Makanisa ya Kikristo ya Mungu

[060]

 

 

 

Maswali Yaulizwayo Mara Kwa Mara

Kwenye Mafundisho ya Biblia

Kuhusu Dini Zinazofanana

(Toleo La 1.1 20000730-20030914)

 

Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara Kuhusu Dini Zinazofanana yameorodheshwa humu ndani.

 

Christian Churches of God

PO Box 369,  WODEN  ACT 2606,  AUSTRALIA

 

E-mail: secretary@ccg.org

 

 

 

(Hatimiliki © 2000, 2001, 2003 Wade Cox)

(tr. 2016)

 

Masomo haya yanaweza kunukuliwa na kuwapa watu bure ikiwa tu kama yatanukuliwa kikamilifu bila kubadilisha au kufuta maneno. Jina la mchapishaji na anuani yake pamoja na tangazo la hati miliki ni lazima iwekwe pia. Hakuna malipo atakayotakiwa mpokeaji kutoa au kuchangia kwa nakala yoyote atakayo pewa. Nukuu fupi zaweza kuwekwa toka kokote ikiwa zitafaa kukithi haja ya lugha lakini bila kukiuka maadili ya sheria ya hati miliki.

 

Masomo haya pia yanapatikana Ulimwenguni katika tovuti yetu ya:
http://www.logon.org na http://www.ccg.org

 



Yaliyomo

 

Kupotoshwa kwa Imani…Uislamu, Imani ya Kiyahudi, Ukristo-Gombo za Bahari ya Chumvi-Umonotheistiki

Imani za Utatu/UyunitarianiMakanisa machache yajulikanayo-Usemitiki-Uarianism-Waarians

Ukumene…Mgawanyiko au mpapurano  wa madhehebu

Uislamu…Allah-Ramadhan-Korani-Khalifa-Imamu

Imani ya Kiyahudi…Kalenda ya Hillel

Waprotestanti…Shahada za msamaha wa dhambi-Martin Luther-Aliipingilia mbali dhana hii

Upagani…Wakristo wanaupinga

Mashahidi wa Yehova…Kitendo cha kutoa damu na kumtia mwingine-Kurudi kwa Kristo-Ufufu wa wafu-Kushushwa chini kwa Mashahidi wa Yehova

Fundisho kuhusu Roho…Imani kuhusu viumbe kubadilika badilika kwa njia ya kuzaliwa tena na tena-Nafsi isiyokufa- Msalaba Uliogeuzwa-Wayahudi waliouawa mauaji ya halaiki ya Holocaust-Desturi ya Kiutetezi…Ubatizo wa watoto wadogo-Kuzaliwa Mkatoliki/kufa Mkatoliki

Wamormoni…Je, ni imani ya Kikristo-Kuwabatiza wafu-Mavazi matakatifu

Umonastiki au useja…Hiki ni kitu gani

Unostiki…Maana ya Toharani-Mbinguni & jehanamu

Tohara…Watoto wa kiume wanaozaliwa Wakristo

Ubudha…Lengo moja na Ukristo-Dalai Lama-Chakras-chombo cha kufanyia uponyaji

Uhindu…Je, ni fungamano la kikumene-Rig Veda-Sikukuu za kidini

Ushamanism…Inaelezewa kama Shamani- Roho zinazoachiliwa kutoka Pagatory

Ureemasoni…Ni dini au klabu Umithrasism…Dini za siri za Kikosmiki

Waadventa Wasabato…Mafundisho ya uwongo Imani ya mchanganyiko wa Waashuru na Wababeloni…Kidole cha Ashirat-Bata bukini-Orodha ya Eponym-Oreb & Zeeb-Mardi Gras-Pinata-Tantara

Uzoroastrianism…Ahriman

Mafundisho ya Kimafumbo ya Kikristo…Mafundisho ya Uzuri-Damu Takatifu & Kikombe Kitakatifu-Kaburi la Mtakatifu Yakobo-kipimo cha nasaba cha DNA-Waherme-Dini ptofu za uwongo

Ukiri wa Imani ya Kikristo…Agizo la Kikatoliki

Imani za Kidini za Kitaifa…Mauaji ya Holocaust na Vatican-Waskochi-Waselti-Nadharia ya Kigaia-Tara-Nadharia ya machafuko-Baraka za Toronto-maandiko ya Wasumerian

 

 

***********************************

 

Maswali Yaulizwayo Mara kwa Mara Kuhusu Dini Zinazofaanana

 

Kuposhwa kwa Imani

Unaweza kunisaidia kunijulisha misingi ya imani ya dini za Kiislamu, Kiahudi na Kikristo? Mimi nataka pia kulinganisha nione kama zinafanana au hazifanani.

Jibu: Uislamu ulianzia kwa Adamu, na imani ni ile ile haijabadilika hadi kwa kina Nuhu, Ibrahimu, na Mababa wa imani. Imani za Kikristo, Kiyahudi na Kiislamu zinaaminika kuwa zote zimetuama kwenye mrengo wa Biblia na Torati ya Mungu. Lakini zimejikuta zote zikipoteza mwelekeo wao na kugawanyika kwa maana ya kushikilia mambo yake kila moja ikiwa imara na thabiti. Tunatarajia kujionea mambo zaidi na kukabiliana kwenye Vita Kuu ya III ya Dunia.

 

Gombo za Bahari ya Chumvi zinakomesha utata wa madai ya Uislamu kwamba nakala halisi ya Biblia yenyewe alisia ilipotea. Maandiko gushi na makosa ya kiutafsiri yaliyo kwenye tafsiri ya KJV havisaidii kuiimarisha hoja hii. Imani ya Kiyahudi iliyopo sasa imetokana na uanzishwaji kiupotoe wa mapokeo uliofanyika kipindi cha baada ya kubomolewa kwa Hekalu, mkakati uliotuama kwenye mapokeo tu, yanayoifanya Biblia kuwa kituko au kichekesho na watu mara nyingi husema kinyume na kile ambaho Biblia inakusudia kukisema kwa kweli. Jua na dini za kimafumbo na imani ya Kinostiki vimeuharibu na kuuathiri pakubwa sana Ukristo. Makosa yaliyo kwenye Uislamu wa siku hizi yameharibu uhusiano kati ya Biblia na Korani. Uislamu ulikamilika tu kipindi cha mtume Muhammad na cha Makhalifa wake Wanne Waliomfuatia. Ulianza kupotoshwa tangu hapo.

 

Utaweza kujua na kugundua jinsi mambo haya yalipobadilika usomapo majarida yafuatayo hapa chini: Kristo na Korani (Na. 163); Sabato Ndani ya Kur'an (Na. 274); Ijuma'a: Maandalio ya Sabato (Na. 285); Mwanzo 22, Imani za Kiyahudi, Uislamu na Kutolewa Sadaka Kwa Isaka (Na. 244). Soma pia mkururu wa majarida ya Torati ya Mungu (Na. L1); Kalenda ya Mungu (Na. 156) na Chanzo cha Krismas na Easter (Na. 235). Utakuja kujionea mabadiliko makubwa yaliyotokea kipindi hiki cha baada ya kubomolewa kwa Hejalu kwenye dini zote tatu na upotoshwaji mkubwa uliofanywa na dini tatu zote kwa ushawishi wa kisiasa.

 

Sasa, Gombo hizihizi za Bahari ya Chumvi hatimaye zimetoa hadharani, angau sehemu Ukristo umerudisha mafundisho mbalimbali au kwa namna ileile, yameimarisha mafundisho yaliyoaminiwa kwa muda mrefu wakati ushahidi ulipodhihirika kuonyesha ni nakala gani yenye mafundisho yapi. Tunaone haya yakitokea ndani ya ama Uislamu au imani ya Kiyahudi?

Jibu: Kwa hiiyo, ugeni kama unavyoonekana, wote wanajaribu kupuuzia kwa shingo ngumu tu gombo hizi. Uislamu unadai kwa karne kadhaa kwamba hawahitaji kuzishika sharia za Torati, kwa mintaarafu ilivyo kwenye Biblia, kwa kuwa hazipo sawa na maandiko asilia yaliyoandikwa na Manabii na Hekalu.

 

Hivyo basi, sasa tuna uthbitisho, wanaojaribu kuupuuzia au kukataa ukweli Gombo hizi za Bahari ya Chumvi zinaonyesha tuliyonayo ni nakala halisi kabisa yenye masahihisho kadha machache ambayo yanajiri yafanyike kwa kuwa Marabi wa Kiyahudi waligeuza au kupotosha maandiko baada ya kuanguka kwa Hekalu (kwa mfano, Kumbukumbu la Torati 32:8 ni mojo wapo). Tafsiri ya Talmudi ya Kiyahudi imepotosha Biblia pia, kwa hiyo wamepofuka na wamefanya hivyo kwa makusudi kabisa.

 

Niliambiwa kuwa dini hizi tatu kuu za Ukristo, Uislamu na ya Kiyahudi zote ni za mrengo wa kuamini Mungu ni mmoja au Umonotheitiki. Je, ni kweli, na unaweza kunifafanulia? 

Jibu: Dini tatu za Ukristo, Uislamu na ile ya Kiyahudi zote zimetuama kwenye imani moja na ni ya kuamini Mungu mmoja au za kimonotheism. Utheism wa Kirazini, Biblia, na imani tatu zilizotokea ndani yake kwa hakika zote ni za Kimonothiki.

 

Tatizo linainuka wakati tunapoona kuibuka kwa ushawishi au kuingizwa kwa imani zinazotokana na dini za mungu jua na imani za kipagani za mungu wa Utatu zilizoingizwa ndani yake. Ukristo kwa imani yake ya utatu, haupo tena kwenye imani na kuabudu Mungu mmoja au umonotheism. Uislamu unapojijumuisha kwenye imani ya utatu, karibu na asemavvyo Ali, inajiondoa pia kwenye umonotheism.

 

Mfumo w imani ya kimonotheism inatuaama kwenye uwepo wa Mungu wa pekee na wa Kweli, ambaye ndiye pekee asiyeweza kufa wala kupatwa na madhara na ambaye katika yeye ndipo viumbe wote wanaishi na kushughulika. Kwa hiyo ndiyo umonotheism na huo ndiyo msimamo na Fundisho kuu la Biblia. Somo hili limefundishwa kwa kina kwenye jarida la Mungu Amefunuliwa, Sura ya 1 Umonotheism wa Kale (Na. G1).

 

Imani za Utatu au Utrinitarian/Uyunitarian

Ni Makanisa yapi machache yanayojulikana kama hayapo kwenye mrengo wa Utatu? Imani nyinginezo ni zipi? Makao yao makuu yako wapi?

Jibu: Kanisa la Kikristo liligawanyika kwenye makundi mawili. Waamini Mungu kuwa ni mmoja, maarufu kama Wayunitarian na waamini Utatu au Watrinitarian, mgawanyiko uliojitokeza au kusababishwa na mabaraza ya makanisa tangu karne ya nne. Kwenye karne mbili za kwanza, kila mmoja alikuwa Myunitarian akiamini kuwa Kristo alikuwa ni Malaika Mkuu wa Agano la Kale. Watrinitarian hawakuwepo kwenye Ukristo. Kulikuwa na wapagani huko Roma waliokuwa wakikuwa wanaabudu Jupiter, Juno, na Minerva Bikira asiye na Doa.

 

Imani ya Kibinitarian ya waabudu mungu Attis iliingia kwenye Ukristo kutoka Roma na pia mungu Adonis kutoka mashariki. Imani hii iliingizwa kwa kuichukuliwa Umaboleo katika karne ya tatu na kwa kufanyika kuwa Ubinitarian huko Nikea au Nicaea mwaka 325 katika karne ya Nne. Baada ya kuingizwa imani ya utatu kutoka Constantinople mwaka 381, imani iligawanyika tena. Iligawanyika pia kwa kuingizwa kwa sikukuu na sherehe za Easter katika karne ya Pili. Soma kwenye jarida la Hoja na Mabishano ya Quartodeciman (Na. 277) na Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235).

 

Waamini kuwa Mungu ni mmoja, au Wayunitarian walipigana vita na waamini Utatu au Watrinitarian kwa kipimdi cha karne kadhaa. Toma jarida la Vita vya Wayunitarian/Watrinitarian (Na. 268). Hawa Wayunitarian walikuwa pia ni washika Sabato. Kwa makosa makubwa waliitwa Waarian. Familia ya mtume Muhammad walikuwa wa mrengo huu wa washika Sabato.

 

Kwenye karne ya nne, Kanisa la Abyssinia lilimtuma askofu wao mkuu Mueses kwenda China akipitia India. Alianzisha Ukristo huko China, ambao waumini wake walikuwa Wayunitarian washika Sabato. Wengi wa watu hawa waliunda pia misafara na mjumuiko wa kibiashara na Waarabu ambao walikuwa ni Waislamu. Watu hawa walikuja kujulikana kama wa Hue Hue. Maelezo yake kwa kina yanapatikana kwenye jarida la Migawanyo Mikuu ya Makanisa Yanayozishika Sabato (Na. 122). Washika Sabato wangaliko bado nchini China na idadi yao ni takriban milioni moja. Wengi wao walilelewa kiroho kwenye imani potofu ya Kisabeliani na sasa wanatofautiana na mafundisho asilia ya kanisa la kwanza. Wengi wao humchukulia Yesu kuwa ni Mungu na Baba.

 

Wakati wa Matengenezo, Kanisa la Wayunitarian liligawanyika makundi mawili. Moja lilikuwa ni la Wayunitarian wahfidhina, ambalo lilitokana na makundi ya Kiprotestanti na waliabudu siku za Jumapili ambayo ni siku ya Wakatoliki. Kundi linguine lilitokea na Kanisa la wa Waldeansian waliokuwepo hata kabla ya kipindi cha Matengenezo, na walikuwa washika Sabato. Uzao wao bado wapo huko Ulaya hata leo. Tatizo linaonekana kwenye majarida ya: Jukumu la Amri ya Nne Kwenye Historia ya Makanisa ya Mungu ya Washika Sabato (Na. 170) na Usosiniani, Uariani na Uyunitariani (Na. 185).

 

Imani hii ya Uyunitariani wa kiafidhina inakataa fundisho la kwamba Kristo alikuwepo duniani kipindi cha kabla ya kuzaliwa kwake rasmi hapa duniani na, kwa usemi wa kihistoria ni kwamba, ni ubunifu au uvumbuzi uliotungwa hivi karibuni tu. Imani ya Kiislamu iliendeleza pia dhana hii kwa ufanisi mkubwa hapo mapema. Sio Uyunitarian wenyewe asilia, au hata mafundisho ya Kiislamu, wala hata imani ya Kiyahudi ya Kibiblia humkubali Masihi. Historia ya kile kilichotokea kwenye Kanisa la huko Transylvania inakutikana kwenye kitabu cha Rabi Samuel Kohn, cha The Sabbatarians in Transylvania [Wasabato wa Transylvania], CCG Publishing, USA, 1998.  Pia soma jarida la Uwepo wa Yesu Kristo Kipindi cha Kabla ya Kuzaliwa Kwake Rasmi Hapa Duniani (Na. 243) kwa kujipatia dondoo zaidi pamoja na ukiri wa imani wa Wagoths.

 

Hadi kufikia miongo kadhaa, Makanisa yote ya watunza Sabato walikuwa sio waamini Utatu au Watrinitarian. Waadventista Wasabato, yaani wa SDA walijiunga kwenye Utrnitarian, kwa urasmi kabisa mwaka 1978. Kanisa la Mungu Ulimwenguni Kote, yaani WCG mwaka 1993/4 na Kanisa la Mungu la Siku ya Saba au Church of God (SD) lenye makao yake makuu huko Denver lilijiunga rasmi na imani ya Kibinitarian mwaka 1995. Konferensi nyingine nyingi zilijiunga na imani ya kiditheist.

 

Makanisa mengine ya Mungu yalitangatanga kutoka Uyunitarian, kwenda Ubinitarian na Uditheisti. Moja, ambalo ni Christian Churches of God, ni la Uyunitarian asilia likishikilia imani ya waumini wa karne ya kwanza. Wayunitarian wa Yuveso ndio wale wanaoitwa wa Yunitarian wahafidhina, kama ilivyo Halmashauri Kuu ya Makanisa ya Mungu ya huko Georgia.

 

Nimesikia kuhusu imani ya Kiarianism, lakini vinginevyo ni Usemi-Arianism, ambayo naiona ikitajwa mara chache sana tu?

Jibu: Neno Uarianism linatumika ili kuifunika imani ya Kiyunitarian ambayo inatambua na kuamini kuwa Kristo alikuwepo hata kabla hajazaliwa rasmi hapa duniani na inajaribu kuirudisha nyuma hadi kwenye kipindi cha Arius, mzee wa kanisa la Alexandria, na migongano iliyojitokeza kwenye Halmashauri Kuu ya Mtaguso wa Nikea au Nicaea mwaka 325.

 

Kitendo ambacho kilitokea pia kwenye malumbano haya, yaliitwa hoja bandia au dhaifu za Wamakedonia, na pia waliitwa Waarin nusu. Wengi wa hawa kwenye orodha na matumizi ya maneno yaliyotokana na propaganda za Watrinitarian. Soma kwenye jarida la Uariani na Usemi-Ariani (Na. 167); Usosiniani, Uariani na Uyunitariani (Na. 185); Ubinitariani na Utrinitariani (Na. 76); Roho Mtakatifu (Na. 117); Kuwa na Ushirika wa Pamoja na Baba (Na. 81) na Kuendelezwa kwa Mtindo wa Uplatoni Mamboleo (Na. 17).

 

Je, unaweza kufafanua kuhusu baadhi ya mikanganyiko kuhusu utambulisho au jinsi ya kuwajuwa Waariani ulioibuka wakati tunaposoma juu ya malumbano kati ya vikundi vya Wayunitarian/Waarian na Waathanasian/Watrinitarian?

Jibu: mkanganyiko ulianzishwa kwa makusudi kabisa na Watrinitarian ili kufanya ienekane kwamba fundisho la Uyunitarian halikuwa ni lile lililokuwa likifundishwa kwenye Kanisa la kwanza, na lionekane kama lilianzishwa na Arius ambaye alikuwa ni mzee mwangalizi wa makanisa ya Alexandria. Wakati mwingine inajulikana pia kama ni Ueusebiani, kwa kuwa Eusebius alikuwa ni mkubwa sana kwa Arius. Kwa kweli Arius hakuwepo kwenye mtaguso ulioitishwa huko Nicaea, bali anatajwa tu wakati inapoonekana kuwa muhimu, akiwa kama mshauri wake kimashiko.

 

Kulikuweko pia na idadi kadhaa ya maaskofu huko ambao wote walifundishwa mafunzo na Lucian wa Antiokia, mwanateolojia mkuu wa Kanisa wa kipindi cha mwishoni mwa karne ya tatu na mwanzoni mwa karne ya nne. Ukweli wa mambo ni kwamba, Arius alikuwa mmoja tu wa watu waliokuwa kwenye mstari mrefu wa watu, kutoka kwa Kristo na kwa hata kwa Mitume, ambao wote walikuwa ni Wayunitarian. Imani ya Utatu au Utritariani lilikuwa ni zao lililoibuka katika Karne ya Nne.

 

Kwa hiyo, walikanganya jambo kwa propaganda na kuupa jina la bandia kuwa ni Uarianism. Na waliupa mafundisho ya kizushi, wakati, kwa kweli, mababa wote wa wakati wa Ante-Nicene walikuwa ni Wayunitarian kwa kipindi chote cha karne mbili au miaka mia mbili ya kwanza ya imani.

 

Justin Martyr, kwenye ukiri wake wa imani ya Kikristo mbele za Mfalme wa Rumi mnamo mwaka 150, alimuonyesha wazi kabisa Kristo kuwa ni Malaika wa Yahova aliyempa Musa Torati pale Sinai. Ni vigumu kidogo kummsingizia Justin na Kanisa la Roma kuwa ni Waarian, wakati Arius hakuwa amezaliwa katika karne nyingine na nusu. Soma kwenye majarida ya Teolojia ya Mwanzoni ya Uungu (Na. 127); Kuwa Mmoja na Baba (Na. 81) na Imani za Kisocsniani, Kiariani na Kiyunitariani (Na. 185).

 

Ukumene

Je, muunganiko wa bandia kwenye ndama mmoja kwa namna yoyote ile ni unabii wa muungano wa siku zijazo za mbeleni wa umoja wa kidini utakaozilazimisha dini zote kuungana na kuwa moja? Tumesikia habari za mipasuko mingi kadhaa iliyotokea hivi karibuni kwenye madhehebu kadhaa kama vile Walutheri na Wakatoliki. Je, hali hii itaendelea kama ilivyowahi kutabiriwa kwa Ndama wa Dhahabu? 

Jibu: Huenda tuko sahihi. Biblia inasema kuwa ni Siri, Babeli Mkuu, Mama wa Makahaba. Kwa hiyo, ni kahaba wa kidini wa dini za Siri, ambaye kwamba, alionyeshwa mfano wake kwa Ndama wa Dhabau, I sehemu yote ya dini hiyohiyo. Watakusanyika wote pamoja ili kupigana na Masihi lakini wenyewe wataangamizwa na Mnyama katika siku za mwisho. Israeli ilifanywa kula dhahabu ya ndama kwa maana ya kuyanywa maji ya ghahabu ambayo kwayo walikuwa wamechanganyishwa kwayo. Huo ulikuwa ni unabii tu.

 

Uislamu

Naelewa kikamilifu, kwamba Waislamu wanamuabudu Allah. Je, huyu ni Mungu wao wa pekee na kama ni hivyo, walilipataje jina lake?

Jibu: Jina la la Kiarabu, “Allah' ” linatokana na lugha ya Kiaramu cha Mashariki au Kikaldayo, “Elahh.” Ni neno au juna la umoja na inakubalika kuwa si jina au neno la uwingi. Ni Mungu wa Pekee na wa Kweli aliyeandikwa kwenye Biblia yaani, “Eloah.” Ni jina la umoja “Eloah” na kwa Kikaldayo ni “Elahh” linafanyika kuunda jina la uwingi “Elohim” kwenye lugha ya Kiebrania na “Elahhin” kwenye Kikaldayo.

 

“Elohim” linaweza kuwa ni umoja kwenye matumizi na kisha linatumika kumtaja “mmoja wa Elohim.” Ambayo imetumika kwa habari ya “Eloah” kwa kawaida anaitwa “ha Elohim” au “Elohim” au “Mungu.” Kwenye Kiyunani, tendo hili linaendelea kwenye Koine kama “Ho Theos” na “Theos” au kwa kuhojiwa “ton Theon” na ni “theos” tu ni kumtaja au rejea ya elohim. Kwenye uwingi wa elohim imefanyika “theoi.” Uislamu unamtambua huyu Mungu wa Pekee wa Kweli Yohana 17:3 kuwa ni “Allah' ” maana ya jina hili kutokana na chimbuko lake asilia kwa kweli inamtaja Mungu kama ni “Uweza.” Inakitaja kiambishi cha el, ambacho kinaweza kutumika kwa kumtaja yeye mwenye nguvu au Mwenyezi na pia kwa kiambishi kinachotaja au kuonyesha uwingi kama hawa au wale walio miongoni mwetu. Kwa maana hii ni sawa na ilivyo kwenye Kiebrania na Kikaldayo na ndivyo ilivyo kwenye Kiaramu na kwingineko. Kwa maana hii, ipo kwenye umoja tu inapotumika kuwa “hawa au wao.” Hwa hiyo, ni jambo geni kuona kuwa ni uwingi kwenye kamusi ya fasihi ya SHD 429 ambapo imeandikwa kama ‘elleh kwenye Kikaldayo ila imeunganishwa kwa muundo kamili wa umoja Eloah. Neno hili ni sawa tu na kama Eloahh au Elowahh kwenye lugha ya Kiebrania na linamaanisha kumtaja Mungu mmoja wa pekee. Neno la uwingi la elohim au elahhin linatokana na uwingi kwenye Kikaldayo isipokuwa kiambishi chenyewe kinapotumika kulifanya lionekane kama Ha elohim linalomaanisha Mungu (kama inavyoonekana kwenye SHD 430 na maandiko mengine). Kwa hiyo basi Mungu ni nguvu au uweza unaoenea hadi kwenye viumbe vingine vilivyopo mbinguni na anaendelea kuishi akiwa ni kama wale walio pamoja nasi. Kwa hiyo, jina hili elohim na yahova yanatumika kwa viumbe wengi kama viumbe wake yeye Mungu mmoja, wa Pekee na wa Kweli, na wote wanafanya kazi kwa minajiri yake. Dhana ni sawa na ilivyo kwenye Kikaldayo au Kiebwania au aina zingine mbalimbali zilizochukuliwa kutoka lugha hizo. Jina Allah’ ni jina linaloonyesha ukweli huu wa Uweza wa aina moja zinazotenda kazi katikati yetu. Linabeba dhana ya uwingi peke yake kwa namna moja kama muhimu kwenye nguvu zitendazo kazi kwa minajiri yake na inakuwa na uwezekano wa kuwa na nguvu zake.

 

Waislamu hufunga saumu kwa mwezi mzima (mwezi wa 9 wa mwandamo) kwa hiyo nilikuwa nashangaa iwapo kama jambo hili lina msingi wowote wa kibiblia? Na kama sivyo, basi, je, Biblia inawataka Wakristo wafunge saumu kwa mazingira mengine yoyote?

Jibu: Korani inmewaagiza waminio wautunze mwezi wa mfungo. Huu mi mwezi wa maandalio, ambao umebadilishwa uzito wake na kufwanya kwa mintaarafu ya imani za kipagani kama ilivyofanyika kwenye sikukuu zote zingine.

 

Maandimisho ya Kwaresma ni upotoshaji wa mwezi wa Kwanza tunaotakiwa kuiadhimisha Pasaka sawasawa ilivyoagizwa kwenye Torati au Sheria za Biblia. Imani ya kipagani iliichukua siku hii, kama inavyoonekana kuwa ilifanyika kwenye mfungo wa Ramadhan. Maagizo ya biblia yanakwenda kinyume kabisa na sikukuu hii na Korani inasema tu juu ya kuukumbuka mwezi wa mfungo, ambao kwa tuujuavyo sisi ni tangu siku ya 1 Abibu Nisani hadi mwisho wa sikukuu au idi ya Mkate Usiotiwa Chachu, ambapo ni siku ya 21 Abibu.

 

Mimi ni Mwislamu na nina sababu ya kujifunza kwa kina yale yaliyoandikwa kwenye Agano la Kale – na kwa kweli kuyachukulia kama ni kioo cha karibu sana kinachotumiwa kwenye utunzi wa hadithi nyingi zilizo kwenye Kur’an. Sijui kabisa hata mahali pa kuanzia kulisoma Agano Jipya. Ni kina nani alioyaandika maandiko haya? Waliishi miaka mingapi baada ya Yesu? Na yakini, je, Wakristo wote wanayapa uzito ulio sawa Maagano haya mawili, yaani Agano la Kale na Jipya? Nauliza hivyo kwa kuwa waongofu wanapenda kujua jambo hili kwa ufasaha mara tu wanapoingia kwenye Uislamu. Nadhani kwamba tuhitaji dini inayoweka pamoja mitazamo inayofanana ya historia.

Jibu: Majibu yake yanaweza kupatikana pia kwenye Korani. Wakati lilipoandikwa Agano Jipya, kipindi hicho Maandiko Matakatifu yalikuwa ni Agano la Kale tu. Agano Jipya ni ufafanuzi wa kusudi la unabii ulioko kwenye Agano la Kale. Kwa hiyo, ni kama ufafanuzi tu, ni kama ilivyo Korani kuwa ni ufafanuzi tu wa Sheria au Torati ya Mungu tu na chenyewe.

 

Kutokana na sura isemayo: Wale waliosimama kwenye madaraja ya vyeo, tunaona kwamba Ufunuo wa Mungu ulitolewa tangu Adamu hadi Nuhu, na Ibrahimu hadi Isaka na Yakobo, na Musa na Haruni, na hadi kwa Kristo na Manabii. Muhammadi na Makhalifa Wanne Aliowaamini Walioendeleza Dini waliujua Uislamu wenyewe na walijulikana kama Al Islam. Baada ya hapo, Uislamu uliondokana na ukamilifu wake wa imani yake halisi.

 

Na ni jambo hilohilo ndilo lililowakuba waliojulikana kama watu wa Kitabu au wa Maandiko Matakatifu. Habari zao zimesimuliwa kwa kina kwenye majarida ya Migawanyiko Mikuu ya Makanisa ya Washika Sabato (No. 122) na Kazi ya Amri ya Nne Kwenye Historia ya Makanisa ya Mungu ya Washika Sabato (Na. 170).

 

Muhammadi alifundisha na kusisitiza kuishika Sabato na akasema kwamba yeyote asiyeishika hiyo ni kama nyani mkubwa. Ni sawa tu na ilivyo kwa Kristo na Mitume, umma wote wa Waislamu kutoka Adamu hadi Kristo waliishika Sabato. Bali wale waliouamini uwongo waliihalifu na wakaibadili siku ya kuabudu ya waaminio kuwa Jumapili. Pia waliingiza Easter iliyotumika kumuabudu mungu-mke wa zamani za kale, aliyewasababishia makundi yote mawili, yaani Waisraeli na Waarabu na Wana wa Ketura kujikwaa na kumwacha Bwana. Na vivyohivyo, siku ya Maandalio, iliyojulikana kama Juma’ah ikabadilishwa na kufanywa kuwa ni Ijumaa ya sala na ibada na ndipo Sabato ikasahauliwa kabisa na Waislamu. Soma kwenye majarida ya Sabato Ndani ya Kur'an (Na. 274), na pia la Ijuma'a: Maandalio ya Sabato (Na. 285).

 

Kwa namna hiyohiyo, ndipo watu waongo walivyoiingiza imani ya Utatu na kuirasimisha katika karne ya Nne. Hii ilisababisha mgawanyiko mkubwa kwenye imani ya Kikristo. Korani inayataja makundi haya mawili. Watu wa Kitabu au wa Maandiko wanaonekana kuanzia Sura za II. 105, 111ff., 120, 144; III: 23, 64ff., 98f.,110ff., 186f., 199; IV. 44f., 123, 153ff., 171; V, 5, 15, 19ff., 59, 65, 68, 77, XXIX: 46; XXXIII: 26 f.; XCVIII 1 hadi mwishoni mwa; LVII: 29.

 

Familia ya mtume ilikuwa na nakala ya maandiko ya Biblia. Tunajua kwamba wakati yalipoandikwa na tunajua kwamba maandiko haya yako sahihi yote. Gombo za Bahari ya Chumvi zinatuonyesha ni maandi yapi aliyikuwanayo na aliyoyatumia Mtume, na kwamba yalikuwa ni sawa tu kama ya wakati Kristo na Eloah habadiliki. Maandiko ya bandia yalibuniwa na yalichukua mahali pa maandiko asilia ya kweli, na hatimaye, yale maandiko ya kweli yalipotezwa na Makhalifa waliofuatia baadae, ili kuepuka msisitizo wa kuishika Torati. Ni kama alivyosema mtume, hawakutakiwa kungojea kipindi cha ibada kipite huku wakiendelea kufanya biashara siku ya Sabato. Watu wa Kitabu walipewa ulinzi na makhalifa hawa Waliochaguwa Wauongoze umma, na walijulikana na kuishi na Waislamu pasi na shida wala kero kabisa hadi kerne hii.

 

Agano Jipya liliandikwa na watu wa kanisa la karne ya Kwanza. Mitume kina Mathayo na Yohana waliandika injili zao, na wanafunzi wengine, Marko na Luka waliandika za kwao. Nyaraka zu maandiko ya Paulo nayo ni sahihi na Kitabu cha Waebrania kinadhaniwa kilianza kuandikwa pia na Paulo na kikamaliziwa na mwanafunzi mwingine, huenda alikuwa Barnaba. Yohana anaaminiwa kuwa ndiye aliyeandika injili, nyaraka na kitabu cha Ufunuo, kwa ufunuo aliopewa wakati Mungu alipompatia Masihi ufunuo huo.

 

Historia ya kanoni imeelezewa kwa kina kwenye jarida la  Biblia (Na. 164). Hilo litakupa madondoo zaidi. Watu wenyewe asilia hawa wa kitabu bado wapo hata sasa, lakini ni wachache sana duniani. Imeandikwa kwenye korani hivi: “kwa hakika tulimkabidhi Musa Maandiko Matakatifu na tulisababisha msururu wa wajumbe wafuate baada yake, na tulimpa Yesu mwana wa Mariamu (Mary) hakika iliyothibitishwa na tulimsaidia kwa Roho Mtakatifu. Iliwahi kuwa kwamba wakati anapokuja kwenu mjumbe pamoja na kile ambacho ninyi wenyewe hamkitamani, nanyi mkaendelea kujivuna na baadhi yenu mkaamini na wengine mkawauwa?”

 

Je, Allah’ alikuwa ni Mkarimu, Mwenye rehema, Mungu wa Pekee wa Kweli, aliyaacha hayo kama baadhi ya Maimamu wanavyodai? Au je, hana nguvu au uweza wa kutosha wa kuyakamata maneno ya mitume na manabii wake kwa wakati wote?

“Na wanasema mioyo yetu imekuwa migumu. Hapana, lakini ‘Allah’ amewalaani kwa kutokuamini kwao. Kidogo ni kile wanachokiamini.”

 

Ni kitu gani hiki basi na ni mtu yupi aliyekifanya? Ameokolewa kwa mchanganyiko wa damu na maji, ambavyo vimetoka upande wa Masihi ambaye ni Al Tarikh: Nyota mpya ya Asubuhi. Soma kwenye jarida linalohusiana na jambo hili lenye kichwa kisemacho Kristo na Koran (Na. 163). Marida yaliyo kwenye tovuti ya www.logon.org pia yapo yaliyoandikwa kwa lugha ya Kiarabu na lugha nyinginezo.

 

Agano la Kale limefafanuliwa na Agano Jipya, na Korani haiwezi kueleweka pasipo kutumia Biblia kwa kuwa ni kitabu kinacholenga kuifafanua tu biblia. Kuna Al Islam moja tu na imetolewa tangu mwanzoni sana na watu wote wameagizwa kuzishika sharia zake huyu Mungu aliyehai, Eloah au Allah’. Hutoweza kuwa Mwislamu wa kweli kama huishiki Sabato.

 

Je, unaweza kunielezea Khalifa ni kitu gani? Pia ni je, huu ni wadhifa au ni mtu (vyovyote inavyoweza kuwa), je, inaendelea kufanya kazi hata leo?

Jibu: Ofisi ya Khalifa ilikuwa ndiye mtawala kwenye dini ya Kiislamu.

Jina hili linatokana na lugha ya Kiarabu la Khalifah ambalo maana yake ni mrithi. Jinsi linavyotumika na kuandikwa sasa ni Khalif. Kamusi ya The Oxford Universal Dictionary inasema matamshi yanayofanywa kwa kutumia a ndefu au ya kuvuta ni mbaya.

 

Ni cheo cha Kiislamu kwa watawala wa kiduania au kisiasa na kidini wanaochukuliwa kuwa warithi wa huduma ya kitume wa Mtume Muhammadi. Utawala au eneo lake la kiutawala au la ufalme linaitwa Khalifate.

 

Makhaliwa wanne wa kwanza waliitwa Makhalifa Wakuu Warithi Wanne. Baada ya hapo Uislamu ulichukuliwa kuwa umepungua nguvu ya kiteolojia chini ya Ummayids na Abbasids. Kuna mkururu wa majarida yanayoelezea Uislamu yaliyowekwa kwenye tovuti yetu ya www.ccg.org na pia ya kuanguka kwa Yerusalemu mikononi mwa Omari kwenye jarida la Goligotha: Mahali pa Fuvu la Kichwa (Na. 217). Pia soma kwenye jarida la Imani za Kisirisiri Sura ya 5 Uislamu (Na. B7_5).

 

 

Tafadhali unaweza kumuelezea Imamu alikuwa nani au ni mtu gani sasa na mtu anawezaje kuwa Imamu?

Jibu: Kuna maana mbili na matumizi ya cheo hiki cha Imamu. Cheo hiki kinamaana ya kwenda au kutangulia mbele. Pia kinatumika katika kumuweka mtu wakfu ili awe mkuu au kuhani wa Waislamu Msikitini

 

Pia kilitumika kama cheo walichopwa viongozi mbalimbali wa Kiislamu na watemi wakiwemo Makhalifa au wafalme binasfi. Mafundisho ya kawaida na yaliyokubaliwa kwenye jamii ya Kiislamu yanahitajika au ni muhimu.

 

Imani ya Kiyahudi

Ni nini maana ya uahirisho wa kalenda ya Hilleli au ya Kiyahudi?

Jibu. Kalenda ya Hilleli inaahirisha Sikukuu za mwezi wa Saba kwa kuweka uahirisho, kitendo ambacho kwa mara ya kwanza kabisa kilifanyika mwaka 344 na marabi wawili wa Kibabeloni na kikaendelezwa na kurasimishwa na Rabi Hilleli II mwaka 358 BK. Hawakufikia hatma yake hadi katika karne ya kumi na moja. Tangu karne hii ya kumi na moja, sikukuu ya Rosh Hashanah ambayo ilianzishwa katika karne ya tatu BK ikitokea Babeli hadi kwenye imani ya Kiyahudi iliyoweka au kupangilia jinsi ya kuziweka siku za mwezi na imekuwa ikitumika kuwa ni kama Mwaka Mpya. Mnamo mwaka 2000, kwa mfano, Rosh Hashanah iliahirisha Siku ya Upatanisho kutoka kwenye Siku yake halisia ikiibambikia na Sabato ya tarehe 7 Octoba kwa siku mbili ili kwamba siku ya Upatanisho ianzie jioni ya tarehe 8 Octoba na ifanyike siku ya Jumapili Usiku na Jumatatu ya tarehe 9 Octoba.

 

Hii ni siku mbili baadae zaidi ya ilivyo kwenye kalenda ya hekalu ambayo inaanzia siku zake tangu siku za kutoonekana mwezi na ambayo ndiyo inaamua kuanza kwa kila mwezi pamoja na mwanzo mwezi wa Mwaka Mpya yaani mwezi wa Abibu ambao ndio Mwaka Mpya wa kweli na Mwezi wa Kwanza kwa mujibu wa Sheria au torati ya Mungu. Uahirisho huu unatokea mara nyingi kwenye utaratibu ule wa kalenda. Soma majarida ya Kalenda ya Mungu (Na. 156); Mwezi Mwandamo na Mwaka Mpya (Na. 213) na Kalenda na Mwezi Mwandamo: Ni Uahirisho au Sikukuu? (Na. 195).

 

Wakristo wa kwanza waliichukulia siku ya Upatanisho kama inavyoonekana kwenye majarida ya Siku ya Upatanisho (Na. 138); na Azazeli na Upatanisho (Na. 214). Jambo muhimu na la kutilia maanani ni kufanya toba na kurudi kwenye Sheria au Torati ya Mungu.

 

Uprotestanti

Wengi wa Wanaoamini dhana ya uahirishaji wanasema kuwa dhambi ni dhambi tu. Je, unaamini kiwango fulani cha dhambi?

Jibu: Waprotestanti wapo kwenye nafasi mbaya sana kuhusu tabia ya dhambi. Biblia inasema wazi sana kwamba dhambi ni kile kitendo cha kuzivunja amri za Mungu (1Yohana 3:4). Hata hivyo, Waprotestanti hawazishiki sheria za Mungu wala kuzichukulia kuwa kanuni au mwongozo mkuu na wanatumainia mabaraza yaliyokaa na kutoa miongozo katika Karne ya Nne kwa kuziweka Sheria mbalimbali na ambazo ziliingizwa kanisani. Walimtumainia Augustine kuwatungia elimu ya teolojia na mafundisho ambayo yameendelea kutokana na mabadiliko hayo na tafakari ya mijadala kuhusu Mungu kwa kiwango cha utakatifu.

 

Na hii ndiyo sababu iliyopelekea kushindwa kwa Matengenezo ya Waprotestanti. Yaishindwa kwa kuwa mkakati huu wa Matengenezo haukurudi nyuma zaidi ya kipindi cha Augustine na kuirudisha imani asilia ya kwanza. Kwa hiyo, hawakuweza kushughulikia uthibiti wa dhambi ma namna yenye ufanisi. Ukiri wote wa Matengenezo wa Waprotestanti ulizilenga Amri Kumi, lakini wawaishiki Amri ya Nne na hata ya Kwanza kwa kweli, na wengi wanaivunja hata amri ya pili pia.

 

Mafundisho yanasema kwamba kama inaivunja amri moja, basi unazivunja amri zote. Pia, chochote kisichotokana na imani ni dhambi (Warumi 14:23). Kitendo cha kumpendelea mtu pia ni dhambi, na kwa hiyo, kanisa limepungukiwa na utukufu wa Mungu (Yakobo 2:9). Yohana anasema kwamba kuna dhambi isiyo ya mauti. Hii inamaanisha  kwamba dhambi tunazozitenda kwenye mzunguko wote wa mwaka, zinasafishwa bure na tunaruhusiwa kubakia kwenye mwili wa Kristo na kuwa na sehemu kwenye Ufufuo wa Kwanza unaotajwa kwenye Ufunuo 20. Wale wanaotenda dhambi kwa makusudi watakwenda kwenye ufufuo wa pili wa wafu na watakabiliwa na mauti ya pili. Kila mtu aliyezaliwa na Mungu hatendi dhambi (1Yohana 3:9).

 

Tofauti hii kwenye dhambi ni mssingi kwa mtazamo kuhusu dhambi mbaya na ya mauti. Makanisa kongwe ya kale yameweka tofauti kwenye mkakati wa kupotosha kwa karne kadhaa sasa; hata hivyo, hiyo ilikuwa ndilo fundisho kuu na la msingi la Kanisa la Agano Jipya. Dhambi ya wazinzi wa Kikorintho ilikuwa ni kwamba walitolewa kwa shetani ili kwamba uhai wake uweze kuokolewa katika siku za mwisho (1Wakorintho 5:5). Kwa hiyo, waliondolewa Kanisani na wakawa kwenye hukumu bado hadi walipotubu. Kwa maneno mengine, ni kwamba walichukuliwa kuwa watakuwa na sehemu kwenye ufufuo wa pili wa wafu ili waweze kuokolewa huko. Walipewa fursa ya kutubu inaonekana kwamba walifanya hivyo.

 

Kuna matawi sasa ya Waantinomiani ambayo yamejichanganya na Uprotestanti, imani au vuguvugu linalosema kuwa sharia za Mungu zimeondolewa au zimetanguka zote kabisa (yaani, zimepigiliwa Mtini na kuitafsiri hivyo Wakolosai 2:14), na kwamba hakuwezi kuwa na dhambi kwa ajili hiyo. Mtazamo huu na hisia hii imeongezeka na kuenea ulimwenguni kote. 

 

Soma kwenye majarida ya Chimbuko la Uvaaji wa Heleni na Vito vya Thamani vya Dhahabu Katika Siku za Kale (Na. 197); Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235) na pia Ndama wa Dhahabu (Na. 222).

 

Martin Luther ni nani? Nijuavyo mimi ni kwamba alikuwa ametengwa na kanisa, lakini hakuwahi kurudishwa kwenye imani. Kama ni hivyo, ni kwanini alirudishwa kwenye imani? Je, yeye sio mzushi?

Jibu. Mkakati wa Mtaguso wa II wa Vatican ulikuwas ni kuyarudisha Makanisa ya Kiprotestanti yawasiliane na Roma na kwa hiyo, Waptotestanti hawakuwa tu ndugu waliotengwa na sio wazushi.

 

Mtaguso wa I wa Vatican ulioitishwa na Pius IX ulikuwa na mkakati wa kulazimisha kutolewa Tangazo lenye Amri lijulikanalo kama Unam Sanctam. Lengo lake lilielezewa kwa kina kwenye bango kitita. Ufafanuzi huo wa kwenye bango kitita na tafsiri yake na malengo yake vimeelezewakwa kina kwenye jarida la Theori ya Vita vya Haki (Na. 110).

 

Ili kufungua majadiliano, ndipo Mtaguso wa II wa Vatican uliitishwa na John XXIII na uliendelezwa na Paul VI. Kuna bonde kubwa sana kanisani sasa na ili kuwaridhisha au kuitosheleza mistari iliyotangulia, tangazo la fundisho jipya ndipo sasa limetolewa na Ofisi Takatifu inayojulikana kama Mkutano Mtakatifu wa Mafundisho ya Imani.

 

Hoja za baraza la Inkwizisheni linalofuatia zilitolewa na John Paul II na inahofiwa kwamba zilielezewa kwa wahusika kwenye kanisa Katoliki la Roma, kama vile Morris West. Vuguvugu lililopo sasa za kuzirasimisha kanoni ya John XXIII na Pius IX ni kutuma jumbe zenye kukanganya na kuleta mgongano kanisani. Mtu mmoja anasema kwamba tunayarudia mapito ya zamani, na mwingine anasema kwamba tunaendelea na mambo au ustaarabu wa kisasa. Hii inamaanisha kuwa ni hila wa kisaikolojia. Mkanganyo wenyewe unalenga kuingiza mabadiliko yasiyokubalika na kisha, kwa wakati huohuo, wayakane mabadiliko yoyote yanayotokea.

 

Wale wanaotaka kubadilisha watashushwa, kile mmoja akijionea au kujipatia jambo analopenda kuliona. Na ndipo kidogokidogo, upande wa wanaopinga utapikwa kama vyura kwenye maji ya moto. Kwa hapo ndipo tuna Luther Mzushi, Luther Mtakatifu aliyeliimarisha kanisa, na ambaye ni Luther mzushi pia. Je, Luther wa kweli na halisi ataweza kusimama tena? Na ndivyo kama ilivyo Canterbury pia na Waanglikana/Waepiskopalians. Kumbuka, malengo au maazimio ya Canterbury kwa matamko ya Ratzinger kutoka kwenye baraza la Ikwizisheni la Vatican.

 

Mwishoni mwa karne ya 20, tetesi ya kujitenga au kumeguka iliibuka kuwa ni kama nguvu kuu na isiyoonekana kwenye uhai wa dini za Marekani. Wakati huohuo, makanisa ya Kiprotestanti hayakuachwa mbali na makanisa mengine, lakini kwa aina ya dini kulikuwa na watu binafsi wasiohitaji imani zilizoanzishwa kimapokeo. Leo watu wanaonekana wamerithika kuanzisha imani zao wenyewe za kidini, zilizo na ushabihiano na imani waliyokuwanayo zamani ya inayoendana na desturi iliyo kwenye jamii, ambazo ziko ili kushurutisha kuwafanya watu wawe na tabia za kidini maishani mwao. Je, unakubaliana, au unapingana na maneno hayo hapo juu.

Jibu: Watu wetu wamekuwa kila mara wakiteswa na Taasisi zenye mapokeo ya Kikrisro. Tumekuwa tukisimama kwenye Biblia tukipitia mateso mengi nay a mara kwa mara. Mauaji ya kuangamiza ya Holocaust yalibuniwa kwa lengo la kutufutilia mbali sisi pamoja na Wayahudi pia. Yeyote aliyeamini kwa mujibu wa Biblia peke yake aliteswa na kile kilicholikana kama imani ya ukristo mkongwe.

 

Haishangazi kabisa kuona kuwa imani yote ya Biblia imepotoshwa na kwamba wakati inapokabiliwa na imani ya kweli zaidi au iliyopungufu katika ukweli na ya zama ya uwazi iliyoshindwa kuendelea. Kwenye kitabu kilichoandikwa na Rabbi Kohn mwaka 1894 unaweza kuona kwamba ile inyoitwa imani ya Kikristo ilichotufanyia sisi Wakristo. Waliwaua wanawake wetu haikuu kwa kuwa walipika kwa mafuta ya bata bukini badala ya kutumia mafuta ya nguruwe na kwa kuwa walikuwa wanaishika Sabato. Wakati kanisa Katoliki la Roma liliposimama kuwauwa, ndipo Walutheri walichukua fursa na kuendeleza mauaji haya (soma kitabu cha Kohn, cha Sabbatarians in Transylvania [Wasabato wa Translyvania], CCG Publishing, kilichonyambuliwa zaidi na Cox, 1998).

 

Historia ya Kanis la Mungu linaloshika Sabato imeainishwa kwa kina kwenye majarida ya Migawanyo Mikuu ya Makanisa ya Washika Sabato (Na. 122) na Jukumu la Amri ya Nne Kwenye Historia ya Makanisa ya Mungu ya Washika Sabato (Na. 170). Pia soma jarida la Malumbano ya Wakwotadesimani (Na. 277).

 

Upagani

Kwa nini kuna Wakristo wengi sana ukilinganisha na Wapagani? Je, sisi sio watu wabaya tunaomwabudu shetani. Ukichukulia ukweli kwamba, Upagani ulikuwepo hapa miaka mingi sana kabla ya Ukristo na ni jinsi ya kwamba kuna imani tofauti tofauti kwenye Ukristo zinaonekana kuwa ni kama za Kipagani. Chukulia mfano wa imani ya Kikatoliki inayomwabudu Bikira Maria kwa kiwango sawa na Yesu Kristo. Kwenye dini ya Wawikkani, utakuta kwamba mungumke wao anaweza kufananishwa na huyu Bikira Maria na mungu wao ni kama huyu Yesu Kristo, ni kwamba tu mungu mke wa hawa anamzalia mungu wao mume mtoto kila mwaka. Anaishi akiwa hai na kisha anakufa majira ya Kipupwe ili aweze kuzaliwa tena majira ya Machipuko, ni sawa tu na kama na majira aliyofufuka Kristo. Nadhani jambo hili linahitaji kufafanuliwa ili Wakristo wengi kabla hawajaendelea kutoa hukumu kuwahukumu Wapagani.

Jibu: Unaonekana kutoelewa nafasi na hali zenyewe. Unachokifanya ni kinyume na Sheria za Mungu. Chimbuko la dini yako kinafahamika vyema zaidi na kimeandikwa na kuchambuliwa kwa kima kwenye tovuti ya www.ccg.org. soma kwenye majarida ya Fundisho Kuhusu Dhambi ya Kwanza Sehemu ya I Bustani ya Edeni (Na. 246) na Fundisho Kuhusu Dhambi ya Kwanza Sehemu ya 2 Kizazi cha Adamu (Na. 248).

 

Unasemaje kuhusu imani ya Ukatoliki, iko sahihi. Ibada hizi za kumwabudu Maria kama mungu-mke, mama, ziliingizwa kwenye Ukristo kutokana na imani za Baali-Easter, zilizoibuka kwenye imani za kipagani kwa mara yake ya kwanza. Ilikuwa ni imani ya kwanza asilia ya Waaryani. Upagani ni dini inayotuama kwenye mzunguko wa Siku za utoaji wa Kafara za Wanadamu.

 

Mungu alikataza imani hii, na sisi, tukiwa kama Wakristo tumekatazwa kujishirikisha imani hii. Kanisa la Mungu limekuwa likiteswa kwa kipindi cha miaka elfu mbili sasa kwa kuwa hatukubaliani kuadhimisha wala kuiamini imani ya Easter ya mungu mfu, awe ni Attis wa Roma, au Adonis wa Wayunani, au Orisis wa Wamisri. utajifunza zaidi kwenye jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235) ukipenda, kama ilivyo kwenye jarida la Ndama wa Dhahabu (Na. 222).

 

Kanisa la kweli la Kikristo haliwezi kabisa kuzikubali sikukuu hizi za kipagani. Kanisa la kwanza kutoka Roma na Constantinople liliingiza mafundisho ya upotofu kanisani ili kuwashawishi wafuasi wa miungu Attis na Mithras na Sol Invictus Elagabal, mtindo wa kuabudu kwa wazi na hadharani imani ya mungu jua, kwenye Ukristo. Chembechembe au ushawishi wa uasetiki wa Kinostiki viliingizwa pia kwenye Ukristo. Ushawishi wa Kinostiki uliingizwa na kushirikishwa pia. Tazama jarida la Uvijitariani na Biblia (Na. 183)  ili kujifunza mambo hayo.

 

Mambo haya yote ya kumwabudu mungu wa Utatu vilitokana na uasi wa Malaika wakiongozwa na Shetani. Roho hiyo ndiyo roho unayoiabudu. Imani ya Kiutatu na mungu mwenye vichwa vitatu aliyeko mtini ndiye chanzo cha imahi hii ya kipagani. Ilianzishwa kwa kipindi cha maelfu ya miaka iliyopita. Soma mkururu wa majarid ya Imani za Kisirisiri (Na. B7).

 

Mara tu baada ya kipindi maalumu na kilichowekwa cha Mungu wa dunia hii kitakapokoma ndipo imani na mfumo huu utakapoanguka na kukoma. Wafuasi wake huabudu kwenye imani hii wakimwabudu kama mungu-mke, au Gaia au walio kwenye maumbo mengine, lakini inaonekana kutoka kwenye imani hiyohiyo ya mungu wa Utatu.

 

Dunia itakuwanayo imani hii hadi muda mfupi kabla ya mwaka 2027 kipindi cha kutubu. Kisha marejesho ya ushikaji wa Sheria au Torati yatarejeshwa na dini hizi hizi wanazoabudu zitaonekana kuwa hazina nguvu kabisa tena. Dunia inazishika sharia za Mungu tangu wakati huo, vinginevyo itakubwa na baa la njaa kali ya kuhilikisha kabla ya mfumo wao utakapoishiwa nguvu. Huyu anayejulikana kama mungu-mke au pepo atatupwa kuzimuni kwa kipindi cha miaka elfu pamoja na mapepo wengineo.

 

Dunia itakuwa imeelimishwa au kufundishwa tena kwenye kipindi cha Ufufuo wa Pili ambacho kwamba wengine wote miongoni mwa wanadamu waliodanganywa na Shetani na imani hii. Ndyo maana imani ya kurudia rudia kuzaliwa tena na tena ilianza hapa duani. Ilianzishwa kwa lengo la kuwadanganya wale walio kwenye ufufuo.

 

Wataelimishwa au kufundishwa upya na kupewa fursa ya kuelewa na kutubu. Wanapaswa washukuru sana kwamba tuna Mungu mwenye rehema. Mchawi wa Endori aliogopa sana alipomuona elohim akipanda kutoka ardhini kama kinavyotuambia kitabu cha Samweli. Hivyo basi, hata mapepo haya yanajua kuna Mungu mmoja wa Pekee na wa Kweli na wanatetemeka.

 

Mara tu, imani hii ya waabudu mungu mama ndipo itakakoma na kutokomea. Makuhani wanaovaa majoho meusi wajulikanao kama Khemarim wa imani au dini ya Baali-Easter watatokomea na dunia itawekwa huru kutokana na imani na ibada za uwongo. Dini za Kisirisiri zinazotokana na dini za Siri za Kibaleloni, ambayo imefanyika kuwa mwanamke kahaba kwenye sayari hii, haitakuwepo tena.

 

Dini hizi potofu zingali bado zipo na zinatenda kazi kwa kuwa zinatoka sehemu hiyohiyo moja na Kuasi kwa Malaika waovu na mungu wa Utatu. Wakati mwanamke huyu kahaba atakapoangamizwa muda si mrefu sana ujao, upagni utakuwa na mfufuko tena kwa kitambo, wakati na manma utakavyoangamizwa na watu wataurudia utoaji Zaka wa kweli wa Mungu na watairudia imani yake pia.

 

Kila mmoja anahitaji kujisomea imani yake na chimbuko lake na kutubu. Watakatifu msichukie kabisa tena. Wanachukia kile kinachofanyika. Mungu hauhukumu ulimwengu bado. Wakati Mashahidi watakapoanza kuhudumu huko Yerusalemu, tutaiona nguvu ya Mungu ikiishughulikia imani iliyopo hapa duniani. Tunapaswa kuwapenda watu wote na kuwaombea ili wakombolewe. Ni jambo la kuogofya sana kuanguka kwenye mikono ya Mungu aliye hai.

 

Mashahidi wa Yehova

Ilionekana kwamba Mashahidi wa Yehova ni afadhali wafe kuliko kukubali kutiwa damu ya mtu mwingine. Je, hii ni dhana ya kibaguzi? Pia ni angiko au maandiko yapi wanayoyatumia kuzijengea hoja  zao za kiimani?

Jibu: Fundisho hili la Mashahidi wa Yehova linatoka kwenye maandiko ya Biblia yanayokataza kula au kunywa damu. Maandiko haya yanaelezea maelekezon aliyopewa Nuhu, na pia alipewa Musa. Kwa mfano, kwenye Mwanzo 9:4: Bali nyama pamoja na uhai, yaani, damu yake, msile.” Wazo lenyewe linatokana na ukweli kwamba damu ni uhai na iwapo kama utaichukua damu kutoka kwao, ni sawa tu kutoa uhai mwingine kutoka kwako, kwa kuichukua damu yao. Huku ni kutojua na upuuziaji wa usomaji wa maandiko usio na ubaguzi.

 

Utunzaji mbaya wa damu yenye virusi vya UKIMWI, na vitu vingine vyenye chembechembe za STDs zenye damu iliyokosewa katika kuisafisha kwake kumewaacha Mashahidi wa Yehova wakiwa na mlipuo au hamasa zaidi ya kupinga mambo yao, lakini inakuwa bado ni makosa ya kiutafsiri wa maandiko ya Maandiko Matakatifu. Amri au agizo la kuto kula damu ni kwamba imewekwa pale ili kuhakikisha kwamba wanyama wawe wanachinjwa vizuri. Ni juu ya mtu binafsi kuona iwapo kama atakubali kupata tiba hii au la. Kukubali kufa kwa ajili ya huku kufanya madai ya kipuuzi ya Maandiko Matakatifu ni uamuzi na uchaguzi binafsi wa mtu.

 

Kumlazimisha mtu mwingine afe kwa ajili ya kutojua kuyatafsiri Maandiko Matakatifu ni jambo linguine tena. Na ndiyo maana baadhi ya nchi zinaingilia kati na kuwaachia wazazi waamue kwenye mazingira ya tiba ya uhai au maisha kama mtoto atakufa asipowekewa damu. Mambo haya ya malumbano yanatokana na mahudhui ya kibinafsi yanayomjiri mtu mwenyewe binafsi.

 

Suala hili la kumtia mtu damu kwa ruhusa ya wazazi ni tatizo kubwa sana, kama tohara ya mtoto wa kiume imezuiwa hata kwa hoja au malumbano makubwa kutoka kwa wanaowapinga watetezi wa Sheria za Biblia, sio kwa wapagani waliomcha Mungu peke yao bali hata na waamini Utatu pia. Ni vigumu sana kumpata mtoto aliyekwisha tahiriwa nchini Uingereza sasa na hali inaongezeka kuwa hivyo. Soma kwenye majarida ya Sheria za Vyakula (Na. 15) na Utakaso na Tohara (Na. 251).

 

Kutokana na mjadala na maadhi ya Mashahidi wa Yehova wanaonekana kuwa wanasema kuwa Kristo alikwisharudi duniani mwaka 1914. Hata hivyo hatuwezi kumuona kwa kuwa yupo kwenye maumbile ya kiumbe wa kiroho. Wanasema mwaka wa mwisho wa ‘kawaida’ katika historia ulikuwa wa 1913, na mwaka 1914 ulikuwa ni mwisho wa kipindi cha utimilifu wa mataifa. Je, mwaka huu wa 1914 una maana yoyote kwenye namna ya kibiblia ya kuhesabu matukio na mkururu wa nyakati? Pia ni kwamba, imakuwaje basi kwamba sisi sote hatujui kwamba Kristo alikwisha kurudi? Siwezi kudhania kuwa tukio hili lilikwisha andikwa popote.

Jibu: Ndiyo, tunafahamu na kuzizoea hoja zao. Linatokana na kuelewa vibaya ya kitu kinachojulikanaa kama unabii kwenye Maandiko Matakatifu. Waliamua kwamba vita iliyoibuka mwaka 1914 kuwa ni vita ya mwisho wa dunia. Waliamua kwamba ulikuwa ndiyo mwaka kutimilika kwa kipindi cha miaka 2520, au nyakati saba kutoka kipindi cha Nebkadneza na cha vita vya Karkemish. Hizi zilikuwa ni nyakati saba za Nebkadneza kwenye unabii wa Danieli. Kwa bahari mbaya sana, ilikuwa ni miaka 2518 tu tangu Vita ya Karkemish, ambayo ilikuwa mwaka 605 KK, na hivyo, waliliweka tukio hili kwenye mwaka 607 KK.

 

Pia, hawakujua au kuelewa maana ya unabii wa Mikono Iliyovunjika ya Farao wa kwenye Ezekieli 28-30, na wanadhani kuwa sio sahihi kwa mwaka 1914 badala ya mwaka 1916, na kuishia hapo tu badala ya kuchukua hadi mwaka 1996. Wala hawakuyajua  matatizo yaliyosababishwa na wahafidhina wa Kiislamu yaliyopelekea kuunganika tena kwa Kanisa la Kikoptiki la Misri na Roma na kuanzishwa kwa Misri ikiwa kama nguvu kuu ya uafidhina. Waliuelewa vibaya au kuukosea unabii kwenye uhusiano wake na nyakati za mwisho na kwa hiyo, wao, wakaangukia kufanya makosa waliyoyafanya wa SDA walivyofanya mwaka 1844, na wakabuni maelezo mengine kutetea kushindwa kurudi kwa mwokozi na kujitetea kutokana na madhara yaliyosababishwa na kosa hilo.

 

Mkururu way ale yaliyotakiwa wayaelewe vizuri kutokana na muainisho huo yasome kenye mkururu wa majarida ya: Milenia na Dhana ya Unyakuo (Na. 95); Anguko la Misri (Na. 36) na Mchanganuo wa Ratiba ya Nyakati (Na.  272).

 

Nimejionea mara nyingi sana ukisema kwamba baada ya ufufuo wa wafu tutakuwa ni watu wenye jinsia. Je, tutawajua watoto wetu na mababu zetu? Niliambiwa kuwa tutakuwa tukiishi bado kama familia, na hakuna atakayekufa, watoto watawajua mababu zao waliopita na tutajenga majumba popote tutakapopapenda, na kahalika. Natumai kwamba umekwisha sikia jambo hili hapo kabla. Je, Mashahidi wa Yehova wamekosea kuamini na kuwafundisha watu wao hivyo? 

Jibu: Mashahidi wa Yehova wamekosea kufundisha hivyo, ni kama walivyokosea kwenye jinsi mambo yatakavyokuwa kipindi cha Milenia pamoja na fundisho kuhusu Ufufuo wa Kwanza wa wafu. Ufufuo wa Kwanza utatokea mwanzoni mwa Milenia. Watakatifu au wateule wote watafufuka na kisha watafanyika kuwa viumbe wa kiroho. Watachukua nafasi ya malaika walioasi kwa kipindi cha miaka 1000. Sehemu nyingine iliyosalia ya dunia itaendelea na itafanywa upya. Watu wataishi na kufa kama kawaida kwenye familia zao.

 

Dunia itaongozwa au kutawaliwa kutoka Yerusalemu na Kalenda ya kweli ya Mungu itatumika sambamba na imani asilia ya Mungu. Wale watakaopinga au kukataa kuzishika Shweria za Mungu, vikiwepo Sabato zake, Miandamo ya Mwezi Mpya, na Sikukuu zilizoamriwa na mwenyewe, mvua haitanyesha kwao kwa majira yake muafaka na watakubwa na maradhi ya Misri (Zekaria 14:16-19).

 

Umuhimu wa watu kuzishika Sheria au Torati ya Mungu utarejeshwa kwa kuhubiriwa au kufundishwa na Mashahidi. Soma kwenye jarida la Mashahidi (Wakiwemo Mashahidi Wawili) (Na. 135). Kisha ndipo watu watakuja moja kwa moja kwa Baraka au Laana zilizoandikwa kwenye Kumbukumbu la Torati 28 (soma jarida la Baraka na Laana (Na. 75). Mwishoni mwa kipindi hiki cha milenia ndipo Uasi wa mwisho utatokea. Wote watakaohusika watakufa na mapepo watapungua na kujigeuza kwa miili ya wanadamu na watakufa pamoja nao (soma kwenye jarida la Hukumu ya Mapepo (Na. 80).

 

Kisha ndipo watafufuliwa wote. Kila mwanadamu aliyewahi kuishi, ambaye hajawa na sehemu kwenye Ufufuo wa Kwanza, atafufuka kwenye Ufufuo wa Pili wa Wafu sambamba na mapepo. Hawatakuwa na jinsia wala hawataoa waka kuolewa. Hakutakuwa na ndoa tena tangu kipindi hiki. Kila mwenye mwili atapewa fursa ya miaka 100 ya kutubu. Wote watarudiwa au kukemewa, wataongoka na kisha watabadilishwa miili yao. Wale wanaochagua kufa wataachwa wafe na ndipo watachomiwa wote motoni na kuangamia kabisa.

 

Kisha ndipo kifo hakitakuwepo tena, kama watakavyofanywa manabii wa uwongo pamoja na roho za Mashetani. Shetani atapewa fursa mpya ya kufanyika kiumbe mpya na roho mpya akifanyika kuwa mwana mpya wa Mungu, ni kama atakavyofanyiwa pia Hitler, na Papa wa Borgia, na kwa kiumbe yeyote aliyewahi kuishi hapa duniani. Soma kwenye majarida ya Mchanganuo wa Nyakati za Mpito wa Zama (Na.  272) na Kondoo Aliyepotea na Mwana Mpotevu (Na. 199).

 

Mpango wa Mungu ni mkamilifu. Tunamtumikia Mungu wa Kweli ambaye ni mwenye sifa za Kuelewa Kila Jambo, Mwenye Uweza Wote, Aliyekamilika kwa Wema na wa Kweli ambaye ndiye Baba wa wote. Yeye anayetakasa na wao wanaotakaswa wana mwanzo au chimbuko moja tu (Waebrania 2:11). Hatuendi kumpoteza mtu yeyote.

 

Kama mmoja wa Mashahidi wa Yehovah, nimesoma maelezo mengi sana yaliyo kinyume na imani hii ya Mashahidi wa Yehova. Sikusudii kuipuuza dini ya mtu yeyote na nilikuwa nashangaa ni kwa nini watu wengi sana wanapenda kuwapuuza wenzao wakiwa kwa kweli hawajui wanachokiamini hasa. Na kama tunadai ya kwamba tunamtumikia Mungu, kwa nini basi hatuenendi sawasawa na imani ile tunayodai kuwa tunaiamini? Wengi wanadai kuwa wanaiamini Biblia, lakini imani zao zikiwa kinyume kabisa na madai yao. Nimejitahidi kwa kadri niwezavyo kuwapenda watu wote na wa imani zote, na wa aina zote na kutowabagua. Kama Mungu hana upendeleo na haonyeshi upendeleo wowote wala hambagui mtu yeyote, basi sisi ni kina nani hata tunafanya hivyo?

Jibu: Yatupasa kuwapenda majirani zetu kama tunavyojipenda wenyewe. Hakuna mtu anayejichukia mwenyewe. Hivyo ni kwa nini uwachukie wengine.

 

Kanisa la Mashahidi wa Yehova (au kwa usahihi zaidi waite “the Watch Tower and Bible Tract Corporation” yaani Shirika la Uchapishaji na Ugawaji Vipeperushi vya Biblia la Mnara wa Mlinzi]) lina mtazamo wa uwongo kuhusu Maandiko kadhaa ya Biblia. Tunakubaliana na mfumo au utaratibu huo kwa upande mmoja na kiwango cha jinsi isemavyo Sheria ya Mungu na Sabato zake. Tunajua habari zao na kule zinakotokea na jinsi zilivyofanikiwa kuwa pale walipo sasa.

 

Tunajua pia kwamba wamefanya namna ya mwitikio na kwamba, kama kanisa, wamevunjwa moyo na usomaji wowote wa kimtizamo kuliko wao wenyewe na wamewafanya watu waamini mitazamo hiyo iliyo kinyume kabisa na yasemavyo Maandiko Matakatifu.

 

Hamu yetu ya kuirudisha Imani ya kweli ya Ukristo wa karne ya kwanza kwa watu wote. Ili kufanya hivyo, yatupasa kuakinisha mafundishi kadhaa ya uwongo yaliyopo kwenye dini nyingi za uwongo. Mashahidi wa Yehova wanajulikana sana kwa sifa yao ya kushutumu imani za makanisa kongwe ya zamani, wakidiriki hata kupita mlango mmoja hadim mwingine wakiwashawishi watu wajiunge nao.

 

Yohana Mbatizaji hakumung’unya maneno na ndivyo hata Kristo na ndivyo hata watakavyokuwa Mashahidi watakapokuja hapa. Mashahidi wa Yehova, kama alivyo mtu mwingine yoyote hapa duniani wataanza kuzishika sharia za Mungu au vinginevyo watakufa. Hakutakuwa na mjadala wala maafikiano.

 

Wataanza kushika na kuadhimisha miandamo ya Mwezi Mpya na Sabato (Isaya 66:23) na Sikukuu za Mungu (Zekaria 14:16-19) na watawapeleka wawakilishi wao huko Yerusalemu kila mwaka, vinginevyo hawatanyeshewa mvua kwa majira yake muafaka na wataandamwa na maradhi au tauni ya Misri vitakavyoruhusiwa kuwasumbua.

 

Hayo ni Maandiko Matakatifu, na Maandiko hayatanguki. Soma kwenye jarida la Sheria na Amri ya Nne (Na. 256).

 

Fundisho Kuhusu Roho

Je, unaamini kuhusu kiumbe kuzaliwa mara nyingi tena na tena? Ni kwa nini basi kwamba nimekutana na watu niliowagundua papohapo na kuwa kwenye mahali ambapo walikuwa wanafanana sana na mimi? Nagundua kuwa Maandiko Matakatifu yanasema kwamba kila mtu yupo kwa wakati wake fulani (mara moja tu) bali je, kuna uwezekano wowote wa kwamba mwanadamu anaweza kuwa na wakati mwingine zaidi wa kuishi maishani mwake. 

Jibu: Fundisho hili la kuzaliwa mara nyinginyingi ni tunda au matokeo ya fundisho la Roho au Nafsi hai na ni kinyume kabisa na Biblia. Uzoelefu tunaouona kwa watu mara nyingi unatokana na kumbukumbu zetu kwa watu, maelekezo, maneno na mjumuiko. Wacelti pia walikuwa na fundisho hili lililotokana na imani nyingine za Waryani. Kwa kweli ni makosa yanayowatumikisha watu. Yatupasa kupambana na matatizo iliyoyasababisha huko India. Kifilosofia, ilikikuwa ni dini iliyoanzishwa hapo mwanzo wake kabisa ikikusudia kuondoa ubaguzi wa hali za kiuchumi au rangi na matabaka ya watu kwa kigezo cha kuwanadharisha watu kuwa kuna mizunguko ya kiumbe kuzaliwa tena na tena, dhadharia iliyobuniwa na Dini potofu za Kihyperborean. Biblia inafundisha Ufufuo wa Wafu na uhai wa mara moja na kwamba uhai huo umesababisha kuwepo kwa kvumbe wa kiroho kwa njia ya aina mbili za ufufuo wa wafu. Msimamo wa biblia imeainishwa kwa kina kwenye majarida ya Fasi hai (Na. 92); Ufufuo wa Wafu (Na. 143) na Mji wa Mungu (Na. 180).

 

Sote tunajua kwamba nafsi zetu ambazo haziwezi kuzaliwa; haziwezi kuwa na mauti; yaani, kuzaliwa kwa mtu ni kule kuumbwa kwa mwanadamu na kufa kwake kunamaanisha mwili wake kuacha kufanya kazi. Kwa nini wanasema kuwa Yesu alifufuka na kutoka akiwa hai siku 3 baada ya kuteswa na kuuawa kwake? Kama nafsi inaachana na mwili baada ya kufa kuna nini kisicho cha kawaida kwa habari ya Yesu? Ama iwe kama hakufa baada ya kuangikwa mtini au baada ya kufa kwake, nafsi yake ilimtoka na ikaenda mbinguni?

Jibu: Fundisho la nafsi isiyokufa siyo la Kikristo kabisa. Liliingia kwenye Ukristo kutoka kwenye dini na imani za Kinostiki na kama zimehuishwa tena kwenye mafundisho ya Kisocrati. Kwenye karne ya kwanza nay a pili, kama ingemwambia Mktisto yeyote kuwa ukifa utakwenda mbinguni, basi wangejua kuwa wewe ni pandikizi na siyo mwenzao. Kwa kweli, Kanisa la Roma lilimwandikia mfalme mnamo mwaka 150-154 likimwelezea yanayojiri kwenye imani. Pia waliiandikia Senate. Mwandishi wa Kanisa alikuwa ni Justin Martyr. Pia aliwaandikia Wayahudi kuhusu Majadilianao yake na Trypho Myahudi (yapata mwaka 80). Justin alimwambia kwamba kama angekutana na watu waliojiita kuwa ni Wakristo na wanaamini kuwa wakifa watakwenda mbinguni, basi msiwaamini kwa kuwa hawakuwa Wakristo. Lakini sasa tuna mamilioni ya watu wanaodai kuwa ni Wakristo lakini wanaamini kuhusu nafsi isiyokufa, na kuhusu mbinguni na jehanamu.

 

Ukweli wa mambo ni kwamba Biblia (na hata Koran pia) zinafundisha aina mbili za Ufufuko wa wafu. Ufufuo wa Kwanza utafanyika atakaporudi Masihi, na wa pili utafanyika miaka 1000 baadae mwishoni mwa kipindi cha Milenia. Kwenye ufufuo huu wa pili au ufufuo wa wafu wote, watu wote watafufuka na kuhukumiwa. Utapata hali halisi itakavyokuwa kwa kujisomea majarida ya: Nasfi Hai (Na. 92); Ufufuo wa Wafu (Na. 143) na Milenia na Dhana ya Unyakuo (Na. 95).

 

Je, Mtume Petro anaweza kuwa ndiye aliyebuni matumizi ya msalaba?

Jibu: Uvumi wa kwamba Petro alisulibiwa kichwa chini na miguu juu kwa kuwa alidai kuwa hastahili kufa kama Bwana wake. Ukweli wa mambo ni kwamba nembo zote za kuangikwa zimebuniwa kwa kulinganisha na ibada za utoaji kafara na za kichawi, na ndiyo maana msalaba umeandikwa kwa mchoro wa X, ambayo ndiyo alama yenyewe ya mchoro wa kuchawi. Imani hii yote ya utoaji kafara na maneno yaliyo kwenye mchoro vinahusiana na maafa makubwa. “Na ndiyo maana tuliona kafara ya hatari kwenye ibada za dini ya Wacarthaginiani, na pia kwenye zama za zamani za Kabla ya Waamerika wenye asili ya Kikolombia. Cirlot anaelezea jambo hili kwenye kitabu chake cha “The Dictionary of Symbols [Kamusi Inayoelezea Maana ya Alama na Nembo]” (ukurasa wa 158ff.). wayunani na Warumi waliutumia “stauros” na usulibiwaji wenyewe kutoka kwa Wafoeniciani. Ulikuwa ni mti uliosimamishwa chini juu hadi Warumi walipoubadilisha mwonekanowake baadae kwa kuongeza mipande kingine cha mkatizo na kuufanya uonekane kuwa msalaba ili kuelezea jinsi alivyokufa. Kimapokeo, kwa kiwango cha wenye elimu ndogo wa jamii ya Wakatoliki wa Roma, kitendo cha kuugeuza au kukiweka kichwa cha mtakatifu Petro chini na miguu juu au kuelekea ukutani yanatokea kwenye mchakato kuendeleza mambo ya kichawi au ushirikina. Kwa kuendeleza taswira, tumaini la uaminifu la kuonyesha msimamo wake kuelekea kwao (Cirlot, p. 159). Ni imani na matendo ya kipagani iliyoegemea kwenye mafundisho ya waamini Kutokufa kwa Nafsi Hai ya mtu ambayo hayana nafasi kwenye imani asilia ya Kikristo. Soma majarida ya Msalaba: Chimbuko Lake na Maana Yake (Na. 39); Ufufuo wa Wafu (Na. 143) na Nafsi Hai (Na. 92).

 

Nimeisoma makala inayoweka taswira ya maelezo ya Rabbi Ovadia Yosef kwamba "waathirika wa mauaji ya kuangamiza watu ya Holocaust, Wayahudi wote milioni sita, wato hao maskini wote waliopotea kwenye mikono ya hao watenda maovu Manazi...walikuwa ni zao la waliozaliwa u[ya tena kutokana na roho za waliotenda dhambi kipindi cha nyuma na pia na walifanya mbinu zote za mambo ambazo hazijawahi kufanywa, na walirudia kuzaliwa tena ili kwamba vitu viwekwe sawa" Aina hii ya fikra au mawazo inatoka wapi? Inaonekana kuwa inaumiza sana kwa wale waliowapoteza wapendwa wao kwenye mauaji haya ya Holocaust au walioishi kipindi chote cha kuamriwa kufanyika mauaji haya. Inawezaje nasi amani na furaha kumjia mwanadamu pamoja na dunia?

Jibu: Dhana ya kuzaliwa mara kadhaa ni upotoshaji wa fundisho la ufufuo wa wafu. Agano la Kale na Agano Jipya yanafundisha Ufufuo wa Wafu. Ufufuo wa wote utafanyika kwa kipindi cha miaka 100. Kipindi hicho kitakuwa kwenye kipindi cha utawala wa milenia wa Masihi. Mpango huu umeandikwa na kuainishwa zaidi kwenye majarida ya Mcganganuo wa Ratiba ya Nyakati na Zama (Na.  272) na pia jarida la Ufufuo wa Wafu (Na. 143). Hivyo basi, dunia itapewa ufufuo kwa wenye mwili na maendeleo yake yameelezewa pia kwenye Ezekieli sura ya 37.

 

Kwa upande mmoja, hiki ni kitendo cha kurudiarudia kuzaliwa ambacho kimechukuliwa na watu hawa ili kuliunga mkono fundisho la kuzaliwa tena na tena. Moja ya mbinu anazozifanya Shetani ni kulishamirisha fundisho hili la kuzaliwa tena na tena kwa nyakati mbalimbali na alifanya hivyo tangu mwanzo. Alijua kwamba wakati watu watakapoamka kenye Ufufuo wa Pili, tukio litakalowatukia wanadamu wote walioko duniani, kama walidhania kulikuwa na wakati mwingine wowote utakaokuwa mgumu zaidi kuwashughulikia. Kwa maana iliyo kweli. Hatutakuwa na muda mwingine wa kuwashawishi watu hawa kwamba wana fursa hii na kwamba wapo hukumuni wakati ule na kwamba hawataipata fursa nyingine. Kwa maana ya kwamba watapoteza muda wetu fulani na mchakato wa elimu ili kuyarekebisha mawazo hayo.

 

Hakuna ukweli wa kuamini kwamba mauaji ya Holocaust yalikuwa kwa ajili ya watenda dhambi ambao walikuwa wamezaliwa kwa mara nyingine tena, na haya ni mafundisho na imani potofu ya Kihindu/Kibudha yanayotokana na sharia za Dharma na Kharma. Kwa kweli haina uhusiano wowote na Biblia na ni kejeli au matusi tu makubwa sana kwa walionusurika na mauaji haya ya Holocaust. Dhana iliyoko nyuma yake ni hii.

1. Wayahudi ni watoto wa Yuda na Yuda ni mmoja ya wateule waliochaguliwa na Mwenyezi Mungu kwenye jamii ya Waisraeli.

2. Mungu huwalinda watakatifu au wenye haki.

3. Mungu hakuwalinda Yuda kwenye mauaji haya ya holocaust na kwa hiyo Wayahudi waliokufa hawakuwa wema au watakatifu. Inawezekana kuwa walikuwa wanatenda dhambi na maovu mengine mengi na dhana ya kwamba watenda dhambi wote ni budi wadhaniwe kuwa walikuwa wamezaliwa kwa mara nyingine tena ili wapate mateso ni uwongo mkubwa kabisa.

 

Mtazamo huu hauna mashiko na wala hauleti maana yoyote kwa mtu mwenye busara na akili timamu awafukuze Wazungu hadi kwenye nchi nyingine ili kuziondoa au kuzikomeshilia mbali Sheria za Mungu na wote wanaozishika. Kuamini kuwa Mungu hakuwa anawalinda Wayahudi kwa kiasi fulani ndipo ilipowalazimu watu hawa kuingia kwenye mazingira kwa ukweli kwamba walikuwa kwenye imani ya uwongo ya kuabudu na walipaswa kutubu.

 

Ukweli ni kwamba mungu wa dunia hii anajaribu kuwaharibu wateule na kanisa la kweli kwa raslimali za kanisa la uwongo na anajua kwamba muda wake ni mfupi. Shetani ana wastani wa miaka ishirini na tano ijayo kabla ya kutupwa kwake kuzimuni. Kwa kipindi hicho atajaribu kuliharibu na hata kuliangamiza kanisa na Waisraeli na kuwaangamiza kwa kuwafutilia mbali watu wengi.

 

Maelezo kama yale ya kiongozi wa Shas yanawasha hamasa na kusababisha kusiepukike kuwepo kwa vita. Pia yanawapotosha watu kama kwenye malengo na nia ya Biblia na utaratibu wake.

 

Mapokeo au Desturi ya Mitume

Hippolytus anayaelezea Mapokeo au desturi ya Mitume 21:16 (AD 215). Je, unajua anachokiongelea? Maneno yake kuhusu ubatizo wa watoto wachanga. Ninini maana ya Mapokeo au desturi ya Mitume? Je, ni Kitabu kilicho kwenye Biblia? Je, kimewekewa vifungu vyake kwenye Biblia kama 21:16.

Jibu: Rejea anayoifanya Hyppolytus kwenye ubatizo ni ANF, Vol. V, p. 236 na haina rejea unayoichukua au kuitaja wewe, wala haelezei ubatizo wa watoto wachanga hapo. Kuanzishwa kwa ubatizo wa watoto wadogo inaonekana kuwa kulianza katika karne ya tatu, na tunakuta kuwa makala au maandiko ya Cyprian kwenye nusu ya pili ya karne ya tatu. Kuliamuliwa kuwa sheria ya kufanyika tohara siku ya nane isifuatwe, lakini mtoto anaweza kubatizwa ifikapo siku ya pili au ya tatu (ANF, ibid., pp. 353ff.).

 

Haikuwa na desturi ya mitume kuwabatiza watoto wadogo kutokana na kumbukumbu tunazozijua. Kwa kweli makala au maandiko  yaliyofanywa na Cyprian ni utetezi wa kwanza na hauonyeshi rejea yoyote kuonyesha kama kulikuwa na desturi haka hizo kwa kuandika kwake kutetea ubatizo wa watoto wadogo (cf. ibid., p. 354 Ep. LVIII, 3). Kwa hiyo maelezo ya Hippolytus yanamashiko na yanapendeza.

 

Maelezo yaliyotolewa na Tertullian yanaashiria pia kwamba hiyo haikuwa ni sababu, kama alivyotangaza kuwa ubatizo unaweza kucheleweshwa hadi watoto watakapokuwa wameikulia imani na wakiwa wanaweza kumjua Kristo. Anayataja mabishano yaliyojitokeza kuhusu wasimamizi, nah ii inaashiria kuwa kuanzishwa kwa ubatizo wa watoto wadogo na wasimamizi wao kulianzia miaka ya kwanza kwanza ya karne ya tatu na alikuwa anapinga hapa kiutunzi au kiriwaya kwa maandiko ya kimakala yahusuyo ubatizo (ANF, Vol. III, p. 678). Anasema pia kwamba kipindi cha kabla ya Pasaka kilikuwa kizuri na muafaka kwa kufanya ubatizo. Kisha baada ya Pentekoste na siku za sikukuu, lakini kila siku ilikuwa nzuri tu mbali ya siku hizo. Makanisa ya Mungu, yanayofanya ubatizo wa watu wazima, kila mara yamekuwa yakibatiza kwa namna hii iwe ni wakati wa maandalio ya Pasaka au kwenye sikukuu.

 

Irenaeus anasema kwenye 2:22.4: “Kwa kuwa alikuja kuwaokoa wote kwa njia yake yeye Mwenyewe – kama, nisemavyo, wale waliozaliwa kwa kupitia yeye wamezaliwa tena katika Mungu – Watoto wachanga, na watoto wadogo, na wavulana, na vijana, na wazee. Kwa hiyo yeye anapita kwenye kila umri, anajifanya kuwa mtoto mchanga kwa ajili ya watoto wachanga; na kwa hiyo anawatakasa wale walio kwenye umri huu…”. Sasa, Wall pamoja na wengine wanaamini kwamba huu ulikuwa ni usemi wa thamani kwa kweli kama wa ubatizo wa watoto wachanga kwenye kanisa la kale (ANF, Vol. 1, p. 391 fn. 9). Hata hivyo, la muhimu hapa na linalojadiliwa ni utakaso, na sio ubatizo. Usomaji wa Agano Jipya unatuonyesha ni wapi walikuwa watoto wachanga, watoto wakubwa kidogo na wavulana waliokuwa chini ya wazazi wao. Irenaeus haongelei kuhusu ubatizo wa watoto wachanga. Anaongelea juu ya utakaso timilifu wa watu wote kwa njia ya Kristo. Usemi huu haya hivyo hauwataji wanawake, hivyo basi, kupinga kwamba tunashughulika na uhusiano wenyewe na wa moja kwa moja uliowatenga watu wa jinsia ya kike kutoka kwenye ubatizo. Kwa hiyo, mjadala unategemea na kile kinachojulikana na Maandiko kuhusu utakaso wa watoto wachanga.

 

1Wakorintho 7:12-14 inakuonyesha maana ya kweli ya kile anachokisema Irenaeus na inakuonyesha kwamba watoto hawabatizwi bali wanawekwa wakfu kuwatakasa wakitokea kwa wazazi waaminio, ni vivyohivyo kwa mwenzi asiyeamini anatakaswa pale wanapokubali kuishi na mwenzi aaminiye. Narudia kusema kwamba hakuna ushahidi unaoonyesha au kuhalalisha ubatizo wa watoto wachanga kama ulifanyika kwenye Kanisa la karne ya kwanza, wala kama kuna kitu kinachoonekana kama kulikuwa na desturi kama hiyo ya ubatizo. Agano Jipya, kwa kweli, limeandika matukio mengi ya ubatizo lakini hakuna hata mfano mmoja wa kubatizwa kwa mtoto pamoja na watu wazima; rejea muhimu iliyo kwenye Hippolytus. Maandishi mengi ya aina hii yametuama kwenye nukuu za makosa, au makosa ya kimaandishi au ya kiutafsiri kama tuonavyo hapa, kuunga mkono mapokeo yaliyofuata baadae ambayo hayana msingi wowote wa Kimaandiko Matakatifu.

 

Ndugu alijaribu kunishawishi kuwa mtu asingeweza kuiamini tu Biblia peke yake, bali unatakiwa mapokeo ya mitume yanayotokana na 2Wathesaloniake 2:15; ambapo hoja yake ya msingi ni kwamba msingi ni kwamba “umezaliwa Mkatoloki, na utakufa ukiwa Mkatoliki, usishangae!” ni kitu gani ambacho Mungu anatuambia tukiamini kwenye Neno Lake?

Jibu: Ni kipi anachowaambia Mafarisayo? Mmelitangua neno la Mungu kwa mapokeo yenu. Kile kinachojulikana kama mapokeo ya mitume si kingine tena bali ni matendo ya mitume. Biblia inasema wazi kwamba: Ikiwa hawasemi sawasawa na neno hili, bila shaka kwa hao hapana asubuhi (Isaya 8:20). Kwa hiyo wale wanaowaendea makasisi na watumishi wa injili wanaonena kinyume na amri za Mungu na Ushuhuda wa Yesu Kristo. Ndiyo maana neno lipo kwenye kundi kamilifu kama hiyo, na ndiyo sababu Ukristo sasa unajikuta ukiwanywa wa kawaida na hauwezi kumbadilisha mtu na unachanganyika au kufanana na upagani na ushirikina. Ni kwa kuwa umechukua au kutohoa matendo yao kwa malengo ya kisiasa na kuyaita kuwa matendo ya Kanisa.

 

Easter inawakilisha mungu-mke wa kipagani wa ibada za Baali, ambaye Mungu aliwakatazwa kumwabudu wala kumtumikia kwa kupitia watumishi wake manabii. Lakini siku hizi hii ipo kwenye ibada na maadhimisho ya makanisa mengi. Kama Yahova ni Mungu, basi mwabuduni yeye, lakini kama Baali ni Mungu basi mfuateni yeye. Lakini msiyaite haya kuwa ni mapokeo ya Kanisa. Soma kwenye jarida la Maelezo ya Msingi wa Imani (Na. A1). Haya ndiyo mapokeo na desturi ya kweli au matendo ya Mitume.

 

Wamormoni

Je, Mormoni ni dini ya Kikristo? Najua kwamba wenyewe wanadai hivyo, ni kweli? 

Jibu: Swali lako linahitaji ufafanuzi kuhusu ni upi Ukristo wa kweli. Dini ya Kikristo ni ipi? Biblia inalijibu swali hilo kwenye Ufunuo 12:17 na 14:12. Joka akamkasirikia yule mwanamke, akaenda zake afanye vita juu ya wazao wake waliosalia, wazishikao amri za Mungu, na kuwa na ushuhuda wa Yesu.

 

Amri za Mungu zinalenga kumfanyia ibada Mungu wa pekee na wa Kweli, ambaye Yesu ndiye aliyemwabudu na ambaye ndiye Baba yake na Baba yetu. Kristo alizishika Sabato na kuwa ndiyo siku ya Saba ya juma.

 

Aliishika Pasaka na idi ya Mikate Isiyotiwa Chachu. Aliisadhimioha siku ya Mganda wa Kutikiswa, kama ilivyoagizwa kwenye Walawi 23. Yeye pamoja na Kanisa la kwanza waliishika Miandamo ya Mwezi Mpya, na Sikukuu ya Pentekoste kama iliyoagizwa pia kwenye Walawi 23 (soma pia Wakolosai 2:16).

 

Yeye pamoja na Kanisa la kwanza walishika siku za kuzipiga Baragumu na siku za Upatanisho zilizoagizwa kwenye Walawi 23. Pia aliitunza Sikukuu ya Vibanda na Mkutano wa Makini zilizoagizwa kwenye Walawi 23. Yeye pamoja na mitume walikula vyakula safi na nyama zisizo najisi tu kama ilivyoagizwa kwenye Kumbukumbu la Torati 14 na Walawi 11. Alianzisha Ushirika au Mlo wa Meza ya Bwana, ulioliwa siku ya 14 Abibu na alikua siku hiyo akiwa kama Mwanakondoo wa Pasaka, na pia alituambia kuzishika siku hizo. Alifufuka toka kwa wafu na Kanisa liliamini kuwa litafufuliwa toka kwa wafu atakaporudi tena. Hawakuamini kuhusu nafsi kuendelea kuishi, au watu kwenda mbinguni, au motoni.

 

Hawakuzishika pia sikukuu za kipagani na hata hawakula pamoja na wale waliokuwa kwenye imani ya wapagani ya Baali-Easter (soma jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235). Kama Wamormon wanafanya mambo haya yote, basi watakuwa ni Wakristo wa kweli. Kama hawafanyi hivyo, basi watakuwa sio Wakristo wa kweli. Unalotakiwa kufanya ni kuhakikisha kuwa unayafanya haya yote, na kuishi sawasawa na alivyoishi Kristo na mitume wake walivyoishi, na utakuwa Mkristo wa kweli. Yeyote asiyefanya mambo yaliyoorodheshwa hapo juu sio Mkristo wa kweli. Tukimpenda yeye, na tuzishike Amri zake.

 

Nina bwaadhi ya Wamormoni wanaonitembelea na niliwauliza kuhusu imani yao kuhusu ubatizo wao wa wafu na jinsi wanavyofuatilia vizazi vilivyopita ili wapate majina ya kuwabatiza. Walionekana kuwa wanahisi kuwa mtu asiyebatizwa hawaweza kuokolewa. 'Mormo' aliorodheshwa kuwa ni Mfalme wa Waghouli au wafu wanaoendelea kuishi na Lavey kwenye biblia ya kishetani. Je, hili ni jina la kimotoni wakati Wamormoni wanapopewa majina yao?

Jibu: Dhana ya kuishi tena kwa wafu ni ya uwongo kabisa na ni kosa kubwa kuiita kuwa inatokana na mafundisho ya Biblia. Ndiyo, LaVey anamtaja Mormo kuwa ni mungu wa wafu na inafanana sana na kwamba aina hoo ya utani ilihusishwa kwenye imani ya Kimormoni tangu kuazishwa kwake. Kwa sasa imekuwa ni mkanganyiko wa kidini. Jina la Mormon linamaana ya mfuasi wa Mormo mungu wa Wafu. Na ndiyo maana baadhi yao wanalipinga jina hili. Hata hivyo, wanaainisha na kukubaliana na mambo yote ya dini hizi potofu za wafu. Wanadhania tu kwamba wasicheweza kufanya ni kufufua wafu kwa kutumia taratibu za kidini za sikukuu.

 

Ni njama ya kujua mishabihiano migeni na mabadiliko kwenye majina na taratibu za kidini za Wamormoni. Mihimili yao ina alama za Freemasoni na hususan ni za taratibu za kiibada za mafreemasoni wa Kiscoti kwenye maandishi yao yote ya zamani. Hata mahekalu yao ya zamani na michoro yao vimefanywa kwa kufanya rejea za mahekalu ya Kimasoni. Gazeti lao la zamani lilikuwa linaonyesha moja kwa moja harakati za kiokaliti.

 

Unapaswa kukiona hiki na kuwa na uelewa wa ufreemasoni na alama na nembo zao ili uweze kuwasifia kiukweli, lakini ni wazi sana kwamba ilianzishwa na deturi za kidini ya freemasoni wa Kiscochi na ya Kimormoni waliotohoa desturi za kiutandawazi za kidunia. Hiyo ilikuwa moja wapo ya sababu iliyopelekea wakashambuliwa na kuuawa na ikawalazimu kukimbia kutoka Missouri. Adhabu inayotolewa kwa kuzisaliti siri za dini hii ni kifo. Uadilifu wao, kama ilivyo kwenye imani na taratibu za Wakatoliki wa Roma umeenea na kupita hata kwenye mipaka ya kitaifa.

 

Wafuasi wengi wa Kimormoni na hususan wanawake hawaonekani kuelewa hilo. Maswali mengi hayawezi kujibiwa kwenye maeneo fulani na muhimu na huenda mengine yanapaswa kushikwa kutoka hadharani pia.

 

Malaika Moroni aliyetoa Kitabu cha Mormon ana sehemu yake muhimu kwenye kisanamu cha lugha ya Kiebrania cha herufi “i” che maana maalumu ya “the” kwa mfano “kabila au watu wa” kwa mfano Waashikenazi wenye maana ya wana wa Ashikenazi (ambao walikuwa ni wana wa Gomeri). Malaika Moroni ana sehemu yake kwenye kumuumba malaika wa Wamoroni akitumia hisia au vitu vinavyokubalika vya neno.

 

Matukio ni mengi sana kufanyika kuwa ya bahati mbaya. Yeyote aliyepangilia kuanzishwa kwa dini alikuwa na uelewa mkubwa wa ufreemasoni na uokaliti na ana kiwango kikubwa sana cha ujanja wa hisia ya mvuto.

 

Nimesikia kwamba Wamormoni huvaa wanayoyaita kuwa ni mavai matakatifu na kwamba wana alama au michoro wanayochapwa miilini mwao. Je, uvumi huu ni wa kweli? Na kama ni hivyo, ni nini maana yake mambo haya?

Jibu: Hili ni swali zuri sana. Ufuatao hapa chini ni ushuhuda uliotolewa na muumini wa zamani na alioiasi dini hii ya Wamormoni wenye kichwa cha somo cha:

 

Habari za Msingi Kuhusu Mavazi ya Hekaluni

“Imekuwa ni muda kitambo sasa (takriban miaka kumi imepita sasa) tangu niliponunua au kuvaa mavazi haya, lakini licha ya mabadiliko yoyote yaliyowahi kufanyika tangu hapo, hivi ndivyo nijuavyo: Mavazi ya Hekaluni yanavaliwa kwa mara ya kwanza baada ya mtu kuwa amepokea “wakfu au nadhiri” chake cha kwanza cha Hekaluni. Wakati huu wa uwekaji nadhiri wake, mtu huyu anapewa “jina jipya”, anafundishwa habari au hadithi ya uumbaji wa dinia (kwa mujibu wa mtazamo wa LDS), na anawekwa nadhiri zinazojiri imani yake, na huku aikjifunza namna atakavyoingia kwenye Ufalme ulio Bora zaidi, na anapewa maelekezo kwa vitu vingine. miongoni mwa mambo anayoelekezwa ni uvaaji wa adabu au mzuri wa mavazi ya Hekaluni. Mavazi haya yanatakiwa yavaliwe ndani ya nguo ya mtu huyo na kwa nyakati zote, isipokuwa kwenye nyakati zilizotengwa kwa ajili ya utoaji wa maombi ya mtu mwenyewe, ambapo mavazi haya yanaweza kuonekana na wasiokuwa waumini au pale yanapoonekana yanaweza kuzuia matendo mengine yasiyo na maana. Kwa mfano, nilionyesha mahali ambapo mavazi haya yanaweza kuvuliwa wakati wa kuoga, wakati wa kufanya ngono, matendo mengine kama vile ya kuogelea (ambapo yangechukuliwa kuwa yamefichwa hata na waogeleaji mahiri na yangeweza kulowa), na wakati wa kwenda kwenye ofisi ya daktari au hospitalini, ambako yangeweza kuonekana kirahisi na wasio waumini wenzetu. Wahudumu wa hekalu walielezea kwamba kulikuwa na mazingira mengine ambayo mavazi haya yanaweza kuvuliwa kwa muda, yasiyo muafaka kwa mvaaji wa mavazi haya, lakini mavazi haya yalikuwa ni kiini cha mambo yote mawili, yaani yana ulinzi wa kiroho na wa kimwili, na yanatakiwa yavaliwe kila wakati kama ikiwezekana. Kwa mfano, haikushuriwa kuyavua unaposafiri au wakati wa kulala na kulala bila kuwanayo.

 

Wakati Fulani kwenye ibada ya Kufunga saumu na Uhuhuda, nakumbuka nilimsikia mtu aliyekuwa mshauri wa idara ya vijana wakati nilipokuwa kijana wa umri wa miaka ya makumi akielezea jinsi vai lake lilivyomlinda dhidi ya hatari ya kuumia kimwili. Alikuwa kwenye kituo cha kununua mafuta ya gari au petrol na alikuwa anatia gesi au mafuta kwenye gari. Gari lake lilikuwa no moja ya yaliyokuwa yamefungua tangi la kutilia gesi au mafuta akiwa karibu na gari chini uvunguni mwa kishikio cha pleti namba. Ghafla, gari likaana kurudi nyuma upande wake na kumbambia katikati ya bampa la gari lake ya bampa la gari la karibu yake na kwenye usawa wa magoti yake. Alishuhudia kwamba sehemu ya goti lake ilikwamba katikati ya hizi bampa mbili na goti lilikuwa limefunikwa na mavazi yake, na lilikuwa “limechubuliwa tu badala ya kuvunjika.” Aliamini kuwa huu ulikuwa ni ushahidi wa tosha wa nguvu za ulinzi wa mavazi haya. Lakini haionyeshi wazi kwamba kishindo cha mgongano hakikutosha kuvunja mguu wake? Wakati kwamba hii ikiwa ni hadithi yake kuu ya pekee kuhusu nguvu za ulinzi zitokanazo na mavazi nilizowahi kuzisikia, nimeendelelea kuzisikia hadithi nyingine nyingi kadhaa za michapo, hadithi nyingine zenye utata za vijijini za Wanormon, zinazonuia “kuikuza imani”. Hadithi moja inatuama kwenye mtu wa LDS ambaye alikuwa amepigwa na radi. Kina dada wawili wa LDS waliiona radi ikimpiga katikati ya shamba na wakamkimbilia. Walipomkarinia, waliona kuwa amekufa, na kuungua vibaya sana usoni kwake, na chini ya mikono yake, na chini ya miguu yake. “Lakini tazama” dada mmoja anamwambia mwenzake, “kila mahali alipofunika mavazi mwili wake hapajaungua!” Na kwa kweli, mavazi na ngozi ili chini yake haikuguswa. Nilidhani kuwa hii ilikuwa ni hadithi ya kukanganya nilipoisikia. Nina maanisha, aliinuka, kumbe amekufa! Ni tofauti gani hapa iliyofanyika kwa kusema kwamba sanamu yake ilikuwa na shepu nzuri wakati kichwa chake kimeungua? Huenda wanahitaji kutengeneza mavazi ya miti...

 

Kadiri muonekano halisi wa mavazi unapoishia ndipo zinaonekana kwa kiasi fulani kama toleo la chupi cha aina ya long john yaani “john mrefu”. Mavazi ya wanaume yana longp senye marinda au mikunjo mifupi na mishipi ambazo kidogo zimekuwa "zimechongwa" kuliko Fulana halisi za wanaume. Pande zake za chini zinfika hadi juu ya magoti. Nguo za wanawake ziko sawa tu na hizo ipokuwa kuna uchaguzi ulio tofauti na upande wa shingoni (imechongwa, V, au kwa usawa), na kola zimefupishwa kuliko zile za wanaume, zikionekana kama “kingo za kofia.
wote wawili, yaani wanaume na wanawake wanaingia ndani ama kwa mtindo wa kipande kimoja ai vipande viwili, na kwa uzito mbalimbali uliotengenezwa na kufanana, kama vile nailoni, pamba, mchanganiko wa pamba na polista. Mavazi yote ya Hekaluni ni meupe kabisa, ingawa nimesikia kwamba pia zinatokana na mafuta ya drabu kwa watu wa LDS jeshini, lakini sijawahi kuona hayo. Mavazi yote ya Hekalu yamewekwa chapa na kuwekwa alama upande wa kulia kwa matiti yake, nevali, na gotini. Michoro hii imedariziwa, kwenye vazi kwa uzi mweupe (ingawa kwa habari ya mavazi ya kijeshi yanaweza kabisa kuwa ni ya uzi wa drabu ya mzeituni.) Michoro hii inamaanisha vipengele fulani kutoka kwenye sherehe za viapo au nadhiri za Hekaluni. Waumini wanajulishwa kuwa hawaruhusiwi kunyoa nywele zao. Wala wasisuke, wala kubadilisha mavazi au nguo zao kwa namna yoyote. Kwa mfano, hayaruhusiwi kupunguzwa au kufupishwa, kubanwa, au kuruhusu uvaaji wa nguo fupi au jozi ya kaptula. Isivyo kawaida ni kanuni “isiyobadiliki” inaweza kufanywa kwa waumini waliokuwa na ulemavu kimwili.

 

Wakati yanapozaliwa mavazi haya, waumini wanashauriwa kugawanya maeneo kwa vipande vya kudarizi kwa mkasi na kuzichoma. Michomo hii inapotoka, nguo zinakuwa hazichukuliwi teba kuwa takatifu, na zinaweza kutumika kama makapi yenye vumbi, kama na uvaaji wa mavazi.”

--Serratia

 

Useja au Umonastiki

Umonastisism ni kitu  gani na umetoka wapi?

Jibu: Mwanzo wake hasa, umonastiki ulijumuishwa kwa kushirikiana na dini potofu za mungu Attis na I,ani au dini ya washika Easter ya Asia Ndogo. Makuhani wa mungu-mke huyu walijulikana kama Essene (usiwachanganye na jamii ya Qumran ambao Pliny aliwaita hivyo), waliishi maisha ya useja na waliuendeleza na wengine walijikuta wakihanithika wakiitumikia miungu.

 

Wakati dini hizi zilipoingia kwenye Ukristo na kupelekea imani ya Easter pamoja nao, ni sawa tu na itikadi ya kiasetiki ambayo pia iliingiza imani yake. Wamonastiki wa kwanza, au mtu aliyeaminiwa kuwa alinzisha msingi wa Umonastiki wa Kikristo, ni Anthony. Athanasius anaaminika kwa uandishi wa mambo yahusuyo maisha yake, na alifanyika kuwa mashuhuri huenda ni kutokana na ukweli huo kwenye karne ya nne.

 

Kumekuwa na mabishano fulani kwa wakati halisi wa maisha yake, na wengine wamekuwa hata wakipinga uwepo wake. Ukweli wa mambo ni kwamba Wamonastiki wa kwanza walikuwa ni waasetiki ambao hawakuishi kijamii au mahali pamoja, kama inavyojulikana sasa. Waliishi kwenye vikundi vidogovidogo, kama sehemu iliyochanganyika.

 

Mtindo huu wa maisha kidogokidogo ukafanyika kuwa maarufu na, katika nyakati ya zama kati. Amri za kimonastiki zilifanyika kuwa mamlaka kamili na hatimaye, kwenye karne ya ishirini, waliwaondoa mashemasi wa kike na makasisi waliooa kutoka kwenye majumba ya kitawa na wazee wote na makasisi wa kanisa kwa ujumla.

 

Unostiki

Ni nini maana ya Bythus?

Jibu: Bythus ni jina la kuzimuni ya Kinostiki lakini kama yalivyo mambo mengine yote walionekana kuwa walifanya mgegeuzi juu yake kama vile ulivyokuwepo kama kuzimuni ya Mungu anayeendelea kutoka urefu usioonekana na asiyeonekana na asiye na jina wa uwepo halisia wa Aeon ambao walimuita mkanunishi wa kwanza ambaye ni Muasisi na Bythus.

 

Hippolytus (vi, 37) anamuelezea Mnostiki Valentinus anayesema kwamba: Yeye anaye muongelea Plato kuwa ni mfalme wa wote, mtu huyu alidhaniwa kuwa kama baba na Bythus na ni mkanunishi wa kwanza wa hawa aeons.

 

Wavalentiniani wanaamini kuwa kuwa mchakato wa kujihimili mwenyewe. Wabythus waligeuka kuwa mikururu ya jozi za aeons, wakiume na wa kike, jozi yoyote inayoitwa pleroma. Hawa Aeon walikuwa ni umoja, uliojionyesha wenyewe kama uwingi.

 

Unostiki uliofuatia baadae wanawashuhudia kama muunganiko uwepo wa Mbingu unaoendelea kwenye jozi kutoka Baba Mwenyezi, kila jozi iliungana na nyingine, ikitokea kwenye ukuu kama inavyokuwa ki undani zaidi kutoka kwenye chanzo chake (ERE, Aeons, Vol. 1, p. 149).

 

Mafundisho ya Syzygies yana aina ya ushabihiano na imani ya Kimithrai pia na zote mbili zometoholewa kutoka kwenye imani za Kibabeloni, ambako Unostiki umetokea na ukaingizwa tu kiurahisi (soma ERE, ibid). Kwa hiyo wao pia wana ushirika na imani ya Kishinto ya Japani, Umahayana Ubudha, Uzoroastriani, Mawazo ya Kiplatoniki, Nguvu za Uphilo na Ulogoi wa Kitoiki na kadhalika wa kadhalika.

 

Imani ya Shinto ilianzia huko Kojiki ikituama kwenye imani kamili kabisa ya miungu mingi yaani upantheism. Ni kama Izanagi na Izanami wakuu wa kiume na wa kike wameonyeshwa na kuonyeshwa kama ulafi mkubwa sana. Hawa Aeons wenye kuzaa wanatokana na miungu shabihika.

 

Kwenye Shule ya Kaskazini ya Adibuddha, Mabudha watano wa kuwatafakaria sana (Vairochana, Aksobhya, Ratnasambhava, Amitabha, na Amoghasiddhi) zinaonyesha na kuonyesha mambo matatu na imani ya Kibudha ya kuifanyia tafakari sana, chimbuko la dunia tamo, ambayo kiufanisi wanafanya ulimwengu. Walifanyika kuwa mambo matano ya dunia, maji, moto, hewa na nginezo au uhafidhina wa Kibrahma. Wazoroastrian wanafanana lakini imani ya ukuwili ya waaeon kwenye falme za Nuru na Giza. Ahuramazda anaongoza ufalme wa Nuru na Ahriman anauongoza ufalme wa Giza.

 

Pleroma ya Kinostiki lilikuwa pia jina kwenye mkururu wote uliotolewa pamoja ambalo hatimaye imetuama kwenye Bythus kwenye uhusino wa kike kama Tiamat alivyomfanyia Apsu. Hata hivyo, Unostiki hauundi kabisa mfumo wa kimwili wa homojinazi ya mbadala.

 

Hippolytus anatuonya sisi kwamba kulikuwa na fursa nyingi miongoni mwao kuhusu Bythus yenyewe. Wenye kutafakari wengine waliamini kwamba Bythus kuwa nje ya pleroma wakati wengine wakimchukulia yeye kuwa ndani yake bali ni kujitenganisha kutoka kwa wengine na Horus ambaye alionekana kama mpaka (soma ERE, Vol. 1, pp. 54-55) na huenda hii inaweka taswira dini za kisirisiri za Wamisri, na misukumo ya uchumi jamii wa Kinostiki, kwa mujibu wa Wayunani, inayotuama kwenye imani ya Waalexandria.

 

Wengine pia wanamuondoa Bythus kutoka kwenye uongozi wa mkururu na kumfanya kuwa amfuate ogdoad. Wengine walimdhania yeye kuwa ni kama asiye fungamana, wengine ni kama kiandrojeni au mwenye jinsia. Wengine walimpa yeye Sige kama mshirika au mwenzi wake na wengine nguvu mbili Mawazo na Utashi.

 

Uhusiano wa udadisi wa Kinostiki kuhusu Bythus umeonyeshwa na kuashiria kwa sentensi moja ya  tu ya Irenaeus (ap. Epiphaneus xxxii, 7) "Kwa kuwa wengine wanasema kwamba yeye hajafungandoa na wala sio mwanaume wala si mwanamke, wala kwa kweli, hana lolote kabisa." Huenda hii ni rejea inayozua maswali.

 

Kwa namna nyingine alikuwa ameonyeshwa kwwnyw mitazamo ya Wabudha wengi aliwa ameinuliwa juu ya vyote vinavyopingana. Utambulisho Wote usio na Maana; Kiumbe ambaye kwaye hata uwepo wake hauwezi kutabirika. Ni kutokana na dhana hii ya Kinostiki ambao dini za Kisirisiri zilianzisha na kuendeleza mchakato wa kimawazo:

 

"Niliwaona na kuwajua viumbe wote, Byss na Abyss, na kizazi cha milele cha Utatu Mtakatifu, kizazi na chanzo cha ulimwengu na cha viumbe wote kwa kupitia Hekima Takatifu" (Jacob Behmen, alinukuliwa na James, kwenye kitabu chake cha Varieties of Religious Experience [Uzoefu wa Dini Mbalimbali, p. 411 na pia cha ERE, ibid, p. 55).

 

Unailinganishaje imani yako ya Kikristo na mafundisho yako ya desturi za zamani na uhusiano uliopo kati ya zile za Mashariki ya Kati na zile za Amerika ya Kusini? – Ni vipi kuhusu mafundisho kuhusu kwenda Mbinguni na Motoni?

Jibu: Inaonekama kuwa hakuna mgongano uliopo kati ya kwa kweli inachikisema Biblia na kile walichokikuta Wanasayansi kwa kila siku. Mgongano unatuama kwa unachokisema Ukristo wa kisasa na wa kimamboleo.

 

Kwa mfano hatuyaamini wala hatujawahi kuyaamini mafundisho kuhusu kwenda Mbinguni na kuishi milele Motoni. Haya siyo Mafundisho ya Kikristo. Yaliingizwa kutoka kwenye imani ya Kinostiki kwenye karne ya pili. Justin Martyr alisema kwenye kitabu chake cha Dialogue with Trypho [Majadiliano na Trypho] yaliyokusudiwa na Wayahudi kwa niaba ya Kanisa huko Roma kwenye miaka ya 150-155 kwamba yalikuja karibu na watu waliodai kuwa wao ni Wakristo na kusema kwamba kama wakifa walikuwa wanakwenda Mbinguni, hawakuchukuliwa kuwa ni Wakristo.

 

Hili lilikuwa ni swali la kumpima mtu ili kumjua kumbaini kama ni Mkristo wa kweli au kama alikuwa ni Mkristo wa uwongo na ingali bado inatumika kuwapima Wakristo wa kweli. Fundisho la roho au nasfi kuendelea kuishi na watu kwenda mbinguni na la watu kuchomwa motoni na kuishi humo milele sio la kimungu kabisa na ni la kufuru na wakati wote limekuwa likichukuliwa kuwa hivyo na Kanisa la kweli la Wakristo, Kanisa ambalo ndilo tuliloko sisi.

 

Mambo haya yameainishwa kwa kina kwenye majarida ya Nafsi Hai (Na. 92); Ufufuo wa Wafu (Na. 143); Milenia na Unyakuo (Na. 95) na Mji wa Mungu (Na. 180).  Mafundisho ya Kinostiki na historia yake yamechambuliwa piwa kwenye majarida ya Wanikolai (Na. 202) na Imani ya Ulaji wa Mbogamboga Tupu Kwenye Biblia (Na. 183). Utafaidi pia kujisomea majarida ya Wanefili (Na. 154) na Mchanganuo wa Ratiba ya Nyakati-Zama (Na.  272).

 

Tohara

Je, ni lazima kwa mtoto mchanga wa wazazi Wakristo abatizwe au sio lazima?

Jibu: Kitendo cha kutahiri huenda ni moja ya sharia ya zamani sana ya watu wote waliostaarabika. Kitendo hiki kinakutikana kwenye makabila yote na sehemu zote (kama linavyoeleea jarida la Utakaso na Tohara (Na. 251)). Tohara ina matokeo mazuri na ya manufaa hasa kwenye maeneo yenye hali ya joto ya jangwani ambako inasaidia kuzuia magonjwa. Mbali na hali hiyo, chimbuko la kitendo hiki linaonekana kuwa na uhusiano wa tofauti na dhana ya kuamini kuzaliwa tena na tena au inayoamini kuzaliwa tena na mara nyingi kwa kiumbe mmoja. Tangu siku za zamani sana za zamani, govi la mwanaume aliyetahiriwa liliwekwa kwenye maeneo ya umbali fulani na uliojulikana kutoka kwenye zakari za wanaume waliotahiriwa, ama kwenye mapango au kwenye miti pia. Tangu hapo tunaweza sasa kusema, inaonekana kwamba kitendo cha kutahiri kwa kweli kinatuama kwenye dhana ya kuzaliwa mara nyingi, tena na tena kwa mtu kwenye miili ya wazazi wa uzao mbalimbali. Hii inaonekana kuwa imechukuliwa zaidi kuwa ni kama ni dhana na imani iliyokuwepo kwenye makabila yote ya zamani. Ina jinsi maalumu ya kuyachukulia kuwa ni dhana ya uwongo kwenye dhambi ya asili au mwanzo wa dhambi, ikipodanganya kwamba, hutakufa hakika.

 

Inaonekana kuwa kwa kutoa agizo la kutahiri alipewa Ibrahimu kama ni laima kwa mtoto anapofikia siku ya nane (wakati mgando wa damu unapoanza kutokea), kwa kweli Mungu alikuwa anaingilia kati na kutoa maana halisi ya moja kwa moja ya kukomeshwa kwa matendo ya kipagani. Mungu alisema, “Mini ndimi mwamba au gumegume lako na ni asili ya ufufuo wako na mwendelezaji w uhai au uzima wako.” Hivyo ililazimu ifanyike siku ya nane na siyo wakati wa kubalehe, ikiondolewa kutoka kwenye uume wa mtu na kuuweka kwenye kiwango zawadi iliyotolewa bure na Mungu kama mshirika wa taifa la Israeli. Mungu alikuwa anapingana na uwongo wa mafundisho ya roho kuendelea kuishi na lile la mtu kuzaliwa tena na tena, ambayo ni mafundisho ya kipagani nay a kishetani ya imani za miungu Sin na Ishtar (kama yasemavyo majarida ya Ndama wa Dhahabu (Na. 222) na Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235)).

 

Kwenye kanisa la kwanza mjadala kuhusu tohara uliibuka na wale walioitwa wa mrengo wa Kihelleniki walikataa na kuupinga na waliokuwa kwenye mrengo wa Kiyahudi waliukubali na kupenda uendelezwe (Matendo 11:2; 15:1,5; 21:21). Mtume Paulo yeye mwenyewe alikuwa ametahiriwa na, kwa shinikizo la Wayahudi, alimtahiri Timotheo (Wafilipi 3:5; Matendo 16:3). Aliichukulia hii kama alama ya upendeleo wa Mungu kwa taifa (Warumi 3:1 ff.). Hata hivyo, kwa habari ya waongofu wa Mataifa, ilichukuliwa kuwa ni kama si kitu cha lazima (Matendo 15:19 ff.; sawa na Wagalatia 5:2-4). Paulo aliuchukulia uwepo au kutokuwepo kwa tohara hii ya mwili kama haikumaanisha kuwa ni agano kati ya mwanaume mtu mzima na Mungu (Warumi 3:30f.; 4:9ff.; 1Wakorintho 7:18f.; Wagalatia 5:6; 6:12f.; Wakolosai 3:11). Kwa imani Sheria iliwekwa na utakatifu unapatikana kwa njia ya imani. Kwa kuwa wao wenyewe waliotahiriwa hawaishiki sharia, bali wanajaribu kujitukuza kimwili kwa sisi tunaozishika sharia (Wagalatia 6:12ff.). kwa kuwa ni kwa tohara ya kweli pekee ni kiroho. Kwenye fundisho hili Paulo anamlazimisha tena Yeremia (Yeremia 4:4; 6:10; 9:26; sawa na Kumbukumbu la Torati 10:16; 30:6). Anaruhusu kuwa na kanuni za kuepukana nazo kwenye mazingira yake maalumu (Matendo 16:3, Wagalatia 2:1).

 

Dini za wasoamini Utatu waitwao Waariani walikubaliana na Waamini Utatu au Watrinitariani kwa suala hili. Waamini Utatu au Wakatoliki walitwaa madaraka muda mfupi tu baada ya hilo mwaka 590 na wakaianzisha iliyokuwa inaitwa Dola Takatifu ya Rumi. Eugene IV aliwapa rasmi maafisa wa Kanisa Katoliki la Roma usemi au meno kwenye Tangazo lake lijulikanalu kama Cantate Domino (tarehe 4 Februari 1441). Alidai kwamba ulazima na kanuni za Torati, hata hivyo ni sahihi kwa muda kitambo, kwamba zilitenguliwa kwa ujio wake Kristo na kwa sakramenti za Agano Jipya. Kwa hiyo, ubatizo ulikuja onekana kuwa ni kama umechukua mahala pa tohara.

 

Kwenye Kanisa la Kikoptiki, ubatizo haukuonekana kama umechukua mahali pa tohara. Wakati ubatizo wa watoto wachanga ulipoanzishwa, vijana walibatizwa wakiwa na umri wa siku 40 na wasichana wakiwa na umri wa siku 80. Utaratibu huu ulifanya taswira hasa hasa kwamba sharia ya utakaso na tohara ya wanaume ilibakia kwa ujumla (ERE, vol. 4, p. 119). Wakoptiki walikuwa ni sehemu ya Kanisa la Wakristo wa kwanza kabisa la Kaskazini mwa Afrika lilikuwa nchini Misri. Walijitenga na kile kinachoitwa kanisa la Kiorthodox yapata mwaka 451 kama matokeo ya mafundisho ya kuibuka kutoka mitaguso ya (mwaka 381) na Chalcedon (mwaka 451). Inaweza kabisa kufanyiwa hoja kutokana na ushahidi wa Wakoptiki, kwamba ubatizo haukuonekana kama ni mbadala wa tohara. Wakati Wakoptiki walipoanza kufanya ubatizo wa watoto wadogo uliotuama kwenye utofautishaji wa wanaume na wanawake, wanawake walikuwa bado wakikeketwa, ni kama ilivyokuwa ikifanyika katika Israeli ya kale. Kwa hiyo, wanaume na tohara yenyewe ilionekana kama ni mambo yaliyotofauti kwenye tofauti ya utakaso, uliofanya taswira ya tofauti ya kibiblia.

 

Tunaweza kuhitimisha kuhusu matendo au imani ya kanisa la kwanza la Kikoptiki wa kwanza, ambayo yalitendwa pia kwenye dini au madhehebu ya Wasabato huko Ulaya na Asia Ndogo, kwamba tohara ya watoto wadogo ilichukuliwa kuwa ni wa muhimu kama sehemu ya taifa la Israeli na Kanisa. Ni wanaume Wapagani tu ndio hawakulazimika kutahiriwa, wakati walipoingia Kanisani wakiwa watu wazima. Kwavile kitendo cha kutahiri mwili kilikuwa kinatoa njia ya kutimilika kwa ubatizo wa kiroho na tohara ya moyo, na kwa kuwa ubatizo wa watoto wadogo haukuwa ukifanyika kwenye kanisa la kwanza (sawa na lisemavyo jarida la Toba na Ubatizo (Na. 52)), ilifuatia kwamba tohara ya mwili ya siku ya nane kwa wamtoto wa kiume wanaozaliwa ilikuwa ni ishara ya taifa la Israeli kama Kanisa. Wakati Kanisani, Wamataifa walikuwa wanawatahiri watoto wao, kama alivyofanya kila mtu. Kitendo hiki kilikuwa ni cha jumla na hakisemwa dhidi ya urasmi kwenye imani ya Kikatoliki hadi kwenye karne ya kumi na tano. Tunaweza kupunguza kutoka kwenye uhusiano wa siku saba za utakaso na matendo ya tohara ya siku ya saba zinazohusiana na mpango wa wokovu. Siku ya saba ya utakaso ni taswira ya hatima ya utawala wa milenia na kutakaswa kwa dunia. Siku ya nane ni taswira ya ufufuo wa mwisho na kufanywa upya kwa wote wenye mwili hapa duniani, ikiwa kama sehemu ya taifa la Israeli na ambayo ndiyo Mji wa Mungu (sawa na isemavyo Ufunuo 21:1-3 na jarida la Mji wa Mungu (Na. 180)).

 

Imani ya Kibudha

Je, unafikiri nini kuhusu imani ya Kibudha? Je, imani hii ya Kibudha na Ukristo vinaweza kuwa na lengo moja? 

Jibu: Ubudha ni dini ambayo inamuono tofauti. Unapinga uwepo wa Mungu kwa kiwango kikubwa sana. Ni chimbuko la kile kinachojulikana kama usiku wa kshatryan Sidartha au Guatama katika karne ya sita KK aliyofundisha na kueleea mzunguko wa mara nyingi za mzunguko wa Aryan Hindus kama ni falsafa iliyokuwa imejikita kwa Wayunani iliyobuniwa kwa madhmuni hayohayo kuyaelezea na iliyofundishwa kwenye Dini za Wahyperborean wa Uingereza na Ulaya.

 

Ukristo ni imani inayomtegemea na kumwamini Mungu kabisa na haifundishi kuwa na kitu kingine chochote kabisa cha kukitumainia na wala kuwa na kitu kingine chochote cha bandia ili wakitumainie. Chimbuko la imani ya Kibudha limeelezewa kwa kina kwenye jarida la Imani za Kisirisiri Sura ya 7 Ubudha (Na. B7_7).

 

Je, unahabari zozote kuhusu Dalai Lama?

Jibu: Maisha na habari za Tenzin Gyatso, Dalai Lama wa 14 zinakutikana kwenye tovuti ya www.dalailama.com.

 

Dalai ni neno la Kimongolia ambalo maana yake ni "Bahari" na Lama ni neno la Kitibeti lenye maana ya "mwalimu wa Kiroho" na kwa hiyo wanaamini kwamba yeye ni Bahari ya Hekima. Kwa mujibu wa imani yao, wanaamini kuwa yeye ametokana ma mzunguko wa 14 la mzunguo wake wa kuzaliwa ki marudio rudio tangu Dalai Lama wa kwanza.

 

Kuna akina Lama wengi sana huko Tibeti walio kwenye madaraja mbalimbali ya vueo. Wamechaguliwa kama watoto kwa mujibu wa mafundisho yao ya kurudia kuzaliwa mara kwa mara na dhana ya kwamba watu wamerudia kuzaliwa mara kwa mara kwa mujibu wa sharia ya imani ya Dharma. Ni sawa na kama shubaka kubwa ya salio au deni/malipo au kikombozi ambacho kinawasumbua watu kwenye mtindo wa uwepo waliodai kustahili kwa sababu ya kile walichokifanya kwenye maisha yaliyopita.

 

Sioni talasimu zikitajwa kwenye Biblia, kwani sio muhimu kuzijua?

Jibu: Suala la talasimu kwenye matatizo halisi ya kimwili kwenye imani ya Budha na dini zilizopewa ushawishi nazo. Biblia haielezei kuhusu hizo kwa kuwa hazina umuhimu kwa wokovu wa mwanadamu.

 

Zinatumiwa kwa uwanja au nyanja fulani ya mzuto wa kielektroniki lakini hazina madhara kwa kushughulikia mpango wa wokovu na mwili wa Kristo.

 

Vipi kuhusu suala la uponyaji? Kuna vitabu vingi sana vinavyofundisha uponyaji unaotumia talasimu. 

Jibu: Suala la uonyaji ni la kiimani. Uponyaji unaouongelea ni wa taratibu za imani za Kihindu na Kibudha.

 

Utasitasita kwenye njia mbili hadi lini? Kama Yahova ni Mungu mfuate yeye lakini kama Baali ni Mungu, basi mfuate yeye.

 

Imani ya Kihindu

No kwa jinsi ipi imani ya Kihindu inaonekana kama ni ya kikumene?

Jibu: Imani ya Kihindu ni ya mfumo wa kujumuisha miungu mingi, ambayo ndiyo maana hasa ya ukumene kwa maana kwamba ina mkusanyiko wa jopo la miungu kwenye uwingi wake wa kiungu kama unavyodhaniwa au kuonekana kuwa inafaa kwenye imani yake yenyewe. Haiendani wala kuchukuliana na mifumo mingine inayokanganya na mijumuisho ya kidunia au kosmolojia.

 

Na ndiyo maana unazidisha uadui wa kuzichukia misheni za kuendeleza Ukristo. Imani hii ya Budha ilianzishwa huko India ikiwa ni matokeo ya tabaka la uhafidhina mgumu na imani au mfumo wa boma wa Kihindu. Uislamu uliingizwa huko na wapiganaji walioshinda na imani hii ilianzishwa kutokana na ukweli huo. Kitendo cha kuigawanya India na uadui kulikosababishwa na migogoro ya kidini kuliendelea hadi kukapelekea vita nyukilia. Haiwezi kuhesabiwa kati ya dini za “kikumene”.

 

Mwalimu wangu anasema kwamba Agano la Kale linaonyesha kuwa imani hii ilikuwepo tangu mwaka 600 KK, lakini hili ni wazo au dhana inayotokana na Rig Veda ambayo ni ya kale kidogo. Hitimisho, ni kwamba mwandishi wa Biblia aliifanya ituame kwenye imani za ‘kisirisiri au za kimizimu’ za hapo nyuma. Kama ningejua ni lini Gombo za Bahari ya Chumvi au Dead Sea Scrolls zilionyesha tarehe za nyuma ilivyoanza (alikuwa kwa kiasi kikubwa sana analinganisha na matukio ya kitabu cha Mwanzo) ndipo ningeweza kumwambia kuwa amekosea. Je, unajua?

Jibu: Anakaribia sana na imani ya Kihindu. Rig Veda ilituama kwenye hadithi potofu za Kimizimu za Kiaryani za Mwanzo wa uumbaji, ambazo zilichukuliwa na kuingizwa huko India yapata mwaka 1000 KK.

 

Mungu wa Utatu aliingizwa huko India mwaka 1700 KK kutoka Ashuru, na wakati huo huo aliingizwa nchini Israeli na mababa waliokuwa wakiishi Misri. Soma kwenye kitabu cha Wolperts, cha “Historia Mpya ya India (A New History of India).” Hesabu ya kitarehe ya Biblia ya mwaka 600 KK ni msukumo mkubwa sana. Soma kwenye jarida la Biblia (Na. 164). Litakupa tarehe zake na taratibu zake. Miungu ya Kihindu ina tabia zinazofanana na iliyoandikwa kwenye maandiko ya Kikaldayo/Kiebrania yaliyoonyesha namna walivyoabudu Mababa wa imani.

 

Mimi ni Muhindu na kwa sasa nasoma kwenye Shule ya Kihindu, hapa Bahrain. Nina maswali yafuatayo:

1) Umuhimu wa kusherehekea sikukuu za kdini za Kitaifa nikiwa nyumbani kwangu au mashuleni?

2) Je, unaweza kuniambia kuhusu sikukuu ya Kihindu ya Raksha Bandhan na nieleze kwa nini & inapaswa isherehekeweje ili kuwafanya watoto siyo waifurahie tu bali na waielewe maana yake pia?

Jibu: Milenia iliyopita wanaume waliacha kuzishika na kuzisherehekea sikukuu za Mungu na walianzisha aina nyingine za ibada. Utaratibuu huu ulianzishwa na Mungu ambao ulikuwa ni wa manufaa sana na watu walihitaji vipindi hivi kwa mapumziko na kujiweka sawa kiroho.

 

Waaryani walioshambulia India mwaka 1000 KK wakujanazo na jinsi ya kufundisha kuhusu uumbaji, mafundisho yaliyotuama kwenye ibada za Mashariki ya Kati na walianzisha huko imani au ibada za Sanskrit zilizotuama kwenye Usemitiki wa kale au lugha za Kikaldayo.

 

Michoro ya zamani kwenye desturi au tamaduni za kinasaba zikafanywa kuwa mungu kwa kupitia ibada za wazee na mababu zao. Sheba au Shiva akafanywa kuwa ni mungu wa Kihindu. Nuhu au Nu akafanywa Seri Nu yaani mungu wa fedha au wa utajirisho. Wanefili wakafanywa kuwa Raksasas.

 

Kutokana na mtazamo huu, dini potofu za kuwaabudu malaika au za mapepo, mapepo ya kike waliojulikana kama Rakshanis zilianzishwa. Ni kweli kulikuwa na mapepo wa kike na maroho wa miti. Kisha, na kama walivyokuwa batali, walikuwa na mapepo au maroho yenye ngozi kwenye yogini au miambani kwa imani ya Kianimism kama walivyokuwa banasati. Chungu ni pepo mwingine wa mti kutokana na makabila mengi ya zamani kwenye imani ya Waanimism wa Kihindu.

 

Sikukuu zilianzishwa na sheria za kidini za hawa waanimisti na zilichukua mahali pa sikukuu zilizowekwa na Mungu na alizopewa Nabi Nu au Nuhu wakati dunia ilipoishia kupita kwenye kipindi cha watu kuongezeka. Zilikuwa ni sikukuu za pili zilizotumika kumfanya mwanadamu apoteze sikukuu halisi na za kweli za Mungu zilizoachwa na Waaryani kabla hawajaishambulia India na kuanzisha Uhindu ukiwa kama taasisi tu na hatimaye kuwa imani kamili za kidini.

 

Sasa, kwenye sehemu ya pili ya swali lako.

 

Raksha Bandhan ni mila ya Kihindu inayoonyesha upendo na uhusiano mkuu ulioo kati ya ndugu wanaume na wanawake. Neno Raksha maana yake ni “Ulinzi,” (limechukuliwa kwenye dhana ya ulinzi dhidi ya mapepo waliotajwa hapo juu) na Bandhan maana yake ni "kifungo". Inasherehekewa mnamo 'Shravan sud Poornima' kila mwaka kwa mujibu wa kalenda ya Kihindu. Katika siku hii, wadada huwafunga kaka zao 'Rakhi' viunoni mwao na kuwaomba kaka zao wawalinde yanapotokea maafa. Inaaminika kwamba wakati Indra alipokuwa anakwenda kupigana vita fulani, Indrani alimfunga uzi mkononi mwake ili kumlinda na alifanikiwa na ndipo desturi hii ilipoanza. Inaaminika sana kuwa, maadhimisho haya ya Raksha Bandhan ni mahali panapoweka taswira kifungo au makubaliano ya masaidiano haya kati ya kina kaka na kina dada.

 

Chimbuko la Raksasas limeelezewa kwa kina kwenye jarida la Wanefili (Na. 154). Kwa ajili ya kalenda asilia ya Waaryani soma jarida la Kalenda ya Mungu (Na. 156).

 

Imani ya Ushamanism

Unaielezeaje imani ya Kishamani? Sidhani kwamba tuna mengi tuliyoyapoteza, bali tunapotoshwa tu na watenda Matendo ya Washamani. Ni kitu gani kinachomfanya mtu kuwa ni mtu aliyejitoa kabisa kwenye imani hii ya Kishaman kwa kweli?

Jibu: Neno Shaman linatokana na neno la Kirusi lililotuama kwenye lugha ya Tungusian la saman. Chimbuko lake kabisa hapo mwanzoni na walivyokuwa, walikuwa ni makuhani au makuhani matabibu wa makabila ya kaskazini mwa Asia. Hapo mwanzoni sana walikuwa ni wa kianimisti na walitokea kwenye imani za kisirisiri za Mashariki ya Kati na pembeni mwa nchi ya Urusi. Walianzisha misingi ya kidini ya watu wa jamii ya Wauraliki/Altaiki, ambayo ilienea pande zote za kaskazini mwa Siberia na Ulaya.

 

Makundi yaliyokuwa mahiri kwa kuongea lugha nyingi ambayo yaliyoanzisha mfumo asilia yaliunganisha vikundi vya Waaltaiki wa Kiuraliki kikiwemo kile cha Kiugriki wa Kifino, Kihungarian/Magyar, Vogul na Manshi, Manchu/ Tungus, Manchurian, Mongol, Wakorea wa Zamani na Wajapani. Vikundi hivi vilienea hadi Amerika Kaskazini pamoja na Wahindi wa Marekani. Waliunda misingi ya ushawishi wa kianimistiki kwenye Ubudha wa Kimahayana.

 

Mfumo wa imani ya Kishamani imeelezewa vizuri sana kwenye kitabu cha Mirceau Eliade's cha Ushamanism. Msingi wa imani yao ni kwamba mzuri yote na mabaya yanayojitokeza kwenye maisha yanaletwa na maroho au mizimu, ambao wanaweza kushawishiwa tu na Washamani. Hii inafanyika na Wahindi waishio Kaskazini Magharibi mwa Amerika na watu matabibu ambao walikuwa ni Washaman sambamba na maeneo mengine ya Asia. Neno Kushamanaizi maana yake ikikoma kabisa ni kufanya kitendo hiki cha kuzaliwa mara kwa mara na kwa namna mbalimbali cha washamani na linatafsiriwa kuwa ni kukubaliana na imani ya Kishamani (Oxford Universal Dictionary).

 

Wachina waliwakubali lakini waliwachukulia kama unabii unaotakiwa mtu afafanuliwe kwa lugha ya Shen. Walionekana kama waongo. Lugha ya Shen inashabihina na neno la Kikaldayo na ambalo ni la Kiarabu la Djinn na ambalo linamaana ya maroho au pepo.

 

Hii imewekwa kwenye sehemu ya Maadhimisho ya mwezi August kwenye kitabu cha: Sikukuu Mahsusi za Wachina ambazo kwamba kilele chake kinasemekana kuwa ni siku ya 7 ya mwezi mwandamo, roho za waufu zinatolewa kutoka toharani au purgatory na kutembelea hapa Duniani. Nagundua kwamba mwezi wa August kwa hakika unaangukia katika mwezi wa 5 wa mwezi mwandamo lakini kamati ijulikanayo kama Kamati ya Utenganisho wa Desturi (Cultural Diversity Committee) liliiweka mwezi wa August kwa sababu zake fulani.  

Jibu: Hii inaonekana kuwa hasa ni kama ushawishi wa desturi za Majesuit tangu wakati wa ushawishi wa Ukatoliki wa Warumi wazamani. Kwa hakika isingeweza kuingia kutoka kwenye Hue Hue ya Kiislamu au kwa Wasabato, imani zilizowatangulia kabla yao.

 

Sikukuu unazozieleza wewe zinatokana na dini potofu inayowaabudu waliokufa zamani. Sadaka inayotolewa kwa wafu hawa inafanyika makaburini majira ya baridi na ya kipupwe na inafanywa kwenye “Meza ya wagonjwa” kwenye kipindi cha majira ya sikukuu.

 

Hii ilikuwa inafanyika siku ya kwanza, ya tatu nay a kumi na tano ya mwezi mwandamo wa Kwanza, Sikukuu iliyojulikana kama “Nuru Kuu au Mbalamwezi Ing’aayo” (ni kama Aprili 6 hivi); siku ya Tano ya mwezi wa Tano, siku ya kumi na tano ya mwezi mwandamo wa Saba, siku ya kumi na tano ya mwezi mwandamo wa Nane; siku ya kwanza ya mwezi mwandamo wa Kumi; siku ya mwisho ya mwaka; na kwenye matukio maalumu kama vile ya ndoa (ERE, vol. 3, p. 731).

 

Katika siku ya kumi na tano ya mwezi mwandamo wa Saba sikukuu maalumu ilikuwa inafanyika kwa “mizimu yenye njaa” ambayo haina ndugu waliowatolea sadaka. Sadaka za kimapokeo au za desturi zilitolewa wakipewa zikitolewa na watu kwa ujumla na sio kwa wote wanaotoa kwa moyo wa kujitoa na wa hiyari. Sadaka hizi zilikuwa na mtu aliyelala chini anayewasihi mizimu “yatima” hawa ili wasiwadhuru walio hai kwa kuwaumiza.

 

Dhana ya kuwepo kwa toharani au purgatory ni mojawapo ya zime zilizoingizwa kwenye ushawishi wa Wakatoliki wa Roma kama zilivyokuwa kwenye imani hizi potofu, kazi iliyofanywa na Majesuit. Kama kanuni ya jumla, Wachina waliopendezwanayo wakishawishiwa na Mkanganyiko, walipinga utoaji kafara wa kuwatolea marehemu hawa na mwakilishi wao mkuu aliyeitwa Chucius wa karne ya 12 alionea mashaka uwepo huu wa mizimu na imani yake yote. Hawa Hue na Washika Sabato waliamini kuwa kuna ufufuo wa wafu na walikataa imani hii ya kuwepo kwa mizimu.

 

Huenda ushawishi huu unatokea kwenye imani ya zamani ya Kishamani kuwa una washamani wachache wa Kijapani wanaouadhimisha mwezi wa wafu. Huenda yaweza kuwa kwamba ilishurutishwa baada ya ujio wa Majesuit wajanja na watafuta fursa na ndipo imani hii ya kuwepo kwa toharani au purgatory inaonekana kwenye maandiko ya kumbukumbu ambayo unayataja.

 

Freemasoni

Je, kwani Freemasoni ni dini au ni klabu ya siri (ya kijamii) tu ya vijana?

Jibu: Freemasoni ni dini. Kuna matawi au madaraja mawili ya dini hi: daraja au tabaka au mrengo au tabaka la York au wa Kimarekani na la mrengo au tabaka la Uskochi. Kundi lililoko Ulaya halina uhusiano wowote na lile la mrengo wa wanaotumia lugha ya Kiingereza. Kuna ngazi au vyeo thelathini na tatu na wameenea kwenye maeneo kadhaa mbalimbali.

 

Kuna mirengo au tabaka mbili, Mrengo au Tabaka Mwekundu na Mrengo au Tabaka la Bluu au Samawi. Tabaka au Mrengo wa Bluu ndiyo unaojulikana au wa kawaida na unajiri na mabo ya kimahusiano na watu wengi hawaingii wala kujiunga kabisa kwenye Tabaka au Mrengo Mwekundu. Tabaka au Mrengo Mwekundu ni tabaka au daraja la cheo linaloshughulika na mambo ya siri na kadiri unapopanda madaraja au kupewa vyeo vya juu zaidi ndipo unapozidi kupewa siri kubwa zaidi ya walo chini yako. Ni dini inayowajumuisha watu wa tabaka la juu la maisha kwenye jamii. Kuna vitabu vingi sana vilivyoandikwa kuhusu dini hii.

 

Imani ya Mithrasism

Nimekuwa nikisoma hivi karibuni kuhusu Siri za Kikosmiki za Mithras (Cosmic Mysteries of Mithras) na pia kuhusu imani chache nyingine za kidini. Nakuta kwamba inaonekana kuwa mfanano kwenye dini ambazo zina namna ya kufanana. Unaweza kuniambia kwa nini baadhi ya mambo haya yanafanana sana kwenye dini na madhehebu mengi?

Jibu: Wana chimbuko lao la kiimani la dini za waabudu jua. Imani ya Kimithrai ilikuwa na mtindo wa kipekee wa kuamini miungu ya kiume na makuhani wake ukilinganisha na dini nyingine zote potofu za waabudu jua kama sol invictus Mithra. Aina yake ya wazi au ya hadhara ilikuwa ni sol invictus Elagabal. Wanawake walipewata fursa kwenye dini zenye tabia ya dini za Kisirisiri za Isis na pia za Attis na Adonis. Nyingi ya hizi zilihusiana na dini za mchanganyiko wa Waashuru na Wababeloni, ambazo pia zilienea kwa kupitia upagani kama ushamanism.

 

Na ndiyo maana imani ya Ukristo Mkongwe wanaabudu Mungu wa Utatu pamoja na sikukuu zao zote zimetokana na dini hizi au kwa maneno mengine ni kwamba wameziazima au kuzitohoa kutoka kwenye upagani na zingali bado zikifanana na maadhimisho au sikukuu za kipagani. Zote zomechukuliwa kutoka kwenye imani hizihizi za Kibabeloni. Soma kwenye majarida ya Fundisho la Chanzo cha Dhambi Sehemu ya I Bustani ya Edeni (Na. 246) na Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235).

 

Waadventista Wasabato

Nimesikia kwamba Ellen G. White alitoa unabii wa uwongo na nilishangaa kama hivi ni kweli na ndivyo ilivyo na ni nabii zipi hizo? Sababu inayonifanya niulize ni kwamba nina marafiki zangu wengi niwapendao walio kwenye Kanisa hili la Waadventista Wasabato. Nimeshiriki ibada zao hapo kabla na ingawa sikubaliani na mafundisho yao bali sijakutana bado na kitu kinachonishawishi nikubali kuwa imani hii ni potofu nay a uwongo. Pia unasemaje kuhusu imani yao kwamba Malaika Mkuu Mikaeli ni Yesu jambo ambalo nimelisikia nilipotembelea mara moja ibadani kwao lakini sio kitu pekee wanachokiamini. Pia ninazijua nabii nyingi za uwongo zinazifundishwa na jinsi walivyoanza kuwa walianza kama vuguvugu lililoamini kuw kipindi cha Milenia kingeanza katikati ya miaka ya 1800, bali hiki sicho nnachokikusudia kukiongelea. 

Jibu: Mafundisho ya Kanisa la Waadventista Wasabato hadi mwaka 1978 yalikuwa kwamba Kristo alikuwa ndiye yule Malaika Mkuu ambaye Agano la Kale linamtaja kuwa ni Mikaeli. Soma kwenye majarida ya Malaika wa YHVH (Na. 24) na Uwepo wa Yesu Kristo Kipindi cha Kabla ya Kuzaliwa Kwake Rasmi Duniani (Na. 243).

 

Wengi wao bado wanaamini kuwa Kristo ndiye huyo Mikaeli. Walipuuzwa na kupingwa na Waamini Utatu au Watrinitarian wa imani Katoliki ya Roma pamoja na familia zao zilizokuwa kanisani. Waliwafundisha imani ya kweli na wakaielewa imani ya kweli pamoja na asili na tabia ya Mungu. Sasa, kuna mamilioni kati yao wenye mawazo ya kama waamini Utatu. Ni kweli kabisa kwamba Ellen G White alikuwa ni nabii-mke wa uwongo. Alifundisha mafundisho ya uwongo kwa kiasi kikubwa sana kuhusu kipindi cha milenia kwa kuwa alikuwa anajaribu kuinguza mafundisho ya ulaji wa mbogamboga tupu maarufu kama uvijitariani w ukosmoloji wa nyakati za mwisho na alishinda na Maandiko Matakatifu mengi ambayo aliyapuuzia kuyalinganisha na mafundisho yake alikuwa akiyatunga.

 

Makosa au upotoshaji wake wa kimafundisho pamoja na upotoshaji wake wa kitafsiri vimeainishwa kwenye majarida ya Milenia na Unyakuo (Na. 95) na pia lile la Uvijitariani na Biblia (Na. 183) na pia la Mvinyo Kwenye Biblia (Na. 188).

 

Imani ya Kiashuru-Kibabeloni

Kwa kulijibu swali lihusulo ndama uliyemuongelea mwezi mpevu unaoandama na ‘kidole cha Ashirat.’ Je, hiki kidole gumba cha waabudu mwezi wakati mwezi ulipokuwa ukififia kama inavyoonekana mawinguni unapoandama au ni yapi matumizi yake? Mwezi mchanga ulio kwenye bendera na ni alama kuu na inayojulikana kila mahali leo. Ina maana gani na kwa nini iko hivyo?

Jibu: Kidole cha Ashirat ni sehemu tu ya imani ya zama kale ya mchanganyiko wa Waashuru na Wababeloni ya ibada na mkururu wa nyakati. Imani hii iliingia Misri kwenye dini za Siri za Osiris, Isis na Horus ambazo zinashabihiana na dini ya Baali-Easter. Inatajwa kama mwezi mchanga, na huu mwezi mchanga ulionekana kuwa ni alama mungu-mke, Ashirat au Istar. Ilikuwa kama kidole, mwezi huu mchanga ukiwa ni kucha ya kidole, ikicukuliwa kama watumishi wa Easter au Ashirat kwenye ibada. Ilitumika hasa kama ndiyo inayolinganishwa kwenye upangaji wa tarehe kwa kuweka kikomo au mwisho wake na kuadibisha, kama tutakavyoweza kuona kutokana na tahswira ya kidole cha Ashirat.

 

Ni ushahidi tosha na wenye maana sana pia kwa mwezi mchanga, kama ulivyotumika huko Mashariki ya Kati na kwenye utaratibu wa kutazamia kuuona mwezi waliokuwanao Wayahudi, ambao wapagani waliuchukua kwenye taratibu za imani zao baada ya kuangushwa kwa Hekalu. Soma sasa kwenye nukuu. Kwa mujibu wa kitabu cha The Crescent and the Bull (Mwezi Mchanga na Fahali la Ng’ome) kilichoandikwa na Erich Zehren, ukurasa wa 190. Kinatuambia kuwa Ta’annek haikuwa ya kidunia mnamo mwaka 1901 kwa maelekezo ya Ernst Sellin. Maelezo fulani ya kwenye maandiko ya kale yanasema haikuwepo duniani, pamoja na nyaraka aliyoandikiwa Mfalme wa Taanak, Ishtarjashar mmoja.

 

Kifungu kimoja kutoka kwenye waraka wa Jemadari wa Kimisri kinasema:

“Ninyo nyote mnasikiliza niandikieni kutoka huko, ili niweze kuelewa jambo hili. Kama kidole cha Ashirat kinajionyesha kwa kujilenga chenyewe, ningependa nifanye haraka kukitii. Na ndipo mnipe ripoti mimi kuhusu ishara na mabo yote yaliyopo.”

 

“Ashirat ANAONYESHAJE kidole chake? Ashirat anafanana sana na kina Ishtar na Inanna Kidole chake lilionekana tu kwa ndani mawinguni, ambapo ‘kidole’ kinaweza kuchukuliwa kuwa kinaonekana kwa umbo la mwezi mchanga unavyoonekana unapikuwa mwishoni mwa mwezi. Barua ya jemadari wa Kimisri, inasema vyema, inaonyesha siku. Wakati mwezi mchanga unapoikaribia sayari ya Venus ataitarajia ripoti.” “mawasiliano haya, ndipo, ni ombi kamilifu la kawaida kimatendo kwa wakati fulani.”

 

“waraka huu unatoka katikati ya milenia ya pili KK, kuhusu njipanda kati ya Ibrahimu na Musa”, ukurasa wa 191. Kutokana nah ii tunaona kwamba karibu ulimwengu wote umefungashwa kwenye imani za kisirisiri za Wababeloni kwenye imani zao hadi leo.

 

Je, unajua ni wapi wazo la Mama Bata na yai la dhahabu inakotokea? Je, hizi ni hadithi za kuwahadithia watoto zisizo na madhara au zina maana yake fulani? 

Jibu: Uhusishwaji wa Bata na imani ya nasfi hai kuendelea kuishi na imani ya Mungu-Mke inatoka kwenye dini za zama kale za Kimisri. Farao au mfalme hakuwa huru kufanya mambo yake kama tunavyodhania kuwa ndivyo walivyo wafalme. Kila jambo la siku zao ilipangiliwa na kuamriwa na hata masaa wanayotakiwa kufanya ngozo na wanawake pia walipangiwa. Niposa walipangiwa pia kula nyama ya ndama na bata (kwa mujibu wa kitabu cha Frazer, cha The Golden Bough, iii, 13).

 

Wakati Farao alipokufa basi hawa bata walitolewa kafara. Kila Farao alichukuliwa kuwa ni Osiris kama walivyokuwa watu wa kawaida kwenye dini ya wafu na mtu aliyekuwa amekufa aliitwa Osiris na kadhalika wa kadhalika. Mungu-Mke Nut alikuwa mama wa Osiris. Kwa hiyo uhusiano ulifanyika. Mungu-mke Isis na Nephthys walikuwepo kama walivyokuwako kina Anubis na Horus na miungu wengine maarufu wa Kimisri waliokusanyika wakiizunguka maiti. Waombolezaji wawili wanawake walikuwepo hapo kuiwakilisha miungu hii ya kike.

 

Frazer anasema kuwa hawa bata walichinjwa kwenye matanga au maombolezo haya (maombi waliyokuwa wakiombewa yamewekwa kwenye vi, 15). Osiris alikuwa ni mungu wa ufufuo kwa namna hiyohiyo ndivyo alivyokuwa Attis pia akijumuishwa na hiyo kwa upande wa Magharibi na Adonis kwa upande wa Mashariki. Mungu huyu mfu wa kilimo cha mboga au mchicha kwa kiasi fulani alihusishwa na matendo haya pamoja na siku ya Matawi kwenye kingo za Siku ya Matawi na kubeba lundo lililofungwa la Matawi huko Ulaya. Matawi yaliyochomwa kuwa matawi au Mabua yalitumiwa ili kuwawezesha au kuwafanya bata wazae mayai mengi ikiwa kama ishara ya rutuba (ibid viii, 326).

 

Tofauti ya jambo hili kwa hiyo imechukuliwa kwa miaka sasa hadi kupelekea kujitokeza kwa mungu-mke Mama na ishara ya digidigi/goose. Nguruwe alikuwa mtakatifu pia kwa Apollo na ana ukanunishaji sawa tu huko Ulaya akiwa ni familia ile ile ya bata bukini.

 

Kwa hiyo tunarudi kwenye dini za urutubisho na imani ya Easter (soma jarida la Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235)). Pia kuna hadithi ya mahusiano inayofanana na nakushauri usome jarida la Wanikolai (Na. 202)).

 

Je, kuna umuhimu gani wa Orodha ya Kafara za Waashuru?

Jibu: Kwenye elimu ya Kiashuru, hii ni orodha ambapo kazi au matendo au utendaji kazi wa Waashuru waliipa jina kwa mwaka maalumu wa ofisi. Kwa hiyo, orodha ya majina ni sawa na orodha tarehe zilizohesabiwa kutoka kwao.

 

Wakati tunaposoma habari za Gideoni kwenye Waamuzi 7 na 8 yaonekana kuwa Orebu na Zeebu kuwa ni wawakilishi wa makerubi 2 walioasi? Je, kuna maana yoyote kuhusu majina yao yanayotupa sisi dalili au ishara ya nani au kile wanachopaswa kukiwakilisha?

Jibu: Orebu (kwa mujibu wa kamusi ya SHD 6157) inayotamkwa “'arobu” limetikana na shina la neno lenye maana ya mbu na hivyo kata kwa “nguruwe” na hivyo linatumika kwa wadudu mbalimbali warukao kama mainzi au nguruwe. Kwa hiyo, mfalme wa Orebu anaweza kuchukuliwa kama ni Bwana wa Mainzi, ambaye alikuwa pia ni mungu wa Ekroni.

 

Je, kuna uhusiano wowote ule kati ya dini na Mardi Gras? Inaonekana kuwa kuna uhusiano ninaposikia maadhimisho wa siku hizi, kama zilivyo pia nyinginezo za Jumanne Nene. Matamasha kwa ujumla, yanaonekana kuwa na uhusiano na maadhimisho ya kidini. Ifikspo Januari, kuna maadhimisho mengine yanayoitwa Tamasha la majira ya Baridi, na kisha kuna Gwaride maarufu kuliko yote la kuadhimisha Easter.

Jibu: Ndiyo. Kuna uhusiano kati ya maadhimisho ya Mardi Gras na dini. Ni tamasha la zamani linalohusiana na siku ya Matawi. Jumanne ya Wanene inatokana na maadhimisho ya zamani ya Jumanne ya Matawi. Mwanzoni kabisa, Jumatano ya Matawi haikuwa na maana nyingine zaidi ya Tamasha au Sikukuu au Maadhimisho ya Kwaresma. Yalikuwa ni maombolezo ya kuyaombolezea matawi, ambayo yalikuwa yameunguzwa na majivu yaliyobakia yaliyawakilisha Matawi yaliyounguzwa.

 

Jina la Jumatano ya Majivu ni caput jejunii. Kuna tofauti ya kiliturjia kati ya caput jejunii na "initium quadragesimae" jina la Jumapili ya kwanza ya Kwaresma.

 

Mwanzoni kabisa, wakati imani ya Easter ilipoanzishwa, sikukuu au maadhimisho ya mungu anayekufa yalianza kwa mfungo wa saumu ya siku 36 kwenye Jumatatu ya baada ya Jumapili ya kwanza ya maombolezo ya Kwaresma (kitabu cha ERE, kuhusu ‘Lundo la Matawi, Jumanne ya Matawi’, xi, 477). Baada ya kipindi cha Papa Gregory I aliyeitwa kama Mkuu, na kuanzishwa kwa Dola Takatifu ya Rumi, ndipo Jumatano ilianzishwa na ikafanyika kuwa ni moja ya siku nne zilizotengwa maalumu zilizotengwa kwa ajili ya kufunga saumu ambazo ziliitwa "caput jejunii." Juma la kipindi hiki linahusiana na Tamasha au maadhimisho ya Mardi Gras. Imani hii ya kuadhimieha siku ya matawi ilihusiana na ingali bado ikihusiana na juma hili la Tamasha na neno "Carniprivium" limetolewa kuwa ni Jumapili ya Kwadresma au Quinquagesima.

 

Mila zilizokuwa zinafanywa huko Uskochi inaonyesha uhusiano uliopo na “mila au desturi za Wabacchanalian za ufungaji au Matawi yaliyofungwa na maadhimisho ya Saturnalia iliyopelekea kuibuka kwa sikukuu ya Krismas" (ERE, p.478). mwanzoni kabisa, Jumatano ya Majivu ilikuwa ni maombolezo yaliyokuwa yanaandaliwa kumlilia mungu anayekufa na kifo cha matawi kwenye tamasha.

 

Frazer ana maelezo mengi na fasaha mno kuhusiana na mila na desturi zao kwenye kitabu chake cha The Golden Bough (Jipu la Dhahabu) ukurasa wa iv. 220-221, na 226ff. Ipo au ilikuwepo hadi karne hii ikiendelea hadi sasa huko Ulaya. Mwanzoni haikuwa desturi wala maadhimisho ya Wakristo kabisa na chimbuko lake linatokana na desturi za kipagani ambazo ziliigwa na kuchukuliwa na kuingizwa kama zilivyo pamoja na sikukuu ya Easter kwenye karne ya pili na ambayo haikuwa na uwiano au inaendana kikamilifu kabisa hadi mwanzoni mwa karne ya saba na Gregory.

 

Jumatano ya Majivu haihusiani kabisa na mafundisho na imani ya Biblia. Mwanzoni ilikuwa ni kumbukumbu ya kukikumbuka kifo cha matawi ya Bacchanalian. Kwa hiyo, Tamasha hili lilifanyika siku ya Mwisho ya maadhimisho ya Matawi na Jumanne ya Wanene ni siku ya mwisho kabla ya kuunguzwa kwenye Jumatano ya Majivu, ambayo haina maana kwa Wakristo au haina maana yoyote kwao.

 

Sikukuu au maadhimisho yote haya yana chimbuko lake au vyanzo vyake kwenye dini za Kisirisiri na zinawaingiza watu kwenye imani na maadhimisho ya Easter ya Baali-Easter. Utajionea au kujisomea kwenye majarida ya Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235) na lingine la Ndama wa Dhahabu (Na. 222).

 

Kwenye sherehe za kuadhimisha siku ya kualiwa kwa watoto na hata kwa naadhi ya watu wazima kama vile sherehe za kuonyesha, pinata zinaonekana kutumika zaidi na zaidi kuongezeka kwa burudani. Neno hili halionekani kwenye kamusi yangu. Je, unajua chimbuko la mchezo huu?

Jibu: Mwanzoni kabisa Pinata ilitengenezwa kwa umbo la nguva ingawaje kwa sasa haitengenezi kila mara kwa umbo hili la nguva. Wakati mwingine inatengenezwa kwa umbo la nyota yenye ncha sita. Nyota hii ya mungu imechukuliwa na kuingizwa kuoka kwenye chanzo kile kile kimoja kama ilivyo kwa nguva. Nguva ni ishara ya mungu-mke Deceto au Ceto au Kato ambaye ni Atargatis anayehusiana na Wafilisti na dini potofu ya Dagoni pamoja na ile ya Baali-Easter.

 

Samaki alikuwa ni mtakatifu kwa Atargtis au Derceto kama alivyokuwa njiwa. Kitendo cha kuyachukua maji na kuyapeleka Hekaluni kutoka kwenye mabwawa yake kilichukuliwa au kuigwa kutoka kwenye dini hii potofu na hata imani ya kuita maji matakatifu ilichukuliwa au kuihwa kutoka kwenye imani potofu ya mungu Baali-Easter. Huu ulikuwa pia ni mwanzo au chimbuko la imani ya kutokula nyama na kumla samaki peke yake siku ya Ijumaa kuu iliyokuwa inaaminika kuwa ni siku ya kifo cha mungu huyu aliyejulikana kama Attis au Adonis au Osiris kutegemea eneo wanalomuombolezea wanavyomuita au kutegemea lugha iliyokuwa inatumika kwenye maeneo hayo.

 

Nguva huyu alikuwa anapigwa kwa fimbo ili kumvunja pinata au mfuko wa mbegu, aliokuwanao ili kwamba mbegu hizo zimwagwe na kumiminikia ardhini na ili iweze kuzaana. Na ndiyo maana pinata ina vitu vitamu kama peremende ndani yake vinavyowakilisha mbegu.

 

Katika siku za zamani waliweka ngozi ya mwanadamu na kuzipiganayo. Mara nyingi ibada hizi zilifanyika sambamba na utoaji wa kafara za wanadamu. Maungamo ya Wabacchanalian yameigwa na kuingizwa kutoka kwenye kitendo hiki kama ilivyoigwa na kingizwa Jumatano ya Majivu ambayo chanzo chake hakihusiani kabisa na kipindi cha Maombolezo kiitwacho sasa Kwaresma bali zaidi tu kilikuwa kinamaana ya uchomaji wa Matawi ya Mtende kwenye juma linalotangulia na iliyofia kwenye Jumanne ya Matawi. Ubebaji wa lundo la Matawi yaliyofungwa yalipigwa pia huko Ulaya siku hii.

 

Maelezo kuhusiana na matendo haya yanapatikana kwenye majarida ya Chimbuko la Krismas na Easter (Na. 235); Pinata (Na. 276); Daudi na Goliathi (Na. 126).

 

Niliokutananao hivi karibuni ndio walionisimulia habari za “dini”. Inaitwa Tantra. Nilikwenda na kuisoma kwenye tovuti. Nilichokipata kutokana na kumchukua mtu huyu na kuperuzi kwenye tovuti yenyewe, ni kwamba hii ni imani inayotafuta kuunganisha au kuhusianisha kati ya mambo ya kiroho kwenye mahusiano ya kingono na shauku au tama ya mwili. Naamini kuwa wanafundisha kwamba mtu anaweza kupata utoshelezi kamili kwenye hii…maana yake ni matendo ya uzinifu au kwenye ngono ma kwenye matendo ya kiroho. Lakini kwani hii inaingana kabisa na kile Mungu anachotuambia sisi? 

Jibu: Ndiyo. Yoga wa Kitantriki inafuata mstari huu wa kutafakari. Sio imani ngeni. Uhusiano wa kingono umekuwa ndiyo msingi wa ibada za dini potofu za waabudu jua na imani za kisirisiri kwa kipindi cha milenia sasa. Inafungamanisha imani zote za Baali-Easter kama ilivuo kwenye upotoshaji wa amri ya tano na mfumo au muundo wa kifamilia.

 

Soma kwenye majarida ya Torati na Amri ya Tano (Na. 258) na la Torati na Amri ya Saba (Na. 260) na Mkururu wa majarida ya Sheria au Torati kwa ujumla: soma jarida la Torati au Sheria ya Mungu (Na. L1).

 

Imani ya Kizoroastriani

Nimependezwa na kujua jinsi na mahali ninaweza kukuta kiwakilishi (sanamu au michoro) ya mzimu wa Kizoroastrian wa aitwaye Ahriman (kama upo mahala fulani popote).

Jibu: Mdiyo, hii siyo katizo rahisi. Kuna machimbo yanayoaminika ya zamani sana ya Ahriman yenye nyayo ilizokanyaga miguu ya Ahura Mazda au Ohrmazd. Yapo kwenye “Bonde la Irani la Wafalme” Naqsh-i Rustam.

 

Ni uwakilisho wa Mfalme Ardashir I (miaka ya 224-241 BK) ikiwa bado ipo pamoja na pete ya heshima ya kifalme ya Ohrmazd. Kwenye mihuri ya zamani sana ya Achaemenid, Mungu hakuwa ameonyeshwa kabisa kwa umbo la mwanadamu na uwakilishi nguvu za duniani ulionyeshwa kama nguvu na hivyo ulionyeshwa kwa alama au nembo. Kuna picha ya Ardashir iliyotolewa kwenye kitabu cha Elimu ya Mizimu Ilivyoelezewa Kwenye Kitabu cha Ufafanuzi wa Maneno (Mythology An Illustrated Encyclopaedia, Black Cat, on p. 43).

 

Kuonekana kwake kwa mwisho alionao Ahriman anaonekana kwenye umbo la kibinadamu akiwa na kichwa cha nyoka. Kunaweza kuwa na uchimbaji wa hivi karibuni kuhusu Ardashir na imetolewa huko Iran na hivyo Oxford na Cambridge vinaweza kuwa na picha bora zaidi hadi leo za muonekano wake au michoro siku za mwishoni za Ahriman na Ahura Mazda.

 

Mafundisho ya Kisirisiri ya Kikristo

Unasemaje kuhusu mafundisyo ya Kipreterist yanayoonekana kuwa yanatokea kwa nguvu za marehemu? Sipendi kulishawishi jibu lako, ila naziona fikra hizi za kwamba Kristo alikwisharudi mwaka 70 AD kama ni ya uzushi wa wapenda maono ambazo hazina msingi wowote wa Maandiko Matakatifu. Ni upi mtazano wako? 

Jibu: Nadhani unachomaanisha hapa ni fikra au mawazo ya wa Wapreterist wanaosema kuwa Kristo alikwisha rudi tayari, au yupo na anatenda kazi hapa duniani, wanajenga hoja yao kwamba alikwisha rudi mwaka 70 BK ni ya kipuuzi kabisa. Mashahidi wa Yehova wanapnekana kuwa na walilitilia chumvi zaidi wazo hili pia mnamo mwaka 1914.

 

Kinachosumbua zaidi kuliko vyote ni fikra ya kwamba Kristo ndiye anayeliongoza au kulitawala Kanisa Katoliki la Roma, na kwamba amekuwepo tangu lilipoanzishwa. Hii inachukuliwa kuwa ni kipidi cha milenia kilichoandikwa kwenye Ufunuo 20, ingawaje limedumu kwa kipindi cha hata zaidi ya hapo. Kama kile kililojukana kama Dola Takatifu la Rumi iliyodumu kwenye miaka ya 590-1850 (au kwa miaka 1260) lilikuwa ni Utawala wa Mungu hapa duniani, basi ingekuwa vi vyema kuchagua kufa.

 

Kristo anasema kuwa kama wakiwaambia kuwa wao ni Masihi, au wakiwaambia kuwa yuko hapa au yupo kule msiwasadiki (Marko 13:21). Tutamuona wote akishuka kutoka mawinguni kwa nguvu na utukufu na sote tutakusanyika pamoja (Marko 13:26-27). Wakati atakaporudi hapa tutaiona dunia hii ikiongozwa kwa kipindi cha miaka elfu kwa maongozi ya Torati ya Mungu, na watu watakwenda kujifunza utii kwa ukamilifu wake sawa na ilivyo kwenye Kumbukumbu la Torati 28 (soma jarida la Baraka na Laana (Na. 75)  Milenia na Unyakuo (Na. 95)).

 

Kwenye vitabu kama vile vya Damu Takatifu na Kikombe Kitakatifu na pia cha mstari wa Damu wa Kikombe Kitakatifu mambo au pointi za muhimu na za kupendeza zinazoibuka zinahusiana na kwenye Agano Jipya na kwenye dini kama ilivyo kwa ujumla. Je, unaweza kunifafanulia ni kwa nini mjina yake ya jumla fikra zao na mawazo yao yalivyo ya uwongo na kwamba bado unaamini kwamba toleo lako la historia ya kidini ni sahihi?

Jibu: Ni kwa nini tuwe tukiamini chochote kile? Ni kipi kinachoifanya Biblia iwe ni ya muhimu sana? Ni vipi hukusu Magitaa na maandiko mengine? Hebu na tuanzie mwanzoni. Mungu aliziumba na nchi. Alimuumba mwandamu. Uumbaji wake ulikuwa na malengo. Kama usingekuwa na malengo, ndipo Mungu angefanya mambo yake kutoka kwenye mabadiliko. Huenda mtu angepinga kwamba sisi ni mapambo ya kijumi tu kwenye galaksi ya Njia yenye Maziwa. Hatuamini hivyo na watu wa zamani za kale hawakuamini hivyo kabisa.

 

Inaaminika kuwa Mungu ana makusudi kwa mwanadamu. Malengo hayo yanahusiana na hukumu na maisha baada ya kufa. Kama tutahukumiwa basi ni budi tunahukumiwe kwa kiwango cha usawa. Hivyo yapasa ibakie hivyo na isibadilike kwenye utendaji kazi wake na kwenye utaratibu au kanuni ya Mungu ni uwingi na Kristo ni yeye yule, jana, leo na hata milele.

 

Mungu ana maagizo ya kijamii na kimaadili ili kuyafunua mapenzi yake na kiwango dhidi ya kile tutakachohukumiwa nacho. Vinginevyo, yeye atakuwa wa holela na anayewapendelea watu. Pia sharia ni budi ituame kwenye vigezo fulani kuliko ukweli wa kwamba aliitoa kutokana na ughafla. Kama aliitoa kutokana na ughafla basi atakuwa ni mtishaji au dikiteta mwingine.

 

Kwa rekodi zote tulizonazo, Biblia ndiyo inyoendelea kudumu zaidi na yule aliyeungwa mkono na rekodi za kihistoria na matendo ya miujiza hasi. Mungu aliyafunua mapenzi yake kwa kupitia watumishi wake manabii. Tuna ushahidi wa uingiliaji kati ule na unabii wa Mungu unaokuja kuchipua na kuzaa matunda au kutimilika.

 

Kanuni ya Biblia ni kwamba unabii ni lazima uendane na Sheria na Ushuhuda (Isaya 8:20). Vitabu vyote vilivyo ndani ya Biblia vimekubalika kuwa ni unabii na vinakubalika kuwa ni vitabu vitakatifu na bodi ya Waisraeli na makuhani ya kuyakubali maandiko na kuyapitisha. Hii ilienea kwa makanisa yote hata yale yaliyokataa Sheria za Mungu wasizishike hata leo.

 

Vitabu kam vile cha Damu Takatifu na cha Kikombe Takatifu havidai kuongelea lolote kuhusu Mungu n wala havifuati sheria na Ushuhuda. Kes hiyo vinapungua vigezo vya msingi vilivyovuviwa na Mungu kama wasemavyo mitume wa Agano Jipya na Maandiko kwa ujumla.

 

Kwa kuvisoma vitabu kama hivi inampasa mtu kukipima kila kimoja kwa umakini akikilinganisha na jinsi inavyosema Biblia na ndipo alazimike kuvikataa kwa kuwa sio tu kwamba viko tofauti au haviendani, bali kwa mambo kama hayo yaliyo magumu kwenye uelewa wowote wa Mpango wa Mungu. Kiwango hiki kinaweza kutendeka kwenye Korani pia na kwenye vitabu vingine.

 

Wakati kwango kinapolinganishwa na kile kinachosemwa na Kurani, ni kama inavyopingwa na kile mahafidhina wa Kiislamu wanachodai kuwa inasema bali tunakuta kuwa hakuna mlingano na maandiko ya kwenye Biblia na ndipo tunapoiona kuwa ni uwongo. Hata hivyo, pale tunayoyafuata yale Uislamu wa siku hizi unapodai kwenye hilo, basi tunakuwa kwenye makosa makubwa.

 

Kwa hiyo tunalazimika kuyapima na kuyapitia maandishi yote kwa kile kinachodaiwa na wao na manabii wenyewe na pamoja na mashahidi na waandishi na pia pamoja na tafsiri na ulinganifu wa vitabu vilivyo kwenye mfumo wa Maandiko Matakatifu kama yalivyofunuliwa na Mungu kwa manabii. Vivyo hivyo chochote tunachokindika yapasa kitokane na maagizo ya Torati au Sheria na Ushuhuda vinginevyo basi hakutakuwa na nuru ndani yake.

 

Hii ndiyo sababu mambo yote yaliyoenezwa na watu wetu wamekuwa wakichunguzwa na baraza la kanisa na kuadibishwa ikiwa kutofanana huku kunakutikana kuwa kuko wazi au dhahiri. Kama utakuta andiko la watu wetu ambalo linaonekana kuwa linatofautiana na Sheria ya Mungu na Ushuhuda wa Y   esu Kristo na manabii tafadhali tujulishe tujue nasi tutaisahihisha, au tutaifafanua kwa nini haiku sahihi. Tutatoa ufafanuzi unaokubalika kwa kweli anaouibua mtu kwa suala la kitabaka.

 

Ni upi ushahidi wa kwamba kaburi lililovumbuliwa katika karne ya 9 huko Santiago de Compostela, upande wa kaskazini magharibi mwa Hispania, (Galicia) lilikuwa, kama inavyodaiwa, kuwa ni kaburi la Mtakatifu Yakobo? 

Jibu: Yakobo, askofu wa Yerusalemu na ndugu wa Kristo aliuawa shahidi mwaka 63 BK na nafasi yake ilichukuliwa na Symeon mwana wa Maria na Klopa. Kitendo cha kufananisha Desposyni kuruhusu maiti au masalia yake yaondolewe na yapelekwe Galicia hakina maana.

 

Kwa imani ya Kikatoliki, Yakobo alikuwa ni mtakatifu mlinzi wa Galicia na ilikuwa kwa kupitia yeye ndipo watu wa Uhispania walianza kuwafukuza na kuyarudisha majeshi ya Waislamu. Agizo la Mtakatifu Yakobo wa Compostella linaweka tarehe kutoka kwenye tarehe iliyofuata baadae na kwa kweli ilikuwa kiti chenyewe asilia cha agizo au amri. Agizo lenyewe lilikuwa la sehemu mbili, mwanzoni kabisa huko Leon na Ucle wa Castille.

 

Usiku wa siku kadhaa wa Santiago ulikuwa na mambo kwenye falme zote mbili lakini Ferdinand II wa Castile na Alphonse VIII wa Castile wakiirudisha tena amri waliweka maxingira ambayo vikao vya kutolea maamuzi au amri vilibidi viwe kwenye nchi au mataifa muhimu husika. Mabishano marefu yaliishia mwaka 1230 wakati Ferdinand III alipounganisha kofia zote mbili za kifalme. Kisha ndipo  Ucles wa Cuenca uliteuliwa kuwa ni makao makuu.

 

Kihekalu cha Mtakatifu Yakobo kililindwa na wao. umuhimu wa kuendeleza ujenzi wa vijihekalu na sanamu zake zilizojulikana kama za watakatifu walinzi na juhudi au hamasa za kidini kwenye vita nchini Hispania viliendeleza hamasa ya kuwa na masalia ya mfupa au ya kiungo kimoja au viwili na mwili wa yule aliyechukuliwa kuwa ni mtakatifu mlinzi wa Wahispania yalikuwa ndiyo matokeo yake halisi.

 

Nimependezwa na kile ulichowahi kukisema kuhusu Utafiti au Kuchorea Ramani kwa kutumia kipimo cha nasaba cha DNA. Nimesoma maelezo ya wanasayansi kwenye vitabu vingi, na ni vingi sana  na visivyo na hesabu hadi hapa nilipo sasa. Hii inafanya hesabu inanifanya nifikie hamasa ya kwamba: Na sasa TUNAJUA…….kwahiyo kumtazama Mungu! Inaonekana kama mtu anamtumia Mungu peke yake wakati inapoonekana inafaa kufanya hivyo.

Jibu: Kulikuwa na shindano moja tu kwenye shindano la mwanadamu na sasa tunaweza kuonyesha ukweli huo kiufasaha sana. Dhamira au madhara ya ubaguzi yanaweza kuwekwa kwenye mambo mengine yanayoweza tu kuingizwa kuwa mbadala kwa kitisho cha kutisha zaidi kwenye uhuru wa mwanadamu. Madhara ya kiuzawa ya nasaba ya familia kadhaa na makabila vinaweza kutengwa au kuondolewambali na hata familia za kawaida za wanadamu zimeangamizwa kwa dhana hii.

 

Haya ni mafundisho yaliyoletwa baadae ya mapepo, yanayokusudia kukataza au kuzuia ndoa hata siwe ya kweli zaidi. Soma kwenye majarida ya Mafundisho ya Mapepo ya Nyakati za Mwisho (Na. 48) na pia lile la Uvijitariani na Biblia (Na. 183).

 

Kitendo cha kuweka alama za genome ya mwanadamu kitaibua matukio ya Mwanzo wa uumbaji yaendelee. Usemi usemao kuwa watakuwa kama elohim unaeleweka vizuri sasa. Na ndiyo maana Babeli iliangamia na lugha ilitibuliwa.

 

Wakati tunapoiangalia orodha ya Mababa wa Kanisa nilimgundua au nilimuona Hermes. Ni nani mtu huyu na alikuwa anaamini kitu gani na/au alikuwa anafundisha nini?

Jibu: Kimsingi, Hermes si mmoja wa mababa wa kanisa kwa kweli. Alitajwa kuwa alikuwa ni mmoja kati ya Mababa waliokuwepo kwenye Mtaguso uliojulikana kama Ante Nicene akipitishwa kutokana na mtazamo wake. Anaitwa Hermes Trismegistus. Alikuwa anaaminiwa kuwa ni Hermes wa tano au Mercury aliyemuua Argus na baada ya kufanya hivyo alikimbilia Minsri. Wamisri wanamuita Thoth na wanauita mwezi wa kwanza baada ya jina lake ambao ni sawa na mwezi wa Septemba.

 

Aliujenga mji wa Hermopolis na anaabudiwa huko Phenae. Alikuwa ni mwaamini Mungu mmoja aliyekuwa anafundisha huko Misri kuhusu mungu asiyejulikana. Ametajwa kwenye kamusi ya ANF kwenye matoleo ya 1:289; VII: 15, 210, 215. Hermes wa pili ni Messalian au Eustathian. Epiphanius anasema kuwa sini hii potofu ilianzishwa kipindi cha utawala wa Constance lakini Theodoret anasema kuwa zilianza katika nyakati za Valentian.

 

Mkururu wa vitabu vya Makasisi waliohudumu kipindi cha baada ya kipindi kinachojulikana kama Post Nicene, Matoleo ya II vol XIV kwenye ukurasa wa 240 kuna kifungu kinachoelezea kuhusu dini hii. Kulikuwa na catacombi ya Hermes iliyochimbuliwa karne moja iliyopita kwenye Via Salaria Vetus ng’ambo au nyuma ya Porta Pinciana (CE vol. II, p. 419, 517). Kuna taarifa chache tu zinazojulikana kumhusu yeye yaliyohifadhiwa kiasi cha kuonekana kuwa huenda aliuawa shahidi mnamo mwaka 119 BK. Kizazi cha Waliberia wa Karne ya Nne kilimtaja yeye kuwa alizikwa kwenye uwanja wa Makaburi wa Kusini mwa Basilla. Basilica ya chini ya ardhi ya karne ya nne iliijengwa juu ya kaburi. Adrian I (772-95) aliuondpa mwili wa Hermes na kuupeleka mjini. Chanzo kwa kwanza cha Wakeisto kuhusu catacombi ya Hermes na masalia ya ss Peter na Hyacinth yaliyokutikana hapo yanachukuliwa kama huko Guiseppe Marchi 21 Marchi 1845 (CE, Vol. IX, p. 643).

 

Dini hizi mara nyingi zinadhaniwa kuwa zilikuwa na ajenda ya siri na kutumia hali ya kuitawala akili za watu na kuzitumia kama wanavyopenda ili kuwafanya waumini wao wawe waaminifu na watiifu kwenye dini hizo. Cult ni nini? Kama sio kwamba limetoka wapi neno ‘cult’ zenye matendo haya?

Jibu: Kalti au Cult ni neno linalotokana na neno Cultus ambalo linamaana ya kuabudu. Kalti kubwa zaidi ya zote ya Kikristo ni Kanisa Katoliki la Roma. Limeendeleza maana yake ya kiporojo au kebehi kwa imani za Ukristo mkongwe walisaidia kuieneza na kuviambukiza vikundi vidogovidogo na kuviwezesha au kuvifanya viendelee kuamini kinyume au hata vikatae kufuata mrengo wa makanisa makongwe.

 

Ni kawaida tu kwenye historia na imani ya Ukristo mkongwe imekuwa ikirudiarudia kumuua mtu yeyote aliyeonekana kutokubaliana na wale wanaoichukulia dini kuwa ni kama siasa. Utendaji kazi wa Kalti umeainishwa kwa kina kwenye jarida la Fikra za Kalti (Na. 74). Mateso yaliyofanyiwa kanisa la watuza Sabato kama kalti yamekuwa yakifanyika na kuendelea mara kwa mara tangu pale kalti za waabudu Jumapili ziliposhika hatamu kama Wakristo walio wengi. Soma jarida la Kazi ya Amri ya Nne Kwenye Historia ya Makanisa ya Mungu ya Washika Sabato (Na. 170).

 

Mauaji ya kuangamiza ya Holocaust yalipangiliwa kwa lengo la kuwaangamiza na kuwafutilia mbali washika sheria au torati na waamini Biblia wote waliokuwako huko Ulaya kwenye karne ile. Ilikuwa ni karibu wafanikishe mkakati huu. Kwa sasa, kuna mambo ya kushangaza au mageni yanayojitokeza yakilenga kuviangamiza vikundi vidogovidogo. Vikundi vingine vidogo hata vinajiua au kujinyonga vyenyewe.

 

Kundi moja nchini Uganda hivi karibuni lilijitebga kutoka kwenye Kanisa Katoliki la Roma na inadaiwa kwamba lilisema kuwa linataka kuzirudisha Amri za Mungu. Kisha wafuasi wake walikutwa wamejinyonga kwa kamba na wengine kujipigilia misumari kwenye jingo la kanisa na ambalo hatimaye lilichomwa moto na viongozi wao. Hili ni tukio lisilo la kawaida kulisimulia miongoni mw matukio mengi mengine.

 

Waco lilijulikana kama kalti ya whacky lakini tunakuta sasa kwamba mambo mengine yasiyo ya kawaida yalijitokeza huko ambazo zimewasumbua kwa kiasi kikubwa Wamarekani wengi. Wakristo wa imani Kongwe wameviua vikundi vidogovidogo visivyo kubaliana nao kwa kutumia zana kalikali au kwa kutumia mbinu za namna mbalimbali pamoja na vitu vya hatari kwa kipindi cha karne nyingi sasa. Soma kwenye kitabu cha but we find now that some extra ordinary things Wasabato wa Transylvania (CCG Publishing 1998.)

 

Ukiri wa Imani ya Kikristo

Kwenye swali lililopita ulilitaja Kabrasha R [“R Document.”] Tafadhali unaweza kufafanua kidogo zaidi kwamba hiki ni kitu gani? Ni nani aliyeiandika? Ni kipindi gani mjarabu? Je, kuna ukurasa wa tovuti au chochote kilicho kwenye nakala iliyotafsiriwa kuhusu hiki ili kwamba tuisome?

Jibu: Kabrasha R ni nakala iliyojulikana zamani sana ya tangazo la ukiri wa imani ya kanisa ambalo kutokana nalo ndipo Ukiri wa Imani wa Mitume ulichukuliwa, au na ambayo ilighushiwa kwa kuwa haikuwa na mashiko na mitume.

 

Herbert Thurston alihuisha tena misingi na fikra zake kwenye makala yake aliyoiandika kwenye kitabu cha fafanuzi kijulikanacho kama Catholic Encyclopaedia aliko andika makala ihusuyo ukiri wa imani. Inaonyesha wazi sana kwamba kanisa huko Roma, angalau sehemu ya pili ya mwishoni mwa karne ya pili, lilijitangaza lenyewe kuwa ni Kanisa Takatifu na siyo Kanisa Katoliki. Lilikuwa ni kanisa la Kiyunitarian likiamini kuwa Kristo siyo mungu na liliamini kuhusu Ufufuo wa Wafu. Kutokana na kazi ya kurekebisha iliyofanywa na Tertullian, Roho Mtakatifu alikuwa ni nguvu au uweza tu wa Mungu na siyo mtu.

 

Imani za Kidini Kitaifa

Nilisoma maelezo kuhusu kambi za mateso za Croatia na Vatikan. Nilikuwa na wakati mgumu sana sio wa kuyafikiria matukio haya. Kwa bahati nzuri mimi ni Mjerumani Mkatoliki kwa kuzaliwa lakini uvunjifu mkubwa wa Amri ya Pili hauna ubishi. Mbali ya kufunga saumu na kuomba kwa ajili ya ulimwengu ili utubum na uponyaji wa watu, wenyeji na sayari; na kwa kweli wamtii Mungu wa Pekee na wa Kweli kuna nini kingine cha kufanya?

Jibu: Lakutisha mno ni kwamba inaonekana kutokuwa na kujulikana halisi kutoka kwa watu hawa kwamba kwa kwli walifanya makosa. Tuna ushahidi kuhusu viapo vitolewavyo mahakama ya sharia kwenye migongano ya vita vya uhalifu kutoka kwa makasisi hawa wa Kifranciscan. Mmoja alikiri kuwa yeye peke yake aliua watu takriban 44,000 yeye mwenyewe. Na bado tunao makasisi walio kwenye mabara au majukwaa ya ulimwengu ambao wanaendelea bado kukataa ukweli wa mambo yaliyotokea.

 

Kulikuwa na takriban kambi za mateso 15000 na kuliharibiwa kambi huko Ulaya. Wayahudi hawakutupa msaada wowote kwa kujionyesha kwetu kuwa tunafafana kiimani na yakachukuliwa kuwa yalikuwa ni mauaji ya kuangamiza ya Holocaust ya Wayahudi peke yao.

 

Lengo la mkakati huu lilikuwa ni kuwatokomeza watu wote wasioami Utatu na hususan washika Sabato wa Ulaya. Ulikuwa ni mkakati wa pamoja wa Wakatoliki wa Roma pamoja na wenye imani ya Kilutheri. Takriban watu milioni 18 waliuawa. Ulikuwa ni mkakati wa pamoja uliowajumuisha Kanisa Katoliki la Roma pamoja na Walutheri wa Ulaya ndio waliofanya hivi. Kambi ya kwanza ya mateso ilitolewa kwa watu wa Afrika Kusini na wakapewa Kanisa la Kilutheri mnamo Desemba 1932. Hii ni miaka kumi baada ya kile kinachodhaniwa kuwa kipindi cha mauaji ya kuangamiza ya Holocaust ya miaka ya 1942-45.

 

Hii ni sawa kama ile tume ya Ukweli na Maridhiano ya Afrika ya Kusini. Pasipo ukweli hakuwezi kuwa na upatanisho. Bila Kanisa Katoliki kukiri yale waliyoyafanya nan i wapi imani yao ilikotoka hakuwezi kuwa na toba.

 

Haya hayakuwa ni mauaji ya Holocaust yaliyodumu kwa miaka mitatu peke yake huko Ulaya. Ni kama unavyoweza kuona kuwa maangamizi haya yalianzia huko Afrika mwanzoni mwa karne hiyo. Hata hivyo, Mabaraza ya kuwahukumu na kuwatesa watu yalianza kufanya kazi karne kadhaa zilizopita.

 

Soma kwenye majarida ya Vita Vya Wayunitarian/Watrinitarian (Na. 268). Soma pia kwenye jarida la Kazi ya Amri ya Nne Kwenye Historia ya Makanisa ya Mungu ya Washika Sabato (Na. 170).

 

Mahakama ya mwisho ya Kuhukumu na Kuwatesa watu ilikuwa kwenye Himaya za Papa katika miaka ya 1823 na 1946. Watu 200,000 walihukumiwa kifo au wa- manchani za uhalifu. Watu milioni 1.5 waliwekwa kwenye mahabusu ya mateso makali na vifungo vya maisha; kulikuwa na kitanzi kabisa kila kona. Watu walishitakiwa kwa Kilatini na hawakuwa na jinsi ya kujitetea na hawakujua sababu ya kushitakiwa kwao. Mwana historia wa Kijesuit marehemu Malachi Martin anaelezea kwa kina jambo hili kwenye kitabu chake cha The Decline and Fall of the Roman Church [Kudhoofika na Kuanguka Kwa Kanisa la Roma], pp. 250-254ff. Wakati watu wakiichukulia kura ya maoni kama ni masalia ya imani na mfumo wa kipapa au kufanyika kuwa sehemu ya hadhara, ya wachache waliosalia walioruhusiwa kupiga kura ya kuwachagua watu 130, 000 waliochaguliwa kujiunga kwenye Jamhuri na wengine 3000 peke yao wasio wa kawaida waliotaka kubakia.

 

Maaskofu waamini Utatu na wazee wa makanisa yao walifikia kujaribu kuyaandaa mauaji ya kimbari nchini Rwanda mwaka 1994 ambapo waliweka mikakati, kuonyesha, na kuwalipa watu ili wawaangamize zaidi ya watu 900,000 waliouawa na huenda waliouawa wanafikia idadi kubwa zaidi ya hiyo na hata yaweza ikawa ni mara mbili yake.

 

Yatupasa tumgeukie Mungu aliye-hai kwa kuomba na kufunga na kuzitubia dhambi zetu pamoja na mafundisho yetu ya kizushi pamoja ibada zetu za sanamu. Yatupasa tupate Amri Kuu ya Kwanza ya kwenye Torati moja kwa moja hata kabla hatujaendelea kwa kina kwenda kwenye Amri Kuu ya Pili lakini kabla hatujaipata Amri Kuu ya Kwanza basi yatupasa kuipenda kweli na kuendeleza shauku halisi ya kuwapenda watu wote.

 

Kama hatutawapenda majirani zetu tunaowaona basi tutawezaje kumpenda Mungu tusiyemuona. Umechukua hatua ya kwanza kwenye njia ndefu hadi kwenye matengenezo mapya.

 

Waskochi hawakutokea Scotland mwanzo wao. Ni wapi lilipo eneo lililojulikana kama lilichimbwa chimbuko lao na masalia na waliwezaje kufika Scotland?

Jibu: Waskochi wana historia hii hii ya kitabaka kama wa Irish. Hii kwa kweli inamaana kwamba Waskochi walikuwa (nab ado wapo) Waseltiki. Tukirudi hatua moja nyuma kutoka kwa Hispania inaonekana kuwa uhusiano wake na Georgia wa huko Caucasus.

 

Neno Iberia (kama ilivyo Latin Iberi) nchi ya Iberi, inatokana na neno la Kiyunani la Iberes, ambalo lilitumika kwa watu wawili. Mmoja alikuwa ni mtu wa Hispania na wendine ni wa Iberians, ambao walikuwa ni wa jamii ya Kiasiatiki karibu na Caucasus.

 

Wagodelian walikuwa ni wana wa Yafeti lakini jina Iberi linaonekana kuwa la namna ya Kiyunani ya Kisemitiki. Biblia inawaita wakazi wa asili wa Hispania Wagodelian kutoka kwa wana wa Godel. Hawa wa Iberians wanachukuliwa kuwa ni wa uzao wa Basque.

 

Iberia ya kale huko Asia ilikuwa eneo lenye wastani wa ile inayojulikana sasa kama Georgia. Iberian pia ni neno la Kiingereza cha Katikati la lugha ya Basque, (soma kamusi ya Oxford Universal Dictionary).

 

Upande wa mbali zaidi wa mashariki tuliona masalia yao yako kwenye eneo la Urumqi huko Tien Shan katika Uygur Dini ya Kienyeji na ya Wenyeji (Xinjiang Uygur Zizhiqu) wa Kaskazini Magharibi mwa China.

 

Maiti zao zilikutwa zikiwa na nguo na mali za thamani kwa kweli. Walikuwa wanavaa ala za kuwindia za bluu na za samawati pamoja na hizo walikuwa na ala zilizonolewa pamoja na za michirizi iliyokatisha ya rangu nyeusi na nyekundu zote zilikuwepo. Wanaume walikuwa warefu hadi futi sita nan chi sita kwenda juu. Wote walikuwa na nywele za rangi ya kaki (na macho maangavu ka kizungu?).

 

Wataalamu wa ushonaji na kufuma nguo wameandika kitabu chenye kichwa cha habari Mummies of Urumqi (Maiti za Waurumqi). Kinaelezea masuala ya nguo na kina picha za masala ya miili au maiti. Wachina waliikuta iliwa imekalishwa ilipogunduliwa kwa muda mrefu hadi mgeni alipoachiwa kujikwaa juu yao na wanazuoni wa Kichina waliopenda mavumbuzi yaliyotolewa na kupewa utambulisho.

 

Je, kuna tofauti yoyote kati ya Waselti na Waselti wa Kihyperborean? Nimesikia maneno yote mawili yakitumika lakini sielewi kama kuna ni wamoja au ni makundi tofauti. 

Jibu: Neno lililotumika na Wayunani ili kuwataja Waseltiki waliokuwa upande wa Kaskazini au “juu ya Kaskazini” (yaani Wind)." Walisemekana kuwa waliishi kisiwani upande wa kaskazini na kwa hiyo tunaongelea Uingereza.

 

Hawa Waseltiki walijulikana na Wayunani waliopenda Filosofia na kuichukulia kuwa ni njia ya kujikomboa na kujiweka huru kutoka kwenye gurudu au mzunguko huu wa kurudiarudia kuzaliwa ambao Waselti walikuwa wamejiunga na ulimwengu kuuamini katika Milenia ya Kwanza KK.

 

Habari zao hazijaandikwa kwa ukamilifu sana na huenda tutafanya hivyo hivi karibuni tu. Soma kwenye majarida ya Vita Vya Wayunitarian/Watrinitarian (Na. 268); Msalaba: Chimbuko Lake na Maana Yake (Na. 39) na lile la Ndama wa Dhahabu (Na. 222). Pia soma kwenye tovuti ya www.Abrahams-Legacy.org.

 

Unajua nini kuhusu nadharia ya Gaia? Ni ya kweli? Ni nini mawazo yako? Je, kuna usanii wowote au mashairi au kitu chochote kutoka kwenye dini au cha kidini kilichotabiriwa au kunenwa kabla ya kujitokeza kwa dhana au wazo hili?

Jibu: Maandishi ya Gaia yameanikizwa kifilosofia kutoka Parmenides na mfumo wa mmoja. Plato anaiendeleza hii na mfumo wake wa kiimani umeainishwa kwa kina kwenye kitabu cha ufafanuzi cha Proclus' Commentary on Plato's Parmenides.

 

Dhana ya kuwepo kwa Mama Mungu au Mama wa Dunia inatokana na imani ya miungu mingi, ambayo chimbuko lake linakutikana kwenye imani ya kianimisti ya kishamani. Na sasa inaendelezwa kwenye Teolojia Machato sambamba na Shule ya Kyoto kama ilivyoanzishwa na Hartsehorne na Whitehead.

 

Tofauti ya Teolojia ijulikanayo kama vuguvugu la Zama Mpya inatafuta kuiendeleza ikiwa kama theori inayoupinga Uumbaji chini ya uweza mahiri wa Baba Mungu. Lengo ni kufanya uwingi mtakatifu wa miungu na wa kudumu. Ni theory ya zamani sana iliyotuama kwenye uwongo wa namna zote mbili yaani kifalsafa na kiteolojia. Inaunda sasa kwenye nadharia za imani ya ulimwengu kutoka kwenye Kipigo Longolongo kama ilivyoenezwa kusemwa na Hawking na huenda Penrose.

 

Je, neno Tara lina maana gani linapotumiwa kwenye masuala ya dini?

Jibu: Jina Tara ni la ki Irishi na linakitaja Kilima Kitakafitu cha Tara kilichopo huko Ireland ambako jiwe hili linaitwa kuwa ni nguzon ya jiwe la Yakobo kutoka Betheli lililoletwa kupitia Misri na Uhispania hadi Ireland mnamo mwaka 700 KK na likawekwa hapo. Neno tara (SHD 8652) ni kama mlinda mlango na ambalo pia limechukuliwa kutokana na mtazamo au maana hii.

 

Wafalme walikuwa wanavikwa taji wakiwa juu yake wakati huo. Jiwe hili liliaminika kuwa liliondolewa hapo na likachukuliwa na kupelekwa hadi Scone iliyoko Scotland na Fergus wakati alipoanzisha shughuli za kitawa na kiseja kwa Waskochi. Tarehe zilizotolewa ni za kubuni tu na siyo za kweli. Lilichukuliwa na kupelekwa huko Westminster Abbey na Edward I mwaka 1297.

 

Wafalme na Malkia wote wa Uingereza wamekuwa wanavijwa taji zao za ufalme juu yake tangu wakati huo. Inadaiwa kuwa ni kuwaendeleza Wafalme wa kweli wa Israeli. Hivi punde tu ndipo lilirudishwa Scotland.

 

Tara ni jina la kiti cha zamani cha wafalme wa Ireland. Linatokana na lugha ya Kikaldayo lenye maana ya mlango na ndiyo kasri la ufalme; ambalo ni lango au kinywa. Hapa ni mahala au uwanja wa wafalme. Maneno yote mawili yanatumika kwa maana hizi kwenye Biblia.

 

Pia Tara inaonyesha imani za kimashariki za mungu-mke Tara, ambaye ameelezewa kwa kina kwenye kitabu cha Cox, cha Mysticism, CCG, 2001.

 

Ni nini maana ya kifalsafa ya nadharia tata kwenye sayansi na kwenye dini?

Jibu: Nadharia tata au ya machafuko imetuama kwenye msimamo wa kwamba hakuna agizo la kulifafanua hapa ulimwenguni. Ulimwengu unajibu mapigo zaidi kuliko ulivyoshawishiwa kwa shuruti au kwa amri yoyote ile. Amri isiyofafanuliwa siyo machafuko na haichefui, bali ni kwamba haijafafanuliwa tu. Nadharia hii ina dalili pana sana kwenye dini kama inavyo maanisha hapo kwamba hakuna Mungu aliyeamuru kuwepo mfumo au utaratibu.

 

Kutokana na hii tunapata hamasa inayofanana. Chochote kile kinachotarajiwa ni cha kimaadili. Hakuna ukamilifu wa kimaadili. Kuhusu sayansi tuna mkururu wa majarida ya sheria, ambazo zimetuama kwenye maagizo. Sheria au kanuni za Mwendojoto ni muhimu kwa hiyo.

 

Jambo hili limefafanuliwa kwa kina kwenye majarida ya Uumbaji: Kutoka Kwenye Nadharia ya Kianthropomorphiki Hadi Kwenye Ile ya Anthropolojia ya Kitheomorphiki (Na. B5). Vikwazo vya nadharia ya Machafuko inakutikana kwenye kitabu cha Wanasayansi kama vile kina Hawking Penrose.

 

Falsafa ya Causation inahusiana pia na mambo haya. Causation ni Mwamini umoja kama ilivyoonyeshwa kwenye Uumbaji. Kwahiyo siyo kuzuka na kwa hakika siyo fujo. Kuoza kwa K Mesons kuliashiria kuwa hii siyo nadharia sahihi. Soma pia kuhusu Uumbaji. Uteuzi wa kifungu cha kiwango cha sauti ya angani kwa viwango vya 10 hadi 10 hadi 123 pia kunaipinga au kuitatiza. I,eandikwa: Mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna Mungu.

 

Ni kitu gani basi kachojulikana kama “Baraka ya Toronto” na chimbuko lake ni wapi?

Jibu: Ilianzishwa mjini Toronto Canada. Watu walishinikizwa kwenye namna yao ya kuwaza kwenye ibada zao na waliguswa kichwani na kuanguka chini wakiwa na hali ya kupagawa au kiwewe au tofauti kwenye maana. Ni fundisho la uamsho wa Kipentecoste iliyojumuishwa na mafundisho mengine ya kupayuka payuka kimaneno na yote yanayoendananayo.

 

Imeainishwa kwa kina zaidi kwenye majarida ya: Swali Kuhusu Kunena kwa Lugha (Na. 109); Kunena kwa Lugha Kuliishia Lini? (Na. 182); Baraka ya Toronto, Ni Muweweseko wa Kupagawa na Mapepo (Na. 149).

 

Unafikiri nini kuhusu maandiko ya kale ya Kisumerian yaliyoelezea kuhusu gharia kuu na “Vipande vya mawe vilivyoandikwa mambo yanayoielezea mashua kubwa iliyotengenezwa kwa kuamriwa na mfalme aitwaye Ziusudra, aliyekuwa analinda mazao ya mbogamboga na mbegu ya mwanadamu”? hudhani kuwa huenda Mungu alimuamuru mtu mwingine aijenge mashua kama Nuhu? Pia ni je, kuna mandiko yoyote ya kale ya lugha ya Kiebrania yaliyopatikana? Kama jibu lake ni Ndiyo, ni kweli kwamba jina la Mungu limeandikwa YHWH?

Jibu: Ndiyo, maandiko haya yanapendeza sana. Ziusudra ni aina ya Kisumerian ya jina. “Tamko la Gilgamesh” inatoa aina ya Kimesopotamian: “Utnapishtim” (iliyoitwa ni mbali sana). Mtindo wa kimaandiko wa Kiyunani ulikuwa “Xisouthros.” Yote hayo ni matoleo ya hadithi ya Nuhu.

 

Kwenye “Tamko la Gilgamesh” wanamnukuu akimuomba mungu Sin, ambaye ni mungu mwezi. Hili ni chimbuko la neno la Kianglo Saxon kumtaja mungu sin. (Soma kwenye jarida la Ndama wa Dhahabu (Na. 222).) jarida hili lina mambo mengi sana yaliyoainishwa kwa kina.) Kipimo cha safina kilibuniwa kwa aina yake. Kwenye “Tamko la Gilgamesh” familia za wafanya kazi zinachukuliwa pamoja nao pia.

 

Kwenye maandiko ya Kisumerian, unayoyaelezea, Ziusudra anajionyesha mwenyewe mbele ya kina Anu na Enlil, miungu ya Wasumerian. Andiko hili pia linatoa tanko la uumbaji wa “watu wenye vichwa vyeusi” (neno lililotumika kuwataja Wababeloni na Wachina pia kwenye maandiko yao, na hapa lina maanisha ongezeko la idadi ya watu ulimwenguni kwa ujumla) na ulitanguliwa na kuumbwa kwa wanyama. Gharika ilidumu kwa siku saba na ilizoa au kufagia vituo vitano vya dini hizi potofu duniani, ambavyo viliwekwa chini ya miungu na baraza la miungu huko mbinguni.

 

Habari hizi zimebuniwa kwa matoleo mengi zaidi au machache yanayohusu gharika yaliyoandikwa karibu miungu yao yote ya zamani. Hata hivyo, wanaonyesha undani wa dhana yenyewe ya baraza la elohim na inavyofanana na hadithi ya gharika kuu na lengo lake. Kuna nakala za hadithi hiyohiyo ya Nuhu. Nkala ya Kiebrania haiandiki YHWH bali YHVH. Hakukuwa na herufi “w” kwenye Kiebrania. Vav inatamkwa kama sawa na inavyotamkwa “w” lakini inaandikwa “V”. maandiko ya zamani hayakuwa na vokali. Kwa hiyo YHVH ni uandishi sahihi wa andiko hili. Tuna “Lachish Ostracon,” ambao ni uandishi wa kipindi cha Yeremia. Tafsiri ya kisasa ya Albright imeliandika jina hili kuwa Yahweh. Maandiko ya Elephantine yaliyotafsiriwa na Ginsberg yanaonyesha shina la uandishi wa neno halikuwa Yah (liliandikwa Jah kwenye tafsiri ya Kiingereza) bali Yaho na hivyo andiko hili linakuwa ni Yahova na siyo Yahwe. Limeandikwa YHVH kwenye Kiebrania asilia. Makabrasha yapo yote kwenye maandiko yaliyoandikwa na James B Pritchard kwenye kitabu chake cha The Ancient Near East...(Mashariki ya Karibu ya Zama Kale), Princeton, 1958.