Makanisa ya Kikristo ya Mungu
[292]
(Toleo La 2.0 20020301-20080101)
Maandiko matakatifu yaliyoko kwenye kitabu cha nabii Ezekieli sura za 36-48 is ni unabii wa siku za mwisho na yanahusika na kukielezea kipindi cha milenia kitakavyokuwa chini ya utawala wa Yesu Kristo. Dunia yote itafanya kile anachokielezea nabii Ezekieli kuwa kitafanyika kwenye zama hii ya milenia wakati atakaporudi Bwana wetu Yesu Kristo. Maelekezo yaliyoko hapa ni mwingiliano mwingine kati ya Torati au Sheria za Mungu na pengine na utoaji wa dhabihu, ndio unawatakiwa kufanywa na Kanisa la Kristo leo linapokuwa linafuata Torati au Sheria za Mungu.
Email: secretary@ccg.org
(Haki Miliki ã
2002, 2008 Wade Cox)
(tr. 2012)
Masomo
yaliyo kwenye jarida hili yanaruhusiwa kunukuliwa na
kuwapa watu bure bila kulipishwa kitu, ikiwa tu
Jarida hili linapatikana Ulimwenguni kote
kwenye wavuti yetu ya:
http://www.logon.org au http://www.ccg.org
Utangulizi
Ezekieli 36:17-19 insema kwamba Israeli wakiwa kwenye nchi yao wenyewe waliitia unajisi kwa kufuata njia zao wenyewe na kufanya mambo yao wenyewe kama walivyoona vyema machoni pao, na Mungu aliwatawanya kwenye mataifa ya kipagani ambako walidhalilishwa na kutumikishwa kwenye mataifa haya yote, sawa sawa na uovu wao walioufanya na matendo yao maovu waliyoyaaanya.
Ezekieli 36:24-38: Mungu anasena kwamba atawafanya upya
Israeli kwa kuitia ndani ya mioyo
Swali
la 1. Je, Israeli ni nini au ni kina nani?
Jibu: taifa la
Israeli limeanzishwa kwa mjumuisho wa makabila
yanayotokana na wana wa Yakobo, na amnao hatimaye walikuja julikana
Baada ya kufa kwao kina Daudi na
mwanae Sulemani, taifa hili la Israeli liliigawanyika kwa sehemu mbili, huku
makabila kumi yakaunda dola ya kaskazini ya nchi hii ya Kanani, na wakauchagua
Yale makabila kumi ya kaskazini walishamiri na kuziandama ibada
za sanamu na hatimaye waliishilia kwa kwenda utumwani Ashuru mwaka 722KK, na
walisukumiliwa mbali hadi kwenye Mto Araxes wa Mesapotamia, na walibaki huko hadi
kwenye karne ya pili ya mujibu wa tarehe za leo na kuanguka kwa Dola ya
Waparthi. Makabila haya yalikuwa ni miongoni mwa
makabila makubwa na yenye watu wengi ya Israeli. Katika kuanguka kwake Dola ya
Waparthi, makabila haya yaliendelea mbele hadi kwenye maeneo ya pande za
kaskazini magharibi hadi kwenye maeneo ya pande za Magharibi ya Ulaya na kuingia kwenye visiwa vya Uingereza, ambako waliungana na
kuchanganika na tabaka nyingine za makabila mengine ambayo yaliingia huko miaka
mingi iliyopita kabla
Hatimaye, Yuda nao walikwenye utumwani Babeli takriban mwaka
597KK na walirudi kwenye Nchi
Tangu kipindi hiki cha huduma ya Masihi na
kuja kwa Roho Mtakatifu siku ya Pentekoste ya mwaka 30BK, taifa la Israeli
lilifanyika kuwa ni jeshi la kiroho, na Hekalu la Mungu likafanyika kuwa ni jumba
la mawe yaliyo hai. Mawe haya yakliyohai yalijumuisha pia mataifa ya Kipagani kwa kuwa kuongezeka kwa taifa la Israeli kulitegemea
makabila yakiongozwa na maelekezo ya kiroho na kufunuliwa kwenye Ufufuo wa
Baada ya kurudi kwao kutoka utumwani Babeli wakiwa na John Hyrcanus, makabila ya Waedomu walijisalimisha na kufanyika kuwa ni sehemu ya Wayahudi kwenye nchi ya Yudea. Baada ya kutawanyika kwa Wayahudi tangu mwaka huu wa 70BK, katika mwaka wa 740KK, makabila ya Wagomeri ya Waashikenazi waliongezwa kwenye hesabu ya makabila ya Yuda baada ya kuikubali imani ya Kiyahudi kwa upande wa Nyika za kusini mwa nchi ya Urusi.
Kwa hiyo ikumbukwe kwamba sio Wayahudi wote tuwajuao leo kuwa ni wana wa Israeli na sio Waisraeli wote tuwajuao leo kuwa ni Wayahudi. Kwa kuongoka kwao Wamataifa, Israeli inakuwa ni jamii kubwa na pana ya kimwili na kiroho na walio kwenye ahadi ya baraka za Irahimu kwa kupitia ahadi iliyo kwenye haki ya uzaliwa waliyopewa makabila haya.
Kwenye kitabu hiki cha Ezekieli tunaona maeneo zaidi yanayoonyesha kuwepo kwa makabila yaliyo karibu na Hekalu (tazama hapo chini).
Maelezo yenye kufafanua kwa kina kuhusu wana wa Ibrahimu na wana wa Israeli yametolewa kwa kina zaidi kwenye jarida la Lazaro na Tajiri (Na. 228) [Lazarus and the Rich Man (No. 228)].
Swali la 2. Je, Kuna marejesho mapya mengine yoyote ya Israeli yaliyowahi kutokea hapo kabla?
Matengenezo mapya ya Yuda yalianza kuchukua mkondo wake kwa kuichukua tena ardhi ya Palestina kwenye Vita Kuu ya
Sehemu ya 2
Ufufuo na Marejesho Mapya
Ezekieli 37 inaelezea juu ya maono ya ufufuo wa watu na kuungana tena kwa Israeli na Yuda, na kurudi kwa Isaeli kwenye nchi waliyopewa na baba zao. Kutakuwa na taifa moja na Daudi ndiye atakuwa mfalme wao.
Swali
la 3. Je, ufufuo huu
ulioandikwa kwenye Ezekieli 37 ndiyo Ufufuo ule wa
Jibu: Ufufuo huu ulioonyeshwa kwenye Ezekieli 37 unaelezea
kuhusu kurejeshwa na kutengenezwa upya kwa Israeli
kwenye Nchi ya Ahadi, na kutimilika kwa kipindi cha Ufufuo wa
Pia inaonyesha kwamba ufufuo huu wote utakuwa ni wa miili na mbao utafanyika kwa kubadilishwa kwa miili ya
watwule watakao fufuliwa kwa kuthibitisha yasemavyo Maandiko Matakatifu. Na
kila mtu aliyewahi kufa huko nyuma atafufuliwa akiwa ni
mtu mwenye haiba ya kibinadamu na kubadilishwa miili
Swali la 4. Je, teno hili la kuungana kwa yuda na Israeli litafanyika kipindi hiki cha ufufuo? Na kama sio watati huu, basi litafanyika wakati gani?
Jibu: Tendo la kuungana kwa Yuda na Israeli litafanyika baada ya kuongoka kwao Yuda na kumgeukia Mungu na ni kipindi cha kurudi kwa Masihi.
Sehemu ya 3
Vita ya Gogu na Magogu
Ezekieli 38-39 inaelezea juu ya vita ya Gogu, Magogu na mataifa mengine ya kipagani, watakaojipanga dhidi ya Israeli na ambayo itapelekea kuhukumiwa kwao.
Swali la 5. Tunajua kwamba mataifa haya yatainuka kinyume na Israeli kwenye kipindi cha mwisho wa Milenia. Kama ni hivyo basi, tunaweza kuona kuwa inamaanisha kuwa ni unabii unaojirudia na kufanya kazi mara mbili, na kwamba vita hivi vitatokea vyote kwenye kipindi cha mwanzo na mwishoni mwa Milenia?
Jibu: Vita hivi vya hawa
Gogu na Magogu vina maana mbili. Vitatikeo kwenye
kipindi cha mwanzoni mwa Milenia, wakati wa kumwagwa
kwa vitasa vya ghadhabu ya Mungu kama vilivyotajwa kwenye Ufunuo 16, ili kumtukuza
Mungu machoni pa watu wa dunia na kuonyesha hasira yake kwa mataifa. Pia kuna vita nyingine ya mataifa iliyoandikwa kwenye Ufunuo 20:7-10.
Vita hii itapiganwa mwishoni mwa kipindi cha Milenia na
itahusisha watu wa vikundi hivihivi watakaojaribu kuwaangamiza watu wa Mungu na
kuliharibu Hekalu la Mungu.
Swali la 6. Kama kuna vita mbili basi na ambazo kila moja itapiganwa uppande mmoja wa Milenia, basi je, ni makamio au humuku zilezile, magonjwa, nk, yatatokea kwenye matukio haha yote?
Jibu: Biblia
inaonekana kugusia kusema kwamba Mungu atawaangamiza, lakini maandiko
yanayoiengelea ile vita ya mwisho hayasemi lolote kuhusu
Ezekieli 39 inaelezea kwa ufasaha
Sehemu ya 4
Hekalu
Ezekieli 40–43 inaelezea kuhusu Hekalu.
Swali la 7. Je, Hekalu hili litakalojengwa litatumika kwenye kipindi chote cha Milenia?
Jibu: Ndiyo. Hekalu hili linalielezewa hapa kwenye milenia hii ya Ezekieli na mambo yote yatakayofanywa ndani yake litadumu kwa kipindi chote cha milenia. Na Hekalu hili linamaana mbili yaani kimwili na kiroho.
Swali la 8. Je, utoaji wa dhabihu utarejea na kufanywa tena? Na kama ni hivyo, ni kwa nini?
Jibu: Moja ya mambo
ya kushangaza yanayoelezwa kwenye unabii na yanayohusiana
na kazi za hekalu hili ni ukweli kwamba ni dhabihu za asubuhi tu ndizo
zitakazokuwa zinatolewa huko. Unabii unaelezea ukweli wa
kwamba dhabihu zitakazotolewa Hekaluni vilikuwa ni kivuli tu kilichomlenga
Kristo na Kanisa lake. Dhabihu hizi zilikamilika kwa
kuja kwake Kristo, lakini ilililenga pia Kanisa likiwa
Ulaji wa nyama utakuwepo na kuendelea wakati huu kipindi cha Hekalu na vyombo vya Hekalu vilivyo vitakatifu kwa Bwana. Utaratibu wa kutoa Zaka utawezesha kufanyika kuwepo kwa kilamara chakula cha kutosha kwenye Sabato za Bwana ili kuwapa watu wote kwenye nchi nzima. Jambo hili limeelezewa kwa kina kwenye Changizo la Mfalme kwenye Ezekieli 45. Utoaji wa changizo la nyama kwenye Sikukuu limeelezewa kwenye Zekaria 14:16-21.
Tendo la kubadilishwa miili linaloelezewa kwenye Zekaria 14:16-21 hasa ukisoma tafsiri ya New Revised Standard Version inayobeba maana halisi kwa kutumiwa neno linalomaanisha Wakanaani kwenye tafsiri ya Mfalme Yakobo (KJV) inayosema kwamba: “Hakutakuwa na mtu wa kufanya biashara kwenye nyumba ya Bwana wa Majeshi siku hiyo”.
Swali la 9. Je, dhabihu hizi zinatukumbusha dhabihu ya Kristo, au wana dhabihu nyingine zaidi?
Jebu: Mambo yote yahusuyo dhabihu hizi na yanayohusika na kurejeshwa kwa utaratibu wa ibadakatika Israeli, na ili kulionysha kwamba utaratibu uliotolewa na Mungu ulikuwa ni wa haki na sahihi. Tendo la kuwaua wanyama wa ajili ya nyama kunahitaji umwagaji wa damu na ilitolewa kwa ajili ya msamaha na upatanisho na ambayo itakuwa ni sehemu ya utaratibu wa Hekalu. Kwa mara nyingine tena makuhani watashughulika na kazi ya kuchinja wanyama.
Suala la kufanya upatanisha kwa ajili ya dhambi ambazo ni deni litarejeshwa tena na Torati. Mambo haya yameelezewa kwa kina kwenye jarida la Sheria za Mungu (Na. L1) [The Law of God (No. L1)].
Utaratibu uliofanywa kwenye Kalenda ya Mungu, na wanyama, natoa hakikisho kwamba utendaji sahihi wa utaratibu unatuama na kufanyika na Sikukuu zilizoamriwa zinweza kuadhimishwa na rasrimali zake.
Maongozi na Taratibu za Hekaluni
Ezekieli 44 inaelezea kuhusu taratibu zitakavyokuwa Hekaluni.
Jibu: Uingiaji kwenye Hekalu utawekewa utaratibu wake. Hataruhusiwa yeyote ila Mfalme tu ndiye atakayeruhusiwa kuingia kwenye lango la nje linaloelekea upande wa mashariki. Ni yeye tu ndiye atakayeingia kwa kupitia lango la mashariki na ataondoka kwa kupitia lango hilohilo.
Wengine wataingia kupitia lango lingine na
kutokea nje kwa kupitia lango lingine lililomkabala nayo; kwa mfano, kutoka
lango la kusini kwa lango la kaskazini. Ni wale tu wasio Waisraeli asilia bali walioongoka na kutahiriwa miili na moyo
Walawi waliopotoka kwa kuziandama
ibada za sanamu watachukua hukumu zao. Watahudumu mahali patakatifu, wakifanya
ulinzi wa malango ya Hekalu na watafanya kazi ya
kuchinja sadaka za kuteketezwa na kuwahudumia watu. Na kwakuwa waliwasababisha
Israeli wapotoke, Walawi hawatasogea mbele za Mungu
Kwa maneno mengine ni kusema kwamba, Walawi ambao sio sehemu ya wateule, wala kuwa miongoni mwa wale 144,000 au kuwa miongoni mwa ule Mokutano Mkuu, hawatajongea mbele za Mungu katika Roho, bali watatumika kwenye utaratibu wa kawaida na wa kibinadamu tu.
Ukuhani wa Sadoki uliruhusu kwenda mbele
za Mungu kwa kuwa walikuwa ni waaminifu katika Lawi. Kwa hiyo tunashughulika na maeneo mawili tofauti ya kikuhani, kundi lile ambalo lilikuwa
ni la waaminifu katika Lawi ndilo litakalokuwa na sehemu kwenye ufufuo wa
Swali la 11. Je, kazi ya hawa Walawi na makuhani ni nini?
Jibu: waovu na wasiomcha Mungu na kuwa waaminifu kwake hawataruhusiwa
kufanya kazi wala kuhudumu Hekaluni.
Wale waaminifu na wenye kumcha
Mungu tu ndio watakaoingia mahali Patakatifu. Kwa maneno mengine ni kusema kwamba, wana wa Mungu waliozaliwa mara ya pili
katika Roho ndio watakaoruhusiwa kuja mbele za Mungu na kuhudumu wakiwa
Kwa hiyo, uaminifu kwenye huduma hii ya kikuhani ni muhimu
Swali la 12. Je, ni nini vitakuwa vigezo, mwenendo, dhabihu na hukumu ya makuhani?
Jibu: Makuhani waaminifu wataingia kwenye Ua wa Ndani wakivaa kanzu za hariri. Mwonekano huu una maana kuu mbili zijuatazo.
Makuhani waminifu watakaokuwa hai kipindi hiki cha Milenia watafanya kazi zitakazoagizwa na Masihi kulingana na taratibu za Upatanisho.
Wale wateule na ambao wamefanikiwa
kuingia kwenye vazi la hariri mbele za Mungu,
Utaratibu wa kutoa zaka utarejeshwa tena na makuhani watahudumu(Eze. 44:28-31).
Sehemu ya 5
Mgawanyo wa Nchi kwa Makabila
Ezekieli 45 inaelezea juu ya marejesho na
matengenezo mapya ya Israeli, ambayo hasa ni kwa maeneo ya nchi kimakabila
ambayo yameelezewa kwenye sura ya 48.
Ezekieli 45:1 inasema kwamba kipindi ambacho nchi itakapogawanywa kwa kuipigia kura kwa uriithi wa Israeli, ndipo sadaka takatifu itatolewa kwa Bwana. Dhabihu hii itajumuisha sehemu ya nchi au ardhi yenye ukubwa fulani uliowekwa kwa maelekezo maalumu. Aya kadhaa zinazofuatia zinaelezea patakatifu penyewe, ukubwa wake, mahali patakapojengwa nyumba za makuhani, Walawi, na Mkuu wa nchi.
Swali la 13. Kwa kuwa kwa sasa tunaye kuhani aliye na Haiba sawa na ya Melkizedeki, hawa Walawi ni kina nani na kwa nini wanahitajika tena?
Jibu: Lugha inayotumika kwenye Biblia inaonyesha ukuhani wa Kilawi ambao ulishindwa na kazi zake za utumishi za Hekaluni. Kuna mgawanyo wa makuhani na ule wa Mfano wa Melkizedeki haukutajwa hapa. Tunajua kwamba kundi hili la Walawi waaminifu wamewekwa kundi moja na wale 144,000 na Mkutano Mkubwa unaoonekana kwenye Ufunuo 7. kitabu cha Waebrania kinatuambia kwamba Haiba hii ya Melkizedeki iko kwa Kristo. Mfale anatajwa, na kutengwa kwa maeneo ya makuhani kulikotajwa hap ani kwa mfano n ani ugawaji wa kweli kwa namna mbili mwendelezo wa somo la kwenye unabii kwa namna hizohizo mbili.
Swali la 14. Je, ni nani basi huyu Mfalme anayetajwa kwenye maandiko haya? Je, Mfalme huyu ni Kristo ua Daudi? Na kwa kuwa kuna ardhi inayotengwa kwa ajili yake, basi ni rahisi kwa mtu kuamini na kudhania kuwa atakuwa ni Daudi, na kwa kuwa Kristo ni mtu katika roho na anaweza kunionyesha akipenda.
Jibu: Ni wote wawili, kwa hili Kristo ni Mfalme wa Israeli na Daudi anatawala chini
yake. Sisis sote ni watu wa nyumbani mwa Daudi na
tunakuwa
Sehemu ya 6
Dhabihu ya Upatanisho
Ezekieli 45:13-16: hay ani maelekezo yahusuyo dhabihu za nafaka, mafuta na sadaka za mafuta, pamoja na kondoo wa kutoka kila kondoo 200 – kwenye Sikukuu zilizoamriwa, Miandamo ya Mwezi na Sabato—ili kufanya upatanisho kwa nyumba yote ya Israeli. Haya yote yatatolewa na watu kwa Mfalme. Kwenye aya ya 17, wajibu wa Mfalme utakuwa ni kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za nyama na sadaka za vinywaji ili kuifanyia upatanisho kwa Nyumba ya Israeli (sawasawa na ilivyoelezewa kwenye jarida la Zaka (Na. 161) [Tithing (No. 161)].
Swali 15. Hii inaonyesha kuwa ni maelekezo mahsusi unaofuatia kurudi kwa Kristo ili kuwapatanisha watu kwa Mungu?
Swali: Sadaka inayofanywa
kwa makusanyo ya Mfalme itatolewa siku za Sabato,
Miandamo ya Mwezi na kwenye Sikukuu zilizoamriwa, na siku hizi zitakuwa ni
Sabato kwa Bwana, Mungu wa Israeli. Kwenye mfumo wa
utoaji wa zaka, Israeli wote wataweza kula mbele za Bwana licha ya mazingira
yalivyo. Ni wajibu wa Mfalme kutoa mchango huu. Kwa
hiyo, mtawala wa Israeli atakuchua nafasi yake kwa kipindi
endelevu.
Sehemu ya 7
Utakaso wa Patakatifu
Ezekieli 45:18: Inasema kwamba siku ya 1 ya mwezi wa 1 ng’ombe dume mchanga alitolewa sadaka ili kupatakasa
mahali patakatifu.
Swali
la 16. Je, hii ndiyo ile siku
ya 1 ya mwezi wa 1 ya mwaka wa 1 ya kipindi cha Yubile ya 1 ikiwa
chini ya utawala wa moja kwa moja wa Kristo, wakati Shetani akiwa amefungwa
na haitawali tena hii dunia?
Jibu: Ndiyo!
Kwenye kipindi chote cha utawala wa milenia
utakapoanza na kama katika siku ya Kwanza ya mwezi wa
Swali la 17. Je, maelekezo haya yananyesha kuwa yanatolewa ili kupasafisha na kupatakasa mahali patakatifu palipojengwa upya tena?
Jibu: Tendo hili la
kupatakasa mahali patakatifu au maskani ni muhimu kwa mujibu wa Torati, na
palichukuliwa na Masihi tangu Mwaka Mpya wa mwaka wa kutolewa dhabihu ili kutuonyesha
kwamba ni muhimu tangia Mwaka Mpya wa Sikukuu ya Pasaka na Mikate Isiyotiwa Chachu.
Upatanisho Kwa Ajili ya Hekalu
Ezekieli 45:20: Dhabihu ile ile ya siku ya 7 inapaswa kutolewa kwa ajili ya dhambi zilizofanywa bila kukusudia au kwa kupotoshwa. Na kwa hiyo utafanya upatanisho kwa ajili ya Hekalu.
Swali la 18. Hii inaonekana kwamba ni dhabihu ya muhimu sana ya Hekalu hili lililojengwa upya, na watu wanaokusanyika tena pamoja ambao wanahitaji kufundishwa tena Amri hizi za Mungu na sheria zake na zinawezaje kufanywa?
Jibu: Ukweli kuhusu
utakaso kwa ajili dhambi zilizofanywa bila kukusudia
au kwa kupotoshwa kunatuonyesha kwa dhahiri kwamba wajibu wetu ni mchakato wa
Utakaso wa Hekalu na wa watu. Inaonyesha kwa watenda dhambi wote na
waliopungukiwa kimakosa na ujinga, na sisi, kwa mkabilio wa kawaida kwa Mungu
kwa kupitia kwa Kristo, kuomba msamaha na upatanisho na kuwarejesha watu wetu. Tunafanya
hilo kila mwaka kwenye taratibu zetu za kidini kwa kuliadhimisha moja ya mambo
aliyoyafanya Kristo kwenye maadhimisho yake ya Pasaka na akiwa ni Bwana wetu na
tunaona pia jinsi Musa alivyotufanyia ili kwamba tusipatwe na mateso katika
nchi ya Misri, na pia jinsi Samweli na wenngine waliokuwa Waamuzi wa Israeli
walivyotufantia, na kama alivyofanya Daudi na manabii, na Kristo na hatimaye Kanisa,
kwa mchakato unaoendelea. Ni kama walivyowahukumu Israeli
chini ya Kristo. Tunaomba na kufunga tukiliombea dua
taifa
Swali
la 19. Kama wateule ni Hekalu la Mungu kwa maana ya kiroho, na kama hili ni Hekalu la
kimwili, kwa hiyo basi, hiyo siyo dhambi zilizofanywa kwa bahati mbaya
na kwa kupotoshwa kwa wale walio kwenye Nyumba ya Israeli?
Jibu: Wale walio
kwenye kundi la wanaofanya dhambi wasizozikusudia na
kupotoshwa ni wale wanaohesabiwa kuwa wamefanya dhambi haijalishi asili
Swali
la 20. Je, sisi hatumo
miongoni mwa walio kwenye kundi hili la wanaofanya dhambi bila kukusudia au kwa kupotoshwa?
Jibu: Wateule ni wateule waliochaguliwa na Mungu ambao wanapaswa kujiendeleza
kwenye uelewa wao juu ya Mungu Mmoja na wa Kweli na kumjua Yesu Kristo
aliyemtuma (Yohana 17:3). Watafanya makosa wakikosa kulijua
Swali la 21A. Je, siyo dhabihu ya Kristo ndiyo iliyotufanya sisi kusamehewa dhambi zetu mara moja tu na kwa wote?
Jibu: Mchakato
huu hauna la kufanya kutoka kwenye ukweli wa kwamba
Kristo ndiye aliyefanya upatanisho wetu ns ni mara moja tu na kwa wote. Mambo
tunayoyatenda ni sehemu ya kazi za Kanisa
kushughulikia watu wake na kuwaleta kwa Mungu. Kukosea kuujua wajibu wetu kwa
mapana yake kwa wateule kunatokana na mawazo yaliyoingizwa kwetu na kuzoeleka yaliyotokana
na mapokeo ya wakuu wa daraja za juu wa kidini na yaliyotokana na hali ya
kuwabagua na kuwatenga wateule kutoka kwenye jamii zetu wanazoishi. Mgwanyiko
huu umepelekea kwenye hali ya kukosa kuelewa umuhimu wa
maombi za kuombea wengine ambayo ni muhimu
Swali la 21B. Kwa kuwa Musa alikwenda mlimani pekeyake na wengine wote hawakwenda. Na akashuka chini kutoka mlimani
mbele za watu wake na kuwatafasa watu (Kutoka
19:10-14). Je, hii inanaana sawa na kwetu sisi leo,
tunvyafanya hivyo kwa pale tunapofanya hivyo wakati tunapobqatizwa kama
makuhani na tunastahili kwenda kwenye Kiti cha Enzi cha Mungu, wakati
mtu asiyebatizwa hawezi kustahili hivyo?
Jibu: Jambo muhimu kuelewa
hap ani kwamba kuna utaratibu mtambuka wa utakaso. Wazaliwa
wa kwanza wa Kiisraeli anakuwa ametakaswa kwa jinsi ya kuzaliwa kwake tu, na
anastahili kukutana na kuuona “Uso wa Mungu”, na kama tujuavyo ni kwa kupitia
kwa Yesu Kristo. Na ndivyo ilivyo hata kwetu sisi leo.
Hekalu linakuwa limetakaswa tangia Mwanzoni mwa Mwezi wa
Swali la 21C. Kwa hiyo, sisi tukiwa kama Hekalu la Mungu
na madhabahu ya Mungu, tunaoweza kufanya dua na maombezi kwa Mungu tukiwa kama
mfano wa kujitoa na kujikana wenyewe na kuwatakasa watu waliofanya makosa na kwa
kupotoshwa na kutokujua kwao?
Jibu: mchakato wa utakaso ni mojawapo ya utakaso wa ndani. Bwana ndiye anayetutakasa sisi (Kutoka 31:13; Walawi 20:8; 21:8;
22:9). Madhabahu hutakasa dhabihu znazoiletwa kwakuwa
kila kinachoigusa madhabahu kinafanyika kuwa kitakatifu (Kutoka 29:37). Hata chatezo zinazotumika mzdhabahuni huwa vitakatifu pia (Kutoka
30:29). Hata hivyo, uwepo wa Mungu kwenye
Maskani ndio unaofanya kuwe na utakaso huu (Kutoka 29:43; 40:34-35). Kwa hiyo, uwepo
wa Mungu kwa wateule wake kama Roho Mtakatifu
kunafanya uwepo wa Mwili wa Masihi
Tunatakaswa kwa
Kweli kwa pendo lake. Kristo alijitakasa yeye mwenyewe kwa
ajili yetu nasi tunapaswa kujitakasa kwa Kweli yake, ambayo ni neno la Mungu (Yohana
17:17).
Swali
la 22. Ikiwa kama ni sadaka ileile ndiyo inatakiwa kutolewa siku ya 7 kama
ilivyokuwa inatolewa siku ya 1, je, siku hii inapaswa kuadhimishwa
Jibu: Andiko
linasema: “nanyi mtafanya vivyohivyo katika siku ya saba
Mchakato wa Utakaso unaeleweka kwa neno linalotumika la kutakasa.
Kwa mujibu wa Kamusi maarufu ya Oxford Universal Dictionary, neno Takasa, maana yake ni “kutenga
mbali au kuweka kitu mbali kwa ajili ya kutumika kikazi au kwa huduma; kuweka
wakfu [
Tunaliombea taifa na kwenda kwenye
Kiti cha Enzi cha neema,
Tunatafuta msamaha na rehema kwa
uhusiano wa moja kwa moja na Mungu kwa kupitia kwa Yesu Kristo. Mungu
anatuambia kwa kupitia kwa watumishi wake manabii
kwamba sisi tunalitakasa kutaniko kwa kufunga (Yoeli 1:14; 2:15-17). Tunamuomba
Mungu atusamehe na pia tufanyike kuwa wenye juhudi kwa
watu wake na kwa nchi yake na kutufanya tusitukanwe na kudharauliwa tena kati
ya mataifa. Je, hili sio jambo la muhimu
Kwa ajili ile ndyo maana tunafunga siku ya Saba ya mwezi wa
Swali la 23. Ikiwa kama siku ya 7 ya mwezi wa 1 ni siku ya kufanya kutaniko
takatifu. Je, hii inamaana kuwa tunaiadhimisha siku hii
Jibu: Andiko hili
linasema kwamba kile tunachokifanya Siku ya Saba ndicho tukifanye pia siku hii
ya
Swali
la 24. Ng’ombe dume atatolewa
sadaka siku ya 1, na ya 7 na ya 14 ya mwezi wa 1. Je,
kila mmoja wa ng’ombe hawa anakuwa ni ashirio na
anamwakilisha Kristo
Jibu: Jib uni
ndiyo! Mambo haya yote yanamlenga Lristo ambaye ni
Pasaka na yule ng’ombe dume anayetolewa sadaka. Ni kwa
kupitia uweza huu katika kuelewa kile alichokifanya na kile tunachopswa
kukifanya sisi tukiwa
Swali la 25. Je, jambo hili lina maana gani ya kiroho?
Jibu: Tunapaswa kuwa
Mfuatano wa mambo kwa Kanisa unaanza siku ya 1 ya mwezi wa Abibu hadi
siku ya 14 Abibu, na kwa taifa tangia siku ya 15 Abibu hadi 21 Abibu, ambazo ni
adhimisho la Idi ya Mikate Isiyotiwa Chachu. Kwa hiyo, mwezi wa
saumu unafanyika kuwa ni kwa
upatanisho wa Israeli na mataifa walioitwa ndani yake na wanaoendelea vizuri.
Pasaka
Ezekieli 45:21: Ayah ii inatoa maelezo kwamba siku ya 14 ya mwezi huu wa kwanza, Pasaka iadhimishwe. Hii ni Sikukuu inayodumu na kuadhimshwa kwa siku saba, na mikate isiyotiwa chachu tu ndiyo iliwe. Ni wajibu wa Mfalme kuandaa dhabihu kamilifu kwa kila siku, na zimeelezwa. Sura hii inafungwa kwa kutoa maelekezo kwamba kutolewe sadaka kwa ajili ya Sikukuu katika siku ya 15 sawa na ile ya mwezi wa 7. hakujasemwa neno lolote kuhusu mwingiliano wa Siku hizi Takatifu.
Swali la 26. Je, hali hii ya kutosemwa lolote inaweza kumaanisha kuwa siku hizo hazihitajiki kuadhimishwa tena?
Jibu: Hapana! Haimaanishi hivyo. Sikukuu ya siku saba
ilitakiwa iadhimishwe
Huu ni mpangilio wa milenia. Israeli wanapaswa kuzingatia utoaji huu wa dhabihu na kutunza taratibu zake kwenye Sikukuu zote zilizoamriwa na Siku Takatifu zake zote. Ni kuonyesha utii kwao kwenye kile kinachosisitizwa kwenye Torati (sawa na inavyosema Isaya 66:23; Zekaria 14:16-19).
Swali
la 27. Kwa kuwa sadaka ni ukumbusho wa sadaka ya upatanisho ya Kristo, je,
hii haionyeshi kitu chochote cha siku zinazokuja
Jibu: Ndiyo! Utakaso unahitaji sadaka ya Kristo peke yake na sababu inayotufanya sisi tufikie hapa tulip oleo na kuweza kutembea kwa ujasiri kwenye Kiti cha Rehema, hakika ni kwa ajili ya kukubalika huku.
Hakuhitajiki dhabihu nyingine tena yoyote ili
kutupatanisha. Tunawahitaji watu wetu watuombee kwa
sala na dua
Haijaagizwa kuwa “tuzitese nafsi zetu”
Swali
la 28. Kama Kristo
ametupatanisha tayari n amara moja tu, je, juhudi na
majaribio tunayoyafa sasa, hayapingani na maana halisi ya dhabihu ya Kristo
na kuonekana kwamba tunafanya jambo lilelile la kutoa dhabihu ya Siku ya
Upatanisho?
Jibu: Hapana! Haiwezi kuwa na maana hiyo. Tumeamriwa kufunga saumu siku ya Upatanisho na Kristo amekwisha kutupatanisha. Kwa hiyo, kwa ajili hiyo tunayoyafanya siku ya Upatanisho yangemaanisha kuwa tunaionea mashaka dhabihu aliyoitoa.Kristo, kitu ambacho hakiwezekani, nah ii inabakia kuwa ni Amri ya Mungu ya milele. Kwa jinsi hiyohiyo, ni kwamba kila Siku Takatifu inaelekeza kwenye jambo au tukio fulani kwenye Mpango wa Mungu, na kila sadaka pia ina taswira ya jambo fulani kwenye tukio lile. Tunaamini kuwa siku ziko kwenye kumbukumbu za Mungu. Kwa jinsi hiyohiyo, tunamuadhimisha Kristo kwenye Meza ya Bwana, tukikutanika kwenye usiku uleule ambao alisalitiwa na tunashiriki kwa kuula mkate na kunywa mvinyo baada ya kuoshana miguu kwa muadhimisha yeye—na sio kwa kumwakilisha yeye.
Swali
la 29. Kwa kuwa kufunga kwetu
saumu tunamuomba Mungu atusaidie na kutusamehe kwa dhambi tulizozifanya bila
kukusudia na kwa kupotoshwa, lakini je, kuna mahali ambapo Maandiko Matakatifu yanasema
moja kwa moja kwamba tunaweza kuwafanyia upatanisho wao?
Jibu: Tunafanya dua zetu na maombi kuwaombea wao kwa uweza ule ambao tumepewa na Mungu kupitia kwa Kristo. Katu hatuwafanyii upatanisho.
Sehemu ya 8
Sabato na Miandamo ya Mwezi
Ezekieli 46 inaelezea juu ya jinsi atakavyingia Mfalme siku za Sabato, Miandamo ya Mwezi na sadaka zitakazotolewa kwenye siku hizo.
Swali la 30. Kwa mujibu wa Maandiko haya, je, siku ya Mwandamo wa Mwezi ni ya kufanya kazi au ni ya Sabato?
Jibu Imewekwa
kwenye kiwango sawa na zile siku zilizokatazwa kufanya
kazi
Wakati wa kipindi hiki cha Hekalu,
Kuhani Mkuu ataingia Hekaluni kwenye maaadhimisho ya ain azote mbili, yaani
Miandamo ya Mwezi na Sabato zinapofika. (angalia
tulivyoandika hapo chini) na hakuna biashara yoyote iliyoruhusiwa kufanywa siku
hizi za Miandamo ya Mwezi katika siku hizi za Israeli ya kale. Soma majarida haya
hapa chini: Maswali
Yanayoulizwa Mara kwa Mara: Miandamo ya Mwezi (Na.
158) na Miandamo ya Mwezi (Na. 125) [Frequently
Asked Questions: The New Moons (No. 158)] na The New Moons (No. 125)].
Tendo la Mfalme kuingia kwa kupitia lango la mashariki siku za Miandao ya Mwezi na Sabato ila sio kwa siku za kazi kunauthibitisha mtazamo huu.
Lango la upande wa mashariki mwa Mlima wa Hekalu hadi siku za leo umezungushiwa ukuta, ili kumsubiri Mfalme huhu aje na kungia siku ya kurudi kwake.
Wayahudi wote, wakiweko wale Wayahudi walio kwenye nchi za Utawanyiko, wanaendelea kuzidhimisha Sabato, Miandamo ya Mwezi na Sikukuu zilizoamriwa za kila mwaka. (Kwa mujibu wa E. Schürer, kwenye kitabu chake cha Historia ya Wayahudi Katika Nyakati za Kristo, toleo la III ukurasa wa 144, (The History of the Jewish People in the Age of Jesus Christ, vol. III.i, p. 144).
Ni Kuhani Mkuu tu ndiye aliyeruhusiwa kutoa dhabihu ya dhambi kuu kwa niaba ya taifa zima katika Siku hii ya Upatanisho (Walawi 16), vinginevyo alikuwa na uhuru kutoa dhabihu wakati wowote aliotaka kufanya hivyo. Josephus aliandika kwamba pia alitoa sadaka za kila siku katika juma lililotangulia siku hii ya Upatanisho [Kwenye kitabu chake cha Vita ya Wayahudi, kifungu cha 5 na 7 (Wars of the Jews, v. 5,7)]. Kwa mujibu wa Josephus, pia alitoa dhabihu kwenye matukio ya Sikukuu za Waisraeli, zilizoitwa kuwa Siku za Sabato, kila Mwandamo wa Mwezi, na katika kila Siku ya Mwaka Mpya ambayo ilikuwa pia ni siku ya Mwandamo wa Mwezi. Sadaka hizi zisichanganishwe mawazoni na zile sadaka za nafaka zilizotolewa kila siku ambazo ziliamriwa zitolewe kwa ajili yake mwenyewe (kitabu cha Schürer, toleo la II, ukurasa 276).
Pia Wafalme walitoa sadaka zao kwa kufuata utaratibu wa Hekaluni, na hususan baadae walifanywa kwa Waasmonea.
Sehemu ya 9
Milki ya Israeli
Ezekieli 47:23 inasema kwamba itakuja kutokea kwamba katika
kila kabila moja wanakoishi hali ya ugeni, kuna Israeli watatoa na kumpa milki
Swali la 31. Hii inaonyesha kuwa wakati kipindi hiki cha Milenia kitakapoanza kutakuwa na wageni (watu wasioongoka) katikati ya wana walio kwenye Nyumba ya Israeli na ambao watakubalika katika makabila ya nchi wanazoishi leo. Je, kufikiri hivi vi sahihi, au kuna jambo linalotakiwa kulijua zaidi ambalo halijaeleweka hapa?
Jibu: Ndiyo!
Wageni na wasafiri au wapitaji ni wengi kwenye makabila
na wataishi pamoja nasi
Sura ya 47 inaelezea juu ya jinsi nchi itakavyoponywa na maeneo ya nchi yanayohusika.
Sura ya 48 inaelezea juu ya mgawanyo wa makabila kenye nchi hii na maeneo watakayoishi Makuhani, Walawi na nchi ya Mfalme.
Swali la 32. Tangu kugawanywa kwa nchi, jr, tunaweza kujua
Jibu: Ishara ya
kujua
Kwa hiyo, tuna milki nyingine. Milki yetu sasa ni kwa kupitia ahadi aliyopewa Ibrahimu na tutawaona wageni wameongezeka kwetu kwa kadiri tunavyoendelea sasa na kuelekea kipindi kinachokuja cha Milenia.
q