Makanisa ya
Kikristo ya Mungu
[293]
Mitala, Kwa
Mujibu wa Biblia na Koran
(Toleo La 2.0 20060520-20080610)
Biblia imetolea mifani mingi kwa
uwazi
(Haki Miliki 2006, 2008 W.K. Wong and Wade
Cox)
(tr. 2012)
Masomo
yaliyo kwenye jarida hili yanaruhusiwa kunukuliwa na
kuwapa watu bure bila kulipishwa kitu, ikiwa tu
Jarida hili linapatikana Ulimwenguni kote
kwenye wavuti yetu ya:
http://www.logon.org au http://www.ccg.org
Mitala, Kwa
Mujibu wa Biblia na Koran
Biblia na Koran zinaonyesha wazi
na kwa mifano mbalimbali ya mitala. Mataifa mengi tuliyonayo siku hizi
yanaruhusu mfumo huu wa mitala hasa yale yaliyo kwenye
mfumo wa kimaongozi ujulikanao
Baadhi ya mataifa hayaruhusu mitala, lakini kuna idadi
kubwa ya jamii ya Kiislamu zenye Mahakama za Kidini maarufu
Tunashauri kutathmini eneo sahihi la kibiblia na kuanzisha stadi elekevu ili kufikia kwenye lengo halisi
kuhusu mfumo huu wa wake wengi au mitala na kuzisaidia familia zilizo kwenye
mfumo huu.
Maana na
Historia yake
Neno la
Kiingereza “Polygyny” linamaanisha mwanamume mmoja aliyeoa wanawake wengi.
Na neno lingine la Kiingereza “Polyandry” linamaanisha mwanamke mmoja mwenye
(kuolewa na) wanaume zaidi ya mmoja. Sasa, neno Mitala
linautaja au kuuelezea ule mfumo wa maisha
Siku hizi tunajionea mifano ya watu wanaowasiliana na Kanisa walio kwenye mfumo huu wa maisha wa matala.
Tunaona kwamba watu wengi wanafamilia halali na
zinazotambulika za wake wawili au zaidi. Nchi nyingi
zinaruhusu jambo hili. Biblia inasema kwamba inampasa Mzee awe ni mume wa mke mmoja lakini imeishia hapo tu na haijasema
kuhusu waumini wengine waweje, au je, ni kusema kwamba hakuna mwongozo mwingine
uliotolewa kuwahusu watu wengine ile ni kwa hawa Wazee peke
Kuna mtazamo unaolenga kulikwepa suala
hili la Mitala. Biblia ina mifano iliyowazi
Uhusiano kati ya mzaliwa wa kwanza
wa mwanamke na malimbuko ya kiroho ya kifungua tumbo umeelezewa kwenye jarida
letu la Zaka (Na. 161) [Tithing
(No. 161)]. Kwenye maandiko haya mahala pa
Wayahudi katika mahusiano ya ndoa zaidi ya moja maarufu
“Dhana ya Ukombozi inajiri kwenye mambo yote mawili, yaani
kimwili na kiroho. Israeli walikuwa utumwani Misri kwa namna zote mbili yaani kiroho na kimwili wakiwa kwenye
kongwa la dhambi. Kwa hiyo, ukombozi wa mwanadamu
unahusu kwenye maisha yake ya kiroho na kwa mwenendo wake wa kijamii. Hatimaye,
viumbe vyote vitakuja kukombolewa (Warumi 8:20-21) na ndiyo
maana utawala wa milenia wa Yesu Kristo utamhusisha pia mwanadamu ili awe
kwenye mfumo wa maisha ya kijamii,
Tunapoongelea suala la mzaliwa wa
kwanza tunamaanisha ni wa mana na sio wa baba,
Ni jambo la muhimu kuona kuwa Zerubabeli ameorodheshwa pale kwa ajili ya umuhimu wake aliokuwanao kwenye mkakati na kazi ya ujenzi wa Hekalu.
Kwa hiyo ni ukweli kabisa muamini
kuwa mfumo huu wa matala ulikuwepo na ulijulikana kuwa ulikuwepo kwenye
Maandiko Matakatifu kwenye Amri za Mungu. Dhana ya kumuoa mke kutoka kwa ndugu wa karibu kwenye familia yenu kwa utaratibu wa
kikabila ulipelekea watu kuingia kwenye mitala wakati mwingine. Dhana ya
kuliona jambo
Wakristo wengi wanapingwa
ukiwaambia kuwa Mungu anachukia mitala. Mtazamo wanaouamini ni vile
tuliotangulia kuutaja kutoka kwenye Maandiko Matakatifu. Amri inayolielezea
jambo hili ipo kwenye maandiko yafuatayo kutoka kwenye Kumbukumbu la Torati
21:15 ambayo inasema:
“Kama mwanaume ana wake wawili, naye anampenda mmoja na mwingine hampendi na wote wawili wamemzalia wana wa kiume, …”
Kwa hiyo hakunashaka kusema kwamba kwa
mujibu wa Amri za Mungu mitala ya wanaume kwa wake wengi na hata ile ya wanawake kuwa na wanaume wengi ni kitu
cha hatari.
Daudi alikuwa na wanawake wengi na
masuria (
Sulemani alikuwa na wake mia saba
na masuria mia tatu. Wanawake hawa walitokea kwenye makabila ya Wamoabi,
Waamoni, Waedomu, Wasidoni na Wahiti (1Wafalme 11:3).
Rehoboamu alikuwa na wake kumi na
tisa na masuria sitini (2Nyakati 11:21). Uzao huu katika Yuda huenda unaweza
kuwa ni chanzo cha utaratibu wa Kitalmudi wa kuweka
kikomo kwa mfalme awe na idadi ya mwisho ya wanawake kumi na.
Baba wa Nabii Samweli alikuwa na
wanawake wawili (1Samweli 1:2). Wana wa Isakari ndio
walioandikwa kuwa na wanawake wengi mno (1Nyakati 7:4).
Ukoo wa Kristo umepitia kwa mke wa
pili wa Zerubabeli, aliyekuwa binti aliyetoka kwenye jamii ya kifalme ya
Kiajemi na ni binti wa mfalme Dario.
Kwa hiyo inajulikana kwamba mwanafunzi yeyote wa Biblia angeweza kushawisika na maandihsi haya yanayoashiria
wake wengi. Kipindi cha Kanisa la Mitume walikuwa na sheria moja inayohusu
mambo haya ya mitala nayo ilikuwa ni kuwakataza Wazee na Mashemasi wahudumuo
Kanisani wasiwe ni waume wa wake wengi, bali wawe ni wenye mke mmoja tu
(1Timotheo 3:2,12, Tito 1:6).
Tangia hapo ilchukuliwa kwamba kupitia kwa
watumishi wake manabii na Mitume, Mungu ameweka kikomo kwa Amri iliyo sawa tu
na ile aliyoitoa kwa Musa na itumike na kufanyiwa kazi na wateule wake. Sababu
ya kuwatumia Maaskofu na Mashemasi wa Kanisa
Yapaswa ijulikane pia kwamba:
Historia fupi ya chanzo cha mitala na
matokeo yake mabaya
Ni kweli kabisa kwamba mtazamo wa
Maandiko Matakatifu unaonyesha kuruhusu mfumo huu wa maisha ya mitala, lakini
Amri za Mungu na Ushuhuda wake hauonyeshi wala kusemea maisha haya ya kuwa na
wake au wanaume wengi ila linaruhusu tu pale mume au mke anapokufa na ndipo
anakuwa huru kuoa au kuolewa tena. Bali inasisitiza kusema kwamba kama mtu atalala na mwanamke au mwanaume mwingine nje ya
yule aliyemuoa au kuolewa naye atachukuliwa
Swali ni je, nukuu
Tunapokuwa tunayasoma Maandiko Matakatifu, ni muhimu
Jambo hili linaonysha mporomoko wa
kiwango cha kiroho uliojitokeza miongoni mwa wana wa Adamu. Kaini
akamuua ndugu yake Abeli. Lameki akaendeleza hali hii na
kuliendeleza wazo hili la uasi. Kwenye Mwanzo 4:23-24, tunasoma hali ya kiakili
ya Lameki ilivyokuwa. Kwa kweli inaelezewa
Lameki akawaambia wake zake,
“
Wake wa Lameki sikieni maneno yangu.
Nimemwua mtu kwa kunijeruhi,
kijana mdogo kwa kuniumiza
Kama Kaini atalipizwa kisasi mara saba,
basi Lameki itakuwa mara sabini na
saba.’’
Hatahivyo, maandiko haya yanaonekana kwa
jinsi ya usemi unaoashiria kitu kinachoendelea, na inaweza kuelezewa kwa
kuandikwa:
“Mimi naweza kumuua mtu kwa kunitia jeraha na kijana kwa kunichubua” (cf. Bullinger’s fn. to v. 23)
Kwa hiyo, hali yake wa kiakili
imeendelea kutoka kwenye aliyokuwa nayo Kaini hadi kufikia kwenye zama
zilizopelekea kuwekwa amri ya “jicho kwa jicho”, bali hatimaye ikawa ni
mwendelezo wa ulipizaji mkubwa wa kisasi.
Kwa hiyo, mawazo na maadili ya
wanadamu hapa duniani yalianza kupungua kiwango chake kwa namna nyingi
mbalimbali kwa vizavi sita, na matokeo yake ni pale Mungu alipoingilia baadae
kuikomesha hali hii kwa Gharika Kuu.
Abraham alikuwa na wake wawili
Sara na Ketura, na suria mmoja Hajiari. Tunaambwa kuwa Ketura hapo mwanzoni
alikuwa n isuria na hatimaye aliwekwa kwenye orodha ya
cheo cha mke.
Kisha Esau aliyeidharau haki yake ya uzaliwa wa kwanza pia alisababisha huzuni kubwa kwa wazazi wake kwa
kuoa wanawake wawili kutoka jamii za (Mwanzo 26:34).
Na
Hana, mama wa Samweli,
alimnyenyekea
Mfumo wa maisha ya mke mmoja
kilikuwa ni kitu kinachoendelea kwenye mataifa mengi elimwenguni kote, kama
vile kwa: Wachina kwa watu waliojulikana
Itakujakuwa ni kama habari ya kushangaza na wengi kuwaona
watu kutoka kabila hili la Han la Wachina wa kale kuwaona kweli wakiwa kwenye
maisha ya mke mmoja, ingawaje imani maarufu na matendo ya wafalme wa Uchina ya
kale walikuwa na mamia nap engine maelfu ya wanawake na masuria.
"Utaifa wa Wahan ni kundi au
alama kuu na muhimu
(Imechukuliwa na kuhaririwa kutoka
kwenye wavuti ifuatayo: http://www.china-fpa.org/english/china/nationality/han.htm ).
Kipindi-zama cha cha mwanafalsafa wa
Kichina aitwaye Confucius (kinachodhaniwa kilikuwa kwenye miaka ya 551-479KK),
mfumo huu wa ndoa moja ulipendekezwa na kushawishiwa kuwa ndio wa mtu makini,
lakini nyongeza ya kuwa na mke wa pili aliyejulikana
Waweza kujionea pia kwenye wavuti ifuatayo: http://www.malaspina.org/home.asp?topic=./search/details&lastpage=./search/results&ID=426
Haikuwa kama leo kulivyohalalishwa
kupandikiza mbegu bandia kwa mwanamke, na kuzirutubisha hadi mtoto azaliwe.
Kuna kundi lingine lijulikanalo
Maisha ya mke mmoja yamekuwa pia ni mtindo wa wau wa
kabila la Manchus, ambalo vijana wao wanachumbiana wakiwa watoto wadogo wa umri
wa miaka 16 au 17 kwa ridhaa ya wazazi wao. http://en.chinabroadcast.cn/2245/2005-1-13/119@192716.htm
Kuna kabila lingine huko
Ndoa za Mitala kwenye mataifa yasiyolazimisha Ndoa ya Mke Mmoja
Tunapojisomea matendo haya ya ndoa ya wake wengi, tunaona kwamba hata kwenye
mataifa yale ambayopinga na kukataza hizi ndoa za wake
wengi bado kunawanaoishi kwa mtindo huu wa wake wengi, nah ii hutokea kwa
sababu za kukosekana kwa nguvu za kisheria kutoka kwenye sheria za nchi zao.
Kwa mfano ni nchi ya Malaysia ni marufuku kwa mtu asiye Muislamu kuoa mke wa
pili na ndoa kama hiyo haitambuliwi na mfumo wa kimahakama na Msajili wa Ndoa
wa Malaysia. Kwa hiyo, mtindo wa ndoa za wake au
wanaume wengi hauruhusiwi kwa mujibu wa sheria yaani kwa asiye Mmalaysia asiye
Muislamu, haijalishi hata
Tunakuta kwamba katika imani ya kawaida nay a jumla, watu huamini kwamba watakapofika mbinguni kwa Allah ambako kunafananishwa na Bustani, itakuwa kwamba kila mwanaume mmoja atapewa mwanamke mmoja. Pia tunajua kwamba kulikuwa na Adamu mmoja na Hawa mmoja, na wala sio idadi kubwa ya wanawake, wala hakukuwa na wanaume wengi au mitala wala aina nyingine yoyote ya umati wa watu kindoa.
Hata hivyo, hata huko
"Wakati kwamba sihgapore likiwa ni taifa lisilo la Kiislamu,
lakini Waislamu wa Kisingapore wenyewe mfumo wa maisha yao umefungamanishwa na
maongozi ya Sheria za Kiislamu ya mwaka 1957 iliposaji Mahakama za Kiislamu
maarufu kama Mahakama za Shari’a kwa mambo yote yahusuyo milki na mali za mtu,
kukatia rufani mambo ambayo yaliwekwa kwenye Sheria za zamani. Ilihusu na udhibiti wa ugawaji wa
Hadhi na mahudhui ya kikatiba ya Sheria za Kiislamu ilichukuliwa na kuwekwa
tarehe 3 Juni 1959 na kufanyiwa marekebisho mwaka 1965 wakati lililokuwa Jimbo
la Malaysia la Singapore lilipojitenga na Malaysia. Katiba ina
idadi kubwa ya vipengele vinavyohusisha uhuru wa kuabudu na wa kidini na
kukataza aina yoyote ya ubaguzi wa kidini. Kifungu cha 153 chini ya Toleo la Jumla
kinasema "Wajumbe wa Baraza la Kutunga Sheria kwa
mujibu wa sheria hii wataweza kufanya maamuzi ya kuyafanya mambo yahusuyo dini
ya Kiislamu na kwa kuanzisha Baraza la litakalomshauri Rais kwa mambo yaihusuyo
dini ya Kiislamu".
Mfumo wa Mahakama: Kuna Mahakama moja ya Shari’a nchini Singapore; ambayo inaweza kusikiliza na kufanya maamuzi na kumchukulia mtu hatua
inapotokea kwamba wote miongoni mwa wanaoshitakiana ni Waislamu au inapotokea
kwamba wahusika wote wanaodaiana waliolewa wakiwa chini ya sheria ya Kiislamu
(hasa kama mume ni Muislamu). Mahakama ya Shari’a inasikiliza mashitaka yanayohusika
na mambo ya ndoa, talaka, uposi, kutangua ndoa, haki
ya kutengana kisheria, mgawanyo wa
CHANZO CHETU NI:-
http://www.law.emory.edu/IFL/legal/singapore.htm
Wakati mitala ikiwa imekatazwa kwenye ndoa za kiraia nchini
(http://www.un.org/News/Press/docs/2001/WOM1293.doc.htm)
kwa hiyo,
Tatizo liko kwenye mawazo fikirika na
mwelekeo sahihi wa kiimani/thamani au kiwango cha uelewa wa kila mtu binafsi
yake.
Waislamu huamini kuwa wanaweza kuwa na
zaidi ya mke mmoja na wanaweza kuoa hata wanawake wanne. Tunakuwa wavumilivu na watu huru kwa faida ya kulinda mtangamano. Mtu
aliyehukumiwa hivi karibuni kifungo cha miaka kati ya 32 na
24 na kulipa miganda na miwa huko
Matukio tunayoyaona huenda ni
matokeo ya hali yetu ya kuvumiliana wakati mambo mengine yanahitaji kutilia
maanani ambapo kwenye mchakato huu yanakataliwa. Pia kunamashaka makubwa
Tunajua kuwa madhehebu ya Mormoni yameruhusu mitala na matendo ya jinsi hiyo, huku wakienda kinyume na sheria za
Marekani, na tunaona pia kwamba hata kwenye nchi hii kuna maeneo mengine ambayo
bado wanafanya matendo haya. Maeneo kama ya
Kuna vikundi fulani mbali na haya madhehebu ya
Mormoni na madhehebu mengi mengine ya Waislamu wanaopinga maisha haya ya
mitala. Baadhi ya watetezi wa mfumo huu wa mitala
wanakaza mawazo
1. Mtazamo wao ni kwamba kanuni na
Sheria za Agano la Kale zinaonyesha kutokuwa na tahshishi na zinaruhusu mitala
na ilifanywa na mababa zetu
2. Wanapinga kwa kujenga hoja kwamba Mungu alijitolea mwenyewe mfano wa
mwanaume wa wake wengi au mitala kwenye Ezekieli 23:4, hii ni kuonysha kuwa
yeye ni mume wa mataifa mawili, Israeli na Yuda.
3. Wanaendelea
kujenga hoja zao kwa kusema kwamba hata Yesu mwenyewe alijitolea
mfano kwa kujionyesha kuwa ni mume wa wake wengi kwa kujifananisha na muwa mume
wa kila nafsi ya Mristo mmoja mmoja (2Kor. 11:2).
4. Hoja nyingine
wanasema kwamba hakuna mahali kwenye Biblia panapoashiria kukataza mtu kuwa na mitala.
5. Wanatumia sababu nyingine kujengea hoja ili kuyaunga mkono mawazo
Kumekuwa na hoja pia kuwa Amri
hizi Kumi walipewa Israeli peke
Mambo ya Walawi 24:22 inasema: "Mtakuwa na
sheria iyo hiyo kwa mgeni na kwa mzawa. Mimi ndimi BWANA
Mungu wenu.’ ’’
Hii ni kusema kwamba kuna mataifa
huko yenye sheria mbili tofauti.
Kwa mfano, Mungu alimwambia mfalme wa Wafilisti wa Gerari, Mfalme Abimeleki (huyu ni mmataifa,
mgeni au mtokambali) mambo yafuatyo: “…Wewe ni kama mfu kwa sababu ya huyu
mwanamke uliyemchukua, yeye ni mke wa mtu.’’ Abimeleki…akasema,
“Je, Bwana utaliharibu taifa lisilo na hatia? (Mwanzo 20:3-4).
Kama sheria hizi zimeandikwa kwenye Amri Kumi
Mtindo wa maisha wa mke kuwa na wanaume
wengi umekatazwa na kupingwa ulimwenguni kote, kwa Wayahudi, kwa Wakristo na
kwa Waislamu
Inatupasa kukumbuka pia kwamba makundi yote yanayodai kuwa ni Yakikristo na yanayotetea mitala, hayaruhusu mwanamke
kuwa na wanaume wengi, bali wanapinga tendo hili. Tutalielezea na kulitathmini hili na kuona
Hebu na tuiangalie historia kwa umakini,
Maandiko Matakatigu na mambo mengine yaliyoanzishwa na maswali yatakayotupelekea
kufikia kwenye kiini chake na natokeao yake mabaya:
* Baada ya Adamu una Hawa kumtenda dhambi Mungu, walifanana
na Elohim wakijua mema na mabaya. Hii namaana kwamba
tunapaswa kupambanua mapenzi ya Mungu kwa kujua yaliyo
matakatifu na yasiyo matakatifu, yaliyo
* Adamu alikuwa mpweke na ndipo
Mungu akampa mwenzi wake ambaye ni mke wake. Hakukuwa na mwanadamu mwingine
karibu yao; basi kama mpango wa Mungu ulikuwa ni mwanaume awe na wake wengi
basi Adamu ndiye angekuwa ndiye mtu aliyekuwa na uhitaji mkubwa wa kuwa na
wanawake wengi. Kalini tunaona kwamba alipewa mmoja tu, peke
yake.
* Mungu alimuumba mwanadamu kwa
mfano wa sura na tabia zake; na Mungu ni Mmoja tu.
* Mungu aliuchukua ubavu mmoja wa
Adamu na kumfanya Hawa mmoja tu. Kwa hiyo ndipo wakafanyika kuwa ni mwili mmoja.
* Tendo la kujitwalia masuria
lilifanyika kwa nia ya kujipatia watoto wakiume, kama tunavyoona kutoka kwa waandishi
wa historia
Kwahiyo, mtondo wa maisha ya ndoa
tangu mwanzo ulionyeshwa kuwa ni ule wa mume kuwa na mke mmoja tu na sio zaidi
ya hapo.
* Ndoa ni taasisi ya Mungu na ni
agano linalofanyika kati ya mwanaume na mwanamke. Mwanamke mwingine
anayeingilia anaonyesha kulivunja na kuliondoa agano
hili. Na haliwezi kuwa ni maalumu tena na la watu
wawili
Kuna mambo fulani yanayofanyika
kutokana na asili yake tu, hii ndiyo sababu muhimu ya kusoma Warumi sura ya 1.
* Adamu wa kwanza aliyeishi kwenye
Bustani ya Edeni alikuwa na mke mmoja tu. Kristo akiwa ni
Adamu wa mwisho wa kiroho, pia aliozeshwa mke mmoja tu wa kiroho, taifa la
Israeli. Lakini Israeli wakaufuata ukahaba na kuufanya
na kumwasi Mungu. Tafsiri ya neno dhambi ni tendo la
kuziasi Amri na Shria za Mungu (1Yohana 3:4) na mshahara wake ni mauti.
Mungu alisema, ‘‘Si vema huyu mtu awe peke yake. Nitamfanyia msaidizi wa kumfaa.’’ (Mwanzo 2:18). Mungu aliumba wanyama na wenzi wao na wenzi wachache kwa maisha yote, lakini wengine hufanya hivyo. Neno “familia” halina maana kwenye himaya ya wanyama. Baada ya uumbaji na tendo la kuwapa majina wanyama, ndipo Mungu akamfanyia Adamu usingizi mzito na ndipo alichua ubavu wake. Mungu alimfanya mwanamke kutokana na ubavu na akasema,
“Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake na kuambatana na mkewe nao watakuwa mwili mmoja.” (Mwa. 2:24).
Kwa njia hii, wajibu wa mwanaume
ni sawa kabisa na ule ulio kwenye himaya ya wanyama.
Kwa jinsi hii nidhamu ya kingono inabakia kuwa ni kiini cha maono ya Biblia kwa maisha ya familia.
Umuhimu wa kinasaba wa kuzalisha watoto zaidi kwa haraka
unaoonekana kwa wanyama unaofanywa kwa dume kuwa na majike wengi, hata ule wa
kuasi madume, ni mambo yasiyokubalika na yanapaswa kuzuiwa na kupigwa vita na wanadamu.
Mfumo wa kimitala umeruhusiwa kwenye
siku za Biblia lakini, toka kwenye mabishano ya hali asilia ya Bustani ya Edeni,
halijawa kuwa ni jambo muhimu. Ni kweli kwamba mtu anaweza kujenga hoja yake kwa kusema kwamba hadithi za Biblia zinazowahusu kina
Abraham, Sara, na Hajiri, au Yakobo, Raheli na Lea ni watu shupavu wanaoipinga
hii dhana ya mitala.
Ikumbukwe pia kwamba dini zote kuu mbili zilizoko kwenye
Biblia kwa muda mwingi
Torati inaruhusu kuachana na baada
ya hapo unarusuhu kuoa mke mwingine kwa ajili ya ugumu wa mioyo, lakini Mungu
anasema kupitia manabii kuwa anachukia
13Kitu kingine mnachokifanya: Mnaifurikisha madhabahu ya BWANA kwa machozi. Mnalia na kuugua kwa sababu yeye haziangalii tena sadaka zenu wala hazikubali kwa furaha kutoka mikononi mwenu. 14Mnauliza, “Kwa nini?” Ni kwa sababu BWANA ni shahidi kati yako na mke wa ujana wako, kwa sababu umevunja uaminifu naye, ingawa yeye ni mwenzako, mke wa agano lako la ndoa. 15Je, BWANA hakuwafanya wao kuwa mmoja? Katika mwili na katika roho wao ni wa Mungu. Kwa nini wawe mmoja? Kwa sababu Mungu alikuwa akitafuta mzao mwenye kumcha Mungu. Kwa hiyo jihadharini wenyewe katika roho zenu, mtu asivunje uaminifu kwa mke wa ujana wake. (Malaki 2:13-16)
Kwa kuzingatia aya hizi, marabi
walifundisha kwamba mtu anapomwacha mke wa ujana wake,
anaifanya hata madhabahu ya Mungu ilie kiasi cha kutokwa na machozi (Gittin
90b).
Kuna vitu vikuu vitatu ambavyo pia ni dini halali
zinazotokana na imani ya Kibiblia. Nazo ni hizi zifuatazo: 1) Kitu ambacho
Wayahudi wanakiita halakhah; 2) Mapokeo na kanuni za Kikristo, na kile ambacho
kilitokana na Warumi na kuingizwa kanisani kikiitwa kama Kanuni elekevu za kanisa,
na 3) Sheria za Kiislamu, maarufu kama Shari'a, ambazo msingi wake ulitokana na
kanuni za Biblia na mapokeo ya zama za karne ya saba waliyokuwa nayo Wayahudi
na Waarabu. Wote hawa wanahusika na mchakato halali wa
kindoa: yaani katika kujua na kuamua kwamba tupi aolewe na yupi. Na ni kwa jinsi hani ndoa inaweza kupaa athari, na ni mambo
gani halali au kanuni zipi zifuatwe na kufanywa na wanandoa na wajibu wa kila
mmoja wao. Jinsi ya kufanya kama ndoa ikionekana haina
budi kuitangua, na
Dini hizi zote tatu ambazo msingi waake ni
kutoka kwenye Biblia zinakubali ndoa ni kitu muhimu kuliko aina yoyote ya agano
au makubaliano mengine yote ya kawaida. Kila mara Biblia inaufananisha uhusiano
wa mume na mke kuwa sawa na uhusiano kati ya Mungu na
taifa la Israeli. Na huenda neno zuri zaidi la kuuita uhusiano huu ni beryith (SHD 1285) – linalomaanisha agano. Mungu
huko Shekemu katika kabila kumi za Israeli alikuwa anajiita mwenyewe kuwa ni Berith (al Berith) (SHD 1286) au Agano. Neno
agano linaashiria kitu cha milele na kisichotanguka. Neno la Kiingereza linalotumiwa kuuita
nchi
Biblia ilianzisha maana kuu mbili
za ndoa. Lengo
la kwanza ni la kimahusiano,
* Matokeo mabaya yaliyomfuatia Daudi kutokana na kuoa wake wengi na tabia ya uzinifu yalikuwa ni makubwa
Ni mawazo na madai ya uwongo
kusema kuwa eti Mungu aliruhusu au aliidhinisha mitala ili kumfanya mwanaume
awe na hali bora zaidi ya kuridhika, dhana ainayotokana na nukuu za Mandiko
Matakatifu yanayoyataja matukio na matendo ya mitala.
Huzuni za mwanadamu na mateso yake
yote yanatokana na dhambi, ambayo ni uvunjifu wa Sheria na Amri za Mungu (1Yohana
3:4).
Tunaposoma matukio kwenye 2Samweli 12:7-8, tunaona kuwa bidii kubwa zimefanywa kujaribu kufananisha mgongan
au tofauti iliyoko kati ya maandiko haya nay ale ya Kumbukumbu la Torati 17:17.
Maneno na mtazamo ulioko hap ani
kwamba Mungu aliruhusu mktala wakati “alipompa” Daudi wake wa Sauli.
Ndipo Nathani akamwambia Daudi, “Wewe ndiwe
huyo mtu! Hivi ndivyo asemavyo BWANA , Mungu wa
Israeli: ‘Nilikupaka mafuta uwe mfalme juu ya Israeli, nilikuokoa kutokana na
mkono wa Sauli. Nilikupa nyumba ya bwana wako na wake
za bwana wako mikononi mwako. Nikakupa nyumba ya Israeli na
Yuda. Kama haya yote yalikuwa madogo sana, ningekupa hata zaidi”.
Biblia haijipingi wala
kujichanganya yenyewe. Maelekezo aliyopewa mfalme yanayokutikana kwenye Kumbukumbu la
Torati 17:17, yanasema: “Kamwe
asioe wake wengi, la sivyo moyo wake utapotoka. Kamwe asijilimbikizie kiasi
kikubwa cha fedha na dhahabu"
Wazo kuu hapa ni kwamba Mungu
hataki wafalme wajilimbikizie wanawake wengi kiasi cha kuwa juu ya Sheria au
juu ya ndugu zao. Sheria zinaruhusu kwa wazi
Tunapopata jibu la jambo hili toka kwa Mungu kupitia kwa
nabii wake Nathani, baadhi ya Wanateolojia Wakristo wanapinga
Hili linaweza kupingwa kwa mtazamo
wa andiko kile anachosema Mathani na kulipuuzia kwa wazi anndiko la Kumbukumbu
la Torati 21:15.
Kuna hoja iliyojengeka watu wakijiuliza kwamba iwapo kama mitala ni jambo lenye kibali cha Mungu, kwa nini basi Mungu
atoe maelekezo yanayopingana wakati akiwa wameamuru kuwa mfalme asijilimbikizie
wake wengi (
Hata hivyo, hoja hizi zinaonyesha
mkanganyiko kwenye Sheria. Sheria hii inahusisha matendo mengi yaliyo mbali na dhana ya kujituliza ila kama ipo kwenye jamii zetu zinahitaji
maelekezo, na mitala ni
Ukweli ni kwamba mlolongo wa uzao
wa Masihi umetokea kwenye ndo hizi za kimitala kwenye mapitio ya mlolongo wa
wafalme kwenye mifano mingi kadhaa (soma jarida la Uzao wa Masihi
(Na. 119) [Genealogy of the Messiah (No.
119)].
Kunahoja kutoka kwa wale wanaopinga
kwamba mitala haionekani kwenye upande mzuri kwenye Agano la Kale, na wala
hakuna ulipoonekana kuwa ulileta furaha ya kweli popote ulipoonekana mtindo huu
wandoa za mitala (Kwa mujibu wa kitabu cha Ufafanuzi
wa Maarifa ya Biblia [Bible Knowledge
Commentary] kuhusu inayosema
Kumbukumbu la Torati 21:15-17).
Jinsi waandishi wa kikristo wa
zamani walivyoandika kuhusu maisha ya Ndoa Kanisani
Kumbukumbu zinaonyesha pia kwamba Kanisa la baadae la Agano
Jipya lilikuwa na msimamo mkali
Maandiko ya Justin
Martyr, aliyoandika na kuhudumu kwenye kipindi cha
kati cha karne ya pili, akiwakemea Wayahudi kwa kuruhusu kwao mitala, kwenye kitabu
chake cha Mahojiano na Trypho, Myahudi,
[Dialogue
with Trypho the Jew], ambacho kilikuwa kinakemea matendo ya Wayahudina
mafundisho
Iwapo kama mafundisho ya manabii na yake yeye mwenyewe yanakusaidia, ni vema kwako umfuate Mungu kuliko kufuata mambo yako ambayo hayana busara na yenye kukupofusha, ambayo yamewafanya hadi sasa kila mmoja wenu aruhusiwe kuwa na hata wake wanne au watano; na kwamba iwapo mtu atamwona mwanamke mzuri na akipenda kuwa naye, ndipo wanaiga matendo ya Yakobo [aitwaye] Israeli, na ya mababa wengine, na kujifariji wakisema kuwa si vibaya kufanya mambo kama haya; kwa kuwa wamefungwa kabisa wasijue jambo hili.
Kisha anaendelea kufafanua zaidi kwa kusema:
“Ndoa za Yakobo zilikuwa ni mfano wa kile ambacho Kristo alikuwa ananda kukitimiliza. Kwa kuwa haikuwa ni vizuri wala jambo jema kwa Yakobo kuoa wake wawili waliokuwa ni ndugu wa tumbo moja kwa wakati mmoja. Na alimtumikia labani kwa ajili ya kumpata binti yake mwingine.
Na ili afanikiwe au kustahili hilo [kumpata] ndugu mdogo, alilazimika kutumika kwa miaka mingine saba. Kwa sasa, Lea ni watu wako na sinagogi lako; lakini Raheli ni kanisa letu. Na kwa hayo na kwa watumishi wa kote kuwili, bado Kristo anawahudumia hata sasa. Kwa kitambo, Nuhu aliwapa watoto wake wawili wa kume mbegu ya watatu kuwa watumishi wao, sasa kwa namna nyingine ni kwamba Kristo amekuja kuwarejesha upya wote, yaani watoto huru na watumwa miongoni mwao, akiwapa heshima liyosawa wale wote wanaozishika amri zake; wakiwa kama watoto wa wake huru na watoto wa wanawake watumwa waliozaliwa kwa Yakobo walikuwa ni watoto wake wote na walikuwa na heshima na haki sawa.”
(ANF, toleo la 1, ukurasa 266-267)
Sura mbili zinazofuatia andiko hili, anaelezea dhana au fundisho
Kristo kuwa ni Mfalme wa Israeli, Na kwamba Wakristo ni
watu wenye Hadhi sawa na Waisraeli (cxxxv) na kwamba kwa kumkataa kwao Kristo
Wayahudi, ni sawa na kuwa Wamemkataa Mungu aliyemtuma (cxxxvi).
Hivi ndivyo Makanisa ya Mungu yanavyoamini hadi leo.
Irenaeus (120-202) kwa Kuyapinga kwake Mafundisho ya Uwongo (takriban
182-188) aliwaumu na kuwashutumu
Kwenye sura ya XXVIII, anaelezea kuhusu mafundisho ya Tatian,
Muencrati (wenye kujinyima) na wengine waliokuwa
wanahubiri wakipinga kufunga ndoa na kwa hiyo anasema wanatoa nje viumbe viumbe
asilia vya Mungu. Wanasema kwamba
“Wale wengine wanaowafuata kina Basilides na
Carpocrates, wameanzisha aina ya uzinzi holela na hali ya kuwa na mke mmoja na
wanatofautiana suala la kula nyama zilizotolewa sadaka kwa sanamu, wakisema
kwamba Mungu hapendezi nayo kabisa matendo
Matendo yaliyosababishwa na
mafundisho mapotofu kwa Kanisa yalizuia pia yalikataza mitala kipindi
yalipoanza.
Tertullian
(145-220) pia
aliweka wazi
Sura ya II ina kichwa cha somo: Ndoa Ni Kitu Halali, Lakini Sio Mitala. Kwa kweli sisi hatuwezi
kuzuia ushirikiano kati ya mwanaume na mwanamke, uliobarikiwa na Mungu na
seminari ya wanadamu na ukaridhiwa kwa ajili ya kuijaza nchi na kuupeneza
ulimwengu, na kwa hiyo ukaruhusiwa tena kwa sherehe na nderemo. Kwa kuwa Adamu
ndiye alikuwa ni mume mmoja tu wa Hawa, na Hawa alikuwa
ni mwanamke mmoja, mwamke mmoja, ubavu mmoja. Tunajua hivyo kutoka kwa mababa zetu waliopita na kwa wazee wetu wenyewe, kwamba
iliruhusiwa sio kuoa tu, bali hata kuongeza wake [ruhusa ya kuwa na mke mmoja
au kuwa na wake wengi]. Pia kulikuwa na masuria
{nyakati hizo]. Lakini ingawa lilikuja kuwa ni kitu chenye mfano wa kuigwa
kwenye sinagogi, bado
(kwa tafsiri sahisi) ilikuwa muhimu kuanzisha (kitu Fulani)
ambacho hatimaye kingestahili ama kuzuiwa au kutengenezwa vizuri. Kwa kuwa sheria
ilikuwa (kwe kipindi muafaka) kutungwa, (
Tertullian anafafanua kwa kina sana kuhusu mabadiliko ya sheria
kwenye uandhishi wa kitabu chake kiitwacho Katika
Kushawishi Usafi ANF, Toleo la IV, ukurasa wa 53,56-58, [On Exhortation to Chastity (ANF,
Vol. IV, pp. 53,56-58)] na pia kingine cha Ndoa
ya Mke Mmoja Ukurasa 59-72 [On Monogamy (ibid.,
pp.59-72)]. Imeandikwa kutoka kwenye mtazamo wa maisha
ya useja na ni kinyume na mafundisho yatokayo na Maandishi Matakatifu na Amri
za Mungu.
Kutoka Sura ya VI (ukurasa wa 53) “anajibu”
kikwazo cha mitala walichokutananacho mababa wa kale. Anapinga kwamba amri ya
kuzaana na kuongezeka iliyoandikwa kwenye Mwanzo 1:28 tayari
imeshatolewa kwa kanuni ya kufurahia hali ya kutawala tamaa za mwili. Wakati
umeshafika na kipindi kutimia, na wale wenye wake
wajione
Matawi ya miti ya mambo ya kikale yanadhaniwa kuwa yamesha pukutishwa
na injili na shoka limewekwa kwenye mizizi. Dhana ya
jicho kwa jicho na jino kwa jino imeshapitwa na wakati
na mafundisho yanasema “msimlipe mtu uovu kwa uovu” mafundisho yanayoendela leo
Kwa hiyo anayachukulia maandiko kutoka kwenye kitabu cha
Mambo ya Walawi tanayotia moyo wa kutokuwa na wake wachache, ambayo haipo tena
(Sura ya VII kitabu hicho hicho., ukurasa wa 54).
Kutoka kwenye Sura ya VIII (ya kitabu
hichohicho) anaendela kuishambulia dhana ya kuwa na mke wa pili au ndoa ya pili na akkandika kichwa cha
habari kisemacho Katika Ndoa ya Mke.
Kwa hiyo, anapinga uwezekano wowote kwa
wanawake waumini Kanisani kuolewa tena kwa vyovyote baada ya waume zao kufariki
na kujenga hoja yake kwamba sheria za Levirate zimekoma na kwamba kwa kuwa kila
Kanisa lina ndugu wa mwanamke anayeweza kumuoa ndugu yake ambaye ameondolewa
kwa sasa. Andiko hili halina mashiko kwa mujibu wa
Biblia. Anakazia kudai kwamba mwanaume ambaye mke wake amefariki anapaswa amuoe
mwanamke kijana mwenye uzazi ili amzalie watoto,
kuliko kumuoa mwanamke mzee ambaye atamfanyia kazi ya kumtunzia nyumba yake tu.
Hoja hizi zinatokana na mafundisho mapotovu ya kikundi
cha watu wa jamii inayojikana ijulikanayo
Kwa hiyo Kanisa limeondokana na
Amri za Mungu kidogokidogo na kuingia kwenye utaratibu wa kuzitafsiri Amri hizi
kiroho tu. Tertullian alikuwa anaandika akiwa Afrika kwa
lugha ya Kilatini kwa niaba ya maandiko yaliyohitilafiana ya Wamontana na
akielekeza pia mabadiliko yaliyorithiwa kutoka kwenye karne ya tatu. Hii
inaonekana kuwafaa Wamona ambao hatimaye walichukua hatamu za Kanisa Katoliki
la Roma, na kwa kuwa walikuwa wanayaunga mkono mambo
mengi miongoni mwake.
Methodius (260-312) au Eubulius, alikuwa ni Askofu
wa Olympus na Patara na kwa wakati mmoja huo huo alikuwa wa Lycia na aliondolewa
na kupelekwa huko See iliyoko Tiro, kwa mujibu wa Jerome, na aliuawa shahidi
mwaka 312 huko Chalcis. Alikuwa na hoja kwamba mtindo
wa mitala ulikatazwa siku za Manabii.
Anafanya hivyo kwenye Sura ya III kwa
undani zaidi, akinukuu maandiko yaliyo kwenye kitabu cha Mhubiri 18:30 na 19:2.
na kwa hiyo anaitumia Mithali 5:18 na Yeremia 5:8 na
pia anatumia kitabu cha Hekima 4:3. Anasema:
“Tendo la kuchanganya ndoa na wake
wengi kumekoma tangu siku za manabii kwa kuwa tunasema,
'Usiziendee tamaa zako za kimwili, bali ujizuie na tamaa ya kunywa mvinyo na
wanawak ambavyo vimewafanya wanaume waangukemaanguko makuu.”
Kwenye aya hii, kwa kiasi kikubwa ananukuu maandiko yaliyo kwenye vitabu visivyorasmi vya apokrifa. Anajaribu kujenga hoja yake kwenye maisha ya useja dhidi ya ndoa uzaaji wa watoto kwa kutumia maandiko yasiyo na uvuvio wowote na yaliyoondolewa kwenye Kanuni ya Maandiko Matakatifu. Anapinga pia kwamba hapo mwanzo Biblia ilikataza ndoa za kuchukuana wanaume na dada zao, na kisha akaenda kwenye ndoa ya mke mmoja na hatimaye kwenye useja. Anaamini na kupinga kwamba wale wanawali 144,000 walioandikwa kwenye kitabu cha Ufunuo kuwa ni wanawali wa kweli, akikosea kabisa na kupotosha ujumbe.
Anaendelea mbele pia kwa kusema:
...Na kuna mahala pengine panasema, “Chemchemi yako na ibarikiwe na ufurahie mke wa ujana wako”. [Mithali 5:18], panaonekana kukataza ndoa ya mke mmoja. Na Yeremia anatoa jina la “farasi waliolishwa” [Yeremia 5:8] kwa wanaotamani wanawake wengine”…
Yeremia anaichukulia hali hii kuwa ni
uzinifu mkubwa na wa makusudi, na anaupotosha ujumbe wa nabii.
Anarejea kwenye kitabu cha Hekima 4:3 kwa
hali inayojitokeza ya kuwakana watoto wan je ya ndoa kuwa hawahusiki wala kuwa
na uhusiano na ndoa nyingi wakati kwamba hakuna maandiko yanayounga mkono jambo
Ni katika kipindi hikihiki
ambacho mafundisho mapotofu ya Wabinitaria yalikuwa yameshaanza tayari. Na vuguvugu la
Umamboleo lilikuwa limeshaanza pia tayari. Ami za Mungu zimekuwa zikipingwa
kila mara, na hasa na watu wenye itikadi ya useja na
kujikana.
Maandiko ya Uwongo yanayodaiwa kuwa ya Clementine, ambayo yameandikwa kwa mtindo wa kimafumbo-tata yaliandikwa baada ya mwaka 211 (baada ya kupanuliwa kwa zingatio la hali la Waroma ambalo liliandikwa na kutokea siku za utawala wa Caracalla; na kabla ya mwaka 231 ambao kazi hii imetajwa kufanyika na Origen [Ufafanuzi wa Kitabu cha Mwanzo (Commentary on Genesis)], ambacho kwa namna ya kijanja sana kinamadai mengi kuwa kipindi cha zama za mwanzoni sana kulikuwa na matukio ya kujivunia kuhusu jinsi Mtakatifu Thomas alivyofundisha masomo ya Kiparthia [inadhaniwa kuwa ni desturi ya Wairani] ya kuachana na mitala. Lakini huu ulikuwa ni msimamo unaoendela na mtazamo wa mwandishi uliorekodiwa kwa pamoja na warekodiji bandia.
“Lakini nitatoa uthibitisho wenye maana zaidi wa mambo haya na kukupa, tazama, kwa ufupi tu niseme, tabriban miaka saba imepita sasa tangu tukio la Nabii mtakatifu na wa kweli, na yaliyofuatia ni hali ya mataifa yote kuja Yudea, na kufanya ishara na miujiza waliyoiona, na kwa ushamiri wa mafundisho yake, alipokea imani, na kisha wakarudi kwenye nchi zao, ambako waliziacha desturi potofu za dini zao za Kipagani na desturi za ndoa walizorithi kutoka kwa mababu zao wa kale. Kwa ufupi ni kusema, miongoni mwa Parthian—kama Thomas anayeihubiri Injili kwenye eneo lao, ametuandikia na sio watu wengi sasa wanaopendelea maiha ya mitala; na hakuna mtu miongoni mwa Wamedi anayeendelea kuwatupia wafu wao kwa mbwa; na wala hakuna hata Mwajemi anayependa tena kulala na mama yake, au kufunga ndo na ndugu yake wa karibu, yaani dada yake, wala hakuna mwanamke wa Msusian anayefanya uzinzi wa aina iliyoharimishwa au kukatazwa na wala hakuna matendo ambayo kwa mujibu wa kitabu cha Torati yangeweza kumtia mtu hatiani ambavyo mafundisho ya kidini yaliyaita haramu na kuyakataza.” (ANF VIII: "Toleo la IX: Sura ya XXIX.-chenye kichwa cha Injili Inanguvu Zaidi ya ‘Torati'" ukurasa wa 189)
Kutoka kwenye Mtaguso wa Elvira (mwaka
295-302), ndipo maisha ya useja yalirasimishwa kwa maagizo maalumu yakiwalenga maofisa
wa kanisa wa madaraja matatu yaliyotuama kwenye mifumo ya imani ya Kimodali na
ile ya Kibinitarian, kwa maaskofu, makasisi na mashemasi.
Wakaamriwa kwamba iwapo
Mtaguso wa Ancyra iliyoko
Mtaguso wa Neo-Caesarea (Kaisaria-Mpya)
iliyoko
Baada ya Mtaguso wa
Nchi ya Uingereza chini ya mfumo wa
watu mchanganyiko wa lugha zinazofanana maarufu kama “Anglo-Saxons”, wazee wa
kanisa waliruhusiwa kuoa na kuishi na wake zao ki waziwazi
Haikuwa hivyo huko nyuma hadi kwenye Mtaguso wa
Inafanya rejea za kipindi cha ‘utakaso kwa
wenye nda za mitala. Katika kipindi kile, watenda
dhambi walitengwa na kukaa ‘nje’ ya Kanisa na
kusimamishwa kushiriki
shughuli zote za Ushurika hadi watakapoonekana kuwa wamebadilika kutoka tabia
zao. Na iwapo kama dhambi itaonekana kwenye kipindi
hiki cha Kutengwa kwao Kikanuni, ilichukuliwa
Makasisi wa Nestorian waliruhusiwa wakati wote kuoa na waliweza kuoa mara ya pili au ya tatu (kitabu cha CE, ukurasa wa 488).
Kwenye Kanisa la Wamarekani, kwa sababu
fulani na ndogo, bado makasisi wanaruhusiwa kuoa (kitabu cha CE).
Askofu Basili wa Kaisaria kwa
miaka ya (329/330-379) na (370), aliuelezea mtindo wa mitala kwenye barua zake
kuhusu kipindi ambacho mitala ilikatazwa kwenye kanisa. Alielezea mitala
Anaandika hivi:
Kwenye barua yake ya IV. Kwa ajili ya
mitala ya wanawake watatu na wanawake wawili waliweka amri hii hii kwa
kulinganisha na suala la talaka rejea iliyojulikana kudumu kwa kipindi cha
mwaka mmoja cha mkataba wao (pengine inadumu kwa miaka miwili); na kwa wenye wake
wanne iliyogawanyika kwa maeneo matatu na pengine miaka minne, ila hii haiwezi
kuchukuliwa kuwa ni ndoa kabisa, ila ni kama mitala na inakuwa ni uzinzi tu. Ni
kwa ajili hii ndio maana Bwana alimwambia mwanamke wa
Kwenye barua hiyohiyo ya VI anasema:
“Tendo la uzinifu kwa mtu aliye kwenye daraja la uongozi halipaswi kuchukuliwa kama ni ndoa tu, na uhusiano wao unapaswa kukomeshw,akwa kuwa yote mawili yanafaida kwa usalama wa kanisa na kutawazuia wapotoshaji wasiweze kuwa na sababu ya kutushambulia, kana kwamba tunawashawishi wanaume wajiunge na sisi kwa kuwavuta kwa dhambi za wazi.”
[Kwa mujibu wa kitabu cha Kitabu cha Pili cha Makasisi Zama Baada ya
Mtaguso wa Nikea, Toleo la VIII, Na kile cha Amphilochius, kihusucho Kanuni za
Mapokeo, Waraka wa CLXXXVIII (uitwao kwa Kilatini, Canonica Prima) [Nicene
and Post Nicene Fathers Second Series, Vol. VIII, To Amphilochius,
concerning the Canons. Letter CLXXXVIII (Canonica Prima.)] ulioandikwa mwaka 347, ukurasa wa 223, 226.)
Sasa, mtazamo huu unatofautiana hata na
hali aliyokuwanayo rafiki yake mwenyewe aitwaye Gregory wa Nazianzus ambaye
alishindwa. Gregory alimuoa Nonna na akawa na watoto
watatu, Gregorius Mruzukiwa, Ceasarius na Gorgonia. Familia ya Basili ndiyo
waliyotoka Mtakatifu Macrina, Gregory, askofu wa Nyssa
na Petrus, askofu wa Sebasteia. Mjomba wake alikuwa ni
Askofu wa Gregorius.
Basili anayafananisha maandiko haya na
mifano ya mfumo wa kipagani wa Kirumi na anaonekana kuyahusisha haya kutoka
kwenye maandiko ya Biblia. Anafananisha na Flamen na wastani
wa Pontificus na Vestals wakiwa ni mifano.
Kwa hiho, kwa kipindi hiki matendo
ya Athanasian yalikuwa yameanza
Mfumo wa mitala umeenea na
kukubalika na vikundi vingi
Mtindo huu wa mitala umekubaliwa na waumini wa zama za kale
maarufu kama Aanabaptists wa Munster, na inaaminiwa pia kwamba walikuwa na wake
wengi kuliko, hali waliyokuwanayo hata kabla ya kipindi cha kuzingirwa, kwa
mujibu wa Weber (kitabu chake CE,
Toleo la 1, ukurasa wa 446).
Imani wa Budha inaamini kuwa kuishi
maisha ya useja ni moja ya utoshelevu wa kimaisha, ila inachukuliana na maisha
ya mitala na talaka na inaunga mkono kufanya hivyo. Inaelezea kwa wazi
Mitala imekuweko pia maeneo ya Kaskazini na Kati ya bara la Afrika miongoni mwao ni Wakongo na kwenye
nchi zinazolizunguka Ziwa
Pia limekuwa ni jambo la kawaida
kwa makabila mengi ya Kihindi.
Tunapopinga mfumo huu wa kuwa na
wake wengi kwa kutumia aina mbalimbali za maelezo, tunaona jinsi inavyopingana
na kutoka kwenye kitabu cha Mwanzo 2:23-24 ambako inasema kwamba, "Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama
yake na kuambatana na mkewe."Andiko hili halionyeshi uwingi, na
kwa hiyo tunajionea wenyewe hapa kwamba Mungu hasemi kwamba mwanaume ataungana
na wawakeze “wawili”.
Mtume Paulo anaufananisha uhusiano wa
mku na mume kuwa sawa na ule wa Kristo na Kanisa. "Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe
Inaonekana kuwa mfumo huu wa
mitala unatokana tu na tamaa za mtu binafsi na ubinafsi walionao wanaume.
Ifuatayo ni hadithi ya kweli. Kulikuwa
nwa mwanaume wa Kichina aliyekuwa na wake wanane. Alikuwa
mwenye hali nzuri kipindi cha umri wake wa miaka 50 alipokuwa anakula mlo wa
mchana na rafikizake na kuwasimulia matatizo anayokumbana nayo katika kuamua ni
mwanamke gani miongoni mwao ambaye atamkuchukua na kwendanaye nyumbani kwao
anapokwenda kusherehekea kwa mara ya kwanza sherehe za Usiku wa Mwaka Mpya wa Kichina
ili akashirikinaye mlo wa jioni wa umoja wa jumuia yao ya kuikoo. Alipoulizwa ni
kwa nini basi aliamua kuoa wanawake wanane, alijisifu na kusema kuwa hakuwa na
jinsi nyingine kufanya bali kuwa na wanawake hawa saba wengine kwa madai kwamba
wanawake hawa saba walitaka kujiua iwapo kama asingewaoa.
Ili kujua jinsi maisha haya ya mitala kisawasawa na kuchunguza matatizo yaliyosababishwanayo
kwenye familia, utagundua kuwa ni jambo la busara sana kurudi nyuma na
kuangalia mwanzo wa maisha ya mwanadamu na mwanzo asilia unaofanana wa
utakatifu uliotokana na kuanzishwa kwa maisha haya ya ndoa, na jinsi
ilivyoanzishwa na Mungu wa Pekee na wa Kweli, Eloah, kupitia kwa Elohim kwa watakatifu
ambao ni wanadamu. Malaika Mkuu wa Mungu ambaye ni
“nyota ya asubuhi” (soma jarida la Lusifeli: Mbeba Nuru na Nyota ya
Alafajiri (Na. 223) [Lucifer: Light
Bearer and Morning Star (No. 223)] au wana wa Mungu, au
malaika wa Mbinguni hawaoi na wana wa ufufuo wakisha fufuliwa kutoka kwa wafu
watafanana na hawa malaika kwamba nao hawataoa.
Kwa hiyo, ni jambo la busara
Kizazi cha Adamu ukimwongoa Nuhu na
familia yake, waliangamizwa kwenye Gharika Kuu kwa ajili ya maovu
2Petro 3:3 inasema: Kwanza kabisa ni lazima mfahamu ya
kwamba siku za mwisho watakuja watu wenye dhihaka wakidhihaki na kuzifuata
tamaa zao mbaya.
Kwenye sura ya sita ya kitabu cha Mwanzo, tunakuta kwa
kifupi habari ya tukio lililotokea ambalo maranyingi linadharauliwa, huenda ni
kwa sababu linachanganya. Jambo lenyewe linatika kwenye andiko hili:
Watu walipoanza kuongezeka idadi katika uso wa dunia na watoto wa kike wakazaliwa kwao, wana wa Mungu wakawaona kuwa hao binti za wanadamu walikuwa wazuri wa sura, wakaoa ye yote miongoni mwao waliyemchagua. Ndipo BWANA akasema, “Roho yangu haitakaa ndani ya mwanadamu milele, kwa kuwa yeye ni wa kufa, siku zake zitakuwa miaka 120.’’ Wanefili walikuwako duniani siku hizo, pia na baadaye, hao walizaliwa na binti za watu wakati wana wa Mungu walipoingia kwao na kuzaa nao. Wanefili walikuwa mashujaa na watu waliojulikana wa zamani hizo. (Mwanzo 6:1-4).
Uzao uliotokana na mwingiliano huu unaitwa Wanefili.
Biblia tulizonazo za Kiingereza zimetafsiriwa kutoka kwenye lugha ya Kiyunani na
neno lililotumika walipotafsiri lilikuwa ni “majitu” ambayo ndiyo maana halisi
kwa Kiingereza wakati kwa Kiyunani inamaanisha ni “wakazi wa duniani”, jambo
ambalo ni geni na halina uzito sana wala kueleweka vizuri kwa sababu watu wote walikuwa
ni wakazi wa humu duniani. Kwa hiyo inachanganya kuona ni
kwa nini kunautofauti fulani maalumu? Ni kwa kuwa watu hawa walikuwa ni wenye
nasaba mbili, yaani walikuwa nusu ni wanadamu na nusu ni malaika, yaani ni uzao
wa malaika, ambao kwakuwa walikuwa nusu wanadamu, walifungamanishwa na mvuto wa
dunia na kuwalazimu waishi hapa Duniani. Neno la Kiebrania la Kiebrania la “Nephilim”
yaani Wanefili,
ambalo linatokana na neno asilia la “nephal”,
ambalo maana yake ni malaika waasi. Kwa
hiyo, walikuwa ni wana wa malaika walioasi na wanawake
ambao walikuwa na nguvu za asili na ambao walikuwa wamewa na funganano na
Dunia. Inaleta maana zaidi tunapoliangalia shina la neno
hili. Kwa hiyo, malaika hawa waasi walikuwa kinyume na
mapenzi na mbo yote ya Mungu na wakafanya ngono na wanawake waliotokana na uzao
wa (soma jarida la Wanefili (Na. 154) [The Nephilim (No. 154)].
“Hakuna ajuaye siku wala saa, hata malaika mbinguni hawajui wala Mwana, ila Baba peke yake. 37Kama ilivyokuwa wakati wa Noa, ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu. 38Kwa maana siku zile kabla ya gharika, watu walikuwa wakila na kunywa, wakioa na kuolewa, mpaka siku ile Noa alipoingia kwenye safina, 39nao hawakujua lo lote mpaka gharika ilipokuja ikawakumba wote. Hivyo ndivyo itakavyokuwa atakapokuja Mwana wa Adamu. 40“Watu wawili watakuwa shambani, mmoja atatwaliwa, mwingine ataachwa. 41Wanawake wawili watakuwa wanasaga pamoja, mmoja atatwaliwa, mwingine ataachwa (Mathayo 24:36-41).
swali la kujiuliza ni kwamba, “Je, tendo la kuoa na kutoa unyumba kulikoelezewa
na Bwana wetu Yesu Kristo kulimaanisha wanawake wa siku za mwisho (au huenda
hata leo) utagharimu kama ilivyokuwa siku za Nuhu, au alikuwa anamaanisha kuwa
watu wataendeea kuoa na kuolewa kama kawaida?” Yesu anadokeza kuwa ujio wake utatanguliwa
na hukumu na maafa kwa kiwango kinachofananishwa na
Mafuriko, ambayo yaliangamiza kila kitu chenye pumzi na uzima Duniani. Anasema
kwamba siku za Nuhu zinafananishwa na ujio wake sio kwa
kiwango cha kutolea mfano tu, bali pia kwa sharti la maisha kwenye jamii hapo
baadae. Kwa maneno mengine, katika Siku za Mwisho, watashukia kwenye udhaifu na maovu makubwa sawa na yale aliyoyaona Mungu yakitokea
hapa duniani wakati wa Gharika Kuu. Yesu
anazitaja dalili kuu na mashuhuri tatu zilizotokea
siku za Nuhu: (i) kula na kunywa; (ii) kuoa na kuolewa; na (iii) kudharau habari
ya kuwepo kwa hukumu.
Kushindwa wao watu walioishi siku kabla ya gharika kuu
kuamini kuwa kungetokea ghhabu ya Mungu ili kuahukumu
kwa matendo
Tunaposoma matukio haya tunadiriki kuamini kwamba Enoshi
alisaidia kuleta uamsho wa kiroho miongoni mwa watoto
wake au uzao wake maarufu
5BWANA akaona
jinsi ambavyo uovu wa mwanadamu umekuwa mkubwa duniani
na ya kuwa kila mwelekeo wa mawazo ya moyo wake wakati wote ulikuwa mbaya tu. 6BWANA akasikitika kwamba alimwumba
mwanadamu duniani, moyo wa Mungu ukajaa masikitiko. 7Kwa
hiyo BWANA akasema, “Nitamfutilia mbali mwanadamu niyemwumba kutoka kwenye uso wa dunia, wanadamu na wanyama, pamoja na viumbe
vitambaavyo na ndege wa angani. Kwa maana nasikitika kwa
kuwaumba.’’
Nuhu na watu wa nyumbani mwake
wote waliokoka. Inadhaniwa na kuaminika kuwa watu
wanane tu ambao walikuwa ni Nuhu, Shemu, Hamu na Yafeti na wake zao ndio
waliokoka. Inaaminika kuwa hawa wote walikuwa ni waume
wa mke mmoja. Na hapa ndipo mahala pengine tunapojengea hoja kwamba Mungu
alianzisha ndoa iliyokuwa na mwonekano wa mke mmoja na
mwanaume mmoja na ndivyo alivyofanya kwenye Bustani ya Edeni, ambayo iko wazi
kwenye Maandiko Matakatifu. Hata hivyo, inawezekana kuwa inawataja wanaume peke
kwa hiyo, tunapaswa kuyatafuta mapenzi ya Mungu ili
tuamue na kuaona kama ni ndoa ya mke mmoja tu ndiyo iliyokusudiwa na Mungu kwetu,
au ni
Kuna maandiko mengine ya kinabii yanayoonekana
Nabii Isaya anasema kwamba katika Siku za Mwisho wanaume wa Israeli wataanguka vitani na uharibifu utakuwa ni mkubwa sana kiasi kwamba kutakuwa na uhaba wa wanaume na kutakuwa na simanzi na sononeko kubwa kwa wanawake.
“Katika siku ile wanawake saba watamshika mwanaume mmoja wakisema, “Tutakula chakula chetu wenyewe na kuvaa nguo zetu wenyewe, ila wewe uturuhusu tu tuitwe kwa jina lako. Utuondolee aibu yetu” (Isa. 4:1).
Kifungu hiki cha Maandiko Matakatifu na
unabii wa Siku za Mwisho. Vinahusu jinsi Israeli itakavyofanyiwa matengenezo
mapya ya kiroho na jinsi watakavyomrudia na kumgeukia
Mungu kwa kicho na utakatifu. Maandiko hayawezi kutanguka na
kwa hiyo jambo hili litakuja kitokea na litatokea kwa mujibu wa amri za Mungu
na kufanywa kwao upya Israeli
Wanawake watakaobakia watagundua ukweli kuhusu dhami zao, na hali ya watoto wao na umuhimu wa ndoa zao kwenye kipindi
ambacho kutakuwa hakuna wanaume wakutosha wa kukidhia haja zao. Sheria za
kimaadili za kisasa zihusuzo mambo haramu zitaangaliwa upya na
kurekebishwa. Tafsiri ya Knox inajaribu kudhania kuwa andiko hili kuwa linataja
mambo ya aibu kwa watu wasio na watoto na watu tasa. Hata
hivyo, neno lililotumika kwenye kitabu cha fasihi cha SHD 2781 linaitaja aibu
kuwa ni kitu kinachowahusu wa jinsia ya kike kwa
maumbile
Kwahiyo, Torati inaruhusu ndoa za aina hii palipo na sababu muhimu, na ndivyo itakavyoruhusiwa tena katika
Siku za Mwisho kipindi cha marejesho mapya,
“Kwa sababu hii, mwanaume atamwacha baba yake na mama yake, naye ataambatana na mkewe na hawa wawili watakuwa mwili mmoja.” Siri hii ni kubwa, bali mimi nanena kuhusu Kristo na Kanisa. Hata hivyo, kila mmoja wenu ampende mkewe kama anavyoipenda nafsi yake mwenyewe, naye mke lazima amheshimu mumewe”. (Efe. 5:31-33)
Amri Kumi za Mungu zimeandikwa kwa
muonekano wa Umoja jambo ambalo linaweza kujengewa hoja na wanawake kuhusu ‘Usiitamani nyumba ya jirani yako. Usimtamani mke wa
jirani yako, [upande
mmoja] …’ (Kut. 20:17) inaweza kudhaniwa pia kwamba ndoa inayokusudiwa ni ya
mke mmoja tu. Na kwamba haiwezi kujumuishwa pamoja kama
mitala
Hakuna shaka sasa kwamba mitala ni
mtindo uliokatazwa kufanywa na Wazee wa Kanisa (1Tim. 3:2; Tit. 1:6). Hata hivyo,
maandiko hayohayo yanaonekana kwa mbali
Mtume Paulo anasema: "Lakini ili kuepuka zinaa, kila mwanaume na awe na mke wake mwenyewe
na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe”. (1Kor. 7:2). Kwenye mfano aanaoutoa hapa unaonyesha kuwa
ndoa ya mke mmoja haitakiwi kuwa ni ya Wazee wa kanisa
peke
Paulo anaenda mbali zaidi kwa kuelezea shughuli au wajibu wa wanandoa kwa hali namna
ambayo tu anaweza kuridhika kuwa na mke mmoja na mume mmoja. Ni sawa na ilivyo hali ya kuachana na kupeana talaka ambayo Mungu
aliivumilia kwa kitambo ikitokea kwa ssababu fulani na kwa ajili ya ugumu wa mioyo
lakini akasema sivyo ilivyokusudiwa tangu (Mathayo 19:3-9).
Bila shaka, Sheria za Musa
zilikuwa zinatoa mwanya wa mtu kuoa mitala. Hata hivyo
inaweza kujengewa hoja kwamba kila mitala iliruhusiwa kwa
masharti fulani
Kitabu cha Koran kinatolea mfano wake za mtume na hakuna ubishi kuwa nabii anayetajwa hapa si mwingine bali
ni Muhammad aliyeoa wanawake zaidi mmoja. Hata hivyo, alienda mbali zaidi kwa kumuoa mwanamke aliyekuwa mseja na mwenye umri uliokuwa
zaidi ya maisha yake yeye mwenyewe. Alimuoa mwanamke mjane aliyefiwa na mumewe aliyekuwa mmoja wa wafuami wake, na kwa wakati
fulani akamchukua pia mtoto wa rafiki yake (aliyeitwa Aisha) ambaye alikuwa ni
mtoto mdogo kwa wakati ule. Matendo kama haya yalikuwa
ni ya kawaida kufanywa na wafalme. Ndoa za jinsi hii zinaonekana kuwa zinafanyi
hasa kwa sababu na malengo ya kiusalama na sio
vinginevyo (soma pia Koran Sura ya 30-34 ili kupata tunalolisema hapa).
Chanzo kimoja cha habari kimesema: "Ipo kwenye Desturi na Mapokeo ya Kiislamu kuwa hawa wanawali 72 walioko huko mbinguni wametajwa kwenye vitabu Hadithi (Mapokeo ya Kiislamu) vilivyokusanywa na Al-Tirmidhi (aliyekufa mwaka 892BK [BK maana yake ni Miaka Baada ya Kristo*]) kwenye kitabu kinachoitwa Suna (toleo la IV, sura isemayo “Hali ya Paradiso kama ilivyoelezewa na Mjumbe wa Allah [Mtume Muhammad], sura ya 21, Kuhusu Zawadi Ndogo kuliko zote za Watu wa Paradiso, (Hadithi 2687). Hadithi hii hii ndiyo iliyonukuliwa na Ibn Kathir (aliyekufa mwaka 1373BK) kwenye ufafanuzi wake kuifafanua Koran (Tafsiri) ya Sura Al-Rahman (55), aya ya 72: "Mtume Muhammad alisikika akisema: 'Thawabu ndogo kuliko zote za watu wa paradiso ni mastakim ya watumishi 80,000 na wanawake 72, ambao watasimama mbele yako kama kuba iliyopambwa kwa vito vya thamani vya lulu (pearl), vito vya rangi ya kijani (aquamarine), na kito cha rangi ya zambarau au rubi (ruby) wakisimama mbali wa kuanzia Al-Jabiyyah [mtaa ulioko mjini Damascus] hadi Sana'a [Yemen]'."
Kwa hiyo, ni nani basi hawa
wanawali “mabikira” 72? Haw ani baadhi ya Waislamu wanaosema kuwa kuna
upotoshaji wa maana halisi, na kuwa wale wanawali
“bikira” watawekwa badala ya “malaika”. Mtume huyu wa
Waarabu aliwaambia watu wake kwamba wawaulize “Watu wa Kitabu”
Tunajua
ukweli wa mambo kwamba Musa aliwachagua wazee wa israeli 70 na wengine 2 (Hesabu
11:16,24-26) na Yesu Kristo aliwachagua na kuwatuma
wanafunzi 72 na kwenye kundi la watu wawili (Luka 10:1, 17). Pia kutoka kwenye
Biblia tunaona kwamba tarakimu hii ya 72 ni
nambari kamilifu ya sadaka za kuteketezwa zilizotolewa kwa Bwana kwenye mwaka
mmoja wowote ulio kwenye utaratibu wa Yubile. Waweza kusoma pia kwenye jarida
la Mavuno ya
Mungu, Sadaka ya Mwezi Mpya, na Wale 144,000 (Na. 120)
[The Harvests of God, the New Moon Sacrifices, and the
144,000 (No. 120)].
Mungu ndiye anayeita na kuzifunua siri. Hebu sasa
jaribu kufikiria jambo hili kisha ulinganishe na kile
kinachoongelewa kwenye hizi Hadithi kuhusu wanawali 72 watakaopewa watu huko
Mbinguni. Tunajua kwamba wana wa Mungu au malaika wa
Mungu huko Mbinguni hawaoi wala kuolewa, na watakatifu pia, baada ya ufuuo wa
wafu, pia hawataoa. Ufufuo wa wafu
Hakutakuwa na matendo ya kujamiiana kwenye Ufalme wa Mungu. Hivi ndivyo yasemavyo Maandiko Matakatifu na Maandiko Matakatifu hayatanguki.
Hawa watu 72 wanaotajwa ni lile baraza takatifu la wanawali
wateule waliotoka nje ya mfumo wa kidunia na kuteuliwa katika kipindi chote cha
Yubile 40 za Kanisa kuwa jangwani, ambalo ni baraza moja kamilifu la kila mwaka
kwa miaka 2,000 linalifanya idadi ya wateule 144,000. Lakini hakuna hata mmoja
kati ya hawa “wanawali” wa kiroho anayekwenda Mbinguni,
bali watafufuliwa na kuwa na Kristo atakaporudi na watatawala pamoja naye hapa
duniani. Ni watu wa jinsia zote mbili, yani wanaume na
wanawake. Koran inalielezea tukio hili kwa dhana ya
kuwa ni manabii 144,000 kama tunavyoona kwenye maandishi
Kwa hiyo, tunapohitimisha tunakumuka kuwa tumeyapitia na kujionea wenyewe mambo ya ziada ya vile yalivyoelezewa na
tumeyaelezea huko nyuma kwenye majarida yetu
* Ndoa na Maisha ya Mke Mmoja vimefafnuliwa
kwenye majarida ya Sheria na Amri ya
"Toshelezo la kweli la kindoa kwa
mwanadamu ni maisha ya ndoa ya mke mmoja” Kunapaswa kuwa na Sheria moja tu kwa
watu wote kwa kila taifa
Mwanaume na Mwanamke waliumbwa ili
wawe mwili mmoja (Mwanzo 2:18-24; Mathayo 19:5).
Maaskofu wote wanaolichunga Kanisa wanatakiwa wawe ni waume wa mke mmoja (1Tim. 3:2).
Mtindo wa mahusianao ya kimitala
wa mataifa uliruhusiwa kwa mababu zetu na walikuwa na wake wengi. Mfalme
haruhusiwi kujiongezea wake (Kum. 17:17) ingawa Daudi na Suleman walioa
wanawake kwa mamia, na kikomo kilichowekwa na Talmudi kinaonekana kuwa wasizidi
wanawake kumi na nane kwa mkfalme na kwa mtu wa kawaida anaweza kuwa na wake
wanne au watano. Ingwaje hata hivyo, kila mwanaume anapaswa awe na mke wake mwenyewe hali kadhalika na kila mwanamke
anatakiwa awe na mume wake mwnyewe (1Kor. 7:2)."
Mtindo wa ndoa moja unaonekana pia
kuwa ulikuwa ndio kanuni ya kwanza na halisia na tendo lililokuwako kwenye aina
ya maisha yalivyokuwa kwenye Bustani ya Edeni, mapema kabisa kabla ya uharibifu
wa mabo uliotokana na anguko la Adam una Hawa (Mwa. 2:18-24; Mathayo 19:5; Efe.
5:21-33).
Tunapaswa kukumbuka tu kwamba ni
wateule wa Mungu tu ndio watakaoruhusiwa kuingia kwenye Ufalme wa Mungu, na
kwenye Mji wa Mungu au kwenye Bustani yake (Ufunuo 22:14, 12:17 na 14:12). Wateule
wanaelezwa kwenye kitabu cha Ufunuo 12:17 na 14:12 kuwa
ni wale wanaozishika amri za Mungu na ushuhuda wa Yesu Kristo.
Uislamu unayachanganya Maandiko kwa
hivi vitabu viitwavyo Hadithi na wameanzisha fundisho-dhana la kuwa wafia-dini
wao watazawadiwa wanawali wengi Mbinguni, mafundisho yaliyotokana na vitabu
hivihivi vya Hadithi.
Tendo la kuoa wake wengi limeonekana mahali pengine katika
historia kuwa limewapelekea watu wengine kuingia kwenye ibada za sanamu na kumesababisha matatizo makubwa kwenye familia nyingi.
Watu wachache waliokoka kwa
Gharika Kuu lakini imani
Tunapofikia mwisho kabisa wa kuhitimisha, tunasihi kuwa
ujumbe huu ufanye kazi yake kama ubao wa kuchupia ili kujinasulia kwa watumishi
na waliofunuliwa Siri ili kufikiria kuhusu maisha haya ya mitala na matokeo yanayotokana
na hali hii na yanayoendelea. Tunapaswa kujua jinsi ilivyovema kushuhulikia
mambo yenye matatizo ya familia hizo na watoto kuja
Kanisani wakiwa wameathirika. Hatuwezi kuwafananisha na
watoto wengine waliobakia
Tunapaswa kulifanya jambo hili kwa
uangalifu. Chini ya Amri za Mungu, na kwa mataifa
mengne, mitala imeruhusiwa kwa wazi kabisa na kwa hiyo, familia zinahitaji
kuhudumiwa kwa umakini
Adamu wa
Tufurahi, tushangilie na kumpa utukufu! Kwa maana arusi ya Mwana-Kondoo Imewadia, na bibi arusi wake amejiweka tayari (Ufunuo 19:7).
Utimilifu wa maneno haya, "Arusi ya Mwana
Kondoo imekuja, na mke wake (inatajwa kwa umoja) amekwishapambwa tayari" inatokea
mwishoni mwa kipindi cha dhiki kuu wakati kwenye kipindi hiki cha kuja kwake
mara ya pili Kristo atawashinda waovu na kuuanzisha utawala wake hapa duniani.
Mwanadamu
ameumbwa kwa sura na mfano wa Mungu; na Mungu ni
MMOJA. Hebu na tuwaonyeshe upendo na uaminifu wake
zetu; kadhalika na mke amuonyeshe utii na uamini kwa mume wake.
"Lakini
je, Mwana wa Adamu atakapokuja ataikuta imani duniani?” (Luka
18:8). Ni swali linaloelezea kazi ya Bibi arusi kwa
mumewe. Mungu ni MMOJA.
Kumbukumbu la Torati 6:4 inasema: “Sikia, Ee Israeli: BWANA Mungu wako, ni BWANA mmoja.
q