Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[288]
Papa wa Mwisho:
Alivyoelezewa na Nostradamus
na Malachy
(Toleo La 5.0 20000108-20050501-20080313-20130214-20130316)
Nostradamus amefanya kazi ya kuzipitia na
kuzitathmini nabii za kustusha ambazo zimeishatimilika na kuwa za kweli. Pia
ameziandika zile ambazo zimekuwa hazieleweki vema na
ambazo zilikuwazinatumika kimakosa. Leo letu hapa ni
kuzipitia kiutathmini nap engine hata kuzielezea nabii bili alizozifanya na
ambazo zina maana za kidini na moja kati ya zile zilizotimilika na nyingine
moja ambayo inakaribia kutimia na kudhihirika wazi katika siku za hivi
karibuni. Malacgy alikuwa ni Askofu Mkuu wa Kikatoliki
aliyeishi kwenye karne ya ishirini na aliandika orodha ya ajabu na matendo ya
kila Papa tangu mwanzo hadi mwisho. tutayaelezea yote mawili
hapa. Kwa mujibu wa Malachy amebakia Papa mmoja tu
kuondoka.
Christian
Churches of God
Anuani ya Barua Pepe au Email: secretary@ccg.org
(Hati Miliki © 2000, 2005, 2008, 2013 Wade Cox)
(Tr. 2013)
Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia
yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Papa wa Mwisho: Alivyoelezewa na Nostradamus
na Malachy
Nostradamus au Michel de
Nostredame alikuwa ni mjaribishaji wa madawa huko Provencale,
Ufaransa. Kazi zake za uandishi zilichapishwa huko Lyons mwaka 1555, ikiwa ni kipindi cha karne kadhaa au kundi la wafuasi wake
wapatao mia moja. Wafuasi wake walishutumiwa na
kuonekana kama ni watu wasiofaa na walafi waliotokana na hisia kali zenye
kudanganya na za kimapepo. Vyovyote vile tutakavyoweza kulichukulia hili,
kulikuwa na maelezo rahisi na yenye mashiko kwao na
kwa kupitia tathmini yenye ufunuo wa kweli, ambao uliweza kueleweka tu baada ya
kutokea kwa tukio. Nia ya kuandika jarida hili ni
kuyaangalia kiuchunguzi mambo haya na kuyaelezea yale ambayo tunayadhania
wanamaanisha. Moja wapo ni kuchunguza na kupata
utabiti wa kweli kuhusu mauaji ya Papa. Linguine ni
kuangalia uwezekano chanzo cha kile kinachojulikana au kuelezewa kwa kiasi
fulani mwishoni mwa zama ya uthibiti na kipindi cha kudumu kwa hapa Duniani,
kama tunavyojua.
Ingawa inaweza kuonekana
kwamba ni moja au mbili tu ya tabiri za Nostradamus
zilitimilika, bali tunapaswa kujua kwamba bado tupo kwenye udhibiti wa ukweli
wa jambo hili. Na tena ni kwamba, ingawa mapepo wanahusika na utendaji wa jambo
hili na linaweza kuwa chini ya uwezo wao, sisi hatuwezi kabisa kukabiliwa na
ukweli kwamba kama isingekuwa ni Mungu aliyetulinda na kutuongoza hivi, basi
mapepo au na baadhi ya mawakala wenye uwezo wa kutenda kiasi hiki nje ya unabii
wa Kibiblia wangeweza kufanya kazi hii ya kubashiri matukio.
Jambo linguine miongoni
mwa mambo yaliyofanyika ili kulifanikisha hili ni ule
ujanja wa kuwafanya watafsiri hawahawa rafikizake kutoka lugha ya Kifaransa cha
zama za Kati. Tutaanza kutoka tukio la kifo cha Papa Pius XI.
Nostradamus aliandika idadi ya kazi zinazowahusu kuzifanya hawa mapapa. Kulikuweko pia na idadi ya kazi zilizoandikwa za
Manazi kwa jina lake na marafiki zake hawajawa wasaidizi ndio walizichapisha
wakati wa kipindi cha Vita Kuu ya II ya Dunia.
Mmoja wa
mapapa ambaye alionekana kama anafaa sana ni huyu Pius XI.
Kwenye C.5:Swali la.92 aliandika yafuatayo:
Aprθs le
Siθge tenu dix et sept ans,
Cinq
changeront en tel rιvolu terme:
Puis sera
lun esleu de mκme temps
Qui des
Romains ne sera trop conforme.
Tunayaona maandiko haya
yakitafsiriwa na De Fontbrune kwamba:
Baada
ya kipindi cha Upapa cha miaka kumi na saba, miaka
yake mitano itashuhudia mabadiliko yatakayofikisha ukomo wa mageuzi. Kisha
katika kipindi hichohicho atachaguliwa mmoja atakayekuwa na
haiba sawa na Wartmi.
Maneno haya yanaonyesha
mlolongo wa dalili ya kile kilichotaka kutokea huko
Roma kwa kipindi hiki. Nia ya kufanyika mageuzi imekandamizwa na kukosa nafasi hadi leo, lakini ukweli ni kwamba hili
ndilo linalotokea sasa. Pia, Papa wa tano miongoni mwa
Mapapa wao alipaswa awe ni mzaliwa wan chi nyingine, lakini anayeonekana kuwa
kama Mrumi zaidi kuliko ilivyokuwa inaonekana kupendeza au kutarajiwa
kiutendaji wake.
Kipindi cha kwanza ambacho
Kiti hiki (yaani cha upapa) kilikuwa
kinakaliwa kwa miaka kumi na saba kilikuwa na huyu Pius
XI (1857-1939) ambaye kwa kweli alikuwa ni mzee. Alichaguliwa kuwa Papa tarehe 6
Februari 1922 na alifariki tarehe 10 Februari 1939 baada
ya kukikakia kiti hiki kwa kipindi cha miaka 17 na siku nne (sawa na
alivyoandika De Fontbrune, kwenye kitabu chake cha Nostradamus 1: Countdown to Apocalypse, Pan Books 1983, ukurasa wa
212).
Alirithiwa na Eugenio Pacelli, Mrumi aliyetokea kwenye familia ya watu mashuhuri
na wa tabaka la juu ambaye alichukua jina lake kuwa ni Pius XII. Alikaa
madarakani kwa miaka kumi na tisa na alifariki tarehe 9
Oktoba 1958.
Mnamo mwaka 1956 kazi yake
ilichapishwa huko Fresno, California, iliyoandikwa na
Mkatoliki aliyeitwa Edward Connor [kitabu kilichoitwa Unabii wa Leo (Prophecy for
Today, Academic Library Guild, 1956)]. Ilikuwa ni mlolongo wa majadiliano
na mahojiano juu ya kazi au nafasi ya unabii katika hili Kanisa Katoliki la
Roma kukijumuishwa na mahojiano ya kazi nyingine fulani za Nostradamus na pia
kwa zile za manabii wa Kikatoliki katika zama zake zote, jinsi wanavyoamini na
kufundisha kuhusu nyakati za mwisho. Watu makini na weledi
walizikubalia sana nabii za Malachy OMorgair, Askofu Mkuu wa Armagh Ireland (aliyefariki
mwaka 1148), na kuziona kwamba zilikuwa zinakaribia kutimilika. Katika safari
yake aliyomtembelea Papa Innocent II huko Roma mwaka 1139, aliruzukiwa uwezo wa kuona maono ya Mapapa wote watakaofuatia siku za mbele
yake (kinaeleza kitabu hichohicho ukurasa wa 15). Ukiyaweka pamoja maono haya
ya Nostradamus na mengine, utagundua kuwa unabii
unasema kwamba kutakuja tokea matatizo makubwa sana kwenye Kanisa. Nostradamus aliondolewa
na wao kwa kile kinachoeleza kwamba baadhi ya nabii zake zinzonekana kuutabiri
kuanguka kwa Kanisa la [Roma] (soma kitabu hikihiki, ukurasa wa 10). Waliufasiri
unabii wa Nostradamus kwa maneno yafuatayo,
Baada ya
kiti kukaliwa kwa kipindi cha miaka kumi na saba,
watano watabadili kwa kipindi hichohicho cha urefu wa utawala wao (kimeandika
kitabu).
Hawakuyanukuu maandishi
yake yote kama tunavyoona hapo juu. Sehemu ya kwanza
ya uandishi wake waliutafsiri kwa maana ya hata kwamba wale watano watabadili kwa
kipindi cha miaka mitanojambo ambalo halikutokea hivyo kipindi hiki ambacho
chote Pius XII alikuwa bado yuko madarakaniau, hata ule uwezekano mwingine
wenye maana kwamba watano hawa watabadilika kwa kipindi cha miaka kumi na saba,
tarakimu ya miaka ya kudumu kwa kipindi chake cha upapa kwa wakati huo. Tafsiri
hii wakaibadilisha tena na kutoipenda na walikuwa
wamebakiwa na miezi mchache ya kuondoka na Pius XII hakuonyesha dalili yoyote
ya kufa na alikuwa bado ananguvu na afya njema. Na kwa
kipindi kile hata kwma wangekitawanya kitabu lingekuwa ni jambo la kupoteza
muda tu kwa vyovyote vile. Ni kwanini walijisikia vibaya
kumpuuzia huyu Nostradamus? Jibu lake lilikuwa ni
kwamba, yeye pamoja na Malachy pia, walionyesha ukomo wa Kanisa Katoliki la
Romana kwamba halitachukua muda mrefu. Pia, kwenye unabii huu, Nostradamus inawezekana
kabisa kwamba alitabiri kuanguka kwa haraka kwa mapapa
kutakakotokea kipindi hiki cha mwisho, na sio jambo lingaliloweza kutoke kwenye
kipindi hiki cha miaka 17. Tatizo lililoko ni idadi
ndogo ya mapapa waliobakia kuwa madarakani kabla ya kurudi kwa Masihi. Tutalielezea
jambo hili baadae .
Kitu walichoshindwa
kukijua ni kwamba Nostradamus alikuwa na uwezo wa kimiujiza wa kuona mbali wa
kuweza kuweka mambo upya kwa hawa wenzake, kwa kuwa walikuwa wameyageuza
matukio fulani ya muhimu sana. Tatizo liko kwenye fasiri ya
Kifaransa. Neno ans lililopo
kwenye auandishi huu lilikuwa na maana ya miaka. Kwenye jambo hili wameliandika kwa mwonekano wa uwingi na kutafsiriwa maana yake kuwa ni
kama miaka mitano ya idadi ya mapapa, au miaka kumi na saba ya idadi hiyohiyo
ya miaka ya kipindi cha kutawala kulikoelezewa.
Ni kwa
nini basi haya yote yawe ni ya muhimu? Jibu lilikuwa ni
kwamba NDIYO! Ilikuwa ni muhimu sana. Kama tujuavyo ni kwamba John XXIII ndiye aliyemrithi Pius XII kuwa Papa
baada ya kifo chake mwaka 1958. John alifariki tarehe 3 Juni 1963 na mahala pake pakachukuliwa na Paul VI.
Utawala wa Mapapa Watano
Utawala huu wa kwanza ulidumu
kwa kipindi cha miaka kumi na saba na Pius XI, ni kama utawala wa Pius XII, ulivyotabiriwa
pia na Nostradamus lakini ulipuuziwa. Kwenye karne hiyohiyo, kipindi cha watawala
thelathini na sita mapema yake kwenye kitabu chake
Sura ya 5, Swali la 56 aliandika hivi:
Par le dιcθs
du trθs vieillard pontife,
Sera esleu
Romain do bon aage:
Quil sera
dict que le Siθge debiffe
Et long
tiendra et de picuant ouvrage.
De Fontbrune anatafsiri
maandishi haya kuwa yanamanisha hivi:
Baada ya
Papa huyu mzee sana kufariki, atachaguliwa papa
mwingine wa zama ya kati. Atalaumiwa kwa kuuletea
madhara wadhifa au mamlaka yake ya Upapa au mahali pa Takatifu pa Imani yao na
atatawala kwa kipindi kirefu sana, huku akifanya kazi zenye utata na
mikanganyiko.
Pacelli alikuwa na umri wa
miaka sitini na sita wakati alipochaguliwa mwaka 1939 na alidumu madarakani kwa
kipindi kirefu kuliko cha Pius XI, na kwa kweli kilikuwa ni kipindi kirefu sana.
Alikuwa ni mtata sana pia. Tangu mwaka wa 1923, baada ya kukoma kwa madaraka ya Pius XI mwaka 1922,
makanisa yalianzisha mawazo hayahaya mapya huko Ujerumani kama vile kuwaua
wanaotaabika kwa ugonjwa. Hitler kwa wazi kabisa
kwamba 1939 ulikuwa unafaa. Makanisa ya Kilutheri na Roman
Katoli yalikuwa hayakubaliani na dhana ya Demokrasia. Yaliuuona kuwa mtindo wa kuunganisha kanisa la serikali kama ni mfumo
utakaokandamiza mifumo na dini zao. Kwa hiyo waliulazimisha mfumo wa Kinazi kuwa ni njia yao ya kuendeleza kwa usalama ajenda
hii ya kuunganisha kanisa na serikali. Na tangu mwaka wa
1932, mambo muhimu kwenye makanisa ya Roamn Katoliki na Lutheran yalienda
pamoja mkono kwa mkono pamoja na Manazi katika kuanzisha na kuziendeleza kambi
hizi za mateso na wakaanza kuwaangamiza wote waliokuwa sio waamini Utatu na
hususan wanaozishika Sabato, wakiwemo Wayahudi, kazi waliyoianzia kuifanya huko
Ulaya. Kanisa la Lutheran likachukua umiliki wa kambi
ya mateso iliyokuwa karibu na Hamburg, mapema ya mwaka 1933.
Wakatoliki wa Ulaya wakiwa chini ya Pius XII, walisaidia uanzishwaji wa
kile ambacho hivi karibuni kilithibitishwa kuwa kulikuwa na zaidi ya kambi 10,000,
na inaonekana sasa kwamba idadi ya kambi hizi za mateso na mauaji ni 15,000 au
zaidi. Walijaribu kwa makusudi kabisa na kwa weledi wa hali ya juu sana kuikomesha
kabisa na kuwaua watunzaSabbato wote au wale wote ambao hawakuwa wafuasi wa
Kanisa la Roma na wasio Walutheran, ambao walikuwa Wasomaji na vile vikundi
vinavyoiamini tu Biblia peke yake toka huko Ulaya. Wayahudi walikuwa ni sehemu tu ya waliouawa kwenye mauaji haya mabaya nay a
hatari yanayojulikana kama Holocaust, na kwa kweli inaonekana sasa kwamba idadi
yao haikufikia hata nusu ya watu wote waliouawa na hawa Manazi huko Ulaya. Hitler hakuwa peke yake kwenye unyana huu ulifmywa miaka hii ya 1930
huko Ujerumani. Bali yeye alikuwa ni zao tu
lililotokana na matendo halisia yaliyokuweko zama hizo na kwa kweli alifanya
chini ya utekelezaji wa Walutheran. Kwa msaada wa Vatican
chini ya Pius XII mwishoni mwa vita hivi, mamlaka hii ya kipapa iliwasaidia
mahalifu wa waliofanya mauaji makubwa wa Kinazi kushinda mashtaka yao na
kutumia umashuhuri wao kwa kuwapeleka au kuwapenyeza waende huko Amerika ya
Kusini na Australia. Na ndiyo hawa hawa waliokuwa wanatumika huko Australia kufanya
kazi na majukumu ya ulinzi. Katika kutumia dhana
fikirika ya namna hii, huenda ndiko kulipelekea kuwaharibu wakazi asilia wa Australia. Wakati wa Vita ya II ya Dunia, Kanisa Katoliki
la Roma chini ya Pius XII lilisaidia na kurekebisha, au kuziondoa, hali ya kuwa
na kikomo wa idadi kubwa ya sheria zilizokuwa zinzwahusu wakazi asilia, wengi
wao wakiwa ni wale waliofanya maovu makubwa machoni pao wakiwatendea hayo
Wayahudi au Wakristo Wasabato (Wanaoamini kuwa Mungu ni Mmoja), au wale ambao
hawako kwenye imani ai dini zinazoamini sawa na imani ya Kikatoliki.
Nostradamus mwenyewe alikuwa ni mtu kutoka kwenye nasaba
ya Kiyahudi. Ukweli huu una maana yake fulani kama
tutakavyojionea huko mbele.
Hata hivyo, marafiki zetu wa California wakiwa chini ya Connor iliwea vigumu sana
kuandika shutuma za papa anayeishi hapa duniani kwa kumuona na kumuuliza maswali
yanayohusu utendaji wa kazi na mikakati yake, je, wangefanya hivyo? Wote
walikuwa kwenye maumivu wakishindwa kuficha tangu ulimwengu zama
wa juhudi za Malachy kuyataja majina ya papa huyu maarufu kama Malaika Mchungaji mwenye mkatale wa
chuma. Hakuna papa mwingine yeyote au mtu binafsi aliyemfuatia aliyewahi
kuikomesha ibaya ile madhabahuni, kwa kupingwa na watu
wake mwenyewe, na aliyewatendea ukatili Washika Sabato wa Kiyahudi na Wakristo
katika kipindi chote cha kihistoria cha kuwepo kwa taifa la Wayahudi na kuanza
kwa dini ya Kikristo. Jambo hili lote litaelezewa kwa
kina kwenye jarida linalofuatia kuandikwa la Mauaji ya Kikatili ya Holocaust: Mhuri wa Nne wa Mateso (soma pia
kwenye wavuti ya http://www.ccg.org/_domain/holocaustrevealed.org/
Matokeo mabaya ya
kupatilizwa yatokanayo na makosa yalipaswa kuishia kwenye
kiasi kidogo sana, kwa makosa yaliyofanyika kwa kushindwa kuzuia mauaji, kama
tutakavyijionea hapo baadae. Mwishoni wakati ukweli uliwa unatolewa kwenye
hatima yake, na wanahistoria waongo kwnye vyo vikuu vya Ulaya wakikubaliana na
ukweli, ndipo Kanisa Katoliki la Roma litajionekana kile kilichomo na
litasimama ili lilaumiwe machoni pa walimwengu wote. Hili ni
jambo lenye kuchanganya kwa harakati kwa Macuria wa Kirumi waliohudumu chini ya
Pius XII, na kwa zama zote mbili za kabla na baada ya kuchaguliwa kwake.
John XXIII alimrithi kiti chake mnamo tarehe 28 Octoba 1958 ambaye alidumu
kwenye kiti hiki hadi tarehe 3 Juni 1963. Kwa kweli alikuwa ni John XXIV lakini Yule aliyekuweko kabla yake yaani John
XXIII (1410-1415) (Baldassare Cossa: d. 1419) alikuwa karibu tu aitwe Stag wa Siren na Malachy, alikuwa ni
muovu sana akifanya uzinifu na watawa zaidi ya 200. Pia alikuwa ni mfiraji. Watawa walibughudhiwa sana
na papa huyu, ingawaje alikuwanao wengi sana kama alivyoweza, na igawa mapapa
wengi walijaribu kutaka kujiita jina la John. Aliitwa pia kuwa ni Machungaji na
Nahodha. Katika kipindi cha John XXIII mageuzi mengine yalifanyika kwenye
kanisa chini ya mtaguso wa II wa Vatican II. Lengo la
kuu la kanisa hapa lilikuwa ni kuwezesha uwekezaji wa
shule mpya ya mawazo na mitazamo na misimamo elekevu iendelezwa.
Tangu wakati huu kanisa
lilijaribu kurudi nyuma na kutafakari nafasi yake na
mafundisho yake, nah ii ilikuwa ni kuja kwenye mahala pa kuwa ni kichwa na sio
kwa kipindi kirefu kilichopita, kama tunavyojionea. Mchakato huu hatimaye ulisababisha
tuhuma mbaya za masuala ya kifedha, mauaji na mageuzi makuu
katika Vatican.
Giovanni Battista Montini,
au Paul VI, alikuwa ni papa wa tatu, na ilipofikia
mwaka 1978 alirithiwa na Albino Luciani, au John Paul I. Mtu huyu alikuwa ni
papa wa nne kiunabii. Mapapa hawa watano ni kama
wafuatavyo: Pius XII, John XXIII, Paul VI, John Paul I na John Paul II, waliokaa
madarakani kwa kipindi cha miaka cha tangia 1939 hadi 1978.
Matazamo wa Wakatoliki kuhusu unabii
Kazi ya uandishi ya Connor
iliyochapishwa mwaka wa 1956 chini ya idhini ya
kuchapisha kitabu ya A.J. Willinger, Askofu wa Kanisa Katoliki la Roma wa Monterey-Fresno,
inaonyesha fafanuzi zinazovutia kuhu mapapa hawa watano walio kwenye unabii.
Kulikuwa na tafsiri moja tu nyingine ambayo haikufanyiwa utafiti
kwenye kazi hii ya Wafransiskani (Franciscans) na hii ilikuwa ndiyo iliyotakiwa
sana kueleweka na kujulikana kama watano
hawa watabadilishwa katika idadi hiyohiyo ya miaka. Pius XI alifariki mwaka
1939 na hii inamaanisha kwa tafsiri hii kwamba watano
hawa walipaswa kubadilika mnamo mwaka 1978.
Huenda ni kwa sababu hii tumeipata
ikiwa imerekodiwa na wengi wa waliokuwa kwenye utawala au madarakani kwamba John-Paul
I baada ya kutoka moshi mweupe wa kuthibitisha kuchaguliwa kwake aliyasema
maneno haya: Mungu na awasamehe ninyi nyote
kwa yale mliyonitendea (au kwa jinsi mlivyonifanyia ubaya).
Je, ni
kwanini alishangaza kupigiwa mbiu ya kuwa papa? Jibu lilikuwa ni kwamba yeye alikuwa ameujua unabii huu kuli mwingine yeyote
miongoni mwao.
Malachy alimpa jina Papa huyu
kwa kumuita De
Midietate Lunae au Kutoka kwenye nusu
ya mwezi mwandamo. Wakatoliki walikuwa wanatarajia kwamba
papa huyu angeweza kuwavuta Waislamu nah ii ndiyo maana ya nusu ya mwezi
mwandamo. Kwa maneno mengine ni kwamba alikuwa
ni mwezi mpevu wa Waislamu. Connor anauliza:
Je, uongofu wa wafuasi walio kwenye umma wa Mahommedi-ambao alama yao no
mwezi mwandamo mpevu utafanyika kwenye kipindi cha utawala wake? (ukurasa wa 16).
Ukweli ni
jambo geni zaidi kuliko utata. Katika kipindi cha mwezi mmoja tu baada ya kuchaguliwa
kwake, John Paul I alikufa katika mazingira yaliyotatanisha na
kuacha maswali mengi sana huko Vatican. Alidumu madarakani kwa
kipindi cha mwezi mmoja tu na akakatiliwa mbali kwenye zama kati ya mwanzo wa
kufikiwa mageuzi makubwa sana kuwahi kutokea ambayo Vatican haijawahi kuyaona. Alikuwa
anakwenda kuiokoa kwa kuitumia yenyewe na kujaribu
kuirejesha tena imani ambayo Yesu Kristo aliwaletea wanadamu. Anadhaniwa kuwa
alikuwa anakwenda kuiimarisha kwenye midani ya kiuchumi wa kidunia na
kuirejesha kwenye hali yake ya kipindi cha kale kilichokuwa kabla ya kuharibiwa
katika zama za mfalme Constantine, kwa kulifanya liwe na nguvu na kuliwezesha
kuwa ni dini yenye nguzu zaidi ulimwenguni kupitia Azimio la Kuvumiliana
Mkataba wa Kuvumiliana wa Milan la mwaka 314. Mtazamo
mwingine zaidi na wa hivi karibuni ni kwamba alikuwa
na mpango wa kuisafisha Vatican dhidi ya wa Masons kwenye Curia na kwinginekokote
katika makanisa haya.
Lakini kabla hajafanya hivyo alikufa katika mazingira ya kutatanisha. Watu waliokuwa ndani ya Vatican waliojua kilichotokea waliliita tendo hili
kuwa ni mauaji ya kinyama. Mwanahabari wa mambo ya udadisi aitwaye David Yallop, aliombwa na vyanzo
vya habari vya Vatican kulifanyia utafiti jambo hili na aandike kitabu kuelezea
jinsi papa huyu alivyouawa. Yallop alifanya hivyo kwenye sehemu moja ya jarida
lisomwalo na wengi lenye habari za utafiti liitwalo Kwa Jina la Mwenyezi Mungu. Anatoa shutuma
zake kwa wazi kabisa kwa wahusika wa mambo yahsuyo Mamlaka ya Baraza la Kanisa
maarufu kama Curial kuwa walihusika na mauaji ya huyu John-Paul I na kuwataka
baadhi yao wajiuzulu na waondoke Vatican. Hii haikufanyika.
Kwa bahati nzuri kitabu hiki cha Yallop bado kinapatikana na
kilichapishwa tena mwaka 2007 na maelezo mengine ya nyongeza.
Kazi nyingine yenye
kuvutia ni kitabu kinachoitwa Papa wa Hitler cha
John Cornwell (1999) ambacho mwandishi anayaelezea matendo ya Papa Pius XII kipindi
cha zama za Manazi. Maelekezo zaidi ya jinsi ya kukinunua kitabu hiki na matoleo yake yanavyoendelea kutolewa, yanapatikana kwenye
wavuti ya: http://www.tenc.net/vatican/hitlers.htm
Alipokuwa anasoma Maelezo
yaliyo kwenye Ukurasa wa Juu wa Kichwa cha maneno ya jarida hili la Papa wa Hitler:
Hivi karibuni kabisa, Cornwell aligundua kwamba alikuwa amekosea kwa kuona
akiyaelezea au kuyataja maigizo maovu ya Pius alipokuwa anaandika jarida hili
la Papa wa Hitler, na akasema kwamba anaona sasa kuwa haiwezekani
kuhukumu nia iliyokuweko moyoni mwa papa kipindi kile cha vita. Papa wa Hitler kinabakia kuwa ni kitabu
chenye mambo yenye kutatanisha sana kwenye jamii ya Wakatoliki na ambacho
kimewafanya kuvutiwa maandishi wengi kuandika kuandika vitabu vingine vingi vyenye
kichwa cha somo hilohilo. Waweza kukiona kwenye wavuti hii.
http://en.wikipedia.org/wiki/Hitler's_Pope
Kwa kawaida papa huashiria
majukumu anayokusudia kuyapa kipaumbele atakapochukua mamlaka yake ya upapa kwa ashirio linaloendana na jina atakalolichagua aitwe. Na
ndiyo maana, kwa ajili hiyo mfuasi wake aliyechukua kiti chake, Karol Jozef
Wojtyla, alichagua jina hilohilo la John Paul II, na ndiye mtu aliyetegewa
kuendeleza kazi ya mageuzi aliyoiacha mtangulizi wake Papa John Paul I na ni
kazi iliyokuwa imekwishaanzishwa na mtangulizi wao John XXIII na Mtaguso wa II
wa Vatican. Hakuna kingalichoweza kuwa mbali na ukweli.
Malachy na orodha ya Mapapa
Malachy anatoa pia ashirio linaloashiria ukweli kuhusu majina waliyopewa
mapapa hawa. Ni kwa kipindi cha karne
nyingi ameita majina yao kwa ishara ya vitu kama vile makoti ya mikononi
waliyonayo, au yale ya familia zao, au alama nyingine zenye maashirio
yanayoonekana kwa uficho. Unabii wake na uliosahihi uliendelea tangu muongo wa
mwisho wa karne ya kumi na mbili na umeendelea hivyo hadi kwenye karne ya
ishirini wakati walipochukua hatua ya mabadiliko kuwa na utaratibu wa kuita
majina, na ambayo ndiyo yanayoashiria kazi na majukumu watakayoyafanya na
kuyatimiliza kikamilifu kwenye kazi zao za upapa. Majina haya yote yameorodheshwa
kwa pamoja na upande mwingine ukiwa umeandikwa sheria
na kanuni za mapapa ambayo ili kujionea zaidi imeandikwa kwenye jarida la
nyongeza la Annex A.
Majina ya mapapa
aliyoyaandika Malachy yalionekana kuwa ni kama sahihi zaidi
na mwenzake Connor kwenye kazi yake yanakubali uthibitisho huu. Connor anauondoa
unabii wa Nostradamus ndani yake akisema kwamba iwapo kama watano wamebadilika
na miaka kumi na saba walikuwepo, kwa hiyo zama hii ilikuwa inafikia kwenye
kiwango chake cha kuhitimika na mapapa hawa walikuwa kwenye kipindi kifupi sana
na inakuwa ni orodha isiyowezekana kwa kweli. Jambo muhimu zaidi ni kwamba ingeashiria kwamba maangamizo makubwa
yangesababishwa na mabadiliko haya katika kipindi kile kifupi cha wakati wa mpito.
Kwa vyovyote vile, Connor na wanazuoni wa kikatoliki
walishindwa kabisa kushughulikia kikamilifu na vifungu vya Maandiko Matakatifu,
na yao wenyewe na nabii zao kwa ajili hii.
Baada ya kifo cha John
Paul I aliyeitwa na kujulikana kama Nusu ya Mwezi Mwandamo, tunajionea
kuibuka kwa John Paul II aliyeitwa na kujulikana kama De Labore Solis au Kutoka
kwenye Kazi ya Jua. Connor anaichukulia hii ni
kuwa (Mkakati wa kuwaongoa wapagani) baada
ya jina hili na anaendelea kwenda kwenye ile iliyojulikana kama De Gloria Olivae- Kutoka kwenye Utukufu wa Mzabibu kwa kinachodhaniwa au kuaminika
kinamaanisha kuwa (Ni Wongofu wa Wayahudi?).
Kwenye maneno haya tunaona
kuwa kuna maana kubwa sana. Mwezi unaliwakilisha
Kanisa katika hali yake ya kwanza alisia, na pia kalenda ya Kanisa ilikuwa ni
ya kutegemea mwandamo wa mwezi na mtuamo wa jua, iliyotokana na mwonekano au
mwandamo wa mwezi kwa Sabato zake za kila mwaka, Miandamo ya Mwezi, na Sikukuu
zilizoamriwa na Mungu. Majira na kalenda hii
ilibadilishwa na dini ya Warumi na kuiweka ile inayotokana na matuo ya jua peke
yake, ambayo ilitokana na dini potovu za kale za waabudu jua zilizokuwa
zinatafuta na kulenga kuiharibu imani ya kweli iliyokuwa inaaminika na Kanisa
la kwanza. Waliingiza inani hii kwenye Kanisa na kuzibadilisha siku iliyowekwa
na kuamriwa kufanya ibada na kuiweka kwa kuienzi siku ya Jumapili na hatimaye
wakalipeleka Kanisa kwenye upagani wa dini zilizokuwa zinamuabudu mungu-jua au
sikukuu za dini hizi potofu za Easter ya mungu Baal-Istar na ya Krismas, ambayo
ni sikukuu ya dies natalis Solis Invicti:
yaani ni sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa mungu Jua Aliyekuwa haonekani kwa kitambo
fulani (soma jarida la Chanzo cha Krismas na Easter (Na. 235) [The Origins
of Christmas and Easter (No. 235)].
Hapa kwenye mapapa hawa
watatu wa mwisho, tungejionea jaribio la kurudisha saa
iliyomegwa kwenye nusu mruko na pengo lake likizibwa na mwakilishi wa dini
yenye nguvu kamili yenye imani ya kuabudu jua. Mtu angemthibitisha kuwa
ametokea kwenye nchi ya pande za mashariki ya wakazi wenye juhudi sana katika kufanya kazi. Makisio ya Connor hayakutafutwa sana, kama walivyojionea hilo. Kwenye macho ya Wakatoliki wa Roma, wanaamini wao kuwa ndiyo Kanisa la kweli, licha ya
ukweli kwamba hanisa hili haliyashikilii mafundisho ya lile Kanisa ambalo
lilianzishwa na Kristo na Mitume wake. Wanaamini kuwa wao wana haki ya
kukomesha kwa mabavu upinzani uliokinyume na wao, na
kufanya haki wanayoweza kuifanya pale wanapoweza kufanya hivyo. Wakati
wanaposhindwa kufanya hivyo, wanageukia kwenye matendo ya kuwaletea madhara
watu kwa njia za kijasusi, kula njama na kuwadhuru
watu mmoja mmoja wanaopingana na wao. Vita hivi vimekuwa vikiendelea kwa nguvu moja pasipo kukoma tangu mwaka wa 590 na hata
kabla yake na imekuwa ikiendelea tangu mwaka 1850 hadi kwenye karne ya
ishirini, na haitakoma hadi pale Kanisa hili litakapoharibiwa kama
ilivyotabiriwa, na vuguvugu la mambo yanayoanza kuchipukia leo ulimwenguni.
Papa huyu kwa saea amefariki na kuna mapapa wengine wawili tu
waliobakia kwa mujibu wa orodha ya Malachy. Papa aliyeko
leo, Benedict XVI, kama kuonavyo anaitwa jina
lake linguine kuwa Kutoka kwenye utukufu
wa Mzabibu.
Ni kama
alivyotabiri Mkatoliki mwingine wa Roma aliyeitwa John Bosco katika utabiri
alioufanya katikati ya miaka ya 1800, kuwa alichaguliwa kwa haraka sana baada
tu ya kifo cha
mtangulizi wake yaani, Papa John Paul II. Kama utabiri huu wa
Bosco ukichukuliwa kwa makini, basi kitendo chake cha kuwataja watu wawili
ambao ni nguzo mbili na maana ya mmoja wa wanawali Mabikira vitakuwa na uhusiano
wa kina na wakimashiko zaidi kimahusiano na dini ya waabudu mashetani ya Freemasons,
iwapo kama tutahusisha na watu hawa na hawa kina Boaz na Jachin wa Hekalu la
Mfalme Sulemani na inaonekana kuhusianishwa na kazi za hawa Freemasons. Kitendo
cha uchapishaji wa meli ya taifa kwenye hizi nguzo
kama alivyotabiri Bosco kwa maelezo ni jambo la muhimu sana kwa kweli.
Ndoto yenye maswali iliandikwa tarehe 30 Mei 1862 [kutoka kwenye Ndoto Arobaini za Mt John
Bosco (from the Forty Dreams of St.
John Bosco)].
"Ghafula, Papa alianguka vibaya na kupata jeraha. Kwa haraka sana, wale walio pamoja naye wakamkimbilia
kumsaidia na wakamwinua juu. Kwa mara ya pili Papa anapigwa, na
anaanguka tena na kufa, kelele za ushindi na furaha zinasikika kutoka kwa
maadui, zikitokea kwenye meli ambamo mizaha isiyoelezeka ilisikika na kuweka
mvumo.
Lakini ni kwa ugumu sana,
baada ya Papa huyu kufa kuweko mwingine wa kuchukua kiti chake. Marubani
wakakutana pamoja, wakamchagua Papa mwingine kwa
haraka sana punde tu baada ya kuenea habari za kifo cha Papa, kukafuatiwa na
mchato wa haraka wa kumchagua mrithi wake. Maadui wakaanza kupoteza ujasiri"
"Ndipo Papa mpya, akawatia maadui zake wot
echini yake na kuvishinda kila vipingamizi, na akaiongoza ile meli vizuri hadi
kwenye zile nguzo mbili na ikaja kutua nanga na kupumzika katikati yake,
anafanya hivyo kwa haraka kwa mnyororo mwepesi unaoninginia kutoka kwenye
mhimili wa meli hadi kwenye nanga ya mlingoti nguzo ambako anasimama Nahodha; na
kwa mnyororo mwingine mwepesi unaoninginia kutoka kwenye kitako, anaufunga kwa
mwelekeo kinyume wa mwishoni hadi kwenye ile nanga nyingine inayoninginia kutoka
kwenye nguzo ambayo anasimama huyu Manamwali Bikira Asiye na Doa.
Maoni na
mtazamo: Ili kuufanya unabii huu umhusu Benedict XVI, ni lazima unabii huu
ukubali kuwa John Paul II ndiye aliyepata jeraha kubwa na hatimaye akafa
kwa Maradhi ya Kutetemeka na Kukakamaa maarufu kama Parkinsons Disease nk., jambo ambalo ndivyo ilivyotokea kabisa bila kukosea.
Inasemekana kuwa Malachy alisema kwamba kutakuwepo
papa mwingine baada ya huyu anayeitwa De Gloria Olivae. Papa huyo ataitwa Petro wa Roma, na. Malachy anasema kwa
uhakika sana kwamba baada ya tukio hili ndipo Hakimu Hatari atawahukumu watu.
Huu ndiyo mwisho wa unabii huu.
Kwa hiyo, Benedict XVI, ambbaye jina lake
la siri ni Kutoka kwenye Utuku wa Mzabibu, atafuatiwa
na huyu Petro wa Roma, na baada ya
hapo, Wakatoliki wanaamini kuwa ndipo huyu hakimu hatari atawahukumu watu.
Wanausahau ufunuo wa Biblia unaoelezea kuwepo kipindi
cha utawala wa millennia wa Masihi atakaotawala kutoka Yerusalemu kama
ulivyoandikwa kwenye Ufunuo 20:1-10, ambao lazima utimilike wote kabla ya kipindi
hiki cha Kiti Kikubwa Cheupe cha Hukumu kilichoandikwa kwenye Ufunuo sura ya 20:11-15.
Ufunuo 20:1-10 Kisha
nikaona malaika akishuka kutoka mbinguni, mwenye ufunguo wa
kuzimu, na mnyororo mkubwa mkononi mwake. 2 Akamshika
yule joka, yule nyoka wa zamani, ambaye ni Ibilisi na
Shetani, akamfunga miaka elfu; 3 akamtupa katika
kuzimu, akamfunga, akatia muhuri juu yake, asipate kuwadanganya mataifa tena,
hata ile miaka elfu itimie; na baada ya hayo yapasa afunguliwe muda mchache. 4 kisha nikaona viti vya enzi, wakaketi juu yake, nao
wakapewa hukumu; nami nikaona roho zao waliokatwa vichwa kwa ajili ya ushuhuda
wa Yesu, na kwa ajili ya neno la Mungu, na hao wasiomsujudia yule mnyama, wala
sanamu yake, wala hawakuipokea ile chapa katika vipaji vya nyuso zao, wala
katika mikono yao; nao wakawa hai, wakatawala pamoja na Kristo miaka elfu. 5 Hao wafu waliosalia hawakuwa hai, hata
itimie ile miaka elfu. 6 Huo ndio ufufuo wa kwanza. Heri, na mtakatifu, ni
yeye aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; juu ya hao mauti ya pili haina
nguvu; bali watakuwa makuhani wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala pamoja naye
hiyo miaka elfu. 7 Na hiyo miaka elfu itakapokwisha,
Shetani atafunguliwa, atoke kifungoni mwake; 8 naye
atatoka kuwadanganya mataifa walio katika pembe nne za nchi, Gogu na Magogu,
kuwakusanya kwa vita, ambao hesabu yao ni kama mchanga wa bahari. 9 Wakapanda juu ya upana wa nchi,
wakaizingira kambi ya watakatifu, na mji huo uliopendwa. Moto
ukashuka kutoka mbinguni, ukawala. 10 Na yule
Ibilisi, mwenye kuwadanganya, akatupwa katika ziwa la moto na
kiberiti, alimo yule mnyama na yule nabii wa uongo. Nao watateswa mchana na usiku hata milele na milele.
Sababu inayowafanya
wasikitilie maanani Kitabu hiki ni kwamba kinaonyesha wazi kwamba utawala wa Kristo
haujaanza bado na kwamba Kanisa la Roma haliwezi kufanya majukumu yake kama
mwakilishi wa Kristo kwa mtindo walionao wa kujifanya kuwa ni mungu wa dunia
hii (2Wakorintho 4:4). Kitabu cha Ufunuo kinatuonyesha kwamba ibilisi
hajafungwa bado, na pia kwamba utawala na mamlaka ya
dunia hii yatakuwa na makao yake makuu huko Yerusalemu na sio Roma.
Kanisa la Roma linakiita
kitabu cha Ufunuo kuwa ni cha Kutabiri Maafa tu yaani The
Apocalypse kwa lengo la kuuficha ukweli kwamba ni cha Ufunuo wa Mungu kwa
Yesu Kristo na ambacho kinaufunua ukweli Kristo siyo mtu mwenye uwezo wa kujua
kila jambo. Kitabu hiki chau ufunuo kinauelekezea mji wa
Roma kama ni mji wenye vilima saba na ambao unaelezewa au kumaanishwa kuwa ni Babeli kwenye maandiko.
Utata
uliokuwepo kuhusu ni nani huyu anayetajwa kuwa ni Utukufu wa Mzabibu na atakuwa nani
umekwisha ufumbuliwa tayari. Lakini hata hivyo, hisia bado zinaendelea
pasi kukoma. Watu wanajiuliza kwamba je, anaweza kuwa ni
Martini kama watu wengi wanavyodhania, au anaweza kuwa ni Mjesuit? Je, inawezekana
kuwa Opus Dei waliruhusu jambo hili pamoja na vita
vilivyoko hivi sasa inayoendelea kati yao na hawa Wajesuit? Je Opus Dei ina idadi yake kwenye tarakimu hii isiyo ya kawaida ya 88,000.
Je, atakuwa ni Spaniard ambao wao walimtaka, au ni mtu
atakayetokana na himaya zao, au ni kutoka kwenye jumuia zao za urafiki wa kiutawala
za Amerika? Au je, atakuwa ni mgombea mwenye kupenda
kujichanganya? Au je, anaweza hata kuwa ni Myahudi? Inawezekana
kabisa akawa ni Myahudi. Kulikuwa na
mgombea mmoja, alifanya juhudi kubwa sana akitumia uwezo wake wote kujaribu
kuunganisha dini zote pamoja kabla ya kipindi cha kuja kwake Masihi. Baada ya kufanya hivyo wangesema Tumewaongoa Wayahudi, au siyo?
Kaldinari na Askofu Mkuu wa Paris alikuwa ni mathirika wa mauaji ya kikatili ya Holocaust
aliyechukuliwa na kulelewa na Kanisa Katoliki la Roma. Hivi sasa yeye ni marehemu hatahivyo, muungano ule ulikuwepo baada ya
kulazimishwa kwingi kwa michanganyo. Hili litatokea leo
kama tunavyojionea sasa, na kama tutakavyojionea.
Nostradamus ana unabii wake
kwenye kitabu chake hiki (C.5:Swali la 49; Lorie, ukurasa
wa 152) majarida haya yanahusiana na uwezekano huu.
Nul
delEspangne
Mais de
lantique France
Ne sera lu
pour la
Tremblante
nacelle,
A lennemi
sera faite fiance,
Qui dans son
regne fera peste cruelle.
Tafsiri yake ni hii:
Sio kutoka
Hispania
bali ni kutoka
katika Ufaransa ya Kale
ndiko
atakakochaguliwa akitokea kwenye merikebu itetemekayo,
atawaahidi maadui,
na ambaye katika utawala wake utasababisha maafa na tauni kubwa.
.
Kwa hiyo tunajionea hapa
kwamba yeye atakayechaguliwa ni kwa ajili ya merikebu itetemekayo. Mstari huu wa andiko unahusisha pia na afya mbaya na ugonjwa wa John
Paul II na hali halisi ya Kanisa Katoliki. Ameonekana pia akiweka ahadi kwa maadui. Yuda wangeweza kuonekana pia
kwenye jambo hili. Hata hivyo, kuna shinikizo zaidi lililo nyuma ya
jambo hili ambao maadui na wenye tabia ya ugeugeu au
wanafiki wanajaribiwa. Hii ndiyo sababu Kaldinari wa
Wakatoliki wa Australia aitwaye Pell alisema kwamba
tungeshangazwa sisi sote na yale ambayo papa huyu angaliyoyafanya.
Tungekuwa sote kuwa ni khemarim, yaani tungevikwa kanzu nyeusi za dini ya
mungu jua, Baali kama tungeingia kwenye mtego huu wa kuunganishwa pamoja ili kupingana
na ujio wa huyu Mpingakristo wa nabii
hizi za Kikatoliki? Jambo hili limeelezewa kwa kina
kwenye jarida la Ujumbe wa Ufunuo 14 (Na. 270) [The Messages of
Revelation 14 (No. 270)]. Vuguvugu la imani na dini hii ya uwongo lazima litatokea huko Roma, na
litajikusanya pamoja na kwenda Yerusalemu sambamba na dini ya Biblia. Inaonekana
kwamba Wayahudi watakuwa na mtu watakayemfikiria
kugombea katika mchakato huu. Kwa namna yoyote ile hivi
ndivyo itakavyokuwa.
Chini ya
Charlemagne, Mfalme wa Ufaransa, Ufaransa ya kale ndiyo
iliyosababisha kuwepo kwa mataifa ya Ujerumani, Muungano wa iliyokuwa Dola
Takatifu ya Kirumi huko Ulaya. Dola ya Charlemagne haikuwa tu ni mujngano unaozungumza lugha ya Kifaransa tu, bali
ilijumuisha ndani yake makabila ya Kijerumani na pia Wadane wa pande za kusini.
Kwa sasa hii ni Ulaya.
Kwa hiyo,
ulimwengu wa wanaoongea Kihispaniola walimtaka papa
Mhispania au awe anayeongea Kihispaniola na wangepunguza uzito wa idadi, lakini
hawakupunguza chochote. Mzungu ambaye lakini sio Mhispania au hata sio Mtaliano
ndiye alichaguliwa ili aweze kuiunganisha Ulaya dhidi
ya mikakati ya kuendeleza Uprotestanti na jamii nyingine zinazoendesha
mavuguvugu yao kwa siri. Na hili ndilo linaloendelea na
kushika kasi leo kwa namna fulani na kwa mbinu chafu na kwa hila.
.
Kaldinari Joseph
Ratzinger kwa miongo kadhaa amekuwa akifanya kazi ya
kuweka muungano wa kimafundisho kwenye kanisa akitumia wadhiwa wake wa kuwa ni
mkuu wa Kutaniko Takatifu la Mafundisho ya Imani. Kile alichokuwa anataka kukifanya
amekwisha kukifanya tayari kwa kuweka msingi wa
mafundisho. Baraza la kusimamia ushamirifu wa
mafundisho limekwishaanzishwa tayari, na wote hawa wawili, yaani yeye na
mwenzake John Paul II wameweka msingi kazi mnamo mwaka 1993. Mwandishi wa Kikatoliki na aliyekuwa
ni muumini aitwaye Morris West, alishagawahi kusema hili katika kipindi cha
kuishi kwake akikosoa kile kilichokuwa amekiweka au kukifanya.
Wanaiona agenda ya muunganiko kutokea kabla ya Siku za
Mwisho. Hata hivyo agenda yao hii
inaponekana kwa wazi sana kuwa iko kinyume na biblia .
Nabii za Wakatoliki zimemtaja Mpingakristo atakayekuja kwa
karne kadhaa. Zimeandikwa kwa namna isiyoeleweka
vizuri na kwa kweli ni mchanganyiko wa nabii, zenye idadi kadhaa ya matukio ya
kinabii yanayokwenda kutimilika hivi karibuni. Biblia inaelezea idadi ya vitu
vinavyokwenda kutokea katika kipindi cha kabla ya kurudi kwa
Masihi. Mojawapo ni kurejeshwa kwa Injili yenye uzima
na kuhubiriwa kwake kwa mataifa yote pamoja na maonyo ya Siku za Mwishozo (kama
inavyosema Yeremia 4:15 na jarida la Maonyo ya Siku za Mwisho (Na. 44) [The Warning of
the Last Days (No. 44)]. Sauti ya Siku za Mwiho,
onyo la kurudi kwa Masihi, vitafanywa katika Dani na
Efraimu linaloonekana kuwa ni kabila jipya katika Yusufu linaloonekana kwenye Ufunuo
7. Baada ya kipindi kile tutajionea Mashahidi Wawili na
mateso ya mwisho na vita kadhaa mahali mahali (sawa na linavyosema jarida la Mashahidi (Na. 135) [Thee
Witnesses (No. 135)].
Nabii za Wakatoliki zinamuelezea Mpingakristo wa Dani
aliyeuawa na ujio wa Enoko na Eliya. Tunawatarajia kuwepo kwa
Mashahidi walioandikwa kwenye maandiko ya Biblia na kuwa huenda watakuwa ni Enoko
na Eliya, kwa kuwa walikuwa ndiyo peke yao walio twaliwa na Mungu kwa sababu
ambayo haijaelezwa bado.
Kwenye kitabu cha Nostradamus, Sura ya 1:Swali la 96,
panaelezea juu ya nabii mpinga ibada za sanamu, atakayeinuka atakayetumia lugha
fasaha katika kuwaelekeza watu, ambaye atainuka katika Siku za Mwisho.
Celuy
quaura la charge de destruire,
Temple et
sects changes par fantasie,
Plus aux
rochers quaux
Vivans
vienra nuyre,
Par langue
ornee doreilles ressaisies.
Tafsiri yake ni:
Yeye
ambaye atakuwa na jukumu la kuyavunja mahekalu na madhehebu ya dini zote zilizogeukia
katika kuandama vinyago, watakuja kuharibu miamba mingi kuliko kwa kupitia
uweza wa lugha masikio yataendelea kujazwa.
Hili ni jambo lililowazi kabisa kwamba mchakato wa
uelimishaji upya mkubwa kwa wanadamu utafanyika katika Siku za Mwisho wenye
lengo la kukomesha ibada potofu za sanamu na vinyago zilizoshamirishwa na dini
zililopo Ulimwenguni. Ndiposa, Nostradamus anapoona
kuinuliwa kwa mtu atakayekomesha ibada hizi katika
Siku za Misho ili atimilize ule mkakati-kazi iliyowezeshwa kwa matumizi ya ile
lugha fasaha na yenye kueleweka. Huu ni ukumbusho wa Ogmius,
aliyeyafunga masikio ya wasikilizaji wake lugha ya ulaghai na udanganyifu. Jina
fumbo alilolitumia Nostradamus kumuelezea Ogmius lilikuwa ni
Logmion.
Jina la Papa wa Mwisho
Ni jina gani basi atakalopewa au kuitwa papa huyu wa
mwisho? Kama tutaegemea kwenye maono ya mapapa na kuweka
mwongozo wetu unaotuashiria, basi tungelichukulia jambo hili kwa mara nyingine
moja zaidi kikamilifu sana. Papa huyu angepaswa kwanza awekwe kwenye mafundisho
ya mapapa ya uwezo wa kutokosea wala kutenda dhambi,
ingawaje hapa alikuwa hasemei juu ya ex cathedra. Kipindi cha
kusikilizwa na wasikilizaji wake kwenye Ukurasa wa jumla wa Wafaransa mwaka 1909,
Pius X (1835-1914) alipagawa na kuanguka na shingo yake ikazama kwenye kifua
chake, na baada ya dakika fulani kupita alirudiwa na fahamu zake tena na
kuyafungua macho yake huku akitazama kwa mshangao na hofu kubwa ilionekana
usoni mwake. Inasemekana kuwa alianza kulia na kuyatamka
maneno haya
Kile
nikichokiona ni hatari sana
Je, hiki kinaweza kuwa ni mimi mwenyewe? Au kitakuwa ni
kwa mrithi wangu? Kitu chenyewe ni kwamba Papa ataondoka
hapa Roma, na anapokimbia akitoka hapa Vatican atakuwa anatembea juu ya miili
ya watu waliokufa ya mapadre wake. Tafadhali musimwambie mtu yeyote habari hii
katika kipindi chote cha uhai wangu [sawa na alivyandika Stephen Skinner, kwenye kitabu chake
cha Nabii za Milenia (Millennium
Prophecies, Carlton, ukurasa wa 75)].
Ni dhahiri
kabisa kwamba Roma na hasa ofisi ya papa ndiyo
imeonekana kama adui mlengwa kwenye shambulio hili la Roma. Je, ni tukio gani linalotokea hivi sasa ambalo linalipa haki au
kusababisha matukio haya? Jibu ni ujio wa vita hivi
karibuni ya Waislamu na ndipo majukumu ya kazi za papa yatakuwa ndiyo kisababishi
cha vita ile.
Unabii huu wa
kukimbia kwa papa kusingeweza kwendana na huyu mwenye jina la siri la Utukufu
wa Mzabibu, ambaye ni Benedict XVI na wala hata yule Pius, bali utafanya kazi
kwa mtu atakayeitwa kwa jina la Peter wa Roma? Je, atachukua jina la Pius XIII au
atarejesha kwake ikiwa ni matokeo ya matendo haya? Iwapo
kama ni marejesho ya jina hili kwa njia ya matendo ni
mjadala basi angeweza kuwa miongoni mwao mmoja wapo. Kitu kimoja tunachoweza
kuwa na uhakika nacho ni kwamba mji utaangamizwa na
watakimbia kutoka Roma. Kuda idadi kadhaa ya matukio mengine hata hivyo, ambayo
yanapaswa kutokea kipindi nabii wa uwongo atakapoanza
kazi zake huko Yerusalemu.
Utukufu wa Mzaituni
Papa anayejulikana
na unabii kuwa ni Utukufu
wa Mzaituni alichukua jina lake la kazi kuwa ni Benedict XVI. Kaldinari Joseph Ratzinger alikuwa ni Kaldinari wa Kibavariani wa Kanisa Katoliki la Roma
aliyetumika kama Kichwa cha Mkutano Mtakatifu kwa mujibu wa Mafundisho yao ya
Imani. Mwanzoni iliitwa Ofisi Takatifu, haikuwa
na linguine lolote bali ni hilo, na iliitwa baadae na wasomi maarufu kama kina Profesa
Roth, kuwa ni Ofisi Najisi kwa ajili
ya tuhuma mbaya zinazofanywa na Baraza la kulinda mafundisho ya kidini kwa
miaka mingi. Kwa kuonyesha kile walichokifanya, soma jarida la Kazi ya Amri ya Nne ya Mungu Kwenye Historia ya
Makanisa ya Mungu YanayozitunzaSabato (Na. 170) [Role of the Fourth
Commandment in the Historical Sabbath-keeping Churches of God (No. 170)].
Kaldinari Joseph
Ratzinger alijulikana kwa msimamo wake mkali katika
kuamua kwake mambo hasa yale yanayoonekana kuhusika na utawala nay a kile
kinachoitwa kuwa ni maamuzi na hukumu za Kanisa Katoliki la Roma. Watetezi wake
wamesema kwamba kwa kweli hayupo hivyo kabisa.
Alichaguliwa akiwa na umri wa miaka 78 na kuwa ni Papa
mzee kuliko wote kuchaguliwa kwa kipindi chote cha miaka 275 tangu
alipochaguliwa Clement XII mwaka 1730. Ni kwa nini
walimchagua mtu mzee namna hii na inamaana gani kwa waio Wakatoliki wa Roma?
Ulikuwa ni mkutano mfupi sana na maamuzi yalifanyika mapema sana.
Uchaguzi huu wa haraka uliwahi kutaniriwa kutokea na
mmoja wa manabii wa Kikatoliki John Bosco kwenye karne ya kumi na tisa, kama
tunavyoona kwenye nukuu zilizoko hapo juu. Ni jambo lililodhahiri sana kwamba
idadi yao ilikuwepo hapo na maamuzi yaliashiria mlingano wa kura wa kura
Makaldinari waliopiga kura na hukuwa muda mrefu sana wa kuwachosha wajumbe wa
mkutano ule hadi wapitishe utaratibu wa kumchagua kwa kumpitisha mshindi
atakayeshindwa kwa idadi ndogo ya kura. Basi iwapo kama
alama hii ya nguzo mbili inayotajwa na Bosco ni alama yao hawa Freemasons, basi
huenda inaweza kuashiria kwamba ilikuwa ni hatua kubwa na muhimu kwenye agenda.
Kwa kweli ni ashirio la kwamba kipindi cha Shetani
kumkabidhi mamlaka kwa Mnyama hakiko mbali sana ambayo ni kipindi zama cha
mwisho cha zama za utawala wa kidunia.
Inasemekana
kwamba alichaguliwa kama papa wa mpito ambaye
angetimiliza kazi zilizoachwa hazijakamilishwa na mtangulizi wake John Paul
aliyekaa madarakani kwa kipindi cha robo karne, na ikaonekana kuwa haiwezekani
kuwe na papa mwingine madarakani kwa kipindi kirefu. Ni hakika kwamba John-Paul
II aliwaandaa Makaldinari wahakikishe wanamuunga mkono kuchukua jukumu la
agenda zake Benedict XVI mwenyewe alisema kuwa kipindi chake cha upapa kingekuwa
kifupi sana. Ila mengi
yangeweza kutokea kwa kipindi hicho kifupi.
Kipindi cha
kuanza kazi cha Benedict XVI, theluthi mbili ya waumini walio kwenye ulimwengu wa dini ya Roman Katholiki walikuwa wanaishi pandc za Kusini
mwa Ukanda wa Dunia (Southern Hemisphere}. Afrika ilikuwa ndiyo eneo lenye
nguvu na kuongezeka sana na Amerika ya Kusini na ndiyo
maeneo yenye wafuasi wengi wa dini hii ya Kikatoliki, na pia yenye kiwango
kikubwa cha misuguano na migogoro. Maeneo haya yalkiwa yanataabika na yalikuwa yanahitaji kuwa na mtu wao kwenye kiti hiki cha
upapa.
Lakini idadi
ya waumini haina maana kuwa inaweza kuweka uzani wa
idadi ya Makaldinari wanaopiga kura. Ulaya ilikuwa iko kwenye
maumivu pia. Upagani unazidi kushamiri. Amerika ya Kaskazini nayo inaiona dini ya Kikatoliki ikisuasua
katika kuongezeka kwake. Hali za utajiri uliopindukia na
kukosa imani na kuvunjika moyo vinawafanya watu wajaribu kujiunga na dini
nyingine kama vile upagani na Ubudha wakijaribu hivyo ili wakithi haja zao za
kiroho. Hali yao ya kuvunjika moyo inatokana na
kutotatuliwa kwa matatizo yao ya kifikra na mengine yanayotokana na masumbuko
ya kijamii.
Wakati Kaldinari
George Pell wa Australia alipowahutubia Wakatoliki wa
Australia aliwema kwamba Papa Mpya alikuwa ni mmoja wetu. Alikuwa Mzungu. Pell
aliyasema haya kana kwamba Australia ilikuwa kwa namna fulani imeunganishwa
kama ni sehemu ya Ulaya na kana kwamba haipo kwenye ukanda wa mbali wa Kusini Mashariki
mwa Asia na ni miongoni mwa nchi za Ukanda wa kusini wenye Wakatoliki wengi.
Maana ya kusema kwake hivyo ilikuwa ni kwamba wagombea wote walikuwa ni watu
wanaopendezwa au wakereketwa wa itikadi ya Kijesuits na Opus Dei na matendo yote
yangalitoweza kukomesha migawanyiko yaa machoni mwa wale wanaowaona kuwa ni
mwiba mkali katika kuwepo kwao na maslahi au ubora wa watu wa Ulaya au Wazungu.
Kaldinari Pell
alikitaja kipindi ambacho kitakuwa cha mabadiliko yenye maana yatakayosimamiwa na Papa mya. Ili kufanya hivyo ilikuwa ni
lazima kuwepo na mabadiliko kwenye agenda anayoikusudia kuwa nayo na mbinu zake
za kuiwakilisha. Makaldinari walikuwa wanadhaniwa kwamba walikuwa wanawatafuta
waungaji mkono wao na walikuwa wanataka kuyaleta
mabadiliko kwenye makanisa ya Kiprotestanti chini ya mfumo wa kanisa Katoliki
la Roma.
Joseph
Ratzinger alisema kwamba alikuwa anataka kujulikana kama
mtu wa amani kwenye kipindi chake chote cha mamlaka ya kipapa. Lakini atawezaje
kuyaondoa na kuyaweka kando katika historia ya
kujulikana kwake? Angewezaje kubadilisha kwa
kuwakamata Waprotestanti na kuufanikisha ukengeufu wa dini kengeufu ya Kiutatu?
Alizaliwa mwaka 1927, alilelewa kwenye itikadi ya Kinazi
ya Ujerumani. Anaaminika kuwa aliacha kazi ya
jeshi mwishoni mwa zama ya vita, lakini tulimtegemea
kwamba katika uzee wake kuwa angerejea kwenye hali yake aliyokuwanayo kwenye
ujana wake.
Alijulikana
kuwa ni mtu asiyependezwa kabisa na mchanganyo waa
kimila na wa kimapokeo. Anadaiwa kuwa alilichukulia jambo hili sawa na kitendo cha kuokimbia ama kuachana kwa mambo yao kwa
jamii ya Wazungu au watu wa Ulaya. Anasemekana kuwa alipinmga kujiunga kwa Uturuki kwenye Jumuia ya Kiuchumi ya Nchi za Ulaya. Pia
anajulikana kuwa ni mpinga Uislamu mzuri.
Kuchaguliwa
kwake kulionekana pia kwamba kungekuwa ni pigo kubwa
kwa mashoga na wafiraji au wapenda matendo ya Ushoga na Wasagaji. Pia
watendaji wa mambo ya uharibu mimba walimuona kuwa ni
kitisho cha biashara zao. Kwa ufupi tu ni kwamba aliahidi
kuwa angekuwa ni Papa wa kukumbukwa kama papa mfarakanishaji au aliyeligawanya
kuliko wote katika karne yake. Lakini, Malachi alimuita yeye kuwa ni Utukufu wa Mzabibu, ambao ni ishara ya amani
au sivyo?
Ingawa
Utaratibu au amri ya watawa wa Kibenedictine inatokana
na Mt. Benedict aliyeishi katika karne ya sita, jina jingine la wafuasi wa Mt.
Benedict ni Olivetans yaani Wana
wa Mzaituni. Wana amri ndogo inayofuatia sheria ya Benedict Tolomei wa Siena aliyeiweka sheria au amri huko Accona kusini mwa
Siena, Italy mwaka 1313. Wengine walijiunga na wanaume
watatu asilia na mnamo mwaka 1324 John XXII alikubaliana na uanzishaji wa
sheria hizi. Miti wa mizaituni ilihusishwa hapo.
Kulikuwa na sungura weupe ambao huenda walikuwa
wanaashiria ukweli huo. Hawa Wabenedictine walikuwa pia
wahusika kwenye baraza la kulinda mafundisho ya kanisa hili huko siku za
mwanzoni. Walijihusisha na kutumika vyema sana
kwenye kazi hii baada ya Agizo la kuanzishwa kwa Dominika na kuifanya kuwa ni
siku ya kuabudu. Kanisa la Mungu lilipita kwenye mateso makubwa kwa yote mawili, na pia na Wafransiskani katika siku
zilizofuatia. Jina hili la Utukufu wa Mzaituni na kuchaguliwa kwa Benedict vinaweza kuwa ni
ukumbusho wa siku hizi za mwanzoni na tendo chafu la mwenendo wa Amri au agizo
hili.
Umberto Ecco alielezea
mgongano kwenye teolojia na akadhania kuwa ni jambo
lenye kuvutia sana kwenye kazi yake ya uandishi wa kitabu kiitwacho Jina la Rose. Pale mijadala inayohusu
Wafransiskani na Wabenedictine waliweka mijadala yenye
swali lisemalo Je, Kristo aliwahi kucheka? wabenedictine walijibu wakasema,
Hakuna mahala palipoandikwa kuwa aliwahi kucheka, ila William akasema kwamba
hii haimaanishi kuwa hakuwahi kucheka. Kwa mbadilishano huu tunajionea maswali
yenye kukinzana yalihohifadhiwa kwenye historia dhidi ya mchakato wa kifikra unaofanya mpito wa maagizo mapya ya mfumo wa dini
ya Kikatiliki. Wabenedictine walileta mtinzo wa
kizamani wa kukabiliana dhidi ya mawazo ya kizazi kipya. Na hivi ndivyo ilivyo
kwenye mawazo ya Wabenedictine wa Ujerumani
walivyomuona Kardinali Ratzinger akikomesha mbinu za imani ya Zen Budha kwa
Mbenedictine mdhibiti itikati hii ya Zen, Padre Willigis Jδger, mwenye umri wa
miaka 76, ambaye pia anajuliakana kwa jina lake la ki-Zen la Ko-un Roshi. Maamuzi
yalifanywa kwa wazi mnamo tarehe 5 Februari 2005 kwenye
diocese ya Wόrzburg, ambako ndiko uliko mji wa Jδger wa Mόnsterschwarzach
Abbey. Padre Nokter Wolf, mkuu wa idara ya kiaskofu
inayosimamia amri na sheria za watawa wa Kibenedictine alisema kwamba maamuzi
haya yalitoka kwa Kaldinari Ratzinger.
Jδger alilaumiwa
kwa kutotilia maanani uwekezaji kwenye mawazo ya Wakristo juu ya Mungu waona
kuwa yeye anafanya kazi zake kama mwanadamu na kiutendaji ni mlinzi wa kiroho,
na kwa kuyumbisha uzoefu kwa kisirisiri kuhusu ukweli wa kimafundisho. Jδger ni mtu anayejulikana vizuri kwenye ulimwengu wa wanaoongea
lugha ya Kijerumani kama mwalimu wa mafundisho ya kiroho. Mnamo mwaka 1972, alikutana
na mdhibiti wa imani ya Zen wa Kijapani aitwaye Yamada
Roshi aliyetoka kwenye Shule ya Sanbo Kyodan. Mwaka 1975, aliondoka na kwenda Kamakura huko Japani na akaishi huko kwa muda wa
miaka sita akijifunza imani ya Zen. Akagundua kuwa Zen ni
mbinu za kiroho iliyochukuliwa kutoka kwenye mapokeo ya dini ya Budha. Mwaka 1981,
Jδger alitumwa kidini na Kanisa Katoliki la Roma awafundishe
wanafunzi hii Zen. Matokeo yake ni kwamba haikukubalika
na Idara ya kutetea mafundisho ya kidini na yakagawanya mtaratibu wa maombi kwa
wale walioathirika kutokana na kutolewa kwa Amri hii.
Ripoti ya hivi
karibuni imeambatana na ujumbe kwamba Padre Josef
Imbach, 56, amechaguliwa kwenye mwaka wa mfano au wakurudisha nuru,
ashughulikie usimamishaji. Ingawa msemaji wa
Wafranskani hakufafanua lengo la kufanya hivyo, Imbach aliliweka wazi kwamba Kaldinari Ratzinger alikuwa
anafuatilia uchunguzi wa kitabu hiki cha miujiza cha mwaka 1995.
Imbach alisema
kipindi kile kwamba alikuwa anashutumiwa kwa kosa la kutoamini uungu wa Yesu, kwa
kutakaa mafundisho yanayoaminisha watu mamlaka ya kuhumu ya kanisa, kwa
kuielezea Injili kuwa ni kama maandiko ya kifundisho badala ya kuiona kama mafundisho
yanayoaminika ya kihistoria, na zisizo na miujiza ndani yake. Alikataa kuamini
hivyo na kukataa kuwa na msimamo huo.
Kwa hiyo kuna
wimbi katika Ujerumani na Ulaya la kile kinachoonekana
na kuelezewa kama sio-mtazamo wa Kikristo. Lakini ukweli ni
kwamba Kanisa liko kwenye himaya mpotovu. Imani ya kipagani na
Imani ya Watafakari (Transcendental Meditation) wanazidi kuenea kwa nguvu na
kasi Ulaya na hatimaye duniani kote.
Kuna idadi
kubwa pia kwenye Kanisa hili Katoliki ya Roma wanaoamini kuwa John Paul II alikuwa
ni mpinga-papa. Wanamwita ka jina la siri la seder vacantist, ambapo maana yake ni kwamba
kiti cha Askofu wa Roma kilikuwa tupu kwa ajili ya mafundisho mapotofu
aliyoaachilia yaingie kanisani kwao.
Ingeweza
kusemwa kwamba kiutendaji, sisi pia ni seder
vacantists. Nafasi ya Kanisa la Mungu ilikuwa ni kwamba kumuona Askofu wa
Roma aliwa hayupo mnamo mwaka 154-192 BK kwa kuchaguliwa kwa Anicetus katika
muonekano wa Roma na kuingizwa kwa mafundisho potofu yaliyopelekea kuingizwa
kwa sikukuu ya kipagani ya Easter na mwendelezo wa mafundisho ya uwongo na
mapotofu na mafarako ya kidini
yasiyokwisha yaliyolazimishwa na Askofu Victorinus (Victor) mwaka 192 BK. Hii
ilisababisha wafarakane na Roma (soma jarida la Migongano ya Mwanzoni (Na. 277) [The Quartodeciman Disputes (No. 277)].
Kuchaguliwa kwa Joseph Ratzinger kulikuwa ni hatua moja ya kuelekea
kumhakikishia mlinzi wa zamani kuwa mambo hayakuwa yanabadilika kwa vyovyote vile.
Ilisemekana kuwa lengo lilikuwa ni kulipata kanisa
dogo lakini lisilo na mawaa ambalo halingekuwa chini ya mashirika yenye kuamini
na kufundisha mafundisho haya ya uwongo. Je, matokeo yake
yangekuwa nini? Uwezekano wa wachache hawa
wangekuwa ni kutoka kwenye vuguvugu hizi za Waprotestanti walio kwenye vuguvugu
za mchanganyiko wa kiimani. Hivi ndivyo tunavyoshawishika
kuamini kuwa ndivyo ingetotokea.
Moja ya mambo
yaliyokomesha na dini zenye kudumu kwenye utafitina
hasa ikakomeshwa na John-Paul II na mfuasi wake Ratzinger ilikuwa ni msisitizo
wa muujiza waliouita kuwa ni wa vijana watatu wa Fatima.
Muujiza huu wa vijana watatu wa Fatima sasa umeshika kasi kuaminiwa na
unajulikana ulimwenguni kote na unachukuliwa kuwa kwenye namna mbili, na
kikubwa kilichokuwa kinaondolewa mawazoni mwa mikakati na azimio la tatu
ilikuwa ni kwamba papa angeuawa na askari, ambao wangetoka miongoni mwa mapadre
wake mwenyewe. Unabii huu unafanyika utafiti kwa kina
zaidi.
Hiii pia
inatualia maono aliyoonyeshwa Pius X pale aliposema kwamba papa atakayeitwa kwa jina lake ataondolewa kutoka Roma akipita juu ya maiti
za mapadre wake. Maono ya tatu ya Fatima yanachukuliwa kuwa yalitimiliza wakati
John-Paul II alipopigwa risasi, lakini hii haiwezekani na
inachukuliwa kuwa ni jambo lisilowezekana. Ni kwa
dhahiri kabisa, maono ya Pius yanasema na kuonyesha kwamba atakuwa ni papa
wajina wake na kwa hiyo Benedict XVI hawezi kutimiliza maono haya. Hata hivyo,
mkakati wa kuanzisha vita dhidi ya Uislamu sio tu kuwa ni agenda inayowezekana
ambayo ndiyo itakayosababisha sababu ya hatima ya kuangamia kwa kiti hiki cha
kanisa la Roma, bali pia itapelekea kuondolewa na kukomeshwa kabisa kwa dini
nii ya Wakatoliki ya Kiroma na mifumo yake yote kutoka kule na hata ulimwenguni
kote kwa ujumla.
Kile kinachoonekana
kuwa ni tukio kubwa ni kwamba katika kipindi kile kifupi
kilicho mbele yetu tutajionea mkingamo wa makususi kati ya Ukristo na Uislamu, na mapigano ya Vita Kuu ya II ya
Dunia ambayo kwayo itafikiliza maangamizo makubwa ya Roma na mwisho au kikomo
cha mamlaka ya kipapa.
Ili kulifanya kanisa
lifikie kwenye utakatifu wake mambo yote yaliyoingizwa ya kipagani kwa karne nyingi lazima yaondolewe. Na ili
kuzoa watu na kuwa na idadi kubwa ya waumini kanisani, mamlaka ya kipapa katika
Roma yalikahabisha na kunajisi kila kitu tangu kwenye zama ya karne ya pili na
kuendelea.
Tunatakiwa
kuiangalia historia ya askofu wa kwanza wa Roma. Wao
wanamuita sasa kuwa ni Papa Linus, lakini hawakuwa na
mapapa siku hizo. Baba yake Caratacus (Jina la Kilatini linalomaanisha Caradog)
alichukuliwa hadi Roma na kushikiliwa mateka huko kwenye
Nyumba ya Waingereza. Akiwa mfalme wa Cantii tangu mwaka
40 BK na wa huko Catuvellauni na Silures tangu mwaka 43-51 BK, aliyaongoza
majeshi ya Kiingereza dhidi ya Warumi ikiongozwa na Claudius. Alipigwa na kushindwa huko Kent kwenye Mapigano vya Medway na
akakimbilia upande wa magharibi katika nchi ya Dobunni iliyo huko
Gloucestershire, ila alisukumiwa mbali tena upande wa magharibi na wapiganaji
wa Kirumi. Alipata msaada na majeshi ya Silures na
Ordovices upande wa Kusini na Katikati ya Wales, na tangu mwaka 47 na kuendelea
walishinda kwenye vita ya ardhini dhidi ya Warumi. Hatimaye alipigwa na kushindwa vita huko Severn kwenye Vilima vya Cambrian upande
wa Kaskazini ya Wales akiongoza jeshi la askari 15,000 Waingereza dhidi ya
Warumi. Kaka yake na watoto wake walichukuliwa mateka
hadi Roma. Alitoroka na kwenda kwenye nchi ya Brigantes
akitarajia kukusanya wanajeshi zaidi, lakini alisalitiwa na Malkia Cartimandua ambaye
alikuwa ameshaifanya mipango ya kumsaliti na Warumi na akamtoa kwao. Kwa hiyo
yeye pamoja na familia yake walipelekwa kifungoni Roma
wakiwa wamefungwa minyororo. Kwa kuwa alikuwa ni mtu
mwenye nguvu na umaarufu sana na kujulikana sana, Claudius alimuona. Claudius akamnusuru
mke wake na kumuachia baada ya kulia kwa sauti na
maneno yenye kuleta huruma ambayo yalimtia huruma sana Claudius. Familia
ikaishi kwa raha na amani huko Rumi na alikufa yapata kama
mwaka 54 BK. Familia ilibakia huko Roma, ikiishi kwa raha mustarehe, na huenda
hatimaye baadhi yao walirejea Uingereza huenda mnamo mwaka 60 BK (soma jarida la Mwanzo wa Kanisa la Kikristo Huko Uingereza (Na. 266) [The Origin of the
Christian Church in Britain (No. 266)].
Familia hii
ikawa ni washirika wa Kanisa la Roma. Walijulikana na walimjua Paulo kwa kina sana. Linus hatimaye akawa askofu
wa Roma baada ya kifo cha Paulo. Ndugu yake Cylin alikuwa
na binti ambaye aliolewa na mtoto wa binamu yake,
mjukuu wa kaka wa Caradog Arviragus. Mtu huyu alikuwa ni
Coel I mtoto wa Marius. Ilikuwa ni nasaba hii ndiyo
ilirudi Uingereza na kwa kweli walikuja na Imani ya kweli. Walikuwa ni Wasabato na waliamini na kuiishia Imani kama hii hii
tunayoiamini na kuiishia sisi leo. Linus alikuwa ni Msabato
na aliziadhimisha sikukuu zote tangu Pasaka na Sikukuu nyingine zote
zilizoamriwa na alishika na kuitii sheria ya vyakula sawa tu na tunavyofanya
sisi leo. Walikuwa ni wa-Unitaria wanaoamini kuwa Kristo alikuwa ni Malaika
Mkuu aliyempa Musa Torati pale Sinai na kwamba ndiye alikuwa ni elohim wa
Israeli aliyetajwa kwenye Zaburi 45:6-7 na Waebrania 1:8-9. Mafundisho haya
bado yanapatikana hadi hivi leo kwenye maandiko ya Justin
Martyr, aliyemfuatia Linus kipindi cha takriban karne moja baadae huko Roma.
Ilikuwa ni kioja chenye kusikitisha sana kwa Kanisa la Mungu
walipomuona papa akijaribu kulirudisha kwenye mfumo wa kipagani ambao haukuwahi
kuwa ni sehemu ya imani ya Kikristo, juhudi iliyofanywa na makuhani wa Kirumi
wakitumia maguvu ya kimamlaka na ushawishi. Matokeo ya mwisho ya mafundisho yao haya mapotofu yatakuja kufikia kilele cha kuchanua kwake
kwenye kipindi kifupi cha utawala wa Benedict XVI. Mwisho wake watachukuliwa na kupelekwa mbali ili kutayarisha njia ya merejesho ya
Imani ya kweli ambayo watakatifu wamepewa mara moja tu. Ni pale tu ikiwa Roma
itarejea na kuishika imani ya Linus na familia yake ndipo
watarejea kwenye Ukristo.
Benedict XVI alikuwa
anaonekana kuwa anahusika na miimamo mkali kama
tunavyoiona hapa, lakini bado alikuwa anakuwa anayaunga mkono mafundisho ambayo
yangemfanya aonekane kuwa ni mtu anayesthili kutengwa kwenye ushirika wa Kanisa
la kwanza na kuonekana kuwa yeye ni mwabudu sanamu na Mgnostiki. Alimtaja Irenaeus,
askofu wa Lyon aliyeishi mwishoni mwa karne ya pili
kwenye ukiri wake, lakini huku akiyaamini machachew sana katika yale alioyokuwa
anayaamini Irenaeus.
Mgawanyiko
kwenye Kanisa Katoliki la Roma ni mkubwa sana.
Matatizo yaliyoko kwenye makanisa ya Anglican, Lutheran na
Orthodox pia ni makubwa sana na ni tete. Ratzinger hakuwa akizisaidia imani
hizi wala hakujisikia kuguswa chochote moyoni mwake kwa
ujumla wake. Baada ya kuchaguliwa kwake inategemewa kwamba
arudishe kiwango hiki. Wingi huu wa ndoa
utakuwa ni fursa moja kuhimu machoni pa maadui.
Sehemu kubwa
ya maelezo yenye kushawishi ya Waroma nay a muhimu kwenye imani yao yanaonekana kuwa na nguvu na kupelekwa kwenye mazungumzo
yao na Waprotestanti kwa lengo la kuwadanganya na kuwanasa warudi kwenye kanisa
hili Katoliki la Roma. Makanisa hayo yapo kwenye mchakato wa
kuparaganyika. Kanisa Katoliki la Roma linajaribu kujifanya kama
liko kinyume na matendo ya kishoga ya ufiraji wakati kwamba wao wameruhusiwa kwa
kweli kutanya marendo haya kwa kiwango chochote wanachoweza.
Uchunguzi wa lugha ya Kiingereza unaonyesha kwamba zaidi ya theluthi
moja yao wanajitangaza kwa wazi kuwa ni mashoga au wafiraji wakati ambapo
wanakatazwa na vatcan. Hali ya upendeleo inafanya iwe ni
vigumu kwa wanaofanya kwa bahati mbaya au wasio na mazoea hayo.
Ukweli ni kwamba matatizo haya yanaonekana kuwa ni yenye
kufurahisha tu hapa mwanzoni katika kudhibiti na nguvu. Malachi Martin aliuawa kabla hajaandika kitabu chake cha
mwisho, ambacho kingweza kuyaweka wazi haya. Hata hivyo, yeye bada anaendelea kuandika na
anaonekana kuwa anaonyosha kwamba Shetani alikwisha tawazwa na kuwekwa kwenye
kiti cha ufalme huko Vatican akiwa kama mungu na viongozi wenye dhamana wa Curial
ya dini.
Hatahivyo,
muda unazidi kwenda kwa kasi. Manabii wao wenyewe
wanasema kwamba wana papa mmoja tu aliyebakia ili
kutimilika kwa haya yote. Papa huyu atakuwa na kipindi
kifupi cha kutawala kwa maneno yake mwenyewe. Huenda hata hivyo kitakuwa ni kipindi kirefu sama kwa wengine. Hata hivyo, kutakuwa na utisho mkuu kwenye uwepo au kudumu kwa imani hii ya
Kanisa Katoliki. Kipindi kimoja cha utawala kitakuwa kifupi na
kipindi cha pili chake kitafupishwa na kukatizwa. Ndipo kwa
maneno yao wenyewe, Roma itaangamizwa na hakimu hatari atawahukumu watu.
Mwanamke Kahaba wa kwenye Ufunuo
Kwenye kitabu cha Ufunuo
kuna Kahaba Mkuu, anayezini na wafalme wa Dunia na
amelewa kwa damu ya watakatifu. Anaketi juu ya mataifa mengi na
watu na lugha nyingi. Mwanamke anaashiria au ni ishara
ya kanisa na kuna kanisa moja tu hapa duniani linaloendana na maelezo haya.
Ufunuo 17:1-18 Akaja mmoja wa
wale malaika saba, wenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku,
nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu aketiye juu ya maji mengi; 2 ambaye wafalme wa nchi wamezini naye, nao wakaao katika
nchi wamelevywa kwa mvinyo ya uasherati wake. 3 Akanichukua
katika Roho hata jangwani, nikaona mwanamke, ameketi juu ya mnyama mwekundu sana, mwenye kujaa majina ya makufuru, mwenye vichwa saba na
pembe kumi. 4 Na mwanamke yule alikuwa amevikwa nguo
ya rangi ya zambarau, na nyekundu, amepambwa kwa
dhahabu, na kito cha thamani, na lulu, naye alikuwa na kikombe cha dhahabu
mkononi mwake, kilichojawa na machukizo, na machafu ya uasherati wake. 5 Na katika kipaji cha uso wake
alikuwa na jina limeandikwa, la siri, BABELI MKUU, MAMA WA MAKAHABA NA
MACHUKIZO YA NCHI. 6 Nikamwona yule mwanamke amelewa kwa damu ya watakatifu, na kwa damu ya mashahidi wa Yesu. Nami nilipomwona nikastaajabu ajabu kuu. 7 Na yule malaika akaniambia, Kwani kustaajabu?
Nitakuambia siri ya mwanamke huyu, na ya mnyama huyu
amchukuaye, mwenye vile vichwa saba na zile pembe kumi. 8 Yule
mnyama uliyemwona alikuwako, naye hayuko, naye yu tayari kupanda kutoka kuzimu na kwenda kwenye uharibifu. Na hao wakaao juu ya nchi,
wasioandikwa majina yao katika kitabu cha uzima tangu
kuwekwa misingi ya ulimwengu, watastaajabu wamwonapo yule mnyama, ya kwamba
alikuwako, naye hayuko, naye atakuwako. 9 Hapo
ndipo penye akili zenye hekima. Vile vichwa saba
ni milima saba anayokalia mwanamke huyo. 10 Navyo ni wafalme saba. Watano wamekwisha kuanguka, na mmoja yupo, na mwingine hajaja bado. Naye
atakapokuja imempasa kukaa muda mchache. 11 Na
yule mnyama aliyekuwako naye hayuko, yeye ndiye wa
nane, naye ni mmoja wa wale saba, naye aenenda kwenye uharibifu. 12 Na zile pembe kumi ulizoziona ni
wafalme kumi, ambao hawajapokea ufalme bado, lakini wapokea mamlaka kama
wafalme muda wa saa moja pamoja na yule mnyama. 13 Hawa
wana shauri moja, nao wampa yule mnyama nguvu zao na
mamlaka yao. 14 Hawa watafanya vita na Mwana-Kondoo,
na Mwana Kondoo atawashinda, kwa maana Yeye ni Bwana wa Mabwana, na Mfalme wa
Wafalme, na hao walio pamoja naye ndio walioitwa, na wateule, na waaminifu. 15 Kisha akaniambia, Yale maji uliyoyaona, hapo aketipo yule
kahaba, ni jamaa na makutano na mataifa na lugha. 16 Na zile pembe kumi ulizoziona, na
huyo mnyama, hao watamchukia yule kahaba, nao watamfanya kuwa mkiwa na uchi,
watamla nyama yake, watamteketeza kabisa kwa moto. 17 Maana
Mungu ametia mioyoni mwao kufanya shauri lake, na
kufanya shauri moja, na kumpa yule mnyama ufalme wao hata maneno ya Mungu
yatimizwe. 18 Na yule mwanamke uliyemwona, ni mji ule mkubwa, wenye ufalme juu ya wafalme wa nchi.
Kuna mji mmoja tu na kanisa ambalo lina utawala na mamlaka juu ya wafalme wa
Dunia. Ni sawa na kwamba hakuna kanisa linguine au
watu waliowahi kuwaua mamilioni ya Wakristo wanaoiamini Biblia. Kumbuka, kitabu
hiki cha Ufunuo kinaiita dini hii ya uwongo kuwa ni mama wa makahaba. Hii inamaana kwamba ni lazima kuna mlolongo wa mabinti wanaoamini mafundisho
hayahaya ambao wanafanya uzinifu pia na wafalme wa dunia. Kanisa la Lutheran limetokea
kwenye imani hii hii na linazidi kurudi nyuma kwa
kuyafuata mafundisho haya haya na linakwenda kuanguka hivi karibuni. Kanisa
hili pia limesaidia mkakati huu wa kuwatesa na
kuwakomesha watakatifu kwa kipindi kirefu sana. Wakati wa
harakati za Manazi, mapema ya miaka ya 1933, kanisa hili lilichukua Amerika na
Afrika ya Kusini na kuendesha kambi za mateso. Moja ya aina ya makundi ya
walioteswa na Manazi kwenye kambi hizi lilikuwa ni la
wale waliowaita Bibelforscher au Watafiti wa Biblia. Yeyote aliyejulikana
kuwa sio mwamini wa itikadi kali ya Utatu ya
Kikatoliki au asiye mfuasi wa Kilutheri waliteswa vikali na kuuawa. Walihusika
pia kusaidia ukomeshaji kwa kuwaua kundi muhimu na
jema la wanazuoni wasomi wa Biblia na kukomesha mikakati ya usomaji wa maandiko
huko Ulaya katika karne ya ishirini, lakini kile kisichoweza kueleweka ni
kwamba wamekuwa wakiyafanya mambo yanayoendana sambamba na Wakatoliki tangu
kipindi walipoanzisha Matengenezo. Historia ya mateso ya Makanisa yanayozishika
Sabato inaonekana kutoka kwenye mahojiano kwenye kazi iliyofanywa na R. Samuel Kohn, kitabu chake cha Wasabato wa Transylvania [(The Sabbatarians in Transylvania) (kimetafsiriwa
na T. McElwain na B. Rook, CCG Publishing,
1998; pia angalia Machapisho ya W. Cox).
Pembe kumi zinazotajwa
hapa ni zilezile zilizoandikwa kwenye kitabu cha nabii Danieli sura ya 2. Mwonekano wa kimataifa yalianzishwa na na Kahaba huyu wa kidini na
ambao unajulikana kama Dola Takatifu ya Kirumi (590-1850), utamgeukia mwanamke
huyu Kahaba pamoja na mabinti zake makahaba na utaangamiza katika Siku za
Mwisho. Mungu anamchukia mwanamke huyu Kahaba na
amemuweka mwenye mioyo ya umoja wa mataifa kumi watakaomgeuka na kumwangamiza
huku Kahaba. Mungu ameupa huyu Kahaba ili wampe falme
zao kwenye umoja huu na kwa Mnyama hadi pale maneno ya Mungu yatakapotimilika.
Mwanamke huyu ni shirika lililounda na kuanzisha
kanisa, na ambalo pia linatawala juu ya milima saba ya Roma.
Umoja huu wa Mnyama utafanya vita na Kristo na wale aliowaita na
aliowachagua na wateule na waaminifu wake (Ufunuo 20:14). Hawa ni wale wateule wanaozishika Amri za Mungu na Ushuhuda wa
Kristo wake. Joka atawakasirikia, pamoja ya yle mwanamke au kanisa
walilokuwemo, na atajaribu kuwaangamiza kwa kipindi chote
cha kuwepo kwao (Ufunuo 12:17; 14:12).
Unabii huu wa viongozi wao wenyewe umetolewa kwao na wakapewa, ili
kwamba waweze kumjua na kumcha Mungu. Katika kipindi cha mwisho, mfumo wa kidini waliojaribu kuufanya utadumu madarakani kwa kipindi
cha saa moja tu na Mnyama ili waweze kutimiliza mapenzi ya Mungu na unabii
ulioandikwa kwenye Maandiko Matakatifu, kwa kuwa maandiko hayawezi kutanguka (Yohana
10:34-35).
Kwa hiyo haishangazi kuona
kwamba Pius X (aliyepewa jina la siri la Moto
Uwakao na Malachy) (1903-1914) alikuwa maono pale
alipoona faida ya jina lake akitoka kutoka Vatican na Roma alitembea juu ya
miili au maiti za makuhani wake. Na yule aliyerithi kiti chake Malachy alimuita
jina la siri kuwa Religio Depopulata,
ambalo maana yake ni Dini Iliyoangamia (au iliyopungua
waumini). Benedict XV alitawala tangia mwaka 1914-1922.
Hii ilikuwa na maana zaidi kwayo kuliko kuwa ni papa
tu aliyekuwa kwenye kiti hiki wakati wa Vita Kuu ya I.Tangu kipindi hiki mauaji
dhidi ya Wasabato na vikundi vingine vya kidini huko Armenia yalianza na
takriban watu milioni moja wa Kiarmenia waliuawa kwenye mauaji ya pamoja ya
kupigwa risasi. Na mrithi wa kiti chake ndiye
aliyewaangamiza na kuwafutilia mbali Wabektashi huko Uturuki, pamoja na
Wasabato wengine takriban ya milioni moja hadi mbili, miongoni mwa watu milioni
tano ya Wabektashi wa huko, ambao walipotea
na kutojulikana walipo tangu mwaka 1927
na kuendelea.
Kwenye miaka
ya 1990 maangamizo yaliofanywa kimpangilio na kwa
makusudi kwa Waserbia yalipangwa na kuratibiwa kabla na Waislamu wakalazimishwa
kuwa kwenye migogoro isiyokoma.
Kwenye kipindi kijacho cha
miaka ya 2027 maamia kwa mamilioni ya watu
watalazimika kuingia kwenye vita na mapiigano yasiyo na umuhimu na milki za
matafa zitapotea kutokana na shuruti za kisiasa zitakazoundwa na mfumo huu.
Wakati historia kamili
inapokuwa inaelezewawakati kihoro kikuu kuhusu ni kitu
gani hasa watu hawa wanachoambiwandipo Mnyama atawapiga mawe wote wakiwa
mitaani. Ukuu ni wake Mwenyezi Mungu anayewahukumu
hawa kwa kumtumia huyu Mnyama katika Siku za Mwisho ili apeleke mapenzi yake
kwenye mahala pake.
Katika Siku za Mwisho kipindi
cha kabla ya kuja kwa Masihi, Mashahidi Wawili
watasimama na kutoa ushuhuda mjini Yerusalemu na watavaa nguo za magunia (Ufunuo 11:3-13). Tukio hili
litatokea baada ya tukio linguine lililoandikwa kwenye Ufunuo 11:1-2. Matukio
haya yameelezewa kwa kina kwenye jarida la Upimaji wa Hekalu (Na.
137) [Measuring the Temple (No. 137)]. Mashahidi hawa watapewa uweza au
ngvu za nabii Eliya. Mungu anasema kwamba atampeleka
nabii Eliya kabla yaijaja siku iliyokuu na ya kuogofya
ya Bwana naye ataigeuza mioyo ya wababa kwa watoto na miyo ya watoto kwa baba
zao asije Mungu akaiharibu Dunia kwa laana (Malaki 4:5-6). Watarejesha
upya mambo yote. Mambo ambayo hatimaye watayarejesha ni
Umuhimu wa kuzishika Sheria au Torati ya
Mungu. Mkazo huu ulivurugwa na Shetani kupitia
dini zake hadi kupelekea kuwa Baraka na Laana zilizoandikwa kwenye Torati
zisitimilike kimatendo (sawa na tulivyoelezea kwenye jarida la Baraka na Laana (Na. 75) [The Blessings and
the Curses (No. 75)]. Kwa sasa inatenda kazi katika
mazingira ya haki na dhuluma.
Wakati Utawala huu unaofuata
Sheria au Torati utakaporudishwa, hakutakuweko na mvua
tena kwa wenye haki na waovu pia. Chini ya manabii hawa wawili, mungu wa dunia hii atachochea makoo ya watu wanaowatafuta kuwaua,
lakini hawataweza kuwaua hadi zitimie siku 1260 za kutoa kwao unabii na
zitimilike. Kisha manabii hawa watauawa na miili yao
itaachwa imelala mitaani kwa kipindi cha siku tatu na nusu na baada ya hapo
watafufuka na kupaa juu wakiwa kwenye umati wa watu ukiwatazama. Tangu kipindi
hiki na kuendelea, Masihi ataanza mchakato wake wa
kushughulika na mambo ya kwenye sayari hii na ataweka makao yake makuu mjini Yerusalemu.
Hakuna miongoni mwa
manabii hawa anayeweza kuelezewa au kukubalika na
waamini Utatu, kama inavyoiumiza dhana na imani yake kuu ya kanisa hili lenye
nguvu sana siku hizi na kuendelea na kipindi itakapokuwa kwenye mamlaka ya
dunia hii itakapokuw chini ya mamlaka ya Yesu Kristo. Pia Biblia inaonyesha
kwamba sababu itakayopelekea mbingu zifungwe ni kwa
ajili ya kulazimisha matumizi ya Kalenda ya Mungu. Na iwapo kama kuna mahali
ambapo hawataziadhimisha Sikukuu za Mungu, Mwandamo wa Mwezi na Sabato
zilizoagizwa kwenye Biblia, basi mvua haitanyesha kwao kwa wakati na majira
muafaka na tauni ya Misri itatumwa kwao na kuyatesa mataifa ya dunia (sawa na
lilivyofafanua.jarida la Kalenda ya Mungu (Na. 156) [Dods Calendar (No.
156)].
Mwisho wa Unabii wa Kanisa Katoliki la Roma
Manabii wa
Kanisa Katoliki la Roma pamoja na Nostradamus wametoa mlolongo wa nabii ambazo
tunaweza kuzihitimisha kama ifuatavyo:
·
Kuna mlolongo wa
mapapa katika Siku za Mwisho ambao wamehusika na mageuzi ambayo yameishia kwa
papa ambaye sio Mrumi, bali ni mtu anayefanana na wao mno. Papa huyu anaitwa
jina lake la siri kuwa Kutoka kwenye kazi
ya jua. Hii inaonyesha kuashiria kutimilika kwa
kazi za dini na mfumo wa waabudu Jua.
·
Papa aliyekufa, yaani
John Paul II alikuwa ni Nguzo iliyowekwa kwa ajili ya
uanzishwaji na ushamirishaji wa ibada za mungu-Mke alijulikanaye kama Mama wa
dini hii kwa kutumia kivuli cha Maria. Mama wa Kristo jina lake allitwa Mariamu
na sio Maria, bali waanzilishi wa ibada hizi wanadai kuwa hili ndilo lilikuwa
jina la mama wa Masihi na ametukuzwa na kuwekwa kwenye daraja la juu kiasi cha
hata kuwa ni mshiriki wan ne katika mpangilio wa kile wanachokiita wao ni nafsi
za Uungu (sawa na tulivyoandikwa kwenye jarida la Bikira Mariamu na Familia
ya Yesu Kristo (Na. 232) [The Virgin Mariam and the Family of Jesus Christ (No.
232)]. Huyu kweli ni kazi ya jua. Dini potofu za waabudu jua
ilikuwa ni dini rasmi katika kumuabudu Baal-Istar kwa
heshima ya Istar akiwqa kama Venus chini ya imani ya kiutatu. Huyu Istar ndye Ostar
au Easter, mungu mke aliyekuwa akiabudiwa na wapagani
wa Ulaya. Katika kipindi chetu hiki, Malkia wa Mbingu
anaonekana kukumbukwa na kutukuzwa tena na imani ya Kibabeloni ya Assyro-Babylonian
ya waabudu jua wanaoonekana kuifufua na kuirudisha tena. Haya yote yanafanywa
haya yote yanafanyika ili kuwaondoa wanadamu kutoka
kwenye Sheria au Torati ya Muwa wao Wapekee na wa Kweli. Kazi yake kubwa ya jua
ambalo ndilo jina la cheo aliloitwa na Malachy huenda anasisitiza, ni kutolewa na kushamirishwa
kwa mafunuo ya dini ya kuabudu jua ya Mungu-Mke wanayemuita Mama wa Fatima. Kaka
moja wapo ya nyaraka zake (?) anapoamrisha kutolewa kwa
kifungu cha tatu cha maono ya Fatima, ambayo tutaielezea kwa wakati wake.
·
Kuna mapapa wawili
waliokwisha ondoka au kupita. Mmoja anatawala sasa ambaye ni
huyu, Kutoka kwenye Utukufu wa mzeituni, Benedict XVI na mwingine ni Petro Mrumi, anayeaminika kuwa ni papa wa mwisho.
·
Pius X alisema kuwa mmoja wa mapapa hawa ataondoka kutoka Roma akipita juu ya miili ya
maiti za makuhani wake, na kwamba atakuwa na jina la kicheo la Pius.
·
Hakuna kipindi cha millennia
kwenye imani ya Kanisa Katoliki la Roma, na wanapuuza
maandiko kadhaa ya Biblia yanayoelezea jambo hili. Kwa hiyo awamu inayofuatia kwa wao ni kwenda moja kwa moja kwenye zama ya hukumu,
ambayo Biblia inaiweka mwishoni mwa kipindi cha utawala wa millennia utakao
kuwa na makao yake huko Yerusalemu.
·
Maandiko yanayohusu Mpingakristo
yataelezewa kwa wakati wake.
Vipindi zama
Mapapa walioishi kipindi
kirefu sana hawakutawala kwa kipindi cha zaidi ya
miaka 23 au na miaka kadhaa kidogo. Pius VII (Barnaba Chiaramonte aliyeitwa na Malachy kuwa ni Tai
wa Upapa) alitawala tangu tarehe 14 Machi 1800 20 Julai 1823. Leo XIII alitawala tangu tarehe 20 Februari 1878 - 20 Julai 1903.
Mapapa wengine wawili wa karne hii walitawala kwa
vipindi vya miaka 17 na 19 kwa umahiri, na John Paul
II alitawala kwa miaka 26. Ukiweza wastani wao ni
mdogo sana. Papa mmoja ataondoka akipita juu ya miili ya makuhani wake waliokufa,
kwa mujibu wa maono aliyoonyeshwa Pius X. Hatahivyo,
maono ya Fatima yanaongeza umuhimu wa unabii huu pamoja na kifo cha papa na
makuhani wake watakaouawa na askari zao walinzi.
Maandiko Matakatifu na Kalenda ya Mungu vinaashiria harakati kubwa kufanyika
katika kipindi hiki. Mojawapo ni kuondolewa madarakani
kwa yule Mwanamke Kahaba na nguvu za Mnyama tukio litakalotokea kwenye kipindi cha
kabla ya kurudi kwa Masihi, kama tunavyoona ilivyoandikwa kwenye kitabu cha
ufunuo hapo juu. Kwa hiyo kitendo hiki cha kupinduliwa kwa
dini hii ya uwongo kutafanyika mapema kabla ya kipindi cha kuja kwake Masihi.
Danieli anasema pia kwamba
Vita ya Mfalme wa Kaskazini na wa Kusini vitatokea katika Siku za Mwisho vitakavyosababishwa
na kukaliwa kwa mji wa Yerusalemu na mfalme wa Kaskazini, na jambo hili
linapiga hodi kutokea na linaelekea pande za kaskazini na mashariki itawaua na
kuwaletea madhara watu wengi (Dan. 11:41-44). Hii ni
vita dhidi ya Wasteppes wa Kirusi na mfalme huyu wa kaskazini atashinda, lakini
hatimaye atafikia mwishoni na hakuna atakayemsaidia.
Kwa hiyo tungweza kumdhania Karol Jozef Wojtyla,
John Paul II. Alianza
kazi yake ya upapa tarehe 16 Octoba 1978. Alitawala kwa
miaka 26. Mwishoni mwa mwaka 2001 alifikia kipindi sawa na
alichotawala Pius VII. Alianza kutanmgazwa utata wa
afya yake na kulazwa kwa ajili ya matibabu na kutangazwa kuwa ataishi kwa matumaini
akitegemea madawa mwaka 2001, na kusudi lake lilithibitisha nia yake hiyo,
lakini alitawala hadi kufa kwake baada ya sikukuu yao ya Easter ya mwaka 2005.
Benedict XVI ni papa mzee kuwahi kuchaguliwa tangu
kipindi cha miaka 275, tangu Clement XII mwaka 1730. Utawala wa
Benedict XVI hautadumu kipindi kirefu. Utawala mwingine uliofanana na ule wa John Paul II ulikuwa ni wa Leo XIII aliyetajwa
hapo juu. Petro Mrumi alitarajiwa angekuwa ofisini tangu mapema iwezekanavyo ya
mwaka 2012 na akichelewa sana kwenye mwaka 2025. Uwezekano
unabakia kwamba jina la huyu Petro Mrumi ni la ulaghai lenye nia ya kuwadanganya watu kwamba yule
Petro Myahudi alikuwa ndiye papa wa kwanza na kwamba yeye ndiye alieanzisha cheo
hiki cha upapa. Hii haitakuwa na maana nyingine zaidi
ya ile ya kufikia kikomo na kuanguka kwa mapigo kwa kiti hiki cha upapa. Tukio
hili litaendana na kuondolewa kwa ukuhani na kurudi
kwenye kanisa la kale kwa kuwa hivi ndivyo kwa kweli inavyosema Biblia kuwa
itatokea. Kwa kweli, tunaweza kumchukulia Benedict XVI kama papa wa mwisho kwa mtazamo unaofahamika leo. Askofu
wa kwanza anayejulikana kuwa alikuwa wa Roma baada ya
Mtume Paulo alikuwa Linus Mwingereza. Alikuwa ni mwana
wa Caratacus au Caradog, aliyefungwa na kusamehewa na Claudius huko Roma, kama
tulivyoona hapo juu. Dini hii ya Kanisa la kwanza itakuwa ndiyo ambayo kwayo
imani yote itarejeshwa upya katika Siku za Mwisho wakati wa
kuja kwake Masihi. [Kumbuka kuwa kwa mujibu wa Hyppolytus, askofu wa kwanza wa
Roma alikuwa Linus, na sio Petro (imeandikwa kwenye Kitabu cha Hippolytus, Kitabu
cha XLIV; KUHUSU Mitume Thenashara, Mahali ambapo kila Mmoja WAO Alihubiri. Na Mahali Ambapo Kila Mmoja wao Alifikia Tamati Yake au Kifo
chake). Na hii ndiyo sababu iliyopelekea wao wamwite ni mpinga-upapa. Iraeneus pia alieleza kwa
wazi sana kwamba Linus alikuwa ni askofu wa kwanza wa Roma (imeandikwa kwenye
kitabu cha Iraeneus, Kupingana na Mafundisho ya Uwongo Toleo la I, Kitabu
cha III, Sura ya III, Kifungu cha3) ANF, Toleo la 1, ukurasa 416) = (Against Heresies, Volume I, Book
III, Chapter III, Para 3) (ANF, Vol. 1, p. 416)]
Papa wa
mwisho pamoja na mfumo wake wote wataondolewa kutoka kwenye kiti chake sawasawa
na unabii ulivyosema kwenye Biblia. Na hatimaye, makuhani wake au huenda hata
wale mtangulizi wake, watauawa na maiti zao kuzagaa
mitaani. Kutokana na unabii wao wenyewe, tunapata haki ya kutarajia kuona
mwisho wa kile tunachokijua leo kama Kanisa Katoliki la Roma tukio
litakalotokea wakati wowote tangu mwaka 2012 na 2025 au
mbele kidogo, au hata kipindi cha kabla ya hapo, Mungu atawatumia watimilize
mpango wake kabla ya kuangamia kwao.
Kwahiyo tunakaribia
kuyashuhudia mabadiliko makubwa hapa duniani na kuanza
kwa mfumo utakaoitawala hii dunia katika kipindi kijacho cha zaidi ya miaka 25.
Hili ni tukioja kwa mujibu wa maandiko na unabii wa
Biblias.
Kipindi cha matendo ya
Mungu kinajulikana kwa mujibu wa Kalenda yake, na kwa
mujibu wa mfumo na kwenye unabii. Kristo alisema kwamba watu wanataka kuona
ishara, lakini hakuna ishara iliyotolewa kwenye huduma yake zaidi ya ile ya
Ishara ya Yona (tumeandika kwenye jarida la Ishara ya Yona na Historia
ya Ujenzi-Mpya wa Hekalu (Na. 13) [The Sign of Jonah and the History of the
Reconstruction of the Temple (No. 13)].
Mpangilio wa miaka ya Biblia inatuama kwenye maadhisho ya Yubile.
Yubile moja ni sawa na kipindi cha miaka hamsini. Yubile
arobaini ni jumla ya miaka elfu mbili kamili. Tarakimu
hii ya arobaini inamaana sana kwenye unabii wa Biblia
na pia hata kwenye huduma ya Masihi.
Hizi Yubile zinaangukia
kwenye miaka ya 27 na 77 kwa kulinganisha na mfumo wa
karne za kidunia (soma majarida ya Usomaji wa Torati Ulivyofanywa na Ezra na Nehemia
(Na. 250) na Maana ya Mwaka 2000 (Na. 286) [Reading the Law with Ezra and Nehemiah (No.
250) and Significance of the Year 2000 (No. 286)]. Yubile inayofuatia mbele yetu itakuwa mwaka 2027 tangu siku ya Upatanisho
hadi siku nyingine ya Upatanisho ambayo itafuatana Mwaka wa
Sabato na wa Yubile. Mwaka 2028 utakuwa ni mwanzo wa Yubile ya Arobaini na moja
tangu kuzaliwa na huduma ya Masihi na itakuwa ni Yubile ya Hamsini au pia huitwa
kuwa ni Yubile ya Yubile zote tangu
kipindi cha marejesho mapya ya Torati na matengenezo ya Hekalu yaliyofanywa na
Ezra na Nehemia. Hii ina maana yake kuu sana.
Jambo la moja la kweli na la muhimu sana ni kwamba hii Ishara ya Yona ni idadi ya
mambo yaliyo ndani yake. Iliendelea kwa misingi ya miaka
na siku na hatimaye kwa Yubile na kwa msingi wa siku na miaka katika Siku za
Mwisho.
Mji wa
Ninawi ulipewa siku arobaini utubu baada ya siku moja ya kuingia kwa nabii na
siku mbili za mahubiri ya Yona, baada ya yeye mwenyewe kuwa kwenye tumbo la Nyangumi
kwa muda wa siku tatu usiku na mchana. Watu wa Ninawi
walitubu.
Yuda walipewa sehemu ya
mahubiri ya mwaka ya Yohana Mbatizaji na halafu miaka
mingine miwili ya mahubiri ya Masihi na miaka mingine arobaini ya toba. Ila hawakutubu. Masihi alisulibiwa siku ya 14 ya mwezi wa Abibu wa mwaka 30 BK. Kisha Yuda wakapewa kipindi kingine
cha hadi mwaka 70 BK ili watubu. Walimuua Yakobo, ndugu wa
Kristo mwaka 63 Bk na kulianza juma la mwisho la miaka la majuma sabini ya
miaka aliyo kwenye Danieli 9:25-26. Siku ya 1 ya mwezi wa Abibu au wa 1 Nisan ya
mwaka 70 BK Yerusalemu ulizingirwa na majeshi ya Warumi wakiongozwa na Tito na,
Siku ya Upatanisho ya mwaka huo huo wa 70 BK, Yerusalemu na Hekalu lake
vilihusuriwa na Hekalu kubomolewa na kila kitu kikaangushwa chini. Mnamo siku
ya 1 Abibu mwaka 71 BK, Hekalu la Leontopolis huko Misri lilifungwa pia na Vespasian
na Yuda wakachukuliwa na kupelekwa utumwani na wakawa huko kwa kipindi cha
Yubile arobaini, hadi kipindi cha mwisho na wongofu wao utakaofanyika kabla ya
Kurudi kwa Masihi na mwanzo wa utawala wa millennia wa Masihi.
Kwa hiyo,ndipo Kanisa likaenda jangwani au nyikani kwa
kipindi cha Yubile moja kwa mlinganisho wa mwaka wa miaka waliyokaa Israeli jangwani
walipokuwa wanatoka utumwani Misri. Mataifa nao pia walipewa kipindi cha Yubile
40 ili watubu lakini hawakutubu. Kipindi hiki cha
Yubile arobaini kinaishia mwaka 2027 na ulimwengu huu
utakuwa kwenye toba kwa lazima. Kuanzishwa kwa
matumizi ya miongozo ya Torati kwenye jamii zetu kutakuwa ndio jambo litakalolazimisha
kurejeshwa kwa amani duniani. Imani zilizokuwa zinaaminiwa na
kufundishwa kwenye dini za uwongo hapa duniani na mifumo yake yote zitakomeshwa
na kuangamia kanisa na majeshi ya ulimwengu pia yataangamizwa. Tariba ya mambo
haya imeelezewa kwa kina kwenye jarida la Muhtasari wa Ratiba ya Kila Zama (Na. 272) [Outline Timetable of the Age
(No. 272)].
Masihi atakifupisha
kipindi hiki, vinginevyo kusingekuwa na mtu hata mmoja
angaliyeweza kuokoka (Mathayo 24:20; Marko 13:22).
Mathayo
24:15-28 inasema: Basi hapo
mtakapoliona chukizo la uharibifu, lile lililonenwa na nabii Danieli,
limesimama katika patakatifu (asomaye na afahamu), 16 ndipo walio katika Uyahudi na wakimbilie
milimani; 17
naye aliye juu ya dari asishuke kuvichukua vitu vilivyomo nyumbani
mwake; 18 wala
aliye shambani asirudi nyuma kuichukua nguo yake.19 Ole wao wenye mimba na wanyonyeshao
siku hizo! 20
Ombeni, ili kukimbia kwenu kusiwe wakati wa baridi, wala siku ya sabato.
21 Kwa
kuwa wakati huo kutakuwapo dhiki kubwa, ambayo haijatokea namna yake tangu
mwanzo wa ulimwengu hata sasa, wala haitakuwapo kamwe. 22 Na kama siku hizo zisingalifupizwa,
asingeokoka mtu ye yote; lakini kwa ajili ya wateule zitafupizwa siku hizo. 23 Wakati
huo mtu akiwaambia, Tazama, Kristo yupo hapa, au yuko kule msisadiki. 24 Kwa
maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara
kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule. 25 Tazama,
nimekwisha kuwaonya mbele. 26 Basi wakiwaambia, Yuko jangwani, msitoke; yumo nyumbani,
msisadiki. 27
Kwa maana kama vile umeme utokavyo mashariki ukaonekana hata magharibi,
hivyo ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu. 28 Kwa kuwa po pote ulipo mzoga, ndipo
watakapokusanyika tai.
Kurudi kwake mapema
kungeonekana kuwa ni kwa angalau kipindi cha miaka saba
kabla ya Yubile ya mwaka 2027. Hii ni kwa mujibu wa
nabii mbalimbali za Biblia kama zilivyoelezewa kwenye jarida la Kuanguka kwa Yeriko (Na.
142) [The Fall of Jericho (No. 142)].
Uthibitisho wa Nostradamus kuhusu matukio ya
vipindi ya Biblia
Je, kuna ushahidi wowote kutoka kwa Nostradamus ambao
unaonyesha kuwa alikuwa anatumia nyakati zilizotajwa kwenye Biblia na kufanya
kazi zake kwa mujibu wa hizi Yubile? Jibu ni Ndiyo,
kuna ushahidi mwingi na inaonekana kuwa alikuwa anafanya kazi zake akitumia
tarehe za mwaka 2020 kwa kipindi cha amani ya dunia tunayoitarajia kutokana na
kunyenyekeshwa kwa mataifa yote ya dunia.
Kwenye kitabu chake kuna mahali pajulikanapo kama Century
10, Quatrain 89, sehemu ambayo imeandikwa na kuwekwa kati ya mambo kadhaa
aliyobashiri kuhusu kutokea kwa matukio makubwa, tunaona kipindi cha uhaba wa bidhaa
ama chakula utakadumu kwa kipindi cha takriban miaka saba na ndicho kipindi cha
hii Yubile ya Yubilc zote. Anasema:
De brique en
marbre seront les murs reduicts,
Sept et
Cinquante annιes pacificque,
Joye aux
humains, renoόι laquaduict,
Santι,
grands fruits, joye et temps mellifique.
David Ovason anatambua upole adimu ulioelezewa kwenye kifungu hiki na anakichukulia kuwa kama kifungu kinachoelezea utaalamu wa
mambo ya anga kwa umahiri. Inapaswa ikumbukwe kwamba katika kipindi hiki watu
walio kwenye taaluma ya mambo ya anga na nyota
walikuwa hawajatenganishwa na hii ilikuwa ndiyo njia pekee iliyobalika kutumika
kuelezea kipindi kwa matukio yaliyochukua kipindi kirefu sana. Ovason mara moja
anachambua kumbukumbu yoyote iliyoandikwa hadi mwaka 1945 iliyo na msingi wake kwenye matukio matukio ya mara kwa mara na
ndipo anapo kitafsiri kipengele hiki kama ifuatavyo:
Mwendo
utapunguzwa kutoka kwenye matofali hadi kwenye malumalu,
Miaka saba na hamsini ya amani kuu,
Furaha kwa wanadamu, waliorejeshewa hali zao,
Kitakuwa ni kipindi cha afya nyema, matunda makuu, furaha na nyakati
tamu.
(D.
Ovason, kitabu chake cha Gombo la Nostradamus
(The Nostradamus Code), Arrow Books 1997,ukurasa 443.)
Miaka hii saba na hamsini ya amani ni ya Yubile pamoja
na miaka saba. Kwa hiyo ingeweza kupunguzwa, na kupewa
na kulazimu nabii nyingine zifanyike na nabii za Kikatoliki zenyewe
zilizobashriwa huko nyuma zijumuishwe, ili zionyeshe miaka saba inayotangulia
kwenye yubile hii ya mwaka 2027 na miaka hamsini iliyotajwa ya Yubile ya Yubile
zote ya mwaka 2028-2077. Ovason anamnukuu Rodney Colin akijaribu kuondoa
mzunguko wa miaka kumi na mitano kwenye vita anaposema
kwamba: Kwa kweli, vita ni endelevu, na kikomo (kilichopimwa) kinaonekana kuwa
ni cha kuwakilisha tu kiwango cha juu cha hali tete (kitabu hichohicho,
ukurasa wa 444).
Ili kuuelewa unabii huu wa amani wa Nostradamus pasipo
ushahidi wa ndani, Ovason anaamini kuwa tunalazimika pia kusoma vifungu vilivyo
kwenye C.9:Q. 83. Kisha yeye anaacha kuelezea trigoni za Anga
zaidi kuliko kureudi kwenye Kalenda ya Biblia. Kisha anaweka maandiko
pamoja na uhusiano wa kimaandiko na Jupiter aa Saturn,
ambayo ni mwaka 2020, jambo linalolifanya andiko lililoko kwenye mstari wa tatu
usemao renoόι laquduict uhusiane na
kipindi cha giza cha tarehe 21 Desemba 2020, kitakachotokea katika nyuzi ya
kwanza ya Aquarius (dakika 00.29). Analifafanua neno hili la kurejeshwa upya kwa
mifereji kuwa ni kama kurejezwa upwa kwa Aquarius baada ya kutokuwepo kwa
karne kadhaa. Hali hii ya kipindi cha giza haijawahi
kutokea kwa kipindi cha zaidi ya miaka zaidi ya 800. Mistsri miwili ya misho kwa hakika ilinasomwa kikamilifu kama:
Furaha
kwa wanadamu, kurejeshwa kwa
mifereji,
Afya,
mavuno makuu, furaha na kipindi kitamu.
Hii inawakilisha furaha kwa wanadamu ambayo
hatunaitarajia kutokea kama mapumziko baada ya kipindi kigumu kupita cha Vita
Kuu ya Tatu ya Dunia na marejesho mapya ya Masihi. Miaka saba
ya mwisho vita nay a marejesho mapya ya Masihi vitakuwa vimefikia mwisho katika
kipindi hichohicho kama tunavyoona kwenye maandiko mengine. Hali
ya afya tele inaelezwa kwenye maandiko ya Ezekiel 47:6-12.
Ezekieli
47:6-12 inasema: Akaniambia,
Mwanadamu, je! Umeona haya? Kisha akanichukua akanirudisha mpaka ukingo wa mto.
7 Basi nikiisha kurudi, tazama, kando ya
ukingo wa mto ilikuwapo miti mingi sana, upande huu na upande huu. 8 Ndipo akaniambia, Maji haya yanatoka kwenda pande za nchi ya mashariki,
nayo yanashuka mpaka Araba, na kuingia katika bahari maji yatokezwayo yataingia
baharini ,na maji yake yataponyeka. 9 Tena itakuwa, kila kiumbe hai kisongamanacho, kila mahali itakapofika
mito hiyo, kitaishi; kutakuwapo wingi mkubwa wa samaki, kwa sababu maji haya
yamefika huko maana maji yale yataponyeka, na kila kitu kitaishi po pote
utakapofikilia mto huo. 10 Tena
itakuwa, wavuvi watasimama karibu nao; toka Engedi mpaka En-eglaimu, patakuwa
ni mahali pa kutandazia nyavu; samaki wao watakuwa namna zao mbalimbali, kama
samaki wa bahari kubwa, wengi sana. 11 Bali mahali penye matope, na maziwa yake, hayataponywa; yataachwa yawe
ya chumvi. 12 Na karibu
na mto, juu ya ukingo wake, upande huu na upande huu, utamea kila mti wa
chakula, ambao majani yake hayatanyauka, wala matunda yake hayatatindika kamwe;
utatoa matunda mapya kila mwezi, kwa sababu maji yake yanatoka mahali
patakatifu; na matunda yake yatakuwa ni chakula; na majani yake yatakuwa ni
dawa.
Maji haya yanayotiririka ni maji ya yenye uwezo wa
kuponya ambayo nayatokea Hekaluni kuelekea baharini na Araba na yanaziponya
bahari na maji. Miti inayomea kando ya maji haya ni ya
kuwaponya mataifa. Kwa hiyo tusiamini wala kutegemea baadhi ya mafundisho ya
teolojia ya Aquarian kwenye maandiko haya bali zaidi
sana tunategemea yale yaliyoandikwa kwenye Biblia au mtazamo wake halisia,
ambayo yanaweza kujulikana kwa namna yoyote itakayoonekana hapa, kwa miaka 800
iliyotajwa kwenye mwaka uleule. Wazo la kufanywa upya ni
la Kifaransa ambalo maana yake ni Kurudi tena.
Huu ni urejesho mkuu na unawezaonekana tu kwenye
kipindi cha marejesho cha Masihi cha urejesho wa matumizi ya Torati au Sheria
za Mungu na nguvu za Mungu kama tulivyojionea ilivyokuwa kwenye Bustani ya Edeni.
Kwa namna nyingine, maandiko mengine yaliyo kwenye Quatrain (C.X:Q.72) yanasema
kwamba alipewa alama za kuanza kipindi cha maswali. Lakini imekosewa sana katika tafsiri yake na waliohusika kuitafsiri ikasema
hivi.
Lan mil
neuf cens nonante neuf sept mois
Du ciel
viendra un grand Roy deffrayeur
Resusciter
le grand Roy dAngoulmois.
Avant apres
Mars regner par bon heur.
Kifungu hiki kimerudiwa kufasiriwa na Ovason hivi:
Mwaka wa elfu moja na mia tisa na tisini na tisa na miezi saba.
Kutoka
mawinguni atakuja Mfalme mkuu wa mwaliko. Naye
atamfufua Mfalme mkuu wa
Angoulmois.
Kabla ya
baada ya utawala wa Mars kwa bahati njema.
Maandiko haya yametafsiriwa kwa
mujibu wa kalenda ya kidunia kuwa ni mwezi Julai, 1999. Hatahivyo, kama tulivyojionea inawezekana
kabisa ikawa kwamba tunaitarajia Kalenda takatifu kwenye kifungu hiki. Mwezi wa Saba unazijumuisha Sikukuu za Baragumu, Siku ya
Upatanisho, na Sikukuu ya Vibanda.
Maana yake ni kwamba tangu mwaka wa 21 wa Yubile ya
Arobaini (yaani mwaka 1998) kwene mwaka wa Sabato, ndipo Torati iliposomwa
sawasawa na Maagizo ya Mungu mwenyewe. Tangia kipindi hiki ndipo Torati ilianza
kuhubiriwa kwa mataifa yote katika kuwandaa Mashahidi
na marejesho ya utawala wenye kuzingatia amri za Torati hapa duniani na Mungu.
Ndipi maonyo ya Yeremia 4:15 yanachukuliwa na
Kanisa la Mungu katika kuandaa ujio wa Masihi. Jambo hili litafanyika kwa kutumia mitandao ya mawasiliano ya kisasa kwa kutumia satellite
na Interneti, ambazo ndizo ziyakazolibeba wazo la kupiga mbiu ya baragumu kwa
ajili yake yeye ajaye mawinguni.
Hii itamfufua na kumpa uhai tena Yule mfalme mkuu
wa Angoulmois. Mfalme wa Angoulmois alikuwa ndiye Masihi
ambaye ni kichwa cha Kanisa la kweli, ambalo katika kipindi kile cha Nostradamus
lilikuwa likiteseka kiasi cha kuwa karibu ya kukoma kabisa na hatimaye ilipelekea
kitendi cha kuhama kwa Huguenots na kujinga na Waprotestanti waamini Utatu na
kuzagaa kwao huko Amerika ya Kusini na kwingineko kote kwenye nchi za Jumuia ya
Madola. Hatahivyo, katika siku za Nostradamus walikuwa ni
waamini Mungu Mmoja au Waunitaria watunza Sabato wa imani ya wa Waldensian, waliokuwa
wanateswa na wapigania dini au wakrusedi wa Albigensian. Walikuwa wanalindwa na Counts wa Toulouse na pia Francis I anayeonekana kwenye
maandiko mengine ya Nostradamus.
Tafsiri ya kwamba huyu Angoulmois
ni Mfalme wa
Mongols kama anavyosema Ovason (ukurasa
461) ni jambo lisilo na maana kabisa. Ovason naligawanya neno hili kwa vipande vitatu: ANG-OUL-MOIS.
ANG ni neno la siri lenye maana ya Ange, neno la Kifaransa linalomaanisha Malaika.
OUL inadhaniwa kuwa ni kijina kinachogawanya neno
kwa mfumo wenye maana sana.
Ol ni jina la mmojawapo wa malaika mkuu wa Zodiac anayekutikana kwenye
maandishi na kalenda ya watu wa zama ya kati, na kwa Nostradamus alimhusisha na
Verchiel kwenye scala ya kichawi ya Agrippas iliyosomwa kila mahali ijulikanayo
kama De Occulta Philosophia (Ovason, kurasa
za 461-464).
MOIS ni neno la kifaransa lenye maana ya mwezi
mmoja.
Kwa hiyo tunatafuta wazo la namna ya kuipata kalenda, kwa
namna zote mbili, yaani ya kipagani na ya Kibiblia kwenye maandishi haya.
Kalenda ya Gregorian haaikutokana na matumizi makubwa
ya Wafaransa hadi kufikia mwaka 1582, kipindi cha baada ya maandiko haya na
maandiko ya Nostradamus. Watawala wa miezi na miezi
yenyewe ilionekana kama walijumlishwa.
Mfalme wa mwezi wa kibiblia wa Saba ni Masihi anayekuja
na mlio wa Parapanda. Huyu ndiye Malaika wa Shauri Kuu
aliyenenwa kwenye Isaya 9:6 kwenye nakala ya Septuagint (LXX), aliyetajwa kuwa
ni Yesu Kristo na Kanisa la kwanza la kabla ya Matengenezo.
Mwezi wa Saba wa Kalenda ya Jua unatawaliwa na Leo
ambaye analiwakilisha jua. Sol ni kiini cha Ol
na Oel ni kifupisho cha Leo (kama
anavyosema Ovason, op.cit., kurasa za 462-463). Malaika
Mkuu anayewakilisha alama hii kwenye teolojia ya mwanzo alikuwa ni Mikaeli. Malaika Mkuu Mikaeli (Yuda 9) ni mfalme mkuu aliyetajwa
kama ni mlinzi wa Israeli (Dan. 10:13, 21) na ndiye anayelilinda Kanisa na ni
mkuu wa Malaika wa Mbinguni (Dan. 12:1; Ufunuo 12:7), na ni Malaika wa Agano la
Kale. Kwahiyo, Mikaeli alitajwa kama ni Yesu Kristo na
wa Waldensian wa zama ya kabla ya Matengenezo au imani yaw a Albigensian na
hatimaye kwenye Makanisa ya Mungu. Kwa hiyo, tunashughulika na
harakati na matendo ya Yesu Kristo hapa na kwa kupitia kwa watumishi wake ambao
ni wateule wake Kanisani. Haijalishi ni kwa namna gani
andiko hili lilitafsiriwa kwa mtazamo wa kalenda ya kipagani ya jua au ni kwa
mfumo wa kalenda ya kibiblia ya mwezi na jua.
Kama kipindi hiki sasa kinavyipita, tunaweza kujionea kile kinachokusudiwa na kuona kile kinachomaanishwa na maandiko haya. Mnamo mwaka
1998 Kanisa la Mungu lilifanya marejesho mapya na
kuisoma Torati ya Mungu kama ilivyoagizwa kwa mara ya kwanza tangu kipindi cha Waldensian
cha kabla ya Matengenezo, na huenda ni kwa mara ya kwanza baada ya kipindi cha
zaidi ya miaka elfu moja na mia sita tangia ilipokomeshwa na Desposyni. Kanisa Katoliki la Roma
liliweka mkakati na kukusudia kabisa kuiangamiza na kuikomesha kabisa familia
ya Yesu Kristo kwenye himaya yao yote au Dola yote katika karne ya nne na ya
mkakati ulioazimiwa kwenye Mtaguso wa Roma wa mwaka 318 (imeandikwa kwa kina
kwenye jarida la Bikira Mariamu na Familia ya Yesu Kristo (Na. 232)
[The Virgin Mariam and the Family of Jesus Christ (No. 232)].
Mwaka 1999 Torati na maonyo vilitafsiriwa na
kuwekwa kwenye mtandao wa Interneti kwa lugha mbalimbali tangu mwezi wa Saba na
kuendelea.
Sasa mataifa yatakuwa yanapimwa na kushughulikiwa chini ya mfumo huu wa
zama na matukio ulioelezewa hapa na kwenye kazi ya uandishi iliyoko kwenye
jarida la Ufafanuzi wa Ratiba ya Zama Mbalimbali (Na. 272( [Outline Timetable of the Age (No. 272)].
Mstari wa mwisho unaotaja neno Kabla
na baada ya utawala wa Mars kwa bahati njema (au kama wengine wanavyoitafsiri
kuwa ni kwa furaha sana),
ina kusudia kumaanisha ukweli kwamba ni kwa neema ya Mungu tu kwamba mapepo
wanaruhusiwa kuendelea kutawala. Vita vya mwisho vitaruhusiwa kwa uweza au nguvu za Mungu katika kipindi ambacho amempa kutawala
Shetani. Vita hivi ni kwa ajili ya kupingana na Torati
Torati ya Mungu. Ni kwa kipindi kifupi tu kijacho
Masihi atakuja ili kuvikomesha vita hivi.
Hadi kufikia muda huo kutakuwa na migongano ya
muda mrefu sana, ambayo yataanza hivi karibuni. Nostradamus anajaribu kutaja
migogoro hii na anasema kwamba yatachukua kipindi cha
miaka ishirini na saba.
Chefs dAries,
Jupiter and Saturne,
Dieu ιternel
quelles mutations,
Puis par
long siθcle son maling temps retourne
Gaule et
Italie, quelles ιmotions.
Hii inaweza kuonekana vizuri sana kama:
Machifu wa Aries, Jupiter na Saturn,
Mungu wa Milele ndiye anabadilisha,
Baada ya
karne ndefu, vipindi vya uovu vitarejea,
Kutakuwa na mateso katika mataifa ya Ufaransa na Italia (C.1:Q.51).
Hii ilikuwa inaitaja karne ndefu ya ishirini, siku ndefu kwa
kanuni za wa-Gregorian, lakini imefanywa kwa vita
vita isiyokoma na kisha inapoisha zama za uraia au kawaida zitarejea. Mungu wa Milele atawezesha kuwepo mabadiliko haya, kwa maneno
mengine ni kwamba tunashughulikia unabii wa vita vinavyokuja mwishoni na
kuharibiwa kwa taratibu za ulimwengu huu uliopo sasa. Karne hii iliisha na nyingine mpya ilianza tangu tarehe 1 Januari 2001 kwa
mtazamo wa kalenda ya jua na taratibu zake (soma jarida la Maana ya Mwaka 2000 (Na.
286) [Significance of the Year 2000 (No. 286)].
Unabii kuhusu nyakati mbaya za taabu katika Ufaransa na
Italia.
Kipindi itakachochukua vita vya mwisho vya Mpingakristo
vinaonekana vitadumu katika vipindi vya tangu mwishoni mwa karne ishirini haki
kufikia Yubile. Nostradamus anaeleza mtazamo wake kwenye C.8:Q.77.
Lantichrist
trois bien tost annichilez
Vingt et
sept ans sang durera sa guerre:
Les
heretiques morts, captifs exilez,
Sang corps
humain eau rougie greler terre.
De Fontbrune alitafsiri maneno haya kama ifuatavyo:
Mpingakristo
atayapiga na kuyaangamiza hivi karibuni mataifa
matatu. Vita atakayoianzisha itaendelea hadi kufikia miaka ishirini na saba ndipo itakoma. Wapinzani wake watauawa na wengine kufungwa magerezani katika nchi za uhamisho. Damu
itiririkayo kutoka kwenye miili yao itachafua maji kwa
wekundu, na nchi itatibuliwa kwa majipu (mizinga na milipuko ya mabomu).
Tafsiri za De Fontbrune ni hizo tu na hazishughuliki
na maandiko haya kwa uaminifu sana kwa namna fulani. Kwenye maandiko haya,
maneno yasemayo Wazushi yanamaanisha
kuwa ni wapingaji.
Kwakweli, sisi tunashughulika na vita ya kidini.
Vita hivi vinachukuliwa na wafasiri kuwa inaendelea
tangu kipindi cha miaka ishirini na saba ya kwanza ya karene ya kwanza hadi mwaka
2027. Vita hivi vya kidini kwa
sasa inaendelea. Mpingakristo alipaswa awe kwenye madaraka sasa.
Kuna makosa ya dhahiri kwenye tafsiri yanayosababisha ionekane kuwa vita
hii itaendelea kwa kipindi cha miaka 27, na kuufanya
mwanzo wa amani uanzie kwenye mwaka 2020. Hii inapaswa kujibiwa, na ni kama tukivyojua kwamba kuiteka na kuitiisha Kanaani hakukufanyika
kwa mara moja. Kristo alijitokeza kama Kamanda wa
Jeshi la Bwana kwa Yoshua na Yeriko ukaanguka katika siku saba, labi kuitiisha
yote kulichukua muda na mchakato. Na ndivyo itakavyokuwa kwenye kipindi hiki
cha miaka saba ya mwisho ya Yubille na katika kipindi
hiki kutakuwa na mchakato wa amani itakayokuja hatua kwa hatua.
Hii ilikuwa imalizike kwa mwaka wa mwisho wa mzunguko wa mwisho katika
mwaka 2025 kwa agizo la mavuno makuu ya Sabato na Yubile yatakayokuwa katika
miaka ya 2026 na 2027.
Milenia ya Nostradamus
Tunaona kwamba habari hii inatokana na
unabii mwingine wa kwake, ambao umetafsiriwa tena na Lorie (ukurasa 99).
Baada ya
hapo Mpingakristo atakuwa ni mfalme wa ndani tena, kwa
kipindi cha mwisho. Falme zote za Kikristo zitatetemeka hata kwa
wale wasio wema, kwa kipindi kilicho wazi cha miaka 25. Vita na mapigano vitakuwa
na machukizo na kuhuzunisha sana na miji mikubwa na midogo ngome na ikulu
nyingine nyingi zitateketezwa kwa moto, kufanywa maganjo, na kuangamizwa na
kutaonekana malundo makubwa ya mwagiko wa damu, na kutakuwa na ukiukaji au uasi
mkubwa wa heshima ya ndoa ambao utasendana na ubakwaji wa wanawake na wajane,
na matendo ya unyonyaji wa damu za watoto na kuwatupa na kuwavunjia kwenye kuta
za mijini. Kwa kumaanisha kuwa Shetani ni Mfalme
Muovu, kwa hiyo maovu mengi sana yatafanyika kiasi cha kuufanya ulimwengu wote
utajikuta ukiwa na utupu. Kabla ya kutokea matukio haya kuna ndege wengi
watakaolia warukapo angani: Leo, leo, na wakati mwingine
baadae watakoma na kutoweka. Baada ya kuwa matukio haya yatavumiliwa kwa kipindi kirefu, kutakuwa na kitu kitakachokuwa sawa tu
na kurejea kwa utawala wa Saturn, na zama muhimu. Kwa
kusikiliza ama kuyajali mateso ya watu, ndipo Mungu muumbaji ataamuru kwamba
Shetani atupwe kule. Ndipo amani ya dunia yote itafuatia kati ya Mungu na mwanadamu, na Shetani atabaki kuwa amefungwa kwa kipindi
kipatacho miaka elfu moja, na hatimaye atafunguliwa tena.
Hii inatokana moja kwa moja na yaliyoandikwa
kwenye Ufunuo 20:1-10 kama inavyoonekana hapo juu.
Mauaji makubwa yanayotajwa hapo juu yamekwishafanywa na
waamini Utatu wenyewe. Machafuko yanaendelea sasa. Afrika
inashuhudia matendo ya kinyama yakifanyika kila siku, na
hata sasa inajionea mshnikizo wa matendo ya ulaji nyama za watu na mauaji ya
wanawake na watoto.
Nostradamus anaonyesha kwamba maangamizi na msiba
mkubwa wa Dunia kutaonekana kuhusika kwa washika dini kwenye mchakato huu. Dunia
itaangamizwa hatua kwa hatua na kuendelea hadi kizazi
cha miaka arobaini, na kisha kutatokea mafuriko ambayo yataijenga upya.
Anautumia mmea wa airisi kama kielelezo cha mchakato
huo akisema.
Mars nous
menace par sa force bellique,
Septante
fois fera le sang ιpandre:
Auge et
ruine de Ecclιsiastique et plus ceux qui
Deux rien voudront entendre. Faux ΰ lιtang
Joint vers
le Sagittaire en son haut AUGE de
Lexaltation,
peste, famine, mort de main militaire:
Le siιcle
approche de rιnevation.
Par quarante
ans lIris napparaitre,
Par quarante
ans tous les jours sera vu:
La terre
aride en siccitι croεtra,
Et grands
dιluge quand sera apercu.
Tafsiri yake ni:
Mars imetutisha
kwa nguvu zake za kupenda vita, amesababisha mwagiko
wa damu mara sabini: anguko na angamiza viongozi wa dini na zaidi sana ni wale
ambao hawataopenda kuelewa chochote kutoka kwao. Mundu iliungana kumponda kichwa
Sagittarius ili kupunguza urefu wa wazao wake, tsuni, njaa,
mauti kwa mkno wa kijeshi: karne inajongea kwenye kuondolewa kwake. Kwa kipindi
cha miaka arobaini mmea wa airisi hautaonekana, kwa miaka 40 utaonekana kila
siku: dunia kame itaendelea kuwa kame zaidi na mafuriko makubwa yatakapotokea (P.
Lorie, ibid.,ukurasa 94).
Kutakuwa na vita na Mabadiliko ya Tabianchi.
Maonyo ya kabla ya kutokea hayo (soma jarida la Mabadiliko ya Tabisnchi na
Unabii wa Biblia (Na. 218) [Global Warming and Bible Prophecy (No. 218)] inaonekana kama maafa ya kiikolojia yanayofuatia kwenye
Milenia na kisha inarejeshwa upya kwenye miaka fulani ya kipindi cha Milenia na
kizazi cha maangamizo makubwa au mafuriko yasiyorejesheka. Hii limeelezewa pia kwa sehemu kwenye
maono ya nabii Ezekieli kama ilivyonukuliwa hapo juu. Miaka arobaini inahusiana
na kipindi kilichotolewa cha toba ya mataifa cha
kuanzia maiaka ya 1987 hadi 2027 (kama ilivyoandikwa kwenye jarida la Kupimwa kwa Hekalu (Na. 137) [Measuring the Temple (No. 137)].
Kipindi cha mwisho kitahusika na manabii na
Mashahidi na majeshi ya Israeli katika mchakato wa mwisho wa kuanzishwa kwa Utawala
wa Mungu utakaokuwa chini ya Masihi. Mchakato wote utahusika na
kazi zake Mpingakristo na vita vya
mwisho.
Mwisho wa imani ya Utatu au Utrinitari huko Ulaya
Imani ya Utrinitaria au Utatu pamoja na matumizi
ya alama ya msalaba vitaondolewa vyote huko Ulaya kipindi hiki. Kifungu cha
pili cha Quatrain (C.6:Q.80) kinaonyesha uvamizi wa
ghafla au shambulio la Waislamu kutoka Afrika na inaonekana sana kuwa watatokea
kwenye nchi ya Kiislamu ya Morocco na ndipo imani hii ya Utatu itaangamizwa na
kukoma kabisa.
De Fez le
regne parviendra ΰ ceux dEurope,
Feu leur
citι, et lame tranchera:
Le grand
dAsie terre et mer ΰ grand troupe,
Que bleux,
pers, criox ΰ mort dιchassera.
Kutokeas kwa uislamu huu kwa uvamizi ni dhahiri
kuwa kutadhoofisha maana au umuhimu wa imani hii ya Utatu, na baadhi ya
waandishi (aliwemo Peter Lorie) wanaamini jambo hili kuwa litatokea kipindi cha
kuangamizwa na kukomeshwa kwa Kanisa Katoliki la Roma. Inapaswa pia ikumbukwe
hapa kwamba majeshi ya Kusini yatamsukuma na kumuondoa
mfalme wa Kaskazini. Mwishoni, baada ya kipindi hiki cha uangamivu mkubwa wa
Ulaya kama tunavyoambiwa kutoka kwenye maandiko ya Biblia kwamba mfumo huu wa
Wafalme wa Kaskazini wa Ulaya wataishambulia Mashariki ya Kati mapema kabla ya
vita vya Baragumu ya Tano na ya Sita, ambayo itawaua zaidi ya wanadamu theluthi
moja (kama ilivyoelezewa kwenye majarida ya Muhuri wa Saba (Na,140) Baragumu Saba (Na. 141) na [The Seven Seals (No.
140) and The Seven Trumpets (No. 141)].
Ujerumani inaaminika kwenye mchakato huu kuwa itagawanyika kwenye dini
nyingi za kipagani kwenye anguko lake la mwisho hadi pale itakaporudi hatimaye na kulipa zaka ya kweli.
En Germaine
naitront diverses sectes,
Sapprochant
forte de lheureux paganisme,
Le coeur
captif et petites receptes,
Feront
retour a payer le vrai dime (C.3 :76).
Tafsiri yake ni kama ifuatavyo:
Katika
nchi ya Ujerumani kutazaliwa bini mbalimbali kadhaa, zinazokaribia kuwa za
upagani wenye nguvu na hadi kuwa ni zenye furaha,
zitakazoteka mioyo na kukubaliwa kwa undani, na hatimaye mateka hawa watarejea
kugeukia kutoa zaka ya kweli.
(kama alivyoandika P. Lorie, Nostradamus kitabu cha:The Millennium and Beyond
(Milenia na mbele
yake...), Bloomsbury, 1993,ukurasa 146).
Inawezakuwa kwamba kuondolewa kwa kiti au wadhifa
wa upapa huko Roma na papa huyo kupita juu ya maiti za makuhani kutafuatia na
kuangamizwa kwake kwa shambulio la Wafaransa na Wataliano kutakakotokana na
wimbi hili kutoka Afrika Kaskazini. Kwa hakika, Biblia inasema kwamba Mfalme wa Kusini atamsukumilia mbali Mfalme wa Kasakazini na
tunafundishwa kutarajia maangamivu ya mji uliyo kwenye milima saba ambao jina
lake la risi unaitwa Bahel ya Siri ya
Siku za Mwisho.
Dini ya kaskazini inaweza kutarajiwa kuwepo tena kutoka Roma hadi Yerusalemu
kwenye kipindi fulani cha mchakato huu. Kwa hiyo
tunajionea kiongozi wa dini hii anaketi kwenye Hekalu
la Mungu akijifanya yeye mwenyewe kuwa ni Mungu. Mpanuko huu wa
mchakato, uliotajwa kwenye karne ya mwisho huko Roma, mwishoni utaangamizwa
wakati nabii wa uwongo atakapouawa wakati wa Kurudi kwake Masihi.
Dini ya Ujerumani itakubalika katika kurekebisha
mafundisho ya Biblia na mwishowe watarejea kwenye
Torati au Sheria za Mungu na watalipa zaka ya kweli. Kwa sasa wana mfumo
wauongo wa kidini wa kulifanya kanisa kuwa ni la
kidola yao.
Kurudi kwa Masihi
Watu hawatakuwa na mashaka
katika kurudi au kuja kwa Masihi. Zaidi sana ni kwamba
atatanguliwa na kutokea kwa mlolongo wa matukio. La kwanza ni
maonyo ya Siku za Mwisho na maneno yaliyowazi ya unabii ili kuwafanya watu
walio kwenye siku za mwisho waelewe. Mungu hafanyi jambo lolote isipokuwa kwanza atawaonya watu wake kwa kupitia watumishi
wake manabii
Jambo la pili ni kipindi cha Mashahidi wawili watakaonena kwa mamlaka kuu
na uweza kutoka Yerusalemu na wanauwezo wa kufunga mbingu na kuuleta moto chini
kutoka Mbinguni wakati huu wa kipindi chao hiki cha huduma. Watakuwa wnapingwa na nabii wa uwongo, na watauawa na kuachwa mitaani kwa siku
tatu na nusu. Kisha ndipo Masihi atakuja. Atamuua
nabii wa uwongo wakati atakapokuja na kuiondoa dini
yote ya uwongo kutoka Yerusalemu na mafundisho yake yote ya uwongo na kuitakasa
kikamilifu hii dunia.
Tangu kipindi hiki mataifa
wote watajinyenyekesha na kukubali maongozi ya Torati
na Sheria za Mungu kwa kipindi cha miaka elfu moja, na hatiamye kwenye Ufufuo
wa Pili. Ndipo sayari yetu hii itaongozwa kwa maongozi
ya Torati ambayo Kristo alimpa nabii Musa kwenye Mlima wa Sinai, akiwa ni
muombezi wetu kwa Mungu Mmoja Wapekee na wa Kweli. Tangu kipindi hiki mapepo
wote watakuwa wamefungwa kuzimuni au shimo lisilo na
mwisho wa kina chake wakirubiri kuhukumiwa mwishoni mwa kipindi hiki cha
millennia. Siku hizi waalimu hawa wa dini hizi za
uwongo wanasema kwamba Mpingakristo ataweka sheria za Torati ya Musa huko
Yerusalemu. Na hiki ndiche hakika Biblia inachosema kuwa
Masihi atafanya. Tutafafanua kwa kina mambo haya
kwenye jarida letu linalohusu Mpingakristo
(soma jarida la 2012 na Mpingakristo (Na.
299D) na Mpingakristo Kwenye Teolojia ya Kanisa la Kwanza
na Siku za Mwisho (Na. 299F) [2012 and the Antichrist (No. 299D) and Antichrist in Early
Church Theology and the Last Days (No. 299F)].
Kile tunachoweza kuwa na uhakika nacho kwa kipindi kile ni kwamba imani yote ya
Utatu katia Ulaya itakomeshwa. Makasisi wao wote waliobonea kwa
hila na uwongo kwenye dini zao watakuwa ama wamekwisha kufa au
watajinyenyekesha kwenye ukweli na kutubu, na imani nyinyine zozote zitakuwa
hazipo tena. Hii itakuwa pia imeandikwakenye lile jarida la Ishara ya Yona na Yubile yz mwaka 2027.
Kizazi hiki kibaya na cha zinaa kinataka Ishara, lakini hawatapewa iwayoyote zaidi
ya ile ya Ishara ya Yona. Itakuwa ni mbaya sana zaidi
ya ilivyokuwa miji ya Sodoma na Gomora katika Siku za Mwisho. Hawatatubu, na idadi maelfu ya mamilioni ya watu watakuwa pasipo sababu,
kwa sababu tu ya dini potofu na kazi za mapepo ambayo hayaitii Torati ya Mungu
Aliye Hai na utaratibu wa Kalenda yake.
Tokeni kati yake msishiriki hukumu yake
Addendum:
Wengi wetu tunajua kwamba
Papa Benedict XVI ametangaza siku ya Jumatatu ambayo ni siku ya pili ya mwezi
wa Adari ya mwaka mtakatifu ambao ni sawa na 2012/13 kuwa anakwenda kustaafu
kazi yake mnamo tarehe 28 Februari au 19 Adari, baada ya sikukuu ya Purimu, kwa
uthuru alioutoa wa sababu ya umri wake kuwa mkubwa sana ambao kwamba hawezi
kuyafanya majukumu yake kama inavyotakiwa hususan mkakati wake wa kuibadili
dunia kwa haraka. Atakuwa ni papa wa kwanza kufanya
hivyo baada ya kipindi cha miaka 719 yaani kustaafu na kuachia kiti chake kwa
hiyari yake bila kushurutishwa. Akiwa na umri wa miaka
85 amesema atajiuzulu Februari 28 baada ya kuwa madarakani kwa kipindi cha
miaka minane tu, akiwa ni miongoni mwa mapapa waliokaa madarakani kwa kipindi
kifupi sana katika historia ya kipindi cha siku zetu hizi akiwa ni kiongozi wa
Wakatoliki milioni 1.1 ulimwenguni kote. Siku aliyotangaza jambo hili
ilipelekea watu wengi sana kutembelea wavuti yetu CCG wakitaka
kusoma jarida linaloelezea mambo haya. Mafundisho na
majarida haya yamekuwepo kwenye wavuti yetu kwa miaka mingi sana, nasi tulitegemea
kwamba mwaka huu ungekuwa ni wa kwanza katika vita vya mwisho na wa matatizo
makubwa ya kiuchumi ya siku za mwisho.
Papa huhu anayefuatia kwa mujibu wa Malachy akofu mkuu wa Armagh Ireland anapaswa
kuwa niPetro Mrumi. Huyu ni papa wa mwisho aliyetabiriwa.
Idadi kamili ya mapapa hawa na maana ya makoti yao ya
mikono au viganja ya majina ya unabii wao vimeandikwa na kufafanuliwa kwenye
Sehemu Iliyoongezwa ya Nyongeza A katika jarida hili hapo chini. Kwa hiyo Kristo
atakapokuja na Kanisa Katoliki la Roma litaingia hukumuni
na litafikia kikomo chake. Pius X alitabiri kwamba papa huyu atachukua jina la Pius
na ambaye atakuwa ni Pius XIII. Alitabiriwa
kuwa ataondoka Roma alipita juu ya mizoga ya makasisi wake. Huu
unaonekana sasa kuwa ni unabii wa uwongo kusipokuwa na
mabadiliko yasiyoonekana. Huyu papa anayejiuzulu alichukua jina la Benedict XVI
na Malachy alimuita kuwa ni "kutoka kwenye Utukufu
wa Mzeituni." Mzeituni ni alama nembo ya Benedict
nay a Wabenedictine. Kwa hiyo tulitarajia kwamba angelichukua
jina lile.
Petrus Romanus au Petro Mrumi
atatangulia kipindi cha dhiki kuu na matatizo makubwa
na migogoro kanisani. Kiti chake kijulikanacho kama Curial
See kitaondolewa kutoka Roma ha kuhamishiwa Yerusalemu kwenye utawala wake ambao
huenda ukawa kwenye kabla ya mwaka 2019. Kitahamishwa pamoja na
kituo cha uongozi wa shirka la NATO na huyu ndiye Mpingakristo atakayetawala
kwa kipindi cha miezi 42 akitokea Yerusalemu.
Sio jambo la nasibu tu kutokea
kwamba Benedict amejiuzulu kwenye mwezi wa mwisho wa
mwaka mtakatifu unaoangukia katikati ya mwaka 2012/13. Ilikuwa ni muhimu kwamba
matayarisho ya mwisho ya siku za mwisho ya Kanisa Katoliki la Roma yafanywe kwa
usimamizi wa papa huyu wa mwisho ambaye atakabiliana na dhiki kuu na ni jambo
ambalo Benedict alishindwa kabisa kukabiliana nalo kulingana na hali yake ya
kiumri na kiafya. Iliarifiwa kuwa kulisemwa tangu mwanzo na
Mjesuit Rene Thiebaut takriban mwaka 1950 kuwa itakapofika mwaka 2012, ambao
ulikuwa ni mwaka mtakatifu.
Maelezo ya kina kuhusu
maandalio na migogoro ya Siku za Mwisho na hasa
yanayohusu kipindi cha miaka ya 2012 na 2013 yameandikwa na kuelezwa vizuri kwenye
jarida la Mwaka 2012 na Mpingakristo (Na. 299D) [2012 and the Antichrist (No. 299D)]. Mfumo wa imani ya Kishetani
unajiandaa kulazimisha kile kinachojulikana kama Amri Mpya ya Maisha
Ulimwenguni, maarufu kama The New World Order (NWO) hapa duniani. Mchakato huu
ulipangwa uwe umekamilika tangia majira ya jua kuwa kusini mwa Ikweta maarufu kama solistaisi cha tarehe 21 Decemba 2012. Mwaka 2013 ulikuwa
uwe mwaka ambao kwao maandalizi muhimu ya mgogoro wa
mwisho yalipaswa kukamilika. Mpingakristo alipaswa aanze mchakato wake wa kuweka shinikizo la mwisho la kutangazwa kwa Amri Mpya ya
maisha Ulimwenguni yaani NWO na papa wa mwisho alipaswa kuingia madarakani ili
atangulie kwenye maangamizo ya mwisho ya Dini hii potofu na ya Siri Inayoabudu
Jua. Mambo hayo yameandikwa kwa kina kwenye majarida ya Vita Kuu ya III ya Dunia
Sehemu ya 1: Dola ya Mnyama (Na. 299A na Vita Kuu ya II ya Dunia
Sehemeu ya II: Mwanamke Hakaba na Mnyama (Na. 299B) [World War III Part I: The
Empire of the Beast (No. 299A) and WWIII Part II: The Whore
and the Beast (No. 299B)].
Alama ya mwisho ya kidini
ya kilimwengu ambayo ni Ukristo bandia au wa uwongo ni
mtu anayetajwa kwenye kitabu cha Ufunuo kama Nabii wa Uwongo. Kwa hiyo
itafuatia na kile kinachojulikana kama kiongozi wa mwisho wa utendaji kazi wa
dini hii kubwa anayetajwa kuwa ni Nabii wa Uwongo na ambaye ni lazima atakuwa
ni kiongozi wa mwisho wa Kanisa Katoliki la Roma ambaye atauawa na Kristo
atakapokuja pamoja na kiongozi wa utawala wa Mnyama ambaye anajulikana kama ni
Mpingakristo kwenye kitabu cha Ufunuo. Unabii wa Malachy
unasema kwamba baada ya Petro Mrumi ndipo Hakimu mkali atawahukumu watu. Huyu
Hakimu Mkali kwa kweli ni Kristo na
maandiko ya Ufunuo yanasema kwamba atarudi na kuuangamiza mfumo wote wa dini ya
Kibabelonia ambao ni Dini ya Uwongo nay a Siri ya waabudu Jua iliyotajwa kama Babeli ya Siri ambayo ni mama wa
makahaba wanaofanya ukahaba na wafalme wa dunia. Kama kawaida, uitishaji wa mkutano wa Makaldinari kunafanya uwepo wa mawazo dhana ya
kumfikiria wa kumchagua na kiasi kingi cha fedha kinawekwa kwenye maandalizi
ambayo ni dalili njema ya kuwezesha kuwafikiria na kuwaweka mawazoni idadi
kubwa ya wajumbe na watu wengine
.
Tuliamini vile alivyotabiri
Malachy ni kwamba mtu atakayechaguliwa atachagua jina
la Petro Mrumi au wa Roma. Hata hivyo, hatakuwa askofu wa
Roma kama ilivyo masharti na kazi za kiti hiki pale anapochaguliwa. Kuna idadi kubwa ya watu walioitwa wapenda upapa au wanaoonekana
kufaa miongoni mwa waliogombea cheo hiki cha upapa. Miongoni mwa hao
wote waliotajwa ni mmoja tu ambaye kwa kweli alikuweko
huko Roma alikuwa ni Kardinali Peter Turkson ambaye ni mwangalizi wa maaskofu
wote wa Afrika na alikuwa ni Mghana. Kulikuwa na
makaldinari 18 kutoka Afrika wenye sifa za kupiga kura au kuchaguliwa. Turkson alionekana
kuwa ni kaldinari mwenye mvuto na wengi lakini
alijionyesha kujipendekeza mwenyewe kuwa ni mgombea jambo ambalo lilikuwa ni
makosa makubwa. Mwingine aliyeonyesha kuwavutia wengi alikuwa ni Kaldinari Francis Arinze. Yeye ni
Kaldinari wa Velletri-Segni, dayosisi iliyokaribu na Roma na kufanya mahusiano
ya haraka baada tu ya kuichukua kutoka kwa Benedict XVI. Yeye ni Mnigeria. Kaldinari aliyependwa na
kuwavutia Wataliano wengi alikuwa ni Kaldinari wa Milan, Askofu mkuu Angelo Scola. Mwingine ni mtu
anayetoka kwenye ulimwengu unaozungumza Kifaransa Marc Ouellet wa Canada ambaye
alipendwa na kudhaniwa atashinda na wa Irish. Yeye ni
mwana teolojia na kiongozi maaskofu wote wa Kikatoliki ulimwenguni. Wagombea
wengine walikuwa ni kutoka Sao Paulo huko Brazil na
kutoka Ufilipino na kutoka nchi nyingine nyingi zinazoonekana hazielekei
miongoni mwa waandishi wa vitabu.
Mchakato wa kumchagua papa una hatari zake na hautabiriki. Wamwisho
kujiuzulu na kuachia kiti hiki kwa hiyari yake
mwenyewe alikuwa ni Celestine V mwaka 1294. Alikuwa ni
mtawa aliyeishi maisha ya upweke na alijisikia vibaya kwa hali hii na
akajiuzulu na hasa kwa kushinikizo. Mara nyingi mkaldinari wamekuwa wakioneana
husuda sana kiasi cha kupanga njama za kumfanya papa
aliyeko awe na kipindi kifupi tu cha utawala wake kama walivyofanya kwa Kaldinari
Ratzinger ambaye alikuwa ni papa mzee sana alipochaguliwa na kuitwa Benedict
XVI. Wameenda nje na kuwachagua watawa na makasisi.
Baadhi yao hawakuwa watu mashuhuri na wasiofaa au
walioiuza au kuiacha ofisi na kwenda kuoa na walipokataliwa waliingia kwenye
cheo hiki cha upapa kwa kutumia nguvu kama alivyofanya wajina wake Benedict. Kiti
hiki kimekuwa kikilaumiwa kwa tuhuma na mikakati ya
makusudi ya kuivuruga na kuiharibu imani ya Kikristo.
Watumiaji wa mitandao walikuwa wanabashiri kuwa
papa kutoka Afrika kuwa ndiye anayependwa zaidi jambo ambalo halijawahi
kutokea. Robo ya makaldinari wanaopiga kura ni
Wataliano. Papa mwingine aliyekuwa sio Mtaliano kabla ya John Paul II alikuwa ni Adrian VI aliyefariki mwaka 1523.
Tatizo linalolikumba
Kanisa Katoliki la Roma na mabinti zake waprotestant
waliojitenga kutoka kwenye kanisa hili ni kwamba kanisa katika Ulaya lipo kwenye
hali ya kutoaminika. Wakati kwamba makanisa katia Afrika na
Amerika ya Kusini yako kwenye hali nzuri na kuendelea vizurii, hali ya kanisa
huko Ulaya liko kwenye machafuko na mvurugano na linahitaji kujengwa. Kwa hiyo
kuna msukosuko mkubwa unaohitaji kumpata mtu atakayeweza kuliunganisha na kulipa nguvu kanisa la Ulaya. Na hii ndiyo sababu iliyopelekea
kuchaguliwa kwa John Paul II na Benedict XVI. Lakini
matokeo ya jitihada hii yote yamekuwa ni kinyume chake.
John Paul II alilifanya kanisa liharibike zaidi kama
anavyosema Malachi Martin kwenye kitabu chake kiitwacho Nyumba Iliyopeperushwa kwa Upepo (Windswept House). Kwenye kitabu chake
hiki anaelezea kwamba mnamo mwaka 1963 katika Kipindi Muafaka chini ya Paul VI Malaika Lusiferi au Shetani alisimikwa
kwenye kiti cha enzi cha Vatican akiwa kama ni mungu
wa dunia hii na wa kanisa. Hii imeelezwa kwenye jarida la Mwaka 2012 na
Mpingakristo (Na. 299D) [2012 and the Antichrist (No. 299D)] hapo
juu. Kuchaguliwa kwa Kaldinari wa Kiargentina mwenye
asili ya Italia huenda ikawa ni mbinu ya kuafikiana na mwelekeo huo.
Katika Siku za Mwisho Dola
ya Mnyama itapewa uweza au nguvu na Shetani na
itamgeukia mwanamke huyu kahaba wa Kibabeloni na kumuangamiza. Jambo hili
linatokea leo kama tunavyoona. Dunia inaligeuka na kulichukia Kanisa hili Katoliki la Roma kwa ajili ya
tuhuma zake zilizozagaa kwa kiasi kikubwa za ngono na hali hii itaendelea. Na
zaidi sana ni kwamba kuendelea kwa dini ya Kiislamu na
hasa hawa wa Imani Kali kutaendelea kuendeleza na kuenea katika Vita hivi vya
Mwisho. Roma itakuwa ni walengwa na makasisi wake
watashambuliwa kwenye kipindi kijacho cha pili hadi kipindi cha kurudi kwake Masihi
na kupitia kwenye vitasa vya ghadhabu ya Mungu hadi itakapoangamia. Hii
imeeleewa kwa kina kwenye jarida la Vita vya Siku za Mwisho na
Vitasa vya Ghadhabu ya Mungu (Na. 141B) [The Wars of the Last Days and the
Vials of the Wrath of God (No. 141B)].
Iwapo kama
Malachy yuko sahihi basi huyu anaweza kuwa ni Papa wa Mwisho. Kama hayuko
sahihi na kama kuna mwingine basi sisi hatujui ni vema
tukangoja kuona atakuwa ni nani, pamoja na hali isiyo ya kawaida ya kushindwa
kutimia kwa unabii wa Pius X unaomhusu Pius XIII. Kwa vyovyote vile, Malachy amekuwa
sahihi kwa kila papa na amewajua kutokana na makoti yao yenye alama za mikono
au nyumba kwenye mfuatano wa mwisho na kwa majina yao ya siri ya kazi
waliyoyachagua na vipindi vya kutawala kwao. Tatizo linguine ni
kwamba matukio ya Siku za Mwisho kwa mujibu wa unabii wa Biblia yanaonyesha
kuna kipindi kifupi sana cha kudumu kwa papa mwingine. Yubile ya 120
itakayoangukia mwaka 2027 na ndiyo itakayokamilisha
kipindi cha miaka 6000 ya utawala wa Shetani hapa duniani na Masihi atapaswa
kuwa hapa kipindi kabla ya kukamilika kwa matukio haya; na unabii hauruhusu
wala kuashiria kwamba Dini ya kuliabudu Jua itaendelea hata baada ya kurudi kwa
Masihi hapa duniani. Kwa hiyo tunatarajia kipindi cha takriban miaka 14 cha
kuendelea kuwepo kwa mfumo huu wa dini hii ya
kiulimwengu inayoendeleza harakati zake za Siri za Ibada za Jua kuendelea.
Kipindi hasa cha kuendelea kwake ni miaka saba.
John Paul II na Benedict XVI walijaribu kuzinganisha dini za dunia ili
zifanye kwa hali ya mtangamano na wao lakini hawaja fanikiwa na vita
inayoendelea na Waislamu itapelekea kuangamizwa kabisa kwa mfumo huu wa kidini.
Kuendelea kwake hadi kufika Roma kutashuudia makasisi walioko Vatican wakiwa
wamekufa na papa na wasaididizi wake wataondoka huko
wakipita juu ya miili ya makasisi wake waliokufa, nah ii ni kwa muhibu wa nabii
zao wenyewe. Malachy anasema kwamba atawaongoza katika
kipindi cha machafuko makubwa yasiyothibitika. Nabii Danieli anasema
kwamba mji ulio kwenye milima saba utaangamizwa na
mwisho wake utakuwa na mafuriko makubwa.
Utawala huu wa papa umejaribu kumtawala Mnyama mwenye Pembe Kumi, ambaye
ndiye Mnyama wa Siku za Mwisho ambaye ana Vidole Kumi vilivyochanganyika kwa
chuma na udongo ambao ndiyo mwisho wa ile Sanamu ya Babeloni ya Danieli 2.
Hatahivyo, utawala huu wa papa unakiri kuwa Kristo
ambaye ndiye lile jiwe lililotokana sio kwa kutengenezwa na mikono ya mwanadamu
atakuja na kumpiga huyu Mnyama kwenye miguu yake na kumwangamiza.
Kwa hiyo tunatarajia
kumuona huyu kiongozi wa kidini wa mwisho, Francis I, akijaribu kufanya kazi
yake na viongozi wakuu wa siasa na maongozi ya dunia aliwa kama ni mkuu wa
mifumo ya fedha na ya kijeshi, lakini atashindwa na huyu Mnyama atamgeuka na
kumwangamiza yeye pamoja na dini yake na viongozi wake wote watauawa na Kristo
atakapokuja.
Kuna mgogoro mkubwa sana
wa kiuchumi unaotengenezwa na wanamkakati wa Amri Moja ya maisha Ulimwenguni (NWO)
sasa ambao unakwenda sambamba na mkakati wa kubadilisha mifumo ya uongozi,
uongozi wa kipapa kwa kile kinachojulikana kama See ulikuwa wazi tangia tarehe 28
Februari. Kwenye kipindi cha kati ya
kujiuzulu na kuchaguliwa kwa papa mpya, Kanisa
Katoliki lilikuwa linatawaliwa na Waziri wa mambo ya Nje au Katibu Mkuu aitwaye
Tarcisio Bertone. Benedict XVI alijiuzulu akiwa huko Castel Gandolfo na akaenda kwenye nyumba ya kitawa aliyoandaliwa huko Vatican.
Baraza la makaldinari lililofungiwa milango liliketi kwenye kikao chao
kwenye Kanisa Dogo la Sistine tangia mwaka Mpya ambao ilikuwa sawa na tarehe i2
Machi na uamuzi wake ulitangazwa sana kwa mwonekano wa moshi mweusi au mweupe
ulioashiria kama mgombeaji amechaguliwa au la. Kisha papa mpya alitangazwa kwa milio ya kushangiliwa ya "Habemus Papam" na
akajitokeza tarehe 13 Machi 2013 mbele ya umati mkubwa ya waumini na watu
wengine muhimu kwenye Viwanja vya Kanisa la Mt Petro. Uamuzi wa kuitisha baraza
la makaldinari kufanya uchaguzi kwa kweli ulikuwa ni kinyume na kanuni za
sheria na ulipelekea uchaguzi ule kuwa haukufuata kanuni zao kwa mujibu wa
maelekezo ya kisheria yaliyoingizwa kwenye kanuni za hivi karibuni zinazotaka
mkutano huu uitishwe katika kipindi cha kati ya siku kumi na tano hadi ishirini
na hiki kiliitishwa siku kumi na mbili tu baada ya kiti hiki kuachwa wazi. Hii
inatimiliza unabii mwingine wa Francis Assisi kama
tutakavyokwenda kuona.
Ilitakiwa kwamba Papa mpya
achaguliwe kabla ya Jumapili ya Easter ya kidini ya mungu Jua ya tarehe 31 Machi
ambayo kwa mwaka huu ilikuwa ni siku ya Mganda wa
kutikiswa ya Kalenda ya Hekalu wakati wa Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu. Hii haikutokea. Pia kuna sababu muhimu kuwa mwaka 2013 ni moja wapo ya miaka michache sana ambayo Wayahudi
wanaoamini kalenda ya Hillel wanalazimika kuzishika Sikukuu zao na siku zote
takatifu zilizoamriwa katika siku sahihi sawa na zinavyoazimishwa kwa mujibu wa
Kalenda ya Hekaluni. Na hivi ndivyo ilivyo pia kwa hata
kwa machipukizi yaliyotokana na imani ya kanisa la kale la WCG miongoni mwa
Makanisa ya Mungu kwa kweli wamelazimika pia kuifuata kalenda ya kweli.
Nostradamus alikuwa na haya ya kusema kwa kipindi hiki:
Par Mars contraire sera la Monarchie,
Du grand pescheur en trouble ruyneux:
Ieune noir rouge prendra la hierarchie,
Les proditeurs iront iour bruyneux. C6Q25
Katika
kipindi cha vita cha Mars [kipindi cha vita] utakuwa mtawa
Au mvuvi
mkuu [papa] kwenye maangamizi yenye taabu kubwa
Kijana wa rangi nyekundu yenye weusi [Kaldinari kijana mweusi] atachukua
kiti uongozi
Wanyanganyi
watajaribu kufanya katika siku mbaya. (Nostradamus 625)
Kwa Kifaransa cha zama za
kati inaweza kumaanisha pia ifuatavyo:
Katika kipindi cha Mars [mapema mwezi Machi au kwa migogoro] Mkuu wa dini atakuwa amepinduliwa,
Kwa mtenda dhambi mkuu [sawa na
mvuvi] kwenye dhiki kuu,
Kijana mweusi mwekundu atachukua kiti cha uongozi wa kanisa,
Wanyanganyi watajaribu kufanya hivyo siku ya manyunyu.
Neno la Kifaransa proditeurs kwa sasa linaitwa wasaliti
lakini linaweza kuwa lilitumika kutokana na Kilatini kuelezea waharibifu au
wanyanganyi. Matumizi ya neno pescheur lenye maana ya mdhambi na linamtaja kama mvuvi ni la utani kwenye maneno na linamaana
ya dhambi za kanisa ambazo hazijawahi kukoma kamwe. Hii inaweza kuwa inamtaja
pia Mtu wa Kuasi wa ukengeufu mkuu aliyeandikwa kwenye
Ufunuo. Neno kijana linaweza kuwa na ukweli kwamba papa mpya anaweza kupewa kwa haraka
Ukaldinari.
Migogoro iliyotajwa kwenye kifungu hiki cha
uandishi inawezekana kuwa inaweza kumaanisha kazi zilizoko Roma kwenyewe zilizolazimisha
kujiuzulu kwa Benedict XVI. Migogoro hii ilikuwa
inaongozwa na Makaldinari Bertone, Sodano na
Bagnasco. Migogoro hii itaendelea hadi kwenye mkutano wa
makaldinari. Uamuzi wa kukomesha migogoro hii ilikuwa
ni kutafuta uwezekano myingine nje ya Baraza Kuu la Curia na kulinda mamlaka
yake. Papa mpya anatakiwa kusafisha kwa kina sana na
kuwaondoa makaldinari hawa kutoka kwenye Baraza la Curia lenyewe. Migogoro
inayoendelea ni ya uhakika.
Kwa hiyo kiti hiki cha
upapa kinachukuliwa kwenye wakati mgumu na kaldinari
kijana mweusi au askofu mkuu anaonyesha mwisho wa cheo hiki cha upapa kwa
wakati wa maangamizo. Je, ni kwa namna gani kiti hiki cha
upapa kimetimilika?
Kanisa la Roma lipo kwenye matatizo makubwa sana kwa ajili ya tuhuma nyingi na mbaya zinazolikumba sasa
na hakuna dalili ya kuwa zitaisha. Uwezekano uliopo ni
kwamba vita iliyo kwenye baraza lao ka uongozi ambayo inazidi kuenea,
utaendelea kuanzia mwezi Machi ya mwaka huu na mgogoro utatokea bado baada ya
kumchagua huyu Petro Mrumi.
Wanyanganyi wanafanya
kazi siku ya manyunyu ni sahihi kama ilivyokuwa inanyesha
mvua na kuacha siku ile na kungeweza kuwa na mpango wa kulikomesha Baraza la Uongozi
la makao makuu uliokuwa unatafutwa.
Kuna watu wengi ya wagombea waliokuwa wanafaa kuwa Petro Mrumi. Kaldinari aliyekuwa anasimamia mchakato ule alikuwa ni
Kaldinari Tarcisio Pietro Evasio Bertone, ambaye ni Kaldinari na waziri wa
mambo ya nje, ambaye amezaliwa Romano, Italia. Jina lake linaonekana kushabihiana
na jina Petro Mrumi. Alichukua
nafasi ya upapa tangu yarehe 28 Februari hadi ulipofanyika uchaguzi. Kwa
hiyo kwa kutilia maanani unabii huu utatimilika mapema
kabla ya kuitishwa kwa kikao cha uchaguzi.
Laldinari Peter Turkson wa Ghana kwa sasa ndiye rais wa Baraza la Kipapa la Haki na
Amani huko Roma. Pia yeye ndiye mkuu wa maaskofu wa Afrika.
Tangua mwezi Machi na kuendelea matatizo makubwa ya kiuchumi yatatokea
yakilenga kuupa mwanza mchakato wa kuanzishwa kwa Tangazo la Mfumo Mmoja wa
Maisha Duniani yaani NWO na kuanzisha mfumo wa kiuchumi wa Mnyama. Kama
ilivyokuwa mara tu baada ya Msukosuko wa Kiuchumi
Ulimwenguni (GFC) mwaka 2008 mfumo uliokuwa unaitwa kama Baltic Dry Index (BDI)
ulianguka. Mfumo huu (BDI) ni kipimo kikubwa cha biashara
ya dunia. Mwaka huu wa 2013 pia utakuwa ni mwanzo wa
anguko na ionekana kwamba biashara ya dunia ilikuwa inaendelea bado. Kwa hiyo, mgogoro mkubwa zaidi ulipaswa uwe kuanzia mwezi Aprili.
Vita ya kisarafu vinaendelea michakato inazidi kushika kasi ili
kuhakikisha upatikanaji wa maslahi ya kibiashara kwa kupunguza thamani ya
sarafu. Sarafu zilizochini thamani yake zitapata taabu sana
na itapelekea kusimamishwa kwa biashara ya watu wake.
Vita ya kiniashara
itafuatia kwa kadri itakavyoanza kukua kwa ustawi wa
ujumla wa kibiashara hivi karibuni baada ya hilo.
[Kumbuka pia machapisho
muhimu kuhusu kazi na matendo ya Benedict XVI na
mtikisiko wa migogoro kwenye kanisa na sababu zinazodhaniwa kuwa nyuma ya maamuzi
ya kiutawala yapo kwenye wavuti kwa kichwa cha:
Katika juma la kwanza la
mwaka wa 36 wa Yubile ya 120, tulijionea kukua kwa baraza
hili la wapiga kura. Mwaka huu ni mwaka wa kwanza
katika mzunguko mpya na ambao ni mzunguko wa sita wa kipindi cha Yubile. Yubile
hii ya kipindi miaka 50 inahitimisha miaka 6000 tangu kufungwa kwa bustani ya Edeni na kulaaniwa kwa ardhi chini ya utawala
wa Shetani. Kwenye mzunguko huu tunatarajia kuona Shetani akifungwa kuzimuni kwa kipindi cha miaka 1000 hadi mwisho wa kipindi cha
utawala wa millennia wa Kristo ndipo atafunguliwa tena ili audanganye ulimwengu
kwa mara ya mwisho na kupanga vita ya mwisho kama ilivyoelezwa Ufunuo sura ya 20.
Sisi tulio viungo katika mwili wa Kristo tunapaswa
kujiandaa ili tuwe Mahahidi na ujio wa Masihi ulio wakati wowote kwenye kipindi
hiki cha mzunguko huu na hasa kwenye ule wa (soma jarida la Ujio wa Masihi Sehemu ya
1: Na. 210A) [Advent of Messiah Part I: (No. 210A)].
Katika Mwaka huu Mpya
makasisi waliovalia kanzu nyekundu wa imani ya Utatu walikutana kumchagua
kiongozi wao mpya. Sio jambo lililotokea kwa bahati
mbaya kwa wao kukutanika Siku hii ya Mwaka Mpya, ya Mwandamo wa Mwezi wa Mwezi
Mwandamo wa Kwanza wa Abibu, ili kufanya maamuzi haya. Huhu anaweza kuwa ni wa mwisho kwenye dini hii ya Mwanamke Kahaba na
utaangamizwa wote na Kristo atakapokuja. Ni jambo la kupendeza na
linaloshangaza sana kuona kwamba vipindi nyakati vya unabii wa Bblia vinaendana
kwa ukaribu sana na vipindi nyakati vya unabii vya unabii unaomhusu huyu
Mwanamke Kahaba sambamba ba vipindi vya mapapa na matendo au kazi zao katika
kuuletea madhara mfumo wa dini hii ya mungu wa Utatu unabii huu wa waamini
Utatu na utambulisho wake vileelezewa kwenye jarida hili. Hii itakomesha
utawala wa Mwanamke Kahaba katika mfuatano huu wa
matukio ya Mnyama.
Inaonekana kwamba kwa kweli Nostradamus anawezakuwa aligongomelea papa huyu
vizuri sana kama tunavyoona kwenye maandiko yake hapo juu (C6Q25).
Papa mpya aliyechaguliwa jina lake la asili ni Argentine Kardinali Jorge Mario Bergoglio. Yeye
ni Mjesuit. Akiwa na umri wa miaka 76 anaweza kuchukuliwa
kuwa ni kijana lakini hii ilikuwa ni mara yake ya pili kugombea na alishindwa na
Benedict XVI yapata miaka saba iliyopita na angeweza kuelezewa hivyo kwanza
wakati alipokabiliana na uchaguzi na hasa wakati alipopandishwa daraja na kuwa
kardinali mwaka 2001. Kwa kweli hata huyu anaweza kuelezewa kuwa ni mweusi na mweupe. Wajesuit mara nyingi wanaitwa wavaa
kanzu nyeusi na Kiondozi Mkuu wa Wajesuit mara nyingi
huitwa papa mweusi. Yeye anasifa zote sasa na vyombo
vya habari vya Ulaya vinaendelea kumwandika kwenye kurasa za habari muhimu za
makala zao. Yeye ni Mjesuita wa kwanza kuwahi
kuchaguliwa kuwa papa. Alikuwa kiongozi wa Wajesuit
huko Amerika Kusini na sasa yeye ni papa. Ni Mtaliano kwa
kuzaliwa na wazazi wake walihamia. Argentina kutoka Italia.
Anaweza kuwa ni mtu mwenye damu na nasaba ya Kirumi. Amechukua
jina lake kuwa ni Francis I baada ya Francis wa Assisi
(na Francis Xavier, mwanzilishi wa shirika hili la Wajesuit, jambo ambalo linawezekana
kabisa kuwa ana maana na shabaha mchanganyiko). Ni mtu siyependelea mabadiliko na anapinga sana ndoa za jinsia moja na ushoga, utoaji mimba
na matumizi ya kondomu na ni mtu anayesaidia kwenye masuala ya haki ya kiraia
au ya kijamii.
Kardinali Bergoglio (huyu.) amechukua jina la Mtakatifu
Francis wa Assisi, kwa Kitaliano
anaitwa San Francesco dAssisi, alipobatizwa Giovanni, aliitwa jina lake kuwa
ni Francesco, jina lake kamili ni Francesco di Pietro di Bernardone (alizaliwa
mwaka 1181/82, Assisi, mjane wa Spoleto [Kitaliano]alifariki Octoba 3, 1226,
Assisi; alitangazwa mtakatifu Julai 16, 1228; siku ya kumbukumbu yake ni kila Octoba
4), mwanzilishi wa shirika la Franciscan ni amri ya Friars Minor (Ordo Fratrum
Minorum), Amri ya wanawake wa Mt. Clare (Waclara Masikini), na mlezi au
msimamizi wa Agizo la Tatu. Alipojiita jina la kikazi la Francis
alilichua pia jina la pili la Petro Mrumi. Francis ametabiriwa upapa
wake itaishia kweny Dhiki Kuu asingeweza kuchaguliwa kwa kujibu wa kanuni ama
utaratibu nah ii inathibitishwa kuwa ni sahihi kwa vile walivyoitisha kikao cha
uchaguzi kinyume na utaratibu hapo Machi 12 na 13 ili kuitumia tarakimu 13 kama
ni mhuri wa huduma ya mtu huyu. Bullinger ana kumbukumbu ya maana ya tarakimu
au nambari 13 kwenye Biblia na ni alama ya Shetani na
uasi (ameandika kwenye maandishi ya zaiada ya Biblia ya Companion, yaani Bible
notes and Appendices).
Ana matatizo makubwa sana
kukabiliana nayo yakiwa ni kazi yake kubwa kufanya kwenye Baraza lake la makao
makuu la Curia lilivyoamua kushughulika na tuhuma za ngono na baraza hili la Curia
linasemekana limetenga kiasi cha takriban $US26 milioni kwa mafleti 20 kwenye
vyumba vya majengo ambazo pia ni nyumba kubwa kupita zote za kuishi mashoga katika
nchi ya Italia. Kiwewe cha kanisa kitazidi kupanda juu sasa kwa
kuwa Shetani ampa nguvu na mamlaka yake yote kwa Mnyama ambaye anachukia mambo
ya kanisa hili na sasa anaanza mchakato wa kulikomesha kwa kupeleka mambo taratibu
nah atua kwa hatua. Mfumo wa baraza la kidini la makao makuu na Wataliano
wanaochukua 25% ya kura zote walisemekana kuwa walimsaidia mgombea huyu kutoka
Amerika ya Kusini kama wapigakura wangekubali kuwaunga mkono achaguliwe na
ungekuwa ni mpango ungesawazishwa na siku ya mvua ya Machi 13, 2013, na kukamilisha lile jina la waporaji.
Upigaji kura ulifanyika tarehe 13 ya Mwezi wa Tatu wa Kalenda ya kipagani
katika mwaka 2013 wa tarehe yao na Papa alijitokeza saa mbili na dakika kimi na
tatu Jioni, (kwa Kiingereza huandikwa 8:13 PM) ambayo ni saa tatu na dakika
kumi na tatu (kwa Kiingereza 3:13) kwa majira ya Kusini mwa Marekani. Jambo
hili halina maana yoyote na ni la kipuuzi tu. Kwenye
Kalenda ya Mungu ilikuwa ni siku ya 3 ya mwezi wa
Kwanza na jopo hili la wapiga kura waliketi kuanzia Siku ya Mwaka Mpya.
Vifungu vingine vya Nostradamus
soma kwenye:
Ubeti au Quatrain II.41
"Nyota kubwa kwa siku saba itachuma
Kwa mwonekano wa kiunchi kabisa kama majua mawili
vilionekana
Mbwa mkubwa alibweka usiku kucha
Wakati Papa mkuu atakapobadili makazi yake."
Mwezi Novemba 2013 kimondo cha pili cha mwaka kiiitwacho
Comet Ison C2012 S1 kinakaribia kufika na inasemekana kuwa
kitatoa mwanga mkali sana kama ule unaotoka mwezini, kama kitavumilia
misukosuko ya jua. Kitaonekana kwa macho yetu mapema ya
mwezi Octoba na kitapita karibu na jua ifikapo Novemba na kuonekana saa za
mchana. Inaweza kuwa ni kimondo hiki au pengine
kitakuwepo kingine ambacho hakijajulikana kitatokea. Mwaka 2014 kimondo kingine
kijulikanacho Comet Siding Spring C2013A1, kimegunduliwa huko Australia na
Robert McNaught alipokuwa kwenye shughuli zake za kutazama mambo ya anga kwenye
kituo cha Siding Spring NSW, ambacho kinadhaniwa huenda kinaweza kugongana na sayari
ya Mars ifikapn Octoba 19, 2014 na kwa kuwa kina ukubwa wa kilometa 3-5 kinaweza
kwenda mrama na huenda kinaweza kusababisha tukio kama lile lililosababisha
kuangamia hadi kutokomea kwa wanyama wakubwa wa zama za kale maarufu kama dinosaurs.
Ubeti ufuatao unaweza pia kumaanisha baadae su unaweza usiwe na
maana yoyote kwa mchakato huu: Ubeti/Quatrain VI.6:
Hii itaonekana kutoka
Kaskazini
Sio mbali kutoka
mstari Saratani, nyota iliyobebwa:
Susa, Siena, Boeotia,
Eretria,
Mkuu wa Roma atakufa, usiku wake.
kile kilicho hakika ni kwamba
mzunguko huu unaofuatia utakuwa na madanganyo mengi na mageuzi makubwa kuliko
wakati wowote wa historia ya mwanadamu hadi sasa. Masihi atakuja kuanzisha
utawala wa millennia katika Yubile ya mwaka 2027. Tuombe
kuwa sote tuhesabiwe kuwa wenye haki na kustahili
kuwepo kwenye kipindi hiki pamoja nay eye.
q
Maelezo ya Nyongeza A
ORODHA YA MAPAPA NA WAPINGA UPAPA
Imechukuliwa
kutoka kitabu cha Saints and Sinners: A History of the Popes, (Watakatifu na Watenda dhambi: Historia ya
Mapapa), Eamon Duffy, Yale University Press in association with S4C., 1997.
(Majina ya Mt. Malachy yamechukuliwa kutoka kwenye
Nyongeza/Appendix A ya Prophecy for Today, (Unabii kwa ajili ya Leo), Edward Connor, Academy Library
Guild, Fresno, California, 1956.)
Nyongeza
au Appendix A. Mpangilio wa Orodha ya Mapapa na Wapinga
Upapa
Tarehe kwa siku 15 za kwanza ziko wastani, na kwa siku nyingine 5
za kwanza (ukimwondoa Clement) haipo kimpangilio.
Pale
Papa alichukua jina jipya kwenye uhaguzi, na jina lake
la ubatizo limewekwa kwenye mabano.
Asterisk
anawataja Wapinga Upapa.
|
POPE |
BAPTISMAL
NAME |
MALACHYS
NAME |
DATE
OF OFFICE |
1. |
St Linus |
|
|
|
2. |
St Anacletus |
|
|
|
3. |
St Clement |
|
|
c.96 |
4. |
St Evaristus |
|
|
|
5. |
St Alexander I |
|
|
|
6. |
St Sixtus I |
|
|
c.116-c.125 |
7. |
St Telesophorus |
|
|
c.125-c.136 |
8. |
St Hyginus |
|
|
c.138-c.142 |
9. |
St Pius I |
|
|
c.142-c.155 |
10. |
St Anicetus |
|
|
c.155-c.166 |
11. |
St Soter |
|
|
c.166-c.174 |
12. |
St Eleutherius |
|
|
c.175-c.189 |
13. |
St Victor |
|
|
c.189-c.199 |
14. |
St Zephyrinus |
|
|
c.199-c.217 |
15. |
St Callistus |
|
|
c.217-c.222 |
* |
St Hippolytus |
|
|
217-c.235 |
16. |
St Urban I |
|
|
c.222-c.230 |
17. |
St Pontian |
|
|
21 July 230 28
Sept.230 |
18. |
St Anterus |
|
|
21 Nov.235 3
Jan.236 |
19. |
St Fabian |
|
|
10 Jan.236 20 Jan. 250 |
20. |
St Cornelius |
|
|
Mar.251 June 253 |
* |
Novatian |
|
|
Mar.251 258 |
21. |
St Lucius I |
|
|
25 June 253 2
Mar.254 |
22. |
St Stephen |
|
|
12 May 254 2
Aug.257 |
23. |
St Sixtus II |
|
|
Aug.257 6
Aug.258 |
24. |
St Dionysius |
|
|
22 July 260 26
Dec. 268 |
25. |
St Felix I |
|
|
3 Jan.269 30
Dec.274 |
26. |
St Eutychian |
|
|
4 Jan.275 7
Dec.283 |
27. |
St Gaius (Caius) |
|
|
17 Dec.283 22
Apr.296 |
28. |
St Marcellinus |
|
|
30 Jun.29?:died 25 Oct.304 |
29. |
St Marcellus |
|
|
c.308-309 |
30. |
St Eusebius |
|
|
18 Apr.-21 Oct.
310 |
31. |
St Miltiades |
(Melchiades) |
|
2 July 311 10
Jan.314 |
32. |
St Sylvester I |
|
|
31 Jan. 314 31
Dec.335 |
33. |
St Mark |
|
|
18 Jan. 7
Oct.336 |
34. |
St Julius I |
|
|
6 Feb. 337 12
Apr. 352 |
35. |
Liberius |
|
|
17 May 352 24
Sept.366 |
* |
St Felix II |
|
|
355 365 |
36. |
St Damasus I |
|
|
1 Oct.366 11
Dec. 384 |
* |
Ursinu |
|
|
366 7: died
385 |
37. |
St Siricius |
|
|
17(?) Dec.384 26 Nov. 399 |
38. |
St Anastasius I |
|
|
27 Nov.339 19
Dec.401 |
39. |
St Innocent I |
|
|
21 Dec.401 12
Mar.417 |
40. |
St Zosimus |
|
|
18 Mar.417 26 Dec. 418 |
* |
Eulalius |
|
|
418: died 423 |
41. |
St Boniface |
|
|
28 Dec.418 4
Sept.422 |
42. |
St Celestine I |
|
|
10 Sept.422 27
July 432 |
43. |
St Sixtus III |
(Xystus) |
|
31 July 432 19
Aug. 440 |
44. |
St Leo I (the Great) |
|
|
29 Sept.440 10 Nov.461 |
45. |
St Hilarus (Hilary) |
|
|
19 Nov.461 - 29 Feb.468 |
46. |
St Simplicius |
|
|
3 Mar.468 10 Mar.483 |
47. |
St Felix III (II) |
|
|
13 Mar.483 1 Mar.492 |
48. |
St Gelasius I |
|
|
1 Mar.492 21 Nov.496 |
49. |
Anastasius II |
|
|
24 Nov 496 19 Nov.498 |
50. |
St Symmachus |
|
|
22 Nov.498 19 July 514 |
* |
Laurence |
|
|
498-499, 501-506: died 508 |
51. |
St Hormisdas |
|
|
20 July 514 6 Aug.523 |
52. |
St John I |
|
|
13 Aug.523 18 May 526 |
53. |
St Felix IV (III) |
|
|
12 July 526 22 Sept.530 |
* |
Dioscorus |
|
|
530 |
54. |
Boniface II |
|
|
22 Sept.530 17 Oct.532 |
55. |
John II |
(Mercury) |
|
2 Jan.533 8 May 535 |
56. |
St Agapitus I |
|
|
13 May 535 22 Apr.536 |
57. |
St Silverius |
|
|
8 June 536 11 Nov. 537: |
58. |
Vigilius |
|
|
29 Mar.537 7 June 555 |
59. |
Pelagius I |
|
|
16 Apr 556 3 Mar. 561 |
60. |
John III |
|
|
17 July 561 13 July 574 |
61. |
Benedict I |
|
|
2 June 575 30 July 579 |
62. |
Pelagius II |
|
|
26 Nov.579 7 Feb.590 |
63. |
St Gregory I (the Great) |
|
|
3 Sept.590 12 Mar.604 |
64. |
St Sabinian |
|
|
13 Sept.604 22 Feb.606 |
65. |
Boniface III |
|
|
19 Feb.- 12 Nov.607 |
66. |
St Boniface IV |
|
|
15 Sept.608 8 May 615 |
67. |
St Deusdedit |
(Adeodatus) |
|
19 Oct.615 8 Nov.618 |
68. |
Boniface V |
|
|
23 Dec.619 25 Oct.625 |
69. |
Honorius I |
|
|
27 Oct.625 12 Oct.638 |
70. |
Severinus |
|
|
28 May 640 2 Aug.640 |
71. |
John IV |
|
|
24 Dec.640 12 Oct.642 |
72. |
Theodore I |
|
|
24 Nov.642 14 May 649 |
73. |
St Martin I |
|
|
5 July 649 17 June 653: |
74. |
St Eugenius I |
|
|
10 Aug.654 2 June 657 |
75. |
St Vitalian |
|
|
30 July 657 27 Jan.672 |
76. |
Adeodatus II |
|
|
11 Apr.672 17 June 676 |
77. |
Donus |
|
|
2 Nov.676 11 Apr.678 |
78. |
St Agatho |
|
|
27 June 678 10 Jan.681 |
79. |
St Leo II |
|
|
17 Aug.682 3 July 683 |
80. |
St Benedict
II |
|
|
26 June 684 8 May 685 |
81. |
John V |
|
|
23 July 685 2 Aug.686 |
82. |
Conon |
|
|
21 Oct.686 21 Sept.687 |
* |
Theodore |
|
|
687 |
* |
Paschal |
|
|
687: died 692 |
83. |
St Sergius I |
|
|
15 Dec.687 9 Sept.701 |
84. |
John VI |
|
|
30 Oct 701 11 Jan.705 |
85. |
John VII |
|
|
1 Mar.705 18 Oct.707 |
86. |
Sisinnius |
|
|
15 Jan. 8 Feb.708 |
87. |
Constantine I |
|
|
25 Mar.708 9 Apr.715 |
88. |
St Gregory II |
|
|
19 May 715 11 Feb.731 |
89. |
St Gregory III |
|
|
18 Mar.731 28 Nov.741 |
90. |
St Zacharias |
|
|
3 Dec.741 15 Mar.752 |
91. |
Stephen II (III) |
|
|
26 Mar.752 26 Apr.757 |
In March 752 an elderly presbyter,
Stephen was elected pope, but died before he was ordained bishop. His
successor, confusingly, was also called Stephen. Under modern canon law,
however, a man is pope from the moment of election. Some modern Roman
Catholic lists therefore count the first of these two Stephens as Pope
Stephen II, with a consequent disturbance of the numbering of all subsequent Stephens.
He is omitted from our list, but the variant numberings are noted. |
||||
92. |
St Paul I |
|
|
29 May 757 28 June 767 |
* |
Constantine |
|
|
767 768 |
* |
Philip |
|
|
768 |
93. |
Stephen III (IV) |
|
|
7 Aug.768 24 Jan.772 |
94. |
Hadrian I |
|
|
1 Feb.772 25 Dec.795 |
95. |
St Leo III |
|
|
27 Dec.795 12 June 816 |
96. |
Stephen IV (V) |
|
|
22 June 816 24 Jan. 817 |
97. |
St Paschal I |
|
|
24 Jan.817 11 Feb.824 |
98. |
Eugenius II |
|
|
5/6 June 824 27 Aug. 827 |
99. |
Valentine |
|
|
Aug. Sept.827 |
100. |
Gregory IV |
|
|
end of 827 25 Jan.844 |
* |
John |
|
|
844 |
101. |
Sergius II |
|
|
Jan.844 27 Jan.847 |
102. |
St Leo IV |
|
|
10 Apr. 847 17 July 855 |
103. |
Benedict III |
|
|
29 Sept.855 17 Apr.858 |
* |
Anastasius Bibliotecharius |
|
855 |
|
104 |
St Nicholas I (the Great) |
|
|
24 Apr.858 13 Nov. 867 |
105. |
Hadrian II |
|
|
14 Dec.867 Dec.872 |
106. |
John VIII |
|
|
14 Dec. 872 16 Dec. 882 |
107. |
Marinus I |
(Martin II) |
|
16 Dec.882 15 May 884 |
108. |
St Hadrian III |
|
|
17 May 884 Sept. 885 |
109. |
Stephen V (VI) |
|
|
Sept.885 14 Sept.891 |
110. |
Formosus |
|
|
6 Oct.891 4 Apr.896 |
111. |
Boniface VI |
|
|
Apr. 896 |
112. |
Stephen VI (VII) |
|
|
May 896 Aug.897 |
113. |
Romanus |
|
|
Aug. Nov.897 |
114. |
Theodore II |
|
|
Nov/Dec. 897 |
115. |
John IX |
|
|
Jan.898 Jan.900 |
116. |
Benedict IV |
|
|
May/June 900 July/Aug.903 |
117. |
Leo V |
|
|
July/Aug.-Sept.903 |
* |
Christopher |
|
|
903 904 |
118. |
Sergius III |
|
|
29 Jan.904 14 Apr.911 |
119. |
Anastasius III |
|
|
Apr./June 911 July/Aug.913 |
120. |
Lando |
|
|
Aug.913 Mar.914 |
121. |
John X |
|
|
Mar./Apr.914 May 928: |
122. |
Leo VI |
|
|
May Dec. 928 |
123. |
Stephen VII (VIII) |
|
|
Dec.928 Feb.931 |
124. |
John XI |
|
|
Feb./Mar.931 Dec./Jan.935/6 |
125. |
Leo VII |
|
|
3(?)Jan.936 13 July 939 |
126. |
Stephen VIII (IX) |
|
|
14 July 939 Oct.942 |
127. |
Marinus II |
(Martin III) |
|
30(?) Oct.942 May 946 |
128. |
Agapitus II |
|
|
10 May 946 Dec 955 |
129. |
John XII |
|
|
16 Dec.955 14 May 964 |
130. |
Leo VIII |
|
|
4 Dec.963 1 Mar.965 |
Because John XII was deposed by the
Emperor Otto I, the validity of Leo VIIIs election has been contested, and
he is included as an antipope in many lists. The Roman Catholic Churchs
official list of popes, as printed in the Annuario Pontifico, recognises him
as a true pope. |
||||
131. |
Benedict V |
|
|
22May 23 June 964: |
132. |
John XIII |
|
|
1 Oct.965 Sept.972 |
133. |
Benedict VI |
|
|
19 Jan.973 July 974 |
|
Boniface VII |
|
|
June-July 974 |
134. |
Benedict VII |
|
|
Oct.974 10 July 983 |
135. |
John XIV |
(Peter Canepanova) |
|
Dec.983 Aug.984 |
136. |
John XV |
(John Crescentius) |
|
Aug.985 Mar. 996 |
137. |
Gregory V |
(Bruno of Carinthia) |
|
3 May 996 18 Feb.999 |
|
John XVI |
|
|
Feb.997 May 998: died 1001 |
138. |
Sylvester II |
(Gerbert of Aurillac) |
|
2 Apr.999 12 May 1003 |
139. |
John XVII |
(John Sicco) |
|
16 May 6 Nov.1003 |
140. |
John XVIII |
(John Fasanus) |
|
25 Dec.1003 June/July 1009 |
141. |
Sergius IV |
(Pietro Buccaporca: Pigs snout) |
|
31 July 1009 12 May 1012 |
* |
Gregory VI |
|
|
May Dec. 1012 |
142. |
Benedict VIII |
(Theophylact II of Tusculum) |
|
17 May 1012 9 Apr.1024 |
143. |
John XIX |
(Romanus of Tusculum) |
|
19 Apr.1024 20 Oct.1032 |
144. |
Benedict IX |
(Theophylact III of Tusculum) |
|
21 Oct.1032 Sept.1044 |
145. |
Sylvester III |
(John Crescentius) |
|
20 Jan.- 10 Mar.1045: |
146. |
Gregory VI |
(John Gratian) |
|
1 May 1045 20 Dec. 1046: |
147. |
Clement II |
(Suidger of Bamberg) |
|
24 Dec.1046 9 Oct. 1047 |
148. |
Damasus II |
(Poppo of Brixen) |
|
17 July 9 Aug. 1048 |
149. |
St Leo IX |
(Bruno of Egisheim) |
|
12 Feb.1049 19 Apr. 1054 |
150. |
Victor II |
(Gebhard of Dollnstein-Hirschberg) |
|
13 Apr.1055 28 July 1057 |
151. |
Stephen IX (X) |
(Frederick of
Lorraine) |
|
2 Aug.1057 29 Mar.1058 |
* |
Benedict X |
(John Mincius) |
|
1058-59: died 1074 |
152. |
Nicholas II |
(Gιrard of Lorraine) |
|
6 Dec.1058 July 1061 |
153. |
Alexander II |
(Anselm of Baggio) |
|
30 Sept.1061 21 Apr.1073 |
* |
Honorius (II) |
(Peter Cadalas) |
|
1061-64: died
1072 |
154. |
St Gregory
VII |
(Hildebrand) |
|
22 Apr.1073 - 25 May 1085 |
* |
Clement III |
(Guilbert of Parma) |
|
1080, 1084-1100 |
155. |
Bl.Victor III |
(Desiderius of Monte Cassino) |
|
24 May 1086 16 Sept.1087 |
156. |
Bl.Urban II |
(Odo of Largery) |
|
12 Mar.1088 29 July 1099 |
157. |
Paschal II |
(Rainerius of Bieda) |
|
13 Aug.1099 21 Jan.1118 |
* |
Theoderic |
|
|
Sept. 1100 Jan 1101: died 1102 |
* |
Albert |
|
|
1101/2 |
* |
Sylvester IV |
(Maginulf) |
|
1105/11 |
158. |
Gelasius II |
(John of Gaeta) |
|
24 Jan.1118- 29 Jan.1119 |
* |
Gregory (VIIII) |
(Maurice Burdanus -the donkey) |
|
1118-21: died c 1140 |
159. |
Callistus II |
(Guido of Burgundy) |
|
2 Feb.1119 14 Dec.1124 |
160. |
Honorus II |
(Lambert Scannabecci) |
|
21 Dec.1124 13 Feb.1130 |
* |
Celestine II |
(Teobaldo) |
|
1124: died 1126 |
161. |
Innocent II |
(Gregorio Papareschi) |
|
14 Feb.1130-24 Sept.1143 |
* |
Anacletus II |
(Pietro Pierleoni) |
|
1130-38 |
* |
Victor IV |
(Gregorio Conti) |
|
1138 |
162. |
Celestine II |
(Guido di Castello) |
From a Castle on the Tiber |
26 Sept.1143 Mar.1144 |
163. |
Lucius II |
(Gherardo Caccianemici) |
The Enemy Routed |
12 Mar.1144 15 Feb.1145 |
164. |
Bl.Eugenius III |
(Berbardo Pignatelli) |
Of the Highest Mountain |
15 Feb.1145 8 July 1153 |
165. |
Anastasius IV |
(Conrad of Rome) |
The Suburban Abbot |
8 July 1153 3 Dec.1154 |
166. |
Hadrian IV |
(Nicholas Breakspear) |
From the White Country |
4 Dec.1154 1 Sept.1159 |
167. |
Alexander III |
(Orlando Bandinelli) |
From the Watchful Goose |
7 Sept. 1159 20 Aug.1181 |
* |
Victor IV |
(Ottaviano of Monticelli) |
Out of the Loathsome Prison |
1159 64 |
* |
Paschal III |
(Guido of Crema) |
Road on the Further Side of the Tiber |
1164 68 |
* |
Callistus III |
(Giovanno of Struma) |
From the Hungary of Tusculum |
1168 78 |
* |
Innocent III |
(Lando o Sezze) |
|
1179 80 |
168. |
Lucius III |
(Ubaldo Allucingoli) |
Light in the Gate |
1 Sept.1181 25 Nov.1185 |
169. |
Urban III |
(Uberto Crivelli) |
The Sow in the Sieve |
25 Nov.1185 20 Oct.1187 |
170. |
Gregory VIII |
(Alberto di Morra) |
Sword of Lawrence |
21 Oct. 17 Dec.1187 |
171. |
Clement III |
(Paulo Scolari) |
He Will Come Out of the School |
19 Dc.1187 Mar.1191 |
172. |
Celestine III |
(Giacinto Boboni) |
From the Animal Country |
30 Mar.1191- 8 Jan.1198 |
173. |
Innocent III |
(Lothar of Segni) |
A Signed Count |
8 Jan.1198 16 July 1216 |
174. |
Honorius III |
(Cencio Savelli) |
A Canon from the Side |
18 July 1216 18 Mar.1227 |
175. |
Gregory IX |
(Ugolino dei Conti di Segni) |
The Bird of Ostia |
19 Mar.1227 22 Aug.1241 |
176. |
Celestine IV |
(Goffredo da Castiglione) |
The Sabine Lion |
25 Oct. 10 Nov. 1241 |
177. |
Innocent IV |
(Sinibaldo Fieschi) |
Count Lawrence |
25 June 1243 7 Dec.1254 |
178. |
Alexander IV |
(Rainaldo dei Conti di Segni) |
Sign of Ostia |
12 Dec.1254 25 May 1261 |
179. |
Urban IV |
(Jacques Pantalιon) |
Jerusalem of Champagne |
29 Aug.1261 2 Oct.1264 |
180. |
Clement IV |
(Guy Foulques) |
The Crushed Dragon |
5 Feb.1265 29 Nov. 1268 |
181. |
Bl.Gregory X |
(Tedaldo Visconti) |
The Snake-man |
1 Sept.1271 10 Jan.1276 |
182. |
Bl.Innocent V |
(Pierre of Tarantaise) |
The French Preacher |
21 Jan.- 22 June 1276 |
183. |
Hadrian |
(Ottobono Fieschi) |
The Good Count |
11 July 18 Aug.1276 |
184. |
John XXI |
(Pedro Juliano, Peter of Spain) |
The Tusculan Fisherman |
8 Sept. 1276 20 May 1277 |
Because of a mistake in the medieval
numbering, no pope has ever borne the title John XX. |
||||
185. |
Nicholas III |
(Giovanni Gaetano Orsini) |
A Well-formed Rose |
25 Nov.1277 22 Aug.1280 |
186. |
Martin IV |
(Simon de Brie (or Brion) |
From the Treasury of Martin with the Lilies |
22 Feb.1281 28 Mar.1285 |
187. |
Honorius IV |
(Giacomo Savelli) |
Of the Leonine Rose |
2 Apr.1285 3 Apr.1287 |
188. |
Nicholas IV |
(Girolamo Masci) |
A Woodpecker Amidst the Food |
22 Feb.1288 4 Apr.1292 |
189. |
St Celestine V |
(Pietro del Morrone) |
Elevated from the Hermitage |
5 July 13 Dec.1294: resigned, died 1296. |
190. |
Boniface VIII |
(Benedetto Caetani) |
From the Benediction of the Waves |
24 Dec.1294 11 Oct.1303 |
191. |
Bl.Benedict XI |
(Niccolo(2) Boccasino) |
A Preacher of Patera |
22 Oct.1303 7 July 1304 |
192. |
Clement V |
(Bertrand de Got) |
Of the Aquitanian Fesses |
5 June 1305 20 Apr. 1314 |
193. |
John XXII |
(Jacques Duθse) |
Of the Bony Shoemaker |
7 Aug.1316 4 Dec.1334 |
* |
Nicholas (V) |
(Pietro Rainalducci) |
The Schismatic Crow |
1328-30 |
194. |
Benedict XII |
(Jacques Fournier) |
The Cold Abbot |
20 Dec.1334 - 25 Apr.1342 |
195. |
Clement VI |
(Pierre Roger) |
Of the Rose of Arras |
7 May 1342 6 Dec.1352 |
196. |
Innocent VI |
(Etienne Aubert) |
From the Mountain of Pammachius |
18 Dec.1352 12 Sept.1362 |
197. |
Bl.Urban V |
(Guillaume de Grimoard) |
The French Viscount |
28 Sept.1362 19 Dec.1370 |
198. |
Gregory XI |
(Pierre Roger) |
A New Man from a Strong Virgin |
30 Dec.1370 27 Mar.1378 |
199. |
Urban VI |
(Bartolommeo Prignano) |
Out of the Teeming Hell |
8 Apr.1378 15 Oct.1389 |
* |
Clement VII |
(Robert of Geneva) |
Of the Apostolic Cross |
1378 94 |
200. |
Boniface IX |
(Pietro Tomacelli) |
The Mixed Cubes |
2 Nov.1389 1 Oct.1404 |
* |
Benedict XIII |
(Pedro de Luna) |
Moon of Cosmedin (1394-1424) |
28 Sept.1394 26 July 1417: died 1423. |
201. |
Innocent VII |
(Cosimo Gentile dei Migliorati) |
Of the Better Star |
17 Oct.1404 6 Nov.1406 |
202. |
Gregory XII |
(Angelo Correr) |
Sailor of the Black Bridge |
30 Nov.1406 4 June 1415: abdicated at Council of
Constance, died 18 Sept. 1417. |
* |
Alexander V |
(Pietro Philargi) |
Scourge of the Sun |
1409 10 |
* |
John XXIII |
(Baldassare Cossa) |
Stag of the Siren |
1410-15: died 1419 |
203. |
Martin V |
(Odo Colonna) |
Pillar of the Golden Awning |
11 Nov.1417 20 Feb.1431 |
* |
Clement VIII |
(Gil Sanchez Munoz) |
|
1423-29: died 1446. |
* |
Benedict (XIV) |
(Bernard Garier) |
|
1425 - ? |
204. |
Eugenius IV |
(Gabriele Condulmaro) |
The Celestial She-Wolf |
3 Mar.1431 23 Feb.1447 |
* |
Felix V |
(Amadeus of Savoy) |
A Lover of the Cross |
1439-49: died 1451 |
205. |
Nicholas V |
(Tommaso Parentucelli) |
Of the Humble Moon |
6 Mar.1447 24 Mar.1455 |
206. |
Callistus III |
(Alfonso Borgia) |
The Browsing Bull |
8 Apr.1455 6 Aug.1458 |
207. |
Pius II |
(Aeneas Silvio Piccolomini) |
Of the Goat and the Inn |
19 Aug.1458 15 Aug.1464 |
208. |
Paul II |
(Pietro Barbo) |
Of a Stag and a Lion |
30 Aug.1464 26 July 1471 |
209. |
Sixtus IV |
(Franscesco della Rovere) |
Franciscan Fisherman |
9 Aug.1471 12 Aug.1484 |
210. |
Innocent VIII |
(Giovanni Battista Cibo) |
Precursor of Sicily |
29 Aug.1484 25 July 1492 |
211. |
Alexander VI |
(Roderigo de Borgia) |
An Alban Ox in the Port |
11 Aug. 1492 18 Aug.1503 |
212. |
Pius III |
(Francesco Todeschini) |
Of a Little Man |
22 Sept.- 18 Oct.1503 |
213. |
Julius II |
(Giuliano della Rovere) |
The Fruit of Juniper Will Avail |
1 Nov.1503 21 Feb.1513 |
214. |
Leo X |
(Giovanni deMedici) |
Of the Gridiron of Politian |
11 Mar.1513 1 Dec.1521 |
215. |
Hadrian VI |
(Adrian Dedel) |
The Lion of Florentius |
9 Jan.1522 12 Sept.1523 |
216. |
Clement VII |
(Giudo deMedici) |
The Flower of the Pill for the Sick |
18 Nov.1523 25 Sept.1534 |
217. |
Paul III |
(Alessandro Farnese) |
The Hyacinth of the Physician |
13 Oct.1534 10 Nov.1549 |
218. |
Julius III |
(Giovanni del Monte) |
Of the Mountain Crown |
8 Feb.1550 23 Mar.1555 |
219. |
Marcellus II |
(Marcello Cervini) |
The Weak Grain |
9 Apr.- 1 May 1555 |
220. |
Paul IV |
(Giovanni Pietro Caraffa) |
Of the Faith of Peter |
23 May 1555 18 Aug.1559 |
221. |
Pius IV |
(Giovanni Angelo Medici) |
The Medicine of Aesculapius |
25 Dec.1559 9 Dec.1565 |
222. |
St. Pius V |
(Michele Ghislieri) |
The Angel of the Wood |
8 Jan. 1566 1 May 1572 |
223. |
Gregory XIII |
(Ugo Buoncompagni) |
A Half-body of the Balls |
14 May 1572 10 Apr.1585 |
224. |
Sixtus V |
(Felice Peretti) |
The Axis in the Midst of the Sign |
24 Apr.1585 27 Aug.1590 |
225. |
Urban VII |
(Giambattista Castagna) |
Of the Heavenly Dew |
15-27 Sept.1590 |
226. |
Gregory XIV |
(Nicolo(2) Sfondrati) |
From the Old City |
5 Dec.1590 16 Oct.1591 |
227. |
Innocent IX |
(Giovanni Antonio Fachinetti) |
A Pius City in War |
29 Oct. 30 Dec. 1591 |
228. |
Clement VIII |
(Ippolito Aldobrandini) |
Cross of Romulus |
30 Jan.1592 5 Mar.1605 |
229. |
Leo XI |
(Alessandro deMedici) |
Man of the Waves |
1-27 Apr.1605 |
230. |
Paul V |
(Camillo Borghese) |
A Perverse Race |
16 May 1605 28 Jan.1621 |
231. |
Gregory XV |
(Alessandro Ludovisi) |
In the Tribulation of Peace |
9 Feb.1621 8 July 1623 |
232. |
Urban VIII |
(Maffeo Barberini) |
The Lily and the Rose |
6 Aug.1623 29 July 1644 |
233. |
Innocent X |
(Giambattista Pamfili) |
The Joy of the Cross |
15 Sept.1644 1 Jan.1655 |
234. |
Alexander VII |
(Fabio Chigi) |
The Guardian of the Mountains |
7 Apr.1655 22 May 1667 |
235. |
Clement IX |
(Giulio Rospigliosi) |
The Star of the Swans |
20 June 1667 9 Dec.1669 |
236. |
Clement X |
(Emilio Altieri) |
Of the Great River |
29 Apr. 1670 22 July 1676 |
237. |
Bl.Innocent XI |
(Benedetto Odescalchi) |
The Insatiable Beast |
21 Sept.1676 11 Aug.1689 |
238. |
Alexander VIII |
(Pietro Ottoboni) |
Glorious Penance |
6 Oct.1689 1 Feb.1691 |
239. |
Innocent XII |
(Antonio Pignatelli) |
Portcullis in the Gate |
12 July 1691 27 Sept.1700 |
240. |
Clement XI |
(Gianfrancesco Albani) |
The Encircling Flowers |
23 Nov.1700 19 Mar.1721 |
241. |
Innocent XIII |
(Michelangelo deConti) |
Of the Good Religious Order |
8 May.1721 7 Mar.1724 |
242. |
Benedict XIII |
(Pietro Francesco Orsini-Gravina) |
A Soldier at War |
27 May 1724 21 Feb.1730 |
243. |
Clement XII |
(Lorenzo Corsini) |
The Lofty Column |
12 July 1730 8 Feb.1740 |
244. |
Benedict XIV |
(Prospero Lorenzo Lambertini) |
A Rural Animal |
17 Aug.1740 3 May 1758 |
245. |
Clement XIII |
(Carlo della Torre Rezzonico) |
The Rose of Umbria |
6 July 1758 2 Feb.1769 |
246. |
Clement XIV |
(Lorenzo Ganganelli) |
The Nimble Bear |
19 May 1769 22 Sept.1774 |
247. |
Pius VI |
(Giovanni Angelo Braschi) |
The Apostolic Wanderer |
15 Feb.1775 29 Aug1799 |
248. |
Pius VII |
(Barnaba Chiaramonte) |
The Rapacious Eagle |
14 Mar.1800 20 July 1823 |
249. |
Leo XII |
(Annibale della Genga) |
The Dog and the Serpent |
28 Sept.1823 10 Feb.1829 |
250. |
Pius VIII |
(Francesca Saverio Castiglione) |
A Religious Man |
31 Mar.1829 30 Nov.1830 |
251. |
Gregory XVI |
(Bartolommeo Cappellari) |
From Balnea in Etruria |
2 Feb.1831 1 June 1846 |
252. |
Pius IX |
(Giovanni Maria Mastai-Ferretti) |
Cross from a Cross |
16 June 1846 7 Feb.1878 |
253. |
Leo XIII |
(Gioacchino Vincenzo Pecci) |
Light in the Heavens |
20 Feb.1878 20 July 1903 |
254. |
Pius X |
(Giuseppe
Melchior Sarto) |
Burning Fire |
4 Aug.1903 20 Aug.1914 |
255. |
Benedict XV |
(Giacomo della Chiesa) |
Religion Devastated |
3 Sept.1914 22 Jan.1922 |
256. |
Pius XI |
(Achille Ratti) |
Intrepid Faith |
6 Feb.1922 10 Feb.1939 |
257. |
Pius XII |
(Eugenio Pacelli) |
The Angelic Shepherd |
2 Mar.1939 9 Oct.1958 |
258. |
John XXIII |
(Angelo Giuseppe Roncalli) |
The Shepherd and the Sailor |
28 Oct.1958 3 June 1963 |
259. |
Paul VI |
(Giovanni Battista Montini) |
Flower of Flowers |
21 June 1963 6 Aug.1978 |
260. |
John Paul I |
(Albino Luciani) |
From the Half of the Moon |
26 Aug. 28 Sept.1978 |
261. |
John Paul II |
(Karol Jozef Wojtyla) |
From the Labor of the Sun |
16 Oct.1978 - 2 April 2005 |
262. |
Benedict XVI |
(Joseph Ratzinger) |
From the Glory of the Olive |
19 April 2005 28 Feb. 2013 |
263. |
Francis I |
(Jorge Mario Bergoglio) |
Peter the Roman? |
13 March 2013 - |
Majina ya
Malachy yamechukuliwa kutoka kwenye Kijedwali cha Nyongeza A: Unabii kamili wa Mt.
Malachy. [The Complete
Prophesy of St. Malachy]
Unahitimisha
kifungu cha Kijedwali Nyongeza A:
Kwenye mateso
ya mwisho ya Kanisa Takatifu la Roma atatawala Petro Mrumi atakayelilisha kundi
lake katikati ya mateso mengi, baada ya ule mji wa
milima saba utakapoangamizwa na hakimu mkali atakapowahukumu watu.