha akaagiza awekewe kiti cha enzi mamaye mfalme; naye akaketi mkono wake wa kuume. 20 Ndipo akasema, Haja moja ndogo nakuomba; usinikataze. Mfalme akamwambia, Omba, mama; kwa kuwa siwezi kukukataza neno. 21 Naye akasema, Nataka Adonia, ndugu yako, aozwe Abishagi, Mshunami. 22 Akajibu mfalme Sulemani akamwambia mamaye, Na mbona wamtakia Adonia Abishagi, Mshunami? Umtakie na ufalme pia; kwa kuwa yeye ni ndugu yangu mkubwa; naam, umtakie yeye, na Abiathari kuhani, na Yoabu mwana wa Seruya. 23 Ndipo mfalme Sulemani akaapa kwa Bwana, akasema, Mungu anifanyie hivyo, na kuzidi, isipokuwa Adonia amenena neno hili juu ya uhai wake mwenyewe. 24 Basi kwa hiyo, Bwana aishivyo, aliyenithibitisha na kunikalisha katika kiti cha enzi cha Daudi baba yangu, akanifanyia nyumba, kama alivyoahidi, hakika atauawa leo hivi Adonia. 25 Mfalme Sulemani akatuma kwa mkono wa Benaya mwana wa Yehoyada: naye akampiga, hata akafa.
Sulemani
aliyasamehe maisha na uhai wa watu hawa kwa masharti maalumu na ilitegemea tu
mwenendo wao jinsi utakavyokuwa na uadilifu wao. Ombi la Adonia linaonyesha nia
yake ya kukipata kiti cha ufalme baada ya kufanikisha ndoa yake na Abigaili
Mshunami, na kama alivyokuwa ni mshirika wa mwisho wa Daudi na aliyechukuliwa
kuwa mwenye kuheshimika sana. Ingetoa mwanya wa ambao kwamba Adonia angetaka
kuchukua kiti cha ufalme tena.
Sulemani
aliyaponya maisha na uhai wa Abiathari kuhani, kwa kuwa alilibeba Sanduku la
Agano mbele ya Daudi. Hata hivyo, alimfukuza na kumhamishia huko Anathothi.
Huko ni nyumbani kwa nabii pia.
26
Tena, mfalme akamwambia
Abiathari kuhani, Enenda Anathothi mashambani kwako; kwa kuwa wastahili kufa;
ila leo sikuui, kwa sababu wewe ulichukua sanduku la Bwana mbele ya Daudi baba
yangu, na kwa sababu wewe uliteswa kwa mateso yote ya baba yangu. 27 Hivyo Sulemani akamtoa Abiathari asiwe kuhani wa Bwana;
ili alitimize neno la Bwana, alilonena juu ya nyumba ya Eli katika Shilo. 28 Tena, habari zikamfikia Yoabu; kwa maana Yoabu alikuwa
amemfuata Adonia, ingawa hakumfuata Absalomu. Yoabu akakimbilia Hemani kwa
Bwana, akazishika pembe za madhabahu. 29 Akaambiwa
mfalme Sulemani ya kwamba, Yoabu amekimbilia Hemani kwa Bwana, naye, tazama,
yuko madhabahuni. Ndipo Sulemani akamtuma Benaya, mwana wa Yehoyada, akisema,
Enenda, umpige. 30 Basi Benaya akaja Hemani kwa Bwana,
akamwambia, Mfalme asema hivi, Njoo utoke. Naye akajibu, La, sivyo; ila
nitakufa papa hapa. Naye Benaya akamletea mfalme habari, akisema, Hivi ndivyo
alivyonena Yoabu, na ndivyo alivyonijibu. 31 Mfalme
akamwambia, Fanya alivyonena, umpige, ukamzike; ili uniondolee mimi na nyumba
ya babangu damu aliyoimwaga Yoabu bure. 32 Naye Bwana
atamrudishia damu yake kichwani pake mwenyewe, kwa kuwa aliwapiga watu wawili
wenye haki, na wema kuliko yeye, akawaua kwa upanga, wala babangu Daudi hakujua
habari hiyo; yaani Abneri, mwana wa Neri, jemadari wa jeshi la Israeli, na
Amasa, mwana wa Yetheri, jemadari wa jeshi la Yuda. 33 Hivyo
damu yao itarudi kichwani pa Yoabu, na kichwani pa wazao wake hata milele; ila
kwa Daudi, na kwa wazao wake, na kwa nyumba yake, na kwa kiti chake cha enzi,
kutakuwa na amani hata milele kutoka kwa Bwana. 34 Ndipo
Benaya, mwana wa Yehoyada, akapanda, akampiga, akamwua; naye akazikwa katika
nyumba yake mwenyewe iliyoko nyikani. 35 Kisha mfalme
akamweka Benaya, mwana wa Yehoyada, mahali pake juu ya jeshi; na Sadoki,
kuhani, mfalme akamweka mahali pa Abiathari. 36 Tena,
mfalme akatuma watu akamwita Shimei, akamwambia, Ujijengee nyumba humu
Yerusalemu, ukae ndani yake, wala usitoke humo kwenda mahali po pote. 37 Kwa kuwa siku ile ya kutoka kwako, na kuvuka kijito Kidroni,
ujue hakika ya kwamba kufa utakufa; damu yako itakuwa juu ya kichwa chako
mwenyewe. 38 Naye Shimei akamwambia mfalme, Neno hili
ni jema; kama alivyosema bwana wangu mfalme, ndivyo atakavyofanya mtumwa wako.
Basi Shimei akakaa Yerusalemu siku nyingi. 39 Ikawa
miaka mitatu ilipokwisha, watumwa wawili wa Shimei wakatoroka kwenda kwa
Akishi, mwana wa Maaka, mfalme wa Gathi. Wakamwambia Shimei, wakasema, Angalia,
watumwa wako wako huko Gathi. 40 Shimei akaondoka,
akatandika punda wake, akaenda Gathi kwa Akishi, ili kuwatafuta watumwa wake.
Akaenda Shimei, akawaleta watumwa wake toka Gathi. 41 Naye
Sulemani akaambiwa, ya kwamba Shimei alikuwa ametoka Yerusalemu kwenda Gathi,
na kurudi tena. 42 Basi, mfalme akatuma watu, akamwita
Shimei, akamwambia, Je! Sikukuapisha kwa Bwana, na kukushuhudia, kusema, Siku
ile ya kutoka kwako ukienda mahali po pote, ujue hakika ya kwamba kufa utakufa?
Nawe ukaniambia, Neno hili nililolisikia ni jema? 43 Mbona
basi hukukishika kiapo cha Bwana, na amri niliyokuagiza? 44 Tena,
mfalme akamwambia Shimei, Umejua uovu wote uliouona moyoni mwako, uliomtenda
Daudi baba yangu; basi kwa hiyo Bwana atakurudishia uovu wako kichwani pako
mwenyewe. 45 Ila mfalme Sulemani atakuwa amebarikiwa,
na kiti cha enzi cha Daudi kitathibitika mbele za Bwana hata milele. 46 Basi mfalme akamwamuru Benaya, mwana wa Yehoyada; naye
akatoka, akampiga, hata akafa. Nao ufalme ukawa imara mkononi mwa Sulemani.
Shimei,
Mbenyamini, hakuweza kuaminiwa kwa kuwa alifanya uasi na alikuwa na uwezo wa
kufanya hivyo tena. Alipewa masharti ili kwamba kama atayavunja, kama
alivyopuuzia masharti hayo ya mfalme hapo mwanzoni, basin a auawe pasipo
lawama.
Kisha Sulemani
alianza mchakato wa kuanzisha ushirikiano wa kibiashara kwa kuwaoa binti za
watawala majirani zake. Kitendo hiki kilimpelekea kujikwaa na kuugawanya ufalme
kipindi cha motto wake. Mungu hakulifanya hilo kipindi cha uhai na utawala wake
kwa kuwa Mpango wa Mungu ukipaswa ufunuliwe kwa huo, na haukupaswa
kuparaganyika kwa namna yoyote ile kwa kuwa ulikuwa unafanya taswira ya utawala
wa Kristo na Kanisa, ambao utawala wa Sulemani ndiyo ulikuwa ni taswira yake.
Mlolongo huu wote ulikusudiwa kuanzisha mpango wa wokovu, uliojulikana kama
Ufunguo wa Daudi, na unapaswa ubakie umekamilika hadi marejesho mapya ya Siku za
Mwisho.
Sulemani akamuoa binti wa Farao kabla ya kujengwa kwa Hekalu. bilashaka hii
ilifanyika kwa lengo la kuweka amani na Misri hadi alipokamilisha kujenga
Mahekalu.
Farao
nayeongelewa hapa alikuwa ni wa Kizazi cha 21 cha Tanite kilichoitawala Misri tangu
takriban mwaka 1070-945 KK. Farao huyu huenda alikuwa ni Psusennes II
Titkheprure (takriban mwaka 976-962), na alirithiwa na Siamun Nutekhepere
(mwaka 962-945). Sulemani alitawala miaka arobaini hadi takriban mwaka 933 KK.
Kwa hiyo, ndugu zake huko Misri waliishi salama kwa kipindi chake chote cha
utawala wake na amani ilikuwa ni ya uhakika sana. Kizazi cha kifalme cha Tanite
kiliishia kwa kurithiwa na Kizazi cha 22 (945-730 KK), ambacho kilianzishwa na
Sheshonq I. Alitokea kwa wafanyakazi au
wanajeshi wa Kilybia, Wameshwesh. Alimsaidia Yeroboamu dhidi ya Rehoboamu
mfalme wa Yuda, huenda ni kwa sababu ya ushirikiano wa kindoa aliokuwanao baba
yake Rehoboamu ambao ni uhusiano na ushirika wa Sulemani na ndoa aliyoifanya ya
kumuoa binti mfalme wa Tenite. Alifanya kampeni huko Palestina yapata mwaka 930
na akakusanya kodi katika Yuda.
Kwenye andiko
hili la 1Wafalme 3 tunaona hekima aliyopewa Sulemani kama alivyoiomba, na
ilionekana kwenye hukumu na maamuzi yake.
1Wafalme 3:1-28 Huyo
Sulemani akafanya ujamaa na Farao, mfalme wa Misri, akamwoa binti yake Farao,
akamleta mjini mwa Daudi, hata alipokwisha kuijenga nyumba yake, na nyumba ya
Bwana, na ukuta wa kuuzunguka Yerusalemu. 2 Ila watu
walikuwa wakichinja dhabihu katika mahali pa juu, kwa sababu haikuwapo nyumba
iliyojengwa kwa jina la Bwana, hata siku zile. 3 Sulemani
naye akampenda Bwana, akienda katika amri za Daudi babaye, ila hutoa dhabihu na
kufukiza uvumba katika mahali pa juu. 4 Basi mfalme
akaenda Gibeoni, ili atoe dhabihu huko; kwa kuwa ndipo mahali pa juu palipo
pakuu. Sulemani akatoa sadaka elfu za kuteketezwa juu ya madhabahu ile. 5 Na huko Gibeoni Bwana akamtokea Sulemani katika ndoto ya
usiku; Mungu akamwambia, Omba utakalo nikupe. 6 Sulemani
akasema, Umemfanyia mtumwa wako Daudi baba yangu fadhili kuu, kadiri
alivyoenenda mbele zako katika kweli, na katika haki, na katika unyofu wa moyo
pamoja nawe; nawe umemwekea na fadhili hii kubwa, maana umempa mwana wa kuketi
kitini pake kama ilivyo leo. 7 Na sasa, Ee Bwana,
Mungu wangu, umenitawaza niwe mfalme mimi mtumwa wako badala ya Daudi baba
yangu; nami ni mtoto mdogo tu; sijui jinsi inipasavyo kutoka wala kuingia. 8 Na mtumwa wako yu katikati ya watu wako uliowachagua, watu
wengi wasioweza kuhesabiwa, wala kufahamiwa idadi yao, kwa kuwa ni wengi. 9 Kwa hiyo nipe mimi mtumwa wako moyo wa adili niwahukumu
watu wako, na kupambanua mema na mabaya; maana ni nani awezaye kuwahukumu hawa
watu wako walio wengi? 10 Neno hili likawa jema
machoni pa Bwana, ya kuwa Sulemani ameomba neno hili. 11 Mungu
akamwambia, Kwa kuwa umeomba neno hili, wala hukujitakia maisha ya siku nyingi;
wala hukutaka utajiri kwa nafsi yako; wala hukutaka roho za adui zako; bali
umejitakia akili za kujua kuhukumu; 12 basi, tazama,
nimefanya kama ulivyosema. Tazama, nimekupa moyo wa hekima na wa akili; hata
kabla yako hapakuwa na mtu kama wewe, wala baada yako hatainuka mtu kama wewe. 13 Na mambo yale usiyoyaomba nimekupa, mali na fahari, hata
hapatakuwa na mtu katika wafalme kama wewe, siku zako zote. 14
Nawe ukienda katika njia zangu, na kuyashika mausia yangu, na amri
zangu, kama baba yako Daudi alivyokwenda, basi nitazifanya siku zako kuwa
nyingi. 15 Naye Sulemani akaamka, na kumbe! Ni ndoto.
Akaenda Yerusalemu, akasimama mbele ya sanduku la agano la Bwana, akatoa sadaka
za kuteketezwa, akatoa na sadaka za amani; akawafanyia karamu watumishi wake
wote. 16 Ndipo wanawake wawili, makahaba, walimwendea
mfalme, wakasimama mbele yake. 17 Na mwanamke mmoja
akasema, Ee bwana wangu, mimi na mwanamke huyu tunakaa katika nyumba moja; nami
nalizaa nilipokuwa pamoja naye nyumbani. 18 Kisha,
siku ya tatu baada ya kuzaa kwangu, ikawa mwanamke huyu naye akazaa; na sisi
tulikuwa pamoja; hapakuwa na mtu mwingine pamoja nasi nyumbani, isipokuwa sisi
wawili tu. 19 Na mtoto wa mwanamke huyu akafa usiku,
maana alimlalia. 20 Akaondoka kati ya usiku,
akamwondoa mtoto wangu ubavuni pangu, mimi mjakazi wako nilipokuwa usingizini,
akamweka kifuani pake, na mtoto wake mwenyewe, aliyekuwa amekufa, akamweka
kifuani pangu. 21 Nilipoondoka asubuhi nimnyonyeshe
mtoto wangu, kumbe? Amekufa. Hata asubuhi nilipomtazama sana, kumbe! Siye mtoto
wangu niliyemzaa. 22 Ndipo yule mwanamke wa pili
akasema, Sivyo hivyo; bali mtoto wangu ndiye aliye hai, na mtoto wako ndiye
aliyekufa. Na mwenzake akasema, Sivyo hivyo; bali mtoto wako ndiye aliyekufa,
na mtoto wangu ndiye aliye hai. Ndivyo walivyosema mbele ya mfalme. 23 Ndipo mfalme akasema, Huyu anasema, Mtoto wangu yu hai,
na mtoto wako amekufa. Na huyu anasema, Sivyo hivyo; bali mtoto aliyekufa ni
wako, na mtoto aliye hai ni wangu. 24 Mfalme akasema,
Nileteeni upanga. Wakaleta upanga mbele ya mfalme. 25 Mfalme
akasema, Mkate mtoto aliye hai vipande viwili, kampe huyu nusu, na huyu nusu. 26 Ndipo mwanamke yule, ambaye mtoto aliye hai ni wake,
akamwambia mfalme kwa maana moyoni mwake alimwonea mtoto wake huruma, akasema,
Ee bwana wangu, mpe huyu mtoto aliye hai, wala usimwue kamwe. Lakini yule
mwingine akasema, Asiwe wangu wala wako; na akatwe. 27 Ndipo
mfalme akajibu, akasema, Mpe huyu wa kwanza mtoto aliye hai, maana yeye ndiye mama
yake. 28 Na Israeli wote wakapata habari za hukumu ile
aliyoihukumu mfalme wakamwogopa mfalme; maana waliona ya kuwa hekima ya Mungu
ilikuwa ndani yake, ili afanye hukumu.
Kilikuwa ni
kipindi cha kuuona moyo au kiini cha jambo lenyewe, na kuona moyo wa mtu kwa
hukumu hii na iliyomtukuza Sulemani. Nia ya Adoniya ilikuwa wazi, kama
ilivyokuwa nia iliyokuwa kwa huyu kahaba ambaye alipenda kumuona mtoto akiuawa.
Hakuna mzazi hasa mama wa kweli wa mtoto angaliyekubali kufanyika kwa hilo hata
kwa yeyote angaliyeweza kudhania kiuhalisia na uhakika kabisa kuwa mtoto ni
wake kuliko hata mama wa mtoto. Moyo aliokuwanao mwanamke huyu aliyependa kuona
mtoto huyu akikatwa vipande viwili ulitaka kumfanya Yule mwenzake asikijikie
vizuri ukitikisa mawazo na nia ya moyo, na ndipo Sulemani aliweza kuijua mia
iliyokuwa miyoni mwao na uhakika wa jambo lilivyo kwa kutumia mtihani mdogo
sana na jibu lake. Watu wengi karika Israeli walilisikia jambo hili, na kama
walivyojua kwamba hukumu yake kwenye mambo makubwa angewezakugundua kwa kupitia
aina yoyote ya hila au ujanja na udanganyifu wao wakifanya.
Baraka za
Sulemani zimeandikwa pia kwenye kitabu cha Mambo ya Nyakati.
2Mambo ya Nyakati 1:1-17 Basi Sulemani, mwana wa Daudi, alithibitishwa
katika ufalme wake, naye Bwana, Mungu wake, alikuwa pamoja naye, akamtukuza
mno. 2 Sulemani akasema na Israeli wote, na maakida wa
maelfu, na wa mamia, na waamuzi, na kila shehe wa Israeli wote, wakuu wa nyumba
za mababa..
Kipindi hiki,
Sulemani alikazia kwa moyo wote kumuabudu Mungu na kuwa mtiifu na mkamilifu
kwake kwa bidii yake yote.
2Mambo ya Nyakati 1:3-6 Basi Sulemani akaenda mahali pa juu pa Gibeoni, na
kusanyiko lote naye; kwani ndipo ilipokuwako hema ya kukutania ya Mungu,
aliyoifanya Musa mtumishi wa Bwana jangwani. 4 Lakini
sanduku la Mungu, Daudi alikuwa amelipandisha kutoka Kiriath-yearimu mpaka
mahali Daudi alipolitengenezea; maana amelitandia hema katika Yerusalemu. 5 Tena madhabahu ya shaba, aliyoifanyiza Bezaleli mwana wa
Uri, mwana wa Huri, ilikuwako huko mbele ya maskani ya Bwana; Sulemani na
kusanyiko wakaiendea. 6 Sulemani akaipandia huko
madhabahu ya shaba mbele za Bwana, iliyokuwako hemani pa kukutania, akatoa
sadaka elfu za kuteketezwa juu yake.
Matokeo ya utiifu
na unyenyekevu wake Sulemani alitakiwa na Elohim (tumjuaye kama Yesu Kristo
leo) aombe lolote alitakalo.
7 Usiku ule Mungu akamtokea Sulemani,
akamwambia, Omba utakalo nikupe
Sulemani hapa
anaomba hekima na matokeo yake alipokea zaidi yake.
2Mambo ya Nyakati
1:8-17 Sulemani akamwambia Mungu, Umemfanyia baba yangu Daudi fadhili kuu, nawe
umenimilikisha mimi badala yake. 9 Basi sasa, Ee Bwana
Mungu, na limyakinie baba yangu Daudi neno lako; maana umenitawaza niwe mfalme
juu ya watu wengi kama mavumbi ya nchi. 10 Basi sasa
nipe hekima na maarifa, nijue kutoka na kuingia mbele ya watu hawa; kwa kuwa ni
nani awezaye kuwahukumu watu wako hawa walio wengi? 11 Naye
Mungu akamwambia Sulemani, Kwa sababu neno hili lilikuwamo moyoni mwako, wala
hukujitakia mali, wala utajiri, wala utukufu, wala maisha za wakuchukiao, wala
hukujitakia maisha ya siku nyingi; bali umejitakia hekima na maarifa, upate
kuwahukumu watu wangu, niliokutawaza juu yao; 12 basi
hekima na maarifa umepewa; nami nitakupa mali, na utajiri, na utukufu, kupita
walivyokuwa navyo wafalme wote waliokuwa kabla yako, wala baada yako hapatakuwa
na mtu atakayekuwa navyo. 13 Akaja Sulemani kutoka
mahali pa juu pa Gibeoni, toka mbele ya hema ya kukutania, mpaka Yerusalemu;
akatawala juu ya Israeli. 14 Sulemani akakusanya
magari na wapandao farasi; naye alikuwa na magari elfu na mia nne, na wapandao
farasi kumi na mbili elfu, aliowaweka katika miji ya magari, na pamoja na
mfalme huko Yerusalemu. 15 Mfalme akafanya fedha na
dhahabu kuwa kama mawe humo Yerusalemu, na mierezi akaifanya kuwa kama mikuyu
iliyomo Shefela, kwa kuwa mingi. 16 Nao farasi,
aliokuwa nao Sulemani wakaletwa toka Misri; wakapewa wafanya biashara wake
mfalme kwa makundi; kila kundi na thamani yake. 17 Nao
hupandisha, na kuleta kutoka Misri gari kwa shekeli mia sita za fedha, na
farasi kwa mia na hamsini, vivyo watu wakawaletea wafalme wote wa Wahiti, na
wafalme wa Shamu, mikononi mwao.
Andiko hili
linaonyesha kwamba wafalme wa Wahiti na wafalme wa Syria waliungana na
kushirikiana na Sulemani na walipewa magari na farasi kwa ajili ya majeshi yao
yaliyokuwa kaskazini mwa Israeli, wakati washirika wa Sulemani na walioanza
kulinda mpaka wake na Misri wakati wa Kizazi cha ufalme cha 21 (cha Tanite), na
ambacho kilikuwa kinamiliki ufuo wa Delta ya Nile na kaskazini mwa Misri.
Wasyria au Washamu walizishikilia nchi za maeneo ya Frati na walihakikisha kuwa
na amani upande wa Kaskazini na Mashariki. Wakati ule, washirika wa Wahiti wa
Hati na Kalti (Waseltiki) walienea tangia kaskazini mwa ile ijulikanayo leo
kuwa ni Lebanoni, hadi kaskazini mwa Uturuki, hadi kwenye mipaka ya nchi za
Mesheki na Tubali kaskazini na kuelekea upande wa mashariki mwa Kaspiani.
Walienea kwenye maeneo yaliyobakia ya uliokuwa zamani ufalme wa Wilusia na mji
wa Troy, ambalo liliangamizwa kwenye miaka ya mwisho ya utawala wa Eli akiwa
kama mwamuzi wa Israeli. Walichanganyika na Waisraeli kwenye ushirikiano na
mshikamano tangu hapo hadi kufikia baada ya kipindi cha Israeli kwenda utumwani
mnamo mwaka 722 KK. Waashuru walipeleka Makabika Kumi kaskazini katikati yao na
Waseltiki wakiwa kama ngao ya kujilinda. Waisraeli waliporudi walijichanganya
na waliunda sehemu ya ushirikiano na Waparthi Waseltiki huko Scythia kwa sababu
ya hawa washirika wa zamani sana. Hatimaye waliingia Ulaya katika karne ya pili
BK.
Siku hizi wapo
kwenye makundi ya watu wenye lugha mbalimbali walioenea maeneo yote ya
Kaskazini-Magharibi mwa Ulaya, walitofautishwa tu kwa vipimo vyao vya nasaba
vya YDNA Makundi ya Haplo au Haplogroups lakini yanamwingiliano wa kidamu kwa
upande wa nasaba ya mwanamke ijulikanayo kama mtDNA. Waselkiti Wahiti na
Makabila Kumi Yaliyopotea au Yaliyotawanyika sasa ni yote wana wawili wote wa
Ibrahimu (soma majarida ya Chimbuko la Kijenetiki la Mataifa (Na. 265) na Vita Vya Hamon-Gogu (Na. 294) [The Genetic Origin of the Nations (No. 265) and War of Hamon-Gog (No. 294)].
Uongozi katika Utawala wa Sulemani
1Wafalme 4:1-34 Basi mfalme Sulemani
akawa mfalme juu ya Israeli wote. 2 Na hawa ndio wakuu
aliokuwa nao; Azaria mwana wa Sadoki, kuhani, 3 Elihorefu
na Ahiya, wana wa Shausha, waandishi; Yehoshafati mwana wa Ahiludi mwenye
kuandika tarehe; 4 na Benaya mwana wa Yehoyada alikuwa
juu ya jeshi; na Sadoki na Abiathari walikuwa makuhani; 5 na
Azaria mwana wa Nathani alikuwa juu ya maakida; na Zabudi mwana wa Nathani
alikuwa kuhani, rafiki wake mfalme. 6 Na Ahishari
alikuwa juu ya nyumba; na Adoramu mwana wa Abda alikuwa juu ya shokoa. 7 Sulemani alikuwa na maakida kumi na wawili juu ya Israeli
wote, walioleta chakula cha mfalme na nyumba yake; kila mtu alikuwa na mwezi
mmoja katika mwaka kuleta chakula.
Kwahiyo, makabila
haya kumi na mbili yalifundishwa jinsi ya kutoa mali zao ili kuitegemeza nyumba
hii iliyokuwa huko Yerusalemu kwa utaratibu wa kuwapangia kila kabila moja kwa
mwezi mmoja. Kwa namna hiyohiyo, makuhani na Walawi waligawanywa kwenye
makabila kwa msingi wa migawanyo miwili kwa kila kabila, na hawa walipokea zaka
pia kutoka kwa makabila hayo na walitoa zaka ya zaka kwenye Hekalu la
Yerusalemu, amazo zilikuwa chini ya Sadoki.
Sehemu za
nyingeza za 1 na 2 za jarida hili inaelezea Kizazi cha ufalme wa Misri
kinachohusiana na maandiko ya Biblia na kwenye vipindi maalumu vya Ufunguo wa Daudi. Sehemu nyongeza ya 3 na
4 vinaelezea maana ya Ukuhani wa Walawi uliowekwa kuanzia au ndani ya Hekalu,
na pia pamoja na Watu Mashuhuri au Wakuu wa Israeli, walifikia idadi ya
thelathini na saba na uongozi.
Haya ni majina ya
wale maafisa kumi na mbili wa wakusanya changizo wa kila kabila.
8 Na haya ndiyo majina yao. Mwana wa Huri,
mlimani mwa Efraimu. 9 Mwana wa Dekari, kutoka Makasi,
na Shaalbimu na Bethshemeshi na Elon-beth-hanani. 10 Mwana
wa Hesedi, katika Arubothi; na Soko ilikuwa kwake na nchi yote ya Heferi. 11 Mwana wa Abinadabu katika Nafath-dori yote; ndiye
aliyekuwa naye Tafathi binti Sulemani kuwa mke wake. 12 Baana
mwana wa Ahiludi, katika Taanaki na Megido, na Beth-sheani yote, iliyo kando ya
Sarethani, chini ya Yezreeli, tangu Beth-sheani mpaka Abel-mehola, hata kupita
Yokmeamu. 13 Mwana wa Geberi katika Ramoth-gileadi; na
kwake ilikuwa miji ya Yairi mwana wa Manase iliyomo Gileadi; na kwake ilikuwa
wilaya ya Argobu, iliyomo Bashani, miji mikubwa sitini yenye kuta na makomeo ya
shaba. 14 Ahinadabu mwana wa Ido, katika Mahanaimu. 15 Ahimaasi, katika Naftali; naye ndiye aliyemwoa Basemathi
binti Sulemani. 16 Baana mwana wa Hushai, katika
Asheri na Bealothi. 17 Yehoshafati mwana wa Parua,
katika Isakari. 18 Shimei mwana wa Ela, katika
Benyamini. 19 Geberi mwana wa Uri, katika nchi ya
Gileadi, nchi ya Sihoni mfalme wa Waamori, na Ogu mfalme wa Bashani; naye
alikuwa akida wa pekee katika nchi hiyo. 20 Yuda na
Israeli walikuwa wengi kama mchanga wa pwani kwa wingi, wakila, na kunywa, na
kufurahi. 21 Sulemani akatawala juu ya falme zote, toka
Mto mpaka nchi ya Wafilisti, na hata mpaka wa Misri; walimletea tunu, na
kumtumikia Sulemani siku zote za maisha yake. 22 Na
vyakula vya Sulemani vya siku moja vilikuwa kori therathini za unga wa mzuri,
na kori sitini za ngano. 23 na ng'ombe kumi walionona, na ng'ombe ishirini za malisho, na kondoo mia,
pamoja na ayala, na paa, na kulungu, na kuku walionona. 24 Kwani
alikuwa akitawala nchi yote upande huu wa Mto, toka Tifsa mpaka Gaza, juu ya
wafalme wote wa upande huu wa Mto; naye alikuwa na amani pande zake zote. 25 Yuda na Israeli wakakaa salama, kila mtu chini ya mzabibu
wake na chini ya mtini wake, tokea Dani mpaka Beer-sheba, siku zote za
Sulemani. 26 Tena Sulemani alikuwa na mabanda ya
farasi arobaini elfu kwa magari yake, na wapandao farasi kumi na mbili elfu. 27 Na maakida wale wakaleta chakula kwa mfalme Sulemani na
kwa wote walioijia meza ya mfalme Sulemani, kila mtu katika mwezi wake,
kisipunguke kitu. 28 Shayiri pia na majani kwa farasi,
na kwa wanyama wenye mbio, wakaleta mahali walipokuwapo, kila mtu kwa kadiri ya
kazi yake. 29 Mungu akampa Sulemani hekima, na akili
nyingi sana, na moyo mkuu, kama mchanga ulioko pwani. 30 Hekima
ya Sulemani ikapita hekima ya wana wote wa mashariki, na hekima zote za Misri. 31 Kwa kuwa alikuwa na hekima kuliko watu wote; kuliko
Ethani Mwezrahi, na Hemani, na Kalkoli, na Darda, wana wa Maholi; zikaenea sifa
zake kati ya mataifa yote yaliyozunguka. 32 Naye
akanena mifano elfu tatu, na nyimbo zake zilikuwa elfu moja na tano. 33 Akanena habari za miti tangu mwerezi ulioko Lebanoni hata
hisopo umeao ukutani; pia akanena habari za wanyama, na za ndege, na
vitambaavyo, na samaki. 34 Wakaja wa mataifa yote ili
waisikie hekima ya Sulemani, toka wafalme wote wa ulimwengu, waliokuwa wamepata
habari za hekima yake.
Ndipo Sulemani
aliandika Kitabu cha Mithali na idadi kamili na kwa hiyo vilikuwa elfu tatu.
Kwa hiyo Sulemani
m-botania na ni mtaalamu wa mambo ya wanyama, ndege warukao na samaki.
Alifanyika kuwa mtaalamu kwenye utaratibu na kuendelea kwenye uumbaji.
Alipofanyika kuwa
Mfalme, Hiramu wa Tiro aliazimu kuanzisha uhusiano wake na Sulemani kama
alivyokuwa na Daudi. Hivi ndivyo alivyotaka kufanya Daudi na Waamoni, lakini
walipumbazika sana kwa ujinga na wakamtukana na kumchokoza Daudi. Sulemani
hakufanya hivyo kwa Hiramu. Badala yake alimuorodheshea na kumtumia mahitaji ya
vifaa alivyokuwa anavihitaji kwa ajili ya ujenzi wa Hekalu. Hapa tunaona pia
kwamba Wamataifa wanaorodheshwa kwenye ujenzi wa Hekalu la Kiroho, ambalo ni
Kanisa la Mungu.
1Wafalme 5:1-18
Ndipo Hiramu, mfalme wa Tiro, akawatuma watumishi wake kwa Sulemani; kwani
alikuwa amesikia ya kwamba wamemtia mafuta awe mfalme mahali pa baba yake. Kwa
maana Hiramu alikuwa akimpenda Daudi siku zote. 2 Basi
Sulemani akatuma watu kwa Hiramu, akasema, 3 Umemjua
Daudi baba yangu jinsi asivyoweza kujenga nyumba kwa jina la Bwana, Mungu wake,
kwa sababu ya vita vilivyomzunguka pande zote, hata Bwana alipowatia watu chini
ya nyayo zake. 4 Ila leo Bwana, Mungu wangu, amenipa
amani kila upande; hakuna adui, wala tukio baya. 5 Nami,
tazama, nakusudia kujenga nyumba kwa jina la Bwana, Mungu wangu, kama Bwana
alivyomwambia Daudi baba yangu, akisema, Mwana wako, nitakayemweka katika kiti
chake cha enzi mahali pako, ndiye atakayeijenga nyumba kwa jina langu. 6 Basi uamuru wanikatie mierezi ya Lebanoni; na watumishi
wangu watafuatana na watumishi wako; na ujira wa watumishi wako nitakupa kama
utakavyosema; kwa kuwa wajua ya kwamba hakuna kwetu mtu ajuaye kukata miti kama
Wasidoni. 7 Ikawa, Hiramu aliposikia maneno yake
Sulemani, alifurahi sana, akasema, Na ahimidiwe Bwana leo, aliyempa Daudi mwana
mwenye akili juu ya watu hawa walio wengi. 8 Hiramu
akatuma watu kwa Sulemani, akasema, Nimeyasikia yale uliyoniletea; nami
nitafanya kila ulitakalo katika habari ya miti ya mierezi, na miti ya
miberoshi. 9 Watumishi wangu wataishusha toka Lebanoni
mpaka baharini; nami nitaiendesha baharini, ikifungwa pamoja, mpaka mahali
utakaponiagiza, huko nitaifungua ili wewe uichukue; ndivyo utakavyoitimiza haja
yangu, ukiwapa chakula watu wa nyumbani mwangu. 10 Basi
Hiramu akampa Sulemani miti ya mierezi na miti ya miberoshi kadiri alivyotaka.11 Sulemani akampa Hiramu kori ishirini elfu za ngano,
chakula cha watu wake, na kori ishirini za mafuta safi. Ndizo Sulemani alizompa
Hiramu mwaka kwa mwaka. 12 Bwana akampa Sulemani
hekima, kama alivyomwahidia. Ikawa amani kati yao Hiramu na Sulemani;
wakafanyana maagano pamoja hao wawili. 13 Mfalme
Sulemani akafanya shokoa ya Israeli wote; nayo shokoa hiyo ilikuwa ya watu
thelathini elfu. 14 Akawatuma Lebanoni kwa mwezi, elfu
kumi kwa zamu. Mwezi mmoja walikuwako huko Lebanoni, na miezi miwili wakawako
kwao. Na Adoramu alikuwa juu ya shokoa. 15 Sulemani
alikuwa na wachukua mizigo sabini elfu, na wakatao miti themanini elfu
milimani; 16 mbali na maakida yake Sulemani waliokuwa
juu ya kazi, elfu tatu na mia tatu, wasimamizi wa watu waliotenda kazi. 17 Mfalme akaamuru, nao wakaleta mawe makubwa, mawe ya
thamani, ili wauweke msingi wa nyumba kwa mawe yaliyochongwa. 18 Na waashi wa Sulemani na waashi wa Hiramu na Wagebali
wakayachonga, wakaweka tayari miti na mawe ya kuijenga nyumba.
Utaratibu tu wa
kushughulika na Hiramu ulikuwa ni tofauti kutoka kwenye njia mbalimbali ambazo
zilikuwa ni kwa kuwatumia wafalme wenye nguvu zaidi waliokuwepo wakati huo
kuwaelekea wajirani wadhaifu. Njia ya kawaida ilikuwa ni kuwadhulumu na
kuwakandamiza, lakini Sulemani alimfanyia rafiki wa baba yake kwa heshima na
kwamba Wamataifa wa Mataifa yote waweze kuuingia Ufalme wa Mungu, wa kuongezewa
kwenye Hekalu la Mungu. Kwa jinsi hiyohiyo Wahiti wa kaskazini walijichanganya
na Israeli katika miaka iliyofuatia na wakaenea Ulaya kote.
(Mwisho wa tepu 282C1)
Ufunguo
wa Daudi
Kuna
maandiko maalumu kuhusu masuala ya Ufunguo wa Daudi. Imeelezwa kuwa inamaanisha
Kanisa la Wafiladelfia. Ahadi imefanywa na Kristo kwamba yeye ndiye mwenye huo
Ufunguo wa Daudi na kwamba atautoa na kulipa Kanisa la Wafiladelfia.
Ufunuo 3:7-8 Na kwa malaika wa kanisa lililoko Filadelfia andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye mtakatifu, aliye wa kweli, aliye na ufunguo wa Daudi, yeye mwenye kufungua wala hapana afungaye, naye afunga wala hapana afunguaye. 8 Nayajua matendo yako. Tazama, nimekupa mlango uliofunguliwa mbele yako, ambao hapana awezaye kuufunga, kwa kuwa unazo nguvu kidogo, nawe umelitunza neno langu, wala hukulikana jina langu.
Sasa ni kitu kimoja cha kudai kwenye jina la Kanisa la Wafiladelfia na
kusema unao Ufunguo wa Daudi, na ni kitu kingine kabisa cha kuenenda kama
Wafiladelfia na kutendea kazi Ufunguo na kuelezea uweza wake na maana yake. Kwa
hakika, Kanisa linalibeba jina la Mungu na limepewa mlango uliofunguliwa kwa
uweza wa Mungu. Hakuna mtu anayeweza kulikomesha Kanisa kutoka kwenye utendaji
kazi wake. Linaitangaza jins Imani na nguvu au uweza wa Eloa kuwa ni Mungu
Mmoja, Wapekee na wa Kweli.
Kwenye Ufunuo 3:7, tunaona kwamba Mungu anajifunua mwenyewe kuwa yeye ni
Mtakatifu, nay eye aliye wa kweli, na ni yeye aliye na Ufunguo wa Daudi. Kwa
hiyo, ni kwa kumuabudu yeye pekee anayeweza kuutoa Ufunguo wa Daudi. Kwenye
Ufunuo 1:4, tunaona kwamba unatoka kwa Mungu, aliyekuweko na aliyeko na ajaye,
na kutoka roho saba za Mungu zilizo mbele ya Kiti chake cha enzi, ambacho
kimetolewa na ufunuo.
Kuanzia sura ya 4 ndipo kitabu hiki cha Ufunuo kinaendelea kuutangaza
utakatifu wa Mungu pamoja na maneno mengine kumi na saba yaliyo kwenye Ufunuo
4:8,11; 5:9-10,12-14; 7:10,12; 11:15,17-18; 12:10-12; 14:13; 15:3-4; 19:1-8.
Utakatifu wa Mungu umetangazwa mapema kabla ya kuhumu iliyoandikwa kwenye
Ufunuo 4:8, na kama tunavyoona kwenye Zaburi 93, 97, 99 na Isaya 6:3.
Kwa hiyo, ni nini hasa huu Ufunguo wa Daudi? Na una umuhimu gani kwenye
kazi ya Kanisa la Siku za Mwisho?
Kuna mambo yaliyowazi sana kwa kweli kuhusu maisha ya Daudi ambayo
yanahusisha na ufunguo na kazi yake ya Mpango wa Mungu kama unavyohusiana na
Kanisa. Ufunguo ule unafungua Siri za Mungu kwa Kanisa katika Siku za Mwisho,
na Kanisa la Wafiladelfia limepewa mlango ule uliofunguliwa wa kulifundisha
hili, na la kuzifanya kazi za Mungu kupitia kwa Yesu Kristo na Roho Mtakatifu
katika Siku za Mwisho.
Daudi alikuwa kigezo cha ufunguo kwenye historia ya Utawala wa Wafalme.
Alizaliwa wakati wa utawala wa mfalme Sauli na akakua hadi kufanyika kuwa ni
Mtiwa Mafuta wa Bwana. Alipofikia umri wa miaka thelathini aliwekwa kwenye
mchakato wa kuwa mfalme na alitawala kwa kipindi cha miaka arobaini. Alimwachia
ufalme wake Sulemani na kwa hiyo alikuwa hai na kushuhudia tawala zote tatu.
Jambo kubwa alilolifanya maishani mwake lilikuwa ni kuwaunganisha Israeli
na kwa amani, na kuwakusanya kwa mkusanyo mkuu wa vifaa vya ujenzi wa Hekalu.
Alipanga ujenzi wake na kuziandika Zaburi kwa ajili ya ibada. Jambo kuu
lililofanyika kwenye utawala wa Daudi ni kipaumbele wake wa kulijenga Hekalu.
Ingawaje yeye mwenyewe hakulijenga hilo Hekalu, lakini hata hivyo lilikuwa ni
jukumu lake kwenye mchakato ule na ndio unaofanya ufunguo wa kuuelewa Mpango wa
Mungu. Kulijua jukumu la Djukumu la Daudi, na maana ya wafalme kwenye mchakato
ule, ndipo tunaujua Mpango wa Mungu kwenye utawala wa Yesu Kristo na kwa
Makanisa ya Mungu.
Kuuelewa mpango na mlolongo huu wamepewa watu walioaminiwa na jambo hili
na Mungu Mmoja wa Pekee na wa Kweli, Eloa, kwenye muda aliouamua au kuupanga
kuzifunua Siri za Mungu ulimwenguni. Kwa hiyo Mungu Mmoja Wapekee na wa Kweli,
Eloa, ndiye anayepaswa kuabudiwa kwenye Kanisa la Wafiladelfia. Kwa hiyo
wahawezi kuwa ni watu wa imani ya Kiditheist, au Wabinitariani, zaidi ya kuwa
ni Wayunitariani.
Mungu anawapa uwezo wa kuuelewa Ufunguo huu wa Daudi watumishi wake
manabii, na tunaona hilo kutoka kwa manabii kile kilichokusudiwa kwenye Ufunguo
huu.
Nabii Isaya aliuelezea Ufunguo huu wa Daudi kwa wazi kabisa.
Isaya 22:17-25
Tazama, Bwana atakutupa kwa nguvu, kama mtu mwenye nguvu; naam,
atakuzonga-zonga. 18 Hakika atakukunja na kukutupa
kama mpira, mpaka nchi iliyo mbali; huko utakufa, na magari ya utukufu wako
yatakuwa kuko huko, ewe uliye aibu ya nyumba ya bwana wako. 19
Nami nitakusukuma na kukutoa katika mahali pako, naye atakushusha utoke
hapa usimamapo. 20 Na itakuwa katika siku ile
nitamwita mtumishi wangu Eliakimu, mwana wa Hilkia; 21 nami
nitamvika vazi lako, nitamtia nguvu kwa mshipi wako, nami nitamkabidhi yeye
mamlaka yako; naye atakuwa baba kwa wenyeji wa Yerusalemu, na kwa nyumba ya
Yuda. 22 Na ufunguo wa nyumba ya Daudi nitauweka
begani mwake; yeye atafungua wala hapana atakayefunga; naye atafunga wala
hapana atakayefungua. 23 Nami nitamkaza kama msumari
mahali palipo imara; naye atakuwa kiti cha utukufu kwa nyumba ya baba yake. 24 Nao wataangika juu yake utukufu wote wa nyumba ya baba
yake; wazao wake na watoto wao, kila chombo kidogo tangu vyombo vya vikombe
hata vyombo vya makopo vyote pia. 25 Katika siku ile,
asema Bwana wa majeshi, ule msumari uliokazwa katika mahali palipo imara
utalegea; nao utakatwa na kuanguka chini, na ule mzigo uliokuwa juu yake utakatiliwa
mbali; maana Bwana amesema haya.
Ufunguo wa Daudi kwa hiyo ni kitu kilichoelezewa
kwenye unabii na kuuelewa mchakato wa Serikali ya Mungu.
Huhu mtu anayetajwa hapa kwenye 2Wafalme 18:18-26. Kwahiyo, Ufunguo wa
Daudi aliaminiwa kupewa Eliakimu, mwana wa Hilkia, ambaye alikuwa ni mkuu wa
watu wa nyumbani mwake wakati wa utawala wa Hezekia wakati Waashuru walipokuja
kuupiga mji wa Yerusalemu. Walipomuita Hezekia, Eliakimu alitoka nje akiwa na
Shebna mwandishi na Yoa (mwana wa Asafu) aliyerekodi kama mpasha habari.
Eliakimu alivirarua nguo zake wakati alipomueleza Hezekia maneno aliyoyasema
Rab-shakeh mjumbe aliyetumwa na mfalme wa Ashuru, na Hezekia aliyararua mavazi
yake pia na akamtuma kwa Isaya, mwana wa Amozi, nabii.
Isaya akayasema maneno ya unabii wa Bonde la Maono kwenye sura ya 22.
Kwenye sura hii anautaja Yerusalemu na “Bonde la Maoo”, ambalo lilikuwa ni eneo
ambalo karibu maono yote muhimu yamekuwa yakionyeshwa kwanza na Ibrahimu
(Mwanzo 22:2,14; sawa na jina Yahova Yire; na pia ile ya Daudi kwenye
1Nyakati 21:16,28; na maono makuu ya Isaya 1:1; 6:1-4; Tafsiri ya The
Septuagint inasema Sayuni). Shebna alianza kuwa mtunza hazina na
alipaswa kwenda utumwani. Anaweza sana kuwa alikuwa ni mgeni au Myahudi
Mmataifa. Alikengeuka na Mungu alisema kwamba atamuondolea mbali kutoka makazi
yake na kumuondoa kabisa (Isaya 22:17-19).
Kwa hiyo kuuondoa ukengeufu na mtu wake kulihitajika katika kumuweka
Eliakimu mahali pa Shebna mkengeufu.
Shebna ndiye aliyedhania kuwa alikuwa ni msumari kwenye nyumba ya Bwana pamoja na ufunguo wa Daudi.
Hatahivyo, alipinduliwa na kuondolewa na mtumishi wa kweli wa Mungu akawekwa.
Unabii unaelezea utaratibu ambao utawekwa, na manabii wa kweli wa Mungu (ambao watakao simamishwa kama Ufunguo wa
Daudi) kama walivyowekwa tangu mwanzo. Kwahiyo, manabii wa kweli wa Mungu
watawekwa mahali kwenye awamu ya mwisho kabla Mashahidi hawajachukua nafasi zao
(soma jarida la Mashahidi (Na. 135)). Imani ya Kanisa ambayo ilikuwa kabla yake
imeingizwa, na Injili inaenea kwa mara nyingine tena na kwa wote. Mfumo na
imani ihusuyo Mpango wa Wokovu na Siri za Mungu vimefunuliwa kwa ulimwengu wote
kama shahidi, na hatimaye ndipo ukamilifu wa dahari utawasili.
Andiko hili lilikuwa linahusu utumwa na kisha marejesho ya Hekalu huko
Yerusajemu chini ya nabii mwenye uelewa mkubwa, ambaye aliweza kurejesha tena
taratibu za Hekaluni na kushughulika na Siri zote.
Kutokana na andiko hili tunaona kwamba kulitakiwa kuwe na mitawanyiko
miwili na awamu mbili za marejesho ya taratibu za Hekalu. Na ndipo Ufunguo wa
Daudi ueleweke vyema wakati mitawanyiko hiyo na marejesho zinapotokea na jinsi
zitakavyochukuliwa. Ni wazi sana pia kwamba Marejesho ya kwanza yalipaswa kuwa
ni ya Yuda chini ya kuhani aliyechaguliwa. Hezekia alihusika na marejesho haya
lakini ndivyo alivyokuwa pia Yosia, na pia baada ya mtawanyiko au utumwa
kulikuwa na kina Nehemia na Ezra, kama tunavyoona hapa pamoja na Hezekia na
Eliakimu. Marejesho yaliyofanyika hadi kuzaliwa kwa Kristo yameelezewa kwenye
jarida la Pasaka Kuu Saba za Biblia (Na.107).
Marejesho ya mwisho yatakuwa ni ya Hekalu la Tatu na la Mwisho. Awamu hii
itakuwa kwenye kipindi ambacho Kanisa itakuwa likihudumu katika Siku za Mwisho.
Utaratibu wa Wafiladelfia unaelezea mchakato wa mapema kabla ya kurudi kwa
Masihi na hatimaye litauendeleza hadi kuja kwa Masihi atakapokuja kuanzisha
Ufalme wa Mungu hapa Duniani. Kutakuwa na awamu mbili za marejeshonhaya kwa
namna zote mbili, yaani ya Hekalu la Kiroho na kisha marejesho ya kimwili ya
Hekalu la Kimwili huko Yerusalemu, na uanzishwaji wa mfumo wa kidini kwa
utawala wa hii dunia kama ilivyotabiriwa na nabii Ezekieli.
Tunaona jinsi Ufunguo wa Daudi kuwa ni kufunguliwa kwa Siri za Mungu
zihusuao Hekalu, na ujenzi wake wote likiwa kama nyumba au hekalu ya kiroho
ambalo ni Kanisa la Mungu ambamo Mungu hufanya makao kwa uweza na nguvu za Roho
Mtakatifu.
Tutajionea sasa maana ya siku na mlolongo wa matukio yaliyo kwenye ufunuo
wa Mungu.
Hekalu Linaanzishwa
Tunaona kwamba
katika mwaka wa 480 baada ya wana wa Israeli kuja kutoka Misri ndipo
Hekalu lilisimikwa. Israeli walikuwa kwenye nchi yao kwa kipindi cha miaka 440
(au mizunguko kumi na moja ya vipindi vya toba) nab ado Hekalu lilikuwa
halijaanza kujengwa bado. Lilianza kujengwa mwaka 968/7 KK katika mwaka wa
arobaini wa utawala wa Mfalme Sulemani.
Israeli
walitangatanga kwa kipindi cha miaka 40 jangwani na tena miaka 436 ya kuwa
chini ya Waamuzi (soma jarida la Samsoni na Waamuzi (Na. 73)), na kisha wakawa chini ya Sauli na Daudi; na
sasa miaka minne chini ya Sulemani.
Jinsi inavyofanana na Kutoka
Tukio la Kutoka
kutoka utumwani Misri lilitokea mwaka 1448/7 KK. Kama tukichukua kronolojia ya
mwanzoni kabisa inavyosema kwamba kungemfanya Farao aliyekuwepo kipindi cha
Kutoka, aitwaye Amenhotep II (1450-1412 KK). Kama tutaichukulia kronolojia ya
kusema au kuitaja Oxford kisha Farao huyu ni Thumoses III. Sanamu ya Karnak
Stele iliyosimamishwa na mtoto wa Amenhotep II aliyeitwa Thutmose IV
anayeongelea kuhusu kampeni ya mwaka wa 2 wa utawala wa baba yake (1448 KK
angekuwa kwa mwaka ule wa utawala wake uliochegama kwenye kronolojia ya
zamani au mwanzoni kabisa). Pale alinukuliwa kuwa na ushindi dhidi ya Asiatics,
lakini rekodi ya mateka ni jambo linaloumiza sana (walikuwa wepesi kwa kupiga
pinde au mishale, nk.) na ni janga la wazi kwao. Inaonekana kuwa alizirudisha
tu nyuma vilivyopotea vichache.
Huyu Karnak Stele
anasema aliwateka watu 18 na farasi 16. Katika mwezi wa tisa wa Wamisri wa
mwaka wa 2 aliteka farasi 2, gari la vita 1, koti la masanduku. pinde
2 na podo ya mishale na koseleti na kitu kisichojulikana kisicho na umuhimu.
Kisha, kwenye
mwezi uliofuatia, alikumbana na uasi alipokuwa anarudi eneo la Misri ya kati
miongoni mwa na askari walinzi wa mji wa watu wachanga kwa wale waliokuwa
wanaishi humo. Ananukuu hili kama ushindi pia, lakini alikuwa ni Thutmoses IV
ambaye alifanya hivyo baada ya kifo cha baba yake. Mtazamo huu unafanana na
tukio la Kutoka utumwani lilivyokuwa. Matukio haya hayana maana ya kuwa ni
rekodi ya ushindi.
Baada ya
kukumbana na uasi alijaribu kuokoa sura yake. Inaonekana ni kana kwamba
hatimaye aliishambulia Gaza baada ya tukio la janga la Kutoka na aliwarudisha
wanaume 550, na wake zao wapatao 240, na pia nyingine kilogramu 612 za dhahabu
na tani 45 za shaba.
Hii imetuama kwenye
kronolojia ya mwanzoni zaidi. Hata hivyo, mtazamo huu sasa unapingwa. Haifanyi
utofauti wowote kwa namna yoyote kama alivyofanya Farao kwenye tukio la Kutoka
kwa tawala zao zote mbili zingejumuisha tukio la Kutoka utumwani kwa jinsi
zinavyojulikana na wao.
Jila Musa
linatokana na familia ya Kizazi cha Kifalme cha 18 cha Misri. Inaonekana, kwa
nyaraka za kumbukumbu za zamani, kwamba Amenhotep II alimridhi baba yake katika
mwaka wa 39 wa kipindi cha Musa kutorokea huko Midiani. Musa alikuwa na umri wa
miaka 79. Baba wa Amenhotep alikuwa Thutmoses III Mekhepere.
Mama mlezi wa
Musa alikuwa ni binti wa Ahmose I Nebpehtyre (mnamo mwaka 1570-1546)
mwanzilishi wa Kizazi cha Kifalme cha 18, na kwamba Musa alipewa jina hilo kwa
ukweli huo. Musa alizaliwa mwaka 1528 KK. Kutegemea kronolojia iliyotumika,
ilikuwa ama kwenye utawala wa Amenhotep I Djesekare (tarehe za mwanzoni za
takriban mwaka 1546-1527) aliyekuwa mjomba mlezi wa Musa, au kwenye utawala wa
Amosis I, ambaye anaonekana kuwa ni mtajwa sahihi kwenye kronolojia. Kwa hiyo
angekuwa amekwisha kufa wakati Musa akiwa karibu na umri wa miaka miwili.
Thutmose I Akheperkare alirithi na alirithiwa na Thutmose II Akheperence.
Alimrithi Malkia Hatshepsut Maakare (soma Jarida la Nyongeza 1 kwa kupata
ufafanuzi zaidi). Alitawala kama mtawala mwenza na mpwa wake kijana aliyeitwa
Thutmose III baada ya kufa kwa Thutmose II mwaka 1498. Mambo yaliyowekwa kwenye
kabrasha tangu miaka ya 1960-1970 zinasema kwamba Thutmose III alitawala kwa
pamoja kishirikisho na Thutmose II tangu mwaka 1504 hadi 1498 KK. Hii ilituama
kwenye utawala dhaifu wa miaka 35 wa Thutmosis IV (ibid.). kronolojia ya kisasa
inasema kwamba Thutmose III alitawala tangu mwaka 1479-1425.
Ni kwa hiyo ni
kiinimacho kabisa kudai kwamba Musa alimjua Farao wa kipindi cha Kutoka kabisa
kuliko kwa kwa jina, hadi alipojitokeza mbele zake. Ukweli huu na mchakato wake
unaweza kupunguzwa kutoka kwenye kina chake iliyotolewa hapa kuhusu Hekalu, kwa
kuwazidisha na kupatikana kwa wataalamu wa mambo kale wa sasa.
Hekalu lilianza
kujengwa katika mwezi wa Pili wa Zivu au wa Iyari wa mwaka wa 480 tangu
kipindi cha Kutoka kwao utumwani. Mwezi wa Pili ulihitajika kwa ajili ya
mchakato wa kulitabaruku au kuliweka wakfu Hekalu katika Mwezi wa Kwanza kama
inavyohitajika kwa mujibu wa Torati.
Tukio la Kutoka
lilitokea mwaka wa 26 wa Yubile ya 51. Huu ulikuwa ni mwaka wa tano wa mzunguko
wa Yubile, mwaka wa Neema wakati Torati ilipotolewa pale Sinai.
Hekalu lilianza
mwaka wa Sita wa mzunguko wa kwanza wa Yubile ya 61 tangu kufungwa kwa bustani
ya Edeni, mwaka wa Yubile ya mwaka 3974 KK. Kipindi chenyewe kilikuwa ni cha
miaka 3006 kamili ya tangu kufukuzwa kwa Adamu na hatimaye kufuatiliwa na
Yubile kwenye alama ya nusu njia ya utawala wa Shetani. Hii ni kufanya au
kuweka alama ya marudio ya uumbaji kwenye Mpango wa Mungu. Kwa jinsi ya kwamba,
hii ni kukebehi utukufu wa jinsi ya kumuabudu Mungu Jua ambapo kwenye majira ya
solisaiti ambapo jua linaanza kucha kwake katika kuabudu kwenye Dini ya Siri ya
Shetani.
Kwahiyo, miaka
480 inafanya kuwa ni mwanzo wake. Ilichukua miaka ishirini kukamilisha kazi ya
kulijenga Hekalu na nyumba ya mfalme, na kazi iliisha kwa kipindi cha miaka 500
tangu tukio la Kutoka utumwani. Ilichukua miaka saba na miezi saba kukamilisha
ujenzi wa Hekalu lenyewe, lakini ni miaka ishirini kwa ujumla. Kwahiyo,
kipikuwa ni kipindi cha Yubile kumi kamili tangu kuondolewa kwa Israeli wakiwa
kama taifa teule la Mungu kutoka Misri hadi kukamilika kwa Hekalu la kwanza la
kimwili, na kuanzishwa kwa taifa la Israeli kuwa ni kituo muhimu cha ibada huko
Yerusalemu.
Kilikuwa ni
kipindi hikihiki maalumu tangu kurejeshwa upya chini ya Ezra na Nehemia hadi
kwenye kutanngazwa kwa mwaka wa Yubile chini ya Kristo, na kuanzishwa kwa
Kanisa kutoa Yerusalemu.
Majuma Sabini ya Danieli 9:25 na kuendelea ilienda kwenye ujenzi
wa Hekalu hadi kwenye kubomolewa kwake na mtawanyo mwishoni mwa miaka 490, na
Yubile iliona miaka 497 ya mzunguko wake (soma jarida la Ishara ya Yona na Historia ya Ujenzi Mpya wa
Hekalu (Na. 13)).
Siku 1263.5 za
Mashahidi zimeongezwa kama kifungu cha kipindi hiki mwishoni mwake. Hivi ni
vile vinara viwili vya dhahabu vinavyosimama mbele za mungu wa Dunia hii.
Tangu kipindi cha
Ezra hadi Kristo na kwenye Milenia ni Yubile 49, kinaishia mwaka 2027.
Huduma ya Kristo,
kama mwana wa Daudi, ilianza mwaka wa 28 BK na ni Yubile Arobaini zilizopewa
dunia kwa ajili ya toba inayoishia kwenye Yubile ya 120 ya mwaka 2027. Mapema
kabla ya kipindi hiki, Mashahidi watafanya kazi hapa Duniani huko Yerusalemu
liliko Hekalu. Watahubiri kwa kipindi cha siku 1260 na watauawa na maiti yao
kulazwa mjini humo kwa siku tatu na nusu, baada ya hapo watafufuliwa. Hii ni
alama ya mwisho kutokea kabla ya kuja kwa Masihi na kuanza utawala wake kwa
utukufu.
Mwaka 2028
utakuwa ni mwanzo wa Yubile ya Hamsini au Yubile ya Dhahabu, ambayo ni Yubile
ya Yubile pia ya tangu Kujengwa Tena kwa Hekalu likiwa kama Hekalu la kimwili
kujengwa huko Yerusalemu.
Kwahiyo Yubile ya
Dhahabu ni Yubile ya Kwanza ya utaratibu wa millennia. Kipindi kile kinatumika
kwa kuanzisha tena Hekalu la kimwili na miongozo ya Torati ya Mungu itakayotoka
huko Yerusalem. Ulimwengu utakuwa karibuni kuangamizwa wote mnamo mwaka wa
2027. Yubile ya kuanzia mwaka 2028 hadi 2077 itaishuhudia Dunia ikirejeshwa
upya kwenye utukufu wake wote, pamoja na maongozi ya kambi ya watakatifu huko
Yerusalemu.
Kurudi kwao
kutoka Babeli chini ya Ezra na Nehemia kwa ajili ya Usomaji wa Torati, na
marejesho mapya ya mji wa Yerusalemu kwa ajili ya Hekalu la Pili, kulifanya
mwanzo wa mchakato wa kuelekea kipindi na huduma ya Kristo kwa namna hiyohiyo
kama ilivyotokea kwenye tukio la Kutoka kulikofanya mwanzo chini ya Musa hadi
kwenye kukamilisha kwa Hekalu la Kwanza huko Yerusalemu. Kipindi hiki kilishuhudia
kubomolewa au kuangamizwa kwa Hekalu la kimwili na mgawanyiko wake.
Zitakuwa ni
Yubile hamsini kamili tangu Marejesho yaliyofanywa na kina Nehemia na Ezra hadi
kwenye kipindi cha uanzishwaji wa utawala wa millennia chini ya Kristo na
ujenzi wa Hekalu la Milenia. Kuna Yubile ya arobaini na tisa hadi kufikia mwaka
2027. Yubile ya Hamsini itakuwa mwaka 2028 hadi 2077. Kwenye Yubile hiyo ujenzi
wa Nyumba za ibada na utawala mpya uataanza rasmi huko Yerusalemu. Hekalu la
Milenia, au Nyumba ya Kumuabadia Mungu Mmoja wa Pekee na wa Kweli katika
utawala wa Masihi amoja na elohim ambao ni wateule litakuwa limeisha wakati wa
Yubile hiyo.
Kutendo cha
kuyatiisha mataifa na kuyatakasa kitafanyika kwa kipindi cha miaka 21 ya mwisho
ya yubile ya 120, ambacho ni tangu mwaka 2006 hadi kwenye Idi ya Upatanisho ya
mwaka 2027 (soma jarida la Utakaso wa Mataifa (Na. 77)).
Marejesho ya
utawala yatafanyika tangu kipindi hiki, Kristo ataudi mapema kabla ya kipindi
hiki ili kuja kuwaokoa wateule. Na kama hatarudi kipindi hiki ili kukifupisha,
hakutakuwa na hata mwenye mwili atakayeokoka au atakayekutwa akiwa hai (soma
majarida ya Miaka Thelathini ya Mwisho: Pambano la Mwisho (Na. 219) na Miaka Arobaini Iliyotolewa kwa Ajili ya Toba (Na. 290)).
Hekalu la Kwanza
Daudi alimwachia
utawala wake Sulemani katika mwaka wa Kwanza wa Yubile ya 61. Maandalizi
yalianza ili kwamba Hekalu liweze kujengwa kwa matayarisho ya Usomaji wa Torati
katika Yubile ile. Iligharimu miaka ishirini kuumaliza ujenzi wa Nyumba ya
Mungu na nyumba ya Mfalme pamoja na nyumba nyinginezo (tazama hapo chini).
Kukamilika kwake zote kulifanywa katika mwaka wa 25 wa Yubile ya 61.
Hekalu lilianza
kujengwa katika mwaka wa Arobaini wa utawala wa Sulemani, ambao ni mwaka 968
KK.
Ujenzi wote na
umliziaji wa Nyumba ya Mungu na nyumba majengo mengine shirika kulikamilika
katika mwezi wa Saba uitwao wa Ethanimu, au Tishri, na Sikukuu ilifantika kwa
muda wa siku 14.
Ni kama
tulivyoona hapo chini, ujenzi wenyewe hasa wa jengo lenyewe ulichukua miaka
saba na miezi saba na ulikamilika mwezi wa Nane wa mwaka wa Kumi na Moja wa
utawala wa Sulemani. Ukamilishaji huu ulikuwa wa kwamba sio wakati wa Sikukuu
ya Vibanda ya mwaka ule. Kwa hiyo, kuna maana nyingine kwa kuwepo kipindi hiki.
Hekalu lilifuatia baada ya Pasaka, katika mwezi wa Pili wa mwaka wa Nne wa
Sulemani na liliisha katika mwezi wa Nane wa Buli au wa Heshavan (Oktobea/Novemba ya mwaka wa 487 tangu Kutoka kwao
utumwani, mwaka 961 KK).
Kipindi hiki
chenye mlolongo kinafanya pia sehemu ya ufunguo wa Dausi. Vipindi maalumu
vilivyoelezwa kwa kutenganishwa pia vina maana yake kwenye kipindi cha Siku za
Mwisho cha tangu kurudi kwa Masihi hadi kujengwa kwa Hekalu la Kiroho, na
ukamilishaji wa mwisho wa muundo wa kihandisi wa Hekalu ka huko Yerusalemu.
Mnamo mwaka wa 28
wa Yubile, Torati ilisomwa kwenye Nyumba ya Mungu huko Yerusalemu. Kipindi
chote cha ujenzi kilichukua miaka 21 cha Utakso wa Hekalu. Mnamo mwaka wa
Sabato ndipo ilikuwa tayari. Mwaka wa 29 ulifuatia miaka mingine 21 ya kipindi
kilichoelekea kwenye Yubile, na ndipo taifa lilitakaswa katika kipindi kile
pia. Kwa hiyo ilikuwa ni miaka elfu tatu hadi kuanza kwa utawala wa millennia
wa Yesu Kristo kwene Yubile ya 120 ya uumbaji na tangu kufungwa kwa
bustani ya Edeni, ambapo ni sawa na mwaka 2027 BK.
Yubile ntingine
60 zinazofuatia zilikuwa ni za ujenzi wa mfumo wa kimwili na mpito wake wa
kuelekea kwenye utaratibu wa kiroho wa Kanisa na wa serikali ya Mungu. Ni
dhahiri sana kwamba Mungu anafanya mambo yake kwa kuutilia maanani mfumo huu wa
Yubile na anavitumia vipindi vya Yubile kwa kuendana na tarakimu za miaka ya
10, 20 na 40.
Kutoka kwenye
mandiko ya Agano la Kale ni wazi sana kwamba Masihi alipaswa kuhudhuria na
kujulikana katika Yubile ya mwaka 27 BK na huduma yake kuanza rasmi mwaka 28
BK. Alipaswa afe ili kuwaokoa wenye dhambi. Ni sawa kabisa kwamba ilimpasa
kufanya Upatanisho na alipaswa kurudi akiwa kama Masihi Mfalme. Kipindi kile
maalumu kilichukua kipindi chote cha miaka elfu sita ya uumbaji wa Mungu na
kuishia kwenye Yubile ya 120 ambayo ni mwaka 2027.
Tangu wakati ule
kipindi cha Utawala wa Masihi kingefuatia tangu mwaka 2028 hadi 3027, yakiwa ni
mapumziko ya Sabato ya Masihi. Baada ya kipindi hicho itafuatia Hukumu ya wote
ikifuatiwa na Ufufuko wa Wote au wa Wafu.
Maandiko
yanasomeka hivi:
1Wafalme 6:1-38 Ikawa katika mwaka wa mia nne na themanini baada ya kutoka
wana wa Israeli katika nchi ya Misri, katika mwaka wa nne wa kutawala kwake
Sulemani juu ya Israeli, katika mwezi wa Zivu, ndio mwezi wa pili, akaanza
kuijenga nyumba ya Bwana. 2 Nayo nyumba hiyo mfalme
Sulemani aliyomjengea Bwana, urefu wake ulikuwa mikono sitini, na upana wake
ishirini, na kwenda juu kwake mikono thelathini. 3 Na
ukumbi mbele ya hekalu la nyumba, urefu wake ulikuwa mikono ishirini, kadiri ya
upana wa nyumba; na upana wake mikono kumi mbele ya nyumba. 4
Akaifanyia nyumba madirisha ya miangaza yenye kimia. 5
Nao ukuta wa nyumba akauzungushia vyumba, kushikamana na kuta za nyumba
kote kote, za hekalu na za chumba cha ndani; akafanya vyumba vya mbavuni pande
zote. 6 Chumba cha chini kilikuwa mikono mitano upana
wake, na chumba cha katikati kilikuwa mikono sita upana wake, na chumba cha
tatu kilikuwa mikono saba upana wake; kwa kuwa upande wa nje akaupunguza ukuta
wa nyumba pande zote, ili boriti zisishikamane kutani mwa nyumba. 7 Na nyumba ilipokuwa ikijengwa, ikajengwa kwa mawe
yaliokwisha kuchongwa chimboni; wala nyundo, wala shoka, wala chombo cha chuma
cho chote, sauti yake haikusikiwa ilipokuwa ikijengwa nyumba. 8 Mlango wa vyumba vya chini ulikuwapo upande wa kuume wa
nyumba; mtu hupanda madaraja ya kuzunguka mpaka vyumba vya katikati, na kutoka
vile vya katikati mpaka vile vya tatu. 9 Basi ndivyo
alivyoijenga nyumba, akaimaliza; akaifunika nyumba kwa boriti na mbao za
mwerezi. 10 Akavijenga vyumba mbavuni mwa nyumba yote,
kwenda juu kwake kila kimoja kilikuwa mikono mitano; vikaitegemea nyumba kwa
boriti za mwerezi.
Habari za Hekalu
zilifanywa tayari mahali pengine pote na zililetwa kwenye uwanja wa ujenzi. Kwa
jinsi hiyohiyo habari za kuishi au kuwepo zilifanywa tayari mbali kutoka
Yerusalemu na kuletwa kule kwa ajili ya kuanzishwa kwa Hekalu la Kiroho atakaporudi
Kristo. Ni wakamilifu na hawahitaji kujengwa kwenye uwanja fulani wakiwa kama
matofali ya jengo yaliyounganishwa pamoja.
Kwa hiyo kuna
michakato miwili katika ujenzi: mmoja ni kwenye ujenzi wa Mawe yaliyo Hai;
mwingine ni ule wa utaratibu wa kimwili ulio chini ya maongozi ya Torati kutoka
Yerusalemu.
Katika ujenzi huu
wa Hekalu ndipo neno la Mungu lilimjia Sulemani, akafanya agano na Israeli
ambalo sharti kale lilikuwa ni utiifu.
11
Neno la Bwana likamjia
Sulemani, kusema, 12 Katika habari ya nyumba hii
unayoijenga, kama ukienda katika sheria zangu, na kuzifanya hukumu zangu, na
kuzishika amri zangu zote na kwenda katika hizo; ndipo nitakapolithibitisha
neno langu kwako, nililomwambia Daudi baba yako. 13 Nami
nitakaa katikati ya wana wa Israeli, wala sitawaacha watu wangu Israeli. 14 Basi Sulemani akaijenga hiyo nyumba akaimaliza. 15 Akazijenga kuta za nyumba ndani kwa mbao za mwerezi; toka
sakafu ya nyumba hata boriti za juu, akazifunika ndani kwa mti; akafunika
sakafu ya nyumba kwa mbao za mberoshi. 16 Akajenga
mikono ishirini pande za nyuma za nyumba toka chini hata juu kwa mbao za
mwerezi; naam, ndani akaijengea chumba cha ndani, yaani, patakatifu pa
patakatifu. 17 Nayo nyumba, ndiyo hekalu la mbele,
ilikuwa mikono arobaini. 18 Na ndani ya nyumba,
mlikuwa na mwerezi ulionakishiwa maboga na maua yaliyofunuka wazi; mlikuwa na
mwerezi mahali pote; wala mawe hayakuonekana. 19 Akaweka
tayari chumba cha ndani katikati ya nyumba ndani, ili atie humo sanduku la
agano la Bwana. 20 Na ndani yake chumba hicho cha
ndani mlikuwa na nafasi, mikono ishirini urefu, na mikono ishirini upana, na
mikono ishirini kwenda juu kwake; akaifunika na dhahabu safi. Akaifunika
madhabahu nayo kwa mwerezi. 21 Hivyo Sulemani
akaifunika nyumba ndani kwa dhahabu safi. Akaitenga kwa mikufu ya dhahabu mbele
ya chumba cha ndani; akapafunika na dhahabu. 22 Akaifunika
nyumba yote kwa dhahabu, hata ilipokwisha nyumba yote; tena madhabahu yote
iliyokuwa ya chumba cha ndani akaifunika kwa dhahabu. 23 Akafanya
ndani ya chumba cha ndani makerubi mawili ya mzeituni, kwenda juu mikono kumi. 24 Na bawa moja la kerubi lilikuwa mikono mitano urefu wake,
na bawa la pili la kerubi mikono mitano; mikono kumi toka mwisho wa bawa moja
hata mwisho wa bawa la pili. 25 Na kerubi la pili
lilikuwa mikono kumi; makerubi yote mawili walikuwa ya cheo kimoja na namna
moja. 26 Kwenda juu kwake kerubi moja kulikuwa mikono
kumi, na kerubi la pili vivyo. 27 Akayaweka hayo
makerubi katika nyumba ya ndani; na mabawa ya makerubi yakanyoshwa, bawa la
moja likafika ukutani huko, na bawa la kerubi la pili likafika ukutani huko;
mabawa yao yakagusana katikati ya nyumba. 28 Akayafunika
makerubi kwa dhahabu. 29 Akazinakshi kuta zote za
nyumba kwa nakshi za makerubi, na mitende, na maua yaliyofunuka wazi, pande za
ndani na nje. 30 Na sakafu ya nyumba akaifunika na
dhahabu ndani na nje. 31 Akayafanyia maingilio ya
chumba cha ndani milango ya mzeituni; kizingiti na miimo ilikuwa ya pande tano.
32 Hivyo akafanya milango miwili ya mzeituni;
akanakshi juu yake nakshi za makerubi, na mitende, na maua yaliyofunuka wazi,
akaifunika kwa dhahabu; akatia dhahabu juu ya makerubi, na juu ya mitende. 33 Ndivyo alivyoyafanyia maingilio ya hekalu miimo ya
mzeituni, yenye pande nne; 34 na milango miwili ya
mberoshi; mbao mbili za mlango mmoja zilikuwa za kukunjana, na mbao mbili za
mlango wa pili za kukunjana. 35 Akanakshi juu yake
makerubi, na mitende, na maua yaliyofunuka wazi; akazifunika kwa dhahabu
iliyonyoshwa juu ya machoro. 36 Akaijengea behewa ya
ndani safu tatu za mawe ya kuchongwa, na safu moja ya mihimili ya mierezi. 37 Katika mwaka wa nne nyumba ya Bwana ilitiwa msingi,
katika mwezi wa Zivu. 38 Hata katika mwaka wa kumi na
mmoja, katika mwezi wa Buli, ndio mwezi wa nane, nyumba ikaisha, mambo yake
yote, na sharti zake zote. Basi muda wa miaka saba alikuwa katika kuijenga.
Huu ulikuwa ni
mchakato wa kwanza wa ufunguo wa Daudi na unahusiana na utaratibu wa kwanza,
ambao ni Nyuma au Maskani ya Mungu na Mawe yaliyo Hai; na mlolongo ule
unahusiana na kurudi kwa Masihi na hitimisho lake kwa Mataifa.
Nyumba ya Sulemani
Nyunba ya
Sulamani ilijengwa kwa kipindi cha miaka kumi na tatu, kisha aliijenga Nyumba
ya Misitu ya Lebanoni pia. Hekalu ndiyo ilikuwa juhudi yake kubwa na ilichukua
miaka ishirini kuimalizia. Pia alimchukua binti Farao na kumleta nyumbani
mwake.
Mlolongo huu,
kama tunavyouona, ulichukua miaka saba na miezi saba kujenga Nyumba ya Mungu na
kisha miaka kumi na tatu kuijenga Nyumba ya Mfalme na Ukumbi wa kutolea Hukumu,
na Nyumba ya Misitu ya Lebanoni.
1Wafalme 7:1-51 Naye Sulemani alikuwa katika kuijenga nyumba yake mwenyewe
miaka kumi na mitatu, akaimaliza nyumba yake yote. 2 Kwa
kuwa aliijenga nyumba ya mwitu wa Lebanoni; mikono mia urefu wake, na mikono
hamsini upana wake, na mikono thelathini kwenda juu kwake, juu ya safu nne za
nguzo za mwerezi, na mihimili ya mwerezi juu ya nguzo. 3 Ikafunikwa
juu kwa mwerezi juu ya mihimili arobaini na mitano, iliyokuwa juu ya nguzo;
kumi na mitano kwa safu. 4 Na madirisha yalikuwako
safu tatu, mwangaza kuelekea mwangaza katika madaraja matatu. 5 Na milango yote na miimo ilikuwa ya mraba, ilivyoangaziwa;
na mwangaza kuelekea mwangaza katika madaraja matatu. 6 Akaifanya
baraza ya nguzo; mikono hamsini urefu wake, na mikono thelathini upana wake; na
ukumbi mbele yake; na nguzo na mihimili minene mbele yake. 7 Akaifanya
baraza ya kiti cha enzi, ili ahukumu ndani yake, ndiyo baraza ya hukumu; nayo
ikafunikwa mwerezi tangu sakafu mpaka dari. 8 Nayo
nyumba yake atakayokalia, katika behewa nyingine iliyokuwa ndani kupita baraza,
ilikuwa ya kazi kama hiyo. Tena akamjengea nyumba binti Farao, (ambaye Sulemani
alikuwa amemwoa), mfano wa ile baraza. 9 Hizi zote
zilikuwa za mawe ya thamani, mawe ya kuchongwa, sawasawa na cheo, yaliyokatwa
kwa misumeno, ndani na nje, tangu msingi hata mawe ya juu, na nje vile vile
hata behewa kuu. 10 Nao msingi ulikuwa wa mawe ya
thamani, mawe makubwa, mawe mikono kumi, na mawe ya mikono minane. 11 Na juu kulikuwa na mawe ya thamani, mawe ya kuchongwa,
sawasawa na cheo, na mierezi. 12 Na behewa kubwa pande
zote ilikuwa na safu tatu za mawe ya kuchongwa, na safu moja ya mihimili ya
mierezi; mfano wa behewa ya ndani ya nyumba ya Bwana, na ukumbi wa nyumba.
Hiramu alisaidia
kazi hii ya ujenzi. Huyu Hiramu ambaye pia ni Mfalme wa Tiro alikuwa nusu ni
Muisraeli. Baba yake alikuwa ni mtu wa Tiro na mama yake alikuwa ni mjane wa
kabila la Naftali. Na zaidi sana ni kwamba alikuwa ni mshirika wa kuaminika na
mataifa ya Israeli leo kama tunavyojionea kwenye maandiko yaliyotajwa hapa.
13
Mfalme Sulemani
akatuma watu kumleta Huramu kutoka Tiro. 14 Naye
alikuwa mwana wa mwanamke mjane wa kabila ya Naftali, na babaye alikuwa mtu wa
Tiro, mfua shaba; naye alikuwa mwingi wa hekima na akili, mstadi wa kufanya
kazi zote za shaba. Akamfikilia mfalme Sulemani, akamfanyia kazi yake yote. 15 Kwa maana alizifanyiza zile nguzo mbili za shaba, mikono
kumi na minane kwenda juu kwake kila moja; na uzi wa mikono kumi na miwili
kuizunguka nguzo hii au hii. 16 Akafanya taji mbili za
shaba iliyoyeyushwa za kuwekwa juu ya vichwa vya nguzo; kwenda juu kwake taji
moja mikono mitano, na mikono mitano kwenda juu kwake taji ya pili. 17 Kulikuwa na nyavu kama kazi ya kusuka, na masongo ya
mikufu, kwa taji zilizokuwako juu ya vichwa vya nguzo; saba kwa taji moja, na
saba kwa taji ya pili 18 Hivyo akazifanya nguzo; na
kulikuwa na safu mbili za kuzunguka juu ya wavu mmoja, zifunike taji
zilizokuwako juu ya vichwa vya nguzo; akafanya vivyo hivyo kwa taji ya pili. 19 Na taji zilizokuwa juu ya nguzo ukumbini zilikuwa za kazi
ya mayungi, mikono minne. 20 Kulikuwako tena taji juu
ya nguzo mbili, karibu na uvimbe uliokuwako kando ya wavu; na makomamanga
yalikuwa mia mbili, safu safu pande zote juu ya taji ya pili. 21 Akazisimamisha nguzo ukumbini pa hekalu; akaisimamisha
nguzo ya kuume, akaiita jina lake Yakini; akaisimamisha nguzo ya kushoto
,akaiita jina lake Boazi. 22 Na juu ya nguzo kulikuwa
na kazi ya mayungi; hivyo mambo ya nguzo yakatimia. 23 Tena
akaifanya bahari ya kusubu, mikono kumi toka ukingo hata ukingo, ikaviringana,
na mikono mitano ilikuwa kwenda juu kwake; na uzi wa mikono thelathini
kuizunguka kabisa. 24 Na chini ya ukingo wake kulikuwa
na maboga yaliyoizunguka, kwa mikono kumi, yakiizunguka bahari; kulikuwa na
safu mbili za hayo maboga, yakafanywa kalibuni hapo bahari ilipofanywa. 25 Ikakaa juu ya ng'ombe kumi na wawili, watatu wakitazama
kaskazini, na watatu wakitazama magharibi, na watatu wakitazama kusini, na
watatu wakitazama mashariki; na bahari iliwekwa juu yao, na pande zao za nyuma
zote zilikuwa ndani. 26 Na unene wake ulikuwa nyanda
nne; na ukingo wake ukafanywa kama ukingo wa kikombe, kama ua la yungi; huingia
bathi elfu mbili. 27 Akayafanya yale matako kumi ya
shaba; mikono minne urefu wa tako moja, na mikono minne upana wake, na mikono
mitatu kwenda juu kwake. 28 Na kazi ya matako ndiyo
hii; yalikuwa na papi; na papi zilikuwa katikati ya vipandio; 29 na juu ya papi zilizokuwa katikati ya vipandio kulikuwa
na simba, na ng'ombe, na makerubi; na juu ya vipandio kulikuwa na tako; na
chini ya simba na ng'ombe kulikuwa na masongo ya kazi ya kupembeza. 30 Kila tako lilikuwa na magurudumu manne ya shaba, na
vipini vya shaba; na miguu yake minne ilikuwa na mataruma; chini ya birika
yalikuwako mataruma ya kusubu, yenye masongo kila moja mbavuni. 31 Na kinywa chake ndani ya taji na juu yake kilikuwa mkono
mmoja; na kinywa chake kikaviringana kama kazi ya tako, mkono mmoja na nusu;
tena juu ya kinywa chake kulikuwa na nakshi, na papi zao zilikuwa za mraba,
wala hazikuviringana. 32 Na magurudumu manne yalikuwa
chini ya papi; na mikono ya magurudumu ndani ya tako; na kwenda juu kwake
gurudumu moja mkono mmoja na nusu. 33 Na kazi ya
magurudumu ilikuwa kama kazi ya gurudumu la gari; mikono yake, na maduara, na
matindi, na vipande vya ndani, vyote vilikuwa vya kusubu. 34 Kulikuwa
na mataruma manne katika pembe nne za tako moja; mataruma hayo ni kitu kimoja
na tako lenyewe. 35 Na juu ya tako kulikuwa na duara
nusu mkono kwenda juu kwake; na juu ya tako mashikio yake na papi zake vilikuwa
vya namna iyo hiyo. 36 Akachora juu ya mabamba ya
mashikio yake, na juu ya papi zake, makerubi, na simba, na mitende, moja moja
kama ilivyokuwa nafasi, na masongo pande zote. 37 Hivyo
akayafanya yale matako kumi; yote yalikuwa ya kalibu moja, na cheo kimoja, na
namna moja. 38 Akafanya birika kumi za shaba; birika
moja huingia bathi arobaini; na kila birika ilikuwa mikono minne; birika moja
juu ya tako moja, katika yale matako kumi. 39 Akayaweka
yale matako, matano upande wa kuume wa nyumba, na matano upande wa kushoto wa
nyumba; akaiweka ile bahari upande wa kuume wa nyumba upande wa mashariki,
kuelekea kusini. 40 Tena Huramu akazifanya birika, na
majembe, na mabakuli. Hivyo Huramu akazimaliza kazi zote alizomfanyia mfalme
Sulemani katika nyumba ya Bwana; 41 zile nguzo mbili,
na vimbe mbili za taji zilikuwa juu ya nguzo; na nyavu mbili za kuzifunika hizo
vimbe mbili za taji zilizokuwa juu ya nguzo; 42 na
makomamanga mia nne ya zile nyavu mbili; safu mbili za makomamanga kwa kila
wavu, kuzifunika hizo vimbe mbili za taji zilizokuwa juu ya nguzo; 43 na yale matako kumi, na birika kumi juu ya matako; 44 na ile bahari moja, na ng'ombe kumi na wawili chini ya
ile bahari; 45 na masufuria, na majembe, na mabakuli;
hata vyombo hivyo vyote, Huramu alivyomfanyia mfalme Sulemani, katika nyumba ya
Bwana, vyote vilikuwa vya shaba iliyosuguliwa. 46 Katika
uwanda wa Yordani ndipo mfalme alipovisubu, katika udongo mzito kati ya Sukothi
na Sarethani. 47 Sulemani akaviacha vyombo vyote
visipimwe kwa kuwa vilikuwa vingi mno; wala uzito wa shaba haukujulikana. 48 Sulemani akavifanya vyombo vyote vilivyokuwamo nyumbani
mwa Bwana; madhabahu ya dhahabu, na ile meza iliyokuwa na mikate ya wonyesho
juu yake ilikuwa ya dhahabu; 49 na vinara vya taa,
vitano upande wa kuume, na vitano upande wa kushoto, mbele ya chumba cha ndani,
vya dhahabu safi; na maua, na taa, na koleo ya dhahabu; 50 na
vikombe, na makasi, na mabakuli, na miiko, na vyetezo, vya dhahabu safi; na
bawaba za dhahabu, za milango ya nyumba ya ndani, yaani, patakatifu pa
patakatifu, na za milango ya nyumba, ndiyo hekalu. 51 Hivyo
ikamalizika kazi yote Sulemani mfalme aliyoifanya katika nyumba ya Bwana.
Sulemani akaviingiza vile vitu alivyovitakasa Daudi baba yake, yaani, fedha, na
dhahabu, na vyombo; akavitia ndani ya hazina za nyumba ya Bwana.
Majina ya nguzo
za Hekalu yametokana majina ya Waisraeli wawili. Mmoja wao ni Yakini wa kabila
la Simeoni, na ni baba wa Wakini. Wapili alikuwa ni Boazi wa kabila la Yuda.
Habari za huyu Boazi zinajulikana sana. Alikuwa ni mume wa Ruthu na baba yake Obedi na Yese na Daudi na hatimaye
Masihi (soma jarida la Ruthu (Na. 27)). Jina lake la Boazi (SHD 1162) linatokana na chanzo kisichojulikana wala
kutumika na lenye maana fulani na anaonekana tu kuwa alihusiana na mtu huyu,
babu wa Daudi. Kwa vokali mbalimbali inaweza kuhusiana na kuwa aliyetiwa nguvu.
Jina la Yakini (Yachin,
SHD 3199) maana yake ni Yeye
atakayefanya au Yah (au kwa
ukamilifu zaidi ni Yaho[va]) atafanya na anaweza kuwa tayari sana
kuona kama kigezo cha maana ya jina katika Mungu kuwa ni kama Mmoja atakayeanzilisha.
Ingawa hatuwezi
kuondoa ukwell wa kwamba kama Wasimeoni walivyotawanyika katika Israeli,
anaweza pia kuwa na baba wa Daudi, na kwamba Daudi aliziita nguzo zote mbili
kwa majina ya mababa imara na hodari wa mstari wake wa kiuzao wakiwa kama mifano
ya Imani.
Ni sawa kabisa na
kwamba mfano wa majina huonyesha na kushiria jambo kwenye jkumu la Mungu kwenye
ujenzi wa Hekalu la Kirohola Mungu.
Huku wakati jina
la Boazi kiliwa halina maana iliyo wazi sana, inaelezewa pia na kazi yake ya
ukombozi kwenye hadhithi ya Ruthu. Kwa hiyo, nguzo hizi mbili zilizo kwenye
lango la kuingilia Hekaluni zinamaana ya: Yeye atiaye nguvu (Bullinger
anasema: katika yeye au ndani yake kuna nguvu) na anawezesha au
anafanya. Maana hizo
zinaonyesha kwenye kiini cha matendo yenyewe ya ujenzi ya Hekalu la mwisho la
Mungu.
Pia yana maana
yake maalumu na vipimo vyake vimepewa kwa tofauti mbalimbali kwenye idadi
kadhaa ya maandiko. Huku sio kujikanganya au sio mkanganyiko, bali zaidi sana
ni kwamba ni tofauti ya jinsi ya zilivyokuwa zimepimwa.
Kwenye 1Wafalme
7:15-16, nguzo hizi mbili zinaelezewa kupimwa mikono 18 kwenda juu, na mikono
kumi na mbili mzunguko wake. Zile kubwa za katikati zilikuwa na mikono 5.
Jumla ya nguzo na
zile kubwa kwa hiyo ziilikuwa mikono 23 kwenda juu na mikono 12 duara
Tunadhani kwamba
nguzo zote mbili ya kulingana na linaitwa tu kama kuonyesha vipimo vya urefu na
duara kwa nguzo zote mbili. Yeremia 52:21-22 inatoa kikamilifu urefu huohuo kwa
nguzo na egemezo zake. 2Wafalme 25:17 inasema nguzo hizi zilikuwa 18 kwenda
juu, pamoja na mikono 3 kwa zile kuu. Kipimo kwa mibahatisho yote
zisizojumuisha urembo wa jani, ambalo lilikuwa aina ya lili kama ilivyoelezewa
kwenye maandiko (1Wafalme 7:22).
Andiko lililo
kwenye 2Nyakati linazipa nguzo kipimo cha pamoja mikono 35 na dhira mikono 5
kwa zile kubwa. Kwa hiyo, nguzo zilikuwa mikono 35 kwa mikono 17.5 kila moja na
nusu mkono kwa kuungakila moja na nusu mkono kwa kiungo, nakiwiko au kiegemezo
zilikuwa mikono 5.
Wafafanuzi
wanatathimini tu nia ya andiko. Namba arobaini ni tarakimu ya toba, na nguzo
zinaashiria ukombozi wa Mungu na uanzilishi kwa kipindi cha toba kilichotolewa
kwa kila mmoja. Nguzo zinawakilisha naendeleo ya mwanadamu kwa uingiliaji kati
wa Mungu. Kiwango cha kipimo cha chokaa ya kujengea kilikuwa kila nguzo ni 1
kwa 6 jumlisha 2/3, ambayo ni kipimo cha kibinadamu kwa mwili hadi kichwani,
kwa karibia 1 ya 7.
Kombe za nguzo
zimetofautiana kivipimo. 1Wafalme 7:20 inasema kwamba makomamanga yaliyowekwa
kwenye kombe za nguzo yalikuwa ni mia mbili kwenye mistari zikizunguka sura
zote. Nguzo iliyokuwa upande wa kuume ilikuwa Yakini na ile ya upande wa
kushoto ilikuwa Boazi. Inazidi kwenda chini kwenye aya ya 42 inasema zilikuwa
mia mbili ili kuonyesha kuwa mia mbili hizi zilichukuliwa kwa kila kuu (soma
pia 2Nyakati 4:13). Kwenye 2Nyakati 3:16 waliitwa mia moja, maana yake, walikuwa mia moja kwenye kila mstari. Yeremia
52:23 inasema kwamba mistari hadi kwenye Ruach au chamchela (kama ilivyofunuliwa) ni 96.
2Nyakati pia
inaendelea mbele kwa kusema kwamba uwa ulikuwa wa mikono 120, kwa kutumia me’ah
(SHD 3967) na 'esriym (SHD 6242). 1Wafalme 6:2-3 inasema kwamba Hekalu
lilikuwa mikono 60 urefu, mikono kumi na mbili upana wake na mikono thelathini
kwenda juu. Inasema pi kwamba uwa ulikuwa na mikono 20 urefu, na kwa mujibu wa
upana kwa upande wa mbele ya nyumba (kama vile kuingia kwenye uwa) ulikuwa
mikono 10. Ipo kimya kama kwenye urefu wa kwenda juu kwake wa uwa, na watu
hudhani kwamba ulikuwa na urefu ule ule kama umbo la Hekalu lakini maandiko yanasema
urefu wake ulikuwa mara nne urefu wa kwenda juu wa umbo Hekalu. Uwa uliokuwa na
mikono 120 uliashiria kipindi cha kuwepo kwa uumbaji wa kimwili kwa zama hizi
uliopimwa kwa Yubile. Tarakimu ile ilimaanisha pia maisha ya Musa kama
tulivyojionea kwenye vitabu vya Torati. Maisha ya Musa yaligawanyika kwa sehemu
tatu ya miaka arobaini arobaini, na yalionelana pia kwenye awamu tatu za
Utawala wa Wafalme. Tarakimu ya “thelathini” yenye umbo kuu inaashiria serikali
ya ndani ya Mungu, na pia umri wa kumudu kuufikia kabla ya mtu hajapewa
majukumu ya huduma yam zee wa kusanyiko la Mungu.
Vidato sita vya
kuingilia vinaashiria mizunguko sita ya kwanza kwenye maisha ya mwanadamu.
Kidato cha saba, ambacho kilikuwa ni umbo la Hekalu lenyewe, kilishiria
mzunguko wa mwisho wa Sabato ya Yubile aliyopewa mwanadamu. Inampasa mwanadamu
awe na umri wa miaka ishirini ndipo ahesabiwe kuwa ni mtu mzima na aweze kwenda
vitani. Inampasa mtu awe na umri wa miaka ishirini na tano ndipo aruhusiwe
kuzifanya huduma za Hekaluni, na miaka thelathini ahudumu kama mzee kwenye
mkutano wa Mungu.
Mwanadamu amepewa
Yubile moja akiwa mtu mzima ya kuendeleza karama na tabia za Roho Mtakatifu.
Musa aliishi na kuziona Yubile mbili. Daudi alifariki akiwa na umri wa miaka
sabini, ikiashiria kupungua kwa kipindi cha kuziona Yubile na hadi kuwa moja
tu. Alimkabidhi mamlaka yake Sulemani kabla hajafa, ikiwa ni ishsra ya
utaratibu wa mwendelezo wa mamlaka kwa Mtiwa Mafuta wa Bwana.
Patakatifu pa
Patakatifu palikuwa ni Naos, ambayo iliwakilisha mwaka wa mwisho wa
maisha ya mwanadamu na wakati mtu amejipatia kuwa ushirika na Mungu. Ndipo Naos
iliwakilisha hatua ya mwanadamu kuendelea wakati Mungu alipoingia kwa mwanadamu
kwa Roho Mtkatifu na kumuinua juu ili kuwa elohim. Na ndiyo maana Agano Jipya
linatuita sisi kuwa ni Naos, “ambao ni Naos yulivyo” (1Wakorintho
3:17).
Meza na mikate ya
uwonyesho, na vile vinara kumi vya taa vilisimama kwa maendeleo ya Kanisa la
Mungu kwa kipindi chote lilicopewa Kanisa kwenye hatua au awamu zake saba
likiwa chini ya malaika wa makanisa saba.
Wale wengine
watatu waliwakilisha vinara ambavyo vilikuwa ni Masihi na Mashahidi Wawili
(soma jarida la Mashahidi (Na. 135)).
The Holy of Holies contained the Ark of the Covenant and the Law of God, where the Law was enshrined in the hearts of men who had become the Temple of God.
Birika la bahari la Hekaluni lilikuwa na kipimo cha mikono thelathini mzunguko wake na mikono kumi ya kotekote na kwa hiyo Mungu alikionyesha kipimo cha ukubwa wa kizingo (1:3) kwenye ukubwa. Ilikuwa nje ya Nyumba ya Mungu kama ilivyokuwa madhabahu, ili kuashiria kwamba Kristo alikufa nje ya kambi akiwa ni sadaka au dhabihu na ni mara moja tu na kwa wote ili sisi sote tupate kutakasika na kukombolewa kwa Mungu.
Ukubwa wa kipimo vha Hekalu ulionyesha pango wa Wokovu na ukombozi wa mwanadamu kwa Mungu. Mchakato wa ujenzi wake uliendana na mpango ule na uliionyesha hii kwenye kila kipande cha maendeleo yake. Ufunguo wa Daudi ni kitendo cha kuzielewa au kuzijua na kuzifundisha Siri za Mungu kwa mujibu sawa na utaratibu wa Yubile uliotplewa kwayo, na kuwsza kutabiri sawasawa na mafundisho yenye uzima, na sawasawa na Torati na Ushuhuda.
Kuliweka
Sanduku la Agano Hekaluni
Mara tu baada ya kukamilika kwa ujenzi wa Hekalu, Sanduku la Agano lililetwa na kuingizwa Hekaluni, ili kwamba Mungu aonekane akiwa katikati yao. Lililetwa katika mwezi wa Ethanimu ambacho ni kitendo kinachoashiria Ujio wa Masihi na Mfalme na Mtawala wa hii Dunia akiwa kama Nyota ya Asubuhi.
1Wafalme 8:1-66 Ndipo
Sulemani alipowakusanya wazee wa Israeli, na wakuu wote wa kabila, wakuu wa
mbari za mababa wa wana wa Israeli, wamwendee mfalme Sulemani huko Yerusalemu,
ili walipandishe sanduku la agano la Bwana kutoka mji wa Daudi, yaani, Sayuni. 2 Wakakutana mbele ya mfalme Sulemani watu wote wa Israeli
wakati wa sikukuu, katika mwezi wa Ethanimu, ndio mwezi wa saba. 3 Wazee wote wa Israeli wakaja, nao makuhani wakajitwika
sanduku. 4 Wakalipandisha sanduku la Bwana, na ile
hema ya kukutania, na vyombo vitakatifu vyote vilivyokuwa katika ile Hema; vitu
hivyo makuhani na Walawi wakavipandisha. 5 Mfalme
Sulemani, na mkutano wote wa Israeli waliokutanika kwake, walikuwako pamoja
naye mbele ya sanduku, wakichinja sadaka kondoo na ng'ombe, wasioweza kuhesabiwa
wala kufahamiwa idadi
Kwa hiyo bao za Torati ziliwekwa kwenye Sanduku la Agano ili kuashiria ukweli wa kwamba Mungu alikuwa ameziweka Sheria zake kwenye mioyo ya watu wote na waiifantika kuwa kituo cha katikati cha mahali pa makao yake kama Naos au Patakatifu pa Patakatifu pa Hekalu la Mungu. Na ndiyo maana ilibidi Sanduku hili la Agano lisiletwe tena, kama ni Sanduku lililo mioyoni mwa wateule walio kwenye Makanisa ya Mungu.
10 Ikawa, makuhani walipotoka katika patakatifu, nyumba ya Bwana ikajaa
wingu; 11 hata makuhani hawakuweza kusimama ili
kufanya huduma
(Mwisho wa Tepu 282C2)
Agano ililowekwa na Sulemani
Malaika wa Mungu,
mjumbe wa Mungu wa Israeli tumjuaye leo kama Kristo (Zaburi 45:6-7; Waebrania
1:8,9), alimtokea Sulemani na akaliweka Agano la Mungu pamoja naye na kwa Taifa
zima lote. Agano hili lilikuwa na masharti yake fulani. Waliambiwa kuwa
wangeadhibiwa iwapo kama wangeliacha na kulivunja.
1Wafalme 9:1-28
Ikawa Sulemani alipokwisha kuijenga nyumba ya Bwana, na nyumba ya mfalme, na
mambo yote yaliyoingia moyoni mwake Sulemani, naye akataka kuyafanya, 2 basi, Bwana akamtokea Sulemani mara ya pili kama
alivyomtokea huko Gibeoni. 3 Bwana akamwambia,
Nimeyasikia maombi yako na dua zako, ulizotoa mbele zangu. Nimeitakasa nyumba
hii uliyoijenga ili niweke jina langu humo milele; tena macho yangu na moyo
wangu utakuwapo hapo siku zote; 4 na wewe, ukienda
mbele zangu kama alivyokwenda Daudi, baba yako, kwa ukamilifu wa moyo, na kwa
adili, kufanya hayo yote niliyokuamuru, na kuzishika sheria zangu na hukumu
zangu, 5 ndipo nitakapokifanya imara kiti cha ufalme
wako juu ya Israeli milele; kama nilivyomwahidia Daudi, baba yako, nikisema,
Hutakosa kuwa na mtu wa kukaa katika kiti cha enzi cha Israeli. 6 Bali mkighairi, mkaacha kunifuata, ninyi na watoto wenu,
msizishike sheria zangu na amri zangu, nilizoziweka mbele yenu, tena mkienda na
kuitumikia miungu mingine na kuiabudu, 7 basi
nitawakatilia Israeli mbali na nchi hii niliyowapa; na nyumba hii niliyoitakasa
kwa jina langu, nitaitupilia mbali na macho yangu, na Israeli watakuwa mithali
na neno la tusi katika mataifa yote. 8 Na ijapokuwa
nyumba hii imetukuka namna hii, lakini kila apitaye atasituka na kuizomea; nao
watasema, Kwa nini Bwana ameitenda nchi hii na nyumba hii mambo haya? 9 Na watu watajibu, Kwa sababu walimwacha Bwana, Mungu wao,
aliyewatoa baba zao katika nchi ya Misri, wakashikamana na miungu mingine na
kuiabudu na kuitumikia, basi ndiyo sababu Bwana ameleta mabaya haya yote juu
yao. 10 Ikawa miaka ishirini ilipopita, ambayo katika
hiyo Sulemani alizijenga zile nyumba mbili, nyumba ya Bwana na nyumba yake
mfalme, 11 (basi Hiramu, mfalme wa Tiro, alikuwa
amemletea Sulemani mierezi na miberoshi, na dhahabu, sawasawa na haja zake
zote), ndipo mfalme Sulemani akampa Hiramu miji ishirini ya nchi ya Galilaya. 12 Naye Hiramu akatoka Tiro kuitazama hiyo miji Sulemani
aliyompa; wala haikumpendeza. 13 Akasema, Miji gani
hii uliyonipa, ndugu yangu? Akaiita nchi ya Kabuli, hata leo. 14 Hiramu akamletea mfalme talanta sitini za dhahabu. 15 Na hii ndiyo sababu ya shokoa aliyoitoza mfalme Sulemani;
ili kuijenga nyumba ya Bwana, na nyumba yake mwenyewe, na Milo, na ukuta wa
Yerusalemu, na Hazori, na Megido, na Gezeri. 16 Farao,
mfalme wa Misri, alikuwa amepanda akautwaa Gezeri, na kuuteketeza kwa moto,
akawaua Wakanaani waliokaa mjini, akampa zawadi binti yake, mkewe Sulemani. 17 Naye Sulemani akaujenga Gezeri, na Beth-horoni wa chini, 18 na Baalathi, na Tamari ulio nyikani, katika nchi; 19 na miji yote ya hazina iliyokuwa yake Sulemani; na miji
ya magari yake, na miji ya watu wake wapandao farasi, na kila alichopenda
kujenga Sulemani huko Yerusalemu, na katika Lebanoni, na katika nchi yote ya
mamlaka yake. 20 Kwa habari ya watu wote waliosalia,
Waamori, Wahiti, Waperizi, Wahivi, na Wayebusi, wasiokuwa wa wana wa Israeli; 21 watoto wao waliosalia baada yao katika nchi, ambao wana
wa Israeli hawakuweza kuwaharibu kabisa, katika hao Sulemani akawatumikisha
shokoa hata leo. 22 Lakini wa wana wa Israeli Sulemani
hakumtumikisha mtu shokoa; ila ndio watu wa vita, na wangoje wake, na wakuu
wake, na akida zake, na wakuu, wa magari yake, na wa wapanda farasi wake. 23 Hao maakida wakuu, waliokuwa juu ya kazi yake Sulemani,
walikuwa mia tano na hamsini, waliowaamuru watu watendao kazi. 24 Lakini binti Farao akapanda toka mji wa Daudi, mpaka hiyo
nyumba yake Sulemani, aliyomjengea; kisha, aliijenga Milo. 25
Na mara tatu kila mwaka Sulemani alikuwa akitoa sadaka za kuteketezwa na
sadaka za amani juu ya madhabahu aliyomjengea Bwana akafukiza uvumba pamoja
nazo juu ya madhabahu iliyokuwako mbele za Bwana. Hivyo akaimaliza nyumba. 26 Tena, mfalme Sulemani akaunda merikebu huko Ezion-geberi,
ulioko karibu na Elothi, pwani ya Bahari ya Shamu, katika nchi ya Edomu. 27 Naye Hiramu akatuma merikebuni watumishi wake, wanamaji
wenye kuijua bahari, pamoja na watumishi wake Sulemani.28 Wakafika
Ofiri, wakachukua toka huko dhahabu, talanta mia nne na ishirini, wakamletea
mfalme Sulemani.
Kwa hivyo ndivyo
ilivyo pia lwamba andiko la kwenye kitabu cha Nyakati linaelezea mchakato wa
Hekalu na Agano hili lilivyowekwa na Taifa.
2Mambo ya Nyakati 2:1-18 Basi Sulemani alikusudia kujenga nyumba kwa jina la Bwana, na kuujengea ufalme wake nyumba. 2 Sulemani akahesabu watu sabini elfu wawe wachukuzi wa mizigo, na watu themanini elfu wawe wachongaji milimani, na elfu tatu na mia sita wawe wasimamizi wao. 3 Sulemani akatuma watu kwa Hiramu mfalme wa Tiro,akisema ,kama ulivyomtendea baba yangu Daudi, na kumletea mierezi , ajijengee nyumba ya kukaa ,unitendee na mimi. 4 Angalia, najenga nyumba kwa jina la Bwana, Mungu wangu, ili kumfanyia wakfu, ya kufukizia mbele zake fukizo la manukato, na ya mkate wa wonyesho wa daima, na ya sadaka za kuteketezwa za asubuhi na jioni, na za siku za sabato, na za mwezi mpya, na za sikukuu zilizoagizwa za Bwana, Mungu wetu. Hili ni agizo la milele kwa Israeli. 5 Nayo nyumba nitakayoijenga ni kubwa; kwa sababu Mungu wetu ndiye mkuu juu ya miungu yote. 6 Lakini ni nani awezaye kumjengea nyumba, ikiwa mbingu hazimtoshi, wala mbingu za mbingu? Nami ni nani basi, hata nimjengee nyumba, isipokuwa kwa ajili ya kufukizia fukizo mbele zake? 7 Unipelekee basi mtu mstadi wa kazi ya dhahabu, na ya fedha, na ya shaba, na ya chuma, na ya urujuani, na nyekundu, na samawi, mwenye kujua kuchora machoro, pamoja na wastadi walioko Yuda na Yerusalemu pamoja nami, aliowaweka baba yangu Daudi. 8 Niletee tena mierezi, na miberoshi, na miti ya msandali kutoka Lebanoni; maana najua ya kwamba watumishi wako hujua sana kuchonga miti Lebanoni; na tazama, watumishi wangu watakuwa pamoja na watumishi wako, 9 ili wanitengenezee miti kwa wingi; kwani nyumba nitakayoijenga itakuwa kubwa ajabu. 10 Na tazama, nitawapa watumishi wako, wachongaji wakatao miti, kori ishirini elfu za ngano iliyopondwa , na kori ishirini elfu za shayiri , na bathi ishirini elfu za mvinyo,na bathi ishirini elfu za mafuta. 11 Ndipo Hiramu mfalme wa Tiro akajibu kwa waraka, aliompelekea Sulemani, Ni kwa sababu Bwana awapenda watu wake, amekufanya uwe mfalme juu yao. 12 Hiramu akasema tena, Na ahimidiwe Bwana, Mungu wa Israeli, aliyezifanya mbingu na nchi, ambaye amempa mfalme Daudi mwana wa hekima, mwenye busara na akili, ili amjengee Bwana nyumba, na nyumba kwa ufalme wake. 13 Na sasa nimemtuma mtu mstadi, mwenye akili, yaani, Hiramu baba yangu. 14 mwana wa mwanamke wa binti za Dani, na babaye alikuwa mtu wa Tiro, ajuaye sana kazi ya dhahabu, na ya fedha, ya shaba, ya chuma, ya mawe, na ya mti, ya urujuani, ya samawi, na ya kitani safi, na ya nyekundu; tena mstadi wa kuchora machoro yo yote, na wa kufikiri fikira yo yote; apate kuagiziwa kazi pamoja na watu wako wastadi, tena na wastadi wa bwana wangu Daudi baba yako.
Kama Hiramu
alikuwa nusu ni Muisraeli, ndivyo pia walivyokuwa wale mafundi na waimbaji
aliowaleta. Baba yake alikuwa pia ni Hiramu na mbunifu alikuwa ni mtu wa baba
yake. Mtu Yule alikuwa ni kutoka mwanamke wa kabila la Dani, na ni mtu wa Tiro.
Kuhusika kwa wanawake wa Israeli lakini ni mwingiliano wa kindoa au kuoana na
Wamataifa waliosababisha kuingia kwa Wamataifa kwenye shughuli za ujenzi wa Hekalu.
Ukweli huu ulikuwa unaashiria asili ya aina ntingi ya Israeli katika Siku za
Mwisho na kwamba wokovu ulikusudiwa kwa Wamataifa.
15
Basi sasa hiyo ngano
na shayiri, mafuta na mvinyo, aliyonena bwana wangu, na wapelekewe watumishi
wake; 16 nasi tutakata miti katika Lebanoni, kadiri
utakavyohitaji; na kukuletea tukiieleza baharini mpaka Yafa; nawe utaichukua
Yerusalemu. 17 Ndipo Sulemani akawahesabu wageni wote
waliokuwamo katika nchi ya Israeli, sawasawa na hesabu aliyowahesabu Daudi baba
yake; wakatokea mia hamsini na tatu elfu, na mia sita. 18 Akaweka
katika hao sabini elfu wawe wachukuzi wa mizigo, na themanini elfu wawe
wachongaji milimani, na wasimamizi elfu tatu na mia sita, ili wawatie watu
kazini.
Kulikuwa na
wageni 153,600 katika Israeli na waliwekwa kwenye kazi ya ujenzi kama wakusanya
michango. Wanaume elfu saba walikuwa ni wabeba mizigo, 80,000 walikuwa wachonga
mawe milimani na 3,600 walikuwa manyapara au wasimamizi. Kwa hiyo Wamataifa
wote waliokuwa ndani ya Israeli walitumiwa kwenye shughuli za ujenzi. Ndipo
wokovu ulienea hadi kwa Wamataifa ulimwenguni kote.
2Mambo ya Nyakati
3:1-17 Ndipo Sulemani akaanza kuijenga nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, juu ya
mlima Moria, pale Bwana alipomtokea Daudi babaye alipotengeza mahali pale
alipoagiza Daudi, katika kiwanja cha kupuria cha Arauna Myebusi. 2 Akaanza kujenga siku ya pili ya mwezi wa pili katika mwaka
wa nne wa kutawala kwake. 3 Basi hii ndiyo misingi ya majengo ya nyumba ya Mungu aliyoiweka Sulemani.
Urefu wake kwa mikono ya cheo cha kwanza ulikuwa mikono sitini, na upana wake
mikono ishirini. 4 Na ukumbi uliokuwa mbele yake,
urefu wake kadiri ya upana wa nyumba ulikuwa mikono ishirini, na kwenda juu
kwake mia na ishirini; akaufunikiza ndani kwa dhahabu safi. 5
Nayo nyumba kubwa akaifunika miti ya miberoshi, aliyoifunikiza kwa
dhahabu safi, akaifanyizia mitende na minyororo. 6 Akaipamba
nyumba kwa vito iwe na uzuri; nayo dhahabu ilikuwa dhahabu ya Parvaimu. 7 Tena, akaifunikiza kwa dhahabu nyumba, na boriti, na
vizingiti, na kuta zake, na milango yake; akachora makerubi kutani. 8 Akaifanya nyumba ya patakatifu pa patakatifu; urefu wake
kadiri ya upana wa nyumba, ulikuwa mikono ishirini, na upana wake mikono
ishirini; akaifunikiza kwa dhahabu safi, ya talanta mia sita. 9 Na uzani wa misumari ulikuwa shekeli hamsini za dhahabu.
Akazifunikiza orofa zake za juu kwa dhahabu. 10 Na
ndani ya nyumba ya patakatifu pa patakatifu akafanyiza makerubi mawili ya
kuchonga; wakayafunikiza kwa dhahabu. 11 Na mabawa ya
makerubi hayo urefu wake ulikuwa mikono ishirini; bawa moja mikono mitano,
likiufikilia ukuta wa nyumba; na bawa la pili mikono mitano, likishikana na
bawa la kerubi la pili. 12 Na bawa la kerubi la pili
lilikuwa mikono mitano, likiufikilia ukuta wa nyumba; na bawa la pili mikono
mitano, likishikana na bawa la kerubi la kwanza. 13 Yakaenea
mabawa ya makerubi hayo mikono ishirini; yakasimama juu ya miguu yao, na nyuso
zao ziliielekea nyumba. 14 Akalifanya pazia la samawi
na urujuani na nyekundu, na kitani safi, akaifanyizia makerubi. 15 Tena akafanya mbele ya nyumba nguzo mbili za mikono
thelathini na tano kwenda juu kwake, na taji iliyokuwa juu yake moja moja
ilikuwa mikono mitano. 16 Akafanya minyororo ndani ya
chumba cha ndani, akaiweka juu ya vichwa vya nguzo; akafanya makomamanga mia,
akayaweka juu ya hiyo minyororo. 17 Akazisimamisha
nguzo hizo mbele ya hekalu, moja upande wa kuume, na ya pili upande wa kushoto;
akaliita jina la ile ya kuume Yakini, na jina la ile ya kushoto Boazi.
Ni kwa kupitia
wokovu wa Mungu ndipo tunaingia kwenye Hekalu la Mungu. Makerubi wanakilinda
kiti cha enzi cha Mungu na wanawakilisha Makerubi wa wa teule na wa aina ya
Malaika. Makerubi walioonyeshwa kwenye Hekalu la nabii Ezekieli wanaonyesha
kwamba ni Makerubi wawili waliowekwa au kwenye upande wa mitende ambaye ni Kristo,
wanaweka mtu na kerubi mwenye kichwa cha simba wa Malaika Muasi, aitwaye
Shetani na Aeon mwenye kichwa cha simba. Hawa elohim ni Ibrahimu na Musa, ambao
ni Elohim wawili pekee waliotajwa kwenye maandiko ya vitabu vya Mwanzo na
Kutoka.
Wakati kwamba Ibrahimu na Musa ni
wawili peke yao waliotajwa kuwa ni Elohim, kwenye tukio la kutokewa na watu wa
kale alioonyeshwa Yesu, watu wawili, walionekana ambao ni Musa na Eliya
(Mathayo 17:3). Kwa hiyo tunaweza kudhania kwamba kulikuwa na takriban viumbe
wanne waliohusika kwenye mwandamano huu wa matuki, ambao ni Henoko, Ibrahimu,
Musa na Eliya na huenda na watu wengine wawili ambao hawajatajwa au kuonekana
bado.
2Mambo ya Nyakati
4:1-22 Tena akafanya madhabahu ya shaba, mikono ishirini urefu wake, na mikono
ishirini upana wake, na mikono kumi kwenda juu kwake. 2 Tena
akaifanya bahari ya kusubu, mikono kumi toka ukingo hata ukingo, ya mviringo,
na kwenda juu kwake ilikuwa mikono mitano; na uzi wa mikono thelathini
kuizunguka kabisa. 3 Na chini yake palikuwa na mifano
ya ng'ombe, walioizunguka pande zote ,kwa mikono kumi,wakiizunguka pande zote
ile bahari. Ng`ombe walikuwa safu mbili ,wakayeyushwa hapo ilipoyeyushwa hiyo
bahari. 4 Ikakaa juu ya ng'ombe kumi na wawili, watatu
wakitazama kaskazini, na watatu wakitazama magharibi, na watatu wakitazama
kusini, na watatu wakitazama mashariki; na bahari iliwekwa juu yao, na pande
zao za nyuma zote zilikuwa ndani. 5 Na unene wake
ulikuwa nyanda nne, na ukingo wake ukafanywa kama ukingo wa kikombe, kama ua la
yungi; huingia bathi elfu tatu, kukaa ndani yake. 6 Akafanya
na birika kumi, akaziweka tano upande wa kuume, na tano upande wa kushoto, za
kuoshea; ndizo walizooshea mambo ya kafara; lakini hiyo bahari ilikuwa ya
makuhani ya kuogea. 7 Akavifanya vinara vya taa kumi
vya dhahabu, kadiri ya vilivyoagiziwa; akavitia hekaluni, vitano upande wa
kuume, na vitano upande wa kushoto. 8 Akafanya na meza kumi, akazitia hekaluni, tano upande wa kuume, na tano
upande wa kushoto. Kisha akafanya mabakuli mia ya dhahabu. 9 Tena
akaufanya ua wa makuhani, na ua mkubwa, nayo milango yake, akaifunikiza kwa
shaba milango yake. 10 Nayo bahari akaiweka upande wa
kuume kwa mashariki, kuelekea kusini. 11 Na Huramu
akayafanya masufuria, na majembe, na mabakuli. Basi Huramu akamaliza kufanya
hiyo kazi, aliyomfanyia mfalme Sulemani ya nyumba ya Mungu; 12
zile nguzo mbili, na vimbe, na taji mbili zilizokuwa juu ya nguzo; nazo
nyavu mbili za kuzifunika vimbe mbili za taji zilizokuwa juu ya nguzo; 13 na makomamanga mia nne ya nyavu mbili; safu mbili za makomamanga
kwa kila wavu, kuzifunika vimbe mbili za taji zilizokuwa juu ya nguzo. 14 Akayafanya na matako, na mabirika akafanya juu ya matako;
15 bahari moja, na ng'ombe kumi na wawili chini yake. 16 Masufuria pia, na majembe, na nyuma, na vyombo vyake vyote,
Huramu akamfanyia mfalme Sulemani kwa nyumba ya BWANA ,vya shaba iliyokatuka. 17 Katika uwanda wa Yordani ndipo mfalme alipovisubu, katika
udongo mzito kati ya Sukothi na Sereda. 18 Ndivyo
alivyovifanya Sulemani vyombo hivyo vyote, vingi sana; kwa kuwa uzani wa shaba
ulikuwa hautafutikani. 19 Basi Sulemani akavifanya
vyombo vyote vilivyokuwamo nyumbani mwa Mungu, madhabahu ya dhahabu pia, nazo
meza, ambazo juu yake iliwekwa mikate ya wonyesho; 20 na
vinara na taa zake, ziwake kama ilivyoagizwa mbele ya chumba cha ndani, vya
dhahabu iliyosafika; 21 na maua, na taa, na makoleo,
ya dhahabu, ndiyo dhahabu bora; 22 na mikasi, na
mabakuli, na miiko, na vyetezo, vya dhahabu iliyosafika; na kwa habari za
mahali pa kuingia nyumbani, milango yake ya ndani ya patakatifu pa patakatifu,
na milango ya nyumba, yaani ya hekalu, ilikuwa ya dhahabu.
Dhahabu haikuwa
kitu adimu na haikuwa na gharama kubwa kipindi cha utawala huu. Na ndivyo
ilivyo kwamba wa wateule wanapaswa kuwa watakatifu na kusafishwa na wenye
kuthaminika na kufundishika.
2Mambo ya Nyakati 5:1 Hivyo ikaisha kazi yote Sulemani aliyoifanyia nyumba
ya Bwana. Sulemani akaviingiza vitu alivyovitakasa baba yake Daudi; fedha, na
dhahabu, na vyombo vyote, akavitia ndani ya hazina za nyumba ya Mungu.
Kulikuwa na vitu
vilivyotakiwa kwenye maandalizi, na hizi ailipaswa kuletwa kwenye Hekalu wakati
lilipokamilika. Kwa hiyo kulikuwa na vitu vilivyotumiwa kwenye ujenzi kwa ajili
ya matumizi baada ya awamu ya kwanza ya ujenzi ikiwa imekamilika.
2Mambo ya Nyakati 5:2 Ndipo Sulemani alipowakusanya wazee wa Israeli, na
wakuu wote wa kabila, wakuu wa mbari za mababa wa wana wa Israeli, huko
Yerusalemu, ili walipandishe sanduku la agano la Bwana kutoka mji wa Daudi,
yaani, Sayuni.
Wakati Hekalu
lilipokuwa tayari limeisha ndipo Sanduku la Agano lilipoletwa huko Yerusalemu.
Kwa hiyo Sanduku la Agano linawakilisha Roho Mtakatifu aliye ndani ya wateule,
ambaye anaweka makao huko Yerusalemu baada ya Masihi kuikamilisha awamu ya
kwanza. Wokovu ni wa Yuda pain a Yerusalemu kwenye awamu ile, kama ulivyo kwa
Israeli wote.
2Mambo ya Nyakati
5:3-14 3 Wakakutana watu wote wa Israeli mbele ya
mfalme wakati wa sikukuu, katika mwezi wa saba. 4 Wakaja
wazee wote wa Israeli, nao Walawi wakajitwika sanduku. 5 Wakalipandisha
sanduku, na ile hema ya kukutania, na vyombo vitakatifu vyote vilivyokuwamo
Hemani, vitu hivyo makuhani Walawi wakavipandisha. 6 Mfalme
Sulemani, na mkutano wote wa Israeli, waliokutanika kwake, walikuwako mbele ya
sanduku, wakichinja dhabihu za kondoo na ng'ombe, wasiohesabika wala
kujumlishwa kwa kuwa wengi. 7 Makuhani wakaliingiza
sanduku la agano la Bwana mahali pake katika chumba cha ndani cha nyumba,
patakatifu pa patakatifu, yaani, chini ya mabawa ya makerubi. 8 Kwa maana makerubi yalinyosha mabawa yao juu ya mahali pa
sanduku, makerubi yakalifunika lile sanduku na miti yake kwa juu. 9 Na ile miti ilikuwa mirefu, hata ncha za miti zilionekana
sandukuni mbele ya chumba cha ndani, lakini hazikuonekana nje; nayo iko kuko
huko hata leo. 10 Hamkuwa na kitu ndani ya sanduku,
ila zile mbao mbili alizozitia Musa huko Horebu, Bwana alipofanya agano na wana
wa Israeli, hapo walipotoka Misri. 11 Ikawa makuhani
walipokwisha kutoka katika patakatifu; (kwani makuhani wote waliokuwapo,
walikuwa wamejitakasa, wala hawakuzishika zamu zao; 12 tena
Walawi waimbaji, wote pia, yaani Asafu, na Hemani, na Yeduthuni, na wana wao,
na ndugu zao, hali wamevaa kitani safi, wenye matoazi na vinanda na vinubi,
wamesimama upande wa mashariki wa madhabahu, na pamoja nao makuhani mia na
ishirini wakipiga panda;) 13 hata ikawa, wenye panda
na waimbaji walipokuwa kama mmoja, wakisikizisha sauti moja ya kumsifu na
kumshukuru Bwana nao wakipaza sauti pamoja na panda na matoazi na vinanda,
wakimsifu Bwana, wakisema, Kwa kuwa ni mwema; kwa maana fadhili zake ni za
milele; ndipo nyumba ikajawa na wingu, naam, nyumba ya Bwana, 14 hata makuhani hawakuweza kusimama ili kufanya huduma yao,
kwa sababu ya lile wingu; kwa kuwa nyumba ya Mungu imejaa utukufu wa Bwana.
Sanduku la Agano
halitaletwa na kungizwa mioyoni tena (soma jarida la Sanduku la Agano (Na. 196)). Kinachokusudiwa kuonyeshwa ni kwamba
Roho Mtakatifu, ambaye anafundisha Sheria na amri za Torati ya Mungu na
kuwafanya watu wazielewe, ataliweka Sanduku la Agano la kimwili na atawaongoa
Yuda na Israeli katika Siku za Mwisho, lakini nitu baada ya nyuma – Kanisa la
Mungu – likiwa limekwisha anzishwa tayari.
2Mambo ya Nyakati
6:1-42 Ndipo Sulemani akanena, Bwana alisema ya kwamba atakaa katika giza nene.
2 Lakini nimekujengea nyumba ya kukaa, iwe mahali pa
makao yako milele. 3 Mfalme akageuza uso wake,
akawabarikia mkutano wote wa Israeli; na mkutano wote wa Israeli wakasimama. 4 Akasema, Bwana, Mungu wa Israeli, ahimidiwe, aliyenena kwa
kinywa chake na baba yangu Daudi, akalitimiza kwa mikono yake, akasema, 5 Tangu siku ile nilipowatoa watu wangu katika nchi ya
Misri, sikuchagua mji wo wote wa kabila zote za Israeli ili kujenga nyumba,
jina langu liwe humo; wala sikumchagua mtu ye yote awe mkuu juu ya watu wangu
Israeli; 6 lakini nimeuchagua Yerusalemu, jina langu
liwe humo; na Daudi nimemchagua awe juu ya watu wangu Israeli. 7 Basi ilikuwa moyoni mwake Daudi, baba yangu, kujenga
nyumba kwa jina la Bwana, Mungu wa Israeli. 8 Lakini
Bwana akamwambia Daudi baba yangu, Kwa kuwa ilikuwa moyoni mwako kujenga nyumba
kwa jina langu, ulifanya vema kuwaza hivi moyoni mwako; 9 lakini
si wewe utakayeijenga nyumba hiyo; ila mwanao atakayetoka katika viuno vyako,
yeye ndiye atakayejenga nyumba kwa jina langu. 10 Basi
Bwana amelitimiza neno lile alilolinena; nami nimesimama mahali pa Daudi baba
yangu, na kuketi katika kiti cha enzi cha Israeli, kama Bwana alivyoahidi, nami
nimeijenga nyumba kwa jina la Bwana, Mungu wa Israeli. 11 Ndimo
nilimoliweka hilo sanduku, ambalo ndani yake mna agano la Bwana, alilolifanya
na wana wa Israeli. 12 Akasimama mbele ya madhabahu ya
Bwana, machoni pa mkutano wote wa Israeli, akainyosha mikono; 13 (maana Sulemani alikuwa amefanya mimbari ya shaba, urefu
wake mikono mitano, na upana wake mikono mitano, na kwenda juu kwake mikono
mitatu, na kuisimamisha katikati ya ua; akasimama juu yake, akapiga magoti
mbele ya mkutano wote wa Israeli, akaikunjua mikono yake kuelekea mbinguni); 14 akasema, Ee Bwana, Mungu wa Israeli, hakuna Mungu kama
wewe, mbinguni, wala duniani; ushikaye maagano na rehema kwa watumishi wako,
waendao mbele zako kwa moyo wao wote; 15 uliyemtimizia
mtumishi wako Daudi, baba yangu, ahadi uliyomwahidi; naam, ulinena kwa kinywa
chako, ukayatimiza kwa mkono wako, kama ilivyo leo. 16 Sasa,
Ee Bwana, Mungu wa Israeli, umfikilizie mtumishi wako Daudi, baba yangu, ahadi
uliyomwahidia, ukisema, Hutakosa kuwa na mtu machoni pangu, wa kuketi katika
kiti cha enzi cha Israeli; wakiwa tu watoto wako wataiangalia njia yao, ili
kuiendea torati yangu, kama wewe ulivyokwenda mbele zangu. 17
Basi sasa, Ee Bwana, Mungu wa Israeli, ulithibitishe neno lako,
ulilomwambia mtumishi wako Daudi. 18 Lakini Mungu je!
Yamkini atakaa na watu duniani? Tazama, mbingu na mbingu za mbingu za mbingu
hazikutoshi; siuze nyumba hii niliyoijenga! 19 Walakini
umwangalie mtumwa wako anayoyaomba, na kusihi, Ee Bwana, Mungu wangu, usikie
kilio na maombi anayoyaomba mtumwa wako mbele zako; 20 ili
macho yako yafumbuke kwa nyumba hii mchana na usiku, mahali uliponena, ndipo utakapoliweka
jina lako; usikie maombi atakayoomba mtumwa wako, akikabili mahali hapa. 21 Uyasikie atakayosihi mtumwa wako, na watu wako Israeli,
watakapoomba wakikabili mahali hapa; naam, usikie toka makaoni mwako, toka
mbinguni, nawe usikiapo, samehe. 22 Ikiwa mtu
amemkosea mwenzake, akitiwa kiapo, aapishwe, naye akija na kuapa hapa mbele ya
madhabahu yako nyumbani humu; 23 basi, usikie
mbinguni, ukatende, ukawahukumu watumwa wako; ukimlipiza mwovu, kumpatilizia
njia yake kichwani; ukamfanyie haki mwenye haki, ukimjalia kwa kadiri ya haki
yake. 24 Ikiwa watu wako Israeli wamepigwa mbele ya
adui zao, kwa sababu wamekukosa wewe; kama wakirejea kwako, na kulikiri jina
lako, wakikuomba na kukusihi nyumbani humu; 25 basi
usikie huko mbinguni, ukaisamehe dhambi ya watu wako Israeli, na kuwarejeza
tena katika nchi uliyowapa wao na baba zao. 26 Ikiwa
mbingu zimefungwa, hata hakuna mvua, kwa sababu wamekukosa wewe; kama wakiomba
wakikabili mahali hapa, na kulikiri jina lako, na kuiacha dhambi yao,
uwatesapo; 27 basi usikie huko mbinguni, ukaisamehe
dhambi ya watumwa wako, na ya watu wako Israeli; uwafundishapo njia njema
iwapasayo waiendee; ukainyeshee mvua nchi yako, uliyowapa watu wako iwe urithi.
28 Ikiwa nchi imeingia njaa, au tauni, au ukosefu wa
mvua, au ukungu, au nzige, au panzi; ikiwa adui wamewahusuru katika nchi ya
miji yao, au ukiwapo msiba wo wote, au uele wo wote; 29 yo
yote atakayoyaomba na kusihi mtu awaye yote, au watu wako Israeli wote pamoja,
watakaojua kila mtu pigo lake mwenyewe, na msiba wake mwenyewe, akiinyoshea
mikono nyumba hii; 30 basi usikie huko mbinguni,
ukaapo, ukasamehe, ukampatilize kila mtu kwa kadiri ya njia zake zote; wewe
umjuaye moyo; (maana wewe peke yako ndiwe uijuaye mioyo ya wanadamu); 31 ili wakuche wewe, waziendee njia zako, siku zote
watakazoishi katika nchi uliyowapa baba zetu. 32 Hata
na mgeni naye, asiyekuwa mmoja wa watu wako Israeli, atakapokuja kutoka nchi
iliyo mbali sana kwa ajili ya jina lako kuu, na mkono wako ulio hodari, na
mkono wako ulionyoshwa; hao watakapokuja na kuomba wakiielekea nyumba hii; 33 basi usikie huko mbinguni, toka makaoni mwako, ukatende
yote atakayokuomba huyo mgeni; ili watu wote wa dunia wapate kulijua jina lako,
na kukucha wewe, kama watu wako Israeli, tena wajue ya kuwa nyumba hii
niliyoijenga imeitwa kwa jina lako. 34 Ikiwa watu wako
wametoka kupigana na adui zao, utakakowatuma ko kote, wakikuomba kuuelekea mji
huu uliouchagua, na nyumba hii niliyoijenga kwa jina lako;35 basi
uyasikie huko mbinguni wayaombayo, na kusihi, ukaitetee haki yao. 36 Wakikukosa, (maana hakuna mtu asiyekosa), hata
uwakasirikie, na kuwatia mikononi mwa adui zao, wawahamishe, na kuwachukua
mateka mpaka nchi iliyo mbali au iliyo karibu; 37 basi
wakikumbuka katika nchi walikohamishwa, na kutubu, na kukusihi katika nchi ya uhamisho
wao, wakisema, Tumekosa, tumetenda kwa ukaidi, tumefanya maovu; 38 wakurudiapo kwa mioyo yao yote, na kwa nia zao zote,
katika nchi ya uhamisho wao, adui walikowahamisha, wakiomba na kuielekea nchi
uliyowapa baba zao, na mji huu uliouchagua, na nyumba hii niliyoijenga kwa jina
lako; 39 basi uyasikie toka mbinguni, toka makaoni
mwako, wayaombayo, na kusihi, ukaitetee haki yao; ukawasamehe watu wako,
waliokosa juu yako. 40 Na sasa, Ee Mungu wangu, macho
yako yafumbuke, nakusihi, masikio yako yakasikilize maombi yaombwayo mahali
hapa. 41 Sasa, Ee Bwana, Mungu, uondoke, uende kwenye
raha yako, wewe na sanduku la nguvu zako; makuhani wako, Ee Bwana, Mungu,
wavikwe wokovu, watakatifu wako na washangilie mema. 42 Ee
Bwana, Mungu, usiurudishe nyuma uso wa masihi wako,uzikumbuke fadhili za Daudi
mtumishi wako.
Uponyaji
uliendelea na kuenea kwa wote kwa njia ya msamaha wa dhambi. Kwa hiyo, uwekaji
wakfu wa Nyumba ya Mungu ulifanyika ili kwamba Wamataoifa pia waweze kuokolewa,
na ili warudi na kumuomba Mungu jambo lolote walitakalo na wapewe.
Baada ya Sulemani
kuomba, moto ulishuka kutoma Mbinguni na kuiteketeza sadaka yote ya kuteketezwa
ikiwa kama ishara ya kwamba Mungu ameyasikia na ameyakubali maombi yao. Wana wa
Israeli ndipo walikuwa na moyo mkuu na kujitoa sana na kukijua kile
alichowatendea Mungu. Hii ilikuwa ni miaka mia tano baada ya tukio la Kutoka
kwao utumwani, Israeli walipewa tgena ishara zihusuzo uwepo wa Malaika wa Bwana
kuwa yu katikati yao akiwa kama Yahova wa Israeli, ambaye ni Yesu Kristo (Zaburi
45:6-7; Heb 1:8-9).
2Mambo ya Nyakati 7:1-22 Basi Sulemani alipokwisha maombi hayo, moto
ukashuka kutoka mbinguni, ukateketeza sadaka ya kuteketezwa na dhabihu; utukufu
wa Bwana ukaijaza nyumba. 2 Wala makuhani hawakuweza
kuingia nyumbani mwa Bwana, kwa kuwa utukufu wa Bwana umeijaza nyumba ya Bwana.
3 Wakatazama wana wa Israeli wote, uliposhuka ule
moto, utukufu wa Bwana ulipokuwapo juu ya nyumba; wakasujudu kifulifuli hata
nchi sakafuni, wakaabudu, wakamshukuru Bwana, wakisema, Kwa kuwa ni mwema; kwa
maana fadhili zake ni za milele. 4 Ndipo mfalme na
watu wote wakatoa dhabihu mbele za Bwana. 5 Mfalme
Sulemani akatoa sadaka ya ng'ombe ishirini na mbili elfu, na kondoo mia na
ishirini elfu. Ndivyo mfalme na watu wote walivyoifanya wakfu nyumba ya Mungu. 6 Wakasimama makuhani sawasawa na malinzi yao; Walawi nao
pamoja na vinanda vya Bwana, alivyovifanya Daudi mfalme, ili kumshukuru Bwana,
kwa maana fadhili zake ni za milele, hapo aliposifu Daudi kwa mikono yao; nao
makuhani wakapiga panda mbele yao; nao Israeli wote wakasimama. 7 Tena Sulemani akaitakasa behewa katikati, iliyokuwa mbele
ya nyumba ya Bwana; kwa kuwa hapo ndipo alipotoa sadaka za kuteketezwa, na
mafuta ya sadaka za amani; kwa sababu ile madhabahu ya shaba aliyoifanya
Sulemani haikutosha kuzipokea sadaka ya kuteketezwa, na sadaka ya unga, na
mafuta. 8 Basi, wakati ule Sulemani akafanya sikukuu,
na Israeli wote pamoja naye, kusanyiko kubwa sana, toka maingilio ya Hamathi
mpaka kijito cha Misri, muda wa siku saba. 9 Hata siku
ya nane wakaita kusanyiko la makini; kwa maana walishika kuitakasa madhabahu
siku saba, na sikukuu siku saba. 10 Akawaruhusu watu
waende hemani kwao siku ya ishirini na tatu, ya mwezi wa saba, wakifurahi na
kuchangamka mioyoni kwa wema wote Bwana aliomfanyia Daudi, na Sulemani, na
Israeli watu wake. 11 Hivyo Sulemani akaimaliza nyumba
ya Bwana, na nyumba ya mfalme; na yote yaliyomwingia Sulemani moyoni ayafanye
nyumbani mwa Bwana, na nyumbani mwake mwenyewe, akayafanikisha.
Sikukuu ya mwezi
wa Saba ilifanyika kwa siku kumi na nne, siku saba zikiwa kwa ajili ya
kuitakasa au kuweka wakfu madhabahu, na siku nyingine saba kwa ajili ya Sikukuu
ya Vibanda. Sherehe za uwekaji wakfu zilifanyika kuanzia siku ya 8 hadi ya 14
mwezi Tishri, na siku saba za Sikukuu zilikuwa ni tangia siku ya 15 hadi ya 21
mwezi Tishri. Siku ya Mkutano Mkuu wa Makini ilikuwa ni siku ya 22 Tishri, na
siku ya 23 Tishri walirejea majumbani mwao. Siku Kubwa ya Mkutano wa Makini
haikuhesabiwa kuwa ni Sikukuu kwenye hesabu. Siku Kubwa ya Mkutano wa Makini ni
ishsra ya nyakati za mwisho ambayo ni mfano wa Kiti Kikubwa Cheupe cha Enzi cha
Hukumu na haipo kwenye uhusiano na kipindi cha utawala wa millennia. Ni kipindi
cha Ufufuo wa Pili wa Wafu na kinahusiana na hukumu ya ulimwengu. Kwenye
mwandamano wa matukio ya mwezi wa Tishri mwishoni mwa zama hizi za leo
utaendana na maadhimisho ya Yubile ya mwaka 2027. Halafu Ufufuo wa wafu
utakamilika na watu watarejea kwenye nchi au watarejeshewa ardhi zao katika
Israeli na ulimwenguni kote.
Mchakato huu pia
unahusiana na siku za mwis. Siku ishirini na moja zilizotajwa za kukamilisha
mchakato huu ili kufikia kwenye utawala wa millennia kama ulivyoelezewa kwenye
jarida la Utakaso wa Mataifa (Na. 77). Mchakato huu una migawanyo mitatu ya siku saba
kila mmoja nay a marejesho mapya ya utawala huko Yerusalemu. Kwa hiyo kipindi
cha kwanza cha miaka saba ya kwanza ya Utakaso kitakuwa mwaka 2012 ambacho ni
cha mwajibiko wa Kanisa. Mafundisho yake yanapaswa yawe sahihi na yakamilike na
yachapishwe na kuezwa kwa mataifa yote katika kipindi hiki. Ufunguo wa Daudi
limepewa Kanisa adilifu na aminifu ka Siku za Mwisho, likifundisha mafundisho
asilia ya kwanza ya Kanisa la Mungu yaliyokuwa yanafundishwa tangu karne ya
Kwanza. Na hii inamaana ni mafundisho juu ya Mungu Mmoja au imani ya
Kiyunitariani pamoja na mafundisho yake yasiyoghoshiwa. Ikiwemo Kalenda
Takatifu pamoja na Miandamo wa Mwezi Mpya. Huo ndio Ufunguo wa Daudi katika
kufafanua unabii kuhusu mwandamano wa matukio ya Siku za Mwisho.
Kwenye awamu hii
hapa, kwenye mwandamano wa mambo ya Hekaluni, Utakaso wa Madhabahu kwa kweli
kwa kweli ni shughuli ya pili iliyokuwa inafanyika siku saba za mwezi wa
Tishri, ikifuatiwa na siku ya Nane ya mwezi wa Tishri, au mwaka 2013 kwa hesabu
za mwaka mmoja kwa siku kuelekea kwenye Yubile ya mwaka 2027. Siku saba za
mwisho za mchakato wa kuwatiisha mataifa kutoka Yerusalemu chini ya Masihi
tangu mwaka 2019 hadi 2026 (soma jarida la Kuanguka kwa Yeriko (Na. 142)). Yubile ya mwaka 2027 inakamilisha
mchakato na mwaka 2028 ni mwanzo wa utawala Mpya wa Milenia. Mwaka huu wa 2028
Marejesho ya \utawala wa Milenia na kanuni zake yatafanyika, na utaratibu wa
Hekalu na usimamizi wake na mambo yote ya kiuatawala huko Yerusalemu yatawekwa,
kama nyumba za Mfalme na Ukumbi wa kutolea Hukumu. Kutoka huko ndipo hukumu
zitatolewa kwa watu wote ulimwenguni.
12
Bwana akamtokea
Sulemani usiku, akamwambia, Nimesikia uliyoyaomba, na mahali hapa
nimejichagulia kuwa nyumba ya dhabihu. 13 Nikizifunga
mbingu isiwe mvua, tena nikiamuru nzige kula nchi, au nikiwapelekea watu wangu
tauni; 14 ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu,
watajinyenyekesha, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya;
basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi yao, na kuiponya nchi yao. 15 Sasa macho yangu yatafumbuka, na masikio yangu
yatasikiliza maombi ya watu waombao mahali hapa. 16 Maana
sasa nimeichagua nyumba hii na kuitakasa, ili kwamba jina langu lipate kuwako
huko milele; yatakuwako na macho yangu, na moyo wangu daima. 17
Nawe, ukienda mbele yangu kama alivyokwenda Daudi baba yako, ufanye
sawasawa na yote niliyokuamuru, na kuzishika sheria zangu na hukumu zangu; 18 ndipo nitakithibitisha kiti cha enzi cha ufalme wako,
kama nilivyoagana na Daudi baba yako, nikisema, Hutakosa kuwa na mtu wa
kutawala katika Israeli. 19 Lakini mkigeuka, na
kuziacha sheria zangu na amri zangu nilizoweka mbele yenu, mkienda, na kuitumikia
miungu mingine, na kuiabudu; 20 ndipo nitawang'oa
katika nchi yangu niliyowapa; na nyumba hii niliyoitakasa kwa jina langu,
nitaiondosha itoke mbele zangu, nami nitaifanya kuwa mithali na tukano katikati
ya watu wote. 21 Na nyumba hii, iliyo juu, kila
apitaye ataona ushangao, atasema, Mbona Bwana ameitendea hivi nchi hii, na
nyumba hii? 22 Nao watajibu, Kwa sababu walimwacha
Bwana, Mungu wa baba zao, aliyewaleta kutoka nchi ya Misri, wakashikamana na
miungu mingine, wakaiabudu, na kuitumikia; kwa hiyo ameyaleta mabaya haya yote
juu yao.
Sulemani alikuwa
ametahadharishwa vya kutosha kwa kile kingalichotokea kama wangejiingiza kwenye
ibada za sanamu, lakini hatimaye yeye mwenyewe alijikwaa kwa hilo na akafanya
hivyo.
2Mambo ya Nyakati 8:1-18 Ikawa miaka ishirini ilipopita, ambayo katika hiyo
Sulemani aliijenga nyumba ya Bwana, na nyumba yake mwenyewe; 2
ndipo Sulemani akaijenga miji ile Hiramu aliyompa Sulemani, akawakalisha
humo wana wa Israeli. 3 Naye Sulemani akaenda
Hamath-zoba, akaushinda. 4 Akaujenga Tadmori wa
nyikani, na miji yote ya hazina, aliyoijenga katika Hamathi. 5
Tena akaujenga Beth-horoni wa juu, na Beth-horoni wa chini, miji yenye
boma, yenye kuta, na malango, na makomeo; 6 na
Baalathi, na miji yote ya hazina Sulemani aliyokuwa nayo, na miji yote ya
magari yake, na miji ya wapanda farasi wake, na ya anasa yote aliyopenda
Sulemani kujenga humo Yerusalemu, na katika Lebanoni, na katika nchi yote ya
mamlaka yake. 7 Basi kwa habari ya watu wote
waliosalia wa Wahiti, na wa Waamori, na wa Waperizi, na wa Wahivi, na wa
Wayebusi, wasiokuwa wa Israeli; 8 wa watoto wao
waliosalia baada yao katika nchi, ambao wana wa Israeli hawakuwakomesha, katika
hao Sulemani akawatumikisha shokoa hata leo. 9 Wala
katika wana wa Israeli Sulemani hakuwafanya watumwa kazini mwake; lakini hao
walikuwa watu wa vita, na wakuu wa majemadari wake, na maakida wa magari yake
na wa wapanda farasi wake. 10 Na hao walikuwa maakida
wakuu wa Sulemani, watu mia mbili na hamsini, waliotawala juu ya watu. 11 Sulemani akamleta binti Farao kutoka mji wa Daudi mpaka
nyumba aliyomjengea; kwa kuwa alisema, Mke wangu hatakaa nyumbani mwa Daudi
mfalme wa Israeli, kwa kuwa ni patakatifu, mahali palipofika sanduku la Bwana. 12 Ndipo Sulemani akamtolea Bwana sadaka za kuteketezwa juu
ya madhabahu ya Bwana, aliyoijenga mbele ya ukumbi, 13 kadiri
ilivyohitajiwa huduma ya kila siku, akitoa sawasawa na amri ya Musa, siku za
sabato, na za mwezi mpya, na za sikukuu zilizoamriwa, mara tatu kila mwaka,
yaani, sikukuu ya mikate isiyochachwa, na sikukuu ya majuma, na sikukuu ya
vibanda.
Sulemani akaweka
mkazo kwenye Torati ya Mungu na Kalenda na akazitunza Sabato na Miandamo ya
Mwezi Mpya ma kuzisisitiza kuwa ni Siku Takatifu za Mapumziko na maadhimisho,
pamoja na mkazo wa kuzishika Sikukuu; ambazo tunaziadhimisha mara tatu kila
mwaka, sawasawa na vilivyo kwenye Kalenda Takatifu (soma jarida la God’s Kalenda ya Mungu (Na. 156)). Utaratibu huu wa kalenda ulipaswa
ushikwe hivyo tangu mwanzo hadi kuangamizwa kwa Hekalu mwaka 70 BK. Haya hivyo,
mara ningi ilikuwa haishikwi, na Sikukuu na Usomaji wa Torati mara nyingi
ulikuwa haufanywi kabisa kutokana na hali ya ukengeufu na ugumu wa mioyo au
wavivu.
Utaratibu
uliowekwa na Daudi ulianzishwa na kushikwa hadi na wafinyanzi waliotengeneza
malango, na kilakitu kilikuwa na maana kwa ajili ya Hekalu lijalo la kipindi
cha Yesu Kristo.
14
Akaziamuru, sawasawa
na agizo la Daudi babaye, zamu za makuhani za kutumika, nao Walawi kwa kadiri
ya malinzi yao, ili kusifu, na kuhudumu mbele ya makuhani, kama ilivyohitajiwa
kila siku; tena mabawabu kwa zamu zao za kila mlango; maana ndivyo alivyoamuru
Daudi mtu wa Mungu. 15 Wala hawakuyaacha maagizo ya
mfalme aliyowaamuru makuhani na Walawi kwa neno lo lote, wala kwa habari ya
hazina. 16 Basi ikatengenezwa kazi yote ya Sulemani
hata siku ya kutiwa msingi wa nyumba ya Bwana, na hata ilipokwisha. Hivyo
ikamalizika nyumba ya Bwana. 17 Ndipo Sulemani akaenda
Esion-geberi, na Elothi, pwani ya nchi ya Edomu. 18 Naye
Hiramu akamletea merikebu kwa mikono ya watumishi wake, na watumishi waliokuwa
wana-maji; nao wakafika Ofiri pamoja na watumishi wa Sulemani, wakachukua
kutoka huko talanta mia nne na hamsini za dhahabu, wakamletea mfalme Sulemani.
Malakia wa Sheba
Sulemani alimkuchua
mwanamke kutoka nje ya Israeli. Uchaguzi wa wanawake wa Sulemani unamaanisha
mjumuisho wa Wamataifa kwenye Kanisa, na ibada za sanamu ambazo Israeli
waliziona na kutaabishwa navyo ziliwakilisha kupotoshwa kwa Kanisa na hawa
wanawake wa kigeni ambao ni mfano wa Makanisa ya Wamataifa. Jambo baya zaidi
kutokana na hali hii ni upotovu wa mfumo uliotokana Roma.
1Wafalme 10:1-29 Na malkia wa Sheba aliposikia habari za Sulemani juu ya
jina la Bwana, alikuja ili amjaribu kwa maswali ya fumbo. 2 Akaingia
Yerusalemu na wafuasi wengi sana, na ngamia wachukuao manukato, na dhahabu
nyingi sana, na vito vya thamani; alipomfikilia Sulemani, akazungumza naye
mambo yote aliyokuwa nayo moyoni. 3 Naye Sulemani
akamfumbulia maswali yake yote; wala hakukuwa na neno alilofichiwa mfalme
asimwambie. 4 Naye malkia wa Sheba alipoona hekima
yote ya Sulemani, na nyumba aliyokuwa ameijenga, 5 na
chakula cha mezani pake, na watumishi wake walivyokaa, na kusimamia kwao
wangoje wake, na mavazi yao, na wanyweshaji wake, na daraja yake ya kupandia
mpaka nyumba ya Bwana, roho yake ilizimia. 6 Akamwambia
mfalme, Ndizo kweli habari zile nilizozisikia katika nchi yangu za mambo yako
na za hekima yako. 7 Lakini mimi sikuzisadiki habari
hizo, hata nilipokuja na kuona kwa macho yangu; tena, tazama, sikuambiwa nusu;
wewe umezidi kwa hekima na kufanikiwa kuliko habari nilizozisikia. 8 Heri watu wako, na heri watumishi hawa wako, wasimamao
mbele yako siku zote, wakisikia hekima yako. 9 Na
ahimidiwe Bwana, Mungu wako, aliyependezwa nawe, ili akuweke juu ya kiti cha
enzi cha Israeli; kwa kuwa Bwana amewapenda Israeli milele, kwa hiyo amekufanya
kuwa mfalme, ufanye hukumu na haki. 10 Basi akampa
mfalme talanta za dhahabu mia na ishirini, na manukato mengi, mengi sana, na
vito vya thamani; wala haukuja tena wingi wa manukato, kama hayo malkia wa
Sheba aliyompa mfalme Sulemani. 11 Tena merikebu za
Hiramu, zilizochukua dhahabu kutoka Ofiri, zikaleta kutoka Ofiri miti ya
msandali mingi sana, na vito vya thamani. 12 Mfalme
akafanya kwa mia hiyo ya msandali nguzo za nyumba ya Bwana, na za nyumba ya
mfalme, na vinubi na vinanda vya hao waimbaji; wala haikuja miti ya msandali
kama hiyo, wala haikuonekana, hata leo. 13 Naye mfalme
Sulemani akampa malkia wa Sheba haja yake yote, kila alilotaka, zaidi ya hayo
aliyopewa na Sulemani kwa ukarimu wake wa kifalme. Basi, akarudi akaenda zake
katika nchi yake, yeye na watumishi wake. 14 Basi
uzani wa dhahabu iliyomfikia Sulemani mwaka mmoja, ndio talanta mia sita sitini
na sita, 15 zaidi ya faida ya wachuuzi, na bidhaa ya
wafanya biashara, na ya wafalme wote wa hao waliochanganyika, na ya maliwali wa
nchi.
Maana yake hapa ni kwamba Mfalme wa Toro mara nyingi ni jina linalomtaja
Shetani. Kiwango kamili cha uzito wa Hekalu iliyotokana kutokana na biashara
ilikuwa ni talanta mia sita na sitini na sita za dhahabu, ambayo ni tarakimu ya
Mnyama. Inawakilisha uovu wa mfumo wa Malaika walioasi na upotovu wa kiimani
ulioanzishwa kwenye awamu ya mwisho, ambao unaliwakilisha au unamaanisha
Kanisa. Unaonyesha kuelekea upotofu wa imani ya Kanisa kwa utajiri na biashara
na kupelekea upotoshaji wa mafundisho kwenye awamu ya mwisho ya kipindi cha
Kanisa kuwa jangwani. Wale waliotafuta utajiri walipotoshwa na Mnyama.
16
Mfalme Sulemani
akafanya ngao mia mbili za dhahabu iliyofuliwa; kila ngao moja ilipata shekeli
mia sita za dhahabu. 17 Na vigao mia tatu vya dhahabu
iliyofuliwa; kila kigao kimoja kilipata mane tatu za dhahabu. Mfalme akaviweka
katika nyumba ya mwitu wa Lebanoni. 18 Tena mfalme
akafanya kiti cha enzi kikubwa cha pembe, akakifunikiza kwa dhahabu iliyo safi.
19 Kiti kile kilikuwa na daraja sita, na juu yake
kimeviringana nyuma; na mikono huko na huko mahali pa kuketi, na simba wawili
wakisimama kando ya hiyo mikono. 20 Na simba kumi na
wawili wamesimama juu ya daraja sita huko na huko; wala hakikufanyika kwa mkono
wake katika ufalme wo wote. 21 Na vyombo vyote vya
kunywea vya mfalme Sulemani vilikuwa vya dhahabu, na vyombo vyote vya nyumba ya
mwitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu iliyosafika; hakuna vya fedha, fedha
haikuhesabiwa kuwa kitu siku za Sulemani. 22 Kwa kuwa
mfalme alikuwa na merikebu za Tarshishi baharini pamoja na merikebu za Hiramu;
mara moja katika miaka mitatu huja merikebu za Tarshishi, zikileta dhahabu, na
fedha, na pembe, na nyani, na tausi. 23 Basi mfalme Sulemani
akawapita wafalme wote wa duniani kwa mali, na kwa hekima. 24
Ulimwengu wote ukamtafuta Sulemani uso wake, ili waisikie hekima yake,
Mungu aliyomtia moyoni. 25 Wakaleta kila mtu zawadi
yake, vyombo vya fedha, na vyombo vya dhahabu, na mavazi, na silaha, na
manukato, na farasi, na nyumbu, hesabu yake ya mwaka kwa mwaka. 26 Sulemani akakusanya magari na wapandao farasi; naye
alikuwa na magari elfu na mia nne, na wapandao farasi kumi na mbili elfu,
aliowaweka katika miji ya magari, na pamoja na mfalme huko Yerusalemu. 27 Mfalme akafanya fedha humo Yerusalemu kuwa kama mawe, na
mierezi akaifinya kuwa kama mikuyu iliyomo Shefela, kwa kuwa mingi. 28 Nao farasi aliokuwa nao Sulemani wakaletwa toka Misri;
wakapewa wafanya biashara wake mfalme kwa makundi, kila kundi na thamani yake. 29 Tena gari huja kutoka katika Misri kwa shekeli mia sita
za fedha, na farasi mmoja kwa mia hamsini; vivyo watu wakawaletea wafalme wote
wa Wahiti, na wafalme wa Shamu, mikononi mwao.
Haya Majina
yaliyotajwa hapa yanaonyesha kwamba kikosi cha wanajeshi cha Kitimu au
Tarshishi, ambayo yaliweka makao yake huko Uhispania au Tarshishi, yalikuwa ni
majeshi ya Wafalme wa Zamani walioishi kwenye maeneo ya kandoni mwa Bahari. Sulemani alishirikiana na Hiramu na
waliweka makao yao kwenye pwani ya Tiro na Sidoni. Ukweli huu unaonekana pia
kwenye vipimo vya nasaba ya damu vya makundi ya YDNA K2 vya Wafoinike wa huko
Lebanoni, na pia wa huko Malta, na kwa Wayahudi wa sasa na Wadruze (sma
majarida ya Chimbuko la Urithi wa
Kinasaba wa Mataifa (Na. 265) aa Vita Vya Hamon-Gogu (Na. 294)). Sasa tunajua kwamba katika kipindi hiki
walikuwa wanafanya biashara na wenyeji wa Amerika ya Kusini na walikuwa
wakipeleka tumbaku na mihadarati aina ya cocaine huko Misri. Majaribio ya
Kiforensiki kwa mumiani wa Berlin na Uingereza yanathibitisha ukweli huo.
Mambo ya Nyakati
inaandika pia kwa kina kuhusu Malkia wa Sheba, na kuhusu mibaraka na hekima
aliyokuwanayo Sulemani.
2Mambo ya Nyakati
9:1-31 Na malkia wa Sheba aliposikia habari za Sulemani, alikuja ili amjaribu
Sulemani kwa maswali ya fumbo huko Yerusalemu, mwenye wafuasi wengi, na ngamia
wachukuao manukato, na dhahabu nyingi sana, na vito vya thamani; alipomfikilia
Sulemani, akamwambia mambo yote aliyokuwa nayo moyoni mwake. 2
Naye Sulemani akamfumbulia maswali yake yote; wala halikuwako neno
alilofichiwa Sulemani, asimwambie. 3 Naye malkia wa
Sheba alipoona hekima ya Sulemani, na nyumba aliyoijenga, 4 na
vyakula vya mezani mwake, na kikao cha watumishi wake, na usimamizi wao wangoje
wake, na mavazi yao; na wanyweshaji wake, na mavazi yao; na daraja yake ya
kupandia mpaka nyumba ya Bwana; roho yake ilizimia. 5 Akamwambia
mfalme, Ndizo kweli habari zile nilizozisikia katika nchi yangu za mambo yako
na za hekima yako. 6 Lakini mimi sikuyasadiki maneno
yao, hata nilipokuja na kuona kwa macho yangu; wala, tazama, ukuu wa hekima
yako sikuambiwa nusu; wewe umezidi kuliko habari nilizozisikia. 7 Heri watu wako, na heri hawa watumishi wako, wasimamao
mbele yako sikuzote, wakisikia hekima yako. 8 Na
ahimidiwe Bwana, Mungu wako, aliyependezwa nawe, ili akuweke juu ya kiti chake
cha enzi, kuwa mfalme wake Bwana, Mungu wako; kwa kuwa Mungu wako amewapenda
Israeli, kuwathibitisha milele, kwa hiyo amekufanya kuwa mfalme juu yao, ufanye
hukumu na haki. 9 Basi akampa mfalme talanta mia na
ishirini za dhahabu, na manukato mengi mengi sana, na vito vya thamani; wala
haukuja wingi wa manukato, kama hayo aliyopewa mfalme Sulemani na malkia wa
Sheba. 10 Tena watumishi wa Hiramu, pamoja na
watumishi wa Sulemani, walioleta dhahabu kutoka Ofiri, wakaleta miti ya
msandali, na vito vya thamani. 11 Mfalme akayafanya
kwa miti hiyo ya msandali madari ya nyumba ya Bwana, na nyumba ya mfalme, na
vinubi na vinanda vya hao waimbaji; wala haijatokea kama hiyo katika nchi ya
Yuda. 12 Mfalme Sulemani akampa malkia wa Sheba haja
yake yote, kila alilotaka, zaidi ya vile alivyomletea mfalme. Basi akarudi,
akaenda zake katika nchi yake, yeye na watumishi wake. 13 Basi
uzani wa dhahabu iliyomfikia Sulemani mwaka mmoja, ndio talanta mia sita sitini
na sita za dhahabu; 14 mbali na ile waliyoileta
wachuuzi na wafanya biashara; tena wafalme wote wa Arabuni, na maliwali wa nchi
wakamletea Sulemani dhahabu na fedha. 15 Mfalme
Sulemani akafanya ngao mia mbili za dhahabu iliyofuliwa; ngao moja hupata
shekeli mia sita za dhahabu iliyofuliwa. 16 Na vigao
mia tatu vya dhahabu iliyofuliwa; kigao kimoja hupata shekeli mia tatu za
dhahabu; mfalme akaviweka katika nyumba ya mwitu wa Lebanoni. 17 Tena mfalme akafanya kiti cha enzi kikubwa cha pembe,
akakifunikiza kwa dhahabu iliyo safi. 18 Kiti kile
kilikuwa na daraja sita, tena na kikao cha miguu cha dhahabu, navyo vilikuwa
vimeshikamana na kiti; na mikono huko na huko mahali pa kuketi, na simba wawili
wakisimama kando ya hiyo mikono. 19 Na simba kumi na
wawili wamesimama juu ya daraja sita, huko na huko; wala hakikufanyika kwa
mfano wake katika ufalme wo wote. 20 Na vyombo vyote
vya kunywea vya mfalme Sulemani vilikuwa vya dhahabu, na vyombo vyote vya
nyumba ya mwitu wa Lebanoni vilikuwa vya dhahabu iliyosafika; fedha
haikuhesabiwa kuwa kitu siku za Sulemani. 21 Kwa kuwa
mfalme alikuwa na merikebu zilizokwenda Tarshishi pamoja na watumishi wa
Hiramu; mara moja katika miaka mitatu huja merikebu za Tarshishi, zikileta
dhahabu, na fedha, na pembe, na nyani, na tausi. 22 Basi
mfalme Sulemani akawapita wafalme wote wa duniani kwa mali, na kwa hekima. 23 Wafalme wote wa duniani wakamtafuta Sulemani uso wake,
ili waisikie hekima yake, Mungu aliyomtia moyoni. 24 Wakaleta
kila mtu zawadi yake, vyombo vya fedha, na vyombo vya dhahabu, na mavazi, na
silaha, na manukato, na farasi, na nyumbu, hesabu yake ya mwaka kwa mwaka. 25 Sulemani akawa na mazizi ya farasi na magari elfu nne, na
wapandao farasi kumi na mbili elfu, aliowaweka katika miji ya magari, na pamoja
na mfalme huko Yerusalemu. 26 Akatawala juu ya wafalme
wote toka Mto hata nchi ya Wafilisti, na hata mpaka wa Misri. 27 Mfalme akafanya fedha humo Yerusalemu kuwa kama mawe, na
mierezi akaifanya kuwa kama mikuyu iliyomo Shefela, kwa kuwa mingi. 28 Wakamletea Sulemani farasi kutoka Misri, na kutoka nchi
zote. 29 Basi mambo yake Sulemani yaliyosalia, ya
kwanza, na ya mwisho, je! Hayakuandikwa katika tarehe ya Nathani nabii, katika
unabii wa Ahiya, Mshiloni, na katika maono ya Ido mwonaji juu ya Yeroboamu
mwana wa Nebati? 30 Akatawala Sulemani katika
Yerusalemu juu ya Israeli wote miaka arobaini. 31 Naye
Sulemani akalala na baba zake, akazikwa mjini mwa Daudi babaye; akatawala
Rehoboamu mwanawe badala yake.
Katika kipindi
chake cha uzee, Sulemani aligeuka na kuwa mwabudu sanamu. Hii pia itakuwa ni
budi kuwa hivyo kwa nyakati za mwisho za Kanisa. Wengi watapotoshwa na
mafundisho ya uwongo. Ufano wake utaweka taswira kwa Kanisa kwenye awamu yake
ya muongo wa mwisho.
1Wafalme 11:1-43 Mfalme Sulemani akawapenda wanawake wengi wageni, pamoja
na binti yake Farao, wanawake wa Wamoabi, na wa Waamoni, na wa Waedomi, na wa
Wasidoni, na wa Wahiti, 2 na wa mataifa Bwana
aliyowaambia wana wa Israeli, Msiingie kwao, wala wasiingie kwenu; kwa kuwa
hakika wataigeuza mioyo yenu kuifuata miungu yao. Sulemani akaambatana nao kwa
kuwapenda. 3 Akawa na wake mia saba binti za kifalme,
na masuria mia tatu; nao wakeze wakamgeuza moyo. 4 Maana
ikawa, Sulemani alipokuwa mzee, wake zake wakamgeuza moyo wake, afuate miungu
mingine, wala moyo wake haukuwa mkamilifu kwa Bwana, Mungu wake, kama moyo wa
Daudi baba yake. 5 Kwa kuwa Sulemani akamfuata
Ashtorethi, mungu mke wa Wasidoni na Milkomu, chukizo la Waamoni. 6 Sulemani akafanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana, wala
hakumfuata Bwana kwa utimilifu, kama Daudi baba yake. 7 Sulemani
akamjengea Kemoshi, chukizo la Wamoabi, mahali pa juu, katika mlima uliokabili
Yerusalemu, na Moleki, chukizo la wana wa Amoni. 8 Na
kadhalika ndivyo alivyowafanyia wake zake wa nchi za kigeni, waliofukiza
uvumba, wakawatolea miungu yao dhabihu. 9 Basi Bwana
akamghadhibikia Sulemani kwa sababu moyo wake umegeuka, naye amemwacha Bwana,
Mungu wa Israeli, aliyemtokea mara mbili, 10 akamwamuru
katika habari ya jambo lilo hilo asifuate miungu mingine; lakini yeye
hakuyashika aliyoyaamuru Bwana. 11 Kwa hiyo Bwana
akamwambia Sulemani, Kwa kuwa umefanya hayo, wala hukuyashika maagano yangu, na
sheria zangu nilizokuamuru, hakika nitaurarua ufalme usiwe wako, nami nitampa
mtumishi wako. 12 Walakini katika siku zako sitafanya
haya, kwa ajili ya Daudi baba yako; nitaurarua utoke katika mkono wa mwana
wako. 13 Lakini sitauondoa ufalme wote pia; nitampa
mwana wako kabila moja, kwa ajili ya Daudi mtumishi wangu, na kwa ajili ya
Yerusalemu niliouchagua.
Kwa sababu ya
hali hii ya kuabudu sanamu, Mungu aliamua kumshughulikia Sulemani kwa kupitia
kipimo cha ardhi. Ndipo amani iliondolewa kutoka kwake.
14
Ndipo Bwana
akamwondokeshea Sulemani adui, Hadadi Mwedomi; yeye alikuwa wa wazao wake
mfalme wa Edomu. 15 Kwa maana ikawa, Daudi alipokuwako
Edomu, naye Yoabu, mkuu wa jeshi, amepanda awazike waliouawa, akiisha kumpiga
kila mwanamume wa Edomu, 16 (kwa kuwa Yoabu alikaa
huko miezi sita pamoja na Israeli wote, hata alipompoteza kila mwanamume wa
Edomu); 17 yule Hadadi alikimbia, yeye na Waedomi
wengine, watumishi wa baba yake, pamoja naye, waende Misri; yule Hadadi akali
ni mtoto mdogo. 18 Wakaondoka katika Midiani, wakafika
Parani; wakachukua pamoja nao watu toka Parani, wakafika Misri, kwa Farao
mfalme wa Misri; aliyempa nyumba, akamwamria vyakula, akampa mashamba. 19 Hadadi akapendeza sana machoni pa Farao, hata akamwoza
umbu la mkewe, umbu la Tapenesi aliyekuwa malkia. 20 Naye
huyo umbu la Tapenesi akamzalia Genubathi mwanawe, ambaye Tapenesi alimlea
nyumbani mwa Farao; naye Genubathi akawako nyumbani mwa Farao pamoja na wana wa
Farao. 21 Naye Hadadi aliposikia huko Misri ya kuwa
Daudi amelala na babaze, na Yoabu, jemadari wa jeshi, amekufa, Hadadi akamwambia
Farao, Unipe ruhusa, niende mpaka nchi yangu. 22 Farao
akamwambia, Umekosa nini kwangu, hata, tazama, unatafuta kuirudia nchi yako?
Akajibu, Hakuna, lakini unipe ruhusa tu. 23 Tena,
Mungu akamwondokeshea adui mwingine, Rezoni mwana wa Eliada, aliyemkimbia bwana
wake Hadadezeri mfalme wa Soba, 24 naye akakusanya
watu, akawa mkuu wa jeshi, hapo Daudi alipowaua hao watu wa Soba; wakaenda
Dameski, wakakaa humo, na kumiliki huko Dameski. 25 Naye
akawa adui wa Israeli siku zote za Sulemani, zaidi ya madhara yake Hadadi; naye
akawachukia Israeli, akamiliki juu ya Shamu. 26 Na
Yeroboamu wa Nebati, Mwefraimu wa Sereda, mtumwa wake Sulemani; ambaye jina
lake mamaye aliitwa Serua, mwanamke aliyefiwa na mumewe; yeye naye akainua
mkono wake juu ya mfalme. 27 Na hii ndiyo sababu ya
yeye kumwinulia mfalme mkono. Sulemani aliijenga Milo, akapafunga palipobomoka
pa mji wa baba yake Daudi. 28 Na huyo Yeroboamu
alikuwa mtu hodari, shujaa; Sulemani akaona ya kuwa kijana huyo ni mtu mwenye
bidii, akamweka juu ya kazi yote ya nyumba ya Yusufu. 29 Ikawa
zamani zile Yeroboamu alipokuwa akitoka katika Yerusalemu, nabii Ahiya,
Mshiloni, alikutana naye njiani; naye Ahiya amevaa vazi jipya, na hao wawili
walikuwa peke yao mashambani. 30 Ahiya akalishika lile
vazi jipya alilokuwa amelivaa, akalirarua vipande kumi na viwili. 31 Akamwambia Yeroboamu, Twaa wewe vipande kumi, maana
Bwana, Mungu wa Israeli, asema hivi, Nitaurarua ufalme, na kuuondoa katika
mkono wa Sulemani, nami nitakupa wewe kabila kumi, 32 (lakini
yeye atakuwa na kabila moja kwa ajili ya mtumishi wangu Daudi, na kwa ajili ya
Yerusalemu mji ule iliouchagua katika miji yote ya kabila za Israeli); 33 kwa sababu wameniacha mimi wakaabudu Ashtorethi, mungu
mke wa Wasidoni, na Kemoshi, mungu wa Wamoabi, na Milkomu, mungu wa wana wa
Amoni wala hawakuenda katika njia zangu, kutenda mema machoni pangu, kuzishika
sheria zangu na hukumu zangu, kama Daudi baba yake. 34 Walakini
sitauondoa ufalme wote katika mkono wake; lakini nitamfanya awe mkuu siku zote
za maisha yake, kwa ajili ya mtumishi wangu Daudi niliyemchagua kwa maana
alizishika amri zangu na sheria zangu, 35 lakini
nitauondoa ufalme katika mkono wa mwanawe, nami nitakupa wewe kabila kumi. 36 Nami nitampa mwana wake kabila moja, ili Daudi, mtumishi
wangu, apate kuwa na taa siku zote mbele zangu katika Yerusalemu, mji ule
niliouchagua niweke jina langu huko. 37 Nami
nitakutwaa wewe, nawe utatawala kama roho yako inavyotamani, nawe utakuwa
mfalme juu ya Israeli. 38 Tena itakuwa, ukiyasikia
yote nitakayokuamuru, na kuenda katika njia zangu, na kutenda yaliyo mema
machoni pangu, ili kuzishika amri zangu na hukumu zangu kama Daudi mtumishi
wangu alivyotenda, basi, nitakuwa pamoja nawe, nitakujengea nyumba iliyo imara,
kama nilivyomjengea Daudi, nami nitakupa wewe Israeli. 39 Tena
nitawatesa wazao wa Daudi kwa sababu hii, lakini si daima. 40
Basi Sulemani akataka kumwua Yeroboamu, lakini Yeroboamu akaondoka,
akakimbilia Misri, kwa Shishaki, mfalme wa Misri, akakaa katika Misri hata
wakati wa kufa kwake Sulemani. 41 Nayo yaliyosalia ya
Sulemani, mambo yake na yote aliyoyafanya, na hekima yake, je! Hayo siyo
yaliyoandikwa kitabuni mwa mambo yake Sulemani? 42 Na
siku alizotawala Sulemani katika Yerusalemu juu ya Israeli wote zilikuwa miaka
arobaini. 43 Naye Sulemani akalala na baba zake,
akazikwa katika mji wa Daudi baba yake; na Rehoboamu mwanawe akatawala mahali
pake.
2Mambo ya Nyakati 10:2 Ikawa Yeroboamu mwana wa Nebati aliposikia, (maana
alikuwako Misri, ambako amekimbilia mbele ya mfalme Sulemani), Yeroboamu
akarudi kutoka Misri.
Hapa tunaona
jinsi Yeroboamu alipokimbilia Misri na kujiunga na Sishaki, au Shishiki I,
mfalme wa Walybia walioingia huko Kizazi cha Kifalme cha 22 waliokuwa na vita
nao au uadui nao na waliokiangamiza Kizazi cha 21 cha Kifalme cha Tanite,
ambacho kilikuwa na ushirikiano na Sulemani kupitia ndoa yake aliyoifanya kwa
kumchukua binti wa mfalme. Kitendo hiki kilitoa uhakika wa matatizo makubwa
kuwakumba Yuda chini ya Rehoboamu wakati Wamisri walipomsaidia Yeroboamu
alipokuwa anarudi na akaongeza kiwango cha utoaji kodi katika Yuda.
2Mambo ya Nyakati 12:9 Basi Shishaki, mfalme wa Misri, akapanda juu ya
Yerusalemu, akazichukua hazina za nyumba ya Bwana, na hazina za nyumba ya
mfalme; akazichukua zote. Akazichukua pia ngao za dhahabu alizozifanya
Sulemani.
Wamisri
waliichukua hazina iliyokuwa kwenye Nyumba ya Mungu iliyowekwa humo na
Sulemani, na haikuwa na ule utukufu teka kabisa kama ilivyokuwa huko nyuma.
Kutokana na
maandiko yake, Sulemani anaonekana kuwa alitubia jambo hil akiwa kwenye umri
wake wa uzee na kujirudi, lakini alipaswa aadhibiwe. Historia ilibidi ibakie
kama ilivyo ili kwamba Kanisa lipate kujua kile kilichokuwa kimetokea kwake
katika miaka yake iliyofuatia. Awamu ya mwisho ya Makanisa ya Mungu ilikuwa ni
ile ya kufa kiroho kwa kupotoshwa na imani za Kibinitariani na Kiditheisim, na
hasahasa na imani ya Utatu au Utrinitariani. Wengine wameichukua kalenda ya
uwongo ya nyakati za baada ya utumwa wa Babeli iliyotungwa na kuanzishwa na
marabi wa Kiyahudi. Walikuwa maskini, wanyonge, vipofu, na walouchi, ingawaje
waonekana kuwa ni matajiri.
Alipofariki
Sulemani, Mungu ndipo aliweka mchakato wa kuufanya ufalme ugawanyike sehemu
mbili na makabila ya kaskazini yajiondoe kabisa kutoka kwenye ufalme wa Yuda.
2Mambo ya Nyakati 10:1-19 Rehoboamu akaenda Shekemu;
maana Israeli wote walikuwa wamekuja Shekemu, ili wamfanye mfalme. 2 Ikawa Yeroboamu mwana wa Nebati aliposikia, (maana
alikuwako Misri, ambako amekimbilia mbele ya mfalme Sulemani), Yeroboamu
akarudi kutoka Misri. 3 Wakapeleka ujumbe, wakamwita,
Yeroboamu akaja na Israeli wote, wakamwambia Rehoboamu, wakasema, 4 Baba yako alilifanya zito kongwa letu; basi sasa upunguze
utumwa mgumu wa baba yako, na kongwa lake zito alilotutwika, nasi
tutakutumikia. 5 Akawaambia, Mnirudie baada ya siku
tatu. Watu wakaenda zao. 6 Mfalme Rehoboamu akataka
shauri kwa wazee, waliosimama mbele ya Sulemani baba yake, alipokuwa hai bado,
akasema, Mwanipa shauri gani la kuwajibu watu hawa? 7 Wakamwambia,
wakasema, Ukiwa mwema kwao watu hawa, na kuwapendeza, na kuwaambia maneno
mazuri, ndipo watakapokuwa watumishi wako siku zote. 8 Lakini
akaliacha shauri lile la wazee walilompa, akataka shauri kwa wale vijana
waliokua pamoja naye, waliosimama mbele yake. 9 Akawaambia,
Je! Mwanipa shauri gani la kuwajibu watu hawa, waliosema nami, wakisema,
Utufanyie jepesi kongwa alilotutwika baba yako. 10 Na
wale vijana waliokua pamoja naye wakamwambia, wakasema, Uwaambie hivi watu wale
waliosema nawe, wakinena, Baba yako alilifanya zito kongwa letu, lakini wewe
tufanyie jepesi; uwaambie hivi, Kidole changu cha mwisho ni kinene kuliko kiuno
cha baba yangu. 11 Basi kama baba yangu aliwatwika
kongwa zito, mimi nitaongeza kongwa lenu; baba yangu akiwapiga kwa mijeledi,
lakini mimi nitawapiga kwa nge. 12 Basi Yeroboamu na
watu wote wakamjia Rehoboamu siku ya tatu, kama mfalme alivyoamuru, akisema,
Mnirudie siku ya tatu. 13 Mfalme akawajibu kwa ukali;
mfalme Rehoboamu akaliacha shauri la wazee, akasema nao kwa shauri la vijana, 14 akinena, Baba yangu aliwafanyia kongwa zito, nami
nitawaongezea; baba yangu aliwapiga kwa mijeledi, lakini mimi nitawapiga kwa
nge. 15 Basi mfalme hakuwasikia wale watu; maana jambo
hili lilitoka kwa Mungu, ili alithibitishe neno lake alilomwambia Yeroboamu
mwana wa Nebati kwa mkono wa Ahiya Mshiloni. 16 Basi
Israeli wote walipoona ya kuwa mfalme hawasikilizi, watu wakamjibu mfalme,
wakasema, Tuna sehemu gani katika Daudi? Wala hatuna urithi katika mwana wa
Yese; nendeni zenu hemani kwenu, enyi Israeli, kila mtu; sasa itunze nyumba
yako mwenyewe, Daudi. Basi wakaenda zao Israeli wote hemani kwao. 17 Lakini kwa habari za wana wa Israeli waliokaa katika miji
ya Yuda, Rehoboamu alitawala juu yao. 18 Ndipo mfalme
Rehoboamu akamtuma Adoramu, msimamizi wa shokoa; nao wana wa Israeli wakamtupia
mawe, hata akafa. Mfalme Rehoboamu akafanya haraka kupanda garini mwake, ili
akimbilie Yerusalemu. 19 Hivyo Israeli
wakaasi juu ya nyumba ya Daudi, hata leo.
2Mambo ya Nyakati 13:6 Lakini Yeroboamu mwana wa Nebati, mtumwa wa Sulemani
mwana wa Daudi, akainuka, akamfanyia fitina bwana wake.
2Mambo ya Nyakati
13:7 Wakamkusanyikia watu mabaradhuli, wasiofaa kitu, waliojitia nguvu juu ya
Rehoboamu mwana wa Sulemani, Rehoboamu alipokuwa kijana na wa moyo mwororo,
asiweze kuwazuia.
Tendo hili
liliweka mtafaruku na tofauti ya wazi kwenye kipindi cha Utawala wa Wafalme na
Mpango wa Mungu kama ilivyoelezewa kwenye Ufunguo wa Daudi na kwa wale
waliopewa kwenye mstari wa uzao wake mwenyewe. Hatimaye Israeli waliondolewa na
kwenda utumwani huko Ashuru, takriban mwaka 722 KK, kwa hiyo lingeweza kupelekwa
mahali pengine popote kwene urithi wake, kama Mungu alivyoahidi kumbariki
Ibrahimu.
Kwenye miaka 120
ya tawala za wafalme watatu, Mungu alionyesha kile kingalichoweza kutokea
ulimwenguni na kwamba Kanisa la Mungu lianzishwe chini ya Masihi.
Yuda na sehemu ya
kabila la Benyamini walibakia kwenye ufalme huu nay ale makabila ya Kaskazini
yalijiondoa yenyewe. Hata hivyo, walidumu kwa miaka mitatu kabla ya kuanguka
kwao kutoka kwenye neema.
2Mambo ya Nyakati 11:17 Hivyo wakaufanya imara kwa miaka mitatu ufalme wa
Yuda, na kumtia nguvu Rehoboamu mwana wa Sulemani; kwa maana muda wa miaka
mitatu wakaiendea njia ya Daudi na Sulemani.
Yuda waliendelea kubaki pale walipokuwa ili kwamba Masihi afikie mahala
pake na palipokusudiwa, ili kuuoko ulimwengu kutokana na dhambi na maangamizo.
Kulikuwa na marejesho yaliyofanyika mara nyingi, lakini maranyingi zilikuwa ni
vipindi dha dhambi na maangamizo (soma jarida la Pasaka Kuu Saba za Kwenye Biblia (Na.107)). Marejesho haya
yalikuwa na maana kubwa sana kufutaiwa na uasi na vipindi vya kwenda utumwani.
Nyongeza ya
1:Vizavi vya Kifalme vya Misri Kwene Biblia
Nyongeza ya 2:
Muhtasari wa Maelezo ya Ufunguo wa Daudi
Nyongeza ya 3:
Jarida la 282D Wanaume Mashujaa wa Israeli
Nyongeza ya 4:
Jarida la 282E Makuhani wa Hekalu
q
Nyongeza 1: Vizazi
vya Kifalme vya Misri kwenye Biblia
Biblia imeandikwa kwamba mabadiliko ua utawala wa Misri yalitokea na Farao aliinuka siyemjua Yusufu. Farao huyu alianza kuwatesa na kuwadhulumu Waisraeli. Sababu ya kuibuka kwa mateso haya ilikuwa kipindi hiki ambacho Waisraeli walifanikiwa sana kiutajiri kilikuwa ni cha utawala wa Hyksos, au wafalme Wachungaji ambao walikuwa ni Waasia na wa jamii ya kichungaji walioishambulia na kuiteka Misri na kuitawala kwa kipindi kifupi cha miaka mamia kadhaa tu. Habari za kuhusu Manetho na baadae waandishi zilipelekea kuwepo kwa hila ambazo za kufanana na ushirikiano na washirika wabaya na waovu na mashujaa wazawa waliokuwa wema, na kwa hiyo hawa Hyksos walifanywa wabaya mno kama waliopagawa na mapepo vile kwa kiwango ambacho sicho kilichostahili kuwa. Mahala pa Waisraeli huko Misri katika siku za mwanzoni hapana la kujiuliza wala kuonesha shaka kwa sababu ya mahala pa hawa Hyksos na chimbuko la Waisraeli wenye asili ya Kiasia na Kisemitiki. Mateso yao yalifuatia kuanguka kwa kizazi hiki cha Hyksos, au wanaweza pia kuwa ni sehemu ya utawala wa Hyksos. Kizazi cha hawa Hyksos kilitawala kwa muda wa miaka 104 na Misri iligawanyika pande mbili. Misri ya Pande za Juu ilitawaliwa na Kizazi cha 17 wakati katika kipindi hichohicho Kizazi cha 16 cha Hyksos kikitawala Misri ya Chini. Huu unaoitwa mgawanyiko unaweza pia kwamba ulianzia wakati Yusufu alipofanywa kuwa mmoja wa mawaziri au Wazirimkuu wa Misri na wana wa Israeli walipohamia huko Gosheni na kuchukua mahala pa kizazi cha 15. Hadithi ya Biblia inaungana na kusaidiana na historia ya Wamisri, ingawa wanahistoria wanajaribu kwa makusudi tu kuitenganisha Biblia ili wafanye hii kuwa ni hadithi tu ya kufikirika na isiyo rasmi.
Kizazi cha
18 kilitokana na kile cha 17 na mwanzilishi wake
alitokana na ndoa ya kibinamu kati ya Seqenenre II na dada yake. Kwenye ndoa yake
hii ya kiudugu na binamu yake. Ahmose aliwashinda na kuwatiisha Hyksos na
kuchukua umiliki kamili wa dola. Kwa hiyo, Kizazi cha 18 sito Kizazi
kipya bali ni rekodi ya Farao asiyemjua Yufusu, aliyewatumikisha kitumwa hata
hawa Hyksos na kuuondoa utawala wa Wasemitiki katika Misri ya Chini.
1785-1650 KK |
Kizazi cha 13-15 |
Kipindi cha
Pili cha Zama za Kati |
1650-1554 KK |
Kizazi cha 16 |
Utawala wa Hyksos Kutoka Misri ya Chini |
1650-1554 KK |
Kizazi cha 17 |
Kamose Seqenenre II (Misri ya Juu) |
1554-1305 KK |
Kizazi cha 18 |
Ahmose (Amosis I) Amenhotep I (Amenophis I) Tuthmosis I |
1305-1196 KK |
Kizazi cha 19 |
Rameses I Rameses II |
Muhtasari wa Maelezo ya Kizazi cha Kifalme cha 18
Jina Maelezo Tarehe
za Mwaka wa Juu Zaidi
Ahmose Amosis 1550
– 1525
Mwanzo wa Kizazi hiki unachukuliwa na kuaminika na
wengine kuwa ni mwaka 1554. Tarehe zilizoandikw na Baine na Malek kwenye kitabu
kijulikanacho kama Atlasi ya Misri ya Kale [Atlas of Ancient Egypt]
(Iliyodunu Hadi, 1994) inasema 1550-1307 (tazama hapo chini). Tarehe za kwenye
Mtandao au Wikipidia zilizotolewa ni kama ifuatavyo.
Amenhotep I Amenophis 1525 - 1494
Thutmosis I Tethmosis 1494 - 1482
Thutmosis II Khebron 1482 - 1479
Thutmosis III Misphragmuthosis 1479 - 1425
Hatshepsut Amensis 1473 - 1458
Amenhotep II 1425 - 1401
Thutmosis IV Tuthmosis 1401 - 1391
Amenhotep III 1391 - 1353
Amenhotep IV
Akhenaten 1353
- 1335
Semenekhkare 1335 - 1334
Tutankhamun 1334 - 1325
Ay 1325 - 1321
Horemheb Armaios 13 1321 - 1307
(kumbuka kwamba hii Wikipidia inasema 1540-1307. Tarehe za Wikipidia ni zile ambazo ziko nje kabisa
na mwandamano wa tarehe zilizokubalika na wengine).
1785-1650 KK Kizazi cha 13 Kipindi
cha Pili cha Zama za Kati
1650-1554 KK Kizazi
cha 16 Utawala wa Hyksos Misri ya Chini
1650-1554 KK Kizazi cha 17 Kamose Seqenenre II
(Misri ya Juu)
Mfalme wa kumi na nne wa Kizazi cha Kifalme cha
Theban alitawala Misri kwa wakati mmoja na Hyksos wa Kizazi cha 15 na cha 16
alikuwa ni mtoto wa Tao I na Malkia Tetisheri. Wakati Tao alipopokea neno
kutoka kwa Apophis, mtawala wa Hyksos, capital huko
Avaris, kwamba kulikuwa na mnyama kiboko kwenye bwawa takatifu huko Thebes
alimfanya aamke pamoja na mikotomo yao, Tao aliichukulia taarifa hii kama tusi.
Hawa wanyama aina ya viboko walikuwa takriban maili 400 kutoka vyumba
alivyokuwa analala Apophis! Tao alitangaza vita lakini aliuawa mara moja. Mama
yake alionyesha ushahidi au alama ya kupiga kelele za kuyagonganisha mashoka ya
vita, mishale na fumo. Mbavu zake, pingili za uti wa mgongo na fuvu
vilikatikakatika. Mrithi wake, Kamose, akachukua kiti chake cha ufalme na
madaraka ya kuendeleza vita, na akashinda (kama ilivyoandikwa kwenye tovuti ya
http://www.touregypt.net). Kamose alikuwa ni wa mwisho wao kwenye Kizazi hiki
cha Kifalme cha 17 lakini mwanae wa kiume (ndugu yake?) Ahmose alianzisha
Kizazi cha Kifalme cha 18 ambacho
kilikuwa na nguvu kwa ajili ya mbinu zake za kuiunganisha Misri wakati Hyksos
alipofukuzwa au kupinduliwa. Kwa hiyo utumwa wa wana wa Israeli ulikuwa ni nitu
cha mahati mbaya au nasibu iliyotokea baada ya kuanguka kwa kizazi hiki cha
Hyksos. Ufafanusi wenye mashiko zaidi wakati propaganda za baadae
ziliposhindikana, ni kwamba uongozi wa Misri umeanzishwa au uko chini ya Yusufu
na hiki ni kipindi kinachotajwa kuwa ni cha utawala wa Hyksos. Waliandikwa kuwa
ni kama wakusanaji wa kodi katika Misri yote. Dhana kama hiyo ilikataliwa kwa
kuwa ilidhaniwa kwamba walikuwa ni watawala wa vipindi tofauti zaidi ya kuwa ni
viongozi. Mwadhiriko wa baadae ya Hyksos inaonekana sasa kuwa ni kama
propaganda inayofanana.
1554-1305 KK , Kizazi cha Kifalme
cha 18 cha Ahmose
(Amosis I)
1554-1525 Mfalme
Amosis anadai kwamba wazazi wake walikuwa ni watoto wa mama mmoja na baba
mmoja, yaani ndugu wa kuzaliwa tumbo moja, wakiwa kama mfano mzuri kwa mila zao
wa ndoa ya kaka na dada wa tumbo moja. Mama wa Amosis alikuwa 'Ahhotpe, na
alikuwa ni mke wa Sekenenre' Ta'o II. Katika namna zote za kudhania au
mabahatisho, mama yake Terisheri alikuwa ni mke wa Ta'o I, ambaye kaburi lake,
kama lilivyokuwa la Ta'o II, ilipaswa kukaguliwa wakati wa utawala wa Ramesses IX na kwa kweli alikutwa hajaoza bado. Hakuna
kinachojulikana zaidi kuhusu huyu Ta'o I lakini inadhaniwa kwamba Prenomeni
wake alikuwa ni Senakhtenre'.
1528/7
KK: Musa alizaliwa, mapema kabla ya kufariki kwa Ahmosis na aliitwa au kupewa
jina lake yeye na dada yake. Kwa mujibu wa vitabu vya kumbukumbu za mambo kale
za Kizazi cha Kifalme cha 18 anaweza kuwa alizaliwa kwenye utawala
wa wa Amenhotep I.
1525-1504 KK Amenhotep I (Amenophis I)
1525 KK: Kifo cha Ahmose/Ahmosis I, (wengine husema mwaka 1527). Mwaka huu ulikuwa ni wa Sabato wa mzunguko wa mwisho wa Yubile ya 49. Ulikuwa ni mwisho wa mauaji ya kuwaangamiza wana wa Israeli kwene mateso yao. Ufalme Mpya, au Mfalme alijionea kwa kipindi cha zaidi ya karene moja na nusu ya mafanikio yasiyoshuka kiwango chake. Amri ya kuwangamiza Waisraeli huenda ilichochewa na hali ya wao kuonekana kuwa ni sehemu ya Hyksos anayechukiwa. Amri hizi zilitolewa na mfalme huyu ili kuanzisha Kizazi kingine cha kifalme.
“Mtoto wa kiume wa Ahmose na Malkia
Ahmose Nefretiri, Amenhotep I alikuwa ni mfalme wa pili wa Kizazi cha Kifalme cha 18.
Anaweza kuwa alikitaa kiti cha enzi cha ufalme cha wazazi wake akiwa na umri wa
ujana, kwa kuwa kaka yake yake mkubwa alikuwa amechukuliwa kuwa ni mrithi wa
pekee kwa kipindi cha miaka mitano nyuma.”
Inaonekana kuwa mtoto mkubwa na wa kwanza wa Ahmosis alikuwa amefakiri. Tunaweza kusema kwamba hii ilikuwa ni adhabu au mapigo kwa ajili ya kuwaua wana ya Israeli.
“Kwa wazi kabisa, Amenhotep alifanya matendo mengi ya baba yake, na mama yake kwa kweli alifanya wajibu wake alivyoweza na wa muhimu kwene utawala wake, akijifanya kama Mke wa Mungu, Amun. Amenhotep I anaweza kuwa alimuoa dada yake, (Ahmose-) Merytamun, ambaye alikuwa akijulikana kwa imani yao kuwa ni Mke wa Mungu, Amun, ingawa kuna madodoso madogo yaliyowazi yanayofafanua juu ya uhusiano huu. Aliyekuwa anajulikana sana ni binti wa mfalme huyu, Satamun, ambaye anajulikana kwa namna mbili kutokana na sanduku lake la jeneza lililokutikana kwenye moja ya caches za mama yake na kutoka kwenye sanamu ya huko katikati na kusini mwa Karnak” (tazama makala ya Jimmy Dunn kwenye tovuti ya http://www.touregypt.net/featurestories/amenhotep1.htm)
1524 KK Yubile ya 49
1504-1492 Tuthmosis I
1492-1479 Tuthmosis II
1488 KK : Musa anafikia umri wa miaka 40
na anakimbilia Midiani, kipindi cha utawala wa mfalme Tuthmosis II, katika
kipindi chake cha miaka arobaini ya utawala wake, baadaa ya kumuua Yule mlinzi
au nyapara asimamizi wa kazi
1479-1458 KK Hatshepsut (Ma’atkare’) Malkia Regent
1473 KK Hatshepsut
alijitawaza mwenyewe kuwa Farao.
Wikipidia inatupa maelezo yenye kukanganya
kidogo kuhusu huyu Hatshepsut.
Hatshepsut alikuwa ni binti wa kwanza kabisa katika kuzaliwa wa Thutmose
I na Malkia Ahmose, mfalme wa kwanza na malkia wa ukoo wa
Thutmosid wa Kizazi zha Kifalme cha 18. Thutmose I na Ahmose wanajulikana kuwa
walikuja kumpata mtoto mmoja tu mwingine, binti aliyeitwa Akhbetneferu
(Neferubity), aliyefariki akiwa mtoto mchanga. Thutmose I pia alliolewa na Mutnofret, huenda huyu alikuwa ni binti wa Ahmose
I, na alikuwa na ndugu kambo kadhaa kwa Hatshepsut: Wadjmose, Amenose, Thutmose
II, na huenda hata Ramose, kupitia muungano ule. Wote hawa wawili, yaani
Wadjmose na Amenose waliandaliwa kumrithi baba yao, lakini wala hakuna hata
mmoja wao aliyeishi na kufikia umri wa ujana. Akiwa kwenye umri wa utoto,
inaaminika kuwa Hatshepsut alisaidiwa na Hekalu la Karnak dhidi ya kaka zake wawili—mtazamo uliopaishwa kwa
propaganda zake mwenyewe. Ni hakika kabisa kwamba alikuwa na uhusiano wa
kimapenzi na wazazi wake wote wawili, na akatunga hadithi ya propaganda ambayo
kwamba, baba yake Thutmose I alikaribia sana kumtangaza yeye kuwa ndiye atakuwa
mrithi wake moja kwa moja (tazama hapo chini).
Alipofariki baba yake mwaka 1492 KK, alioewa na Thutmose II na akachukua cheo cha kuitwa Mke Mkubwa wa Mfalme Thutmose II aliyetawala kwa miaka
thelathini, wakati ambao kimapokeo kiliaminika kwamba Hatshepsut aliwezeshwa
kupata mvuto mkubwa kwenye jamii zaidi yake.
Thutmose II alikuwa na binti mmoja aliyempata na Hatshepsut, Neferure. Hatshepsut alimfanya bwana arusi wake Neferure
kuwa kama mfalme mwenye taji la kifalme, akiwaamumuru maafisa wake wa kijeshi
wamvike kichwa cha uwongo na kifungo cha ujana kwa upande mmoja. Wasomi wengine wanadhani kwamba ushahidi huu wa
kwamba Hatshepsut alikuwa saisi Neferure kwa ajili ya kiti cha ufalme; na huku
wengine wakisema kwamba alikuwa anapanga tu Hatshepsut mwingine. Kwa namna
yoyote ile, nia yake ilikuwa, haikuwa na maana yoyote kwa kuwa Neferure
hakuishi hadi kufikia umri wa utu uzima.
Makala ya kwenye Wikipidia ndipo
inaukadiria utawala wa Hatshepsut kuwa ni tangia mwaka 1503 KK hadi 1482 KK.
Hata hivyo, hii inaonekana kutuama kwenye tarehe sizizosahihi za zamani au
zinakanganya ndoa yake kwa Thutmose II alivyooana na Thutmose I. Inasema
alifariki “mapema sana ya Februari 1482 KK au 1483 KK”. Kisha inadai pia kwamba
yeye mwenyewe alimtawaza farao mnamo mwaka 1473 KK, alichukua kiti cha mfalme aliyeitwa
Maatkare.
Maatkare Hatshepsut
au Hatchepsut (mwishoni mwa karne ya 16 KK – takriban 1482 KK) alikuwa farao wa tano wa Kizazi cha Kumi na Nane cha Misri ya Kale. Hatshepsut kwa ujumla alichukuliwa na Wataalamu wa Elimu ya Kimisri wa kisasa kama ni mmoja wa mafaro
waliofanikiwa sana, akiwa ametawala kipindi kirefu kuliko mtawala yeyote wa
kike wa kizazi cha kifalme cha wenyeji au wazawa asilia. Alikuwa ni mmoja ya
wajenzi waliofanikiwa sana wa Misri ya Kale, akiamuru ifanyike miradi ya ujenzi
kwa mamia kwa sehemu zote mbili, yaani maeneo yote ya Misri ya Juu na ya Chini na chini ya uongozi wake, mtangao wa kibiashara
wa Misri ulianza kujengwa, baadawa Misri ulianza kujengwa, baada ya kuharibika
na kuanguka wakati wa tawala za kizazi cha Hyksos huko Misri kipindi cha Zama
au Kipindi cha Pili cha Zama za Kati. Anaaminika kuwa alitawala tangu mwaka 1503 KK hadi 1482 KK. Josephus ameandika kwamba alitawala kwa kipindi cha miaka
21 na miezi 9, wakati Africanus anauelea utawala wake kuwa uliishia miaka
22; lakini tunayemnukuu na kuamini habari zake ni Manetho. Hatshepsut anachukuliwa kitofauti sana
kabisa kama kile kilichojulikana mapema sana kama utawala wa malkia kwenye historia, kama wa mwanamke wa
kwanza kujulikana kuchukua cheo cha Mfalme wa Misri ya Juu na ya Chini,
na ni mwanamke mkuu wa kwanza kwenye historia iliyoandikwa.
Lesser anatoa mwanga zaidi kuhusu jambo
hili kama ifuatavyo. Aliolewa na Thutmose II yapata mwaka mmoja kabla ya
kufariki kwa Thutmose I.
“Urefu wa kipindi cha utawala wa Thutmosis II umetolewa na Beckerath (1997)
pamoja na [kama] miaka 12 - 14 na kwa mujibu wa Grimm na Schoske (1999) pamoja
na [kama] miaka 3 tu - kisha alizikwa. Hadi sasa hakuna kaburi kwenye Bondeni
la Wafalme linalodhaniwa kuwa ni lake yeye pamoja na ubahatishaji lakini baadhi
ya ushahidi unaonyesha kwenye kaburi lenye alama ya KV42. Ukweli wa kwamba
alama hii ya KV42 ni [kama] kaburi rahisi ambalo kwenye jeneza la jiwe pasipo
maelezo yaliyokutwa inaashiria kwamba mfalme alikufa kwa mazingira ya
kutatanisha sana na wala halikuwa kaburi zuri wala jeneza la kuchongwa mwambani
vilivyokuwa na kiwango cha juu vilivyokutikana.
Kulingana na mahesabu yaliyotajwa mapema huko nyuma kuhusu umri aliokuwanao
wakati anaolewa na kuhusu urefu wa kipindi cha utawala wake Thutmosis II
Hatshepsut inawezekana sana kuwa alikuwa na umri wa katikati ya miaka 15 (zaidi
ya Grimm na Schoske) na miaka 30 (zaidi ya Beckerath) wakati mume wake
alipofariki.
Kwa kuwa kuna ushahidi mwingine kwamba Thutmosis I bado alitawala kwa
kipindi cha takriban mwaka 1 baada ya ndoa yake aliyofunga na Thutmosis II
Hatshepsut anawezekana kabisa kwamba alikuwa na umri wa miaka 15 – au na umri
mdogo tu – kwa angau kama mume wake Thutmosis II angetawala kwa kama miaka 3
tu. Kwa hiyo, inawezekana sana kwamba mama yake Ah-mose alishika hatamu za
utawala kwa kipindi fulani, kabla ya Hatshepsut na baada ya kifo cha Ah-mose –
kwa makubaliano na desturi za familia ya hawa Ahmosids na historia ya Wamisri
(kushika hatamu za utawala wa mfalme aliye na umri wa chini umeshuhudiwa kwa
kuwa Ufalme wa zama Kale) – alishika hatamu ya utawala wa Thutmosis III
aliyekuwa na umri wa chini.” (Tembelea Tovuti ya Dr Karl Lesser http://www.maat-ka-ra.de/english/maat_ka_ra/regentin.htm)
Ndoa hizi za kuonana ndugu wa karibu
zilisababisha mwingiliano mkubwa wa kidamu wa tabaka la watawala au waungwana wa
Kimisri. Matendo hayo yalikuwa ya kawaida katika siku hizo. Majina waliyopewa
wote wazaliwa wa jinsia zote mbili, yaani wanawake na wanaume yalitofautiana na
majina ya Mose au Mosis, na kiini cha chanzo cha jina hili ni Musa (au Moshe)
ni dhahiri kabisa.
Ukitembelea tovuti ya www.touregypt.net
utaona inahitimisha jambo hili kama ifuatavyo.
Hatshepsut, mtawala wa tano wa Kizazi cha 8,
alikuwa ni binti wa Thutmose I na Malkia Ahmose. Kama ilivyokuwa kwenye familia
za kifalme, aliolewa na binamu yake, Thutmose II, ambaye alikuwa na mtoto, Thutmose III, kwa mke wake mdogo. Wakati Thutmose II
alipofariki mwaka 1479 KK. mtoto wake wa kiume, Thutmose III, alichaguliwa kwa
mrithi. Hata hivyo, Hatshepsut alichaguliwa kutawala kutokana na umri wake wa
ujana sana. Walitawala kwa pamoja hadi mwaka 1473 wakati alipojitangaza
mwenyewe kuwa ni farao. Akajivika mavazi na taji za kifalme za wanaume,
Hatshepsut alisimamia mambo ya kitaifa, kwa kusaidiwa kikamilifu na kuhani mkuu
Amun, Hapuseneb na maafisa wengine. Wakati alipojenga Hekalu lake la Kupendeza huko Deir el Bahari iliyoko Thebes, aliupa ahueni uzazi wake
wa kimbinguni akiwa kama ni binti wa Amun. Hatshepsut alipotea mwaka 1458 KK.
wakati Thutmose III, alipokuwa anakitaka tena kukitwa kiti cha ufalme,
akaongoza maasi. Thutmose alikuwa na vijihekalu au miungu yake, sanamu na
alijipa ahueni kwa kuviongeza.
Huu ulikuwa
ni mtazamo wa jumla kuhusu uongezaji wa ahueni yake lakini sisi sasa
tunajiuliza mengi kuhusu mtazamo huu.
Baada ya kifo chake, sanamu na mapambo mengi ya Hatshepsut na maashirio
yake yaliondolewa na kuharibiwa kidogokidogo au kuondolewa kabisa, yakiwemo
yale ya kwenye hekalu ya mochwarie lililokuwa kubwa na lililojengwa huko Deir el-Bahri. Haya kimapokeo yamekuwa yakitafsiriwa
kuwa ni ushahidi wa matendo ya damnatio
memoriae (kumlaumu
mtu8 kwa ajili ya kumla yeye mwanaume au mwanamke kitoka kwenye uwepo
ulioandikwa) na Thutmose III. Hata hivyo, utafiti wa hivi karibuni uliofanywa
na wanazuoni kama ule uliofanwa na kina Charles
Nims na Peter Dorman umetathimini tena hakikisho hizi na
kukuta kwamba matendo ambayo yangepewa tarehe au siku zake kuwa yalitokea baada
ya mwaka wa arobaini na mbili wa utawala wa Thutmose. Hii inaondoa mashaka
makubwa kutoka kwenye dhana mashuhuri ya kwamba Thutmose III aliamuru
kuangamizwa kwao kwa ukamilifu na kamio la kujilipizia kisasi mara tu baada ya
kuingia kwake madarakani. Zaidi sana ni kwamba inakubalika kila mahali leo
kwamba Thutmose III anaweza kuwa aliamua kuifutilia mbali kumbukumbu ya
Hatshepsut kutoka kwenye historia ya rekodi ya kihistoria ya ushupavu na
uafithina wa Wamisri na mfumo wao wa madaraka ya kisiasa, ni wanaume tu ndio
waliokuwa wanaruhusiwa na kuonekana wanastahili kutawala nchi wakati wanawake
walikuwa wakitarajiwa kuwa watiifu kwa waume zao na kuwatunza watu walio
majumbani mwao. Kwa kweli, kipindi cha kabla ya utawala wa Hatshepsut ni
Mafarao wanawake wengine wawili tu wa Kimisri ndio walijulikana kuwepo: Nitocris na Sobekneferu. Ni kama alivyokuwa Hatshepsut hatahivyo,
malkia hawa wawili wote walifaidi kipindi kifupi sana cha kutawala (kwa mujibu
wa Wikipedia).
1479-1425 Tuthmosis
III
“Mrithi wa Thutmosis II alikuwa ni mtoto wake, Thutmosis III, ndiye
alizaliwa na mke wake wa pili, Isis. Hivyo basi Thutmosis III alikuwa na umri
gani basi wakati baba yake alipokufa na akachukua utawala na kiti cha enzi cha
ufalme (mnamo mwaka 1479 KK. Kipindi cha Beckerath, 1997) hajulikani. Haya
hivyo alitawala kwa takriban miaka 54 – pamoja na utawala wa Hatshepsut – na
mama yake akiwa hajawa mzee sana. Kwa hiyo, inawezekana sana kuwa alikuwa mtoto
mdogo sana na kwa jinsi hii sio mkubwa zaidi ya miaka 10. Kwa mujibu wa tarehe
zilizotajwa hadi mwaka 42 wa utawala wake alikuwa na umri wa miaka 6
alipochaguliwa kwa ubashiri wa kuhani Amun awe mfalme. Maelezo haya kwa hakika
yalikuwa yanajaribu kuuhalalisha utawala wake kwa kuwa hakuna mrithi wakiume
kwenye kiti cha ufalme aiiyekuja kutoka kwene ndoa ya baba yake pamoja na
Hatshepsut na kutoka kwenye upande wa mama yake hakuwa wa kustahili kuwa mfalme
– hata hivyo maelezo haya yanaweza kutumika kama adidu rejea za haraka haraka
na za juujuu kuhusu umri wake na uchukuaji wake madaraka” (Lesser ibid).
1448/7 KK: ndani ya kronolojia hii, tukio
la Kutoka utumwani lilifanyika miaka kumi baada ya kifo cha Hatshepsut. Kama
utawala wake na mwanae wa ambo na binamu yake alikuwa ni mjenzi mkuu sana na
mwendelezaji wa Misri. Kujilimbikizia kwake madaraka ya kifalme mwaka 1473
kulipelekea hatimaye kupinduliwa na kupotea kwake mwaka 1458.
Menkheperre Thutmose III (pia anaandikwa kama Tuthmosis III au Thothmes III; anaitwa Manahpi(r)ya
kwa mwandiko au herufi za Kiamarna) (takriban mwaka 1425 KK), alikuwa ni Farao wa sita wa Misri kwenye Kizazi cha Kumi na Nane, na kilitawala kama cha mafarao wakuu wa Misri. Alitawala tangu mwaka 1479 KK hadi 1425 KK, kwa mujibu wa Kronolojia ya zama za Kati ya Wamisri wa Kale. Machapisho ya kale zaidi ya miaka ya
1960 na 1970 yamesema kwamba huenda alitawala Misri tangu mwaka 1504 KK hadi 1450 KK lakini hii ilitegemeana kwa sehemu na mtazamo
usio rasmi na usiothibitishika wa miaka 35 ua utawala wa Thutmose IV. Hata hivyo. Inajulikana kuwa Manetho alimpa Thutmose IV atawale kwa Miaka 9 na Miezi 8
tu kwenye Mfano na kifupisho chake wakati Mwaka wa Juu zaidi wa mfalme huyu
ulioandikwa ni Mwaka wake wa 8 tu. Hatimaye, masanamu ya Thutmose IV yalikuwa ni madogo sana kwa
kuyalinganisha na ni magodo kulinganishwa na yale ya mtoto wake Amenhotep III, ambaye alifaidi kipindi cha utawala wake
wa Miaka 38. Wanazuoni wa mambo kale ya Misri wa leo wanasema kuwa Thutmose IV
utawala wake ulidumu kwa takriban Miaka 10 tu na wameweka tarehe ya kutawazwa
kwa Thutmose III kuwa ni mwaka 1479 KK badala yake.
Thutmose alikuwa ni mfupi sana, akiwa na urefu wa futi tano tu (sawa na
mita 1.5) urefu wake, ukweli uliokuja kujulikana baadae na wanahistoria hadu
lilipogunduliwa mumiani au adui yake mnamo mwaka 1881.
1427- 1401 Amenhotep
II
Kama kawaida, vifaa mbalimbali vinatoa
vipindi maalumu mbalimbali vya utawala wa Amenhotep II. Maandiko ya
Kihistoia ya Zama za Mafarao yaliyoandikwa na Peter A. Clayton yanasema utawala wake
ulidumu kwa kipindi cha tangu mwaka 1453 hadi 1419 KK, ambacho kinamfanya kuwa
ndiye Farao wa wakati wa Kutoka. Hiyo ni kwa mujibu wa rekodi za Karnak Stele
kuhusiana na tukio la Kutoka lakini inawezakuwa haihusiani kabisa. Historia ya
Oxford ya Misri ya Kale inakifanya kipindi hiki cha utawala kuwa ni kati ya
mwaka 1427 hadi 1400 KK. Wikipidia inasema mwaka 1425 na Baines na Malek
wanasema mwaka 1427-1401. Kwahiyo, baba yake Thutmose III alikuwa ni Farao wa
kipindi cha Kutoka kwenye tarehe hizi za baadae za Thutmoses III.
Amenhotep II alikuwa mtotos wa kiume wa Thutmose
III na mke mkubwa,
Hatshepsut-Meryetre. Amenhotep kwa kweli alikuwa ni mdogo
akitawala kwa wakati mmoja na baba yake kwa Miaka 2 na Miezi 4 kwa mujibu wa
rekodi za kihistoria za wakati mmoja tangu tarehe ya kutawazwa kwake kuwa
mfalme alikuwa wa "IV Akhet siku ya 1 kama ilivyoonyeshwa kwenye stela ya
Semna ya Usersatet, mtoto amtumikiaye Mfalme (kama mshindi) wa Kushi
chini ya Amenhotep II, wakati Tuthmose III ananukuliwa kuwa alikufa wakati wa
III Peret siku ya 30 kwenye Kaburi la Wasifa wa Amenemheb (inasema Wikipidia).
Ukweli wa kwamba alikuwa ni mtoto wa Farao
kwa mke wake mdogo unaweza kuwa ni sawa na inavyosema Biblia kwenye maandiko na
kumbukumbu zake kwamba mzaliwa wa kwanza wa kiume wa farao wa wakati wa Kutoka
(Thutmoses III) alikuwa ameuawa pamoja na wazaliwa wengine wa kwanza wa Misri.
1424 KK: Yubile ya 51
Amenhotep II alikuwa mtoto wa kiume wa Thutmose
III na mke mdogo, Hatshepsut-Meryetre. Amenhotep alikuwa kwa kweli ni mdogo
aliyeshirikishwa kutawala na baba yake kwa Miaka 2 na Miezi 4 kwa mujibu wa
rekodi za kihistoria za mambo ya nyakati moja tangu kutawazwa kwake ilikuwa ni
tarehe "IV Akhet siku ya 1 kama inavyoonekana kwenye stela ya Semna ya Usersatet,
utumishi wa mwana wa Mfalme (kama ushindi) wa Kushi chini ya Amenhotep II,
wakati kwamba Tuthmose III ananukuliwa kuwa alifariki siku ya III Peret siku ya
30 kwenye Kaburi la Wasifa wa Amenemheb. Peter Der Manuelian kwenye kitabu
chake cha mwaka 1987 cha "Lakujifunza kwenye Utawala wa Amenophis
II," kinatupa tafsiri ya andiko kwenye stela ya Usersatet: "Mwaka 23, IV Akhet [siku] 1, Siku ya Sikukuu au Sherehe za kutawazwa kwa
mfalme" (uk.21). Amenhotep alikabiliwa na uasi mkubwa huko
Shamu kwenye jimbo la vassal la Naharin katika Mwaka wake wa 3 karibu nl mara
tu baada ya kifo cha baba yake na akalipeleka \Jeshi kwa wa Levant ili
kuukomesha uasi huo. Mfalme alijulikana vyema kutokana na uhdaifu wake na
kutokuwa na uwezo kwake na inasemekana kuwa aliuawa kwa pigo moja tu na waasi 7
wa Mfalme wa Takhsy. Baad ya kutwaa au kuteka Kadesh na ndipo kwa ufanisi mkuwa sana
kuikomesha kampeni yake ya kwanza huko Shamu, mfalme aliamuru miili ya wafalme
saba itundikwe kichwa chini na miguu juu kwenye mti wa meli yake—ikiwa ni
adhabu uliyojulikana na ya kawaida kufanyiwa viongozi wa uasi kama agizo ya
Kifalme au Kifarao huko Misri. Alipofikia kwa Thebes wote ila mmoja wa wafalme hawa walichomwa moto
kwenye kuta za mji. Mwingine alichukuliwa hadi kwenye jimbo lililojulikana la
uasi wa Nubia na kumtundika kwenye kuta za mji wa Napata, kama mfano wa mchakato huu wa kujiinua kinyume
cha Farao na kuvunja moyo upinzani wowote kutoka kwa Wanubi waliokuwa
wanayapinga mamlaka ya Wamisri huko. Amenhotep II alikuwa amefanikiwa sana
kwenye juhudi zake kwa kuwa hakuna maelezo yoyote ya kufanyika kwa uasi
ulioandikwa kutoka kwa Wanubi wakati wa utawala wake – kama ilivyokuwa kwa
mrithi wake Thutmose IV. Amenhotep pia alishambulia kwenye
kampeni yake ya pili na ya tatu kwa Washami kwenye Mwaka wa 7 na 9 wa utawala
wake. Maasi haya yote mawili yalisababishwa na uasi ya majimbo ya Washami
kwenye Dola ya Misri, ambayo ni kama yalichochewa na watemi wa Kimisri kwa uasi
wa Mashariki ya Karibu, Mitanni. Vita ya Mwaka wa 9 vilitokea kwenye viunga vya
Niy na vilipelekea au kuwasababishia Wamisri kukosa udhibiti wa eneo lote zima
lililoko katikati ya mito ya Orontes na Frati licha ya mbinu za Wamisri za kulundikana huko
Retenu na kuwateka wafungwa au mateka wa vita 3,600 wa Apiru. Baadabaada ya kampeni hii, hakuna
migogoro mingine zaidi iliyojitokeza katikati ya jitokeza katikati ya Wamitanni
na Wamisri, na amani isiyorasmi iliwekwa kati ya Amenhotep na mfaalme wa
Wamitanni. Kwa hiyo, Amenhotep alijikita kwenye mambo ya nyumbani lakini
alihakikisha anaufanya ufalme wa Misri uidhibiti Kanaani na mali zote za Misri.
1408 KK Israeli waliingia Nchi ya Ahadi na
kuwatiisha Wakanaani katika mwaka wa 16 wa Yubile ya 52 kufuatiwa na kifo cha
Musa.
1401-1391 KK Tuthmosis
IV (Dini potofu ya Aten inaibuka na Misri wanaiga imani ya Waisraeli ya kuamini
Mungu mmoja)
1391-1353 KK Amenhotep
III
1353-1335 Amenhotep
IV “Akhenaten” (Imani bandia ya kizushi ya Kimonotheisti inaibuka kwa kiwango
kikubwa na kamili.)
1335-1334 Semenkare
(Malkia?)
1334-1325 Tutankhamen
? Malkia
Ankhesenamun
Ankhesenamun- Aliolewa na na Tutankhamun akiwa na umri wa
miaka kumi na tatu. Mfalme Tutankhamun alioa akiwa kijana sana, huenda alikuwa
mdogo wa ummri wa miaka kumi. Sababu ya kufana hivyo ilikuwa ni kwamba mfalme
wa Wamisri alitarajiwa awe na mke (wakati mwingine zaidi ya mmoja ambaye mwenye
kumsaidia yeye kubeba majukumu mengine ya kiofisi yanayohusiana na mambo ya
kidini ya ofisi yake. Tutankhamun alimuoa Ankhesenaten, mmoja wa mabinti wa
baba yake Akhenaten na mama yake wa kambo Malkia Nefertiti, kwa hiyo, alikuwa
ni dada yake binamu! Alikuwa mkubwa kidogo kuliko Tutankhamun mwenyewe, baadae,
Ankhesenaten alibadilisha jina lake na kujiita Ankhesenamun, "Aliishi (ankhes) kwa (en) mungu Amun (amun)".
Hapo mwanzoni kabisa aliitwa Ankhesenpa'aten na alizaliwa huko 'Kipindi cha
Amarna huenda kwenye mji wa Akhetaten. Wakati wa ndoa yao, aliwazaa mapacha
waliokuwa hawajatimiza wakati wao wa kuzaliwa. Kuna uwezekano mkubwa kwamba
watoto hawa walikufa kwa sababu ya mahusiano yao ya udugu wa karibu wa damu.
1323-1319 Ay
1319-1307/5 Horemhab
1305-1196 KK Kizazi
cha 19 Rameses I
1305-1290
“Mwanzoni kabisa aliitwa Paramessu, hakuwa wa uzao wa kifalme,
alizaliwa kwenye familia ya waungwana kutoka kwenye jimbo la delta ya Nile, huenda ni karibu na Hyksos ya zamani ya Avaris kuu. Alikuwa ni askari mchukuzi, ambaye hapo mwanzoni kabisa
alikuwa ni mbunif au mtunzi (kazi aliyoirithi kutoka kwa baba yake, Seti), na
kufanyika kuwa jemadari kamili wa majeshi. Alipata upendeleo au kuhurumiwa na Horemheb, farao wa mwisho wa kichuguu ya Kizazi cha Kifalme cha kumi na nane, aliyemchagua Ramesses awe wariri mkuu. Alihudumu pia kama Kuhani Mkuu wa Amun – kana kwamba angeweza kuchukua jukumu muhimu
kwenye marejesho mapya za dini ya kale ya ikifuatiwa na mafundisho ya kizushi
ya Amarna wa
kizazi kilichofuatia baadae chini ya Akhenaten.
Horemheb mwenyewe alikuwa mtu muungwana kutoka nje ya jamii ya kifalme ya
haraka, waliotokea kwenye kutoka kwenye daraja za vyeo la majshi ya Wamisri
ahudumu kama mshauri wa mfalme na hatimaye kuwa Farao. Akiwa hana mtoto wa
kumzaa yeye mwenyewe wa kuendeleza msitari wa uzao wake, Horemheb alimchagua
Ramesses ili kuwa mrithi wake kwenye miaka ya mwishoni ya utawala wake kwa
kudhania tu kwa kuwa Ramesses I alikuwa kwa namna zote mbili, yaani mi kiongozi
awezaye na alikuwa na mtoto na mjukuu (hatima yake Ramesses II) kumrithi yeye na kujiepusha na ugumu wa
kurithisha.
Alipokuwa anarithishwa, Ramesses alichukua jina la kicheo, au jina
ambalo lilikuwa limeandikwa kwenye orodha
ya wafalme waliomtangulia wa Wamisri hadi kulipata lililosahihi au jema. Wakati
alipolitamka, jina ni mn-pḥty-r‘, ambalo kwa kawaida linatafsiriwa kama Menpehtyre,
maana yake ni "Aliyewekwa kwa nguvu au uweza wa Ra". Hata hivyo, anajulikana vyema kwa nomen
yake, au jina lake la
binafsi. Hili linatamkwa kwa lafudhi nyingine kama r‘-ms-sw, na kwa kawaida
anajulikana kama Ramessu au Ramesses, maana yake ni 'Ra alimzaa yeye'. Already mzee wakati
alipotawaza kuwa mfalme, Ramesses alimchagua mtoto wake, farao aliyefuatia
baadae aitwaye Seti I, ili ahudumu kama mfalme mwenza. Seti alifanya
operesheni kadhaa za kijeshi wakati huu – kwa kweli, jaribio la kuwaweka pamoja
na kuwarejesha mahala pao Wamisri waliopotea huko Shamu. Ramesses anaonekana kuwa alichukua
majukumu na uangalizi wa masuala ya nyumbani yanayo kumhukwa sana,
aliikamilisha au kuimalizia awamu/pylon ya pili ya Hekalu
la Karnak,
lililoanza chini ya Horemheb (soma makala ya kwenye Tovuti/Wikipidia ya
http://en.wikipedia.org/wiki/Ramses_I)
1290-1279 KK
Seti I
Kwenye ainema ya Amri Kumi za Mungu, Farao
Seti I alikuwa anadhaniwa kuwa ni Farao ambaye kipindi chake Musa alikuwa ni
Jemadari wa Misri, na mwanae Rameses II anaonyeshwa kuwa kama Farao wa kipindi
cha Kutoka. Seti alikuwa tayari ni baba wa Rameses II wakati Horemheb
alipomchagua yeye kuwa ni mrithi wake kama ni Farao. Alikuwa ni msimamizi
mwenye uwezo. Mandiko ya Biblia tarehe zake hata hivyo vinamfanya Farao huyu,
kwenye vipindi maalumu vya hivi karibuni kama aliyekubalika, ni mgombea
asiyewezekana kaka Musa alikuwa amekwisha kufa tayari na Israeli waliishi
kipindi cha kabla farao huyu hayatawazwa kuwa mfalme. Sababu inayopelekea wazo
hili ni kwa sababu wataalamu wa mambo ya wafalme wa Kimisri waiiamua kwamba
ufyatuaji wa matofali na kuyafanya kama vifaa pekee na vikuu kwenye ujenzi
ilikuwa ni mashuhuri kwenye kipindi cha Ramesside. Biblia hata hivyo inaliweka
tukio la Kutoka kwenye miaka ya 480 kabla ya kuanza kwa ujenzi wa Hekalu katika
mwaka wa Arobaini wa Sulemani na ile inafanya tarehe hii kuwa ni mwaka 1448/7
KK. Biblia inasema kwamba Waisraeli waliujenga mji wa Rameses na ndipo
inadhaniwa alikuwa ni hiki Kizazi cha Kifalme cha Rameses kilichokuwa
kimehusika, kama walivyoujenga Pi-Ramesse. Hatanhivyo, jina la Rameses
lenyewe limekutikana pia limeandikwa kwenye rangi za makaburi waliyozikiwa
tangu Farao Amenhotep III, ambaye alitawala karibia karne moja kabla ya Rameses
II.
1279-1213 KK Rameses II
Bwana au Lord Ameni
Merenptah
Seti II
Siptah
Kizazi cha Kifalme cha Ishirini na Moja
Jina Tarehe
au Miaka
Osorkon the Elder 983 KK - 977
Baada ya utawala
wa Ramesses III, kulikuwa na hali ya kupingua kidogo kwa
nguvu za kifalme katika Misri
Kizazi cha 22: Washindi waliowashinda Israeli na
Yuda.
Kizazi cha
Ishirini na Mbili
Kizazi cha
Kifalme cha Ishirini na Mbili cha Misri kilikuwa ni mfuatano wa Meshwesh Wafalme wa Kilibya waliotawala tangu mwaka 945 KK au 943 KK hadi mwaka 720 KK. Waliishi huko Misri tangu Kizazi
cha Ishirini. Manetho anasema kwamba kizazi chenye asili au chimbuko lake huko Bubastis, lakini wafalme huenda kwa kiasi fulani walitawala tangu Tanis, ambao ulikuwa ni mji wao kuu na ni mji
yalikokuwepo makaburi yaliyochimbuliwa. Kizazi hiki mara nyingi kinachukuliwa
kuwa ni sehemu ya Kipindi
cha Tatu cha Zama ya Kati.
Jina Maelezo
Tarehe au Mwaka
Shoshenq I Anasemekana
kuwa ni Shishaq wa kwenye
Biblia 943 – 922 KK
Shoshenq II aliufaidi
utawala wauhuru wa karibu miaka 2 huko
Tanis kwa mujibu wa Von Beckerath 887 – 885 KK
Harsiese A mfalme tofauti wa huko Thebes aliyetawala wakati
Osorkon II na utawala wa Takelot I. 880 – 860 BC
Osorkon II aliwasaidia Israeli kumshinda Shalmaneser III wa Ashuru
kwenye Vita ya Qarqar mwaka 853 KK. 872 – 837 KK
Shoshenq asichanganywe na Shoshenq VI – mwenyewe asilia 798 – 785 KK
(IV)"mkwazi" Shoshenq IV kwenye kipindi cha kabla ya vitabu vya mwaka-1993 na makala za jarida
Pami aliwazika Mitamba wawili wa Ng’ombe au Apis Bulls kwenye utawala wake. Ni mfalme tu ambaye whose Habari za matendo yake zilihifadhiwa kwenye kabrasha ya Annal mwaka 785 – 778 KK
Shoshenq V 778 – 740 KK
Osorkon IV ni mfalme mwingine tofauti aliyetawala kwenye Delta iliyomeguka 740 – 720 KK
Dini ya Tefnakhte wa Sais na Iuput II wa Leontopolis
Mfalme mwingine
aliyetokana na kundi hili ni Tutkheperre Shoshenq, ambaye nafasi yake halisi kwenye kizazi hiki cha kifalme kwa sasa
haieleweki. Kile kinachoitwa Kizazi cha Kifalme cha Ishirini na tatu kilikiwa ni chipukizi la kizazi hiki
kilichotuama maeneo ya Misri ya Juu. Wafalme wake wote walitawala Misri ya Kati nay a
Juu pamoja na Chemichemi za Magharibi mwa Jangwa walikuwa ni msaada wa kimadaraka wa stela
kilichokadiriwa kupewa tarehe za utawala wa 13 Takelot III imekutwa kuwa ni.0 (sawa na Wikipidia).
Nyongeza
ya 2: Uchambuzi wa Ratiba ya Ufunguo wa Daudi
Mwaka 1974 KK:
Yubile ya 40 tangu kufungwa kwa bustani ya Edeni. Lbrahimu akiwa anakaribia
wastani wa umri wa miaka 22. Alifikia umri wa utuuzima katika mwaka wa Sitini
wa Yubile ya 39.
1785-1650 KK |
Kizazi cha 13 |
Kipindi cha
Pili cha Zama za Kati |
1650-1554 KK |
Kizazi cha 16 |
Utawala wa Hyksos kutoka Misri ya Chini |
1650-1554 KK |
Kizazi cha 17 |
Kamose Seqenenre II (Misri ya Juu) |
1554-1305 KK E 1554-1525 KK |
Kizazi cha18 |
(Hyksos alipinduliwa) Ahmose (Amosis I) |
1528/7 KK |
Musa alizaliwa mapema kabla ya kufariki kwa Ahmosis, na aliitwa jina lake na dada yake. |
1525-1504 KK |
Amenhotep I (Amenophis I) |
1525 KK |
Kifo cha Ahmose/Ahmosis I (wengine wanasema mwaka 1527). Mwaka huu ulikuwa ni mwaka wa Sabato wa mzunguko wa mwisho wa yubile ya 49. Ilishuhudia mwisho wa mauaji ya kuuliwa kwa watoto wa wana wa Israeli kwene kipindi chao cha mateso. Ufalme Mpya au Dola ilishuhudia kipindi cha zaidi ya karne moja na nusu cha kutoporomoka kwa uchumi na mafanikio. Amri ya kuwaua watoto wakiume wa Israeli huenda ilichochewa na hali ya kuonekana kwao kuwa walikuwa ni sehemu ya kizazi kilichochukiwa cha Hyksos. Amri hizi zilitolewa na mfalme huyu ili kuanzisha na kukishamirisha kizazi cha kifalme. |
1524 KK |
Yubile ya 49 |
1504-1492 KK |
Tuthmosis I |
1492-1479 KK |
Tuthmosis II |
1488 KK |
Musa alifikisha umri wa miaka 40 na anakimbilia Midian kipindi cha utawala wa Tuthmosis II, kwenye kipindi hiki cha miaka arobaini ya utawala wake, baada ya kumuua mlinzi. Kimfano hii inamaanisha ukomo wa zama ya kwanza. (Awamu ya kwanza ya Ufunguo wa Daudi inaanza.) |
1479-1458 KK |
Hatshepsut (Ma’atkare’) Malkia Regent |
1473 KK |
Hatshepsut anajitawazwa mwenyewe kuwa Farao. |
1479-1425 KK |
Tuthmosis III |
1448/7 KK |
Kwa hiyo, ndani ya mlolongo huu, tukio la Kutoka utumwani lilitokea miaka kumi baada ya kifo cha Hatshepsut. Akiwa anatawala na mwana wa kambo na binamu yake alikuwa ni mjenzi mkuu na mwendelezaji wa Misri. Kitendo chake cha kujilimbikizia madaraka ya kifalme mwaka 1473 kilimpelekea kupinduliwa kwake madarakani na kupotezwa mwaka 1458. |
1427-1401 KK |
Amenhotep II Ukweli wa kwamba alikuwa ni mtoto wa Farao kwa mke mdogo unaweza kuwa ni sawasawa na inavyosema Biblia kwamba mzaliwa wa kwanza wa kiume wa Farao wa wakati wa Kutoka (Thutmoses III) aliuawa pamoja na wazaliwa wengine wa kwanza wa Misri. |
1424 KK |
Yubile ya 51 |
1408 KK |
Israeli wanaingia kwenye Nchi ya Ahadi na kuwatiisha Wakanaani katika mwaka wa 16 wa Yubile ya 52 iliyofuatika kifo cha Musa. |
1401-1391 KK |
Tuthmosis IV (Dini ya Aten inaibuka na Wamisri wanaiga imani ya Waisraeli ya kuamini Mungu mmoja au umotheism.) |
1391-1353 KK |
Amenhotep III |
1353-1335 KK |
Amenhotep IV “Akhenaten” Mafundisho ya kizushi na mapotofu ya Kimonotheisti yanaibuka kwa kiwango cha juu sana. |
1335-1334 KK |
Semenkare (Malkia Nefertiti?) |
1334-1325 KK |
|
? |
Malkia
Ankhesenamun |
1323-1319 KK |
Ay |
1319-1307/5 KK |
Horemhab |
1305-1196 KK |
Kizazi cha 19 |
1305-1290 |
Rameses I |
1290-1279 KK |
|
1279-1213 KK |
Lord Ameni Merenptah Seti II Siptah |
1224 KK
|
Yubile
ya 55 |
1074 KK
|
Yubile
ya 58 |
1054 KK |
Kuanguka
Troy na Wahiti wa Magharibi wa Wilusia. Ripathian Celts anahamia Uingereza na
wanaungana na masalia ya Tuathan De Danaan kutoka Ireland na kuwatiisha
Wamagogu huko Uingereza. |
1053/2
KK |
Mwisho wa kipindi cha utawala wa Waamuzi 12 pamoja na Eli na Samweli. Utawala wa Wafalme unaanza kwa
utawala wa Sauli. |
1024 KK
|
Yubile
ya 59 |
1012 KK
|
Utawala
wa Daudi unaanza. Anatawala miaka saba huko Hebroni. |
1005 KK |
Dauidi
anaingia Yerusalemu. Kipindi cha nusu kamili cha uumbaji, miaka 3000 tangu
Adamu. Melkizedeki anatoa njia kwa Lawi huko Yerusalemu kwa Yubile 20 au
miaka 1000 hadi kuzaliwa kwa Kristo akiwa kama Kuhani Mkuu wa mfano wa
Melkizedeki. |
974 KK |
Yubile ya 60 tangu kufungwa kwa Bustani ya Edeni. (Nusu ya kipindi cha
umri wa Shetani.) |
972 KK |
Daudi
anamrithisha ufalme wake Sulemani. (Awamu ya kwanza Inaisha) |
968/7
KK |
Hekalu
linaanza kujengwa katika mwaka wa Arobaini wa Sulemani. |
948 KK |
Hekalu pamoja na Nyumba za Mfalme na Nyumba ya Misitu ya Lebanoni
ziliisha. |
932 KK |
Utawala
wa Sulemani unaishia. (Awamu ya pili ya Ufunguo wa Daudi inaisha.) |
932-924
KK |
Kugawanika
kwa Ufalme kutokana na ibada za sanamu za Sulemani zilizoyaingia makabila ya
Kaskazini. |
924 KK |
Yubile
ya 61: miaka 1000 au Yubile 20 hadi kwenye kutangazwa na Masihi kwa Mwaka wa
Bwana Uliokubaliwa mwaka 27 BK. |
Jedwali la 3 |
|
724 KK |
Yubile ya 65: Kuzingirwa kwa Samaria
kunapelekea kuondolewa kwa Israeli kutoka kwenye ardhi zake tangu Mwaka wa
Sabato, Yubile, na mwaka wa 723 KK au Mwaka wa Kwanza wa Yubile Mpya. Miaka
250 tangu Yubile ya Daudi huko Yerusalemu na kumkabidhi kwake madaraka
Sulemani. |
722 KK 722 KK |
Sargon II anaingamiza Samaria baada ya miaka mitatu ya kuizingira na kifo cha Shalmaneser V. Israeli
wanachukuliwa utumwani kwa awamu tatu: Reubeni, Gadi na nusu ya kabila la
Manase upande wa mashari ya Yordani chini ya Pul au Tiglath-Pileser III.
Kisha walifuatiwa na Wamedi kwa Waisraeli wa makabila ya upande wa magharibi
chini ya Sargon II, ambaye aliwaangamiza pia Wahiti (Hatti or Kalti) upande
wa kaskazini ya Shamu, Wakaldayo wa Urartu. Yuda walifuatia baadae. (Awamu ya
tatu ya Ufunguo wa Daudi.) |
605 KK |
Vita vya
Carchemish. Nebukadneza anaipiga na kuishinda Misri. |
598/7 KK |
Utumwa
wa Yehoyakini (siku ya 2 WeAdar au 14/15 Machi
597). (Awamu ya nne ya Ufunguo wa Daudi.) |
594 KK |
Maono
ya Ezekieli (mwaka wa 30) (Ushahidi wa 1 wa Kimaandiko). |
587 |
Kuanguka kwa Yerusalemu. (Awamu ya tano ya
Ufunguo wa Daudi.) Yuda wanapelekwa utumwani kwa kosa la kuihalifu
sheria ya kuitunza Sabato ya mapumziko ya ardhi na kalenda. (Sehemu ya sita) |
574
KK |
Mwaka wa Yubile ya 68 |
539 KK |
Kuanguka na kutekwa
kwa Babeli na Koreshi na Dario Mmedi, mwana wa Astyages (aliyeitwa Ahauswero
na Danieli). |
538/7 KK |
Tangazo la
Koreshi na kurudi kwa waliokwenda utumwani kwenye nchi yao ya Palestina
lakini sio Yerusalemu (tarehe kamili haijulikani). |
530-522 KK |
Utawala wa Cambyses. |
525 KK |
Kutekwa kwa Misri na Cambyses (Unabii wa Mikono Iliyovunjika ya Farao unatimilika kwenye awamu yake ya kwanza (soma jarida la Unabii wa Mikono Iliyovunjika ya farao (Na. 36); soma pia Jedwali la 5 Uchambuzi wa Jedwali la Kipindi-Zama (Na. 272)). |
524 KK |
Yubile ya 69 |
522 KK |
Utawala wa Mamajusi (Magi). |
521 KK |
Darius I |
516 KK |
Unabii wa miaka saba unafikia mwisho (Yeremia 25:8-14; Danieli sura ya 9). Yerusalemu inabakia ukiwa bila kukaliwa na watu hadi kipindi hiki. Maandiko hayatanguki. |
486 KK |
Ahauwero I. Barua aliyoandikiwa na kupelekewa hakuna majibu yaliyonukuliwa kuwa yalifanyika (Ezra 4:6). |
465 |
Artashasta I (jina lake halisi Cyrus pia aliitwa Macrocheir au Longimanus). anasimamisha ujenzi wa Hekalu na shughuli zote za ujenzi zinasimama hadi kipindi cha utawala wa Dario Muajemi (Ezra 4:7-24). |
424 KK |
Yubile ya 71 |
424 KK |
Uhauswero II (hakuandikwa kwenye biblia). |
423 KK |
Dario II anatoa
tangazo la kuanza ujenzi wa Hekalu mwaka 422. Majuma Saba ya Miaka yanaanza katika mwaka wa
kwanza wa Yubile va 72. |
418 KK |
Ujenzi wa Hekalu ulikamilika katika mwaka wa sita wa Dario, siku ya 3 mwezi Adari. |
404 KK |
Artashasta II |
398 KK |
Tangazo la kupewa mahitaji linatolewa kwa ajili ya kurudi kwa Ezra (Ezra 7:1-26). |
385 KK |
Tangazo la pili la Artashasta II. Nehemia anafanywa kuwa liwali wa Yudea (385-372). Kuta za Yerusalemu zinajengwa (Nehemia 5:14). |
375/4 KK |
Majuma saba ya kwanza ya miaka ya mtiwa mafuta ajaye au Masihi Danieli 9:25. |
374/3 KK |
Mwaka wa Yubile na wa Usomaji wa Torati. (Ushahidi wa 2 wa Kimaandiko) |
323/1
KK |
Ezra anafariki
katika mwaka mmoja huohuo aliokufa Iskanda Mkuu (Seder Olam Rabbah 30). Kile
kilichojulikana kama Kanuni ya kuhakiki Biblia ilifungwa. (Awamu ya saba ya
Ufunguo wa Daudi inakamilika.) |
27
BK |
Mesihi anaitangaza Yubile ya 80 kama
Mwaka wa Bwana Uliokubalika na anaanzisha Ushahidi wa Agano Jipya kama Awamu ya nane ya
Ufunguo wa Daudi. |
30
BK |
Sadaka ya Kristo na kupokelewa kwa
Roho Mtakatifu. Kuanza
kwa Yubile ya Arobaini ya Kanisa kuwa Jangwani. |
62/3 BK |
Mwisho wa kipindi cha Majuma 62 ya miaka na mabadiliko makubwa ya utaratibu wa kutoa zaka hadi
kwa ule wa Melkizedeki. Kuuawa shahidi kwa Yakobo ndugu yake Kristo, askofu
wa kwanza wa Yerusalemu. |
70 BK |
Mwisho wa Juma la Saba la Miaka na kubomolewa
kwa Hekalu. |
73BK |
Kuanguka kwa Yudea na Masada. |
77 BK |
Yubile ya 81. |
590-1850 BK |
Miaka 1260 ya Mateso ya Kanisa. |
1799 |
Miaka 2520 ya “myakati saba” tangu utumwa wa
Israeli. Israeli wote wanaingia kwenye haki ya uzaliwa wa kwanza wa nchi au
ardhi zao. |
1916-1948 |
Kuanzishwa kwa Nchi au taifa la Wayahudi. |
1916-1996 |
Mwisho wa unabii wa Mikono Iliyovunjika ya farao kwenye awamu ya pili. (Awamu ya tisa inaisha 1996.) |
1939-1945 |
Dola ya Mnyama na Mpingakristo wa Pili akijaribu kuliangamiza Kanisa na taifa la Yuda kwa kutumia mbinu ya mauaji makubwa ya kuangamiza Wayahudi na Watunza Sabato wa Ulaya, maarufu kama Holocaust. |
1977 |
Yubile ya 119, mwanzo wa nyakati za mwisho. (Awamu ya tisa inaanza.) |
1987 |
Kupimwa kwa Hekalu kunaaza. Soma jarida la Kupimwa kwa Hekalu (Na. 137) |
1997 |
Mwisho wa Wakati au Utimilifu wa
Wamataifa na Miaka Thelathini ya Mwisho wa Maombolezo ya Musa. |
1998-2005 |
Usomaji wa Torati ulifanyika kama mwisho wa
nyakati mbili za ushuhuda. |
2006-2012 |
Utakaso wa Mataifa unaanza (soma jarida
la Utakaso wa Mataifa
(Na. 77).) |
2012 |
Injili inahubirikwa kwa mataifa yote.
Usomaji wa tatu wa Torati. Mwanzo wa kipindi cha Kuiwekaji wakfu Madhabahu
tayari kwa marejesho mapya. |
2015 |
Mwaka wa
kutangazwa kwa Mfalme. |
2019-2027 |
Kutiishwa kwa Mataifa wakati wa kurudi kwa Mfalme. |
2027 |
Yubile ya 120 (Awamu ya Tisa inaishia). |
2028 |
Milenia inaanza. Hekalu la Kimwili linaanza na utaratibu wa utawala unawekwa na unawekewa utaratibu (Awamu ya kumi ya Ufunguo wa Daudi.) |
2028-2077 |
Dunia inafanywa upya na Torati ya Mungu inatumika rasmi kwa watu wote. |
2028-3027 |
Milenia iliyo kama Mapumziko ya Sabato ya Yesu Kristo inaendelea. Kipindi cha Nne cha Hekalu kinaendelea. |
3015 |
Shetani anafunguliwa tena na Vita vya
mwisho vya Nyakati za Mwisho vinaanza. Yerusalemu unashambuliwa. |
3027 |
Yubile ya 140:
Ufufuo wa Pili wa Wafu. Awamu ya kumi inafikia kikomo kwa kushuka kwa Kiti
cha Enzi Kikubwa Cheupe cha Hukumu. |
3128 |
Mji wa Mungu Unashuka kutoka Mbinguni.
Mwanzo wa Mbingu Mpya na Nchi Mpya. |