Makanisa Ya Kikristo Ya Mungu
[Q001]
Utangulizi
Kuhusu
Ufafanuzi wa Korani
(Toleo La 2.0 20060112-20110507)
Korani au Kur’an kinachukuliwa kuwa ni kitabu muhimu ambacho ni Agano Takatifu kwa watu wanaofikia takriban bilioni moja. Ni wachache tu kati yao wanaofahamu ujumbe wake asilia na kusudi lake. Hiki ni kama kitabu sahihi kinachoifafanua Biblia kwa Wasabato waamini Mungu Mmoja wa Uarabuni katika karne ya kumi na saba ya Zama za Sasa. Jarida hili linafafanua na kutathmini msingi wenye mashiko ulio nyuma ya imani na lugha iliyotumika kwenye Korani.
Christian
Churches of God
E-mail: secretary@ccg.org
(Hati Miliki © 2006, 2011 Wade Cox)
(tr. 2014)
Masomo haya
yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu
bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja
na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna
malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa
nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu
fupi zaweza kuwekwa toka kokote
ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila
kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.
Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni kote katika tovuti yetu
ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org
Utangulizi Kuhusu Ufafanuzi wa Korani
Kumbuka: Muhammadi ni yeye
yule kwa kanisa.
Ahmed anamtaja kama Roho
Mtakatifu.
Jina la Mtume
lilikuwa ni Kasimu (aliyeitwa Muhammad)
Utangulizi
Maneno yaliyotumiwa kwenye Korani yamekuwa yanakanganywa maranyingi na kutumiwa vibaya
ili kuficha yale yanayochukuliwa kuwa ni mkundi muhimu ya kidini na yanayozionyesha kanuni ambazo zinauhusiano
wa moja kwa moja na maandiko ya kinabii ya Biblia. Korani ya siku hizi (au
Kurani) haifanani wala kuhusiana na Maandiko Matakatifu
kwenye tafsiri yake na yamekuwa
yakipotoshwa na wafafanuzi wake wa mwanzoni kwa
kuingiza tamaduni na mapokeo mengi
pamoja na maneno mengine ya kizushi na uvumi
ambayo yalikuwa yanatumiwa na Mafarisayo
mwanzoni mwa Zama Hizi au za
Agano Jipya. Yake yaliyofundishwa na kuzushwa na Mafarisayo
yalifanyika kuwa ni mapokeo
ya marabi yakasababisha kuwepo kwa kile
kilichojulikana kama Mishnah, iliyotungwa mwaka 200 BK. Hii Mishnah, ambayo ilikuwa imefunikwa na Maandiko Matakatifu
na mapokeo ya wanadamu, kidogokidogo ilienezwa na mapokeo
mengine zaidi kwenye ile iliyojulikana
kama Talmud, ambayo iliendeleza kuenea kwake vizuri hadi
kwenye millennia ya pili ya Zama zetu za Sasa. Yaliendelea
na kushamiri kwa kipindi cha
zaidi ya miaka elfu moja. Na ndivyo ilivyokuwa pia kwa mapokeo haya mengine ambayo yaliuharibu na kuupotosha uislamu yaliyoitwa na kujulikana
kama Hadithi au Ahadithi na
ambayo ni mikanganyo ya mwelekeo halisia na mafundisho asilia
ya Korani.
Ingawa kulikuwa na mhubiri
fulani mkubwa (mursal)
huko Uarabuni walioanzisha na kupangilia Sura za Korani kwa Waarabu
wapagani na kwa wale ambao
karibia Hadithi hizi zote zinatokana kwao na ambao
jina lake la asili aliitwa kuwa ni Kasimu ambaye kwa kawaida
aliitwa Abu Kasimu au Baba Kasimu ingawa majaribio yamefanyika sana kushauri kuwa hii huenda ilikuwa
inamaanisha Baba wa Kasimu lakini maana
hiyo haifanani kabisa. Inaonekana kuwa alikuwa ni Kasisi wa Kikristo aliyekuwa
na msimamo wa kuamini na
kumuabudu Mungu mmoja kipindi cha
kabla ya kubatizwa kwake na kuwa Msabato ambaye korani inaashiria
kuwa alikuwa ni mtu wa namna hiyo.
Alikuwa ni mmojawapo wa Wasabato waliokuwa
kwenye Kanisa la Uarabuni. Katika kuziandika hbari zake,
ilikuwa ni vizuri na sahihi zaidi
kuacha kumtaja au kumtambulisha yeye kuwa ni Nabii kwakuwa jina hili
linahusu hasa wa uzao wenye
haki stahiki (Kurani 3:68) wa taifa la Ibrahimu (Kurani 6:161, Kurani 16:120). Pamoja na jamii nyingine
iliyoingizwa kwa uwongofu, kizazi hiki kilirithi mamlaka ya matengenezo ya kidini ambayo yalianzia
na mafundisho ya Yohana Mbatizaji, na ambayo
yalichukuliwa na kuendelezwa na Kristo na mitume.
Matengenezo haya yalipelekea
kuanzishwa kwa Makanisa ya Mungu kwenye ameneo yao kadhaa na viongozi
waliosimamia. Ni shirika hili ambalo linajulikana
kama Manaswara (Korani 3:67) AhlulBayt (Korani 33:33) wa Nyumba ya Rasulullah (Korani 33:53) – Wamursalin (Korani Q2:252) wenye Roho ya Unabii. Wanajuliana pia kwenye maandiko kama Al-Ansaar.
Yeyote alazimishaye maneno yanayoifanyiza Korani alimuwa ni nabii au mtume w Waarabu.
Kama tutaufungamanisha ujumbe
huu moja kwa moja kutoka kwenye Biblia, ndipo tunaweza kumuita yeye kuwa ni kama mutme au nabii
wa Mungu kwa Waarabu. Mungu
alisema kwa kupitia nabii Isaya
kuwa
Na waende kwa sheria na
ushuhuda; ikiwa hawasemi sawasawa na neno hili,
bila shaka kwa hao hapana asubuhi (Isaya 8:20). Hicho kimekuwa ni kiwango kumjaribia nabii wakati anapoupokea ufunuo wa Mungu
ili kuwapelekea wanadamu kupitia kwa manabii walioorodheshwa
na kukubalika. Kwa hiyo mtu
huyu na ujumbe
wa Korani (Kurani) ambayo aliifundisha, ni lazima ikubaliane au iendane
na mafundisho ya Torati na Ushuhuda
ili ichukuliwe na kukubalika kuwa imevuviwa na Mungu,
au ina uvuvio wa Mungu.
Kwa hakika Korani inadai kuwa ndiyo kitu muhimu
ili kuipata imani kwenye sura zake kadhaa
wa kadhaa, au kurasa zake,
ambazo zinafanyiza kuwepo kwa maandiko
yake (mfani ni Korani 3:3, Korani 4:82, Korani 5:47). Uandishi wake umetoa mwito
kwa wafuasi kuyakubali na kuyashika
yaliyoandikwa na kuagizwa kwenye Biblia amoja na yaliyoandikwa
kwenye Injili zake na maandiko
mengine yote yaliyokubalika kwa mujibu wa kanuni
ya kuyatathimini na kuyapasisha maandiko zilizotumiwa na kukubalika kama Maandiko Matakatifu au Nyaraka za
Wakristo (Korani 5:68). Hakuna mtu anayeweza
kudai kuwa ni mfuasi wa Uislamu iwapo
atakuwa anakataa ama kupinga mafundisho ya Biblia, kama tutakavyoweza kujionea kutoka kwenye maneno ya Korani yenyewe.
Kwenye Sura 10:64 tunasoma: …Hapana mabadiliko katika maneno ya Mwenyezi Mungu…
Kwa hiyo Korani ni kitabu cha ufafanuzi
wa Maandiko Matakatifu ya Biblia na ni kama lilivyo vivyohivyo
Agano Jipya (AJ) kuwa ni maandiko
yanayoyafafanua Maandiko Matakatifu ya Agano la Kale (AK), na
linaloweka rekodi au kumbukumbu ya juhudi na matatizo
lililokabiliwanalo Kanisa
la Kwanza, kama yalivyoandikwa na wanafunzi wake Kristo kwa uvuvio
wa Ahmed, Mtukufu au Mwenye Kusifiwa,
au Roho Mtakatifu.
Kipimo kikubwa na kinachojulikana cha uvuvio ni kwamba
unayathibitisha na kuyajenga au kuyaunga
mkono maandiko yaliyo kwenye Biblia na hayaikanganyi au kupingana kamwe
na kazi au
maandiko yaliyovuviwa yaliyoitangulia.
Jina la mhubiri anayetatiza halipaswi likanganywe na matumizi ya jina Muhammadi kwa kuwa huu ni kma mhuri
au alama tu au cheo. Ni sawa tu kama kumuita
mtu kuwa ni Mstaarabu au Mnyenyekevu ikimaanisha
kuwa mwili wa watu wanaokusudiwa na kuaminiwa na
Ahmed (Halifa), roho wa Jesu Mwana wa
Mungu. Muhammadi kwa kweli ni “Mhuri”
wa manabii 144,000.
Mtume huyu wa Waarabu
huenda alikuwa ni Mnasari wa mrengo
wa waabudu Mungu mmoja na
wa pekee wakati alipomuoa mke wake wa
kwanza Mkristo. Inawezekana
sana kuwa mtu tunayemuongelea
hbari zake alikuwa ni mmojwapo wa waliokuwa na
imani ya Kikristo aliyefundishwa na kuelimishwa waumini wazuri waliokuwa kwenye familia yake, au huenda ni kwa
moja kwa moj au kwa kupitia
ndoa yake. Mapokeo ya zamani yansema kuwa alikuwa ni mjomba wa mke
wake ndiye alimfundisha Maandiko Matakatifu. Tabia yake ya kumaanisha sana kuyaonea shauku na bidii ya kutaka
kuyajua Maandiko Matakatifu kulimpelekea ajulikane na kuitwa
Baba Kasimu, jina ambalo limekatazwa au kutumiwa kwenye imani ya kweli ya Kikristo vinginevyo kama jina hili la Abu Kasimu litamaanisha “baba Kasimu”. Mara, hamu yake hii ya dhati
ya kupenda kuitafuta kweli kutoka kwenye
Maandiko Matakatifu kulimsababishia matatizo kutokana na mafundisho
ya Manasara waabudu Mungu mmoja, ambao
walionekana kuendana au kufundisha kinyume
na maandiko yenyewe asilia. Kimsingi, twaweza kusema kuwa Roho alikuwa ananza kumuita kwa kupitia
pazia, ambayo iliitwa “Evangelion”. Alilitafuta Kanisa la kweli. Maandiko yaliyojulikana kama Purana kutoka India yanaonyesha kuwa alikujakujilakana na Makanisa ya Mungu yaliyokuwepo huko. Kanisa la kwenda kusali Muhammadi alionyeshwa ndotoni, na Mitume wa
Uarabuni walionyeshwa ndoto alipokuwa kwenye tafakari pangoni. Ilimtisha sana lakini ilimhamasisha. Ndipo akafanyika kuwa Msabato wa mrengo
wa imani ya Mungu mmoja au
Myunitari kwenye Kanisa lile la Uarabuni, akabatizwa (tena) mapema kabla ya huduma yake. Akiwa mtu
asiyetokana na nasaba ya Haruni wala Lawi, aliiingizwa
kwenye kile kilichoitwa AhlulBayt Bibi arusi wa Rasulullah
akiwa ni Mnasara Sabi (TheoSebes/QEO-SEBHS/sebovmenoi = Mwabudu na Mcha
Mungu) Mursal. Hadithi kadhaa zinaelezea ukweli kwamba alifanyika kuwa Sabi. Akiwa Mursal
(Bibi arusi wa Rasulullah) alipata hekima nyingi, zaidi na
zaidi na zaidi. Hatimaye, kutokana na kubatizwa
kwake, alipata nguvu na ujasiri kutoka
kwa Roho Mtakatifu (wau humwite Ahmed) na akafikia daraja
la kicheo lililojulikana kama Mahmoodan na akawa Muhammadi
akiwa Mkristo wa kweli kwenye
Makanisa ya Mungu.
Uasi ulitokea baada ya kufariki kwa Muhammadi
(ambaye tunamjua tu kutokana na mapokeo
na kimakosa kama “Baba” au Abu Kasimu). Mmanasari mwingine “Baba” (wa) (Abu) Bakr akaliunganisha na kuliongoza Kanisa
la Kienyeji na kumteua kuwa Halifa. Kisha Omari akachukua uongozi.
Inaonekana kuwa Mahalifa Wanne Walioongoza na Kuwepo Wakati
huo walikuwa wanatokana na Kanisa
la kweli la Mungu. Jambo hili linahitaji kufanyiwa utafiti wa makini na
uangalifu mkubwa, lakini ni wazi san kutokana na maandiko
ya Kurani yenyewe kuhusu msisitizo au umuhimu wa
ubatizo, Sabato, historian
a maamrisho ya Torati na Injili zote. Walikuwa Wasabato waaminifu na wa
mrengo wa waamini Mungu mmoja
au Wayunitari na waliitetea sana imani hiyo na
ubatizo. Inaonekana kwa namna fulani kuwa Ali, mjukuu wa Mtume
Mwarabu, alikuwa ni muumini, na hatimaye
naye pia alifikia kwenye cheo cha kuwa Mahmoodu. Hata hivyo, hakuwa ni huyu Ali bali ni Usman aliyechukua uongozi baada ya kifo cha
Omari. Alichoma alama zote zinazosuhudiza kuwepo kwa Kanisa ambalo
lilienda kinyurne na mipango yake
na akaenda mbali zaidi kama
alivyoweza kuwadanganya “kondoo” hatua moja kwa wakati mmoja
pasipo kukamatwa na waliowengi. Hata hivyo, waliokuwa
upande wa Ali walijua kile lilichokuwa
kinatokea. Wakati alipokufa Usman Ali alichukua hatamu za uongozi,
lakini wafuasi wa Usman walishakuwa na nguvu. Ali akauawa
na hatimaye Kanisa likalazimika kuendesha harakati zake kichinichini tena. Korani inasisitiza na kuamini juu
ya ubatizo (ghusl) wa Mungu kwa
waaminio lakini Hadithi zimebadili na kukangana mafundisho
haya kwa kutoelekeza.
Kwa mujibu wa Korani,
hawa manabii wote (144,000) walihubiri kuhusu Muhammadi. Mara nyingine kwadhaa Muhammadi anaitwa “Mhuri au Alama” ya manabii (maarufu kama Rasool) aliyewatangulia kupita Rasools wote (Kurani
3:144). Rasool, kwa kawaida ametafsiriwa kama “Mjumbe”, kwa kweli haisimami
kwa kitu kingine zaidi kuliko
dini ya kweli (Kurani 3:86), ambayo ilifanyika kuwa Bwana arusi (Kurani 33:53), ambaye ni Kristo. Kwa kuwa hawa Mursalin
ni bibi arusi wa Rasulullah (Korani 33:53), Rasool wanaweza pia kuwaita
(Kurani 63:1, 7:158). Ni kweli,
kama hawa Mursalin wengine walivyo Muhammadi, Rasool anaweza pia kuitwa Muhammadi
(Korani 33:40, Korani
48:29).
AlAlihatun (Korni 38:5) inamaanisha sifa na tabia ZOTE za
(Allah) Mmoja akiwemo Baba Yetu, malaika kama
walivyo Elohimu wengine (Korani 6:19) au Wana wa
Eloa, na wateule wote kwenye
ulimwengu wao ujao. Dhana hiyohiyo inaonekana kwenye Agano la Kale ambako wajumbe wote wa Eloa
wanaitwa Yahova (YHVH). Eloa ni Yahova wa Majeshi. Jina linaloelezea uenezi wake ni Elohimu kama uwingi. Eloa
ni Ha Elohim au NDIYE Elohim akiwa kama
mtu wa katikati,
lakini wana wote wa Mungu
ni elohimu.
Korani (Kur’an) kwenye Sura ya 3:18 inatangaza: “Mwenyezi Mungu, [Lah] na
Malaika, na wenye ilimu, wameshuhudia
kuwa hakika hapana Mungu [Eloa] ila
Yeye, ndiye Mwenye kusimamisha uadilifu; hapana Mungu [Eloa]
ila Yeye Mwenye nguvu na Mwenye
hikima.”
Kwa hiyo, taaluma ya kiimani ya Uislamu (Shahaadah) ni sahihi isemayo kwamba hakuna Eloa ila
Eloa (La Elaaha Ella Allah
(soma pia 37:35; 47:19)); hata
hivyo, wazo hili la msingi limeharibiwa au kupotoshwa na maneno
yasemayo: “Na Muhammadi ni Mtume wa Mungu.” Rashad Khalifa anasema: “Waislamu wapotofu wanasisitiza kuhusu kuweka nyongeza
ya “Ashahahadu” ya pili kwamba Muhammadi ni Mjumbe au Mtume
wa Mungu. Hii inamana ya ‘Shirk’ (ibada ya sanamu) na uasi
mkubwa sana kwa Mungu na mjumbe
au Mtume wake” (kwa mujibu
wa kitabu cha R. Khalifa, cha Koran The Final Testament [Korani, Agano la Mwisho] (Rev. edition II)
Universal Unity Freemont. fn
to 3:18 p. 305.) kama wanamtaja mtume wa Kiarabu ndipo
wananena kinyume na Korani kwenye
ibada ya sanamu kwenye kile Korani
kinachokitangaza kuwa imani
haifanyi tofauti yoyote kati ya manabii. Manabii wote wapo sawa
kwa jinsi walivyovuviwa na Mungu. Khalifa anasema wazi kuwa ni ibada ya sanamu wakati Waislamu
wanapoweka nyongeza hii ya ukiri wa
imani, uitwao kuwa Muhammadi mjumbe wa Mungu. Hatahivyo,
kama wanaongelea juu ya Kanisa kama
Muhammadi kisha wanawakumbatia manabii wote kwa jambo hilo na siyo ibada
ya sanamu.
Huenda ni sahihi kumuita tu kuwa ni mhubiri Mtume wa Waarabu, hadi tutakapojua zaidi kutoka kwenye
tathimini za maandiko yanayomhusu yeye.
Mhubiri alikuwa ni mtu aliyezitoa jumbe hizo kwenye ulimwengu wa Waarabu wapagani.
Ulimwengu ule ulikaliwa na mafundisho
ya kitabaka na mapotofu na ya kizushi ya Wayahudi na makabila yenye
ushawishi waliokataa kuwa Gabrieli ni malaika aliyeasi na alimuabu
Ezra kama Mwana wa Mungu. Korani
inawaita Wayahudi wa msimamo mkali
kuwa ni Alladhina Hadu, lakini wanabaki na neno Alyahudi
tu wakimaanisha mafundisho
haya ya kizushi peke yake. Dini hii potofu iliwashawishi kwa ulaghai Waarabu
na kujaribu kuzipotosha na kuharibu vitabu vya makanisa ya Mungu Wakristo “Wayahudi” na “waongofu”
wao”) huko Uarabuni. Kutokana na maandiko
halisia ya Korani, inaonekana kuwa mwanaume na kundi lake
walikuwa wanahusika na kuwa na sehemu
kwenye misukosuko hii mikubwa ya kupigania uhuru na kweli ya Biblia dhidi ya mafundisho ya kizushi ya waamini Utatu ambayo yalitungwa
na kuanzishwa na watu wa
Magharibi. Walishirikiana na Wakristo Wasabato
wa Magharibi. Wasabato hawa walioitwa
“Wapaulicians”, waliunda kundi huko Asia Ndogo (hadi kwenye
Milima ya Taurus) dhidi ya Waamini Utatu ambao
walikuwa wanaitumia Dola ya
Mashariki huko Constantinople kama makao au msingi
wao.
Wapagani waliuharibu ujumbe uliokusudiwa na kuandikwa kwenye Korani kama Mafasriayo
walivyolifanyia Agano la Kale, na
kama Dola ya Rumi ilivyofanya
pia kwa kuingiza
imani na mafundisho ya Utatu na walivyofanya kwenye kanuni ya Maandiko Matakatifu. Alama za dini ya Uismalu
kama vile mwezi mchanga na
nyinginezo, zimetokana kwa kiasi kikubwa
na imani za kipagani na
kuingizwa na Waturuki kwenye miaka ya takriban karne ya 15. Zinapingana kabisa na maana
za Korani na Biblia.
Kwa hiyo, migawanyo mikuu miwili, kwenye
kile kilichodaiwa kuwa ni msingi mmoja uliotokana
na Biblia, zikabuniwa ambazo hakuna hata
moja iliyowahi kuwepo kwenye vitabu hivi.
Teolojia kwenye Korani
Neno “Miungu ya kike” (ALHT) limejitokeza
takriban mara 15 likimaanisha
kuwa ni sanamu. Korani
4:117, 37:149-150 na 43:19 aya
hizi zote zinaelezea kuhusu miungu ya kike au viumbe wa
kike wa mbinguni, lakini vinginevyo majina ya Mungu yaliyotumiwa kwenye Korani ni yaleyale sawasawa na yalivyo
kwenye Biblia; Korani inatumia neno linalomaanisha
umoja ALH (linatakwa “ilaha”, au, kama
linamtaja tu Mmoja linatamkwa ilahun) kutoka kwenye kiebrania
kitu kinachofanana na neno Eloah;
na ALHH (linalotamkwa alihatun) kutokana na lugha ya Kiaramu
lililo sawasawa na neno Elahh (kwa
Kiebrania Elohim) inapomtaja Mmoja tu aliyeko. Kwa mfano,
neno ALHH limeonekana kwa mara ya kwanza kwenye Korani 6:19 na muonekano wake wa kwanza wa ALH upo kwenye mstari wa
Korani 2:133. Hata hivyo, Korani huyatumia
maneno haya kama neno stahiki na
lenyekuelezeka (yeye)Lah
(Ton-Theon, pasi kubadilika na Allah-Alrahman-Alrahim, na Alrahman-Alrahim, na Huwa, na
Alrahman, na Al-Alihatun, na Ilahun
Wahidul – Mungu Mmoja, Wapekee na wa Kweli)
linatumika kiumashuhuri
sana badala yake.
Huyu Lah (Allah) yu tofauti kabisa
na yeyote kati ya waliotajwa kwenye manija haya na kwenye hilo anaelezeka. Kwenye Kiebrania angekuwa anaitwa (Ha)Loah. Inaonekana kuwa kwenye makala inayoelezea,
au kusimama peke yake tu chenyewe,
na hakina umbo lingine loloate. Neno hili liligunduliwa
kwa kuwa maneno yote mengine yanayomtaja
Mungu yamepewa uitaji wa uwingi,
au yanayotamkwa kwa kike, au yenye
asili ya kike. Lakini neno au jina “(Al)lah” halikuwa na
uhusiano wowote wa namna hiyo
na lilitambilishwa kwa watu walio
kwenye jamii yao waliokuwa na moyo mwema na bidii
ya kulilinda kutokana na kulibadilisha kwa namna hiyo,
na ndilo kuonyesha au kumaanisha
Mmoja wa Pekee. Inafanana na kiebrania inayotaja
kuwa Eloa kwa Kiebrania.
Kwa Kiebrania “Eloah”, kama neno la Kiaramu
ALH wakati linatamkwa “ilaha”, linatumika tu na vitu vingine
ambavyo siyo Mungu. Ha Elohim ni la kawaida, linamtaja tu Baba au Elyon, Mungu
Liye Juu Sana.
Neno hili ni kweli kabisa kuwa korani inatumia Lh kama shina la chanzo chochote kiwezekanacho kinachomaanisha Eloa. Maana hizo pamoja na maafa ya kusikitisha
zinaonyesha /mtafaruku /mkanganyo. Kiteolojia ni “Wa Pekee”, “Chanzo”, “Asiyeweza Kuathirika”, “Wakutisha”, Wakushangaza”, (Ni) Uungu ndiyo tafsiri
bora zaidi kuonyosha matumizi yake na maana
yake.
Ni kwamba Mungu, Baba yetu anajifunua kwetu sisi. Ni hatima yetu. Hazai
wala hajazaliwa na kitu chochote.
Ndani yake ndpo tunarejea. Kwa yeye kuna roho njema na takatifu
– na kumuwezesha kwa kumtia nguvu
za Mungu, Mwombezi. Ni hatima ya kitu inayoweza pengine kuelezewa kuwa: (Huu) Uungu ni Uwezesho au
Mwongeza nguvu na ndiye Ahmed au Roro Mtakatifu ni umeme. Eloa anatafsiriwa na kuchukuliwa kuwa ni kama Mungu na (huu) Uungu unaonekana vema kama kiini
cha mwingiliano wa kiushirika ambaye
ni Eloa. Huenda limetokana kutoka kwenye neno la umoja la Kikaldayo Elahh na kutoka
kwenye Kiaramu cha Mashariki, ambacho kilifanywa kuwa neno la ummoja la Kiarabu ilaha pamona
na kujineno kilichowekwa cha “Al-”. Uondoaji wa makusudi
kabisa wa kijineno “i-”, au huenda ni kwa mgongano
tu, inafana ionekane kama Al-Lah’ (Uungu).
Kuna mambo kadhaa ya kina kuhusu
ngazi za kivyeo inayoonekana kwenye Korani (Kur’an). Ahmed ni kitu ambacho kinachofanya mungu mdogo wakati
kwamba hakuwezi kuwepo mungu mdogo
pasipo Uungu. Ndivyo ilivyo kabisa
kwa jinsi hiyohiyo, “Maneno ya Bwana” aliyonena kupitia manabii wa zamani na
yalifuatiwa na usemi “Asema Bwana”,
Korani imeandikwa kutoka Jina la Mungu aitwaye – Smillahalrahmanalrahim.
Kila sura imetanguliwa na maneno haya haya yanayofanana ya “KWA JINA LA
MWENYEEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU au Kwa jina la Allah-Alrahman-Alrahim” (Korani 1:1). Mwanzo wa sura ya 9 umepotea na kwa
hiyo neno Bismillah halionekani hapa. Neno Bismillah
sio sehemu ya ufunuo isipokuwa pale inapoonekana kuwa na utata au mabishano.
Sehemu kubwa ya Korani, Jina la Mungu linalipa sifa Mungu aliye juu ya kila
jambo na kila kitu (Korani 1:5). Zaidi ya yote, Jina la Mungu linabadilika kila mara kati ya kutaja umoja wa
nafsi ya kwanza na naďf ya kwanza ya uwingi na kurudi tena hata kwenye sentensi
hiyohiyo (Korani 2:38).
Mambo haya yanafananishwa moja kwa
moja na maneno ya Bwana yanayoshabihiana na maneno ya Elohim
kupitia Manabii wa zamani. Ni kama
tu ulivyo “alivyosema” Bwana kwenye Kutoka
4:22 na Yeremia 31:9 kuhusu Israeli, Jina la Mungu linatutaja sisi kuwa ni wana wake kutoka kwenye
Korani 31:16-19. Kwenye Korani 90:3, Jina hili linaonekana kujiapiza kwa nafsi yake
lenyewe na kwa Yesu (Korani
19:15 na 33) likimtaja kwa heshima na
unadhifu kuwa ni mzazi na aliyezaliwa kutoka kwenye Waebrania
1:8-9 likiashiria ni “Elohim”
fulani (aliye kwenye Zaburi 45:6-7) aliye mdogo na msaidizi
wa Mungu Mwenyezi. Kwenye Korani 43:57-60, Jina la Mungu linalonenwa linamwelezea Yesu kuwa ni Mtumishi au Mjumbe wa
Khalifa, kwa namna fulani na sio kwa
moja kwa moja, ni sawa kama anayehusiana na mambo ya kimbinguni na kiuungu. (Huyu)
Mungu kwa namna nyingine na wakati huohuo
akiwa pia ni chanzo au asili
ya Roho Mtakatifu (Korani 4:171, Korani 58:22) hazai (Korani 10:68, Korani 17:111, Korani 18:4, Korani 19:35, Korani 19:88-92, Korani 21:26, Korani 23:91, Korani 25:2, Korani 37:152, Korani 43:81, Korani 72:3) – anatunzwa kwa kulelewa
(Korani 39:4) – lakini hata hivyo anahitaji
kutangazwa kuwa ni mzazi halisi (Korani 33:5). Ingawa wala hana
mwanzo wala hakuzaliwa (Korani 112:3) ingawa hakuna mungu
yeyote mdogo bila yeye (Korani 2:163). Na wakati sisi
tuna mama yetu, Roho ndiye baba yetu, wakati Mungu akiwa
hana mke (Korani 6:101). Hata hivy, Jina la Mungu ni Baba yetu na kwa
jina lake Mungu ni mlinzi wetu.
Uungu ni ushirikiano muhimu ambao kwamba Baba ni muumbaji na nguvu
zilindazo za uumbaji wote au
viumbe vyote. Na Lah kwa
hiyo ni mhusika aliye muhimu na
mhimili ambaye pia ni tofauti na Ahmed, ambaye ni mwombezi kama Roho
Mtakatikatifu, ambaye anawatia nguvu wateule na kuwawezesha
wafanyike kuwa miungu wadogo wadogo wakiwa
ni wana wa Mungu Aliye Juu
Sana. Kwa hiyo, Roho Mtakatifu nauwanganisha wana wa Mungu na
Mungu mwenyewe (ambaye ni kiumbe anayetajwa kama Ha Elohim au Eloah).
Kwa hiyo twaweza kuona kuwa Maandiko Matakatifu yananena juu yah
ii kama Yohana alivyoandika wakati Kristo anaposema: “…Je! Haikuandikwa katika torati yenu ya kwamba, Mimi nimesema, Ndinyi miungu? Ikiwa aliwaita miungu wale waliojiliwa
na neno la Mungu; (na maandiko
hayawezi kutanguka); je!
Yeye ambaye Baba alimtakasa,
akamtuma ulimwenguni, ninyi mnamwambia, Unakufuru; kwa sababu nalisema,
Mimi ni Mwana wa Mungu?’” (Yohana 10:34-36).
Kanisa limefunuliwa kwenye Korani kwenye aya
mblimbali, kama vile Korani 2:252 hadi Korani 48:29; Korani 58:22 na Korani 17:79. Matumizi ya neno “Nawe” siyo
ya Muhammad kama mtu bali ni kwa Kanisa
na malaika wake kama walivyoelezewa
kwenye Kitabu cha Ufunuo. Sufis
wengine, na inaelezwa kuwa ni Sufis wa kweli wanalielezea
Kanisa kwenye Korani 48:29 na 58:22. Ujumbe muhimu kwa
Waislamu kwenye maelekezo haya ni:
Korani 2:252:
“MITUME hao tumewatukuza baadhi yao juu ya wengineo. Katika wao wapo ambao Mwenyezi Mungu alisema nao, na wengine akawapandisha
vyeo. Na tukampa Isa mwana wa Mariyam hoja zilizo wazi, na
tukamtia nguvu kwa Roho Takatifu.
Na lau kuwa Mwenyezi Mungu alipenda wasingeli pigana walio kuwa baada yao baada ya kuwajia hoja zilizo wazi. Lakini walikhitalifiana.
Basi wapo kati yao walio amini, na wengine
kati yao walio kufuru. Na lau
kuwa Mwenyezi Mungu alipenda wasingeli pigana. Lakini Mwenyezi Mungu hutenda atakavyo..”
Korani 17:79:
“Na amka usiku kwa ibada;
ni ziada ya sunna khasa kwako wewe. Huenda
Mola wako Mlezi akakunyanyua cheo kinacho sifika”.
Korani 48:29:
“MUHAMMAD ni nidi ya Mwenyezi Mungu, na ya WALE waliyonayo (kwenye vipaji vya nyuso
zao) ni vigumu dhidi ya wasio amini na wasio
na rehema miongoni mwao. Wewe (Ee Mursal)
unawaona WAO wakipiga magoti na kuanguka
kwa unyenyekevu wakitafuta rehema na huruma za
Mungu na kukubalika. Alama YAO (yaani Mhuri wa MUHAMMAD – kwa wale 144,000) upo kwenye vipaji vya
nyuso ZAO kutoka kwenye dhamira ya uahirisho’ – ambao ndiyo wa kufanan
NAO kwene Torati; na kufanana kwao
kwenye Injili au Evangelion ni: kama ilivyopandwa kile kilichopandwa kwa kurusha na
kuipa nguvu na kuinuka imara
kwa stoku yake ikimhusu mpanzi
– ambaye ni kuwaongeza wasioamini kwayo (hekima yake) NAO ambacho Mungu amekihakikisha
kwa kama walivyo wao kama walivyoamini na kufana matendo mema kwa msamaha na
kupewa thawbu” (msisitizo umeongezwa ili kuweka mwelekeo
wa andiko).
Andiko hili linalitaja Kanisa ambalo ni mtumishi wa Mungu
aliye hai na limezifanya sheria za Mungu
kuwa kipaumbele chake katikati ya macho yao kama ushuhuda kwa watu
wote.
Korani 58:22:
“Huwakuti watu wanao muamini Mwenyezi
Mungu na Siku ya Mwisho kuwa wanawapenda wanao mpinga Mwenyezi Mungu na Mtume
wake, hata wakiwa ni baba zao, au watoto wao, au ndugu zao,
au jamaa zao. Hao ameandika katika nyoyo zao
Imani, na amewapa nguvu kwa
Roho itokayo kwake. Na atawaingiza
katika Mabustani yapitayo mito kati yake. Humo watakaa daima. Mwenyezi Mungu awe radhi
nao, na wao wawe radhi naye. Hao ndio Hizbullahi, Kundi la Mwenyezi Mungu. Hakika Kundi la Mwenyezi Mungu ndilo lenye kufanikiwa.?”
Waislamu kwa wingi wao na
wote hawana habari kuwa Ahmed hayupo sawa kama alivyo
Abu Kasim bali ni kwamba ni Roho Mtakatifu, kwa kuwa hawaisomi Biblia, na hasahasa andiko la Yohana kwenye lugha ya Kiaramu.
Kwa matumizi haya ya kipande cha taarifa moyoni
kwa hiyo yatupasa kujiuliza, “Ni nani basi HUYU aliyeandikwa kwenye kifungu hiki?” Jibu linapatikana kwenye Korani 2:252: ni mmoja kati ya hawa
MURSALIN.
Swali tunalopaswa kujiuliza ni: “Je, huyu mmoja wa hawa Mursalin
ni Muhammad?”
Kwa mujibu wa Korani
48:29 jibu linapasa kuwa ni
hapana, kwa kuwa Neno la Mungu linasema
kuwaambia hawa mursal kuhusu habari
za Muhammad.
Muhammad ni mhuri au alama ya manabii kwa mujibu
wa Korani 33:40.
Muulize Muislamu yeyote yule kuwa kuna idadi gani ya manabii
na watakuambia wapo 144,000, lakini hawaelewi idadi hii inamaana gani.
Sisi tulio wa Makanisa ya Mungu tunajua hii
inamaana gani lakini wao hawajui. Alama ya hawa 144,000 iliyo kwenye vipaji vya
nyuso zao ambayo UNAFANANA KABISA kama na “wale wa
Muhammad" kwenye Korani
48:29.
Korani 58:22 ni hakikisho kwa kuwa inatuambia sisi kwa wazi kabisa
jinsi walivyoonekana pale. Jibu ni sio kwa
kutokna na kuwa na roho kama
mursal aliyebatizwa Kanisani lakini ni kwa KUTIWA NGUVU za roho, kiambisho kilichotumika tu kwenye tukio moja lingine kwenye Korani. Andiko lile limetumika kwenye Korani 5:110 kuhusu Yesu Kristo.
Waislamu wanatakiwa
kuelewa mchakato huu maendeleo ya imani na ujumbe
wa Kanisa (ambao ni Korani),
ili kuweza kuendelea vizuri kwenye imani.
Timu imefanya kazi ili
kuirejesha Korani yenyewe na kuitafsiri
kwa wazi kwa lugha ya Kiingereza,
na kuweka mahusiano ya wazi ya biblia hadi kwenye Korani
kwenye ufafanuzi huu. Ni mtazamo na matarajio yetu
kwamba moja ya wazo la muhimu zaidi katika
kushughulika na Korani ni kwamba utajwaji au rejea
ya Kristo na Kanisa vimepotoshwa na kufichwa, sio
kwenye sehemu kubwa na muhimu
kwenye Uislamu, bali pia na
Watrinitariani walio nje ya Uislamu, zote mbili zikiwa zimebakia
zikilaumiwa na rejea zake.
kwa mfano Sura za 3:144 na 5:75 zinaashiria kuwa hapo mwanzoni kabisa Muhammad halikuwa jina kabisa ila ni jinsi ya kuwaelezea tu wale waliokuwa kwenye ushirika na Kristo.
Muhammad siyo jina kwenye
3:144 kabisa. Ni kijisifa
tu kinachomaanisha “aliyeombewa
au kutetewa”.
3:144: Na haiwezi nafsi
kuwa ife ila kwa idhini ya Mwenyezi
Mungu kama ilivyo andikwa ajali yake. Na mwenye kutaka malipo
ya duniani tutampa; na mwenye kutaka
malipo ya Akhera tutampa. Na tutawalipa wenye kushukuru.
5:75: Masihi mwana wa
Maryam si chochote ila ni Mtume. Wamekwisha
pita Mitume kabla yake. Na mama yake ni mwanamke mkweli. Wote wawili walikuwa
wakila chakula. Angalia jinsi tunavyo
wabainishia Aya, kisha angalia vipi
wanavyo geuzwa.
Hizi ni mara mbili pekee kwenye Korain
yote (au Kur’an) ambapo neno hili linatumika.
Sura 3:144 ni sehemu kabisa
ya wazi ya kifungu kinachoanzia tangia 3:137 kuzungumzia kuhusu kifo cha Kristo.
Hitimisho jwa hiyo ni kwamba maneno haya ya aliyetetewa, Kristo, na alrasul (dini) yote maneno yanatofautiana
na hiihii “dini iliyopitilia mbali kwa namna
sawasawa tangu kabla ambapo dini
zote” – alama au mhuri wa Makanisa walipewa
hawa 144,000. Ukweli ni kwamba sio manabii
wote anaowaelezea
“Muhammad” kuwa Kristo ni mhuri
uliotolewa kw hawa 144,000 kuhubiri, hata kama wanashindwa
kushiriki hiki wenyewe, hadi ifike
siku ile ambayo wote watakuwa
wamoja.
Mahali pote panaposema pakitaja "Nawe" palipotumiwa kwenye Korani panamtaja mursal – ambaye ni muumini binafsi wa kanisa kwa
ngazi ya kibinafsi – vinginevyo ni kama itafafanuliwa au kurasimishwa na mahudhui ya andiko kama kwa mfano
kwenye sura ya 66:1 ambapo Qehilat anakemewa au kulaumiwa kwa
kutawaliwa na maamuzi ya mwanamke aliyeolewa badala ya kuuliza ushauri kutoka kwa nabii.
Alislam, maana yake ni Unyenyekeu au Kujinyenyekeza kwa Kusalimtu Amri,
ni neno lililotumika kuutaja mfumo wa
kidini na imefanyika kwa maana kubwa sana limefanyika kuwa jina la dini. Hata hivyo, kwa
hakika hili ni jina la mfumo halali au
Din (Korani 3:19, 85; 5:3; 61:7-9). Imani ya Kweli ni neno. Kwenye Agano Jipya ilikuwa ni dini ya wafuasi wengi iliyoitwa Njia au Imani Waliyopewa Watakatibu Mara Moja tu na huo ni maana inayotumika
kwenye Korani 61:7-9. Ni wazi kabisa kwamba
kutoka kwenye matumizi ya Korani, na inalinganishwa na Agano Jipya, ambalo KRISTO ameungamanishwa mwili wa dini
yetu kama ufunuo toka kwa
Mungu kwa Maryamu. Kwenye nyaraka za Paulo kwa mfano tunasoma
Kristo kwenye Ukristo. Dini hii inaitwa pia “Ukumbusho
wa Allah" na Kweli. Ushuhuda wa Yesu ni “Roho
ya Unabii”. Kuna kiumbe mwingine anayeonekana kushabihiana na Gabrieli (Korani 2:97). Gabrieli wakati mwingine anatajwa kimakosa kuwa ni kama Roho Ameen (Korani
26:193) au Roho wa Kweli, ambaye
ni Roho Mtakatifu (soma
Yohana 14:17, 15:26, 16:13). Malaika wa Bwana alimtokea
Yohana kisiwani Patmo kama mmoja aliye
kama mwanadmu (Ufunuo 1:13). Baada ya kuzaliwa kwake Kristo, kiumbe huyu anajulikana kama Gabrieli, Malaika aliyetumwa kwa Manabii na
kwa Kanisa (Danieli 8:15-12:13), pamoja na kwa Mtume
huyu wa Waarabu
alipokuwa pangoni.
kuna sehemu moja tu inapomtaja
(Korani 33:53) kwenye Korani yote kwa
mabibi arusi wa Kristo kwenye
nafsi ya tatu (viumbe wengine wote wameelekezewa moja kwa moja neno “Wewe”). Sehemu zote zilizowataja wake wa manabii kwa
upande au namna nyingine panamtaja wanawake walioolewa na Qehilat.
Binti za Alnabi wanawake ambao hawajaolewa wa Qehilat, kama
ilivyokatazwa kwa wanawake wasioolewa na waaminio ambao
wanapaswa kuweka kiapo cha utii
ili aungane na Qehilat kama
binti. Hii ina maana kwa
maana ya kuwa Mabibi arusi wa Rasulullah wanapoitwa
waingie kwenye Ufalme wa Mungu.
Mtume au Nabii (Alnabi) inapasa atambulike kama Qehilat (familia ya uzawa na waongofu
kamili), ufalme wa Kristo hapa
duniani na ndio wa Kanisa.
Hii AlBayt inatajwa kuwa ni kama nyumba ya mtume, (yaani ni nyumba ya sheria) na hawa
AhlulBayt ni waamuzi au mahakimu, wanasheria,
wazee wa mabaraza na familia zao (wa namna
zote mbili, yaani Qehilat na sasa
walioongoka kikamilifu), wote kwa pamoja
ni Mabibi Arusi wa Rasulullah na wanajumuisha Hekalu jipya.
Hawa ni milango muhimu sana katika kuilewa Korani. Kwa kuwa Kanisa na kazi
zake zimepotoshwa na waandishi na
wafafanuzi wa Hadithi, na kupotosha
maana ya Korani (Kur’an) Inapuuzwa na kupotoshwa ili
kwamba wafuasi au umma wa Uislamu
usikielewe vizuri kitabu hiki.
Inapingwa kuaminika kwamba Kanisa liliangamizwa na kile kilichokuja
kuwa Uislamu mpotofu baada ya kupit kwa Mahalifa Wanne
Walewale Waliolinda.
Mtakatifu wa Kishia (Shiite),
Imamu Husayn sasa ana Washia wengi
huko Iraq wanaotembelea wakifanya ziara ya hija kwenye kaburi lake.
Alikuwa wa mwisho kuchaguliwa kwene upotoe ambao
ulikuwa umeanza kuchukua mkondo wake kwene jamii
nzima yote ya Uislamu moja kwa moja mara tu baada ya Mahalifa Wale Wanne Waliokuw
Wanaongoza. Anaonekana huenda kabisa alikuwa
ni kiongozi aliyekuwa amebatizwa kwenye Kanisa la Mungu na alikuwa ni mshika
Sabato. Baada ya kifo chake kanisa
liliiga mtindo au mbingu chafu
za kisiasa za kuwanamazisha watu kwa kipindi
fulani. Imamu mwingine aliyeitwa Jafari anaonekana kuwa aliunganishwa na vuguvugu la chini kwa chini
ingawa hakuwa ameitangaza hii kamwe kwa wazi
kwa maneno mengi sana kutokana na hatari iliyoonekana
ingetokea. Washia wa Iraq na wale
walioibuka moja kwa moja kutoka kwenye vikundi
waliomuinua Jafari na kumtukuza kama
“afanywavyo papa” na kwa hiyo walijiondoa
wenyewe kutoka kwenye kanisa la kweli. Wakiwa wamemaanisha
kabisa na miunganiko waliendeleza pamoja na mistari
yao wenyewe na ushawishi wa Wasuni
wakati Kanisa liliondoshwa na kuhamishiwa kwenye maeneo meingine na kujikusanya au kujiunda na
kile kilichokuja kuwa ni vituo vya mila
na desturi za Wasufi waliotoka
maeneo ya mbali ya Uchina.
Kanisa liliongozwa na kulindwa na Roho
Mtakatifu na huyu ndiye Ahmed/Mwombezi aliyetajwa kwenye Korani. Neno Muhammad ni sawa na maana y uwingi
ya: waliotetewa. Yesu
alikuwa ni Mwana wa Adamu wa
kwenye biblia, na Muhammad
(au waliotetewa) ni wana wa wanadamu
kwenye ufalme wao. Yesu alikuwa ni malimbuko ya Muhammad. Mahmoodan
ni kiambishi cha kisifa, kama kusema
“kufikia kimo na wasifa wa
wa Mahmoodan”. Mahalifa Wanne hadi kufikia kwa
Hasan, Husayn na Jafari nao
hatimaye walikuwa au waliitwa Muhammad.
Ndipo kwa hiyo tunawasoma hawa Mahmoodan kuwa wametajwa kwa lugha
hiyohiyo kama alivyotajwa Kristo:
3:144: Na Muhammad hakuwa ila ni Mtume
tu. Wamekwisha pita kabla yake Mitume.
Je, akifa au akauwawa ndiyo mtageuka mrudi nyuma? Na atakaye geuka akarudi
nyuma huyo hatamdhuru kitu Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu atawalipa wanao mshukuru.
33:40: Muhammad si baba wa yeyote katika wanaume
wenu, bali ni Mtume wa
Mwenyezi Mungu na Mwisho wa
Manabii, na Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa
kila kitu.
Kwa hili tungeona Isaya
9:6 na Masihi akiwa ni kama baba wa milele anayechukua
au kupewa na kustahili heshima
kama dini ya Kimungu ya manabii 144,000. Kristo ni mfano (kwa Kiyunani: icon,
kwa Kiebrania: Micha)
wa Mungu (El).
Ufunuo sura ya 7 inawataja au kuwaonyesha
hawa manabii 144,000 na sehemu yao kwenye
makabila ya (wakiwa 12,000 kwenye kila kabila) na wakiwa pamoja na
Kristo kama makuhani wao wenyewe wakiwa na Makutano
Makubwa, ambao ni Kanisa.
47:2: Na walio amini, na wakatenda
mema, na wakaamini aliyo teremshiwa Muhammad - nayo
ni Haki iliyo toka kwa Mola wao Mlezi - atawafutia makosa yao na ataitengeneza hali yao
Mahala pa hawa Mahmoodan ni kwamba wao ni malaika wa Kristo, na
kwa ndivyo Muhammad anamfunua Kristo (ambaye ni kweli) kutoka kwenye Uungu
kupitia kwake yeye mwenyewe. Cha muhimu
hapa ni kwamba imani inapasa ionekane
kwa kupitia matendo. Wazo hili limeendelezwa na Mitume, Yakobo, Yohana, Petro na Paulo. Yakobo
anasema kuwa imani bila matendo imekufa (Yakobo 2:14-26). Andiko hili
linarudisha nyuma kwenye hisia na mawazo yake kwenye Agano Jipya juu ya imani
na matendo.
Tunaona pia
kwamba Muhammad ni dini ya Kimungu ambaye ni, mfano wa Mungu wa Pekee na wa
Kweli kupitia kwa Roho wa Mungu.
48:29: Muhammad ni Mtume wa Mwenyezi Mungu. Na walio pamoja naye wana nguvu
mbele ya makafiri, na wanahurumiana wao kwa wao. Utawaona wakiinama na kusujudu
wakitafuta fadhila na radhi za Mwenyezi Mungu. Alama zao zi katika nyuso zao,
kwa athari ya kusujudu. Huu ndio mfano wao katika Taurati. Na mfano wao katika
Injili ni kama mmea ulio toa chipukizi lake, kisha ukalitia nguvu, ukawa mnene,
ukasimama sawa juu ya ubuwa wake, ukawafurahisha wakulima, ili kuwakasirisha
kwa ajili yao makafiri. Mwenyezi Mungu amewaahidi walio amini na wakatenda mema
katika wao msamaha na ujira mkubwa.
Andiko hili
linaonyesha kuwa wale walio na imani kama wawakilishi wa Makanisa ya Mungu, ni
Malaika wa Ufunuo wa Mungu. Ni mbegu zilizopandwa kwene udongo wa injili. Roho
Mtakatifu anawafanya kuwa kama mfano wa Mungu asiyeonekana waliw ni udhihirisho
wa dini ya Kimungu. Andiko hili pia linaelezea juu ya kujitoa kimaombi kama
ilivyoamriwa na ambavyo mfano wake uko kwenye Torati. Kwa hiyo walifuata sheria
ya Mungu kwenye Torati. Kabrasha zinazohusiana na sunnah za Mtume wa
Waarabu zinashuhudia ukamilifu wa Torati iliyoshikwa na kuadhimishwa na
mwanadamu, na ni hii ndiyo inayomfana yeye aweze kufikia kimo cha Mahmoodan na
kuendelea hadi kuwa zaidi ya Mursal wa kawaida.
Korani 42:51
inaonyesha Mursal kuhusu mwendelezo kutoka kwenye mambo yake yaliyopita hadi
kwenye hali iliyopo sasa. Hii inafanyika kupitia Roho Mtakatifu kutoka ubatizo
na kwa imani – Roho wa Ameen (Korani 26:193). Waislamu wengine wanamfanya Roho
huyu wa Ameen kuwa ni Gabrieli kutokana na Korani 2:97, wakati kwa ukweli ni
uweza wa Mungu unaokuwa ndani ya mtu na huyu mwingine ni mjumbe wa Mungu kwa
Kanisa anayemsaidia Kristo.
Kwenye andiko
lililo kwenye Korani 17:79 tunaona kuwa Korani inasema kuwa kichwa cha Kanisa,
yaani Mungu kupitia Kristo, atamfanya Mursal (mshirika wa Kanisa au bibi arusi
wa Kristo), kufikia daraja la Mahmoodan au kufanyika kuwa Muhammad, ambavyo ni
kuwa mtetezi au kuwa wenye kutetewa kwa kuwa Mursal anashikilia mkesha wa usiku
(ilinganishe hii na utawala wa kijamii wa Qumran pia). Mkesha wa Usiku ni utajaji wa moja kwa moja wa Ulinzi wa Usiku ukimaanisha usiku wa
Pasaka. Mchakato ulianza kama mwanzo wa
siku ya 14 Abibu, ambao ni wa Mlo
wa Meza ya Bwana. Ni kama vile Kristo
alivyotiwa nguvu kipindi hiki na
ndivyo hata pia wakeshaji watatiwa
nguvu. Ulikuwa ni usiku huu ndipo
Kristo alichukuliwa na kujaribiwa kwa
mateso, na kushitakiwa siku iliyofuatia na kuangikwa mtini. Alikuwa ni Mwanakondoo wa Pasaka na
aliuawa akiwa kama Mwanakondoo wa Pasaka na
usiku ule Kanisa likaifanya mkesha uliyoitwa Usiku wa Kukesha
au Usiku wa Kuuangalia sana hadi mapema asubuhi
ya Siku Takatifu ya Mikate Isiyo na
Chachu wakati waliporejea kwenye hemani zao (sawa
na Kumbukumbu la Torati 16:5-7).
Korani 17:79 inachukua wazo la Makanisa ya Mungu yaliyo kwenye Ufunuo
sura ya 2 na 3 katika kuendeleza mchakato wa uchaguzi wa
Makanisa Saba. Kipindi hiki ambacho Korani
iliandikwa kilikuwa ni zama ya Wapergamo. Kanisa la Mtume wa Waarabu, na
kanisa la Wapaulicians ambalo wakati huo
walikuwa wanafanya kazi au huduma
pamoja walikuwa kama wanapigana na wasingeweza kuchukuliwa na joka hadi kwanye
ile iitwayo imani kali au
u-orthodoxy. Hata hivyo, hawakuwa wamekamilika na Kristo alisema kuwa walipaswa kutubu vinginevyo angekuja kinyume chao na upanga kinywani mwake.
17:79: Na amka usiku
kwa ibada; ni ziada ya sunna khasa kwako wewe. Huenda
Mola wako Mlezi akakunyanyua cheo kinacho sifika (yaani kuwa Muhammad).
Neno la Kiyunani paraclete (periklytos/paraklytos) ambalo ni neno linalotumika likimaanisha kama Mfariji
ambaye alinenwa kwenye Yohana 14:26 kama Roho Mtakatifu, kwa tafsiri ya moja kwa moja na kimwili
“kuita sambamba ya”. Neno lililotumiwa kulitafsiri kwenye maandiko ya lugha ya Kiaramu ya maandiko ya Biblia ni Mahmed, ambalo pia linamaana ya kusifiwa au sherehekewa kutoka kwenye shina
au msingi wa kijineno Ahmed. Hii imechukuliwa ili kuyaunga mokono
mawazo hayohayo tunayoyaone kwenye neno “Muhammad.”
Kwa hiyo Sura 7:157 inamtaja Roho Mtakatifu:
Ambao kwamba wanamfuata huyo Mtume, Nabii, asiye soma wala kuandika, wanaye mkuta kaandikwa
kwao katika Taurati na Injili,
anaye waamrisha mema na anawakanya maovu,
na anawahalalishia vizuri, na ana
waharimishia viovu, na anawaondolea mizigo yao na minyororo
iliyo kuwa juu yao. Basi wale walio
muamini yeye, na wakamhishimu, na wakamsaidia, na wakaifuata nuru iliyo teremshwa pamoja naye - hao ndio wenye kufanikiwa.
Kifungu hiki cha maandiko
ni cha lazima. Ni wale TU wanaofuata mambo ya dini watauona ulinzi
wa Roho Mtakatifu
kupitia kwa Qehilat. Andiko hili halimtaji mtu aliyeitoa sura, na ni kufuru kumlinganisha
na mtu yeyote.
Linataja moja kwa moja na maelezo yaliyo
kwenye Yohana sura ya 14.
Andiko lililo kwenye Yohana 14:26 kuhusu Roho Mtakatifu
linatajwa tena kwenye Sura
61:6:
“Na Isa bin Mariamu alipo sema: Enyi Wana wa Israili! Hakika mimi ni Mtume
wa Mwenyezi Mungu kwenu, ninaye thibitisha yaliyo kuwa kabla yangu katika
Taurati, na mwenye kubashiria kuja Mtume atakaye kuja baada yangu; jina lake ni
Ahmad! Lakini alipo waletea hoja zilizo wazi, walisema: Huu ni uchawi ulio
dhaahiri!” (Sura
61:6)
kutajwa kwa Roho Mtakatifu (Ahmed) kunalitaja pia matendo ambayo yalikuwa
yanaonekana wakati Roho Mtakatifu alipokuwa anatenda miujiza aliyokuwa
akiitenda, na ukweli wa kwamba ilifanyika yenyewe tu kama mazingaombwe na,
kwenye mfano wa kwanza alionekana kama ulevi kwa wale mitume. Hii ndiyo maana ya hii aya,
au fungu la Sura ya 61.
Wimbo Uliobora wa Sulemani
unaleta maana ya kwenye sura ya 5:16. Neno hili limetafsiriwa kama mpendwa kwenye tafsiri ya KJV kwenye kamusi ya Strong’s 4261 Machmad ambalo limetolewa kutoka kwene kijishina cha chamad (SHD 2530), likimaanisha
kutangaza au chukua shauku kwenye, kwa hiyo uzuri na inayopendwa sana. Kwa Kiaramu inamaana, kusifu au au kusifu
au kuithibitisha. Ni
sawa na shina
la neno Ahmed, lilivyo kwenye HMD. Matumizi haya yanahusiana na dhana ya Kristo kuwasifia wateule kwenye mkusanyiko au mkutano wa
Yeye Aliye Juu Sana. Neno lililo kwenye
5:16 ni Machmadim linamaanisha
maana ya jumla ya kitu kinachoathirika.
Machmad au Mahmed maana yake ni ktu
kinachotaabika au kuathirika na ndiye
mpenzi. Mpenzi anayetajwa kwenye Wimbo Uliobora wa Sulemani sura ya 5:16 inamaanisha ni Kristo kama Wimbo unavyomtaja
Kristo na Kanisa (soma jarida la CCG lenye kichwa cha
maneno Wimbo Uliobora (Na. 145)). Kwa hiyo maana kwenye
Kiebrania yanaweza kuhamishwa kutokana na kumtaja kwake
Kristo na mwili kuonekana kama Mahmed kwenye
Kiaramu cha Mashariki na hata
kwenye Kiarabu. Muhammad ni
Kristo na mpenzi au wenye
kusifiwa ni Kanisa.
Ni makubaliano hayohayo iliyanyika kwenye mijadala ya kazi kuhusu muundo
wa maandiko ya Korani na ya Biblia.
Kwa mfano, kwenye Torati
maneno yanamtaja au kumuonyesha Mungu kwa kutumia
maneno mawili “Mimi Niko”;
mojo ni ya kiume, "Ani" na
linguine ni la kike, "Anki." Ilishauriwa kwamba mfumo huu
huenda unaweza kuwa ni wa asili wa
miungu miwili ya huko Mesopotamia na ambayo ilikuja kujulikana kama An na Enki. Ani mara zote anamuinua na kumtukuza
Anki. Ni sawasawa kabisa kwa namna
hiyohiyo ya kumuelezea na kumtamka kwa
sauti (Anni Korani 11:2) kwenye Korani yote anamtukuzwa
Allah.
Kama tungekuwa tunaiandika Korani kutoka kwenye
uandishi wa Kiebrania mapema kabla ya mmwendelezo wa kiteolojia wa
kumtofautisha Allah, basi tungelichukua andiko la Kiarabu na kutumia
neno Ani (Mimi) na Anki (Niko) badala ya kuandika au kuitamka
sauti “Mimi” ya kumtukuza
Allah. Kutoka kwenye majarida yanayoelezea kuhusu asili ya Mungu twaweza kuona
kwamba “Mimi Niko” aliye kwenye Torati ni yeye yule “Mimi
Niko” aliyetumika kwenye Ufunuo wa Yohana, na alimaanishwa kama jina linguine la Allah badala ya kujitaja mwenyewe. Limetokana na andiko lililo
kwenye Kutoka 3:14 ‘eyeh ‘asher ‘eyeh
au Nitakuwa kama nitakavyo kuwa zaidi kuliko Mimi Niko. Kwa hiyo
tunaweza kuwa, "Mimi Niko (ni) Alfa na Omega" kwa moja ya mistari hiyo.
Kipande kingine kinachofanana cha taarifa ni kwamba kama tutayachukua
maneno ya Sisi/Sie/Yetu/Chetu (kiini
cha lile linaloonyesha msemaji anakiongelea kwa kuunganisha na Elohim wote)
waliotumiwa na Umungu wa Sifat
(anayeongelewa) kwenye Korani kwenye uandishi
wa mtindo wa Kiebrania ingesomeka,
"Elohim anasema
Mimi/Mie/Yngu/Changu".
Kwenye Biblia mara nyingi tunasikia ina hii
ya kujieleza kwa Elohim, lakini kwenye Korani, kwa kuwa ni Elohim peke yake ndiye
anayeongea, hatulkioni kabisa fungu hili
kwa kuwa fafanuzi zilikuwa hamwe hazijaandikwa ili kuyaongeza maandiko yasiyokuwepo (na hatimaye kuyaruka kwa kutumia ya bandia, ambayo kwa sasa ni kama
vidudu vingi kwenye machimbo au mashimo ya giza
ya Hadith).
Sauti inayoelezewa ya maandiko Biblia
ni Ha-Davar kama Neno la Mungu kwenye
Kiebrania cha Agano la
Kale, ambalo linachukuliwa kama Logos kwenye maandiko ya Kiyunani. Kama ilivyoelezewa hapo juu, ni Jina la Mungu ambaye ameongelewa au kuelezewa habari
zake kwenye Korani. Hii inaindiza
mawazoni mapokeo ya Kiebrania, yanayodhani kwamba, “Hapo Mwanzo
Kulikuwa na Mungu na Jina” ambaye tunaweza kuhitimisha kuwa yu sawa kwenye maana
yake, kwamba “Hapo Mwanzo kulikuwa
na Logos na Logos alikuw pamoja na
Ton-Theon” (Yohana 1:1).
Jina la Kanisa na imani
au muundo wake kwenye Korani
inahusiana na kufanyizwa kwa mwili kama ilivyoanzishwa
na Yohana Mbatizaji. Hata hivyo, ni makosa makubwa sana kudhania kuwa kuundwa kwa mfumo wa
uislamu kulifanywa na shule ile
zaidi kuliko kuwa ni mwanzo tu wa hiyo
yenyewe na kuendelea mbele kwenye mwili uliokua
kutoka kwa Kristo na Mitume
baada ya kifo cha Yohana Mbatizaji. Ni mwili huu ambao
ndio AhlulBayt.
Ubatizo wa Yohana haukupelekea wokovu kama Agano Jipya linavyoonyesha kwa wazi sana. Ubatizo wa Yohana Mbatizaji ulikuwa ni kwa ajili ya toba (Teshuvah). Ubatizo wa Yohana ulikuwa ni wa kuandaa
au kutengeneza njia, lakini ulikamilika
kwa ubatizo wa Kristo na
upokeaji wa Roho Mtakatifu, ambaye anafanyika kuwa ni Kanisa la Mungu, AhlulBayt. Hili ni Kanisa amoja na
vile Korani (maana yake "Mjumuisho" au "Tamasha") lilifunuliwa na Kanisa ambalo
linaendea kila mara kuwatia mafuta Mursalin wanaotumika na kutenda kazi
kama Muhammad wa Masihi.
Huduma ya kikuhani ambayo kwa kweli
ni ya wazaliwa wote wa kwanza ndiyo iliwaweka wakfu wanaume na wanawake
kuwa wafalme na makuhani, inaitwa Alnabi kwenye Korani na kwa
Waislamu. Alnabi ni Israeli kama 144,000. Kanisa linahubiri Injili ya Ufalme wa Mungu na
Masihi kwa Mataifa kiliwa kama "The-Jumba la watawa kwa Wamataifa" au "Al-nabi Al-emi." Kuhani wa Kanisa, Al-Nabi, aliyekuwa wa chuo cha
zamakale. Kila mtu binafsi yake ni mursal au kwa uwingi ni Mursalin.
Washirika wote kabisa hukusanyika. "Hekalu Watu" au "Ahlulbayt". Pia wanaitwa
wake wa Alrasul. Nyumba za Alnabi
ni nyua za chini na ni kituo cha ibada
kwa Waumini. "Dini ya Kimungu”
ni Rasulallah.
Kila mmoja wa watu waliotokana
na hekalu, watu wanaunda mvumo, ni wale wote waliokuja
Kanisani kutafuta kimbilio. Wanaitwa Ma Malikat Alaymen, "wale wa mradi
iliyoahidiwa".
wanaume wote walioolewa na kutiwa
mafut au kuwekwa wakfu ni mababa (lakini wanaitwa Doddi - “Mjomba Wangu” – na wala hawaitwi
Abbi -“Baba Yangu”- wala Abina -“Baba Yetu – ambayo ni majina yanayotumika kwa kumuita hivyo Mungu
eke yake), lakini kundi la vijana waliochumbia na ambao wameweka
ahadi ya kwanza ya uchumba wanaitwa Wana.
Maneno ya lugha ya
Anglo Saxon ya Dad na
Daddy yamechukuliwa kutoka kwenye neno
la Kiebrania la Doddi,
ambapo ni kuepuka neno Baba kwa kuwa linatumiwa kwa kumuita hivyo
Mungu. Kwa jinsi hiyohiyo Kanisa huko Ulaya,
miongoni mwa wa Waldensians, waliwaita makasisi wao Mababa (Barbes) au Wajomba kama sio uvunjifu wa
maagizo ya Kristo kuhusu kitendo hiki cha kumuita
mwanadamu “baba”
Vijana wa wote wa kiume
wasiooa kundini ambao wameweka ahadi ya kwanza ya uchumba wanaitwa Wana wa Mpendwa, wakati wanaume wote waliowekwa wakfu wanaitwa Ndugu au Kaka, na wanaume wengine wote wanaitwa Wajomba au Wana wa Dada Zetu.
Wanawake wote walioweka ahadi ya uchumba ni Wadada, wanawake walioolewa zaidi ya kuwa Wake wa Jumba la watawa wa kike (Mama wa Waaminio) pia, wengine wote wanatajwa
tu kama Wanawake waaminio.
Wale waliobatizwa ni mursaleen (Mwanamke = morasulat, Mwanaume = morasuloon). Kama jina linavyoashiria,
mursal linaashiria kuwa bibi arusi wa
Alrasul (KWELI). Ubatizo unakuwa umefanywa na Alrasul.
Waumini (muminin) wametajwa pia lakini hawa
hawajawa Mabibi arusi, wala hawajawa
Mursalin, wala hawajawa sehemu ya Ahlulbayt kwa namna
yoyote ile, lakini ni wasikilizaji yale Kanisa inayoyahubiri na kujifundisha kwayo. Kuna wale walio kwenye mchakato
wa kuitwa kwenye mwili wa
Kristo ambao ni Kanisa la Mungu.
Chini ya Waumini kuwa Wapatanishi (Waislamu) ambao ni marafiki au wanalipenda
sana Kanisa na wanakusudiwa hatimaue kuwa ni wana wa Mungu
ingawa imani haijawaingia bado mioyoni mwao.
ingawa tunamzungumzia mtu mmoja aitwaye
Muhammad na ameelezewa kwenye Korani habari
zake, jina halifikiriki
kuwa hili ni suala la yote. Zaidi sana, tunadhani kuwa Korani ni mkusanyiko wa mamia
ya mafunuo yaliyokuja kwa kupitia manabii
wa Kanisa kwa kipindi cha
miaka mingi. Uhusiano huu ndiyo
maana baadhi ya mapokeo mengine yanasema Mtume uyu Mwarabu alikuwa
ni Sabi. Sabiyah ni
jina la Kiarabu la wale wasio na uhusiano
wa kinasaba na Waisraeli na
ambao hawajawa waumini walioongoka kikamilifu na kuwa washirika wa Nabi,
na inawataja wale tu walioingia Kanisani kwa njia
ya ubatizo, lakini inadaiwa kuwataja wanafunzi wa Yohana Mbatizaji. Hata hivyo, madai yaliyofuata
baadae hayawezekani kutoka kwenye ushuhuda
wa Maandiko Matakatifu na kwenye
historia za Kanisa. Hawa Sabiyah wanaotajwa
ni \Kanisa la Watunza Sabato la Roho Mtakatifu. Mafunuo haya yote yarikusanywa kwenye kitabu kimoja
huko Uarabuni huenda ni kazi iliyofanyika chini ya Usman.
kwa namna fulani kitendo cha kutafuta
na kutukuza daraja la wa Mahmoodan
lilikujaeleweka kama mtu mmoja binafsi
yake na mkusanyiko
wa tamasha ulionekana kwake. Nyingi ya Hadithi hizi zimhusuzo yeye ni hadithi za wazi
sana za nabii Musa ambazo zimeandikwa tu tena.
Unenaji wa mqaneno yanayoonekana kwenye Korani 5:75 na 3:144 yanaashiria kuwa
Muhammad na Mtoto w Maryam aitwaye Kristo ni huyuhuyu mmoja tu na Yule wa “dini za
Madhehebu yaliyotangulia kabla yah ii
(au yaliyowatangulia wao?)”. Huenda
hii “dini ambayo imepita Dini nyingine nyingi zilizokuwepo hapo nyuma kabla ya hii” yaweza kuwa ni dini isiyoonekana, na huyu Kristo,
Mtoto wa Maryamu na Mohamedi
wanaelezea tu juu ya watu wawili wa
kitu kimoja (yaani Dini) ambayo kwamba moja wapo ndiyo ilikuwa ya huyu (Muhammad au Mohamedi) alidumu na kuifia (3:144), na mwingine (Kristo),
ni ya mbinguni. Ulimwengu huu unaelezea jinsi
Neno la Mungu linamuongelea Yesu mtu kwenye nafsi
ya tatu kwa majina hayahaya ya Muhammad.
ni ukweli kwamba maamlaka mengine fulani au taasisi zinajiita
zenyewe “Muhammad” yaliyokuwepo
kwa Mabibi arusi wa Rasulullah
na ilipeleka barua kwa wa
Byzantium na Wachina (ni ushahidi pekee wa kihistoria
wa kuwepo kwake unaopatikana kwenye tovuti ya:
http://www.islamicresources.com/member/modules.php?name=Sections&op=listarticles&secid=5). Maandishi yaliyo kwenye ngome za
Waarabu yanaonyesha kuwa neno hili lilikuwa
likitumika pia kwa kuonyesha mamlaka,
lkini ni wazi pi asana kwamba serikali hii sio ile
isiyoweza kufikia kikomo chake (Korani
3:144).
Ni wazi kwamba kutokana na Korani
17:79 mtu Yule aliinuka na kufanyika kufikia
daraja la Mahmoodan ambalo ni lengo analotamani kulifikia kila mursal. Ahmed kwa kweli maana
yake ni Mtetezi na Muhammad (Korani 3:144, 33:40,
47:2, 48:29) na Mahmoodan (Korani 17:79) kwa kweli inaelezea uhusiano wake na
Ahmed, lakini wengi wanatofautiana kwa kile tunachotarjiwa kama maneno ambayo
hayana uhusiano wa kimuonekano na lugha ya Kiingereza.
Yesu (au kwa kifupi tu anitwa
Yese; na sasa Isa) ni jina ambalo Korani inampa mtu
aliyeweza kuishi akiifanya kazi na wajibu wake
kwa ajili ya Wokovu wa Mungu.
Akiwa kama Wokovu wa Mungu
(kwa Kiebrania ni Yahoshua maana yake Yoshua) Je’ses
(Yesu) alikuwa ni mubasher wa WAKILI au Ahmed (ambaye wasioelewa waliita mazingaombwe tu au uchawi na ambayo
tunadhani ungekuwa ni Nguvu halisi). Yesu alikuwa ni malimbuko, kanisa lililobatizwa. Twaweza kujionea kwamba maana ya wadhifa wa huyu Muhammad kwa kweli ni sawa
tu na vyeo au nyadhifa nyingine
inayoweza kupewa kwa mtu aliyebarikiwa
sawa miongoni mwa Walio Malimbuko.
Kwa hiyo Jeses au Yesu
alikuwa ni Muhammad wa Kwanza, na tunamuona
Muhammad akija kwa nguvu kama jina la jumla la mwli wa
Kanisa. Lakini hatima yake ni hitimisho na mwisho
wa Mursalin wote kufikia cheo au wadhifa wa
Mahmoodan.
Tatizo ni kwamba hawezi kuwa ni mtu mmoja isipokuwa ni yeye Yesu au Isa, ambaye
ni Kristo (Korani 3:144 +
5:75 + 61:6), lakini haiwezi
kuwa ni huyu Jeses kwa sababu ya ngome
zilizoelezwa hapo juu na nyaraka.
Kwa hiyo inapasa kuwa ni mwili au bodi yenye mamlaka
ya zaidi ya mtu mmoja. Lakini ni bodi gani yenye mamlaka
ambayo iko sawa na Kristo
Mtoto wa Maryamu na inayodumu
kwa kila kizazi NA KWAMBA, kama kila kizazi hufa
na kupitilia mbali?
Tunajua kwamba ‘Mtume’ kwene Korani
23:51 inataja mamlaka ya
"Muhammad" ambayo tunayatarajia.
Mamlaka hii ni ile ile na
waliyoitaja Mitume kwenye 1Wakorintho 12:28 kama mamlaka ya juu zaidi kwenye Kanisa.
Huyu wa 12 ni mmoja pamoja na
Kristo, Mtoto wa Maryamu (Yohana 17:22), na tena wapo kimaadili
na wanaweza kukiuka uadilifu, wakapotoka, wakafa, kuuawa na wanaumbwa.
Ni wazi na dhahiri kabisa kutoka kwenye Korani
3:144 kwamba Muhammad na Kristo Mtoto wa
Maryam ni “dini za kutoka kwenye
dini zilizopita kabla ya hii” na
kwamba madaraja yake yote mawili
havina kutu kingine zaidi sambamba
yake. Ni wazi sana pia kwamba mauti
ya ya (malimbuko) na mtetezi kama
huyu hayapaswi yachukuliwe au kuhesabiwa kama tatizo kwa kuwa “dini ilitozipita Dini zote za kabla yake”
haifi, ingawaje watakatifu mmoja mmoja walioanzisha jambo hili lisilo na
mwisho ni dhahiri wanakufa hadi siku
ya ufufuo wa wafu. Kwa hiyo
viongozi wa Kanisa ni bodi muhimu inayobeba uweza au mamlaka ya Mungu
kama Uweza wa Roho Mtakatifu
au Mtetezi na Mwombezi. Kwa
hiyo uongozi wakati wote ulieleweka
na kujulikana kama ni wa wale
Kumi na Mbili.
Mapokeo au desturi hii ni ya kawaida kwa dini
zote mbili, yaani Uislamu na Makanisa
yanayoshika Sabato na ndiyo sababu
idadi ya watu kumi na mbili
ilitumika mara nyingi kwenye muundo wa
Makanisa ya Mungu na kuendelea hadi
leo. Tuna baraza la wazee na kwakawaoda wako
kumi na mbili
idadi yao na wanaenea hadi kwenye
makundi ya kitaifa kwenye muundo ule.
Maandiko Matakatifu yana baraza la makabila kumi na
mbili. Makabila hayo pia yameundwa kwenye
makabila ya Ishimaeli, na kwa pamoja
yanaunda mzunguko wa ndani na
nje wa baraza,
na kwa hiyo
kufanya taswira ya wazee 24 na viti
vyao vya enzi vya mamlaka
huko mbinguni. Makabila hayo yamewafanya wateule kuwa wafalme na makuhani na
hawa wateule wanafanya ile idadi
ya watu 144,000 na Mkutano Mkubwa unaowafuata, ambao ni Kanisa. Mhuri au
alama ni kitu cha kawaida katikati yao ambao unawafanya wao kuwa ni mwili wa Kristo
kwa njia ya Roho Mtakatifu.
Desturi ya kuwa na idadi ya watu
kumi na wawili
kwenye dini ya Kiislamu inaonekana kuhusiana pia na
idadi kama jambo la siri na inachukuliwa
kila mara kama talasimu au hirizi.
Mapokeo au desturi ile yawezekena
sana kukuta chanzo chake kwa mihuri
kumi na mbili
ya mitume kama viongozi endelevu wa Kanisa. Mihuri
ilikuwa inatumika kwa kupigia kura
na mijadala kwa kipindi chote cha mtume huyu
Mwarabu na kipindi cha Uongozi
wa Mahalifa Manne wengine waliomfuatia.
Kutokakana na Korani hakuna shaka
kabisa kwamba Mtume huyu Mwarabu
alishika Sabato na alikuwa ni mshirika
aliyebatizwa wa Kanisa la Mungu la mrengo wa Kiyunitariani
lililokuwa huko Uarabuni. Alifundishwa na kuelimisha na
mmoja wa maafisa wenye elimu
kubwa ambaye alikuwa ni mjomba yake huyu Mtume.
Aliwezeshwa na waumini wa Kanisa
ambao walikuwa pia Wasabato wa
Makanisa ya Mungu hadi mwishoni mwa
kipindi cha Uongozi wa hawa
Mahalifa Wanne pamoja na Jafari.
Sura 114 kwenye matamko 26 ya Uislamu ziliwekwa kabla ya hawa kumi
na mbili kuwa mitume na ambao
roho ya unabii ilikaa ndani yao, matamko yenyewe yalikuwa ni kwamba kutoa mhuri wa
mamlaka ya Kanisa kama mafundisho makuu yake.
Ufafanuzi au matamko hayo ni kama yafuatayo:
Eilami
Kuna maandiko 6 ya ufafanuzi yanayoitwa Eilami. Ni nakala pekee ambazo
Jina la Mungu (linaonekana huenda kama baba wa milele kama
ilivyo kwenye Isaya 9:6 na pia
ndipo ilipoandikwa kuwa Jina
LANGU liko ndani yake) likituelekeza sisi amri kama
watoto mara tu baada ya kuelezea kuhusu Lukeman.
Eilamiusu
Kuna kitabu kimoja cha
ufafanuzi cha Elamus.
Eilar
Kuna vitabu 5 vya ufafanuzi
vya Eilara.
Eilamira
Kuna kitabu kimoja cha
ufafanuzi cha Eilamra.
Kahaiyasu
Kitabu cha ufafanuzi chaa
Kahaiyasu ni kimoja pekee ambapo jina la Mungu wakati wote
limepewa kuwa kma Rehema kuliko kuwa ni nguvu au Uweza.
Taho
Kuna kitabu kimoja tu cha uffanuzi cha
Taho.
Tuisimi
Kuna vitabu viwili vya
ufafnuzi vya Tusimi.
Tuisi
Kuna kitabu kimoja tu cha ufafanuzi cha
Tuisi.
Yosi
Kuna kitabu kimoja tu cha ufafanuzi cha
Yosi.
S (Simon)
Kuna kitabu kimoja cha
ufafanuzi chaa S.
Hami na Aisiqa
Kuna vitabu 6 vya ufafanuzi
vya Hami. Moja ya vitabu hivi vya
ufafanuzi pia ni cha Aisiqa.
Kitabu cha mwisho cha
ufafanuzi kwenye Korani huenda ni Kur’ani yenyewe. Ni mwisho kabisa wa tabia
zake na kinaonekana
kuchukuliwa kama ni Neno la mwisho la Mungu kwa mkusanyiko
wa vitabu vilivyofunuliwa, ambao, ingawa haukukamilika kwenye Tofauti iliyokuwepo kwenye Kanisa la Mungu. Sura ya Nambari (68) sio barua ila ni, kama
ilivyo na bado inatamkwa, masalia ya neno Noon maana yake ni koleza wino vizur, na kwenye nakala
nyingine za Korani bado zimekolezwa
kwa herufi tatu; ambazo hazichukuliwi
kama moja ya mihuri.
Kwa hiyo tunaona kuwa Korani (Kur’an) ni kitabu kinachofafanua Maandiko Matakatifu na Makanisa ya Mungu. Kuijaribu dhana hiyo sasa
tutathimini au kujaribu maneno halisi ya maandiko na kuyaweka wote
hayo kwenye mtazamo na Sheria au
Amri na Ushuhuda
dhidi ya vile tanavyoweza kuhukumiwa (Isaya 8:20). Kama makatazo ya Korani hayafanyi au hayatokani kwa
mujibu sawa na Sheria na
Ushuhuda ndipo Korani inabakia kuwa ni ushuhuda wenye uvuvio wa wateule
wake Mungu. Kama tutakavyoona, hauanguki wala kushindwa, bali, wakati unapochukuliwa
kikamilifu na kufafanuliwa, ndipo kinakwa kitabu sahihi cha ufafanuzi
kuifafanua Biblia na kinaonyesha eleo na mahala pa
Makanisa ya Mungu huko Mashariki ya Kati yalivyokuwa katika karne ya saba ya Zama Hizi.
q