Makanisa ya
Kikristo ya Mungu
[296]
Kujulikana Na Kukusudiwa Tangu Mwanzo
(Toleo La 2.0 20060807-20110806)
Biblia inasema kuwa sisi tumechaguliwa na Mungu na kwamba tumekusudiwa tangu mwanzo na kuitwa. Je, jambo hili linamaana gani hasa? Na linafanyika lini? Hebu na tuendelee kujifunza!
E-mail: secretary@ccg.org
(Hakimiliki
© 2006, 2011 Wade
Cox)
(tr. 2012)
Masomo yaliyo kwenye jarida hili yanaruhusiwa kunukuliwa na kuwapa watu bure bila kulipishwa kitu, ikiwa tu
Jarida hili linapatikana Ulimwenguni kote kwenye wavuti yetu
ya:
http://www.logon.org au http://www.ccg.org
Kujulikana na
Kusudiwa Tangu Mwanzo
Kuijua Hatima Yake
Dhana ya kamba Wateule Walijulikana na Kukusudiwa tangu mwanzo inajengewa hoja yake kutoka na tabia za Mungu kuwa Anajua Kila Jambo (Omnicience). Mungu anaaminika kuwa ni mwenye nguvu zote (Omnipotent), yaani ni kwamba yeye anauweza wote na kwamba ni yeye tu mwenye sifa na tabia hizi za kujua kila jambo na kuwa na uweza wote na kwamba hakuna kinachomshinda, na pia anawezo wa kuweko kila mahali kwa wakati mmoja. Anaweza kuwepo kila mahali kwa kumtumia Roho Mtakatifu ambaye utendaji kazi wake katika kuwepo kila mahali twaweza kuufananisha na mwendo wa umeme unavyoweza kwenda kwenye maeneo ulikokusudiwa kwenda na unakwenda kwa mara moja kutoka kwenye kituo kilichowekwa kitufe cha kuufungulia.
Pia hali hii ya Kujua kila jambo
(Omniscience), inaweza kutafsiriwa
Mungu aliwakataza Israeli wasifanye hivyo. Mungu alimwambia Musa awaambie Israeli kwamba:
Kumbukumbu la Tirati 18:10 10Asionekane mtu ye yote miongoni mwenu ampitishaye mwanawe au binti yake katika moto, atakayefanya uaguzi, ulozi, anayetabiri nyakati, anayejishughulisha na uchawi
Lakini Mungu pia alitumia roho ya unabii kuongea na Israeli kwa kupitia manabii wake, na manabii waliweka siku za Miandamo ya Mwezi kuwa ni muafaka kwao kuwaeleza watu kile walichoonyeshwa kwenye unabii wao na kuwaambia Israeli.
Je, hili lilikuwa ni
jambo la kuwachanganya? Hapana, bali lilikuwahivyo kama kipimo cha kudhibiti na
kuweka utaratibu wa Kimungu wa kutoa jumbe za kinabii za manbii wa kweli
waliokubalika na Israeli, wakiwa ni watumishi wa Mungu wa Pekee na wa Kweli.
Mapepo wanatumia mabashiri yaonekanayo
Mtu anayetazama nyakati ndiye mtabiri huyu wa mambo ya nyota. Watu hawa wote wametajwa kwenye andiko lililowapiga marufuku la Kumbukumbu la Torati 18:10 na wamewekwa kwenye kundi moja ambalo Mungu amelikataza na kulichukia. Mapepo huongopa kila mara kana kwamba umekuwa ni mchezo kwao. Na waganga wa ramli mara nyongi hufanya ujanja wakati watu wanapowaendea kutaka mashauri kwao.
Hata hivyo, Mungu anatumia njia nyingine ya
kuamua jambo gumu na lenye utata linapotokea kwa
kutumia Urimu na Thumimu. Kwa njia hii, Roho Mtakatifu aliweza kuwaambia
Israeli mambo
Inakubalika pia
kwamba Mungu alipanga Ummbaji na kuona mwisho tangu
mwanzo, na kuutangaza mwisho ule tangu mwanzo. Ametajwa kwenye Biblia kwa kupewa jina la Mwanzo na Mwisho, yaani Alfa na Omega
akwanza na Waccepted that God planned the (tazama kwenye jarida la Mamlaka
ya Uumbaji wa Mungu Kama Alfa na Omega (Na. 229) [Arche
of the Creation of God as Alpha and Omega (No. 229)].
Alimpa uweza wote Kristo katika kufufuka kwake kutoka kwa
wafu.
Mapepo hawanauwezo wa kujua kila jambo bali wanafanya hivyo kwa kuangalia zama
na na mweleo wa nyakati. Hawaoni kitu cochote zaidi ya kuona
Tunatakiwa tuendelee
mbele na imani yetu na ndiyo maana ubashiri umekatazwa
kabisa isipokuwa unabii utolewao na manabii wa Mungu na kwa namna inayokubalika
na Biblia tu ndio tulioruhusiwa.
Mungu huwatumia
wateule wake ili kutilimiza kusudi lake.
Mungu anawafanya
watumishi wake kuwa
Siku kadhaa kabla ya
kuwepo kwa Kanisa, Mungu aliwatumia watumishi wake
manabii ili wayafanye mapenzi yake. Manabii hawa na
kazi zao zilijulikana mapema hata kabla hawajatungwa mamba kwa mama zao. Kama
tunajuavyojua kwamba nyingi ya nabii za Agano la Kale zilikwenda kutimilika
baada ya maelfu ya miaka iliyofuatia mbele
Aina hii ya unabii
haikuishia kwa Masihi tu, bali tunaona pia kwamba hata
nabii Yeremia aliambiwa kuwa alijulikana hata kabla ya kuzaliwa kwake.
Yeremia 1:1-19 inasema: Maneno ya Yeremia
mwana wa Hilkia, mmoja wa makuhani katika mji wa
Anatothi katika nchi ya Benyamini. 2Neno
la BWANA lilimjia katika mwaka wa kumi na tatu wa utawala wa Yosia mwana wa
Amoni mfalme wa Yuda, 3pia
wakati wa utawala wa Yehoyakimu mwana wa Yosia mfalme wa Yuda, mpaka mwezi wa
tano wa mwaka wa kumi na moja wa kutawala kwake Sedekia mwana wa Yosia mfalme
wa Yuda, wakati watu wa Yerusalemu walipopelekwa kwenda uhamishoni. 4Neno la BWANA lilinijia kusema, 5“Kabla sijakuumba ndani ya tumbo la
mama yako nilikujua, kabla hujazaliwa nilikutenga kwa
kazi maalumu, nilikuweka uwe nabii kwa mataifa.’’ 6Nami nikasema, “Aa, BWANA Mwenyezi,
sijui kusema kwani mimi ni mtoto mdogo tu.’’ 7Lakini BWANA akaniambia, “Usiseme, ‘mimi
ni mtoto mdogo tu. Utakwenda po pote nitakapokutuma na
kunena lo lote nitakalokuagiza. 8Usiwaogope, kwa maana niko pamoja nawe nikuokoe,” asema BWANA.
9Kisha BWANA akaunyoosha mkono
wake na kugusa kinywa changu, akaniambia, “Sasa
nimeyaweka maneno yangu kinywani mwako. 10Tazama,
leo nimekuweka juu ya mataifa na falme ili kung'oa na
kubomoa, ili kuharibu na kuangamiza, ili kujenga na kupanda.’’ 11Neno la BWANA
likanijia kusema, “Je, Yeremia unaona nini?’’ nami nikajibu, “Naona tawi la mti
wa mlozi.’’ 12BWANA
akaniambia, “Umeona vyema kwa maana ninaliangalia neno langu ili kuona kwamba
nimelitimiza.’’ 13Neno la BWANA likanijia tena, “Unaona nini?’’ Nikajibu, “Naona chungu kinachochemka kikiwa kimeinama mdomo wake
kuelekea upande wa kaskazini.’’ 14BWANA akaniambia, “Kutoka kaskazini
maafa yatamwagwa kwa wote waishio katika nchi. 15Nitawaita watu wote wa falme za
kaskazini,’’ asema BWANA. “Wafalme wao watakuja na
kuweka viti vyao vya enzi katika maingilio ya malango ya Yerusalemu, watakuja
dhidi ya kuta zake zote zinazouzunguka na dhidi ya miji yote ya Yuda. 16Nitatoa hukumu zangu kwa watu wangu kwa sababu ya uovu wao wa kuniacha mimi, kwa
kufukiza uvumba kwa miungu mingine na kuabudu kile ambacho mikono
Mungu alimfanya
Yeremia kuwa nabii, na alimjua hata kabla ya kutungwa
kwa mamba yake tumboni mwa mama yake. Yeremia hakukusudia tu kuwaona wafalme wa kasakazini wakija na kuweka kambi zao kwenye kuta za
Yerusalemu na kuweka viti vyao vya enzi pale, bali alikusudiwa aende kwenye mataifa
ili akayaharibu na kuyaangusha chini. Mungu aliliweka maneno yake kinywani mwa
Yeremia na kumlinda na kumwokoa. Pia alitakiwa
awatabirie wafalme na mji ya Yuda. Pia Yeremia
alitakiwa ayatangazie hukumu mataifa ya kaskazini na
Israeli. Akiwa kama nabii wa Mungu, Yeremia alifanya mji wenye ngome na maboma,
nguzo ya shaba, na kuta za shaba, dhidi ya nchi yote na dhidi ya wafalme na pia
dhidi ya watu wa Yuda.
Mungu alimjua na kuibariki kazi yake na kumfanya kuwa nabii wa watu wake
mwenyewe, na pia awe ni nabii wa Mataifa ya kipagani. Alipewa mamlaka ya
kuharibu na kuvunja. Kanisa pia
limepewa mamlaka haya katika Siku hizi za Mwisho.
Je, wakati gani
basi ambao mtu anakuwa amejulikana tangu mwanzo na
Mungu na kuwa kwenye mawazo yake yeye Mungu?
Paulo anatuambia
jambo hili ambalo pia liliandikwa na Yohana.
Waefeso 1:1-23 inasema: Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi ya Mungu, Kwa watakatifu walioko Efeso walio waaminifu katika Kristo Yesu. 2Neema na amani itokayo kwa Mungu Baba yetu na kwa Bwana wetu Yesu Kristo iwe nanyi. 3Ahimidiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo aliyetubariki sisi kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho ndani ya Kristo. 4Kwa maana alituchagua katika Yeye kabla ya kuumbwa ulimwengu ili tuwe watakatifu na bila lawama mbele Zake. 5Kwa upendo alitangulia kutuchagua tuwe wanawe kwa njia ya Yesu Kristo kwa furaha Yake na mapenzi Yake mwenyewe. 6Kwa hiyo tunamsifu Mungu kwa huruma zake kuu alizotumiminia kwa sababu sisi ni wa Mwanae Mpendwa.
Mungu huyu wa Pekee na wa
Kweli ni Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo. Alituchagua sisi tewe wake hata kabla
ya kuwekwa kwa misingi ya Dunia. Neno ambalo kwa
kujibu wa (SGD 2602) linaitwa katabole au kuishusha dunia chini/ kwa maneno mengine ni kwamba Biblia inassema
kwamba uweza huu wa kujua kila jambo alionao Mungu uneenea hadi kwenye
kuyajuamambo yote ambayo sio tu ya Yesu Kristo, bali kwenye mlolongo mzima wa uzao
wa Adamu, tangia wa kwanza hadi wa mwisho. Kupitia kwenye ndoa zao na chanzo chao cha uzawa wa mwanadamu na makosa yake yote ya
kiuandishi na makosa
Paulo anaendelea kuelezea kuhusu wokovu tulioupata kwa dhabihu ya Kristo.
7Katika Yeye tunao ukombozi kwa njia ya damu Yake, yaani, msamaha wa dhambi, sawasawa na wingi wa neema Yake 8aliyotumiminia kwa wingi, kwa hekima yote na maarifa yote. 9Naye alitujulisha siri ya mapenzi Yake sawasawa na uradhi wa mapenzi Yake, ambayo alikusudia katika Kristo, 10ili yapate kutimizwa katika wakati mkalimifu utakapowadia, yaani, kuvitia vitu vyote vya mbinguni na vya duniani pamoja chini ya kiongozi mmoja, ndiye Krsto. 11Katika Kristo sisi nasi tumepata urithi, tukiisha kuchaguliwa sawasawa na kusudi la Mungu, Yeye ambaye hufanya mambo yote kulingana na mapenzi Yake. 12Ili kwamba, sisi tuliokuwa wa kwanza kuweka tumaini katika Kristo, tupate kuishi kwa sifa ya utukufu Wake.
Mpango wa Mungu umefunuliwa
kwetu
Kwa hiyo, sisi tulichaguliwa kutoka mwanzo ili tuitwe na kufunuliwa Siri za Mungu na kutumikia Siri
hizo sawasawa na maongozi ya Mapenzi ya Mungu,
13Ninyi pia mliingia ndani ya Kristo mliposikia Neno la
kweli, Injili ya wokovu wenu. Mkiisha kuamini, ndani yake mlitiwa mhuri,
kwa yule Roho Mtakatifu wa ahadi mliyeahidiwa, 14yeye
ndiye amana ya urithi wetu hadi ukombozi wa milki yake kuwa sifa ya utukufu
Wake. 15Kwa sababu hii tangu niliposikia juu ya imani yenu katika Bwana Yesu na upendo wenu kwa watakatifu wote, 16sijaacha kumshukuru
Mungu kwa ajili yenu, nikiwakumbuka katika maombi yangu.
Kwa hiyo, Roho Mtakatifu ni hakika ya urithi wetu. Ni shuhuda
wa upendo wetu kwa ndugu zetu. Ni kwa
sababu hii, maandiko yanasema:
17Nazidi
kumwomba Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa utukufu,
awajalieni ninyi roho ya hekima na ya ufunuo, ili mpate kumjua zaidi. 18Ninaomba
pia kwamba macho ya mioyo yenu yatiwe nuru ili mpate
kujua tumaini mliloitiwa, utajiri wa urithi wa utukufu Wake kwa watakatifu 19na
uweza Wake mkuu usiolinganishwa kwa ajili yetu sisi tuaminio. Uweza huo
unaofanya kazi ndani yetu, ni sawa na ile nguvu kuu mno 20ambayo aliitumia
alipomfufua Kristo kutoka kwa wafu, akamketisha mkono Wake wa kuume katika
mbingu, 21juu sana kuliko falme zote na mamlaka, enzi na milki na juu ya kila
jina litajwalo, si katika ulimwengu huu tu, bali na katika ule ujao pia. 22Naye
Mungu ameweka vitu vyote viwe chini ya miguu Yake na
amemfanya Yeye awe kichwa cha vitu vyote kwa ajili ya Kanisa, 23ambalo
ndilo mwili Wake, ukamilifu Wake Yeye aliye yote katika yote.
Kanisa ni mwili wa Kristo, na kwa kupitia kwa Roho Mtakatifu,
anatimiliza yote kwa yote. Na hatimaye, Mungu anakuwa ni
yote katika yote. Tumepewa roho ya hekima na ufunuo
kwenye maarifa ya Mungu ili tuweze kulijua tumaini tuliloitiwa, na ili tuweze
kulielezea tumaini
Je, inakuwaje
basi kwa wale wanaishindwa? Mtume Paulo analielezea
jambo
Warumi 8:1-39 inasema: Kwa hiyo, sasa hakuna hukumu ya adhabu kwa wale walio ndani ya Kristo Yesu, wale ambao hawaenendi kwa kuufuata mwili bali kwa kufuata Roho. 2Kwa sababu sheria ya Roho wa uzima katika Kristo Yesu imeniweka huru mbali na sheria ya dhambi na mauti.
Hii haina maana kuwa anaitangua Torati, bali anatuweka huru na matatizo tunayokutananayo tunapojaribu kushughulikia madhaifu ya kimwili tunaposhughulikia dhambi, ambayo tafsiri yake ni uvunjiu au uasi wa Amri za Mungu (1Johana 3:4).
3Kwa maana kile ambacho sheria haikuwa na uwezo wa kufanya, kwa vile ilivyokuwa dhaifu katika mwili, Mungu kwa kumtuma Mwanawe mwenyewe kwa mfano wa mwanadamu mwenye mwili ulio wa dhambi na kwa ajili ya dhambi, Yeye aliihukumu dhambi katika mwili, 4ili kwamba haki ipatikanayo kwa sheria itimizwe ndani yetu sisi, ambao hatuenendi kwa kuufuata mwili bali kwa kufuata Roho
Mambo yanayoikamilisha au kuambatana na Torati ni haki na inatimilika ndani yetu. Tunatembea tukiongozwa na Roho na sio kwa kuufuata mwili, nah ii ndiyo tofauti anayotufundisha Paulo anaposhughulikia suala la sheria na imani katika Roho.
5Kwa maana wale wanaoishi kwa kuufuata mwili huziweka nia zao katika vitu vya mwili, lakini wale wanaoishi kwa kufuata Roho, huziweka nia zao katika mambo ya Roho. 6Kwa maana kuwa na nia ya mwili ni mauti, bali kuwa na nia inayoongozwa na Roho ni uzima na amani. 7Kwa kuwa ile nia ya mwili ni uadui na Mungu, kwa maana haiitii sheria ya Mungu, wala haiwezi kuitii.
Mtume Paulo anafafanua hapa nia iliyotuama kwenye mambo ya kimwili ni uadui na Mungu, kwa kuwa hayawezi kuzitii Sheria au Amri za Mungu, na ni kweli kwamba hayawezi kuitii Sheria za Mungu. Na hii ndiyo sababu na chanzo cha matatizo kwa wale wanaohubiri kwamba Sheria za Mungu zimetanguka na hazina umuhimu tena, au kwamba zimegongomelewa mtini wakati Kristo alipokuwa akisulibiwa (Wakolosai 2:14). “Uandishi wa sheria au kanuni” ulikuwa ni tangazo la kufutiwa deni au kitu kinachoitwa kwa Kiingereza “Chierographon” yaani kitu kinachosimama kinyume chetu kwa ajili ya dhambi zetu tunazozifanywa kwa kuzivunja kwetu sheria na amri za Mungu.
8Wale wanaotawaliwa na mwili, hawawezi kumpendeza Mungu. 9Lakini ninyi, hamtawaliwi na mwili, bali na Roho, ikiwa Roho wa Mungu anakaa ndani yenu. Mtu ye yote ambaye hana Roho wa Kristo, yeye si wa Kristo. 10Lakini kama Kristo anakaa ndani yenu, miili yenu imekufa kwa sababu ya dhambi, lakini roho zenu zi hai kwa sababu ya haki.
Kwa hiyo, wale waliohai Kanisani wamekufa kwa kuwa dhambi ni tendo la kusivunja au kuziasi sheria na amri za Mungu, bali wako hai kwa sababu ya Roho kwa njia ya neema.
Mungu alimfufua Yesu kutoka kwa wafu. Ni Roho ndiye anayekaa ndani yetu akiwa
11Nanyi ikiwa Roho wa Mungu aliyemfufua Yesu
kutoka kwa wafu anakaa ndani yenu, Yeye aliyemfufua Kristo Yesu kutoka kwa wafu
ataihuisha pia miili yenu ambayo hufa, kwa njia ya Roho Wake akaaye ndani yenu.
12Kwa hiyo ndugu zangu, sisi tu
wadeni, si wa mwili, ili tuishi kwa kuufuata mwili, 13kwa maana mkiishi kwa kuufuata
mwili, mtakufa, lakini
Kwa hiyo matendo ya mwili huleta mauti. Tunaishi kwa kuifuata Roho na kweli inaleta uzima. Wateule wale wanaoongozwa na Roho ndio wana wa Mungu. Wamepokea roho ya kufanywa wana.
14Kwa kuwa wote wanaoongozwa na Roho wa Mungu hao ndio watoto wa Mungu. 15Kwa maana hamkupokea roho ya utumwa iwaleteayo tena hofu, bali mlipokea roho ya kufanywa wana, ambaye kwa Yeye twalia, ‘‘Abba, yaani, Baba,’’ 16Roho mwenyewe hushuhudia pamoja na roho zetu ya kwamba sisi tu watoto wa Mungu. 17Basi ikiwa sisi ni watoto, basi tu warithi, warithi wa Mungu, warithio pamoja na Kristo, naam, tukiteswa pamoja Naye tupate pia kutukuzwa pamoja Naye.
Sisi ni watoto wa
Mungu na warithi pamoja na Yesu Kristo. Tunakuwa wana na
wenye mamlaka kamili ya kimungu, yaani elohim na
18Nayahesabu mateso yetu ya wakati huu kuwa si kitu kulinganisha na utukufu utakaodhihirishwa kwetu. 19Kwa maana viumbe vyote
vinangoja kwa shauku kudhihirishwa kwa watoto wa
Mungu. 20Kwa kuwa viumbe vyote viliwekwa chini ya ubatili, si kwa chaguo lao,
bali kwa mapenzi Yake Yeye aliyevitiisha katika tumaini, 21Ili kwamba viumbe
vyote vipate kuwekwa huru kutoka katika utumwa wa kuharibika na kupewa uhuru wa
utukufu wa watoto wa Mungu.
Matatizo na misukosuko ya dunia tunayokutananayo leo hayastahili
kufikiria tunapoendelea mbele kwenye utukufu wa Mungu kwenye ahadi tulizopewa
kama wateule na wana wa Mungu. Uumbaji na watu wote
vitashirikishwa pia ahadi hizi tulizopewa sisi.
Viumbe wanalia kwa
uchungu kwa ajili ya dhambi. Sisi tulio ni limbuko la
Roho tunalia kwa uchungu pia kwa kadiri tunapongojea kufanywa wana wa Mungu,
hali tutakayopewa wakati wa ufufo wa miili yetu kutoka kwa wafu kwenye Ufufuo
wetu wa
22Kwa maana twajua ya kuwa viumbe vyote
vimekuwa vikilia kwa uchungu kama utungu wa wakati wa
mwanamke kuzaa hata sasa. 23Wala si hivyo viumbe peke yao,
bali hata sisi ambao ndio matunda ya kwanza ya Roho, kwa ndani tunalia kwa
uchungu tukisubiri kwa shauku kufanywa wana wa Mungu, yaani, ukombozi wa miili
yetu.
Ni kwa ajili ya tumaini la ufufuo usioonekana kuwa tumeokolewa kwa imani.
24Kwa kuwa tuliokolewa kwa tumaini hili. Lakini kama kinachotumainiwa kikionekana hakiwi tumaini tena. Je, kuna mtu anayetumaini kupata kitu alichonacho tayari? 25Lakini tunapotumaini kupata kitu ambacho hatuna, basi twakingojea kwa saburi.
Tunalingojea jambo
26Vivyo hivyo, Roho hutusaidia katika udhaifu wetu, kwa sababu hatujui kuomba ipasavyo, lakini Roho mwenyewe hutuombea kwa uchungu kusikoweza kutamkwa. 27Naye Mungu aichunguzaye mioyo, anaijua nia ya Roho, kwa sababu Roho huwaombea watakatifu sawasawa na mapenzi ya Mungu.
Mapenzi ya Mungu ndiyo maelekezo ya Roho Mtakatifu anayeyachunguza mawazo yetu na mioyo yetu. Kwa hiyo, mambo yote hufanyika kwa ajili ya wema kwa wale wanaompenda Mungu na kuitwa kwa
kusudi lake. Na huu ndio msingi wa fundisho na imani
ya kujulikana na kukusudiwa tangu.
28Nasi tunajua ya kuwa katika mambo yote Mungu hutenda kazi pamoja na wote wampendao, katika kuwapatia mema, yaani, wale walioitwa kwa kusudi Lake. 29Maana wale Mungu aliowajua tangu mwanzo, pia aliwachagua tangu mwanzo, wapate kufanana na mfano wa Mwanawe, ili Yeye awe mzaliwa wa kwanza miongoni mwa ndugu wengi. 30Nao wale Mungu aliotangulia kuwachagua, akawaita, wale aliowaita pia akawahesabia haki, nao wale aliowahesabia haki, pia akawatukuza.
Hapa tunaona mtiririko wa dhana hii ya kujulikana
tangu mwanzo.
31Tuseme nini basi kuhusu haya? Ikiwa Mungu yuko upande wetu, ni nani awezaye kuwa kinyume chetu? 32Ikiwa Mungu hakumhurumia Mwanawe, bali alimtoa kwa ajili yetu sote, atakosaje basi kutupatia vitu vyote kwa ukarimu pamoja Naye?
Wateule waliojulikana tangu kabla na kuchaguliwa na kuitwa, hawashindwi. Inagwaje
amesema kwamba “waitwao ni wengi bali wateule ni wachache”. Mungu
hakuwaita watu ili washindwe na wala hakuwaitia
kushindwa. Baadi wameitwa lakini hawakuchaguliwa. Wanakuwa hawapo kwenye hesabu.
33Ni nani atakayewashtaki wale ambao Mungu amewachagua? Ni
Mungu mwenyewe ndiye mwenye kuwahesabia haki.
kwa hiyo, ni nai atakayetuhukumu ikiwa Mungu ndiye
anayetuhesabia haki?
Na tena, ni nani anayetulaumu ikiwa Kristo ndiye ametuokoa kwa kufufuka na kupaa kwake? Hakuna aina nyingine ya maombezi zaidi ya kuomba kwa jina la Kristo.
34Ni nani basi atakayewahukumia adhabu? Kristo Yesu ndiye aliyekufa, naam, zaidi ya hayo, ndiye aliyefufuka kutoka kwa wafu, yuko mkono wa kuume wa Mungu, naye ndiye anayetuombea.
Na hakuna atakayetutenga na Kristo na upendo wa Mungu, isipokuwa ni sisi wenyewe tu kwa vile tunafanyapo dhambi, na kutushusha chini kipindi kile tu ambacho Mungu alikiona tangu mwanzo kuwa kinafaa kwa sisi kutuleta kwake.
35Ni nani atakayetutenga na upendo wa Kristo? Je, ni shida
au taabu au mateso au njaa au uchi au hatari au upanga? 36Kama ilivyoandikwa : ‘‘Kwa ajili yako
tunauawa mchana kutwa, tumehesabiwa
Paula ameulezea mtaratibu wote unaotoa mchakato wa kujulikana na kukusudiwa tangu mwanzo na kazi ya Yesu Kristo nay a Kanisa katika mpango wa Mungu. Kwa jinsi hii hii Mungu aliufunua utaratibu wa Kristo aliyemfunulia Yohana kwenye kitabu cha Ufunuo.
Ufunuo 5:1-14 inasema:
Kisha nikaona katika mkono Wake wa kuume yule
aliyeketi kwenye kile kiti cha enzi, kitabu kilichoandikwa ndani na upande wa
nyuma kikiwa kimefungwa kwa lakiri saba. 2Nami nikamwona malaika mwenye nguvu akitangaza kwa
sauti kuu, akisema, “Ni nani anayestahili kuzivunja hizo lakiri na kukifungua
hicho kitabu?” 3Lakini hapakuwa na ye yote mbinguni wala duniani au chini ya dunia aliyeweza
kukifungua hicho kitabu wala hata kutazama ndani yake. 4Nikalia
Wateule wanafanyika kuwa ni
wafalme na makuhani na watatwala hapa duniani. Hii ni
kutoka kwenye kipindi cha utawala wa Yesu Kristo wa milenia, na utawala huu
utaanzia Yerusalemu, na umekaribia
Ufunuo 13:1-8 inasema: Nami nikamwona mnyama
akitoka ndani ya bahari. Mnyama huyo alikuwa na pembe
kumi na vichwa saba, akiwa na taji kumi kwenye hizo pembe zake na juu ya kila
kichwa kulikuwa na jina la kukufuru. 2Mnyama
yule niliyemwona alikuwa kama chui, miguu yake ilikuwa
kama ya dubu na kichwa chake
Kumbuka kuwa majina ya hawa wateule yameandikwa, hata kabla ya kuwekwa misingi ya dunia, kwenye kitabu cha Uzima cha Mwana Kondoo aliyechinjwa. Hakuna anayemlazimisha Mungu. Na hakuna anayeweza kuingia kwa kutumia mlango wa nyuma. Wateule walijulikana na kukusudiwa tangu mwanzo na walichaguliwa na kuitwa na kisha wakahesabiwa haki na kutukuzwa. Na ndiyo maana wanaitwa wateule au waliochaguliwa.
Mara nyingi, wateule wanaonekana kuwa ni watu duni
1Wakorintho 1:26-31 inasema: 26Ndugu zangu, kumbukeni mlivyokuwa
mlipoitwa. Kwa kipimo cha kibinadamu, si wengi wenu mliokuwa na
hekima. Si wengi waliokuwa na nguvu, si wengi waliozaliwa
katika jamaa zenye vyeo. 27Lakini
Mungu alichagua vitu vipumbavu vya ulimwenguni ili
aviaibishe vyenye hekima, Mungu alichagua vitu dhaifu vya ulimwengu ili
aviaibishe vyenye nguvu. 28Alivichagua
vitu vya chini na vinavyodharauliwa vya dunia hii,
vitu ambavyo haviko, ili avibatilishe vile vilivyoko, 29ili mtu ye yote asijisifu mbele za Mungu. 30Mungu ndiye chanzo cha uzima wenu
katika Kristo Yesu, aliyefanyika kwetu hekima itokayo kwa
Mungu na haki na utakaso na ukombozi, 31ili
Mungu huwaita waliodharauliwa na watu dsuni
wa dunia hii kwa sababu mbili kuu: kwanza ni ili wasiweza (au wasoweza) kujivuna
ama kujitukuza kwa kujiona kwamba ilikuwa ni kwa juhudi zao, kwa nguvu ama
uwezo wao, au ni kwa ajili ya uzuri au bidii yao ndivyo vimewafanya wao kuwa
miongoni mwa wateule, na sababu ya pili, ni kwamba watu hawa wenye hekima,
wenye nguvu na wenye uwezo wa hapa duniani wataona aibu kufanya toba. Kama kuna
jambo tunalopaswa kujivunia au kujitumuza nacho ni
Zekaria 4:6 inasema: …. “Hili ni neno la BWANA kwa Zerubabeli: ‘Si kwa nguvu, wala si kwa uwezo, bali ni kwa Roho yangu,’ asema BWANA Mwenye Nguvu.
Wateule
au walioitwa wameitwa
na kutolewa kwa Kristo kwa wakati wake muafaka, na
wanaruhusiwa kuyavumilia jambo lolote linalowapasa kulivumilia kwa Imani na
utukufu wa Mungu. Iwapo kama watalazimika kwenda
utumwani, ndipo watakwenda utumwani. Wateule wanahukumiwa kwa
matendo
Wale wanaotaka kuwaua, watauawa kwa namna hiyohiyo. Wale wanaotaka kuwaangamiza, wataangamizwa kwa jinsi hiyi hiyo, na wale wanaotaka kuwadhalilisha na kuwaaibisha, watapata aibu ya milele.
Ufunua 13: inaendelea kwa kusema hivi:
Ufunuo 13:9-9“Yeye aliye na sikio na asikie. 10Ikiwa mtu ni
wa kuchukuliwa mateka, atachukuliwa mateka. Ikiwa mtu ni
wa kuuawa kwa upanga, atauawa kwa upanga. Hapa ndipo penye wito kwa ajili ya saburi na imani ya watakatifu. 11Kisha nikamwona
mnyama mwingine, akipanda juu kutoka katika dunia. Alikuwa na pembe mbili kama mwana-kondoo, lakini akanena
(kumbuka kwamba
tarakimu hii ya 666 imefafanuliwa kwenye jarida la Sheria za Wafalme Sehemu ya III: Sulemani
na Ufunguo wa Daudi (Na. 282) [Rule of the Kings Part
III: Solomon and the Key of David (No. 282C)].
Mungu ameyaona mambo
yote yanaliyokuwa hayanabudi kuja na mambo yote
yaliyokuwa hayana budi yatokee kwetu. Anaruhusu mambo mengine ili tuwe ushuhuda kwa Imani yetu na kuwajaribu wale walio
wateule wake hata kwa njia ya mauti.
Basin a uwe hodari
katika Imani nawe utasimama mbele ya kiti cha enzi kwa
sehemu yako katika siku za mwisho.
q